Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Ngoja niweke kambi labda nitaona mkasa wa mtu aliyeambiwa achague kufa au kuolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza yako kwanza Mkuunjoo mkuu utoe stosahau yako.
endelea mkuuHuwa niki angalia story za Baada ya kifo Cha jpm, nafananisha na maisha Baada ya kifo Cha mzee wangu.
Ndugu zake wali enda kwake kimya kimya, taratibu za msiba zika anza kuandaliwa pasipo sisi kufahamishwa lolote.
ni Mungu na ujasusi wa chini chini uli fanyika ndio tuka pata taarifa hiyo, chap chap tuka ibuka msibani tukiwa na wakili wa familia, pamoja na watu baadhi (askari ) maana tuli ambiwa mambo si mambo.
msiba uka fanyika, kampuni aliyo kuwa ana fanya kazi Ika fahamishwa, msiba uka fanyika vyema.
Kimbembe hata marehemu haja zikwa, watu Waka Anza kuji gawia majukumu na mali za marehemu.
aisee!
Wanini wakupendanaSweetyCandy Tumbili wa mjini Binti Sayuni03 Tate Mkuu The Legacy Kiranga LIKUD njooni uku mtoe ushuhuda