SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

yani hichi kigongo kila siku kinazidi kuwa kitamu ninaposoma sitamani hata iishe
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA HAMSINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA SABA: “unaona sasa, nilijuwa tu mama mdogo lazima amtetee mwanae, yeye aangalii heshima ya familia yetu inaaribiwa, anachojari yeye ni hivyo vinguo anavyo nunuliwa Radhia na wanaume zake” alisema Siwema, kwa sauti ya juu ya kupayuka yenye hasira, “unamkosea mwenzieo Siwema, kwani yeye kuwa na mwanaume ni vibaya, lakini pia wewe ulisema unaenda huko, kuna mtu amekusema vibaya?” aliuliza mama Radhia kwa sauti ya upole na tulivu. ......... ENDELEA….


Hapo ni kama mama Radhia alikuwa ameuwasha moto upya, “ya Siwema yanakuhusu nini, yeye si anandoa yake, pia anakazi yake, zungumzia kuhusu huyo mjane wako” huyo alikuwa ni mama Mariam, na Siwema nae akadakia, “nilijuwa tu anaunga mkono umalaya wa mwanae” alisema Siwema, na Mariam akadakia, “kila siku anatoka wala amwulizi anaenda wapi, na leo amemwacha alale huko huko, kama siyo umalaya nini” analisema Mariam.


Ilimuuma sana mama Radhia, “dada wote ni wanawake, na tuna watoto wakike, ni muhimu kutunza maneno, ni bora kujambia makalioni, kuliko kujambia mdomoni” alisema mama Radhia, ambae kiukweli sasa ata sauti yake ilionekana wazi kuudhunishwa na kile kilichokuwa kinaendelea.


Lakini aikusaidia kitu, “mama mdogo lazima ukubari, Radhia anatia aibu familia, yani na ujane wake awezi kutulia nyumbani, kazi kiguu na njia, kwanini asikubari kuwa muda wake umeisha, akae nyumbani na ujane wake, aache kututia aibu, ata mume wake wa zamani Idd anamwonea huruma, kwa jinsi anavyo jipeleka kwa wanaume ” alisema Siwema kwa sauti ya juu yenye hasira.


Hapo mama Radhia akaona awezi kuvumulia, ni bora aingie ndani, hivyo akainuka tayari kwa kuondoka, “dada Siwema umezidi sasa, hivi nimekukosea nini lakini, mbona nilikuiwa vizuri na watu wenye heshima zao” ilisikika sauti toka upande wa kulia wa nyumba yao, ambako ndiko ueleko wa barabara ya kiembe samaki.


Wote wanageuka na kumwona Radhia alie valia nguo mpya kabisa, tena nigauni zuri la kupendeza, lililo mkaa vyema, pamoja na hijab yake mpya na vibanio vyakupendeza, kichwani kwake, katika hijab ile, huku nguo zote mpaka viatu vikiwa ni vya gharama, huku uso wake angavu ulio pendeza na kuonyesha rangi yake ya uchotara, ukionekana kuwa katika uzuni, na unyonge, mkono mwake akiwa ameshika mkoba wake, na pochi yake ndogo.


Kuonekana kwake, ni kama alianzisha upya ule ugomvi, “nimekukosea nini kwani we unaona nini, kwani unayoyafanya ni mazuri, au unataka nifurahie unavyo zurula na wanaume usiku huko mitaani, uoni kama unaiaibisha familia, nimekutana na Idd alikuona unaingia kwenye nyumba ya mwanaume gani sijuwi kule migombani” alisema Siwema, kwa sauti ya juu.


Mama Radhia anaghairi kuingia ndani, anamtazama Radhia, ambae leo anaonekana wazi akutaka mambo yawe mengi, “dada Siwema, idhani kama kuna aja ya kunitukana na kunisema vibaya, mwaka sasa nipo peke yangu kwani ni vibaya kuwa na mwanaume, ata kama anamalengo mazuri na mimi, unazani Idd atanitakia mema licha ya yote aliyonifanyia” alisema Radhia kwa sauti ya chini kama ilivyokuwa kwa mama yake.


Maneno yale yalipokelewa kwa mshtuko mkubwa sana, na kuibua hasira za wanandugu awa wa mama mmoja na mama yao, “nani awe na malengo na wewe mjane usie zaa” alisema Siwema, na hapo kikafwatia kicheko cha kebei toka kwa mama Mariam na mabinti zake.


Hapo nikama Siwema aliona amepatia, na kuamua kuongezea maneno, “kwa taarifa yako basi, watu wote wanajuwa kuwa wewe ni mjane, tena uliachika kwa ugumba, nani sasa akuchukue ukajeze choo chake, kama ulikuwa ujuwi mwenzio anakuchezea kisha anakuacha” ukweli imwingia vyema Radhia, akiamini kuwa pengine maneno ya dada yake licha ya kusabishwa na wivu, lakini niwazi yalikuwa na dalili ya ukweli.


Maana kwajinsi anavyo mfahamu Edgar, licha ya kufahamu mambo mengi juu ya familia yao, kama alivyo ongea sikuile akitaja mpaka umri wa baba yao elimu na idadi ya familia ya wazazi wa baba yake, pia kuhusu wao na wadogo zake, pamoja na ndugu zake wengine, lazima atakuwa anafahamu vyema tatizo lake la kutokushika mimba, na isitoshe ata yeye, alisha msimulia Edgar kuhusu tatizo lililo sababisha apewe taraka.


Kilicho muumiza Radhia siyo kwamba Edgar anaweza kuwa, hakuwa na mpango wa kuowana nae, ukweli ata yeye akutegemea hivyo, akutegemea kuolewa na mwaume mwenye uwezo mkubwa kama yule tena anaependwa na wanawake wengi, tena wenye hadhi ya juu.


Atayeye Radhia alipokuwa anakutana na Edgar alikuwa tayari kwalolote, ikiwa nakuburudika bila ndoa, maana kama engezamilia ndoa, basi asinge kubari jana kwenda kulala kwa kijana huyu, na kumpatia kitumbua chake.


Kilicho muuma ni kuanza kuhisi kuwa, Edgar ameamua kumchezea akiwa anajuwa yeye afai kuolewa, na kwamba anamchezea kama vitu vingine vinavyo chezewa na kuachwa, Radhia anaona macho yake yanajaa machozi, anafuta kwa mkono wake “unajifanya kulia nini, kwani ujuwi kuwa wewe ni mgumba, jana nakuambia ukajifanya kunishambulia, alafu unamwacha yule mwanamke awaambie wale mgambo wanitoe ukumbini, bila rafiki zangu ningeondokaje pale ukumbini” alisema Siwema.


Na hapo nikama wakina Mariam wakaikumbuka ile video, “lakini kama ujuwi hao rafiki zako walikuukimbia, Edgar ndie aliekukodia taxi” alisema Radhia, kwa sauti ya chini, yenye kupoa kwa uzuni na unyonge wa masimango.


Hapo Siwema anatulia kidogo kama vile anavuta kumbu kumbu, lakini akaishia kuangua kicheko cha dharau, nani alikuambia naitaji msaada wako, wakati ulinisababishia we mwenyewe” alisema Siwema kwa hasira, huku anamsogelea Radhia pale alipokuwa, kwa lengo la kumshambulia.


Lakini kabla ajamfikia, akasikia sauti toka kwenye malango wa kuingilia ndani, “Siwema, ni nani anae itia aibu familia yetu?” ilikuwa ni sauti yenye utulivu bandia ya mzee Makame, aliekuwa anatoka nje, akiwa ameongozana na Mukhsin, wote wanatazama mlangoni, wanamwona mzee Abeid Makame, ambae sasa alisimama mita chache toka mlangoni, usowake ukiwa umejawa na hali ya fadhaha, na unyonge wa hali ya juu.


Radhia anatamani kukimbia arudi alikotoka, maana sasa alijuwa kila kitu kinawekwa hadharani, na yanafwata masimango, na ikiwezekana kipigo, toka kwa baba yake, ambae mala zote uwa ataki ujinga, “ni huyu hapa Radhia, watu wanamwona anazurula na wanaume huko mtaani, na jana alikuwa kwenye taharab na mwanaume mmoja hivi, na mwanaume mwenyewe anamchezea tu, namjuwa vizuri awezi kumuowa” alisema Siwema, kwa kujinasib. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA@Jamii forums
 
Ukitaka inoge zaidi unaposoma hebu uwe unavuta picha na mazingira ya Zanzibar yalivyo
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA HAMSINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA NANE: Radhia anatamani kukimbia arudi alikotoka, maana sasa alijuwa kila kitu kinawekwa hadharani, na yanafwata masimango, na ikiwezekana kipigo, toka kwa baba yake, ambae mala zote uwa ataki ujinga, “ni huyu hapa Radhia, watu wanamwona anazurula na wanaume huko mtaani, na jana alikuwa kwenye taharab na mwanaume mmoja hivi, na mwanaume mwenyewe anamchezea tu, namjuwa vizuri awezi kumuowa” alisema Siwema, kwa kujinasib. ......... ENDELEA….


Huku mama yake na wadogo zake wakina Mariam, wakifurahia moyoni mwao, wakijuwa sasa ndio mwisho wa Radhia kutoka na kukutana na huyo mwanaume anaejivunia,.


Hapo wakamwona mzee Makame, anamtazama mke wake mdogo, yani mama Radhia uso wake ukiwa bado kwenye fadhaha, “mama Radhia mchukue Radhia mpeleke chumbani, muongee kuhusu maadalizi ya ugeni wa kesho, ilinijuwe mmepangaje, cha kuzingatia tusiingie aibu” alisema Makame, Siwema na wadogo zake na mama yao wanamshangaa baba yao, kwa kumaliza kilahisi jambo lile.


Hapo mama Radhia akainuka na kumsogelea Radhia, akamshika mkono, huku akimsaidia na mkoba wake, wakaingia chumbani, “dada baadae utanisindikiza mazoezi, uondoe mawazo kidogo” alisema Mukhsin, ambae alionekana kujawa na simanzi, kwa kile kilichotokea kwa dada yake, ambae akujibu kitu, licha yakuwa na ujumbe wakaka yake huyo, toka kwa Edgar, ambae kwa sasa ajuwi amwite kaka kwa maana ya rafiki wa kaka yake, au amwite mpenzi kwa sababu walisha peana dudu.


Radhia na mama yake wanaingia ndani, moja kwa moja chumbani kwa Radhia, Radhia anakaa kwenye kitanda huku analia kilio cha chini chini, “Radhia kuna wakati unajitesa bule, kwani wewe uja yazowea maneno ya hao wapuuzi?” anaongea mama Radhia kwa sauti ya kumbembeleza binti yake, ambae ajibu kitu anaendelea kulia.


“Radhia mwanangu, hao ni wakuwa puuzia tu, angalia wewe na huyo kijana mnaelewana vipi, sisi tunacgo juwa Edgar ni mtu mzuri, awezi kuwa na tabia kama za Idd” anasema mama Radhia kwa sauti ya kubembeleza, “mama kwakweli nashindwa kumwelewa dada Siwema, yani sijuwi kwanini ataki niwe na furaha aya kidogo, ebu ona yeye anasema natia aibu, wakati jana nilikuwa VIP na wamama wenye heshima zao, mke wa waziri…” alisema Radhia akitaja majina ya viongozi na wafanya biashara wakubwa.


Ilimshtua na kumsisimua mama Radhia, ambae kabla ajauliza swali lolote, mala woye wakasikia simu ya Radhia, inaanza kuita, toka kwenye pochi yake ndogo.


