Simulizi - change (badiliko)

DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KWANZA

★★★★★★★★★★★★★★


Siku ambayo Draxton alivamiwa kwenye nyumba yake ya maficho na kijakazi mkatili wa Efraim Donald, mwanaume huyu alikuwa amepitia jambo ambalo alijitahidi sana kuzuia kwa kipindi kirefu tokea alipofika Tanzania. Mwanaume aliyeagizwa na Efraim Donald kumtafuta Draxton, aliyeitwa Suleiman, alikuwa amelazimu unyama wa Draxton utoke mchana kweupe baada ya kumpiga kwa risasi nyingi akidhani kwamba angeweza kumuua, lakini matokeo yakawa ni kifo kwake yeye mwenyewe. Draxton alikuwa amejitahidi sana kuficha uasili wake kwa kujenga nyumba ndogo maeneo ya msitu ambako palijificha, na pia kuchukua hatua ambazo zingezuia madhara makubwa wakati wowote upande wake wa mnyama ungetaka kutoka; yaani kujifunga kwa minyororo.

Siku hiyo Suleiman aliposababisha mnyama huyo atoke, aliweza kuondoka msituni hapo na kufika eneo lenye makazi ya watu wachache, naye akasababisha vifo vya watu 16 waliokuwa maeneo ya mashine ya kusaga nafaka. Hakukuwa na watu walioweza kumwona kwa usahihi, naye akaendelea kusonga mbele na kufikia eneo lingine lililokuwa na msitu pia, na huko akajilaza tu baada ya kushiba kupitiliza kawaida. Draxton alikuja kufumbua macho yake ikiwa imekwishafika usiku sana, na ingawa hakuweza kukumbuka kilichoendelea baada ya kubadilika kwake, aliingiwa na mfadhaiko mwingi moyoni kwa sababu alijua ni lazima tu alikuwa amesababisha matatizo kutoka kule alikokuwa. Akajilaumu sana moyoni kwa kuamua kubaki huku. Alihisi labda angetakiwa tu kuwa ameshaondoka kipindi kile Namouih amegundua siri yake, huenda haya yangeepukwa. Lakini kabla ya kufikiria mengine zaidi, angepaswa kutoka eneo hilo kwanza, ajue ni maafa makubwa kadiri gani alikuwa amesababisha, ikiwa kuna watu walimshuhudia mnyama wake, na ndiyo afanye nini baada ya hapo.

Akatoka sehemu aliyokuwa na kuanza kutembea akiwa bila nguo mwilini. Akafikia sehemu fulani iliyokuwa na vibanda vya mbao vilivyotengenezwa kwa kusudi la kuwekea bidhaa, na kwa wakati huo hakukuwa na mtu hata mmoja. Baada ya muda mfupi ndiyo ikawa imefika pikipiki iliyobeba wanaume wawili waliofanya kazi ya ulinzi wa maeneo. Alijaribu kuwaomba msaada ili aweze kurudi nyumbani, lakini wakaingiza mambo ya kijinga kwa kumwomba awape malipo kwanza kwa njia ya ushoga. Alipokataa, wakajaribu kumlazimisha na hata kuanza kumpiga kwa marungu yao mwilini kwake. Alikasirishwa sana na jambo hilo kiasi kwamba akawa anataka awafundishe adabu, lakini hakutaka afanye hivyo kwa kupitiliza, alitaka awafundishe adabu akiwa yeye kama yeye. Ni wakati alipokuwa anataka kuwapa dozi waliyostahili pale wanaume hao walipovutwa nyuma kwa nguvu na kuangukia mpaka usawa wa pikipiki yao. Draxton alikuwa amepiga goti moja chini wakati huo, akihisi maumivu sehemu za mikono na mgongoni, lakini ikawa ni kama yote yamepotea kwa sababu sasa ufahamu wake ulikuwa umetekwa na jambo fulani ambalo lilikuwa geni kabisa kwake.

Hakumwona mtu aliyewavuta wanaume hao, lakini harufu yake aliivuta vyema. Harufu hiyo ilikuwa tofauti na harufu ya binadamu wa kawaida; ilikuwa harufu kama ya kwake! Yaani, yeye akiwa kama mnyama pia, aliweza kutambua kwamba aliyewavuta wanaume hao hakuwa binadamu kikamili, ila mnyama kama yeye. Akasimama taratibu akiwa anajaribu kutafuta uwepo wa kiumbe huyo, maana hisi zake za unyama zilimweka katika hali fulani ya tahadhari kama vile kujua hiyo ingekuwa ni hatari kwake yeye pia. Wanaume wale wawili wakanyanyuka upesi huku wanaangalia huku na kule, kisha wakamwangalia Draxton na kusimama kwa kujihami.

Draxton akawa amesimama huku amekunja uso kwa njia fulani makini sana, akiwa anazifungua hisi zake zote za juu ili kutambua ni nini kilichokuwa kinawazunguka, na ni hapo ndiyo askari wale wakasaidiana kunyanyua pikipiki yao ili wakimbie kwa kuwa tayari walihisi hapo kuna balaa zito kuliko walivyodhani. Hawakuwa hata wamefanikiwa kuinyanyua sawa na hapo hapo akatua mtu fulani aliyempa mgongo Draxton, na kwa macho ya haraka Draxton akaona jinsi mtu huyo alivyovishika vichwa vya wanaume hao na kunyonga shingo zao kwa kasi sana! Wanaume hao wakadondoka hapo hapo na kuanza kushtuka kiasi, kisha wakatulia.

Draxton akabaki kumtazama mtu huyo mbele yake. Alikuwa amempa mgongo bado, na alionekana akiwa amevaa kitu kama sweta gumu la brown na suruali ya jeans pamoja na viatu vyeusi, na kichwa chake kilikuwa na nywele ndefu nyeusi na laini kama za mzungu. Na ndiyo huyo mtu aliyekuwa anatoa harufu isiyokuwa ya binadamu wa kawaida iliyoendelea kuzipiga vizuri kona za pua ya Draxton. Kisha, akageuka taratibu na kumtazama Draxton usoni, na kiukweli Draxton akashangaa sana. Kwanza, mtu huyo alikuwa mwanaume. Pili, alikuwa mzungu, mwenye mwonekano kama wazungu wa kwenye tamthilia za waturuki wenye ndevu nyingi. Kiumri angeweza kusemwa ana miaka inayofika 40, naye alikuwa mrefu kumfikia Draxton.

Mwanaume huyo akaanza kupiga hatua chache kumwelekea Draxton, naye Draxton akajitahidi kuendelea kusimama kwa ujasiri huku akiwa bado haelewi kinachoendelea na kutojua cha kutarajia. Huyu mzungu alikuwa nani? Kwa nini alijitokeza wakati huu? Na kwa nini alitoa harufu isiyokuwa ya binadamu wa kawaida? Mwanaume huyo alipofika mbele yake Draxton, akamtazama kwa macho fulani yaliyojaa matumaini sana, kama vile kusema alikuwa amefurahi kumwona, kisha akaweka mkono wake alioukunjia ngumi kwenye kifua chake usawa wa moyo, halafu akashuka chini na kupiga goti moja kwa njia fulani kama amemwinamia kuonyesha heshima. Draxton akabaki kumtazama kwa umakini tu, akiwa amebumbuazishwa na jambo hilo, na mwanaume huyo akawa ameinamisha uso wake.

"It is an honor to be in your presence... Maximilian."

Mwanaume huyo ndiye aliyesema maneno hayo, akimaanisha anahisi kama vile amewadhifika kuwa mbele ya Draxton. Draxton alishangazwa sana na uhakika wa kile ambacho mwanaume huyo alikuwa amesema, hata jina lake la mwanzo alilifahamu vizuri kabisa.

"Who are you? (Wewe ni nani?)" Draxton akamuuliza.

Mwanaume huyo akaunyanyua uso wake na kumwangalia, kisha akasema, "My name is Mark. I am a man who is going to help you know who you truly are... and what that means for people like us (Jina langu ni Mark. Mimi ni mtu nitakayekusaidia uweze kujua wewe ni nani hasa... na jambo hilo linamaanisha nini kwa watu kama sisi)."

"What do you mean? (Unamaanisha nini?)" Draxton akauliza.

"Everything you've ever asked yourself about your life, I have the answers. I will help you learn the truth, because now more than ever... we need you Maximilian. You are our only hope (Kila jambo ambalo umewahi kujiuliza kuhusu maisha yako, mimi nina majibu. Nitakusaidia uujue ukweli, kwa kuwa wakati huu zaidi ya wakati mwingine wowote... sisi tunakuhitaji Maximilian. Wewe ndiyo tumaini letu la pekee)," mwanaume huyo akamwambia.

"We? (Sisi?)" Draxton akauliza akiwa hajaelewa anachomaanisha.

Mwanaume huyo mzungu kwa jina la Mark kama alivyojitambulisha, akafumba macho yake kwa kifupi, kisha akayafumbua na kumtazama Draxton tena.

Draxton akashangazwa na alichoweza kugundua kuwa jambo ambalo hakuwahi kudhani angekuja kuliona. Macho ya Mark yalikuwa yamebadilika na kuwa ya rangi ya njano, kitu kilichomwambia mwanaume huyu kwamba hapo mbele yake alikuwa pamoja na mtu mwenye hali kama ya kwake. Hakuwahi kufikiria kabisa kwamba siku kama hii ingewahi kufika baada ya yeye kuja kwenye nchi hii, na sasa akawa ametambua kwamba kumbe kulikuwepo na watu wenye hali kama yake ya kuwa wanyama, na kama mzungu huyo alivyosema, inaonekana hata walikuwa wengi sana.

Lakini huyu Mark alijua vipi kuhusu historia halisi ya maisha ya Draxton ambayo hata yeye Draxton hakuifahamu vyema? Ni kwa nini hakuwa amemtafuta muda wote huo ndiyo aje kumtafuta wakati huu? Wonyesho huu wa heshima mpaka anapigiwa magoti ulimaanisha nini? Na ni nini kilichokuwa kimempata Mark na "wenzake" kilichomfanya afikiri kwamba Draxton anaweza kutoa msaada wowote kwake? Kwamba Draxton alikuwa kama nani mpaka aonwe kuwa msaada pekee kwa watu hao? Sasa ndiyo uliokuwa wakati wa kuyapata majibu ya maswali hayo yote, hivyo Draxton akaamua kumsikiliza mgeni huyu asiyejulikana alitokea wapi.

Macho yake Mark yakarejea hali ya kawaida, kisha akanyanyuka kutoka chini hapo na kuelekea miili ile ya maaskari aliowaua walipokuwa wakimzingua Draxton. Akaanza kufanya utaratibu wa kumvulisha mmoja wao nguo alizokuwa nazo mwilini, naye Draxton akaendelea tu kumtazama kwa umakini. Haingekuwa rahisi kwake kujua ikiwa nia ya mtu huyo ilikuwa nzuri, lakini kuona tu kwamba alikuwa wa aina yake ni jambo lililomfanya atake kujua mengi zaidi. Hii siku haikuwa imekwenda vizuri sana kwake, na ujio wa mwanaume huyo ulielekea kuleta mambo mengi mazito zaidi. Mark akawa amemvulisha shati na suruali askari mmoja, kisha akamrudia Draxton na kumnyooshea nguo hizo kama anampa avae. Draxton hakuzipokea, bali akawa anamwangalia tu usoni.

"Please wear this for now. We have to get out of here. I believe you will need to clean up some things before I tell you everything (Tafadhali vaa hizi kwa sasa. Tunahitaji kuondoka. Naamini kuna mambo utahitaji kuweka sawa kabla sijakwambia kila kitu)," Mark akasema.

"What things? (Mambo gani?)" Draxton akamuuliza.

"It was um... a bit of a mess you made in public a few hours ago. If you can think of anything that will need some fix so nobody tracks it back to you, I'll help you with it (Ilikuwa... ni mambo mabaya kiasi umefanya hadharani masaa machache yaliyopita. Ikiwa kuna jambo lolote linalohitaji kurekebishwa ili watakaofatilia wasije kukufikia wewe, nitakusaidia kwa hilo)," Mark akasema.

Draxton akaendelea kumwangalia tu.

"I understand that this is very surprising, and you got every right to doubt my intentions. Look, I know what you've been through. It wasn't easy. I relate deeply on how you feel. But I have no intention of harming you. Besides, there is no such thing as harming you because you are very powerful. Just trust that whatever am going to tell you is very important... you'll decide whether to help us or not (Ninaelewa haya yote yanashangaza, na una kila haki ya kushuku nia yangu. Ona, ninajua mambo uliyopitia. Hayakuwa mepesi. Ninaweza kuelewa kiundani sana namna unavyohisi. Ila sina nia ya kukudhuru. Hata hivyo, kukudhuru wewe ni kitu ambacho hakipo maana una nguvu nyingi. Amini tu kwamba chochote nachotaka kukwambia ni muhimu sana... wewe ndiyo utaamua ikiwa utatusaidia au la)," Mark akamwambia.

Aliongea maneno hayo kwa njia yenye heshima kuu, naye Draxton akayaangalia mavazi yale aliyoshika mwanaume huyo, kisha akayachukua na kuanza kuvaa.

"I'll get rid of the bodies, then we can go wherever you want to first (Nitaiondoa miili hiyo, kisha tutakwenda popote pale unapotaka kwanza)," Mark akamwambia.

Draxton hakuwa na neno. Akamtikisia kichwa tu kukubali, na mwanaume huyo akazifata maiti za maaskari wale wawili, kisha akaibebanisha vizuri na kuinyanyua kwa pamoja. Nguvu alizokuwa nazo zilionyesha kweli alikuwa wa aina yake Draxton, naye akaelekea upande wenye miti zaidi na kuitupa huko; akiifukia kwa manyasi mengi yaliyokaukia chini. Akarejea kwa Draxton na kumkuta ameshavaa nguo zote, na kichwani alivalia kofia ya askari mmoja ili kuficha nywele zake nyeupe. Mark akainyanyua pikipiki ya wale jamaa na kumtazama Draxton machoni kama kumwambia anasubiri. Draxton akaenda na kupanda kwenye pikipiki hiyo, akishika usukani, na baada ya kuiwasha Mark akaketi nyuma pia. Ni kweli kabisa kwamba alihitaji kurekebisha mambo mengi kule alikotoka, hivyo bila kukawia akaiweka pikipiki mwendoni kutafuta barabara kuu.

★★

Baada ya kuzunguka kwa dakika chache akawa amepata uelekeo alioufahamu, naye akajitahidi kupita sehemu alizojua kwamba asingevuta umakini wa watu wa usalama. Imeingia mida ya saa kumi na mbili alfajiri akawa amefanikiwa kuwafikisha kule kwenye nyumba yake ya maficho. Draxton alikuta eneo hilo likiwa namna alivyolizoea, isipokuwa wakati huu lilikuwa tofauti na jinsi alivyokumbuka kuliacha mara ya mwisho. Aliweza kuona damu nyingi iliyokauka sehemu ya ardhi mpaka kulifikia gari lake, ambalo lilikuwa na mkunjo mdogo na mikwaruzo ya mbali kwenye usawa wa mlango. Kulikuwa pia na vipande vidogo vya miguu na mifupa hapa na pale, naye Draxton akaelewa kwamba mmiliki wa hivyo alikuwa Suleiman, yaani marehemu Suleiman.

Mark akamwambia kwamba wangehitaji kuisafisha sehemu hiyo upesi na kuondoa mambo yote upesi kabla ya maaskari kufikia hapo katika uchunguzi wao, lakini Draxton akakanusha, akisema tu kwamba angekwenda huko ndani kuchukua vitu vichache kisha wangeondoka kwa kutumia gari lake. Akamwacha Mark nje na kwenda ndani. Alikuwa na huzuni sana moyoni, lakini akajikaza na kwenda chumbani kuchukua vitu vichache. Kati ya vitu hivyo ilikuwa ni picha ya muda mrefu sana ya mama yake mzazi, na baada ya kuitazama kwa ufupi akaiweka mfukoni na kubeba mizigo yake mpaka nje. Mark akamsaidia kuipokea mizigo na kwenda kuiweka kwenye gari, kisha wawili hawa wakaingia ndani. Draxton alikuwa kimya tu, akiushikilia usukani na kuitazama nyumba hiyo kwa umakini, kisha akawasha gari na kuligeuza; akiiacha nyumba yake kwa mara ya mwisho.

★★

Mwendo wa dakika kama 20 ulitosha kuwatoa huko misituni na kuwaingiza jijini zaidi. Bado wanaume wote walikuwa kimya, nao walipokuwa mwendoni bado, wakasimamishwa na askari wa usalama barabarani, aliyeomba utambulisho wa Draxton na leseni. Baada ya kuhakiki, askari huyo akawaachia, na safari ikaendelea. Mark akawa ameshangazwa kiasi na uwepo wa askari huyo mapema namna hiyo barabarani.

"On the road this early? He must really like his job (Yaani yupo barabarani mapema yote hii? Basi atakuwa anaipenda kazi yake sana)," Mark akavunja ukimya hatimaye.

"They like to give a good impression (Wanapenda kutoa mtazamo mzuri)," Draxton akasema hivyo kwa utulivu.

"To their superiors (Kwa wakuu wao)," Mark akasema.

"Yeah. Probably has to do with what I did yesterday (Ndiyo. Inaweza pia kuhusiana na nilichokifanya jana)," Draxton akasema.

"Or maybe it's just an early shift (Au labda ni zamu ya mapema tu)," Mark akamwambia.

Ukimya ukafuata tena, kisha Draxton akauliza, "How many did I kill? (Nimeua wangapi?)"

Mark akamtazama kwa ufupi, kisha akasema, "Sixteen (Kumi na sita)."

Draxton akakaza meno yake akihisi vibaya sana moyoni. "My God... how could I let this happen? (Mungu wangu... nimewezaje kuruhusu hii itokee?)" akajisemea kwa sauti ya chini.

"It wasn't your fault (Hayakuwa makosa yako)."

"Don't say that. You don't know anything (Usiseme hivyo. Haujui lolote lile)."

"I know everything (Najua kila kitu)," Mark akasema.

Draxton akamtazama kwa umakini.

"I mean... at least a huge part of things. But I know you didn't want this. And trust me, we can fix it (Namaanisha... nafahamu sehemu kubwa ya mambo yote angalau. Ila najua haukutaka hili. Na niamini, tunaweza kulirekebisha)," Mark akamwambia.

Draxton akaendelea tu kuendesha gari lake akiwa na mengi akilini.

Baada ya dakika chache, wakawa wamefikia pale kwenye nyumba ya kupanga alipoishi, naye Draxton akaegesha gari lake na wote kushuka. Wakaitoa mizigo yake na kwenda mpaka getini, na kwa muda huo lilikuwa wazi kwa ndani; yaani halikuwa limefungwa kutokana na mwanaume mmoja aliyekuwa mume wake Rehema kuwahi kuondoka kwa ajili ya kazi. Hivyo Draxton akalisukuma tu, nalo likafunguka. Wapangaji wengine walikuwa wamelala bado, isipokuwa ya yule binti aliyeitwa Kuluthum ambaye alikuwa anamwandaa mvulana mdogo wa familia yao kwa ajili ya kwenda shule. Draxton na Mark wakapita tu mpaka kufikia upande wa vyumba vyake, kisha akafungua tu na kuingia ndani.

Mark akamfata taratibu mpaka sehemu ya sebule, naye Draxton akamwambia anaweza kupumzika kwenye sofa hapo ili yeye aende kujisafisha vizuri kisha waje kuzungumza. Lakini Mark akasema hapana. Akamwambia kwamba aende kujisafisha kisha apumzike, yaani alale kabisa, na kwa sababu yeye Mark alikuwa ameshapajua hapo basi angemfata baadaye ili waweze kuongea vizuri. Akasema alikuwa na chumba kwenye hoteli fulani jijini hapo hivyo angeenda huko kwanza kisha angerudi muda ambao Draxton angekuwa ametulia vya kutosha. Draxton akatilia maanani pendekezo hilo, akiona ni kweli kwamba alihitaji muda wa kuwa mwenyewe kwanza kabla ya mambo mengine mazito ambayo mwanaume huyo alitaka kumweleza. Akamkubalia na kumwambia achukue gari lake ili iwe rahisi kwenda alikotaka, lakini Mark akasema haingekuwa na shida kwa sababu alitambua kwamba eneo la hapo halikuwa mbali na hoteli alipokaa, hivyo akasema angechukua tu usafiri wa pikipiki. Akaondoka hapo hatimaye, naye Draxton akakaa kwenye sofa kwanza.

Kwa wakati huu alikuwa anawaza zaidi kuhusu hali ya Namouih. Ikiwa Efraim Donald alitambua kwamba mke wake anatoka ndani ya ndoa yao na kufikia hatua ya kumwagiza Suleiman amuue, basi huenda ingekuwa hatari sana kwa mwanamke yule kuendelea kuwa kwake. Ingawa Namouih alikuwa mchango mkubwa katika kumsaidia na shida aliyokuwa nayo ya kubadilika, bado alikuwa ni mke wa mtu, na yeye Draxton alikuwa ni mpenzi wa rafiki ya huyo mke wa mtu. Mambo yalikuwa yamezidi kuchacha hasa kwa kuwa suala hilo lilipelekea vifo vingi vya watu wasiokuwa na hatia, na jambo hilo lilimchoma kupita maelezo. Yale yale aliyokuwa ameyakimbia Marekani na Venezuela yakawa yamejirudia tena. Hakuwa hata na hamu ya kushika simu kuangalia kama alitafutwa, hivyo akanyanyuka tu na kwenda chumbani, naye akavua nguo zile za maaskari na kuvaa taulo, kisha akaelekea bafuni kule nje na kuoga. Alipomaliza akaingia tu ndani na kuvaa pensi ya kijani pekee, na haikuchukua dakika nyingi baada tu ya yeye kujitupia kitandani usingizi ukamchukua kutokana na uchovu uliokuwa mwilini mwake.

★★

Muda fulani kupita, mwanaume huyu akaanza kusikia sauti za mbali za mlango uliogongwa kwa nguvu, naye akashtuka na kuweza kuzisikia vizuri zaidi kumfanya atambue kwamba ulikuwa ni mlango wake. Akajinyanyua taratibu, naye akaivuta simu yake kuangalia muda. Ilikuwa inakimbilia saa saba mchana, na kwenye kioo cha simu yake aliweza kuona taarifa ya simu ambazo hazikupokelewa kutoka kwa Namouih na Blandina. Za Blandina ndiyo zilikuwa nyingi zaidi, na baada ya mlango kusikika unagongwa tena, akaiweka simu pembeni na kutoka chumbani. Alidhani ingekuwa ni Mark ndiye aliyerudi, lakini alipofika usawa wa mlango na kukaribia kuufungua, akahisi harufu aliyoifahamu vyema; harufu ya Blandina.

Akafumba macho yake na kuinamisha uso wake kwa kuingiwa na simamzi, lakini akajiweka sawa na kumfungulia. Hangeweza kujizuia kumtazama mwanamke huyo kwa huzuni kutokana na yote yaliyokuwa yameendelea tangu amekutana naye, na Blandina alikuwa ameonyesha kiwango cha hali ya juu sana cha upendo kwake kwa muda mrefu kiasi kwamba hisia za hatia kutokana na mambo aliyofanya Draxton yasiyokuwa halali kwenye uhusiano wao zilikuwa nzito kupitiliza. Lakini licha ya yote, Blandina akaingia ndani hapo na kumkumbatia. Akambusu kwa upendo na kumwomba amweleze sababu zake za kumficha matatizo aliyokuwa nayo, na alisumbuliwa na nini hasa. Draxton akamwongoza kwenda mpaka kwenye sofa, na hapo akajaribu kuomba samahani kwa yote, huku Blandina akimsihi amwambie ukweli. Draxton alikuwa karibu kabisa kumwambia mpenzi wake kila kitu lakini Blandina akaitwa ghafla ofisini kutokana na dharura iliyomhitaji.

Mwanaume akamwambia aende tu, nao wangetafuta muda mwingine wa kuzungumza kwa kina, na ndiyo Blandina akatumia nafasi hiyo kumwambia asiache kwenda kwenye sherehe ndogo ya siku ya kuzaliwa kwake Namouih ambayo ilipangwa kufanyiwa nyumbani kwa Efraim Donald. Baada ya Draxton kukubali, mpenzi wake akaondoka, akimwacha mwanaume anawaza ikiwa kwenda lingekuwa jambo la busara hasa ikiwa Efraim Donald alijua kumhusu. Lakini kabla ya yote angetakiwa kumsubiri Mark kwanza ili aje kuzungumza naye, na ndiyo angejua ni sehemu ipi angetakiwa kusimama baada ya hapo.

★★

Yalipita kama masaa mawili baada ya Blandina kuondoka kwake Draxton, na kufikia mida hii mwanaume huyu tayari alikuwa ametulia vya kutosha kuweza kuzungumza na Mark, ambaye bado hakuwa amerudi. Alipika na kula chakula kiasi kilichokuwepo kwenye friji, na sasa alikuwa akitazama tu taarifa zilizohusiana na msiba uliosababishwa na mnyama aliyekuwa yeye mwenyewe. Sehemu nyingi za mitandao ya kijamii suala hilo lilizungumziwa, huku watu wengi wakiipondea serikali kwa kutoweza kushughulika vyema na majanga ya namna hiyo sikuzote yakitokea. Akafatilia taarifa za watu waliouawa na kugundua kwamba 15 walikuwa ni vijana wadogo waliokuwa wakicheza tu mpira eneo lile, na mmoja alikuwa mzee aliyefanya kazi ndani ya mashine ya nafaka.

Alihisi majuto mengi mno, na hasira kali ikamwingia iliyomfanya anyannyuke kutoka sofani na kupiga ngumi mezani. Ilivunjika kabisa na kusambaa, naye akawa anapumua kwa nguvu sana na kukaa chini. Kwa nini maisha yake yalikuwa hivi? Na hata kama angetaka kufa ili kukomesha matatizo yote aliyotokeza, ni jambo ambalo halikuwezekana. Kwa nini ilikuwa hivyo? Maswali na machungu yakiwa yanaendelea kumtawala mlango wa kuingilia ndani hapo ukafunguka. Draxton hakunyanyua uso wake kumtazama aliyeingia kwa kuwa tayari alijua ni nani. Mark ndiyo alikuwa amefika. Mwanaume huyu akakaribia sehemu ambayo Draxton alikuwa amekaa, akiona jinsi vipande vidogo vya meza ilivyozagaa, naye akamwangalia kwa uelewa.

"You want to talk about it? (Ungependa kulizungumzia?)" Mark akauliza.

Draxton akamtazama na kusema, "No. I just wanna listen to you (Hapana. Nataka tu kukusikiliza wewe)."

Mark akarudi nyuma kidogo, naye Draxton akajinyanyua na kuketi kwenye sofa tena. Alipomwangalia Mark, Draxton akagundua kuwa mwanaume huyo alikuwa anaweka umakini wake upande mwingine wa sebule, kama vile anatafuta jambo fulani.

"What is it? (Kuna nini?)" Draxton akamuuliza.

Mark akamwangalia na kusema, "I'm picking up an unfamiliar scent in here. It's... feminine (Ninaweza kuvuta harufu fulani isiyotambulika ndani humu. Ni... ya kike)."

Draxton akaelewa, naye akamwambia, "I had a visitor earlier. She's my friend (Nilikuwa na mgeni mapema leo. Ni rafiki yangu)."

"I see (Naona)," Mark akasema hivyo, kisha akaketi pia.

Draxton alikuwa na uso ulioonyesha mawazo sana, na mgeni wake alilielewa hilo vizuri.

"You gonna be okay? (Utakuwa sawa?)" Mark akauliza.

"Yeah, just... tell me. I want to know everything (Ndiyo, wewe... niambie tu. Nataka kujua kila kitu)," Draxton akasema na kumtazama machoni.

"What do you know about the way you are? (Unafahamu nini kuhusiana na jinsi ulivyo?)" Mark akamuuliza.

Draxton akatulia kidogo, kisha akasema, "Other than being an impossible to control murderous monster, nothing (Tofauti na kuwa mnyama muuaji asiyeweza kuongozwa, sijui lolote)."

"I've been where you have, and I know with you it has been a huge burden for a long time because you never fully understood yourself. Maximilian... you are a very complex being none of our kind can fathom to be, and even though I can walk you through many answers about what we are, understanding how YOU are is still a mystery (Nimeshakuwa kwenye sehemu uliyopitia, na ninajua kwako wewe imekuwa ni mzigo mzito sana kwa sababu hukuwahi kuelewa namna ulivyo kikamili. Maximilian.. wewe ni kiumbe mwenye utata sana hakuna hata mmoja wa aina yetu anaweza kuufikia, na ingawa ninaweza kukuelezea kuhusiana na aina yetu, kuelewa jinsi WEWE ulivyo bado ni fumbo)," Mark akamwambia.

"You're saying... that we are of the same kind, but I'm different? (Unasema... kwamba sisi ni wa aina moja, lakini mimi niko tofauti?)" Draxton akamuuliza.

"Yes (Ndiyo)."

"What do you mean? How... how is it possible that we are what we are? (Unamaanisha nini? Kivipi... inawezekana vipi kwamba tuko namna tulivyo?)" Draxton akamuuliza.

"It's because of your father, Obadiah Draxton (Ni kwa sababu ya baba yako, Obadiah Draxton)," Mark akasema.

Draxton akabaki kumtazama kwa umakini.

"He was a special animal scientist in the 19's, during the GED, leading up to the second world war. You may be familiar with your father's history that he, among other scientists, tried to do an experimentation where a human and an animal could interbreed, but their expectations never gave favourable fruits. Your father, unbeknownst to many, continued to search for ways to make his theories work, and at last succeeded in combining human cells with those of a wolf to produce an hybrid child, and an immortal one... you (Alikuwa ni mwanasayansi mtaalamu wa wanyama miaka ya 19 huko, wakati ule wa mshuko mkubwa wa kiuchumi, mpaka kufikia vita vya pili vya dunia. Unaweza kuwa unajua historia ya baba yako kwamba yeye, pamoja na wanasayansi wengine wa wanyama, walijaribu kufanya majaribio ya kuwezesha mwanadamu na mnyama kuzalisha kwa pamoja, lakini matarajio yao hayakuwapa matunda yaliyotazamiwa. Bila mtu mwingine kujua, baba yako aliendelea kutafuta njia za kufanya mawazo yake yafanikiwe, na mwishowe akaweza kuunganisha seli za mwanadamu na zile za mbwa-mwitu kutokeza mtoto wa aina mbili, na asiyeweza kufa... wewe)," Mark akaeleza.

"How did he manage that? (Aliwezaje kufanikisha hilo?)" Draxton akamuuliza.

"That IS the mystery. But what he did was a miracle, that we only see in movies and books. Whatever he did with producing you is what makes you immortal Maximilian, and it is still impossible to know what unless maybe... (Hilo NDIYO fumbo. Lakini alichokifanya kilikuwa muujiza, kama tu ile tuionayo kwenye filamu na vitabu. Chochote alichokifanya kukuzalisha wewe ndiyo kilichowezesha usiweze kufa kabisa Maximilian, na bado haitawezekana kujua ni nini isipokuwa labda...)"

"I get cell-checked (Nitazamwe kwenye seli zangu)," Draxton akamalizia maneno ya Mark.

"Yeah. But no one is going to force you to do something like that especially since it may cause a wreck to our well kept secrecy of our kind (Ndiyo. Lakini hakuna atakayekulazimisha ufanye jambo kama hilo hasa kwa sababu inaweza kuleta shida kwa upande wetu wa kutunza siri kuhusu aina zetu)," Mark akasema.

"How is it possible that we are of the same kind if my father only ever created me? (Inawezekanaje kwamba sisi ni wa aina moja ikiwa baba yangu alinitengeneza mimi tu?)" Draxton akauliza.

"Well, some people wanted to know how he did it after finding out about you, and I can say he saw they had ulterior motives. He hid you, but they caught him, forced and tortured him to give you up... only he didn't and that's why... they killed him, and faked his death as suicide (Kuna watu waliotaka kujua alifanyaje mpaka kufanikiwa walipogundua kukuhusu, na naweza kusema aliona kwamba walikuwa na makusudio mabaya. Alikuficha, lakini waliweza kumkamata, wakamlazimisha na kumtesa ili awapatie wewe.. lakini hakufanya hivyo na ndiyo sababu... wakamuua, kuweka kifo chake kiwe bandia kwa kufanya ionekane kwamba alijiua)," Mark akasimulia.

Draxton akatazama chini.

"His research was sought after for years, but they didn't succeed in finding it. It might have appeared your father got rid of everything he worked on, but it wasn't like that. One of the many scientists he worked with was his closest friend named Charles Delmas. He somehow knew how your father managed to make you come to reality, so he was working secretly, by himself, to carry on with your father's work. He very much succeded in creating a human-wolf eventually, especially after technology improved. But just like your father, he was strictly careful not involving any untrusted person in that. It turns out that, the experiment included the combination of his own blood, semen, wolf cells, and other stuff, into the productive organs of a woman. There was a special process here on making this actually work that only he and your father knew of, like interbreeding surrogacy, and as such, another human-wolf baby was born (Utafiti wake ulisakwa kwa miaka mingi, lakini hawakufanikiwa kuupata. Ingeonekana labda baba yako aliharibu kila kitu ambacho alifanyia kazi, lakini haikuwa hivyo. Mmoja kati ya wanasayansi wengi aliofanya nao kazi alikuwa rafiki yake wa karibu aliyeitwa Charles Delmas. Alifahamu kwa njia fulani namna baba yako alivyofanikiwa kukuleta duniani, kwa hiyo kwa usiri mkubwa, akaendeleza kazi ya baba yako yeye mwenyewe. Alifanikiwa kutengeneza mtu-mwitu baada ya muda, hasa kwa kuwa teknolojia iliboreka zaidi. Ikagundulika kwamba jaribio hilo lilitia ndani kuunganishwa kwa damu yake, mbegu za uzazi, seli za mbwa-mwitu, na mambo mengine, ndani ya ogani za uzazi za mwanamke. Kulikuwa na utaratibu wa kipekee hapa uliofanywa ambao ni yeye na baba yako tu ndiyo walioufahamu, kama upandikiziwaji wa mayai ya viumbe wa aina tofauti, na kama ilivyo, mtoto aliye mwanadamu-mwitu akazaliwa)," Mark akaeleza.

Draxton hakusema chochote zaidi ya kuendelea kumsikiliza mwanaume huyo.

Mark akaendelea kusimulia, "The outcome of doctor Charles' work was a bit different from that of your father. Surely, the hybrid born had similar traits like those you got, but it wasn't immune to death like how you are. At first that didn't matter because none of anyone knew about your features, and even doctor Charles himself tried for two decades to find you but did not succeed (Matokeo ya kazi ya daktari Charles yalikuwa na utofauti na yale ya baba yako. Kiuhakika kabisa, mtu-mwitu aliyezaliwa alikuwa na tabia kama ulizonazo, lakini hakuwa na uwezo wa kujikinga dhidi ya kifo kama wewe. Mwanzoni hilo halikujalisha kwa kuwa hakuna aliyejua kuhusu sifa zako, na hata daktari Charles alijaribu kukutafuta kwa miongo miwili bila kufanikiwa)."

"What happened then? (Nini kikafuata?)" Draxton akamuuliza

"Well, he monitored the child closely as he grew up. He raised him as he was his own son, and after fully understanding his growth development, Charles figured out that his son's offsprings would inherit his wolf genes, so he had to make sure when that time came his son would be ready to deal with everything that he was going to have to be... not just part human, part wolf, but a good father to all of his children (Basi, alimwangalia mtoto huyo kwa ukaribu kadiri alivyoendelea kukua. Alimlea hasa kutokana na yeye kuwa mwanaye, na baada ya kuelewa maendeleo ya ukuaji wake kikamili, Charles aligundua kwamba wazao wa mwana wake wangerithi chembe za uhai za mwitu wake, kwa hiyo alihakikisha kwamba muda huo ukifika basi mwanaye angekuwa tayari kushughulika na mambo yote aliyohitaji kuwa.. siyo nusu-mwanadamu na nusu-mnyama tu, bali kama baba mzuri kwa wazao wake)," Mark akaeleza.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"So Charles continued doing other experiments like the ones that produced his son, and that brought four other hybrids. He had a secret base somewhere on the mountains and that's where all of them grew together (Kwa hiyo Charles aliendelea kufanya majaribio mengine kama lile lililozalisha mwana wake, na hiyo ikaleta watu-mwitu wengine wanne. Alikuwa na jengo la kisiri eneo fulani la milimani na huko ndiko hao wote walipokua kwa pamoja)," Mark akamwambia.

"Meaning they were also his children (Ikimaanisha na wenyewe walikuwa ni watoto wake)," Draxton akasema.

"Yes. Their animalistic change kicked in when they reached adolescence. Charles had mentally prepared them for the change, and the way his first son embraced it in a controllable manner, it happened the same way with the other hybrids. Through time, many aspects of their lives changed, while continuously learning how to control their abilities and hide them from the rest of the world, they found a deep bond between themselves that was very different and strong, thus lived in a special way to maintain stability and order for all of their kind in the future. It was always about keeping one another safe, so they established a set of rules and regulations that would help protect our kind in it's small world. As time went on, they reproduced themselves, creating families on a safe ground, and the first five hybrids were the leaders of the packs created (Ndiyo. Badiliko lao la unyama liliwapata walipopevuka. Charles aliwaandaa vizuri kiakili kwa ajili ya badiliko hilo, na jinsi ambavyo mwana wake wa kwanza alilipokea kwa utaratibu mzuri ilitokea kwa njia hiyo hiyo na kwa wale wengine. Kadiri muda ulivyopita, nyanja mbalimbali za maisha yao zilibadilika, huku wakiwa wanaendelea kujifunza namna ya kuziongoza nguvu zao na kuzificha kutoka kwa wengi duniani, walipata muungano wa ndani sana uliokuwa tofauti na wenye nguvu, hivyo walianza kuishi kwa njia ya pekee ili kuweka uwiano na utaratibu mzuri kwa ajili ya watu wa aina yao kwa wakati ujao. Sikuzote ilikuwa kuhusu kulindana, kwa hiyo waliwekeza sheria na taratibu ambazo zingelinda watu wa aina yetu ndani ya dunia yao ndogo. Muda ulipoendelea kusonga, walizaliana, wakiunda familia kwenye eneo salama, na wale watu-mwitu watano wa kwanza kabisa ndiyo walikuwa viongozi wa makundi waliyotengeneza)," Mark akaelezea.

"Packs? (Makundi?)"

"Yes, just like how wolves live in packs Maximilian. Their growth, our growth, is very rapid. In just 7 years one would already be what a normal human being is 18 years old, and that was due to our bestial nature forcing the growing of the human body and mind to escalate. So when I said adolescence I meant 7 years Maximilian, but I know that wasnt the case with you (Ndiyo, kama tu ambavyo mbwa-mwitu huishi kimakundi Maximilian. Ukuaji wao, yaani ukuaji wetu, ni wa kasi sana. Ni ndani ya miaka 7 tu mmoja wetu angeweza kuwa namna ambavyo kwa mwanadamu wa kawaida ni miaka 18, na hiyo ilikuwa kwa sababu hali yetu ya unyama ililazimu ukuaji wa mwili wa kibinadamu na akili visonge kwa kasi. Kwa hiyo niliposema kupevuka nilimaanisha miaka 7 Maximilian, ila najua haikuwa namna hiyo kwako)," Mark akasema.

"No. I grew up like a normal person. So how old are you? (Hapana. Nimekua kama mtu kikawaida. Kwa hiyo una miaka mingapi?)"

"I'd say over 200 years bestially. In a normal calendar I would be 38 (Ningesema zaidi ya miaka 200 kiunyama. Kwa kalenda ya kawaida nina miaka 38)," Mark akajibu.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"So, their family as whole was well protected, in such a huge world full of bad. It wasn't easy to always keep order, you know there's just gonna be that one person who wants to be above it all. Well, that time came when two wolf children killed another accidentally. They were both like adolescents, still new to their change, overwhelmed by it, and while playing in their wolf forms the kids hurt the other intensely. The one that died was the daughter of one of the leaders. He was hurt, saddened, angered by her death and wanted to kill the children who caused it as punishment. They weren't from his own pack, so there was a resistance from the other children's families and even disapprovement by the other leaders, who cited the incident as an unintentional accident and his want to punish them was nothing but an unfair vengeance (Familia zao kiujumla zililindwa vyema, hata ingawa walikuwa ndani ya dinia iliyojaa mabaya. Haikuwa rahisi sikuzote kuuendeleza utaratibu, unaelewa kwamba sikuzote ni lazima tu kutakuwa na yule mtu anayetaka kuwa juu ya mambo yote. Huo muda ulifika wakati ambapo
watoto-mwitu wawili walipomuua mwingine kwa tukio baya. Wote kwa pamoja walikuwa kama vijana tu waliopevuka, wageni kwenye mabadiliko yao, ikiwa kama imewazidia, na ndiyo walipokuwa wanacheza ndani ya maumbo ya unyama wakawa wamemuumiza vibaya sana mwenzao. Aliyekufa alikuwa binti wa mmoja wa wale viongozi. Aliumizwa, alisikitishwa, alikasirishwa na kifo cha binti yake naye akataka wale watoto wengine wawili wapewe adhabu ya kifo. Hawakuwa wa kundi lake mwenyewe, hivyo mgomo ukawepo kutoka kwa familia za watoto hao na hata kukataliwa kwa suala hilo na wale viongozi wengine, walioonelea tukio zima kuwa ajali tu ambayo haikutazamiwa na hivyo yeye kutaka watoto wapewe hiyo adhabu ilikuwa ni kutaka tu kisasi kisicho na haki)," Mark akaeleza.

Draxton akaendelea kusikiliza kwa utulivu.

"That leader got so upset that he threatened to kill the children by himself. The other leaders tried to calm things down but he insisted on avenging his daughter. Things went... very wrong... the other four leaders disbanded him from their unity, and it fueled his anger even more. Very much later, using his own pack, he plotted the deaths of the other four leaders, and killed all of them on the day he faked a truce after inviting them and their families to a small reunion celebration. He also knew that the leaders' firstborns would inherit their parents' powers to become the next leaders of their respective packs, so he killed all of them too. He wanted to be the only original hybrid left to lead all of the born human-wolves, and he killed anyone of them who dified him. A lot died Maximilian. He killed my parents, and my brother too (Huyo kiongozi alikasirika sana kiasi kwamba akatishia kuwaua wale watoto yeye mwenyewe. Viongozi wengine walijaribu kutuliza hali lakini yeye akasisitiza kutaka kulipa kisasi kwa ajili ya binti yake. Mambo yalikwenda... vibaya sana... wale viongozi wengine wakamwondoa kutoka kwenye umoja wao, na hiyo ikamwongezea hasira hata zaidi. Baadaye kabisa, akilitumia kundi lake mwenyewe, alipanga vifo vya wale viongozi wengine wanne, naye akawaua wote kwenye siku aliyowaalika kufanya sherehe ndogo ya upatano uliokuwa bandia. Alijua pia kwamba wazaliwa wa kwanza wa viongozi hao wangerithi nguvu za wazazi wao ili kuwa wakuu wa makundi waliofuata baada yao, kwa hiyo akawaua pia. Alitaka kuwa mtu-mwitu wa kwanza pekee aliyebaki ili kuwaongoza watu-mwitu wote waliokuwepo, na aliua yeyote kati yao ambaye angepingana naye. Wengi waliuawa Maximilian. Aliwaua wazazi wangu, pamoja na kaka yangu)," Mark akasema hayo.

Draxton akamtazama kwa hisia za huruma.

"For those of us who remained, we had to abide by his new rule. He's very ruthless. You know... before his rampage we were about half a thousand in population, but up to now there is only a few numbers left of us to even reach a hundred (Kwa sisi ambao tulibaki, ilitubidi tujiweke chini ya utawala wake mpya. Ni mtu mkatili sana. Unajua... kabla ya ghadhabu yake tulikuwa na idadi inayokaribia nusu elfu, lakini kwa sasa hivi hatuko wengi hata kufika mia)."

"He killed hundreds of people and nobody knew about it? (Aliua mamia ya watu na hakuna mtu aliyejua kuhusu hilo?)"

"You mean normal to government people? No. Aside from being a murderous scum but that guy is also very rich. The entirety of his territory has many places where he can do evil things and no one gets to hear of them. He controls us because we've sworn to be his people, so even when some of us try to play rebel we can't really outrun the influence he has on us (Unamaanisha watu wa kawaida mpaka kufikia serikalini? Hapana. Mbali na kuwa muuaji sugu lakini huyo jamaa ni tajiri pia. Sehemu kubwa ya himaya yake ina sehemu ambazo anaweza kufanyia mambo maovu na hakuna mtu yeyote anayeweza kujua. Anatuendesha kwa kuwa tumeapa kuwa watu wake, kwa hiyo hata nyakati ambazo baadhi yetu tunajaribu kujifanya waasi hatuwezi kuukimbia uchochezi alionao juu yetu)."

"What influence? You are telling me that this guy controls your free will? Is he God? (Uchochezi gani? Unataka kuniambia kwamba huyu jamaa anaendesha uhuru wenu wa kuchagua? Yeye ni Mungu?)"

"No, it's not like that. You see, that bond I mentioned is like a connection in our animalistic side. We live with it, and only the original hybrids and their first offsprings have the power to be pledged loyalty to so that they may protect everyone in their pack. That bond is very powerful. It's the same as how wolves are, except with us having a human side it helps not being fully controlled like mad animal puppets. I... I know there is a lot you don't understand Maximilian but please... trust me when I tell you that you are our only hope in defeating our evil leader (Hapana, haiko namna hiyo. Ni kwamba, ule muungano niliousema ni kama uvutano katika upande wetu wa unyama. Tunaishi nao, na ni watu-mwitu wa kwanza kabisa na wazao wao wa kwanza ndiyo wenye nguvu ya kuweza kutiishiwa ushikamanifu ili waweze kuwalinda wote wa kwenue makundi yao. Huo muungano una nguvu. Ni kama tu mbwa-mwitu kabisa walivyo, isipokuwa kwetu sisi kuwa na upande wa kibinadamu inasaidia kutoendeshwa kama wanaseserere vichaa. Nina... ninajua ni mambo mengi usiyoelewa Maximilian lakini tafadhali... niamini nikikwambia kwamba wewe ndiyo tumaini letu pekee katika kumshinda kiongozi wetu mbaya)," Mark akamwambia kwa kusihi sana.

Ni kweli kabisa kwamba mambo mengi ambayo mwanaume huyo alikuwa ametoka kusema yalimchanganya sana Draxton, na alitaka ufafanuzi zaidi lakini aliona woga mkuu ndani ya Mark ingawa alionekana imara. Ni lazima tu alikuwa anahofia mambo mengi mabaya kutoka kwa huyo kiongozi, na kama yeye Draxton ndiye aliyekuwa tumaini lao kutoa msaada, alihitaji kujua alihitajikaje hasa.

"How am I going to do that? (Nitafanya hivyo jinsi gani?)" Draxton akamuuliza, akiweka mawazo mengi pembeni kwanza.

Mark akasogeza kichwa mbele na kusema, "You have to come with me Maximilian. You can defeat him by taking over the entire pack, and if need be, take him out as well (Unatakiwa kuja nami Maximilian. Unaweza kumshinda kwa kulichukua kundi lote, na ikihitajika, kumwondoa yeye kabisa)," Mark akasema.

"What? Go with you? (Nini? Niende pamoja nawe?)"

"Yes (Ndiyo)."

"That... that is way too much (Hiyo... hiyo imezidi kipimo sana)."

"Maximilian please try to understand... (Maximilian tafadhali jaribu kuelewa...)"

"I do understand, but son, that is way off my mark. As much as I could believe everything you have told me, it is still so... new... to me. I don't even know where you're from, where you want us to go, how you found me, what I'll be doing and how that will affect the life that I have now... (Ninaelewa, ila mwanangu, hii kitu iko nje ya mstari wangu. Kwa kadiri ambayo ningeweza kuamini yote uliyosema, bado kila jambo ni... geni... kwangu mimi. Sijui hata unatokea wapi, unataka twende wapi, umenipata vipi, nitafanya mambo yapi na ni jinsi gani yataathiri maisha niliyonayo sasa...)"

"And I will fill you in with everything you need to know, but just really... (Na nitakueleza kila kitu unachotaka kujua, lakini kiukweli tu...)"

"Please, please, stop. This... this is a very confusing time for me. I don't know if I'm ready for whatever it is you think I can do to help, but right now, I'm really tired (Tafadhali, tafadhali, acha. Huu... huu ni wakati wenye kuchanganya sana kwangu. Sijui ikiwa niko tayari kwa lolote lile ambalo unadhani naweza kufanya ili kusaidia, lakini kwa sasa, nimechoka sana)," Draxton akamwambia ukweli.

Mark akatazama chini kwa huzuni kiasi, kisha akasema, "I understand. I'm sorry for tyring to force so much on you. I'm just really desperate (Ninaelewa. Samahani kwa kujaribu kulazimisha mambo mengi juu yako. Ni uhitaji mkubwa tu nilionao)."

Draxton akafikicha uso wake kwa kiganja taratibu, kisha akauliza, "How long are you going to be around? (Utakuwa huku kwa muda gani?)"

"A few days. I only had a stay for two weeks here (Siku chache. Nilikuwa na wiki mbili tu za kukaa huku)," Mark akamwambia.

Draxton akamtazama na kusema, "Alright. Give me a day or two, I need to sort some things first, then we'll meet again. Maybe talk some more and see where all of this will lead. Is that okay? (Sawa. Nipe siku moja au mbili, kuna mambo nahitaji kupangilia kwanza, kisha ndiyo tutakutana tena. Labda tutazungumza zaidi kuona haya yote yataelekea wapi. Hiyo ni sawa?)"

Mark akatikisa kichwa kukubali.

"Okay. You got a phone? (Sawa. Una simu?)" Draxton akamuuliza.

Mark akatoa simu yake na kumpatia. Draxton akaifungua na kuandika namba zake hapo, kisha akamrudishia.

"You can call me then I'll let you know when we can talk (Utaweza kunipigia nami nitakujulisha ni muda gani tunaweza kuzungumza)," Draxton akasema.

Mark akaitunza namba ya Draxton ya Tanzania kwa simu yake, naye akamshukuru kwa kumsikiliza na kisha akamuaga na kuanza kuondoka. Draxton alikuwa anataka kumsindikiza lakini mwanaume huyo akasisitiza kumwacha tu ili apumzike, hivyo akaondoka peke yake. Draxton akabaki ndani kwake kwa wakati huu akifikiria kuhusu mambo machache aliyotoka kusikia kwa mwanaume huyo. Haijalishi kama ilikuwa kweli au la, kilichohitajika ili kutoa msaada uliotakiwa kilikuwa kikubwa, lakini alipofikiria mambo vyema zaidi akatambua kwamba huenda hii kwa njia moja ama nyingine ingekuwa ndiyo nafasi yake ya kwenda mbali kuepukana na matatizo ambayo yalikuwa yamejitokeza huku.

Kila mara alipotaka kujihakikishia ndani ya akili yake kwamba kuondoka ndiyo ingekuwa jambo sahihi la kufanya, moyo wake ulilikataa wazo hilo hasa ulipopitisha midundo ya hisia alizokuwa nazo kwa wanawake wawili waliokuwa huku. Moyo wake haukutaka kabisa kuwaacha Namouih na Blandina. Lakini tena jambo hilo ndiyo moja kati ya mambo yaliyomchanganya hata zaidi; yaani ni jinsi gani angejigawa kwa wanawake wawili waliokuwa na sehemu muhimu sana ndani ya moyo wake. Hakujua mambo yangekwendaje, lakini alijua angetakiwa kuweka hali yake kimahusiano iwe sawa kabisa kwa wanawake wale kabla ya kuchukua maamuzi ambayo yangehitajika kuchukuliwa. Akaamua tu kuanza kupiga hatua hiyo kwa kwenda kwenye sherehe ndogo ya Namouih nyumbani kwake siku hiyo, naye akanyanyuka na kuanza kusafisha ndani hapo kisha aende kujiandaa kwa ajili ya sikukuu hiyo ya kuzaliwa Namouih.



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★

Huo ndiyo mwanzo wa hadithi tamu ya DRAXTON. Waweza kuipata yote kwa bei poa WhatsApp ama hapa hapa JF kwa bei poa kabisa. Karibuni sana.

WhatsApp +255 678 017 280
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KWANZA

★★★★★★★★★★★★★★


Siku ambayo Draxton alivamiwa kwenye nyumba yake ya maficho na kijakazi mkatili wa Efraim Donald, mwanaume huyu alikuwa amepitia jambo ambalo alijitahidi sana kuzuia kwa kipindi kirefu tokea alipofika Tanzania. Mwanaume aliyeagizwa na Efraim Donald kumtafuta Draxton, aliyeitwa Suleiman, alikuwa amelazimu unyama wa Draxton utoke mchana kweupe baada ya kumpiga kwa risasi nyingi akidhani kwamba angeweza kumuua, lakini matokeo yakawa ni kifo kwake yeye mwenyewe. Draxton alikuwa amejitahidi sana kuficha uasili wake kwa kujenga nyumba ndogo maeneo ya msitu ambako palijificha, na pia kuchukua hatua ambazo zingezuia madhara makubwa wakati wowote upande wake wa mnyama ungetaka kutoka; yaani kujifunga kwa minyororo.

Siku hiyo Suleiman aliposababisha mnyama huyo atoke, aliweza kuondoka msituni hapo na kufika eneo lenye makazi ya watu wachache, naye akasababisha vifo vya watu 16 waliokuwa maeneo ya mashine ya kusaga nafaka. Hakukuwa na watu walioweza kumwona kwa usahihi, naye akaendelea kusonga mbele na kufikia eneo lingine lililokuwa na msitu pia, na huko akajilaza tu baada ya kushiba kupitiliza kawaida. Draxton alikuja kufumbua macho yake ikiwa imekwishafika usiku sana, na ingawa hakuweza kukumbuka kilichoendelea baada ya kubadilika kwake, aliingiwa na mfadhaiko mwingi moyoni kwa sababu alijua ni lazima tu alikuwa amesababisha matatizo kutoka kule alikokuwa. Akajilaumu sana moyoni kwa kuamua kubaki huku. Alihisi labda angetakiwa tu kuwa ameshaondoka kipindi kile Namouih amegundua siri yake, huenda haya yangeepukwa. Lakini kabla ya kufikiria mengine zaidi, angepaswa kutoka eneo hilo kwanza, ajue ni maafa makubwa kadiri gani alikuwa amesababisha, ikiwa kuna watu walimshuhudia mnyama wake, na ndiyo afanye nini baada ya hapo.

Akatoka sehemu aliyokuwa na kuanza kutembea akiwa bila nguo mwilini. Akafikia sehemu fulani iliyokuwa na vibanda vya mbao vilivyotengenezwa kwa kusudi la kuwekea bidhaa, na kwa wakati huo hakukuwa na mtu hata mmoja. Baada ya muda mfupi ndiyo ikawa imefika pikipiki iliyobeba wanaume wawili waliofanya kazi ya ulinzi wa maeneo. Alijaribu kuwaomba msaada ili aweze kurudi nyumbani, lakini wakaingiza mambo ya kijinga kwa kumwomba awape malipo kwanza kwa njia ya ushoga. Alipokataa, wakajaribu kumlazimisha na hata kuanza kumpiga kwa marungu yao mwilini kwake. Alikasirishwa sana na jambo hilo kiasi kwamba akawa anataka awafundishe adabu, lakini hakutaka afanye hivyo kwa kupitiliza, alitaka awafundishe adabu akiwa yeye kama yeye. Ni wakati alipokuwa anataka kuwapa dozi waliyostahili pale wanaume hao walipovutwa nyuma kwa nguvu na kuangukia mpaka usawa wa pikipiki yao. Draxton alikuwa amepiga goti moja chini wakati huo, akihisi maumivu sehemu za mikono na mgongoni, lakini ikawa ni kama yote yamepotea kwa sababu sasa ufahamu wake ulikuwa umetekwa na jambo fulani ambalo lilikuwa geni kabisa kwake.

Hakumwona mtu aliyewavuta wanaume hao, lakini harufu yake aliivuta vyema. Harufu hiyo ilikuwa tofauti na harufu ya binadamu wa kawaida; ilikuwa harufu kama ya kwake! Yaani, yeye akiwa kama mnyama pia, aliweza kutambua kwamba aliyewavuta wanaume hao hakuwa binadamu kikamili, ila mnyama kama yeye. Akasimama taratibu akiwa anajaribu kutafuta uwepo wa kiumbe huyo, maana hisi zake za unyama zilimweka katika hali fulani ya tahadhari kama vile kujua hiyo ingekuwa ni hatari kwake yeye pia. Wanaume wale wawili wakanyanyuka upesi huku wanaangalia huku na kule, kisha wakamwangalia Draxton na kusimama kwa kujihami.

Draxton akawa amesimama huku amekunja uso kwa njia fulani makini sana, akiwa anazifungua hisi zake zote za juu ili kutambua ni nini kilichokuwa kinawazunguka, na ni hapo ndiyo askari wale wakasaidiana kunyanyua pikipiki yao ili wakimbie kwa kuwa tayari walihisi hapo kuna balaa zito kuliko walivyodhani. Hawakuwa hata wamefanikiwa kuinyanyua sawa na hapo hapo akatua mtu fulani aliyempa mgongo Draxton, na kwa macho ya haraka Draxton akaona jinsi mtu huyo alivyovishika vichwa vya wanaume hao na kunyonga shingo zao kwa kasi sana! Wanaume hao wakadondoka hapo hapo na kuanza kushtuka kiasi, kisha wakatulia.

Draxton akabaki kumtazama mtu huyo mbele yake. Alikuwa amempa mgongo bado, na alionekana akiwa amevaa kitu kama sweta gumu la brown na suruali ya jeans pamoja na viatu vyeusi, na kichwa chake kilikuwa na nywele ndefu nyeusi na laini kama za mzungu. Na ndiyo huyo mtu aliyekuwa anatoa harufu isiyokuwa ya binadamu wa kawaida iliyoendelea kuzipiga vizuri kona za pua ya Draxton. Kisha, akageuka taratibu na kumtazama Draxton usoni, na kiukweli Draxton akashangaa sana. Kwanza, mtu huyo alikuwa mwanaume. Pili, alikuwa mzungu, mwenye mwonekano kama wazungu wa kwenye tamthilia za waturuki wenye ndevu nyingi. Kiumri angeweza kusemwa ana miaka inayofika 40, naye alikuwa mrefu kumfikia Draxton.

