Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Sasa mawasiliano na huyo mbuzi ni ya nini kama ushaamua kumove on?
Cha kufanya mnunulie mwanae simu ya kitochi ili akiwa na shida nae ampigie mhusika direct. Otherwise huyo jamaa ukimwendekeza atakugonga muda si mrefu maana anakulia timing tu ujae.
Naogopa kumpa cm yupo darasa la 3..
 
Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi???
Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau. Mbona mimi simfaalii japo aliniambia bado hajaoa?

Punguza hasira Mama mbuzi..

Huyo kijana mwenzetu nunua simu ya mezani,, iweke Chumbani kwa mwanao...na hizi simu ni bei chee kabisa,, then mwambie Baba mbuzi ukitaka kuzungumza na mwanao mpigie mda fulani na fulani atakuwa available...

Wewe na yeye siku utakayompa hayo maelezo ndio iwe siku ya mwisho kuzungumza... tofauti na hivo basi nawewe utakuwa unataka kumuonyesha kuwa now uko better na hauteseki,, kitu kitachofanya aingie kwenye subconscious mind yako taratibu na mwisho akulale kimasihara na akupige na kitu kizito tena,, wakati NDOA yako ameharibu..

Ukiendekeza kuongea nae,,nakuhakikishia lazima tu utachezea Dudu la yuyu
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Ushauri wangu, usiwe na huruma. Mpe Baba mwingine mtoto, kata mawasiliano, fanya maisha yako. Pia mnamchanganya mtoto kujua kuwa ana Baba wawili, muacheni mtoto akue kwanza, bora ulaumiwe kuwa ulimtenganisha na bake halisibut atleast umemweka mahali apate kukua vizuri. Dunia haina huruma, unaweza ishia kujuta kuwa na mawasiliano nae huyo Baba yake (ex wako)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu na expectations ndio vinavyo msumbua. Mda anakuacha alitegemea utasota sana lakin anaona mambo yapo tofaut na alivyo tegemea hapo anataman msingeachana anahis jamaa ako anafaidi sana. Na ww ukiregea kidogo tu unaenda kubomoa ndoa yako
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli


Chuki inakuja kwa aliyowahi kukufanyia lakini deep down bado una upendo na baba mtoto wako lady in action
 
Kwan huyu mume wako mpya analifahamu Hilo kuwa unawailiano nae na huyu mbuzi
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Tena muheshmu San huyu Bab aliyekubali kulea mbegu za mbuz wako mwenyew Tena muheshimu San tena ushukuru ujawa single. Mam Ni vyema kuendele kupotezea mbuz wako na pia mwanao aje baadae ajue baba ake alivyo mbuzi
 
Punguza hasira Mama mbuzi..

Huyo kijana mwenzetu nunua simu ya mezani,, iweke Chumbani kwa mwanao...na hizi simu ni bei chee kabisa,, then mwambie Baba mbuzi ukitaka kuzungumza na mwanao mpigie mda fulani na fulani atakuwa available...

Wewe na yeye siku utakayompa hayo maelezo ndio iwe siku ya mwisho kuzungumza... tofauti na hivo basi nawewe utakuwa unataka kumuonyesha kuwa now uko better na hauteseki,, kitu kitachofanya aingie kwenye subconscious mind yako taratibu na mwisho akulale kimasihara na akupige na kitu kizito tena,, wakati NDOA yako ameharibu..

Ukiendekeza kuongea nae,,nakuhakikishia lazima tu utachezea Dudu la yuyu
Haha..!
Ushauri mzuri Nas,
Ila hapo pa Mama Mbuzi na Baba Mbuzi pamenichekesha..!😂
 
haya wale mlio sema singo maza haoleki oneni shuhuda alietulia na kakaza msimamo wake hamna cha kiporo kupashika wala nini.


saaasa game tunaligeuza kwenu wanaume

mkikataa kulea mkaikimbia mimba,mkome kuwasumbua



NB: huyo mbuzi [emoji1]anaumia anajua alipokuacha ungetetereka zaidi ya alivokuacha, so anatafta option ya kuku weka chini zaidi ya ulikokuwa.
Ni suala la muda tu.
Huyu mbuzi jike na beberu watakutana
 
Back
Top Bottom