Sasa mawasiliano na huyo mbuzi ni ya nini kama ushaamua kumove on?Du!!! Sawa bwana naomba Mungu aniepushe na hii dhambi
Naogopa kumpa cm yupo darasa la 3..Sasa mawasiliano na huyo mbuzi ni ya nini kama ushaamua kumove on?
Cha kufanya mnunulie mwanae simu ya kitochi ili akiwa na shida nae ampigie mhusika direct. Otherwise huyo jamaa ukimwendekeza atakugonga muda si mrefu maana anakulia timing tu ujae.
Basi sitisha mawasiliano na jamaa, vinginevyo atakuharibia kwa mumeo wa sasa.Naogopa kumpa cm yupo darasa la 3..
Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi???
Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau. Mbona mimi simfaalii japo aliniambia bado hajaoa?
Ushauri wangu, usiwe na huruma. Mpe Baba mwingine mtoto, kata mawasiliano, fanya maisha yako. Pia mnamchanganya mtoto kujua kuwa ana Baba wawili, muacheni mtoto akue kwanza, bora ulaumiwe kuwa ulimtenganisha na bake halisibut atleast umemweka mahali apate kukua vizuri. Dunia haina huruma, unaweza ishia kujuta kuwa na mawasiliano nae huyo Baba yake (ex wako)Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Asante ngoja nimblock tu tenaBasi sitisha mawasiliano na jamaa,vinginevyo atakuharibia kwa mumeo wa sasa.
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Basi Sawa inawezekana wewe ni mimiChuki inakuja kwa aliyowahi kukufanyia lakini deep down bado una upendo na baba mtoto wako lady in action
PoleBasi Sawa inawezekana wewe ni mimi
Tena muheshmu San huyu Bab aliyekubali kulea mbegu za mbuz wako mwenyew Tena muheshimu San tena ushukuru ujawa single. Mam Ni vyema kuendele kupotezea mbuz wako na pia mwanao aje baadae ajue baba ake alivyo mbuziKatika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
NakaziaTusubiri wataalamu bingwa wa matatizo Kama haya wanakuja
πππKwa hiyo ulizaa na mbuzi
Hakuna mtu ambaye hana msimamo, maana yake kila mtu ana msimamo wake.Jambo aliloleta ni dogo sana kwa mtu mwenye msimamo....sidhani kama kuna msimamo hapo
Ipo dalili ya kiporo kupashwa
Haha..!Punguza hasira Mama mbuzi..
Huyo kijana mwenzetu nunua simu ya mezani,, iweke Chumbani kwa mwanao...na hizi simu ni bei chee kabisa,, then mwambie Baba mbuzi ukitaka kuzungumza na mwanao mpigie mda fulani na fulani atakuwa available...
Wewe na yeye siku utakayompa hayo maelezo ndio iwe siku ya mwisho kuzungumza... tofauti na hivo basi nawewe utakuwa unataka kumuonyesha kuwa now uko better na hauteseki,, kitu kitachofanya aingie kwenye subconscious mind yako taratibu na mwisho akulale kimasihara na akupige na kitu kizito tena,, wakati NDOA yako ameharibu..
Ukiendekeza kuongea nae,,nakuhakikishia lazima tu utachezea Dudu la yuyu
Ni suala la muda tu.haya wale mlio sema singo maza haoleki oneni shuhuda alietulia na kakaza msimamo wake hamna cha kiporo kupashika wala nini.
saaasa game tunaligeuza kwenu wanaume
mkikataa kulea mkaikimbia mimba,mkome kuwasumbua
NB: huyo mbuzi [emoji1]anaumia anajua alipokuacha ungetetereka zaidi ya alivokuacha, so anatafta option ya kuku weka chini zaidi ya ulikokuwa.