SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA SABA: Radhia alishindwa kuendelea kuongea, kutokana na kilio cha kwikwi, Edgar anatoa kitambaa chake mfukoni, na kumpatia mke wake, ambae anakitumia kujifutia machozi, “baba nazani na wewe umeona kilicho tokea, sijuwi unasemaje juu ya ili” alisema mzee Makame akimtazama Edgar, ambae muda wote alikuwa anasikiliza. ........ ENDELEA….


“ukweli mzee wangu, mimi sina la kusema, maana ili ni swala la ndugu kusameheana, cha msingi ni kuweka mbele upendo, ili watu waishi kwa amani, na kusaidiana” alisema Edgar, kwa ile sauti yake nzito na tulivu.


Hapo mzee Makame akatulia kidogo, kama kuna jambo anatafakari, kisha akamrudia Edgar, “baba kwa upande wangu nashukuru sana, toka uingie kwenye familia yangu, umeleta mabadiliko makubwa, kiasi cha kutujengea hesima kubwa, na leo pia ukujari wadhifa ulio nao, umeshirikiana na sisi mwanzo mpaka mwisho, kiasi cha kukubari kuingia kwenye kitu ambacho ukuwai kushiriki ata mala moja, naomba unedelee kutuchukulia kama ndugu wa damu” alisema mzee Makame.


Mzee Makame akuishia hapo, akamgeukia Siwema, “mdogo wako amekusamahe, lakini mimi na kuahidi, endapo ukirudia tena, adhabu yako ninayo mimi” alisema mzee Makame, kisha akamtazama mke wake mkubwa, “na wewe, leo mama Radhia amakusaheme, lakini sikupi ahadi ya msamaha wapili toka kwangu, endapo utarudia maswala kama aya” alisema mzee Makame kabla ya kumaliza kikao, na wapo kupata chakula cha jioni, kisha kutawanyika.********


Mida hii nyumbani kwa Shaban, ambako Shaban na Ashura walikuwa wamelala kwenye kitanda kikubwa, wote wawili wamemgeukia mtoto Ashraf alielala kati kati yao, “ona kapua kake, kama dada yake Rehema” alisema Shaban alielala na bukta nyepesi, bila tishert, “siuseme kama pua yako, siunajuwa Rehema alivyo chukuwa sura yako” alijibu Ashura, ambae alikuwa amevalia gauni jepesi la kulalia.


Wote wanacheka kwa pamoja, “ila mimi naona wamefanana na bibi yao, yani mama yangu” alisema Shaban huku wote wakionekana kuwa wenye furaha, kubwa, “kwahiyo mpaka leo ujajuwa kama umefanana na mama yako?” alisema Ashura kwa sauti iliyojaa utani.


Wakati wakiwa kwenye maongezi, mala wakasikia simu ya Ashura inaanza kuita, ikiwa juu ya meza ndogo, pembeni ya kitanda, upande waliokaa Shaban, kiasi cha kumfanya mtoto ashtuke kidogo, kwa mlio wa simu.


“sijuwi nani huyo anataka kuniamshia mwanangu” anasema Ashura, huku anamtazama Shaban, ambae anainuka na kwenda kuchukuwa simu, huku macho ya Ashura yakitazama dudu ya mpenzi wake huyu, ambayo kwa sababu isiyo julikana ulikuwa umejitutumua na kusimama kweli kweli.


“ni Aziza, ndie anae piga” alisema Shaban huku anampatia Ashura simu, “mh!, mbona amesimama hivyo, kwahiyo ajuwi kwamba bado mwenzie aja kauka?” aliuliza Ashura kwa utani huku anagusa dudu ya Shaban, iliyosimama kwa nguvu.


Wote wanacheka, kwa pamoja, “ni upuuzi wake tu, tena wacha nika kujoe maana mkojo umeshikwa kweli kweli” alisema Shaban ambae bado alikuwa ajapanda kitandani, huku anaelekea upande wa bafuni, akimwacha Ashura anapokea simu.


“niambie dada” anasema Ashura simu ikiwa sikioni, “vipi mlifika salama?” anauliza Aziza toka upande wa pili wasimu, “tumefika muda mrefu sana, na sasa tupo kitandani” alisema Ashura, huku anambembeleza mtoto kwa mkono wake wakulia, aweze kulala tena, “basi mwenzio ile mnatoka tu, Idd nae akaingia” alisema Aziza, kwa maana ya kusimulia.


“weeeee!, usiniambie, enhe akasemaje?” aliuliza Ashura kwa sauti yenye shahuku, “aseme nini zaidi ya kutaka kukuona wewe na mtoto, tena alikuwa amejawa na hasira kama nini, sijuwi kama asingekuzabua makofi leo” alisema Aziza, ambae alimsimulia mdogo wake, jinsi maongezi yake na Idd yalivyo kuwa mpaka kumfungia mlango kwa nje, adi mwisho wa simulizi, tayari ashraf alikuwa amesha lala.


Ashura anaonekana kulizika na kile alicho kifanya Aziza, kwa mume wake huyo wandoa, wakati huo tayari Shaban, alikuwa amesha rudi toka bafuni, bado hali ya msimamo wa mwiko ikionekana wazi wazi.


“achana nae huyo mjinga, na kama angenikuta hakika angenipatia taraka yangu leo leo” alisema Ashura, huku ananyoosha mkono na kupapasa dudu ya Shaban ambae alikuwa amelala kitandani, upande wapili wa mtoto.


Shaban anaondoa mkono wa Ashura kwenye dudu yake, wakati huo huo ikaanza kusikika mlio wa kama simu nyingine inataka kuingia, “yani kama ajashtuka na kukupa taraka, basi atakuwa na tatizo la hakili, maana sijambakiza ata kidogo” alisema Aziza huku na hapo Ashura akatoa simu sikioni na kutazama nani mwingine anapiga.


“huyooooo anapiga, wala sipokei simu yake huyu mjinga, alisema Ashura, kabla ya kuagana na Aziza na yeye kukata simu, kisha kuiweka pembeni yake upande wa ukutani, pasipo kujuwa kuwa baada ya kuikata alipokea simu ya pili, na kuizuwia ile ya kwanza, ambayo ilikatwa upande wapili.


“ebu kwanza nimwone huyu mzee, anashida gani” anasema Ashura, huku anapeleka tena mkono kwa Shaban, na safari hii, akiupenyeza ndani ya bukta, na kuikamata dudu, “Ashura bwana siunajuwa ndio umetoka kujifungua bado aja kauka” anasema Shaban huku anamzuwia Ashura asiendelee kumchezea dudu yake.


“kwahiyo utaki nikusaidie mume wangu, au unataka ukatafute mwanamke mwingine?” anauliza Ashura kwa sauti ya kulalamika” pasipo kujuwa kuwa, sauti zao zilikuwa zinapenya kwenye simu iliyokuwa hipo hewani na kupeleka upande wapili wa simu, ambako alikuwepo Idd kiparago.*********


Nyumbani kwa barozi wa #Mbogo_Land, tuna ingia chumbani kwa Edgar, ambapo tunawaona Edgar na Radhia, wakiwa bafuni, ndani ya jakuzi, yani kalo la kuogea, watupu kama walivyo zaliwa, Edgar anatembeza dodoki mwilini mwa Radhia taratibu, huku akisugua sehemu ambazo zinalata raha kwa Radhia, ambae anafumba macho akilizia mkuno mtamu.


“Edgar siunakumbuka nilicho kuandikia asubuhi” nasema Radhia kwa sauti ya tabu kidogo, huku anapeleka mkono kwenye dudu ya Edgar, “nakumbuka mke wangu, au unahisi nitakunyima” alisema Edgar ambae sasa alikuwa anatembeza dodoki kwenye kifua cha Radhia na kuparuza chuchu za binti huyu, ambazo zilikuwa zina patwa na msisimko mkali sana.


“basi nifanye sasa, mbona unachelewa” anasema Radhia huku anacheka cheka kicheko cha kivivu, Edgar anacheka kivivu pia, huku anaondoa mkono mmoja kifuani akiuacha ule wenye dodoki, huku anaupeleka ule mwingine kwenye kibakuri cha asali, na kutekenya kunde ya chamba la bibi.


Radhia anashusha pumzi nzito huku anakatakiuno kwa msisimko, Edgar anasogeza mdomo wake kwenye shingo ya Radhia, “tumalize kuoga twende kitandani, nikupe unacho takiwa kupata” anasema Edgar ambae anamaliza ka kumnyonya shingo Radhia, ambae anazidi kusisimkwa, na kugeuza uso wake kwa Edgar, midomo yao inakutana, na wanaanza kunyonyana ndimi zao taratibu, huku Edgar anaendelea kuchezea kunde ya Radhia taratibu, akisaidiwa na utelezi wa mboga ya mlenda, iliyojaa kwenye chungu cha Radhia, wote wakiwa wamesha sahau yaliyo tokea siku ya leo.*******


Turudi dakika chache kabla Ashura ajaanza uchokozi wake, huku akiwa amepokea simu ya mume wake bila kujuwa, ikiwa yatari Idd amesha fika nyumbani, tayari amesha kula na kuoga, na sasa alikuwa amesha panda kitandani, na simu yake mkononi.


Idd akiwa amejawa na hasira zidi ya mambo mawili makubwa, anapiga simu na kuiweka sikioni, anasikia sauti ya kike ikimwambia, “mtumiaji wa simu unae mpigia, anaongea na mtu mwingine, tafadhari subiri au jaribu tena baadae” kisha simu inaanza kuita.


Idd anasichagua kusubiri, kwamaana anaendelea kusikiliza simu inaita, huku kichwani mwake anawaza juu ya kushindikana kwa mpango kwa kumloga Radhia, kitu ambacho kilimuuma sana, kuliko kushindwa kumwona mke wake kule kwa dada yake, ambae aliamini kuwa kwa muda ule alikuwa ndani, na mtoto wao mchanga.