Radhia anafungua pochi yake na kutoa ile simu yake mpya, lakini macho yake yanakutana na kibunda cha fedha, chenye noti za elfu kumi kumi, anaachana na pochi yenye kile kibunda ambacho ata mama yake amekiona, anaweka kitandani, kisha anatazama jina la mpigaji.


“Edgar anapiga” anasema Radhia kwa sauti ya mshtuko, kama aliefumaniwa, huku anajifuta machozi haraka, kama vile akipokea wakati anamachozi usoni, Edgar angeyaona, mama yake anamtazama Radhia kisha anajikuta anatabasamu, lakini wakati huo anashangaa zile fedha nyingi kwenye pochi ya mtoto wake, japo anashiwa kuikagua zaidi kwamaana siyo adabu, ata kama ni pochi ya binti yake.


Radhia anamaliza kujifuta machozi, kisha anajikooza kidogo kuweka sauti yake sawa, inamfanya mama yake, azibe mdomo kuzuwia kicheko kisitoke nje, kisha anaipokea na kuweka simu sikioni, “hallow asalam aleykum” anasalimia Radhia kwa sauti tulivu ya nyororo kama ya mtoto, mama yake pembeni anamtazama mwanae, na kujikuta anatabasamu mwenyewe.


“aleykum salam Radhia, vipo mbona sauti yako kama inashida kidogo, ulikuwa inalia?” anauliza Edgar kwa sauti yake nzito, ambayo likuwa inasikika wazi wazi, na kumfanya mama Radhia aisikie kwambali, “hapana wala silii, mbona nipo sawa” anajibu Radhia, huku anamtazama mama yake, ambae anamtazama Radhia kwa macho ya mshangao.


Niwazi alikuwa anashangaa kuwa, Edgar amejuwaje kama Radhia alikuwa analia, “hapana Radhia, utamu wa sauti yako aunifanyi nisigundue unapokuwa katika kilio, au mama amekasirika ulivyolala kwangu?” anauliza Edgar kwa sauti ile ile nzito ya kubembeleza.


Mama Radhia anahisi kile, ambacho kime mfanya binti yake ampende kijana huyo, “ni dada yangu yule wajana, nimemkuta nyumbani” anasema Radhia, nila kufafanua, “hooo!, tena umenikumbusha, kumbe walimchukuwa video, unaweza kutazama kwenye ile account niliyo kufungulia jana” anasema Edgar, inawafanya Radhia na mama yake watazamane.


Lakini wakati huo huo Radhia anakumbuka kitu, “kwanini umeniwekea fedha kwenye ppochi yangu, unamaana gani?” anauliza Radhia, kwa sauti ya kuchukia, akionekana kuto kupenda kitendo kile, ata mama yake alishangaa.


Kitendo ambacho kwa haraka kwa wanamke mwingine ange furahi na kuzidisha mapenzi bandia, lakini kwa Radhia alichukulia kama uzalilishaji na zarau, kwamba Edgar amelipia kile walicho kifanya usiku, “hooo!, mamaaaa, mbona msahaulifu, umesahau kwamba nilikuambia utaandaa biliyan kwaajili yangu hapo kesho” alisema Edgar kwa sauti ya kumtuliza Radhia.


Hapo Radhia akatabasamu kidogo, ata mma yake alitabasamu, “lakini huku nijulisha kama umeniwekea ela nyingi namna hii, kwani mnakuja wangapi” aliuliza Radhia, huku anatoa ela kwenye pochi, na kuzitazama, hakika zilikuwa nyingi, anampatia mama yake ambae anapokea na kuanza kuzihesabu.


“sisi tunakuja watano, nilijuwa uwezi kunikumbusha, na wala uwezi kuniomba, nikasema nikuwekee na zamatumizi yako binafsi” anasikika Edgar, na hapo Radhia anaachia kicheko laini, alafu Mukhsin amesema nmsindikize mazoezini, alisema Radhia, kwa sauti yake tamu, huku anajichekesha chekesha, kiasi cha mama yake kugundua kitu.


“sawa nitakuwa hapo, usikose kuja na sehemeji yangu Zahara au nimtume dereva awafwate?” hapo mama Radhia akajikuta anatabsamu mwenyewe, kwajinsi alivyo jisikia raha kwa kuona binti yake anabembelezwa namna hii tena kwa mwanaume ambae anauwezo na heshima kubwa, “hapana, tutakuja wenyewe na dala dala” anasema Radhia kwa sauti ya kudeka. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Muendelezo tafadhari, big up mwandishi.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA TISA: “sawa nitakuwa hapo, usikose kuja na sehemeji yangu Zahara au nimtume dereva awafwate?” hapo mama Radhia akajikuta anatabsamu mwenyewe, kwajinsi alivyo jisikia raha kwa kuona binti yake anabembelezwa namna hii tena kwa mwanaume ambae anauwezo na heshima kubwa, “hapana, tutakuja wenyewe na dala dala” anasema Radhia kwa sauti ya kudeka. ......... ENDELEA….


Wamaongea mawili matatu, kabla ya kukata simu, “million moja” anasema mama Radhia, kama vile yupo katika mshtuko, licha yakuwa ndiyo kiasi kikubwa kukishika kwa mala ya kwanza, lakini Radhia akushtuka kama alivyoshtuka mama yake.


“jana nilimkatalia kwenda kutoa ela kwa mwimbaji, alinipatia ela nyingi kweli” anasema Radhia huku anabofya kialama flani kwenye simu, nakuingia kwenye account yake ya mtandao wakijamii, ambako anakutana na habari nyingi, ikiwepo video ya dada yake, yenye kichwa cha habari, DEMU ZENJI APAGAWA ADHARANI KWAAJILI YA PENZI, Radhia na mama yake wanatazamana kwa mshangao, kabla Radhia ajaigusa video na kuifanya ianze kucheza.


Huku nje wakina Siwema, wanamshangaa baba yao mzee Makame, kwa kuto mgombeza Radhia, baada yake wanamwona anataka kuondoka, lakini kabla ata ajageuka kuingia ndani, mke wake anamuwai, “baba Zuhura, unawafundisha nini watoto, au unataka nao wafanye vitu vya ovyo kama hivyo anavyofanya Radhia, siku zote unampendelea” alisema mama Mariam kwa kulalamika.


Mzee Makame anamtazama mke wake mkubwa, kwa macho ya kumtafakari, kisha anamtazama Siwema, na baadae wakina Mariam na Zuhura, ambae wametulia wanasubiri baba yao aongee chochote cha kumzuwia Radhia kutoka nyumbani, “wala msiwe na shaka na bwana Edgar, yeye ni rafiki wa kawaida, na kama wataingia katika mausino, basi tusubiri watasemaje, kwasasa hatuna cha kufanya, isitoshe kesho ni mgeni wetu anakuja kama mwanafamilia, sababu ni rafiki wa wakina Radhia Zahara na Mukhsin.


Jibu ilo alikukubarika kwa wote waliokuwepo pale nje, ata Siwema aiwezekani akubaliane na jambo lie, “yani baba ungejuwa, huko mtaani kila mtu anamsema vibaya Radhia, nimekutana na Idd nae pia anasema alimwona anaingia kwenye nyumba mwanaume, nakuambia ukweli baba, Radhia akiendelea kuzurula ata kutia aibu, ata mwanaume mwenyewe anamchezea tu awezi kumuwa, maana maana akuna asie juwa kuwa Radhia ni mjane na ashiki mimba” alisema Siwema, kwa sauti ya kushinikiza.


Hapo mzee Makame akashindwa kuvumilia, akacheka kidogo, tena nikile kicheko cha hasira, huku anamtazama Siwema, “kwa hiyo mjane ni kilema?” anauliza mzee Makame, huku anamtazama Siwema, ambae amekunja uso kwa chuki, lakini akuwa na jibu lolote.


Mzee Makame anatulia kwa muda mfupi, kama vile anatafakari jambo, kabla ajamtazama tena Siwema, yani mama Khadija, “sikia Siwema, nivyema ukaachana na aya ya mdogo wako, ukainuka nakuwai nyumbani kwako, ukawasubiri wageni, wanaujumbe wako toka kwa mumeo” alisema mzee Makame, kisha akageuka na kutaka kuondoka.


Lakini kabla ajaingia ndani, mke wake mkubwa akamuwai, “we baba Zuhura, mbona unaongea juu juu, ni wageni gani hao?” anauliza mama Mariam kwa sauti yenye mshtuko wa mashaka, mzee Makame anasimama na kugeuka tena, akimtazama mke wake.


“na wewe kuliko kukaa na kumsimanga Radhia, ambae tuna fahamu kuwa, huyo mwanaume ni mtu mwenye heshima zake, na ni rafiki yao ambae anakuja kesho kututembelea, ukae na binti yako mwenye tabia njema, akuambie kama hiyo eda ataikalia hapa nyumbani au atatafuta chumba cha kupanga” alisema mzee Makame, safari hii akageuka na kuingia ndani.


Mshtuko mkubwa unawakumba Siwema na mama yake, huku Mariam na Zuhura, wakiwa wanatazama pembeni, maana tayari wanafahamu kinacho endelea.


“we baba Mariam, kwani mtoto akae eda kwani amekufa nani, mbona ueleweki?” anauliza mama Mariam kwa sauti ya juu, yenye mshangao wawazi kabisa, “nini usichoelewa mama Mariam, mwanao amepewa taraka kwaajili ya ufuska” alisikika mzee Makame kutoka ndani, akiongea kwa sauti ya juu yenye ukali na hasira yote ambayo aliizuwia kwa muda wote.


Ikifwatiwa na sauti ya chini ya mwalimu Makame, ambae alikuwa anaelekea uwani, “mashangaa unampigia kelele mwenzio, eti anatia aibu!, anatia aibu, nani anatia aibu hapo, mlevi mkubwa unafanya usharati hovyo hovyo” sauti iliyosikika nyumba nzima.


Ata wakina Radhia na mama yake waliokuwa chumbani waki angalia ile video, wanatulia na kutazamana, wakijuwa tayari kimesha nuka, na kwamba Siwema nae ni mjane mpya.


Nikama ilivyokuwa kwa mama Mariam ambae alitulia na kumtazama Siwema kama vile amepigwa na shoti kali ya umeme, “Siwema usiniambie kuwa habari hizi zina ukweli wowote” alisema mama Radhia huku anamtazama Siwema kama vile mzimu.


Siwema nae anatoa macho ya mshangao, akionyesha wazi ajuwi kinachoendelea, “mama hivi unamwelewa baba, au anasema hivyo tuache kumsema Radhia?” anauliza Siwema huku anamtazama Mariam alie kuwa anainuka na kumsogelea, huku ameshika simu mkononi, “mumeo atakuwa ameona hii” alisema Mariam, na Siwema akatazama kwenye kioo cha simu, na kuona video inayo mwonyesha yeye, akiwa kisha nje ya bwawani hotel anapayuka kumwita mpenzi wake.


Wakati huo huo, mama Radhia akaikwapua simu na kuitazama, na hapo ungemwona jinsi alivyokuwa anabadirika sura, kila alipozidi kuitazama ile video, “toba mie nimekwisha jamani” anasema mama Radhia huku anainuka na kuingia ndani, mikono kichwani, simu ameiacha chini, tayari majilani walishaanza kuchungulia.