Mwanaume huyo akaanza kupiga hatua chache kumwelekea Draxton, naye Draxton akajitahidi kuendelea kusimama kwa ujasiri huku akiwa bado haelewi kinachoendelea na kutojua cha kutarajia. Huyu mzungu alikuwa nani? Kwa nini alijitokeza wakati huu? Na kwa nini alitoa harufu isiyokuwa ya binadamu wa kawaida? Mwanaume huyo alipofika mbele yake Draxton, akamtazama kwa macho fulani yaliyojaa matumaini sana, kama vile kusema alikuwa amefurahi kumwona, kisha akaweka mkono wake alioukunjia ngumi kwenye kifua chake usawa wa moyo, halafu akashuka chini na kupiga goti moja kwa njia fulani kama amemwinamia kuonyesha heshima. Draxton akabaki kumtazama kwa umakini tu, akiwa amebumbuazishwa na jambo hilo, na mwanaume huyo akawa ameinamisha uso wake.

"It is an honor to be in your presence... Maximilian."

Mwanaume huyo ndiye aliyesema maneno hayo, akimaanisha anahisi kama vile amewadhifika kuwa mbele ya Draxton. Draxton alishangazwa sana na uhakika wa kile ambacho mwanaume huyo alikuwa amesema, hata jina lake la mwanzo alilifahamu vizuri kabisa.

"Who are you? (Wewe ni nani?)" Draxton akamuuliza.

Mwanaume huyo akaunyanyua uso wake na kumwangalia, kisha akasema, "My name is Mark. I am a man who is going to help you know who you truly are... and what that means for people like us (Jina langu ni Mark. Mimi ni mtu nitakayekusaidia uweze kujua wewe ni nani hasa... na jambo hilo linamaanisha nini kwa watu kama sisi)."

"What do you mean? (Unamaanisha nini?)" Draxton akauliza.

"Everything you've ever asked yourself about your life, I have the answers. I will help you learn the truth, because now more than ever... we need you Maximilian. You are our only hope (Kila jambo ambalo umewahi kujiuliza kuhusu maisha yako, mimi nina majibu. Nitakusaidia uujue ukweli, kwa kuwa wakati huu zaidi ya wakati mwingine wowote... sisi tunakuhitaji Maximilian. Wewe ndiyo tumaini letu la pekee)," mwanaume huyo akamwambia.

"We? (Sisi?)" Draxton akauliza akiwa hajaelewa anachomaanisha.

Mwanaume huyo mzungu kwa jina la Mark kama alivyojitambulisha, akafumba macho yake kwa kifupi, kisha akayafumbua na kumtazama Draxton tena.

Draxton akashangazwa na alichoweza kugundua kuwa jambo ambalo hakuwahi kudhani angekuja kuliona. Macho ya Mark yalikuwa yamebadilika na kuwa ya rangi ya njano, kitu kilichomwambia mwanaume huyu kwamba hapo mbele yake alikuwa pamoja na mtu mwenye hali kama ya kwake. Hakuwahi kufikiria kabisa kwamba siku kama hii ingewahi kufika baada ya yeye kuja kwenye nchi hii, na sasa akawa ametambua kwamba kumbe kulikuwepo na watu wenye hali kama yake ya kuwa wanyama, na kama mzungu huyo alivyosema, inaonekana hata walikuwa wengi sana.

Lakini huyu Mark alijua vipi kuhusu historia halisi ya maisha ya Draxton ambayo hata yeye Draxton hakuifahamu vyema? Ni kwa nini hakuwa amemtafuta muda wote huo ndiyo aje kumtafuta wakati huu? Wonyesho huu wa heshima mpaka anapigiwa magoti ulimaanisha nini? Na ni nini kilichokuwa kimempata Mark na "wenzake" kilichomfanya afikiri kwamba Draxton anaweza kutoa msaada wowote kwake? Kwamba Draxton alikuwa kama nani mpaka aonwe kuwa msaada pekee kwa watu hao? Sasa ndiyo uliokuwa wakati wa kuyapata majibu ya maswali hayo yote, hivyo Draxton akaamua kumsikiliza mgeni huyu asiyejulikana alitokea wapi.

Macho yake Mark yakarejea hali ya kawaida, kisha akanyanyuka kutoka chini hapo na kuelekea miili ile ya maaskari aliowaua walipokuwa wakimzingua Draxton. Akaanza kufanya utaratibu wa kumvulisha mmoja wao nguo alizokuwa nazo mwilini, naye Draxton akaendelea tu kumtazama kwa umakini. Haingekuwa rahisi kwake kujua ikiwa nia ya mtu huyo ilikuwa nzuri, lakini kuona tu kwamba alikuwa wa aina yake ni jambo lililomfanya atake kujua mengi zaidi. Hii siku haikuwa imekwenda vizuri sana kwake, na ujio wa mwanaume huyo ulielekea kuleta mambo mengi mazito zaidi. Mark akawa amemvulisha shati na suruali askari mmoja, kisha akamrudia Draxton na kumnyooshea nguo hizo kama anampa avae. Draxton hakuzipokea, bali akawa anamwangalia tu usoni.

"Please wear this for now. We have to get out of here. I believe you will need to clean up some things before I tell you everything (Tafadhali vaa hizi kwa sasa. Tunahitaji kuondoka. Naamini kuna mambo utahitaji kuweka sawa kabla sijakwambia kila kitu)," Mark akasema.

"What things? (Mambo gani?)" Draxton akamuuliza.

"It was um... a bit of a mess you made in public a few hours ago. If you can think of anything that will need some fix so nobody tracks it back to you, I'll help you with it (Ilikuwa... ni mambo mabaya kiasi umefanya hadharani masaa machache yaliyopita. Ikiwa kuna jambo lolote linalohitaji kurekebishwa ili watakaofatilia wasije kukufikia wewe, nitakusaidia kwa hilo)," Mark akasema.

Draxton akaendelea kumwangalia tu.

"I understand that this is very surprising, and you got every right to doubt my intentions. Look, I know what you've been through. It wasn't easy. I relate deeply on how you feel. But I have no intention of harming you. Besides, there is no such thing as harming you because you are very powerful. Just trust that whatever am going to tell you is very important... you'll decide whether to help us or not (Ninaelewa haya yote yanashangaza, na una kila haki ya kushuku nia yangu. Ona, ninajua mambo uliyopitia. Hayakuwa mepesi. Ninaweza kuelewa kiundani sana namna unavyohisi. Ila sina nia ya kukudhuru. Hata hivyo, kukudhuru wewe ni kitu ambacho hakipo maana una nguvu nyingi. Amini tu kwamba chochote nachotaka kukwambia ni muhimu sana... wewe ndiyo utaamua ikiwa utatusaidia au la)," Mark akamwambia.

Aliongea maneno hayo kwa njia yenye heshima kuu, naye Draxton akayaangalia mavazi yale aliyoshika mwanaume huyo, kisha akayachukua na kuanza kuvaa.

"I'll get rid of the bodies, then we can go wherever you want to first (Nitaiondoa miili hiyo, kisha tutakwenda popote pale unapotaka kwanza)," Mark akamwambia.

Draxton hakuwa na neno. Akamtikisia kichwa tu kukubali, na mwanaume huyo akazifata maiti za maaskari wale wawili, kisha akaibebanisha vizuri na kuinyanyua kwa pamoja. Nguvu alizokuwa nazo zilionyesha kweli alikuwa wa aina yake Draxton, naye akaelekea upande wenye miti zaidi na kuitupa huko; akiifukia kwa manyasi mengi yaliyokaukia chini. Akarejea kwa Draxton na kumkuta ameshavaa nguo zote, na kichwani alivalia kofia ya askari mmoja ili kuficha nywele zake nyeupe. Mark akainyanyua pikipiki ya wale jamaa na kumtazama Draxton machoni kama kumwambia anasubiri. Draxton akaenda na kupanda kwenye pikipiki hiyo, akishika usukani, na baada ya kuiwasha Mark akaketi nyuma pia. Ni kweli kabisa kwamba alihitaji kurekebisha mambo mengi kule alikotoka, hivyo bila kukawia akaiweka pikipiki mwendoni kutafuta barabara kuu.

★★

Baada ya kuzunguka kwa dakika chache akawa amepata uelekeo alioufahamu, naye akajitahidi kupita sehemu alizojua kwamba asingevuta umakini wa watu wa usalama. Imeingia mida ya saa kumi na mbili alfajiri akawa amefanikiwa kuwafikisha kule kwenye nyumba yake ya maficho. Draxton alikuta eneo hilo likiwa namna alivyolizoea, isipokuwa wakati huu lilikuwa tofauti na jinsi alivyokumbuka kuliacha mara ya mwisho. Aliweza kuona damu nyingi iliyokauka sehemu ya ardhi mpaka kulifikia gari lake, ambalo lilikuwa na mkunjo mdogo na mikwaruzo ya mbali kwenye usawa wa mlango. Kulikuwa pia na vipande vidogo vya miguu na mifupa hapa na pale, naye Draxton akaelewa kwamba mmiliki wa hivyo alikuwa Suleiman, yaani marehemu Suleiman.

Mark akamwambia kwamba wangehitaji kuisafisha sehemu hiyo upesi na kuondoa mambo yote upesi kabla ya maaskari kufikia hapo katika uchunguzi wao, lakini Draxton akakanusha, akisema tu kwamba angekwenda huko ndani kuchukua vitu vichache kisha wangeondoka kwa kutumia gari lake. Akamwacha Mark nje na kwenda ndani. Alikuwa na huzuni sana moyoni, lakini akajikaza na kwenda chumbani kuchukua vitu vichache. Kati ya vitu hivyo ilikuwa ni picha ya muda mrefu sana ya mama yake mzazi, na baada ya kuitazama kwa ufupi akaiweka mfukoni na kubeba mizigo yake mpaka nje. Mark akamsaidia kuipokea mizigo na kwenda kuiweka kwenye gari, kisha wawili hawa wakaingia ndani. Draxton alikuwa kimya tu, akiushikilia usukani na kuitazama nyumba hiyo kwa umakini, kisha akawasha gari na kuligeuza; akiiacha nyumba yake kwa mara ya mwisho.

★★

Mwendo wa dakika kama 20 ulitosha kuwatoa huko misituni na kuwaingiza jijini zaidi. Bado wanaume wote walikuwa kimya, nao walipokuwa mwendoni bado, wakasimamishwa na askari wa usalama barabarani, aliyeomba utambulisho wa Draxton na leseni. Baada ya kuhakiki, askari huyo akawaachia, na safari ikaendelea. Mark akawa ameshangazwa kiasi na uwepo wa askari huyo mapema namna hiyo barabarani.

"On the road this early? He must really like his job (Yaani yupo barabarani mapema yote hii? Basi atakuwa anaipenda kazi yake sana)," Mark akavunja ukimya hatimaye.

"They like to give a good impression (Wanapenda kutoa mtazamo mzuri)," Draxton akasema hivyo kwa utulivu.

"To their superiors (Kwa wakuu wao)," Mark akasema.

"Yeah. Probably has to do with what I did yesterday (Ndiyo. Inaweza pia kuhusiana na nilichokifanya jana)," Draxton akasema.

"Or maybe it's just an early shift (Au labda ni zamu ya mapema tu)," Mark akamwambia.

Ukimya ukafuata tena, kisha Draxton akauliza, "How many did I kill? (Nimeua wangapi?)"

Mark akamtazama kwa ufupi, kisha akasema, "Sixteen (Kumi na sita)."

Draxton akakaza meno yake akihisi vibaya sana moyoni. "My God... how could I let this happen? (Mungu wangu... nimewezaje kuruhusu hii itokee?)" akajisemea kwa sauti ya chini.

"It wasn't your fault (Hayakuwa makosa yako)."

"Don't say that. You don't know anything (Usiseme hivyo. Haujui lolote lile)."

"I know everything (Najua kila kitu)," Mark akasema.

Draxton akamtazama kwa umakini.

"I mean... at least a huge part of things. But I know you didn't want this. And trust me, we can fix it (Namaanisha... nafahamu sehemu kubwa ya mambo yote angalau. Ila najua haukutaka hili. Na niamini, tunaweza kulirekebisha)," Mark akamwambia.

Draxton akaendelea tu kuendesha gari lake akiwa na mengi akilini.

Baada ya dakika chache, wakawa wamefikia pale kwenye nyumba ya kupanga alipoishi, naye Draxton akaegesha gari lake na wote kushuka. Wakaitoa mizigo yake na kwenda mpaka getini, na kwa muda huo lilikuwa wazi kwa ndani; yaani halikuwa limefungwa kutokana na mwanaume mmoja aliyekuwa mume wake Rehema kuwahi kuondoka kwa ajili ya kazi. Hivyo Draxton akalisukuma tu, nalo likafunguka. Wapangaji wengine walikuwa wamelala bado, isipokuwa ya yule binti aliyeitwa Kuluthum ambaye alikuwa anamwandaa mvulana mdogo wa familia yao kwa ajili ya kwenda shule. Draxton na Mark wakapita tu mpaka kufikia upande wa vyumba vyake, kisha akafungua tu na kuingia ndani.

Mark akamfata taratibu mpaka sehemu ya sebule, naye Draxton akamwambia anaweza kupumzika kwenye sofa hapo ili yeye aende kujisafisha vizuri kisha waje kuzungumza. Lakini Mark akasema hapana. Akamwambia kwamba aende kujisafisha kisha apumzike, yaani alale kabisa, na kwa sababu yeye Mark alikuwa ameshapajua hapo basi angemfata baadaye ili waweze kuongea vizuri. Akasema alikuwa na chumba kwenye hoteli fulani jijini hapo hivyo angeenda huko kwanza kisha angerudi muda ambao Draxton angekuwa ametulia vya kutosha. Draxton akatilia maanani pendekezo hilo, akiona ni kweli kwamba alihitaji muda wa kuwa mwenyewe kwanza kabla ya mambo mengine mazito ambayo mwanaume huyo alitaka kumweleza. Akamkubalia na kumwambia achukue gari lake ili iwe rahisi kwenda alikotaka, lakini Mark akasema haingekuwa na shida kwa sababu alitambua kwamba eneo la hapo halikuwa mbali na hoteli alipokaa, hivyo akasema angechukua tu usafiri wa pikipiki. Akaondoka hapo hatimaye, naye Draxton akakaa kwenye sofa kwanza.

Kwa wakati huu alikuwa anawaza zaidi kuhusu hali ya Namouih. Ikiwa Efraim Donald alitambua kwamba mke wake anatoka ndani ya ndoa yao na kufikia hatua ya kumwagiza Suleiman amuue, basi huenda ingekuwa hatari sana kwa mwanamke yule kuendelea kuwa kwake. Ingawa Namouih alikuwa mchango mkubwa katika kumsaidia na shida aliyokuwa nayo ya kubadilika, bado alikuwa ni mke wa mtu, na yeye Draxton alikuwa ni mpenzi wa rafiki ya huyo mke wa mtu. Mambo yalikuwa yamezidi kuchacha hasa kwa kuwa suala hilo lilipelekea vifo vingi vya watu wasiokuwa na hatia, na jambo hilo lilimchoma kupita maelezo. Yale yale aliyokuwa ameyakimbia Marekani na Venezuela yakawa yamejirudia tena. Hakuwa hata na hamu ya kushika simu kuangalia kama alitafutwa, hivyo akanyanyuka tu na kwenda chumbani, naye akavua nguo zile za maaskari na kuvaa taulo, kisha akaelekea bafuni kule nje na kuoga. Alipomaliza akaingia tu ndani na kuvaa pensi ya kijani pekee, na haikuchukua dakika nyingi baada tu ya yeye kujitupia kitandani usingizi ukamchukua kutokana na uchovu uliokuwa mwilini mwake.

★★

Muda fulani kupita, mwanaume huyu akaanza kusikia sauti za mbali za mlango uliogongwa kwa nguvu, naye akashtuka na kuweza kuzisikia vizuri zaidi kumfanya atambue kwamba ulikuwa ni mlango wake. Akajinyanyua taratibu, naye akaivuta simu yake kuangalia muda. Ilikuwa inakimbilia saa saba mchana, na kwenye kioo cha simu yake aliweza kuona taarifa ya simu ambazo hazikupokelewa kutoka kwa Namouih na Blandina. Za Blandina ndiyo zilikuwa nyingi zaidi, na baada ya mlango kusikika unagongwa tena, akaiweka simu pembeni na kutoka chumbani. Alidhani ingekuwa ni Mark ndiye aliyerudi, lakini alipofika usawa wa mlango na kukaribia kuufungua, akahisi harufu aliyoifahamu vyema; harufu ya Blandina.

Akafumba macho yake na kuinamisha uso wake kwa kuingiwa na simamzi, lakini akajiweka sawa na kumfungulia. Hangeweza kujizuia kumtazama mwanamke huyo kwa huzuni kutokana na yote yaliyokuwa yameendelea tangu amekutana naye, na Blandina alikuwa ameonyesha kiwango cha hali ya juu sana cha upendo kwake kwa muda mrefu kiasi kwamba hisia za hatia kutokana na mambo aliyofanya Draxton yasiyokuwa halali kwenye uhusiano wao zilikuwa nzito kupitiliza. Lakini licha ya yote, Blandina akaingia ndani hapo na kumkumbatia. Akambusu kwa upendo na kumwomba amweleze sababu zake za kumficha matatizo aliyokuwa nayo, na alisumbuliwa na nini hasa. Draxton akamwongoza kwenda mpaka kwenye sofa, na hapo akajaribu kuomba samahani kwa yote, huku Blandina akimsihi amwambie ukweli. Draxton alikuwa karibu kabisa kumwambia mpenzi wake kila kitu lakini Blandina akaitwa ghafla ofisini kutokana na dharura iliyomhitaji.

Mwanaume akamwambia aende tu, nao wangetafuta muda mwingine wa kuzungumza kwa kina, na ndiyo Blandina akatumia nafasi hiyo kumwambia asiache kwenda kwenye sherehe ndogo ya siku ya kuzaliwa kwake Namouih ambayo ilipangwa kufanyiwa nyumbani kwa Efraim Donald. Baada ya Draxton kukubali, mpenzi wake akaondoka, akimwacha mwanaume anawaza ikiwa kwenda lingekuwa jambo la busara hasa ikiwa Efraim Donald alijua kumhusu. Lakini kabla ya yote angetakiwa kumsubiri Mark kwanza ili aje kuzungumza naye, na ndiyo angejua ni sehemu ipi angetakiwa kusimama baada ya hapo.

★★

Yalipita kama masaa mawili baada ya Blandina kuondoka kwake Draxton, na kufikia mida hii mwanaume huyu tayari alikuwa ametulia vya kutosha kuweza kuzungumza na Mark, ambaye bado hakuwa amerudi. Alipika na kula chakula kiasi kilichokuwepo kwenye friji, na sasa alikuwa akitazama tu taarifa zilizohusiana na msiba uliosababishwa na mnyama aliyekuwa yeye mwenyewe. Sehemu nyingi za mitandao ya kijamii suala hilo lilizungumziwa, huku watu wengi wakiipondea serikali kwa kutoweza kushughulika vyema na majanga ya namna hiyo sikuzote yakitokea. Akafatilia taarifa za watu waliouawa na kugundua kwamba 15 walikuwa ni vijana wadogo waliokuwa wakicheza tu mpira eneo lile, na mmoja alikuwa mzee aliyefanya kazi ndani ya mashine ya nafaka.

Alihisi majuto mengi mno, na hasira kali ikamwingia iliyomfanya anyannyuke kutoka sofani na kupiga ngumi mezani. Ilivunjika kabisa na kusambaa, naye akawa anapumua kwa nguvu sana na kukaa chini. Kwa nini maisha yake yalikuwa hivi? Na hata kama angetaka kufa ili kukomesha matatizo yote aliyotokeza, ni jambo ambalo halikuwezekana. Kwa nini ilikuwa hivyo? Maswali na machungu yakiwa yanaendelea kumtawala mlango wa kuingilia ndani hapo ukafunguka. Draxton hakunyanyua uso wake kumtazama aliyeingia kwa kuwa tayari alijua ni nani. Mark ndiyo alikuwa amefika. Mwanaume huyu akakaribia sehemu ambayo Draxton alikuwa amekaa, akiona jinsi vipande vidogo vya meza ilivyozagaa, naye akamwangalia kwa uelewa.

"You want to talk about it? (Ungependa kulizungumzia?)" Mark akauliza.

Draxton akamtazama na kusema, "No. I just wanna listen to you (Hapana. Nataka tu kukusikiliza wewe)."

Mark akarudi nyuma kidogo, naye Draxton akajinyanyua na kuketi kwenye sofa tena. Alipomwangalia Mark, Draxton akagundua kuwa mwanaume huyo alikuwa anaweka umakini wake upande mwingine wa sebule, kama vile anatafuta jambo fulani.

"What is it? (Kuna nini?)" Draxton akamuuliza.

Mark akamwangalia na kusema, "I'm picking up an unfamiliar scent in here. It's... feminine (Ninaweza kuvuta harufu fulani isiyotambulika ndani humu. Ni... ya kike)."

Draxton akaelewa, naye akamwambia, "I had a visitor earlier. She's my friend (Nilikuwa na mgeni mapema leo. Ni rafiki yangu)."

"I see (Naona)," Mark akasema hivyo, kisha akaketi pia.

Draxton alikuwa na uso ulioonyesha mawazo sana, na mgeni wake alilielewa hilo vizuri.

"You gonna be okay? (Utakuwa sawa?)" Mark akauliza.

"Yeah, just... tell me. I want to know everything (Ndiyo, wewe... niambie tu. Nataka kujua kila kitu)," Draxton akasema na kumtazama machoni.

"What do you know about the way you are? (Unafahamu nini kuhusiana na jinsi ulivyo?)" Mark akamuuliza.

Draxton akatulia kidogo, kisha akasema, "Other than being an impossible to control murderous monster, nothing (Tofauti na kuwa mnyama muuaji asiyeweza kuongozwa, sijui lolote)."

"I've been where you have, and I know with you it has been a huge burden for a long time because you never fully understood yourself. Maximilian... you are a very complex being none of our kind can fathom to be, and even though I can walk you through many answers about what we are, understanding how YOU are is still a mystery (Nimeshakuwa kwenye sehemu uliyopitia, na ninajua kwako wewe imekuwa ni mzigo mzito sana kwa sababu hukuwahi kuelewa namna ulivyo kikamili. Maximilian.. wewe ni kiumbe mwenye utata sana hakuna hata mmoja wa aina yetu anaweza kuufikia, na ingawa ninaweza kukuelezea kuhusiana na aina yetu, kuelewa jinsi WEWE ulivyo bado ni fumbo)," Mark akamwambia.

"You're saying... that we are of the same kind, but I'm different? (Unasema... kwamba sisi ni wa aina moja, lakini mimi niko tofauti?)" Draxton akamuuliza.

"Yes (Ndiyo)."

"What do you mean? How... how is it possible that we are what we are? (Unamaanisha nini? Kivipi... inawezekana vipi kwamba tuko namna tulivyo?)" Draxton akamuuliza.

"It's because of your father, Obadiah Draxton (Ni kwa sababu ya baba yako, Obadiah Draxton)," Mark akasema.

Draxton akabaki kumtazama kwa umakini.

"He was a special animal scientist in the 19's, during the GED, leading up to the second world war. You may be familiar with your father's history that he, among other scientists, tried to do an experimentation where a human and an animal could interbreed, but their expectations never gave favourable fruits. Your father, unbeknownst to many, continued to search for ways to make his theories work, and at last succeeded in combining human cells with those of a wolf to produce an hybrid child, and an immortal one... you (Alikuwa ni mwanasayansi mtaalamu wa wanyama miaka ya 19 huko, wakati ule wa mshuko mkubwa wa kiuchumi, mpaka kufikia vita vya pili vya dunia. Unaweza kuwa unajua historia ya baba yako kwamba yeye, pamoja na wanasayansi wengine wa wanyama, walijaribu kufanya majaribio ya kuwezesha mwanadamu na mnyama kuzalisha kwa pamoja, lakini matarajio yao hayakuwapa matunda yaliyotazamiwa. Bila mtu mwingine kujua, baba yako aliendelea kutafuta njia za kufanya mawazo yake yafanikiwe, na mwishowe akaweza kuunganisha seli za mwanadamu na zile za mbwa-mwitu kutokeza mtoto wa aina mbili, na asiyeweza kufa... wewe)," Mark akaeleza.

"How did he manage that? (Aliwezaje kufanikisha hilo?)" Draxton akamuuliza.

"That IS the mystery. But what he did was a miracle, that we only see in movies and books. Whatever he did with producing you is what makes you immortal Maximilian, and it is still impossible to know what unless maybe... (Hilo NDIYO fumbo. Lakini alichokifanya kilikuwa muujiza, kama tu ile tuionayo kwenye filamu na vitabu. Chochote alichokifanya kukuzalisha wewe ndiyo kilichowezesha usiweze kufa kabisa Maximilian, na bado haitawezekana kujua ni nini isipokuwa labda...)"

"I get cell-checked (Nitazamwe kwenye seli zangu)," Draxton akamalizia maneno ya Mark.

"Yeah. But no one is going to force you to do something like that especially since it may cause a wreck to our well kept secrecy of our kind (Ndiyo. Lakini hakuna atakayekulazimisha ufanye jambo kama hilo hasa kwa sababu inaweza kuleta shida kwa upande wetu wa kutunza siri kuhusu aina zetu)," Mark akasema.

"How is it possible that we are of the same kind if my father only ever created me? (Inawezekanaje kwamba sisi ni wa aina moja ikiwa baba yangu alinitengeneza mimi tu?)" Draxton akauliza.

"Well, some people wanted to know how he did it after finding out about you, and I can say he saw they had ulterior motives. He hid you, but they caught him, forced and tortured him to give you up... only he didn't and that's why... they killed him, and faked his death as suicide (Kuna watu waliotaka kujua alifanyaje mpaka kufanikiwa walipogundua kukuhusu, na naweza kusema aliona kwamba walikuwa na makusudio mabaya. Alikuficha, lakini waliweza kumkamata, wakamlazimisha na kumtesa ili awapatie wewe.. lakini hakufanya hivyo na ndiyo sababu... wakamuua, kuweka kifo chake kiwe bandia kwa kufanya ionekane kwamba alijiua)," Mark akasimulia.

Draxton akatazama chini.

"His research was sought after for years, but they didn't succeed in finding it. It might have appeared your father got rid of everything he worked on, but it wasn't like that. One of the many scientists he worked with was his closest friend named Charles Delmas. He somehow knew how your father managed to make you come to reality, so he was working secretly, by himself, to carry on with your father's work. He very much succeded in creating a human-wolf eventually, especially after technology improved. But just like your father, he was strictly careful not involving any untrusted person in that. It turns out that, the experiment included the combination of his own blood, semen, wolf cells, and other stuff, into the productive organs of a woman. There was a special process here on making this actually work that only he and your father knew of, like interbreeding surrogacy, and as such, another human-wolf baby was born (Utafiti wake ulisakwa kwa miaka mingi, lakini hawakufanikiwa kuupata. Ingeonekana labda baba yako aliharibu kila kitu ambacho alifanyia kazi, lakini haikuwa hivyo. Mmoja kati ya wanasayansi wengi aliofanya nao kazi alikuwa rafiki yake wa karibu aliyeitwa Charles Delmas. Alifahamu kwa njia fulani namna baba yako alivyofanikiwa kukuleta duniani, kwa hiyo kwa usiri mkubwa, akaendeleza kazi ya baba yako yeye mwenyewe. Alifanikiwa kutengeneza mtu-mwitu baada ya muda, hasa kwa kuwa teknolojia iliboreka zaidi. Ikagundulika kwamba jaribio hilo lilitia ndani kuunganishwa kwa damu yake, mbegu za uzazi, seli za mbwa-mwitu, na mambo mengine, ndani ya ogani za uzazi za mwanamke. Kulikuwa na utaratibu wa kipekee hapa uliofanywa ambao ni yeye na baba yako tu ndiyo walioufahamu, kama upandikiziwaji wa mayai ya viumbe wa aina tofauti, na kama ilivyo, mtoto aliye mwanadamu-mwitu akazaliwa)," Mark akaeleza.

Draxton hakusema chochote zaidi ya kuendelea kumsikiliza mwanaume huyo.

Mark akaendelea kusimulia, "The outcome of doctor Charles' work was a bit different from that of your father. Surely, the hybrid born had similar traits like those you got, but it wasn't immune to death like how you are. At first that didn't matter because none of anyone knew about your features, and even doctor Charles himself tried for two decades to find you but did not succeed (Matokeo ya kazi ya daktari Charles yalikuwa na utofauti na yale ya baba yako. Kiuhakika kabisa, mtu-mwitu aliyezaliwa alikuwa na tabia kama ulizonazo, lakini hakuwa na uwezo wa kujikinga dhidi ya kifo kama wewe. Mwanzoni hilo halikujalisha kwa kuwa hakuna aliyejua kuhusu sifa zako, na hata daktari Charles alijaribu kukutafuta kwa miongo miwili bila kufanikiwa)."

"What happened then? (Nini kikafuata?)" Draxton akamuuliza

"Well, he monitored the child closely as he grew up. He raised him as he was his own son, and after fully understanding his growth development, Charles figured out that his son's offsprings would inherit his wolf genes, so he had to make sure when that time came his son would be ready to deal with everything that he was going to have to be... not just part human, part wolf, but a good father to all of his children (Basi, alimwangalia mtoto huyo kwa ukaribu kadiri alivyoendelea kukua. Alimlea hasa kutokana na yeye kuwa mwanaye, na baada ya kuelewa maendeleo ya ukuaji wake kikamili, Charles aligundua kwamba wazao wa mwana wake wangerithi chembe za uhai za mwitu wake, kwa hiyo alihakikisha kwamba muda huo ukifika basi mwanaye angekuwa tayari kushughulika na mambo yote aliyohitaji kuwa.. siyo nusu-mwanadamu na nusu-mnyama tu, bali kama baba mzuri kwa wazao wake)," Mark akaeleza.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"So Charles continued doing other experiments like the ones that produced his son, and that brought four other hybrids. He had a secret base somewhere on the mountains and that's where all of them grew together (Kwa hiyo Charles aliendelea kufanya majaribio mengine kama lile lililozalisha mwana wake, na hiyo ikaleta watu-mwitu wengine wanne. Alikuwa na jengo la kisiri eneo fulani la milimani na huko ndiko hao wote walipokua kwa pamoja)," Mark akamwambia.

"Meaning they were also his children (Ikimaanisha na wenyewe walikuwa ni watoto wake)," Draxton akasema.

"Yes. Their animalistic change kicked in when they reached adolescence. Charles had mentally prepared them for the change, and the way his first son embraced it in a controllable manner, it happened the same way with the other hybrids. Through time, many aspects of their lives changed, while continuously learning how to control their abilities and hide them from the rest of the world, they found a deep bond between themselves that was very different and strong, thus lived in a special way to maintain stability and order for all of their kind in the future. It was always about keeping one another safe, so they established a set of rules and regulations that would help protect our kind in it's small world. As time went on, they reproduced themselves, creating families on a safe ground, and the first five hybrids were the leaders of the packs created (Ndiyo. Badiliko lao la unyama liliwapata walipopevuka. Charles aliwaandaa vizuri kiakili kwa ajili ya badiliko hilo, na jinsi ambavyo mwana wake wa kwanza alilipokea kwa utaratibu mzuri ilitokea kwa njia hiyo hiyo na kwa wale wengine. Kadiri muda ulivyopita, nyanja mbalimbali za maisha yao zilibadilika, huku wakiwa wanaendelea kujifunza namna ya kuziongoza nguvu zao na kuzificha kutoka kwa wengi duniani, walipata muungano wa ndani sana uliokuwa tofauti na wenye nguvu, hivyo walianza kuishi kwa njia ya pekee ili kuweka uwiano na utaratibu mzuri kwa ajili ya watu wa aina yao kwa wakati ujao. Sikuzote ilikuwa kuhusu kulindana, kwa hiyo waliwekeza sheria na taratibu ambazo zingelinda watu wa aina yetu ndani ya dunia yao ndogo. Muda ulipoendelea kusonga, walizaliana, wakiunda familia kwenye eneo salama, na wale watu-mwitu watano wa kwanza kabisa ndiyo walikuwa viongozi wa makundi waliyotengeneza)," Mark akaelezea.

"Packs? (Makundi?)"

"Yes, just like how wolves live in packs Maximilian. Their growth, our growth, is very rapid. In just 7 years one would already be what a normal human being is 18 years old, and that was due to our bestial nature forcing the growing of the human body and mind to escalate. So when I said adolescence I meant 7 years Maximilian, but I know that wasnt the case with you (Ndiyo, kama tu ambavyo mbwa-mwitu huishi kimakundi Maximilian. Ukuaji wao, yaani ukuaji wetu, ni wa kasi sana. Ni ndani ya miaka 7 tu mmoja wetu angeweza kuwa namna ambavyo kwa mwanadamu wa kawaida ni miaka 18, na hiyo ilikuwa kwa sababu hali yetu ya unyama ililazimu ukuaji wa mwili wa kibinadamu na akili visonge kwa kasi. Kwa hiyo niliposema kupevuka nilimaanisha miaka 7 Maximilian, ila najua haikuwa namna hiyo kwako)," Mark akasema.

"No. I grew up like a normal person. So how old are you? (Hapana. Nimekua kama mtu kikawaida. Kwa hiyo una miaka mingapi?)"

"I'd say over 200 years bestially. In a normal calendar I would be 38 (Ningesema zaidi ya miaka 200 kiunyama. Kwa kalenda ya kawaida nina miaka 38)," Mark akajibu.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"So, their family as whole was well protected, in such a huge world full of bad. It wasn't easy to always keep order, you know there's just gonna be that one person who wants to be above it all. Well, that time came when two wolf children killed another accidentally. They were both like adolescents, still new to their change, overwhelmed by it, and while playing in their wolf forms the kids hurt the other intensely. The one that died was the daughter of one of the leaders. He was hurt, saddened, angered by her death and wanted to kill the children who caused it as punishment. They weren't from his own pack, so there was a resistance from the other children's families and even disapprovement by the other leaders, who cited the incident as an unintentional accident and his want to punish them was nothing but an unfair vengeance (Familia zao kiujumla zililindwa vyema, hata ingawa walikuwa ndani ya dinia iliyojaa mabaya. Haikuwa rahisi sikuzote kuuendeleza utaratibu, unaelewa kwamba sikuzote ni lazima tu kutakuwa na yule mtu anayetaka kuwa juu ya mambo yote. Huo muda ulifika wakati ambapo
watoto-mwitu wawili walipomuua mwingine kwa tukio baya. Wote kwa pamoja walikuwa kama vijana tu waliopevuka, wageni kwenye mabadiliko yao, ikiwa kama imewazidia, na ndiyo walipokuwa wanacheza ndani ya maumbo ya unyama wakawa wamemuumiza vibaya sana mwenzao. Aliyekufa alikuwa binti wa mmoja wa wale viongozi. Aliumizwa, alisikitishwa, alikasirishwa na kifo cha binti yake naye akataka wale watoto wengine wawili wapewe adhabu ya kifo. Hawakuwa wa kundi lake mwenyewe, hivyo mgomo ukawepo kutoka kwa familia za watoto hao na hata kukataliwa kwa suala hilo na wale viongozi wengine, walioonelea tukio zima kuwa ajali tu ambayo haikutazamiwa na hivyo yeye kutaka watoto wapewe hiyo adhabu ilikuwa ni kutaka tu kisasi kisicho na haki)," Mark akaeleza.

Draxton akaendelea kusikiliza kwa utulivu.

"That leader got so upset that he threatened to kill the children by himself. The other leaders tried to calm things down but he insisted on avenging his daughter. Things went... very wrong... the other four leaders disbanded him from their unity, and it fueled his anger even more. Very much later, using his own pack, he plotted the deaths of the other four leaders, and killed all of them on the day he faked a truce after inviting them and their families to a small reunion celebration. He also knew that the leaders' firstborns would inherit their parents' powers to become the next leaders of their respective packs, so he killed all of them too. He wanted to be the only original hybrid left to lead all of the born human-wolves, and he killed anyone of them who dified him. A lot died Maximilian. He killed my parents, and my brother too (Huyo kiongozi alikasirika sana kiasi kwamba akatishia kuwaua wale watoto yeye mwenyewe. Viongozi wengine walijaribu kutuliza hali lakini yeye akasisitiza kutaka kulipa kisasi kwa ajili ya binti yake. Mambo yalikwenda... vibaya sana... wale viongozi wengine wakamwondoa kutoka kwenye umoja wao, na hiyo ikamwongezea hasira hata zaidi. Baadaye kabisa, akilitumia kundi lake mwenyewe, alipanga vifo vya wale viongozi wengine wanne, naye akawaua wote kwenye siku aliyowaalika kufanya sherehe ndogo ya upatano uliokuwa bandia. Alijua pia kwamba wazaliwa wa kwanza wa viongozi hao wangerithi nguvu za wazazi wao ili kuwa wakuu wa makundi waliofuata baada yao, kwa hiyo akawaua pia. Alitaka kuwa mtu-mwitu wa kwanza pekee aliyebaki ili kuwaongoza watu-mwitu wote waliokuwepo, na aliua yeyote kati yao ambaye angepingana naye. Wengi waliuawa Maximilian. Aliwaua wazazi wangu, pamoja na kaka yangu)," Mark akasema hayo.

Draxton akamtazama kwa hisia za huruma.

"For those of us who remained, we had to abide by his new rule. He's very ruthless. You know... before his rampage we were about half a thousand in population, but up to now there is only a few numbers left of us to even reach a hundred (Kwa sisi ambao tulibaki, ilitubidi tujiweke chini ya utawala wake mpya. Ni mtu mkatili sana. Unajua... kabla ya ghadhabu yake tulikuwa na idadi inayokaribia nusu elfu, lakini kwa sasa hivi hatuko wengi hata kufika mia)."

"He killed hundreds of people and nobody knew about it? (Aliua mamia ya watu na hakuna mtu aliyejua kuhusu hilo?)"

"You mean normal to government people? No. Aside from being a murderous scum but that guy is also very rich. The entirety of his territory has many places where he can do evil things and no one gets to hear of them. He controls us because we've sworn to be his people, so even when some of us try to play rebel we can't really outrun the influence he has on us (Unamaanisha watu wa kawaida mpaka kufikia serikalini? Hapana. Mbali na kuwa muuaji sugu lakini huyo jamaa ni tajiri pia. Sehemu kubwa ya himaya yake ina sehemu ambazo anaweza kufanyia mambo maovu na hakuna mtu yeyote anayeweza kujua. Anatuendesha kwa kuwa tumeapa kuwa watu wake, kwa hiyo hata nyakati ambazo baadhi yetu tunajaribu kujifanya waasi hatuwezi kuukimbia uchochezi alionao juu yetu)."

"What influence? You are telling me that this guy controls your free will? Is he God? (Uchochezi gani? Unataka kuniambia kwamba huyu jamaa anaendesha uhuru wenu wa kuchagua? Yeye ni Mungu?)"

"No, it's not like that. You see, that bond I mentioned is like a connection in our animalistic side. We live with it, and only the original hybrids and their first offsprings have the power to be pledged loyalty to so that they may protect everyone in their pack. That bond is very powerful. It's the same as how wolves are, except with us having a human side it helps not being fully controlled like mad animal puppets. I... I know there is a lot you don't understand Maximilian but please... trust me when I tell you that you are our only hope in defeating our evil leader (Hapana, haiko namna hiyo. Ni kwamba, ule muungano niliousema ni kama uvutano katika upande wetu wa unyama. Tunaishi nao, na ni watu-mwitu wa kwanza kabisa na wazao wao wa kwanza ndiyo wenye nguvu ya kuweza kutiishiwa ushikamanifu ili waweze kuwalinda wote wa kwenue makundi yao. Huo muungano una nguvu. Ni kama tu mbwa-mwitu kabisa walivyo, isipokuwa kwetu sisi kuwa na upande wa kibinadamu inasaidia kutoendeshwa kama wanaseserere vichaa. Nina... ninajua ni mambo mengi usiyoelewa Maximilian lakini tafadhali... niamini nikikwambia kwamba wewe ndiyo tumaini letu pekee katika kumshinda kiongozi wetu mbaya)," Mark akamwambia kwa kusihi sana.

Ni kweli kabisa kwamba mambo mengi ambayo mwanaume huyo alikuwa ametoka kusema yalimchanganya sana Draxton, na alitaka ufafanuzi zaidi lakini aliona woga mkuu ndani ya Mark ingawa alionekana imara. Ni lazima tu alikuwa anahofia mambo mengi mabaya kutoka kwa huyo kiongozi, na kama yeye Draxton ndiye aliyekuwa tumaini lao kutoa msaada, alihitaji kujua alihitajikaje hasa.

"How am I going to do that? (Nitafanya hivyo jinsi gani?)" Draxton akamuuliza, akiweka mawazo mengi pembeni kwanza.

Mark akasogeza kichwa mbele na kusema, "You have to come with me Maximilian. You can defeat him by taking over the entire pack, and if need be, take him out as well (Unatakiwa kuja nami Maximilian. Unaweza kumshinda kwa kulichukua kundi lote, na ikihitajika, kumwondoa yeye kabisa)," Mark akasema.

"What? Go with you? (Nini? Niende pamoja nawe?)"

"Yes (Ndiyo)."

"That... that is way too much (Hiyo... hiyo imezidi kipimo sana)."

"Maximilian please try to understand... (Maximilian tafadhali jaribu kuelewa...)"

"I do understand, but son, that is way off my mark. As much as I could believe everything you have told me, it is still so... new... to me. I don't even know where you're from, where you want us to go, how you found me, what I'll be doing and how that will affect the life that I have now... (Ninaelewa, ila mwanangu, hii kitu iko nje ya mstari wangu. Kwa kadiri ambayo ningeweza kuamini yote uliyosema, bado kila jambo ni... geni... kwangu mimi. Sijui hata unatokea wapi, unataka twende wapi, umenipata vipi, nitafanya mambo yapi na ni jinsi gani yataathiri maisha niliyonayo sasa...)"

"And I will fill you in with everything you need to know, but just really... (Na nitakueleza kila kitu unachotaka kujua, lakini kiukweli tu...)"

"Please, please, stop. This... this is a very confusing time for me. I don't know if I'm ready for whatever it is you think I can do to help, but right now, I'm really tired (Tafadhali, tafadhali, acha. Huu... huu ni wakati wenye kuchanganya sana kwangu. Sijui ikiwa niko tayari kwa lolote lile ambalo unadhani naweza kufanya ili kusaidia, lakini kwa sasa, nimechoka sana)," Draxton akamwambia ukweli.

Mark akatazama chini kwa huzuni kiasi, kisha akasema, "I understand. I'm sorry for tyring to force so much on you. I'm just really desperate (Ninaelewa. Samahani kwa kujaribu kulazimisha mambo mengi juu yako. Ni uhitaji mkubwa tu nilionao)."

Draxton akafikicha uso wake kwa kiganja taratibu, kisha akauliza, "How long are you going to be around? (Utakuwa huku kwa muda gani?)"

"A few days. I only had a stay for two weeks here (Siku chache. Nilikuwa na wiki mbili tu za kukaa huku)," Mark akamwambia.

Draxton akamtazama na kusema, "Alright. Give me a day or two, I need to sort some things first, then we'll meet again. Maybe talk some more and see where all of this will lead. Is that okay? (Sawa. Nipe siku moja au mbili, kuna mambo nahitaji kupangilia kwanza, kisha ndiyo tutakutana tena. Labda tutazungumza zaidi kuona haya yote yataelekea wapi. Hiyo ni sawa?)"

Mark akatikisa kichwa kukubali.

"Okay. You got a phone? (Sawa. Una simu?)" Draxton akamuuliza.

Mark akatoa simu yake na kumpatia. Draxton akaifungua na kuandika namba zake hapo, kisha akamrudishia.

"You can call me then I'll let you know when we can talk (Utaweza kunipigia nami nitakujulisha ni muda gani tunaweza kuzungumza)," Draxton akasema.

Mark akaitunza namba ya Draxton ya Tanzania kwa simu yake, naye akamshukuru kwa kumsikiliza na kisha akamuaga na kuanza kuondoka. Draxton alikuwa anataka kumsindikiza lakini mwanaume huyo akasisitiza kumwacha tu ili apumzike, hivyo akaondoka peke yake. Draxton akabaki ndani kwake kwa wakati huu akifikiria kuhusu mambo machache aliyotoka kusikia kwa mwanaume huyo. Haijalishi kama ilikuwa kweli au la, kilichohitajika ili kutoa msaada uliotakiwa kilikuwa kikubwa, lakini alipofikiria mambo vyema zaidi akatambua kwamba huenda hii kwa njia moja ama nyingine ingekuwa ndiyo nafasi yake ya kwenda mbali kuepukana na matatizo ambayo yalikuwa yamejitokeza huku.

Kila mara alipotaka kujihakikishia ndani ya akili yake kwamba kuondoka ndiyo ingekuwa jambo sahihi la kufanya, moyo wake ulilikataa wazo hilo hasa ulipopitisha midundo ya hisia alizokuwa nazo kwa wanawake wawili waliokuwa huku. Moyo wake haukutaka kabisa kuwaacha Namouih na Blandina. Lakini tena jambo hilo ndiyo moja kati ya mambo yaliyomchanganya hata zaidi; yaani ni jinsi gani angejigawa kwa wanawake wawili waliokuwa na sehemu muhimu sana ndani ya moyo wake. Hakujua mambo yangekwendaje, lakini alijua angetakiwa kuweka hali yake kimahusiano iwe sawa kabisa kwa wanawake wale kabla ya kuchukua maamuzi ambayo yangehitajika kuchukuliwa. Akaamua tu kuanza kupiga hatua hiyo kwa kwenda kwenye sherehe ndogo ya Namouih nyumbani kwake siku hiyo, naye akanyanyuka na kuanza kusafisha ndani hapo kisha aende kujiandaa kwa ajili ya sikukuu hiyo ya kuzaliwa Namouih.



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★

Huo ndiyo mwanzo wa hadithi tamu ya DRAXTON. Waweza kuipata yote kwa bei poa WhatsApp ama hapa hapa JF kwa bei poa kabisa. Karibuni sana.

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA PILI

★★★★★★★★★★★★★★


Siku mbili zilizofuata zilikuwa na mambo mengi sana yenye kufadhaisha kwa Draxton. Baada ya kukutana na Namouih nje ya jiji ili kuzungumza naye kuhusu hatma yao, Blandina aliwakamata wakiwa pamoja. Alikasirika mno na kutotaka hata kidogo kumsikiliza, lakini hata baada ya Draxton kumwelezea ukweli wote Blandina alionyesha kuwa na chuki kubwa kumwelekea Namouih. Mwanamke huyo alipotekwa na Efraim Donald, Draxton ndiyo alikuwa ametoka tu kugundua kwamba Namouih alikuwa na ujauzito wake, lakini hata alipomwomba Blandina ruhusa ya kwenda kumsaidia tu kisha arudi kwake, mwanamke huyu hakuafikiana na hilo; akionyesha kutojali lolote lile ambalo lingempata Namouih. Alimsihi sana kumwacha aende akatoe tu msaada, lakini Blandina akamwambia akifanya hivyo basi ndiyo angekuwa amempoteza.

Draxton aliamua kufanya kile ambacho kilikuwa sahihi ingawa alielewa kwamba Blandina alimaanisha kile alichosema. Alifikiria hali ambayo Namouih angekuwa anapitia, tena akiwa na mimba, vilevile watu wa familia yake chini ya mikono ya kikatili ya Efraim Donald. Mwanaume huyo alikuwa amempigia simu yeye mwenyewe kutoa kitisho cha kumuumiza mke wake, kwa hiyo Draxton akaenda kutoa msaada kwa Namouih. Alifanikiwa, naye akawaokoa Namouih, Zakia, na Sasha. Siku hiyo aliweza pia kumuua Efraim Donald aliyekuwa amepagawishwa kwa jini lake ambalo halikuweza kuzishinda nguvu za Draxton akiwa kama mnyama. Baada ya kurudi kwa Namouih akiwa namna hiyo, mnyama wa Draxton akaonyesha kiwango cha hali ya juu cha kumpenda mwanamke huyo kiasi kwamba hata aliposogelewa naye, hakumuumiza.

Kisha akarudia hali ya kawaida, na baada ya kujisitiri kwa nguo mwilini, akasaidizana na Namouih pamoja na Zakia kumwahisha Sasha hospitalini; ambaye alikuwa ameumia vibaya tumboni. Draxton alikuwa amemmiminia damu yake yenye kuponya sehemu ya tumbo iliyokatwa kwa kisu, na mpaka wanafika hospitalini ni Zakia ndiye aliyekuwa amechanganyikiwa sana kutokana na mambo mengi aliyokuwa ameona. Namouih alimwambia mama yake kuwa angemwelezea kila kitu wakishahakikisha usalama wa mdogo wake, na kwa hilo hakuwa na neno. Draxton yeye alitaka kushughulika na suala la miili ile ya watu wa Efraim Donald pamoja na mwanaume huyo pia kule walikoachwa, lakini ni ndani ya wakati huu ndiyo Mark akawa amemtafuta.

Draxton alimweleza kwamba bado wasingeweza kuonana kutokana na yeye kukumbwa na shida fulani iliyomhitaji sana kurekebisha, na Mark akawa amemwomba kumsaidia. Mwanaume huyo alimsihi sana kumpatia msaada hasa ikiwa ilihusiana na suala lake la unyama, hivyo Draxton akamwelezea kila kitu. Mark akamwambia asiwe na hofu kabisa; kila kitu angekishughulikia yeye, yaani ingekuwa kama Efraim Donald na wanaume wake hawakufa kabisa bali walipotea tu. Akamwambia atulie kwanza ili asije kuvutiwa umakini na mtu yeyote hasa kwa sababu Namouih mwenyewe angekuwa anatazamwa sana, naye Draxton akamwamini na kumwachia kazi hiyo. Suala la miili ya waliokufa pamoja na Efraim Donald liliisumbua akili yake Namouih pia, naye akawa amemuuliza Draxton ingekuwaje kama maaskari wangeipata na kugundua wamehusika na matukio hayo. Lakini Draxton akamtuliza kwa kusema jambo hilo lingesnughulikiwa na mtu mwingine upesi sana aliyekuwa rafiki. Namouih akataka kujua ni nani hasa ambaye angesaidia katika hilo, na ndiyo Draxton akamwelezea kuhusiana na Mark. Kuanzia namna alivyokutana naye mpaka walipoongea, na waliyoyaongea. Akamwambia kwamba bila shaka wangekutana tena na kuzungumza kwa kina, na mambo mengi yangefahamika zaidi.

Baada ya kuhakikisha Sasha ameanza kupatiwa matibabu, Namouih alianza kushughulika na mambo mengi yaliyohitaji kufanyiwa marekebisho kuhusiana na kifungo chake cha ndoa na Efraim Donald. Alielewa kwamba mwanaume huyo asingerudi tena, naye alitaka kuacha kutambulika kuwa mke wake. Chochote kile ambacho mwanaume huyo aliwahi kumpa ama kumfanyia, Namouih hakukihitaji tena. Hata wakati ambao mume wake alianza kutafutwa, Namouih aliapa kutojua alikokuwa.

Mark yeye aliitafuta sehemu ile ambayo Draxton alimwelekeza kwamba matukio hayo yalikuwa yametokea, lakini alifika kwa kuchelewa kiasi kwa sababu maaskari hawakuwa mbali kupafikia. Asingeweza kuiondoa miili upesi na kuificha mbali sana, kwa hiyo alichofanya ilikuwa ni kujigeuza kuwa mnyama, kisha akaipiga-piga miili hiyo na kuikwarua hapa na pale, lakini hakuiondoa. Yeye alikuwa na uwezo mzuri wa kujiongoza akiwa kama mnyama, na kwa kufuata harufu ya kiumbe aliyeuvaa mwili wa Efraim Donald aliweza kuupata mahali ulipokuwa, naye akaufanya namna hiyo hiyo pia na kisha kutoweka maeneo hayo. Bila shaka maaskari walipofanya uchunguzi wao na vipimo, walikuta mashambulizi yaliyowapata watu wale yalitokana na mnyama, na hata kuhofishwa na mwili wa ajabu uliokuwa umeuvaa wa Efraim Donald; ukiwa bila kichwa.

Kwa siku sita zilizofuata baada ya Sasha kupelekwa hospitalini, Mark alikuwa amemwacha Draxton atumie muda huo ili kuwa karibu zaidi na wapendwa wake kwa sababu alijua kwamba binti huyo aliyekuwa karibu kufa kwa kukatwa tumboni hakuwa ameamka bado. Lakini kwa sababu alihitaji kuharakisha mambo yaliyomleta huku ili arudi alikotoka bila kwenda nje ya muda aliokuwa amepanga kukaa huku, akawa ameamua kumfata Draxton hospitalini ili waweze kuzungumza kwa mara nyingine tena; na alielewa kwamba ingekuwa ngumu hata zaidi kwa wakati huu kumshawishi Draxton aondoke pamoja naye lakini alihitaji kujaribu. Alipofika hospitalini, ndiyo siku ambayo Sasha alikuwa amerejesha fahamu zake, na wakati Namouih pamoja na Draxton walipotoka chumbani kwa binti ili kwenda kumwona daktari, Draxton akaivuta harufu ya Mark na kutambua kwamba mwanaume huyo alikuwa amefika hapo.

Namouih alikuwa amezungumza na Draxton kuhusu suala la Blandina kutopatikana kimawasiliano na pale alipoishi, akionelea kuwa rafiki yake aliondoka kwa sababu ya chuki kubwa kumwelekea, naye Draxton akamtia moyo kuwa asikate tamaa kumtafuta na ipo siku wangepatana tena. Ndiyo mwanamke huyu akawa ametambua kwamba umakini wa Draxton ulivutwa na jambo lingine sehemu hiyo.

"Vipi?" Namouih akamuuliza wakiwa wamesimama usawa wa mlango wa kuingilia ndani ya chumba alicholala Sasha.

Draxton akamtazama na kusema, "Unakumbuka nilichokwambia kuhusu yule mwanaume niliyekutana naye ule usiku nimepotea?"

"Yule anayeitwa Mark?" Namouih akauliza.

"Ndiyo. Amefika hapa."

"Wapi... yuko wapi?"

"Huyo hapo," Draxton akasema na kutazama nyuma yake Namouih.

Namouih akageuka na kumwona mwanaume fulani mzungu, akiwa amevaa kwa njia ile ile kama tu mara ya kwanza ambayo Draxton alikuwa amekutana naye. Kwa kuwa tayari Draxton alikuwa amemsimulia Namouih kuhusiana naye, mwanamke huyu alielewa kwamba Mark alikuwa na majibu ya maswali mengi kuhusu maisha ya nyuma ya Draxton, na kwamba kwa sasa kulikuwa na kisa kingine alichokuja nacho kilichohitaji msaada wake. Mark akawafuata hapo walipokuwa, naye akawasalimu kwa njia ya heshima.

"How is everything? (Mambo yanakwendaje?)" Draxton akamuuliza Mark.

"I'll say okay on my part while I'm still here. What about you? Is the patient doing alright? (Nitasema yapo sawa kwa upande wangu nikiwa bado huku. Vipi nyie? Mgonjwa anaendelea vizuri?)" Mark akauliza.

"She's awake now. This is her sister, Namouih (Tayari ameshaamka. Huyu ni dada yake, Namouih)," Draxton akasema.

"Nice to meet you. I'm Mark (Ni vizuri kukutana nawe. Mimi ni Mark)," Mark akamwambia Namouih.

"Likewise (Mimi pia)," Namouih akasema hivyo.

"Sorry for showing up like this. I wanted to talk to you urgently cause my days of stay here are over (Samahani kuja tu namna hii. Nilitaka kuzungumza nawe kwa uharaka kwa sababu siku zangu za kukaa huku zimekwisha)," Mark akamwambia Draxton.

"When are you leaving? (Unaondoka lini?)" Draxton akamuuliza.

"Tomorrow (Kesho)," Mark akasema.

Namouih akamtazama Draxton usoni.

Draxton akamtazama pia, kisha akamwangalia Mark na kusema, "Okay. Let's talk. Will it be alright if she joins us? (Sawa. Tuongee. Itakuwa sawa akijiunga na sisi?)"

Alikuwa akimaanisha Namouih ajiunge nao kwenye mazungumzo ambayo wangefanya, naye Mark akatikisa kichwa kukubali. Draxton akamtazama Namouih na kumwambia waende kwa daktari lakini yeye angemsubiria akiwa ameingia kuonana na daktari ili akae pamoja na mgeni wake aliyefika bila kutarajiwa. Namouih akakubali, nao wote wakaenda mpaka nje ya ofisi ya daktari na kukaa kwenye viti virefu vya chuma wakisubiri. Baada ya muda mfupi Namouih akaingia na kuonana na daktari, akimjuza kuwa mdogo wake alikuwa ameamka na bila shaka angehitaji kuendelea kupatiwa uangalizi maalumu. Pia alitaka kujua wakati gani hususa ambao Sasha angeweza kuondoka hospitalini, naye daktari akamwambia wangepaswa kuendelea kusubiri ili mzunguko wa damu wa binti huyo ukae sawa zaidi.

Daktari akawapigia simu waangalizi maalumu walioshughulika na chumba alicholazwa Sasha ili wakaangalie hali yake kwa sasa, na Namouih akashukuru kwa yote na kumwacha. Alitoka na kuwakuta Draxton pamoja na Mark wakiwa wanaongea mambo fulani, naye Draxton akasimama na kusogea karibu yake. Namouih akamwambia kila kitu kiko sawa, hivyo ikiwa walitaka kwenda naye sehemu nyingine kuongea basi alikuwa tayari. Mark akawaambia kwenye hoteli aliyokuwa anakaa kwa sasa ndiyo pangekuwa mahala pazuri, na baada ya wote kuridhia, wakaenda chumbani kwa Sasha ili kumuaga. Mark pia aliingia, na tayari kulikuwa na wauguzi wawili ndani humo waliokuwa wanaangalia afya ya binti, na Zakia akiwa kwenye kochi pembeni. Wakasalimiana vizuri na Mark, naye akamsalimia binti Sasha na kumpa pole.

