SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI NA NNE: Sasa leo hii, wakati amesha fanya njama ya kumkwepa, kwa kumweleza Radhia kuwa, ato ambatana nao kwenye matembezi, sababu angekuwa na anafanya mazoezi, lakini Radhia anamweleza kuwa alikuwa anaitaji kuonana nae, ya kwamba ana ujumbe toka kwa wazazi wake. . . ENDELEA….


Ukweli ni kwamba, japo alimjibu kwa haraka bila kusita sita, lakini ukweli alianza kujipanga kimawazo nahisia, ili kuweza kuushinda moyo wake, asije akathubutu kuomba kitumbua au ifadhi kwenye moyo wa Radhia, ila aliondoa wasi wasi, na shaka juu ya ilo, sababu aliamini kuwa, wakina Zahara na Mukhsin wakiwepo asingeweza kutamka lolote, ambalo lingemvujia heshima yake.


Kitu ambacho ni lazima ukifahamu kwa Edgar ni kwamba, alisha wai kutembea na wanawake wawili tofauti kabla ya hivi sasa, na wote ilikuwa ni wakati yupo chuo huko ujerumani, wakati akichukuwa degeree yake ya kwanza, na kama ujuwavyo mambo ya wazungu, pale wanapo amua kupeana dudu, huko ndiko aliko jifunzia kunyandua, kitu ambacho akuwai kukifanya tena, mpaka leo hii.********


Yaaaap!, Ashura ambae mala tu baada ya kuachana na mume wake pale michenzani tobo la pili alipo pandia gari la uwanja wandege, kupifia kiembe samaki, alipita vituo viwili tu, kabla ajashuka na kumkuta Shaban anamsubiri.


Ashura akiwa amejivika nicab, alipanda kwenye vesper ya Shaban na afari ya kuelekea nyumbani kwake Mlandege huku njiani wakiongea ili na lile asa wakipanga jioni ya siku ile waende kwenye tamasha la taharab, bwawani hotel.*******


Akiwa ajuwi kuwa mke wake anapeleka kitumbua, kwenda kukandwa na mtu anae jiita mwenye mali, bwana Idd akiwa kwenye baskeri yake, amejibanza sehemu, akamwona Radhia alie pendeza kweli kweli, tena kwa nguo za gharama, ambazo yeye akuwa kumnunulia licha ya kuishi nae miaka miwili.


Akiwa na wadogo zake, wanatoka nyumbani na kuanza kutembea kueleka upande wa mjini, kupitia upande wa Gymkana, wanaongea na kucheka, ni wazi walikuwa wanaenda matembezi ya eid, ikiwa siku ya mwisho ya tatu ya sherehe hizo.


Aikuwa tegemeo lake kuona Radhia ameambatana na wadogo zake, hii ilimfanya Idd awe katika hali mbili tofauti, yakwanza alifurahi kwa kujuwa kuwa, Radhia alisema uongo pale alipo mwambia kuwa, anaenda kwa mpenzi wake, maana singetoka na wadogo zake, hivyo Idd alifurahi kuona kuwa, Radhia akuwa na mpenzi yoyote.


Lakini licha kutuwa mzigo mzito wa wivu, Idd pia alilahumu, kuona kuona Radhia yupo na wadogo zake, asa Mukhsin, ambae angeweza kuonyesha wazi wazi, kuto pendezwa na kitendo cha yeye kumfwata Radhia, wakati alisha mwacha, na wao wanalijuwa swala ilo, ambalo liliiumiza familia nzima, ya mke mdogo wa bwana Abeid, pamoja na mzee Abeid mwenyewe.


Hakuwa naujanja zaidi ya kuwafwata taratibu, tena kwambali, pasipo wao kumwona, akiwa na imani, kuna sehemu atapata nafasi ya kumpata peke yake, na kuongea nae vizuri, ili ikiwezekana, leo na kesho, mke wake akiwa kwa dada yake, wapate kuburudishana, wakikumbushia ya zamani.


Dakika kumi na tano, Idd yupo nyuma ya wakina Radhia, bado anawafwatilia, na sasa walifika gymkana, akamwona Radhia anavuka barabara, pamoja na wadogo zake, ambao ana wapatia fedha na simu, kisha wakina Mukhsin wana panda gari linalo elekea mjini.


Hapo Idd kengere ya tahadhari inagonga kichwani mwake, anahisi kuwa sasa Radhia anaelekea kule alikosema anaelekea, hivyo anaamua kuwai pale alipokuwepo Radhia, ambae sasa alikuwa anavuka upande wapili wa barabara.


Lakini aikuwa bahati ya Idd, maana wakati huo huo, linatokea gari dogo la abiria, chai maharage, Radhia anaingia kwa haraka, huku Idd akiachia baiskeri chini na kukimbilia gari, kwa lengo la kumtaka Radhia ashuke, iliwaongee na kukubariana, lakini anachelewa, na gari tayari limesha ondoka.

Idd akiwa amesimama pembeni ya barabara, analitazama lile gari, ambalo linaenda kusimama umbali wa mita kama mia nne hivi, na anamwona Radhia anashuka, na kupotelea pembeni ya barabara, “mshenzi huyu mwanamke, kumbe ni kweli anaenda kwa mwaume” anajisemea Idd kwa sauti yenye hasira.


Idd anatembea kwa haraka akikokota baiskeri yake, ambayo alishindwa kuipanda kutokana na kilima, kuelekea upande ule ambao, kuna nyumba za watu wenye mamlaka makubwa hapa nchini, ikiwa pamoja na Ikuru ya rais wa Zanzibar, huku moyo wake ukiwa unamuuma kwa wivu.*******


Jang’ombe kwa soud, nyumbani kwa mzee Makame, bado hali ya utulivu ime tawara, ni watoto watatu pekee walikuwa nje wanacheza, mke mkubwa na mke dogo bado walikuwa vyumbani mwao wamepumzika, ukimwacha mama Mariam ambae alikuwa amelala usingizi, lakini mama Radhia alikuwa macho anatafakari kuhusu binti yake Radhia.


Kwamtazamo wa nje, Radhia alikuwa ni binti mwenye umri ambao, angefaa kuanza maisha, au kuchumbiwa, maana sasa ndo kwanza alikuwa namiaka ishilini na tano.


Lakini kiundani kabisa, tayari binti huyu alisha olewa na kuachika, maana yake tayari alisha ingia kwenye maisha muda mrefu, na tayari alisha onja machungu ya ndoa, pasipo kuonja upande wapili wa tamu ya ndoa.


Hakika Radhia licha ya kupitia manyanyaso na masimango katika umri mdogo, lakini bado anajitaidi kutunza heshima yake, tofauti na wanawake wengine walio achika kama yeye, ambao ujikatia tamaa na kuanza kwenda ovyo na wanaume, kiasi cha kudharaulika.


Lakini kwa sasa mama Radhia anamwona binti yake, kama vile anaanza kuzama kwenye penzi, na kijana ambae anatambulishwa kwake kama rafiki wa Mukhsin, kijana ambae licha ya kwamba ata yeye bado ajamwona, lakini ameonyesha kumpa furaha binti yake, na kumfanya ashindwe kutulia nyumbani, kwa siku tatu mfululizo.


Mama Radhia anakosa la kusema wala kuamua, zaidi anaamua kumwachia mwenyewe Radhia, ambae anaamini kuwa anajitamua, anacho fanya yeye kumwombea kwa mungu, urafiki wake huo uwe na manufaa kwa binti yakle huyo.


Tukitoka chumbani kwa mama Radhia, sasa tunaingia chumbani kwa kina Mariam na Zuhura, ambako tuna wakuta wawili awa wamejilaza kitandani na huku macho kwenye simu zao, wanatazama video za ngono, macho yamewalegea kama wamevuta bangi, kila mmoja mkono mmoja huko ndani ya chupi, vinganya vime lala kwenye shamba la bibi, vidole viwili vya kati vimejaa kalibu na kisima, cha maji chumvi, vilivyo chafuka kwa maji ya utelezi, vidole vinanakosa utulivu,na kuacha vikune kunde zao taratibu, kila mmoja kujari kama kunamwenzie mle ndani, bila shaka ni mchezo walio uzowea.


Ni kweli mchezo huo walianza miaka mingi sana, asa kipindi kile Zuhura alipo vunja ungo na kukuta dada yake akiwa tayari amesha pevuka miaka miwili iliyopita, kipindi ambacho walikuwa wanaoga pamoja.


Mchezo ukawa mtamu zaidi mala baada ya kuachiwa chumba chao peke yao, wakati dada yao Siwema alipo olewa, wakati Radhia akiwa amesha olewa pia, ndio maana ata Radhia alipoachika awakutaka kulala nae chumba kimoja, wakamshawishi mama yao, Radhia akalale na watoto, ili wao wajiachie wenyewe wadumishe michezo yao, ya kujikuna kunde kila wanapo jisikia.


Achana na huo ujinga, twende uwani chini ya mwembe, ambako tunamkuta mzee Abeid Ally Makame, akiwa ametulia kwenye kiti chake, ameshikilia kitabu ambacho hakuwa anakisoma, baada yake alikuwa amekifunika, huku ameelekeza macho mbele, ni wazi alikuwa anawaza au kutafakari jambo kwa kina. . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii Furoms
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI TANO: Achana na huo ujinga, twende uwani chini ya mwembe, ambako tunamkuta mzee Abeid Ally Makame, akiwa ametulia kwenye kiti chake, ameshikilia kitabu ambacho hakuwa anakisoma, baada yake alikuwa amekifunika, huku ameelekeza macho mbele, ni wazi alikuwa anawaza au kutafakari jambo kwa kina. . . ENDELEA….


Ni kweli mzee Makame alikuwa anatafakari kuhusu mwenendo wa binti yake, ambae kiukweli anajilahumu kumwozesha kwa kijana Idd, yani mtoto wa mzee Kiparago, ambae alikuja ghafla, kutoa barua ya posa, kipindi ambacho binti yake alikuwa anawashawishi yeye na mke wake, kuwa wamluhusu akasome dar es salaam.


