Sasa kama ni hivi,Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Hapo ameonesha vipi kama anampenda huyo mshikaji,au kwa kua mwanamke ndo maana unamtusi hivi!Wewe umekuja kutuchora tu bado mnapendana mtu akioa singo maza, usijipe imani ya 100% kwamba unamka wako na uko peke yako
Kheee..!! Umezaa na mbuzi..!? Wewe ukitukaniwa babaako kama unavyomtukana baba yake mtoto wako utafurahia?Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.
Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.
Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.
Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .
Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.
Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.
Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.
Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.
Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?
Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Hakuna kitu inaumuuma mwanaume kama kumuacha mwanamke then akampata mtu sahihi zaidi yake hua wanaumia sana na ukifanya masihara anakuharibia.Haya wale mlio sema singo maza haoleki oneni shuhuda alietulia na kakaza msimamo wake hamna cha kiporo kupashika wala nini.
Saaasa game tunaligeuza kwenu wanaume
Mkikataa kulea mkaikimbia mimba,mkome kuwasumbua
NB: huyo mbuzi [emoji1]anaumia anajua alipokuacha ungetetereka zaidi ya alivokuacha, so anatafta option ya kuku weka chini zaidi ya ulikokuwa.
Aseehh!!what a story MUNGU akupiganie sana ktk ndoa yako na mheshimu sana huyo mtu na usijethubutu mlipa upuuzi Mungu atakupa pigo moja takatifu.Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.
Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.
Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.
Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .
Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.
Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.
Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.
Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.
Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?
Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Aisee umenitia moyo sana ngoja nipambane na mm nikamchukue wangu tuUnaweza mkuu ila mimi sikutaka kuoa kisa tu mtu aje kulea mwanangu. Ntaoa pale nitakapokiwa tayari na nikaona huyo ntakaemuoa ananifaa.
Ni mwaka wa nne sasa naishi na mwanangu nilimchukua akiwa ndo anafikisha miaka 4 now ana 7
Mimi alinigomeaga kumchukua, nikamwacha nikawa natuma matumizi ikafika kipindi mwenyewe akasema unaweza kumchukua sasa, na tunaishi mikoa tofauti. And mtoto nlikuwa sijaonama nae toka ana miezi 9 so hata naenda kumchukua hanifahamu aisee ilikuwa kisanga alinisumbua kinoma isingekuwa jamaa kunitia moyo ngemrudisha maana nilikuwa namwonea huruma kila mtu stranger kwakeAisee umenitia moyo sana ngoja nipambane na mm nikamchukue wangu tu
Kwa hicho anachokifanya kiama kipo karibu ni swala la muda tu.Namba yake usiisave kwenye contacts kisha set watsup who view ur profile kuwa contacts na watakaaona status yako ni contacts wako tu. Pia punguza kupokea simu zake,mara moja moja akipiga weka karibu na mumeo apokee ili kukomesha tabia yake
Kwa sisi wataalam wa lugha za alama ni kwamba unampenda huyo mbuzi kinyama na ukifanya suu unajaaa soonKatika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Kwa jinsi alivyokuacha, mblock kabisa. Tafuta mtu ( kupitia)mwingine awe anampigia kuhusu mtoto , na sio wewe direct( anataka kukuharibia)Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.
Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless namimba ya miez 6..nikarud home.
Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.
Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock .
Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juz Kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.
Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.
Sasa anachoniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo.
Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.
Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa?
Yan nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?