Wauguzi wale wakamwelezea Namouih kwamba Sasha aliendelea vyema, vyema kuliko kawaida. Ni kama vile damu ya mwili wake ilikuwa imemwongezea nguvu zaidi, na kwa kuwa binti hakuhisi maumivu tumboni basi angeweza kuondoka hospitalini muda wowote aliohitaji. Taarifa hiyo ilimfariji sana Zakia, naye akawashukuru kwa jitihada zao zote. Hakujua kiundani sana kuhusu hilo kuwa kwa sababu damu ya Sasha ilichanganyikana na damu ya Draxton, na Namouih akiwa analijua akakishika tu kiganja cha mwanaume huyo na kumshukuru kwa ishara ya macho. Wauguzi walipotoka, Namouih akaongea na mama yake kumwambia anatoka pamoja na Draxton ili kwenda kuzungumza na mgeni wao, kisha angerejea tena. Zakia hakuwa na neno kuhusiana na hilo, naye akamwambia binti yake aende tu na angemkuta hapo hapo na Sasha.

Baada ya kuagana vizuri na binti Sasha, watatu hao wakaondoka hospitalini hapo. Mark alikuwa amewafikia kwa usafiri, lakini zamu hii wakatumia gari la Draxton kuelekea kwenye hoteli. Ilikuwa hoteli nzuri yenye ghorofa kadhaa, na baada ya kufika hapo Mark akawaongoza mpaka ndani ya chumba chake. Kulikuwa na mpangilio mzuri kama kawaida ya hoteli za kifahari, na kwenye kitanda kulikuwa na begi dogo ambalo lilionekana kuwa na nguo chache pamoja na vifaa vingine vya mwanaume huyo mzungu. Akawakaribisha wakae kwenye viti virefu vya manyoya meusi kati ya vitatu vilivyokuwa vimeizingira meza nzuri ya mbao nene na laini, naye akalitoa begi kitandani huku akiwaambia kwamba kesho angewahi kuchukua ndege ili kuondoka nchini, naye akaketi kwenye kile kiti kilichobaki.

Mark alionekana kuwa mtu wa kwenda moja kwa moja kwenye pointi, kwa sababu alianza kumwelezea Namouih yale ambayo yalimleta huku kwa njia kama aliyomwelezea Draxton siku chache nyuma, akiwa anakazia kwamba Draxton alikuwa wa muhimu sana katika kumsaidia yeye na watu wake. Namouih pamoja na Draxton walikuwa kimya muda wote, mara kwa mara wakiangaliana kwa ufikirio mwingi. Mwanamke aliona wazi kwamba roho ya Draxton ya kutaka kusaidia watu ilifanya kazi hata na wakati huu kwa kuwaza kumsaidia Mark, lakini alikuwa anahitaji yeye Namouih awe sehemu ya uamuzi wowote ambao ungechukuliwa. Yaani kama wanasheria, hapa Draxton alikuwa amemleta mwanamke wake asome vielelezo hakika vilivyotolewa ili amsaidie kuchukua maamuzi yaliyofaa, na Namouih alikuwa anaogopa. Aliogopa kwamba msaada ambao Mark alihitaji ungemfanya yeye atenganishwe na mpenzi wake, na ni kitu ambacho hangetaka kabisa hasa kutokana na kipindi kigumu alichokuwa ametoka kupitia kumfanya ahitaji kuwa karibu na Draxton hata zaidi.

"I really don't have much time. Maximilian... I know you can relate on how hard it is to lose the people close to you. We really need your help (Sina muda mwingi sana kwa kweli. Maximilian... najua unaelewa jinsi gani ilivyo ngumu kupoteza watu walio karibu nawe. Tunahitaji sana msaada wako)," Mark akamwomba.

"How did you know that Max was here? (Ulijua vipi kwamba Max yupo huku?)" Namouih akauliza swali hilo.

"It wasn't easy. Most of us thought maybe the very first hybrid just disappeared with his mother and died, but later I did some research and found out it was him who enrolled in an online Law School in the 70's. It was just a hunch at first because I was looking for the possibility of finding him over millions of people... but after the news of an animal killing lots of people without being found, I knew it had to be him (Haikuwa rahisi. Wengi wetu tulidhani mtu-mwitu wa kwanza kabisa na mama yake walipotea tu na kufa, ila baadaye ndiyo nikaja kujua ilikuwa yeye aliyejiandikisha kwenye shule ya mtandaoni ya masuala ya sheria miaka ya 70. Mwanzoni yalikuwa makisio tu kwa kuwa nilitafuta uwezekano wa kumpata yeye kati ya mamilioni ya watu... ila baada ya kusikia habari za mnyama aliyeua watu wengi nilijua tu lazima iwe yeye)," Mark akaeleza.

"Ahah... I don't get it. Okay yaani... you searched for him for years right? And then got to see him just... paint himself over the internet like, 'hey, I'm the first hybrid?' (Ahah... sielewi. Sawa yaani... ulimtafuta kwa miaka mingi siyo? Halafu ukaja tu kumwona... akijitangaza kwenye intaneti, 'jamani, mimi ndiyo mtu-mwitu wa kwanza?')" Namouih akamuuliza kiudadisi.

Draxton akaangalia chini, akielewa hisia za mpenzi wake kuelekea mjadala huu zilizomwongoza kumuuliza Mark maswali hayo.

"No, it wasn't like that. It would have been impossible to find him but Maximilian using his father's name reduced the amount of years I spent looking for people with his surname. I also did this research secretly not wanting to grab any attention from the bad side (Hapana, haikuwa hivyo. Isingewezekana kumpata kabisa lakini Maximilian kutumia jina la baba yake kulipunguza kiasi cha miaka niliyotumia kutafuta watu wenye jina kama la baba yake. Nilifanya utafiti huo kisiri pia ili nisivute umakini wa watu wabaya)," Mark akasema.

"Okay. And then you heard about an animal killing. How did that guide you to him? It could have been any of your evil friends... how did you... how? (Sawa. Halafu ndiyo ukaja kusikia kuhusu mauaji yaliyofanywa na mnyama. Hiyo ilikuongoza vipi kwake? Ingeweza kuwa yeyote kati ya marafiki zako waovu... uliwezaje... kivipi?)" Namouih akaendeleza maswali.

"At that time we had perfect order before our leaders were killed, and even after, none of us would go out to kill that huge number of people. Our safety would be jeopardized. For months, our new leader tried to track down the cause of those events but didn't find it, clearly showing he would never want our cover to be blown just like that. He even put very strict rules on us, not because he cares for us, but himself. Well... I dug deeper into the issue. It occurred to me that deaths similar to the first ones happened here or there, and the manner seemed really out of control. During those times we had to make sure nothing traces back to us, so while others worked on it I continued piecing everything together till it got me in Venezuela. I believe you stayed there for a while, even caused another death of a woman and then disappeared (Wakati ule tulikuwa na utaratibu mzuri kabla wakuu wetu hawajauawa, na hata baada, hakuna yeyote kati yetu ambaye angetoka na kwenda kuua watu wengi namna hiyo. Usalama wetu ungewekwa hatarini. Kwa miezi, mkuu wetu mpya alijaribu kufatilia kisababisbi cha matukio hayo bila kufanikiwa, akionyesha wazi kwamba hakutaka usiri wetu uvunjwe kirahisi namna hiyo. Aliweka sheria kali zaidi kwetu, si kwa kuwa anatujali sisi, ila yeye pekee. Basi... mimi nilichimba zaidi kwenye hilo jambo. Ilitambulika zaidi kwangu kwamba vifo kama vile vya mara ya kwanza vilitokea hapa au kule, na namna yake ilionekana kuwa nje ya ujiendeshaji mzuri. Kwenye nyakati hizo tulitakiwa kuhakikisha mambo hayo hayawaongozi watu kwetu sisi, kwa hiyo wengine walipokuwa wanafanyia hilo kazi mimi niliendelea kuunganisha mambo kwa pamoja mpaka nikafikia Venezuela. Naamini uliishi huko kwa muda fulani, hata ulisababisha kifo cha mwanamke mmoja na kupotea tena)," Mark akaelezea.

Draxton akaangalia chini kwa huzuni kiasi, naye Namouih akamtazama pia akiwa ameelewa hilo lililoongelewa ni jambo lililomsumbua mpenzi wake kihisia kwa muda mrefu.

Mark akaendelea kusema, "This brought me to realize that you weren't able to control your bestial side, that's why you kept running, and even though you tried killing yourself it didn't work because there is something in you that gives you immortality unlike the rest of us, and it is connected with your change when becoming a wolf. I can help you control it. Fully. You can go in and out of your bestial side whenever you want, and you won't hurt anyone unwillingly. I found out you were in Tanzania a few years ago but couldn't make a move because of how tight our leader made sure to keep us all in place. Even now, I've bought only two weeks as enough time to be away (Hii ilinifanya nitambue kuwa haukuweza kuuendesha upande wako wa kinyama, ndiyo sababu uliendelea kukimbia, na hata ingawa ulijaribu kujiua haikuwezekana kwa sababu kuna kitu ndani yako kinachokupa uwezo wa kutokufa tofauti na sisi wote, na ina muungano fulani kwenye badiliko lako kuwa mnyama. Ninaweza kukusaidia kujiendesha vizuri. Kikamili. Utaweza kuingia na kutoka kwenye upande wako wa kinyama wakati wowote utakao, na hautaumiza mtu yeyote bila kuwa na nia hiyo. Niligundua upo Tanzania lakini sikuweza kupiga hatua yoyote kutokana na jinsi kiongozi wetu alivyotubana sana kukaa sehemu moja. Hata sasa, nina wiki mbili tu za kuwa mbali na huko)."

Namouih akamtazama kimaswali kiasi, naye akauliza, "Do you guys lack free will? You can't report your cult leader to the authorities? I mean... you sound desperate for help but the one you choose to enlist is.... (Hivi nyie hamna uhuru wa kuchagua kweli? Hamwezi kumripoti kiongozi wenu kwa mamlaka za juu? Namaanisha... unaonekana kuhitaji sana msaada lakini ulioamua kuutafuta ni....)"

"I know much of what I say seems crazy, not understandable, but it is how things are. I can't go beyond the influence our leader has on us... (Najua mengi ya ninayosema yanaonekana kuwa ya kipumbavu, kama hayaeleweki, lakini ndiyo jinsi mambo yalivyo. Siwezi kwenda nje zaidi ya uchochezi ambao kiongozi wetu anao juu yetu...)"

"What influence? Are you children incapable of deciding for yourselves? (Uchochezi gani? Nyie ni watoto kwani mnashindwa kujiamulia?)" Namouih akamkatisha kwa sauti kali kiasi.

"It's not easy to... I... (Siyo rahisi ku... nina...)," Mark akashindwa amwelezeeje.

"Namouih..." Draxton akamwita kwa upole.

"Max, huyu mwanaume anaweza akawa anakurubuni tu. Hatujui katokea wapi na ghafla tu anajua kila kitu kuhusu maisha yako. Vipi kama anataka kukuumiza, labda hata akupeleke kwa wanasayansi huko wakutoboe-toboe kukuchunguza? Fikiria itakuwaje ukimkubalia halafu ukaniacha peke yangu na hali niliyonayo," Namouih akaongea kwa hisia.

Draxton akamtazama kwa uelewa, naye akakishika kiganja chake kumtuliza. Namouih akaonekana kukosa raha kabisa na kunyanyuka, akatoka ndani ya chumba hicho akiwaacha wanaume ndani.

Draxton pamoja na Mark wakasimama pia, naye akamwangalia mzungu machoni na kusema, "I wanna help you. I do. But it's a big decision. Me wishing there was enough time to contemplate things but everything has come in so quickly and I'm just not sure on what to say (Nataka kukusaidia. Kabisa. Lakini ni uamuzi mkubwa. Natamani kungekuwa na muda mwingi wa kutafakari mambo vizuri lakini kila kitu kimekuja upesi na sina uhakika ni nini nachopaswa kukwambia)."

Mark akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa, naye akasema, "I know. I'm sorry. I am not gonna force you to come, but I want you to know I did make arrangements for two tickets just in case you would change your mind. I know you've built a lot here and how hard it is leaving them behind, but am not asking for your help to destroy them. You are the only one who can stop our cruel leader Maximilian. Let me help you with control so you can take him down without pulling unwanted attention. You can return to the precious life you have made with Namouih. But I beg you to reconsider my request (Najua. Samahani. Sitakulazimisha uje nami, ila jua kwamba nilifanya matayarisho ya tiketi mbili ikitokea tu ukabadili mawazo. Najua ni mengi uliyojenga huku na jinsi ambavyo ni ngumu kuyaacha, lakini sikuombi msaada ili kuyabomoa. Ni wewe tu ndiye unayeweza kumdhibiti kiongozi wetu mkatili Maximilian. Niruhusu nikusaidie kujiongoza vizuri ili uweze kumwangusha bila kuvuta uangalifu usiotakikana. Unaweza kurudia maisha yako mazuri uliyonayo na Namouih huku baada ya yote. Lakini niko chini ya miguu yako napokuomba ufikirie ombi langu)," Mark akamsihi kwa heshima.

Mwanaume huyo akapiga goti moja chini na kuweka ngumi moja kifuani kwake, akimwinamia Draxton kwa heshima, naye Draxton akamsisitiza asimame kwa kuwa hali hiyo ilimtatiza kidogo.

Mark akasimama na kusema, "I'll wait for your call by midnight. You can give me your answer till then. It's been an honor meeting with you (Nitasubiri simu yako kufikia usiku wa kati. Utanipatia jibu lako kufikia wakati huo. Imekuwa pendeleo la hali ya juu kukutana nawe)."

Draxton akatikisa kichwa kukubali maneno hayo, naye akasema, "Thank you, for helping me too (Asante, kwa kunisaidia pia)."

Alikuwa akimaanisha msaada ambao Mark alimpatia mara ya kwanza wamekutana na ishu ya Efraim Donald pia, na mwanaume huyo akatikisa kichwa kukubali shukrani hiyo. Draxton akampatia mkono ili waiunganishe kwa amani, naye Mark akaupokea kwa heshima kuu. Mwanaume akatoka ndani humo akiwa anajua huko nje angehitaji kwenda kuzungumza na mwanamke wake kwa kina kuhusu ishu hii. Alikuwa amehimilishwa katikati ya fimbo ndefu ya maamuzi iliyomhitaji ashukie upande mmoja kwa sababu asingeweza kubaki katikati tu.

Akaenda mpaka nje ya hoteli na kumkuta Namouih akiwa amesimama usawa wa gari lake, naye Draxton akaenda hapo na kumwambia waende sehemu nyingine ili walizungumzie suala hilo pamoja. Lakini Namouih hakutaka kuzungumza tena, bali akamwomba tu amrudishe hospitalini kwa mdogo wake na mengine yangefuata. Alionekana kuwa ameudhika bado, na kwa kumwelewa, Draxton akalifanyia kazi ombi la mama kijacho wake kwa kumpeleka tena hospitalini. Kutokana na kuwa na mengi akilini hakumsemesha neno hata moja mpaka wanafika huko, naye Namouih akashuka tu na kwenda ndani ya jengo bila kuongea lolote. Draxton akatumia muda mfupi kuendelea kufikiria vitu akiwa ndani ya gari, kisha akaamua kuondoka hospitalini hapo; yaani kwenda sehemu nyingine ili aweze kuwa mwenyewe.

★★

Namouih aliendelea kukaa hospitalini pamoja na mdogo wake mpaka jioni. Kufikia kipindi hiki alikuwa ameshaondoka kwenye nyumba ya Efraim Donald na kuchukua vyumba viwili kwenye hoteli fulani jijini hapo kwa muda, na Zakia alikuwa ametoka hospitalini wakati huu kwenda kupumzika kisha angerejea tena. Sasha alikuwa akijisikia vizuri zaidi. Alikula chakula kingi na kuzungumza kwa namna nzuri aliyokuwa amezoea kuongea na dada yake. Ilipofika usiku wa saa mbili Zakia akawa ameenda tena hospitalini na kuwakuta binti zake wakiwa wanaongea kwa uchangamfu.

Kwa muda huu, Zakia aliweza kuona kwamba Namouih hakuwa na amani sana kihisia hata bila ya binti yake kuonyesha hilo, naye akachagua muda mzuri wa kumuuliza kama alikuwa na tatizo ili ikiwezekana amsaidie. Namouih akasema hakukuwa na tatizo kubwa wala, na ndiyo mama yake akauliza mzungu yule aliyekuja mapema siku hiyo alikuwa nani na alifika kwa ajili ipi. Namouih akaona tu amweleze mama yake kuhusu mambo ambayo Mark alikuja nayo huku, akisema hakutaka kutenganishwa na Draxton kwa sababu ya matatizo ya mtu mwingine. Zakia akamtia tu moyo kwa kusema anajua kwa vyovyote tu mambo yangekuwa sawa, na akamshauri pia ajitahidi kutuliza wasiwasi ili aongee na mwanaume wake vizuri zaidi.

Namouih akautilia maanani ushauri wa mama yake, akifikiria njia nzuri ya kuweza kuondoa msongo wake mpya kutokana na suala la leo, naye akamwambia Zakia kwamba angeondoka wakati huu kwenda kuonana na Draxton ili wakayamalize kwa njia yoyote ile ambayo ingefaa. Akaondoka tena baada ya kumuaga Sasha. Aliamua kutafuta ushauri mzuri hata zaidi kabla ya kwenda kwa mpenzi wake, hivyo akampigia rafiki yake aliyekuwa daktari na mshauri bora, Salome. Mwanamama huyo alipokea misongo ya Namouih kwa njia nzuri na kumshauri afanye jambo ambalo moyo wake ulimwambia lingekuwa sahihi, si kwa kujitazama yeye tu, bali kwa kumtazama na Draxton pia. Ajiweke chini ya miguu yake kuendana na hali hiyo, na bila shaka jibu la nini ambacho angetakiwa kufanya lingekuwa wazi. Namouih akaweka akilini jambo hilo na kumshukuru rafiki yake kwa kumsaidia, naye akamwambia sasa angekwenda kuonana na Draxton akiwa na uhakika wa kile alichotakiwa kufanya.

★★

Draxton alikuwa amerudi pale alipoishi kwenye nyumba ya kupanga. Alikuwa ametulia ndani tu, huku sauti ya muziki mzito ikisikika nje kutoka chumba cha jirani kutokana na kuwepo kwa sherehe ndogo ya siku ya kuzaliwa kwake Rehema. Bila shaka walikuwa wamemwalika Draxton ahudhurie pia baada ya yeye kufika mida ya mapema, naye alisaidia katika mambo madogo ya uunganishaji wa mitambo lakini hakukaa kwa muda mrefu sana na ndiyo baadaye akawa ameingia ndani kwake akiwaambia alihisi kuumwa kichwa. Sasa hivi alikaa kwenye sofa lake akiwa anasoma taarifa fulani kuhusiana na matukio ya mauaji ya miaka mingi iliyopita; ambayo ni yeye ndiyo alikuwa akisababisha kupitia unyama ulioishi ndani yake.

Ingawa kwa kadiri fulani wakati huu alikuwa ameweza kujiendesha vyema kufikia badiliko lake la kati kwa msaada wa Namouih, bado hakuweza kikamili ilipohusu kuwa mnyama kabisa. Aliwaza ingekuwa vipi ikiwa angewahi kukutana na Mark zamani ili amsaidie kama alivyodai kuweza, labda mambo hayo yote yasingetokea kabisa. Ila msaada huo kwa sasa ungempasa amwache mtu mwingine wa muhimu zaidi kwake, kitu ambacho hakikuwa rahisi hata kama ingekuwa kwa muda mfupi. Akiwa anaendelea kuwazua mlango wa kuingilia ndani kwake ukafunguka, naye akawa ameshatambua aliyeingia hapo. Ilikuwa ni Kuluthum, yule mwanadada aliyeishi kwenye nyumba hiyo pia, naye akaanza kwenda mpaka usawa wa sofa aliloketi Draxton. Kwa kadiri fulani wapangaji wengine walikuwa wameshaanza kumzoea mwanaume huyu hivyo uhuru wa Kuluthum kuingia ndani hapo kilikuwa kitu cha kawaida.

"Draxtony, mama anasema uje ule," Kuluthum akamwambia hivyo huku akisimama karibu zaidi na alipokaa mwanaume.

Draxton akamtazama na kutabasamu kiasi, kisha akasema, "Mwambie asante, ninakuja."

"Kichwa kimeacha kuuma?"

"Ee ndiyo, angalau sasa hivi kimetulia. Wameshakata cake?"

"Zamani! Usijali lakini, ya kwako ipo. Twende sasa hivi bwana, baba atafurahia kukiwa na mwanaume mwingine ndani maana anahisi amezungukwa na watoto," Kuluthum akamwambia.

Draxton akatabasamu tena na kuangalia chini kama anatafakari.

Kuluthum akamshika mkono na kuanza kumvuta huku akisema, "Twende kaka Draxtony baasii."

Draxton akaona asimame tu, akajirekebisha vizuri na kusema, "Haya twende. Halafu bado unakosea, ni Draxton, siyo Draxtony."

"Draxtony ndiyo tamu zaidi," Kuluthum akamwambia na kuanza kutangulia kuondoka.

Draxton akatabasamu tena na kuanza kumfata, na ile wameufikia mlango Kuluthum akasitisha nyendo zake baada ya kukutana na Namouih, aliyekuwa ndiyo amefika tu hapo. Draxton akasimama pia na kumtazama kwa hisia, naye Kuluthum akamwamkia. Namouih akamwitikia mwanadada huyo na kumwangalia Draxton machoni, na mwanaume akamwambia Kuluthum atangulie tu na amwambie mama yake kwamba angekwenda baadaye endapo kama muda ungeruhusu maana alipata mgeni, naye Kuluthum akatii na kuwaacha wawili hao. Namouih ndiyo alikuwa amefika sasa.

Draxton akashusha pumzi na kusema, "Njoo."

Akamnyooshea mkono wake, naye Namouih akampa wa kwake na kuiunganisha pamoja, kisha wakaingia ndani na kufunga mlango. Wakaketi kwenye sofa moja kwa ukaribu sana, huku Namouih akimwangalia jamaa kwa hisia nyingi. Draxton akaamua kumpa kumbatio kwanza, kisha akamwachia na kumtazama machoni kwa upendo.

"Huyo si ni Kuluthum?" Namouih akauliza kwa sauti ya chini.

"Ndiyo," Draxton akajibu.

"Mbona amependeza sana, mlikuwa mnaenda wapi?" Namouih akauliza.

Draxton akatabasamu kwa mbali na kusema, "Haujaipita sherehe ya mama yake hapo nje?"

"Unataka kusema amekufata huku ili uende naye hapo? Ni mbali sana?"

"Umeanza wivu?"

"Siyo wivu, naangalia vielelezo."

"Ahah... alikuwa amekuja kuniita. Vipi tukienda pamoja?"

"Sikumbuki kualikwa."

"Haitakuwa na shida. Ukamsalimu tu Rehema, amekua."

Namouih akatabasamu na kuangalia chini.

"Sasha?" Draxton akamuuliza.

"Yuko poa. Damu yako ina maajabu kweli," Namouih akajibu.

"Na msaada wa madaktari pia."

Namouih akatikisa kichwa kukubali, na baada ya kushusha pumzi ndefu akasema, "Max... naomba samahani kwa kutenda namna ile leo. Hisia zilipanda tu."

Draxton akavikaza viganja vya mpenzi wake na kusema, "Usijali. Nakuelewa. Tafadhali Namouih, nakuomba unishauri juu ya kile unachoona ni sahihi mimi kufanya kuhusiana na tatizo la Mark."

"Max unaelewa hisia zangu... lakini siwezi kukulazimisha uchukue maamuzi yatakayokufanya ujutie."

"Sitajutia ikitoka kwako Namouih. Nitafanya kile unachoniambia. Niambie tu."

"Unajua wazi kile ninachotaka. Ni kuwa karibu na wewe. Basi. Lakini ikiwa nafsi yako itakusuta ukiamua kutomsaidia huyo mwanaume ili tu kuridhisha nayoyahitaji... hata mimi nitakosa amani," Namouih akamwambia.

"Unajuaje kwamba nitakosa amani kwa kutokukubali ombi la Mark? Hakuna kitu kingine kinachonipa amani mimi ila furaha yako tu," Draxton akasema.

"Acha kufanya hivyo Max..."

"Kufanya nini?"

"Kufanya ionekane kama moyo wako utatulia tu ukiacha kumsaidia mtu anayefanana nawe. Ninakujua vizuri. Najua hata mpaka sasa moyo wako bado unaumia kwa sababu ya Blandina, kwa hiyo ukikaa unaelewa kwamba Mark anaondoka bila wewe kuweza kumsaidia itakupa wakati mgumu hata zaidi kihisia," Namouih akasema kiupole.

Draxton akatazama pembeni kwa huzuni.

Namouih akamshika shingoni taratibu, kisha akasema, "Nenda naye."

Draxton akamtazama kwa umakini.

"Nenda kamsaidie Mark. Litakuwa jambo sahihi kufanya," Namouih akasema.

"Lakini Namouih..."

"Usijali kuhusu mimi, nitakuwa sawa. Mwanzoni nilikuwa tu naogopa labda... utaniacha, lakini nimeona huo kuwa ubinafsi tu kwa sababu..."

"La, Namouih, siyo ubinafsi. Hata mimi sitaki... sitaki kuwa mbali nawe," Draxton akasema kwa hisia.

"Lakini naelewa jinsi unavyohisi pia kujua kwamba kuna mtu mwingine aliye kama wewe anayehitaji msaada wako. Msaidie tu. Tena nadhani itakuwa vyema ukitumia muda huo kuweza kusaidika pia kurekebisha hali yako, na Mark anasema kuna njia ya kukusaidia, ichukue. Mimi nitakuwa sawa kabisa, nina mama, Sasha, Salome, na wengine."

"Sina uhakika kama nikichukua uamuzi wa kuondoka kila kitu kitakwenda kwa matarajio. Vipi kama..."

"Max hakuna lolote lile litakaloweza kuutenganisha upendo wangu kwako, iwe ni umbali, au mwanamke mwingine, hata kifo. Nakuamini. Kwa yoyote utakayokutana nayo huko ninajua utayashinda na utarejea salama," Namouih akaongea kwa uhakika.

Draxton akatazama pembeni na kusema, "Unavyoongea ni kama vile una hakika ninawaza kuondoka."

"Sina uhakika. Ni kwamba tu huo ndiyo ushauri ninaoona unafaa kukupatia," Namouih akasema.

"Kwa nini? Kwa nini unaniomba nifanye hivi?" Draxton akamuuliza kwa utulivu.

"Kwa sababu unastahili kujua hatma yako Max. Mama yako alikwambia kuna sababu inayofanya uendelee kuwepo licha ya changamoto unazopitia. Umefanya mengi kwa ajili yangu, na sasa kuna wengine unaoweza kuwasaidia hata zaidi. Huenda hii ikawa fursa na wakati mwafaka wa kuiishi hatma hiyo, na pia kukukutanisha na mengi yatakayokubadilisha kwa njia bora zaidi. Amini tu moyo wako, na ujue kwamba nitaendelea kuwa wakwako mpaka mwisho. Nakupenda Max," Namouih akasema maneno hayo huku machozi yakianza kumtoka.

Draxton akakivuta kichwa cha Namouih na kukilaza kifuani kwake, akimpa bembelezo taratibu. Alihisi kujivunia kuwa na mwanamke kama yeye aliyemwelewa na ambaye hakutanguliza hisia zake tu, bali alikuwa na uwezo wa kujidhabihu kwa ajili yake pia hata ingawa kulikuwa na ugumu. Namouih akarudisha kumbatio la mwanaume wake kwa kuzungshia mikono yake mgongoni kwa Draxton, akimbana kwa nguvu huku machozi yakiendelea kumtoka. Draxton alikuwa karibu kumwaga machozi pia lakini akajikaza, kisha taratibu akamwachia na kuushika uso wake, akimtazama kwa ukaribu na kwa hisia.

"Nakupenda pia Namouih. Umekuwa mwanga mzuri kwenye maisha yangu yaliyokuwa yamejaa giza zito. Nakuahidi. Nitafanya yote niwezayo kuhakikisha upendo wangu kwako unadumu, nasi tutakuwa pamoja tena."

Namouih akatabasamu huku akilia, kisha akasema, "Mbona unaongea hivyo utadhani unaenda jumla bwana? Sidhani hata ikiwa miezi itapita labda tu akina Selena Gomez wakung'ang'anie."

Draxton akatabasamu kidogo.

"Ole wako ushindwe kutimiza ahadi yako. Me sitajali hata ukiwanyandua mabinti wote wa huko mradi tu urudi kwangu," Namouih akasema.

"Ahah... usiseme hivyo bwana..." Draxton akamwambia huku akilisugua shavu la mrembo wake taratibu.

"Hii imekuja ghafla jamani, eh!" Namouih akaongea hivyo na kuanza kujifuta machozi.

"Unajua ikiwa usingekuja kuniambia haya, nisingefikiria kwenda na kukuacha tu. Umenisaidia kufungua macho zaidi. Mark anaweza kuwa chanzo kipya cha mimi kujielewa zaidi, nami nitajitahidi kuwasaidia watu wa aina yangu kwa uwezo wote niliopewa. Nahitaji kujionea hayo ya huko. Na wewe nahitaji uniahidi kukaa kwa usalama Namouih, la sivyo nitaghairi kufuata ushauri wako nikisikia umevunja hata kucha," Draxton akasema hivyo kwa hisia.

Namouih akatabasamu na kutikisa kichwa kukubali.

Draxton akalishika tumbo la mwanamke huyo, naye Namouih akakishika kiganja cha mpenzi wake kilichowekwa tumboni kwake.

"Jitahidi usipitishe miezi tisa hujarudi," Namouih akasema.

"Haitafika hata mitatu. I promise," Draxton akasema kwa uhakika.

Namouih akakifuata kinywa cha mpenzi wake na kuanza kumbusu kwa upendo, naye Draxton akalirudisha penzi la mdomo kwa dhati yote. Walipotulizana, wakawekeana paji za nyuso zao huku wakiwa wamefumba macho, kisha Namouih akajiweka sawa zaidi na kumuuliza Draxton ikiwa muda ungeruhusu aweze kujiandaa kubeba mambo mengi yaliyohitajika kwa ajili ya safari. Mwanaume akamwambia kwamba hangebeba mambo mengi sana, ya muhimu tu kama vitambulisho na nguo zake chache, kwa kuwa inaonekana ni mengi ambayo Mark alikuwa ameshampangia kwa ajili ya kwenda naye, kwa hiyo angempigia tu simu kumjulisha kuwa amekubali kuondoka naye.

Hii ndiyo ilikuwa kwa heri ya wapenzi hawa waliopitia mambo mengi yenye mikazo wiki nyingi nyuma, lakini haikuwa kwa heri ya mapenzi yao kuelekeana. Draxton sasa alihitaji kwenda kuwajibika na mambo mengi asiyokuwa na ujuzi mwingi kuyahusu, lakini alijua kwa msaada wa Mark angefanikiwa tu kukabiliana nayo vyema. Kwa upande wake Namouih, alijihisi vibaya kiasi kujitoa namna hiyo kwa kuwa hakutaka Draxton aende mbali naye hata kwa dakika mbili, lakini kwa ajili ya mpenzi wake alihitaji kuonyesha uimara ili amsaidie kufikia utambuzi bora zaidi wa maisha yake na hatimaye waweze kuja kuyajenga yao kwa njia bora hata zaidi. Alikuwa na imani na hilo. Baada ya kuwa wamepatana kiakili kuhusiana na suala hilo, Namouih akasema angewaambia wanafamilia wake kuhusu safari ya Draxton, na mwanaume akamshukuru. Namouih akajitahidi kuonyesha usawaziko wa kihisia na kumwambia waende kwenye sherehe ya Rehema hapo nyumbani, na alipanga walale pamoja usiku huo kabla ya mpenzi wake kuiaga nchi siku ya kesho.

Draxton hakuwa na kipingamizi, naye akachukua simu yake na kumpigia Mark ili kumjulisha kuhusu uamuzi wake, na baada ya jamaa kupokea, akaweka mfumo wa sauti ya juu na kusema, "Hello. It's me (Habari. Ni mimi)."

"Maximilian. I've been expecting your call. So? Have you decided? (Maximilian. Nilikuwa naisubiri simu yako. Kwa hiyo? Umeamua?)" Mark akasikika.

"Yes. I'll go with you (Ndiyo. Nitakwenda pamoja nawe)," Draxton akamwambia.

"Thank you so much! You have no idea how much this means to me... to everyone who is in need of your help. I'll go to your place by 4 am. I'll pick you up and we'll go straight to the airport (Asante sana! Haujui jinsi gani hii ina maana kubwa kwangu.. kwa wote ambao wanahitaji msaada wako. Nitafika unakokaa mida ya saa kumi alfajiri. Nitakupitia na moja kwa moja tutakwenda uwanja wa ndege)," Mark akaongea kwa njia iliyoonyesha shauku.

Namouih akatabasamu kidogo kwa kuhisi namna mwanaume huyo alivyojawa matumaini.

Draxton akasema, "Okay. I'll be ready. Where is our final destination with this trip? (Sawa. Nitakuwa tayari. Ni wapi ndiyo sehemu kuu ya mwisho tutakapofikia kwa hii safari?)"

"The United States (Marekani)," Mark akajibu.

Draxton na Namouih wakatazamana machoni. Safari hii ya ghafla iliyomhitaji Draxton aende kutoa msaada ingemrudisha kule kule alikotoka kabisa, alikozaliwa, nchi yake aliyoikimbia kwa miaka mingi. Angehitaji kujiweka sawa kabisa kiakili kwa mambo mengi aliyokuwa anaenda kukutana nayo huko, na yalikuwa mapana kuliko alivyodhani. Yangebadili maisha yake kwa njia nyingi mno ambazo zingemfanya atamani kama angebaki tu nchini humu na mpenzi wake, Namouih.




★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

Karibuni kuipata story yote ya DRAXTON WhatsApp ama huku huku kwa bei nafuu. Kitabu kiko full. Itaendelea kuruka hapa kila Jumamosi na Jumapili.

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA TATU

★★★★★★★★★★★★★★

Saa kumi alfajiri kufika tayari Draxton na Namouih wakawa wameamka na mwanaume huyo kuanza kujiandaa kwa ajili ya safari yake. Namouih alichokuwa akifanya sana sana ilikuwa ni kumsaidia mpenzi wake kwa chochote kile; yaani hadi kuoga alimwogesha kabisa mwanaume huyo. Usiku huo, wawili hawa walikwenda pamoja kwa yule mpangaji mwenzake Draxton aliyeitwa Rehema na kujumuika naye katika sherehe ya kuzaliwa kwake hapo nyumbani, kisha wakalala pamoja. Walikuwa wamefurahia penzi zuri pia la kupeana heri nzuri kabla ya mwanaume kuondoka.

Hata wakati huu ambapo Draxton alikuwa amemaliza kuuvika mwili wake nguo nzuri, Namouih alionekana kuwa na huzuni sana mpaka akawa akilia bila kujionyesha, naye Draxton akambembeleza na kumkumbusha kwamba hatakwenda jumla. Na pia kulikuwa na uwezekano wa kuendelea kuwasiliana hata akiwa kule, kwa hiyo wakaahidiana kuwa wanawasiliana kila siku.

Mark akawa amefika hapo alfajiri hiyo iliyokuwa yenye giza bado, na Draxton akawa amemkaribisha ndani kwake ili naye aweze kumuaga Namouih. Mzungu huyo akamsemesha Namouih kwa heshima, akimwambia kwamba anaelewa ni namna gani Draxton alivyo wa muhimu kwake, na kwamba angehakikisha anarudi kwake haijalishi nini kingetokea. Namouih akamwambia kimasihara kwamba akishindwa kumlinda Draxton huko halafu akaibiwa na mwanamke mwingine basi angemuua Mark, na mwanaume huyo akasema angemletea na silaha kabisa.

Baada ya dakika chache za kuongea namna hiyo, Mark akamjulisha Draxton kuwa tiketi ya pili aliyolipia mapema ilikuwa kwa njia ya utambulisho usiojulikana mapema (anonymous), hivyo ingebidi wafanye utaratibu wa kutumia kitambulisho cha kuhama nchi cha Draxton ili wakifika tu huko iwe ni kupita na kuingia ndani ya ndege. Ulikuwa ni utaratibu mpya na rahisi wa kufanya hivyo kwa njia ya mtandao, ikiwa ni shirika la ndege za Qatar Airways, hivyo wakakubaliana kufanya hivyo wakiingia mwendoni kuelekea uwanja wa ndege.

Draxton akamtazama Namouih machoni na kuona namna alivyomwangalia kwa upendo mwingi, naye Mark akalibeba begi la Draxton na kusema angelipeleka kwenye gari la jamaa, kama tu kutangulia nje ili awaache wapeane za mwisho. Akapewa funguo za gari na Draxton na kutoka ndani hapo, na mwanaume akamwangalia tena Namouih.

Mwanamke huyu alikuwa akilengwa na machozi, naye akarudisha mikono yake nyuma ya shingo na kuifungua cheni nyembamba aliyokuwa ameivaa. Ingawa ilikuwa ni ya kike, akampatia Draxton kiganjani na kuifunika, bila shaka akimpa kitu fulani cha kumkumbukia akianza safari, kisha akamkumbatia mwanaume wake kwa nguvu sana. Draxton akarudisha kumbatio lake pia na kumbusu taratibu shingoni, huku Namouih akipumua kilegevu na kulia kwa deko, kisha Draxton akamwachia na kumfuta machozi; akimshika usoni kwa viganja vyake.

"Asante," Draxton akasema kwa hisia.

"Hhh... asante ya nini sasa?" Namouih akauliza huku akitokwa machozi.

"Kwa kila kitu. Nakupenda sana," Draxton akasema.

"Najua. Najua. Nenda Max... nenda katandike huyo mpuuzi ngumi mbili tatu, kisha urudi kwangu ili tuendelee kupendana hata zaidi," Namouih akamwambia.

Draxton akatabasamu kidogo, kisha akambusu mdomoni kwa upendo.

"Nakupenda Max," Namouih akasema maneno hayo katikati ya busu yao.

Draxton akaacha kumbusu, kisha akasema, "Najua. Nitarudi kwako Namouih. No matter what."

"Promise? (Unaahidi?)" Namouih akauliza.

"Promise (Naahidi)," Draxton akamjibu.

Wawili hawa wakakumbatiana tena kwa upendo. Draxton alikuwa ameshamwambia Namouih kwamba sehemu hiyo aliyopangia vyumba tayari alikuwa amekwishailipia kodi ya mwaka mzima, kwa wakati huu ikisalia miezi kumi, hivyo endapo kama alijisikia kutaka kukaa hapo ama kumleta Sasha akae hapo wakati anaendelea na masomo alikuwa na uhuru wa kufanya hivyo. Alimwachia na namba za mwenye nyumba akisema wangekuwa wanawasiliana, na kama alitaka kujitambulisha kwake basi angemwambia yeye ni mke wake Draxton.

Kumbatio hili la mwisho lilichukua dakika nyingi maana ni kama wote hawakutaka kuachiana, lakini hatimaye Namouih akamwachia Draxton na kumsukuma kidogo, akimuasa aondoke, ila mwanaume akawa anamwangalia tu. Namouih akaelekea chumbani na kujifungia huko, akiendelea kulia utadhani hata zilikuwa zimepita dakika 20 tokea mwanaume huyo alipotoa ahadi ya kurudi kwake.

Ni kwamba tu walikuwa wameshazoeana kwa kina chenye nguvu sana, hivyo huzuni iliyompata Namouih kuachwa ghafla namna hiyo ilimtikisa. Lakini hakukuwa na namna. Draxton alihitaji kwenda kuwasaidia wengine, kama tu yeye Namouih alivyomsaidia na kusaidiwa naye. Akaenda tu kitandani na kujilaza, akiukumbatia mto kwa nguvu sana na kufumba macho yake.

Mwanaume akiwa bado sebuleni, akainamisha tu uso wake kwa huzuni kiasi pia, akiitazama cheni ya mpenzi wake kiganjani, naye akaivaa shingoni kwake na kuifunika ndani ya T-shirt alilovaa, kisha akaondoka hapo hatimaye. Alimkuta Mark akiwa ameketi siti ya pembeni kutoka kwenye usukani, naye akamuuliza ikiwa kila kitu kilikuwa sawa. Draxton akatulia kidogo, kisha akasema ndiyo, kila jambo kwa hapo lilikuwa sawa, naye akawasha gari na kuanzisha mwendo wa kuutafuta uwanja wa ndege.

Hii ingekuwa safari tofauti kwake kwa mara nyingine tena, safari ambayo ingembadilishia kabisa aina ya mtu aliyekuwa amejikuza kwa zaidi ya miaka 90.

★★★★

MASAA 25 BAADAYE...

MAREKANI

Iliwachukua masaa hayo wanaume hao kuweza kutoka Tanzania mpaka nchini Marekani kwa usafiri wa anga. Kulitokea mvurugo fulani wa kiratiba wa ndege ambayo ilitakiwa kuwatoa wao moja kwa moja wakiwa jijini pale, na hivyo wakabadilishiwa sehemu ya kupandia ndege na badala yake kutakiwa kwenda kisiwani Zanzibar kufanikisha hilo. Walipelekwa kwa boti zenye mwendokasi mpaka huko na kwenda uwanja wa ndege, kisha ndiyo wakapaa hatimaye na kukaa angani kwa masaa 22 hadi walipotua jijini New York.

Draxton, kabla hata ya kuwa amefika Zanzibar, aliwasiliana na Namouih kumjulisha mambo yote hayo, kwa hiyo hadi anapanda ndege mpenzi wake alielewa yaliyokuwa yameendelea. Yeye Namouih alijitahidi sana kuanza kuzoea hali mpya ya kuwa mbali na Draxton baada ya masaa mengi kupita mpenzi wake akiwa ameshapanda ndege bila kuwasiliana naye, na akaendelea tu kusubiri mpaka wakati ambao angetafutwa naye baada ya Draxton kufika huko Marekani.

Mark na Draxton waliondoka kutoka uwanja wa ndege wa jiji la New York ikiwa ni mida ya saa moja asubuhi, na mwanaume huyo akamwongoza Draxton kwenye usafiri wa taxi uliowapeleka ndani zaidi ya jiji hilo. Walipita sehemu nyingi zilizokuwa na majengo marefu na vitu vingi vyenye ubora wa hali ya juu, na Draxton alipendezwa kwa kadiri fulani kuona namna ambavyo nchi hiyo kweli ilikuwa imeendelea.

Watu walikuwa ni wengi, purukushani nyingi, na ndiyo akawa ameuliza wanaelekea wapi kihususa. Unajua wanaume hawa hawakuzungumza mengi sana hata ingawa walisafiri kwa masaa mengi mno pamoja, lakini angalau kufikia wakati huu Draxton alikuwa amemfanya Mark ajihisi huru zaidi kuwa kando yake na hata kumwomba amwite kwa jina la "Draxton" badala ya "Maximilian."

Mark akamwambia kwamba wanakoelekea kabisa itakuwa kwenye mji uitwao North Carolina. Draxton kwa ujuzi wake alielewa huo mji ulikuwa mbali na jiji hilo la New York, na ilikuwa kati ya sehemu ambazo watu walioishi huko walifurahia maisha yasiyo ghali sana. Mark akawa amemuuliza Draxton ikiwa aliwahi kufika huko, na mwanaume akakanusha kwa kusema alipafahamu tu kupitia kusoma.

Mark akawa anamweleza jinsi ambavyo North Carolina ina hali ya hewa nzuri, masoko bora ya kazi, na maeneo yenye fukwe za habari, misitu na milima mingi. Akaeleza kwamba kwa sasa walikuwa wanaenda kwenye nyumba ya rafiki yake ambako aliacha gari lake ili waianze safari ya kuelekea huko North Carolina bila kukawia. Akamwambia pia kuwa licha ya matatizo yaliyokuwepo, angepapenda sana kule watakapoenda, na Draxton akaridhia tu mambo hayo.

★★

Dakika kama 40 hivi zikatosha kuwafikisha kwa rafiki yake Mark, na mwanaume huyu akamwongoza Draxton mpaka mlangoni kwenye nyumba ya rafiki huyo. Akabonyeza kengele na kusubiri, kisha mlango ukafunguliwa baada ya sekunde chache.

Aliyetoka ndani humo alikuwa mwanamke mtu mzima, mzungu pia, na haikuonekana kama alijua Mark anakuja kwa sababu aliachia tabasamu la furaha na kupiga kelele za shangwe, naye akamkumbatia Mark huku akiita jina la "Melinda" kwa sauti ya juu. Alikuwa anamwita mtu mwingine bila shaka ili aje kumwona Mark, na ndipo akaja binti mdogo wa miaka kama 9 asiyekuwa mzungu kabisa, mweupe-mweusi yaani, aliyekuwa na nywele nyingi kichwani zilizotikisika huku na huko alipomfikia Mark kwa kasi na kumrukia.

Walifurahi sana kumwona Mark, na mwanaume huyu akamtambulisha Draxton kwao akisema ni rafiki yake aliyetoka naye safarini. Wakamsalimu vizuri, naye Draxton akawasalimu kwa ustaarabu pia. Yule mwanamke mtu mzima aliitwa Nina, naye akaanza kumwambia Mark na mgeni waingie ndani lakini Mark akasema hawakuwa na muda mrefu sana wa kuwa hapo; akiwa amekuja tu kulichukua gari ili waelekee Charlotte kufikia North Carolina.

Melinda alionekana kutotaka Mark aondoke tu namna hiyo, na Mark akamwangalia Draxton kama kuuliza wafanyaje maana mtoto alikuwa amemng'ang'ania. Draxton akamwonyesha kwa ishara ya macho yake kwamba akubali tu, na ndiyo Nina alikuwa akisisitiza waingie tu ili wapige hata kahawa kidogo kisha ndiyo waelekee safarini.

Wanaume wakakubaliana na hilo, naye Mark akambeba Melinda na kuingia ndani huku akimtekenya. Kwa namna ambavyo walionyesha furaha kuu kumwona Mark ilimaanisha walifahamiana vizuri, na Draxton alitambua kwamba Nina na Melinda walikuwa watu wa kawaida tu; yaani wanadamu wa kawaida, si kama wao kuwa wanyama pia.

Nina akawaandalia vyakula vya asubuhi na kahawa pia, nao kwa pamoja wakafurahia maongezi, wakipata kujuana. Draxton alijulishwa kuwa miaka michache nyuma Melinda alikuwa amekaribia kufa kutokana na kuumwa sana, lakini ni Mark ndiye aliyejitoa sana kumtunza kitiba kwa muda mrefu mpaka binti akarudia hali yake ya kawaida. Walimpenda sana Mark kiasi kwamba Melinda alimwona kuwa kama mjomba wake kabisa.

Baada ya kumaliza kula, Nina akatoka ndani akisema anaenda kulitoa gari kwenye gereji ndogo ya nyumba hiyo, naye Mark akamfata ili kumsaidia. Hakukuwa na jambo lolote gumu lililohitaji msaada ila Draxton alielewa wawili hawa walikuwa na mahusiano ya kimapenzi pia. Akabaki ndani pamoja na Melinda, mtoto akimwonyesha kwa uchangamfu picha zake za shule alizochora, na Draxton akiwa anaendelea kufurahia muda huo pamoja naye masikio yake yaliweza kupigwa na mawimbi ya sauti za mifyonzo ya midomo na miguno ya chini kutokea nje, naye akatambua ilikuwa ni wawili wale. Kisha akawa anasikia kwa mbali maneno ambayo walizungumza.

Nina alikuwa akimwambia Mark namna ambavyo anamkosa sana, jinsi anavyotaka waishi pamoja, na kwamba ingawa wanaonana mara moja tu ndani ya kila miezi minne bila kupewa sababu za ni kwa nini hawawezi ishi karibu, bado anampenda na ataendelea kumsubiri. Mark akamtuliza kwa kusema kuna mambo anataka kurekebisha kwanza ili ndoto zake zote na za Nina zitimie, akiahidi kuja kumfunulia ukweli wa maisha yake ili waone namna watakavyosonga mbele baada ya hapo. Hali hiyo ilimfanya Draxton amkumbuke Blandina. Jinsi alivyoishi ndani ya mahusiano na mwanamke yule kwa kuficha namna alivyokuwa kikamili mpaka kuja kumpoteza ni jambo lililomsumbua bado moyoni, lakini akajitahidi kutowaza zaidi juu ya hilo.

Basi, Mark na Nina wakawa wamemaliza kuagana kwa wakati huu, kisha Draxton akafatwa na kuambiwa wangeweza kuondoka sasa. Melinda akawa anauliza mjomba Mark angerudi lini tena ili waonane, naye Mark akasema wangewasiliana na haungepita muda mrefu wangekutana tena. Wakaagana vizuri na Draxton pia, kisha wakaenda kwenye gari lake Mark na kuondoka.

Ilikuwa imeshafika saa nne asubuhi. Gari la Mark lilikuwa la aina ya Sedan nyeusi, na wakiwa mwendoni ndiyo akamwelezea Draxton kuhusu kazi yake. Yeye alisomea masuala ya udaktari lakini hakusonga mbele zaidi kwenye mitaala ya usomi huo, hivyo kwa miaka mingi alifanya kazi kama muuguzi maalumu wa wagonjwa mbalimbali. Kwa sasa alifanya kazi ndani ya hospitali fulani ndani ya mji mdogo wa huko North Carolina walipokuwa wanaelekea, na ndiko ambako himaya ya kiongozi wao wa watu-mwitu ilikuwepo ingawa kwa usiri. Akamwambia angeweka kila kitu wazi na kumwelewesha zaidi mengi ya mambo yaliyokuwa mapya kwake baada ya kumpatia muda wa kutosha kupumzika kutokana na safari yao.

★★

Walipita sehemu nyingi za jiji la New York kuelekea huko Charlotte. Mark alimwambia endapo kama wangekuwa na muda wa kutosha basi wangepita sehemu zenye mandhari nzuri kuzifurahia na kujiburudisha. Walipita Baltimore huko Maryland pia, naye Mark akanunua vyakula vizuri na vinywaji kwenye mgahawa wa Fell's Point ili kuendeleza safari yao matumbo yakiwa yamechangamka.

Masaa mengi kupita mpaka inafika jioni ndiyo wakaingia upande wa jiji wa North Carolina. Mark kama kawaida alimwelezea vitu alivyofahamu kuhusu maeneo mbalimbali na hata kumwonyesha kambi ya chuo cha Duke University walipopita huko Raleigh, akisema kwamba alisomea miaka yake mitatu ya masuala ya utabibu hapo. Hakusema sababu ilikuwa nini iliyofanya aache kuendelea na usomi huo na kuishia kuwa muuguzi maalumu, na Draxton hakutaka sana kuuliza mambo hayo kwa kuwa ni wazi kwa upande huo Mark alikuwa na siri za maisha yake pia.

Hatimaye wakawa wameingia upande wa mji uliokuwa na nyumba za "kawaida" kwa maisha ya wazungu, ikiwa imetimia mida ya saa tatu usiku. Ni kama vile mtaa wote wa eneo hili ulikuwa tupu ingawa nyumba zilikuwepo, huku majengo marefu ya mjini yakionekana kwa mbali kwa mng'ao wa taa zake nyingi. Nyumba nyingine za sehemu hii ziliachana sana, kukiwa na mpangilio wa aina fulani msafi sana wa majani ardhini na miti mirefu upande kwa upande.

Ni taa za gari la Mark pekee ndizo zilizoangaza mbele ya barabara nyeusi waliyopitia ambayo haikuwa na gari lingine lililopishana nao. Kwa vyovyote vile, bila shaka mji huo mdogo ulikuwa na aina fulani ya utulivu kwa sababu nyumba nyingi hazikuwekewa hata mauzio, labda wakiwa wamejenga usalama wa kiwango cha hali fulani kilichofanya ionekane kuwa sehemu yenye amani.

Pumzi za Draxton zilikuwa tulivu tu, akitazama nje ya kioo cha gari na kuuona mwezi angani, namna ambavyo ulionekana kuwa na rangi ya njano kutokana na wingu zito kiasi kuuzunguka. Mark alionekana makini sana katika uendeshaji wake, na hata angemsemesha Draxton kwa njia ya heshima kumweleza kwamba maamuzi ya wao kuja kuishi sehemu ya huku ilikuwa ni kukimbia matatizo aliyomwelezea mwanzoni, ijapokuwa walifanya hivyo bila kujionyesha wazi kwamba wanamwepuka kiongozi wao ili wasisumbuliwe sana na wafatiliaji wake, lakini kwa sasa wachache kati ya wenzake aliokuwa amekuja nao walikuwa wametawanyika, na kwa kuwa alikuwa amefanikiwa kumpata Draxton basi alihitaji kuwakusanya wenzie ili awalete kwake waweze kuunganishwa na uchochezi wa akili yake akitakiwa kuwa kama mkuu kwao, na hivyo mambo mengi yangekwenda sawa kwa kundi lao.

Alielewa kwamba Draxton hakujua mengi sana kuhusu haya yote, naye akamhakikishia kuwa angejua kila kitu vizuri sana kwa sababu alikuwa pamoja naye kumsaidia, ila kwa sababu ndiyo alikuwa amefika tu, akamwomba apumzike ili aweze kuja kueleweshwa vizuri zaidi kila kitu alichohitajika kufanya.

Wakawa wamefikia nyumba fulani nzuri, iliyokuwa imejengwa kwa kutumia mbao na yenye rangi nyeupe, ikiwa ya kawaida tu kiukubwa. Ilizungushiwa kama uzio fupi sana la mbao zilizochongoka kwa juu, na sehemu ya nje kuingilia kwenye uzio hilo kilisimama kifaa kidogo cha kuwekea barua zilizotumwa hapo au kutakiwa kutumwa nje.

Gari likaelekea mpaka sehemu hiyo mwanzoni mwa uzio na kusimama, na wanaume hao wakashuka na kubeba mabegi waliyokuja nayo. Kulikuwa na nyumba nyingine iliyokuwa futi chache kutoka hiyo waliyoifikia, nayo ilikuwa na mwonekano wenye ufanani na hii isipokuwa tu yenyewe ilikuwa na ghorofa moja juu, huku nje kwenye uwanja wake kukiwa na gari jekundu la pick-up aina ya Toyota, lenye mwonekano wa kizamani.

Draxton akawa anaangalia mazingira ya nyumba hizo kwa sehemu ya ardhi, naye akaona namna ambavyo majani yalikuwa marefu kiasi kumaanisha hayakukatwa kwa muda mrefu, naye Mark akamwambia amfate ili waingie kwenye hii nyumba waliyoifikia. Akaanza kumfata huku akiendelea kuyasoma zaidi mazingira ya eneo hilo.

Kwa upande huu ni nyumba hizo mbili tu ndiyo angalau zilikuwa zimekaribiana, tofauti na zingine walizozipita zilizokuwa zimeachana achana. Ilionekana kwamba Mark alikuwa akiishi ndani ya nyumba hii waliyokaribia kuingia ndani yake, na hakuwa hata amemuuliza ikiwa kulikuwepo na majirani wengine kwenye nyumba ya pili pale alipoona kama kitu fulani kinapita upesi sana sehemu ya dirisha la ghorofa ya nyumba hiyo.

Akaangalia huko juu kwa umakini kwanza, naye hakuona chochote isipokuwa dirisha tu lilioonyesha mwanga hafifu wa taa iliyokingwa na pazia kwa ndani. Mark alikuwa ameshafikia mlango wa nyumba aliyowaongoza kuingia, naye akageuka na kukuta Draxton amesimama huku anaiangalia nyumba ile nyingine.

"Hey Draxton, welcome," Mark akamsemesha Draxton kumkaribisha.

Draxton akamtazama na kusema, "Thanks," kisha akaendelea kwenda kwenye mwingilio wa nyumba hiyo.

Mark akafungua mlango na kutangulia kuingia ndani, akiwasha taa kupaangaza vyema, naye Draxton akaingia pia. Kulikuwa na vitu vingi vya samani vyenye ubora mzuri, masofa, meza ya kioo ilyozungukwa nayo, upande wa kulia chakula wenye meza na viti vinne, sehemu ya kutunzia vyombo na kupikia vyakula iliyoonekana wazi kutokea hapo hapo "sebuleni." Kupita hapo kuelekea mbele zaidi kulikuwa na kona fupi ambayo bila shaka ilielekea upande wa chumba au vyumba vya kupumzikia. Palikuwa na mwonekano wa kawaida tu wa mtu aliyeishi kwa kutulia, na swali la kwanza kichwani kwa Draxton likawa ikiwa Mark aliishi hapo mwenyewe.

"Welcome to the safety of my little home (Karibu kwenye usalama wa kanyumba kangu)," Mark akasema hivyo kwa njia ya utani.

"Thank you. Do you live alone here? (Asante. Unaishi peke yako hapa?)" Draxton akauliza.

"Well, yeah. But I do get to spend some time with my friends... I mean, from time to time they may drop down here to catch a game or eat something out of one of my plates hahah... so, it never really feels alone (Eeh, ndiyo. Ila huwa ninatulia muda fulani pamoja na rafiki zangu, namaanisha mara kwa mara wanaweza kuja hapa ili kutazama mechi au kula kitu fulani kutoka kwenye sahani zangu hahah.. kwa hiyo, si kwamba nakuwa mwenyewe sana)," Mark akamwambia hivyo.

Draxton akatabasamu kidogo, kisha akasema, "You got many friends it seems (Inaonekana una marafiki wengi)."

"Just the ones from where I work, you know, those who aren't exactly... like us (Ni wale wa kazini tu, unajua, wale ambao hawako kama... mimi na wewe)."

"I see. Nice place you got here (Naona. Hii ni sehemu nzuri uliyonayo)."