Ni kweli kwa kipindi kile waliweka ugumu, katika kumluhusu akasome huko dar es salaam, wakihisi kuwa ataenda kubarika tabia, nakuwa tofauti na vile alivyokuwa mwanzo, ata ilippotokea kuchumbiwa wakaluhusu aolewe, ili asiaribu sifa yake.


Mwalimu Makame anajilahumu kwa kuluhusu kijana huyu wa ovyo kuluhusu amchumbie binti yake, na kukaa nae miaka miwili kisha kumwacha kwa kashfa na manyanyaso.


Lakini toka jana mzee Abeid Makame, ameanza kuona dalili ya mafanikio kupitia binti yake, japo akuwa na imani ya kuwa, binti yake ataolewa na barozi toka nchini #Mbogo_Land, maana nikawaida kwa vijana kupeana utamu kama burudani kisha kila mmoja akendelea na mambo yake, na ukichukulia watu wa kisiwa iki uwa wanazarau sana mwanamke alie achika.


Lakini aliamini kuwa, kuna watu tayari wapo njiani kunufaika kwa ilo, yani Mukhsin ambae angeweza kupata ufadhiri wa masomo na timu ya kuchezea mpira huo wakikapu chini #Mbogo_Land.


Pia manufaa yanaweza kuwa kwa binti yake Zahara, ambae angeenda kusoma #Mbogo_Land, endapo kaka yake angeenda huko, na kupata timu ya kuchezea, hivyo wote wawili wangefanikiwa, na kuleta neema nyumbani kwao.


Mwalimu Abeid akufikilia sana kuhusu yeye, maana elimu yake, aikuwa na maana sana pale kisiwani, kutokana na kukosekana kwa ardhi ya kilimo, na ufagaji, japo alisha sikia kuwa rais ameagiza apelekewe taarifa zake, ofisini kwake, na kiukweli yeye hakuwa na wasi wasi na taarifa zake, labbda umri wake wa miaka hamsini na mbili, lakini vinginevyo hakuwa na tatizo lolote.*******


Kwa sasa atuwezi kuzungumzia habari za wakina Ashura na Shabani, ambao mida hii, walikuwa chumbani, wananyanduana kweli kweli, wakitumia mitindo mbali mbali, ambayo inampa raha mjamzito, kama ungemwona usingeamini kuwa huyu ni yule mke mkubwa wa Idd, ambae alimweleza kuwa docroe amesema atakiwa kuingiziwa dudu kitumbuani, kwa usalama wa mtoto alieko tumboni.


Hapo naomba tuelewane kidogo, ukweli ni kwamba, uwa inatokea mwanamke kupewa angalizo ilo, na Doctor wake, kutokana na matatizo mbali mbali, asa kwa ujauzito mchanga, au uliokomaa karibia kujifungua, ni pale ambapo mama mjamzito, anaweza kuwa na shida flani katika ubebaji wa wake waujauzito.


Lakini kwa Ashura, ilikuwa ni mbinu au uongo alio utumia kumnyima mume wake kitumbua, ikiwa ni agizo la mpenzi wake Shabani, mwanaume ambae nilikudokeza kuwa, ndie mwanaume alie mpenda kiukweli ukweli.


Sasa turudi kwa Radhia, ambae baada ya kuawaacha wadogo zake wakipanda kwenye dala dala, nakuelekea forodhani, huku akiwapatia simu, kwa maana aliitaji kuwasilina nao mida ya kurudi nyumbani, hakutaka warudi tofauti, angeonekana akuwa nao, au ingebainika kuwa aliwaahana kumfwata Edgar.


Pia aliwapatia fedha, kiasi cha elfu ishilini na yeye kubakia na elfu tano maana ishilini na tano alisha itumia toka asubuhi, kwa maitaji ya pale nyumbani, alipanda dala dala na kwenda kushuka karibu na kwenye lile geti ambalo, jana walimwona Edgar anaingia.


Radhia anasogelea geti taratibu, hofu na wasi wasi umemtawara, kichwani mwake anauliza anachoenda kukifanya kwa Edgar, maana ukweli hakuwa na lolote la kwenda kufanya na wazi kabisa alisema vile ili kujihakikishia kama Edgar akuwa na mwanamke mwingine siku ile.


Radhia analifikia geti, akiwa bado ajapata jibu la kile anachoenda kukifanya kwa Edgar, anasimama mbele ya geti anataka kugonga mlango, lakini anashtuka kiona mlango mdogo unafunguliwa, nae anasogea pembeni kidogo, kumwangalia anae fungua mlango.


Sekunde tano zinatumika kufungua geti dogo, lililoshikizwa kwenye geti kubwa, kisha anaibuka Edgar, alievalia kaptula ndogo nyeusi na tishert nyeusi, lililokamata mwili wake, chini akiwa na kandambiliza ngozi.


Mcho ya Radhia yanapata mafasi ya kuona mwili nzuri wa kijana huyu, ulio jengeka kimazoezi, anawaza mambo mengi kwa muda mfupi, anavutapicha amelala chali huku kijana huyu akiwa juu yake ambemkumbatia kwanguvu, huku kifua chake kipana, kime kandamiza matiti yake.


Radhia akuishia hapo anavuta picha ya kwamba, kiuno cha kijana huyu kimemkandamiza kiuno chake, huku dudu washa likiwa ndani ya kitumbua chake linaingia na kutoka, kama vile mwichi wa piston ya engine, inavyo chakata kwenye kinu cha cylinder.


Kwakuwaza hizi Radhia anajikuta amesha shusha macho yake, kwenye kaptula ya Edgar, usawa wa dudu, ambapo anaweza kujionea wazi kitu mfano wa ndizi kubwa kiasi, iliyoifadhiwa sehemu hiyo, na kujichora vyema kama imevaa kofia.


Radhia anashtuka na kuinua uso kumtazama Edgar usoni, macho yao yanakutana, wote wanatabasamiana, “hoooo!, Radhia, umekuja na usafiri gani, na wengine wapo wapi?” aliuliza Edgar, huku anatoka nje ya geti, “wametangulia forodhani, nitawafwata nikitoka hapa” alisema Radhia huku anatazama chini kwa aibu, akishindwa kumtazama Edgar.


Edgar anaonekana anavyo mtazama Radhia kwa macho ya mshangao, na matamanio, “kwanini ukuja nao, ningewapa usafiri wa kwenda forodhani” alisema Edgar, ambae macho yake ayakuacha kumtazama Radhia, “sikutaka kukusumbua na watoto, maana leo unatakiwa kufanya mazoezi, isitoshe ata mimi siyo mkaaji sana” alisema Radhia ambae akiwa anaongea kwa aibu, sauti yake inakuwa tamu mala dufu.


Nikama Edgar anawaza kitu, kwanini Radhia awatangulize wakina Mukhsin alafu yeye aondoke peke yake, “au anataka kwenda kwa mtu wake?” anajuiliza Edgar ambae anahisi kiwivu kinaanza kusokota moyoni mwake, “hapana Radhia aiusiani na mazoezi, kuna magari sita humu ndani, mngeweza utumia moja, labda kama unamizunguko mingine, ambayo unaitaji kuwa peke yako” alisema Edgar, japo alionekana kutabasamu, lakini moyoni alikuwa anawasi wasi na wivu.


Radhia anaumia kuona Edgar anamhisi vibaya, “wala sina sehemu yoyote ya kupitia, kama ungekuwa auna mazoezi, tungeenda wote ujionee” alisema Radhia ambae akutarajia kuongea hivyo, “sidhani kama mazoezi ni muhimu kwa leo, kuliko kukusindikiza, lakini siyo kwaajili ya kukuchunga, ila sababu najisikia raha kuwa karibu nawewe” alisema Edgar, huku anamtazama Radhia.


Kwa maneno hayo, Radhia akajihisi raha isiyo na kifani, nakujikuta anaachia tabasamu kwanguvu, huku anamtazama Edgar, macho yao yanakutana, Radhia anakuwa wakwanza kukwepesha macho yake, “acha kunipamba bwana, wajisikia raha gani kuongozana na mimi” alisema Radhia kwa sauti iliyojawa na aibu.


“nikweli Radhia tena leo kuna tamasha la taharabu, kama ungenipeleka pamoja na wewe ningefurahi sana, watu wote wangetutazama sisi, kwajinsi ambayo ungependeza” alisema Edgar, kwa sauti ya utani. . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
Ongeza mkuu
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI SITA: “nikweli Radhia tena leo kuna tamasha la taharabu, kama ungenipeleka pamoja na wewe ningefurahi sana, watu wote wangetutazama sisi, kwajinsi ambayo ungependeza” alisema Edgar, kwa sauti ya utani. . . . ENDELEA….


Hapo Radhia akahisi mwili wake inasisimka, kwa furaha, maana kwamiaka mingi sana alitamani kuhudhuria tamasha la taharab, lakini achilia yale madogo yanayofanyika sehemu kama gymkana, au sehemu nyingine za kawaida, akuweza kuhudhuria.


“ni wewe tu, ukitaka naweza kuomba kwa mama nikusindikize” alisema Radhia kwa sauti iliyojaa aibu.


Ukweli Edgar alisha wai kwenda kutazama tamasha la music huu, tena mala mbili, yote yakiwa na hadhi ya VIP, lakini alikuwa anaenda na walinzi wake tu, hivyo leo aliona ni naafasi ya kwenda na Radhia, akafurahi kama wanavyo furahi wengine wanao enda na wapenzi wao.


“sawa basi njoo ndani unipe ujumbe toka kwa baba, kisha nijiandae tukaangalie nguo za kuendea kwenye tamasha, kisha tukawafwate wakina Mukhsin” alisema Edgar hukuanamshika mkono Radhia na kumwongoza kuingia ndani, kitendo ambacho kilimsisimua Radhia alie kuwa anukia udi mwili mzima, mpaka shambani kwa bibi.


Ukweli ni kwamba wakati wote huo awakujuwa kama kunamtu anawatazama, huku anakuja na baiskeri yake, akiwa na kuumia roho pale alipowaona waingia ndani, huku Radhia ameshikwa mkono, kitu ambacho ufanywa na wapenda nao au ndugu wa damu, maana mwanamke akuluhusiwa kugusana na mtu ambae siyo mume wake au siyo ndugu wa damu.


