denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Mkuu kule nako ongeza basi kumbe bado hujachoka mpaka umeanzisha kitu kipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kule nako ongeza basi kumbe bado hujachoka mpaka umeanzisha kitu kipya
Kama ungekuwa umelala ningeshangaa sana. Kidogo nikufateMkuu kule nako ongeza basi kumbe bado hujachoka mpaka umeanzisha kitu kipya
Husiweke yote, kamanda. Itatukatia stim kwa Peniela. Ikiwezekana we achia hapo kwanza tumalizane na kule, maana nadhani patakua panaelekea ukingoni.au niibwage yote mwanzo mwisho wa kuu. mkeshe nayo week end hii
Pole sana maana usiponiona unaumwa hahahahaaKama ungekuwa umelala ningeshangaa sana. Kidogo nikufate
Mkuu poa maana wengine tumebobea kwenye ujasusihaina shida mkuu soon naibwaga yote kwa mara moja coz kuna story nyingi sana speed yenu tuu maana wengine ndio ulevi wetu huu
Upata nafasi na kama inawezekana ile ya penny bwaga yote kila mtu ajipimie kwa muda wake.au niibwage yote mwanzo mwisho wa kuu. mkeshe nayo week end hii
[emoji120] bora umesema mapemaMods jiandaeni kuwalisha watu ban za kutosha.
Marufuku tena Marufuku, ku quote story, ni bora umfate mhusika inbox kuliko kutafutiana matusi humu.
Ibwage yote LEGEau niibwage yote mwanzo mwisho wa kuu. mkeshe nayo week end hii
Hahahhhh
aina shida mkuu basi usije huku sasa mbona unafika huku sasa.