Simuelewi mtu huyu

daaaaahπŸ˜‚
 
wakuu au mi nd cjaelew mana np nasoma huu uz huku napiga soju! iv wanaume mnalala had ktandan na upo na familia! hiv kwl huy mkuu n mwnzetu kwl?
 
wakuu au mi nd cjaelew mana np nasoma huu uz huku napiga soju! iv wanaume mnalala had ktandan na upo na familia! hiv kwl huy mkuu n mwnzetu kwl?
Na huwa anachukuliwa kutoka sehemu moja na kwenda mbali kusaidia kazi mwanaume mwingine na kumuacha mkewe na watoto.
 
Mbona kama wewe ndo choko , unapapaswa na mchizi na unaogopa kumwambia, na mnalala kitandani anakupapasa na miguu yake unanywea tu.

Anakulia timing tu, ukijaa unaliwa na hutokua na say.
 
Hivi ili ufanikiwe inabidi usilale eti?
Swali zuri ingawa linaweza kuwa na unafiki ndani yake!

Nimewahi kuona vipindi vingi kwenye Televisheni, unakuta kijana wa 17y.o anafanya kibarua kwenye restaurant, bar etc, anajichanga ili apate pesa ya ada ya college au anasapoti familia... na unakuta analipwa kwa saa na ana vibarua kadhaa kwa siku!

Kuna mtu mmoja nikamsikia akisema, time difference inawafanya matajiri baadhi kuwa macho mapema zaidi, mathalani issue ya stock exchange etc

Kuna wale madisko joka, ambao pia ni watangazaji etc

Bodaboda aliye serious, usiku anatafuta hesabu binafsi

Nilisikia raia wakilalamika kuhusu watanzania kufanyishwa kazi saa 24 kwa ujira mdogo

Sasa nirudi kwako, ukiwa na ufanishi kwenye ajira yako, huwezi kutoboa maisha...ukianza kutaka kujiimarisha kiuchumi, ama usizingatie ajira au uongeze muda wa kufanya kazi!
 
Hizi ni changamoto, nadhani ww unatakiwa uamue cha kufanya. Sidhani kama hupendezwi na hiyo tabia, na kama hupendezwi nayo kwann usimuweke wazi!? Unatufkirsha raia.....
 
Labda jamaa yako huwa anai set vizuri butt plug yake, who knows!, dunia ina ufala mwingi sana.

B.I.G Alisema ...don' mix like two d!cks en no b!tch, find your selves in serious shit!...

Usipozichanga soon utajikuta kwenye some serious shits kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…