Naaaaaam!, baada ya simu kuita kwa muda mrefu kidogo, mala inapokelewa, lakini kabla ajasikia sauti ya mke wake ikimsalimu, akapokelekwa na sauti ya mke wake huyo huyo, “ebu kwanza nimwone huyu mzee, anashida gani” ilikuwa ni sauti ya Ashura, Idd akaamini kuwa anaongea na Aziza na kwamba anataka ajuwe yeye Idd anashida gani. ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA NANE: Naaaaaam!, baada ya simu kuita kwa muda mrefu kidogo, mala inapokelewa, lakini kabla ajasikia sauti ya mke wake ikimsalimu, akapokelekwa na sauti ya mke wake huyo huyo, “ebu kwanza nimwone huyu mzee, anashida gani” ilikuwa ni sauti ya Ashura, Idd akaamini kuwa anaongea na Aziza na kwamba anataka ajuwe yeye Idd anashida gani. ........ ENDELEA….


Lakini ilikuwa tofauti kidogo, “Ashura bwana siunajuwa ndio umetoka kujifungua bado akuja kauka” hakika ilikuwa ni sauti ya kiume, tena ya mtu anae mfahamu kabisaaaa, kuwa ni Shaban, ambae ni mpenzi wa zamani wa mke wake, mwanaume ambae siku mbili hizi amekuwa akimwona karibu na mke wake.

Moyo wa Idd unashtuka kwa nguvu, wivu unamjaa, roho inauma kwa machungu yasiyo na kifani, “kwahiyo utaki nikusaidie mume wangu, au unataka ukatafute mwanamke mwingine?” Idd anasikia maneno ya mke wake, toka kwenye simu, tena akiongea kwa sauti ya lalamiko la kudeka na kubembeleza.


Idd anajihisi anataka kupasuka, asa anaposikia mke wake anamwita mwanaume mwingine mume wake, “utanisaidiaje na wakati bado ujakaa sawa” Idd anamsikia Shaban anauliza kwa sauti ya sitaki na taka, “we niachie mimi, hii dudu naifahamu miaka na miaka, ainipishida, ata mdomoni utakojolea, ilimladi itulie” mpaka Idd akajihisi anaanza kukosa nguvu ya mwili.


“nakuaminia mama ndio maana sijaweza kukuacha” Idd anamsikia Shaban, akiongea kwa sauti tulivu, huku mke wake Ashura akidakia “alafu kibogoyo mwingine, analilia mfupa wakati awezi kula ata maini” maneno yanamchoma Idd, ambae anasikia kicheko cha kivivu toka kwa mke wake.


“we Ashura, unafanya ujinga gani huko” alipaza sauti Idd, akitegemea kusikia Ashura anajibu, lakini hapakuwa na jibu lolote, zaidi maongezi ya upande wapili yakaendelea, “pita kwa huku, ili usimwamshe mtoto” Idd anasia vyema maneno ya Shaban.


Idd anaumia sana, anatamani aingie kwenye simu, “baba ni baba tu, yani unavyo mjari mtoto wako, utasema ndio wa kwanza, wakati wakina rehema wanakusuburi huko” alisikika Ashura kwa sauti ya utani, ikifwatia na vicheko laini vya wote wawili, “sema na wengine wanafwatia” alisema Shaban, kwa sauti yenye utani.


Wakati huo Idd bado alikuwa ameganda pale kitandani amtoa macho ya hasira, jaamini anacho kisikia, “nikifanya hivi unajisikia raha, au nijaribu kuinyonya kama wazungu” Idd anamsikia Ashura akiongea kitu ambacho akuwai kuongea akiwa na yeye, “anza na mkono, baadae utajaribu mdomoni” alijibu Shaban na kuzidi kumuumiza Idd, “yani jitu linataka kumwaribu mtoto mapema hii” alisema Idd kwa hasira, huku anataka kukata simu.


Lakini kabla ajakata simu akamsikia Ashura akiongea, “lakini mume wangu safari hii mtoto wa nne tumzae tukiwa tunaishi wenyewe” kauri hii ya Ashura ilimshtua sana Idd, ambae alitaka kuuliza kitu lakini asingeweza, kwakuwa Ashura hakuwa na habari kuwa simu hipo hewani.


“ni kweli itakuwa vizuri, maana ata wakina Rehema inabidi wasipate shida kujuwa kama mimi ndie baba yao” ilikuwa ni sauti ya Shaban, ambayo ilimfanya Idd, ainuke ghafla toka kitandani, “siwezi kukubari, naenda huko huko na lazima Aziza anifungulie mlango” alisema Idd huku anafwata sehemu alipo tundika nguo yake.


Lakini hakupata nafasi ya kuifikia nguo, maana ghafla akahisi kizungu zungu, na miguu yake ikakosa nguvu, kiasi cha kujikuta anaenda chini kama furushi, bahati nzuri kwake, apakuwa na meza wala kitu cha kujibamiza karibu yake, zaidi alijitwanga sakafuni, na giza zito likatanda usoni mwake.********


Maaaaaam!, Ashura anamaliza kumtoa machozi Shaban kisha anachukuwa kitambaa safi na kufuta mwiko wa mpenzi wake huyu, ambae unaweza kusema ni sawa na mume wake, ambae sasa wanawatoto wa tatu, kisha anajisafisha mikono yake.


“hapo vipi baba, umejisikia afadhari?” aliuliza Ashura, huku anapanda kitandani, akilala upande wake, “nipo poa kabisa, ndio maana sikutaka kukuacha mpenzi wangu, maana unajuwa namna ya kunituliza” alisema Shaban, huku anacheka kivivu, Ashura nae akaungana na mpenzi wake kucheka kivivu.


“mtu chake baba, mimi ni wako tu” alisema Ashura, ambae aligundua kuwa, amelalia simu yake, anajiinua kidogo na kuitoa simu aliyokuwa ameilalia, na kuitazama, hapo anagundua kuwa, simu bado ilikuwa hewani, “tobaaaa!” anashtuka Ashura, huku anakata simu, “vipi tena?” anauliza Shaban, huku chukuwa simu ya mke wake toka mkononi mwake.


“simu ilikuwa hewani muda wote, nazani Idd alikuwa ana tusikiliza” alisema Ashura lakini sasa hakuonyesha wasi wasi wowote, “itakuwaje sasa?” aliuliza Shaban, akionyesha kuwa mwenye wasi wasi, “itakuwaje kivipi, yeye sindie aliyataka mwenyewe” alijibu Ashura, huku anajifunika shuka, “natarajia ata toa taraka mapema” alisema Shaban huku anainuka na kuweka simu kwenye meza, kisha anarudi kitandani.**********


Naaaaaaaam!, Idd anashtuka maneno ya usiku, na kujikuta akiwa amelala chini, yani sakafuni, anajaribu kuinuka, lakini kichwa kinakuwa kizito, na maumivu makali, anajitaidi kuinuka na kwenda kupanda kitandani.


Idd anajilaza kitandani, huku anavuta kumbu kumbu, anakumbuka kile alicho kisikia usiku kupitia simu yake, kutokea kwenye simu ya Ashura, “ni kweli itakuwa vizuri, maana ata wakina Rehema inabidi wasipate shida kujuwa kama mimi ndie baba yao” Idd anatamani kuangua kilio, “inamaana yule mganga alisema kweli, kwamba sijazaa mtoto ata mmoja” anajiuliza Idd kwa sauti ya wazi yenye machungu makubwa sana.


Wakati huo huo inamjia kauri nyingine “alafu kibogoyo mwingine, analilia mfupa wakati awezi kula ata maini” hapo Idd anajikuta anashindwa kuzuwia machozi usoni mwake, maana maneno hayo ya Ashura, aliyokuwa anamwambia Shaban, yalimrudisha kwa Shani, mke wake mdogo alie mtariki siku chache zilizopita.


Idd anakumbuka jinsi alivyo gombana na Shani, aliekuwa anadai kunyanduliwa, akidai kuwa atendewi haki kwa kuachwa muda mrefu bila kunyanduliwa, ikiwa ni moja ya sababu ya kuto kushika mimba, hakika Idd anajiona mdhaifu kupita kiasi, kwamba wanawake hao walikuwa wanamwona ni goi goi.


Wakati Idd anawaza hayo, ikamjia picha ya kile ambacho mke wake wa zamani, yani Radhia, anakipata kwa mume wake wa sasa hivi, na mbaya zaidi ameona mala kadhaa namna Radhia anavyo onekana kuwa na furaha akiwa na Edgar.


Idd anajaribu kuvuta kumbu kumbu ya watoto, ili kupata viashiria vya kama ni watoto wake au la, lakini apati picha nzuri kwake, maana akuwa na kumbu kumbu yoyote ya watoto wale, ambao kila walipoacha kunyonya walipelekwa kwa bibi yao, yani mama yake Ashura.


Idd anakumbuki siku ambayo, aliwai kuombwa fedha yoyote ya matumizi ya watoto, iwe matumizi ya kawaida au nguo za siku kuu, Idd akuwai kumwona mke wake akiomba chochote kuhusu watoto, ni kama safari hii, ambapo alienda mala moja tu kumwona mke wake hospital na mbaya zaidi akupeleka ata ndizi za mgonjwa, na kuna alie mwomba ata fedha ya kununua juice ya mgonjwa.


