Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Sasa kama ni hivi,
Jitahidi punguza mawasiliano na huyo jamaa, atakuharibia vyote, kuanzia ndoa yako na maisha yako mwenyewe
 
Wewe umekuja kutuchora tu bado mnapendana mtu akioa singo maza, usijipe imani ya 100% kwamba unamka wako na uko peke yako
Hapo ameonesha vipi kama anampenda huyo mshikaji,au kwa kua mwanamke ndo maana unamtusi hivi!
Wanaume baadhi mna shida gani na singo mother's kosa ni kuandika?grow up maan!!!sio kila singo mother Malaya au anamtaka mzazi mwenza,wapo wenye heshima zao na wametulia na wenza wao wapya!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.

Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .

Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.

Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?

Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Kheee..!! Umezaa na mbuzi..!? Wewe ukitukaniwa babaako kama unavyomtukana baba yake mtoto wako utafurahia?
Tafuta namna njema ya kutatua ishu hiyo.. kumtukana hata kama siyo mbele yake au hata kama hajui kuwa unamtukana haitasaidia kukomesha tabi usiyoipenda toka kwake
 
Haya wale mlio sema singo maza haoleki oneni shuhuda alietulia na kakaza msimamo wake hamna cha kiporo kupashika wala nini.

Saaasa game tunaligeuza kwenu wanaume

Mkikataa kulea mkaikimbia mimba,mkome kuwasumbua

NB: huyo mbuzi [emoji1]anaumia anajua alipokuacha ungetetereka zaidi ya alivokuacha, so anatafta option ya kuku weka chini zaidi ya ulikokuwa.
Hakuna kitu inaumuuma mwanaume kama kumuacha mwanamke then akampata mtu sahihi zaidi yake hua wanaumia sana na ukifanya masihara anakuharibia.
Anapasea amblock kabisaa na amfute ktk memory card yake maana ukute hukoo ndoa yake tia maji tia maji hvyo anataka kumharibia Dada wa watu!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Pole sana, ni kadhia katika mahusiano , la muhimu futa namba mtafute tu pale ukihitaji wewe azungumze na mwanaye baada ya hapo mblock tena, yote haya kumuheshimu bwana yako ndani, na kuitunza ndoa ila tofauti na hapo utahatarisha ndoa yako na mtu anayeweza asiwe na future tena na wewe.
FIKIRI.
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Aseehh!!what a story MUNGU akupiganie sana ktk ndoa yako na mheshimu sana huyo mtu na usijethubutu mlipa upuuzi Mungu atakupa pigo moja takatifu.
Huyo mtu block kabisaa ,delete na futa kabisaa mawasiliano nae!
Yaonekana hukoo aliko kuna moto unawaka anataka akuharibie jus be extra careful with him!!
Mpotezee mazima yaani mfute ktk kila kitu chako!
Wanaume ni viumbe selfish sana anataka akuharibie kwenye ndoa yako huyoo maana anaona hutetereki na anaumia kuona mtoto wake analelewa vizuri na humuombi hata senti.
Be careful shogaaa!!!usijekosa mwana na maji ya moto

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.

Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .

Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.

Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?

Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?

Ku a shida 02 hapo;

Mosi, kwa maelezo yako inaonekana unamzuia jamaa kumuona mwanae.

Kosa kubwa sana unafanya. Na najua kwann unafanya hvo, unafanya visasi
Kwa kua alikuacha kwa madharau na amekuacha ukiwa na mimba

Unakosea. Huna mamlaka hayo ww. Haijalisha amekuumiza kiasi gan
Huna mamlaka kisheria wala kimaadili

Pili, na yeye anakosea kufatilia maisha yakk wakt yeye nd alotangaza vita ni ujinga na ushamba wa kimapenzi, mwanaume unaanzaje kuftilia profile ya mwanaume mwenzako..!

Mwisho, kwa maoni yangu matatzo yako umeyatengneza mwenyew kwa Ujinga wako inawezakana kwa kujua au kutojua
Na naamini hata hili la pili limesababishwa na la kwanza.

Badilika.
 
Unaweza mkuu ila mimi sikutaka kuoa kisa tu mtu aje kulea mwanangu. Ntaoa pale nitakapokiwa tayari na nikaona huyo ntakaemuoa ananifaa.
Ni mwaka wa nne sasa naishi na mwanangu nilimchukua akiwa ndo anafikisha miaka 4 now ana 7
Aisee umenitia moyo sana ngoja nipambane na mm nikamchukue wangu tu
 
Aisee umenitia moyo sana ngoja nipambane na mm nikamchukue wangu tu
Mimi alinigomeaga kumchukua, nikamwacha nikawa natuma matumizi ikafika kipindi mwenyewe akasema unaweza kumchukua sasa, na tunaishi mikoa tofauti. And mtoto nlikuwa sijaonama nae toka ana miezi 9 so hata naenda kumchukua hanifahamu aisee ilikuwa kisanga alinisumbua kinoma isingekuwa jamaa kunitia moyo ngemrudisha maana nilikuwa namwonea huruma kila mtu stranger kwake
 
Soon jamaa anakuvunjia ndoa yako.
Na sio yeye tu hata ww pia unaweza ingia mtegoni ukadakwa na mumeo ikala kwako.
Ila sioni sababu kubwa ya hayo mawasiliani kama mtoto hapitii changamoto yoyote, kwanini msiwekeane ratiba labda likizo flani aende kwa baba ake au siku flani saa flani ataongea na baba yake.

Hizo mambo za kuchat whatsapp sioni umuhimu wake zaidi zaidi ni kuruhusu akuchombeze zaidi.
 
Namba yake usiisave kwenye contacts kisha set watsup who view ur profile kuwa contacts na watakaaona status yako ni contacts wako tu. Pia punguza kupokea simu zake,mara moja moja akipiga weka karibu na mumeo apokee ili kukomesha tabia yake
Kwa hicho anachokifanya kiama kipo karibu ni swala la muda tu.

Wanapigiana simu, wanachart si ajabu hata picha wanatumiana sio kwa ubaya ila huyo Mr wako akiona hatakuelewa kabisa.
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Kwa sisi wataalam wa lugha za alama ni kwamba unampenda huyo mbuzi kinyama na ukifanya suu unajaaa soon
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.

Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .

Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.

Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?

Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Kwa jinsi alivyokuacha, mblock kabisa. Tafuta mtu ( kupitia)mwingine awe anampigia kuhusu mtoto , na sio wewe direct( anataka kukuharibia)
 
Back
Top Bottom