“mshenzi sana Radhia yani anafanya mambo ya kjinga namna hii, kwanini akusubiri kwanza, mpaka anaamua kujizalilisha” anajisemea Idd kwa sauti yenye uchungu mwingi, huku anasimama, na kushusha pumzi ndefu, hapana nitamsubiri hapa hapa mpaka atoke, lazima nimchukuwe toka kwa huyu mjinga” alisema Idd, huku anatafuta sehemu yenye kimvuri na kupumzika, macho yakiwa kwenye lango lile jumba aliloingia Radhia.*******


Naaaaam! Radhia anaingia ndani ya uzio wa jumba ilikubwa, lililojengwa kwa ramani ya makazi ya kisultani, nje kukiwa na eneo la wazi lenye bustani na maegesho ya magari ambayo sasa yalionekana magari sita, moja pekee likiwa ni busy dogo aina ya Toyota coster, lenye rangi ya kijivu, lenye namba za usajili za Zanzibar.


Huku mengine matano yakiwa ni meusi, manne yakiwa ni Toyota V8, zenye namba ya usajili ya kijani na njano, na moja likiwa BMW lenye namba za usajili za Zanzibar, nalo likiwa ni jeusi.


Wakati Radhia ana shangaa hayo, ndipo akagundua kuwa, ukiachilia walinzi wawili pale mlangoni, pia kulikuwa na watu wengine wawili walivalia suit nyeusi, kama wale alio waona siku ile wanamsubiri Edgar kwenda forodhani, napia aliwaona siku ile Ikuru, wakiwa mita chache karibu na Edgar.


Na wakati huo huo akatokea mwanamke mmoja, ambae kwa umri alikuwa amewazidi kidogo, ambae aliwasogelea na kusalimia, “salaam mgeni wetu mwema” ilikuwa ni salam iliyo jawa na unyenyekevu, iliyo toka kinywani kwa yule mwanamke, ambae licha ya kuwazidi umri ila pia alikuwa namwonekano wa kupendeza, ambae pia alikuwa amevalia gauni refu, lakini akufunika nywele zake, ambae alisalimia kwa kuinamisha kichwa, huku mkono wa kulia akiweka kifuani.


Ilimshangaza kidogo Radhia mbae ni mala ya kwanza kupokea ile salamu, “aleykum salam” aliitikia Radhia, huku Edgar akicheka kidogo, “dada Monica, naomba uingie mtandaoni, nilipie VIP A, kwenye tamasha la taharab, usiandike jina rangu, zote mbili andika Radhia Abeid” alisema Edgar akimweleza yule mwanamke, ambae umri wake ulikadiliwa kuwa ni miaka 30 mpaka 32 au tatu.


Radhia anamtazama Edgar kwa macho ya mshangao, huku anaendelea kumfwata kijana huyu, ambae alikuwa anaendelea kutembea kuelekea upande wa nyuma wa nyumba hii kubwa, “umejuwaje jina la baba” anauliza Radhia, na kumfanya Edgar acheke kidogo.


Hapo Radhia ambae kabla ajapewa jibu, akakumbuka kitu, “hoooo!, kumbe jana niliwatajia jina” alisema Radhia, huku na yeye akicheka kidogo, “yeye kwa sasa ni baba yangu, lazima nilijuwe jina lake, na wasifu wake, alisema Edgar, huku anaendelea kucheka, na safari ya inakomea kwenye eneo kubwa la nyuma, ambalo lilikuwa na eneo kubwa, lenye bustani ya mauwa, na sehemu zenye miamfuri midogo midogo, iliyofunika viti na vijitanda vya mbao, ambavyo vilikuwa pembeni ya bwawa la kisasa la kuogelea, yani swimming pool.


Wanachagua mwamvuri mmoja wenye viti viwili vya uvivu, na meza ndogo katikati, mhudumu anawaletea juice ya mabungo, “mh!, wamfahamuje, wakati jina lenyewe nimekutajia mimi?” aliuliza Radhia kwa namna ya kumkosoa Edgar, huku anacheka cheka.


Edgar nae anacheka kidogo, “anaitwa mwalimu Abeid Ally Makame, mwenye miaka 52, ni mtoto wa pili kwenye familia ya watoto kumi na mbili, toka kwa baba mmoja na wake watatu, yeye akiwa mtoto wa mke wa kwanza wa mzee Ally Salum Makame” alisema Edgar, akimfanya Radhia atoe macho kwa mshangao.


Kabla ajauliza Edgar amejuwaje juu ya hayo yote, akamsikia akiendelea, “ni msomi mwenye degree ya Sayansi na kilimo aliyo ipatia SUA huko morogoro, mwaka 1986, bahati mbaya akupata nafasi yoyote ya kuitumikia elimu yake, kutokana na nchi aliyo toka, kukosa eneo la na mfumo wa kilimo na mifugo” alisema Edgar, kisha akamtazama Radhia, ambae alikuwa ametoa macho kwa mchangao.


“vipi niendelee au umesha kumbuka kuwa uliwai kuniambia?” anauliza Edgar kwa namna ya utani, “endelea” anasema Radhia ambae anashindwa kuelewa Edgar ameyapata wapi hayo yote, sababu kunamengine ata yeye alikuwa ayajuwi kuhusu baba yake.


Edgar anacheka kidogo, “kwasasa ni mwalimu wa shule ya mwanakwelekwe A, anafundisha somo la biology katika madarasa matatu, yani kuanzia kidato cha pili mpaka cha nne, anaishi jangombe kwa soud, ana watoto saba kwa wake wawili, mtoto wake wa kwanza anafanya kazi Oman, na wapili ni muuguzi kwenye hosipital ya rufaha ya mnazi mmoja” alieleza Edgar, huku anacheka kidogo.


Radhia alibakia ameduwaa kama amemwona mkwe akiwa uchi, “umeyajuwaje hayo yote?” aliuliza Radhia ambae mpaka sasa alikuwa ajaionja ile juice yake, “siyo muhimu sana, cha msingi kufanya kazi serikalini katika madaraka makubwa, lazima taarifa zako ziwepo wazi” anasema Edgar, ambae anakunywa juice yake taratibu.


“lakini baba yeye ni mwalimu wa sekondari na siyo madaraka makubwa” anasema Radhia, kwa ambae bado yupo kwenye mshangao, “kunywa juice yako, wakati unanieleza ujumbe wangu, hayo mengine utayajuwa baadae” alisema Edgar, kwa sauti yenye masihara. . . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
saa tano usiku hii bado haujaleta mkuu
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI SABA: “lakini baba yeye ni mwalimu wa sekondari na siyo madaraka makubwa” anasema Radhia, kwa ambae bado yupo kwenye mshangao, “kunywa juice yako, wakati unanieleza ujumbe wangu, hayo mengine utayajuwa baadae” alisema Edgar, kwa sauti yenye masihara. . . . . ENDELEA….


Hapo Radhia anakumbuka kuwa, alidanganya kuwa anaujumbe toka kwa wazazi wake, “hoooo!, kumbe bado unakumbuka?” aliuliza Radhia huku anaangua kicheko, nakumshangaza Edgar, “kwahiyo ulikuwa unanidanganya?” anauliza Edgar kwa mshangao.


Hapo Radhia anakumbuka kuwa kama asipoeleza chochote, angeonekana wazi kuwa anatamani dudu, kwamaana anajipendekeza kwa mwanaume huyu, ili aliwe kitumbua, “sijakudanganya, wanasema…. wanasemaa”alibabaika Radhia akitafuta maneno ambayo kwa namna yoyote, yasinge leta madhara.


Maneno ambayo akutumia muda mefu kuyapata, “wamesema kuwa, asante sana kwa nguo za sikukuu ulizo tununulia” alisema Radhia, ambae pia anaona kuwa aikutosha kumleta nyumbani kwa kijana huyu, kumwambia asante.


Bahati nzuri akakumbuka alicho wai kusema mama, yake jana mchana, “pia wamesema nikukaribishe nyumbani, uniambie lini utakuwa na nafasi uje wakufahamu” alisema Radhia, huku anamtazama Edgar kwa macho ya tahadhari, akamwona anatabasamu, “wee!, wazee wame nikaribisha nyumbani, basi nitakuja jumamosi” alisema Edgar, akionyesha furaha kubwa sana.


Radhia akajikuta anatabasamu na kufurahi, kama vile kijana huyu amesema anakuja kuleta barua ya posa, “unasema kweli Edgar, nitafurahi sana” alisema Radhia na kushangaza kidogo Edgar, “kwanini utafurahi?” aliuliza Edgar, kwa sauti yenye mshangao.


Hapo Radhia anakumbuka kuwa aliropoka, “siyo mimi, watafurahi wakina baba kukufahamu” alisema Radhia akipindisha maneno, “usiwe na shaka, nitakuja, na kama kunalolote natakiwa kufanya juu ya ugeni wangu, basi utanieleza mapema” alisema Edgar, huku akimtazama Radhia, kwa macho tulivu macho ambayo yalimfanya Radhia ajihisi tofauti.


Radhia anatabasamu na kutazama pembeni, “karibu sana, lakini naomba ulizike na maandalizi nitakayo kufanyia” alisema Radhia, ambae anajuwa fika akuwa na uwezo wa kuandaa kitu, au chakula kizuri kitakacho stahili kwa mgeni kama Edgar.


Nazani Edgar alifahamu maana ya maneno ya Radhia, “sikia Radhia, wala sito itaji wazee wasumbuke kuandaa kitu kwaajili yangu, na kuvuruga mipango yao sababu ya siku moja, nitakupatia fedha za maadalizi, ili mchana wetu uwe mzuri, nije nile biliyan” alisema Edgar akimalizia kicheko cha utani, na kumfanya Radhia atabasamu, akiona kuwa wazo la Edgar ni zuri, ukweli isingekuwa vyema, kama familia itaingia garama kwaajili ya mgeni wake.