Siwema akaona isiwe tabu, akainuka na kujiondokea zake, huku kimbele mbele cha kwenda kumsimanga na kumwalibia Radhia kikiwa kimemwishia, “masikini mimi nitaiweka wapi sura yangu” anawaza Siwema, huku anatembea kwa haraka, kuwai nyumbani kwake, ambako akuitaji ata kupanda dala dala, “lakini ata kama baba Khadija akiniacha, Said yupo ataniowa” aliwaza Siwema akiamini kuwa koplo Said alikuwa bado ajaowa.*******


Tayari Idd aliona amesha timiza jukumu lake, la kumchonganisha Radhia na wazazi wake kupitia Siwema, sasa akaelekea dukani kwake, ambako atoka eid iingie akuwai kufugua, na leo ndiyo siku ya mwisho ya kusherehekea sikukuu hii kubwa.


Maeneo ya darajani, palikuwa pamechangamka kama kawaida yake, watu walikuwa wengi wanafanya manunuzi, japo leo kulikuwa na utifauti flani, maana alioweza kuwaona watu, wakishangaa video flani kwenye simu zao, lakini yeye akujari sana, akaendelea na maandalizi ya kufngua duka lake, la vifaa vilivyo tumika.


Dakika kumi baadae Idd tayari alikuwa amekaa ndani ya duka lake, akisubiri wateja, huku kichwani mwake anawaza juu ya Radhia, kwamba atamfanyaje baada ya kufanikiwa kumwachanisha na huyo mwanaume mwingine. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums

Usikose kufuatilia mkasa wa Captain Chui Mchafu utakaokujia hapa hapa Jamii Forums
 
Asante ,, story ni yamoto vibaya mnoo ,,, soon wafuatiliaji watajaa sana kwenye huu uzi
 
Kongole simulizi murua kabisa
 
Mwandishi kama
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.

TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina yaliyo tumika, siyo harisi, ni ya kufikilika, na ayausiani na kisa hiki.

Kama kuna tukio au kitu chochote kitafanana katika hadithi hii, na tukio la kweli, basi aikuwa dhamira ya mwandishi, kama utakuwa na maoni ushauri au lolote wasiliana na mwandishi wa hadithi hii, si luksa kunakiri au kubadiri hadithi hii kwa lolote, katika matumizi yoyote, pasipo kibari cha mwandishi kupitia whatsapp namba 0717924403 au 0743632247.

Naaaaaaam!, hadithi yetu inaanzia kisiwani Zanzibar, ilikuwa ni jumanne yenye shamla shamla za sikuu za eid ya mfungo mosi, hii ni eid Ahl hadji, moja kati ya kuku kubwa sana kisiwani hapa.

Kama ilivyo kawaida, kwa wakazi wa kisiwa hiki, siku ya leo ilikuwa na pilika nyingi sana, toka asubuhi walionekana wake kwa waume wakitoka msikitini, huku wamependeza kwa mavazi mazuri mpya yenye kuvutia, huku wanawake wakiongoza kwa kupendeza, wakifwatiwa na watoto.

Hakika leo ni siku ambayo, hasilimia kubwa ya watu, walionekana wakiwa wenye nyuso za furaha, arufu nzuri ya vyakula ilizagaa mitaani, na kushibisha pua za kila wapita njia na wakazi, sambamba na sauti za music wa kasiwida, zilizokuwa zinasikika toka kwenye nyumba za watu, kila kona ya mitaa, na sehemu mbali mbali za biashara, zikizidi kuing’alisha siku kuu hii, ambayo kwa huku kisiwani uwa inasherehekewa kwa muda wa siku mbili, mpaka nne.

Mida ya saa saba za mchana, tupo mtaa wa jang’ombe kwa Soudi, ni mtaa wapili, toka kituo cha Mchina mwanzo, barabara kuu ya kiembe samaki, kupitia uwanja wa Amani.

Mtaa umechangamka sana kama mitaa mingine ya kiswahili, wanaonekana watu wengi wa lika mbali mbali, yani watoto vijana na wazee, wakike kwa wakiume, waliokuwa wamevalia nguo nzuri na mpya za kupendeza, huku wanawake wakiwa wamejipamba zaidi kwa kuchora mikono yao mauwa mazuri kwa kutumia wino wa ina.

Pia wanawake wananukia vyema utuli wa udi, wameficha miili yao kwenye magauni mazuri aina ya baibuhi na habaya, huku vichwani mwao wakificha nywele zao kwa hijab, za rangi mbali mbali, zilizoendana na nguo walizovaa.

Lakini tofauti ilikuwa nyumbani kwa mzee Abeid Ally Makame, ambapo kwanza kabisa, tuna mwona mzee Abeid mwenyewe anatoka nyumbani, akiwa ameongozana na wake zake wawili, yani mke mkubwa, akiwa mwenye hasiri ya Africa bila chembe chembe yoyote ya uchotara, huku bi mdogo akionekana kwenye dalili ya mbali ya uchotara.

Wake wote wawili wa Abeid Makame, wakiwa wamevalia vizuri, magauni yao mapya na hijab zao, zilizo zidi kuwapendezesha, pamoja na viatu vyao vizuri vya mikanda, kama ilivyokuwa kwa mume wao, ambae ni mwalimu wa shule ya sekondari ya mwanakwelekwe A, alie valia kanzu yake nyeupe mpya, na baraghashia nzuri yenye rangi ya kanzu yake.

Chini alivalia makubanzi, (sendo) za kisasa, ya rangi nyeusi, huku hasiri ya mzee huyu akiwa ni mwafrika hasiria bila chembe chembe yoyote ya mshanganyiko wa hasiri ya taifa au kabila jingine toka nje ya bara la africa.

Lakini ukiwatazama vyema watu awa watatu, utagundua utofauti kati yao, asa katika mwonekano wa hali ya nyuso zao, maana wakati mzee Abeid akiwa katika hali ya kawaida, mke mdogo alionekana kuwa katika hali ya kukosa furaha, kwa kiasi flani, huku mke mkubwa akiwa mwingi wa tabasamu.

Wakati huo huo, kwenye kibaraza cha nyumba ya mwalimu Abeid Makame, wanaonekana watu watatu, wote wakiwa na hasiri ya uchotara japo ulikuwa umefifia, lakini uliwapendezesha, kati yao alikuwepo binti mdogo wakike mwenye umri wa kati ya miaka kumi adi kumi na moja, pia wakiume mwenye umri wa miaka kati ya kumi sita adi kumi na saba.

Walikuwa na dada yao, ambae umri wake, ni mkadilio wa miaka kati ya ishilini sita au ishilini na tano, aliekuwa anawasindikiza kwa macho baba na mama zake, huku uso wake ukiwa umenyongea kwa mawazo, nae pia kama wale watoto, alikuwa na hasiri ya uchotara, ambao licha ya kuwa ulio fifia, lakini uzuri wake ulionekana wazi wazi, kuanzia sura adi mwili wake, ata uzuni aliyonayo usoni mwake ilishindwa kuondoa uzuri wake wa hasiri.

Tofauti na wadogo zake ni kwamba, yeye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida, ambayo japo yalikuwa ni masafi, na unaweza kuvalia popote katika siku za kawaida, pengine ata leo ndiyo aliyovaa msikitini, lakini ni wazi yalikuwa ya zamani, tunaweza kusema yalisha maliza eid moja au mbili kabla ya leo.

Ila pia licha mwonekano wa uzuri wake huo, akuwa amejipamba kwa chochote, kama wanawake wengine wahuko mtaani, ni kama wale watoto wawili, ambao mavazi yao licha ya kuwa masafi, ila pia yalionekana ayakuwa mapya, huku wote wakiwa wamekaa kibarazani, nyuso zao zimekata tamaa, macho yao yakitazama kushoto na kulia, yani kwenye barabara ya mtaa, ni wazi walitarajia kumwona mtu flani.

“kaka Mu, mbona rafiki yako mwenyewe aji sasa?” aliuliza yule mschana mdogo, wa miaka kumi na moja, huku anamtazama yule kijana wamiaka kumi na saba, ambae akujibu kitu zaidi ya kutazama kushoto na kulia, huku uso wake ukionyesha wasi wasi na kukata tamaa.

Dada mkubwa anawatazama wadogo zake, huku anawaona jinsi walivyo sawajika nyuso zao, “dada Radhia, mpigie kwanza umuulize mbona aji” anasema yule mschana mdogo, ambae ni kama alisha kata tamaa, au aliona anacheleweshwa jambo flani.

“Jamani Zahara, uwe mvumilivu kidogo, kwani na yeye binadamu eti, lazima ale akoge ndio aje” anasema yule mwanamke mkubwa, kwa sauti tulivu iliyolemewa na uchungu flani, ambae kwa matazamo wa kawaida, ni mzuri wa sura umbo na rangi ya ngozi yake, “alisema anakuja mchana, lakini mpaka sasa ajaja” alilalamika Zahara.

Zilisha pita dakika kumi, toka mzee Abeid na mke wake waondoke, sasa mlango mkubwa wa mbele unafunguliwa, wanatokea watu watano, yani wanawake wawili wakubwa, mmoja akiwa na umri wa miaka 24 na mwenzie akiwa na umri wa miaka 21, wakiwa na watoto watatu, wakike wawili na wakiume mmoja, ambao umri wao aukuzidi miaka sita, mdogo kabisa akiwa na mkadilio wa miaka mitatu.

Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA

Mwandishi kama sio Mhaya basi anatokea Kagera
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA TANO: “sikia Idd mimi na wewe tulisha malizana, sikupata chochote zaidi ya maumivu, labda nikuambie kitu, nakushauri uache kunifwatilia, baada yake, ongeza nguvu kuiangalia familia yako, ukifanya hivyo utanishukuru baadae” alisema Radhia kisha akaondoka, kuelekea kule ambako mama yake alikuwa ameelekea, huku anapokea simu na kuiweka sikioni. ......... ENDELEA….


Idd anasimama kwamuda kidogo, akimtazama Radhia ambae ata mwendo wake ulibadirika na kuwa mwendo wa kipekee, ungesema anavionea huruma viatu vyake vya thamani.


Idd anamsindikiza kwamacho mpaka Radhia anapo tokomea upande wa darajani stendi, kisha Idd anaanza kutembea kurudi dukani kwake, ambako anamkuta rafiki yake Abduli, ambae ni mfanya biashara mwenzie, ambae anaduka la simu eneo lile lile la darajani, “Idd hee, hivi ujuwe huyu sikumtambua kama nishemeji Radhia, ila nilipomwona amepita na mama yake ndio nikamtambua” alisema Abduli ambae wenzake umwita Abuu.


Idd haraka sana anachukuwa simu ya Abuu, nakutazama icho anachotazama Abuu, ambapo anatazama kimya kimya, na kumwona Radhia, akiwa amependeza na kung’aa kama waribu harisi, huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu la furaha, akiwa na mwanaume mmoja mtanashati, ambae pia alikuwa mwenye tabasamu.


“ilikuwa siku nzuri sana kwetu, bwawani hotel na Radhia Abeid” alisoma Idd, kwa sauti ya chini, huyu jamaa wanafahamiana na Mukhsin yule mdogo wake Radhia, naona aliamua kuwapeleka kwenye taharab” anasema Idd, huku anampatia Abuu simu yake, “unamfahamu huyu jamaa?” aliuliza Abuu, huku anamtazama Idd, “huyo ni fala mmoja tu, anafanya kazi kwenye ile nyumba ya pale migombani, karibu na Ikuru” alisema Idd, kwa sauti yenye dharau.


