Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
inaonekana hukuelewa au upo tofauti.....
mtu amekiri kuwa ni yeye ndie aliekosea in the first place....
sasa hapo mwanamke ana haki ya kudeka na kudeka...
Nimeelewa sana!Kama angesema hajaomba msamaha na kubembeleza ova n ova again ushauri wangu ungekua wa kumtetea msichana!!Asipoonyesha msimamo either ataendelea kumbembeleza mtu asiyemtaka au atamuacha mtu anaempenda bila kujua alikua anampima tu!Either way itakua imekula kwake...