“Radhia anamtazama Edgar, anaona kama vile Edgar anamfahamu vizuri kuliko mtu mwingine anavyo ifahamu familia yake, ungesema ni mwanaume alie mchumbia akiwa anafahamu uwezo wa familia yake, Radhia alifikilia jinsi mama yake mkubwa na binti zake ambavyo wangeongea na kumsimanga kwa kuleta mgeni wa kuvuruga bajeti za familia, “nashukuru kupata rafiki anaefahamu uwezo wafamilia yangu” alisema Radhia, kwa sauti tulivu yenye usikuvu wa upole, na unyonge flani.


Nikama inamtia simanzi Edgar ambae anamtazama Radhia, ambae pia alikuwa anamtazama huku ametabasamu, Radhia anakwepesha macho yake, kwa kuona aibu ya kutazamwa usoni, “Radhia umependeza sana, nataka leo jioni upende zaidi” alisema Edgar, akiondoa ile hali ya simanzi waliyokuwa nayo.


Radhia anatabasamu kwa furaha na raha, “asante sana, lakini nimependeza kwa sababu yako” anasema Radhia kwa sauti nyororo, yenye kujawa na aibu, mchanganyiko na raha, “lakini uzuri wako ndio sababu ya kupendeza” alisema Edgar, huku anamrazama Radhia kwa utazamaji ule ule, ambao ulikuwa unampa shida Radhia, na kujihisi kama kuna kitu kinatekenye kwenye kiungochake cha uzazi.


Radhia anahisi kama anakaribia kushikwa mkono apelekwe ndani akaliwe kitumbua, na kwa hakika alihisi kabisa asingeweza kukataa, kwa jinsi alivyo legea, nabkia ametazama chini kwa aibu, anashinda kutabasamu, anajikuta ametulia, “ok!, nisubiri nikajiandae twende zetu tuka nunue nguo za kuvaa usiku, pia tumia muda huu kuongea na mama, kumjulisha ilo” alisema Edgar, huku anatoa simu mfukoni, na kuiweka sehemu ya picha.


Radhia akatabasamu na kuinamia chini, huku anamtazama Edgar, na machpo yao yana kutana, safari hii Radhia anatabasamu, huku anakwepesha macho yake, “nitaenda kumweleza nikifika nyumbani, simu yangu wanayo wakina Mu” alisema Radhia, kwa sauti tulivu.


“Hoooo!, umenikumbusha kitu, inabidi ukanunue simu kubwa kwaajili yako, maana nimeshindwa kukutumia picha ulizopiga jana pale Ikuru” alisema Edgar, huku anampatia Radhia simu, ili atazame picha za jana kwenye afla, Radhia alijikuta anashindwa la kufanya shangilie au apige kelele za furaha, mwisho anajikuta anaishia kutabasamu, huku anapokea simu.


Edgar anatembea kuingia ndani, Radhia ananza kutazama picha moja baada ya nyingine, huku anakunywa juice taratibu, akijionea picha ambazo zilimwonyesha vizuri akiwa na wakina mama wengine kwenye afla, alizopigwa na mdogo wake Mukhsin.


Kama aliangalia picha nakuzielewa, basi nizile ambazo za mwanzoni, lakini baada ya hapo akaanza kuwaza kuhusu safari ya kwenye taharab, na vile atakavyo nunuliwa simu ambayo akujuwa itakuwa lini, pia akawaza kuhusu ugeni wa juma mosi nyumbani kwao.


Radhia aliendelea kukutazama picha taratibu, huku anakunywa juice yake, na kila mala alikuwa anatembelewa na mhudumu alie waletea juice hapo mwanzo, japo nae alikuwa mfanya kazi wa ndani, lakini alikuwa mzuri na wakupendeza.


Na sasa alikuwa amesha fika kwenye picha ambazo aziku mhusu, maana zilionyesha Edgar akiwa sehemu mbali mbali duniani, pamoja na watu mbali mbali, waakiwepo viongozi mbali mbali duniani.******


Naaaaam!, Idd Kiparago akiwa ajuwi kinachoendelea kwa mke wake, huko alikoenda, bado alikuwa amesha simama pale barabarani kwa muda wa dakika alobaini na tano, huku mawazo na fikila zake zikimfanya azidi kuumia roho, “sijuwi anafanya nini muda wote huu, au ndiyo anatombw…” anajisemea Idd, huku anatoa simu yake na kusaka namba ya Radhia, kisha akaipiga.


Simu inaita huku Idd akiwa na inamni ndogo juu ya kupokelewa kwa simu ile, lakini bahati yake, simu iliita kwa muda mfupi, kisha inapokelewa, Idd akajikuta ana achia tabasamu pana, “hallow!, asalam aleykum” ilikuwa nisauti ya mschana mdogo, ni wazi alikuwa Zahara.


Tabasamu la Idd, linayeyuka, anakuja sura kwa hasira, anaondoa simu sikioni, na kuitazama kama amekosea namba, ana ona jina kwenye kioo cha simu yake, ni Radhia.


Idd anarudisha simu sikioni, “dada yako yupo wapi?” anauliza Idd, ambae anauhakika kuwa anaongea na Zahara, “dada ameenda kwa kumchukuwa kaka Edgar” alisema Zahara akitamka neno kaka, kama vile walivyo zowea kumwita.


Hapo kidogo Idd anapata unafuu, “kwanini hupo na simu yake, kwani yeye anasimu nyingine?” anauliza Idd, kwa sauti yenye amri, “amesema tuchukuwe hii, akifika watatupigia kwa simu ya kaka Edgar” anajibu Zahara.


Sijuwi kwanini Idd anapata mashaka kidogo, “unasema huyo Edgar ni kaka yako yupi, mbona mimi simfahamu?” anauliza Idd, akionekana kuwa na wivu, hapo nikama Zahara akachochwa kujibu kile aicho kisikia jana, wakiongea waheshimiwa, “ni mchumba wa da Radhia, wanataka kuowana” alisema Zahara, bila kujiuliza mala mbili. . . . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii Forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI NANE: Sijuwi kwanini Idd anapata mashaka kidogo, “unasema huyo Edgar ni kaka yako yupi, mbona mimi simfahamu?” anauliza Idd, akionekana kuwa na wivu, hapo nikama Zahara akachochwa kujibu kile aicho kisikia jana, wakiongea waheshimiwa, “ni mchumba wa da Radhia, wanataka kuowana” alisema Zahara, bila kujiuliza mala mbili. . . . . . ENDELEA….


Ilibakia kidogo Idd adoshe simu, lakini akajikaza kidogo, “mh!, wacha uongo wewe, kwani huyo Edgar ameshakuja nyumbani kutoa barua ya posa?” aliuliza Idd, akionekana wazi kuumizwa na kile alichosikia, “bado ajaja” alijibu Radhia, na hapo Idd akakata simu.


Idd alitulia kwa sekunde kadhaa anawaza juu ya kile alicho kisikia, anaona wazi kuwa Radhia yupo mbioni kuchumbiwa, lakini ni wazi kuwa bado nyumbani kwao awajamfahamu huyu mwanaume, inawezekana yeye kuingilia kati mipango hii, na kumpata tena Radhia, kuliko kuolewa na huyo Edgar.


Sijuwi anamaana gani, unaweza kuzania anamoenda sana, na anataka amrudie mkewake, lakini pengine anania ya kumwalibia asiwe na maisha mazuri, na akose furaha maishani mwake.


Ngoja niende kwao, aiwezekani, aolewe na mtu mwingine, isitoshe ni mtu kutoka nje, ambae atamtumia na akimaliza mkataba wake anamwacha na kuondoka zake, huku amesha mchezea, alisema Idd ambae akujuwa anamzungumzia mwanaume wa aina gani, na mwenye wadhifa upi.


Kabla ajapanda baiskeri yake, mala akaona geti linafunguliwa na likatoka gari dogo jeusi, aina ya BMW, likishika ueleko wa mjini, Idd analitazama bila kuona chochote ndani, kutokana na vioo kuwekwa vioo vya giza, yani tinted.


Gari linapita bilakisha Idd anapanda baiskeri yake, nakuanza kuporomoka kushuka upande wa mjini, baada ya mita kama mia mbili anachepuka kulia na kuingia kwenye chocholo inayoelekea jang’ombe.


Idd akujuwa kuwa, ndani ya lile gari dogo, ambalo lilikuwa na watu wanne, yani wanaume wawili waliovalia suit nyeusi waliokuwa kwenye seat za mbele, na pia mwanaume mmoja, alievalia kanzu nyeupe, na mwanamke mmoja, ambae ni Radhia wakiwa mekaa seat ya nyuma, waliweza kumwona vyema alipokuwa amesimama.


Radhia alimwona Idd, tena alimwona vyema kabisa, ikiwa ni miezi mingi toka apishane nae kwa bahati mbaya, ilimshangaza kidogo, kumwona maeneo yale, “inamaana ananifwatilia?” anajiuliza Radhia, huku wasi wasi ukianza kumshika, maana anaifahamu tabia ya kijana huyu, ya kuzusha maneno, kwa lengo la kuwaalibia wenzake.


Lakini baada ya kuwaza kwa muda mfupi, anaamua kumpuuzia, kwa kuona kuwa, alikuwa mwenyewe ndie Idd aliemtariki yeye, na siyo kwamba yeye Radhia ndie alie omba taraka.********


Ilikuwa hivyo hivyo kwa Idd, ambae alikatiza mitaa migombani, mpaka anaibukia jang’ombe, lakini alipofika jang’mbe kwa soud, akiwa amebakiza mita chache kufika nyumbani kwa mzee Makame, ndipo akakumbuka kujiuliza, anaenda kwa mzee huyu kuongea nini, kama nani.


Maana alikumbuka kuwa, ni yeye ndie alie toa taraka kwa Radhia, na siyo kwamba, Radhia aliomba taraka, tena mbaya zaidi ni kwamba, alimwacha mwanamke huyu kwa maneno makali.