Abuu anamtazama Idd kwa macho ya msangao na kuto kumwelewa, “weeeee!, kumbe umjuwi huyu jamaa, huyu ni barozi wa #Mbogo_Land hapa nchini” anafafanua Abuu, na kumfanya Abuu aache mdomo wazi kwa mshangao, huku yanamjia maneno ya Radhia, “kumbe unamfahamu hen?” hapo Idd anafahamu kosa alilofanya, nikutokuwa na taarifa kamili za mwanaume wa Radhia.


Kwanza kabisa alisha wai kusikia habari za barozi huyo, ambae inasemekana kuwa, ni barozi mdogo kuliko mabarozi wote walipo kisiwani hapa, pilialisha sikia kuhusu utajiri wa nchi anayotoka kijana huyu, “aiwezekani, ndiyo maana siku hizi anakiburi” alisema Idd, kwa sauti ya bumbuwazi.


Hapo mwenzie akahisi kuwa kuna kitu Idd akikiona anaweza kurejewa na hakili, maana alipekuwa kwenye simu yake, katika mtandao wakijamii, mpaka alipo ipata account ya waziri wa afya, “ebu ona hii, siku hizi Radhia ni matawi ya juu” alisema Abuu, huku anampatia Idd simu, ambae aliweza kuona picha iliyo mwonyesha Radhia na waziri huyo wa afya, “wakati flani wa furaha na rafiki yangu kipenzi” kichwa cha habari kilisomeka hivyo.


Hapo Idd alitamani kukaa chini, lakini akajikaza na kuingia dukani, “vipi kaka kwani kuna tatizo maana nimekuona unaongea nae pale, si mpo vizuri tu ata baada ya kuachana?” anauliza Abdul, lakini apati jibu lolote, nae anaamua kuondoka zake kuelekea dukani kwake, akimwacha Idd ametulia kama amepigwa na butwaha.*******


Nyumbani kwa mzee Makame, kule jang’ombe kwa soud, mzee Makame yupo upande wa uwani, chini ya muembe, amesinzia kwenye kiti chake cha uvivu, Mukhsin yupo chumbani kwake anajisomea, kichwani mwake anapanga kuanzia jumatatu, siku mbayo shule zinafunguliwa, aongeze juhudi za kusoma, kama alivyo shauriwa na baba yake.


Mida hii mama Mariam alikuwa chumbani kwake amejilaza kitandani, usingizi umegoma, machozi yamekauka, kilio akitoki tena, anawaza kuhusu maisha ya binti yake baada ya kuachika, anawaza juu ya binti yake, huko aliko atakuwa katika hali gani,.


Mama Mariam anakumbuka jinsi walivyo msimanga Radhia kipindi ameachika, huku wakitoa ushaidi wa uongo na shutuma mbaya kwa Radhia, kwamba, amepoteza uwezo wa uzazi, sababu ya utoaji wa mimba, na kwamba alijifanya mwema, kumbe alikuwa anatembea kwasairi na wanaume.


Mama Mariam anaona wazi aibu iliyopo mbele yake, maana sababu ya binti yake kuachika hipo wazi kabisa, tena hipo hadharani kabisa, kila mmoja anajionea bila kificho, ni ulevi na uzinzi, yani kutoka nje ya ndoa, kwamaana ya uchepukaji.


Mama Mariam anajipa moyo wa kuwa, utofauti wa binti yake Siwema na Radhia, ambae ni binti wa mke mwenzie, ni kwamba, Siwema anakazi yake, hivyo atorudi nyumbani, baada yake ataenda kutafuta chumba na kuishi huko.


Wakati huo huo chumbani kwa kina Radhia, mambo yapo tofauti kidogo, sasa tuna waona Mariam na Zuhura wanatazama simu zao, wakiikodolea macho picha kwenye mtandao wa kijamii, inayo mwonyesha dada yao Radhia, akiwa na kijana mtanashati, ambae ndie mwenye kupost ile picha ambayo, kwa lisaa limoja tayari ilisha fikisha maoni elfu mbili, like elfu kumi.


“lakini wala awaendani, afadhari kama dada Radhia nae angekuwa mweusi kama sisi hivi, ndiyo wangeendana” alisema Zuhura, lakini Mariam aliongea la kwake, “usikute tayari wamesha fanya hawa, we unazani jana alilala wapi, siunaona huyumwanaume alivyo andika, eti ilikuwa siku nzuri” anasema Mariam, ambae alionyesha wazi kuwa akupoendezwa na upamoja na wa wawili wale kwenye picha.


“alafu mama mdogo anajuwa kabisaaaaa, kwamba Radhia alilala kwa huyu mwanaume” alisema Zuhura, huku wanabofya kutazama maoni ya watu, yaliyotolewa kwenye picha ile, ambayo ilimwonyesha Radhia akiwa katika furaha.


Zuhura anasoma maoni kadhaa, yalikuwa ni maoni ya watu toka nje ya nchi, huku wenyeji wa pale kisiwani walikuwa wachache tena ni watu maharufu na viongozi, huku maoni yote yakimsifia Edgar na kumpongeza.


“hongera bro, nasubiri mwaliko” hayo yalikuwa maoni toka kwa mwanamusic flani wa marekani, mwenye hasiri ya nchi ya #Mbogo_Land, “mmependezana sana, mpeleke nyumbani akapakwe powder ya dhahabu” hii ilikuwa ni comment ya mwanamintindo maarufu wa uingereza, nae pia hasiri yake nchini #Mbogo_Land.


Kupakwa powder ya dhahabu, ni utamaduni wa watu wa Mbogo land, pale ambapo mwanamke alie olewa anapoingia kwa mala ya kwanza, uwa anaandaliwa unga wa laini wa dhahabu harisi, na kupakazwa mwili mzima, ni tukio ambalo uambatana na tafrija fupi, hii ni mbali na harusi, ambayo pia ungwa kwa tarehe yake, na utamaduni wao ufunga ndoa za kimila tu.


“mh!, wakupakwa unga wadhahabu atakuwa yeye” alisema Zuhura kwa sauti ya kubeza, iliyoambatana na wivu na chuki ndani yake, lakini bado anasoma maoni mengine, “barozi Edgar, karibu Zanzibar, kwenye wanawake wazuri, unaluhusiwa kuona wanne” yalikuwa maoni ya mfanya biashara mmoja maarufu sana, anae miliki vituo vya redio na television binafsi.


Ni kama ilizidi kumchukiza Zuhura, ambae aliamua kuachana na maoni yale, na kutafuta moja ya video ya ngono, na kuanza kiutazama huku ameweka hear phone, sikio moja, “hivi Zuhura, da Siwema atakuwa na hali gani?” anauliza Mariam ambae bado alikuwa anaendelea kutazama maoni kwenye picha ya Radhia na Edgar. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA SITA: Ni kama ilizidi kumchukiza Zuhura, ambae aliamua kuachana na maoni yale, na kutafuta moja ya video ya ngono, na kuanza kiutazama huku ameweka hear phone, sikio moja, “hivi Zuhura, da Siwema atakuwa na hali gani?” anauliza Mariam ambae bado alikuwa anaendelea kutazama maoni kwenye picha ya Radhia na Edgar. ......... ENDELEA….


Hapo nikama Mariam anamzindua Zuhura toka kwenye usahaurifu, “kweli dada, unajuwa toka ameondoka atuwasiliana nae, au twende nyumbani kwake” anashauri Zuhura, lakini aikuwa sawa kwa Mariam, “hivi unaijuwa aibu yake, kila mtu atakuwa ameshaiona video yake, labda tusubiri giza liingie” anasema Mariam, ambae anaweka hear phone sikioni lake la kushoto, kisha anabofya moja katiya video zake za ngono, alizo ziifadhi kwenye simu yake.


Kinafwata kimya kirefu wote macho kwenye simu, huku taratibu kila mmoja akijifunika shuka, na kutia mkono kwenye chupi, na kuanza kujipapasa kitumbua, bila kutazama pembeni, kuona mwenzie anafanya nini.******


Mida hii Radhia alikuwa ndani ya dala dala pamoja na mama yake, wanaelekea nyumbani, ukiachilia mifuko ambayo walikuwa wameishika mkononi, pamoja na kuku wawili wakubwa, pia mizigo yao mingine ilikuwa juu ya gari, kwenye kibebeo.


Ndani ya gari Radhia anaona idadi kubwa ya watu wanatazama simu zao, huku pia wakimtazama yeye, kama vile wanashabihisha kitu flani, siyo tu Radhia, ila ata mama yake pia, inampa wasi wasi, wanaingiwa shaka isije kuwa wanaushishwa na video za Siwema.


Lakini jambo la utofauti ni kwamba, kila aliemtazama Radhia, iwe mwanaume au mwanamke, alijaribu kujitabasamulisha, na baadhi ya watu waliokuwa wanamfahamu, japo awakuwa na mazowea, walijaribu kumsemesha, “Radhia siku hizi auonekani” ilo lilikuwa swali toka kwa mwanamke mmoja alie soma nae sekondari miaka mitano iliyopita.


Hapo Radhia angeficha wasi wasi na mashaka yake, na kujibu, “nipo busy kidogo, lakini ata hivyo mbona natembea sana tu” jibu la Radhia lingeongeza mswali mengine, au ndiyo maandalizi ndoa” swali ili lingetoka huku watu kadhaa wakionyesha nyuso za kutabasmu, ni wazi waliitaji kusikiajibu.


Inamshangaza Radhia, ambae ana mtazama mama yake kwa macho ya mshangao, ambae pia anaonekana kushangaa, ni wazi wanajiuliza ziliko anzia habari za harusi, ikiwa huyo mwanaume mwenyewe, ajasema lolote kuhusu mausiano yao, kama ni uchumba, au urafiki wa muda mfupi, au wamepeana burudani kwa bahati mbaya.


Radhia anajikaza na kutoa jibu, “niombee kheri pengine nikaolewa” alisema Radhia bila kuweka wazi, japo ilikuwa ndiyo mwisho wa maswali lakini watu awakuacha kumtazama Radhia, huku wakitazama simu zao, kitu ambacho Radhia kwa sasa akukifikilia sana, ila aliwaza kuhusu maneno ya yule mwanafunzi mwenzie wa zamani, kwamba ameotea tu au amesikia sehemu kuhusu yeye na Edgar.


Safari ilikuwa ndefu kwa Radhia, lakini ilifikia mwisho wake pale kwamchina mwanzo, kisha wakashushiwa mizigo yao, nao wakakodi mkokoteni na kuelekea nyumbani kwao, ambapo walipita mitaa miwili toka kwamchina mwanzo, wakikatiza gombani tumbo la shimo, kabla ya kuibukia jang’ombe kwa soud, ambapo waliingia nyumbani kwao, wakimkuta Zahara anacheza na watoto wa kaka yao na yule wa dada yao Siwema, mtoto mdogo Khadija.


Radhia anawapatia zawadi za pipi watoto wote, kisha wanaingiza mizigo ndani, alafu anaingia chumbani kwake na kujilaza kitandani, akimwacha mama yake anaelekea upande wa uwani kutoa taarifa ya manunuzi kwa mume wake, “ok!, wajulishe wakina Mariam, kuwa kesho kuanzia asubuhi na mapema kutakuwa na maandalizi ya vyakula na kwamba tutakuwa na ugeni, mama Mariam nitamweleza mimi mwenyewe, maana kutokana na kilichotokea sijuwi kama ato kumalizia hasira zake zote” alisema mzee Makame, kwa sauti ya chini.