Na mbaya zaidi akuna jina la mtoto, ambalo alishirikishwa kulitoa, ata huyu mdogo wa juzi, jina amelisikia kwenye simu, alie litoa akuwa anamjuwa, Idd anagundua kwa nini alikuwa anaweza kukaa miezi mitatu bila kujuwa hali ya mkewe, na mkewe hakulalamika kwamba apigiwi simu na wala apeleki fedha ya matumizi, “kwahiyo walianza mapema sana” alijisemea Idd, kwa sauti yenye machungu makubwa. . ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Kesho wengine hatuendi kazini tupo likizo mpaka tarehe 15 mwakani hiyo

Sasa Abou Shaymaa fanya twende huko mbogo land haraka ticket ziko wapi twende leo
Subr naongea na Deus Nyati Hapa nitaleta mrejesho wote wa safari ya mbogo land nadhn usafir itakuwa bure andaeni passport tu
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA TISA: Na mbaya zaidi akuna jina la mtoto, ambalo alishirikishwa kulitoa, ata huyu mdogo wa juzi, jina amelisikia kwenye simu, alie litoa akuwa anamjuwa, Idd anagundua kwa nini alikuwa anaweza kukaa miezi mitatu bila kujuwa hali ya mkewe, na mkewe hakulalamika kwamba apigiwi simu na wala apeleki fedha ya matumizi, “kwahiyo walianza mapema sana” alijisemea Idd, kwa sauti yenye machungu makubwa. . ........ ENDELEA….


Mawazo na kumbu kumbu hizo, zinazidi kumjaza wivu na hasira Idd, “hakika nitauwa mtu” alisema Idd huku maumivu makali moyoni mwake yakimsokota kweli kweli, “haiwezekani hiwe hivyo, wale watoto ni wangu” alijisemea Idd kwa sauti yenye machungu mkali.********


Siku ya pili, ambayo ilikuwa ni siku ya juma nne, mida ya saa kumi na mbili na nusu za asubuhi, Ashura aliamka mapema tayari alikuwa amesha mnyonyesha mtoto wake, kisha akapiga simu kwa mama yake mzazi.


Bahati nzuri simu aikuita sana ikapokelewa, na baada ya kusalimiana na mama yake ndipo maongezi ya kaanza, “mama sijuwi nianzie wapi, ila kwakifupi ni kwamba, mume wangu nimeishi nae kwa miaka yote sita, lakini hakuwa amekamilika” alisema Ashura, na mama yake akashtuka kidogo.


“ajakamilika kivipi, inamaana siyo mwanaume kamili?” aliuliza mama Ashura kwa sauti yenye mshtuko na mashaka, “ndiyo mama, ukweli Idd anamatatizo katika uanaume wake” alisema Ashura ambae kiukweli alikuwa anaongea kwa tahadhari.


Inazidi kumshangaza na kumshtua mama yake, “we Ashura, unawezaje kusema hivyo na mwanaume umesha zaa nae watoto watatu, na umeishi nae kwa miaka sita?” anauliza mama Ashura kwa sauti ya mshangao.


Hapo Ashura anapatwa na kigugumizi kifupi, kabla ya kueleza ukweli, “watoto nimezaa na yule mchumba wangu wa zamani, ukweli nilikuwa na mvumilia tu, sababu tayari alisha niowa, lakini tulikuwa tuna kaa ata miezi mitatu atuja kutana kimwili ata mala moja” alisema Ashura na kuzidi kumshtua mama yake.


“hivi Ashura una uhakika na icho unacho kisema, au bado unamchukia huyo mumeo, unawezaje kuthibitisha kuwa hao watoto siyo wake, ikiwa ulisha lala nae” alisema mama Ashura akionekana kuto kukubariana na binti yake.


“mama kwani ujuwi kuwa amesha waacha wanawake wawili, kwakuto kuzaa, tena mmoja amemwacha juzi tu” alisema Ashura, ambae pia alianza kusimulia mkasa mzima, wa Idd kuchanganyikiwa baada ya kumwona Radhia akiwa na mwanaume mwingine kwenye TV, pia jinsi alivyo mwacha anaishi kwa Aziza bila akupiga simu kuulizia hali yake, na pia kuto kwenda hospital kwa simu mbili nzima wakati alipojifungua.


“we mtoto, mbona hayo mambo mazito sana, na uliwezaje kukaa muda wote huu bila kusema?” aliuliza mama Ashura, ambae alionekana wazi kushtushwa na habari hizo, “mama nimepitia mengi, lakini siunakumbuka jinsi alivyokuja kuni chumbia na fitina aliyo ifanya, unazani ningeeleweka au ningeambiwa na msingizia kwakuwa simtaki” alieleza Ashura.


“kwahiyo utaendelea kuzini nje ya ndoa mpaka lini, na wakati unaluhusiwa kupewa taraka yako endapo mwanaume wako anashindwa kutimiza maitajio yako ya ndoa?” anauliza mama Ashura ambae sasa alionekana wazi kuingiwa na huruma, kwa kile binti yake alichopitia.


“ndio maana nimekupigia mama, naitaji kuomba taraka, ili niweze kulea watoto na baba yao” alisema Ashura, kwa sauti yenye kuombeleza na kutia huruma, kwamaana ni wazi alikuwa anaitaji msaada wa mama yake.


“sawa ngoja niongee na baba yako, kisha tujuwe la kufanya” alisema mama Ashura, ambae baada ya kuongea mawili matatu akakata simu, huku akiahidi kumpigia baadae, kwaaji ya kumpa majibu.********


Mida hiyo hiyo bwana Idd kiparago, mtaa wa magomeni amesimama nje ya mlango wa nyumbani kwa Aziza, baskeri yake hipo pembeni, sura imevimba kwa hasira, anahamu ya kuwafumania Ashura na Shaban, huku maneno ya jana usiku yakijirudia rudia kichwani mwake.


Idd anabisha hodi mala kadhaa, kabla mlango auja funguliwa, na safari hii mlango ulifunguliwa na mume wa Aziza, ambae alionekana wazi kuwa alikuwa ametoka baharini kuvua samaki.


“hoooooo!, kaka asalam aleykum” alisalimia mume wa Aziza, kwa sauti yenye uchangamfu, ambae kimwonekano ni mkubwa kwa Idd, “aleykum salam” aliitikia Idd kwa sauti kavu isiyo na chembe ata moja ya urafiki, “vipi kaka kuna shida, mbona kama haupo sawa, vipi kwani hali ya mkeo na mtoto hipoje” alisema mume wa Aziza, ambae ni wazi alikuwa na tajarifa ya kujifungua kwa Ashura.


Idd anatoa macho ya mshangao, anahisi kuwa Aziza na mume wake wanashirikiana na Ashura kumsaliti, maana ata jana alihisi kuwa Shaban na Ashura wamelala hapa kwa Aziza, “unaniuliza mimi baada ya mimi kukuuliza wewe?” aliuliza Idd kwa sauti ya mshangaoi na hasira.


Safari hii mume wa Aziza ndie anae shangaa, “unamaana gani ndugu yangu, kwamba mimi nijuwe habari za mkeo kuliko wewe mwenye mke na mtoto?” anauliza mume wa Aziza, kwa sauti yenye mshangao.


Idd anaona kuwa hii ni sanaa ya Aziza na mume wake, ili kumfanya Ashura aendelee kufanya ufuska na Shaban, “unajuwa siamini kama mwanaume mzima kama wewe unaweza kuwa mtu wa hovyo namna hii, yani mnashirikiana kumficha mke wangu, na kukaribisha mwanaume alale nae hapa ndani” anasema Idd kwa sauti yenye hasira, huku anataka kuvamia mlango aingie ndani.


Mume wa Aziza anashangaa kuona hali ya Idd, anasimama pembeni anashindwa kumzuwia Idd, lakini Aziza anatokea ndani na kumsukuma Idd, ambae anarudi nje, “nani amekuambia mke wako yupo hapa, ivi we una akiri kweli, mke wako wewe utu sumbue sisi” anasema Aziza kwa sauti yenye jazba.


Bado mume wa Aziza ameduwaha, “wewe umemficha mke wangu, na leo sikubari mpaka nimwone” alisema Idd huku anajaribu tena kuingia ndani, Aziza anataka kumzuwia, lakini mume wake anamshika Aziza na kusogeza pembeni, “mwache apite akamtafute mke wake” alisema mume wa Aziza.


Idd akapata nafasi ya kuingia ndani, akimwacha Aziza anamweleza mume wake, juu ya mkasa wa Idd na mke wake, kumtelekeza na ujauzito, yeye akitatarika kumsaka Radhia, pia Idd kuto kwenda kumwona mke wake hospital alipojifungua, mpaka anatoka hospital.


Wakati huo Idd huko ndani, anasaka vyumba vyote bila mafanikio, kisha anarudi sebuleni, “shemeji naomba uniambie, mke wangu yupo wapi, sikubari mnuendelee kumficha na kumwacha alale na Shaban” anasema Idd kwa sauti yenye hasira.


Safari hii akujibu Aziza, akajibu mume wake, “vipi ujamwona huko ndani?” aliuliza mume wa Aziza, ambae sasa alionekana kuanza kuchukizwa na matendo ya Idd pale nyumbani kwake, “kama ningemwona ningewauliza?” anajibu Idd kwa kuuliza swali, kwa sauti yenye jazba.


“sasa basi kama ujamwona mkeo hapa ndani, ondoka haraka sana, na usije ukakanyaga hapa tena, kama ume shiindwa kumtunza mkeo kwanini watu wasikusaidie” alisema mume wa Aziza, akionekana kukasirika, kwa haraka unge mwona ungejuwa kuwa, muda wowote mtu anapigwa ngumi.


Idd anaiona hali ya mume wa Aziza, anaiona hatari iliyopo mbele yake, “najuwa mnafahamu alipo lakini mnaficha” anasema Idd huku anachukuwa baskeri yake na kuanza kuondoka, “toka bwana, unajiita mume wakati unashindwa kwenda kumwona hospital” maneno yale licha ya kuwa yalikuwa na ukweli ndani yake, na yalipenye moyoni kwa Idd, lakini bado alijitia kichwa ngumu.


