Simuelewi Diamond Kwasasa

Simuelewi Diamond Kwasasa

Mtu ukiona anafanya remake tena bila lyrical ndio ujue kaishafikia kiwango cha mwisho cha ubunifu
 
Kama ubunifu wa kimuziki umepungue ajikite kwenye biashara awachie kina koho! Koho! Koho!
 
Samahani kwani amewahi kua bonge?
Mwenzio kawekeza pesa zina miminika tu afanye au asifanye mambo yanaenda tu
Mkuu lazima atajikuta user tu wa pesa na bila usimamizi wa mtu aliyesimama vizuri kichwani ataanguka tu.
 
Yupo bize na biashara zingine, muziki una umri, thus wengi uwika ujanani utu uzimani utumia tu
 
1670702146206.png

Anataka kurudisha muonekano wake wa zamani!!
 
Kuhusu unga namkumbuka yule mwanamama Britney Huston. dah R.I.P
 
Back
Top Bottom