tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Sasa mawasiliano na huyo mbuzi ni ya nini kama ushaamua kumove on?Du!!! Sawa bwana naomba Mungu aniepushe na hii dhambi
Cha kufanya mnunulie mwanae simu ya kitochi ili akiwa na shida nae ampigie mhusika direct. Otherwise huyo jamaa ukimwendekeza atakugonga muda si mrefu maana anakulia timing tu ujae.