“unajuwa nini wewe, mimi ndie najuwa kuhusu mke wangu” alisema Idd, akiwa amesha sogea mita kama kumi na tano toka walipo wakina Aziza, “kama unajuwa kuhusu mkeo, kwanini unatusumbua” alisema mume wa Aziza, huku wanamshuhudia Idd akipanda baskeri na kuondoka zake. . ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Iddi jinga sana

Lakini angekuwa na akili mbona kuna loophole nyingi sana hapo za mkewe na shabani angezitumia vizuri ashura anarudi kwake .

Kwanza anatakiwa agome kutoa talaka
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA TISA: Na mbaya zaidi akuna jina la mtoto, ambalo alishirikishwa kulitoa, ata huyu mdogo wa juzi, jina amelisikia kwenye simu, alie litoa akuwa anamjuwa, Idd anagundua kwa nini alikuwa anaweza kukaa miezi mitatu bila kujuwa hali ya mkewe, na mkewe hakulalamika kwamba apigiwi simu na wala apeleki fedha ya matumizi, “kwahiyo walianza mapema sana” alijisemea Idd, kwa sauti yenye machungu makubwa. . ........ ENDELEA….


Mawazo na kumbu kumbu hizo, zinazidi kumjaza wivu na hasira Idd, “hakika nitauwa mtu” alisema Idd huku maumivu makali moyoni mwake yakimsokota kweli kweli, “haiwezekani hiwe hivyo, wale watoto ni wangu” alijisemea Idd kwa sauti yenye machungu mkali.********


Siku ya pili, ambayo ilikuwa ni siku ya juma nne, mida ya saa kumi na mbili na nusu za asubuhi, Ashura aliamka mapema tayari alikuwa amesha mnyonyesha mtoto wake, kisha akapiga simu kwa mama yake mzazi.


Bahati nzuri simu aikuita sana ikapokelewa, na baada ya kusalimiana na mama yake ndipo maongezi ya kaanza, “mama sijuwi nianzie wapi, ila kwakifupi ni kwamba, mume wangu nimeishi nae kwa miaka yote sita, lakini hakuwa amekamilika” alisema Ashura, na mama yake akashtuka kidogo.


“ajakamilika kivipi, inamaana siyo mwanaume kamili?” aliuliza mama Ashura kwa sauti yenye mshtuko na mashaka, “ndiyo mama, ukweli Idd anamatatizo katika uanaume wake” alisema Ashura ambae kiukweli alikuwa anaongea kwa tahadhari.


Inazidi kumshangaza na kumshtua mama yake, “we Ashura, unawezaje kusema hivyo na mwanaume umesha zaa nae watoto watatu, na umeishi nae kwa miaka sita?” anauliza mama Ashura kwa sauti ya mshangao.


Hapo Ashura anapatwa na kigugumizi kifupi, kabla ya kueleza ukweli, “watoto nimezaa na yule mchumba wangu wa zamani, ukweli nilikuwa na mvumilia tu, sababu tayari alisha niowa, lakini tulikuwa tuna kaa ata miezi mitatu atuja kutana kimwili ata mala moja” alisema Ashura na kuzidi kumshtua mama yake.


“hivi Ashura una uhakika na icho unacho kisema, au bado unamchukia huyo mumeo, unawezaje kuthibitisha kuwa hao watoto siyo wake, ikiwa ulisha lala nae” alisema mama Ashura akionekana kuto kukubariana na binti yake.


“mama kwani ujuwi kuwa amesha waacha wanawake wawili, kwakuto kuzaa, tena mmoja amemwacha juzi tu” alisema Ashura, ambae pia alianza kusimulia mkasa mzima, wa Idd kuchanganyikiwa baada ya kumwona Radhia akiwa na mwanaume mwingine kwenye TV, pia jinsi alivyo mwacha anaishi kwa Aziza bila akupiga simu kuulizia hali yake, na pia kuto kwenda hospital kwa simu mbili nzima wakati alipojifungua.


“we mtoto, mbona hayo mambo mazito sana, na uliwezaje kukaa muda wote huu bila kusema?” aliuliza mama Ashura, ambae alionekana wazi kushtushwa na habari hizo, “mama nimepitia mengi, lakini siunakumbuka jinsi alivyokuja kuni chumbia na fitina aliyo ifanya, unazani ningeeleweka au ningeambiwa na msingizia kwakuwa simtaki” alieleza Ashura.


“kwahiyo utaendelea kuzini nje ya ndoa mpaka lini, na wakati unaluhusiwa kupewa taraka yako endapo mwanaume wako anashindwa kutimiza maitajio yako ya ndoa?” anauliza mama Ashura ambae sasa alionekana wazi kuingiwa na huruma, kwa kile binti yake alichopitia.


“ndio maana nimekupigia mama, naitaji kuomba taraka, ili niweze kulea watoto na baba yao” alisema Ashura, kwa sauti yenye kuombeleza na kutia huruma, kwamaana ni wazi alikuwa anaitaji msaada wa mama yake.


“sawa ngoja niongee na baba yako, kisha tujuwe la kufanya” alisema mama Ashura, ambae baada ya kuongea mawili matatu akakata simu, huku akiahidi kumpigia baadae, kwaaji ya kumpa majibu.********


Mida hiyo hiyo bwana Idd kiparago, mtaa wa magomeni amesimama nje ya mlango wa nyumbani kwa Aziza, baskeri yake hipo pembeni, sura imevimba kwa hasira, anahamu ya kuwafumania Ashura na Shaban, huku maneno ya jana usiku yakijirudia rudia kichwani mwake.


Idd anabisha hodi mala kadhaa, kabla mlango auja funguliwa, na safari hii mlango ulifunguliwa na mume wa Aziza, ambae alionekana wazi kuwa alikuwa ametoka baharini kuvua samaki.


“hoooooo!, kaka asalam aleykum” alisalimia mume wa Aziza, kwa sauti yenye uchangamfu, ambae kimwonekano ni mkubwa kwa Idd, “aleykum salam” aliitikia Idd kwa sauti kavu isiyo na chembe ata moja ya urafiki, “vipi kaka kuna shida, mbona kama haupo sawa, vipi kwani hali ya mkeo na mtoto hipoje” alisema mume wa Aziza, ambae ni wazi alikuwa na tajarifa ya kujifungua kwa Ashura.


Idd anatoa macho ya mshangao, anahisi kuwa Aziza na mume wake wanashirikiana na Ashura kumsaliti, maana ata jana alihisi kuwa Shaban na Ashura wamelala hapa kwa Aziza, “unaniuliza mimi baada ya mimi kukuuliza wewe?” aliuliza Idd kwa sauti ya mshangaoi na hasira.


Safari hii mume wa Aziza ndie anae shangaa, “unamaana gani ndugu yangu, kwamba mimi nijuwe habari za mkeo kuliko wewe mwenye mke na mtoto?” anauliza mume wa Aziza, kwa sauti yenye mshangao.


Idd anaona kuwa hii ni sanaa ya Aziza na mume wake, ili kumfanya Ashura aendelee kufanya ufuska na Shaban, “unajuwa siamini kama mwanaume mzima kama wewe unaweza kuwa mtu wa hovyo namna hii, yani mnashirikiana kumficha mke wangu, na kukaribisha mwanaume alale nae hapa ndani” anasema Idd kwa sauti yenye hasira, huku anataka kuvamia mlango aingie ndani.


Mume wa Aziza anashangaa kuona hali ya Idd, anasimama pembeni anashindwa kumzuwia Idd, lakini Aziza anatokea ndani na kumsukuma Idd, ambae anarudi nje, “nani amekuambia mke wako yupo hapa, ivi we una akiri kweli, mke wako wewe utu sumbue sisi” anasema Aziza kwa sauti yenye jazba.


Bado mume wa Aziza ameduwaha, “wewe umemficha mke wangu, na leo sikubari mpaka nimwone” alisema Idd huku anajaribu tena kuingia ndani, Aziza anataka kumzuwia, lakini mume wake anamshika Aziza na kusogeza pembeni, “mwache apite akamtafute mke wake” alisema mume wa Aziza.


Idd akapata nafasi ya kuingia ndani, akimwacha Aziza anamweleza mume wake, juu ya mkasa wa Idd na mke wake, kumtelekeza na ujauzito, yeye akitatarika kumsaka Radhia, pia Idd kuto kwenda kumwona mke wake hospital alipojifungua, mpaka anatoka hospital.


Wakati huo Idd huko ndani, anasaka vyumba vyote bila mafanikio, kisha anarudi sebuleni, “shemeji naomba uniambie, mke wangu yupo wapi, sikubari mnuendelee kumficha na kumwacha alale na Shaban” anasema Idd kwa sauti yenye hasira.


Safari hii akujibu Aziza, akajibu mume wake, “vipi ujamwona huko ndani?” aliuliza mume wa Aziza, ambae sasa alionekana kuanza kuchukizwa na matendo ya Idd pale nyumbani kwake, “kama ningemwona ningewauliza?” anajibu Idd kwa kuuliza swali, kwa sauti yenye jazba.


“sasa basi kama ujamwona mkeo hapa ndani, ondoka haraka sana, na usije ukakanyaga hapa tena, kama ume shiindwa kumtunza mkeo kwanini watu wasikusaidie” alisema mume wa Aziza, akionekana kukasirika, kwa haraka unge mwona ungejuwa kuwa, muda wowote mtu anapigwa ngumi.


Idd anaiona hali ya mume wa Aziza, anaiona hatari iliyopo mbele yake, “najuwa mnafahamu alipo lakini mnaficha” anasema Idd huku anachukuwa baskeri yake na kuanza kuondoka, “toka bwana, unajiita mume wakati unashindwa kwenda kumwona hospital” maneno yale licha ya kuwa yalikuwa na ukweli ndani yake, na yalipenye moyoni kwa Idd, lakini bado alijitia kichwa ngumu.


