ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA
MTUNZI:
edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI: Lakini wakati huo huo Radhia akiwa katika ukaguzi, anasikia mlango wa bafuni unafunguliwa, anaacha haraka anacho kifanya, na kuziba sehemu mbili za mwili wake, yani kitumbua na matiti yake, hulu ile chupi yake ameishika kwa ule mkono alio uweka kifuani, “jamani Eddy, siungesubiri nioge kwanza” anasema Radhia kwa sauti nyororo ya kulalamika, lakini yenye aibu kubwa. ......... ENDELEA….
Edgar aonyeshi kujari, “kwani ujawai kuoga na mwanaume?” ana uliza Edgar, huku anasogelea kapu la nguo na kuweka zile nguo mkononi mwake, “sijawai” anajibu Radhia, ambae bado ameziba sehemu kuu mbili, kwa mikono yake, huku anamtazana Edgar ambae anatarahia kumwona akitoka nje, “niraha sana, naamini kila siku utakuja ilituoge pamoja” anasema Edgar, huku anaichukuwa chupi ya Radhia toka mkononi mwake.
Radhia anatamani kumwambia kitu cha kumzuwia, lakini alisha chelewa, Edgar amesha tupia ie nguo kwenye tenga la nguo chafu, “lakini si mpaka nizowee sasa” anasema Radhia kwa sauti ya kama vile akupenda ujio wa Edgar kule bafuni.
“lakini nimesema utapenda kuoga na mimi kila siku” anasema Edgar, ambae sasa anashika boxer yake na kuanza kushusha, huku Radhia alie simama huku ameficha vitu vinavyo mfanya aitwe mwanamke, anamtaza Edgar, huku mapigo yake ya moyo yakianza kwenda mbio, maana nikweli akuwai kuoga ata na mume wake, wa zamani ambae mpaka sasa ndie mwanaume pakee alie wai kuona utupu wake.
“basi tuoge na chup…” alishauri Radhia, ambae akuweza kumaliza maana tayari Edgar aikuwa amesha vua boxer na kuirushia kwenye zile nguo nyingine, kisha akageuka kule alikokuwepo Radhia, hapo Radhia macho yake yanashuka kwenye usawa wadudu ya Edgar.
Naaaaaaaam!, hapo Radhia anajikuta anaachia kifua na kuziba mfomo kwa mshangao, huku macho yake yanaitazama dudu ya kijana huyu, mbayo ilikuwa imesimama kwanguvu ikitazama juu, na kuonekana vyema jinsi ilivyo ndefu kiasi na nene, mfano wa ndizi pevu ya mzuzu.
Radhia anapandisha acho usoni kwa Edgar, ambae sasa anamsogelea, anashindwa kumtazama usoni na kujiziba uso wake, huku anacheka, “unasheka nini sasa, kwani inachekesha?” anauliza Edgar, huku anamkumbatia Radhia, ambae sasa anahisi dudu ya kijana huyu iliyosimama kweli kweli, ikiwa imegusa kwenye eneo lake la tumbo la chini ya kitovu, na kumfanya ahisi msisimko, akitamani basi dudu ingegusa kutumbuani.
“si hivyo ilivyokuwa” anasema kwa tabu Radhia, huku bado anaachia mkono wake wa kitumbuani, na kuulaza begani kwa Edgar, wakati huo mkono mmoja bado ameziba macho yake, “ipoje?” anauliza Edgar ambae sasa mikono yake miwili, inakumbatia makalio ya Radhia yenye ukubwa wa wastani, wakati huo kwambali unasikika music wa taratibu, toka kwa Kenny Rogers, unao itwa lady.
Radhia anacheka kwanza, “si hivyo ilivyo kuwa, kwani we uoni” anasema Radhia, kwa sauti iliyojaa aibu kali, “itaachaje kuwa hivi mbele ya m,wanamke ninae mpenda” anasema Edgar, huku aachia mkono mmoja na kupeleka kwenye koki ya bomba la juu.
Kauri ya Edgar, inampende za na kumshtua Radhia, “kweli unanipenda” anauliza Radhia huku anaondoa mkono wa usoni, na kumtazama Edgar usoni, “sasa mbona ujaniambia kama unanipenda?” Radhia anauliza huku anaficha uso kifuani kwa Edgar, na wakati huo huo maji yanaanza kuwashukia vichwani mwao, “upendo uonekana kwa mwacho ya moyoni, upendo siyo rahisi kuuthibitisha kwa mdomo” anasema Edgar, huku anarudisha mkono wake kwenye kalio la Radhia ambalo lilikuwa linamwagikiwa na maji.
Kimya kinatawara kwa muda mfupi, wanasikilizia maji, asdi Edgar anapo chukuwa sabuni na kuanza kupaka kwenye nywele za Radhia, wakiwa bado wamekumbatiana, “kweli…. ni kweli nasikia raha kuoga na wewe” anasema Radhia kwa sauti ya kunong’ona, yenye kutetemeka kwa msisimko.
“usijari ndio kwanza tunaanza kuoga, utaona raha zaidi” alisema Edgar ambae sasa alikuwa anachukuwa dodoki maalumu kwaajili ya kuogea, na kulipaka sababuni, huku bado Radhia akiwa amemkumbatia kijana huyu, mala anaona dodoki linaanza kupita mgongoni mwake taratibu, na fanya kama lina mkuna, na kumletea utamu wa hali ya juu, maana mkono siyo mkuno, wala siyo mtekenyo wa kuikela, ila inammletea raha flani hivi, kiasi cha kujikuta anashusha pumzi nzito.