Ata hivyo bado Idd alikuwa ametawaliwa na shetani wa fitina, kwamba lazima afanye kitu ambacho kita waachanisha Radhia na huyo mwanaume wake, nakitu chenyewe, ni kumtumia mtu kupeleka maneno ya uongo juu ya mtu ambae ata yeye akuwa anamfahamu ni nani, japo alihisi ni mfanyakazi wa kwenye nyumba ya mtu anae ishi pale. Sababu aikumkaa hakilini kuwa Radhia anaweza kuwa na mwanaume mwenye wadhfa mkubwa serikalini.


Idd anaondoka zake kurudi mjini, huku kichwani mwake anawaza kumpata mtu atake enda kupele maneno ya uongo kwa mzee Makame, ili kumchafua mtu ambae anahisi kuwa anataka kumchumbia Edgar.********


Saa moja jioni, Radhia na wadogo zake walikuwa wanaingiua nyumbani, wakitokea mjini, mikoononi mwao wakiwa na vifurusgi mbali mbali, kila mmoja akiwa mwenye uso wa furaha.


Tayari wakina Zahara na Mukhsin walikuwa wamesha cheza na kufurahi kule forodhani, huku dada yao Radhia akuwa na furaha kubwa iliyo changanyika na wasi wasi, wa vitu viwili.


Moja ikiwa ni kuulizwa kuhusu simu namavazi mapya aliyo kuja nayo, ikiwa ni pamoja na nguo, viatu, mtandio, hijab na mambo mbali mbali, kama vile vibanio vya hijab mkufu hear ring na bangiri.


Hakujari kuhusu sidiria na chupi nyingine mpya pamoja na gauni la kulalia, vitu ambavyo alikuwa fika wasingeweza kuviona, ni vitu ambavyo alivinunua mchana waleo, ajuwa matembezi na kijana Edgar.


Vitu ambavyo kuna wakati vilimpa wakati mgumu wakati wa kununua, mfano wakati anatoka kununua gauni wakiwa tayari wamesha nunua simu, wakaingia kwenye duka moja la nguo za kike na vipodozi, ambako walimkuta muuzaji wakike, binti mdogo mwenye mwonekano wa kuvutia.


“naomba hiyo nguo” alisema Edgar, akionyesha chupi nzuri iliyowekwa kwenye kijifuko flani cha chenye kuangaza, Radhia alipo iona ile nguo, mwanzo akuielewa wala kuitambua, kwamba ni nguo ya aina gani.


Nguo akakabidhiwa Edgar, ambae aliitazama kidogo, “nazani inakutosha” alisema Edgar huku anampatia Radhia, wakati huo walinzi wawili tayari walikuwa wamesha ondoka na gari, na kuwaacha wao peke yao.


Radhia anafungua kile kifungashio na kutoa ile nguo, ambazo anakuta zipo mbili, anaichukuwa moja kisha anaiweka vizuri na kuitazama vyema, lakini ghafla anaikunja kwa haraka, na kumtazama Edgar, ambae anamwona analipia kwa muuzaji, “nikiasi gani?” anauliza Edgar, huku anatoa wallet mfukoni.


Radhia anaitazama tena ile nguo, ambayo anaitambua kuwa ni chupi ya vijikamba kamba kamba, wenyewe awanaita bikini, nguo ambayo akuwai kuivaa, ata mala moja katka maisha yake, na akutegemea kama ata kuja kuivaa.


Radhia anawaza kwanini Edgar amenunua kile kinguo ambacho kilikuwa na kitambaa kidogo mbele, na kingine chembamba nyuma, huku sehemu kubwa ikiwa na kamba za kufungia ili iwe katika mkao wa chupi.


“hiyo set ni elfu ishilini” anajibu yule mwanamke, muuza duka, Radhia anatamani kumwambia Edgar asilipie, lakini anashindwa, maana angekosa sababu pale ambapo angeulizwa.


Edgar analipia ile nguo kisha Radhia anakusanya zile nguo na kuweka kwenye mfuko wake, wanatoka nje ya duka, huku Radhia anatamani kumwuliza Edgar sababu ya kununua ile nguo, lakini anashindwa anabakia kucheka, “nivyema ukiniambia na mimi uncho cheka, ili tucheke wote” alisema Edgar, wakati wanaingia kwenye duka jingine la nguo mchanganyiko.


“we mkorofi sana, sasa nguo kama ile nitaivaaje?” anauliza Radhia, huku anaendelea kucheka, Edgar nae anacheka kidogo, “nitakuvalisha mwenyewe” anasema Edgar kwa sauti yake nzito yenye masihara, Radhia anacheka zaidi, “utakwepo wakati navaa” anasema Radhia, huku anaendelea kucheka. . . . . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THERATHINI TISA: “we mkorofi sana, sasa nguo kama ile nitaivaaje?” anauliza Radhia, huku anaendelea kucheka, Edgar nae anacheka kidogo, “nitakuvalisha mwenyewe” anasema Edgar kwa sauti yake nzito yenye masihara, Radhia anacheka zaidi, “utakwepo wakati navaa” anasema Radhia, huku anaendelea kucheka. . . . . . . ENDELEA….


Hakika ungemwona Radhia wakati huo, hakika unge changanyikiwa kwa uzuri aliokuwa nao, “sasa tuangalie vitu kwaajili ya Zahara na Mukhsin kabla atujawapigia simu” alisema Edgar kabla huku wanaingia dukani.


Kumbu kumbu za watu, waliokuwa wana watazama kwa macho ya mshangao, zili mtawara Radhia, mpaka anafika nyumbani, akiwa na wadogo zake ambao kila mmoja alikuwa amebeba kijifuko, chenye vifungashio kadhaa ndani yake, vilivyo ifadhi chips na urojo, kwaajili ya wadogo zao.


Wanafika nyumbani, wanwakuta wakina mama wote wawili, na wakina Radhia, ambao awakumwona Radhia wakati anatoka, pamoja na watoto wale watatu wa kaka na dada yao, wakicheza pale kibaradhani, huku Zuhura akiwa anapika, “yani dada Radhia kila siku anaenda kutembea, anatuachia sisi tupike” analala mika Zuhura.


Hakuna alie mjibu Zuhura, kwa manaana kila mmoja anamwona ni mwongo na mlalamishi, japo mama Mariam na Mariam, wanaonyesha kukunja sura zao kwa chuki, mala baada ya Radhia kufika pale nyumbani.


“asalam aleykum” anasalimia Radhia, akiwa amesha kaa kwenye mkeka, na mfuko wake, “aleykum salaam” wanao itikia ni mama Radhia na mama Mariam, lakini Zuhura na Mariam awaitikii, wanamkata jicho la pembeni dada yao.


“zahuko utokako?” anauliza mama Radhia, ikiwa ni sehemu ya salamu, “kwema tu, ila niliondoka ukiwa umelala, sikutaka kukuamsha” alisema Radhia, huku anainuka, “madam ulisha niambia, wala usiwe na hofu” anasema mama Radhia, huku na yeye anainuka, na kumfwata Radhia ambae sasa alikuwa anaongoza kuingia ndani, akiwaacha Mukhsin na Zahara, wanagawa chips na urojo kwa wale watoto, Zahara na Zuhura wakiwa wanatoa macho ya tamaa na urafi, huku riho zao zikiwa zina wauma sana.


Bahati ilikuwa upande wao, maana Mukhsin alimpatia Khadija chips zake, kisha akawapatia wakina Mariam chips mbili na urojo mbili, japo Mariam alitakla kujikausha asionyeshe kufurahi, lakini ilishindikana, “mh!, leo umetukumbuka” alisema Mariam huku anaaachia tabasamu pana la uchu, lakini Mukhsin akuongea chochote, zaidi aliingia ndani.


Mukhsini anafika ndani ambako anawakuta mama yake na dada yake mkubwa, wanasalimiana na baba yake, “baba kuna rafiki yake Mukhsin ambae ulimweleza mama tumkaribishe hapa nyumbani, amesema atakuja jumamosi” alisema Radhia, kwa sauti yenye nidhamu na heshima.


“hoooo!, sawa, ni yule barozi, lakini mbona ni ghfla hivi, si angesubiri angalau tarehe za mwisho wa mwezi, angalau tupike kijipalau?” anauliza mzee Makame, “lakini baba kuhusu maandalizi nitaangaikia mwenyewe” alisema Radhia, ambae muda wote alikuwa ameinamisha kichwa chini.


“kama ni hivyo sawa, tunamkaribisha” alisema mzee Makame, lakini bado Radhia alikuwa ameganda pale pale, “pia baba, kama sito kukwaza naona leo niende kwenye tamasha la taharab” alisema kwa sauti yenye uoga na tahadhari kubwa.


Hapo mzee Makame akamtazama mke wake, ambae alimpa ishala ya kukubari, “sikia Radhia, wewe tayari ni mwanamke mkubwa sasa, naamini unafahamu zuri na baya, ns unaweza kujisimamia, hivyo mimi sina pinga mizi, cha msingizi zingatia heshima yako” alisema mzee Makame, na kumfanya radhiua aachie tabasamu pana la furaha.


Baada ya hapo Radhia na mama yake wakaelekea chumbani kwa Radhia, ambako walianza kufungua ule mfuko wa Radhia, ambamo mlikuwa na vitu kadhaa wakadhaa, pamoja na nguo za Zahara na Mukhsin, kwa hiyo mtarudi saa ngapi, huko kwenye taharab?” aliuliza mama Radhia, huku anakagua gauni zuri la Radhia, ambalo lilikuwa linamwonekano wa vazi zuri la mtoko wa usiku, japo lilikuwa na ika sifa ya kuitwa nguo ya heshima.


“sijajuwa itaisha saa ngapi, lakini ata kama niusiku sana, Edgar atanirudisha” alisema Radhia, ambae akufikilia atafunguliwa mlango na nani, na ata mwamshaje, “sikia Radhia ikivuka saa sita usiku, nakushauri ulale huko huko, nazani huyo mwanaume atakuwa na chumba cha wageni, maana ukirudishwa na gari usiku mpevu, na watu wakisikia, lazima watachungulia kuona nani anarudishwa usiku hivyo, baada ya hapo yataanza maneno ya uzushi” alisema mama Radhia, kwa sauti ya chini.