“unajuwa nini wewe, mimi ndie najuwa kuhusu mke wangu” alisema Idd, akiwa amesha sogea mita kama kumi na tano toka walipo wakina Aziza, “kama unajuwa kuhusu mkeo, kwanini unatusumbua” alisema mume wa Aziza, huku wanamshuhudia Idd akipanda baskeri na kuondoka zake. . ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
Wekaaaa vitu kaka maana umeaidi inaishaaaaa leooooo tuhudhurieeeee harusi mbogo land
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.

TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina yaliyo tumika, siyo harisi, ni ya kufikilika, na ayausiani na kisa hiki.

Kama kuna tukio au kitu chochote kitafanana katika hadithi hii, na tukio la kweli, basi aikuwa dhamira ya mwandishi, kama utakuwa na maoni ushauri au lolote wasiliana na mwandishi wa hadithi hii, si luksa kunakiri au kubadiri hadithi hii kwa lolote, katika matumizi yoyote, pasipo kibari cha mwandishi kupitia whatsapp namba 0717924403 au 0743632247.

Naaaaaaam!, hadithi yetu inaanzia kisiwani Zanzibar, ilikuwa ni jumanne yenye shamla shamla za sikuu za eid ya mfungo mosi, hii ni eid Ahl hadji, moja kati ya kuku kubwa sana kisiwani hapa.

Kama ilivyo kawaida, kwa wakazi wa kisiwa hiki, siku ya leo ilikuwa na pilika nyingi sana, toka asubuhi walionekana wake kwa waume wakitoka msikitini, huku wamependeza kwa mavazi mazuri mpya yenye kuvutia, huku wanawake wakiongoza kwa kupendeza, wakifwatiwa na watoto.

Hakika leo ni siku ambayo, hasilimia kubwa ya watu, walionekana wakiwa wenye nyuso za furaha, arufu nzuri ya vyakula ilizagaa mitaani, na kushibisha pua za kila wapita njia na wakazi, sambamba na sauti za music wa kasiwida, zilizokuwa zinasikika toka kwenye nyumba za watu, kila kona ya mitaa, na sehemu mbali mbali za biashara, zikizidi kuing’alisha siku kuu hii, ambayo kwa huku kisiwani uwa inasherehekewa kwa muda wa siku mbili, mpaka nne.

Mida ya saa saba za mchana, tupo mtaa wa jang’ombe kwa Soudi, ni mtaa wapili, toka kituo cha Mchina mwanzo, barabara kuu ya kiembe samaki, kupitia uwanja wa Amani.

Mtaa umechangamka sana kama mitaa mingine ya kiswahili, wanaonekana watu wengi wa lika mbali mbali, yani watoto vijana na wazee, wakike kwa wakiume, waliokuwa wamevalia nguo nzuri na mpya za kupendeza, huku wanawake wakiwa wamejipamba zaidi kwa kuchora mikono yao mauwa mazuri kwa kutumia wino wa ina.

Pia wanawake wananukia vyema utuli wa udi, wameficha miili yao kwenye magauni mazuri aina ya baibuhi na habaya, huku vichwani mwao wakificha nywele zao kwa hijab, za rangi mbali mbali, zilizoendana na nguo walizovaa.

Lakini tofauti ilikuwa nyumbani kwa mzee Abeid Ally Makame, ambapo kwanza kabisa, tuna mwona mzee Abeid mwenyewe anatoka nyumbani, akiwa ameongozana na wake zake wawili, yani mke mkubwa, akiwa mwenye hasiri ya Africa bila chembe chembe yoyote ya uchotara, huku bi mdogo akionekana kwenye dalili ya mbali ya uchotara.

Wake wote wawili wa Abeid Makame, wakiwa wamevalia vizuri, magauni yao mapya na hijab zao, zilizo zidi kuwapendezesha, pamoja na viatu vyao vizuri vya mikanda, kama ilivyokuwa kwa mume wao, ambae ni mwalimu wa shule ya sekondari ya mwanakwelekwe A, alie valia kanzu yake nyeupe mpya, na baraghashia nzuri yenye rangi ya kanzu yake.

Chini alivalia makubanzi, (sendo) za kisasa, ya rangi nyeusi, huku hasiri ya mzee huyu akiwa ni mwafrika hasiria bila chembe chembe yoyote ya mshanganyiko wa hasiri ya taifa au kabila jingine toka nje ya bara la africa.

Lakini ukiwatazama vyema watu awa watatu, utagundua utofauti kati yao, asa katika mwonekano wa hali ya nyuso zao, maana wakati mzee Abeid akiwa katika hali ya kawaida, mke mdogo alionekana kuwa katika hali ya kukosa furaha, kwa kiasi flani, huku mke mkubwa akiwa mwingi wa tabasamu.

Wakati huo huo, kwenye kibaraza cha nyumba ya mwalimu Abeid Makame, wanaonekana watu watatu, wote wakiwa na hasiri ya uchotara japo ulikuwa umefifia, lakini uliwapendezesha, kati yao alikuwepo binti mdogo wakike mwenye umri wa kati ya miaka kumi adi kumi na moja, pia wakiume mwenye umri wa miaka kati ya kumi sita adi kumi na saba.

Walikuwa na dada yao, ambae umri wake, ni mkadilio wa miaka kati ya ishilini sita au ishilini na tano, aliekuwa anawasindikiza kwa macho baba na mama zake, huku uso wake ukiwa umenyongea kwa mawazo, nae pia kama wale watoto, alikuwa na hasiri ya uchotara, ambao licha ya kuwa ulio fifia, lakini uzuri wake ulionekana wazi wazi, kuanzia sura adi mwili wake, ata uzuni aliyonayo usoni mwake ilishindwa kuondoa uzuri wake wa hasiri.

Tofauti na wadogo zake ni kwamba, yeye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida, ambayo japo yalikuwa ni masafi, na unaweza kuvalia popote katika siku za kawaida, pengine ata leo ndiyo aliyovaa msikitini, lakini ni wazi yalikuwa ya zamani, tunaweza kusema yalisha maliza eid moja au mbili kabla ya leo.

Ila pia licha mwonekano wa uzuri wake huo, akuwa amejipamba kwa chochote, kama wanawake wengine wahuko mtaani, ni kama wale watoto wawili, ambao mavazi yao licha ya kuwa masafi, ila pia yalionekana ayakuwa mapya, huku wote wakiwa wamekaa kibarazani, nyuso zao zimekata tamaa, macho yao yakitazama kushoto na kulia, yani kwenye barabara ya mtaa, ni wazi walitarajia kumwona mtu flani.

“kaka Mu, mbona rafiki yako mwenyewe aji sasa?” aliuliza yule mschana mdogo, wa miaka kumi na moja, huku anamtazama yule kijana wamiaka kumi na saba, ambae akujibu kitu zaidi ya kutazama kushoto na kulia, huku uso wake ukionyesha wasi wasi na kukata tamaa.

Dada mkubwa anawatazama wadogo zake, huku anawaona jinsi walivyo sawajika nyuso zao, “dada Radhia, mpigie kwanza umuulize mbona aji” anasema yule mschana mdogo, ambae ni kama alisha kata tamaa, au aliona anacheleweshwa jambo flani.

“Jamani Zahara, uwe mvumilivu kidogo, kwani na yeye binadamu eti, lazima ale akoge ndio aje” anasema yule mwanamke mkubwa, kwa sauti tulivu iliyolemewa na uchungu flani, ambae kwa matazamo wa kawaida, ni mzuri wa sura umbo na rangi ya ngozi yake, “alisema anakuja mchana, lakini mpaka sasa ajaja” alilalamika Zahara.

Zilisha pita dakika kumi, toka mzee Abeid na mke wake waondoke, sasa mlango mkubwa wa mbele unafunguliwa, wanatokea watu watano, yani wanawake wawili wakubwa, mmoja akiwa na umri wa miaka 24 na mwenzie akiwa na umri wa miaka 21, wakiwa na watoto watatu, wakike wawili na wakiume mmoja, ambao umri wao aukuzidi miaka sita, mdogo kabisa akiwa na mkadilio wa miaka mitatu.

Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…….

Sehemu Ya Pili
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Tatu
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Nne
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Tano
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole
Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…
 
Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…
😅
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI: “unajuwa nini wewe, mimi ndie najuwa kuhusu mke wangu” alisema Idd, akiwa amesha sogea mita kama kumi na tano toka walipo wakina Aziza, “kama unajuwa kuhusu mkeo, kwanini unatusumbua” alisema mume wa Aziza, huku wanamshuhudia Idd akipanda baskeri na kuondoka zake. . ........ ENDELEA….


“hivi Ashura aliwezaje kumwacha Shaban, na kukubari kuolewa na jitu la ajabu kama ili” anasema mume wa Aziza huku anaingia ndani, “hivi unazani aliolewa kwa iyari yake, Idd alifanya makusudi kuvuruga uchumba wake na Shaban” anajibu Aziza huku anamfwata mume wake ndani


“kama nihivyo mwache huyu mshenzi alipie alicho kifanya, alafu juzi tu ametoka kutoa taraka kwa Shani, kwa tuhuma za kushindwa kulala mke wake” alisema mume wa Aziza.*********


Saa sita za mchana, Edgar alikuwa anaingia nyumbani kwake, akitokea ofisini kwake, na kupitiliza chumbani moja kwa moja, ambako anamkuta Radhia akiwa amelala fofofo, huku amevalia kijigauni chepesi sana.


Edgar bila kumwamsha ana anavua nguo zake na kuelekea bafuni, anaanza kuoga huku anawaza ili na lile, juu ya maisha ya baadae, yeye na familia yake, yani mke wake Radhia na mtoto wao atakae zaliwa.


