Simuelewi mtu huyu

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
1,143
Reaction score
2,475
Wakuu mpo sawa

Aisee nina rafiki yangu kuna kazi anafanya na wakati mwingne hunihitaji nikamsaidie sku za weekend na nafkia kwake

Kinachonikela ktendo cha yeye kuwa anajishikashka matako yan anaingza mkono ndan bukta anakuwa anatomasa makalio halafu tukiwa tupo ktandan tunapga story kusogeza muda.

Pili ni ktendo cha yeye akiwa anaongea tukiwa ktandan ni lazma awe ananigusagusa miguun au kwenye mapaja nashkwaga na hasira sn.

Tatu wakati mwngne anaweza kuamka akanikandamiza kwny kiuno badala ya mikono yake kukandamiza kwny godoro ili ainuke ashuke bs ye mkono 1 atakandamiza godoro mwngn atanishka mimi mgongon au kiunoni

Aisee nashkwa na hasira sn jamaa namuheshmu sn hata kumwambia nashndwa nianzie wapi ana family mke na watoto ila kaz zake anafanyia wilaya nyngne tofauti na ilipo family yake.

Na mimi npo wilaya nyngne na nina family.

Wakuu mtu wa namna hii unaweza muhisi na basha au ni choko au namna gn au mnanishauri nini?
 
tukiwa ktandan ni lazma awe ananigusagusa miguun au kwenye mapaja nashkwaga na hasira sn , tatu wakati mwngne anaweza kuamka akanikandamiza kwny kiuno badala ya mikono yake kukandamiza kwny godoro ili ainuke ashuke
Wewe ni mwanaume kweli? Hujui kupigana? Huwezi kumchana makavu? Unakubalije mtu anakupapasa makalio? Tungekuwa ana kwa ana ningekutandika hata makofi
 
HIVI MWANAUME ANAPIGWAJE PIPE HII KITU HUWA INANICHEKESHA SANA

KWANGU NI KITU YA KIJINGA SANA, WANAUME TUNA PIPE SASA BADALA YA KUPIGA MTU ANAPIGWA YEYE

SIPATI PICHA WAKATI AKIPIGWA YAKWAKE INAKUWA KWENYE HALI GANI
ASEE HII DUNIA INA UFALA SANA
 
Huyo bahsha... shehe wangu lala kwa machale usije ukaamka ukakutana na vyuma havikupi ushirikiano
 
Wewe ni mwanaume kweli? Hujui kupigana? Huwezi kumchana makavu? Unakubalije mtu anakupapasa makalio? Tungekuwa ana kwa ana ningekutandika hata makofi
Hapana hajanpapasa mimi ni yeye ndiye hupapasa ya kwake
 
Kanajibebisha hako,kanataka kufilimbwa na kushenyentwa...
Upo nako hapo ? Kama ndiyo,kaulize...Hivi wewe unashenyentwa eti?
Mtu mwenye familia, wakiume, unalalaje kitanda kimoja na mwanaume mwenzio kitanda kimoja, eti mkiwa mnapiga stori kitandani!

Nadhani anasema, waume za watu ni wanachama pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…