Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Be VERY strong in what you believe!!!

Act according to what you believe!!

Ilinde ndoa yako kwa gharama yoyote Ile.
 
Usipokuwa makini, usipokuwa makini, mume wako wa Sasa unaweza kumpoteza pia, kwa kueendekeza mawasiliano na mbuzi.
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Deal nae mapema kabla hajakuharibia, hakuna kitu ambacho huwa sikipendi Kama kuona mke anawasiliana na ex wake. Usipokuwa makini itakugharimu,
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Mpe simu yake mumeo ili amchambe,mbuzi koko huyo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mbuzi anaweza kupiga cmu duu,afu kosa kumate na mnyama
 
Punguza hasira Mama mbuzi..

Huyo kijana mwenzetu nunua simu ya mezani,, iweke Chumbani kwa mwanao...na hizi simu ni bei chee kabisa,, then mwambie Baba mbuzi ukitaka kuzungumza na mwanao mpigie mda fulani na fulani atakuwa available...

Wewe na yeye siku utakayompa hayo maelezo ndio iwe siku ya mwisho kuzungumza... tofauti na hivo basi nawewe utakuwa unataka kumuonyesha kuwa now uko better na hauteseki,, kitu kitachofanya aingie kwenye subconscious mind yako taratibu na mwisho akulale kimasihara na akupige na kitu kizito tena,, wakati NDOA yako ameharibu..

Ukiendekeza kuongea nae,,nakuhakikishia lazima tu utachezea Dudu la yuyu
Ni ushauri mzuri ila sio sahihi kabisa, huyu mtoto atajazwa mambo ya hovyo kama akinunuliwa simu akawa anawasiliana na baba yake moja kwa moja basi ipo nafasi kubwa kuanza kuulizwa ishu za mama yake na mumewe ambapo sio sawa kabisa.

Muhimu ni huyu dada apambane na mzazi mwenzake bila kumuweka mtoto kati yao, asitumie mtoto kama kinga.

Mimi nadhani ni kuonana uso kwa uso na huyo jamaa, ila asiende mwenyewe aende yeye, mtoto na mume wake. Ila asimwambie jamaa kama atakuja na mume wake, kama jamaa anajua atapasha kiporo akiwakuta wapo watatu hatakaa ahangaike tena na huyu dada.

Ila chonde chonde asimpe mwanya wakuwasiliana na huyo mtoto moja kwa moja, mtoto bado mdogo sana huyo ataaribiwa saikolojia
 
anataka kupasha chakula chake, alikoenda kakutana na kitu kimechacha
 
Mimi nadhani ni kuonana uso kwa uso na huyo jamaa, ila asiende mwenyewe aende yeye, mtoto na mume wake. Ila asimwambie jamaa kama atakuja na mume wake, kama jamaa anajua atapasha kiporo akiwakuta wapo watatu hatakaa ahangaike tena na huyu dada.

Ila chonde chonde asimpe mwanya wakuwasiliana na huyo mtoto moja kwa moja, mtoto bado mdogo sana huyo ataaribiwa saikolojia
Kuonana fesi tu fesi ni changamoto kwasababu matatizo huja ghafla hayana taarifa,, na Demand ya jamaa ni kuongea na mwanae...

Only option ni kukausha tu,, asimpe simu dogo wala yeye asiongee nae.... Otherwise bado watapasha kiporo...

Tunacho avoid in mawasiliano baina ya hao wazazi wa mtoto..
 
UKIENDELEA KUSHUPAZA SHINGO NA UKAENDELEZA MAWASILIANO NAE.. IPO SIKU UTAKUJA KUSEMA YALAITI NINGEJUA NINGEKATA MAWASIKIANO NAE KABISA...WANAWAKE HAMUELEWAGI CHOCHOTE MPAKA SIKU YA KUKUTE NDIO UTAELEWA SOMO
 
Punguza hasira Mama mbuzi..

Huyo kijana mwenzetu nunua simu ya mezani,, iweke Chumbani kwa mwanao...na hizi simu ni bei chee kabisa,, then mwambie Baba mbuzi ukitaka kuzungumza na mwanao mpigie mda fulani na fulani atakuwa available...

Wewe na yeye siku utakayompa hayo maelezo ndio iwe siku ya mwisho kuzungumza... tofauti na hivo basi nawewe utakuwa unataka kumuonyesha kuwa now uko better na hauteseki,, kitu kitachofanya aingie kwenye subconscious mind yako taratibu na mwisho akulale kimasihara na akupige na kitu kizito tena,, wakati NDOA yako ameharibu..

Ukiendekeza kuongea nae,,nakuhakikishia lazima tu utachezea Dudu la yuyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?

Mpe BLOCK ya maisha wacha kumlealea na ujinga wake
Akimtaka mtoto aende kwenye utaratibu wa kisheria asije kukuharibia ustaarabu wako.
 
Hapo kinatafutwa kiporo kipashwe. Dada siku ukiliwa kiporo tuambie aseee tukuwaishe kwa kwa kaka iddi makengo akakupange vizuri.
X hajawahi kumuacha mwanamke yoyote salama.
 
Back
Top Bottom