Mark akatabasamu kidogo, kisha akasema, "I'll rest these bags in the room. Come and sit and I'll be.... (Nitayapeleka mabegi chumbani. Njoo ukae halafu ni...)"

Mark akaishia hapo baada ya kutambua kwamba umakini wa Draxton uligeukia kwenye mlango wa kuingilia ndani hapo, ingawa hakuwa ameangalia huko. Kwa sekunde chache akawa hajatambua ni kwa nini. Ile ametaka tu kuuliza, yeye pia akawa amejua kilicholeta hali hiyo, na ni baada ya kuwa amevuta harufu ya kiumbe mwingine iliyomwambia kuwa nje ya mlango huo palikuwa na mtu. Draxton akamtazama Mark kwa ufupi, akiwa ameshajua kwamba mwenyeji wake naye alielewa jambo hilo, naye Mark akaweka begi chini na kumwambia amsubiri kwa sababu alitaka kwenda hapo nje kumwona huyo mgeni.

Akampita Draxton na kwenda kufungua mlango, naye akatoka kabisa nje na kuurudishia. Draxton alikuwa tu anataka kuanza kuyaokota mabegi ili asogee pamoja nayo upande wa masofa, lakini uwezo wake wa kusikia mbali ukamfanya atulie kwanza baada ya kuyasikia mazungumzo baina ya Mark na mgeni wake nje. Sauti nyororo ilipiga ngoma za masikio yake vyema kumwambia kwamba mgeni huyo alikuwa mwanamke, na alionekana kuwa na ukaribu sana na Mark.

"Where the hell were you? (Ulikuwa wapi?)" mwanamke huyo akasikika akiuliza.

"Hey, relax, am back. We'll... talk. Right now's not a good time. Just go back inside (Tulia, nimerudi. Tuta..ongea. Hivi sasa si muda mzuri. Rudi tu ndani)," Mark akasikika akiongea kwa sauti ya chini.

"Are you kidding me? You just disappeared for two goddamn weeks, not a word said, know how much I worried of your ass? Now you just show up and give me crap? What's wrong with you? (Unanitania? Umetoweka wiki mbili nzima bila kusema lolote, unajua namna gani nimewaza juu yako? Sasa hivi unatokea tu halafu unaniletea mambo yasiyoeleweka? Una matatizo gani?)" mwanamke huyo akasema.

"Am fine D, don't... am good. I'll explain everything, now am a little tired so just... (Niko sawa D, usi... niko vizuri. Nitaeleza kila kitu, sasa hivi nimechoka kidogo kwa hiyo we....)"

"Tired from what? Where the heck did you go? And who's that guy? (Kuchoshwa na nini? Ulienda wapi? Na huyo mwanaume ni nani?)" mwanamke huyo akasisitiza maswali yake.

"D..." Mark akasikika akisema hivyo kama kumzuia.

"Who is he? Your boyfriend? You screwing a dude now? When'd you start getting that thing goin' on? (Ni nani? Mpenzi wako wa kiume au? Unasugua mwanaume sasa hivi? Imeanza lini hiyo kitu kufanyika?)"

"D that's enough! We'll talk in the morning. Leave please (D inatosha! Tutaongea asubuhi. Ondoka tafadhali)," Mark akaongea kwa sauti ya chini lakini kiukali.

Ukimya uliofuata ukamfanya Draxton ahisi kwamba hali haikuwa nzuri sana baina ya wawili hao kwa sababu ya ujio wake. Alikisia kwamba labda mwanamke huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mark, naye akaona ni bora ajaribu kumsaidia rafiki yake mpya kurekebisha hali hiyo. Akaanza kwenda mlangoni hapo.

"You don't even want me to come in, do you? (Yaani hautaki hata nije ndani, siyo?)" mwanamke huyo akasikika.

"I told you to wait till... (Nimekwambia usubiri mpaka...)"

Mark akawa amekatisha maneno hayo baada ya Draxton kufungua mlango na kusimama usawa wake.

Draxton akawa amekutana uso kwa uso na mwanamke mzungu, aliyekuwa na sura ya kuvutia sana. Alikuwa na nywele zenye mchanganyiko wa rangi nyeusi na rangi ya maziwa, na zilikuwa zimebanwa nyuma ya kichwa chake kwa njia ya fundo. Macho yake yalikuwa na lenzi zenye mrudio mara mbili zenye rangi ya shaba iliyong'aa. Mwili wake ulikuwa na mikunjo ya kadiri, akiwa na mwili ulioonekana kuukimbilia sana unene ingawa ulimkataa. Kwa kuwa alivalia kikaushi kigumu cha rangi ya kijivu pamoja na kikaptura kifupi kilichoyaacha mapaja yake wazi, mwili wake ulionekana kuumbika vyema. Alikuwa na midomo midogo isiyokuwa na rangi wala mng'arisho wowote, naye akawa anamwangalia Draxton kwa umakini.

"Draxton... this is uh... my next door neighbor... Darla. Darla... this is Draxton. He's my friend (Draxton... huyu ni... jirani yangu.. Darla. Darla... huyu ni Draxton. Ni rafiki yangu)," Mark akawatambulisha.

Mwanamke huyo, Darla, akawa anamwangalia Draxton kwa umakini.

Draxton alikuwa anataka hata kumpa salamu tu, lakini harufu ya mwanamke huyo ikamchanganya kidogo. Manukato yake yalinukia vizuri sana lakini ile harufu ya mwili wake haikuwa na ukawaida kama mtu yeyote tu. Ikamfanya Draxton adhani labda huenda mwanamke huyo alikuwa na unyama kama wao tu, lakini bado akawa hana uhakika.

"Your friend? (Rafiki yako?)" Darla akauliza huku akimtazama Draxton kiudadisi.

"Yes. He's a very special guest. He's here for some important business (Ndiyo. Ni mgeni wa kipekee sana. Yuko hapa kwa ajili ya biashara fulani muhimu)," Mark akamwambia.

"What business? (Biashara gani?)" Darla akauliza kwa umakini.

Mark akaangalia pembeni, akiwa ameudhika kiasi.

"I'm helping Mark solve an important case. You see I'm an attorney, and this jerk needs a little bit of my guidance (Ninamsaidia Mark kusuluhisha kesi fulani muhimu. Mimi ni mwanasheria, na huyu bwege anahitaji tu mwongozo wangu kidogo)," Draxton akasema kiutani.

Mark akamwangalia Darla.

Darla akatulia kidogo, kisha akauliza, "You are a lawyer? (Wewe ni mwanasheria?)"

"He's an attorney (Yeye ni mwanasheria)," Mark akasema.

"What's the difference? (Utofauti upo wapi sasa?)" Darla akamuuliza Mark kwa kuudhika.

Draxton akatabasamu kidogo na kusema, "It's a same difference (Ni utofauti unaofanana)."

Darla akamwangalia kwa macho yenye kuhukumu.

"It's nice to meet you Darla (Ni vizuri sana kukutana nawe Darla)," Draxton akamwambia huku akimnyooshea mkono ili waiunganishe kirafiki.

Darla akashusha macho yake kuuangalia mkono wa Draxton, halafu akamwangalia tena machoni. Kisha akageuka hapo hapo na kuanza kuondoka bila hata kuaga, naye Draxton akashusha mkono wake na kuendelea kumtazama kadiri alivyoyaacha makazi yao hayo.

Mark, akiwa amejihisi vibaya kiasi, akaanza kusema, "I'm sorry, she's in... she's very... (Samahani yaani yuko... yupo namna..)"

"She's very nice (Yuko vizuri)," Draxton akasema.

Mark akatabasamu kidogo.

"Is she someone special? (Yeye ni mtu wa kipekee kwako?)" Draxton akauliza.

"Yeah (Ndiyo)," Mark akajibu kwa ufupi.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa, naye akamwangalia Darla na kumwona ameelekea mpaka kwenye ile nyumba ya pembeni na kuingia ndani.

"Come on, let's go inside. Eating is a first (Basi, twende ndani. Kula ndiyo cha kwanza)," Mark akamwambia hivyo.

Wawili hao wakarudi ndani tena, Mark akipeleka vitu vyao chumbani na kusindikizwa na Draxton. Kulikuwa na vyumba viwili vya kulala, naye Draxton akaonyeshwa kile ambacho angetumia. Chumba hicho kilikuwa na upana wa kadiri tu, kukiwa na kitanda, kabati ndogo, meza yenye vitu kadhaa kama taa ya mezani na vitabu vichache, pamoja na kiti, na kulikuwa na bafu na choo cha humo humo. Kulikuwa na dirisha usawa wa sehemu ambayo ilikuwepo meza ile, ambalo lilizibwa kwa plastiki fulani zilizojikunja na kujikunjua endapo mtu angevuta au kulegeza kamba ndogo pembezoni mwake.

Kwa sababu kamba ilikuwa imevutwa, plastiki za kuliziba zilikuwa juu na hivyo uwazi uliokuwepo ulifanya milango ya dirisha ya vioo iliyofungwa ionyeshe upande wa nje wa nyumba hiyo. Kwa usawa huo, Draxton angeweza kuiona nyumba ya mwanamke yule aliyetoka kutambulishwa kwake na Mark, ikiwa ni upande wa nyuma ambapo kulikuwa na bwawa la kuogelea.

Draxton akauliza ikiwa kuna mtu alikitumia chumba hiki hasa baada ya kuviona vitabu vile mezani, lakini Mark akasema hapana kwa wakati huu ila kuna kipindi kijana fulani aliishi hapo pamja naye kabla ya kurudi kwao na ndiyo aliacha vitabu hivyo. Akawa anamwambia kwamba nyumba hizi za huku ni kama nyumba za kupanga au kununua, na wengi tu kama yeye walipendelea zaidi kufanya umiliki halali hivyo hata hii alikuwa ameinunua baada ya kuhamia huku. Baada ya hapo, Mark akamwambia angeenda sebuleni na Draxton amfate ili waweze kupata chakula na kisha kupumzika, ili kesho aweze kumweleza hatua ambazo alitaka kuanza kuchukua ili kufanikisha yale yaliyowaleta huku.

Draxton akaachwa peke yake hapo, akiwa ameanza kutafakari namna ambavyo safari yake kurudi huku Marekani kwa wakati huu ingeyapa maisha yake badiliko ambalo alitamani sana liwe sehemu ya maisha yale tokea zamani, yaani, kujijua yeye ni nani, na wale walio kama yeye na walikuwa wamepita kwenye hali gani ambazo zingefanya wamhitaji yeye, kama Mark alivyokuwa anadai, ili awasaidie kuwa huru kutokana na mambo yaliyowasumbua.

Akaishika cheni aliyopewa na Namouih shingoni kwake, naye akawa anamfikiria mpenzi wake kwa kukumbukia mambo mengi aliyopitia baada ya kukutana naye mpaka akamsaidia, na sasa naye angejitahidi kufanya yote awezayo kuwasaidia watu ambao walitakiwa kuwa wake.

★★

Dakika chache baadaye, Draxton akawa amemaliza kujimwagia maji, kuvaa nguo nyepesi, na kupangilia vitu vyake. Akarudi sehemu ya sebule kumkuta Mark ameshaandaa chakula, na kiukweli kilimvutia sana maana chote kilikuwa ni nyama iliyokuwa imebanikwa kisha baadaye kupikwa kwa njia ya kukaanga. Ilimfanya atamani kukaa na kirarua kwa fujo, lakini huo ulikuwa ni unyama wake wa ndani tu uliofanya tamaa yake ya kula iongezeke.

Mark alikuwa akiongea na simu muda huu, naye akamkaribisha Draxton na kumuasa kwa ishara kwamba ajisikie huru kuanza kula. Mwanaume akatii, na akiwa ameanza makamuzi akawa anasikia maongezi ya Mark kwenye simu. Ilionekana kwamba aliyezungumza naye upande wa pili alimtaka aende huko wakati huu, na Mark alikuwa anajaribu kusema kwamba ingekuwa ngumu kwa sababu ndiyo alifika hapo tu kutoka safarini.

Baada ya kukata simu, Mark akaonekana kama kuishiwa pozi, naye Draxton akauliza ikiwa kuna tatizo. Mark akaeleza kwamba kihalisi alikuwa anatakiwa kuwa amerejea kazini siku ya leo maana kuna zamu maalumu aliyokuwa amepangiwa baada ya likizo fupi ya wiki mbili aliyoomba hospitalini ili aende Tanzania, na sasa kwa sababu hakuwepo kuna vitu havikukaa sawa huko.

Aliyempigia alikuwa mkuu wa wauguzi maalumu aliyemhitaji awepo huko kwa zamu ya saa sita usiku mpaka asubuhi, na Mark alijua kulikuwa na umuhimu wa kwenda kwa sababu nafasi yake leo ilichukuliwa na muuguzi mwingine ambaye alikuwa wa usiku, na hivyo saa sita ikifika angeondoka na kukiacha kitengo chake maalumu bila msimamizi. Mark alikuwa anawaza kuhusu hali za wagonjwa, lakini pia hakutaka kumwacha mgeni wake aliyefika siku hiyo hiyo ghafla namna hii.

Draxton akamwambia asiwe na hofu. Ikiwa kazi ilimhitaji kwa ulazima wa usalama wa wagonjwa basi akamshauri aende tu, na yeye angepumzika na kumsubiri arejee. Kwa kawaida wangekuwa wamechoka kutokana na safari lakini wote walikuwa ni viumbe wenye nguvu kwa hiyo hata kama Mark angekwenda kazini wakati huu isingemchosha sana, sema tu hakuiona kuwa heshima kumwacha mgeni wake muhimu namna hiyo. Lakini Draxton akakazia tena kwamba angekuwa sawa, akamsihi ale, kisha aelekee kazini kabla saa sita haijafika.

Basi kwa msisitizo huo wa Draxton, Mark akaridhia na kuanza kula pia. Akamwambia angejitahidi kuwahi kumaliza kazi zake na kurudi asubuhi ili ampange. Alimwelekeza vitu mbalimbali kuhusiana na nyumba hiyo, akimwambia awe huru kabisa kufanya chochote alichotaka kama ni kwake vile. Draxton alimfurahia Mark kwa kiwango fulani, akimwona kama mdogo wake mwenye utu kama wakwake, ingawa endapo kama mtu angewaona angedhani Mark ndiyo mkubwa kwa Draxton.

Wakamaliza kula pamoja, na Mark akaelekea chumbani kwake kujiandaa kwa ajili ya kuondoka. Draxton alikuwa na wazo la kwenda kuchukua laptop yake aliyokuja nayo huku, kisha ajaribu kuseti njia ya kufanya mawasiliano ya mbali kupitia Zoom meeting. Lengo lake lilikuwa kuongeza njia za kumtafuta Namouih ili wazungumze kwa kuonana kabisa, naye akaifata na kuanza kufanya utaratibu huo.

Bila shaka angeweza kumtafuta Namouih kwa simu maana kuna njia ambayo tayari walikuwa wameshaizungumzia ya kufanya mawasiliano namna hiyo. Lakini kwa muda huu, alipiga mahesabu na kuona kwamba nchini Tanzania ingekuwa usiku sana na mpenzi wake angekuwa amelala, ndiyo sababu akaamua tu kujipa hii shughuli nyingine ndogo kabla hajaenda kupumzika.

Baada ya Mark kumaliza kuvaa nguo za kazi na kubeba vifaa vyake, akamuaga Draxton vizuri na kuondoka. Draxton hakuona shida yoyote kubaki peke yake hata kwenye mazingira mapya, kutokana na yeye kuzoea kuishi mwenyewe kwa muda mrefu. Akaiweka mitambo ya kwenye laptop vizuri, akiseti vitambulisho vya namba na maneno siri aliyopewa kwa ajili ya programu hiyo ya mawasiliano, naye akazitunza ili akija kuwasiliana na Namouih siku ya kesho basi amwelekeze vizuri jinsi ya kuitumia ili wawe wanawasiliana kwa simu na laptop pia; wakati wowote, mahala popote.

★★

Muda ulienda mpaka kufikia saa sita na nusu hivi, na baada ya Draxton kumaliza kupanga mambo hayo kwa ajili ya Namouih, akafunga laptop na kuiweka pembeni, naye akaamua kwenda chumbani ili hatimaye aweze kupumzika. Akazima taa za sebule na kufunga mlango vizuri ndiyo akaelekea chumbani. Akavaa kaptura nyepesi na kaushi, na ile alipotaka kuzima taa akaona kwamba sehemu ndogo ya dirisha la chumba ilikuwa wazi. Kwenye uwazi huo pia kukawa na jambo lingine lililovuta umakini wake.

Kutokea kwenye nyumba ya yule mwanamke jirani aliweza kuona mianga mchanganyiko, na kwa kuwa ilikuwa ishapita saa sita usiku, Draxton akawaza kwamba huenda mwanamke yule alikuwa anafanya sherehe ndogo hapo. Akaelekea dirishani ili alifunge, naye akaona mjongeo kutokea upande wa nyuma wa nyumba ile uliokuwa na bwawa la kuogelea. Ilikuwa ni ndani ya maji hayo ndiyo aliweza kumwona mwanamke yule mzungu, Darla, akiwa katikati ya bwawa hilo akiyasukuma-sukuma maji, na akionekana kwa nyuma kuanzia kiunoni mpaka kichwani.

Kisha akageuka taratibu kuelekea upande wa nyumba aliyokuwepo Draxton. Ilikuwa ni kama alimtazama yeye moja kwa moja dirishani hapo aliposimama, na Draxton aliweza kuona mng'aro wa rangi ya njano kwenye macho ya Darla. Haikuonekana kama hiyo ilisababishwa na mwanga wa taa, na bado wazo la kwamba huenda mwanamke huyo alikuwa kama wao yeye na Mark alikuwa nalo, ingawa jamaa hakuwa amemwambia jambo hilo.

Macho ya Dalra yakaelekea upande wa nyumba yake yeye, naye Draxton akaweza kuona mtu fulani akitokea upande huo na kufika usawa wa bwawa. Ingawa hakumwona usoni, alitambua ilikuwa ni mwanaume, mzungu pia, mrefu, mwembamba kiasi, na hakuwa amevaa nguo yoyote mwilini. Wakaanza kuongea, na kwa uwezo wake wa kusikia mbali Draxton alitambua walikuwa wakifokeana ingawa maneno waliyosema hayakuwa wazi sana kwake.

Ghafla sana mwanamke yule akaanza kumfata huyo mwanaume na kumrukia kutoka majini mpaka kumwagusha chini kwa nguvu! Sauti za kelele za mwanaume huyo zikasikika, na wawili hao wakatokomea ndani ya nyumba ile na ndipo sauti hizo zikakoma. Draxton hakuwa ametarajia kabisa jambo hilo, naye akabaki kusimama hapo hapo huku akiangalia ile nyumba kwa umakini.

Baada ya sekunde chache, mwanamke huyo akatokea tena sehemu ile na kusimama mbele ya bwawa akionekana kuyatazama maji, kisha akaugeukia upande wa Draxton. Mwanaume akakaza macho yake baada ya kuona jambo lenye kutatiza sana. Kuanzia usoni mpaka sehemu za mapajani, mwanamke yule alijaa damu tupu! Ilikuwa wazi kwa Draxton damu hizo zilitoka kwa mwanaume aliyekuwa anapiga kelele, na bila shaka alluawa kwa mikono au midomo ya mwanamke huyo.

Lakini kitu kilichomtatiza zaidi Draxton ni namna ambavyo huyo mwanamke alimtazama. Alimwangalia kwa macho yaliyojaa ukali sana, kisha akaanza kulamba damu iliyokuwa vidoleni mwake. Alifanya hivyo makusudi kabisa, halafu akaondoka na kurudi ndani kwake.

★★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★★

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA NNE

★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akatazama chini kiasi, kisha akafunga dirisha na kugeukia ndani hapo. Ilikuwa imethibitika zaidi kwake sasa kwamba na jirani yake alikuwa kama yeye tu, ingawa kwenye suala la kuua mtu na kumla lilikuwa jambo ambalo yeye hakufanya. Mwanamke huyo alimwonyesha Draxton waziwazi kabisa yeye ni wa aina gani, kitu ambacho huenda kilimaanisha tayari alijua na yeye ni wa jamii yao ijapokuwa Mark hakuwapa utambulisho wa namna hiyo mwanzoni. Akawaza labda lilikuwa jambo la kawaida kwao kuwatumia watu kama vyakula, na ni kitu ambacho angetakiwa kuja kukikomesha endapo kweli alipaswa kuwa kama kiongozi kwa wanyama wenzake.

Baada ya kusawazisha akili yake kutokana na jambo hilo, akakifata kifaa cha taa ili aizime, lakini akasikia mlango wa kuingilia ndani ya nyumba hiyo ukigongwa. Akatazama saa, ikiwa ishatimia saa saba usiku sasa, naye akajiuliza ingekuwa nani wakati hakukuwa na mgeni aliyetakiwa kuja hapo. Akawaza labda ni Mark, au Darla, lakini ili kuwa na uhakika zaidi akaamua kwenda kujua.

Ingawa alikuwa mgeni kwa upande huu mpya wa mambo aliokuja kushughulika nao, alielewa vizuri kwamba kuwa makini nyakati zote ilikuwa lazima, kwa hiyo alipoufikia mlango, akachungulia kwanza kupitia tobo dogo mlangoni, lakini hakuweza kumwona mtu hapo. Akataka kutumia uwezo wake wa kuvuta harufu ya viumbe ili ajue ni wa aina gani alikuwa hapo, na ndipo akasikia sauti ikisema, "I know you are there. Why don't you open the door? (Najua uko hapo. Kwa nini usifungue mlango?)"

Ilikuwa ni Darla. Aliongea kwa sauti tulivu tu, lakini kwa njia ambayo ingefanya mtu yeyote ahisi kulikuwa na jambo baya linataka kuingia. Angeweza kumfanya mtu mwingine aogope hasa baada ya kuona matendo yake ya uuaji, lakini si Draxton. Mwanaume huyu alikuwa ameona mambo yenye kutisha kuliko kawaida, kwa hiyo kitu kama woga kwa wakati huu hakikuwa kwenye mfumo wake kabisa. Akafungua mlango taratibu, na mwanamke huyo akatokea upande wa pembeni wa mlango na kumtazama machoni kwa umakini.

Wakati huu hakuwa na damu hata chembe kwenye mwili wake, bali msafi kabisa na hata nywele zake zilizoonekana kulowana zilithibitisha kwamba alijisafisha vyema. Alikuwa amevalia sweta jepesi la kijivu lenye mikono mirefu, kikaptura kifupi cheusi kilichoyaacha mapaja yake wazi na miguuni alivaa viatu virefu kana kwamba alikuwa anakwenda sehemu rasmi ya kujiburudisha. Alikuwa anamwangalia Draxton kwa dharau fulani hivi, kisha akampita tu na kuingia ndani huku anadunda na kumpamia kidogo begani.

Draxton akatabasamu kwa mbali na kuurudishia mlango, kisha akamgeukia na kukuta amesimama kwa kumpa mgongo kama anaitazama sehemu hiyo ya ndani hapo kiudadisi.

"Aren't you scared? (Hauogopi?)" Darla akauliza hivyo bila kumgeukia.

"Of what? (Kuogopa nini?)" Draxton akauliza pia.

"Is that a question a normal being would have asked after seeing what you just saw? (Hivi hilo ni swali ambalo kiumbe wa kawaida angeuliza baada ya kuona kile ulichokiona?)" Darla akauliza tena.

"I don't know what to make out of what I saw, so... you tell me. Should I be scared? (Sijui nichukulieje kuhusu kile nilichoona, kwa hiyo wewe ndiyo uniambie. Napaswa kuogopa?)" Draxton akauliza kwa ujasiri.

Darla akamgeukia na kumwangalia kwa hisia kali, kisha papo hapo akamfata kwa kasi na kuikamata shingo yake kwa njia ya kukaba! Aliibana kwa nguvu sana kiasi kwamba Draxton akahisi makucha ya vidole vya mwanamke huyo yalivyoichoma, lakini akajikaza tu na kutulia.

"Who are you? (Wewe ni nani?)" Darla akauliza kwa sauti ya chini.

"Didn't Mark introduce me to you? (Mark si alinitambulisha kwako?)"

"No, that sucky introduction wasn't good enough to even fool a fool. There's something off about ya. Considering that you got such a good hospitality here from him means he's saving you up for something. So why don't you just spill the beans? (Hapana, ule utambulisho wa kipuuzi haukuwa mzuri vya kutosha hata kumpumbaza mpumbavu. Kuna kitu kuhusu wewe hakiko sawa kabisa. Kuona tu jinsi alivyokukaribisha vizuri hapa inamaanisha anakutunza kwa ajili ya jambo fulani. Vipi tu ukisema ni jambo gani hilo?)"

"It's hard to talk while being held like this. And also, why not just ask Mark? Am sure that he'll have a great explanation.... (Ni ngumu kuongea nikiwa nimeshikwa namna hii. Na pia, kwa nini tu usimuulize Mark? Nina hakika atakuwa na maelezo mazuri....)"

"Shut up! You think I'll take in your cocky attitude cause you are his guest? Don't you play with me! I'll kill you on a whim! (Kimya! Unadhani nitachukulia poa wewe kujifanya kichwa ngumu kwa sababu tu ni mgeni wake? Usicheze na mimi! Nitakuua upesi sana!)" Darla akatoa kitisho.

"Let go of my neck! (Iachie shingo yangu!)" Draxton akaongea kwa hisia kali.

"Or what? (Au nini?)" Darla akauliza kwa ukali pia.

Draxton akajaribu kuutoa mkono wa mwanamke huyo, lakini kwa hapo Darla alimzidi nguvu kiasi hivyo hakufanikiwa. Mwanamke huyo akamsukuma na kufanya mpaka mwanaume ajibamize na kukandamizwa mlangoni, na Draxton akahisi makucha ya vidole vya mwanamke huyo yakitoboa pande za shingo yake, hata kupumua vizuri ikawa shida.

"Talk! Or you wanna be my bathing pool of blood next? (Ongea! Au unataka kuwa bwawa langu la damu la kuogea pia?)" Darla akamtisha.

Draxton akajisemea akilini 'Don't bet on that.' Yaani kama angekuwa ametamka maneno hayo basi angekuwa amemwambia Darla kwa njia ya mkato kuwa asidhani ingekuwa kazi rahisi kumuua. Darla akakunja uso wake kimaswali kiasi na kuanza kuulegeza mkono wake ulioikaba shingo ya Draxton, na mwanaume akaanza kushusha pumzi kwa uzito kiasi. Alipomwangalia aliona kwamba mwanamke huyo alikuwa na mwonekano wa mtu aliyeshangazwa na jambo fulani, naye akamtazama kwa umakini.

Darla akasogea nyuma kidogo akiwa anamwangalia kwa uzito, kisha akauliza, "You're one of us? (Wewe ni mmoja wetu?)"

Draxton akabaki kumwangalia tu.

"How is that possible? (Hiyo inawezekanaje?)" Darla akauliza.

"What would make it impossible? (Nini kingefanya isiwezekane?)"

"I would have picked up a scent! You reek nothing of a wolf (Ningeikamata harufu yako! Haunuki chochote kama mbwa-mwitu)."

Draxton akajishika shingoni na kuangalia kiganja chake, na hapo akaona damu, kisha akasema, "I guess I'm a little different (Inaonekana niko tofauti)."

Akamtazama Darla na kukuta bado anamwangalia kimashaka.

"How'd you figure it out? (Umetambua vipi?)" Draxton akamuuliza.

Darla akatulia kidogo, kisha akasema, "I read your mind."

Alikuwa anamaanisha kwamba ameisoma akili ya Draxton. Draxton akabaki kimya na kuendelea kumtazama machoni, kwa sababu hakuwa amemwelewa vizuri.

"When I was... threatening you, you thought to yourself and I heard it. You said 'don't bet on that' (Nilipokuwa nakutishia, ulijiwazia akilini, nami nikakusikia. Ulisema 'don't bet on that')" Darla akamwambia.

Draxton akatulia kidogo, kisha akauliza, "So you can read minds? (Kwa hiyo kumbe unaweza kusoma akili zingine?)"

"No, I can't... it's not just any mind, only yours (Hapana, siwezi... si akili yoyote tu, ni yako pekee)," Darla akamwambia.

"Why? (Kwa nini?)"

"What kind of a wolf are you? You don't got the smell and you know nothing of our kind! Where are you from? (Wewe ni mbwa-mwitu wa aina gani? Hautoi harufu wala haujui lolote kuhusu aina zetu! Umetokea wapi?)" Darla akauliza, kwa sauti ya chini iliyoonyesha kina cha udadisi wake.

"That is a long story. Maybe I'll get you up to speed some other time (Hiyo ni hadithi ndefu. Labda ntakuelewesha wakati mwingine)," Draxton akasema.

Darla akaendelea kumwangalia kwa umakini.

"So... you reading my mind, is that good or bad? (Kwa hiyo.. wewe kuweza kusoma akili yangu, hiyo ni nzuri au mbaya?)" Draxton akauliza.

"It has a meaning (Ina maana fulani)."

"What meaning? (Maana gani?)"

"That you and I are supposed to be mates (Kwamba mimi na wewe tunatakiwa kuwa wenzi)," Darla akasema.

"Mates? (Wenzi?)" Draxton akauliza kimshangao kiasi.

"Yes (Ndiyo)."

"Sorry, am confused (Samahani, hiyo imenichanganya)."

"As far as I am aware, our kind can only read the mind of a mate. Mates, like a soulmate, are rare... like finding a needle in a haystack (Kwa namna ambavyo naelewa, aina zetu za mbwa-mwitu zinaweza kusoma akili za wenzi pekee. Wenzi, kama mpenzi wa nafsi, huwa ni adimu kupata... kama tu kuipata sindano ndani ya furushi la nyasi)," Darla akaongea kwa hisia mpya.

"O..kay. So what, am I supposed to... do what? (Sawa. Kwa hiyo nini, natakiwa nifanye... nini?)"

"Well obviously you're going to have to mate with me (Ni wazi kwamba utatakiwa kuwa pamoja nami kama mwenzi)."

"Mate with you? Wasn't that just a minute ago you were about to kill me? (Niwe mwenzi wako? Siyo kwamba dakika kama moja iliyopita ulikuwa tayari kuniua?)"

"This situation isn't my idea of want either, but I am not gonna give up the opportunity of being with my mate (Hii hali haikuwa wazo la kitu nilichotaka kabisa, lakini sitaiacha nafasi ya kuwa na mwenzi wangu inipite)," Darla akaongea kwa uhakika.

"All this just because you can read my mind? (Hii yote kwa sababu tu umeweza kuisoma akili yangu?)"

"Essentially, yes. If that weren't present.... (Kwa umuhimu wake, ndiyo. Isingekuwa ya hivyo...)"

"What? You were going to kill me? Just like the other guy? (Nini? Ungeniua? Kama huyo jamaa mwingine?)"

"I wasn't going to kill you, I just wanted to scare you! (Sikuwa na lengo la kukuua, nilitaka tu kuogopesha!)"

"For what? (Kwa ajili gani?)"

"You saw me killing that guy, and I didn't want Mark to know about it so I had to come here to get you to shut up (Umeniona nikimuua yule jamaa, na sikutaka Mark ajue kuhusu hilo kwa hiyo nilihitaji kuja huku kuhakikisha hautasema lolote)."

"So you clearly disobeyed Mark's orders of not killing people, and you've done it for... what... fun? (Kwa hiyo umekiuka amri za Mark za kutokuua watu, na umefanya hivyo kwa ajili ya nini... kujiburudisha?)"

"No, that idiot was nothing but a bigot and a rapist! I gave him a taste of his own medicine. And also... Mark doesn't give us orders, he just looks out for us. We don't kill people, we live peacefully in society... at least here. We got so many things to worry about, so my brother starting to scold me over some dead douchebag isn't something I need right now (Hapana, huyo mpumbavu hakuwa lolote ila mwanaharamu na mbakaji! Nimempa tu dozi ya dawa yake mwenyewe. Halafu pia... Mark huwa hatupi amri, anatulinda tu. Tusipoua watu, tunaishi kwa amani kwenye jamii... angalau huku. Tuna mambo mengi sana ya kuwazia, kwa hiyo kaka yangu kuanza kunifokea juu ya mfu mpuuzi siyo jambo nalohitaji kwa sasa)," Darla akaongea kwa uhakika.

"Mark is your brother? (Mark ni kaka yako?)" Draxton akauliza.

"He didn't tell you that, huh? (Hakukwambia kumbe?)"

"No, he didn't. So what are you going to do about the body? Or did you eat it all? (Hapana, hakuniambia. Kwa hiyo utafanya nini kuhusu mwili wa huyo jamaa? Au umeula wote?)"

"I'll deal with it. Can I trust you not to say anything about that incident? (Nitashughulika nalo. Naweza kukuamini kwamba hautamwambia kuhusu hilo Jambo?)"

Draxton akashusha pumzi na kusema, "I give you my word. I won't say anything (Ninakuahidi. Sitasema lolote)."

"I believe you for now, but promises tend to fade over time. That leaves me with having to buy your silence (Nakuamini kwa sasa, ila najua ahadi huwa zinafifia baada ya muda. Hiyo itanipasa kutumia malipo ili ubaki kimya)."

"I don't want money (Sihitaji pesa)."

"I wasn't talking about money. I've seen you watching me. I know what you want and I'll give it to you. All your wet dreams about the girl next door come true for your silence and... since you are my mate... for much more (Sikuwa naongelea pesa. Nimeshakuona unanitazama. Najua unachotaka na nitakupatia. Ndoto zako za kitandani kuhusu msichana wa nyumba jirani zitatimia ili usiseme lolote na... kwa kuwa sasa wewe ni mwenzi wangu... itakuwa kwa ajili ya mambo mengi zaidi)," Darla akaongea kwa njia fulani iliyoonyesha hisia mpya.

Draxton akatabasamu kidogo, akiwa ameshangazwa kiasi na haya yote, kisha akaanza kusema, "Look, you got it all wrong. I don't need that. What I need is to get some rest, the same goes for you. Maybe after.... (Ona, hauko sahihi kuhusu hilo. Sihitaji mambo hayo. Nachohitaji ni kupumzika, hata wewe pia. Labda baada ya....)"

Darla akamkatisha kwa kumsogelea karibu na kumgusa shingoni kwa vidole vyake, zamu hii ikiwa kwa wepesi, naye Draxton akaendelea kumwangalia. "You heal pretty fast (Unaponyeka upesi sana)," akamwambia hivyo.

Alikuwa anamaanisha namna ambavyo ngozi ya Draxton shingoni ilivyojirudi kuwa katika hali ya kawaida haraka, kana kwamba hakuchomwa kabisa na makucha, naye Draxton akaona namna ambavyo wakati huu Darla alikuwa amebadilisha mtazamo wake wa ukali na kuonyesha hisia kumwelekea. Darla alikuwa mrembo, na ingekuwa rahisi kwa mwanaume yeyote kuvutiwa naye, lakini kwa Draxton haikuwa hivyo. Hakuna ushawishi wa aina yoyote ule ambao ungefanya asahau kina cha upendo aliokuwa nao kwa Namouih. Hili suala la wenzi alilokuwa amezusha Darla halikuonekana kuwa zito kwake Draxton, hata kidogo, na kuchukulia kwamba huenda ilikuwa ni sehemu ya nguvu za mwanamke huyo zilizomfanya aweze kuyasikia mawazo yake, kama tu ambavyo uwezo wake Draxton wa kuvuta harufu ya viumbe ulimfanya aweze kuwafatilia mpaka mbali.

Darla akaivuta shingo ya Draxton kumwelekea, akiwa na lengo la kumbusu mdomoni, lakini Draxton akamkwepa na kuutoa mkono wake shingoni. "What's wrong? (Nini tatizo?)" akamuuliza.

"I can't do this (Siwezi kufanya hivi)," Draxton akasema.

"Ahah... you're joking right? (Unatania, siyo?)" Darla akauliza.

"No (Hapana)," Draxton akajibu kwa uhakika.

Mwanamke huyo akajaribu kumfata tena na kuanza kulazimisha penzi la mdomo, lakini Draxton akamkwepa na hata kumsukuma kidogo.

"Stop! (Acha!)" Draxton akasema.

Muungurumo wa sauti ya chini ukasikika kutoka kwake Darla, akiwa anamwangalia Draxton kwa njia ya ukali, kisha uso wake ukawa kama wa mtu aliyekwazwa sana. Draxton akajihisi vibaya kumsukuma namna hiyo, lakini bado akawa anataka kuwa thabiti kuhusiana na msimamo wake.

"Darla..." Draxton akaita kwa upole.

Darla akaanza kutikisa kichwa taratibu huku akisema, "You really don't know ANYTHING about us, do you? (Yaani haujui CHOCHOTE kabisa kuhusu sisi, sivyo?)"

Draxton akaendelea kumwangalia tu, naye Darla akampita tu na kuondoka akiwa amekasirika.

Sasa kiukweli kuna vitu vingi vilivyokuwa vimeanza kumchanganya Draxton mbali hata na yale aliyokuwa ameelezewa kwa kina na Mark. Kama alitakiwa kuwa kama kitovu kikuu cha msaada ambao Mark na watu wa aina yao walihitaji, angepaswa kuelewa vizuri zaidi mambo yote yaliyohusika ndani na nje ya maisha yao ili kuweza kutoa msaada aliotakiwa kutoa kwa njia ambayo ingeleta uradhi na siyo kuanza kutengeneza vikwazo. Ni wazi kwamba kuna mengi aliyohitaji kuelewa, na Mark ndiye ambaye angetakiwa kumpa elimu zaidi ili ashughulike na mambo kwa njia sahihi. Akajipa tu utulivu na kufunga mlango, kisha akaelekea chumbani ili aweze kupumzika hatimaye.


★★★


Asubuhi ikafika. Draxton aliamka ikiwa imeshatimia saa tatu asubuhi, na ile hali mpya ya kupata nguvu mwilini aliihisi vyema. Labda shauri ya safari lakini haikuwa kawaida kwake kuamka masaa yameenda namna hiyo isipokuwa awe alibadilika kupitiliza na kulala kwa kutojitambua. Matukio ya usiku wa kuamkia wakati huu yalipomrudia akilini, akatoka kitandani na kwenda dirishani kuchungulia mazingira ya nje.

Hali ya hewa ilikuwa safi, naye akavuta harufu nzuri ya uoto wa asili uliozunguka eneo hilo. Aliweza kuona baadhi ya watu wakipita barabarani na magari machache pia, naye akaiangalia nyumba ya yule mwanamke, Darla. Alikuja kwake kwa kishindo jana baada ya kuonekana akimuua mtu mwingine hapo kwake, na waliachana kwa mtazamo usio mzuri sana hasa ukitegemea na huyo mwanamke alikuwa mnyama kama yeye, na kitu ambacho kilikuwa kigeni zaidi, kwamba alikuwa dada yake Mark.

Draxton akatoka dirishani na kuichukua simu yake, naye akakuta jumbe chache kutoka kwa Mark akimwambia kwamba zamu yake iliongezwa, nyingine akisema kwamba amemaliza, anakuja, na amefanya mpango wa kuwaleta baadhi ya wenzao kisha atamweleza Draxton namna watakavyoanza sakata lao.

Draxton akamtumia ujumbe mfupi akisema ameelewa, naye akaenda kujisafisha vizuri kisha kwenda jikoni kujitengenezea kiamsha kinywa. Kulikuwa na mikate iliyotunzwa, naye akapasha chai na kujiwekea, halafu akaketi na kuanza kunywa. Palikuwa na utulivu wa hali ya juu. Aliangalia sehemu hiyo vizuri sana ili kuizoea, na baada ya kumaliza chai akaamua kusafisha vyombo, halafu akaendelea kuizunguka nyumba hiyo ndani kote hadi nje.

Ilionekana kwamba mitaa ya kuzunguka eneo hilo lote ilijaa zaidi wazungu, kwa sababu wengi wa watu waliopita huku na kule walikuwa weupe tu; hakuona mweusi hata mmoja. Ikawa ni kama yeye pekee ndiye aliyekuwa mweusi hapo, ila ni suala ambalo halikujalisha sana zaidi ya mambo yaliyompeleka huko.

Majirani wengine walikuwa watu wa kawaida tu, naye Draxton akawa anajiuliza ikiwa mwanaume ambaye Darla alimrarua jana alikuwa wa mtaa huo. Ikiwa ingekuwa hivyo basi kizaizai kingenyanyuka endapo kama kuna watu walimwona akienda kwa Darla halafu ghafla akapotea, na Draxton alitaka kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwa mwanamke huyo ingawa ndiyo kwanza alikuwa mgeni kwake.

Baada ya kuangalia mazingira ya nje, Draxton akawaza lingekuwa jambo jema akipafanyia usafi, hasa kuyapunguza majani ya nje na kupafagia. Lakini kwanza, akarudi ndani ili afanye jambo la muhimu zaidi kisha hilo lifuate; kumtafuta Namouih. Akafungua simu yake na kumtafuta mpenzi wake kwa njia ya video ya kuwasiliana kimataifa, na hatimaye akampata. Namouih akapokea simu yake, naye akaonekana kufurahi mno kumwona Draxton.

"Hi Namouih..." Draxton akamwambia.

"Jamani Max!" Namouih akasema hivyo huku akitabasamu.

"Uko poa?"

"Niko poa tu. Mbona hujanitafuta siku mbili kabisa?"

"Sorry, masaa yanapingana kidogo. Huko ni saa ngapi sasa?"

"Saa kumi na mbili jioni. Kwenu?"

"Ni saa nne, asubuhi. Nimeamka muda si mrefu. Nakumiss sana," Draxton akasema kwa hisia.

"Mimi pia. Natamani urudi hata sasa hivi," Namouih akasema.

Draxton akatabasamu kwa hisia.

"Kwa hiyo imekuaje huko? Mmefikia wapi?" Namouih akauliza.

"Niko North Carolina. Ndiyo nimeamka siku ya kwanza, Mark ametoka kidogo, akirudi ndiyo tutaanza mambo yetu. Nimeshakutana na mwingine aliye kama sisi..."

"Kweli?"

"Ndiyo. Mkali kama wewe."

Namouih akacheka na kusema, "Ukali gani unaongelea? Wa shepu, sura, au?"

"Ahahah... ukali wa tabia. Hivyo vingine hakufikii..."

"Eti eeh? Basi akileta za kuleta mnyooshe tu. Ila siyo kumfumua, nikijua namuua."

Draxton akacheka kidogo na kusema, "Usijali. Vipi kwa sasa mnaendeleaje? Sasha ameshatoka hospital?"

"Ndiyo nimemtoa leo. Tumemleta hapa kwako sasa hivi amelala. Angalau majirani hawana longolongo ni kama vile tumehamia kabisa..."

"Inapendeza..." Draxton akasema.

"Nafurahi sana kujitambulisha kama mke wako. Wengi wanaonifahamu wanaona hilo kuwa ajabu lakini me nafurahia sana. Natamani ingekuwa wewe tokea mwanzo na si Efraim. Kuna mambo mengi sana yanayohitaji marekebisho huku yaani...."

"Unaanza kuona kama mimi kuondoka sijakutendea haki eh?"

"No, sijamaamisha hivyo. Nakuwa tu natamani ungekuwepo ili tuzivunje kuta hizo zote pamoja..." Namouih akamwambia hivyo kwa hisia.

"Usijali Namouih. Nimekuahidi nitarudi. Na ingawa niko mbali lakini moyoni mwangu uko karibu sana, ninakupenda, na nitafanya kila kitu ili tuje kuyajenga yetu bila kujali vikwazo. Kila siku tutakuwa tunawasiliana, okay?" Draxton akaongea kwa upole.

Namouih akaonekana kutikisa kichwa kwa kufarijika.

"Alright. Kuna njia pia ya mawasiliano ya kimikutano nadhani unaijua inaitwa zoom..." Draxton akasema.

"Zoom meeting? Ndiyo, nimeshaitumia..."

"Yes, nami nimeipakua nataka hata ukiwa ofisini au wapi, kama unatumia kompyuta, laptop, au simu, basi tunaunganika tunawasiliana," Draxton akasema.

Namouih akacheka.

"Nini mbona unacheka?" Draxton akamuuliza huku akitabasamu.

"Ahahahah... kwa nini zoom meeting? Mbona kuna njia nyingi za kuwasiliana kwa video, hiyo ni kwa ajili ya mikutano ya kiofisi ama kama watu wapo quarantine..."

"Mh! Kwani ni hivyo tu?"

"Eeeh..."

"Hamna bwana, me naona ndiyo nzuri. Ama ni ya kishamba?"

"Hapo ndiyo mtu atagundua kweli una miaka 95," Namouih akamtania.

Draxton akacheka kidogo, naye akasema, "Basi imeghairishwa."

"Hahahah... usijali tutaitumia tu mzee wangu," Namouih akasema.

"Okay. Jitahidi upumzike vya kutosha, kula matunda, usinywe bia, piga mazoezi kidogo, na usichukue kazi nyingi mno, sawa?" Draxton akamwambia.

Namouih akatabasamu kwa mbali.

"Nitakuwa naku-check kila day uniambie unaendelea vipi. Na... jitahidi ule nyama nyingi pia," Draxton akamsihi.

"Kwa kuwa nitajifungua mtoto aliye kama wewe?" Namouih akauliza.

"Inawezekana. Tutajua mambo yatakuwaje maana kufikia muda huo nitakuwa nimesharudi. Ukihisi mabadiliko mwilini yasiyo ya kawaida kupita kiasi niambie. Unahitaji kuitunza vyema afya yako," Draxton akasema kwa upole.

"Sawa baba. Nitafanya hivyo," Namouih akajibu kwa sauti yenye deko.

Draxton akamtazama kwa upendo mwingi, naye akamwambia, "Nakupenda Namouih."

"Nakupenda pia Max," Namouih akasema kwa hisia.

Draxton akatabasamu, na ni hapa ndiyo akasikia sauti ya gari lililofika nje ya nyumba hiyo na kuegeshwa. Akamwangalia Namouih kwenye kioo cha simu yake na kusema, "Mark amerejea. Nitakutafuta mida ya baadaye, sawa?"

Namouih akatikisa kichwa mara moja kukubali, naye Draxton akaikata simu na kusimama.

Alitazama nje hapo na kuiona ile Sedan nyeusi ya Mark, na mwanaume huyo akiwa ameshashuka na kuanza kuuelekea mlango wa kuingilia ndani hapo. Draxton akaendelea kusubiri mpaka alipoingia ndani, na Mark akatabasamu kidogo baada ya kumwona.

"Hey... Good morning (Heri ya asubuhi)," Mark akamsalimia.

"Same to you (Kwako pia)," Draxton akajibu.

"Did you sleep well? (Umelala vyema?)"

"Yeah, but I try not to give in to too much relaxation. You must be worn out, did you even sleep? (Ndiyo, ila najitahidi kutojiachia kupitiliza. Wewe ni lazima uwe umechoka sana, hivi hata ulilala?)"

"I slept here or there at the hospital but not much to cover the entire time I need to get some rest. But rest is gonna have to wait because I need to start showing you things (Nililala hapa au pale huko hospitalini lakini si vya kutoshea muda wote naohitaji kupumzika. Lakini kupumzika kutapaswa kusubiri maana ninahitaji kuanza kukuonyesha mambo fulani)," Mark akamwambia huku akielekea kujiwekea maji ya kunywa.

"Things... like your sister? (Vitu... kama vile dada yako?)" Draxton akauliza.

Mark alikuwa ameanza kunywa maji na kukatisha kufanya hivyo baada ya Draxton kuuliza swali hilo, naye akamwangalia machoni kwa njia iliyoonyesha hakutarajia kabisa hilo.

"She visited (Alikuja)," Draxton akasema.

Mark akamsogelea na kuuliza, "Does she know? (Anajua?)"

"Yes (Ndiyo)."

"I'm sorry for... not coming clean about her when you first met I just planned to tell you today (Samahani kwa... kutokukwambia kumhusu mlipokutana kwa mara ya kwanza nilipanga kukwambia leo)," Mark akasema.

"It's okay, we'd just got here (Ni sawa, ndiyo tulikuwa tumefika tu)," Draxton akasema.

"She didn't bother you? Darla can be very hard to... (Hakukusumbua? Darla anaweza kuwa mgumu ku...)."

"No, she didn't, it was just a further introduction. At first she couldn't make out that we're the same because apparently I don't smell like a wolf, but that was the case with her too when we first met (Hapana, hakunisumbua, tulitambulishana kiupana zaidi. Mwanzoni hakuweza kutambua sisi ni wa aina moja kwa sababu kwa jinsi inavyoonekana mimi sinuki kama mwitu, ila hata kwa yeye mara ya kwanza nimekutana naye ilikuwa namna hiyo hiyo)," Draxton akaeleza.

"Yes, you are different, but she covers her scent for safety reasons. Did you mention to her why we came here? Who you really are? (Ndiyo, uko tofauti, lakini yeye huwa anaificha harufu yake kwa ajili ya kujilinda. Ulimwambia sababu iliyotuleta huku? Yaani wewe ni nani kabisa?)" Mark akauliza.

Draxton akatikisa kichwa kukanusha.

"Okay. That's good. I want our goal to stay low for now, you should just continue to pose as my lawyer friend as I introduce you to our other two wolf-friends I brought here. They are over at Darla's house. I just wanted you to know who your friends are before we meet our enemies. They won't be able to sense that you are one of us, not till we tell, and I'm doing this because you are gonna have to learn control over your wolf side before they fully submit to you as their leader. They, like me and Darla, want to run away from our evil leader's connection and the only way is to have another one... you (Sawa. Ni vizuri. Ninataka lengo letu liwe siri kwa sasa, unatakiwa tu kuendelea kujiweka kama mwanasheria rafiki hapa nitakapokutambulisha kwa rafiki-mwitu wengine wawili niliowaleta huku. Wako hapo kwenye nyumba ya Darla. Nilitaka tu uanze kuwajua rafiki zako kabla hatujakutana na maadui zetu. Hawataweza kuhisi pia kwamba wewe ni mwenzetu, mpaka kuwaambia, na ninafanya hivi kwa sababu utahitaji kujifunza jinsi ya kujiendesha vyema katika upande wako wa unyama kabla ya wao kujitoa kwako uwe kiongozi kwao. Wao, kama tu mimi na Darla, wanataka kuuepuka muungano kutoka kwa kiongozi wetu mwovu na njia moja ya kufanya hivyo ni kupata mwingine... wewe)," Mark akamwambia.

"They really won't be able to sense my nature? (Hawataweza kweli kutambua nilivyo kiasili?)"

"No. Unless you change, everything with you seems pretty human normal (Hapana. Isipokuwa labda ubadilike, kila jambo kwako linakufanya uonekane mwanadamu wa kawaida tu)."

"Yeah, it's a good case then. Your sister though, she had a weird way of guessing I'm like you guys (Ndiyo, basi ni suala jema. Lakini dada yako, yeye alitambua mimi ni kama nyie kwa njia ya ajabu)."

"How'd she come about it? (Alitambuaje?)"

"She heard my thoughts (Alisikia mawazo yangu)."

Macho yake Mark yakashtuka kidogo, naye akauliza, "What? (Nini?)"

"Yes. Then she started talking about it meaning we are supposed to be mates! Ahahah... I don't got the tutorials about everything you guys know but this sounded hilarious (Ndiyo. Kisha akaanza kusema kwamba hiyo inamaanisha tunatakiwa kuwa wenzi! Ahahah... najua sina ujuzi mwingi wa mambo mnayoyafahamu ila hii ilichekesha)," Draxton akamwambia.

Mark akaangalia pembeni, uso wake ukionekana kutatizwa kiasi na jambo hilo lakini Draxton hakutambua upesi.

"Should I not worry the others might read my mind too for the breakdown to hit them easy? (Sipaswi kuhofia kwamba na wengine wataweza kuisoma akili yangu na hivyo kila kitu kikaelezeka kwao?)" Draxton akamuuliza.

Mark akatulia kidogo, kisha akatikisa kichwa kukanusha huku akisema, "No. That won't happen (Hapana. Hilo halitatokea)."

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"I'll go freshen up. After a few hours we'll head there (Ninaenda kujimwagia. Baada ya masaa machache tutakwenda hapo)," Mark akasema.

Draxton hakuwa na neno, naye Mark akaanza kuelekea chumbani kwake huku akitafakari jambo ambalo Draxton alitoka kumwambia kuhusu dada yake. Ni kwamba kuna vitu vingi ambavyo Draxton hakuelewa vilivyofanya iwe ngumu kwa Mark kumwelezea kwa njia ambayo ingemshawishi jamaa kukubaliana navyo, ila alijua kumfafanulia ingekuwa lazima tu maana apende asipende tayari alikuwa amemwingiza katika kisa hiki kisichorudika nyuma.

Uhitaji wake Mark kurekebisha hali ulikuwa umeongeza jambo fulani tata ambalo hakutarajia, na alijua lingeongeza ugumu kwenye yale ambayo angetakiwa kumweleza Draxton lakini hakukuwa na jinsi. Ndiyo maana alimvuta-vuta taratibu ili kwa mambo mengi Draxton aweze kujiongeza mwenyewe juu ya namna ya kushughulika nayo.

★★

Basi yakapita kama masaa mawili baada ya Mark kufika na kujisafisha, kisha kujiunga na Draxton sebuleni. Mwanaume alikuwa ametulia tu akisoma kimoja kati ya vitabu alivyokuta kwenye nyumba hiyo, naye Mark akaanza kumpanga kuhusu kuwatembelea wenzake pale kwenye nyumba ya Darla. Akamwelezea namna ambavyo wenzake walikuwa watu wa kivyao sana, na kwamba ikiwa ataona labda mwanzoni hawamjali kabisa basi asichukulie vibaya. Lengo lake lilikuwa tu kwamba Draxton awajue, halafu wakirejea hapa kwake angeanza kumwelewesha hatua za mwanzo za kuchukua kuhusiana na suala la kuwaleta upande wake akishajifunza namna ya kuuendesha upande wake wa unyama jinsi anavyotaka.

Draxton alikuwa na akili nyingi sana kutambua kwamba Mark alipeleka mambo upesi lakini kwa mafumbo mengi kwa sababu fulani. Alikisia kwamba huenda alichomwambia Mark kuhusu Darla kilihusiana na hilo, ila hakutaka kuzungumza lolote. Aliona ni bora kuendelea kusoma mchezo huu ulielekea wapi zaidi kwa sababu ni wazi kuna maamuzi muhimu aliyohitaji kuchukua mbali tu na kitendo cha yeye kukubali kuja huku ghafla pamoja na mwanaume huyo.

Baada ya mambo hayo, Mark akamwambia wanaweza kwenda kwa Darla sasa, nao wakaongozana mpaka nyumba ya pili. Draxton tayari alikuwa amejiuliza ni kwa nini mtu na dada yake walioonekana kupendana sana waliamua kuishi nyumba mbili tofauti tena eneo la karibu sana kama hivyo, ila hata suala hilo lingenitaji kukaliwa kimya kwanza.

Wakaufikia mlango na Mark akabonyeza kengele, nao ukafunguka kumfichua mtoto mrembo kwa jina la Darla. Harufu yake nzuri ilizitesa sana pua za Draxton kiasi kwamba akashindwa kujizuia kuivuta vyema zaidi. Hali hiyo alikuwa nayo kumwelekea Namouih pekee, na sasa ikaanza kuonekana kama imempata mfadhili mwingine.

Darla alikuwa amevalia sweta jepesi la kijani lenye urembo wa kumetameta kama yale watu hujivika nyakati za krismasi, suruali yenye kubana ya khaki iliyoyakumbatia vyema maumbile yake kwa chini kuonyesha mikunjo aliyokuwa nayo. Kama kawaida alikuwa amezibana nywele zake nyuma ya kichwa, na uso wake mzuri uliweka hali fulani ya kununa utadhani hakutaka wageni hata kidogo. Akawa anamwangalia Mark kama hajapendezwa sana na ujio wake, kisha akaachia tabasamu ambalo ni wazi lilikuwa la kujilazimisha na kuwakaribisha ndani.

Mwanamke akageuka na kuanza kurudi ndani, kalio lake likinesa kwa kila hatua aliyopiga. Si wazungu wengi waliobarikiwa kuwa na mikunjo kama aliyokuwa nayo Darla, hata Draxton asingekataa. Mark akatangulia kuingia, akionekana kuwahi kumfata dada yake, naye Draxton akaingia ndani pia na kuurudishia mlango.

Kuna harufu fulani ya mbao au mafuta ya mbao ambayo ilipenya zaidi puani mwa Draxton, na kwa hapo hakuweza tena kumwona Mark wala Darla. Palikuwa pazuri ndani humo, kukiwa na hali fulani ya ukimya iliyofanya patulie. Akaelekea sehemu iliyokuwa na korido pana lakini fupi iliyotundikiwa picha kila upande wa kuta zake. Akasimama na kuanza kuziangalia.

Hazikuwa picha za Darla wala familia, zilikuwa kwa ajili ya urembo. Moja ilionekana kama dirisha lililokatwa mara nne. Kila kipande kilikuwa na picha ya mti wa aina moja lakini kwa misimu tofauti. Nyingine ilikuwa ya mwanamke aliye uchi kabisa, akikaa chini huku amebeba mtoto mdogo kwa kumnyonyesha, na namna ambavyo mtoto huyo alilala ilificha sehemu za siri za mwanamke huyo kisanii sana.

Picha nyingine ilikuwa kubwa iliyoonyesha mizizi ya miti iliyoingiliana na kuchanganyikana na matawi mengi kwenye hali ya hewa yenye theluji. Draxton alipoitazama kwa umakini, akatambua kwamba njia ndogo ndogo za michoro yake zilitokeza kitu kingine kabisa. Kulikuwa na picha iliyojificha ndani ya hiyo hiyo picha. Picha ya uso wa mwanamke.

"Interesting isn't it? (Inavutia, siyo?)"

Sauti ya Darla ikasikika ikisema maneno hayo kutokea nyuma yake Draxton, naye akageuka na kumwangalia. Wakati huu alikuwa anatabasamu kwa njia ya kirafiki kabisa tofauti na mwanzo, kitu kilichomwambia Draxton kwamba bila shaka Mark alikwenda kurekebisha mitambo huko ndani; ingawa hakujua jinsi gani.

"Very (Sana)," Draxton akamjibu.

"I uh, apologize (Nina, ninaomba samahani)," Darla akamwambia.