Wakati huo huko chumbani kwa Radhia, Radhia mwenyewe alijiandaa na kwenda kuoga, alioga huku anakumbuka jinsi alivyo oga kwa mala ya kwanza na Edgar jana usiku, jinsi Edgar alivyo kuwa anapitisha dodoki sehemu mbali mbali za mwili wake, na jinsi alivyo kuwa anahisi utamu wa kuogeshwa, akitamani mida hii angekuwa anaoga bafuni kwa Edgar.


Radhia aachi kukumbuka mala ya mwisho leo asubuhi alivyo oga na Edgar kule nyumbani kwake, na pia akakumbuka kilichotokea wakati wa kuoga, hapo anajikuta anapeleka mkono wenye dodoki, kwenye kitumbua chake na kuanza kuutembeza taratibu, kwenye eneo lenye vinywele vinavyoanza kuota.


Radhia anaendelea kujisafisha, huku anakumbuka kila kitu, kilicho tokea bafuni asubuhi ya siku ile, yani kuanzia alipoanza kuchezewa kunde kwa kichwa cha mwiko ulio simama vyema, huku wamesimama chini ya bomba la maji ya juu, yaliyokuwa yanawamwagikia, adi alipoinuliwa mguu moja na kuluhusu dudu kuingia ndani ya chungu chake cha asali, “inabidi niongeze usafi, ili aendelee kuni lamba huku” anawaza Radhia, huku anajisafisha kwa umakani kwenye kitumbua chake.


Radhia aliendelea kuwaza mambo ya jana, mpaka anapomaliza kuoga, na kuingia chumbani kwake, na kuanza kujikausha maji mwilini, akitumia tauro lake la zamani, maana licha ya kuwa na fedha nyingi alizo pewa na Edgar, lakini akununua tauro jipya, kichwani mwake anakumbuka alivyo futwa maji na Edgar, muda wote tabasamu lilitawara usoni mwake.


Radhia anajilaza kitandani, akiwa amejifunga upande wakanga, huku kichwani ikimjia picha ya kitu kilichotokea juu ya kitanda kikubwa, chumbani kwa cha Edgar, anakumbuka jinsi Edgar alivyo mpanua mapaja, na kuanza kulamba asali ya chumvi kwa ulimi wake, Radhia alipokumbuka ilo, akapania kujifunza zaidi kulamba mwiko, ili aweze kumburudisha mpenzi wake, kama yeye alivyo burudishwa.


Radhia anakumbuka jinsi alivyo lambwa kisima cha sambani kwa bibi, huku yeye akishindwa kulamba mwiko, Radhia anaweka kidole gumba mdomoni anajaribu kukinyonya, “labda ingekuwa ndogo kama kidole, ndio ningeilamba vizuri” anajisemea Radhia, huku jicheka kidogo, “lakini atanifundisha taratibu” anasema tena Radhia, ambae sasa anakumbuka jinsi dudu ya Edgar, ilivyo ingia kwa mala yakwanza kwenye kitumbua chake, na kuisikia ikikuna kunde yake na kuta za kisima cha shambani kwa bibi, huku ndani ikienda kugusa sehemu flani ambayo ilifanya aanze kupiga kelele za utamu, bila ata kutegemea.


Hakika akuwai kabisa kufikilia kuwa, hipo siku atakuja kuhisi utami wa dudu kwenye kitumbua chake, kama ule alio usikia wakati akupeana dudu Edgar, kiasi cha kutamani na leo aende akapewe tena, na kisha kulala kifuani kwa Edgar mpaka subuhi, kama ilivyo kuwa jana. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, NA USIKOSE KUFUATILIA SIMULIZI YA CAPTAIN CHUI MCHAFU ITAKAYO KUJIA HAPA HAPA jamii forums
 
Shukran Mkuu Abou Shaymaa

Baada ya Sehemu ya 61 ikaja ya 66.

Sehemu ya 62, 63, 64 na 65 hazipo.

Naomba tuwekee mkuu.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU SITINI: Dakika kumi baadae Idd tayari alikuwa amekaa ndani ya duka lake, akisubiri wateja, huku kichwani mwake anawaza juu ya Radhia, kwamba atamfanyaje baada ya kufanikiwa kumwachanisha na huyo mwanaume mwingine. ......... ENDELEA….


Kwanza kabisa kumrudia ingekuwa ngumu, maana tayari alisha mpatia taraka zote tatu, asingeweza kumrudia, pengine ni mpaka aolewe na kuachika, nah ii ingewalazimu kufunga ndoa upya.


Lakini Idd aliwaza kuwa, anaweza kumtumia kama mchepuko, “awezi kunikataa, baada ya kuachana na huyo mwanaume wake, sema sasa hivi anajeuri sababu yupo na huyo bwege” anawaza Idd, ambae akukumbuka lolote kuhusu mke wake mkubwa.


Idd anaendelea kusikilizia wateja, huku anavuta muda wa kumpigia Radhia, kumwomba wakutane, maana anaamini kuwa maneno yake ya kinafiki ya kwamba anamwonea huruma na kwamba anamjari sana, yatakuwa yamesha mfikia.********


Turudi nyumbani kwa bwana Abeid Makame, ambako Mariam na Zuhura wapo chumbani kwao, wanatazama video za ngono, nikama wamesha sahau kuhusu kuhusu tukio la dada yao.


Wakati huo huo mama Mariam, bado yupo chumbani kwake amejilaza kifudi fudi, analia kimya kimya, machozi yanalowanisha shuka, huku kichwani mwake, anajaribu kuvuta picha ya maisha ya binti yake Siwema, baada ya kupewa taraka, huku akijiuliza kuhusu majirani, ambao mpaka sasa watakuwa wamesha juwa kila kitu,.


Mama Mariam, anakumbuka maneno aliyo yaongea kwa tu, baada ya mtoto wa mke mwenzie kuachika kwa kuto kushika mimba, sasa inakuwaje kuhusu yeye, ambae binti yake pia ameachika leo hii, na mbaya zaidi ameachia kutokana na ulevi na uchepukaji nje ya ndoa.


“kweli nimejambia mdomo, sijuwi harufu itaisha lini” anajuliza mama Mariam, anaendelea kulia kimya kimya, “inamaaana Siwema alishindwa ata kufikilia kuwa anaweza kurekodiwa” anawaza kwa uchungu mama Mariam, ambae akuacha kulia kimya kimya, “mama Radhia na watoto wake watakuwa wamefurahi sana, hata hivyo mwanangu awezi kuja kukaa hapa, sababu ana kazi yake anaweza kupanga chumba” alijiwazia mama Siwema.


Wakati mama Mariam analowesha mashuka, wakati huu mzee Abeid mwenyewe alikuwa uwani na kijana wake mdogo, yani Mukhsin, nikama wanajadiri jambo flani, “hivi Mukhsin, unamwonaje huyo rafiki yako?” aliuliza mwalimu Makame, kwa sauti yenye mashaka, “namwonaje kivipi?” anauliza Mukhsin, “yani kama siyo tapeli au mbabaishaji” anafafanua mzee Makame.


Hapo Mukhsin anatulia kama anatafakari jibu, lakini ukweli alikuwa anatafakari swali la baba yake, maana ukweli ata yeye alikuwa anaujuwa, ni kwamba, rafiki yake Edgar, nimoja ya chanzo cha dada yake kusimangwa leo, huku ikisemwa kuwa, dada yake akulala nyumbani, na pengine alilala kwa kwa rafiki yake huyo.


“Edgar ukimwona tu unajuwa ni mpole, japo umri wake uwezi kuzania kuwa anacheo kikubwa kama kile, kwani vipi baba?” anauliza Mukhsin, akitaka kuthibitisha mashaka ya baba yake, lakini baba yake aongei lolote, anatulia kwa sekunde kadhaa, kisha anamtazama Mukhsin, “vipi ukaribu wake na dada yako, unauonaje?” anauliza mzee Makame,


Hapo kidogo Mukhsin Makame, anatulia kutafakari swali la baba yake, ili kupata jibu sahihi la kumpa baba yake, maana licha ya kuona dalili nyingi za dada yake na Edgar kupendana, lakini bado awezi kutoa jibu kama ili, sababu angesababisha mambo mawili, kwanza kumchonganisha baba na dada yake, sababu anafahamu kuwa baba yake uwa atakagi aibu ndogo ndogo.


Pili angemkosea adabu dada yake, kwa kusema kitu ambacho kina ingilia faragha yake, “nawaona wanaongea vizuri tu, wala hawana shida yoyote” anajibu Mukhsin, bila kubabaika wala kupepesa, “sinamaana hiyo Mukhsin, nataka kujuwa kama kuna dalili ya kuwa ni wapenzi au wanalengo ilo” anafafanua mzee Makame, “mh!, kwakweli sijuwi, ila naona tu wanaongea vizuri, japo kule ikuru, nilisikia rais na wale mawaziri wanasema kuwa wanasubiri kwa hamu ndoa ya da Radhia na Edgar” alisema Mukhsin na hapo mzee Makame akatabasamu.


Kikafwata kimya kifupi, kabla mwalimu Makame ajavunja ukumya, “kesho rafiki yako anaweza kuja kututembelea, itabidi uwepo mchana, na uwe smart, siunajuwa atujuwi atakuja na nani” anasema mzee Makame, na kumshtua kidogo Mukhsin, “anakuja kufanya nini, kwani anataka kumchumbia dada?” anauliza Mukhsin, kwa sauti ya mshangao na mshtuko.


“hapana atutarajii hilo, siunajuwa atujuwi kama niwapenzi, ila sisi tuliomba aje tumfahamu, sababu amewafanyia mambo mengi sana, na pia ameahidi mambo makubwa kwako, katika ufadhiri wako, aitakuwa vyema kama tutakaa bila kumkaribisha hapa nyumbani” alisema mzee Makame, kwa sauti yenye busaa nyingi sana, “ila baba inabidi nianze kusoma masomo ya ziada, ili nifauru kwenda kidato cha tano, iliniweze kwenda chuo maana huko ndiyo nitaweza kupata ufadhiri huo” alisisitiza Mukhsin, na kumfanya mwalimu Makame atabasamu kidogo.


“kama kweli hupo tayari, basi masomo ya ziada nitakufundisha mwenyewe, somo la sayansi, pia nita kuunganisha kwa baadhi ya walimu, wakusaidie, ila ni vyema ukaendelea na mazoezi pia, siunajuwa lengo ni huo mchezo wa mpira wakikapu” anasisitiza mze Makame, ambae pia alimkumbusha kitu Mukhsin, “pia mshawishi dada yako mkatembee maziezini, ili apunguze mawazo kwa tukio la leo asubuhi” alisema mzee Makame.


Wakati mzee Makame na Mukhsin wanaendelea kuongea, huko chumbani Mama Radhia na Radhia, walikuwa wamesha maliza kupanga bajeti yao na ya vyakula na vinywaji, ambayo ili gharimu laki tano na nusu.


Tayari walisha panga kwenda kufanya manunuzi, ya baadhi ya vitu ambavyo vitatumika kesho, lakini kabla mama Radhia ajaenda kuaga kwa mume wake, na kumpatia mpango mzima wa maandalizi, na idadi ya watu watano ambao Edgar atakuja nao, mama Radhia na Radhia walikuwa wanatazama picha, kwenye simu ya Radhia, ni zile za jana kwenye taharab, zilizo mwonyesha Radhia na Edgar wakiwa na sura za tabasamu furaha kubwa.