Lakini wakati anaendelea kuoga, akasikia nyayonyepesi nyuma yake, anageuka haraka nakumwona Radhia akiwa amevua nguo zote, anamsogelea pale kwenye bomba la maji ya mvua, huku uso wake wa kutoka kuamka, umetawaliwa na tabasamu la aibu, huku macho yake yakitazama usawa dudu ya kijana huyu, dudu ambayo ilimfanya ajuwe utamu harisi wa asali.


“hoooooo!, umeamka mama au nimekushtua” alisema Edgar kwa sauti tulivu, huku anakinga maji kwa mkono na kumwagia Radhia, amba anashtuka kidogo, “nimesikia arufu yako nikaamka” anasema Radhia, huku anajisogeza chini ya bomba la maji yanayo mwagika kama mvua, na kumkumbatia Edgar aliekuwa chini ya bomba ilo.


“mmmmmmh!, kwani arufu yangu ipoje?” anauliza Edgar, ambae anazungusha mikono yake kupitia kiunoni kwa Radhia na kukamata makalio ya mwanadada huyu, ambae kiukweli, kila siku anaonekana kuwa mzuri zaidi ya jana, “hivi wakina mama wanajuwa kama uwa tunaoga pamoja na tuna chunguliana” anasema Radhia kwa utani, na wote wanacheka kwa pamoja.


“siyo kuoga tu, ila wanajuwa kuwa tuna tomban….., maana tayari una mimba” alisema Edgar, na hapo Radhia akampiga kijingumi chepesi kifuani, “mwone kwanza alivyo mkorofi” alisema Radhia kwa sauti ya kudeka.


Wanaogeshana kwa dakika kadhaa, huku haliflani ya msisimko ikizidi kuwapanda, “yani mwenzio tukioga tu najikuta natamani kufanya” alisema Radhia kwa sauti yenye uchovu flani, ambapo walijikuta wamaliza kuoga na kuamia kwenye makochi, na kupeana dudu, wakitumia nusu saa nzima.


Walipo maliza walienda tena kujisafisha na kurudi chumbani ambako walivaa na kukaribia mezani, kwaajili ya mlo wa mchana, “Radhia nimeona mwishoni mwa week hii, twende zetu #Mbogo_Land, ubadiri mazingira kidogo, pia nikakutambulishe kwa baba na mama” alisema Edgar, wakati wanaendelea kula.


“itakuwa safi sana, kwani tutaenda na usafiri gani?” aliuliza Radhia akionekana mwenye shahuku kubwa, “kwa hali uliyonayo tuta tumia ndege, mwanzo mpaka mwisho wa safari” alijibu Edgar, “lakini tutakaa seat moja siunajuwa sijawai kupanda ata hiyo meli” alisema Radhia, kwa sauti ya kudeka.


“yah!, tutakaa hivyo, na isitoshe ndani ya ndege tutakuwa watu wachache sana, ni ndege ya kukodi, tuta kuwa mimi na wewe, walinzi wetu, pamoja na wafanya kazi wachache wa ndege, na marubani” alisema Edgar, na kumfanya Radhia afurahi kupita kiasi, “inabidi nikamweleze mama” anasema Radhia, kwa sauti iliyochangamka.


“yah!, tutaenda kumweleza mama, pia nilipanga jioni ya leo twende darajani ukanunue zawadi za kwenda nazo nyumbani, pia tupitie forodhani tukale pweza” alisema Edgar, na hapo Radhia akazidi kufurahi, maana uwa anapenda kwenda matembezi na mume wake.********


Siku hii ya juma nne ilikuwa ngumu kwa Idd, ambae alipotoka nyumbani kwa Aziza alienda nyumbani moja kwa moja nyumbani kwake, ambako akuweza kukaa ata dakika kumi, akaona hapamfai, akaamua aende dukani kwake.


Kule dukani alifungua duka, na kukaa pale dukani mpaka saa tisa, muda wote anawaza juu ya kile kinachoendelea, Idd anawaza kuhusu mke wake Ashura, ambae jana usiku amemsikia kwa masikio yake akimsimanga kwa kuto kuweza kula kitumbua, akimwita kibogoyo mwenye tamaa ya mfupa, ili hali ata maini awezi kuyala.


“bola ata angekuwa mwanaume mwingine, yani amerudiana na Shaban” analalamika Idd, ambae anaona kama anaonewa na Ashura, kwamba akumfanyia jambo baya kiasi cha kumwadhibu kiasi kile, “alafu wanapokea simu makusudi, na kuongea maneno kama yale, ili waniumize, najuwa tu wananilipizia” anaendelea kujilalamisha Idd, ambae kwa hakika dunia anaiona fupi.


Lakini wakati huo huo anakumbuka kuhusu mke wake Shani, ambae aliomba taraka mala moja, kwa madai hayo hayo ya kuto pewa dudu, “mbona wanawake wanakuwa wamalaya sana, yani hawajiheshimu kabisaaaaa, unawezaje kudai kutombw…,” anajisemea Idd, akijiona yupo sahihi kabisa.


Idd anakumbuka jinsi Shani alipo mgeukia ghafla na kuwa mkali, ata alipoenda nyumbani kwake na kuungwa mkono na kila mmoja, kiasi cha yeye kulazimika kutoa taraka mala moja, “bora ata Radhia akuwa na tabia hii” anajisemea Idd, ambae sasa mawazo yake yanaamia kwa Radhia.


“yule nilimfukuza mwenyewe, bora ningekaa nae mpaka mwisho, maana angevumulia tu” anawaza Idd, ambae kumbuka jinsi alivyo mnyanyasa na kumsimanga Radhia, kabla ya kumtariki wakati ule, “nitafanya juu chini ni mpate Radhia, na nikimpata tu simwachi tena” anajisemea Idd ambae anafahamu kuwa Radhia anamchumba na tayari anaujauzito wa mwanaume huyo.


Idd anawaza mambo mengi mpaka anapo pata wazo, “tena ngoja nitengeneze fumanizi, ili niwashike ugoni, kisha niwatoze fidia kubwa sana, na Ashura simwachi” ana waza Idd, ambae sasa alianza kuwaza namna ya kuwashika ugoni Shaban na Ashura.


Wakati anaendelea kupanga namna ya kuweka mtego wa fumanizi, mala akasikia simu yake inaita, Idd anahisi kuwa ni Ashura ndie anapiga simu, baada ya kugundua kuwa jana alipokea simu kwa bahati mbaya.


Idd anaichukuwa simu juu ya meza na kuitazama, ana kuwa, mpigaji ni baba yake mzazi, yani mzee Hassan Kiparago, Idd ana tabasamu, “yes!, mzee kiparago huyooooo!, sasa mambo yatakaa sawa, ajawai kushindwa mzee wangu” anajisemea bwana Idd kabla aja pokea simu.


“asalam aleykum baba” anasalimia Idd, kwa sauti iliyo changamka, “aleykum salaam, habari za huko mjini mgharib” anaitikia mzee kiparago, “salama tu mzee, ilikuwa nikupigie sasa hivi, bora umepiga mwenyewe” alisema Idd, na kumfanya baba yake acheke kidogo, “ujawai kuteteleka kijana wangu, yote tutayaongea jioni, najiandaa kuja huko” alisikika mzee kiparago, toka upande wapili wa simu.


Nikama kuna kitu alikuwa anafahamu, japo Idd alizania kuwa baba yake yupo tayari kumuunga mkono kwa jambo atakalo mweleza, “sawa basi nakusubiri” alisema Idd kwa sauti yenye furaha, akijuwa uwa jambo lake linaenda kufanikiwa, huku akipanga kumshirikisha baba yake kuhusu kupata Radhia.********


Mida hii Siwema ambae toka asubuhi, alikuwa anashinda chumbani kwake, akiletewa chakula na wadogo zake huko huko chumbani, muda wote akilala juu ya kitanda kikubwa cha kisaa, na kutazama TV kubwa kwenye kuta ya chumba kile, kichwani mwake akitawaliwa na mawazo juu ya kile kilicho mtokea kutokana na chuki zake zisizo na msingi kwa mdogo wake Radhia.


Siwema anatazama kitanda alicho lalia, kitanda ambacho akuwai kufikilia ata kukinunu katika maisha yake, lakini anakumbuka kuwa ni sababu ya uwezo wa kifedha alioupata baba yake mzee Makame, kwa kupitia mchumba wa mdogo wake Radhia. ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI NA MOJA: Siwema anatazama kitanda alicho lalia, kitanda ambacho akuwai kufikilia ata kukinunu katika maisha yake, lakini anakumbuka kuwa ni sababu ya uwezo wa kifedha alioupata baba yake mzee Makame, kwa kupitia mchumba wa mdogo wake Radhia. ........ ENDELEA….


Siyo hivyo tu, Siwema anagunduwa kuwa, kila anacho kiuona mle ndani, ni sababu ya Radhia kufahamiana na Edgar na kuanza mausiano, ambayo pia yalimsaidia ata yeye kurudi kazini haraka.


“hivi ningekuwa mtu wa kawaida ningetibiwa kwa haraka kweli?” anawaza Siwema, akijiuliza kuwa zile huduma alizo pewa na gharama zilizotumika kutibiwa uchizi wake, zingepatikanaje endapo angekuwa na maisha ya zamani,


Kwahiyo Siwema anagundua kuwa, Radhia amecheza sehemu kubwa sana katika mafanikio yake, na kwa familia nzima, maana ata sasa wadogo zake na mtoto wake khadija wanaishi kifahari, sababu ikiwa ni huyo huyo Radhia.


Sasa kwanini yeye anamchukia Radhia na ndugu zake, maana kila alipojaribu kutafuta kosa alilo tendewa na Radhia, akuweza kupata ata kosa moja ambalo aliwai kutendewa na mdogo wake huyo, zaidi ni kwamba.