"For? (Kwa ajili ya?)"

"Yesterday (Jana)."

"Apology accepted (Samahani yako imekubaliwa)."

Darla akatabasamu na kuendelea kumtazama machoni.

Draxton alimwangalia mwanamke huyu kwa umakini. Macho yake yalikuwa na mng'aro wa shaba uliojirudia mara mbili kwenye lenzi zake, yakimtazama yeye kwa njia iliyomfanya Draxton ahisi anaangaliwa na mnyama mkali mwenye tamaa kubwa ya kumgeuza awe windo. Hakukwepesha kumtazama Draxton machoni hata kidogo, na ulimi wake ukaonekana ukipita juu ya midomo yake laini kuilainisha zaidi.

Hali hii ilimpa Draxton msisimko fulani ambao hakutaka uendelee kuwepo kwa kuwa hata hakuelewa sababu ilikuwa nini iliyofanya aupate, naye akazitazama picha tena akijaribu kuunda kitu kingine akilini cha kuanzisha mazungumzo, na ndiyo hatua zingine zikasikika zikija. Akageuka na kumwona Mark, akiwa anatembea kumfata pamoja na mwanaume mwingine mzungu.

Huyu alikuwa mrefu kama yeye Draxton, mwenye mwili uliojengeka vyema sana. Alikuwa amevalia kaushi tu na kaptura vilivyofanya mikato ya mwili wake ionekane vizuri, na uso wake wenye macho madogo kiasi, midomo iliyozungukwa na ndevu zilizopunguzwa, ulionyesha hali ya kujiamini sana. Wakafikia sehemu aliyosimama Draxton na Darla, na Mark akamtazama dada yake machoni.

"Sup' lad? (Vipi kijana?)"

Mwanaume huyo aliyeletwa na Mark akamuuliza hivyo Draxton. Bila shaka alidhani kwamba Draxton ni kijana mdogo, naye Draxton alikuwa ameshavuta harufu fulani ya unyama kutoka kwake kumthibitishia kwamba alikuwa mmoja wao.

"Cool (Poa)," Draxton akajibu.

"Draxton, this is Edmond Pearce. He's my closest of friends I wanted to introduce to you (Draxton, huyu ni Edmond Pearce. Ni rafiki mmoja wa karibu sana kwangu nilihitaji kumtambulisha kwako)," Mark akamwambia.

"Now why would you say my last name? Dude, that was annoying (Sasa kwa nini umesema jina langu la mwisho nawe? Mshkaji, hiyo inakera)," Edmond akamwambia Mark.

Draxton akatabasamu kwa mbali na kusema, "Nice to meet you (Ni vizuri kukutana nawe)."

"Same here. So you're the special attorney friend of this wacko. You new here right? (Vilevile pia. Kwa hiyo wewe ndiyo mwanasheria rafiki wa kipekee sana wa huyu bwege. Wewe ni mgeni huku siyo?)" Edmond akamuuliza Draxton.

"Yes (Ndiyo)," Draxton akasema.

"Normally the reason for people who come here is to run away from something. So what are you running away from eh lad? (Kwa kawaida sababu inayofanya watu waje huku ni kwamba wanakimbia jambo fulani. Kwa hiyo wewe unakimbia nini eti kijana?)" Edmond akamuuliza.

"He never said that, stop assuming things (Hajasema hivyo, usiotee mambo namna hiyo)," Mark akamwambia Edmond.

"He's the attorney, don't play an advocate for him. We are just getting to know each other, right mate? (Yeye ndiyo mwanasheria, usijifanye wewe ndiyo mtetezi wake. Si ndiyo tunapata tu kujuana, au siyo rafiki?)" Edmond akasema.

Mwanaume huyu alikuwa na njia ya kizembe ya kuzungumza lakini Draxton aligundua kwamba alikuwa mwerevu na mjanja, naye akamwambia, "Right. There's lots to run away from, but mostly the nagging of the big cities I was in. I wanted to find a fresh spot to cool off and Mark here pointed out this one for me. Tell me I won't regret it (Kabisa. Kuna mambo mengi ya kukimbia, ila kwangu sanasana ni usumbufu mwingi wa majiji makubwa niilipokuwepo. Nilitaka kutafuta sehemu nzuri ya kutulia kidogo na Mark hapa akanionyesha hii ya huku. Niambie sitaijutia)."

"Oh, you definitely will (Oh, hakika utaijutia)," Edmond akamwambia.

Wanaume wakacheka kidogo, isipokuwa Darla, ambaye alikuwa amemkazia macho Draxton tu.

"So you a big college boy, ain't ya? (Kwa hiyo wewe ni mvulana mkubwa wa chuo, siyo?)" Edmond akamuuliza.

Alipokuwa anauliza hivyo, hatua zikasikika zikija kutokea upande wa ngazi za kuelekea juu, na wote wakatazama huko. Alionekana kushuka mwanamke fulani mwembamba, aliyevalia kigauni kifupi cha rangi ya blue. Upesi Draxton akavuta harufu ya unyama kutoka kwa mwanamke huyo, harufu ya ujike. Alikuwa na macho fulani yenye lenzi za brown, makali, nywele nyeupe katika maana ya rangi ya maziwa (cream), lipstick nyekundu midomoni mwake ikionekana vyema, na ile amefika ngazi ya tatu kutoka chini akasimama na kuwaangalia wengine.

"Hey, come here, I gotta introduce you to... (Ey, njoo, nataka nikutambulishe kwa...)"

Maneno hayo yalitoka kwa Mark akiwa anamwambia mwanamke huyo, lakini yalikatishwa kwa kuwa mwanamke mwenyewe aligeuka hapo hapo na kuanza kurudi juu. Alionyesha kutojali lolote lililokuwa linaendelea hapo, naye Mark akamtazama Draxton usoni kwa ile njia ya kumkumbusha kwamba hicho ndiyo kitu alichomaanisha kuelekea tabia za namna hiyo kutoka kwa wenzake.

"That was Gianna. Tired from the whole dragging us down here your buddy did, so I hope you understand the swing (Huyo ni Gianna. Amechoka tu kutokana na namna huyu rafiki yako alivyotuburuza kuja huku, kwa hiyo natumaini utaelewa kitendo chake)," Edmond akamtetea mwanamke huyo.

"It's okay (Haina shida)," Draxton akasema.

"Mm... the polite type isn't he? Begs the question where you guys met cause I ain't never even heard his name coming out of your stinking mouth (Mm.. jamaa ni mstaarabu eti? Ndiyo maana najiuliza mlikutana wapi maana sijawahi hata kusikia mdomo wako unaonuka ukitamka jina lake)," Edmond akamwambia Mark.

Draxton akatabasamu kidogo.

"Please bear with Ed, he never hits the brakes with his words (Tafadhali mvumilie Ed, huwa hapigi breki kwa maneno yake)," Mark akamwambia Draxton.

"I'm trying to make our guest feel more comfortable. What about you babe? Why are you so quiet? (Najaribu kumfanya mgeni wetu ajisikie huru zaidi. Vipi wewe mpenzi? Mbona kimya hivyo?)" Edmond akauliza swali hilo kumwelekea Darla.

Wote wakamwangalia machoni, naye Darla akaacha kumtazama Draxton na kusema, "I swallowed a bug (Nimemeza mdudu)."

Mark akatabasamu na kusema, "This should be the beginning of a good friendship with all of us (Huu utatakiwa kuwa mwanzo wa urafiki mzuri kwetu sisi wote)."

"Yeah, I bet, if you weren't so busy needling patient asses (Ndiyo, nadhani ingekuwa hivyo ikiwa usingekuwa bize sana kudunga sindano makalio ya wagonjwa)," Edmond akasema kiutani.

"I'll make time (Nitatenga muda)," Mark akamwambia.

"Yeah, you better. We should all have some wine. Darla where did you leave your manners? (Ndiyo, unapaswa kufanya hivyo. Tupate divai pamoja. Darla tabia zako nzuri umezitupia wapi?)" Edmond akasema hivyo.

Darla kweli alionekana kuchanganywa na jambo fulani, naye akasema, "You are right, we should... have some wine (Uko sahihi, tupate.. tupate divai kidogo)."

Lolote ambalo lilikuwa akilini mwake Darla kwa wakati huu mpaka kufanya awe hivyo lilimwambia Draxton kwamba alihusika, lakini subira ingehitajika kabla ya kugundua ni nini. Darla akiwa ameanza kuelekea upande mwingine wa nyumba hiyo, wote wakashtushwa na sauti ya kitu kama glasi ya kioo iliyopasuliwa sakafuni; kutokea kule juu. Mark na Edmond wakaangaliana kwa yale macho yaliyotoa maana fulani, na Draxton akaona hilo.

"Sorry, I gotta check that (Samahani, nahitaji kwenda kuona hilo)," Edmond akasema na kuharakisha kuelekea huko juu.

Kwa akili ya haraka tayari Draxton akawa ametambua kwamba huyo Gianna alikuwa na tatizo fulani, labda kihisia au kimwili. Darla akarudi tena hapo waliposimama Draxton na Mark.

"Is there a problem? (Kuna tatizo?)" Draxton akamuuliza Mark.

"Maybe we should take this to my house, what do you think? (Labda tuihamishie hii nyumbani kwangu, unaonaje?)" Mark akamwambia Darla hivyo.

"I agree (Nakubali)," Darla akasema.

Mark akamwangalia Draxton na kusema, "Come on. Let's talk about things in my house. I want Darla to join us (Twende. Tukaongee vitu vingi hapo kwangu. Nataka Darla ajiunge nasi)."

Draxton akamtazama Darla na kuona matarajio mengi sana machoni mwake. Kwa uelewa, mwanaume akatikisa kichwa kukubali, na watatu hawa wakaiacha nyumba ya Darla na kurudi tena kwa Mark. Wakati huu Darla alionekana kutulia sana akiwa makini mno, kitu kilichomwandaa Draxton kwa ajili ya jambo lolote zito wawili hawa wangemwambia. Baada ya wote kuketi kwenye masofa pamoja, Mark akaanzisha maongezi.

"First, I would like to apologise for Gianna's behavior. She's not in her right state as of now (Kwanza, ningependa kuomba samahani kwa niaba ya Gianna kutokana na tabia aliyoonuesha. Hayuko ndani ya hali yake sahihi kwa wakati huu)," Mark akasema.

"Does it have something to do with me? (Hiyo inahusiana na mimi kwa njia fulani?)" Draxton akamuuliza.

"No, and yes. You are not the cause of her rude act but you should be the cure to it before it goes way out of hand (Hapana, na ndiyo. Wewe si msababishi wa tabia yake ya kijeuri lakini unatakiwa kuwa tiba yake kabla haijapitiliza sana)," Mark akamwambia.

"What do you mean? (Una maana gani?)" Draxton akauliza.

"The bond we have with our leaders is strengthened through different ways. When it comes to males, we can simply pledge our loyalty to them by activating our inner wolf spirit and admitting that we commit our lives under their power (Muungano tulionao na viongozi wetu unatiwa nguvu kupitia njia mbili. Inapokuja kwetu sisi madume, tunaweza tu kutoa rehani ya ushikamanifu wetu kwao kwa kuiachia roho yetu ya ndani ya u-mwitu itamke maneno ya kuyamilikisha maisha yetu chini ya nguvu zao)," Mark akasema.

"Wolf spirit? (Roho ya u-mwitu?)" Draxton akamuuliza.

"Yes. We have a spiritual side Draxton, the one that acts as the central gate that connects our human minds and our animalistic sides to gain good control over the physical shift of our bodies. That is also where the bond comes from, and only the first hybrids like you can use it to connect with other human-wolves in your packs (Ndiyo. Tuna upande wa kiroho Draxton, unaotenda kama mlango wa kati unaounganisha akili zetu za kibinadamu na pande zetu za unyama ili kuweza kuongoza vizuri mabadiliko ya miili yetu. Hapo ndiyo ule muungano unapotokea, na ni watu-mwitu wa kwanza kabisa kama wewe ndiyo tu wanaoweza kuutumia uwezo huo kufanya muungano na wanadamu-mwitu wengine kwenye makundi yao)," Mark akaeleza.

Draxton akamtazama Darla, ambaye alikuwa anamwangalia kwa utulivu tu. Kiukweli bado haikuwa rahisi kuelewa na hata kuamini kwamba mambo ambayo Mark alisema yalipatana na akili, lakini akaendelea tu kumsikiliza.

"I've already mentioned to Darla about you lacking proper control over your bestial side, and the reason to that is because you never got to connect fully with your wolf-spirit. Whenever you changed unwillingly, you just bypassed it, that is why your mind could never fuse with the beast. But now... Darla is going to help you with that (Nimeshamwambia Darla kuhusu wewe kutoweza kuuongoza vyema upande wako wa kinyama, na kinachosababisha hilo ni kwamba haukuwahi kujiunga kikamili na roho yako u-mwitu. Pindi ulizobadilika bila kupenda, uliipita tu roho hiyo, ndiyo maana akili yako haikuweza kuingiliana na mnyama wako. Lakini sasa... Darla atakupatia msaada wa jambo hilo)," Mark akamwambia.

"Darla?" Draxton akauliza kwa kutoelewa.

"The way to how the leaders make the bond with females in a pack Draxton, is through claiming (Njia ambayo viongozi hufanya muungano na majike ndani ya kundi Draxton, ni kupitia kuwamiliki)," Mark akamwambia.

Draxton akakunja uso wake kimaswali.

"Darla can help you with control, and for that to succeed... you are going to have sex with her (Darla atakusaidia kujiendesha vyema, na ili hilo lifanikiwe... unahitaji kujamiiana naye)," Mark akamwambia.

Draxton akamtazama Darla usoni akiwa amekunja uso wake kimaswali sana, na mwanamke huyo alikuwa anamwangalia kwa utulivu tu tokea mwanzo. Alielewa kile ambacho Mark alikuwa anamaanisha, na moja kwa moja kulipingana kabisa na aina yoyote ya suluhisho alilokuwa amefikiria mapema kupitia ili aweze kujipatia na kuwapa watu hawa msaada.



★★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★★

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA TANO

★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akamtazama Darla usoni akiwa amekunja uso wake kimaswali sana, na mwanamke huyo alikuwa anamwangalia kwa utulivu tu tokea mwanzo. Alielewa kile ambacho Mark alikuwa anamaanisha, na moja kwa moja kilipingana kabisa na aina yoyote ya suluhisho alilokuwa amefikiria mapema kupitia ili aweze kujipatia na kuwapa watu hawa msaada. Akabaki kutikisa kichwa kama kukataa wazo hilo huku akitabasamu kwa kutoamini kabisa.

"You got every reason to call this bullshit, but trust me Draxton when I tell you it is the only way to help you... and us (Una kila sababu ya kuliita suala hili upuuzi, lakini niamini Draxton napokwambia kwamba ndiyo njia pekee ya kukusaidia wewe... na sisi pia)," Mark akamsihi.

Draxton akamkazia macho mwanaume huyo na kuuliza, "You brought me here all the way from Tanzania just to tell me that sleeping with your sister is what's going to save you? (Umenileta huku kote kutokea Tanzania ili tu kuniambia kwamba kulala na dada yako ndiyo kitu kitakachokuokoa?)"

"I know how it sounds, but please hear me out (Najua jinsi inavyosikika, lakini tafadhali nisikilize)," Mark akamwomba.

"You understand that is one thing out of a million things I won't be willing to do, right? (Unaelewa kwamba hilo ndiyo jambo moja kati ya mamilioni ambalo sitataka kufanya, sivyo?)" Draxton akamuuliza.

"Why? Cause you think I don't fit in your mating description? (Kwa nini? Kwa kuwa unadhani sijajitosheleza kwenye hadhi ya kuwa mwenzi wako?)" Darla akauliza.

Draxton akamtazama, kisha akasema, "No. Its because I don't want to, and if I did do it, you'd die (Hapana. Ni kwa sababu sitaki kufanya hivyo, na kama ningefanya hivyo, ungekufa)."

"Try me and see (Nijaribu uone)," Darla akamwambia hivyo kwa ujasiri.

"Darla please... (Darla tafadhali...)," Mark akamsemesha dada yake kama kumzuia.

Draxton bado alikuwa anamwangalia Darla kutokana na kuchanganywa na haya yote.

"Look I understand that everything to you has been a dark curtain for so long but if helping us makes you feel nauseated, just know I won't beg (Ona ninaelewa kwamba kila jambo kwako limekuwa kama pazia jeusi kwa muda mrefu lakini ikiwa kutusaidia inakufanya uhisi kichefuchefu, jua tu kwamba sitakupigia magoti)," Darla akamwambia Draxton.

"Darla!" Mark akamwita ili kumzuia asiendelee kuongea.

"Awful picnic meeting you... mate (Imekuwa safari mbovu sana kukutana nawe... mwenzi)," Darla akasema hivyo na kunyanyuka.

Kisha akaanza kuondoka huku akionekana kuudhika sana, na Mark akawa anamwita ili arudi lakini mwanamke huyo akaondoka hapo kabisa.

"Mark, what the hell is going on? Is this really why you brought me here? (Mark, nini kinaendelea? Hii kweli ndiyo sababu iliyokufanya unilete huku?)" Draxton akamuuliza kiutulivu.

"I understand that it feels like I lied to you, but hear me out first. I'm not a child. I didn't bring you here to just screw someone without a good reason. Draxton... we're animals. That's how animals are. We just live like how humans do but our nature can never change. And with us... that is just how things are supposed to be (Naelewa inaonekana kwamba nilikudanganya, lakini nisikilize. Mimi si mtoto. Sikukuleta huku ili usugue mtu fulani bila kuwa na sababu nzuri. Draxton... sisi ni wanyama. Hivyo ndiyo wanyama walivyo. Tunaishi kama wanadamu waishivyo lakini uasili wetu hauwezi badilika kamwe. Na kwetu sisi... hivyo ndiyo mambo yanavyotakiwa kuwa)," Mark akamwambia.

Draxton akaanza kumwangalia kwa njia ya hasira.

"Please don't get mad. Look... the bond with females is complex. They should be attached to their leaders in a way unlike the males, because their spiritual side needs the energy from the leaders, so every once a while they need to have sex with them to be strengthened out more. This helps their animalistic sanity to stay in check, like an ongoing dosage to keep them strong. If they lack it for a long time, it causes an instability in their sanity, so the control they have will crumble. They become like stray horses, and may bring unbelievable damage everywhere they'll go (Tafadhali usikasirike. Ona... muungano pamoja na majike ni tata sana. Wanatakiwa kuunganishwa kwa viongozi wao kwa njia tofauti na madume, kwa sababu upande wao wa kiroho unahitaji nguvu kutoka kwa viongozi wao, kwa nyakati za mara moja moja wanatakiwa kujamiiana nao ili kuwatia nguvu zaidi. Hii inasaidia utimamu wao wa kinyama utulie, kama dozi endelevu ya kuwatia nguvu. Wakiikosa kwa muda mrefu, inasababisha upungufu kwenye utimamu huo, kwa hiyo kujiendesha kwao vyema kutayumba. Watageuka kuwa kama farasi waliosala, na watasababisha uharibifu mkubwa sehemu yoyote watakayokwenda)," Mark akaeleza.

Draxton akaendelea kumwangalia kwa umakini.

"You see Gianna? She's the longest stay out of our evil leader's bond, and now she's close to being what we call a 'feral.' That's the lowest rank order of the wolf sanity, and when she hits it... we'll lose her (Unamwona Gianna? Yeye ndiye mwenye muda mrefu zaidi kuwa nje ya muungano na kiongozi wetu mwovu na sasa hivi anaelekea kuwa kile tunachokiita 'feral.' Hiyo ndiyo hatua ya mwisho ya utimamu wetu tukiwa mbwa-mwitu, na atakapoifikia tu... tutampoteza)," Mark akaongea kwa hisia.

Draxton akatazama pembeni.

"She's ready to die but not to seek his help. It will be the same for Darla (Yupo tayari kufa lakini siyo kutafuta msaada wa huyo mwanaume. Itakuwa namna hiyo hiyo kwa Darla pia)," Mark akasema.

Draxton akamtazama kama kuuliza alimaanisha nini.

Mark akasema, "Gianna wants us to kill her before she turns fully feral. We don't want that Draxton. She needs to belong in another pack and there aren't any left except the one we were forced to be under. There were ways to make them last this long but they aren't reliable. You need to build a pack Draxton. Its the only way to save them, and every one of us (Gianna anataka tumuue kabla hajageuka kuwa wa hali ya chini kikamili. Hatutaki kufanya hivyo Draxton. Anahitaji kuwa ndani ya kundi lingine na hakuna mengine yaliyobaki tofauti na hilo tulilolazimishwa kuwa chini yake. Kuna njia zilizowasaidia kustahimili kwa muda huu wote lakini hazitegemeki. Unahitaji kuunda kundi Draxton. Ndiyo njia pekee ya kuwaokoa, na sisi sote tuliobakia)," Mark akamwambia kwa kusihi.

Draxton akanyanyuka na kutembea kuelekea upande wenye dirisha, akionekana kutatizwa sana na jambo hilo.

Mark akasimama pia, kisha akasema, "There isn't going to be another way to save us Draxton. You are (Hakutakuwa na njia mbadala ya kutuokoa sisi Draxton. Wewe ndiyo hiyo njia)."

Draxton alikuwa akitafakari jambo moja tu; Namouih. Hivi siyo alivyokuwa ametarajia mambo ya huku kwenda. Alitarajia kuja na kukutana na mtu kama Hitler vile kisha ampe vyake baada ya kufundishwa namna ya kujiendesha vyema, lakini pointi kuu ya kuwaokoa watu hawa ilihusisha jambo ambalo hakutaka kabisa kurudia kufanya, yaani usaliti.

Kiuhakika, Mark kumwambia kwamba wao ni wanyama kwa hiyo masuala hayo yalikuwa kawaida hakukumpa ahueni ya kiakili kuyahalalisha. Ni kitu ambacho hakutaka kianze kumkumbusha kisa chake na Blandina. Ikiwa angejikuta anaanza kufanya mambo kama hayo ili kuwasaidia watu wake, basi angekuwa anamsaliti mpenzi wake kwa mara ya kwanza na kuendelea. Lakini kama hakukuwa na njia nyingine ya kushughulika na mambo hayo isiyohusisha hii, angefanya nini?

Akaishika cheni aliyopewa na Namouih shingoni kwake, naye akasema, "Betrayal is one of the biggest things I hate of myself. I've done my time. I don't want to repeat the same mistakes again. I... I don't want to do that to her (Usaliti ni moja kati ya mambo nayochukia sana kujihusu. Nimeshafanya hivyo na nimemaliza. Sitaki kurudia makosa yale yale tena. Si... sitaki kumfanyia hivyo)."

Alikuwa akimaanisha hataki kumfanyia Namouih usaliti, na kwa kuelewa hilo, Mark akamsogelea na kumshika begani kutokea nyuma yake, kisha akamwambia, "Sometimes we need to step up and do things we never thought we'd do for the sake of others. They maybe hard, but i can promise you they'll make your heart thrive when you succeed Draxton (Kuna nyakati ambazo tunatakiwa kuchukua hatua za kufanya mambo ambayo hatukuwahi kufikiri tungefanya kwa ajili ya wengine. Yanaweza kuwa magumu, lakini naweza kukuahidi kwamba moyo wako utapata shangwe ukishafanikiwa)."

"You make it sound too easy, but for me it never will be (Unaifanya ionekane kuwa jambo rahisi sana, lakini kwangu mimi haitawahi kuwa rahisi)," Draxton akasema.

"I'm not saying it should. I'm just giving you the guarantee that after you fully learn to control yourself, the weight you think is too heavy to carry won't be as much. I meant what I said about you going back to your life, because that will be your choice. I'm only asking you to help us so we can be free to chose for ourselves too (Sisemi kwamba inapaswa kuwa rahisi, ila ninakupa tu uhakikisho kwamba ukishafanikiwa kujiendesha vyema, mzigo unaodhani ni mzito mno kubeba hautakuwa namna hiyo. Nilimaanisha nilichokwambia niliposema utaweza kuyarudia maisha yako, kwa sababu huo utakuwa ni uamuzi wako. Ninakuomba tu utusaidie na sisi pia ili tuweze kuwa huru kujichagulia mambo tutakayotaka pia)," Mark akasema.

Draxton akatulia kidogo, kisha akauliza, "What about your sister? (Na dada yako je?)"

"Like I said... that will be your choice (Kama nilivyosema.. huo utakuwa uamuzi wako)," Mark akamwambia.

Draxton akafumba macho na kushusha pumzi kwa kuhisi uchovu wa kihisia.

"I um... I got another shift at the hospital, a nurse called and I volunteered. Take your time to ponder everything... you'll let me know of your decision later. I know I'm rolling you on a confusing path, but.... (Nime... nimepata zamu nyingine hospitalini, kuna muuguzi kanipgia nami nikajitolea. Chukua muda wako kutafakari mambo, utanijulisha maamuzi yako baadaye. Najua nakuzungusha kwenye njia inayochanganya sana, lakini...)"

Mark akaacha kuzungumza baada ya Draxton kumgeukia mara moja. Alikuwa anamwangalia kwa utulivu tu, lakini Mark akatazama chini kwa njia ya wasiwasi.

"It's okay. I understand now (Ni sawa. Nimeelewa sasa)," Draxton akasema.

Mark akamwangalia.

"Tell your sister to come to me. We'll talk (Mwambie dada yako aje kwangu. Tutaongea)," Draxton akasema hivyo.

Mark akafarijika moyoni, naye akaweka mkono wake kifuani kuonyesha heshima na kuinamisha uso wake kidogo.

Draxton hakuwa ameamua kuchukua hatua ya namna hii kwa kupenda, bali kwa ulazima wa hali iliyokuwepo iliyofanya ajiwajibishe zaidi kwa wale waliohitaji msaada wake. Msaada wenyewe ungehusisha kitu ambacho hakutaka kufanya lakini tena akawa amewaza kwamba, uzito wa jambo hilo ungepungua, kwa sababu isingekuwa yeye kwa asilimia zote ambaye angefanya hayo bali mnyama aliye ndani yake.

Ingawa hivyo, hilo halingemfanya ajihisi amani, kwa kuwa ni kweli hakutaka kurudia mambo kama yaliyotokea kwa Blandina lakini HAKUKUWA na jinsi. Hapa alikuwa amefika kwa msisitizo wa Namouih pia, aliyemtia moyo aje kuwasaidia watu-mwitu wenzake, kwa hiyo angetakiwa kuhakikisha anamaliza mambo yote kisha ndiyo arejee kwa mpenzi wake.

Akamwacha Mark sehemu ya sebule na kuelekea tu chumbani, naye akajilaza kitandani huku akiwa ameishika cheni ya mpenzi wake kwenye shingo, akifumba macho yake kumtafakari.

★★

Baada ya muda mfupi, Draxton akatoka chumbani na kumfata Mark. Mwanaume huyo alikuwa ameleta mapakiti kadhaa yenye vyakula na sasa aliviweka kwa mpangilio mzuri sehemu za kutunzia vyakula na kwenye jokofu. Draxton akaomba kufanya shughuli ndogo ya kukata manyasi marefu yaliyokuwa yamezungukia uwanja wa nyumba hiyo, lakini Mark akasema hakuhitaji kufanya hivyo na badala yake yeye mwenyewe angekuja kuyakata. Draxton akamwambia kwamba anaelewa Mark ana mambo mengi ndiyo sababu alikuwa akiomba kufanya hivyo, na pia hakuridhika kukaa tu bila kujishughulisha na lolote hapo hivyo akamsisitizia ampe nafasi ya kufanya kazi hiyo.

Mwishowe Mark akakubali, naye akamwongoza mpaka ndani ya chumba kidogo upande wa nje kwenye nyumba hiyo ambacho kilitunza vifaa mbalimbali vya kazi za usafi. Kulikuwa na mashine ndogo ya kukata nyasi yenye kufanana na kigari kidogo cha kusukuma kwa mikono, na Mark akampatia hicho huku akimwelekeza jinsi ya kukitumia. Hakukuwa na tabu yoyote, na baada ya Mark kurudi ndani Draxton akaanza kazi. Mark alikuwa na utaratibu wa kulipa mtu mwingine aje kukata nyasi zikiwa ndefu kutokana na ubize mwingi wa maisha yake lakini kwa wiki mbili alizokuwa ameondoka hakufanya hivyo, na majani yalikua upesi sana.

Ilimchukua Draxton saa zima kumaliza kupasafisha vizuri sana. Alizungukia pande zote za nyumba hiyo na kuyasawazisha majani kwa mtindo kama wa uwanja wa mpira. Jasho lilimtoka kwa wingi, naye akaizima mashine hatimaye. Aliposimama na kutazama nyumba ya Darla, aliweza kumwona mwanamke huyo akitoka huku ameshika fuko nene jeusi, likiwa na uchafu bila shaka, naye akaliweka ndani ya kopo kubwa la plastiki hapo nje na kisha kurudi ndani.

Hakuwa amemwona Draxton, na mwanaume huyu akarudiwa na fikira za mambo yaliyotakiwa kutendeka huku kwa kumhusisha mwanamke huyo mrembo. Na Darla alionekana kuwa mtu mwenye msimamo sana, mkali, ila kuna vitu Darla bila shaka alikuwa amepitia pamoja na kaka yake vilivyowafikisha mpaka huku vilivyompa Draxton motisha ya kutaka kuzama zaidi kwenye maisha yao wakati ambao angewapa msaada waliohitaji.

Akarejea kule ndani baada ya hapo, akiwa na uhitaji mkubwa wa kuoga. Angalau alikuwa amejipigisha zoezi kidogo na sasa harufu fulani nzuri ya vyakula ikawa imezikamata hisi zake. Huyo alikuwa ni Mark akiwa ametengeneza vyakula kadhaa kwa ajili yao, naye alipomwona Draxton akampa pongezi ya usafi aliofanya na kumwambia ajiunge naye kupata msosi akishajisafisha. Mwamba akashukuru na kwenda kuoga, kisha akarejea na kukaa pamoja na Mark ili kula.

Vyakula vyepesi vya mpangilio wa lishe yanye afya vilikuwa hapo, na bila kusahau nyama iliyotengenezwa vyema kwa wingi. Ilionekana hata kwa watu-mwitu wenzake nyama ndiyo chakula kilichopewa kipaumbele zaidi, na hili likamkumbusha Draxton kuhusu namna ambavyo Darla aliua mwanaume fulani na kunyafua mwili wake. Alikuwa anataka kuuliza ikiwa Mark alishawahi kula nyama ya binadamu, lakini akaliweka suala hilo pembeni kwa kutotaka kuongelea chochote chenye kutatiza akili ingawa mengi yaliyowazunguka yalikuwa ya jinsi hiyo.

Mark akamwambia kwamba hangechukua muda mrefu kuondoka kuelekea kwenye zamu aliyojitolea, na alionekana kupenda sana kuhudumia wagonjwa na walioumia. Akasema angepita kwa dada yake kugusia suala walilozungumzia, na akamhakikishia kwamba angekuja kuonana naye. Draxton alitambua kwamba Mark alificha hisia nyingi kuelekea suala la dada yake kumsaidia Draxton ili aweze kuja kuwasaidia wao, na alikisia lilihusiana na ile ishu Darla aliyosema kuhusu "wenzi" lakini Draxton alitaka kuona lingefikia wapi kutoka kwa huyo huyo mwanamke na si kaka yake. Akamkubalia tu Mark na kusema angekaa kitako kumsubiri mtoto.

Baada ya hapo, Mark akatoa vyombo kwa kusaidiwa na Draxton nao wakavisafisha pamoja; Mark akipendezwa sana na unyenyekevu wa Draxton. Jua lilikuwa limeanza kutoonekana na mawingu kuchukua nafasi yake kubwa angani ikiwa tu ndiyo imefika mida ya saa kumi na moja jioni, na wanaume wakasaidiana kupatengeneza ndani vizuri huku Mark akimwelekeza Draxton jinsi kila kitu kilivyopangiliwa hapo nyumbani ili kumfanya awe mwenyeji zaidi. Kisha mzungu akaenda na kujiandaa kikazi tena, akivaa kama muuguzi maalumu aliyekuwa, naye akamuaga Draxton kwa mara nyingine.

★★

Tayari jua lilikuwa limezama pale Mark aliposikika akiliwasha gari lake na kuondoka, na Draxton akakaa tu ndani kwa kutulia. Mianga ya taa zilizoonekana kung'aa kwenye nyumba za majirani wa eneo ziliukaribisha usiku vyema, na mwezi ukapanda angani kwa mbwembwe.

Kama ilivyokuwa kawaida ya Draxton, utulivu kwake ndiyo jambo lililompa nguvu ya kiakili wakati wowote alipohitaji kutafakari vitu, na ndani humo kuwa na hali ya utulivu kulisawazisha njia yake ya kufikiri kuelekea maamuzi aliyokuwa ameamua kuchukua. Lakini hakukuwa na jambo lolote aliloamua kwa asilimia zote; ingetakiwa mwanamke yule aje kwanza ili wazungumze vizuri, kisha mengine na mengine mengi ndiyo yangefuata.

Kulikuwa na TV ndani hapo lakini hata wazo la kuiwasha hakuwa nalo. Mawazo yake yakawa pia yametekwa na fikira kuwahusu Edmond na Gianna. Ishu yao ilikuwa nini? Yaani walikuwa na uhusiano gani kihalisi? Ikiwa wangekuwa wapenzi labda na Draxton akahitajika kumgusa mwanamke yule ni jambo ambalo lingeweka uajabu mwingi, lakini akajitahidi kutowaza mbali namna hiyo.

Mpaka imefika saa mbili usiku Draxton alikuwa ametulia kwenye sofa tu, akiegamiza kichwa chake hapo huku akiangalia juu, ndipo akasikia mngurumo mzito wa gari nje uliotokea usawa wa nyumba ya Darla. Akatoka hapo kwenye sofa na kuangalia nje kupitia dirisha, naye akaliona gari lile jekundu la pick-up lililokuwa nje ya nyumba yake Darla likigeuza na kutolewa eneo hilo. Alielewa mmiliki wake alikuwa Darla bila shaka, na kuona hivyo akajua kwamba mwanamke huyo aliondoka kwake labda kwenda kufanya shughuli zake.

Mwanaume akafunika dirisha na kuamua angeenda tu chumbani, hivyo akaanza utaratibu wa kuifunga milango yote kwa sababu Mark hangerudi usiku huu bila shaka. Ikiwa Darla hakuwa tayari kuonana naye na kuzungumza kwa wakati huu basi wangeonana hata kesho, na Draxton alikuwa tayari kuonyesha uelewa kwa namna yoyote ile ambayo mwanamke yule angetenda. Akaelekea chumbani ili ajitie ubize kidogo kwenye laptop yake kabla ya kupumzika maana chakula alichokula jioni kilitosha kumpa usingizi kwa amani.

Akiwa ndiyo ameingia tu chumbani na kufikiria kuwasha taa, upesi akagundua kuna jambo halikuwa sawa. Dirisha la chumba chake lilikuwa wazi, siyo kufunuliwa kwa vifuniko vyake, yaani lilikuwa wazi hadi milango yake kuachanishwa kabisa. Harufu iliyokuwepo ndani humo ilivutia sana pua zake, naye akawasha taa na kuangalia kitandani.

“You should really learn to lock your windows (Unahitaji kweli kujifunza kuyafunga madirisha yako)."

Ilikuwa ni Darla. Draxton hangedanganya, yaani hakuwa ametarajia hilo kabisa. Lingekuwa ni jambo la hatari endapo kama adui ndiye angeingia hapo, lakini kumtazama mwanamke huyo akiwa ameketi kwenye kitanda kuliamsha hatari iliyopendeza. Alikuwa amevalia kigauni chepesi sana cha kulalia, kifupi mno kufikia mwanzo wa mapaja yake. Mapigo ya moyo wake Draxton yalianza kudunda kwa nguvu kutokana na yeye kujitahidi kuzuia uchu aliohisi kumwelekea mwanamke huyo hasa kwa sababu ya namna harufu iliyotoka kwake ilimvuta kwa nguvu mno.

Darla hakuwa amevalia chochote kile zaidi ya nguo hiyo laini mwilini mwake, na alikaa kwa mtindo wa kukunja nne huku mikono yake akiikandamizia kitandani kwa nyuma kuuegamiza mgongo kiasi, na akimtazama mwanaume huyo kwa umakini. Kifuani, Darla alinyanyua kinguo hicho kuelekea mbele kwa matiti makubwa kiasi yaliyochongoa chuchu zilizojichora vizuri kabisa kama kusonta mtu. Mapaja yake meupe aliyoyabana yaliiziba kiasi harufu fulani tamu ambayo Draxton alikuwa anapambana kutoikazia fikira lakini kwa kushindwa kujizuia kabisa.

Mwanamke alikuwa ameiva! Akapindisha shingo yake kidogo huku akimtazama Draxton kama vile anamtathmini, na mwanaume akaendelea tu kumwangalia machoni kwa umakini.

"Surprised? (Umeshangaa?)" Darla akauliza kwa njia ya kichokozi.

"Yeah, wasn't expecting a visit through the window (Ndiyo, sikutarajia kutembelewa na mgeni kupitia dirishani)," Draxton akasema.

"Its more exciting this way (Ndiyo inaburudisha zaidi kwa njia hii)," Darla akasema hivyo kwa njia fulani legevu.

Draxton akamwangalia namna ambavyo alikuwa amekaa, naye Darla akaachia tabasamu hafifu kumwelekea. Mwanaume akapotezea fikira kwenye hilo na kufunga mlango, halafu akaenda kufunga dirisha na kisha kumwangalia mwanamke huyo.

"You seem washed. Weren't you expecting me? (Unaonekana kushangazwa sana. Haukuwa umenitegemea kuja?)" Darla akamuuliza.

"I was. But I didn't think you'd choose to come in this way, and I also thought you left cause l saw your car leaving (Nilikuwa nakutegemea uje. Ila sikudhani ungechagua kuja namna hii, na pia nilidhani umetoka maana nimeona gari lako likiondoka)," Draxton akamwambia.

"No, that was Ed and Gia. They went out dancing, and I saw my chance. Wouldn't want their attention on you yet, remember? (Hapana, hao walikuwa Ed na Gia. Wametoka kwenda kucheza muziki, na mimi ndiyo nikapata nafasi. Hatungependa wakuelekezee uangalifu kwa sasa, si unakumbuka?)"

Draxton akabaki tu kimya na kuendelea kumtazama.

"So... you wanna talk (Kwa hiyo... unataka tuongee)," Darla akamwambia.

"Yes. I want to know everything. Mark says you can help me with control and I am seeking it so I can help you guys (Ndiyo. Nataka kujua kila kitu. Mark anasema unaweza kunisaidia kujiendesha vyema na ninatafuta huo msaada ili niweze kuwasaidia nyie pia)," Draxton akasema.

Darla akaendelea tu kumtazama usoni, kisha akasema, "You know, you make life very difficult for a woman (Unajua, unayafanya maisha ya mwanamke yawe magumu sana)."

“What do you mean? (Unamaanisha nini?)"

“You were so worried I had forgotten about you, but the constant thinking of me not only flatters, but also made me super horny. Not a good thing to do to a wolf you know? (Ulikuwa unahofia sana kwamba nimekusahau, na kadiri ulivyoendelea kunifikiria haikufanya tu nihisi shau, ila ikanitia mhemko mkubwa sana. Siyo kitu kizuri kumfanyia mwitu unajua?)"

Draxton akatulia tu, akiwa hajategemea kauli hiyo.

"I can read your thoughts, remember? (Umesahau naweza kusoma mawazo yako?)"

“Right. I didn’t know about those feelings. Why is that such a big deal? (Sawa. Sikujua kuhusu hizo hisia. Kwa nini ni jambo zito sana?)” Draxton akamuuliza.

Darla akajisawazisha vizuri na kupigisha kiganja chake kitandani mara mbili, ishara ya kumwambia Draxton aende kukaa karibu yake. Mwanaume akamfata mrembo na kuketi kitandani, nao wakawa wanaangaliana kwa subira.

"Mark gave me a little tip about your life. I want to apologize first for... (Mark ameniambia kwa kiasi fulani kuhusu maisha yako. Nataka kwanza niombe samahani kwa...)"

"No need, Darla, you already apologized, and even if you didn't I would not hold anything against you (Hakuna haja, Darla, ulishaomba samahani, na hata kama usingeomba mimi singeweka kinyongo chochote kwako)," Draxton akasema.

"Thanks. So you lack proper control over your wolf side. You do know that proper means good action and reaction from your animalistic change when your mind is merged with your bestial body, right? (Asante. Kwa hiyo hauna uongozi mzuri juu ya unyama wako. Unafahamu kwamba huo uzuri unamaanisha kutenda na kutikia mambo vyema kutoka kwenye badiliko lako la unyama pindi akili yako inapounganika na mwili wa mnyama wako, siyo?)"

Draxton akatikisa kichwa kukubali.

"Well you know what kind of help I'm gonna give you. But are you ready to take it? (Unajua ni msaada wa aina gani nitakaokupatia. Lakini upo tayari kuuchukua?)" Darla akamuuliza.

Draxton akatulia kidogo, kisha akatikisa kichwa kukubali.

"You got a human girl I presume (Una mwanamke wa kibinadamu naona)," Darla akasema.

Draxton akamwangalia.

Darla akamtazama pia na kumshika begani, kisha akasema, "it's okay. Everybody's got a life (Ni sawa. Kila mtu ana maisha)."

Draxton akaangalia pembeni akionekana kuwaza sana.

"What is it? (Kuna nini?)" Darla akamuuliza.

"I was just wondering... that mating thing you keep mentioning. Is that supposed to be permanent? (Nilikuwa nawaza tu.. lile suala la kuwa wenzi unalolisema kila mara. Linatakiwa kuwa jambo la kudumu?)"

"Yeah, unless we die (Ndiyo, isipokuwa labda tukifa)."

"So that means after you change me, we are stuck together forever? (Kwa hiyo inamaanisha ukishanibadilisha, tutakwama kuwa pamoja daima?)"

"It sounds really awful when you say it like that (Inasikika kuwa jambo baya sana ukilisema kwa njia hiyo)," Darla akasema.

"No um... that's not what I meant.... (Hapana aam... sikuwa na maana hiyo...)"

"You're worried about your woman, I know. Just ease up, it won't be that tense. I can wait for you (Unahofia kuhusu mwanamke wako, najua. Ila tulia, haitakuwa jambo zito namna hiyo. Ninaweza kukusubiri)."

"To do what? (Kufanya nini?)" Draxton akauliza.

"I can wait, let you finish your love cycle with the girl, go back to her, then we can be together in the way you put it... forever (Naweza kusubiri, umalize mzunguko wako wa mapenzi na huyo binti, urudi kwake, kisha tutakuwa pamoja kama ulivyosema... daima)," Darla akamwambia.

Draxton akamwangalia kwa njia iliyoonyesha hakumwelewa vizuri.

"How old are you? (Una miaka mingapi?)" Darla akauliza.

"Ninety five (Tisini na tano)."

"There you have it. Our kind will outlive that of normal humans. Your girlfriend will become a granny while you still look like a ten year old. If I am truly destined to be your mate, I wanna live all numbers of the years we'll be alive beside you. So yeah... I'll wait (Ndiyo hivyo. Aina yetu itaishi muda mrefu kupita wanadamu wa kawaida. Mpenzi wako atazeeka wakati wewe bado utaendelea kuonekana kama mtoto wa miaka kumi. Ikiwa kweli hatma yangu ni kuwa mwenzi wako, ninataka kuishi miaka yote tutakayokuwa hai pamoja na wewe nikiwa kando yako. Kwa hiyo ndiyo... nitasubiri)," Darla akasema.

Draxton akainamisha uso wake, akitulia kidogo kutafakari, kisha akasema, "You clearly don't know what my situation is all about, so I'll explain. My changing is not going to be like chewing a gum regardless of what you think you can do to help. My animal comes out and sees you, it might kill you in an instant, and you won't be able to make things right no matter what tantric wolf sex experience you have. I can't help but worry because I can't control my overwhelmed emotions when I'm like that, so you need to tell me just what you think you're getting yourself into (Ni wazi hautambui hali yangu iko vipi kabisa, hivyo wacha nikuelezee. Kubadilika kwangu hakutakuwa kama kutafuna jojo haijalishi ni jinsi gani unadhani waweza kunisaidia. Mnyama wangu akitoka na kukuona, anaweza kukuua upesi sana, na hautaweza kusahihisha mambo haijalishi ni ujuzi upi wa ndani kuhusu mapenzi ya u-mwitu ulionao. Inanifanya niwe na hofu kwa sababu siwezi kuongoza hisia zangu zilizopanda nikiwa namna hiyo, kwa hiyo nahitaji uniambie unadhani umejiingiza kwenye suala gani)."

"You worry too much about what you shouldn't, and you're forgetting that this isn't just about you, it's about all of us and needs to be done. I'm gonna infect you... to be able to control the animal inside you in a way you've never had before, so you need to trust me (Unahofia mno kuhusu vitu ambavyo hupaswi, na unasahau pia kwamba hii siyo kuhusu wewe tu, bali sisi wote kwa ujumla na inatakiwa ifanywe tu. Nitakuambukiza... uweze kumwongoza mnyama aliye ndani yako kwa njia ambayo hukuwahi kabla, kwa hiyo unahitaji kuniamini)," Darla akasema.

"Infect me? Through sex? (Uniambukize? Kupitia kufanya mapenzi?)" Draxton akauliza.

“Well, I'd bite you, but if I do that with a snout and sharp canines, I’m afraid that there would be a loss of control. I’d tear you apart, and that wouldn't work out well for me since you'd just come back more monstrous and kill me (Ningeweza kukuambukiza kwa kukuuma, lakini nikifanya hivyo kwa kasi na kwa meno makali, nahofia nitashindwa kujizuia zaidi. Naweza nikakurarua, na hiyo haitakuwa nzuri kwangu maana utajirudisha upya ukiwa mnyama mkatili zaidi na kuniua)," Darla akasema.

Draxton akaendelea kuyaangalia macho ya mwanamke huyo, akielewa kuwa bila shaka Mark alikuwa amemwelezea kuhusiana na suala lake la kutoweza kufa.

“So sex is the better option, to connect wholesomely with your wolf counterpart. But if we have sex, it has to be slow. If you pick up the pace up too much, my more bestial side will come out (Kwa hiyo kufanya mapenzi ndiyo chaguo bora zaidi, ili uunganike kikamili na upande wako wa mbwa-mwitu. Ila tukifanya mapenzi, itatakiwa iwe taratibu. Ukizidisha sana kasi, upande wangu wa unyama zaidi utatoka)," Darla akasema.

“That’s bad? (Hiyo ni mbaya?)”

“You ever make a girl orgasm before? (Umeshawahi kumfikisha msichana yeyote kwenye mshindo?)”

Swali hilo la Darla likamfanya Draxton aangalie pembeni.

Darla akatabasamu kidogo na kusema, "You probably have, but there is a difference between me and one of those high school girls (Inawezekana umeshawahi, lakini kuna utofauti baina yangu na hao wasichana wa shuleni)."

Draxton akataka kusema hakuwahi kwenda shuleni pamoja na vijana wengine, lakini akaishia tu kumgeukia ili aendelee kusikiliza maneno yake ya uhakika.

“I am a woman for one, so I know what I am going to want, and for two, well, you bring out the beast, same issue as biting you with canines (Cha kwanza mimi ni mwanamke, kwa hiyo ninajua nitakachotaka, na cha pili, ikiwa utasababisha mnyama wangu atoke itakuwa sawa na suala lile la kukuuma kwa meno makali)," Darla akamwambia.

"So... what do I do when my second side doesn't connect with you to keep a slow pace? (Kwa hiyo... nifanye nini upande wangu wa pili usipokuridhia ili kupeleka mambo taratibu?)"

"I never said it's easy. We're beasts. Violence is our nature. But think of this as a test. You have to please me because I'll be wanting you desperately, but not too much (Sikusema ni rahisi. Sisi ni wanyama. Ujeuri ndiyo asili yetu. Lakini lione hili kuwa kama jaribio. Utatakiwa uniridhishe kwa sababu nitakutaka kwa hamu kubwa, lakini usipite kiasi)," Darla akasema.

Draxton akazidi kuchanganyikiwa. Hii ilitakiwa kuwa kitu ya kumsaidia yeye kwanza na tatizo lake lakini ikageuka kuwa mtihani mwingine kwake. Akawa anajiuliza angewezaje kufanya hayo yote bila kuwa na uhakika ikiwa angeweza kufika hata katikati pamoja na mwanamke huyo, na ikiwa angesababisha kifo kwa huyu pia bila kudhamiria, kuja kwake kote kungekuwa kwa kazi bure, na yeye angezidi tu kuharibika kihisia. Sasa angefanya nini?



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★

FULL STORY WHATSAPP TSH. 5000

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SITA

★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akasimama na kusogea pembeni kwanza, naye Darla akasimama pia. Aliona jinsi gani Draxton alikuwa amejawa na hofu, lakini alikuwa hapo kuzituliza, kwa sababu alitaka kumwonyesha kwamba mambo hayangekuwa magumu sana kwake YEYE Draxton kama alivyodhani. Akamfata na kumshika begani, akimgeuzia kwake ili watazamane. Alimkaribia mno mpaka kugusisha miili yao kwa mbele, naye Draxton akashusha pumzi na kumtazama machoni kwa umakini.

Darla akapitisha mkono wake kwenye shingo ya mwanaume na kutembeza vidole vyake kwenye nywele fupi nyuma ya kichwa cha Draxton. Nyuso zao zikiwa karibu zaidi, Draxton alikuwa akimtazama mwanamke huyo kwa mashaka bado, lakini kuna kitu ndani yake kilichokuwa kinasukuma hamu ya kutaka sana jambo lililokaribia kutokea hapo litendeke.

Mwanamke akaielekea midomo ya Draxton na kumbusu taratibu, kisha akaigeuza taratibu busu hiyo kuwa denda ya hamu ya juu. Alimnyonya midomo mwanaume huyo huku miili yao ikiwa imegandana kwa ukaribu na wote wakihisi namna joto lao lilivyopanda kwa kasi, naye Draxton akakishika kiuno cha mwanamke huyo na kumbana zaidi.

Kulikuwa na kitu tofauti kabisa alichohisi Draxton kutoka kwa mwanamke huyo, ikiwa ni hisia iliyoendelea kuongezeka na kuongezeka tu kadiri walivyozidi kupeana busu. Hakuwahi kudhani angekuja kupata penzi la kiumbe aliye kama yeye, hivyo mhemko wake wa unyama kutokea ndani ulikuwa unamsukuma sana azitoe nguvu zake zote hapo lakini akawa anajizuia ili kutosababisha madhara akipitiliza. Lilikuwa jambo aliloogopa bado, ila kwa sasa angetakiwa tu kujitahidi kuamini kwamba Darla angempa msaada uliokuwa bora zaidi ili awe na uwezo wa kujiendesha vizuri kwenye badiliko lake.

Baada ya denda nzito ya dakika kama mbili hivi, Darla akauachia mdomo wa Draxton na kumwangalia usoni kwa njia fulani yenye ubabe, kama kumwambia kinachofuata ni kizito zaidi hivyo ajiweke tayari. Draxton alikuwa ameshapandwa na joto kali, lakini likaongezeka zaidi baada ya Darla kuilegeza nguo yake nyepesi kifuani, akiishusha kidogo tu kuyafichua matiti yake. Mwanaume akaendelea tu kumtazama Darla kama vile anangoja kupewa ruhusa.

"It's better if you touch them. They are real (Ni vyema zaidi ukiyagusa. Ni halisi)."

Darla akaongea maneno hayo huku akimtazama kwa njia ile ile lakini akitabasamu kwa mbali. Draxton akayatazama tena, naye akapandisha kiganja chake kimoja na kuliminya moja. Darla akapeleka mkono wake sehemu ya kati kwenye bukta ya jamaa iliyotuna haswa, naye Draxton akajawa na mate mdomoni.

"You can compliment a lady you know (Unaweza kumsifia mwanamke unajua)," Darla akamwambia kichokozi.

Draxton akamwangalia machoni, naye akasema, "They are beautiful. You are beautiful (Ni mazuri. Wewe ni mzuri)."

Darla akaonekana kufurahia sana maneno hayo kwa jinsi alivyomwangalia kwa hisia, na kwa sauti ya chini akauliza, "May i? (Ninaweza?)"

"May you what? (Unaweza kufanyaje?)" Draxton akauliza pia.

Mikono laini ya mwanamke huyo ikashuka taratibu na kukamata mashine ya Draxton iliyofichwa buktani, na mwanaume akawa ameelewa alichoombwa. Hakujibu bali kumwacha tu amshike sehemu hiyo, naye Darla akaishusha bukta taratibu na kuifichua silaha imara ya ukombozi ya jamaa. Akaingiza pumzi ndani kwa mdomo kwa njia ya kushtuka kimaringo baada ya kuona namna mtambo ulivyokuwa mkubwa na imara, naye akamwangalia machoni.

"You are going to be an incredible mate (Utakuwa mwenzi mmoja mzuri kupita maelezo)," Darla akaongea kwa njia ya kunong'oneza.

Draxton akazidi kupandwa na mzuka baada ya kusikia kauli hiyo, lakini akajitahidi kuzizuia hisia zake. Darla akashuka chini na kuchuchumaa, lengo lake likuwta kuiimbia, na kuinyonya kama pipi mdomoni. Darla alikuwa ananyonya na kuing'ata-ng'ata kwa meno yake kwa njia iliyosisimua mno, naye Draxton akashindwa kujizuia tena na kumshika mwanamke huyo mabegani. Akamsimamisha juu kwa nguvu, kisha akayavamia matiti yake kwa mdomo na kuanza kuyanyonya pia.

Darla akaanza kuguna-kucheka huku akipindisha mgongo wake kuelekea upande mmoja, na Draxton akairarua nguo yote ya mwanamke huyo na kuitupa pembeni. Darla akawa amebaki mtupu kabisa, mwili wake mweupe sana ukinukia vizuri mno kupandisha zaidi hamu ya Draxton kwake, na mwanaume akaendelea kuyanyonya matiti huku akimsukuma kuelekea kitandani. Darla akakifikia na kujilaza, Draxton akija juu yake, huku miguno ya pumzi ikisikika vyema kutoka kwa mwanamke.

Darla akamvua Draxton T-shirt upesi na kumsaidia kuitoa bukta pia, huku sasa wote wakiwa wamepandisha joto zaidi, na denda ikafuata baada ya wawili hawa kubaki watupu kwa pamoja. Draxton alikuwa anaula ulimi wa Darla huku mikono yake ikicheza na matiti ya mwanamke huyo, akiwa ameshaamua kujitoa kwa hiyo njia ili msaada upatikane, na ndipo akasikia vitu fulani vikimchoma ubavuni.

Akauachia mdomo wa Darla na kumtazama, kukuta mwanamke huyo ametokeza matiti mengine manne. Haya yalikuwa kwa chini kidogo kutoka kwenye yale makubwa, na hayakuwa yamejaa kama hayo. Akabaki kuyaangalia mpaka yalipoanza kufifia tena utadhani yaliishiwa upepo. Akamtazama Darla machoni kama kumwambia hakuwa ametarajia hilo.

“You have a really good tongue (Una ulimi mzuri sana),” Darla akaongea maneno hayo kilegevu.

"You okay? (Uko sawa?)"

“Yeah. I'm actually pretty relieved. Don't stop (Ndiyo. Ninahisi kustareheka kwa kweli. Usiache),” Darla akamwambia.

Mikono yake Darla ikamvuta Draxton kinywani tena ili waendeleze busu yao. Draxton akawa anayatomasa matiti ya mwanamke huyo kwa viganja vyake, na yale mengine yalipotokea akawa anayavuta-vuta. Inaonekana yalimpandisha stimu zaidi mwanamke huyo maana aliacha denda na kuanza kuguna kwa sauti zaidi huku mwili wake ukijigeuza huku na huko.

Draxton alihisi kupenda sana tendo hili bila kuelewa sababu ilikuwa nini, naye akaanza kuinyonya shingo ya Darla na kushuka mpaka kwenye titi la juu na kulibugia. Alipofinya chuchu ya titi dogo zaidi, Darla akashtuka na kutetemeka kwa kuruka-ruka kwa nguvu, naye Draxton akamtazama ili kuona kama alikuwa sawa.

"Mmmm... suckle on it (Mmmm... inyonye)."

Darla aliongea maneno hayo bila kumtazama mwanaume, naye Draxton akaelewa alichomaanisha. Akaifata chuchu iliyomsisimua zaidi mwanamke huyo na kuanza kuinyonya, na alitambua kwamba ilizidi kuvimba alipoendelea. Alikumbuka kuwa Darla alitakiwa kuridhishwa na tendo hili ili dawa ifanye kazi, lakini kwa upande wake Draxton. Ingekuwa ni mtihani kweli ambao hakuwahi kuusomea majibu yake ila kwa sababu alianza kuufanya, angetakiwa tu kuumaliza na kuona matokeo yangekuja vipi maana hakukuwa na namna nyingine.

Kuinyonya chuchu hiyo kulifanya Darla azidishe miguno na migeuko, na ndipo Draxton akaanza kusikia miguno hiyo ikianza kuwa mizito zaidi. Kiukweli yeye mwenyewe alijishangaa kuona kwamba mpaka sasa hakuwa ameingia kwenye badiliko lake la kati ingawa joto lake la mwili lilikaza mno, na alipomwangalia Darla akahisi kwamba mwanamke huyo alielekea kuingia upande wake wa pili.

"Damn, Draxton! You are so talented... bringing out the wolf before we even leave foreplay! (Aisee, Draxton! Una kipaji sana... unataka kumfanya mwitu wangu atoke hata hatujamaliza tomasa ya mwanzo!)" Darla akaongea kwa raha.

Draxton akautazama mwili maridadi wa mwanamke huyo. Kisha akashusha mdomo wake mpaka katikati ya mapaja manono ya mwanamke huyo, naye akaanza kukinyonya kitoweo chake. Kulikuwa na ladha mpya iliyomfanya atake kuendelea kukinyonya na kukimumunya tu kwa hamu, naye Darla akawa anaguna kimahaba na kukishika kichwa cha mwanaume.