Na hapo Radhia akamtazama mama yake kwa macho ya mshangao, “sasa baba atasemaje kama nikilala kwa Edgar?” aliuliza Radhia kwa sauti ya chini, na yenye mshangao, “nita mwambia umenipigia simu kwamba unalala kwa rafiki yako, sababu muda ulikuwa umeenda sana” alijibu mama Radhia kwa sauti ile ile ya chini.


Hapo Radhia anatumia sekunde chache kuwaza jambo, kichwani mwake, inapita picha akiwa nyumbani kwa Edgar, anajiandaa kulala, anajiuliza wakati huo yeye na Edgar watakuwa chumbani kimoja, au kunammoja atakuwa chumba cha mwenzie.


Kwake kulala na mwanaume chumba kimoja siyo jambo geni, lakini iwe ni mwanaume ambae ni mume wake, japo moyoni mwake alisha wai kusema kuwa endapo Edgar ataomba kitumbua yupo tayari kumwachia, ata kama atoitaki kuishi nae, maana ukiachulia upando alionao kwa kijana huyu, pia kijana huyu, ameonyesha kupenda na kuwajari yeye na ndugu zake.


“sawa, lakini mimi siwaamini wanaume, anaweza kunishawishi” alisema Radhia, ambae alimshangaza mama yake, “inamaana ajakueleza chochote, toka mlipoanza kufahamiana?” anauliza mama Radhia kwa sauti ya chini yenye mshangao, “Radhia anashindwa kujibu kwa mdomo, baada yake anakataa kwa kichwa.


Inamshangaza mama Radhia, ambae mpaka anatoka chumbani na kumwachia nafasi binti yake ajiandae kwa mtoko wa jioni, kwenye taharab, alikuwa bado anatafakari juu ya alicho kisikia kwa binti yake, kuwa kijana Edgar bado ajamtamkia chochote kuhusu mapenzi.


Radhia nae anatazama saa kwenye simu yake mpya, kisha anaanza kuiandaa kwenda kuoga, huku kichwani mwake anawaza namna atakavyo mwambia Edgar kwamba, ata lala kwake, “sijuwi atanikubalia” anajiuliza Radhia, ambae pia anawaza kama Edgar akikataa yeye atafanyaje.


Hakika angeshindwa ata kumtazama tena kijana huyu, “siitakuwa aibu sana kukataliwa na mwaume, kwanza nikimwambia nataka kulala kwake ataniona mimi Malaya” anawaza Radhia, ambae mwishoni anapata wazo, “nitatumia ujanja wa kumwambia, asiposema mwenyewe narudi nyumbani mapema” anajisemea Radhia, ambae bado ananukia udi, ambao alipanga ajiongenzee mwingine baada ya kuoga.*******


Saa tatu usiku, mji ulikuwa umeanza kupoa, watu wachache walikuwa nje ya nyumba zao, ila wengi wao walikuwa ndani ya nyumba zao, ngurumo chache za magari na pikipiki, zilisikika kwambali.


Kituo cha dala dala cha mchina mwanzo, watu walikuwa wamebakia wachache, wanamalizikia kuelekea majumbani kwao, anaonekana mwanamke mmoja mrembo alie valia vizuri gauni lake refu lenye kung’aa kwa nakshi zake, kuanzia gauni adi mtandio hijab na nicab iliyoziba uso wake, wengi uita ninja, huku amebeba mkoba mzuri wakike, uliotuna vyema, ukionyesha kuna nguo. . . . . . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Aisee nilijikaza nisi- comment lakini imenibidi kufanya hivyo

Mwanzo naanza kusoma niliona story ya kawaida sana ,, lakin sasa naona ni story nzuri yenye mafunzo mengi sana ndani yake

Huku nyuma ,, kuna watu walikosoa uandishi wako ,, wakisema unachapia maneno lakin wengi hawakuwa sahihi kuwa

Mwandishi unaandika kwa kutumia kiswahili cha watu wa visiwani jambo linalopelekea story iwe nzuri zaidi kwasisi watu ambao tunawajua watu wa visiwani vile wanaongea
 
Aisee nilijikaza nisi- comment lakini imenibidi kufanya hivyo

Mwanzo naanza kusoma niliona story ya kawaida sana ,, lakin sasa naona ni story nzuri yenye mafunzo mengi sana ndani yake

Huku nyuma ,, kuna watu walikosoa uandishi wako ,, wakisema unachapia maneno lakin wengi hawakuwa sahihi kuwa

Mwandishi unaandika kwa kutumia kiswahili cha watu wa visiwani jambo linalopelekea story iwe nzuri zaidi kwasisi watu ambao tunawajua watu wa visiwani vile wanaongea
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI: Kituo cha dala dala cha mchina mwanzo, watu walikuwa wamebakia wachache, wanamalizikia kuelekea majumbani kwao, anaonekana mwanamke mmoja mrembo alie valia vizuri gauni lake refu lenye kung’aa kwa nakshi zake, kuanzia gauni adi mtandio hijab na nicab iliyoziba uso wake, wengi uita ninja, huku amebeba mkoba mzuri wakike, uliotuna vyema, ukionyesha kuna nguo. . . . . . . . ENDELEA….


Akiwa amesimama huku anaongea kwa simu, hawa mjuwi mshana huyu, napia awasikii anacho ongea yule mwanamke mrembo, ambae akai sana, mala linaonekana gari dogo jeusi, aina ya BMW, ambalo linakuja na kusimama karibu yake.


Bila kusubiri mschana mrembo alie valia nicab, anafungua mlango wa gari nakuingia ndani, anafunga mlango, kisha anatoa nicab kichwani, huku anamtazama mwanaume alie valia suit ya kijivu aliekaa kwenye seat ya dereva, ambae ni kijana Edgar, “asalam aleykum” anasalimia mwanamke mrembo ambae kwa anae mfahamu basi angekubariana na mimi, kwamba usiku wa leo alipenda na kuwa mzuri zaidi ya uzuri wa kuandika kwenye maelezo yangu.


“aleykum salam, nikuambie kitu Radhia” anasema Edgar, kwa sauti tulivu, huku anaondoa gari taratibu, kushika uelekeo wa Amani, Radhia anaingiwa na shaka, akijuwa kuwa sasa andio anatongozwa, nasyo kwamba aliogopa kutongozwa, ila alikuwa na wasi wasi wa jibu ambalo angelitoa kwa mala ya kwanza, je Edgar atakuwa na muda wa kumbembeleza.


Maana kiukweli licha ya kumpenda na kumtamani kijana huyu, lakini Radhia akupanga kusema ndiyo kwa ombi la kwanza, “niambie tu” alijibu Radhia kwa sauti iliyo anza kulegea kwa aibu, akiwaza kukabiliana na utongozwaji, “hivi mumeo alikuacha au wewe ndiyo uliomba taraka?” lilikuwa swali, na siyo kama Radhia alivyo fikilia.


Radhia anatabasamu kidogo, “naanzaje kuomba taraka, kwetu taraka ni dhambi kubwa sana asa kwa yule anae iomba” alisema Radhia, kwa sauti iliyoanza kuchangaka, baada ya kuona alichofikilia sicho, “siwezi amini kama, kuna mwanaume ambae, anaweza kumwacha mwanamke mzuri kama wewe” alisema Edgar kwa sauti tulivu ya upole, yenye utulivu wa hali juu.


Hapo Radhia ana hisi raha moyoni mwake, anahisi kutamani kulala kwa kifua kwa kijana huyu akumbatiwe kwa mikono ya kijana huyu, “angalau kuna mwanaume anauona uzuri wangu, lakini watoto ni muhimu kuliko uzuri” anasema Radhia kwa sauti ambayo ungesema ni ya kudeka, lakini ukweli ni kwamba, macho yake yalikuwa yamesha jaa machozi.


Kitu ambacho Edgar alikigundua mapema, ni baada ya kumwona Radhia anataka kujifuta kwa kutumia mtandio wake, Edgar anawai na kumtolea tishu, kwenye kimkebe chake, “nikuambie kitu Radhia” anasema Edgar, huku anampatia Radhia tishu, wakati safari inaendelea.


Radhia anaitikia kwa kichwa, kukubari kwamba aambiwe, huku anapokea tishu na kufuta machozi, “utapata watoto wengi sana, inshu kama yako uwa inatokea mala nyingi, kama mimba ingekuwa ni kitu cha kawaida, ningekupa ata leo, lakini ndiyo hivyo tena” alisema Edgar na wote wakacheka, “Edgar we mkorofi sana” anasema Radhia, huku anarudisha uchangamfu wake.


Wanaongea ili na lile, huku wanaendelea na safari yao, sasa wamebakiza mita chache kufika bwawani hotel, tayari wamesha anza kusikia sauti ya music toka bwawani hotel, mbele yao wanaiona pikipiki aina ya vesper, kuna mwanaume aliembeba mwanamke, wanaipita ile vesper, Radhia anaitazama kwa ukaribu, anamwona yule mwanamke alie bebwa, anahisi kama anamfahamu, anamtazama vizuri tumboni, maana amesikia kuwa ni mjamzito, analiona tumbo kubwa.


Radhia anashtuka, maana huyu anae mwona ni Ashura, alie wai kuwa mke mwenzie, lakini anacho fahamu nikuwa Idd akuwai kumiliki vesper, hivyo anamtazama dereva kwa umakini, bahati nzuri wote awajavaa kofia ngumu, hivyo inakuwa rahisi kwake kumwona dereva.


Radhia anajikuta jikuta anaachama mdomo kwa mshangao, “kumbe ni kweli” anajisemea kimoyo moyo, huku anatazama mbele, ni baada ya kumwona nakumtambua dereva wa ile vesper, kuwa ni kijana Shaban, ambae siku za nyuma alisha wai kusikia tetesi za kwamba, anatembea na mke mwenzie, yani Ashura, na alisha sikia hadithi yao zamani.


Tayari wamesha ipita pikipiki, yani vesper, ambayo ina tembea nyuma ya BMW, Ashura amevalia gauni pana la kuvutia, ambalo kama akisimama unaweza usijuwe kuwa ni mjamzito, kichwani akuvaa kitu chochote, zaidi ya mtandio alio umwaga mabegani.