“kweli Eddy ……. ni kweli nazidi kusikia raha” alisema Radhia, kwa sauti iliyozidi kulegea, huku anausikilizia mkono wa Edgar uliokuwa unatembeza dodoki mgongoni mwake, lilokuwa linazidi kumletea mtekenyo war aha, kiasi cha kutamani afanyiwe kitu kingine zaidi.
Radhia anazidi kumkumbatia Edgar, huku maji yana wamwagikia toka juu, Radhia anaihisi dudu Edgar, aliyo ibana kwa tumbo lake la chini, karibu na kinena, iliyosimama na kuwa ngumu kama ndizi pevu siyo iva, Radhia anajikuta anashindwa kuvumilia anapelaka mkono chini na kuikamata dudu, anaishika kidogo na kuiachia, “sijawai kuoga hivi, kumbe raha” alisema Radhia, huku anapeleka mkono begani kwa Edgar.
“mbona bado Radhia, kunamengi yakuleta raha atujayafanyanya” anajibu Edgar, sauti yake nzito ya taratibu, na yeye akionyesha wazi kuitaji kutumbua, ambae sasa anamwachia Radhia na kumgeuza, kisha anamkumbatia kwa nyuma, “utaniuwa kwa raha Eddy, leo nipe nusu” anasema Radhia, huku mgongo wake anaulaza kwenye kifua cha Edgar, na kuhisi dudu ya kijana huyu ikigusa makalio yake.
“siwezi kukupa nusu Radhia, kwani kunamtu anatudai” anauliza Edgar, kwa sauti ile ile nzito, ambayo sasa ilikuwa nikama inazidisha msisimko kwa Radhia, “usawa nipe yote” alisema Radhia kwa sauti ndogo ya kunong’ona, huku anashuhudia mikono ya Edgar, ikiwa inatembeza dodoki taratibu kwenye kifua chake, akiwa bado nyuma yake, akiwa ame mkumbatia.
“unastahiri kupata raha” anasema Edgar, huku anaendelea kutembeza dodoki kifuani kwa Radhia, akizunguka matiti yenye ukubwa wastani, na wakati mwingine dodoki lilipanda juu ya titi, na kugusa chuchu za mwanamke huyu, ambae alitetemeka bila kificho, kishindwa kuzuwia msisimko.
Wakati huo kila mmoja akiwa na hali mbaya, katika kiungo chake cha uzazi, maana dudu ya Edgar ilikuwa imesimama kweli kweli, na kuwa ngumu kama tango pori, huku Radhia akihisi kunde yake inatekenya, kiasi cha kutamani mtu flani akune kuituliza, maana alihisi kuwa ule ubichi wa kitumbua unazidi mala dufu.
Radhia akiwa anaendelea kupata raha ya mkuno wa dodoki, ambalo sasa lilitoka kufuani na kushuka chini kupitia kwenye mbavu zake changa, lililomtekanya, na kujikuta anainua mikono yake, na kupeleka shingoni kwa Edgar, huku anaraza chogo lake kwenye bega la kijana huyu, pumzi zikimtoka kwa tabu, kutokana na msisimko, miguu anaipana kuzuwia mteko mdogo wa kwenye kunde ya kitumbua chake.
Lakini nikama Edgar anaamua kuzidisha sifa, maana sasa anashusha dodoki katika shamba la bibi, na kuanza kulitembeza taratibu, kama vile anasafisha kikombe cha dhahabu, Radhia analisikia dodoki laini linavyo tembea na kubaruza mashavu ya kitumbua mpaka kwenye kunde, ambacho sasa kimejawa na povu la sabauni, sambamba na yale maji ya utelezi.
Hapo Radhia anajikuta anaushika mkono Edgar kwanguvu, siyo kwa maana ya kumzuwia, ila kwamaana ya kumsisitiza aendeleaa kupitisha dodoki, “mmmh!, mmmh!, Eddy niogeshe nasikia raha” anasema Radhia, kwa sauti yenye kuzidiwa na utamu, sambamba na miguno ya utamu, iliyomtoka bila kujuwa, akiwa akumbuki tena swala la kwamba, bado ajatongozwa na kijana huyu.
Edgar anaendela kusugua taratibu, eneo la shamba la bibi, sehemu ambayo akuisugua kwa muda mrefu, akaamia kwenye mapaja, kabla Edgar ajaongeza tena speed ya maji, na kuanza kumwongesha kwa kumwondoa povu mwilini, huku bado wanaburudishwa na music wa taratibu.
Ilipofika zamu ya Edgar, ukweli Radhia licha ya kuwa mala ya kwanza lakini alijitaidi kwa kiasi chake, kumwogesha mwanaume kijana kama Edgar, kitu ambacho alimaliza akiwa amelegea kwa hamu ya kupewa dudu, na kilicho mlegeza sana ni kitendo cha kuosafisha dudu, ambayo ilikuwa umesimama kweli kweli.
Wawili awa wanamaliza kuogeshana, Edgar anamfuta Radhia kwa tauro safi, akitumia juhudi kumkausha nywele zake ndefu, kisha anajifuta mwenyewe, na kumpeleka Radhia chumbani, ambako Radhia anaufwata mkoba wake, uliokuwa kwenye meza ya kioo, anatoa gauni la kulalia, lile jipya sidiria ya kikamba kamba na chupi ya kikamba kamba zilizo fanana rangi na mauwa yake.
Anampatia Edgar ile chupi huku anacheka cheka, “siulisema utanivalisha mwenyewe” anasema Radhia, kwa sauti yenye aibu, ukweli nikama Radhia alijiandaa kwa usiku waleo, Edgar anakupokea zle nguo, “nitakuvalisha asubuhi” anasema Edgar, huku anamshika Radhia na kumsogeza kwake, kisha aksogeza mdomo wake kwenye mdomo wa Radhia, wakikutanisha midomo yao. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA
jamii forums