Draxton alikuwa anapeleka mambo taratibu kwa kuwa joto la mwili wa Darla liliongezeka na kuongezeka zaidi, naye alitaka kuhakikisha anamfikisha sehemu nzuri kabla ya mengine kuendelea. Lakini....

"It's good from here. Come on, swap places (Kutokea hapa ni vizuri. Haya, tubadilishane sehemu)."

Darla akasema hivyo mwanaume akiwa bado anakula utamu mpya wa kitoweo chake, naye Draxton akaacha kukinyonya na kumtazama machoni. Hakuelewa vizuri mwanamke alikuwa na maana ipi kusema maneno hayo, lakini hapo hapo Darla akamshika na kumgeuzia upande wa pili wa kitanda, akimlaza chali, kisha yeye Darla akaja kwa juu yake akionekana kutaka kumkalia.

"Wait... what are you doing? (Subiri unafanya nini?)" Draxton akauliza.

Darla akaishika mashine ya Draxton na kuuliza, "What do you mean? (Unamaanisha nini?)"

"Am I not the one who should claim you? (Siyo mimi ndiyo natakiwa kukumiliki?)" Draxton akauliza.

Darla akasitisha kutaka kuiingiza mashine ndani ya kitoweo chake na kumwangalia, kisha akauliza, "Where did you get that idea? (Hilo wazo umelitoa wapi?)"

"Mark said so. That's how things are, right? Just like wolves. The male conquers the female? (Mark alisema. Si ndiyo mambo yapo hivyo? Kama tu mbwa-mwitu. Dume ndiyo anammiliki jike?)”

Darla akacheka. "You are right, but then the issues I mentioned earlier. Now we are just infecting you for control. You are gonna get inside of me, and I'm gonna dance you off till you release yourself. But cum quickly before you fully-beast out to make it work... and so we can get the time rolling on when you can “claim” me (Uko sahihi, lakini kuna yale masuala niliyokwambia muda mfupi nyuma. Sasa hivi tunachokifanya ni kukuambukiza kwa ajili ya kujiendesha vyema. Utaniingia, nami nitakuchezea mpaka ujiachie. Ila mwaga upesi kabla hujawa mnyama kikamili ili jambo hili lifanikiwe... na ndiyo tutapata muda mwingi wa kujua ni wakati gani utaweza "kunimiliki")."

"And you think I can keep control in this? (Na unadhani naweza kujiendesha vyema kwa jambo hili?)"

"Yes you can. Up until now you have. Trust yourself (Ndiyo unaweza. Mpaka kufikia sasa hivi umeweza. Jiamini tu)," Darla akamwambia hivyo na kumshika kifuani kwa mikono yote.

Draxton akameza mate na kufumba macho.

Mwanamke akaishika tena mashine imara iliyogoma kulala na kuanza kuitumbukiza kisimani mwake penye joto kali kupitiliza. Draxton alihisi kama anavutwa na maji ya moto mpaka mwisho, kwa kuwa misuli ya Darla ya kitoweo chake iliibana mashine ya jamaa kama inaifyonza mpaka ilipoingia ndani kabisa. Mwanamke huyo akatoa kilio kidogo kama cha mbwa mtoto anayedeka, naye Draxton akakazika zaidi mwilini kwa sababu nguvu zake za upande wa pili zilikuwa zinalazimisha kutoka nje baada ya kuhisi amemwingia mnyama mwenziye.

Darla akaanza kukatika taratibu huku akiguna kwa kuunguruma kwa sauti ya chini, na kiukweli Draxton alipatwa na hisia ambazo hakuwahi kabla kutazamia kuja kuzipata. Ilikuwa kama ameunganishwa na kitu kipya kabisa, kumhisi mwanamke huyo, kuutazama mwili wake, na kusikia sauti zake za miguno kulimpaisha zaidi mwanaume huyu, na ndiyo badiliko lake la kati likamvaa.

Macho yake yakabadilika na kuwa ya blue, nywele zake zikarefuka na kuwa nyeupe, na ngozi ya mwili wake ikaanza kuwa ya kizungu. Darla alihisi namna joto la mwili wake mwenyewe lilivyoongezeka kutokana na nishati kali kutoka kwa Draxton kumwingia zaidi, na kumtazama akibadilika namna hiyo kulimshangaza kiasi.

Hakuwahi kuona mtu-mwitu anayeanza kubadilika mwili akibadilika mpaka ngozi, na kwa kutambua kuwa Draxton aliingia upande wa pili, yeye pia akajiachia. Macho yake yakageuka na kuwa ya njano, nywele, makucha na meno yake yakarefuka, na sehemu za matiti yake zikatokeza manyoya laini ya rangi ya kahawia yaliyopamba kifua chake mpaka kufikia kibofu.

Mnyama-Draxton akataka kutumia nguvu kumgeuza mwanamke huyo ili amtawale na hata kumuumiza, lakini Darla akakikandamiza zaidi kifua cha mwanaume na kuendelea kujisugua katikati yake. Akili ya Draxton ilifunikwa zaidi na hisia za mnyama wake, ambaye alitaka kutenda kinyama kumwelekea Darla, lakini mwanamke huyu akamwinamia zaidi kuelekea uso wake na kutoa sauti ya kuunguruma. Ingeonekana kama amemfokea lakini ilikuwa njia ya kumwambia atulie tu na kujitahidi kuweka akili yake kwa lile lililoendelea hapo, na Mnyama-Draxton kweli akaanza kutulia na kusikilizia kile alichopewa na Darla.

Mwanamke alijua kucheza na mashine hiyo kiukweli. Alifanya hivi na vile, akikatika na kujipiga kwa nguvu katikati hapo, na raha ilipomkolea akawa anamkwangua Draxton kifuani na wote wakiunguruma kama wanyama waliokuwa. Mnyama-Draxton alitaka sana kumgeuza mwanamke huyo ili yeye ndiyo ashike usukani, na Darla akitambua hilo akaendelea kumkandamiza mpaka ahakikishe dawa imemwingia.

Draxton akaanza kuunguruma kwa sauti ya juu zaidi, meno yake yakirefuka zaidi, na macho yake yakizungukwa na like giza la kutisha kwa pembeni huku sura yake ikielekea kubadilika kabisa. Manyoya yakaanza kutokeza mwilini mwake pia, naye Darla akauwahi mdomo wa Draxton na kuanza kumbusu kwa njia ya kung'ata.

Mnyama-Draxton akawa anamkwarua mwanamke huyo kwa makucha yake na kuanza kumshinda nguvu, akitaka kumgeuza kwa lazima, lakini Darla akakomaa tu. Mnyama-Draxton akamng'ata Darla kwa nguvu sana kwenye titi lake, kitu kilichofanya mwanamke huyo alie kwa maumivu na sauti kama ya mbwa. Akamkwangua Draxton usoni kwa makucha pia kama kulipiza kitendo hicho na kuutoa uso wa mwanaume huyo kwake.

Ilianza kuwa kama vurugu maana Draxton aligoma kutulia licha ya jitihada zake Darla za kumpoza, na ndipo Draxton akambana kiuno mwanamke huyo kwa nguvu sana huku akiunguruma kwa mkazo. Darla akaanza kutetemeka nyonga huku akilia kwa sauti nyembamba kama anadeka vile, kwa kuwa alihisi namna mtambo wa ukombozi wa jamaa ulivyomwogesha ndani kwa ndani kwa wimbi zito la moto mno.

Draxton akawa anaunguruma na kisha kuling'ata bega lake Darla, na mwanamke huyo akamng'ata shingoni pia. Wakang'ang'aniana namna hiyo hiyo, na ndipo ghafla Mnyama-Draxton akaliachia bega la Darla na kupiga kichwa kitandani kwa nguvu huku macho yake yakitanuka sana. Darla akamwangalia tu akiwa namna hiyo, kisha akakishika kichwa cha jamaa pale alipoanza kutetemeka.

Ilikuwa ni kama mtu aliyepandwa na pepo. Draxton alianza kuona kama vile yuko ndani ya giza zito, kisha mwanga mweupe ukaanza kulitawala na kumfanya aone kilichokuwa mbele yake. Hapo ndiyo akili yake ikawa imeingia kikamili kwenye badiliko lake la kati! Akawa anapumua kwa nguvu, akihisi kama masikio yake yamezibwa ikiwa ni mikono ya Darla iliyomshika kwenye pande za kichwa chake, naye akatambua kuwa bado mwili wake haukuwa umerudia hali ya kawaida.

"Draxton?"

Sauti tamu ya mwanamke ikamfanya Draxton amwangalie Darla na kuona yuko juu yake, akiwa bado kwenye badiliko lake la kati, na akimtazama kwa umakini. Draxton akaonyesha kutaka kunyanyuka kidogo, hivyo Darla akajitoa kwake na kulalia ubavu karibu naye. Mwanaume akajinyanyua taratibu na kuanza kujitazama. Bado mwili wake ulikuwa mweupe, akihisi kabisa kwamba nguvu za upande wake wa pili zilikuwa zimeutawala mwili wake, na akili yake ndiyo ilikuwa imeshika usukani kuuongoza. Akajishangaa sana na wakati huo huo kuhisi aina fulani ya kitulizo moyoni.

"Draxton?" Darla akaita tena.

Draxton akamwangalia na kuona kwamba Darla alikuwa katikati ya badiliko lake bado, lakini aliweza kuongea. Yeye hakuwahi kuzungumza akiwa namna hii, na kutaka kujaribu kuongea likawa wazo lililompa msisimko kiakili.

"You good? (Uko vizuri?)" Darla akauliza kwa kujali.

Draxton akaendelea kumwangalia tu machoni, kisha akafungua kinywa akionekana kutaka kuzungumza. Darla akamwonyesha kwa macho kwamba anamsubiri aongee, kama kusema 'jaribu kuzungumza.' Draxton akafumba macho yake na kusema, "I'm... good (Niko... vizuri)."

Darla akaachia tabasamu la furaha na kumshika usoni. Draxton akafumbua macho na kumwangalia, akiwa haamini pia kama aliweza kuongea ndani ya badiliko lake la kati.

Kwa kweli inaonekana kufanya mapenzi ndiyo namna ambavyo mambo yote mazuri hutendeka duniani. Draxton alijawa na furaha sana. Kutambua kwamba kama hili la kuendesha badiliko lake la kati liliwezekana basi hata hadi kujiongoza akiwa mnyama kungewezekana, kulimfanya amwangalie Darla kwa shukrani kubwa. Lakini wakati huu, shukrani haikuonekana kutosha.

Kuna kitu kipya kilichomwingia na kufanya amwangalie Darla kwa hisia za... "kumtaka" kabisa. Na alielewa hilo lilisababishwa na yeye kuwa katika badiliko lake pamoja na mwanamke huyo aliyemsaidia kulitawala, na sasa hisia zake zote zikamwelekea yeye. Darla akiwa amefurahi sana kwamba Draxton alifanikiwa, akawa anataka waanze kuongelea mengi zaidi, lakini Draxton akamvutia kwake tena na kuanza kumpiga denda.

Darla aliweza kuhisi furaha ya Draxton kwa busu alizopewa, naye akazirudisha kwa furaha pia. Draxton akavuta paja la mwanamke huyo kwa kulipitisha juu yake ili mashine yake iliyosimama tayari tena imwingie, na Darla akaiihisi pale ilipomchokonoa kwenye kito chake.

"Mm... no Draxton, I can't... (Hapana, Draxton, siwezi...)"

Maneno hayo yalisemwa na Darla kuonyesha asingeweza kuendelea na mahaba hayo kutokana na sababu alizozisema mwanzoni lakini Mnyama-Draxton hakuonekana kutaka kusikiliza.

Akaanza kuiingiza tena mashine ndani ya hekalu la mwanamke, na Darla akaling'ata sikio la Draxton kwa kuhisi raha. Unyama wake Draxton ulikuwa unamsukuma kutaka penzi la Darla zaidi, kama tamaa mpya iliyowaka ndani yake na kumfanya asahau mambo mengine yote. Akaanza kumkuna mrembo-mwitu huyo, naye akawa anainyonya shingo ya bibie na kuyaminya matiti makubwa kwa viganja vyake.

"Ouh Draxton... we need to stop... (Ouh Draxton... tunahitaji kuacha...)" Darla akalalamika.

"You are so tight (Umebana kwelikweli)," Draxton akamsifia huku akiendelea kumsugua taratibu.

"You mean it? (Unamaanisha unachosema?)"

"Yes (Ndiyo)."

"Aahh... I've been abstaining from having seeex... ouh dahh... didn't want my cootch to get loose (Nimekuwa nikijinyima kufanya mapenzi... sikutaka kitoweo changu kianze kutela)."

Draxton akatabasamu na kuendelea kumla mwanamke huyo.

"Oh sss... we can't keep this up... I might... aargh!"

Darla alikuwa anajaribu kusema wanapaswa kuacha kwa kuwa kuna kitu alihisi kinakaribia kutokea, na hata sauti yake iliyozidi kuwa nzito ilionyesha hilo. Draxton akasikia sauti ya shuka likichanika, naye akamwangalia Darla vizuri. Mwili wa mwanamke huyo sasa ulianza kutawaliwa na manyoya zaidi, na mkono wa Draxton ulioshika kiuno cha Darla ukahisi mkia unaanza kutokeza. Macho ya Darla yakazama zaidi kuwa na mng'aro wa njano, akiibuka kuwa mnyama mwitu taratibu.

Ikabidi Draxton ajitoe ndani yake na kujitoa kitandani, naye akabaki kumtazama. Kwa macho ya unyama, Draxton alipendezwa sana kumwona Darla namna hiyo, hata hamu yake kumwelekea ikaongezeka. Darla akawa anajitahidi kutuliza hisia zake, na kweli manyoya na mkia vikaanza kupungua huku sasa akijilaza chali na kujinyanyua mgongo kiasi.

"I'm sorry (Samahani)," Draxton akasema.

Darla akageuza kichwa na kumtazama kwa macho yake makali, kisha akasema, "it's okay. This is pleasureable to an extent. You've made me look much foward to having all of you (Haina shida. Hii inaridhisha kwa kadiri fulani. Umenifanya nitazamie kwa hamu zaidi kupata vyote kutoka kwako)."

“Does the pleasure force the change? (Hiyo raha ya mahaba huwa inalazimisha badiliko?)” Draxton akamuuliza.

“No, it doesn’t. You see, when you are a human-wolf, sex is even better. Becoming the beast in the middle of sex ups the pleasure tenfold, if not more. So I initiate the change, only because I want that pleasure (Hapana, haiko hivyo. Ni kwamba, ukiwa mwanadamu-mwitu, mahaba yanakuwa bora zaidi. Kugeuka kuwa mnyama katikati ya tendo inazipandisha raha mara kumi, kama si zaidi ya hapo. Kwa hiyo mimi ndiyo nalianzisha badiliko, ila tu kwa sababu nakuwa naitaka hiyo raha)," Darla akamwambia.

“Oh, so if you didn’t initiate it... you could still have an orgasm? (Ah, kwa hiyo endapo kama hungelianzisha badiliko... ungeweza kufikia mshindo?)"

“Yes, but not a very good one (Ndiyo, lakini si mzuri sana).”

Draxton akamwangalia kwa utulivu akijaribu kumwelewa zaidi, na mwili wa Darla ukaanza kurudia hali yake ya kawaida kabisa. Hata zile sehemu alizokwanguliwa na kung'atwa zikaonekana kuponyeka ingawa taratibu mno. Draxton akajitahidi kuziachia nguvu zake pia, yaani kuzipunguza, na mwili wake ukarudia hali ya kawaida. Darla alikuwa anaangalia jinsi ngozi ya mwanaume huyo ilivyobadilika na kuwa nyeusi, akiwa bado amestaajabishwa na jambo hilo. Mwanaume akajitazama huku akitabasamu, kisha akamwangalia Darla.

"Should I get you... something to wear? (Vipi, napaswa... kukupa nguo uvae?)" Draxton akauliza.

"No. I like it more being naked (Hapana. Napenda zaidi kukaa uchi)," Darla akajibu.

Draxton alikuwa ameanza tena kuingiwa na hali ya kutopendezwa na kile alichotoka kufanya na mwanamke huyo ingawa alikuwa amemsaidia, hasa pale tu wazo la mpenzi wake wa Tanzania lilipoingia ubongoni. Tayari alikuwa amekubali maisha haya mapya, lakini ingekuwa kwa kipindi kifupi tu, na alihitaji kuhakikisha kwamba hata nini kitokee, Darla angetakiwa kuelewa kuwa yeye Draxton alikuwa wa mtu mwingine.

Darla, akiwa amelala namna ile ile bado, akamnyooshea mkono na kusema, "Come close to me (Njoo karibu yangu)."

Draxton akamfata, akiushika mkono wake, naye Darla akamvutia kwake kwa nguvu. Mwanaume akadondokea kitandani karibu naye, harufu tamu ya mwili wa Darla ikiendelea kumvutia sana jamaa, naye Darla akawa amelalia ubavu sasa na kuanza kukibusu taratibu kifua cha mwanaume huku Draxton akimwangalia tu.

"I'm really hot for you (Nimepandisha joto sana kwa ajili yako)," Darla akamwambia na kuendelea kumbusu.

"Thank you (Asante)," Draxton akasema.

Darla akamwangalia machoni na kuuliza, "For what? (Kwa ajili gani?)"

"For your help (Kwa msaada wako)."

"It's only the beginning. I think we'll have plenty to thank each other for, right? (Ndiyo mwanzo tu. Nafikiri tutakuwa na mengi zaidi ya kupeana shukrani, sivyo?)"

"I suppose we will (Naona tutakuwa nayo)," Draxton akasema.

Darla akatabasamu.

"So where are you from? (Kwa hiyo wewe unatokea wapi?)" Draxton akauliza.

Kidole cha Darla kilikuwa kimeanza kuzungukia kifuani kwake Draxton, lakini akakisimamisha baada ya swali hilo kuulizwa.

“Why are you asking? (Kwa nini unauliza?)” Darla akamuuliza.

“Well, you said I was your mate. If I am, shouldn’t we learn about each other? (Ulisema mimi ni mwenzi wako. Kama ni hivyo, si tunatakiwa kujua mambo baina yetu?)” Draxton akamwambia.

Ukimya uliofuata ulifanya chumba kionekane kutokuwa na watu kabisa. Darla akaendelea tu kumtazama, kisha akaangalia kifuani kwa Draxton na kumfanya jamaa awaze kwamba kuna jambo alikuwa anafichwa na mwanamke huyo.

“Yes I am. But I don’t want to tell you about myself until you fully merge with your change (Ndiyo kuna kitu naficha. Lakini sitaki kukwambia kujihusu mpaka uweze kujiunga kikamili na badiliko lako),” Darla akasema.

Draxton akaelewa kwamba mwanamke huyo aliyasikia mawazo yake kwake, naye akauliza, “Why not? (Kwa nini usiniambie?)”

"Don't push it (Usinisukume sana)," Darla akamwambia.

"Okay. But you could tell me what a bigot and a rapist was doing in your house the other night, right? (Sawa. Lakini si unaweza kuniambia mtu mbaya na mbakaji alikuwa anafanya nini nyumbani kwako ule usiku, siyo?)"

"He was a dangerous guy, raping little girls and giving them money or threatening them so they don't say anything. He would lure them to an abandoned inn nearby and do such things without anybody noticing, but I always heard their agony cries, and it really bothered me. I told Mark about him, but I guess that was too low in his important to-do list. But I can't blame him since he took off for two weeks after I told him, now I get to find you (Yule alikuwa mtu hatari, aliyebaka wasichana wadogo na kuwapa pesa au vitisho ili wasiseme lolote. Angewarubuni kuingia ndani ya nyumba ya wageni iliyoachwa hapo karibu na kufanya vitendo hivyo bila yeyote kutambua, lakini sikuzote nilivisikia vilio vyao vya maumivu, na ilinisumbua sana. Nilimwambia Mark kumhusu lakini nadhani kwenye orodha yake ya mambo muhimu ya kufanya suala hilo lilikuwa chini sana. Ila siwezi kumlaumu maana aliondoka kwa wiki mbili baada ya kuwa nimemwambia, sasa hivi nimeelewa alikuwa amekufata wewe)," Darla akaelezea.

"Was that man from around here? (Huyo mwanaume alikuwa wa maeneo haya?)" Draxton akauliza.

"No. When I succeeded in luring him to come in my house, I teased him a lot, and he opened up about how much profit he was making for a slug boss by selling underaged women in big slay houses, equivalent to child trafficking. I was... looking for the right way to expose his deeds to the police, but then that night he just pissed the hell out of me... I lost it completely and snapped at him (Hapana. Nilipofanikiwa kumrubuni aje kwangu, nilimchezea sana, na akafunguka kuhusu namna alivyokuwa anatengeneza faida kubwa kwa mwajiri haramu kwa kuwauza wanawake walio na umri mdogo kwenye madangulo, kitu kifananacho na usafirishaji wa watoto. Nilikuwa.. natafuta njia sahihi ya kufichua mabaya yake kwa maaskari, ila usiku huo alinikera kupita maelezo... nikashindwa kujizuia na kumalizia hasira zote kwake)."

"What made you snap? (Nini kilikukasirisha mpaka kupitiliza?)"

"Him constantly whining about why I hadn't given him sex and kept teasing for a week. He crossed the line by insulting my mother (Ni ile kulalamika kwake kwa nini sikuwa nimefanya naye mapenzi na kukaa nikimchezea tu kwa wiki nzima. Alivuka mstari baada ya kunitukania mama yangu)," Darla akaongea kwa njia ya hasira kiasi.

Draxton akashusha pumzi na kuanza kutembeza vidole vyake kwenye nywele laini za mwanamke huyo.

Darla akamwangalia na kumwambia, "Being a human-wolf isn’t easy Draxton. I live in human society. An extremely dangerous prospect for my kind. I have to be extra careful of my nature and it is easy to slip over the line. So you get there are things which are just... worth leaving out, after they occur (Kuwa mwanadamu-mwitu si rahisi Draxton. Ninaishi kwenye jamii ya wanadamu. Ni sakata lenye hatari kubwa sana kwa jamii yangu. Ninapaswa kuwa makini zaidi kutokana na asili yangu na huwa ni rahisi kuanguka mara kwa mara. Kwa hiyo unapaswa tu kuelewa kuwa kuna vitu... ni vya kuachana navyo tu, vikishatokea)."

Draxton akasema, "Yeah. I understand completely (Ndiyo. Ninaelewa kabisa)."

Darla akamtazama kwa hisia na kusema, "I really like this. A long time has passed since I last cuddled with anyone (Ninapenda sana hii. Ni muda mrefu umepita tokea mara ya mwisho nimejikumbatisha kwa mtu namna hii)."

"Is this cuddling? (Huku ndiyo kujikumbatisha?)"

"Close enough (Inakaribiana)," Darla akasema.

Draxton akaachia tabasamu hafifu.

Wakaendelea kutazamana, kisha mwanaume akauliza, "Since I can now control my center part of the change, what's gonna come next? (Sasa kwa kuwa nimeweza kujiendesha vyema kwenye badiliko langu la kati, nini kitafuata?)"

"Mark will help you know the way to connect with your spirit. He's more into that stuff thankfully. When you succeed, we'll mate till you change (Mark atakusaidia kujua namna ya kujiunganisha na roho yako. Uzuri yeye anajua mengi kuhusu hayo masuala. Ukishafanikiwa, tutapeana mapenzi hadi ubadilike)."

Draxton akatulia kidogo baada ya kutambua bado mtihani haukuwa umeisha, naye akauliza, “How long will this take? (Hii itachukua muda gani?)"

“Depends. A day to a month (Inategemea. Labda siku moja mpaka mwezi)," Darla akamwambia.

“Well, what can I expect? (Sasa nitegemee nini?)”

“Pain and hunger. Especially hunger. Make sure you eat lots of meat, it will help (Maumivu na njaa. Hasa njaa. Hakikisha unakula nyama nyingi sana, itasaidia),” Darla akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa.

"Okay. I gotta run. Ed and Gia shouldn't come back to find me covered in your scent (Sawa. Nahitaji kwenda. Ed na Gia hawapaswi kurudi na kunikuta nimejawa na harufu yako)," Darla akasema.

"I thought you said... (Lakini si ulisema...)"

"You don't reek like a wolf yes, but you do got a normal human scent, and it's all over me. Gotta rinse it off (Ndiyo, hautoi harufu ya mbwa-mwitu, lakini unayo harufu ya kawaida ya kibinadamu, na yote imenijaa mwilini. Nahitaji kwenda kuiondoa)," Darla akaeleza.

Draxton akamwangalia machoni kwa njia iliyoonyesha ameelewa.

Darla akajiinua na kuweka pozi kama anataka kutambaa, uso wake ukiwa karibu na wa Draxton, naye akambusu mdomoni mara moja lakini akiung'ang'ania kwa sekunde chache. Kisha akajitoa kitandani na kuanza kuelekea dirishani, Draxton akimwangalia tu.

Mwili wa mwanamke huyo ulimvutia sana jamaa kiasi kwamba akajikuta ameamsha mtambo bila kupenda, naye Darla akalifungua dirisha kisha kumgeukia na kutabasamu baada ya kuona msala aliomwamshia mwanaume kitandani hapo. Draxton akawa anamtazama kuanzia miguuni, mapajani, tumboni, kifuani, mpaka kufikia usoni, na kwa kuhisi uajabu kiasi akaamua kuilaza kwa pembeni mashine yake iliyogoma kusinzia.

Darla akajilamba midomo na kusema, “I like that just having me on display made you hard again. Don't worry. You'll get it all soon enough (Napenda namna ambavyo kuniona tu hivi kumekufanya uwe mgumu tena. Usijali. Utayapata yote hivi karibuni)."

Draxton akamwangalia na kuona jinsi gani mwanamke huyo alijiamini sana, akiwa anaihalalisha kauli yake kwamba yeye kama mwanamke anajua anachokitaka na haogopi kupiga hatua kukipata. Darla akageuka na kuruka kutoka dirishani, na mwanaume akaenda hapo kulifunga. Aliweza kumwona akiingia kwenye nyumba yake kupitia kule nyuma penye bwawa la kuogelea, naye akafunga dirisha na kurudi kitandani.

Shuka lililokuwepo hapo lilichanika vibaya na hata godoro kuonekana limetoboka sehemu na sehemu, naye Draxton akaokota bukta yake na kuivaa. Akakaa kitandani na kuweka kiganja chake usoni, akiwaza zaidi kuhusu hali iliyokuwa hapo.

Alijiuliza ikiwa ingefaa kuongea na Namouih kuhusiana na kila kitu kilichoendelea, hasa kwa sababu alitaka uhusiano wao ujengwe zaidi kwenye msingi wa uaminifu. Lakini kiujumla, hali yake ya unyama isingeruhusu kamwe neno "uaminifu" lizunguke maisha yake, kwa sababu hata kama angefanya nini, kwake hicho ni kitu ambacho kilikuwa mbali sana kufikia. Moyo wake bado ulikuwa sehemu moja tu, lakini maisha yake yalihitaji mwili wake uwe sehemu nyingi sana, na alielewa hilo lingeathiri afya yake ya kihisia kwa njia nzito zenye mikazo mingi mbeleni.

Akajitupia kitandani kwa kuhisi uchovu mwingi, akifikiria kumtafuta Namouih kesho kama kitu cha kwanza kabisa kufanya, na usingizi ukawa umempitia.


★★★


Draxton akajikuta yupo nje usiku, akiwa haelewi alifikaje sehemu aliyokuwa. Ilikuwa kama amesimama barabarani eneo lisilokuwa na kitu cha aina yoyote isipokuwa yeye tu kusimama hapo. Kuna sauti za kukurukakara zikavuta umakini wa Draxton ndani ya giza la usiku huo lililopewa mwanga hafifu sana wa mwezi wenye umbo la ndizi angani. Sauti hizo zikazidi kuwa nzito, na sasa ikawa ni kama kuna vitu vinaburuzwa chini vyenye kutoa mikwaruzo kama masufuria au vyuma vizito. Draxton akawa anaangaza huku na huko akitafuta chanzo cha sauti hizo, naye akaambulia utupu tu.

Akaamua kuanza kutembea barabarani hapo, akijaribu kutafuta jibu la ni nini kilchokuwa kinaendelea. Baada ya kutembea mwendo mfupi tu, ikawa wazi kwake kwamba kuna kitu kilikuwa kinamfatilia. Bado sauti ile ya miburuzo iliendelea kusikika, na kwa sasa angeweza hata kukisia ilikuwa inatokea wapi lakini alipuuzia suala hilo kutokana na uzito wa jambo lililomfata kwa nyuma kuonekana kuwa mbaya sana.

Akageuka nyuma kwa mara nyingine na kuona jinsi giza lilivyoendelea kumnyemelea kwa nyuma, ikiwa ni kama taa zote za eneo hilo zilizimika ghafla. Akaamua kusimama na kupaangalia huko kwa ujasiri. Ndani ya giza hilo, aliweza kuona mng'aro wa macho mekundu yakiwa yanamtazama. Haikuwa kawaida kwa Draxton kuogopeshwa na kitu kama hicho, lakini macho hayo yalimtia hofu iliyopitisha mtetemo fulani mwilini mwake. Yalitisha mno, na bila kufikiri sana, akageuka na kuanza kukimbia.

Sauti ya mbwa-mwitu anaelia kwa nguvu ikasikika, naye Draxton akaendelea kukimbia mpaka alipofika sehemu yenye mlango mpana wa chuma. Akajaribu kuvuta vishikio vinene vya shaba hapo lakini haukufunguka. Akapita sehemu hiyo na kuendeleza mbio zake, huku akitambua kuwa giza lile liliendelea kutawala nyuma yake, na bila shaka kilichomfata hakikuwa kimemwacha.

Kila mlango aliokutana nao uligoma kufunguka alipoujaribu, na sasa ilikuwa ni kama ameiacha barabara na kufika kwenye eneo lililo kama bandari kubwa au eneo la ujenzi wa majengo ya kisasa; haikueleweka kiusahihi. Kilichojalisha kwake ilikuwa ni kujiokoa, naye akaendelea kutafuta sehemu ya kujifichia. Akatoka sehemu yenye uzio la nyaya ngumu, naye akaliruka na kuingia upande wake wa pili akitafuta sehemu ya kujikinga. Sauti ile kama ya kilio cha mbwa-mwitu ikaendelea kumfata, ikionekana kuwa na mmiliki mwenye nia ya kumkamata kwa hali na mali zote.

Draxton akafanikiwa kuona vitu kama makontena ya chuma lakini yenye maumbo ya duara, yakiwa yamepangana na yenye ukubwa wa kutosha kumruhusu aingie kwa ndani. Bila kuchelewa, akaingia ndani ya kontena moja na kutambaa mpaka sehemu iliyoonekana kuwa katikati, naye akatulia hapo, kukiwa na giza pia, na yeye akijitahidi kupumua kwa utaratibu. Hakujua ni kwa nini lakini hisia alizokuwa nazo wakati huu zilimfanya ajione kuwa kama mvulana mdogo sana mwenye hofu kuu baada ya kupotea.

Ukimya uliofuata ukamfanya atulie zaidi, ikiwa ni kama sauti pekee aliyosikia ni ya pumzi zake pamoja na mapigo yake ya moyo. Kisha akasikia muungurumo wa chini kutokea kwenye giza la sehemu ya mbele aliyotazama, na yale macho mekundu yenye kutisha yakaonekana kutokeza na kuanza kumkaribia.

Draxton akaanza kujirudisha nyuma, akiwa ameingiwa na hofu kama mwanzo, na macho hayo hayakuacha kumtazama kikatili na kuendelea kumkaribia. Kisha vitu kama mikono au miguu yenye manyoya na makucha marefu yakaonekana kumsogelea pia, na kwa kasi kubwa yakamrukia lakini yakaishia kuigusa tu miguu yake mwanzoni. Draxton alikuwa amefika mwisho kabisa wa kontena hilo, na akiwa hana sehemu ya kutorokea akawa anayaangalia tu macho hayo huku akipumua kwa nguvu.

Ilikuwa ni kama jitu hilo lililomfata lilikwama, nalo likaanza kuunguruma kwa hasira sana na kumuumiza Draxton masikioni, huku likijitahidi kunyanyua makucha yake na kuyaelekeza mbele zaidi ili yamkamate. Yaliweza kumfikia Draxton sehemu ya usoni na kumkwangua vibaya, naye akawa anaguna kwa maumivu huku akijibana zaidi mwishoni hapo, na ndipo sauti fulani ikaita jina lake mara mbili...

"Draxton.... Draxton...."

Draxton akashtuka kiasi na kufumbua macho yake, kukuta alikuwa kitandani, na hiyo yote ilikuwa ni ndoto.

“Are you okay Draxton? (Uko sawa Draxton?)"

Sauti hiyo nzuri ilikuwa ndiyo ile ile iliyoita jina lake akiwa kwenye hofu nzito ndani ya ndoto ile, na mmiliki wake hakuwa mwingine ila Darla mwenyewe, mwanamke mrembo na mnyama mwitu kwa wakati mmoja.

Kuna maumivu ndani ya mwili wa Draxton yaliyopita kwa kasi sana alipokuwa anataka kutoa jibu, naye akajinyanyua na kukaa kitandani hapo huku akijihisi mzito mno. Alikuwa anatokwa na jasho kwa wingi, akiwa kifua wazi, naye Darla aliketi kitandani pia huku akimtazama kwa kujali. Palikuwa pamekucha tayari, na kumbukumbu ya matukio ya usiku wa jana ikamrudia mwanaume. Hata shuka lililochanwa kwa makucha ya Darla bado lilikuwa kitandani.

"I'm okay (Niko sawa)," Draxton akajibu kwa sauti ya chini.

"You were having a nightmare, weren't you? (Ulikuwa ukiota ndoto mbaya, siyo?)" Darla akauliza.

"Yeah," Draxton akajibu huku ametazama pembeni.

"It must have been an awful experience. You’re covered in sweat (Itakuwa ni hali mbaya sana uliyopitia. Umejaa jasho)," Darla akasema hivyo.

Akamsogelea karibu zaidi, kisha akainamisha kichwa chake kumwelekea Draxton na kuanza kumlamba shingoni, akilinyonya jasho la mwanaume hapo. Kidogo hii ilimtekenya Draxton, naye akawa anamwangalia tu. Mwanamke huyu alikuwa amevalia sweta jepesi la rangi ya kijivu pamoja na suruali laini nyeupe, na nywele zake zilibanwa kwa nyuma kama kawaida. Alikuwa anailamba shingo ya Draxton kwa njia ya kimahaba kabisa, akimpa mwanaume huyo hisia nzuri zisizoepukika, kisha akaacha kufanya hivyo na kumwangalia usoni kwa upendo.

Draxton akawa anamwangalia kwa njia ya kawaida tu, naye Darla akaishika shingo ya jamaa akiwa karibu na uso wake.

“So what were you dreaming about? (Kwa hiyo ulikuwa unaota kuhusu nini?)” Darla akauliza kwa ukaribu.

"Some kind of a... an animal... chasing me (Kama mnyama fulani.. akinikimbiza)," Draxton akajibu.

"A wolf? (Mbwa-mwitu?)"

"I think so... I'm not sure (Nadhani... ila sina uhakika)," Draxton akamwambia.

“Tell me about it (Nielezee ilivyokuwa).”

Baada ya Darla kusema hivyo, kweli Draxton akaeleza namna ambavyo ndoto ile iliyohofisha ilivyokuwa. Darla alikuwa ameweka umakini wa hali ya juu wakati huu, naye Draxton akawa amemaliza kumwambia jinsi ilivyokuwa kidogo tu akamatwe na kuumizwa vibaya kwenye ndoto hiyo. Darla akabaki kutafakari mambo hayo, naye Draxton akatoka kitandani na kufata kaushi yake ili avae.

"That's how it was (Ndiyo ilikuwa hivyo)," Draxton akasema huku akianza kuvaa kaushi yake.

"So when the animal with glowy-red eyes started giving chase, you ran? (Kwa hiyo huyo mnyama mwenye macho mekundu alipoanza kukufukuza, ukakimbia?),” Darla akauliza.

“Yes. Wouldn’t you? (Ndiyo. Wewe haungekimbia?)”

"I would have, but it’s the wrong choice (Ningekimbia, lakini huo ni uamuzi usiofaa)."

"Why? (Kwa Nini?)"

Darla akabaki kumtazama machoni tu.

"Is this something I should be worried about? (Hiki ni kitu ambacho kinapaswa kunipa msongo sana?)" Draxton akauliza.

"I'm not really into this spritual-wolf stuff like how my brother is, so maybe an in-depth explanation from him will clear things up a lot better (Sijajiingiza sana kwenye haya masuala ya kiroho kwa unyama wetu kama kaka yangu, kwa hiyo labda maelezo ya ndani zaidi kutoka kwake yatakupa mwanga mzuri zaidi)," Darla akamwambia.

"Tell me what you know. Normally I would just shrug off a bad dream whenever they got me in the past, but this one... I don't know why but the chills are still there (Niambie unachojua. Kikawaida hata zamani nilipoota ndoto mbaya ningezipuzia kirahisi tu ila hii... sijui ni kwa nini tu lakini bado inanitetemesha)," Draxton akasema.

“Well, for one, you have to fight the wolf in your dream and win. Don't run. It's a contest of will. Hopefully, you will have another chance (Kwa upande wa mmoja, unatakiwa upambane na huyo mnyama wa kwenye ndoto yako na ushinde. Usikimbie. Ni kama shindano la nia. Kimatumaini tu, utapata nafasi nyingine)."

“Why do I want one? (Naihitaji hiyo nafasi ili iweje?)"

“You’ll die without it (Utakufa kama usipoipata).”

Kauli hiyo ikamwacha Draxton anamwangalia usoni kwa umakini, naye Darla akaangalia pembeni akiwa anaonekana kama amefadhaika.

Katika hali ya kawaida tu, alielewa kwamba mwanamke huyo aliwazia kuhusu usalama wa mwenzi wake ndani ya mambo yote yaliyohusika katika sakata lake la kuwa kiongozi wao mkuu wa kundi lote la watu-mwitu, bila kujua kwamba kihalisi hakukuwa na njia yoyote ile ambayo ingeweza kumuua Draxton. Draxton mwenyewe hakuwa amewaambia Darla na Mark undani wa jambo hilo kwa kuwa yeye mwenyewe hakulielewa vizuri, na kwa sababu kulikuwa na mengi yaliyohitajika kutimizwa, alipaswa tu kuendelea kuwajibika na kila Jambo lililomhitaji kufanya hivyo ili aweke vitu vyote sawa.

Darla akamwambia kwamba alikuwa ameandaa chai sebuleni kwa ajili yake hivyo waende kupata kiamsha kinywa pamoja, naye Draxton akiwa bado anatafakari mambo aliyoambiwa akakubali na kumwomba bibie atangulie ili ajisafishe uso, kisha naye angefata. Lakini pia akauliza ikiwa Mark alirejea, na Darla akasema hakuwa amerejea bado. Edmond na Gianna walirudi saa kumi na moja alfajiri baada ya kutoka kunywa na kuserebuka hivyo kwa wakati huu walikuwa wamepiga usingizi bado, kwa hiyo Darla akamsihi awahi kujisafisha ili wakanywe chai hapo pamoja, kisha angeondoka na kuja kuonana naye baadaye. Mwanaume akakubali, na upesi akaingia bafuni kujiweka sawa kimwili.

Alipokuwa bafuni, alianza kupatwa na maumivu sehemu za mbavu zake, yaliyoanza kuwa kama vichomi tu na kisha kuongezeka zaidi. Aliumia sana, akihisi kama vile mbavu zake zilikuwa zinajikunja-kunja ndani kwa ndani, na kwa dakika mbili hivi za maumivu hayo akajitahidi kujikaza mpaka yalipoanza kufifia na kukoma.

Moja kwa moja akaelewa hiyo ilihusiana na badiliko lake, kama tu ambavyo Darla alikuwa amemweka wazi juu ya mambo aliyopaswa kutarajia baada ya kumwambukiza usiku uliopita, kwa hiyo akajisawazisha tu na kisha akaenda kujiunga na Darla bila kusema lolote kuhusu maumivu hayo, huku bado suala la ndoto ile likiendelea kuzunguka kichwani kwake. Mitihani ambayo angepitia ndiyo ilikuwa imeanza tu, na mizito zaidi ilikuwa njiani kumfikia.



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SABA

★★★★★★★★★★★★★★


Muda mfupi baadaye, Darla akawa amerudi kwake baada ya kupata kiamsha kinywa pamoja na Draxton. Mwanaume alikuwa amempa shukrani ya dhati kwa kumtendea wema mwingi kutokea usiku wa kuamkia asubuhi hii, na Darla akaahidi ni mengi mazuri sana aliyotaka kuja kushiriki pamoja naye.

Ilikuwa imeshafika saa sita mchana Draxton alipowasiliana na Mark, ambaye alimjulisha kuwa mambo mengi yalimbana hospitalini hivyo ratiba yake ya kurudi haikupangilika vyema, lakini alifurahi kujua kwamba Darla aliweza kumpatia Draxton msaada wa mwanzo. Sasa angetakiwa tu kumsubiri arejee ili wapige hatua zinazofuata. Draxton akawa amejaribu kumtafuta Namouih pia, lakini kwa sababu fulani akawa hampati. Aliwaza sana juu yake, hivyo akajitahidi kumtafuta mara kwa mara bila kufanikiwa. Akaona atulie kwanza mpaka baadaye ili aweze kumtafuta tena.

Wakati wanakunywa chai pamoja na Darla, Draxton aliongelea suala la uwezo wa mwanamke huyo kusikia mawazo yake, akiuliza kwa nini yeye hakuweza kuyasikia mawazo ya Darla. Mwanamke akawa amemwambia inaonekana uwezo huo kwa upande wake Draxton ungemhitaji awe amefanikiwa kuunganisha akili yake na upande wake wa unyama kikamili, kwa hiyo bila shaka kuutumia ingewezekana baada muda. Yeye mwenyewe Darla hakuyasikia mawazo YOTE ya Draxton, na alionelea sababu kuwa hiyo aliyomwambia.

Hakukuwa na mambo mengi sana ya kufanya hapo, na kiukweli Draxton aliendelea kupatwa na maumivu na uchovu fulani uliomlemea mno bila kuelewa tatizo lilikuwa wapi. Angepatwa na kizunguzungu, viungo kuuma, na hata kuanza kuona maruerue tu kama vile alikuwa ananyemelewa na ugonjwa. Akawaza labda hiyo ilisababishwa na suala zima la "kuambukizwa" na Darla usiku uliopita, naye akaamua kunywa dawa ya kutuliza maumivu ya kichwa kisha akaenda kulala.

Darla alikuwa amembadilishia tandiko kitandani, hivyo akajitupia tu. Alidhani kwa kunywa dawa za kupunguza maumivu basi angepata ahueni na kupumzika kidogo, lakini maumivu yake ndiyo yakazidi kuongezeka. Aliumia balaa. Karibia kila kiungo mwilini kwake kiliuma utadhani alikuwa amepigwa na marungu, naye akawa anajikunja na kujigeuza kitandani hapo kwa muda mrefu sana. Hakuwa hata na wazo tena la kusema anyanyuke, na bila kutambua, akawa amepoteza fahamu kabisa ndani ya giza zito lililomwingia machoni lililokuja kwa njia ya usingizi tu.

★★

Draxton akafumbua macho yake na kujikuta ndani ya hali iliyomfanya atambue kwamba alikuwa akiota. Alisimama kwenye eneo lenye giza, ikionekana kuwa katikati ya barabara, na sauti fulani ya vyuma vilivyoburuzwa ikaanza kusikika. Moja kati ya zile ndoto ambazo mtu anakuwa kwenye utambuzi kuwa anaota, hasa kwa kuwa na hii ilianza kwa ufanani wa ile aliyoota usiku, Draxton akaendelea kusimama tu sehemu hiyo akisikilizia hali. Ilijitengeneza kabisa kama ile ndoto iliyomhofisha mpaka akamsimulia Darla, kwa kuwa ndani ya giza zito lililomzunguka aliweza kuyaona macho yale mekundu yenye kutisha yakimtazama kutokea umbali fulani, lakini wakati huu hakukimbia.

Kufumba kufumbua macho meno makali sana ya kinywa kipana yakawa yamefika karibu kabisa na uso wake, nayo yalitaka kukirarua kichwa chake chote lakini akawa amerudi nyuma kwa kasi na kuangukia mgongo wake. Aliponyanyua uso wake kutazama kilichokuwa kikijaribu kumdhuru, akapata sasa kuona mnyama mkubwa sana, akiwa anafanana na mbwa-mwitu mwenye manyoya meusi. Alionekana kuwa na hasira kali sana ya kutaka kumrarua, naye Draxton akajitahidi kunyanyuka na kupiga goti moja chini.

"Back for a second round, huh? I don’t suppose there's another pleasant way to settle this out, is there? (Umerudi kwa ajili ya raundi ya pili, eh? Sidhani kama kuna njia nyingine nzuri ya kusuluhisha hili tofauti na hii, ama ipo?)" Draxton akamsemesha mnyama huyo kwa ujasiri.

Mnyama huyo akatoa muungurumo mkali sana, kisha akamrukia Draxton na kuanza kumrarua kwa meno yake makali! Alikuwa anamtafuna na kunyofoa viungo vya Draxton, na maumivu kwenye mwili wa mwanaume huyu yakakata kabisa baada ya jambo hilo kufanya ionekane kwamba alikuwa amepoteza maisha. Kufa kwake ndani ya ndoto kungefanya afe kihalisi kabisa, lakini kitu ambacho hakikujulikana kilichoendelea kumpa maisha Draxton hata baada ya "kufa," kikafanya mwanaume huyu afumbue macho yake tena!

Wakati huu, viungo vya mwili wake vilikuwa vimeachanishwa na hata utumbo wake na damu nyingi sana kutapakaa sehemu hiyo, na mnyama huyo mwenye kutisha akawa ametulia hapo hapo akiutazama. Kufumbuka kwa macho ya Draxton kulikuwa kwa njia ya pili, yaani sasa macho yake yalikuwa ya blue, na papo hapo sehemu ndogo ya mwili wake ukafyatuka kutoka chini na kuchukua umbo jipya ghafla sana, lililoongezeka ukubwa zaidi na kugeuka kuwa mnyama mwitu mkubwa pia kama ilivyokuwa kawaida yake.

Mnyama-Draxton akatua chini kwa kishindo kikuu, naye akatoa muungurumo mkali pia kumwelekea yule mwitu mweusi, ambaye kwa kiasi fulani alikuwa ameshangazwa na jambo hilo, lakini naye akamuungurumia kibabe. Kisha wanyama hawa wakafatana kwa kasi zote walizokuwa nazo. Sasa ikawa ni pambano lenye ngazi zenye usawa. Mbwa-mwitu kwa mbwa-mwitu. Mweupe na mweusi. Ndani ya ndoto ambayo ingekuwa na athari nyingi kwenye uhalisia.

Mbwa-mwitu wa Draxton hakuwa tena na akili ya kibinadamu, alipigana kwa ukatili wa kinyama na kumtia maumivu mengi sana mwitu yule mweusi na hata kumkwangua vibaya jichoni, kitu kilichofanya abaki kuona kwa jicho moja jekundu. Mwitu mweusi akaunguruma kwa hasira sana na kumfata ili amwangushe, lakini mbwa-mwitu mweupe akakwepa na kuivuta miguu ya nyuma ya adui yake, akisababisha kuikatiza kasi aliyopitiliza nayo, kisha akaung'ata mkia wake na kuuvuta kwa nguvu huku akizunguka na kisha kuuachia, na hivyo mwitu mweusi akarushwa hewani na kuangukia chini kwa kishindo kilichomfanya apate taabu kunyanyuka.

Mnyama-Draxton akatoa pumzi nzito akiwa na hasira zake bado, naye akaanza kumfata chini hapo ili akammalize kabisa, lakini mwitu huyo akatoa sauti ya kicheko kama mwanaume kabisa, na Mnyama-Draxton akasimama kwanza alipokuwa amemkaribia kidogo.

“Very good... young one (Vizuri sana... kijana mdogo).”

Sauti hiyo ikanena hivyo, kutoka kwa hiyo huyo mwitu mweusi aliyedondoshwa. Akili ya mnyama wa Draxton ikaanza kufanya kazi kama ya mwanadamu, na kufumba na kufumbua akajitazama mwilini na kukuta akiwa ndani ya umbo lake la kawaida kama mtu. Akamtazama mnyama huyo gizani hapo, ambaye alianza kunyanyuka na kumgeukia ili watazamane, jicho moja likiwa limekwanguliwa vile vile.

"Impressive (Imependeza sana)," sauti hiyo kutoka kwa mnyama huyo ikasikika, lakini mdomo wake haukujongea hata kidogo.

“You can talk? (Unaweza kuongea?)" Draxton akauliza.

"I'm not talking. I'm communicating with you. You just hear me in your mind (Sizungumzi. Ninawasiliana nawe. Unanisikia tu kupitia akili yako)," sauti hiyo ikasema.

Draxton akaendelea kumwangalia tu.

"You fought well young one. Do you know why you fight? (Umepambana vyema kijana mdogo. Unajua ni kwa nini unapambana?)"

"To win? (Ili kushinda?)"

"Winning was against you if it wasn't for you not being able to die. It's something different when it comes to you (Isingekuwa rahisi kwako kushinda endapo kama usingekuwa na uwezo wa kutoweza kufa. Ni kitu tofauti tu inapokuhusu wewe)."

"Can you tell me? What did my father do that made me this way? (Unaweza kuniambia? Ni jambo gani ambalo baba yangu alifanya mpaka nikawa namna hii?)"

"The answer to that is out of my knowledge young one. I only grant you the will to become what you are supposed to be. And you are. You showed fear once, and now bravery. Its the way weakness and strength work, and you have proven that by defeating me you are worthy of becoming a leader to your kind. Our kind (Jibu la swali hilo liko nje ya ujuzi wangu kijana mdogo. Mimi ninakupatia tu nia ya kuwa kile ambacho unatakiwa kuwa. Na ni wewe ndiye unayetakiwa. Ulionyesha woga mwanzoni, na sasa ujasiri. Ndiyo njia ambayo udhaifu na nguvu hufanya kazi, na umethibitisha kwamba kwa kunishinda mimi unastahili kuwa kiongozi wa viumbe wa aina yako. Aina zetu)."

Draxton akabaki kimya na kuendelea kumtazama mnyama huyo.

"Draxton, I deem you worthy to become the Alpha. A child of the man-wolves and a god to your kind. With my gift, I bestow upon you leadership. Use your wisdom and strength to be a powerful and respected wolf. Your mate is also a gift, do not spurn her! (Draxton, ninakuthibitisha sasa kwamba unastahili kuwa Alpha. Mwana wa watu-mwitu na mungu kwa watu wa aina yako. Kwa zawadi niliyonayo, ninakupatia uongozi juu yako. Tumia busara na uwezo wako kuwa mbwa-mwitu mwenye nguvu na anayeheshimika sana kati ya wote. Mwenzi wako pia ni zawadi, usije kumtenda vibaya!)"

Draxton akawa amebaki kumwangalia tu, akiwa ameshangazwa kiasi na haya yote, naye akamuuliza, “Who are you? (Wewe ni nani?)"

“I am a purified wolf spirit. One who tests the male bloodlines and gives guidance to create balance. This won’t be the last time we see each other... young one (Mimi ni roho iliyosafishwa ya mbwa-mwitu. Mimi hupima vizazi vya madume na kutoa mwongozo ili kutengeneza mhimili mzuri. Hii haitakuwa mara ya mwisho tunaonana... kijana mdogo)," sauti hiyo ikamwambia.

Umbo la mnyama huyo mweusi lilikuwa linafifia alipokuwa anasema maneno hayo, naye Draxton bado akawa amechanganywa.

"Wolf spirit? Where... where do you come from? How is any of this possib... hey wait... I have questions... (Roho ya mbwa-mwitu? Wapi... unatokea wapi? Haya yote yanawezekanaj... subiri kwanza... nina maswali...)"

Draxton akawa anajaribu kuukimbilia mfifio wa mnyama huyo huku akiendelea kumwomba asubiri, na ndipo akashtuka kutoka kwenye ndoto hiyo na kunyanyuka kwa kasi huku akisema, "Wait!"

Akajikuta akiwa kitandani bado, naye akawa anapumua kwa nguvu kana kwamba kweli alikuwa ametoka kukimbiza mtu. Akatazama hali iliyokuwepo wakati huu na kutambua tayari ilikuwa imeshafika jioni, na wakati huu alihisi hali ya kawaida kabisa mwilini mwake. Hakukuwa na maumivu makali tena, ingawa ni kama yalihisika kwa mbali sana.

Akajipa utulivu wa kiakili kutokana na ndoto hiyo iliyomjia kwa mara nyingine, zamu hii ikiwa imekwenda tofauti na mwanzo. Bado alikuwa anajiuliza mengi, na kumkimbiza mnyama yule ndotoni ilikuwa ni ili apate majibu ila akamkosa. Lakini kwa kuwa aliahidi wangekutana tena, subira ilikuwa lazima, na yeye alikuwa amefurahi tu kwamba angalau zamu hii aliweza kumtandika ingawa ilikuwa ndotoni; ndoto yenye mambo mengi ya uhalisi.

Baada ya kutazama muda na kukuta ni saa kumi na mbili jioni, akaamua kwenda kujimwagia maji kwanza, kisha akavaa nguo nyepesi na kutoka ndani ya nyumba hiyo. Alitaka kuangalia mazingira ya eneo la mtaa wote kuzungukia nyumba zao kwa sababu aliboeka kukaa ndani tu kwa muda mrefu sana, na pia ilionekana Darla alikuwa amepumzika bado hivyo yeye akaanza kutembea mdogo mdogo tu kwenye barabara kupitia pembezoni mwake.

Kulikuwa na njia nyingi za kupita kuzungukia maeneo ya mitaa hiyo waliyoishi. Karibu na eneo la nyumba ambayo Mark na Draxton waliishi kulikuwa na miti iliyopangana kuelekea sehemu moja, na kila nyumba za mtaa huo zilikingwa na miti mirefu ya aina hiyo hiyo iliyowekwa kwa njia zenye mpangilio maalumu wenye kuvutia. Ilikuwa ni kama eneo lenye msitu mrefu lakini uliopendezeshwa kwa makazi hayo ya watu waliojenga nyumba kwa mtindo mzuri uliofaa kuishi vyema kijamii.

Draxton akawa anatembea taratibu kuzungukia sehemu yenye miti mingi, ambako palikuwa ni umbali wa dakika chache tu kutoka pale alipokaa. Alikuwa ametoka ili kuisafisha akili yake kidogo kutokana na mambo mengi aliyohitajika kufanya huku, na upepo mwanana kuzungukia eneo hilo ulichangamsha mwili wake na kuipa akili yake amani ya kadiri. Kuna sekunde chache ambazo yale maumivu yangehisika mwilini mwake, na kila mara ambayo angesimama yangefifia, kisha angeendelea kusonga taratibu.

Sasa akawa anapita usawa wa barabara kuu ya mitaa hiyo, lakini akiwa bado ndani ya upande wenye miti zaidi, naye akawa anapishana na wanawake kadhaa weupe waliofanya mazoezi ya kukimbia. Walikuwa wamevalia nguo za mazoezi zenye kubana, wakionekana kuwa wa moto balaa, na wengi wao wangempita Draxton huku wakimtazama kwa macho yenye upendezi kutokana na mwonekano wake mzuri sana wa kiume.

Akiwa bado anatembea, Draxton akasikia sauti ikimwita kutokea nyuma, naye akageuka na kuweza kumwona Edmond akiwa anakuja upande wake. Draxton akaendelea kusimama na kumngoja. Mwanaume huyo alikuwa anakimbia taratibu, akiwa kifua wazi kabisa, huku kaptura fupi ya michezo iliyomsitiri kwa chini ndiyo ikiwa kitu pekee alichovaa kwa kuwa hata miguuni alikuwa peku. Alikuwa na mwili imara uliojengeka vyema kabisa kama tu wa Draxton. Akamfikia Draxton karibu, nao wakaanza kutembea pamoja.

"Hey man. Nice day, isn't it? (Vipi kaka. Siku nzuri leo, au siyo?)” Edmond akaongea.

Draxton akawa anakumbuka namna ambavyo mwanaume huyu alimtendea mara ya kwanza walipokutana, ilikuwa kwa njia ya kirafiki na si ukali wa mnyama kama Gianna. Hata wakati huu ilikuwa hivyo, na salamu yake ilitengeneza hali ya kirafiki zaidi. Alionekana kuwa na utu mzuri, lakini kwa kuwa Mark alimwonya kumhusu, hiyo ilimaanisha angetakiwa kutenda kulingana na hali ili kuweka mazingira mazuri zaidi baina yao. Alielewa fika kwamba haingekuwa rahisi kwa hawa watu-mwitu wengine kumkubali haraka, kwa hiyo bado angetakiwa kuwaonyesha subira ili awasaidie ipasavyo, na njia nzuri ya kufanikisha hilo ni kwa kuweka mahusiano mazuri pamoja nao kabla hata ya wao kujua yeye ni nani.

“Yeah, it's a beautiful day. I hope the weather holds. I saw a forecast on a rain possibility tomorrow (Ndiyo, ni siku nzuri. Natumaini hali ya hewa itakaa kama jinsi ilivyo. Niliona utabiri wa mvua kunyesha kama kitu kinachowezekana kwa kesho)," Draxton akawa amemjibu.

"Eah, nice town, nice weather, nice girls. Like the ones that just ran by. Woo... they smell delicious! Don't they just make you wanna bite? (Ndiyo, mji mzuri, hali ya hewa nzuri, wasichana wazuri. Kama hao waliopita sasa hivi. Yaani wananukia utamu! Hivi hawakufanyi utake kuwang'ata kidogo?)" Edmond akamwambia.

Draxton akamtazama usoni.

"Oh lighten up, am kidding. But for real, human meat is very delicious (Oh usiwe hivyo, natania tu. Lakini kiukweli kabisa, nyama ya mtu ni tamu sana)," Edmond akasema.

"Thanks for letting me know (Asante kunifahamisha)," Draxton akaongea kwa utulivu, akiwa anakisia kwamba mwanaume huyo alikuwa anataka kusema kitu fulani kutokana na utani huo.