Siwema anapoendelea kuwaza, anakumbuka mambo mengi sana, ikiwa jinsi mama yao, yani mke mkubwa wa mzee Makame anavyo chochea chuki, kuanzisha ugomvi na masimango ya mala kwa mala, juu ya Radhia.


Hapo Siwema anagundua kuwa, akuwa na sababu yoyote ya kumchukia Radhia wala wadogo zake, ila ni wivu wa kijinga, ulio ungwa mkono na mama yake, na kuwaambukiza wadogo zake.


Siwema anakumbuka pia jinsi alivyo giribiwa na Idd, na kushawishika mala kadhaa kwenda kumfitini mdogo wake, huku akimtuhumu kuwa ni Malaya anaiaibisha familia, wakati yeye mwenywe yake makubwa yalikuwa yanafukuta, na yakaja kubebwa na Radhia huyu huyu, ambae aliamini kumrejeshea heshima yake.


“yani Idd ananishika akili na kunimfanya nimchukie mdogo wangu, na mimi nakubari kumsikiliza” anawaza Siwema ambae anajikuta amaumia sana moyoni mwake, na kutamani siku zirudi nyuma ili arekebishe makosa yake.*********


Masaa ya tililika huku Idd akisubiri kwa hamu kukutana na baba yake, kwamaana aliona kuwa kila kitu kinaenda kuwa sawa, huku anaenda kuwashikisha adabu wakina Ashura na Shaban, huku akipania kuwa atosubutu mwacha Ashura, maana kufanya hivyo ni kumpa Shaban ushindi.


Saa kumi na mbili za jioni, mjini mangaribi, Idd tayari alikuwa amesha funga duka lake la vifaa vilivyo tumika, akaamua kuelekea forodhani akanunue chakula, maana alijuwa fika kuwa, nyumbani hapakuwa na mtu wakupika chakula.


Idd anaacha baskeri nje ya duka lake, na kuanza kutembea taratibu kuelekea forodhani, ambako alitumia dakika dakika kumi tu, mpaka kufika eneo la wazi lenye raia waliokuwa wanapunga upepo, huku wanafurahia vitafunwana na vinywaji mbali mbali vya asiri ya kisiwa hiki, vilivyo uzwa na wafanya biashara mbali mbali, waliokuwepo eneo ili.


Idd anawaona watu waliokaa au kutembea wawili wawili, kwamaana ya mke na mume, Idd anavutiwa nao, huku walio mvutia zaidi, ni mke na mume walio waliokuwa wanatembea taratibu, kuja upande aliokuwepo yeye, huku wameshikana mikono yao, wanacheka na kutaniana.


Japo ilikuwa mbali kidogo, na ule mchanganyiko wawatu walio kuwepo eneo lile, lakini Idd aliweza kuwaona wapenda nao wale, ambao walionekana kuwa wenye furaha, ijapokuwa umbali ule ulifanya asizitambue sura za wapenda nao wale.


Mwonekano wa wawili wale, ulimfanya Idd anaanze kuwakumbuka wake zake, yani mmoja baada ya mwingine, akifananisha ambae anaweza kuenda nae vile.


Kwa Ashura aliona hapana, maana lijikuta amesha mchukia ghafla, kutokana na mambo aliyoyasikia jana usiku, akiyatamka kwa kinywa chake, lakini pia Idd alipo mkumbuka Shani, “huyo ndio hafai kabisaaa, anapenda sana kutiwa kila wakati” anajisemea Idd, ambae sasa anasogelea moja ya banda la urojo, na kusimama.


Wakati huo Idd alikuwa anawaza kuhusu Radhia, “sijuwi kwanini nilimwacha, yeye ndie angefaa kuzurula nae huku forodhani” anajisemea Idd, na wakati huo huo kuna suti ikapita masikioni mwake, ikitokea mita chache “kwahiyo lazima nikajifungulie #Mbogo_Land” ilikuwa ni sauti nzuri ya kike, yenye kujidekeza kweli kweli, sauti ambayo aliitambua mala moja.


Idd anageuka haraka na kutazama ilikotokea sauti, anamwona mwanamke mmoja mrembo na mzuri kweli kweli, ambae usingezania kuwa ni chotara, ila ingesema kuwa ni mwarabu kamili, aliekuwa ameongozana na mwanaume flani mrefu mweusi wa maji ya kunde mrefu kiasi alie tanuka kifua kwaajili ya mazoezi.


Huyu ni Radhia aliekuwa na mpenzi wake, Idd anashuhudia nyuso za furaha usoni mwa wawili hawa, roho inamuuma sana, amnawatazama kwa sekunde kadhaa, akisahau alichokuja kukifanya pale, “yah!, ni sehemu ambayo tutaishi kwa muda mrefu, maana ata yeye atasoma huko kuanzia hawari mpaka chuo” anasema yule mwanaume.


“kwani huko ni kuzuri sana hen?” anauliza Radhia huku anajiegemeza begani kwa mpenzi wake, Idd roho inazidi kumuuma, ana waza nini cha kufanya ili kuwatenga nisha wawili awa, maana amesha sikia kuwa wanaenda kuishi #Mbogo_Land, “nazani utajionea mwenyewe hiyo kesho kutwa ukifika, alafu wewe ndio utaniambia kama nikuzuri au la” maneno hayo yanazidi kumuumiza Idd, ambae anawashuhudia Radhia Edgar wakiwa wanatembea kuelekea njia ya kutokea.


Idd ananunua urojo kwa haraka, kisha anaanza kutembea kwa haraka kuwa fwata kule waliko elekea, kichwani mwake anapanga kuhakikisha anawaaribia wapenzi hawa, kwa kuwagombanisha kisha waachane kabisa.


Idd anatembea kwa haraka, akiwafwata wawili hawa ambao walikuwa wamesha mwacha kwa mwendo mrefu, wakielekea upande wa maegesho ya magari, nje ya viwanja vya forodhani, usawa wa aya majengo makongwe.


Idd anapo wakaribia, anapunguza mwendo, akisubiri watoke eneo lile, lwenye watu wengi, ili aweze kulianzisha zengwe alilo ona, lina weza kusababisha mvurugano kwa wawili awa na kuachana kabisa.


Idd anawafwata wakina Radhia mpaka wanapotoka nje kabisa na kuelekea kwenye maegesho ya magari, ambapo palikuwa na magari machache, yakizidiwa na vesper, ambazo zilionekana kuwa nyingi sana.


Idd akuwapa nafasi wakina Radhia kufungua milango ya gari lao, “asalam aleykum Radhia” alisalimia Idd, kwa sauti yenye uchangamfu wahali ya juu, na kuwafaya wakina Radhia na Edgar kushtuka kugeuka kumtazama msalimiaji.


Radhia anapomwona Idd anashtuka kweli kweli, “aleykum salam, habari yako” anasalimia Radhia, kwa sauti yenye wasi wasi na mashaka kidogo, “habari yangu aiwezi kuwa njema wakati hupo kimya namna hii” anasema Idd kwa sauti ile ile ya uchangamfu.


Edgar anamtazama Idd kwa sekunde chache, kabla ajaamua kuendelea na hamsini zake, kwa kufungua mlango wa gari kwa remote, huku Radhia anaonekana kuzidiwa na wasi wasi, ni wazi alikuwa anajiuliza alicho fwata Idd pale kwake.


“kimya kivipi Idd, mbona siku elewi, kwani kuna maongezi kati yetu?” anauliza Radhia, kwa sauti yenye mshangao, huku Edgar akiwa amesimama karibu na mlango wa mbele, upande wa abiria, “haaaaaaa!, jamani mke wangu Radhia, bado unahasira na mimi, lakini sishangai mala nyingi ujauzito unamkataa mume” alisema Idd, akijitabasamulisha, na macho yake ameyaelekeza kwa Radhia.


Radhia anamtazama Edgar, kwa macho yenye wasi wasi, ambae pia alikuwa anamtazama Radhia kwa macho ya mshangao, Radhia anamtazama Idd, “sijakuelewa Idd, unamaana gani kusema hivyo?” anauliza Radhia kwa sauti ya mshangao na wasi wasi.


Idd anamtazama Edgar kwa macho ya wizi, anamwona akiwa amemtolea macho Radhia, usingezania kuwa wawili hawa, ndio wale ambao walikuwa wanatembea pamoja, kwa kushiakana mikono, huku wanaongea na kucheka kwa furaha, Idd akaona kuwa hii ndio mida ya kubomoa penzi la wawili hawa.


“basi usijari mama, nilitaka kujuwa tu unaendeleaje maana toka unijulishe unamimba, ukuniambia unaendeleaje” alisema Idd, huku anawatazama kwa hawamu wawili hawa, ambapo alimwona Radhia anamgeukia Edgar, huku uso wake ukianza kujikunja tayari kuangua kilio.


Huku Edgar nae akimtazama Radhia kwa macho ya mshangao, kama vile mtu alie fanya jambo la ajabu, “kwahiyo Radhia inabidi nielewa kuwa ujauzito ni wa huyu mumeo wa zamani, na ninachotaka kukifanya ni kuachana na wewe sindio” aliuliza Edgar kwa huku anamtazama radhia.


Radhia anonekana wazi kutaka kulia, maana akuelewa Edgar yupo katika hali gani, na kwanini leo amekuwa mwepesi wa kumwamini Idd, wakati sikuzote uwa anakuwa mgumu sana kukubari njama za Idd, au amefanyiwa ushirikina, kama siyo amepata sababu ya kumwacha, baada ya kuchoshwa na vituko vya ndugu zake. ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
YA MIA MOJA ISHIRINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA ISHIRINI NA MBILI: Radhia anonekana wazi kutaka kulia, maana akuelewa Edgar yupo katika hali gani, na kwanini leo amekuwa mwepesi wa kumwamini Idd, wakati sikuzote uwa anakuwa mgumu sana kukubari njama za Idd, au amefanyiwa ushirikina, kama siyo amepata sababu ya kumwacha, baada ya kuchoshwa na vituko vya ndugu zake. ........ ENDELEA….