Pia Shabani nae alikuwa amevalia suruali ya jinsi, raba na tishert, wanatembea taratibu na piki piki yao, kama vile walikuwa ni wapenzi halali, au wanandoa wakisheria.


Walikuwa wanaelekea bwawani hotel, ilikuwa baada yakunyaduana mchana na kujipumzisha, kidogo kabla Shabani ajampeleka Ashura kwa dada yake, ambako alimfwata baadae kuja kujiandaa kwaajili ya kuelekea bwani hotel.


Wakati huo huo Idd alikuwa nyumbani, amejilaza kitandani na mke mdogo, alie jilaza pembeni yake, akiwa na chupi tu, nikama Idd akuwa anaona chochote, maana dudu yake aikushtuka ata kidogo, zaidi alikuwa anawaza mtu wakwenda kuvuruga kwa kina Radhia ili wazazi wake wampige marufuku, kukutana na kijana huyo mwingine.


Ebu ona, Idd anawaza kumwaribia Radhia, ambae alisha mtariki, wakati huyu mke wake, alie lala pembeni yake, anashindwa ata kuweka mkono kwenye kitumbua, achana na hiyo fikilia kuhusu mke mkubwa, ambae sasa yupo njiani, anaelekea kwenye Taharab na mwanauime mwingine, ikiwa tayari amesha liwa kitumbua mchana mchana.


Achana na Idd, na masaib yake twende bwani hotel, ambako tunapokelewa na sauti ya juu ya music, yani vyombo vilivyopigwa kwa usadi wa hali ya juu, sambamba na sauti za waimbaji, zilizo imba kwa mahili mkubwa.


Pale nje tunaona magari kadhaa, mengi yakiwa ya kukodi, sambamba na watu wengi waliokuwa wanalipia na kuingia ndani, wakari huo huo, tuna waona watu wanne wanashuka toka kwenye taxi, yani wanawake wawili na waume wawili.


Ambao katika hadithi yetu, wana wake awa tuna watambua kwa majina yao, yani Amina yule muhuguzi wa mnazi mmoja hospital, alie ambatana na mume wake, na Siwema ambae aliambatana na mchepuko wake.


Hakika walikuwa wamependeza kiasi chake, wanatoka wale wanaume wawili wanaenda kukata tiket za mchaganyiko, wakiwaacha wanawake wao wana wasubiri, awatumii muda mrefu wanarudi na tiket mkononi, “cheki chuma hiyo kaka” anaema mume wa Amina, huku wakiwa wamesha wafikia.


Mwanzo wakina Amina walitaka wazarau, “hii chuma ya maana kaka, sisi tukijitaidi sana, tutaishia kwenye Toyota” wakina Siwema nao wanajikuta wanatazama.


Hapo wanaliona gari dogo jeusi, aina ya BMW, ambalo linaenda kusimama kwenye maegesho, “tunasubiri nini sasa, tuingie ndani, tunaweza kupata angalau sehemu ya kukaa tukichoka” anasema mchepuko wa Siwema. . . . . . . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
muendelezo tafadhali.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA MOJA: Hapo wanaliona gari dogo jeusi, aina ya BMW, ambalo linaenda kusimama kwenye maegesho, “tunasubiri nini sasa, tuingie ndani, tunaweza kupata angalau sehemu ya kukaa tukichoka” anasema mchepuko wa Siwema. . . . . . . . ENDELEA….


Wote wanaanza kutembea kuufwata mlango mmoja kati ya mitatu, yakuingilia ukumbini, mlango ambao ulikuwa na watu wengi, kuliko milango yote, “hoya unamwona yule jamaa, ni barozi wa #Mbogo_Land, yupo na mtoto mkali kinyama” anasikika mtu mmoja pale kwenye foleni ya kuingia ukumbini.


Wakina Siwema wanajikuta wanageuka kutazama, na hapo kwa macho yao wanamwona kijana Edgar, ambae siyo mgeni machoni pao, pia wanamwona alie ongozana na kijana huyo, ambae anawafanya Siwema na Amina, watazamane kwa macho ya mshangao pasipo kuamini wanacho kiona.


Wanashindwa kuongea lolote, wanatazamana tena, kule ambako wako wale wapenda nao wawili, ambao walikuwa wameshikana mikono, ambako anaonekana Radhia aliekuwa amependeza kwa gauni lake, sasa hivi akuwa na hijab, baada yake alikuwa amelaza mtandio mabegani, huku nywele zake ndefu na nyeusi, zikiwa zimelala mgongoni mwake.


Sekunde chache nyuma, wakati bado Radhia na Edgar awajashuka toka kwenye gari, yani wakati gari liliposimama kwenye maegesho, Radhia akatazama nje kule kwenye mlango, akaona watu kadhaa wakiingia ukumbini, huku vichwa vyao vikiwa wazi, yani awajavaa hijab.


Akamtazama Edgar, huku uso wake ukiunda tabasamu lenye mzani wa aibu, “samahani Eddy, unaomba unilihusu ni vue hijab, kama aitokuwa mbaya kwako” alisema Radhia kwa sauti iliyo jaa aibu.


Edgar ambae alikuwa anachukuwa tiket toka kwenye dash board, alimtazama Radhia, ambae sasa alikuwa ameficha uso wake, kwa viganja vya mikono yake, “sikia Radhia” alisema Edgar huku anapeleka mkono wake kwenye bega la Radhia na kulaza kiganja chake kwenye baga la mwaname huyu, ambae kwa mala ya kwanza Edgar anahisi joto tamu kwenye bega lake.


“kuwa huru unapokuwa namimi, fanya chochote unakacho kiona kinakupa furaha, nunua chochote ambacho ambacho kinakupa raha, mladi kisiwe na madhara kwetu” alisema Edgar, huku Radhia ambae mkono wa kijana huyu ulimsisimua utazania ameshikwa ziwa, anaitikia kwa kichwa.


Radhia anaondoa hijab kisha wanashuka toka kwenye gari, huku anaacha mkoba wake ndani ya gari ilo, “nazani usiku wetu umekuwa mzuri” alisema Edgar huku anaudaka mkono wa Radhia, na kuanza kutembea wakiwa wameshikana mikono.


Radhia anajisikia raha sana kushikwa mkono, anajihisi tayari ni mpenzi wa Edgar, lakini anashindwa kuyaimili macho ya watu yanayo watazama, mtu mmoja anawafwata na kuwaelekeza mlango wa VIP, nao wanaufwata na kuingia ndani, sekunde chache baadae wanaufikia na kutokomiwa ndani.


“yani kuna wakati natamani kuamini lakini nashindwa, ujuwe lile gauni alilovaa ni ghalama sana” anasema Amina, huku Siwema akiwa ameganda kama zezeta, niwazi kabisa alikuwa aja amini anacho kiona.


Siwema anapo ingia ndani ya ukumbi, anatazama upande wa VIP A, ambako anamwona mdogo wake Radhia, akiwa karibu klabisa na kijana huyu mrefu mweusi kiasi aliependezeshwa na suit yake ya kijivu, wana salimiana na baadhi ya watu wakubwa na mashuhuri, waliokuwa wamekaa kwenye meza zao, kama siyo wawili wawili, basi wanne walio amua kukaa meza moja, kutokana na urafiki wao, japo tiketi zilikuwa ni VIP A, ambazo watu ukaa wawili meza moja.


Siwema anamwona mdogo wake, alie pendeza kweli kweli kwa viatu na nguo za gharama kubwa, akiwa karibu kabisa na kijana alie ongozana nae, tena kijana mtanashati, kijana ambae anatajwa kuwa ni barozi wa #Mbogo_Land, wote wakiwa na nyuso za furaha, huku Radhia akionekana kama mke wa mtu mkubwa, au ni mschana toka katika familia ya kitajiri.


Siwema na Amina wanaendelea kumtazama Radhia, ambapo anamwona Radhia na mwanaume alie ongozana nae, ambae anakila dalili ya kuwa mpenzi wake, wakiendelea kusalimiana na watu hao wenye nyadhifa kubwa serikalini, wakiwa na wake zao au waume zao sambamba na wafanya biashara wakubwa, walio salimiana nao na kuongea mawili matatu waklicheka kwafuraha, ilionyesha wazi ni watu wanao fahamiana.


Siwema na Amina awaachi kuwatazama wakina Radhia, ata wapo maliza kusalimia, na kwenda kwenye meza yao ambayo ilikuwa na viti viwili tu, haraka sana wanaletwa vinywaji na vyakula.


Siwema anashindwa kucheza music anaendelea kumshangaa mdogo wake, ambae sasa anaona jinsi yule kijana anavyo fungua box la juice na kuimiminia kidogo kwenye glass, kisha anasogeza kwa Radhia alie kaa nae karibu kabisa, huku yeye akifungua chupa ya wine na kujimiminia kwenye glass yake.


Siwema anajikuta anaumia, anapomwona mdogo wake, anaendelea kunywa juice huku anaongea na yule kijana, na kucheka kwa furaha, kama ungemwona Siwema muda huu, ungesema yeye na Radhia ni maadui, au amemchukulia mume wake.


“Siwema, umezidi kushangaa, ebu tukakae paleee, kabla watu awajawai vile viti” anasema Amina, huku ana mshika mkono Siwema na kumwongoza upande wenye viti, ni kule ambako, wanaume wao walitangulia, “yani natamani niende nikamtimue aende nyumbani, sijuwi amemuaga nani yule mjane” anasema Siwema kwa sauti yenye hasira na chuki, kiasi cha kumfanya Amina achekee pembeni.


Siwema anakosa la kufanya, anaenda kukaa kwenye kiti, wanaume wawiuili wanaenda kufwata bia, wakiwaacha Amina na Siwema wanakodoa macho kule walikokuwepo Radhia na Edgar, ambao awakuwa na habari kama kuna watu wanwatazama muda wote.