“kwa hiyo jana ulilala kwake?” aliuliza mama Radhia, huku anatazama picha mbayo ili waonyesha Radhia na Edgar, wakiwa pale mezani wanaitazama camera ya simu, nyuso zao zikiwa katika tabasamu la furaha, huku macho yao yakiangazia upendo wa wazi wazi, “sasa mama ningeenda kulala wapi zaidi ya kwake” anasema Radhia, kwa sauti ya kuto kubabaika, akijaribu kuigiza kama hakuna kilichotokea kati yake na Edgar.


“najuwa ulilala kwake, lakini nataka kujuwa hakuna kilichotokea” alifafanua mama Radhia, na hapo Radhia akaachia tabasamu lililo jaa aibu huku anaziba uso wake wa mkono wake mmoja, “mama jamani sasa ndio unauliza nini?” anauliza Radhia kwa sauti yenye kujaa aibu. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITTINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA: “najuwa ulilala kwake, lakini nataka kujuwa hakuna kilichotokea” alifafanua mama Radhia, na hapo Radhia akaachia tabasamu lililo jaa aibu huku anaziba uso wake wa mkono wake mmoja, “mama jamani sasa ndio unauliza nini?” anauliza Radhia kwa sauti yenye kujaa aibu. ......... ENDELEA….


Nikama mama Radhia anagundua kitu, anacheka kidogo, “aya bwana, lakini upendo uwa aujifichi” alisema mama Radhia huku anainuka na kutoka nje, ya chumba kile, moja kwa moja akaelekea uwani ambako mume wake alikuwa amekaa na Mukhsin.


Mama Radhia anamweleza mume kuhusu mpango mzima wa maandalizi ya ugeni wakesho, ikiwa idadi ya watu, na vitu walivyopanga kununua, “laki tano, mtaitoa wapi?” aliuliza mzee Makame, “fedha hipo, kilichobakia nikwenda kuchukuwa maitajio, malikiti” alijibu mama Radhia, “sawa nyie nendeni, ila hakikisha Radhia anarejewa na furaha” alieleza mzee Makame.


Licha ya kuwa tayari mama Radhia alikuwa amesha sikia, na kufahamu kila kitu, lakini alionekana kushtuka, na kupatwa na simanzi, “jamani tutabahati mbaya gani sisi” anajisemea mama Radhia, akionekana kuumizwa na tukio lile.


“bahati mbaya ya wapi, mtu kajitakia mwenyewe, kwani alilazimishwa kufanya aliyo ya fanya” alisema mzee Makame, ambae alimsimulia mke mdogo kuhusu simu aliyo pigiwa, na kile alicho kiongea baba Khadija, kuhusu uamuzi alio uchukuwa, wa kumtariki mke wake, taraka zote tatu, “jamani, kwanini ameamua mapema hivyo” alilalamika mama Radhia, ambae siyo kwamba alikuwa anaigiza, ila ukweli ni kwamba, alikuwa anamfikilia mume wake, asije akaghafilika baada ya watoto wawili kutarikiwa.


“mama Radhia achanana hayo mambo ya kujitakia, waini sokoni, kisha usisahau kunianalia kanzu yangu kwaajili ya ugeni unaokuja” alisema mzee Makame, kabla mama Radhia ajaondoka na kurudi chumbani kwa Radhia kumjulisha kuhusu taraka ya Siwema, na kumweleza kuwa wajiandae kwenda malikiti.*******


Siwema anafika nyumbani kwake kule Mombasa, ambako anawakuta watu kadhaa wakiwa nje ya mlango wa nyumba yake, ni watu ambao anawafahamu vyema kabisa, nao walikuwa ni wanaume wanne.


Watatu walikuwa ni ndugu wa mume wake, yani kaka mkubwa na kaka wadogo wa baba Khadija, na mmoja akiwa ni mshenga wao,ambao aliwasimamia katika mipango yote ya wao kuwana.


Kwanza ilimshtua Siwema, alijuwa fika kuwa, ugeni ule uliashiria kuwa ni kweli kuna taraka, ilikuwa inamngohea, “asalam aleykum” alisamia Siwema, ambae anapata moyo baada ya kukumbuka kuwa kuna Said, ambae kwa sasa anamiezi nae sita, tena ni mwanaume ambae ana hajira ya kueleweka, hapaha unguja, tena ajira ya serikarini, angeweza ata kuomba uamisho na kuamia mkoa wowote kule bara.


“aleykum salaam” wanaitikia wanaume wanne, huku wanamtazama Siwema ambae sasa anafungua mlango, “karibuni ndani” anasema Siwema, huku anatangulia ndani, na wale wanaume watano wanafwatia.


Dakika tatu baadae tayari wageni wameshakaa kwenye makochi japo wengine walikaa kwenye sturi, kutokana na uchache wa makochi mle ndani, huku Siwema akikaa chini kabisa, “sisi siyo wakaaji sana, tumekuja na ujumbe toka kwa mumeo, ambae ameagiza tukuletee, nao ni taraka tatu, kutokana na kile ambacho umekifanya” alisema mshenga huku anatoa bahasha, na kumpatia Siwema.


Siwema anapokea ile bahasha, kisha aiweka katika mapaja yake na kuwa kam ameipakata, “sawa asanteni” alisema Siwema, kwamaana ya kuwataka waondoke, “bado tunaujumbe meingine kwaajili yako” alisema kaka mkubwa wa baba Khadija, na Siwema akatulia kusbiri ujumbe mwingine.


“tumeagizwa tukuondoe leo hii ndani ya chumba hiki, lakini kwakuwa imekuwa ghafla sana, tumeona tukupe muda kidogo, yani leo tu, ila kesho saa nne asubuhi, kunamtu anakuja kukaa hapa, mpaka mwenyewe atakapo rudi” alisema kaka mkubwa, ambae alionekana kukunja uso muda wote.


Hapo Siwema akapiga hesabu za haraka akajuwa kuwa akizubaa atatakiwa kurudi nyumbani kama ilivyokuwa kwa Radhia, alafu aibu itakuwa mala yake, maana yeye alikuwa mstari wambele kumsimanga Radhia, toka alipoachika mpaka leo.


Siwema licha ya kuwa hakuwa na ela ata kidogo, anapiga mahesabu ya haraka, anaona akuna kitu kingine zaidi ya kwenda kukaa kwa Said wakati mipango mingine ya kuchumbiana ikifanyika.


“sawa, wala hakuna shida, nazani nitaondoka leo jioni” anasema Siwema ambae akuonyesha dalili yoyote ya wasi wasi, kitu ambacho, siyo tu kuwa udhiunisha wageni hawa, ila kinawachukiza sana, maana wanaona wazi kabisa kuwa, ndugu yao alikuwa anatapeliwa na wanamke huyu, siyo kwamba alikuwa anampenda.


Naaaaaaaaam!, mala tu wageni wanapo ondoka pale nyumbani kwa Siwema, Siwema anachukuwa simu yake na kuipiga kwa Said, ambae ni mpenzi wake kwa muda wa miezi sita, simu inaita mpaka inakatika bila kupokelewa, Siwema anapiga tena, akihisi kuwa pengine Said alikuwa amelala kwa uchovu wa jana.


Simu inaita mpaka ikatika bila kupokelewa, hapo ndipo Siwema anapoanza kuwaza kwa kutumia hakili za kichwani, sijuwi mwanzo aliwaza kwa kutumia hakili za wapi, “kwanza jana aliniacha nje, akaondoka kwa kunitoroka, na ajanitafuta mpaka mida hii, sasa hivi nampigiasimu apokei” hapo Siwema anahisi kitu kama kizungu zungu kichwani mwake.


Haraka sana anapiga simu kwa Amina, simu ambayo inaita mala kwa muda mrefu kisha inapokelewa, “Amina, ilikuwaje jana mkaniacha pale bwawani” alianza kwa kulalamika Siwema, “samahani Siwema, mimi sikuwa na la kufanya, Said alipoamua tukuache” alisema Amina, kwa sauti ambayo iliashiria uchovu wa usingizi, “mbona nampigia simu apokei?” aliuliza Siwema, kwa sauti ya ukali yenye malalamiko.


Hapo kimya kifupi kinatawara, kisha Amina anasikika akiongea tena, “mh!, mimi sijuwi amepatwa na nini, ila jana kama nilimsikia anasema ataenda bandarini kumpokea mgeni anatoka bara” alisema Amina, akiwa bado kwenye sauti ya uchovi wa usinginzi.


“mwenzio limenikuta jambo, nimeachika kwa taraka tatu, na nimeambiwa, niondoke hapa, sasa mimi nataka nienda kukaa kwa Said” anasema Siwema, na hapo kinafwata kimya kifupi, inasikika minong’ono kati ya Amina na mume wake, kabla Amina ajaongea, “kwanini usiende nyumbani, unazani Said atakubari kweli?” anauliza Amina, ambae nikama kuna kitu anakifahamu, “we siunajuwa nilivyokuwa na msema Radhia wakati ameachika, sasa nikienda nyumbani itakuwaje” hapo kinafwata kimya kifupi sambamba na Amina kushusha pumzi nzito.


“sawa, lakini itakuwa vizuri ukiwasiliana na saidi kabla ujaenda kwake, maana leo anamgeni toka bara” anasema Amina, lakini Siwema akubariani nae, “kama apokei simu mimi nifanyaje, tena nitaenda sasa hivi” alisema Siwema, na kukata simu, kisha akapiga tena kwa Said, lakini safari hii simu ilikuwa inatumika. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA MBILI: “sawa, lakini itakuwa vizuri ukiwasiliana na saidi kabla ujaenda kwake, maana leo anamgeni toka bara” anasema Amina, lakini Siwema akubariani nae, “kama apokei simu mimi nifanyaje, tena nitaenda sasa hivi” alisema Siwema, na kukata simu, kisha akapiga tena kwa Said, lakini safari hii simu ilikuwa inatumika. ......... ENDELEA….


“huyu anamaana gani, yani nikimpigia mimi apokei simu, lakini wengine anawapokelea simu” alijisemea Siwema kwa sauti yenye manung’uniko, huku anakata simu na kupiga tena, lakini jibu likawa lile lile, kuwa “mtumiaji wa simu unae mpigia anaongea na mtu mwingine, jaribu tena baadae” hapo Siwema akaamua kuachana na simu, ili aanze kupanga baadhi ya vitu vyake.


Lakini ile anaweka simu mezani, mala akaona simu yake inaita, akaichukuwa na kuipokea haraka, akijuwa pengine ni Said ameaamua kumpigia kwa namba nyingine, “hallow asalem alykum” alisalimia Siwema kwa sauti tulivu, “aleykum salam, bila shaka wewe ni Siwema Makame siyo?” ilikuwa ni sauti yakiume ambayo siyo ya Said, maana hii ilikuwa ni ya mwanaume mtu mzima, na inarafudhi ya watu wahasiri ya kisiwa iki cha unguja.


Hapo mapigo ya moyo ya Siwema yakaanza kwenda mbio, “ndiyo ni mimi” aliitikia Siwema, kwa sauti ya upole, akizuwia hali ya wasi wasi aliyokuwa nayo, “unaitajika ureport haraka kwenye ofisi ya mkugenzi wa wizara ya afya, hapa mnazi mmoja” ilisema ile sauti ya kike, na hapo hapo simu ikakatika, hapo Siwema alishtuka tayari fyunzi imesha mchomoka, na tumbo lina unguruma.


