Simuelewi mtu huyu

Simuelewi mtu huyu

Wakuu mpo sawa

Aisee nina rafiki yangu kuna kazi anafanya na wakati mwingne hunihitaji nikamsaidie sku za weekend na nafkia kwake

Kinachonikela ktendo cha yeye kuwa anajishikashka matako yan anaingza mkono ndan bukta anakuwa anatomasa makalio halafu tukiwa tupo ktandan tunapga story kusogeza muda.

Pili ni ktendo cha yeye akiwa anaongea tukiwa ktandan ni lazma awe ananigusagusa miguun au kwenye mapaja nashkwaga na hasira sn.

Tatu wakati mwngne anaweza kuamka akanikandamiza kwny kiuno badala ya mikono yake kukandamiza kwny godoro ili ainuke ashuke bs ye mkono 1 atakandamiza godoro mwngn atanishka mimi mgongon au kiunoni

Aisee nashkwa na hasira sn jamaa namuheshmu sn hata kumwambia nashndwa nianzie wapi ana family mke na watoto ila kaz zake anafanyia wilaya nyngne tofauti na ilipo family yake.

Na mimi npo wilaya nyngne na nina family.

Wakuu mtu wa namna hii unaweza muhisi na basha au ni choko au namna gn au mnanishauri nini?
daaaaah😂
 
wakuu au mi nd cjaelew mana np nasoma huu uz huku napiga soju! iv wanaume mnalala had ktandan na upo na familia! hiv kwl huy mkuu n mwnzetu kwl?
 
wakuu au mi nd cjaelew mana np nasoma huu uz huku napiga soju! iv wanaume mnalala had ktandan na upo na familia! hiv kwl huy mkuu n mwnzetu kwl?
Na huwa anachukuliwa kutoka sehemu moja na kwenda mbali kusaidia kazi mwanaume mwingine na kumuacha mkewe na watoto.
 
Mbona kama wewe ndo choko , unapapaswa na mchizi na unaogopa kumwambia, na mnalala kitandani anakupapasa na miguu yake unanywea tu.

Anakulia timing tu, ukijaa unaliwa na hutokua na say.
 
Hivi ili ufanikiwe inabidi usilale eti?
Swali zuri ingawa linaweza kuwa na unafiki ndani yake!

Nimewahi kuona vipindi vingi kwenye Televisheni, unakuta kijana wa 17y.o anafanya kibarua kwenye restaurant, bar etc, anajichanga ili apate pesa ya ada ya college au anasapoti familia... na unakuta analipwa kwa saa na ana vibarua kadhaa kwa siku!

Kuna mtu mmoja nikamsikia akisema, time difference inawafanya matajiri baadhi kuwa macho mapema zaidi, mathalani issue ya stock exchange etc

Kuna wale madisko joka, ambao pia ni watangazaji etc

Bodaboda aliye serious, usiku anatafuta hesabu binafsi

Nilisikia raia wakilalamika kuhusu watanzania kufanyishwa kazi saa 24 kwa ujira mdogo

Sasa nirudi kwako, ukiwa na ufanishi kwenye ajira yako, huwezi kutoboa maisha...ukianza kutaka kujiimarisha kiuchumi, ama usizingatie ajira au uongeze muda wa kufanya kazi!
 
Hizi ni changamoto, nadhani ww unatakiwa uamue cha kufanya. Sidhani kama hupendezwi na hiyo tabia, na kama hupendezwi nayo kwann usimuweke wazi!? Unatufkirsha raia.....
 
Labda jamaa yako huwa anai set vizuri butt plug yake, who knows!, dunia ina ufala mwingi sana.

B.I.G Alisema ...don' mix like two d!cks en no b!tch, find your selves in serious shit!...

Usipozichanga soon utajikuta kwenye some serious shits kiongozi.
 
Back
Top Bottom