“Ok, cool. So Drax, we should talk (Basi poa. Kwa hiyo Drax, tunatakiwa kuzungumza).”

“About? (Kuhusu?)”

“I know about you and Darla (Najua kinachoendelea baina yako na Darla)."

Maneno hayo ya Edmond yakamfanya Draxton asitishe kutembea, na wote wakasimama na kutazamana nyusoni.

“Relax man. Nobody's saying anything and I take it that's for some big ass reason that made Mark drag us down here, but I got common sense. I could smell your human scent all over her. She got rid of it, but the interesting part is why. If you were just a normal dweeb and she f(.....) you, you wouldn't be here right now. Mark is definitely working on something that involves you, hence the high secrecy, and I think I just figured out what it is (Tulia mwanaume. Hakuna mtu anayesema jambo lolote na ninachukulia hiyo kuwa kwa sababu fulani kubwa iliyofanya Mark atulete huku, ila nina akili ya kuzaliwa. Niliweza kuivuta harufu yako ya kibinadamu kwa Darla. Aliweza kuiondoa, lakini jambo linalosisimua ni kwa nini afanye hivyo. Kama ungekuwa mpuuzi wa kawaida tu halafu akafanya mapenzi na wewe, usingekuwa hai sasa hivi. Bila shaka Mark anafanyia kazi jambo Fulani muhimu linalokuhusisha wewe, ndiyo maana linafichwa sana, na nafikiri nimeshatambua ni nini)," Edmond akamwambia.

"What do you know? (Umejua nini?)"

"I know who are... that is... what you are (Najua wewe ni nani... yaani... wewe ni nini)."

“What are you going to do about it? (Utafanya nini kuhusiana na jambo hilo?)"

"They tell you to lay low, huh? Pretty smart. Honestly dude, I’m just waiting on you (Wamekwambia ujiweke chini kwanza, eti? Ni jambo la hekima. Mimi kiukweli ninakusubiria tu mwanangu).”

“Me? (Mimi?)” Draxton akauliza.

Nyusi za Edmond zikakunjamana kuonyesha ameshangaa kiasi kuulizwa hivyo.

“She didn’t tell you, huh? (Hajakwambia, siyo?)” Edmond akauliza.

“Not much (Siyo mengi).”

“I’d tell you to do some research, but there isn’t much hope there (Ningekwambia ufanye utafiti, lakini hapo hakuna matumaini mengi).”

“So why not kill me? (Basi kwa nini usiniue tu?)”

Edmond akacheka kidogo, kile kicheko laini cha kutoka moyoni kilichofanya hali hiyo iwe tulivu zaidi.

“Why, for superiority? (Kwa ajili ya ukuu?)" Edmond akauliza.

"If that's what it's about (Kama ndiyo sababu yake)," Draxton akasema.

"What did you think it was about? (Wewe ulidhani ni kwa sababu gani?)"

"I'm not sure. Wolf ego? (Sina uhakika. Labda kwa ajili ya kiburi cha unyama wetu?)"

Edmond akacheka kidogo tena, kisha akasema, "Look man, I could if I wanted to. But you’re the only hope we got (Ona, ningekuua kama ningetaka. Lakini wewe ndiyo tumaini letu pekee tulilobakiza)."

Draxton akawa anamwangalia tu kwa umakini.

"It's obvious your thing is a secret for now, and don't worry, its safe with me. But... you should be very careful when it comes to Gianna. I may be okay with it, but that little blonde will not be. Finish whatever it is you have to do so even she won't look at you as weak (Ni wazi suala lako ni siri kwa sasa, na ondoa shaka, litakuwa salama na mimi. Lakini... unapaswa uwe makini sana inapokuja kwa Gianna. Hii inaweza ikawa kitu ambacho niko poa nacho lakini huyo mwanamke mdogo mwenye nywele nyeupe hatapenda. Maliza tu unayotakiwa kuyafanya ili hata yeye asikuchukulie kuwa dhaifu)," Edmond akashauri.

Draxton akaangalia chini na kusema, “So much is so new to me. Sometimes I feel weak (Mengi ni mapya kwangu. Muda mwingine najihisi dhaifu).”

“Its okay to feel that way, but don't show it, especially because you gotta be stronger (Ni sawa kuhisi hivyo, lakini usilionyeshe hilo, hasa kwa kuwa unatakiwa kuwa imara zaidi)," Edmond akamwambia.

Draxton akamtazama usoni.

"Take care of Darla too. She deserves it after the hell we’ve been
through (Mtunze Darla pia. Anastahili sana hilo hasa baada ya mambo mengi mabaya sana tuliyopitia)," Edmond akasema hivyo, kisha akaanza tena kutembea.

Draxton naye akaanza kutembea, halafu akauliza, "What have you been through? (Mmepitia nini?)”

“She hasn’t told you a thing, huh? I wonder why (Hajakwambia lolote, eti? Nawaza ni kwa nini).”

"She said she'll tell me after I fully change to become what I'm supposed to be (Alisema angeniambia hayo baada ya mimi kubadilika kuwa ninachotakiwa kuwa)."

“Or IF you fully change? I guess she doesn’t want to attach in case you die (Au IKIWA utabadilika kabisa? Nadhani hataki kujitoa kwako kwa asilimia zote endapo ikatokea umekufa).”

Draxton akaendelea kumfuata, akijua akilini mwake kwamba suala la "kufa" lilikuwa mbali na mfumo wake wote wa maisha, lakini bado ni jambo ambalo hakutaka kugusia kwa mtu mwingine. Wanawake kadhaa tena wenye kufanya mazoezi ya kukimbia wakapita usawa wa barabara, wakiwa wanamwangalia zaidi Edmond, naye akawapa tabasamu la kujivuna.

Edmond akaendelea kusema, "I don't know what your deal is Draxton, but ya really gotta work it fast. There are many things unknown to you it seems, so maybe just earn that shit quick and be of help to us (Sijui jambo lako linahusisha vitu gani, lakini unatakiwa uharakishe mambo. Inaonekana kama kuna mengi haufahamu, kwa hiyo labda tu unapaswa kuyamiliki upesi ili uwe msaada kwetu haraka)."

“So have you wondered... why me? (Kwa hiyo umeshajiuliza kwa nini imekuwa mimi?)" Draxton akamuuliza.

“I don't know. It could have been anyone dude. Darla chose you for her own reasons. I'll follow what she thinks is right (Sijui. Ingekuwa mtu yeyote tu. Lakini Darla amekuchagua wewe kwa sababu zake. Mimi nitafata tu kile anachofikiria kuwa sahihi)," Edmond akasema.

"You are okay with it being me because of Darla? (Umeridhia mimi kuwa nachopaswa kuwa kwa sababu ya Darla?)"

"Yes (Ndiyo)."

“Why? (Kwa nini?)”

Edmond akasimama na kumgeukia, naye Draxton akasimama pia. “Its because Darla has lost more than any person I know. She deserves a chance at being happy. And that chance is you... from what it seems (Ni kwa sababu Darla amepoteza mengi sana kuliko mtu yeyote nayemfahamu. Anastahili kupata nafasi ya kuwa na furaha. Na hiyo nafasi ni wewe... kwa jinsi inavyoonekana)."

Edmond aliongea maneno hayo kwa njia yenye uzito iliyoonyesha hisia za undani zaidi, naye Draxton akawa anayatafakari maneno hayo japo hakujua kiundani ni mambo yapi ambayo Darla alikuwa amepitia.

"I'm going hunting. You should get your ass back in the house, Your Majesty (Naenda kuwinda. Rudisha tako lako nyumbani, mheshimiwa mkuu)," Edmond akasema hivyo kiutani.

Draxton akatoa tabasamu hafifu, naye Edmond akaanza kukimbia kwa kasi sana na kutokomea mitini.

Kulikuwa na mambo mengi sana yaliyoendelea kumweka Draxton ndani ya wakati mgumu kimtazamo, kwa sababu bila kutarajia, mambo aliyokutana nayo huku yalimhitaji ajitoe kwa njia ambayo ingeathiri yale aliyoyaacha Tanzania kwa muda huu. Hapa Darla alihusika kwa mengi kuliko namna ambavyo ilionekana, na Draxton akawa anataka kuchimba ndani zaidi ya maisha ya mwanamke yule ili aelewe ni kwa nini yeye kutakiwa kuwa kiongozi wa watu-mwitu ilihusiana naye Darla.

Ilikuwa ngumu sana kurudi nyuma, kwa maana hapa alipokuwa alihitajika hata zaidi ya alivyodhani. Alitamani sana kama haya yote yangekuwa rahisi tu ili awahi kurudi kwa Namouih, lakini subira, busara, hekima, na utambuzi, ni mambo ambayo angetakiwa kujipa kwa kiwango cha hali ya juu ili atoke huku akiwa na amani ya akili.


★★★★★


TANZANIA


Baada ya Draxton kuwa ameondoka, Namouih kweli alikuwa amefuata ushauri wake wa kwenda kukaa sehemu ile ambayo mwanaume alikuwa amepangishwa vyumba, pamoja na mama yake na mdogo wake. Alikatisha makazi ya muda mfupi kwenye hoteli aliyokuwa amechukua chumba, na sasa angekaa hapo kwa Draxton kwa miezi yote iliyokuwa imebaki aliyolipia mwanaume huyo.

Kwa sababu zilikuwa zimepita siku kadhaa baada ya Efraim Donald kufa, aliendelea kutafutwa, na Namouih alikuwa akiandamwa sana na pande nyingi zilizotaka kujua ikiwa alifahamu wapi mume wake alikwenda na kwa nini hakupatikana. Marafiki zake Efraim, watu aliofanya nao kazi, wafanyakazi wake kwenye kampuni, na ndugu zake, walitaka sana kujua ukweli wa kupotea kwake, lakini hawakupata majibu yenye kuridhisha.

Sababu ilikuwa pia kwamba, ni kipindi hiki hiki baada ya Efraim Donald kutoweka ndiyo ambacho Namouih alikuwa amechukua hatua rasmi ya kukatisha kifungo chake cha ndoa pamoja na mwanaume huyo kwa kuomba talaka, lakini ilikuwa talaka ambayo yeye mwenyewe angeilipia. Yaani alitumia uchochezi wake akiwa kama mwanasheria kupitisha kwa uhalali talaka ambayo ingemfanya ajitoe katika ndoa hiyo hata kama Efraim Donald angekuwa amekataa kumpatia. Kwa hiyo ni lazima tu maswali mengi sana yangemzingira kila kona kuuliza ni kwa nini mume wake atoweke ghafla tu katika kipindi hicho hicho Namouih alipotaka kuachana naye.

Halima, mama yake Efraim Donald, alimtafuta Namouih na kutaka aelezwe kwa nini mwanaye hakupatikana, na talaka hiyo ilisababishwa na nini wakati ni siku chache tu zilikuwa zimepita tokea walipojumuika pamoja kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Namouih, na wanandoa hao walionekana kuwa na furaha. Namouih alijihisi vibaya sana moyoni kwa sababu hakujua ni jinsi gani alitakiwa kumweleza ukweli mama huyo.

Ikabidi amwambie tu kwamba kuzungumza kwenye simu isingetosha, bali wangetakiwa kuonana ana kwa ana ili aweke kila kitu wazi. Hakutaka kukimbia wajibu aliotakiwa kuubeba wa kumjulisha mzazi wa mwanaume huyo kilichomkuta mwana wake. Kwa hiyo wakawa wamepanga kwamba wangekutana jijini hapo hapo ili wazungumze, na Namouih hata akamtumia nauli ya kumleta Halima jijini ili waonane.


★★★


Siku mbili baada ya Draxton kuwa ameondoka, Namouih akawa amefanikiwa kuwasiliana naye, nao wakajulishana hali zilizokuwa zikiendelea kuwazunguka baada ya kutengana kwao kwa muda mfupi. Ndiyo wakati ambao Draxton alipendekeza kuwasiliana naye kwa kutumia Zoom, naye Namouih akamwambia ingekuwa sawa kutumia njia hiyo japo aliiona kuwa na kusudi lingine maalumu.

Draxton alipomwambia kwamba mambo ya huko Marekani ndiyo yalikuwa yameanza kuchukua sura mpya zaidi kwake, Namouih alitaka kumweleza kuhusu namna ambavyo alisakamwa sana na wengi, kuanzia jamii mpaka maaskari, katika suala zima la kumtafuta Efraim Donald, lakini akaona asimwambie kwanza ili kutomchanganya. Ndiyo kati ya "kuta" nyingi alizotaka azivunje akiwa karibu na mpenzi wake, lakini kwa sababu kwa muda huu alikuwa mbali kimajukumu zaidi akaamua kutompa mzigo mwingine wa kufikiria kubeba.

Kufikia siku ya tatu, Sasha alikuwa ameweza kutembea mwenyewe kabisa baada ya kutoka hospitali, na Namouih akaanza kumtoa kimatembezi pamoja na mama yake ili kuuchangamsha zaidi mwili wake baada ya wiki mbili sasa kuwa zimepita toka alipoumizwa na Efraim Donald. Alipomtoa kutembea siku hii, alikuwa ameamua kumpeleka kwa Salome ili wakamtembelee kwa kuwa mwanamke huyo alitaka wafurahie mlo pamoja, na pia alitaka Namouih, Sasha na mama yake wakae kwake kwa siku chache.

Salome alikuwa rafiki mzuri sana kwa Namouih. Kutokea wakati ule ambao Namouih alipitia shida, aliyekuwa msichana wake wa kazi, yaani Esma, aliishi kwa Salome kama msaidizi wa kikazi pia kwa wiki hizi mbili baada ya Namouih kumwomba Salome ampatie hifadhi ya muda. Kwa hiyo watatu hao walipofika kwake Salome, walipokelewa vyema sana. Esma na Sasha walipatana vizuri mno kwa kuwa walijenga urafiki mzuri kipindi cha nyuma, na Zakia akajihisi yuko nyumbani kutokana na namna alivyotendewa kwa upendo.

Imefika mida ya kupumzika kwa kila mmoja, Namouih na Salome wakakaa pamoja sehemu ya nje ili kuzungumza huku wakinywa kidogo, lakini Namouih hakuwa akinywa kileo bali juisi tu.

"Kwa hiyo akakwambia uache kunywa bia?" Salome akauliza, wakiwa wanamwongelea Draxton.

"Ndiyo. Nisinywe, nisifanye kazi sana, nile nyama nyingi, na mengine mengi tu," Namouih akasema.

"Kuna kipindi hata me nilikuwa naona kunywa wakati wa ujauzito haifai, ila ushaona wadada na akili zao siku hizi? Wameshahalalisha mpaka kulewa wakati wa mimba," Salome akasema.

"Na ndiyo maana wanazalisha taifa linaloyumba tu," Namouih akasema kiutani.

Salome akacheka kidogo.

"Ila kwenye kula nyama yuko sahihi. Yaani kila mara nahisi kutaka kula nyama tu. Niiamkie asubuhi, mchana, jioni, eh! Ni unyama ulio ndani yangu," Namouih akasema huku akijishika tumbo.

"Hahah... na wewe utakuwa wolf-mama," Salome akamwambia.

"Yaani, sijui tu itakuwaje..."

"Bado mambo uliyoniambia niiliona hayawezekani, ila leo ndiyo Zakia kanisimulia nikasema khe! Dunia ina mambo hii. Efraim na Draxton wamenishangaza sana."

"Ndo' hivyo rafiki yangu. Ni maajabu extra..."

"Lakini kuanzia wakati huu najua kila kitu kitakuwa kwenye mstari ulionyooka. Draxton atarudi kabla hujajifungua, si ndiyo?"

"Ndiyo. Ila kwa sasa hivi nawaza tu kuhusu kesho..."

"Kuna nini?" Salome akauliza.

Namouih akashusha pumzi na kusema, "Mama yake Efraim anakuja kesho."

"Oooh... Halima! Eh... eheh... umepanga kumwambia nini?"

"Ukweli."

"Wote?"

Namouih akatikisa kichwa kukubali.

"Kuwa mwangalifu Namouih. Kuna mambo unapaswa kuchambua kabla ya kuongea naye ili usiseme mambo asiyotakiwa kujua. Hauwezi kuwa na uhakika atachukuliaje suala zima lililopelekea kifo cha mwanaye... anaweza asiamini na kukulaumu wewe," Salome akasema.

"Uko sahihi. Namaanisha tu kwamba... chochote atakachotaka kujua nitamwambia. Aniamini, asiniamini, itakuwa ni juu yake. Hata akitaka kunipeleka mahakamani tutaenda..."

"Usiongee bila kujali Namouih. Alichokutendea Efraim najua kilikuumiza, kwa hiyo nakuomba tu umweleze mama yake ukweli lakini siyo kwa njia itakayokuumiza zaidi..."

"Niumie mara ngapi ili uone kwamba niko imara? Usiwaze kwamba nitaumia Salome, hata nini kije, niko tayari kukabiliana nacho. Efraim si huyo hapo chini? Pamoja na kutumia mpaka nguvu za giza lakini mbona nimemshinda?"

"Ni kweli, sikupingi. Lakini umeshawaza bila Draxton kuwa nawe siku hiyo, nini kingetokea? Ungeweza vipi kumshinda?" Salome akauliza.

Namouih akamwangalia kwa ufikirio, naye akauliza, "Unataka kusema nini?"

"Usijiamini kupita kiasi. Draxton hayupo nawe kwa sasa. Huwezi jua Halima atachukuliaje suala hili. Je kama alikuwa anafahamu ushetani wa mwanaye? You never know, unaweza ukakutana naye halafu yakazuka mengine. Nasisitiza unahitaji kuwa mwangalifu," Salome akamsihi.

Namouih akaangalia chini kiasi, naye akasema, "Uko sahihi. Siwezi kuwa na uhakika mambo yatakuwa sawa kisa tu Efraim hayupo tena. Lakini Halima... sidhani sana... ila... ni kweli, nitahitaji kuwa care. Ungenishaurije zaidi?"

"Kwa nini usiende na mtu mwingine ukikutana naye? Ningekwenda nawe sema kesho nahitajika sana kazini," Salome akamwambia.

"Okay. Nitamwomba mama twende pamoja. Hata sikuwa nimemwambia kama naonana na Halima kesho," Namouih akasema.

"Eeeh, itakuwa vizuri. Mmepanga kukutania wapi kwani?" Salome akauliza.

Namouih akamwambia sehemu hiyo, kwamba baada ya kufika kwa Halima, angempokea na kwenda pamoja naye huko kisha ndiyo wangeongea mengi. Kiukweli, Namouih alikuwa na wasiwasi sana moyoni kuhusu namna ambavyo mama yake Efraim angechukulia suala hilo lote japo alitaka kufanya ionekane kama hajali sana. Alijua Halima angekuja huku na kukutana na maumivu mengi mno, hivyo alitakiwa kujiandaa vizuri pia kwa itikio lolote lile ambalo mama-mkwe wake angerudisha baada ya kupata taarifa za kifo cha mwanaye.

Akamshukuru tu rafiki yake kwa kuendelea kuwa mshauri mzuri sana kwake kutokana na namna alivyomjali.Kwa siku hii, Draxton hakuwa amemtafuta Namouih na mwanamke huyu na kwa busara Namouih alikuwa amemwacha tu akiwaza labda ni shauri ya mambo mengi, hivyo baada ya kumaliza kupatana kwa ufupi nje hapo, wanawake hawa wakaingia ndani na kwenda kujipumzisha pia.



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★


WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA NANE

★★★★★★★★★★★★★★


MAREKANI


Mwanaume hakuchukua muda mrefu sana kurejea pale kwenye nyumba ya Mark baada ya kutembea kidogo mpaka akawa amekutana na Edmond. Kwa muda ule ambao Namouih na rafiki yake Salome kule Tanzania ndiyo walikwenda kulala, huku alipokuwa ndiyo giza lilikuwa linaingia, na kufikia wakati alipoingia ndani ya nyumba hiyo tayari giza lilikuwa limeshatawala anga lote.

Mambo yaliyokuwa akilini mwake yaliongezewa wingi baada ya mazungumzo mafupi aliyofanya pamoja na Edmond muda mfupi nyuma, lakini kwa muda huu akawaza kufanya jambo lingine muhimu kwanza. Kupika. Ni kweli kabisa alichosema Darla kuhusu njaa ambayo angehisi, kwa sababu sasa alikuwa na hamu ya kula iliyopitiliza, hivyo kabla ya mengine kufata angeanza kwanza kula.

Akaelekea sehemu ya jikoni ili ajiandalie chakula, na hamu yake ilikuwa kwenye kula nyama zaidi ya kitu kingine. Akafungua friji ndogo ya hapo na kukuta vyakula mbalimbali vilivyosindikwa humo. Akaona mfuko mkubwa uliokuwa na nyama kwa ndani, naye akautoa na kuufungua. Kulikuwa na hamu fulani ndani yake iliyomsukuma kutaka kuila ikiwa hivyo hivyo mbichi, lakini akajidhibiti ili aitengeneze vizuri na kula kama mtu wa kawaida.

Akatafuta vyombo alivyohitaji, naye akaanza kuitengeneza kwa kuichemsha kisha kuikaanga, kwa njia ya kawaida kabisa kama ambavyo angefanya mara zote alipokuwa Tanzania. Ilinukia vizuri mno, naye akawa anawaza kwamba ingekuwa poa sana kama Namouih angekuwepo ili aweze kumlisha mapishi yake, lakini ndani ya harufu hiyo nzuri kukaanza kuwa na harufu nyingine tofauti aliyoivuta, na upesi akawa ametambua ni ya nani.

“Darla. Gosh, make a sound would you (Darla. Jamani, uwe unatoa hata sauti basi),” Draxton akasema, akiwa bado anaiangalia na kuigeuza nyama.

Ni kweli ilikuwa Darla. Alisimama mwanzoni mwa sehemu ya kuingilia hapo alipokuwa Draxton kwa kuiegamia, akiwa amevalia kigauni cha rangi ya dhahabu kilichoyaacha mapaja yake wazi, na nywele zake aliziachia pia na kuzilaza mgongoni, huku akimwangalia jamaa kwa njia ya kawaida.

"That is not my thing. Besides, I know you can sniff me a mile away (Hiyo siyo kitu yangu. Kwa upande mwingine, najua unaweza kuninusa hata maili ya mbali)," Darla akasema.

Draxton akatabasamu na kumwangalia, kisha akasema, "The sweet smell of meat called you here, right? (Harufu tamu ya nyama ndiyo imekufanya uje, siyo?)"

"No. It's just you (Hapana. Ni wewe tu)," Darla akamwambia hivyo.

Wawili hawa wakatazamana kwa ufupi, kisha Draxton akauliza, “You want a steak? (Unataka nyama?)”

"Yes (Ndiyo),” Darla akajibu huku akimwangalia jamaa kwa umakini, kisha akaelekea upande wenye masofa.

Draxton akaanza kupakua nyama ile, akiwa ametambua kwamba Darla alionekana kuwa na aina fulani ya mfadhaiko, kisha akaziweka kwenye sahani pana na kwenda kuketi pamoja naye. Akamuuliza ikiwa angependa kinywaji, naye Darla akamwambia bila shaka. Mwanaume akaenda kuchukua chupa ya kinywaji aina ya Moscato, kisha akarudi nayo pale Darla alipokaa. Tayari mwanamke huyo alikuwa ameanza kula nyama mbili tatu, naye Draxton akakaa pembeni yake baada ya kuiweka chupa mezani.

“I didn’t know you could cook (Sikujua unaweza kupika)," Darla akasema huku akitafuna.

“It’s a hobby (Ni jambo nalopenda sana)," Draxton akasema huku naye akianza kula.

"It's really good. Who taught you to cook? (Ni tamu sana. Nani alikufundisha kupika?)"

"My mother (Mama yangu)."

Darla akamtazama usoni na kuona hisia zaidi kwa mwanaume huyo alipomsema tu mama yake, naye Draxton akamwangalia machoni. Kisha Darla akaivuta chupa ya kinywaji na kuanza kufungua kizibo chake, kama tu champagne lakini ikiwa na kizibo cha mbao.

"Would you like a glass? (Ungependa nikupe glasi?)," Draxton akamuuliza.

Darla akamtikisia kichwa kukubali.

Draxton akamfatia glasi moja, na aliporudi akakuta Darla akiwa anakula zile nyama kama mnyama. Kulikuwa hadi na uma pamoja na kisu cha kukatia nyama hapo, lakini mwanamke huyo alikuwa amechukua kipande kikubwa kwa mikono yake na kunyafua kwa fujo na hamu kubwa. Draxton akakaa tena na kuendelea kumwangalia huku akitabasamu kwa mbali.

Darla alipoona jamaa anamwangalia, akasitisha kutafuna na kuuliza, "What?" huku mashavu yake yakiwa yametuna.

Draxton akacheka kidogo, kisha akasema, "Nothing. I uh... I took you for a lady (Hamna kitu. Nili... nilikuchukulia kama mwanamke mstaarabu)."

Darla akameza na kusema, "It's fun when you eat this way (Inaburudisha ukila kwa njia hii)."

"Ahahah... I know (Najua)."

Wote wakaendelea kula, naye Darla akajiwekea wine kwenye glasi na kuanza kunywa taratibu.

"So, is everything okay with you? (Kwa hiyo, kila kitu kiko sawa kwako wewe?)" Draxton akamuuliza.

"Me? Yeah, everything is great. Why do you ask? (Mimi? Ndiyo, kila kitu kiko vizuri. Kwa nini unauliza?)" Darla akamuuliza.

Draxton, akiwa anakumbuka vizuri mazungumzo yake na Edmond awali, akasema, "No big reason. I just thought you were a little down when we was in the kitchen (Hakuna sababu kubwa. Nilidhani tu umeshuka kihisia muda ule tupo jikoni)."

Darla akatabasamu kwa njia yenye kuonyesha haya kiasi, naye akamwambia, "It's nothing. I guess I just missed you today (Siyo kitu. Nadhani nilikukosa tu leo)."

Draxton akamtazama machoni na kuona jinsi Darla alivyomwangalia kwa hisia, naye akasema, "I saw the wolf in my dream again (Nilimwona yule mbwa-mwitu kwenye ndoto yangu tena)."

Uso wa Darla ukageuka kuwa makini zaidi, naye akauliza, "And? (Na?)"

"He talked to me (Alinisemesha)," Draxton akamwambia.

Darla akatabasamu kwa mbali lakini akiwa ameingiwa na msisimko mwingi, naye akasema, "Okay. So what happened? What did he tell you? (Sawa. Kwa hiyo nini kikatokea? Alikwambia nini?)"

“He said a bunch of many things I didn't really understand. Enjoy the change mostly, which I will tell you what a sarcastic bastard. I’ve been in pain all day (Alisema mambo mengi sana ambayo sikuelewa. Ni kama aliniambia nifurahie hili badiliko sanasana, na nitakwambia jinsi gani hiyo inamfanya awe mtoa kejeli mmoja mpumbavu. Ni maumivu tu ndiyo ambayo nimepitia siku nzima ya leo).”

“It’s started? So, you fought him... and won? (Badiliko limeanza kumbe? Kwa hiyo kumbe umepigana naye... na ukashinda?)”

“Yes. You don’t know? (Ndiyo. Haujui kwani?)”

“No (Hapana)."

"I thought you could read my mind (Nilidhani unaweza kusoma akili yangu)."

"Yes I can, but only the thoughts you pass through to me. I guess you changing or dreaming is something that can’t be sent through our link (Ndiyo naweza, lakini ni mawazo tu ambayo unayatuma kwangu moja kwa moja. Nadhani kubadilika kwako au kuota si kitu ambacho kinaweza kutumwa kwenye muungano wetu)," Darla akasema.

"I see (Naona)," Draxton akasema hivyo na kuangalia pembeni.

Darla alionekana kufurahishwa sana na taarifa hizi, kwa kuwa ilikuwa wazi kwamba sasa mwanaume huyo angekuwa kile ambacho alikuwa anasubiria awe kwa muda mrefu sana.

"Ahah... this is incredible. Many have tried and failed. But you did it! Now you can become our pack leader. Now you can fully change (Hii ni nzuri ajabu. Wengi wamejaribu na kushindwa. Lakini wewe umeweza. Sasa utakuwa kiongozi wa kundi letu. Utabadilika ipasavyo)," Darla akaongea kwa matumaini.

Draxton akamtazama usoni kwa huzuni kiasi.

"What's the matter Draxton? (Nini tatizo Draxton?)"

Draxton akashusha pumzi, kisha akasema, "I'm scared (Naogopa)."

Darla akamwangalia kwa hisia, kisha akamsogelea karibu zaidi na kupitisha mkono wake nyuma ya kichwa cha jamaa, akishika kichwa chake kwa nyuma huku nyuso zao zikiwa karibu. "What are you afraid of? (Unaogopa nini?)" akamuuliza kwa sauti ya chini.

"What if I change and can't control myself like how you're saying I will be able to? What happens when I snap again and hurt people... like how I've always done? (Je nisipoweza kujiendesha vizuri kama mnavyoniambia nitaweza nikishabadilika? Nini litatokea kama nitapoteza mwelekeo na kuumiza watu... kama ambavyo nimefanya sikuzote?)" Draxton akaongea kwa hisia.

"No, that won't happen. You have already merged your human mind with part of your bestial nature. All you have to do now is connect your spiritual side to the change, and all will forge into one mind, yours. Don't think about the mistakes of the past, they aren't worth the new beginning you are creating for yourself and for all of us. Trust me. You are ready (Hapana, haitatokea namna hiyo. Tayari umekwishaunganisha akili yako ya kibinadamu na sehemu fulani ya upande ule wa kinyama. Kilichopo tu sasa hivi ni wewe kuunganisha upande wako wa kiroho kwenye badiliko, na vyote vitakuwa ndani ya akili moja, ya kwako. Usiwaze kuhusu makosa ya nyuma, hayana thamani zaidi kuliko mwanzo huu mzuri unaoujenga kwa ajili yako na kwa ajili yetu sote. Niamini. Uko tayari)," Darla akamhakikishia.

Draxton akaendelea kumtazama tu machoni, naye Darla akaifuata midomo ya mwanaume na kumpiga denda laini kuonyesha furaha yake. Kisha akajitoa mdomoni mwake na kutabasamu kwa furaha, naye Draxton akaibana midomo yake na kutikisa kichwa chake kidogo kuonyesha amekubali kitia moyo hicho.

"So much for having to wait a month, huh? (Hakuna tena kusubiri mpaka mwezi upite kama tulivyodhani, eti?)" Darla akasema kiutani.

Draxton akamwangalia na kutabasamu kiasi.

"How about we go for a walk after we finish steak? Or... is your body still aching? (Vipi tukienda kutembea kidogo tukishamaliza kula nyama? Au bado mwili wako unauma?)" Darla akasema.

"Not at the moment. We could go... maybe Mark too will.... (Sihisi maumivu kwa sasa. Tunaweza kwenda... labda na Mark pia ata...)"

"Mark will be a bore, and he isn't even back yet. It should be me and you. Just the two of us (Mark ataboa, na hata hajarudi bado. Iwe mimi na wewe tu. Peke yetu)," Darla akasema huku akitabasamu kwa hisia.

Draxton akamtazama kwa umakini na kuiona furaha ndani ya uso wa mwanamke huyo kana kwamba alikuwa amefika kuambiwa ataolewa, naye akamkubalia na kuendelea kula pamoja naye.

★★

Walikuja kumaliza nyama yote kabisa, kitu ambacho Draxton hakuwa amepangia kwa sababu alitaka kumtunzia na Mark lakini kwa sababu Darla alisisitiza ale sana kwa ajili ya badiliko lake lililokuwa linamhitaji awe na nguvu nyingi akajikuta anashiriki kuifuta yote. Darla akawa amemwambia kwamba wangepata nyama nyingine na kuileta kwa ajili ya kaka yake, kwa hiyo baada ya kujisafisha vizuri, wawili hawa wakatoka pamoja na kuanza matembezi yao, ikiwa ni saa nne usiku sasa.

Walitembea kuelekea upande wa maeneo hayo ambao Draxton hakuwa ameufikia bado, nao wakaanza kuingia sehemu yenye miti mingi zaidi iliyomwambia mwanaume kwamba kwa mbele hakukuwa na nyumba kama huko walikotoka. Kulikuwa na giza la kawaida tu ambalo lilipaushwa kwa mwanga wa mwezi uliokaribia kuwa kitu kizima cha duara angani, naye Darla alikuwa akitembea karibu sana na Draxton huku wakiendeleza mazungumzo yao.

"So you're saying I don't fare well being a lady because I eat like a beast? (Kwa hiyo unasema siuwezei ustaarabu wa uanamke kwa kuwa nakula kama mnyama?)" Darla akauliza, wakiwa wanataniana.

"Ahahah... Mainly because you are one (Hasa kwa sababu wewe ni mnyama ndiyo)," Draxton akatania.

Darla akacheka na kusema, "Everyone has a bestial side. Regardless, I'm still a lady (Kila mtu ana upande wa unyama ndani yake. Lakini haijalishi, mimi bado mwanamke mstaarabu)."

"Lady of the forest (Mwanamke wa msitu)," Draxton akasema.

Darla akacheka kidogo na kumwangalia. "You are so... innocent. I've never met anyone like you (Yaani ulivyo... bila hatia. Sijawahi kukutana na mtu kama wewe yaani)," akamwambia.

"I'm not innocent Darla. No one is innocent (Mimi siko bila hatia Darla. Hakuna mtu ambaye hana hatia)."

"I wasn't talking about the things you've done. I meant you as a person (Sikuwa naongelea kuhusu vitu ulivyofanya. Nilimaanisha wewe na utu wako)."

Draxton akamtazama pia, nao wakapeana tabasamu huku wakiendelea kutembea. “We're entering the woods. Supposedly there is a killer about (Tunaingia ndani zaidi ya huu msitu. Vipi kama kuna muuaji huku)," mwanaume akasema.”

"You forget we are two walking human-wolves? (Unasahau kwamba sisi ni watu-mwitu wawili tunaotembea?)"

"That a guarantee those trying to hurt us won't succeed? (Huo ni uhakikisho kwamba wale wanaojaribu kutuumiza hawatafanikiwa?)"

“Far from succeeding, they don't walk again (Mbali kabisa na kufanikiwa, yaani hawatembei tena kamwe)."

"Is that so? (Kumbe?)"

"Yep. Those I’ve killed will never be found, Draxton (Ndiyo. Wale niliowaua hawawezi kamwe kupatikana)," Darla akasema hivyo.

Njia ya Darla ya kuwasilisha maneno hayo ilikuwa ya uhakika kabisa, kitu kilichofanya Draxton ajiulize kichwani kwake ikiwa kama pindi atakapoweza kuunganika kiakili na upande wake wa unyama angekuwa na roho ngumu ya kikatili lilipokuja suala la kuua mtu tofauti na ilivyokuwa kwa sasa. Yaani kama angeweza kuuvaa unyama wake ipasavyo, je angekuwa namna hiyo kama mara ya kwanza amemwona mwanamke huyo alipomuua yule mwanaume nyumbani kwake karibu na bwawa la kuogelea? Maswali hayo machache yaliyopita kwenye akili yake yalihusiana moja kwa moja na mwanamke huyo, hivyo Darla akawa ameyasikia mawazo Draxton kulipokuwa na ukimya mfupi baada ya yeye kutoa kauli Ile.

"You are asking yourself if you're going to be as cold-hearted as I am, huh? (Unajiuliza ikiwa na wewe utakuwa na moyo wa baridi kama mimi nilivyo, eti?)" Darla akauliza.

Draxton akasimama na kumwangalia, akiwa ameelewa kwamba mwanamke huyo alisikia mawazo yake.

"You've hated yourself for a long time because you thought yourself a monster. So, being here, with me as one, makes you feel disgusted, doesn't it? (Umejichukia kwa muda mrefu kwa sababu ulijiona kuwa mnyama mbaya sana. Kwa hiyo, kuwa hapa, na mimi nikiwa kama hivyo, inakutia kinyaa sana, siyo?)" Darla akamuuliza.

"Darla... you know that isn't true. I don't think of you that way (Darla.. unajua hiyo siyo kweli. Sikufikirii kwa njia hiyo)," Draxton akamwambia kwa upole.

Darla akaangalia chini, kisha akauliza, "Draxon, are you mad that I chose you... to be my mate? (Draxton, umekasirishwa na kitendo cha mimi kukuchagua... uwe mwenzi wangu?)”

“No. Not at all. I just wish I knew why you had to find someone like me, though (Hapana. Sijakasirika hata kidogo. Natamani tu kama ningejua sababu iliyofanya utafute mwenzi wa aina yangu lakini)," Draxton akamwambia.

Darla akamtazama machoni na kuuliza, “Who told you that? (Nani amekwambia hivyo?)"

Draxton akashusha pumzi, kisha akasema, "I ran across Edmond earlier. He knows about us. We talked a bit about you, and... he cares a lot for you (Nilikutana na Edmond muda mfupi nyuma. Anajua kuhusu sisi. Tukaongea kidogo kuhusu wewe, na... anakujali sana)."

Bila kusita, Darla akavishika viganja vya Draxton kwa pamoja na kumtazama machoni kwa hisia, naye akasema, "I’ll come clean Draxton (Nitakwambia kila kitu Draxton).”

Draxton akaweka umakini wake kwa mwanamke huyo, akisubiri kwa hamu kujua ukweli wake.

Darla akasema, “But only if you can catch me! (Ila kama tu utanikamata!)"

Alisema hivyo kimchezo, na hapo hapo akamsukuma Draxton kidogo na kuanza kukimbia kuelekea ndani zaidi ya ile miti. Draxton hakuwa ametarajia hilo, na baada ya kuelewa kwamba Darla alitaka kukimbizwa, akatabasamu kidogo na kutamani akilini mwake kama angemwahi kabla hajakimbia maana alikuwa na kasi. Lakini hata yeye kasi alikuwa nayo, kwa hiyo kama mtoto alitaka kucheza kadome basi angecheza naye. Angalau hii ingechangamsha kidogo. Akamsikia Darla akiita jina lake huku akicheka, naye akaanza kumkimbiza.

Aliingia zaidi mitini, akijaribu kumfatilia kwa bidii bila kuhusisha hisi zake za usikivu ama uvutaji harufu, lakini akaanza kuona ni kama anajipoteza zaidi ndani ya eneo hilo, kwa sababu hakulijua vizuri. Alizifahamu tu njia zilizoongoza kuingia ndani ya miti hiyo lakini si kupazunguka kwa ndani. Akasikia kicheko cha kike kwa mbali, na kwa kushangaza kiasi, akaanza hadi kuona kitu kama ukungu au moshi ukipanda kutoka ardhini na kuelea usawa wa miguu yake kwenye sehemu hiyo aliyofikia. Akawa anataka kumwita tu, aseme ameshindwa kumpata ili mrembo ajitokeze, na ndiyo hapo akawa ameivuta harufu fulani yenye utofauti lakini aliyojua ni ya Darla; bila kupenda.

Akaikazia umakini wake, naye akaweza kuona nguo ndogo ikiwa imening'inia kwenye tawi dogo la mti, hivyo akaenda hapo na kuichukua. Ilikuwa ni nguo ya ndani, chupi yaani, naye akainusa kwa ukaribu na kuthibitisha kwamba ilikuwa ya mwanamke huyo, na utambuzi wa harufu hiyo ukamwezesha kuweza kuinusa hata hewani. Haikuwa kama imezagaa hewani kote kwani ilionekana kuelekea upande mmoja, naye Draxton akaanza kuufatilia. Alipokuwa akiendelea kuvuka miti na vichaka, akatambua kuwa Darla alikuwa karibu zaidi, naye akawaza labda autumie uwezo wake wa kuvuta harufu vizuri zaidi ili agundue wapi Darla kajifichia, halafu amzungukie na kumkamata bila yeye kutarajia.

“I can hear your thoughts, Drax (Ninaweza kusikia mawazo yako, Drax)."

Sauti ya Darla ilisikika akisema hivyo, naye Draxton akasimama na kufumba macho, akiwa amekumbuka kwamba kweli wazo la namna hiyo lingemfikia mwanamke yule. Akaendelea kukimbilia huko mbele zaidi bila kufikiria kitu kingine, naye akawa amefika sehemu isiyokuwa na miti kwa mzunguko, ikionekana kama uwanja mdogo au "katikati." Akasimama hapo, na kiukweli harufu ya Darla ilionekana kuwa karibu zaidi, isipokuwa kwa sasa ilichanganyikana na harufu nyingine ya manukato, na yote ilizagaa hewani. Ni kitu ambacho kilifanya ionekane kama yote ni harufu ya Darla, lakini kama tena siyo ya kwake, kwa hiyo jambo hilo likamchanganya Draxton kiasi.

Kisha akaanza kuingiwa na hisi nyingine ya harufu kama ya mnyama, naye akageukia upande mmoja na kuona vitu kama masikio marefu kiasi yakichungulia kutokea kwenye kichaka katikati ya miti. Giza changa la hapo liliziba umbo zima la kiumbe huyo, lakini Draxton tayari akawa ameshatambua ni wa aina gani.

“Hey now, no fair wolfing out on me (Ila wewe, unajua siyo haki kunibadilikia na kuwa mwitu namna hiyo),” Draxton akasema hivyo, akiwa anafikiri ni Darla.

Kichaka hicho kikatikisika, na hapo akawa ametokea mbwa-mwitu mkubwa, yaani ndani ya miguu minne. Draxton akamtazama kwa umakini. Alikuwa na manyoya yenye mchanganyiko wa rangi nyeusi na kijivu, kijivu ikiwa imetawala sanasana, na mdomo wake ulikuwa na damu zilizodondoka chini na ndiyo zilizobeba harufu ile ambayo Draxton alikuwa ameanza kuivuta alipofika hapo. Ni macho ya mnyama huyo ndiyo yaliyofanya mwanaume atambue kuwa hapo alikuwa anatazamana na kiumbe asiyekuwa na urafiki naye. Alikuwa ameshayaona macho ya Darla akianza kubadilika, ambayo yalikuwa ya njano na yenye kung'aa, lakini macho ya huyu kiumbe mbele yake yalikuwa na mng'aro wa rangi ya kahawia, makali, na yenye kutazama kiukatili.

"You are so not Darla (Wewe siyo Darla kabisa),” Draxton akasema hivyo kwa sauti tulivu, akiwa amesimama kwa njia ya kujihami sasa.

Mbwa-mwitu huyo akamuungurumia Draxton na kujiinua zaidi kwa namna alivyokuwa amesimama, na jambo hilo likamfanya Draxton aone sehemu ya tumbo lake kwa chini yenye matiti yaliyofichika, kitu kilichomwambia kwamba mbwa-mwitu huyo alikuwa jike. Draxton akahisi maumivu yale yale mbavuni mwake tena wakati huu, naye akainama kidogo huku amejishika ubavuni, halafu akamtazama tena kiumbe huyo. Mbwa-mwitu huyo akawa kama amekilaza kidogo sana kichwa chake kwa upande huku bado akimwangalia mwanaume, na Draxton akaelewa hiyo ilimaanisha mnyama huyo alikuwa anajiuliza jambo fulani.

“Hi, I’m Draxton. Nice to meet you (Mambo, mimi ni Draxton. Ni vizuri kukutana nawe),” Draxton akasema hivyo.

Alijiona kuwa kama mpuuzi kiasi kuongea hayo, lakini hakujua cha kufanya kingine kwa sababu hata kama mnyama huyo alikuwa adui, kukimbia kusingekuwa na faida maana angemkamata tu hata kabla hajageuka. Lakini hofu yake zaidi ilikuwa pale ambapo labda mnyama huyo angemuua na kusababisha abadilike bila kujitambua, ni mengi zaidi ya mabaya ndiyo ambayo yangetokea, kwa hiyo hakujua afanye nini kwa sababu muda wake wa kubadilika ipasavyo haukuwa umewadia.

"Um... you're not Gianna either, are you? (Aam... wewe siyo Gianna pia, eti?)," Draxton akauliza.

Alikuwa akijaribu kujikaza zaidi kutokana na maumivu aliyohisi kwenye ubavu wake, na mnyama huyo akanusa hewani na kuunguruma tena. Zamu hii aliunguruma kwa njia ya kitisho, yaani alimtaka Draxton akimbie. Draxton akashindwa kujua afanye nini ili kumtuliza. Akawa anatumia akili yake kumtumia mawazo Darla kwamba hapa alipokuwa alikuwa ndani ya shida, kwa hiyo kama yupo karibu basi ajitokeze kumsaidia kabla balaa halijaongezeka. Akamwona mnyama huyo anarudisha mguu mmoja wa mbele kwa nyuma, huku akiinama kiasi, naye Draxton akiwa ameelewa hilo akajiandaa vizuri.

Papo hapo mbwa-mwitu huyo akamrukia kwa kasi, naye Draxton akakimbia kumwelekea kisha akalala chini upesi, kitu kilichofanya mnyama apitilize. Mbwa-mwitu huyo akaangukia mbele zaidi, na Draxton aliposimama tu akaanza kukimbia papo hapo akijua wazi kwamba kukimbizwa ingekuwa lazima tu mnyama yule akigeuka. Alijitahidi kukimbia kwa kasi yote ingawa maumivu mwilini mwake yaliendelea kusambaa, na alikuwa akisikia vyema namna ambavyo mnyama huyo aliendelea kumkimbiza.

Draxton alikimbia kwa njia isiyokuwa yenye utaratibu, akipita kwenye sehemu zenye miti na vichaka vilivyobanana, na hiyo ilimpa wakati mgumu mnyama yule kumkamata kwa sababu umbo lake lilikuwa kubwa. Mbwa-mwitu huyo jike alionekana kuwa na hasira kali sana. Draxton akawa akisikia vyema namna ambavyo mkimbizaji wake alirarua vichaka kwa vishindo, na hata mara kwa mara kukaribia kumshika kabisa kabla ya mwanaume kumponyoka.

'Darla... I could really use your help right now. If that wolf catches and kills me, things will get way out of hand! (Darla... ninahitaji msaada wako upesi sana. Ikiwa huyo mbwa-mwitu atanikamata na kuniua, mambo yatavurugika vibaya sana!)'

Draxton akawaza maneno hayo kwa kuyaongea kichwani kwake ili yamfikie Darla, akitumaini kwamba angeweza kweli kusaidiwa. Kwa vyovyote vile yaani hali hii haingekuwa nzuri endapo kama kweli angeuawa na kurudi ndani ya mwili wake wa mnyama asiyeweza kumwendesha kwa akili yake, kwa kuwa kama angetoka hapo na kufika sehemu zingine yale yale yaliyokuwa yamemfanya ajichukie kwa muda mrefu yangejirudia tena. Na alihofia sana jambo hilo hasa kwa sababu Darla ndiye aliyekuwa msaada wa karibu zaidi kwake kwa wakati huu, lakini naye ikawa ni kama ametoweka ghafla tu. Alikuwa kimya kwa muda mrefu sana. Draxton alijitahidi sana kukwepa hasira ya mnyama yule, lakini maumivu ya mwili wake yakamfanya ahisi kushindwa kusonga mbele.

Akiwa anahangaika na maumivu yake huku kasi ya mbio zake ikipungua, akajikwaa ghafla kwenye mzizi mnene chini na kuanguka, lakini ilikuwa ni ndani ya bonde dogo lenye sehemu ya maji ya chemchemi yenye joto ndiyo alimoangukia. Akajitahidi kuanza kunyanyuka, naye akajivuta na kuanza kutambaa kuelekea mbele ili ajitoe hapo. Alihisi ni kama mgongo wake unapigwa na virungu, kwa kuwa mifupa yake ilikuwa inatanuka na kujirudisha mara huku mara huko ndani yake, ikiwa inafanya kazi kuendana na badiliko lililokuwa linampata.

Alipokuwa amefikia mwanzo wa mti mmoja na kutaka kujivutia kwa hapo ili anyanyuke, akasikia kishindo cha maji yale kutokea nyuma yake. Akafumba macho na kuinamisha uso wake, naye akageuka taratibu ili amtazame mhasimu wake aliyefika hapo kutimiza haja zake. Mbwa-mwitu huyo alikuwa anamwangalia Draxton kwa ukali, bila shaka akiwa amechukizwa na namna ambavyo mwanaume huyu alikuwa amemsumbua, naye Draxton akawa anapumua kwa nguvu kutokana na uchovu na maumivu.

"I'd tell you it's not a good idea to kill me... but that's not something you would care for me to elaborate, no?(Ningekwambia kwamba siyo wazo zuri kuniua, lakini hicho siyo kitu ambacho utajali nikuelezee, sivyo?)"

Draxton aliongea maneno hayo huku akipumua kwa uchovu kiasi, akiwa ameshakubali kwamba hapo hakuwa na njia nyingine ya kujiokoa, na mnyama huyo akaunguruma kwa sauti ya chini. Akapiga hatua tatu, nne mbele, naye Draxton akaangalia pembeni na kukaza meno yake huku amefumba macho ili amwache tu mbwa-mwitu huyo amrarue, na ndipo ghafla upepo mkubwa ukapuliza kumpita yeye na sauti za maji kupiga kwa nguvu zikasikika. Draxton akawa amefumbua macho yake na kupata kuona sasa mbwa-mwitu wawili wakipigana sehemu hiyo.

Mbwa-mwitu mwingine aliyefika hapo alikuwa mkubwa pia kama huyo aliyekuwa anamkimbiza Draxton, manyoya yake yakiwa ya rangi ya kahawia mchanganyiko na nyeusi, na kwa kutohisi maumivu zaidi mwilini Draxton akanyanyuka na kuanza kukimbia; asitake kujua ikiwa walikuwa wanagombana kuhusu ni nani amle yeye kwanza. Akafanikiwa kujivuta na kujitoa kwenye bonde hilo, kisha akaanza kukimbia tena ili atafute njia ya kuondoka huko. Alijitahidi kukimbia na kukimbia, masikio yake bado yakipigwa na mawimbi ya sauti za miungurumo na miguno kama ya mbwa ya maumivu, kuonyesha kwamba bado wanyama wale walikuwa wanapigana huko alikowaacha.

Hatimaye akawa amefanikiwa kufika barabarani, naye akatulia kidogo hapo, kisha akaanza tena kukimbia kuelekea upande ambao alijua ungemfikisha kwenye eneo waliloishi. Alikuwa anamwaza sana Darla. Hakujua aliishia wapi, kama alikuwa mzima au alipatwa na madhara. Mbwa-mwitu yule aliyemkimbiza alikuwa na damu mdomoni mara ya kwanza amemwona, na jambo hilo likaongeza utata zaidi kwenye suala la usalama wa yule mwanamke. Ikiwa alikuwa ameuawa kihivyo tu, nini kingefanyika sasa? Angemweleza vipi Mark kuhusu jambo hilo? Akaendelea tu kukimbia mpaka alipoanza kuzipita nyumba kadhaa, naye akawa amefika sehemu ambayo haingemaliza dakika tano kwa kukimbia kufika kwenye nyumba aliyoishi.

Akakaza buti na kuendelea kukimbia tu kwa kutumia njia za mkato kwenye huo mtaa wao, na ndipo tena yale maumivu yakawa yamerudi. Yalikuja kwa nguvu sana kiasi kwamba mpaka akaanza kutoa sauti za maumivu na kudondoka chini. Alihisi kama ngozi yake inachanwa-chanwa na mifupa ya mwili wake wote ikivunjika. Kichwa kiliuma, meno, vidole, mikono, miguu, na hasa sehemu ya chini ya mgongo wake. Pumzi zake zilitoka kwa shida, mpaka akaanza kudondosha mate mazito mithili ya mlenda!

Ilikuwa ni maumivu yaliyochukua kama dakika tatu kutembea mwili mzima, kisha yakaanza kupoa na kumwacha akipumua kwa nguvu. Alihisi kuchemka sana, naye akafumbua macho yake kukuta kuna watu watatu wamesimama karibu, wote wakiwa wanaume wazungu, nao wakawa wanajaribu kumsaidia anyanyuke. Wakafanikiwa kumsimamisha, naye akawa anawasikia wakisema wangetakiwa kumpeleka kwenye hospitali maana alionekana kuumwa, lakini Draxton akajitoa mikononi mwao na kuwaambia hakukuwa na haja hiyo kwa sababu alikuwa sawa.

Walimshangaa, wakiwa wameona namna alivyoanguka na kupiga kelele za maumivu, nao wakawa wanamsisitiza kwenda kutibiwa lakini akasema alichohitaji tu ilikuwa ni kufika nyumbani, na haikuwa mbali. Akaanza kuondoka na kuwapa shukrani, huku wakimwangalia kwa mashaka sana, naye akaendelea na safari yake mpaka akafika nyumbani. Hakuhisi yale maumivu makali tena lakini bado joto la mwili wake lilikuwa kali sana, naye akatambua kwamba hata Mark hakuwa amerudi bado.

Akaelekea jikoni kunywa maji, kisha akanawa kwa maji baridi kichwani na kuelekea chumbani. Akavua T-shirt lake lililolowana na kulitupa chini, naye akapandisha dirisha juu ili aitazame nyumba ya Darla kutokea nyuma. Hakuna hata taa moja iliyokuwa imewaka, kumaanisha mwanamke yule hakuwa amerudi bado, naye akaegamia sehemu hiyo akiwa anawaza sana.

Hakuelewa ni wapi mwanamke yule alikuwa amepotelea ghafla namna ile. Alimwamini Darla. Alijua ni mtu-mnyama imara, kwa hiyo matumaini yake ya asilimia kubwa yalikuwa kwamba mwanamke yule angekuwa sawa tu. Lakini kama kuna jambo baya lilikuwa limempata, basi angehakikisha anauweka upole wake pembeni ili ashughulike vilivyo na aliyesababisha jambo hilo. Akang'ata meno kukaza kichwa chake, kisha akavua kaptura na boksa zilizolowana na kuelekea bafuni ili ajimwagie maji ya baridi sana.

Angalau alipomaliza kufanya hivyo mwili wake uliondokewa na joto kali kwa kadiri fulani, naye akarudi chumbani na kujikausha maji. Akiwa anavaa kaushi na bukta, akaangalia saa na kuona ilikuwa ni saa sita usiku sasa. Haikuwa kawaida hata kwa Mark kuchelewa namna hiyo na asiwe amemtumia angalau ujumbe, lakini hakukuta ujumbe wala hata simu iliyopigwa na kukoswa, kwa hivyo akaamua ampigie yeye ili kujua kama yuko njiani, na hata ikiwezekana basi amjuze kuhusu yaliyojiri.

Hakuwa hata anawaza kuhusu maumivu ya mwili wake ambayo yangeweza kurudi muda wowote ule kwa sababu akili yake yote ilikuwa kwa Darla, na ile amechukua tu simu yake, dirisha likagongwa kidogo kutokea nje. Akaishusha simu upesi na kuirusha kitandani, akiharakisha kwenda pale kwa kujua ni Darla bila shaka, na alipolifungua tu, akasukumwa kwa nguvu iliyomfanya aruke hewani mpaka kuangukia pembezoni mwa kitanda chake!

Akanyanyua uso wake na kutazama hapo kwa umakini, na dirisha lote sasa likawa limeachanishwa milango yake yote, na yule mbwa-mwitu aliyekuwa anamkimbiza kule kwenye miti mirefu akaingia ndani hapo! Draxton akakunja uso wake kimaswali, akijiuliza kama kweli mnyama huyo aliweza kutumia akili ya kugonga dirisha kama mtu ili amrubuni kuweza kumfungulia. Kihalisi alikuwa hata na uwezo wa kulivunja dirisha na kuingia ndani hapo kwa kani ya lazima, kwa hiyo njia hiyo ilimshangaza kiasi mwanaume huyu. Ilikuwa ni kama mbwa-mwitu huyo alitaka kitu kingine.

Akiwa anamwangalia tu kwenye macho yake makali, mbwa-mwitu huyo akaanza kujikunja na kupindisha mwili wake huku na kule, na umbo lake likaanza kupungua na kupungua. Draxton akaanza kusimama taratibu, akitazama kwa macho yake namna ambavyo kiumbe huyo mwenye kutisha alibadilika na kuwa mwenye mwili wa kibinadamu kwa kupenda kwake kabisa.

Mnyama akageuka kuwa mwanamke fulani mzungu, aliyeonekana kuwa kwenye umri wa miaka kati ya 25 mpaka 30, mwenye nywele nyeusi zilizolowana na kuzagaa kichwani na usoni kwa ulaini, na alikuwa uchi kabisa. Alikuwa mwembamba kiasi, miguu mirefu yenye hips zilizotokeza kidogo, na tumbo lake lilikuwa dogo na lenye kukomaa kiasi kama mwanamke mwenye mazoezi. Kifuani alibeba matiti madogo yenye chuchu za rangi mchanganyiko wa pink na kahawia, zilizovimba kuelekea mbele, na sehemu ya kitoweo ilifichwa zaidi na vinyweleo kutokea kwenye usawa wa kibofu. Macho yake yalikuwa makubwa kiasi na mazuri, yenye rangi ya kijani kwenye lenzi, na mwili wake ulikuwa mchafu kwa kiasi kikubwa. Harufu aliyotoa, kwa Draxton ilikuwa kama kunusa mimea iliyotoka kuchanganywa na matope, naye alikuwa anamwangalia Draxton kwa uzito, unyama wake bado ukionekana ndani ya macho yake.

“Hhh... hhh... can I use your shower? (Naweza kutumia bafu lako?)”

Mwanamke huyo akauliza swali hilo katikati ya pumzi zake, naye Draxton akabaki kumtazama tu. Hakumjua hata kidogo. Kafika tu kwenye nyumba ambayo haikuwa yake na kumvamia mtu aliyekaa hapo kisha kumwomba aoge, wakati ni yeye huyo huyo ndiye aliyejaribu kumuua dakika kadhaa nyuma. Kuna kitu kikawa kinatembea ndani ya akili yake Draxton kilichomwambia kwamba jambo hili lote lilikuwa jaribio. Labda lilihusiana na ukuu wake aliotakiwa kuuvaa kwa ajili ya hawa watu ama kitu kingine, lakini hangekuwa na uhakika kwa asilimia zote.

Akamtazama kwa umakini, kisha akasema, “Sure. All yours. There's the door (Bila shaka. Lote lako. Mlango ule pale).”