Idd alihisi kuwa Radhia atachelewa kujibu swali ilo, hivyo akaamua kumsaidia kujibu yeye, “sidhani kama utakubari kulea mimba ya mwanaume mwingine, isitoshe nilisha kuambia kuwa huyu ni mke wangu, wewe ukutaka kusikia” alisema Idd, kwa sauti yenye uchochezi, Radhia anahisi mwisho wa furaha na mapenzi moto moto ndio umesha fika.


Radhia anamtazama Edgar kwa macho ya kukata tamaa, anamwona Edgar anamtazama yeye kwa macho makavu, “kuanzia sasa mimi na wewe basi, rudi kwa mumeo” Radhia alisikia maneno yahoo makali yakitoka kwa Edgar kwa sauti tulivu ya taratibu, ilimfanya Idd aachie tabasamu pana, la furaha.


Radhia kabla ajapata jibu la kumweleza Edgar, akamwona Edgar anacheka kidogo, huku anamtazama Idd, “kwahiyo bro siulitaka niseme hivi, je unazani ni lahisi kwangu kumwacha mwanamke ninae mpenda,?” Radhia anasikia Edgar akimwuliza Idd, Radhia anamtazama Edgar ambae anaonekana akiwa mwenye uso tulivu wenye tabasamu.


“unawezaje kuwa na mwanamke mwenye mimba ya mwanaume mwingine, unazani anakupenda huyu, yeye anafwata magari na fedha tu kwako” anapayuka Idd, huku anaonyesha wazi kupandwa na hasira, huku Radhia mwenyewe akilipukwa na furaha moyoni mwake.


Mpaka hapo Radhia akaona aitakuwa vyema kuendelea kulea jambo ili, “Idd umefanya yote, mpaka ushirikina, ukaona aitoshi, sasa unaamua kuja mwenyewe, unawezaje kunipa ujauzito mimi, ikiwa unashindwa kumpatia mimba wanamke unae ishinae ndani, mpaka anaenda kuzaa na mpenzi wake wa zamani watoto watatu?” alisema Radhia, kwa sauti iliyojaa hasira na jazba, hakika siyo Edgar peke yake ata Idd licha ya kukaa na Radhia miaka miwili, lakini hakuwai kumeona akiwa katika hali kama hii.


Idd anashangaa kwa kusikia Radhia akisema hivyo, anajiuliza Radhia amejuwa swala, “inamaana we mshenzi ulikuwa unafahamu upuuzi anao ufanya mwenzio na ukakaa kimy…” alisema Idd kwa sauti yenye hasira za hali ya juu, huku anainua mkono na kuushusha kwa kasi usawa wa uso wa Radhia, ambae akuwa na namna, zaidi ya kusubiri kinachofwata.


Ukweli ni kwamba, Idd akupewa nafasi ya umalizia kufanya alilo kusudia, maana tayari alishtuka mkono wake ukiwa umedakwa juu kwa juu, na kubanwa na mkono wenye nguvu.


Idd atazama Edgar, ambae kiukweli alitumia wepesi wa hali ya juu, kuudaka mkono wa kijana Idd, ambae akukubari kushindwa, akarusha konde la mkono wa kushoto, kumpiga Edgar, lakini hakufanikiwa, maana tayari Edgar alisha uona mkono huo dhaifu wa Idd ukicha shavuni mwake, na yeye kukukwepa kilahisi, huku bado akiwa ameushikilia mkono wa kijana wa kijana huyu.


Edgar ana mzungusha Idd mkono na kuubana kwa nyuma, kiasi kwamba Idd akuweza ata kujitikisa, “nasema niache nimfundishe huyu Malaya…” alisema Idd, ambae mwanzo, akujuwa neno Malaya limemchukiza kiasi gani Edgar, ambapo alikuja kugundua ilo, baada ya kujikuta akuta akipigwa kofi moja zito la shavu, lililo myumbisha kwanguvu, kama siyo kushikwa na Edgar, alikuwa anaenda chini moja kwa moja.


“mpuuzi mkubwa, usithibutu tena kumwita mke wangu Malaya” alisema Edgar huku anaifyetua miguu yote miwili ya Idd kwa kumpiga na mguu wake, kiasi cha Idd kujikuta akiwa tupwa juu na kuanguka chini kama kifurushi cha pamba, huku akibamiza kiuno chake aridhini.


“yalaaaaah!, nakufa mie” alipiga kelele Idd, akiwa amelala chini, Radhia nae akamsogelea “mshenzi wewe naukome” alisema Radhia huku anamzabua teke la usoni mume wake huyu wa zamani, ambae alisikilizia maumivu ya shavu lake la kulia, ambalo lilipata zoruba ya teke la mke wake wa zamani.


Idd anashindwa kuinuka na kubakia pale chini, akimshuhudia Edgar anamfunguliaa mlango mke wake, ambae anaingia ndani ya gari, nae anaingia kwenye gari kisha wanaondoka zao kuelekea upande wa darajani, na kutokomea kwenye barabara za majengo ya kale, maarufu kama ngome kongwe.


Idd anajiinua taratibu toka pale chini, kisha anaanza kutembea kuelekea darajani, maumivu makali ya kiuno, moyo unamsokota kwa wivu na maumivu ya mambo yanayo mtokea, anawaza kwa uchungu, lakini hapati jibu la nini cha kufanya maana Radhia anaonekana wazi, kuzama mazima kwenye penzi la Edgar, ambae pia anampenda kupita kiasi mwanamke huyo.*********


Nyumbani kwa mzee Makame, mida ya saa mbili za usiku, mzee Makame mwenyewe, alikuwa sebuleni, pamoja na wake zake wote wawili na watoto wake watatu wakike, yani Siwema, Mariam na Zuhura, mzee Makame alionekana wazi kuwa mwenyewe utulivu uliopitiliza, ni wazi alikuwa anamaongezi nao, maana kila mmoja alikuwa amekaa kwa utulivu, akisubiri kusikia kitakacho ongelewa.


“nimewaita hapa kuna jambo nimekusudia kuongea na nyie” alisema mzee Abeid Ally Makame, ambae kiukweli utulivu wake wa leo ulizidi ule wa siku zote, huku wanafamilia wake wakimsikiliza kwa umakini, wakati huo Siwema akiwa anawaza moyoni mwake na kuhisi kuwa na leo tena anasemwa yeye, kwa tukio la jana.


“ukweli mnatakiwa kubadirika, na kupendana nyie wenyewe kama ndugu, ebu oneni tukio kama lile la jana, kama siyo kuwai wakina Radhia pale hospital, na kushauriana na wauguzi, wampeleke Siwema huko kwa waganga wake, si ingekuwa aibu kubwa sana kwa familia nzima” anaeleza mzee Makame, huku wanafamilia wakiendele kumsikiliza.


“daima ukiendekeza wivu wakijinga utajikuta unafanya mambo ya ajabu, jana nilishindwa kuongea mbele ya mume wa Radhia, lakini ukweli ni kwamba, Radhia akufaidika peke yake kwa kuwa na yule kijana, tumefaidika wote, wao ndio walionikutanisha na rais, na wao ndio waliokurudisha kazini Siwema, sasa chuki inatoka wapi, au Radhia akutakiwa kupata ujauzito?” anauliza mzee Makame, huku anamtazama Siwema, ambae alishindwa kujibu, na kubakia ameinamisha kichwa chini kwa aibu.


“ebu msimfanye Radhia akawatenga, hakika mtajutia nafasi hii” alisema mzee Makame ambae mwisho akawaeleza juu ya safari yake ya kuelekea #Mbogo_Land, “pia Radhia nae ataelekea huko kwenda kutambulishwa kwa wakwe zake, baada ya hapo kuna mengine yatafwatia” alisema mzee Makame, ambae alimalizia kwa tahadhari na katazo kubwa, “nikisikia mtu anamfanyia mwenzie choyo au chuki ya aina yoyote, basi huyu nita mtenga kuwa mwanafamilia” alitahadharisha mzee Makame, akimaliza kuongea.


Baada ya hapo Siwema akaomba kuongea kitu, “ukweli baba naomba unisamahe sana, nakili kuwa Radhia akuwai kunikosea ata mala moja, lakini nimetokea kumchukia bila sababu, na siyo mimi tu, ata wakina Mariam, nao wapo hivyo hivyo, na siyo kwamba chuki hii ni kwa Radhia peke yake, ila ni kwa watoto wote wa mama mdogo, na mama mdogo mwenyewe” alieleza Siwema, ambae sauti yake ilionyesha majuto toka moyoni.


Ndugu zake na mama yake wote walimsikiliza kwa makini, huku moyoni mwao wakikubari kuwa Siwema anaongea ukweli kabisa, japo kwa upande wamama Mariam alikuwa anaombea aishie hapo hapo, lakini baba yake ambae pia alikuwa anamsikiliza kwa umakini alitaka kusikia zaidi, “unazani ni kwanini wewe na wadogo zako, mnawachukia wenzenu?” aliuliza mzee Makame.


Hapo Siwema aliwatazama wadogo zake, ambao pia walikuwa wanamtazama, kisha akamtazama mama yao, ambae pia alikuwa anamtazama kwa macho ya mashaka, kabla ajamtazama mama Radhia ambae muda wote alikuwa ametulia anasikiliza.


“chanzo ni chuki ambayo tumeirithi toka kwa mama, zidi ya mama mdogo” alisema Siwema, ambae mpaka sasa anaonekana kujutia kile alicho kifanya mpaka kumletea madhara makubwa, na doa kubwa katika maisha yake. ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom