katika maisha ya upambanaji,kutafuta mali,
maisha ya mapenzi
siasa,ndoa,nk
pole sana mkuu! Mwaka gani huo na ilikuwa katika harakati gani?Siku tulipozingirwa na kafanikiwa kuchomoka na kupotelea Msituni kwa masiku ...njaa na kiu ikazidi kukamata mwili na roho.
Katika kuzunguka huku mashaka yakiwa jirani na Mimi nikakutana na mmoja ya mwenzetu akiwa kachakaa na kachoka Kama mimi.
Tuliendelea kutafuta pakutokea bila matumaini.
Kuna sehemu tulifika tuliona maji yanashuka toka maeneo ya juu tuliyafuata kwa minyato mikali.
Tulikunywa Kama Mbwa.
Ajabu yalikuwa na chumvi nyingi kumbe haikuwa chumvi ya asili.
Tulikuja kukuta miili mingi mno ya wenzetu waliokufa imemwagwa na kuozea kwenye maji ambayo ndiyo yalikuwa yakitirirka kuja maeneo ya chini huku.
COMRADES WHO NEVER RETURN.
Binafsi siwezi kusahau siku nilipojiwa na wazo la kwenda kuwinda swala kwenye mbuga moja hivi ya wanyama huko Mkoani Iringa! Ile naingia tu mbugani na gobore langu, nikajikuta nimeshikwa na bumbuwazi baada ya kuwakuta wanyama wa porini wa kila aina!SweetyCandy Tumbili wa mjini Binti Sayuni03 Tate Mkuu The Legacy Kiranga LIKUD njooni uku mtoe ushuhuda
SweetyCandy Tumbili wa mjini Binti Sayuni03 Tate Mkuu The Legacy Kiranga LIKUD njooni uku mtoe ushuhuda
Binti Sayuni03 unaitaka yakwanguYa kwako iko wapi?
Ndiyo lete sitosahau yako kwanzaBinti Sayuni03 unaitaka yakwangu
😁😁😁mbuga gani hiyo ulienda mkuu?Binafsi siwezi kusahau siku nilipojiwa na wazo la kwenda kuwinda swala kwenye mbuga moja hivi ya wanyama huko Mkoani Iringa! Ile naingia tu mbugani na gobore langu, nikajikuta nimeshikwa na bumbuwazi baada ya kuwakuta wanyama wa porini wa kila aina!
Yaani kuanzia swala, simba, ngiri, chui, nyati, fisi, nyani, tembo, nk!! Kuangalia mfukoni, vibali vya kuwindia ninavyo! Basi nilichofanya ni kumlenga swala mmoja aliyenona, nikampiga risasi moja tu na kumpeleka sehemu! Nikamchuna ngozi, nikambanika kwenye moto, na kumtafuna. Na kwa kweli nyama yake ilikuwa laini na tamu sana. Yaani ile siku siwezi kuisahau kamwe.
Nadhani ni Ruaha kama sijakosea. 😩😁😁😁mbuga gani hiyo ulienda mkuu?
😁😁😁hongera yakoNadhani ni Ruaha kama sijakosea. 😩