Mwanamke huyo akautazama mlango wa bafu kwa umakini, kisha akamwangalia Draxton tena. Draxton alikuwa ameweka uso tulivu tu, hivyo mwanamke akaanza kutembea kuelekea bafuni, na sauti ya maji kumwagika ikasikika alipofika huko.

Draxton alikuwa ameishiwa pozi kabisa na kubaki amesimama hapo hapo tu huku akiangalia upande huo wa bafu, na baada ya dakika kama mbili tu mlango wa bafu hilo ukafunguka na mwanamke yule kuingia chumbani tena. Wakati huu mwili wake ulionekana kuwa mweupe na msafi zaidi, ukinukia sabuni, na hakuona haya hata kidogo kuwa uchi mbele ya jamaa. Alikuwa anadondosha maji chini, na wala hakuonekana kutaka kujikausha kwa kuwa alisimama tu na kumwangalia Draxton machoni.

“So uh... do you need a towel? (Kwa hiyo... unahitaji taulo?)" Draxton akamuuliza.

"No (Hapana)," akajibu hivyo.

Sauti yake ilikuwa na utulivu fulani hivi, si nyembamba wala nzito kwa ukawaida wa mwanamke. Akazishika nywele zake kwa nyuma na kisha kuzileta mbele ya kifua chake, naye akazikamua kama kuonyesha dharau hivi. Draxton akawa anamwangalia kwa macho yake makini, na mzungu huyo akayashika matiti yake na kuyafuta maji kwa kuyapandisha juu, kitu kilichofanya yatikisike kwa kujirudia alipoyaachia kwa nguvu, huku akimtazama jamaa kwa njia fulani ya kuonyesha umakusudi wa kitendo hicho. Draxton akatazama pembeni, akiwa makini haswa.

“You must be Draxton (Bila shaka wewe ndiyo Draxton),” mwanamke huyo akamwambia.

Draxton akahisi kauli hiyo ilitolewa kinafiki, kana kwamba mwanamke huyo alikuwa anamjua tokea zamani wakati hata hilo jina tu alilijua muda mfupi nyuma walipokutana kule msituni na yeye Draxton kujitambulisha, lakini akamtazama tu na kusema, “Yeah. And you are? (Ndiyo. Na wewe ni?)"

“I'm Aysel (Mimi ni Aysel),” akajibu.

"Okay. So are you here to finish what you started in the woods? (Sawa. Kwa hiyo umekuja ili umalize ulichokianzisha kule msituni?)"

Aysel akacheka kidogo.

Draxton hakupendezwa na jambo hilo kwa kuwa hakumwamini hata kidogo mwanamke huyo.

"For you to think that is actually funny. Why would I bother taking a shower if I was gonna kill you? (Kwa kweli inachekesha kujua unafikiria hilo. Kwa nini nijisumbue kuoga kama nimekuja tu kukuua?)" Aysel akauliza.

"Maybe you wanna eat me using a fork and knife? (Labda unataka kunila kwa kutumia uma na kisu?)" Draxton akamuuliza kikejeli.

Aysel akatabasamu, na baada ya kumshusha na kumpandisha, akasema, "I was going to kill you. I thought you were just human meat (Nilikuwa nataka kukuua. Nilidhani wewe ni nyama ya binadamu tu)."

"And then? (Halafu ikawaje?)"

"Something off about you kicked in. I couldn't tell at first, but now I know you're not exactly "human" (Kuna kitu kisicho sawa kukuhusu kiliniingia. Sikutambua mwanzoni, ila sasa ninajua wewe si "binadamu" kihalisi)."

"What happened to the other wolf? (Ni nini kilimpata yule mbwa-mwitu mwingine?)"

“I beat him, and I ran off... after you actually (Nilimtandika, ndiyo nikakimbia... ili kukufata)," Aysel akasema.

Jambo hili lilimshangaza Draxton kidogo. Aysel kutumia "him" ilimaanisha yule mbwa-mwitu aliyetokea na kupigana naye alikuwa ni dume, na hakujua ni nani kabisa kwa sababu kama ingekuwa jike basi angekisia labda ilikuwa ni Darla. Akajiuliza ikiwa labda ni Edmond ndiye aliyejitokeza kule au kulikuwa na mbwa-mwitu dume ambaye hakumjua kama tu mwanamke huyu asiyejulikana alitokea wapi.

“So you resisted killing me only because I'm not entirely human? (Kwa hiyo ukaahirisha kuniua kwa kuwa tu mimi siyo binadamu kiujumla?)” Draxton akauliza.

“Not really. I have two reasons. One, because a male rescued another male. And two, you’re an Alpha (Siyo hivyo kihalisi. Nina sababu mbili. Moja, ni kwa sababu dume ameokoa dume. Na mbili, wewe ni Alpha)," Aysel akasema.

Draxton akakaza macho na kuuliza, "A what? (Ni nini?)"

“An Alpha. A pack leader (Ni Alpha. Kiongozi wa kundi),” Aysel akamwambia.

Draxton akaangalia chini kwa ufupi, akiwa ameelewa kwamba mwanamke huyu alijua vitu vingi ambavyo inaonekana Mark na Darla walikuwa wametaka kumfunulia taratibu tu. Alijua kwamba angehitajika kuwa msiri kuhusiana na suala hilo ili asivute umakini wa mbwa-mwitu waliokuwa maadui zake kabla hajawa tayari vya kutosha, na hakujua ikiwa huyu alikuwa wa kuaminika lakini tayari alikuwa ameshatambua kuhusu kitu hiki. Akawa anataka kumuuliza ni nini ambacho yeye Aysel alitaka, lakini ndiyo hapo hapo akavuta harufu nzuri aliyoifahamu kutokea upande wa dirisha. Akaligeukia na kumwona Darla anaingia ndani hapo, akiwa hajavaa chochote kabisa mwilini, naye Draxton akafarijika sana kumwona.

Darla alipoingia tu na kusogea upande wa Draxton, akasema kwa hasira, "You bitch, how could you?! (Malaya wewe, unawezaje kufanya hivi?!)”

Macho ya Darla yakang'aa rangi yake ya njano, huku akimfata Aysel, ambaye naye akatoa muungurumo wa kukwaruza huku akinyanyua viganja vyake vyenye makucha marefu vidoleni. Walikuwa wanakaribiana wakionekana kutaka kupigana, naye Draxton akaingia katikati yao.

“Ladies... please. It's a neighborhood. A fight here will get the cops called (Wanawake... tafadhali. Huu ni ujirani huku. Ugomvi mkubwa hapa utasababisha maaskari waitwe)," Draxton akawaambia.

"It'll be much more fun ripping all of them off like how I'll do this bitch (Itaburudisha kuwararua hao maaskari wote kama navyotaka kumfanya huyu malaya)," Darla akasema kwa hasira.

"Bring it on, drama queen (Ilete tupeane, malikia wa maigizo wewe)," Aysel akasema.

Darla akamuungurumia kwa hasira.

"Well, that is not happening! Do you understand me? (Hiyo haitafanyika hapa! Sijui mnanielewa?)" Draxton akaongea kwa ukali.

Wanawake hao wakamwangalia machoni na kuona jinsi alivyokuwa amekerwa kweli na jambo hilo, naye Darla akawa wa kwanza kutulia. Draxton akamtazama Aysel kwa umakini pia, na mwanamke huyo mbabe akarudi nyuma kidogo.

Draxton akamtazama Darla usoni, kisha akamuuliza, "Darla, what happened? Where did you go? (Darla nini kilitokea? Ulienda wapi?)"

Darla akamtazama tu usoni, akishindwa kutoa jibu lililonyooka.

Aysel akaingilia kati kwa kusema, “I want to be a part of your pack (Nataka kuwa mmoja wa kundi lenu)."

Draxton akamtazama Aysel, naye Darla akasema, "No f(......) way! (Haiwezekani hata kidogo!)"

“I wasn't asking you. He is the Alpha. Let him decide (Sikuwa nakuuliza wewe. Huyu mwanaume ndiyo Alpha. Mwache yeye aamue)," Aysel akasema.

“You betrayed us! You hurt my brother, even today! (Ulitusaliti. Ulimuumiza kaka yangu, hata na leo pia)," Darla akamwambia Aysel kwa hisia kali.

Draxton akamtazama Darla na kuuliza, "That wolf in the woods was Mark? (Yule mbwa-mwitu aliyekuwa kule mitini ni Mark?)"

Darla akamwangalia na kusema, "Yes. I'm sorry for disappearing, I... I got distracted. Mark caught up to you after she tried to kill you, and she hurt him terribly, but he's healing now. Draxton, you can't trust this woman. She's manipulative, she's a hypocrite, she'll do anything to get what she wants, and... and.... (Ndiyo. Samahani kwa kutoweka ghafla, nili... nilichanganywa na Jambo fulani. Mark aliweza kukufikia huyu alipojaribu kukuua, na amemuumiza vibaya, lakini anaponyeka kwa sasa. Draxton, hauwezi kumwamini mwanamke huyu. Ni mrubuni mkubwa, ni mnafiki, atafanya lolote lile ili kupata anachotaka, na... na...)" Darla akasema hayo kwa hisia na kushindwa kuendelea.

Draxton akatambua kwamba kulikuwa na historia mbaya baina ya wanawake hawa, iliyomhusisha na Mark pia, naye akabaki tu kumtazama Darla kwa kujali hofu yake.

"That shit happened a long time ago, why don't you just move on? As for your brother, beating him is a feat that was only possible because he wasn’t at full strength. How long
have you guys been without a leader? It's cause of that I was able to hurt him. And he shouldn't have gotten in my way! (Hayo mambo yalitokea muda mrefu uliopita, kwa nini hautaki tu kusonga mbele? Na ikija kwa kaka yako, mimi kumpiga ni jambo lililowezekana kwa sababu tu hajafikia kiwango ninachotakiwa cha nguvu zake. Ni muda mrefu kadiri gani mmekaa bila ya kuwa na kiongozi? Hiyo ndiyo sababu nimeweza hadi kumuumiza. Na hakutakiwa kuingilia mambo yangu!)" Aysel akajitetea.

"So just let you kill Draxton? (Kwa hiyo angekuacha tu umuue Draxton?)" Darla akauliza.

"I didn't know who he was! Mark had to fight me for me to get it. Why do you think I came here? (Sikujua yeye ni nani! Imechukua mpaka Mark kupigana nami ili niweze kutambua. Unadhani ni kwa nini nimekuja hapa?)" Aysel akauliza.

"So you can f(...) him? (Ili akusugue?)" Darla akauliza kwa hasira.

Draxton akafumbua macho na kung'ata meno kwa kutopenda yaliyokuwa yakisemwa.

"It's not about that. I ran away from Robby's link too. He's a sick bastard. And now, I’m almost fully feral. I need to belong. Please (Siyo kuhusu hilo. Nimeukimbia muungano na Robby pia. Yeye ni mpumbavu mmoja mgonjwa. Na sasa, ninakaribia kuwa wa hali ya chini. Nahitaji kumilikiwa ndani ya kundi fulani. Tafadhali)," Aysel akaongea, ikiwa kwa sauti ya upole wakati huu.

Ni hapo ndipo Draxton akahisi harufu aliyoitambua kutokea nje ya mlango wa kuingilia chumbani humo, naye akapatazama. Wanawake wakaangalia huko pia. Mlango ukafunguka, naye Mark akaingia ndani hapo akiwa amejifunga taulo kiunoni, kifua chake kikiwa wazi. Alionekana kung'aa jasho, nywele zake zikiwa zimevurugika kichwani, naye Darla akamkimbilia na kumshika usoni kwa kujali.

"Mark... are you okay? (Mark, uko sawa?)," Darla akamuuliza.

Mark alikuwa anamtazama Aysel kwa mkazo, naye akasema, "I'm fine (Niko sawa)."

Aysel akatazama pembeni kama vile amekerwa.

"I'm very sorry Draxton. This should not have happened (Samahani sana Draxton. Hii haikutakiwa kutokea)," Mark akamwambia.

"I'm sorry for getting you hurt too (Samahani kwa kusababisha uumie pia)," Draxton akasema kwa upole.

"No, that was nothing (Hapana, hiyo haikuwa kitu)," Mark akasema.

"That was nothing? This selfish bitch would have killed you! And yet here she is asking to be part of our pack... after everything she's done.... kick her out! (Haikuwa kitu? Huyu malaya mbinafsi angekuua unajua! Halafu eti bado yuko hapa anaomba kuwa mmoja wa kundi letu... baada ya mambo yote aliyofanya... mfukuze!)" Darla akaongea kwa hisia kali.

"I can't decide on that (Siwezi kuamua juu ya hilo)," Mark akamwambia Darla.

Darla akamwachia na kuuliza, "What? (Nini)"

"Draxton will be the one to decide (Draxton ndiyo anapaswa kuamua)," Mark akasema.

"He doesn't even know her, there's nothing to decide. He hasn't even.... (Hata hamjui, hakuna lolote la kuamua hapo. Bado hata haja....)

"He IS Darla! (Ni YEYE Darla!)" Mark akamkatisha kwa sauti ya ukali.

Darla akabaki kimya huku akimwangalia kaka yake kwa hisia za kukwazwa.

Mark naye akaweka mikono yake kiunoni na kuinamisha uso, akiwa anajilaumu kumfokea mdogo wake namna hiyo, huku Aysel akiwaangalia tu.

Draxton alikuwa kimya tu, akiwa haelewi mengi kati ya mambo yote yaliyoendelea hapo. Hakujua historia ya watatu hawa ilihusiana na nini, lakini bila shaka iliungana na huyo mtu aliyeitwa Robby. Siri nyingi zingeanza kuwekwa wazi zaidi kwake akishachukua umbo lake kuwa Alpha, lakini ujio wa Aysel hapo ulitaka kufanya vitu vingi vifichuke. Hakuona kama kulikuwa kuna sababu ya kuendelea kutojua mengi kwa sasa ikiwa tu angetakiwa kuyajua hata hivyo, lakini subira yake ilikuwa inamwongoza vizuri kuendelea kuwaamini Mark na Darla.

Huyu Robby aliyemsema Aysel angekuwa ndiyo chanzo cha matatizo yaliyowapata au mhusiani nayo, na akawaza kwamba inawezekana Aysel alifanya mambo mengi mabaya yaliyoutia chuki kali moyo wa Darla kumwelekea. Kwa vyovyote vile, sasa alihitajika kuamua aidha kumkubali mwanamke huyo awe mmoja wao ili kumsaidia hata kama hakumjua, au akatae ombi lake bila kujali kitakachompata. Na inaonekana uamuzi wa pili ndiyo kitu ambacho Darla angeridhika nao zaidi, lakini Draxton angetaka kuelewa ni kwa nini.

Mark akamshika Darla begani na kusema, "Am sorry. What happened today was just... unexpected and.... (Samahani. Kilichotokea leo kilikuwa... hakijatarajiwa na....)"

"It's okay. I understand (Ni sawa. Naelewa)," Darla akamwambia.

Mark akamtazama Draxton, kisha akamsogelea karibu zaidi. "We haven't told you much because there was just... so much pain. But it shouldn't matter about what happened, only what happens now. You haven't changed yet, but I believe you are ready Draxton. You can lead us now. And about this... I'll follow whatever decision you make (Hatujakwambia mengi sana kwa sababu... kulikuwa tu na maumivu mengi. Lakini haijalishi tena kuhusu yale yaliyotokea, bali yale yatakayofanyika kuanzia sasa. Bado hujabadilika, lakini ninaamini uko tayari Draxton. Uko tayari kutuongoza. Na kuhusu jambo hili... nitafata uamuzi wowote ule ambao utachukua)," akamwambia kwa heshima.

Draxton akamtazama Darla usoni na kuona namna alivyomwangalia kwa subira, naye Mark akarudi nyuma kidogo na kumtazama Aysel. Kama ndiyo sehemu ya mitihani ya Draxton ya mwanzo aliyohitaji kupitia huku, basi na huu ulikuwa wenye kizungumkuti. Uamuzi wowote ule ambao angechukua ungewaathiri kwa njia ambazo hakujua sana kiundani kuzihusu, lakini alijua alitakiwa kutumia mamlaka aliyopewa kwa akili na kwa njia mpya tofauti na namna ambavyo watu wake wangekuwa wamefanya kwa kipindi kirefu.

Akamwangalia Aysel. Mwanamke huyo aliyekuwa uchi bado alimtazama Draxton kwa umakini, naye Draxton akashusha pumzi taratibu na kuanza kumfata. Alikuwa anatembea polepole huku akimwangalia usoni kwa umakini pia, na kuna kitu fulani kikampa Aysel hofu moyoni, hivyo akaanza kurudi nyuma mpaka alipoishia ukutani na kutulia.

Draxton akawa amefika karibu zaidi na uso wa mwanamke huyo, nao Mark na Darla wakaendelea kutazama jambo hilo. "You want to belong with us, don't you? (Unataka kujiweka upande wetu, sivyo?)" akamuuliza kwa utulivu.

Aysel akatikisa kichwa kukubali.

“I will say yes. But I want you to know this. Being a part of my pack means you being different. I don't know about you did, and I will, so if you so as closely think of doing something stupid with anyone, and I mean, ABSOLUTELY ANYONE... I'll kill you myself. Do we understand each other? (Kwa hilo nitakubali. Lakini nataka ujue jambo hili. Kuwa mmoja wa kundi langu itamaanisha uwe tofauti. Sijui kuhusu yale uliyofanya, na nitajua tu, kwa hiyo ukithubutu hata kidogo kufanya jambo la kijinga kuelekea mtu yeyote, na ninamaanisha, MTU YEYOTE YULE... nitakuua mimi mwenyewe. Tumeelewana?)"

Aysel akashusha macho yake chini na kutulia, akionekana kuogopa.

"You can go now (Unaweza kwenda sasa)," Draxton akamwambia na kurudi nyuma kidogo.

Aysel akamtazama Draxton, kisha akauliza, "When are we gonna...? (Lini tuta...?)"

"I'll call you (Nitakuita)," Mark akamwambia.

Darla akamtazama kaka yake kwa ufupi, kisha akamwangalia Aysel tena na kusema, "Get the hell out (Toka sehemu hii haraka)."

Aysel alimwangalia Darla kwa mkazo, na Mark, halafu akamtazama Draxton kwa njia ya ufikirio fulani hivi, kisha akapita zake kushoto na kutokomea kupitia dirishani.

Draxton akashusha pumzi na kuwageukia wenzake, kisha akasema, "A lot has happened tonight (Ni mengi yametendeka usiku huu)."

Mark akasema, "Yeah. We have lots to discuss (Ndiyo. Tuna mengi ya kuzungumzia)."

"I still think accepting her is a bad idea Draxton (Bado naona kumkubali huyo mwanamke ni wazo baya Draxton)," Darla akasema.

Mark akaelekea kabatini na kuvuta droo moja.

"You don't have to trust her. Just trust me (Siyo lazima umwamini. Niamini mimi tu)," Draxton akamwambia.

"I do (Ninakuamini)," Darla akasema.

Mark akawa amerejea upande wa Darla pamoja na taulo, naye akamsaidia kuufunika mwili wake uliokuwa wazi bado na kumtazama Draxton machoni.

"So what now? (Kwa hiyo nini kinafanyika sasa hivi?)," Draxton akamuuliza.

"Now... we're gonna help you change. You are going to be... our Alpha (Sasa... tutakusaidia ubadilike. Sasa utakuwa... Alpha wetu)," Mark akasema kwa uhakika.

Draxton akatikisa kichwa chake kuonyesha yuko tayari, naye Darla akatabasamu kwa hisia sana kwa kuwa na hamu kubwa juu ya badiliko la mwanaume huyu ambalo lingeyapa maisha yake na ya wenzao nuru mpya waliyotamani kuipata kwa muda mrefu.



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA TISA

★★★★★★★★★★★★★★


Siku ikakucha zaidi. Hakuna yeyote kati ya Draxton, Darla na Mark aliyeingia kujipumzisha kwa sababu ya kuhitaji kushughulika na suala la badiliko kamili la Draxton. Kutokea wakati ambao Aysel aliondoka, watatu hao walikaa kiufupi kusubiri baadhi ya majeraha ya ndani kwenye mwili wa Mark yajiponye vilivyo, wakala, kisha wote wakavaa vizuri na mwanaume huyo kuwaongoza Darla na Draxton mpaka ndani ya chumba cha chini cha nyumba (basement).

Hiki kilikuwa chumba cha kutunzia vifaa mbalimbali ambavyo havikutumiwa sana kiukawaida, na ingepita muda mrefu sana Mark kutokifungua kabisa labda awe tu amepanga kuingiza mzigo fulani au kukisafisha kidogo. Mark alikuwa amemwambia Darla abebe nyama nyingi kwenye chombo ili washuke nazo huko, kwa kuwa zingehitajika kwa ajili ya Draxton, na mwanamke huyo akatii.

Wakawa wameingia ndani ya basement. Kwa sasa kilikuwa safi kiasi, na lengo la kuingia humo lilikuwa kwa sababu ya utulivu wa hali ya juu uliokuwemo. Ndiyo vile vyumba ambavyo mara nyingi hutumiwa kama eneo la kujifichia la mizimu yenye kutisha ndani ya filamu nyingi za wazungu kutokana na hali ya ugiza inayokuwemo, na kwa sababu jambo ambalo walienda kufanya ndani hapo lilihusiana na mambo ya kiroho basi ingeonekana kweli Mark kawaingiza wenziye kwenye chumba cha mizimu.

Mwanaume huyu akamwelezea Draxton kwamba ili kufanya kilichowaleta humo kweli ingehitajika hali ya utulivu, kwa sababu angehitaji kuzungumza naye kuhusu mambo yote huku Draxton akiwa katikati ya badiliko lake. Hiyo ingesaidia aweze kujiunganisha na upande wake wa kiroho kwa urahisi zaidi kwa kila hatua ambayo angempitisha ili kuunganika nayo kikamili.

Lakini kwanza, alihitaji kumwelezea namna ambavyo utaratibu wao wa kuishi kama wanyama-watu ulivyokuwa kwa miaka mingi sana, na pia kumfunulia ukweli wa mambo fulani yaliyomhusu yeye pamoja na Darla kabla ya kuanza sakata hilo la kiroho, hivyo kwa pamoja wakakaa chini kwenye sehemu iliyokuwa na zulia pana na zito lililotandikwa. Tayari Draxton alikuwa ameshamsimulia Mark kuhusiana na zile ndoto zake siku iliyopita, na Mark akafurahi na kumpongeza kwa kushinda pambano lake na mnyama wa ndotoni.

Draxton aliketi kwa kukunja miguu yake katikati, Darla akiwa amekaa karibu yake upande wa kulia, na Mark akiwa ameketi kwa mbele ya uso wa Draxton wakitazamana machoni sawia.

"When I found you, I explained some things too fast that weren't so easy to comprehend. But as of now, you have got bit tip of the iceberg of how things are here (Nilipokupata, nilielezea mambo kadhaa haraka mno ambayo hayakuwa rahisi kuelewa. Lakini kufikia sasa, umepata angalau kuona kwa sehemu ndogo jinsi mambo yalivyo huku)," Mark akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa kukubali.

"As I mentioned earlier when we were in Tanzania, Dr Charles served as the founder of our kind basing from your father's achievement of creating you, so he had to make some regulations for us to carry on with our lives in success even after he was gone. I don't think he looked that hard, he must have figured out that we have the same qualities like wolves, and so in our evolvement we would have to live like how wolves lived, especially in terms of order. It would be like our own small government, which had a unique style of approach in effect to our human sides when we would interact with normal people. So the ranks were formed, in consideration to our nature, and everyone had to stay true to what they were given. I told you about the leaders of our packs. These are called Alphas. Like you (Kama nilivyosema wakati tupo Tanzania, Dr Charles ndiyo alikuwa kama mwanzilishi wa aina zetu akifuata fanikio la baba yako la kukutengenezea wewe, kwa hiyo alihitaji kuweka kanuni mbalimbali za kutusaidia kuendeleza maisha yetu vizuri hata baada ya yeye kutoweka. Sidhani ikiwa alihangaika sana, bila shaka aligundua tu kwamba sisi tuna ufanano wa sifa na mbwa-mwitu halisi, kwa hiyo katika ukuzi wetu tungehitajika kuishi kama tu ambavyo wanyama hao huishi, hasa katika suala la mpangilio. Ingekuwa kama serikali yetu ndogo, ambayo ilikuwa na mtindo wa kipekee wa kuendesha mambo ilipohusu upande wetu wa kibinadamu tulipohitaji kuchangamana na watu wa kawaida. Kwa hiyo vyeo vikatengenezwa, kwa kuzingatia asili zetu, na kila mmoja alitakiwa kubaki mkweli katika kile alichokabidhiwa. Nilikwambia kuhusu viongozi wa makundi yetu. Hawa huitwa Alpha. Kama wewe)," Mark akasema hayo.

Draxton akaendelea kumsikiliza.

"They see each of the pack members as family and make important decisions that reflect the growth and welfare of the pack. The rules for the pack are created by the Alphas, and they make sure they are properly enforced. Alphas decide on ranking, courting, maintaining the pack's hunting territory, and banishment of wolves that are deemed unworthy in the pack. Another important responsibility of the Alpha is to provide an emotional centre and focuses for friendly feeling in the pack, making the bond stronger. When issues arise, the whole pack can discuss ways to overcome them, but the final decision will be given out by the Alpha. You have the final say so in everything, and should act only for the good of the pack... something which our evil Alpha has neglected to do (Wanawaona wote walio kwenye kundi kama familia, na hufanya maamuzi yanayoangazia ukuaji na ubora wa kundi. Sheria za kwenye kundi huundwa na ma-Alpha, na wanahakikisha zinafuatwa kikamili. Ma-Alpha huamua masuala ya vyeo, uchumba, kumiliki maeneo ya uwindaji, na kufukuza mbwa-mwitu ambao hawastahili tena kuwa ndani ya kundi. Jukumu lingine la Alpha ni kuweka kituo kizuri cha kihisia na kukazia hali za urafiki ndani ya kundi, mambo yanayofanya muungano uwe imara zaidi. Matatizo yakizuka, kundi lote linaweza kuzungumza kuhusu njia za kuyatatua, lakini uamuzi wa mwisho utatolewa na Alpha. Neno lako ndiyo litakuwa la mwisho kwenye kila jambo, na unatakiwa ufanye maamuzi kwa kufikiria hali nzuri za kundi... kitu ambacho Alpha wetu mwovu ameshindwa kufanya)," Mark akamwelezea.

Draxton akaangalia chini kiasi, akiwa ameyaingiza mambo hayo kuhusiana na majukumu yake kama Alpha ndani ya akili vyema kabisa, kisha akamwangalia tena Mark kuendelea kumsikiliza.

"So the second in rank is an Alpha's mate. She is called a Luna, and is the female equal to the Alpha (Kwa hiyo anayefuata katika cheo ni mwenzi wa Alpha. Huyu anaitwa Luna, na ndiyo anakuwa kama Alpha wa kike kwa ulingano na Alpha mwenyewe)," Mark akasema.

Draxton akamwangalia Darla machoni, na mwanamke huyo akatabasamu kidogo huku ameibana midomo yake. Mark akamwangalia dada yake na kutabasamu pia, kwa kuwa tayari alijua kwamba Darla ndiye aliyetakiwa kuwa malkia wa Draxton. Draxton akaangalia chini kwa ufupi, akiwa amemuwaza malkia wake wa Tanzania, kisha akamtazama tena Mark.

"Our evil Alpha doesn't have a Luna... so he's on top of the chain by himself as he likes it (Alpha wetu mwovu hana Luna... kwa hiyo yupo juu ya uongozi peke yake kama apendavyo)," Mark akasema.

Darla akaonekana kuitikia maneno hayo kwa kukerwa sana, akiinamisha uso wake, na Draxton akawa ameona hilo.

"And then comes the Beta, who is second in command from the Alpha and Luna, but more important than the rest of the pack. They lead the pack when the Alpha and Luna are away (Kisha anafuata Beta, ambaye ndiyo wa pili kwenye mamlaka kutoka kwa Alpha na Luna, lakini anakuwa wa muhimu zaidi ya wengine kwenye kundi. Ma-Beta huongoza kundi pindi ambazo Alpha na Luna wanakuwa mbali)," Mark akasema.

"Who is the Beta now? (Ni nani ndiyo Beta kwa sasa hivi?)" Draxton akauliza.

"His sister (Dada yake)," Mark akajibu.

Draxton akaelewa kwamba dada ya huyo kiongozi mwovu ndiye aliyekuwa na mamlaka ya pili kwa watu-mwitu hawa, hivyo bila shaka na yeye alikuwa akiunga mkono utawala wa kimabavu wa kaka yake kwa kipindi kirefu. Alitaka kuuliza majina yao, lakini akaahirisha kwanza.

"The order goes just as how real wolves are ranked. We had Sentinels, who ensured that the pack is safe by patrolling the territory to make sure that no intruders enter the clearing; Hunters who were exceptionally skilled at tracking and hunting down prey, and little ones that were very young and new to pack life were called Pups. The female wolves that had been lowered in rank due to lack of sex from the Alphas for a long time or their wrong actions that led to banishment, were called Ferals (Mpangilio unakwenda kama tu ambavyo mbwa-mwitu halisi hujipanga. Walikuwepo Sentinel, ambao walihakikisha kundi linakuwa salama kwa kuzungukia maeneo yao kuhakikisha hakuna wavamizi wanaingia; Wawindaji ambao walikuwa na uwezo wa hali ya juu wa kufatilia na kukamata mawindo, na wale wadogo ambao bado hawakuwa wamekua vya kutosha kuelewa maisha ya kwenye kundi tuliwaita Pups. Majike ambao walikuwa wameshuka hadhi kutokana na kutoguswa na ma-Alpha kwa muda mrefu au kwa sababu ya matendo yao yasiyofaa yaliyosababisha wafukuzwe, ndiyo waliitwa Ferals)," Mark akaeleza.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa.

"There were also Roguewolves. These were ones that had either been kicked out of their pack or left on their own free will. They were mostly considered bad. In some cases they were the reason for deaths. They killed for vengeance. Or just because. Sometimes they might even kill a whole herd of sheep eating only few of it. But our evil leader made sure to eliminate all of them, so he could be the only big Roguewolf left because that's just what he is (Walikuwepo wale walioitwa Roguewolf. Hawa ndiyo wale ambao walikuwa aidha wamefukuzwa kundini au wameondoka wenyewe kwa hiari. Walionwa kuwa wabaya. Katika visa fulani walikuwa visababishi vya vifo. Waliua kulipiza visasi. Au kwa basi tu. Muda mwingine wangeua kundi zima la kondoo na kula wachache. Ila kiongozi wetu mwovu alihakikisha kuwaondoa wote, ili iwe ni yeye pekee ndiye aliyebaki kuwa kama wao kwa sababu kihalisi yupo kama wao)," Mark akaongea kwa mkazo.

Draxton alielewa kwamba Mark alikuwa anajaribu kumwelezea jinsi asili yake ilivyo kwa kumwambia vitu vilivyohusiana na maisha ya mbwa-mwitu, wale wanyama halisi, na ni kweli hii ingemsaidia kujua namna ya kuwaongoza vizuri kwa sababu ndiyo namna ambavyo walikuwa wameishi kwa kipindi kirefu. Sema shida tu ndiyo ilikuwa kwa huyo kiongozi wao mwovu ambaye angehitaji kuondolewa Draxton akishakuwa kamiligado, na ndiyo kitu ambacho Mark alikuwa anataka aanze kumsaidia kukielekea sasa.

"Understanding these things will help you lead us in a way that you see fit Draxton, and thus, you need also understand your inner spiritual workings and embrace them fully so you'll be able to control yourself as a beast. The dreams you had about the wolf who could talk, show that you are ready, and now you just gotta get the keys for unlocking your spiritual side and enter your mind into the beast's body when you'll change (Kuelewa mambo haya kutakusaidia uweze kutuongoza kwa njia uonayo kuwa sahihi Draxton, na kwa hiyo, unahitaji pia kuelewa jinsi upande wako wa kiroho ufanyavyo kazi na kuunganika nao kikamili ili uweze kujiongoza vizuri ukiwa kama mnyama. Ndoto ulizoota kuhusiana na mbwa-mwitu aliyezungumza, zinaonyesha uko tayari, na sasa unahitaji tu kuzipata funguo za kufungulia upande wako wa kiroho na kuuingiza ufahamu wako ndani ya mwili wa mnyama utakapobadilika)," Mark akaelezea.

"Understood (Imeeleweka)," Draxton akasema.

"Okay. In order to open your spiritual
side, you must free all the chis. You've heard of chi, right? (Sawa. Ili kuufungua upande wako wa kiroho, utahitaji kuziweka chi zote huru. Umeshawahi kusikia kuhusu chi?)" Mark akamuuliza.

"Like how it was explained in the Kung Fu Panda movie? (Kama ilivyoelezewa kwenye filamu ya Kung Fu Panda?)" Draxton akauliza.

Darla akacheka kidogo.

Mark akatabasamu pia na kusema, "I've never seen it, but I know lots of movies depict and talk about it. Its a bit different when it comes to our wolf spiritual chis unlike how it's explained in the movies... though not so different (Sijawahi kuiona, ila nafahamu filamu nyingi huonyesha na kuziongelea. Iko tofauti kidogo inapokuja kwa upande wetu wa chi za kiroho tofauti na zinavyoelezewa kwenye filamu... ingawa si tofauti kivile)."

Draxton akacheka kidogo kwa pumzi, kisha akasema, "I understand (Ninaelewa)."

"Well you see, the chis inside of us are a form of moving energy. When you have full control over your bestial side, the energy is flowing freely, but when you don't, something is blocking it. Its... like a long pipe connecting to a water tap. The water flows through the pipe, much like how the energy flows through your body. There are always gonna be several curves or turns where the water will swirl around before flowing on. Our spiritual chis are like those turns. If the pipes were only just straight, the water would flow clearly. But sometimes the pipes may have obstacles like dirt inside, much like how life tends to be messy, and what do you think that will cause? (Unaona, chi zilizo ndani yetu ziko kwa njia ya nishati inayotembea. Ukiwa na uwezo wa kuuongoza vyema upande wako wa unyama, hiyo nishati inapita kwa uhuru, lakini usipokuwa na huo uwezo, kuna kitu kinachoizuia. Ni... kama tu mpira mrefu unaounganika mpaka kwenye bomba la maji. Maji yanapitishwa kupitia mpira huo, kama jinsi ambavyo nishati inavyopitishwa ndani ya mwili wako. Sikuzote kutakuwa na mikunjo au kona kadhaa ambapo maji yatazunguka kwa kadiri fulani kabla ya kuendelea kutembea. Chi zetu za kiroho ndiyo kama hizo kona. Kama mipira ingekuwa imenyooka tu, maji yangepita moja kwa moja. Lakini nyakati nyingine mipira inaweza kuwa na vizuizi kwa ndani kama uchafu, kwa njia kama tu ambavyo maisha yamejaa machafuko, na unadhani hiyo itasababisha nini?)" Mark akamuuliza hivyo Draxton baada ya kuanzisha ufafanuzi.

"The water won't flow? (Maji hayatapitishwa?)" Draxton akajibu kwa kuuliza.

"Precisely. But... if we open and eradicate the obstacles in the middle of the pipes' turns... (Kabisa. Lakini... ikiwa tutafungua na kuondoa vizuizi katikati ya kona za mipira...)"

"The energy will flow (Nishati itapita)," Draxton akamalizia maneno ya Mark kwa jibu la moja kwa moja.

Darla akatabasamu kwa kufurahia mazungumzo hayo.

Mark akatikisa kichwa kukubali, naye akamwambia Draxton, "So what we are going to do here is open your blocked spiritual chis for you to connect fully with this side. You know... I've read a book once written by a normal person who wrote stuff like these in a fictional way, and the book has been used to create some pretty good and interesting stories in the film industries. It's like that guy lived with us once hahahah... (Kwa hiyo tutakachokifanya hapa ni kuzifungua chi zako za kiroho zilizozibwa ili uweze kuunganika na upande huu kikamili. Unajua... nimewahi kusoma kitabu fulani kilichoandikwa na mtu wa kawaida aliyeandika mambo kama haya kwa njia ya kubuni, na kitabu hicho kimetumiwa kuunda hadithi nzuri na zenye kupendeza kwenye viwanda vya filamu. Yaani ni kama huyo jamaa aliwahi kuishi na sisi kabisa hahahah...)."

Mark alikuwa anajaribu kutania kiasi ili kuifanya hali hii kuwa na wepesi kidogo, lakini Draxton akaendelea kumwangalia kwa umakini tu, halafu akauliza, "Where did you learn all of this? (Wewe ulijifunzia wapi haya yote?)"

Mark akawa makini zaidi na kujibu, "From our father (Kutoka kwa baba yetu)."

Kauli hiyo ikamfanya Draxton amwangalie Darla.

Darla akasema, "Our father was an Alpha. His firstborn, our elder brother, was going to be the next Alpha after him in our pack before they were both killed. Father used to sit him up and give him lessons to prepare him, and Mark never missed a meeting. That's why he knows a bunch of stuff (Baba yetu alikuwa Alpha. Mzaliwa wake wa kwanza, kaka yetu mkubwa, alitakiwa kuwa Alpha aliyefuata baada ya baba ndani ya kundi letu kabla ya wote kuuliwa. Baba alikuwa na kawaida ya kumkalisha na kumpa masomo ili kumwandaa, na Mark hakuwahi kukosa kikao hata kimoja. Ndiyo sababu anajua mengi ya hayo mambo)."

Draxton akamwangalia Mark usoni, na mwanaume huyo akaangalia chini. Hili lilikuwa jipya, na kwa jinsi tu ambavyo kuanza kumwongelea baba na kaka yao kulifanya huzuni ya ndugu hawa ionekane wazi, Draxton akaelewa kwamba hiki siyo kitu kilichotakiwa kuzungumzwa zaidi, kwa hiyo akajitahidi kuzuia akili yake ya uanasheria ya kuuliza maswali mengine zaidi kwa wakati huu. Kila jambo lingefunuliwa kwa wakati wake.

Mark akamtazama tena na kusema, "Alright, we can begin now. Are you ready? (Sawa, tunaweza kuanza sasa. Uko tayari?)"

Draxton akajisawazisha vizuri kwa namna ambavyo alikuwa amekaa, naye akafumba macho yake. Mark na Darla wakawa wanamtazama kwa umakini, na ndipo nywele za Draxton zilizokuwa ndefu bado zikaanza kuwa nyeupe zaidi kama vile zinakuwa mpya, na ngozi ya mwili wake ikabadilika rangi pia. Akafumbua macho yake, yakiwa na lenzi za blue sasa, naye akawa anamtazama Mark kwa umakini zaidi.

"I'm ready (Niko tayari)."

Draxton akiwa katikati ya badiliko lake sasa akawa ametamka maneno hayo, naye Darla akashusha pumzi ya utulivu.

Mark akatikisa kichwa kuonyesha uelewa, kisha akaanza kuongea. "There are five spiritual chis that help us connect fully with the animal inside of us, and their effect travels down to our human bodies as well. Each turn of energy has a purpose, and can be blocked by a specific kind of emotion. Opening the chis will be intense, and once you start, you can't stop untill all of them are freed. Do you understand? (Kuna chi tano za kiroho zinazotusaidia kuunganika kikamili na mnyama aliye ndani yetu, na athari zake hupita mpaka kwenye miili yetu ya kibinadamu pia. Kila kona ya nishati ina lengo lake, na inaweza kuzuiwa na aina fulani ya hisia hususa. Kuzifungua hizi chi kutakuwa na uzito, na pindi utakapoanza, hautakiwi kuacha mpaka zote zifunguliwe. Unaelewa?)" Mark akamwambia.

"I do (Ninaelewa)," Mnyama-Draxton akajibu.

"Alright. First we will open the chi of the spine. Close your eyes and meditate on each word I say by allowing your wolf spirit to clear things for you (Sawa. Kwanza kabisa tutafungua chi ya uti wa mgongo. Fumba macho yako na uyatafakari kwa undani maneno yangu kwa kuruhusu roho yako ya u-mwitu ikufunulie vitu waziwazi)," Mark akamwambia.

Kweli Draxton akafanya hivyo, na ni baada tu ya yeye kufumba macho akaanza kuona kama akili yake inavutwa na nguvu ya aina fulani, naye akajitahidi kuutuliza zaidi upande wake wa pili.

"The spine chi is a nervous system turn of energy. It deals with survival, and is blocked by fear. What is something that scares you the most? Let your fears become clear to you (Chi ya uti wa mgongo ni kona ya nishati ya mfumo wa neva. Inahusiana na suala la kuendelea kuishi, na inazuiwa kwa woga. Ni kitu gani kinachokuogopesha zaidi? Ziachilie hofu zako ziwe wazi mbele yako)," Mark akasema hayo.

Draxton, akiwa bado amefumba macho, upande wake wa kiroho ukaanza kumletea wimbi la taswira fulani za maono kuhusiana na jambo lililomtia hofu zaidi. Akaanza kuona pindi ambazo alibadilika kuwa mnyama bila kupenda, akihisi maumivu aliyokuwa akipitia kila mara alipojitahidi kujizuia kubadilika, kitu ambacho kikafanya kwa njia halisi mwili wake uanze kuyahisi maumivu hayo muda huo huo ambao Mark na Darla walikuwa pamoja naye. Akiwa amefumba macho bado, akaanza kupumua kwa uzito sana, huku akiguna kwa mngurumo wa sauti ya chini uliomfanya Mark na dada yake waelewe kwamba alichokuwa anakiona Draxton kilisababisha itikio hilo.

Mark akasema, "Draxton, your vision is not real. You are worried about your survival, but you need to surrender those fears. Clear the way and let them go, so the energy can flow freely in your nerves (Draxton, maono yako si halisi. Unahofia tu usalama wako wa kuendelea kuishi, lakini unahitaji kuzisalimisha hizo hofu zako. Safisha njia na uziachie, ili nishati iweze kupita kwa uhuru ndani ya hisi zako)."

Draxton akaanza kujitahidi kuuongoza vyema zaidi upande wake wa pili, na utulivu aliojipa ukafanya maono yale yaanze kufifia mpaka yakatoweka kabisa. Kukawa na mwanga mweupe uliotokeza mbele yake kwa njia fulani kama vile anafunguliwa macho, na kihalisi akawa amefumbua macho yake na kumtazama Mark. Yeye Mark na Darla wakawa wanamtazama pia kwa subira, na Draxton akatikisa kichwa kuonyesha kwamba amefanikiwa kufungua kona ya kwanza ya nishati yake kwa upande wa kiroho.

Mark akatabasamu na kusema, "Excellent! You've opened the first chi. You feeling okay? (Vyema sana! Umeifungua chi ya kwanza. Unajihisi vizuri?)"

"Yeah. There's a little chill feeling inside of me... like it's cleaning me up (Ndiyo. Kuna hisia ya ubaridi ndani yangu... kama vile inanisafisha)," Draxton akasema.

Mark akatabasamu na kusema, "That means its working. We can proceed. The next one is the chi of the lungs, which deals with breath and pleasure, and is blocked by the feeling of guilt. Look at all the guilt which is heavy on you. What do you blame yourself for? (Hiyo inamaanisha inafanya kazi. Tunaweza kuendelea. Inayofuata ni chi ya mapafu, inayohisiana na pumzi na raha, na inazuiwa kwa hisia ya majuto. Tazama majuto yote yanayokulemea wewe. Unajilaumu kwa mambo gani?)"

Draxton akiwa amefumba macho yake tena, akaanza kuona taswira za ile siku ambayo alikiuka maagizo ya mama yake ya kutoondoka na kwenda kujiunga na vijana wengine, jambo liliosababisha aue watu zaidi ya ishirini baada ya kubadilika bila kupenda. Pia, ingawa hakuwa na uwezo wa kujiongoza vizuri akibadilika, sasa akaona taswira ya namna alivyomrarua Ramona, mdogo wake Namouih aliyeitwa Nasri, pamoja na wale watu 16 wa Tanzania siku ile Suleiman alipotumwa na Efraim Donald ili kummaliza, naye Draxton akasema kwa hisia za huzuni, "I've hurt so many people (Nimeumiza watu wengi sana)."

Mark akamwambia, "Accept the truth that these things happened, but do not let them be an obstacle to your energy. If you are to be a positive influence on our kind, you need to forgive yourself (Kubali ukweli wa kwamba mambo haya yalitokea, lakini usiyaache yaweke kizuizi kwa nishati yako. Ikiwa utatakiwa kuwa kitu chenye uchochezi mzuri kwa watu wa aina zetu, unahitaji kujisamehe)."

Draxton akatumia kama dakika mbili kuutafuta utulivu wa kihisia ndani ya hali yake ya kiroho ili kweli aruhusu mwongozo huo wa Mark umsaidie katika jambo hilo, na ndipo akafumbua macho yake na kushusha pumzi. Darla akamshika begani kama kumpa kitia moyo, naye Draxton akamtazama.

"You are doing very well Draxton. The next three shall incite some tense feelings, so take your time to... (Unafanya vyema sana Draxton. Tatu zinazofuata zinaweza kukuingizia hisia nzito zaidi, kwa hiyo chukua muda wako ku...)"

"No need. I'm ready. Let's do this (Hakuna haja. Niko tayari. Tufanye hii kitu)," Draxton akamkatisha Mark kwa kusema hayo kwa uhakika.

"Okay. The third one is the chi of the stomach. It deals with strength of will, and is blocked by shame. What are you most ashamed of Draxton? (Ya tatu ni chi ya tumbo. Inahusiana na nguvu ya nia, na inazuiwa kwa aibu. Ni nini kinachokufanya uhisi aibu zaidi Draxton?)" Mark akauliza.

Draxton akaanza kuona taswira za mambo mengi ambayo Blandina alikuwa amejitahidi kufanya kwa kipindi kirefu kumwonyesha jinsi alivyompenda, lakini ingawa na yeye alijitahidi pia kuurudisha upendo huo akashindwa mara nyingi mno na kumsababishia maumivu mwanamke yule. Kilichoisumbua nafsi ya Draxton kuhusiana na jambo hilo ni kwamba alimsaliti Blandina kwa kutoka na rafiki yake haijalishi sababu ilikuwa nini, na hili likafanya aanze kuumia tumbo wakati huu, naye akasema, "I'll never forgive myself for betraying and hurting her. I can't (Siwezi kamwe kujisamehe kwa kumsaliti na kumuumiza. Sitaweza)."

Ingawa Mark hakujua nani ameongelewa, akamwambia, "You will never find balance within yourself if you let this part of your life continue to keep you down. You are also human and therefore, you make mistakes. Unload the burden from that feeling, and let the energy flow (Hautaweza kamwe kujipa mhimili wa ndani kwa ndani ikiwa utaacha sehemu hiyo ya maisha yako iendelee kukushusha chini. Wewe ni mwanadamu pia na hivyo, ni lazima utakosea. Utue mzigo unaokulemea kutokana na hisia hiyo, na uiachie nishati ipite)," Mark akamwambia.

Draxton akaonekana kuvuta pumzi ndefu na kuishusha, kisha akafumbua macho kuonyesha amefanikiwa.

"How are you feeling? (Unahisije?)" Darla akamuuliza.

"Like I really want to eat lots of meat (Yaani kama nataka kula nyama nyingi sana)," Draxton akasema.

Mark akatabasamu, naye Darla akavuta chombo kilichokuwa na zile nyama na kumpa, naye akaanza kuzishambulia. Mark alielewa kwamba hiyo chi ya tumbo kufunguka ndiyo iliyokuwa sababu ya hamu ya Draxton ya kula kuongezeka, naye pamoja na Darla wakaendelea kutazama alivyokula mpaka yote ikaisha; mifupa tu ndiyo ikiwa imebaki. Akatulia kwa dakika chache, bado akiwa ndani ya badiliko lake la kati, kisha akajisawazisha vizuri na kumwangalia Mark usoni.

"You were right. That was tense (Ulikuwa sahihi. Hiyo ilikuwa nzito)," Draxton akasema.

Darla na Mark wakatabasamu, naye Mark akasema, "Very good. Now to the next (Vizuri sana. Sasa kwa inayofuata)," Mark akasema.

Draxton akafumba macho yake tena.

"The fourth one is the chi of the heart. It deals with love and is blocked by sadness. Let it all unfold in front of you. What made love so beautiful in your heart, and then what blocked it? (Ya nne ni chi ya moyo. Inahusiana na upendo na inazuiwa na huzuni. Ziachie zote zije mbele yako. Nini kilifanya upendo uwe mzuri sana moyoni mwako, kisha nini kikauwekea kizuizi?)"

Draxton akaanza kuona taswira ya mama yake mzazi, jinsi alivyokuwa mrembo kwa macho yake, na pindi nyingi zenye kupendeza alizoshiriki pamoja naye, naye akasema, "Mom (Mama)." Kisha taswira ya mama yake ikaanza kupukutika na kufifia kama namna ambavyo mapumba ya mchele hupeperushwa na upepo, ikitoweka mbele yake baada ya kuona namna alivyokufa kutokana na saratani, na Draxton akadondosha chozi na kusema, "I couldn't save her (Sikuweza kumwokoa)."

Darla akawa anamwangalia kwa huruma.

"You have indeed felt great sadness. But love is a form of energy, and even when we lose that which we love, it keeps rotating all around us. Your mother's love for you has not left this world Draxton. It is still inside of your heart, and is reborn in the form of new love (Bila shaka umehisi huzuni nzito sana. Lakini upendo ni aina fulani ya nishati, na hata wakati ambapo tunapoteza kile tukipendacho, unakuwa unaendelea kutuzunguka. Upendo wa mama yako kwako haujatoweka kwenye hii dunia Draxton. Bado umo ndani ya moyo wako, na unazaliwa kwa mara ya pili katika njia ya upendo mpya)," Mark akamwambia.

Draxton akiwa bado amefumba macho na kusikia maneno hayo, alikuwa anaona taswira ya uso wa mama yake uliokuwa ukipukutika, na kisha ukaanza kuunda sura ya kitu kingine alichokiona kwa mara ya kwanza akiwa katikati ya badiliko lake baada ya kipindi kirefu sana; Namouih.

Aliweza kuikumbukia siku hiyo, usiku, ikiwa ndiyo alikuwa ametoka kugongwa na gari la Blandina alipokuwa mbioni kubadilika na hivyo kugongwa kule na gari kukazuia asipitilize zaidi. Aliponyanyuka na kugeuka nyuma, ni Namouih ndiye aliyekuwa wa kwanza kuonwa naye baada ya wanawake wale kukimbilia gari. Hii ikafanya Draxton aelewe hata zaidi sasa sababu iliyofanya upande wake wa pili umpende Namouih, naye akafumbua macho yake na kutabasamu kidogo.

Mark akatabasamu pia, kisha akasema, "You have opened the spiritual chi of your heart (Umeifungua chi ya kiroho ya moyo wako)."

"One to go (Bado moja tu)," Darla akamwambia Draxton kwa uhakikisho.

Draxton akamwangalia Mark na kuuliza, "The last one, right? (Ya mwisho, si ndiyo?)"

"Yeah. Once you open this chi, you will be able to change at will and become aware of all your actions as a wolf whenever you change (Ndiyo. Ukishaifungua tu hii chi, utaweza kubadilika kwa kupenda na kutambua matendo yako yote kama mbwa-mwitu pindi yoyote utakapobadilika)," Mark akasema.

Draxton akashusha pumzi ya utulivu kama kuonyesha yupo tayari.

"The fifth spiritual chi, is the chi of the head. It deals with pure thoughts and focusing energy, and is blocked by emotional attachment. Focus on what attaches you most to this world (Chi ya tano ya kiroho, ni chi ya kichwa. Inahusiana na mawazo safi pamoja na nishati ya kukaza fikira, na kinachoizuia ni uvutano wa kihisia. Kaza fikira juu ya kitu ambacho kinakuvuta zaidi ndani ya huu ulimwengu)," Mark akasema.

Draxton akiwa amefumba macho yake, akaanza kuona taswira za Namouih, mpenzi wake. Zilikuwa ni picha za mwanamke huyo akitabasamu, akimshika, akimbusu, na nyakati walizopeana mapenzi licha ya changamoto zilizokuwa zikiwazunguka, vitu vilivyompa furaha Draxton kwa sababu fikira zake zote zilivutwa zaidi na mwanamke yule.

Mark akasema, "Now, let all of those emotional attachments go. Send your focusing energy out of their way, forget them (Sasa, ziache hizo hisia zenye uvutano ziende. Itoe nishati ya fikira zako kuzielekea, zisahau)."

Draxton akaanza kusumbuka. Hakufumbua macho, lakini Mark na Darla wakaona namna uso wake ulivyokunjamana na kichwa chake kuanza kwenda huku na huko. Alichosema Mark kilimaanisha kwamba Draxton alitakiwa kumwachia Namouih, amsahau, na jambo hilo likamchanganya sana.

Kwa kutambua kwamba Draxton alikuwa anahangaika kufanikisha hilo, Mark akauliza, "What is it that you see? (Ni nini ambacho unaona?)"

Draxton akaanza kupumua kwa uzito, na bila kufumbua macho akasema, "Namouih."

Darla akamtazama Mark akiwa hajaelewa Namouih ndiyo nini.

Mark akafumba macho na kuinamisha uso kwa kuhofia sana, kwa sababu alijua hili lisingekuwa jambo rahisi kwa Draxton kuafikiana nalo, lakini akamwangalia tena na kusema,"You will have to let her go, for now, or you'll block the energy from flowing in (Utapaswa umwachie, kwa sasa tu, ama utaizuia nishati kupita ndani yako)."

Darla akawa ameelewa sasa kwamba Namouih ndiye mwanamke ambaye Draxton alimpenda, naye akamtazama mwanaume huyo.

Draxton akaendelea kupambana na hali yake ya kiroho huku akisema, "I don't understand. Are you saying that my attachment to Namouih is a bad thing? Wasn't it a good thing in the previous chi? (Sielewi. Unasema kwamba muungano nilionao na Namouih ni kitu kibaya? Kwenye chi iliyopita hilo si lilikuwa jambo zuri?)"

"It will only be in the spiritual way. She is still your love earthily. But if you want to succeed in this Draxton... you have to let her go (Itakuwa kwa njia ya kiroho tu. Yeye bado ni mpenzi wako kidunia. Lakini ikiwa unataka kufanikiwa kwa jambo hili Draxton... unahitaji kumwachia)," Mark akaongea kwa upole.

Draxton akaanza kutetemeka, jasho likimtoka kwa wingi, na pumzi zake zikawa zinatoka kwa uzito zaidi. Makucha ya vidole vyake yakaanza kutokeza zaidi, ikionekana wazi kwamba alikuwa anahangaika mno na suala hilo, naye akaanza kuunguruma kwa sauti iliyozidi kuongezeka.

Mark akaingiwa na hofu kwamba huenda mwanaume huyo angeshindwa na kupitiliza kubadilika, naye akajiandaa kusimama huku akimwonyesha Darla kwa ishara kwamba asogee pembeni. Lakini Darla akamwangalia Draxton kwa hisia, naye akakishika kiganja chake kwa nguvu ili kujaribu kumpa kitulizo.

Mwanaume alikuwa anaona taswira nyingi za Namouih akiwa anafurahia naye mambo mengi, halafu zote zikawa zinatoweka mbele yake kama vile anamwacha, na yeye Draxton akijaribu kumkimbilia. Lakini akafikia hatua na kusimama tuli, kisha akageuka nyuma na kuona kama mlango uliosimama sehemu isiyo na ukuta. Akaangalia upande aliokuwa anakimbiza taswira za Namouih na kumwona mpenzi wake akiwa amesimama pia, akimwangalia kwa upendo, na sauti yenye maneno "Let her go" ikawa inasikika kwa kujirudia, kumhamasisha amwachilie Namouih.

Akafumba macho yake kwa ufupi, na alipoyafumbua, Namouih akawa ametoweka. Draxton akaendelea kusimama hapo akihisi huzuni sana, kisha akageuka na kuufata mlango ule. Akaufikia karibu na kuufungua, na ile wote ulipofunguka mwanga mweupe ukapiga macho yake na kumfanya ajikute anafumbua macho yake kwa nguvu ndani pale alipokuwa pamoja na Mark na Darla.

Darla akashtuka kiasi baada ya Draxton kufumbua macho namna hiyo, hata Mark pia. Bado yalikuwa na rangi ya blue, na alitazama mbele kama vile amepatwa na taharuki nzito, kisha yakalegea na yeye akaangukia chini pembeni. Darla akamwahi chini hapo na kuanza kumwita kwa kujali, huku Mark akimtazama kwa umakini. Makucha ya vidole vyake yakapungua, na ngozi nyeupe ya mwili wake ikarudi kuwa nyeusi taratibu. Kisha Draxton akafumbua macho tena, na wakati huu yalikuwa yamerejea hali ya kawaida, naye Darla akakilaza kichwa cha mwanaume huyo kwenye mapaja yake huku akimwangalia kwa kujali.

Draxton akawa anapumua kwa utaratibu zaidi, naye akamwangalia Darla machoni.

"How do you feel? Did... did it work? (Unahisije? Ime... imefanikiwa?)" Darla akamuuliza hivyo.

Draxton akamwangalia Mark usoni.

Mark akasogea karibu yao zaidi, naye akashusha pumzi kwa utulivu na kusema, "It worked. You did it (Imefanya kazi. Umeweza)."

Darla akatabasamu na kumtazama Draxton kwa furaha.

Draxton akatazama juu kichovu, akihisi hali mpya zaidi ndani ya mfumo wake wote wa mwili, kana kwamba kuna vitu alikuwa amesafisha kabisa, naye akafumba macho yake tena huku akitafakari jinsi ambavyo maisha yake yalizidi kuchukua hatamu mpya kila kukicha toka alipofika huku.

Mambo mengi yalizidi kuchanganya, na wazo la kumsahau Namouih ni kitu kilichomtia hofu sana moyoni. Kama msaada alioendelea kupata ulimfikisha mpaka kwenye hatua iliyomhitaji amsahau mpenzi wake, alielewa zaidi kuwa bila shaka hali hizi zingeendelea kuwa ngumu zaidi kwake mpaka kufikia pindi ambayo angeweza kuwasaidia watu hawa kikamili, na hivyo angehitaji kukaza moyo wake ili afanikiwe kushinda pambano lililokuwa mbele yake kwa lazima maana alikuwa akidhabihu mengi sana. Sana.




★★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…