“tobaaaa!, kumekucha sasa, kumekucha” alisema Siwema huku anatoka nje kwa haraka na kuanza safari ya kuelekea kwenye kituo cha dala dala, “inabidi niandike barua ya kuomba msamaha, maana hakuna kingine zaidi ya hiyo video mtandaoni” aliwaza Siwema, huku anatembea kwa haraka, akitamani kukimbia maana aliona anachelewa.


Lakini wakati huo huo akasikia simu yake inaanza kuita, hivyo akaipokea huku anaendelea kutembea, “hallow Siwema habari za asubuhi, nimeona ulinitafuta hapa” ilikuwa ni sauti ya kiume ambayo ata kama ingekuwa usingizini, Siwema angeitambua, “said mwenzio yamenikuta, ngoja kwanza niende kazini nimeitwam nikitoka huko nitakuja kwako, maana nimesha pewa taraka” alisema Siwema, huku anaendelea kutembea.


“sikia Siwema, naomba usije nyumbani kwangu, hivi sasa natoka bandarini kumpokea mkewangu na watoto, we nenda kwenu tutaongea siku nyingine” sauti hii ilimshtua sana Siwema, ambae alijikuta anasimama ghafla, miguu imegoma kwenda, na simu hipo sikioni, japo ilikuwa imesha katwa.*******


Naaaaam!, saa saba na robo za mchana, tayari mama Radhia na Radhia walikuwa wamesha fika mjini, wapo maeneo ya darajani, wanaendelea na manunuzi, ambayo yalitumia lisaa lizima, ambapo waliongea ili nalile, utani na uchesi ukitawara.


“Radhia, hivi huyo Edgar akisema anataka kukuowa utakubari?” aliuliza mama Radhia wakiwa katika manunuzi, “mama nae, kwani nilipoolewa na Idd, mliniuliza kama nakubari au la?” Radhia nae anarudisha swali, “kwasasa atuwezi kukulazimisha sababu umesha kuwa mkubwa na unayajuwa maisha ya ndoa” anasema mama Radhia, ambae kiukweli hakutaka kumkela binti yake, ambae asubuhi ametoka kwenye masaib.


“vipi leo nikupa luksa ya kulala kwa Edgar, utaenda?” anauliza mama Radhia safari hii, ikiwa ni mtego, Radhia anacheka kidogo, “mama na wewe maswali yako, kwanini nikatae, sema kesho si inabidi tuanze kupika mapema” anasema Radhia, huku usowake ukionyesha wazi anatamani kwenda kulala kwa Edgar, “si unarudi mapema, au awezi kukuleta na gari mpaka kwa mchina mwanzo” alisema mama Radhia, ambae lengo lake ni kupata jibu kama Radhia ameshalala na huyo mwanaume au bado.


Radhia anatulia kidogo, kama vile anawaza kama itakuwa vyema kwenda kwa Edgar au la, “vipi kuhusu baba, si ataniona nimeanza tabia mbaya?” anauliza Radhia, huku anamtazama mama yake, “kuhusu baba ilo niachie mimi, lakini kwa leo mimi naona aitakuwa vizuri kwaajili ya kuanza mapishi mapema, bora uende kesho” alisema mama Radhia, na hapo Radhia akanyongea, nikama alikumbuka kitu, “lakini mpaka aseme yeye mwenyewe, siwezi kujipeleka” alisema Radhia, kwa sauti yenye unyonge.


Mama yake anaiona hali hiyo, anashindwa kuelewa ni kwanini, “kwani bado ujamwamini kama anakupenda” anauliza mama Radhia, kwa sauti ya mshangao, “ananipenda lakini bado ajanitongoza” alisema Radhia na kumfanya mama yake aanze kucheka.


Wakati huo walikuwa wamesha maliza kununua baadhi ya vitu, sasa waliokuwa wanaenda kununua kuku wawili, kwaajili ya kesho, njiani wakiendelea kuongea ili nalile, “yani mama ukikaa na Edgar kwa muda mfupi tu, utajuwa ni mtu mzuri sana” alisema Radhia, akimweleza mama yake, “weeee! Kwahiyo hivi vitu anavyo kununulia, uwa unaanzaje kumwomba?” aliuliza mama Radhia likiwa ni swali la mtego.


“mh!, kwani nilisha wai kumwomba kitu, mwenyewe ananipeleka dukani, alafu anasema lete hiyo lete hiyo, ata leo asubuhi nilivaa nguo zake, sikubeba nguo ya kubadiirisha, mala naona tu wameleta nguo nyingi, nimevaa hii tu, zile nitabadirisha nikilala kule” alisema Radhia bila kujuwa kuwa amesha eleza kitu ambacho mama yake alikuwa anauliza kila mala.


Mama Radhia anatabasamu kidogo, “basi urafiki wenu umefikia pazuri, mpaka mnavaliana nguo, sasa anapo kununulia hivyo vitu uwa anasemaje, kama rafiki au?” anauliza mama Radhia, ambae sasa anataka jibu moja tu, tena la wazi, japo kwa maelezo ya binti yake, tayari amesha liwa kitumbua, na kijana huyo anae mpenda.


“mama bwana, sasa asemeje, wakati yeye anasema tu, niwajibu wake” alisema Radhia huku wanakatiza mitaa, “kwahiyo we unavyoona anakufaa?” anauliza mama Radhia, kwa sauti ya uchunguzi, kitu mbacho Radhia anashindwa kuking’amua, “yani mama navyojisikia utazani ni mwanaume wangu wakwanza, ananifaa kwa kila kit…” alisema Radhia, ambae anasita ghafla na kumtazama mama yake, ambae alikuwa anatabasamu.


“ona sasa mama, mpaka nimesha sema” anasema Radhia huku anaonyesha chukuzo la kudeka, “Radhia jamani, kwani kunaubaya gani, sisi wote tunawa pamoja na wewe wakati unapokutana na magumu, na uwa tunakutakia furaha maishani mwako, sasa unashindwaje kuniambia unapokuwa na furaha?” anauliza mama Radhia, huku anamshika mkono Radhia na kumwongoza kule wanakoelekea.


“lakini mwenzio naona aibu, kusimulia simulia” anasema Radhia akijifanya kukasirika, japo anashindwa na kujikuta anaachia kicheko, “kwahiyo hapo unatamani na leo ukalale huko huko?” anauliza mama Radhia, kwa udadisi, “sasa sijuwi kama yeye mwenyewe anataka niende tena, maana wanawake wengi wanamtamani” anasema Radhia ka sauti ya kinyonge. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA TATU: “lakini mwenzio naona aibu, kusimulia simulia” anasema Radhia akijifanya kukasirika, japo anashindwa na kujikuta anaachia kicheko, “kwahiyo hapo unatamani na leo ukalale huko huko?” anauliza mama Radhia, kwa udadisi, “sasa sijuwi kama yeye mwenyewe anataka niende tena, maana wanawake wengi wanamtamani” anasema Radhia ka sauti ya kinyonge. ......... ENDELEA….


Hapo mama Radhia anatulia kidogo, kisha kwa sauti ya upole anamweleza binti yake, “wala usiwe na wasi wasi Radhia, naamini Edgar anajuwa sifa za mwanamke mzuri, ndiyo maana akakuchagua wewe” anasema mama Radhia, na hapo Radhia akadakia, “tena ananimbia mimi ni mzuri wakila kitu, mpaka tabia zangu ni nzuri” alisema Radhia safari hii kwa uchangamfu, huku wanaingia kwenye eneo la kuuzia kuku.********


Naaaaaam!, wakati huu, Siwema alikuwa anaingia ndani mwake, kule Mombasa na kujifungia ndani, kisha akaanaweka barua mezani jumla kunakuwa na bahasha mbili, moja ni kutoka wizara ya afya ya serikali ya mapinduzi, moja ni taraka toka kwa mume wake.


Siwema anaingia chumbani kwake, na kuanza kuangua kilio cha chini chini, huku anajilahumu kwa ujinga alio ufanya, kwanza kutembea na Said, ambae leo ndiyo anagundua kuwa ni mume wa mtu, na ndie sababu ya kupewa taraka na mume wake, kisha kufuzwa kazi kwa kukosa maadiri ya kazi, yani ulevi na kulilia mwaume, wakati mwajili wake anafahamu kuwa mume wake amesafiri.


Pili Siwema anamlahumu Radhia, “alifwata nini pale yule nuksi mkubwa, huyu, kama asingefika nisingefanya niliyo yafanya” analalamika Siwema, ambae kiukweli ungeshindwa kuelewa anamaanisha nini, kwamba Radhia asingeenda kwenye taharab, basi yeye asingefanya fujo.


Siwema alilia mpaka kwa mambo mawili makubwa, ikiwa ni kuachika na mumewake, nakwamba anaenda kuwa mjane, kama ilivyo kwa Radhia, ambae alimsimanga kupita kiasi wakati alipo achika, mwaka mmoja uliopita, nambaya zaidi nikwamba, mpaka kufika kesho saa nne atakiwi pale nyumbani kwa mumewe, na hakuwa na uwezo wa kupanga chumba popote, maana alifukuzwa kazi na kusitishiwa malipo yake yote.


Pili ni kitendo cha kurudi nyumbani kwao, ambako Radhia nae anaishi, na mbaya zaidi nikwamba, Radhia anaonekana kuwa na mwanaume mwenye uwezo mzuri wakifedha, hii ameiona mwenyewe, kwanza mwanaume ni barozi, ata kama ni mwanaume wamuda tu, na siyo mume au mchumba, ila ni mwenye hadhi kubwa na heshima.


Ni mwanaume ambae amemfanya Radhia afahamiane na watu wakubwa kimadaraka na kifedha, mfano mawaziri na wafanya biashara wakubwa, asa wake zao, ambao amesha mwona akisalimiana nao kwenye onyesho la music wa taharab.


Kama hiyo ni ndogo, pia ameshaona picha na video, ambazo zilimwonyesha mdogo wake huyo akisalimiana na rais na mke wa rais, na kuongea nao kama vile anaongea na watu wake wakaribu, sasa akienda nyumbani, yeye ndie atakuwa mnyonge kwa Radhia, ambae licha ya kusimangwa na kusema kwa muda wa mwaka mzima, lakini akuwai kupigana wala kurudisha maneno mabaya.


Siwema anaona akuwa na lolote la kufanya, zaidi ya kurudi nyumbani kwa baba na mama yake, na itakuwa vyema zoezi la uamiaji akilifanya usiku, wakati pame poa, japo akuwa na chochote cha kubeba, zaidi ya vitu vya jikoni, ambavyo yeye alivinunua kwa ela yake, yani masufuria na sahani, pamoja na begi lake la nguo, na nguo za mtoto wao Khadija, Siwema analiendelea kuwaza na kulia, mpaka alipo pitiwa na usingizi mzito.********


Saa nane kasoro dakika tano, tayari kijana Edgar, alisha pitia mjini na kununua mpira wa mpira kikapu, japo yeye alikuwa nao wakwake, ila alifanyahivyo, kwasababu ya Mukhsin, ambae sasa ni kama shemeji yake.


Mida hii Edgar alikuwa nyumbani kwake, katika ghorofa ya pili, chumba cha kwanza kushoto, ilipo ofisi yake ndogo ya nyumbani, anakagua barua pepe, katika anuani ya ofisi yake, zilizotumwa toka sehemu mbali mbali, azipo nyingi sana, maana kila siku lazima akague na kuzijibu.