Wakati huo huo, Ashura na Shabani ndio walikuwa wanaingia pale bwawani hotel, baada ya kuegesha vesper yao, wakiwa makini sana kukwepa watu wanao wafahamu, wanakata tiketi, kisha wanaingia ndani, na kwenda kutafuta sehemu ya kujibanza, kwakuwa watu awakuwa wengi waliokaa, wengi walikuwa wakisheza music, wanafanikiwa kupata viti viwili, ambavyo avikuwa na meza, tena vilikuwa pembezoni mwa ukumbi.


Edgar na Radhia wanaendelea kula taratibu, huku wanashushia kwa vinywaji vyao, wakisindikizwa kwa music mzuri, “ni raha ukiwa umeenda sehemu alafu hupo na mwanamke mzuri kuliko wote” alisema Edgar, kwa sauti yachini, huku amesegea karibu na Radhia, ambae alicheka kicheko cha taratibu, huku uso wake ukionyesha kujawa na aibu.


“Edgar bwana acha kkusema hivyo najisikia aibu” anasema Radhia, kwa sauti iliyojawa na aibu, “unazani na kutania, ebu kwanza uone” anasema Edgar, huku anatoa simu yake na kuweka sehemu ya kupigia picha, kisha anaweka camera ya mbele, na kupiga picha binafsi, yani selfie, iliyo mkuta Radhia akicheka kwa aibu.


“ebu tazama ulivyo pendeza” anasema Edgar huku anamwonyesha Radhia picha aliyo ipiga, Radhia anae anaitazama huku anatabsamu, “mbona wakawaida tu” anasema Radhia huku anakwapua simu ya Edgar, na kuitazama vizuri ile picha ambayo inawaonyesha wote wawili, Radhia ajitazami yeye mwenyewe, anatumia sekunde hamsini kumtazama Edgar.


“unaona ulivyo pendeza hen?” anauliza Edgar, huku anainua wine na kuinywa kidogo, “mh!, wala sijapendeza” anajibu Radhia, kwasauti yake tamu, huku anacheka cheka, wakati huo ametamani kuwa na picha ya Edgar kwenye simu yake......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
Hapa kwenye uongo wako sasa,wewe niwakufinywaa
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA MBILI SABA: “unaona ulivyo pendeza hen?” anauliza Edgar, huku anainua wine na kuinywa kidogo, “mh!, wala sijapendeza” anajibu Radhia, kwasauti yake tamu, huku anacheka cheka, wakati huo ametamani kuwa na picha ya Edgar kwenye simu yake......... ENDELEA….


Radhia anampatia Edgar simu yake, “ebu piga picha kwenye simu hii, nione kama inatoa vizuri” anasema Radhia, huku anatoa simu yake kwenye pochi ndogo, maana mkoba mkubwa aliuacha kwenye gari, Edgar anaipokea simu ya Radhia, ambayo ilinunuliwa kwa fedha ya kitanzania shilingi lakin saba, “hii simu inatoa picha nzuri sana, ni vyema kama utakuwa na account ya mtandao wa kijamii kabisa” anasema Edgar, huku anachukuwa simu na kuweoa sehemu ya kupigia picha, “basi utanifungulia maana mie siwezi” anasema Radhia akiwa amesogea karibu kabisa ya Edgar, akichungulia kila kinachofanyika.


“cheki unavyo onekana bomba, utazani sultana” alisema Edgar, kwa sauti iliyo jaa utani, wakati anapiga picha, na Radhia akajikuta anatabasamu na kuzuwia kicheko, safari hii akucheka kabisa.


Edgar anapicha kadhaa katika kona mbali mbali, ambazo ziliwaoyesha vizuri kabisa, kisha akampatia Radhia simu yake, nae kaanza kukagua picha zake, huku wanaendelea kula na kunywa, “aya nifungulie sasa, lakini si hakuna mambo ya kiuni?” anauliza Radhia huku anampatia Edgar simu yake.


Na Edgar anaanza utaratibu, wa kufungua account ya mtandao wa kijamii, kwenye simu ya dada wa rafiki yake, huku wakiendelea kula na kunywa, na mala kadhaa wakitazama wapigaji music na waimbaji wao, pia watu waliokuwa wanacheza.


Naaaaam! muda ulizidi kusonga, sasa ilisha timia saa tano za usiku, Siwema ambae sasa alikuwa anacheza music huku chupa ya bia aikiwa aitoki mkononi mwake, maana ilikuwa bandika bandua, licha ya kuwa alikuwa amelewa kiasi flani, lakini akuacha kumtazama Radhia kule aliko kuwa amekaa na yule kijana mtanashati, huku kila sekunde akiona chuki inazidi kupanda moyoni mwake, “yani ameshindwa ata kuwachukuwa wakina Mariam, alafu anakuja kulipiwa tiket ya VIP A, kama siyo roho mbaya nini” Siwema anamwambia Amina, huku wanacheza taratibu, wao wawili, wakati waume zao wamekaa kwenye viti pembeni.


Sasa anamshangaza ata rafiki yake Amina, maana yamesha pita masaa mawili toka walipomwona Radhia, “jamani Siwema bado tu unae Radhia, achana nae utaongea nae kesho” alisema Amina, nikama anamsihi mwenzie, “yani nimempania kama nini, kesho mapema namfwata huko huko nyumbani, ata niambia alie mluhusu, na ataniambia kwa nini aliwaacha wakina Mariam” alisema Siwema ambae alionyesha kuchukizwa na kitendo cha Radhia kuja peke yake, bila wakina Mariam, na wakati ameingia kwa shilingi lakini moja na hamsini.


“ebu ona ile simu aliyo itoa si lakini saba ile, ameitoa wapi” alisema Siwema, huku anawatazama wakina Radhia, ambao kwa mwonekano wao usiku ule, hakuna ambae angeuliza kama ni wapenzi.


Achana na wakina Siwema, angalia kwa Shabani na Ashura, ambapo ungemwona mala chache Ashura anainuka na kucheza na Shaban, music uliokuwa unapigwa moja kwa moja, au wakati mwingine ungemwona Ashura anacheza peke yake, mbele ya Shabani alie kaa kwenye kiti, au ungewaona wote wamekaa kwenye viti vyao wakitazama music.


Lakini wakati flani music unaendelea ndipo Ashura alipo shikwa na mkojo, akamweleza mpenzi wake shabani kuwa anaenda chooni, na vyoo vilikuwa kwa madaraja kutokana na hadhi uliyongia nayo pale ukumbini, maana VIP A wengi walikuwa ni viongozi wa serikali, kama siyo wafanya biashara wakubwa, au wake zao, au wake wa viongozi, hivyo waliweka utaratibu huo, kutunza hadhi zao.


Wakati huo huo, tayari Radhia na Edgar wealisha maliza kula, na sasa walikuwa wanendelea kupata vinywaji, ndipo alipofika mama mmoja mke wa waziri wa elimu, ambae alifahamiana na Radhia siku iliyopita, kwenye afla ya Ikuru, “samahani shemeji, naomba bibie anisindikize chooni mala moja” alisema Edgar, ambae licha ya kuishi maisha ya kizungu kwa muda mrefu, lakini pia alifahamu taratibu za Kiswahili, maana baba yake na kaka yake, ni watu ambao walihisi Tanzania kwa muda mrefu.


“bila shaka shemeji, pengine na yeye anaweza kuwa anaitaji kwenda huko” alisema Edgar kwa utani, Radhia na yule mama wakacheka kidogo, “umejuwaje, maana hapa nilitaka nikuamshe unipeleke chooni” anasema Radhia kwa sauti yenye utani, huku anainuka huku anaweka simu yake mezani.


Kisha wanatembea kuelekea upande wa vyoo, ambavyo ni vyoo vya kisasa, vilivyopo kwenye kolido moja, isipokuwa vimegawanywa kwa milango miwili, mlango wa kwanza una vyoo vya mchanganyiko, ambako ungekuta vya kike na vyakiume, na mlango wa pili una vyoo vya VIP, ambayo ungekuta vya kike na vya kiume, na pia kuna mabafu ya kisasa.


Mpango huo ulisimamiwa na askari wawili, wakike na wakiume, wa kampuni binafsi ya ulinzi, iliyopewa jukumu la usalama pale hotelini, hivyo hao wawili walihakikisha kila mmoja anaingia kwenye choo chake, kitokana na hadhi yake.


Siwema anaona anaona jinsi yule mama ambae anafahamika kuwa ni mke wa waziri wa elimu, akiondoka na Radhia kuelekea upande wa vyooni, nae anamwambia Amina, nakuja sasa hivi” alisema Siwema, huku anatembea kuelekea upande wa vyooni, akuwa katika hali ya kawaida, Amina nae akamfwata kwa haraka.


Wakati huo tayari Ashura alikuwa amesha maliza kujisaidia, akajiweka sawa na kutoka chooni, ile anatoka kwenye vyoo mchanganyiko, na kuibukia kolidoni, anamwona mwanamke mrembo sana alie fanana na Radhia, akiwa na mama moja ambae anamfahamu kuwa ni mke wa kiongozi tena ni waziri wa elimu, wakiwa wanakuja mbele yake.


Ashura anashtuka sana, anamkazia macho Radhia, ambae pia anamtazama lakini aonyeshi kushtuka, Ashura anaona yule mwanamke amefanana kwakila kitu na Radhia, yani mke mwenzie, ambae kuachika kwake, yeye aliusika kwa kiasi kikubwa sana.


Lakini tofauti ni kwamba, huyu anaem mwona mbele yake, ni mzuri zaidi na ukiachilia nguo za gharama alizo vaa, amependeza kupita kiasi, “asalam aleykum da Ashura” anasalimia mwanamke mrembo, na kumfanya Ashura atoe macho ya mshangao wa wazi kabisa, “he!, Radhia kumbe nikweli jana nilikuona kwenye TV” anasema Ashura, kwa mshangao huku anamtazama Radhia, ambae akujibu kitu zaidi ya kucheka.


“wacha kwanza tujisaidie maana tunaweza kuchafua” anasema yule mama, huku wanapitiliza kuingia vyoo vya VIP, wakimwacha Ashura akiwa anashangaa, na wakati huo huo Ashura anamwona Siwema anaibukia pale kolidoni akitokea ukumbini, nyuma yake Amina anamfwata mbio mbio. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
Back
Top Bottom