KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Huo ndio uamuzi sasa.As
Asante ngoja nimblock tu tena
😄😄😄 yaani afu unikute namiliki macho matatu nko ndani ya kausafiri ka maana we toka nikuache na ile baiskeli uliyokuwa unanifukuzia kunitongozea 😄😄😄 huku ma earphon meupe maskioni cm ya tochi ikiwa mfukoni 😄😄😄 wallah utameza wembe mkuuHakuna kitu inaumuuma mwanaume kama kumuacha mwanamke then akampata mtu sahihi zaidi yake hua wanaumia sana na ukifanya masihara anakuharibia.
Anapasea amblock kabisaa na amfute ktk memory card yake maana ukute hukoo ndoa yake tia maji tia maji hvyo anataka kumharibia Dada wa watu!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Bado wanampendanaMbona rahisi
Hatua ya kwanza ya kufanya kwa huyo mbuzi ni kumwambia mazungumzo yenu yawe ni kuhusu mtoto tu
Kama hatakuwa muelewa hatua ya pili ni kukata mawasiliano nae
Ama wewe unaona ugumu kwenye jambo lako ni upi?
akijitekenyesha atapashika anashindwa kubadili nambaJambo aliloleta ni dogo sana kwa mtu mwenye msimamo....sidhani kama kuna msimamo hapo
Ipo dalili ya kiporo kupashwa
Duuh!Du!!! Sawa bwana naomba Mungu aniepushe na hii dhambi
Namba yako anayojua weka kwa cm ya kitochi. Cm kubwa iwe na namba asiyojua, profile zako hawezi kuona tena.Mara nikiweka profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.
Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
[emoji23][emoji23][emoji18]nafunga mfungo ubadirike tabia
Abadili namba tena wakati kila kukicha lazima achungulie status anazoweka mbuzi.akijitekenyesha atapashika anashindwa kubadili namba
Hio kamwe hawezi kukubali kuichukua maana bado anasikia raha kuchati na kuongea na mbuzi.Chukua hii mtoa mada
Pole Sana mama inaonekana tatizo Hili linakupa Shida Sana wewe Kam mzazi mwezio unajukumu la kumsaidie mtoto aweze kupata malezi Bora kutoka kwa baba pili tafuta njia ambayo itakusaidie usiweze kuvunja mahusiano yakoHuyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.
Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.
Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.
Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.
Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.
Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
kaziiiAbadili namba tena wakati kila kukicha lazima achungulie status anazoweka mbuzi.
na namba amesave😁😁Sasa mawasiliano na huyo mbuzi ni ya nini kama ushaamua kumove on?
Cha kufanya mnunulie mwanae simu ya kitochi ili akiwa na shida nae ampigie mhusika direct. Otherwise huyo jamaa ukimwendekeza atakugonga muda si mrefu maana anakulia timing tu ujae.
Thank you alayna wangu ,yeye aamue kujenga au kubomoa ndoa yake tena!Sis Rey nime furahi kuona Comment yako hapa huyo dada akiweza kufata huu ushauri bila shaka atakuvuka hilo jaribu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtumie picha unampa mabusu mumeo, ajinyonge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]