Mwanzo alishaanza kwa kupitia ma file kadhaa, ambayo yalikuwa yanaitaji utekelezaji, pia alisha kagua taarifa zilizo ingia nakutoka, na tayari alisha wasiliana na wazazi wake, akibakiza kaka na dada yake, ambao upanda kuwasiliana nao mida ya mchana.


Edgar anamaliza kujibu barua pepe, anatuchukuwa simu yake na kuitazama picha aliyopiga jana na Radhia, akitumia dakika nzima, huku anakumbuka jinsi walivyo vurugana usiku chumbani, anajiuliza kama Radhia alifanya yale kwa matakwa yake, au alimlazimisha kutokana na ulevi aliokuwa nao yeye Edgar.


Edgar anatuma picha kwa kaka yake, na kwa dada yake, akitumia whatsapp, huku akiambatanisha ujumbe “ilikuwa siku nzuri sana, nahisi kama nimemwona malikia wangu” alafu akatulia kusubiri jibu.


Lakini jibu toka kwa kaka yake Deus, likiwa linaingia, wakati huo huo simu yake ikaanza kuita, alipotazama mpigaji alikuwa ni dada yake, nae akaipokea mala moja, “salaaaam dada mwem…” hakika Edgar akupewa nafasi ya kusalimia, maana sauti ya mwanamke toka upande wapili ikasikika, “kwahiyo umeona uowe mwarab na siyo mtazania?” alikuwa ni dada yake, ambae wamepishana miaka mitatu kuzaliwa.


“dadaaaa, huyo siyo mwarabu, huyo ni mtazania kabisa, sema ni chotara, hapo tulikuwa kwenye tamasha la music” alisema Edgar, kwa sauti ya kutuliza dada yake, “mh!, chotara gani yupo hivyo, mbona yupo kama mwarabu kabisa?” anauliza dada yake Edgar kwa sauti yenye mashaka, japo alianza kupoa, “ingia kwenye tovuti ya ubarozi wangu, utamwona vizuri tukiwa kwenye afla, nyumbani kwa rais wa Zanzibar” anafafanua Edgar.


Hapo dada mtu anaguna kidogo, “ngoja nimwonyeshe shemeji yako, yeye ndie ataniambia ukweli kama ni mtanzania huyo, kwanza anaitwa nani?” anauliza dada yake Edgar, “anaitwa Radhia Makame” anajibu Edgar, “ok! bado utani unganisha nae nimsalimie wifi yangu” alisema dada yake Edgar ambae anaitwa Dorin, ambae kiukweli kitu ambacho familia hii yenyekutoa mashujaa wakubwa wawili wa #Mbogo_Land, wanajivunia nikuwa na upendo mkubwa sana.


“sawa dada usiwe na shaka” alisema Edgar, kabla wajaagana na kukata simu, kisha Edgar akasoma ujumbe toka kwa kaka yake, “duh! naona umechukuwa chombo ya kipemba” ndivyo ulivyosema ujumbe toka kwa Deus Nyati, Edgar anacheka kidogo huku anaandika ujumbe.


“kesho naenda kwao kumsalimia baba yake, sijuwi ni bebe nini?” aliuliza Edgar katika ujumbe ule alio mtumia kaka yake mkubwa, ambae alipishana nae miaka ishilini na nne ya kuzaliwa, “usijari dogo, nitakuandikia vitu vya kubeba, ila inategemea na uwezo na maitajio ya familia” ndivyo ulivyosema ujumbe toka kwa Deus Nyati.


Hapo wakachati mawili matatu, kisha wakaagana na Edgar akaandika ujumbe kwa Radhia, “nipo nyumbani usisahau kumwambia Mukhsin aje mazoezini” alafu akatulia na kusubiri jibu, lakini mpaka anapitiwa na usingizi, akuona jibu wala dalili ya jibu. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA NNE: Hapo wakachati mawili matatu, kisha wakaagana na Edgar akaandika ujumbe kwa Radhia, “nipo nyumbani usisahau kumwambia Mukhsin aje mazoezini” alafu akatulia na kusubiri jibu, lakini mpaka anapitiwa na usingizi, akuona jibu wala dalili ya jibu. ......... ENDELEA….


Edgar anahisi kuwa Radhia atakuwa na kazi nyingi, hivyo anapost picha kwenye account yake ya mtandao wakijamii, akiambatanisha na kichwa cha habari, “ILIKUWA SIKU NZURI SANA KWETU” kisha Edgar anaitag Bwawani hotel, na account ya Radhia ambayo alimfungulia jana usiku.


Edgar anatoka ofisini kwake, na kuelekea nje upande wa nyuma kule kwenye swimming pool, ambako anachagua kitanda cha uvivu na kujilaza, huku akitazama comment kwenye picha aliyo ipost, ambazo zilianza kuja kwa fujo, nyingi zikimpatia hongera kwa kuwa na mwenza mwenye mwonekano mzuri, aikuchukuwa dakika kumi kabla kijana wetu ajapitiwa na usingizi.********


Mida hii ya saa nane mchana, kijana Idd akiwa amekaa dukani kwake, anatazama simu yake mala kwamal akitazama muda mbao alioka kama auendi, kutokana na hamu ya kusaka Radhia, kamaana aliamini kuwa atakuwa amesha simangwa vya kutosha huko nyumbani kwao, kuanzia Siwema mweyewe na wazazi wake ata wadogo zake.


Lakini wakati anawaza ili na lile, mala anamwona Radhia akiwa na mama yake wanakatiza mbele ya duka lake, mkononi wakiwa wamebeba kuku, wakiongozana na wachukuzi wawili waliobeba mifuko miwili mikubwa, mmoja ukiwa ni wamchele na mwingine wa ngano.


Idd anakurupuka haraka na kutoka nje ya ofisi yake, akimkimbilia Radhia na mama yake, ambao wanaonekana wakiwa katika maongezi ya kufurahisha“asalam aleykum mama” anasalimia Idd, mala baada ya kuwafikia wakina Radhia.


Mama Radhia na Radhia mwenyewe wanageuka kumtazama Idd, “aleukum salam baba vipi hali yako?” anaitikia mama Radhia, huku wanaendelea kutembea nyuma ya wale wachukuzi, “mie mzima, sijuwi huko nyumbani” anajibu Idd, huku anaendelea kuwa fwata wakina Radhia.


“tunashukuru mungu, tupo vizuri, sijuwi wewe na familia yako” alisema mama Radhia, “nashukuru mungu mambo yanaenda vizuri” alisema Idd, kwa kujinasib, kisha akaendelea, “samahami mama naomba kuongea kidogo na Radhia” alisema Idd, akimtazama mama Radhia, uku anaendelea kuwafwata radehia na mama yake.


“mh!, simpangii kuongea na mtu, mwombe mwenyewe” alisema mama Radhia, huku anaendelea kutembea, hapo Idd nikama anataka kukata tamaa, lakini Radhia anaweka sawa, “mama nitakukuta hapo stendi, nakuja sasa hivi, ngoja nimsikilize kidogo” alisema Radhia, huku anasimama, “sawa, lakini kumbuka wewe ni mchumba wa mtu” alisema mama Radhia, kiasi cha kumshangaza ata Radhia mwenyewe, na kujikuta anatabasamia chini.


“mh!, mama jamani kwani umeasahau kuwa amesha nipa taraka tatu” alisema Radhia, nah ii ilizidi kumvunja nguvu Idd, ambae anaona wazi kuwa mpongo wake unashindwa.


Mama Radhia anatokomea na wale wabebaji, Idd amesimama na Radhia, “mambo vipi Radhia, habari za masiku tele” alisalimia Idd, huku anajichekesha kidogo, “salama tu sijuwi huko kwako” alijibu Radhia kwa sauti yenye uchangamfu, maana alijaribu kuficha kitu flani moyoni mwake, “huko salama tu, nyumba imekukumbuka sana” alisema Idd.


Radhia anatabasamu kidogo, “aya ongea na kusikiliza maana natakiwa kuwai nikajiandae baadae nampeleka Mukhsin kwenye mazoezi” alisema Radhia, na hapo kidogo Idd akashtuka, “inamaana siku hizi unampeleka Mukhsin, kwenye mazoezi, au unaenda kukutana na mtu wako” aliuliza Idd akionekana kuanza kukunja uso kwa hasira.


Baada yake Radhia anatabasamu kidogo, na kuzidi kufanua uzuri wake uzidi mala mbili, “siyo mbaya pia, kwani kuna mtu ananidai?” aliuliza Radhia kwa sauti ya taratibu, ni kawaida yake, kuongea taratibu, toka akiwa mdogo, ata Idd mwenyewe anafahamu, “Radhia hivi unajuwa kuwa unachokifanya kina aibisha familia yako” anasema Idd kwa sauti ya kuonya au kutahadharisha, ungesema anaongea na dada yake au binti yake.


Inamshangaza Radhia, ambae anamtazama Idd usoni, kitendo ambacho Idd hakuwai kushuhudia ata siku moja, toka alipo fahamiana na mwanamke huyu, ambae leo mwonekano wake umekuwa mzuri, mala dufu zaidi ya vile alivyo ziwea, “Idd, unaweza kuniambia naiaibisha vipi familia yangu?” aliuliza Radhia, japo kwa sauti ya taratibu, lakini alionekana wazi amechukizwa na maneno ya Idd.


Idd anaingia tahadhari asa anapomwona Radhia anamtazama usoni bila kupepesa, tofauti na siku zote, ambapo Radhia uwa awezi kumtazama usoni, “Radhia sinamaana mbaya, ujuwe ata mimi najilahumu sana, maana mimi ndiyo chanzo, bora ata nisingekuacha” anasema Idd, kwa sauti ambayo ungeisikia ungejuwa kweli Idd anamwonea huruma Radhia.


Radhia anamtazama Idd kwa mshangao, “mh!, unajilahumu kivipi wakati ulikuwa sahihi kabisa, kwamba mimi sizai?” anauliza Radhia kwa sauti yenye tahadhari kubwa, huku anamtazama Idd.


Hapo Idd anajuwa kama asipo tumia hakili anaumbuka na kushindwa kabisa kuiteka hakili ya Radhia, “ujuwe Radhia huyo mwanaume namfahamu vizuri sana, ni taperi sana, atakuchezea na kukuacha” alisema Idd kwa sauti ya kutahadharisha.


Inamfanya Radhia atabasamu kidogo, “kumbe unamfahamu hen?” anauliza Radhia kwa sauti ya taratibu, “namfahamu sanaaaa, si anafanya kazi kwenye ile nyumba karibu na Ikuru, sijuwi ni mlinzi au nini” anasema Idd, na kumfanya Radhia akunje sura kwa mashangao.


Kabla Radhia ajasena chochote, mala simu yake inaanza kuita toka kwenye pochi yake ya mkononi, anafungua pochi na kutoa simu, hapo Idd anaona vitu viwili, kwanza simu yenye thamani ya fedha isiyo pungua tsh laki sita, na pili anaona fedha nyingi kwenye ile pochi.


Radhia anaitazama simu, na kuona kuwa mama yake ndie anaepiga simu, aka mtazama Idd, “sikia Idd mimi na wewe tulisha malizana, sikupata chochote zaidi ya maumivu, labda nikuambie kitu, nakushauri uache kunifwatilia, baada yake, ongeza nguvu kuiangalia familia yako, ukifanya hivyo utanishukuru baadae” alisema Radhia kisha akaondoka, kuelekea kule ambako mama yake alikuwa ameelekea, huku anapokea simu na kuiweka sikioni. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom