Simulizi - change (badiliko)

Simulizi - change (badiliko)

DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI

★★★★★★★★★★★★★★


Mark na Darla wakamsaidia Draxton kunyanyuka, naye akasimama kabisa na kujitahidi kujipa utulivu zaidi. Alihisi nguvu fulani mpya mwilini, iliyozidi kuongezeka tu, na maumivu yoyote yaliyokuwa yamebaki yakawa yametoweka kabisa.

"You good? Do you need anything? Water? (Uko vizuri? Unahitaji chochote? Maji?)" Darla akamuuliza kwa kujali.

"I'm fine. Thanks (Niko sawa. Asante)," Draxton akasema.

"You've done this in less than an hour. You really are strong (Umefanikiwa kufanya jambo hili chini ya saa. Wewe kweli una nguvu sana)," Mark akamwambia Draxton.

"Was it supposed to take longer? (Ilitakiwa ichukue muda mrefu zaidi?)" Draxton akauliza.

"Yeah, and with a lot of trouble. Father used to say that for those who don't.... (Ndiyo, na kungekuwa na usumbufu mwingi. Baba alikuwa akisema kwamba kwa wale ambao hawawezi....)"

Maneno hayo ya Mark yakakatishwa baada ya wote kusikia sauti ya kengele mlangoni kutokea kule juu, na wote wakaangaliana.

"You expecting someone? (Kuna mgeni unayetegemea aje?)" Darla akamuuliza Mark.

"Not really... no (Siyo kabisa... hakuna)," Mark akajibu.

"Well it shouldn't be Ed or Gia cause they are far dead in their sleep (Haiwezi kuwa Ed ama Gia maana wamesinzia kama vile wamekufa)," Darla akasema.

"It could be a neighbor. Let me check (Inaweza ikawa jirani. Wacha nikaangalie)," Mark akasema.

Akawaacha wawili hao ndani hapo na kwenda kuangalia mgeni aliyefika alikuwa nani.

Darla akamsogelea Draxton zaidi na kusema, "I can't imagine the ordeals you've had to experience in your life. You must feel heavily burdened... and tired (Siwezi kupigia picha ni mitihani ipi imekupasa uipitie maishani mwako. Ni lazima uhisi kulemewa na mzigo mzito... na kuchoka pia)."

Draxton akatazama chini na kusema, "You are right. When you live as long as I have, you get... (Uko sahihi. Ukiishi kwa muda mrefu kama mimi nilivyoishi, unapatwa na...)"

Akaishia hapo kuzungumza baada ya kuingiwa na jambo fulani kwenye hisi zake za kusikia. Aliweza kutambua sasa mgeni aliyefika huko nje ambaye Mark alienda kuangalia ni nani, na hakuwa mwingine ila Aysel. Alimsikia Mark akimuuliza kwa nini amekuja hapo, Aysel akimjibu kwamba aliwa-miss, Mark akijaribu kumwambia kwamba aondoke kabla hajaonwa na mtu asiyetakiwa kumwona, na ikaonekana kwamba mwanamke huyo aliingia ndani kwa lazima baada ya kusema hana mahala pengine pa kwenda kwa sababu hana sehemu ya kukaa, na kilichomleta haikuwa kumwona yeye Mark ila Draxton.

Darla aliona umakini wa Draxton umehama kutoka kwenye mazungumzo yao, naye alipofungua hisi zake vizuri zaidi akatambua kwamba Aysel alikuwa ameingia ndani. Akahisi hasira na kuonyesha kutaka kumpita Draxton ili aende kushughulika na mwanamke yule yeye mwenyewe, lakini Draxton akaushika mkono wake kumzuia.

Darla akamwangalia usoni na kusema, "Let go, we got an intruder (Niachie, tumevamiwa)."

"Calm down, Darla... (Tuliza hisia, Darla...)"

"She's not supposed to be here! At least not now. What if Gianna wakes up and catches her scent in here? (Hatakiwi kuwa hapa! Angalau si kwa sasa. Vipi Gianna akiamka na kuikamata harufu yake ndani humu?)"

"Why? What will happen? What did she do to you? (Kwa nini? Nini kitatokea? Kwani aliwafanyaje?)" Draxton akauliza.

Darla akashusha pumzi na kutikisa kichwa, naye akasema, "I'll tell you everything at the right moment. Just... please come up and help me get rid of her (Nitakwambia kila kitu kwa wakati sahihi. Ila... tafadhali njoo nami unisaidie kumwondoa)."

Kisha mwanamke huyo akajitoa mkononi kwa Draxton na kutangulia kuondoka, akimwacha mwanaume anawaza ni shida gani iliyokuwepo kuwafanya watu hawa wamchukie Aysel. Lakini Aysel mwenyewe alionekana kuwa mkaidi kwelikweli, kwa hiyo bila shaka jambo alilowafanyia lazima lilikuwa zito.

Draxton akafuata nyayo za Darla na kwenda mpaka sebuleni na kuwakuta watatu hao wakiwa wamesimama usawa wa mlango. Darla sasa alionekana kuwa amempita Mark na kusimama mbele zaidi kutokea pale Aysel aliposimama, akimwangalia kiukali, na Aysel akimtazama kibabe. Mark alipomwona Draxton, akasogea nyuma kidogo akionekana kuishiwa pozi.

"I will only say this once. Get... out (Nitasema jambo hili mara moja tu. Toka... nje)," Darla akamwambia Aysel.

Aysel akamwangalia Draxton, akiona nywele zake nyeupe zilizompa mwonekano tofauti sasa, naye akasema, "Alpha Draxton, I came to see you. I really need your help, I'm regressing fast to be a feral, if you can please just... (Alpha Draxton, nimekuja kukuona. Ninahitaji sana msaada wako, ninashuka hadhi upesi mno kuwa feral, ikiwa tu unaweza tafadhali kuni...)"

"I told you I'd call you (Nilikwambia nitakuita)," Mark akamkatisha Aysel.

"When? How would you know where to find me? (Wakati gani? Utajua vipi pa kunipata?)" Aysel akamuuliza.

"I have my ways (Nina njia zangu)," Mark akasema kwa ukali kiasi.

"Didn't you hear what I said? (Hujasikia nilichokwambia?)" Darla akamsemesha Aysel.

"No one's talking to you (Hakuna mtu anayeongea na wewe)," Aysel akamwambia.

"What'd you say?! (Umesemaje?!)" Darla akauliza kwa ukali.

Akataka kumfata kwa shari lakini Mark akamzuia kwa kumshika mkono.

"That's enough (Inatosha)," Draxton akasema kwa utulivu.

Darla bado alikuwa na hasira ya kutaka kumrukia Aysel, lakini mwanamke huyo akatoka sehemu aliyokuwa amesimama na kumfata Draxton.

"Alpha... I really need you. Please... take me. I'll give you anything (Alpha... nakuhitaji sana. Tafadhali... nichukue. Nitakupa chochote kile)," Aysel akamwambia Draxton kwa kusihi.

Draxton akabaki kumtazama mwanamke huyo kwa umakini.

Darla akajitoa mkononi kwa Mark na upesi kwenda mpaka hapo aliposimama Aysel, naye akamsukuma kwa nguvu huku akisema, "F(...) off! He's mine! (Toka hapa! Yeye ni wangu!)"

Draxton akamshika Darla kiunoni kwa nguvu kiasi kumzuia asiendeleze fujo.

Aysel akajisawazisha vizuri kutokea pale alipokuwa ameangukia baada ya kusukumwa, kisha akasimama na kusema, "I don’t want him as a mate, just to keep my sanity. Why are you so clingy? (Simhitaji awe mwenzi wangu, ni ili tu niendelee kuuweka ufahamu wangu vizuri. Mbona unakuwa mwenye kumganda sana?)"

“I’m not even bonded to him yet. Wait for your turn bitch (Bado hata sijaunganika pamoja naye. Subiri zamu yako malaya wewe)," Darla akamwambia.

Mark akasogea mpaka hapo na kusema, "Aysel please... try to understand. What you're worried about is also happening to my sister, and you better than anyone know that she has every right to act this way. Draxton has already promised you to be part of his pack, trust that, and wait. Please go (Aysel tafadhali... jaribu kuwa mwelewa. Unachohofia ni kitu ambacho kinampata dada yangu pia, na wewe zaidi ya mtu yeyote unajua kabisa kwamba ana kila haki ya kutenda jinsi hii. Draxton ameshakuahidi kuwa sehemu ya kundi lake, amini hilo, na usubiri. Tafadhali nenda)."

Darla alikuwa ameanza kutokwa na machozi, na jambo hilo likamtatiza sana Draxton. Aysel akamwangalia Draxton kwa njia ya msisitizo, lakini Draxton akamwonyesha kwa ishara ya kichwa kuwa aondoke. Aysel akaanza kuelekea mlangoni, na alipoufikia akageuka kuwaangalia wote kwa ufupi, kisha akaondoka. Draxton akamgeuza Darla ili watazamane, na mwanamke huyo akawa anajifuta machozi huku akijikaza kisabuni.

"Darla... tell me why you are like this (Darla... niambie kwa nini uko namna hii)," Draxton akamsemesha kwa upole.

"I will, just... not now. I need to get some rest. You two should do the same. We'll get together later, okay? (Nitakwambia, ila... si sasa. Ninahitaji kupumzika kidogo. Nyie wawili mpumzike pia. Tutakutana baadaye, sawa?)" Darla akamwambia Draxton.

Mwanamke huyo akaondoka tu kutoka hapo upesi, akiwaacha wanaume wanamwangalia mpaka alipotoka ndani ya nyumba kabisa.

Draxton akamwangalia Mark na kuuliza, "It is not gonna be easy for me to be a leader, will it? (Haitakuwa rahisi kwangu kuwa kiongozi, sivyo?)"

Mark akatazama pembeni kwa ufupi, kisha akasema, "It never is. But I believe in you. I know you will be the best leader we could never get (Haiwi rahisi sikuzote. Lakini nina imani ndani yako wewe. Ninajua utakuwa kiongozi bora zaidi ambaye hatujawahi kupata)."

"Why didn't you just take your brother's place? You are a child of an Alpha (Kwa nini haukuchukua sehemu ya kaka yako? Wewe ni mtoto wa Alpha)," Draxton akamuuliza.

"I could never even if I tried. I'm not a firstborn, so the wolf spirit would not bestow leadership upon me. After the other Alphas and their firstborns were murdered, there were few of us who tried to gain that privilege but failed. The evil leader did not want to sire a child so he could be the only one Alpha left, and now, that's gonna change (Nisingefanikiwa hata kama ningejaribu. Mimi si mzaliwa wa kwanza, kwa hiyo roho ya u-mwitu isingeniwekea uongozi juu yangu. Baada ya ma-Alpha wengine na wazawa wao wa kwanza kuuliwa, kulikuwa na wachache waliojaribu kuupata wadhifa huo na kushindwa. Kiongozi wetu mwovu hakutaka kuzalisha mtoto ili abaki kuwa Alpha pekee, na sasa, hilo litabadilika)," Mark akasema.

"Aysel is desperate for help. Won't she go back to him and tell him about me? Wouldn't that put you guys in danger? (Aysel anataka sana msaada. Vipi akirudi kwake na kumwambia kunihusu? Hilo si litawaweka nyie hatarini?)"

"She won't. You made sure of that last night that's why she was here now. Even if she did, we already have you, and in just a matter of time you will be able to protect all of us from him (Hatafanya hivyo. Ulihakikisha jambo hilo usiku uliopita na ndiyo sababu amerudi hapa tena. Hata kama angemwambia, sisi tuna wewe tayari, na ndani ya muda mfupi tu utaweza kutulinda sote dhidi yake)," Mark akasema.

"What's his name? (Jina la huyo mwanaume ni nani?)" Draxton akauliza.

"Robert. Robert King," Mark akamjibu.

Sasa Draxton akawa amelijua jina la mhasimu wake aliyewasumbua watu-mwitu wenzake kwa kipindi kirefu, na kilichokuwepo ni kuja kukutana naye ili amalize matatizo aliyosababishia wengi wa watu wake. Mark akasimama kwa njia fulani kama anajiandaa kufanya kitu, kisha akaweka mkono wake kifuani akiwa amekunja ngumi na kupiga goti moja chini, kwa njia ile ile ya heshima kama alivyofanya mara ya kwanza wamekutana Tanzania.

Draxton akamwangalia kwa umakini na kumuuliza, "What are you doing? (Unafanya nini?)"

Mark akasema, "Now that you are fully connected with your wolf spirit, I will pledge my loyalty to you Draxton. I'll officially be the first member of your pack (Sasa kwa kuwa umeunganika kikamili na roho yako ya u-mwitu, nitatoa rehani ya uaminifu wangu kwako Draxton. Nitakuwa mtu-mwitu wa kwanza rasmi ndani ya kundi lako)."

Draxton akaendelea kumwangalia kwa utulivu, naye Mark akafumba macho yake na kuyafumbua tena, sasa yakiwa yenye mng'ao wa rangi ya njano kwenye lenzi.

Mark akasema, "I fully submit myself to you. I pledge my loyalty and my life in the bond of your pack, Alpha Draxton (Ninajitoa kwako kikamili. Ninaweka rehani ya uaminifu na maisha yangu ndani ya muunganiko wa kundi lako, Alpha Draxton)."

Baada tu ya Mark kusema maneno hayo, Draxton akahisi kitu fulani kikipanda ndani ya mwili wake na kumpa kama nguvu mpya, na macho yake yakawa ya blue kwa sekunde chache, kisha yakarudia hali ya kawaida. Akaelewa kwamba hiki ndiyo kitu ambacho Mark sikuzote alizungumzia kuhusu uchochezi au uvutano ambao Alpha alikuwa nao kwa watu-mwitu wake, na sasa hivi uchochezi wake Draxton ukawa ndani ya Mark baada ya mwanaume huyo kujikabidhi kwenye muungano wake.

Mambo yalikuwa ni mengi, lakini ndiyo kwanza ulikuwa mwanzo tu. Mark sasa akarejesha hali ya kawaida baada ya kuhalalisha uaminifu wake kwa Draxton, naye akatabasamu kwa kujivunia. Draxton akatabasamu kidogo pia na kutikisa kichwa kuonyesha shukrani kwa mwanaume huyo kumwamini mpaka kufikia hatua hiyo, na sasa ambacho kilibaki ilikuwa kuwaunganisha wengine pia kwenye kundi lake baada ya yeye kuungana kikamili na mnyama aliyekuwa ndani yake.


★★★★★


TANZANIA


Siku hii, Namouih aliamka mapema na kupata kiamsha kinywa nyumbani hapo kwa Salome, na alikuta mwanamama huyo akiwa ameshaondoka kwa ajili ya kazi. Yeye Namouih alikuwa na mpango wa kuchukua likizo nje ya kazi kwa mwaka mzima baada ya matukio yote yaliyompata kutokea, hivyo hakuhitaji kushughulika na kazi yoyote kwa siku hii na alipanga kwenda baadaye kuonana na Mr Edward Thomas kufikisha ombi lake. Kwa vyovyote vile ambavyo mambo yangekuwa, aliihitaji sana likizo hii ili mwili na akili yake viweze kutulia vya kutosha mpaka kufikia wakati wa kujifungua, na pesa yake ya akiba ilitosha kabisa kumsukuma kwa muda wote huo ambao angekuwa nje kikazi.

Baada ya kuhakikisha Sasha anaendelea vizuri, Namouih akajaribu kumtafuta Draxton mara kadhaa kwa simu, lakini hakujibiwa. Akaona amwache na kwenda kuzungumza na Zakia kuhusu ujio wa Halima jijini. Makadirio ya kufika kwake ingekuwa kwenye mida ya saa kumi na mbili mpaka saa moja jioni, hivyo Namouih akamwambia mama yake kwamba wangekwenda kumpokea pamoja na kumpeleka hotelini kwa ajili ya mapumziko. Akaweka wazi dhumuni la Halima kuja huku, akisema alimhitaji Zakia awepo katika mazungumzo yao hasa kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa shuhuda halisi wa visa vyote vilivyotokea mpaka Efraim Donald akauawa.

Mama yake Namouih hakuwa na kipingamizi kwa jambo hilo, naye akamwambia bintiye angekuwa tayari kufikia muda huo kwenda pamoja naye.

★★

Namouih alikwenda mchana kuonana na boss wake kwenye kampuni ile ambayo alifanyia kazi kupeleka ombi lake la kutaka likizo. Mr. Edward Thomas alishangazwa na jambo hilo, naye akauliza kwa sababu ipi Namouih alidhani angepewa tu likizo hiyo wakati yeye ndiye aliyekuwa mwanasheria mkuu katika kampuni hiyo. Tayari Namouih alikosa kesi kadhaa kwa wiki chache zilizopita na kulikuwa na hasara fulani zilizokuwa zimeanza kujitokeza hasa baada ya mwanasheria wake msaidizi kuacha kazi ghafla, kwa hiyo boss akasema kutoa likizo kwa mwaka mzima ni suala ambalo halingeona uafiki.

Namouih akaweka wazi kwamba alikuwa mjamzito, na pia alipima kule hospitalini na kuambiwa kwamba alihitaji muda mrefu sana wa kupumzika ndiyo sababu alifikia uamuzi huu, lakini bado Mr. Edward akagoma kumhidhinishia likizo hiyo. Kwa kuona kwamba boss wake hakutaka kumkubalia, Namouih akatoa pendekezo lingine; aache kazi.

Mr. Edward Thomas alimshangaa, akisema hakuelewa ni nini kilichokuwa kimemwingia mwanamke huyo mpaka kuchukua maamuzi bila kufikiri kwa kina, lakini Namouih akasema tayari alikuwa ameshafikiria kila Jambo kwa kina. Alimwambia kumweka mtu mwingine awe mwanasheria mkuu badala yake katika kipindi cha likizo yake lisingekuwa jambo gumu, lakini kama aliona hawezi kabisa kumpa likizo, basi angeacha kazi hapo.

Kwa kuhofia kumpoteza kabisa mwanasheria wake aliyeifanisisha zaidi kampuni yake na kupata wateja wengi kutoka sehemu za juu serikalini, Mr. Edward akaona amkubalie. Akampa likizo ya mwaka mmoja, lakini kwa sharti kwamba ndani ya huu mwezi mmoja Namouih alipaswa kuendelea na kazi kwa sababu kuna kesi kadhaa zilipaswa kumalizwa na yeye ndiye aliyekuwa tegemeo, na baada ya hapo ndiyo angekwenda kupumzika. Namouih akaona hilo halingekuwa jambo baya, naye akakubali na kumshukuru mkubwa wake kwa kumtendea wema.

Wakati alipoaga ili aondoke, Mr. Edward akamuuliza ikiwa taarifa zozote mpya kumhusu Efraim Donald zilikuwa zimeletwa, lakini Namouih akakataa, akisema bado hakuwa amesikia chochote kile, naye akaondoka hapo.

★★

Basi, muda ukasonga kama kawaida mpaka jioni ikaingia. Namouih na Zakia walifika stendi kuu ya mabasi na kusubiri lile ambalo Halima alikuwa amepanda lifike. Namouih alikuwa amejaribu kwa mara nyingine tena kumtafuta mpenziwe aliyekuwa Marekani, lakini kwa sababu asizofahamu bado akawa hajibiwi.

Zakia alikuwa anamtia moyo binti yake, akisema Halima alikuwa mwanamke mwelewa na hata kama taarifa ambazo wangempa zingemuumiza sana, bila shaka angekubaliana naye kwamba kila jambo lililotokea halikuwa makosa ya Namouih, bali mwana wake mwenyewe. Namouih akaendelea kuzituliza hisia zake mpaka pale mama wa aliyekuwa mumewe alipofika hatimaye.

Haikuwa kukutanika kwa shangwe kama ilivyokuwa zamani, ingawa Zakia alijitahidi kumwonyesha Halima shauku kiasi baada ya kuonana kwa mara nyingine. Halima alionekana kuwa makini, na hata waliposaoimiana na Namouih, mtu angedhani ndiyo walikuwa wamekutana kwa mara ya kwanza na ndiyo wakatambulishwa. Kulikuwa na hali ya umbali baina yao hata walipoingia ndani ya gari lake Namouih na kuanza kuelekea jijini zaidi, ikiwa ni Zakia sanasana ndiye aliyekuwa akiongea zaidi na mwanamama huyo.

Namouih akaendelea kuendesha gari na ukimya wake mpaka walipoifikia hoteli aliyokusudia kumchukulia Halima chumba. Ilikuwa ni kwenye hoteli ile ile ambayo Namouih alikaa mwanzoni kabla ya kuhamia pale kwa Draxton, na baada ya kupata chumba kizuri, wakaingia humo na Halima kuingia kuoga kwanza.

Namouih akamwambia mama yake kwamba anatoka kwenda kuandaa sehemu nzuri ya kupata chakula hapo hapo hotelini, lakini Zakia akamshauri abaki kwanza. Alielewa binti yake alikuwa na wasiwasi, naye akamtuliza tu na kumwambia wamsubiri Halima amalize kujiweka sawa kisha mengine yafuate.

Kilikuwa ni chumba chenye upande wa sebule na sehemu ya kulala kwa upande mwingine, ambao ndiyo ulikuwa na bafu, hivyo wawili hawa walimsubiri Halima sebuleni mpaka alipokuja tena akiwa ameshajimwagia na kubadili mavazi.

"Angalau sasa hivi mwili uko fresh, eti? Maana kuna joto huku..." Zakia akamsemesha Halima kirafiki.

Halima, akiwa anaketi kwenye sofa moja, akasema, "Ndiyo, angalau. Me mwenyewe napenda kweli maji yaani kidogo tu nakuwa nataka kuoga kama bata."

Zakia akacheka kidogo na kusema, "Sisi kwa uchafu ndiyo tunaongoza kwa hiyo usafi muda wote inakuwa lazima."

"Ni kweli," Halima akasema hivyo, kisha akamtazama Namouih.

Namouih akamwambia, "Nilikuwa nakusubiri umalize... twende tukapate chakula kwanza halafu..."

"Binti yangu, haina haja. Sihisi njaa. Mimi nataka tu tuongee," Halima akamwambia kwa upole.

Zakia akamtazama Namouih kwa kujali.

"Ni mambo gani yanaendelea huku? Inaenda wiki ya tatu sasa sijampata Efraim, kuna watu mpaka wananitafuta wanamuulizia, na wewe unasema hujui... halafu mara sijui nasikia mmetalikiana... naomba unielezee jamani... mimi... sina amani..." Halima akazungumza kwa hisia.

Namouih akaanza kulengwa na machozi, hata pumzi zake zikaanza kutetemeka na kushindwa kutoa jibu lililonyooka.

Halima alipoona hilo, akauliza, "Shida ni nini? Eh? Mama Nam... mbona sielewi?"

Zakia akamtazama Namouih na kumwambia, "Jikaze mama... unahitaji umwambie ukweli."

Namouih akajifuta machozi upesi na kushusha pumzi ndefu.

"Ni mambo mazito dada yangu. Ni vitu ambavyo nikikumbukia nakuwa nashindwa hata kujua ikiwa inawezekana kuelezea... na hata kwa Namouih inakuwa ngumu zaidi maana yaliyotokea siyo mazuri," Zakia akasema.

"Nini kimetokea mama'angu? Niambie," Halima akamsemesha Namouih kiupole.

Namouih akatulia zaidi na kusema, "Efraim hakuwa mtu niliyedhani alikuwa mama. Ali... hhh... alinioa kwa misingi ya kishirikina ili apate mali nyingi zaidi."

Halima hakuonekana kushtuka kusikia kauli hiyo, lakini akauliza kwa utulivu, "Unamaanisha nini?"

"Alinioa kimasharti. Sijui kama ni ya waganga au vitu gani, lakini yalihusisha mambo mengi mabaya sana mama. Alikuwa anaua... wasichana wadogo... akiwatoa kama kafara kila mwezi... na mimi... nilikuwa kwenye hilo sharti alilopewa kwamba... anioe tu na kunitunza bila kunipa haki yangu ya ndoa mpaka amalize kutoa kafara zote alizotakiwa... kutoa..." Namouih akaongea huku midomo yake ikitetemeka kiasi.

Halima kiukweli alishangazwa na jambo hilo, lakini hakushangazwa na ukweli wenyewe. Tayari alikuwa anafahamu kwamba mwana wake alijiingiza katika masuala ya namna hiyo ili kutajirika ingawa hakuwahi kumuuliza wala kujua alitumia njia zipi, kwa hiyo kuelewa sasa kwamba mambo hayo yalihusisha vifo na maumivu kwa wengi kulimvunja sana moyo, naye akaangalia chini kwa huzuni.

"Nayokwambia yote ni kweli mama... hhh... Efraim alikuwa na roho ya kikatili... alimuua baba yangu, alimuua rafiki yangu, akalala na mdogo wangu, halafu akapanga kumuua na yeye pia kwa ajili ya hizo kafara... alikuwa ameniweka mimi ndani kama hirizi yake ya bahati katika kujizolea mali za kudumu kutoka kuzimu mama... yaani sikuamini kabisa kama alikuwa wa namna hiyo!" Namouih akaongea huku akitokwa machozi.

Halima akamwangalia, machozi yakianza kumlenga pia, naye akawa anatikisa kichwa kwa kusikitika.

"Ni kweli Halima, ni kweli kabisa. Nitaendelea kubeba majuto mengi mno moyoni mwangu kwa sababu ya ujinga mwingi nilioufanya maishani. Na moja kati ya majutio makubwa ni kumruhusu mwanao aniingie kimwili pia..." Zakia akasema.

Halima akamwangalia kimshangao.

"Ndiyo dada. Efraim alilala nami. Baada ya kutimiza haja yake akaniambia mipango yake pia na ndiyo kuanzia hapo nilijua hakuwa mtu niliyemdhania kabisa... sikudanganyi... najutia sana... sana," Zakia akaongea huku akilia.

Halima akafumba macho yake na kushusha pumzi kiutetemeshi, kisha akajikaza na kumwangalia Namouih tena kwa uimara, naye akauliza, "Kwa hiyo Efraim yuko wapi?"

Zakia akamtazama Namouih, na binti yake akaangalia chini.

"Niambieni aliko. Mmeshatalikiana, si ndiyo? Kama... mmemfichua maovu yake, sawa, nimekubali, lakini nataka kujua yuko wapi... hicho tu," Halima akasema.

Bado ikawa ngumu kutoa jibu.

"Mmemfunga au?" Halima akauliza.

"Efraim amekufa mama..." Namouih akamwambia moja kwa moja.

Halima akabaki kumtazama kana kwamba hajamsikia.

"Amekufa," Namouih akasema kiuhakika.

Halima akaanza kububujikwa na machozi mengi, na bila kutoa sauti yoyote ya kilio akainamisha tu kichwa chake na kuuegamiza uso kwenye viganja vyake. Mwili wake ulitikisika taratibu, ikionyesha dhahiri kwamba alikuwa analia, lakini hakutoa sauti. Namouih akawa analia pia bila kutoa sauti, na Zakia akamsogelea Halima na kuketi pamoja naye kumpa faraja kwa ukaribu.

Ingawa ni kweli Efraim Donald alkuwa mbaya, bado alikuwa ni mwanaye, na kifo chake kingemuumiza sana kwa maumivu yale yale kama aliyopitia wakati akimzaa. Aliendelea kulia ndani hapo kwa dakika nyingi huku Zakia akimfariji, na Namouih alikuwa pembeni tu mpaka alipotulia kiasi. Kisha akamuuliza Namouih ilikuwaje mpaka Efraim akafa.

Namouih akaelezea kwa kina namna ambavyo siri za Efraim Donald zilivuja kutokana na kikwazo cha kutompa mwanamke huyo haki yake ya ndoa. Alieleza jinsi alivyokuwa anampenda Efraim toka alipojitokeza kumsaidia baba yake, na alitaka kumwonyesha upendo huo kwa matendo kama tu mwanamke anavyotakiwa kufanya pia lakini ndiyo sharti la mumewe likasababisha amnyime kwa muda mrefu sana mpaka akatumbukia kwenye penzi la mwanaume mwingine. Kutoka kwake ndani ya ndoa hiyo ndiyo kulisababisha Efraim Donald afichuliwe, naye akaeleza kwamba ni mwanaume aliyekuwa akitoka naye ndiye aliyemuua Efraim baada ya mumewe kuwateka yeye, Zakia na Sasha, na hata kujaribu kumuua Sasha kikatili sana.

Halima aliumia sana. Alijihisi vibaya mno kwamba mambo yote hayo mabaya yalimhusu mwanaye pekee aliyekuwa amebaki kuwa nguzo kuu ya maisha yake, na sasa hakuwepo tena kwa sababu ya kujiingiza kwenye mambo yasiyofaa kabisa. Na alikuwa amemwonya. Alimwonya mapema kwamba kujiingiza kwenye masuala ya kishetani kungemwathiri vibaya, na sasa matokeo yakawa wazi. Sasa Halima akawa ameachwa bila mtoto hata mmoja, wote watatu aliozaa wakiwa marehemu. Iliuma sana.

Namouih akamsogelea Halima na kupiga magoti chini karibu kabisa na miguu ya mama huyo, naye akamshika mikononi na kumwomba samahani kutokana na kuwa chanzo cha kati kwenye matatizo yaliyotokea. Akamwambia kwamba angeendelea kumwona kuwa mama yake haijalishi nini kilikuwa kimetokea, na kumwomba asimchukie kwa sababu ya kilichompata Efraim.

Halima alimtazama sana Namouih, akiwa ametafakari suala zima kwa kina na kulielewa vizuri kabisa, naye akamkumbatia kwa upendo. Namouih alifarijika mno kupata jibu lake kwamba mwanamke huyo hakumchukia. Alilia kwa faraja aliyohisi moyoni, naye akarudisha kumbatio lake kwa hisia. Zakia alikuwa akitokwa na machozi pia, naye akajiunga kukumbatiana pamoja nao kwa furaha.

Ahueni Namouih aliyohisi moyoni baada ya kumaliza mambo haya upande wa mama-mkwe wake kwa njia nzuri ilimsaidia kuona vitu kwa njia chanya zaidi, naye angekuwa tayari kushughulika na kila kitu ambacho Halima angehitaji kutokea hapo ili wakivuke kipindi hiki wakiwa pamoja kwa umoja na uimara.


★★★★★


MAREKANI


Masaa kadhaa yakapita kutokea wakati ambao Mark alijitoa rasmi kuwa mwaminifu kwa Draxton. Wanaume hawa waliingia kujipumzisha, yaani kulala, kwa sababu walikuwa wamepitisha masaa mengi bila kufurahia usingizi na ndiyo wakajipa nafasi hiyo baada ya kumaliza kumsaidia Draxton kujiunganisha na upande wake wa kiroho.

Draxton alilala kwa muda mrefu sana. Alikuwa akiamka mara kwa mara na kurudi usingizini tena mpaka ilipofikia mida ya saa kumi na mbili jioni, ikiwa kama alipitia ugonjwa fulani mbaya. Ilikuwa ni uchovu tu, na hata baada ya kuamka muda huo akaendelea kujilaza kitandani mpaka kufikia saa moja, akiwa amejipa muda wa kutafakari kwa kina kuhusu suala la kutakiwa kumwachilia Namouih katika muungano wake wa kiroho.

Alikuwa anahofia labda jambo hilo lingekuja kusababisha amsahau mpenzi wake kabisa, na ni kitu ambacho hakutaka, kwa hiyo angefanya yote awezayo ili kisitokee. Ulikuwa umepita muda fulani hajamtafuta Namouih kutokana na mambo kuwa mengi, hivyo akajinyanyua na kwenda kuchukua simu yake ili afanye jambo hilo.

Alipoifungua, akakuta kwamba Namouih alikuwa amemtafuta mara nne jana usiku, na leo asubuhi pia, naye akatikisa kichwa kwa kusikitika kutokana na kushindwa kuijali simu kwa masaa mengi. Alipopiga hesabu ya haraka kichwani alielewa kwamba kwa muda huu, Tanzania ingekuwa aidha saa nane au saa tisa usiku, hivyo bila shaka Namouih angekuwa amepumzika.

Lakini akaamua kumtumia video ya kujirekodi, akimwambia kwamba amemkosa sana, na wanapishana mno kutokana na mambo mengi ya huku kuingiliana na ratiba ya muda anaotakiwa kumtafuta kila siku, ila akamhakikishia kuwa anampenda mno na atajitahidi kuwahi kuyamaliza mambo yote ili arudi kwake haraka.

Baada ya kumtumia video hiyo, akaingia bafuni kujiweka katika hali ya usafi, kisha akavaa T-shirt nyeusi na bukta nyepesi, naye akaelekea sebuleni. Nywele zake nyeupe alizibana kwa nyuma kama mkia, na alipofika hapo akamwona Mark sehemu ya jikoni akiwa anatengeneza nyama kama kawaida. Mark alipomwona pia, akamwonyesha ishara ile ya heshima kwa kuweka ngumi kifuani kwake, naye Draxton akamtikisia kichwa mara moja kama kumpa salamu ya mbali na kisha akakaa kwenye sofa.

Baada ya dakika chache, Mark akafika hapo alipoketi Draxton akiwa na sahani yenye nyama nyingi zilizotengenezwa vizuri, naye Draxton akamtazama usoni.

"Did you wake up long? (Umeamka zamani?)" Mark akamuuliza.

"Like an hour ago. You? (Kama saa moja lililopita. Wewe je?)" Draxton akauliza.

"Three hours back. I slept like a baby, and then went to fetch this steak. It even rained a little (Masaa matatu nyuma. Nililala kama mtoto, na ndiyo nikaenda kuifata hii nyama. Mvua imenyesha kidogo pia)," Mark akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"How do you feel now? (Unajihisi vipi sasa?)" Mark akauliza.

"Normal, and too good to be true (Kawaida, na vizuri mno kiasi cha kunipotosha)," Draxton akajibu.

Mark akatabasamu na kusema, "I'm glad. In a few, Darla is gonna come and help you with the change. She serves as your better half and will make sure everything goes according (Nafurahi. Ndani ya muda mfupi, Darla atakuja na kukusaidia kwa badiliko lako. Anatumika kama kikamilisho chako na atahakikisha kila jambo linakwenda kwa namna linavyotakiwa)."

Draxton akatikisa kichwa kukubali, na wote wakaanza kula.

"It feels wonderful sharing a meal with you. It was something I never thought would see the light (Inanipa hisia nzuri sana kushiriki mlo pamoja nawe. Ni kitu ambacho sikuwahi kufikiri kingekuja tokea)," Mark akamwambia.

Draxton akamwangalia na kusema, "You don't need to be formal with me Mark. I'm still Draxton. And you are a friend to me, so just be yourself and treat me like a normal person (Hauhitaji kutenda kwa njia ya ugeni kwangu Mark. Mimi bado ni Draxton. Na wewe ni rafiki kwangu, hivyo kuwa tu namna ulivyo na unitendee kama mtu wa kawaida)."

"Oh no, I wouldn't dare. You are very special, in ways yet unseen to yourself, and you deserve all the respect you are going to get (Oh hapana, siwezi thubutu. Wewe ni wa pekee sana, katika njia ambazo bado hujazitambua, na unastahili heshima yote utakayotakiwa kuipata)," Mark akasema.

Draxton akatabasamu kidogo, naye akaendelea kula pamoja na mwanaume huyo.

"I really can't wait for the time you'll start kicking ass! (Yaani siwezi kusubiri utakapofika muda uanze kutandika watu!)" Mark akaongea kwa shauku.

Draxton akatabasamu, akiwa ameelewa hilo lililoongelewa lilimaanisha kuwaangusha wabaya wao, naye akamuuliza, "Is everything okay with you? (Kila kitu kiko sawa kwako wewe?)"

Mark akasema, "Yeah. I'm good (Ndiyo. Niko poa)."

"How's Nina doing? (Nina anaendelea vipi?)"

"Ahah... she's fine. Once all of this is over, I'm going to tell her... well... if you'll allow me... (Ahah... yuko sawa. Mara tu haya yote yatakapokwisha, nitamwambia... yaani... ikiwa tu utaniruhusu ni...)"

"Of course. You'll tell her anything you want. I know you can't wait for me to kick ass so you can finally be with her freely, and I fully support that (Bila shaka. Utamwambia lolote unalotaka. Najua hauna subira kwangu mimi kuwaangusha wabaya wetu ili hatimaye uweze kuwa naye kwa uhuru zaidi, na mimi naliunga mkono kabisa jambo hilo)," Draxton akasema.

Mark akatabasamu na kusema, "Thank you (Asante)."

Wakiwa mbioni kumaliza nyama, mlango ukafunguliwa, na hapo ndani akaingia Darla. Draxton akamwangalia kwa upendezi mwingi. Wakati huu alionekana kutulia zaidi kihisia, na alipendeza kwa kuvaa blauzi nyepesi ya kijani pamoja na sketi fupi ya blue-bahari yenye mtindo wa marinda ya sketi ya shule iliyoyaacha mapaja yake wazi, na kama kawaida harufu yake nzuri ikazitia pua za Draxton sumu tamu ya hewa isiyoepukika kuvuta. Alikuwa ameziachia nywele zake ndefu kwa nyuma, naye akaelekea mpaka hapo wanaume walipokaa na kusimama pembeni kwake Draxton.

Mark akamwambia akae, lakini Darla akaendelea tu kusimama. Draxton akaitazama miguu mizuri ya mwanamke huyo na kupatwa na msisimko wa ajabu ndani ya mwili wake, na Mark akalitambua hilo na kutabasamu kiasi.

"You ate it all without inviting me? (Mmekula yote hata kunialika hamna?)" Darla akasema hivyo.

Draxton akampandisha mpaka usoni.

"Figured you guys had your own stuff there, so don't blame me (Nilionelea kwamba na nyie mtakuwa na mambo yenu huko, kwa hiyo usinilaumu)," Mark akamwambia.

"Whatever. Edmond went out with Gia again. I thought this would be a good time to come over... or am I too early? (Vyovyote. Edmond na Gia wametoka tena. Nikaona huu ndiyo wakati mzuri wa mimi kuja... ama nimewahi sana?)" Darla akauliza.

"No, perfect timing. I was just about to leave too (Hapana, ndiyo muda mwafaka. Mimi pia ndiyo nilikuwa nataka kuondoka)," Mark akasema.

Draxton akamwangalia Mark na kuuliza, "Where to? (Wapi unaenda?)"

"I'm off to the hospital again (Ninaenda hospitalini tena)," Mark akamjibu.

"And let me guess, it's a voluntary shift. What is it with you and this new obsession, huh? (Na ngoja nikisie, ni zamu ya kujitolea. Ni nini kilichokupa huu upendezi mpya uliopitiliza, eh?)" Darla akauliza huku sasa akikaa.

Mark akashusha pumzi taratibu na kuangalia chini kama anatafakari jambo hilo.

Draxton akamwangalia na kuona kama akili ya Mark ilivutwa na jambo zito, naye akauliza, "Is there something serious going on? (Kuna jambo lolote zito linaloendelea?)"

Mark akamtazama na kusema, "Yeah. The town hasn't said anything so people don't panick, but bodies have been showing up at the hospital. All of them are from cases of severe animal attacks (Ndiyo. Mji bado haujatangaza suala hili ili watu wasihofie kupitiliza, lakini kuna miili imekuwa ikifikishwa hospitalini. Yote imetokana na majanga ya kushambuliwa vikali na wanyama)."

Draxton na Darla wakatazamana machoni kwa umakini, kisha mwanaume akauliza, "And? (Na?)"

"The town sheriff and his men are doing a quiet manhunt to find the animal, they think it's a bear (Sherifu wa mji na maaskari zake wanafanya msako wa kimya-kimya kumkamata huyo mnyama, wanadhani ni dubu)," Mark akajibu.

"But it's not a bear, is it? (Lakini siyo dubu, ama ndiyo?)" Darla akauliza.

"Could there be any of our kind to do such things? (Watakuwepo wa aina yetu wanaofanya hayo mambo?)" Draxton akauliza.

"No, the Alpha would not allow it. Something else is going on (Hapana, huyo Alpha hangeruhusu jambo hilo. Kuna kitu kingine kinaendelea)," Mark akasema.

"It could be Aysel (Inaweza ikawa ni Aysel)," Darla akasema kwa mkazo.

Mark akamtazama dada yake kwa ufupi, kisha akasema, "It could be (Inawezekana)."

Hilo lilikuwa kweli, kwa sababu Aysel alikuwa anakaribia kupoteza ufahamu wake mzuri kama Gianna tu na alikuwa huko nje anazurura sana bila kupata msaada aliohitaji, kwa hiyo kuua au kuumiza watu ovyo ovyo lingekuwa jambo ambalo huenda angekuwa anafanya.

Kwa kufikia mkataa huo, watatu hawa wakawa wamekubaliana kuharakisha badiliko la Draxton ili aanze kuwashughulikia watu wake vizuri ili kama matatizo yaliyokuwa yameanza kutokea mjini yalisababishwa nao, basi aweze kuyakomesha upesi na kuendelea kuhangaikia mengine pia.



★★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA MOJA

★★★★★★★★★★★★★★★★


Mark akaenda zake kujiandaa kwa ajili ya kwenda hospitalini tena, akisema angerudi usiku zaidi, naye Draxton akarudi chumbani kwake na kuivua cheni aliyopatiwa na Namouih ili kuitunza sehemu salama. Hakutaka kwa namna yoyote ile aipoteze zawadi hiyo ya mpenzi wake, kwa hiyo akaitunza vizuri na kurudi kwa Darla. Wakaondoka pia, wakitembea tu kwenda sehemu zenye misitu zaidi zilizokuwa mbali na eneo hilo la mtaa wao. Wenzi wawili wa unyama. Draxton na Darla.

Waliendelea kutembea taratibu tu, na sasa walikuwa wakiingia mitini kulikokuwa na giza zaidi ilipokimbilia mida ya saa nne. Ilikuwa kama vile Darla anampeleka sehemu fulani hususa, nao walikuwa wakikumbushana namna usiku wa siku iliyotangulia walifanya mchezo mdogo uliopelekea Draxton akakutana na Aysel; kitu ambacho Darla alikuwa anajutia sana.

Draxton akamwambia hapaswi kujilaumu kwa lolote kwa sababu kila kitu kilielekea kuwa sawa kwa wakati huu, lakini bado Darla akasema akija kugundua Aysel ndiye aliyehusika kuumiza watu wengi ovyo ovyo namna ile, asingejali anaumwa wala nini, yaani angemtandika mpaka angelisahau jina lake mwenyewe.

Draxton alifurahishwa zaidi na Darla wakati huu, na hata akili ya kujua mambo ambayo walikuwa wanaenda kufanya kwa muda huo ilimsisimua sana, ijapokuwa hakuonyesha hilo wazi. Darla angeongea waziwazi kabisa kuhusu namna ambavyo anatamani mno kuja kufanya mapenzi na mwenzi wake wakiwa mbwa-mwitu kamili, kwa sababu kwa namna hiyo utamu ulikuwa ni wa hali ya juu, kwa hiyo leo angehakikisha anamwingiza jamaa upande huo ili ikija zamu yake ya kumilikiwa, afanye fujo zote anazotaka kwenye mahaba ya unyama.

Wakafikia sehemu za ndani za msitu na kusimama eneo lenye majani laini ardhini, naye Draxton akawa anaitazama miti mirefu iliyowazunguka gizani.

Darla akawa anamwangalia tu usoni, kisha akamuuliza, "Never had sex outdoors? (Haukuwahi kufanya mapenzi nje?)"

Draxton akamwangalia na kutikisa kichwa kukanusha.

"It's really fun. You'll get to do it out more often now (Inaburudisha sana. Sasa hivi utakuwa ukifanyia nje kwa ukawaida zaidi)," Darla akasema.

"If this works (Ikiwa hii itafanikiwa)," Draxton akamwambia.

"It will. So are you ready? (Itafanikiwa. Kwa hiyo uko tayari?)" Darla akauliza.

"To go all the way? (Kwenda mpaka mwisho?)"

Darla akacheka kidogo, kisha akasema, "In a way. It's like I'm going to force you to fully change. But at least you are well prepared, so let's do this quick (Kwa njia fulani. Itakuwa kama nakulazimisha ubadilike kikamili. Ila angalau umejiandaa vyema, kwa hiyo tufanye hili upesi)."

“How? (Kivipi?)” Draxton akauliza.

Darla akatabasamu na kusema, “Like this (Kama hivi)."

Mwanamke akamvuta jamaa na kuanza kumpa denda tamu ya kimahaba. Alijua kupiga busu, kwa maana haikumchukua Draxton hata sekunde kumi na tayari akawa amevimbisha mtambo wake kwa nguvu zote. Jinsi ilivyojibana kwenye mwili wa mwanamke huyo kwa ukaribu ilimtia hamasa ya kutaka kufanya mapenzi upesi, lakini akaamua kupeleka mambo taratibu tu kwa kuanza kucheza na kifua cha Darla kwa mikono yake, na ndiyo Darla akaivunja busu yao na kumwangalia.

“I don’t need foreplay, Draxton. Just sex (Sihitaji unifanyie tomasa, Draxton. Nataka penzi tu)," Darla akaongea hivyo kwa pumzi iliyojaa hamu.

“Won’t you tear me apart? (Hautanirarua?)” Draxton akamuuliza.

“Not now (Si sasa)," Darla akamjibu.

Darla akajibana zaidi mwilini kwa Draxton, na joto la mwanamke huyo likamvaa vyema mwanaume. Darla akawa anapeleka mambo haraka, akimvua Draxton T-shirt na bukta upesi, kisha naye akararua nguo zake upesi na kumrukia tena mdomoni.

Mwanaume angependezwa zaidi endapo kama jambo hili lingepelekwa taratibu kwa kuwa joto lake lilipanda kwa kasi kama tu la mwanamke huyo. Darla akamsukuma mpaka wote wakaanguka chini, naye akaifata mashine ya jamaa na kuanza kuinyonya na kuitafuna kwa hamu kubwa.

Kwa kuhisi upande wake wa pili unalazimisha kutoka, Draxton akaliachia badiliko lake la kati, na sasa akawa anaguna kwa miungurumo ya chini kuitikia penzi la Darla. Mwanamke huyo hakumnyonya mashine kwa dakika zaidi ya moja, na hapo hapo akaikalia na kuanza kujisugua kwa raha zote.

Kitoweo kilichobana sana kikaendelea kuivuta na kuikanda mashine ya mwanaume, na mzuka zaidi ukampanda hasa baada ya macho yake ya kinyama kuutazama mwili maridadi wa mwanamke huyo ulioanza kuongeza matiti ya ziada pamoja na manyoya. Akawa anataka kuyashika na kuyachezea, lakini Darla akaipiga mikono yake na kuikandamizia chini ili yeye tu ndiyo aongoze mahaba hayo.

Baada ya dakika kadhaa za kujisugua kwa kasi, mwanamke akamsogelea mwanaume usoni zaidi huku akiguna kimahaba, naye akasema, "Go on Draxton... let it out... it's time (Haya jiachie Draxton... acha itoke... ni muda sasa)."

Ni kweli kabisa joto kali zaidi lilikuwa limewapanda wawili hawa kufikia wakati huu, na Darla alikuwa anakomaa kumwongezea mwenzi wake ukali huo ili amlazimishe kubadilika. Draxton alihisi kama anarushwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kwa kuwa nguvu zake ziliendelea kuongezeka, naye akajihisi namna ambavyo mwili wake ulianza kuchukua muundo mpya kutokea hapo alipokuwa, na wakati huu akijitambua kabisa. Darla hakuacha kujisugua kwa nguvu, huku miguno yake ikianza kuwa mizito zaidi, na Draxton akawa amelazimika kufikishwa mwishoni mwa safari hiyo kwa namna nzito ambayo hakuwahi kuhisi kabla.

Mguno aliotoa uliambatana na kilio kama cha mbwa-mwitu pamoja na maumivu mengi yaliyopita mwilini kwa kasi, kila kona ya mwili wake iliuma, na akili yake ikapigwa na mwanga mkali kama vile ni pazia fulani kubwa lilikuwa limefunuliwa kwa nguvu mbele ya macho yake, na muda huo huo mwili wake wote ukabadilika!


★★★★★


TANZANIA


Upande wa Namouih, siku ilikuwa ikielekea kuingia mchana sasa kutokea iliyotangulia baada ya Halima kuwa amefika jijini. Baada ya mwanamama huyo kuelezewa kisa chote kuhusu mwanaye kilichopelekea kifo chake, Namouih na Zakia waliendelea kukaa pamoja naye hotelini pale na kumfariji, kisha wakapata chakula pamoja, halafu Halima na Zakia wakawa wamerudi chumbani kwa ajili ya kupumzika.

Namouih yeye alihitajika kurudi nyumbani kwa Salome kisha siku ambayo ingefuata, yaani hii ya sasa, ndiyo angerudi tena pale hotelini kwa mama zake. Alitumia muda fulani kuongea pamoja na Salome kuhusu namna mambo yalivyokwenda alipozungumza na Halima, akimwambia kwamba kweli mama yake na Efraim Donald alikuwa mtu imara na mwenye uelewa, naye Salome akampongeza kwa matokeo hayo mazuri na kusema Mungu alikuwa pamoja naye.

Muda fulani ya asubuhi hii, Namouih akawa ameiona video ambayo Draxton alijirekodi na kumtumia akimwambia namna ambavyo kazi za kule zilikuwa na ugumu uliomfanya abanwe, lakini alimkosa sana, alimpenda, na angejitahidi kumaliza yote ya kule upesi ili arudi kwake. Namouih akafarijika kujua mwanaume wake alikuwa sawa, naye akamwandikia ujumbe mzuri pia wa upendo mwingi aliokuwa nao kumwelekea.

Sasa ikiwa inaelekea mida ya saa sita mchana siku hii, Namouih alikuwa ametoka nyumbani pale kwa Salome na kuamua kupita kwenye soko la kisasa la bidhaa mbalimbali ili anunue vitu vingi kwa ajili ya ukaaji wa Halima jijini.

Mwanamama huyo alikuwa amepanga kukaa kwa wiki kama moja tu, lakini Namouih alimsihi akae kwa muda mrefu zaidi kwa maana kuna mambo mengi sana aliyokuwa akitaka kushiriki pamoja naye kama mwanafamilia wa karibu. Yaani akiwajumuisha wapendwa wake wote aliokuwa amewabakiza wakati huu, alitaka Halima ajenge kifungo imara zaidi kwake yeye licha ya mambo mengi kuharibika siku za karibuni, na kwa hilo Halima akawa amelikubalia.

Wakati akiwa dukani, baada ya kununua vitu vingi na kuvijaza kwenye mifuko, Namouih alipigiwa simu na boss wake, ambaye alimtaka aende ofisini kutokana na kazi fulani muhimu kuzuka na kuhitaji uwepo wake kule.

Mwanasheria huyu akakerwa sana na muda ambao jambo hilo liliingia kati ya mipango yake mingine, lakini bila kuwa na jinsi, akamwambia Mr. Edward kwamba angejitahidi kuwahi. Yaani alikuwa amefanywa kuwa kama keki ya kampuni hiyo maana mpaka mkuu wake alijishusha wakati mwingine ili tu asipoteze mtu kama yeye aliyepiga kazi vizuri.

Namouih akaamua tu kukatisha "shopping" hiyo na kuanza kuelekea sehemu ya malipo ili agharamikie vile alivyokuwa amechukua, na wakati tu alipokuwa amefika hapo, akaona jambo fulani lililofanya moyo wake udunde kwa nguvu sana. Ilikuwa ni kwenye mlango wa kuingilia sehemu ya duka hilo ndani ya soko, na mtu aliyekuwa akitoka ndani yake ndiye aliyemfanya ashtuke moyoni namna hiyo. Ilikuwa ni Blandina!

Yaani hakuwa ametegemea kabisa kumwona hapo. Hata tu lile wazo kwamba huenda rafiki yake huyo bado alikuwepo jijini lilikuwa limeshamtoka baada ya kujaribu kumtafuta sehemu kadhaa bila kufanikiwa kumpata.

"Dada!"

Mhudumu wa malipo akamshtua Namouih baada ya kumwita kwa sauti ya juu zaidi, na Namouih akamwangalia kwa njia ya kubabaika kiasi.

"Jamani, nakuita hata huitiki, una shida gani?" mhudumu akamuuliza.

"Aa... nini... shi'ngapi?" Namouih akamuuliza hivyo huku akiangalia nje kule.

Aliweza kumwona Blandina akiwa anaendelea kuondoka na kuishia tu.

"Laki mbili, arobaini na nne na mia sita..." mhudumu akamwambia.

Namouih akafungua mkoba wake na kutoa pesa, akizihesabu haraka-haraka sana mpaka mhudumu na mteja mwingine aliyekuwa nyuma yake wakawa wakimshangaa. Kwa uzuri aliokuwa nao, njia yake ya kufanya mambo sehemu hiyo ilimfanya aonekane kama vile hajasoma kwani hadi viganja vyake vilikuwa vikitetemeka. Akatoa laki mbili na nusu na kumpatia, kisha akabeba mizigo yake na kuharakisha kutoka ndani hapo.

Alianza kutembea upesi kuelekea kule alikomwona Blandina anaenda, naye akamwona kwa mbali akitoka nje kabisa ya soko kuonyesha alikuwa mbioni kuondoka. Mwanamke huyu akajitahidi kwa uharakishi wote aliokuwa nao kumwahi, ikiwa ni kama anakimbizana na muda, naye akafanikiwa kufika nje na kumwona Blandina akisimama sehemu ya mlango wa gari jeupe. Bila shaka lilikuwa lake kwa sababu alifungua mlango na kuonekana akitaka kuingia, na Namouih akaanza kuwahisha zaidi kumfata huku akimwita kwa sauti ya juu.

"Blandinaaa!"

Aliita, aliita, huku akikimbia pamoja na mizigo yake, na Blandina akawa amemsikia na kugeuka kumwangalia. Watu walikuwa wengi kwa eneo lote la hapo nje, na wengi wao walimtazama mrembo Namouih akikimbia na mizigo namna hiyo huku akipaaza sauti, lakini baada ya Blandina kumwangalia kwa ufupi, akaonyesha kutojali kabisa na kuingia ndani ya gari lake, kisha akaufunga mlango kabisa. Ilikuwa ni kama vile hamjui hata kidogo, naye akaliwasha gari lake upesi ili aondoke hapo.

Namouih hakukata tamaa. Akaendelea kukimbilia upande huo wenye gari la Blandina, na kwa tukio baya akawa amejikwaa na kudondoka chini kwa nguvu sana. Bidhaa zote alizonunua zikamwagika na kusambaa ardhini hapo palipojengewa lami, na watu wengi wakawa wanamshangaa na wengine kuanza kumsema kwa lawama, huku wengine wakimpa pole.

Blandina, akiwa ndani ya gari, aliweza kuona jinsi Namouih alivyoanguka chini, naye akatulia tu na kuendelea kumtazama kwa umakini huku mikono yake ikiwa imeukaza usukani kutokana na hisia kali zenye mvurugo kuwa zimemwingia.

Akaona pale watu wawili walipomsaidia Namouih kunyanyuka, wengine wakiokota vitu vyake na kuvikusanyia sehemu moja, lakini Namouih akaanza tu kutembea huku akidondosha machozi na akichechema kwenye mguu wake mmoja kulielekea gari la Blandina.

Blandina aliingiwa na hisi za huruma kiasi baada ya kumwangalia Namouih akiwa namna hiyo. Akatikisa kichwa kwa kutoamini kama kweli kabisa hata hisia za namna hiyo bado angeweza kuwa nazo kumwelekea mwanamke huyo aliyemsaliti vibaya, lakini ndiyo jinsi hali ilivyokuwa.

Akatazama tu mbele ya gari, akijua kuwa Namouih anakaribia kufika hapo, na baada ya mwanamke huyo kufika kweli, akagonga kioo cha mlango wa dereva na kusubiri. Watu bado walikuwa wanamwangalia, wengine wakidhani labda kafumaniwa au anamkimbilia tu hadharani mwanaume aliyemwacha.

Blandina akajikaza na kuamua kufungua kioo cha gari lake, lakini hakutazama upande wa nje.

Namouih alikuwa akilia bila kutoa sauti, akihisi maumivu kwenye goti lake la kushoto, na kwa sauti ya chini akasema, "Blandina... tafadhali... naomba tuongee..."

Blandina akafumba macho na kutikisa kichwa kidogo kwa njia ya kusikitika, na ndipo akamwangalia aliyekuwa rafiki yake wa damu kabisa. Namouih alionyesha mfadhaiko mkubwa wa kihisia kwa namna alivyomwangalia Blandina, kama vile msichana aliyefanya kosa akisimama mbele ya wazazi wake.

Kwa kumwangalia akiwa namna hiyo, Blandina aliona kwamba kwa njia moja ama nyingine mwanamke huyo alikuwa akiteseka sana kutokana na mengi yaliyokuwa yametokea, kwa hiyo kama kuongea naye ingempa faida fulani basi asingemnyima jambo hilo kwa wakati huu.

Blandina akarudi kutazama ndani ya gari lake, kisha akatoa kadi ndogo na kumpatia Namouih bila kumtazama. Namouih akaipokea kadi hiyo na kuiangalia, kukuta ni ya kibiashara yenye namba mpya za rafiki yake huyo.

"Nitafute. Tutakutana kesho."

Blandina akasema hivyo. Kiufupi na kwa uwazi. Namouih akamwangalia na kuona kwamba hakukuwa na chembe yoyote ya urafiki iliyobaki usoni mwake, na hata kwenye maneno hayo yaliyosemwa kiubaridi. Ilikuwa ni kama kwa vyovyote vile ambavyo maongezi yao yangekuwa wakishakutana, yangeendeshwa kana kwamba ni mkutano wa kibiashara baina ya mteja na afisa mauzo.

Blandina akaliondoa gari hapo mara moja, akimwacha Namouih anamsindikiza kwa macho, na huzuni tele ikiwa imemjaa moyoni.


★★★★★


MAREKANI


"Draxton..."

Jina lake likaitwa. Ilikuwa kutoka kwa sauti ya mwanamke iliyomwingia vyema, lakini ilikuwa inamharibia umakini wake aliouweka juu ya jambo fulani.

"Draxton..."

Ikaita tena. Hakupenda kabisa namna ambavyo sauti hiyo iliendelea kumwita. Kwa nini ilimsumbua? Jambo lililokuwa mbele yake ndiyo kitu pekee alichokitaka kwa sasa. Sehemu hiyo ya gizani. Kiumbe mwenye mwili mdogo kiasi na masikio mafupi yaliyoelekea juu. Alikuwa anamwangalia kwa umakini, akisikia jinsi ambavyo mapigo ya moyo wa kiumbe huyo na damu zilivyotembea ndani ya mwili wake.

Ilikuwa ni mnyama mdogo aina ya paa. Alikuwa akila nyasi fupi ardhini katikati ya miti mingi na mirefu iliyowazunguka, na kwa uharaka akanyanyua kichwa chake na kutazama upande uliokuwa na uwezekano wa mwindaji. Uwezekano wa mwindaji kuwa Draxton au kiumbe mwingine? Paa hakujua, naye akaendelea kula nyasi.

Uhakika wa sehemu ambayo Draxton alikuwa amejiweka kwa hapo ulikuwa kwa njia ya uviziaji, na kilichokuwepo akilini mwake tu kwa wakati huu ni kwamba hicho alichokivizia kilikuwa chakula. Miguu yake ilizama kiasi ndani ya ardhi laini kama tope alipoendelea kujongea taratibu kukielekea hicho chakula, na akiwa tayari kufanya shambulizi lake, paa yule akaruka kidogo baada ya kutambua kwamba alilengwa shabaha.

Lakini ilikuwa kuchelewa. Pigo moja la nguvu kutoka kwa mguu mkubwa wenye makucha wa Draxton ukamrusha mnyama huyo pembeni baada ya kurukiwa namna hiyo, na kisha Draxton akamfata kwa kasi na kumkandamiza tumboni, huku kinywa chake chenye meno makali kikiikamata shingo ya windo lake. Damu ya paa ikaacha kutembea.

Kisha Draxton akaanza kunyafua kwa nguvu nyama hiyo, aliyoiona kuwa tamu mno kutokana na njaa kali iliyohitaji kushibishwa ndani yake, halafu akaelekeza kinywa chake juu na kutoa kilio cha mbwa-mwitu kuelekea anga lenye mwezi timilifu na nyota zilizometameta.

"Draxton!"

Sauti hiyo ya mwanamke ikamwita tena. Akasitisha kutafuna msosi wake na kutazama pande zote. Sauti hii ilifahamika kwake, lakini bado unyama wake ukawa unamzuia kwa kadiri fulani kujua ilikotokea na hata kutoijali sana. Akaipuuzia ilipomwita kwa mara nyingine tena, naye akamalizia nyama yake na kuipasua mifupa mingi ya paa yule. Hakuna kitu kilichompa raha kama kurarua nyama namna hiyo na kulijaza tumbo lake, kisha akatoka hapo na kusonga mbele.

Kuwa ndani ya badiliko lake lote na kuendelea kukimbia msituni hapo kulimfanya ajihisi huru sana, akili yake ikiendelea kuzoea hali hii mpya na kumruhusu ajiongoze kwa kadiri nzuri, ingawa kwa njia ya kinyama zaidi. Akaweza kukamata harufu nyingine ya nyama na damu, naye akaelekea upande ilikotokea ili kupeleleza.

Upande huo alioelekea ulimfanya asikie sauti ya maumivu ya mnyama kwa pumzi za mbali, ikiwa wazi kwamba alikuwa akipitia shida fulani, naye alipofika sehemu iliyokaribia eneo hilo, akasimama na kupaangalia kwa umakini. Angeweza kusikia sauti za uraruaji, pumzi nzito zenye mchanganyiko wa kuunguruma kwa chini, na harufu fulani iliyotia hisi zake tahadhari ya hali ya juu.

"Draxton!" sauti ile ya mwanamke ikasikika tena ikimwita.

Kwa kuhisi kero zaidi, akajibu kwa kutumia akili, "What?" na kwa njia ya kinyama ikawa ni kutoa muungurumo wa hasira kwa sauti ya chini.

“Don’t you dare get rude to me. Where are you? (Usithubutu kunijibu kwa ukali. Uko wapi?)"

Sauti hiyo ikasikika kwake ikisema maneno hayo, naye Draxton akajiuliza ilikuwa ya nani. Unyama wake bado haukuwa umechanganyikana vya kutosha na fahamu zake kwa hiyo hicho siyo kitu ambacho alitaka kukazia fikira zaidi, naye akaendelea kwenda kule alipohisi kuna jambo kuu. Alivuta harufu fulani isiyo ya kawaida. Akaendelea kuifuatilia kama vile inamvuta, taratibu, akitembea kwa tahadhari sasa ndani ya eneo hilo la msitu. Akafika sehemu hiyo ya tukio lililomvuta na kukutana na kitu kipya ambacho hakutazamia.

Kulikuwa na kiumbe mkubwa hapo, aliyeinamia mwili wa mnyama mwingine kama swala, ambaye ndiyo alikuwa ametoa sauti ile ya maumivu Draxton aliyosikia. Alikuwa mweusi, miguu minne, mkia mnene kwa nyuma uliotikisika huku na huko kadiri alivyoendelea kurarua nyama ile. Miungurumo iliyotoka kwa kiumbe huyo ilikuwa mizito na yenye kutisha, na kwa utambuzi wa haraka ikaonekana kwamba alikuwa mbwa-mwitu pia, lakini si wa aina yake Draxton.

Draxton akiwa ndani ya umbo lake la mbwa-mwitu, alikuwa na kitu fulani kilichomtaka asogee hapo na kujaribu kumzingua kiumbe huyo, lakini akili yake ikamwongoza vizuri kutambua kwamba hilo lisingekuwa wazo zuri. Huyo mnyama mwingine mweusi alionekana kuwa na nguvu sana, na yeye Draxton hakutaka kuanza kutafuta bifu mapema wakati ndiyo kwanza alikuwa kwenye hatua za mwanzo za kuzoea hali yake mpya, hivyo taratibu akajirudisha nyuma na kugeuza mkondo wake.

Aliliacha tukio lile kama lilivyokuwa, na lilionekana kubeba jambo fulani zito asilojua bado, hivyo akaendelea kuruka na kuvuka miti mingi msituni hapo, akielekea asikotambua ndani ya badiliko lake la unyama. Akafikia sehemu yenye uwazi, bila kuwa na miti mingi sana, naye akatulia hapo kwanza.

Harufu mbili tofauti zikaingia kwenye hisi zake, na zilikuwa harufu nzuri kwa upande wake wa mnyama. Ilikuwa ni kama harufu hizo zilikuwa zinakuja kutokea mbele ya eneo hilo aliposimama, hivyo akatulia na kupaangalia gizani huko kwa umakini. Kutokea mitini, wakaonekana mbwa-mwitu wawili wakija kumwelekea, wenye maumbo makubwa pia lakini si kama lake, naye akawa anawaangalia kiukali kwa kutowaamini.

Mmoja alikuwa wa rangi ya kahawia mwili mzima, macho yenye kung'aa unjano, na mwingine alikuwa wa rangi ya kijivu na nyeusi kidogo kwenye manyoya yake. Draxton akaunguruma kuwaelekea, akijiuliza ikiwa alitoa salamu ama kitisho, na yule mbwa-mwitu wa kijivu akasimama umbali mfupi nyuma. Lakini yule mwenye manyoya ya kahawia akaendelea kutembea taratibu kumfata mpaka alipofika mbele yake zaidi, nao wakawa wanatazamana sana. Draxton hakujua ni kwa nini lakini hali yake ya ukali ikawa inafifia kwa kumwangalia mbwa-mwitu huyo, ambaye hakuonekana kumwogopa kama yule mwingine. Akawa ametambua upesi kwamba wawili hao walikuwa ni majike, na hiyo kwa kiasi fulani ikapunguza utata wa hali hii.

'Draxton?'

Sauti hiyo ikasikika tena akilini mwa Draxton, na upesi akagundua kuwa ilitoka kwa mbwa-mwitu huyo mbele yake.

'Yes? (Ndiyo?)' Draxton akatuma wazo hilo kwa akili yake, akiwa ameitika.

Mbwa-mwitu huyo mbele yake akamsogelea karibu zaidi na kuanza kusugua-sugua uso wake kuanzia mdomoni mwa Mnyama-Draxton mpaka shingoni, na sauti yake ikasikika kichwani kwake Draxton ikisema, 'Thank God (Shukrani kwa Mungu).'

Akili ya Draxton ikaanza kufunguka zaidi. Kumbukumbu zake zikaanza kuwa wazi hata zaidi baada ya mbwa-mwitu huyo kumfanyia hivyo, na kwa akili akauliza, "Darla?"

Mbwa-mwitu huyo akajitoa shingoni kwa Mnyama-Draxton na kumwangalia tu machoni. Sasa akili ya Draxton ikawa imerudisha kumbukumbu vizuri zaidi. Huyo mbele yake alikuwa Darla, jirani yake, na mwenzi wake. Alikuwa amesimama hapo ndani ya umbo lake lote kama mbwa-mwitu, na kwa macho ya unyama wa mwanaume, Draxton alivutiwa sana na mwanamke huyo.

"You are so beautiful (Wewe ni mzuri kweli)."

Maneno hayo yalitoka kwa Mnyama-Darla, akiwa amependezwa sana na jinsi ambavyo mbwa-mwitu wa Draxton alikuwa na nguvu na mwenye manyoya meupe pe. Macho yake ya blue yenye umakini ndiyo yalimmaliza kabisa Darla, na hamu yake ya kinyama kumwelekea dume huyo ikawa inapanda tu.

Draxton yeye alikuwa anayaangalia macho yenye kung'aa ya mbwa-mwitu wa Darla, naye akaanza kuhisi udhaifu fulani uliommaliza nguvu zote alizohisi kuwa nazo, kitu kilichofanya aanze kubadilika. Maumivu yalipita ndani ya mwili wake kadiri alivyoendelea kugeuka kuwa na mwili wa kibinadamu, lakini hayakuwa makali sana kama ambavyo angehiisi kipindi cha nyuma.

Hatimaye akawa amerudia umbo lake, akiwa amelala chini bila nguo yoyote mwilini, nywele zake kichwani zikiwa ndefu na nyeupe, naye akawa anapumua kwa nguvu. Akaanza kusikia sauti kama za mifupa ikivunjika-vunjika, naye akaelewa kwamba mbwa-mwitu waliokuwa mbele yake walikuwa wakibadilika pia, lakini hakuwatazama na kuendelea kutafuta utulivu wake.

Akahisi kiganja kikimshika mgongoni, na sauti nzuri ya Darla ikasema, “Sorry. I can imagine how painful the first cycle must be for you (Pole. Naweza kuelewa jinsi gani huu mzunguko wa kwanza wa kubadilika ulivyo na maumivu mengi sana kwako)."

Aliongea kwa sauti yenye kujali sana, naye Draxton akaangalia juu na kumwona akiwa amechuchumaa karibu yake huku anamwangalia.

"It hurts, yeah. But not like how it did before (Inauma ndiyo. Lakini si kama ilivyouma zamani)," Draxton akasema.

Darla akamsaidia kunyanyuka, nao wakatazamana machoni kwa hisia huku wakiwa kama walivyozaliwa. Draxton alipopiga jicho pembeni, akamwona Aysel, akiwa amesimama uchi pia huku anawaangalia kwa umakini.

"Where'd she come from? (Ametokea wapi huyu?)" Draxton akamuuliza Darla.

“I ran into her when I was looking for you. She helped. Man, you tore away from me like a bat outta hell (Nilikutana naye nilipokuwa nakutafuta. Akanisaidia. Aisee, ulifyatuka tu kutoka kwangu utadhani popo aliyeikimbia kuzimu)," Darla akasema.

"After I changed? (Nilipobadilika?)" Draxton akamuuliza.

"Yeah. I kept calling you through our link to no avail (Ndiyo. Nilikuwa nakuita tu kupitia muungano wetu wa kiakili bila kufanikiwa)," Darla akamwambia.

Draxton akaangalia chini.

Aysel akawasogelea na kusema, "Who would thunk our new Alpha would find the call of the wild more appealing than the call of his wilds (Nani angedhani kwamba Alpha wetu angeitikia zaidi mwito wa mwituni zaidi ya mwito wa mwitu wake).”

“I don’t know what happened (Sijui ni nini kilichotokea)," Draxton akasema.

"It's okay. Your mind and bestial body were just fusing so... the heat got to you (Usijali. Akili na mwili wako wa kinyama zilikuwa zinaingiliana tu kwa hiyo... mzuka ukakupanda)," Darla akamwambia.

“You really chose a manly one too, Darla. Redder than cherry (Umechagua mwanaume wa kiume haswa, Darla. Mwekundu zaidi ya tunda jekundu),” Aysel akasema hivyo huku akimtazama Draxton sehemu yake ya siri.

Darla akamwangalia kwa kukerwa.

“You won’t be singing the same tune when it gets buried in yours (Hautaimba mlio huo huo nitakapozamisha mashine yangu ndani ya tunda lako),” Draxton akamwambia Aysel, kwa njia ya kibabe kabisa.

Darla pamoja na Aysel wakamwangalia jamaa kimawazo kidogo, maana alionekana kuwa na utofauti fulani kwa wakati huu. Aysel akaona kama hana lingine tena hapo hivyo akaanza kujiondokea taratibu.

Draxton akamtazama Darla na kukuta anamwangalia kwa macho yenye uvutio mwingi, naye akauliza, "What? (Nini?)"

Darla akasema, "It may appear your bestial nature is somewhat showing its traits in your human form... and I kinda like it (Inaonekana upande wako wa kinyama unaonyesha tabia zake ndani ya mwili wako wa kibinadamu... na inanivutia kwa njia fulani)."

"You like me being rude? (Unapenda nikiwa mjeuri?)" Draxton akauliza.

"Yes. It shows that you are ready to be rough (Ndiyo. Inaonyesha uko tayari kuonyesha ujeuri)," Darla akamwambia hivyo, na kung'ata mdomo wake wa chini.

Draxton akaelewa alichomaanisha, naye akauliza, "Where are we? (Tuko wapi?)"

"Far. Very far. It's probably a forest in another part of town. We should go (Mbali. Mbali sana. Inawezekana ni msitu ndani ya upande mwingine wa mji. Tunapaswa kuondoka)," Darla akamwambia.

Mwanamke huyo akamshika jamaa kiganjani, naye akaanza kumwongoza kuelekea upande ambao Aysel alielekea pia; mwanamke huyo akionekana kuishia mitini. Draxton akawa akishindwa kujizuia kuyaangalia makalio ya Darla nyuma, jinsi yalivyonesa alipotembea, naye akajikaza tu ili upande wake wa pili usishawishike "kuamsha" balaa. Wakiwa wanatembea hivyo, kumbukumbu ya Jambo fulani ikamrudia jamaa.

"Who was the black wolf? (Yule mbwa-mwitu mweusi alikuwa nani?)” Draxton akauliza.

Darla akasitisha kutembea na kumgeukia, naye akauliza, "Black wolf? (Mbwa-mwitu mweusi?)"

Aysel alikuwa amesikia maneno hayo yaliposemwa, naye akageuka na kuanza kukimbia kuelekea pale wenzake walipokuwa wamesimama akionekana kuwa na wasiwasi. “You saw him too? (Na wewe umemwona pia?)” akamuuliza Draxton.

“Him? (Ni wa kiume?)” Draxton akauliza pia.

“Yeah, it's a male. I thought it was just me. A completely black wolf with blood red eyes. You see? I told you I wasn't lying (Ndiyo, ni dume. Nilidhani ni mimi tu. Yaani mbwa-mwitu mweusi tii na macho mekundu kama damu. Si unaona? Nilikwambia sikudanganyi),” Aysel akamwambia Darla.

Uso wa Darla ulionekana makini kweli.

“What does it mean? (Kwani inamaanisha nini?)" Draxton akawauliza.

Wanawake wakamtazama kwa pamoja. Ukimya uliofuata ukamfanya Draxton ahisi kulikuwa na jambo zito kutokana na hayo yote, naye Aysel akaamua kuuvunja.

“Well, there are different types of wolves. You are an Alpha. Darla is your mate so that will make her a Luna. Before she met you, she was regressing into a feral, like me, but now she is gonna up her rank.. (Kuna aina mbalimbali za mbwa-mwitu. Wewe ndiyo Alpha. Darla ni mwenzi wako kwa hiyo atakuwa Luna. Ila kabla hajakutana na wewe, alikuwa ameanza kushuka hadhi kufikia kuwa feral, kama mimi, ila sasa hivi atapandisha cheo chake...)"

"I know all of that. Where are you going with this? (Najua hayo yote. Unataka kuelekea wapi kwa kuniambia haya?)" Draxton akamkatisha Aysel.

"There exists a wolf that is corrupted. We call it a Roguewolf. This may be one of those and if it is, we should kill it fast (Kuna mbwa-mwitu ambaye ana utu mbaya. Tunamwita Roguewolf. Huyo tuliyemwona anaweza akawa wa aina hiyo na kama ni kweli, tunatakiwa tumuue upesi sana)," Aysel akasema.

Draxton akamtazama Darla usoni na kuona namna ambavyo aliishiwa raha, na mwanaume akawa amekumbuka kila kitu alichoelezewa na Mark kuhusu jamii zao kwa hiyo akawa amemwelewa sana mwanamke huyu.

"They can be really dangerous if left out. We'll need to find it (Mbwa-mwitu wa hivyo wanaweza kuwa hatari sana wakiachwa tu. Tutapaswa kumtafuta)," Aysel akamwambia.

"Okay. We will. But right now, let's just find our way back home. It's almost dawn (Sawa. Tutamtafuta. Lakini kwa sasa, tutafute tu njia ya kurudi nyumbani. Pamekaribia kupambazuka)," Darla akasema.

“What about you? (Vipi kuhusu wewe?)” Draxton akamuuliza Aysel.

Aysel akakunja uso kimaswali na kuuliza, “What about me? (Nini kuhusu mimi?)”

"You said you didn't have a place to stay (Ulisema hauna sehemu ya kukaa)," Draxton akasema hivyo.

Aysel akauliza, "Huh, you heard that? (Kumbe ulisikia hilo?)"

“You should stay with Darla (Utapaswa ukae kwa Darla)," Draxton akasema.

"What?!" Darla akashangaa.

Aysel pia akawa ameshangaa kiasi na kuendelea kumwangalia Draxton.

"Please tell me you're joking (Tafadhali niambie unatania)," Darla akamwambia Draxton.

Draxton akamtazama Darla, na kwa kutumia akili yake akamwambia, 'I don't know much stuff about her, but I can see that she's scared. Being a pack leader means I have to look out for all of you, and I'm still wondering how Aysel is going to fit into the pack considering the history you got. But she's my responsibility now, and I really need your help with this. Please? (Sifahamu mambo mengi sana kumhusu, ila ninaona kwamba anaogopa. Kuwa kiongozi wa kundi inamaanisha napaswa kuwalinda nyie wote, na kiukweli bado ninajiuliza Aysel atatosha vipi ndani ya kundi letu ukitegemea na historia yenu pamoja naye. Lakini na yeye ni wajibu wangu sasa hivi, na ninahitaji sana msaada wako kwenye hili. Tafadhali?)'

Darla akawa ameyasikia hayo yote, naye akamtazama Aysel pembeni yake.

"I know you still don't like me, but are you really going to deny an order from the Alpha? (Najua bado hunipendi, lakini kweli unataka kukataa amri kutoka kwa Alpha wetu?)" Aysel akamwambia Darla.

"I wasn't ordering her, I am just... (Sikuwa namwamrisha, ninataka tu...)"

"Its okay Draxton. She can take it however she wants (Ni sawa Draxton. Mwache aichukulie kwa njia yoyote anayotaka)," Darla akamkatisha mwanaume.

Aysel akawa anamtazama Darla machoni.

"You are right, I still don't like you. But it is still a lot dangerous for any of us to just be out... and alone. Not so sure whether Edmond and Gia are gonna be warm welcoming, but you can stay with us. For now (Uko sahihi, bado sikupendi. Ila bado ni hatari kwa yeyote kati yetu kuwa sehemu za nje tu... na kuwa wapweke. Sina uhakika kama Edmond na Gia watakukaribisha vizuri lakini unaweza kukaa pamoja nasi. Kwa sasa tu)," Darla akamwambia.

Draxton akatabasamu kwa mbali.

Aysel akaonekana kufarijika kiasi, naye akasema, "Thank you (Asante)."

Darla ndiye aliyeanzisha kutembea kuondoka sehemu hiyo, naye Aysel akamtazama Draxton usoni, kisha wawili hawa wakaondoka pia kuanzisha safari ya kurudi nyumbani.

Ilionekana kwamba Aysel alifahamu njia nzuri za kutumia kuwatoa huku mpaka kufikia upande wao wa mji, naye akawaongoza kupita kwenye nyumba ya madobi, yaani watu waliofanya kazi za kufua, kukausha, na kuzinyoosha nguo kwa ajili ya watu wengine kwa kutumia mashine ili walipwe. Hapo mwanamke huyo akawa amefanikiwa kubeba nguo chache na kuwapa wenzake pamoja na yeye mwenyewe ili wavae, huku akiwatania kwamba haikuwa na shida sana kuiba kwa sababu walihitaji kujisitiri, lakini Draxton akasema wangezirudisha, jambo lililofanya wanawake wacheke.

Wakaondoka hapo na kutumia karibia saa zima wakitembea tu kupitia barabara ya lami mpaka walipofika makwao. Waliweza kuliona gari oa Mark likiwa pale nje, kumaanisha kaka mkubwa alikuwa amerejea usiku huo na bila shaka angekuwa ndani amepumzika. Darla akamwelekeza Aysel jinsi ya kuingia kwenye nyumba yake kupitia nyuma kimyakimya ili asiwashtue wengine na ajipumzishe haraka. Yeye alitaka kumsindikiza Draxton mpaka chumbani kwake kwanza ili wakaagane, kwa hiyo Aysel akatangulia.

Draxton na mwenzi wake wakaenda kwenye nyumba ya Mark, nao wakapitia dirishani kwenye chumba alichotumia Draxton kama kawaida ya Darla. Wakawa wamesimama usawa wa kitanda na kuangaliana machoni.

"Long night, huh? (Usiku mrefu huu, eti?)" Darla akamuuliza huku akimsogelea karibu zaidi.

"Yeah. I start working tomorrow right? (Ndiyo. Kesho naanza kazi, siyo?)"

"Well, technically it is already today, just later (Kihalisi ni leo tayari, sema tu baadaye)," Darla akamwambia huku akitabasamu.

“So what are you going to do about Edmond and the other one... when they see Aysel? (Kwa hiyo utafanya nini kuhusu Edmond na yule mwingine... watakapomwona Aysel?)"

“Nothing. If things go bad, just use your Alphaness to calm things down (Sitafanya kitu. Kama mambo yatakwenda vibaya, we tumia uAlpha wako kutuliza hali)," Darla akasema.

“Okay, you're making it sound easy (Sawa, unaifanya ionekane kuwa rahisi)," Draxton akasema.

Darla akacheka huku amefumba mdomo.

"I'm worrying about having to make Aysel and Gianna... you know. Wait. I’m not going to have to sleep with Edmond too am I? (Ninawaza kuhusu kutakiwa kuwafanya Aysel na Gianna... kama unavyojua. Subiri. Ikija kwa Edmond sitatakiwa kulala na yeye pia, eti?" Draxton akamuuliza.

Darla akacheka kwa nguvu kiasi, naye Draxton akamnyamazisha ili Mark asiamshwe.

“No, Edmond will just pledge to you. It's more about Gianna. She's very fierce right now that's why we haven't told her about this. But you shouldn't worry. I'm sure everything will go well (Hapana, Edmond atajiapisha tu kuwa mtiifu kwako. Ni kuhusu Gianna zaidi. Ni mkali kweli kwa sasa ndiyo sababu hatukumwambia kuhusu hilo. Ila usiwaze sana. Nina hakika kila kitu kitakwenda sawa)," Darla akasema.

Draxton akaangalia chini, kisha akamtazama tena na kumwambia, "Thank you. For helping me change. If I can control myself from now on, I won't ever have to worry about hurting people. It means a lot (Asante. Kwa kunisaidia kubadilika. Kama nitaweza kujiendesha vyema kuanzia sasa, sitawaza tena kuhusu kuwaumiza wengine. Ni kitu kinachojalisha sana kwangu)."

Darla akamsogelea karibu zaidi, naye akamshika kichwani na kuzivuta-vuta nywele zake laini, halafu akaifata midomo yake na kumbusu taratibu.

Draxton hangejizuia kumwaza Namouih kila mara ambayo Darla angembusu, lakini zamu hii kulikuwa na uvutano mpya wenye nguvu zaidi kumwelekea Darla uliofanya aanze kufurahia penzi alilokuwa anaonyeshwa naye. Haikuwa tena kama vile anamwachia tu ili kutimiza wajibu, ila akawa amevutwa naye zaidi na kutaka waendelee kuonyeshana mapenzi. Muungano wao wa kuwa wenzi kwa njia ya unyama ulianza kumkolea mwanaume bila yeye mwenyewe kupenda, na akajikuta anaanza kupenda.

Darla akaivunja busu yao taratibu, kisha akasema, "Anything for you, my mate (Chochote kile kwa ajili yako, mwenzi wangu)."

Draxton akaendelea tu kumtazama, naye Darla akampiga kidogo kifuani kwa kiganja chake na kuanza kuondoka. Mwanaume akachukua simu yake na kukaa kitandani baada ya kukuta ujumbe mzuri sana wa mapenzi kutoka kwa Namouih, ulioonyesha kina cha upendo ambao mwanamke huyo alikuwa nao kumwelekea.

Draxton akafumba macho na kushusha pumzi ndefu, akiwa anaendelea kuwaza ni namna gani Namouih angechukulia mambo yote yaliyokuwa yakiendelea huku baina yake na Darla na wengine, lakini akaona tu atume ujumbe mzuri pia wa kuonyesha anampenda pia, kisha naye akaamua kwenda kujimwagia kwanza ili aweze kupumzika baada ya usiku huo mrefu.



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA MBILI

★★★★★★★★★★★★★★★★


Draxton alikuja kuamka asubuhi na kukuta Mark yuko chumbani kwake, akiwa ameketi kwenye kiti sehemu ile yenye meza. Akajigeuza kivivu kiasi kutokana na kuhisi uchovu lakini hakukuwa na maumivu mwilini kama aliyohisi juzi na jana. Mark akatoka kwenye kiti na kufika karibu ya kitanda, akisimama huku anamwangalia kwa njia ya kawaida.

"Good morning? Or is it afternoon? (Za asubuhi? Au ni mchana?)" Draxton akatoa salamu akiwa na macho mazito bado.

“Its eleven. How are you feeling? (Ni saa tano. Unahisije?)" Mark akauliza.

"Just a little tired (Nimechoka kiasi tu)," Draxton akajibu na kujinyanyua aketi.

"Darla told me about last night. Congratulations. You did it (Darla ameniambia kuhusu usiku wa jana. Hongera. Umefanikiwa)," Mark akasema.

"Thank you, for all you've done to help me (Asante, kwa kila Jambo ulilofanya kunisaidia)," Draxton akasema.

"It's an honor (Ni jambo la kujivunia kwangu)."

"So now am gonna return the favor. I'll start with Edmond, Aysel and Gianna (Sasa nitarudisha msaada kwenu. Nitaanza na Edmond, Aysel, na Gianna)."

"Yes, actually, you should try and hurry up. It's a bit messy there (Ndiyo, Ila, unatakiwa kujitahidi uwahi. Pamevurugika huko)."

"Aren't we going together? (Hatuendi pamoja?)"

"No, I'm running for work. Just wanted to tell you food is on the counter and I'll try to get back early. Eat lots before you head there. And also... when you get to the claiming... leave yourself inside a female when they reach their first climax. You'll know when it works (Hapana, nawahi kazini. Nilitaka tu kukufahamisha kwamba kuna chakula pale mezani na nitajitahidi kuwahi kurudi mapema. Kula sana kabla hujaenda kwa hao. Na pia... ukifikia hatua ya kufanya umiliki... jiache ndani ya jike pale anapofikia mshindo wa kwanza. Utajua tu inapofanya kazi)."

"Thanks (Asante)," Draxton akasema, akipendezwa na utu wenye kujali wa rafiki yake na mwongozo alioendelea kumpatia.

Mark akaweka mkono wake kifuani kwa njia ile ya heshima na kuinamisha kichwa chake, akiwa anaaga.

"Ahah... are you seriously still doing that? (Yaani kweli bado unafanya hivyo?)" Draxton akamuuliza huku akitabasamu.

"It's an important custom for showing respect. When they all fully submit to you, it won't be just me doing it (Ni desturi muhimu ya kuonyesha heshima. Hao wote wakijitoa kwako kikamili, haitakuwa mimi tu ndiyo nitakayekuwa nafanya hivi)," Mark akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

"Okay, I'm off. Take care of those fools (Haya, mimi natoka. Watunze vizuri hao wapuuzi)," Mark akamwambia kiutani.

Kisha mwanaume huyu akaondoka hapo hatimaye. Draxon akajitoa kitandani upesi na kwenda kujisafisha, na wakati akifanya hivyo akawa ametumia akili yake kutuma mawasiliano kwa Darla kuuliza hali ilikuwaje hapo kwake. Darla akamwambia tu kuwa awahi maana alihitajika haraka, na alihitaji kujisawazisha vizuri kiakili ili akiingia pale aonyeshe mamlaka yake vyema.

Kweli Draxton akamaliza kujisafisha vizuri, nywele zake nueupe akiwa amezipunguza na kuacha fupi tu kichwani bila kuzipaka dawa ya rangi nyeusi, naye akaelekea sebuleni na kuchukua chakula. Kwa wingi zaidi ilikuwa ni nyama ya kuchomwa tu, naye akaila yote na kujisikia vizuri zaidi mwilini; nguvu yaani.

'Draxton, hurry up. Gianna is freaking out over Aysel. Edmond and I are doing everything to keep her at bay. She's losing it' (Draxton, harakisha. Gianna kapandisha mzuka huku kisa Aysel. Edmond na mimi tunajitahidi kumtuliza. Amepagawa yaani),' Darla akasema hayo kupitia akili, nayo yakasikika vyema kwa Draxton.

'Alright, give me a few. I'll be there (Sawa, nipe muda mchache. Nitakuwa hapo),' Draxton akatoa jibu lake.

Draxton akajitahidi kumaliza kula upesi na kusafisha vyombo alivyotumia, kisha akatoka kwenye nyumba hiyo na kuanza kwenda kwenye ile ya Darla. Nje palionekana kuwa na utulivu, barabara ikipitwa na gari moja au mawili, lakini alipofikia karibu na mlango wa nyumba ile akaanza kusikia sauti za mifoko ya hali ya juu. Akatambua kwamba ilikuwa ni mwanamke, Gianna, naye akaingia tu moja kwa moja mpaka ndani na kusimama mwanzoni mwa sehemu iliyoelekea kwenye sebule.

Bila shaka hali hapo haikuwa na amani hata kidogo. Masofa yalikuwa yamezagaa, kuna vyombo vilivyokuwa vimeangushwa sakafuni na vingine kupasuka kabisa. Aysel alikuwa amejibanza kwenye kona akionekana kuogopa, huku Darla akiwa kwa mbele yake anamzuia Gianna kutofanya fujo lakini mwanamke huyo mwenye umbo dogo alikuwa hasikii. Alikuwa analalamika sana ni kwa nini hapewi sababu iliyofanya wakaruhusu Aysel aingie hapo baada ya kuwatendea vibaya wakati uliopita, na alionekana kutaka kumpiga.

Haikuchukua sekunde nyingi baada tu ya Draxton kuwa ameingia hapo ndiyo umakini wa mwanamke huyo ukageuziwa kwake. Gianna alimgeukia Draxton na kumwangalia kimaswali sana. Ghafla tu, mwanamke huyo akaunguruma kwa mkwaruzo, meno yake makali yakionekana kurefuka, naye akaruka kumwelekea Draxton kwa njia iliyoonyesha nia ya kutaka kumuua. Alikuwa amemfikia karibu kabisa, akiwa amerefusha makucha na kuelekea kumkwangua mwanaume, na ndipo Edmond akatokea upande usiojulikana na kumpamia mwanamke huyo mpaka wakaangukia kwenye sofa chini.

Draxton alikuwa ameshtushwa kiasi na jambo hilo, naye Edmond akatumia nguvu kumvuta mtu wake na kutokomea naye kuelekea vyumbani.

“What the...? (Nini...?)” Draxton akauliza kimshangao.

Aysel akatoka pale alipokuwa na kumpita Draxton, akiwa amemwangalia kwa njia ya hasira sana, naye akatoka kabisa ndani ya nyumba na kuubamiza mlango. Draxton akamtazama Darla na kumwona akishusha pumzi kama mtu aliyechoka.

“You handled that well (Umelishughulikia hilo vizuri),” Darla akamwambia kikejeli.

“What the hell was that all about? I can understand her being angry with Aysel but... this? What did I do? (Hicho kilikuwa ni nini? Naweza kuelewa hasira yake kumwelekea Aysel ila... hivi? Mimi nimefanya nini?)" Draxton akamuuliza.

Darla alikuwa amevaa T-shirt nyeupe na suruali ya khaki, huku nywele zake akizibana kwa nyuma, naye akaanza kumfata huku akisema, "Gia just acted out of instinct, now she can sense what you are. You’re gonna have to fix that ASAP (Gia ametenda tu kupatana na hisia, sasa hivi ameweza kuhisi wewe ni nani. Utahitaji kulirekebisha hilo upesi)."

“What does that mean? (Hiyo ina maana gani?)”

“Better get it up. You have to f(...) her into submission (Inabidi usimamishe haraka. Unatakiwa umsugue ili ajitiishe kwako)," Darla akamwambia.

“I’m beginning to think all that being a human-wolf is just sex (Unajua ninaanza kufikiri kwamba hili suala la kuwa mwanadamu-mwitu ni kufanya mapenzi tu),” Draxton akamwambia.

Darla akacheka kidogo na kusema, “It isn’t, but there are rules. You have to help her (Siyo hivyo, ila kuna sheria za haya mambo. Inakubidi umsaidie)."

“I know. But won’t Edmond be pissed? (Najua. Lakini kufanya hivyo hakutamkasirisha Edmond?)"

“Why would he be? (Kwa nini imkasirishe?)”

“Isn’t she his girl? (Huyo si ni msichana wake?)”

“Not exactly. In a pack, everyone is your girl unless you allow it otherwise (Haiko hivyo kabisa. Kwenye kundi, kila jike ni wakwako mpaka uruhusu iwe tofauti).”

“Seems like being an Alpha makes me more of a dictator (Inaonekana kuwa Alpha itanifanya niwe kama mtemi)."

Darla akatabasamu na kutikisa kichwa taratibu.

Draxton akawa anamsikia Gianna kutokea juu akiuliza kwa ukali yeye Draxton ni nani, anafanya nini hapo, kwa nini Edmond amempeleka kwenye chumba cha wageni na kuchana-chana nguo zake zote, na kiukweli Draxton akawa anajisikia vibaya sana.

“What about Edmond? (Vipi kuhusu Edmond?)” akamuuliza Darla.

“He would love you to permit him to be with her. There is love there, but now they can’t be together unless you allow it (Atapenda sana ukimruhusu awe pamoja naye. Kuna upendo kati yao, ila kwa sasa hawawezi kuwa pamoja mpaka uwaruhusu)," Darla akamwambia.

“Let me see him (Ngoja nionane naye).”

Draxton akasema hivyo na kuanza kuzielekea ngazi, naye akapanda mpaka kwenye ghorofa na kusimama mwanzoni mwa korido fupi iliyoelekea upande mmoja na kuzungukia upande mwingine wa nyumba hiyo. Kwa hapo, kila pande ya ukuta ilikuwa na vyumba viwili, naye alitambua kwamba Edmond na Gianna walikuwa kwa kule ambako korido hiyo ilielekea, bila shala kukiwa na chumba kingine.

Akaanza kuelekea huko, naye akafika kwenye kona na kumwona Edmond akiwa nje ya mlango wa chumba pekee kwa upande huo. Edmond akamtazama Draxton usoni baada ya kutambua uwepo wake hapo, naye akamgeukia kabisa na kusimama kwa utayari.

'Good luck,' sauti ya Darla ikasikika kichwani kwa Draxton, akiwa anamtakia heri nzuri.

Draxton akasogea karibu zaidi na pale ambapo Edmond alisimama.

“Draxton,” Edmond akasema hivyo, kama njia fulani ya salamu.

“Hey Edmond,” Draxton akasalimu pia.

“You okay? (Uko sawa?)” Edmond akauliza.

“Yes, I'm good (Ndiyo. Niko vizuri)."

"Darla told me about what you went through (Darla ameniambia kuhusiana na uliyoyapitia)."

"Yeah. I mean now I’m an Alpha, which is all new, so am trying to deal with the tasks set out for me (Ndiyo. Namaanisha kwa sasa nimekuwa Alpha, na ni kitu kipya kwangu, kwa hiyo ninajaribu tu kushughulika na majukumu ninayopaswa kutimiza)," Draxton akasema.

“Building a pack (Kutengeneza kundi).”

“Yeah. So what about you? (Ndiyo. Kwa hiyo vipi kuhusu wewe?)”

“I’m nervous (Nina wasiwasi).”

“Why? (Kwa nini?)”

“Well... of what is to happen with me (Kuhusu kitakachonipata mimi).”

“What... you’re not staying? (Nini... ina maana haukai?)”

“You saying I can join your pack? (Unasema kwamba naweza kujiunga na kundi lako?)”

“Of course man, that's why you are here (Bila shaka mwana, ndiyo sababu uko hapa)," Draxton akamwambia kiuhakika.

Edmond akatazama tu chini.

"But I came to talk to you about Gianna. Seems if she is to join, I have to um... claim her (Ila nimekuja kuzungumza nawe kuhusu Gianna. Inaonekana kujiunga kwake kwenye kundi langu itanipasa nifanye kum... miliki),” Draxton akasema.

“I know how it works Draxton (Najua jinsi ilivyo Draxton)," Edmond akaongea kwa njia ya kawaida tu, lakini Draxton akaona huzuni ndani ya macho yake.

“Is it what you want? (Ni kitu ambacho unataka?)" Draxton akauliza.

“For her to live, yes (Kama ni kwa ajili ya yeye kuendelea kuishi, ndiyo)," Edmond akasema.

Draxton akashusha pumzi, kisha akasema, “Darla told me you two are in love. When I’m asking if its okay Edmond, it's to ask you for permission to induct your girl (Darla aliniambia wewe na Gianna mnapendana. Ninapouliza ikiwa hii ni sawa Edmond, ni kwamba ninakuomba ruhusa ya kumwingia msichana wako)."

“My girl? (Msichana wangu?)”

“Yeah man. After I do this, I don’t care what you guys do. She's yours (Ndiyo mwana. Nikishafanya hii kitu, sijali mtafanya mambo yapi. Yeye ni wako).”

“You’re serious? This isn’t just an empty promise? (Hautanii? Hii siyo ahadi tupu tu?)" Edmond akauliza kwa njia fulani ya shauku.

"I'm serious (Sitanii)," Draxton akamhakikishia.

“What if you like her too much? (Je ukivutiwa naye sana?)”

“Never occurred to me (Haijawahi kuingia akilini)."

“Well, okay. I keep Gia off your hands, but until you find a mate for Aysel, she’ll be at you as much as Darla. That’s why I worry. Alphas get a free pass for a harem (Basi, sawa. Nitajitahidi kumweka Gia nje ya mikono yako, ila unajua yaani mpaka umtafutie Aysel mwenzi wake kivyake, atakung'ang'ania sana kama Darla tu, ndiyo maana ninawaza mno. MaAlpha huwa wana uhuru mwingi kuwatumia wanawake)," Edmond akamwambia.

"Don't worry Edmond. I'm not going to lead you guys in such ways. It's gonna be different with me. Trust that (Usijali Edmond. Sitawaongoza kwa njia kama hizo. Mambo yatakuwa tofauti kwenye uongozi wangu. Amini hilo)," Draxton akasema na kumshika begani.

Edmond akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa, kisha akaweka mkono wake mmoja kifuani na kushuka mpaka chini, akipiga goti moja chini. Draxton akawa anamwangalia tu, naye Edmond akanyanyua uso wake na kumtazama machoni, huku macho yake yaking'aa rangi ya kahawia sasa.

"I fully submit myself to you. I pledge my loyalty and my life in the bond of your pack, Alpha Draxton (Ninajitoa kwako kikamili. Ninaweka rehani ya uaminifu na maisha yangu ndani ya muunganiko wa kundi lako, Alpha Draxton)."

Edmond akaongea maneno hayo kwa heshima, naye Draxton akang'aa lenzi za blue kwenye macho yake baada ya mwanaume huyo kujitoa kwake kama Mark tu, kisha akatikisa kichwa kuonyesha amekubali jambo hilo baada ya macho yake kurudia hali ya kawaida.

"Please stand up (Tafadhali simama)," Draxton akamwambia.

Edmond akasimama, na macho yake yakarejea hali ya kawaida.

“I’m sorry for having to do this (Samahani kwa sababu ninatakiwa kufanya jambo hili)," Draxton akamwambia.

Edmond akatabasamu kidogo na kusema, “You are very humble for an Alpha. Gia is in the room. Word of advice, slam her up against a wall, she will do less damage to you (Wewe ni mnyenyekevu sana tofauti na cheo chako. Gia yuko huko chumbani. Ushauri kidogo, mbamize ukutani, ndiyo hatakutia maumivu mengi)."

“You sound as if I’m going to rape her (Unavyosema hivyo ni kama kuonyesha naenda kumbaka).”

“All the way up till you put your rod into her. Once that happens, she will beg you for it (Ni kuingia mpaka mbele kabisa ukimtia jiti lako. Ukifanikisha tu hilo, ataililia mwenyewe).”

Draxton akaangalia pembeni na kutikisa kichwa taratibu kama kusema 'kazi ninayo,' naye Edmond akampita na kumpiga begani mara mbili kirafiki.

Mwanaume akawa anawaza. Kihalisi angetakiwa kumtendea kwa ujeuri mwanamke huyo ambaye ni wazi hakutaka jambo hilo, ili tu kumwokoa kutokana na utumwa wa unyama uliokuwa ndani yake kama majike wengine. Kwa hiyo hata kama angerusha mangumi na mateke ingekuwa kwa haki kabisa.

Lingekuwa jambo zito kwa Draxton ila angejitahidi tu hivyo hivyo maana hakukuwa na njia nyingine. Akaanza kuvua nguo alizokuwa amevaa, zote kabisa, kisha akausogelea mlango wa chumba hicho na kushika kitasa. Ulikuwa umefungwa kwa nje, bila shaka na Edmond, na kwa hapo tu Draxton akawa anamsikia Gianna akiunguruma kutokea mule ndani.

Jamaa akafungua mlango na kuingia ndani upesi, kisha akaufunga haraka akiwa ametarajia kwamba Gianna angemsambulia kwa nyuma. Lakini haikuwa hivyo. Akageuka na kupaangalia ndani hapo, naye akamwona Gianna akiwa amejikandamiza ukutani huku akipumua kwa kasi. Uso wake ulionyesha hofu kumwelekea Draxton, na kifua chake kilinyanyuka na kushuka haraka-haraka kutokana na upumuaji wake. Chumba hiki kilikuwa tupu isipokuwa kitanda kimoja kidogo tu kisichokuwa na godoro na viti viwili ndiyo vilivyokuwa humo, na hakikuwa hata na dirisha.

Gianna hakuwa na mwili mbaya. Akiwa bila nguo mwili mzima, Draxton aliweza kuona namna kifua chake kilivyobeba matiti madogo tu yenye chuchu laini za kahawia, na sehemu yake ya siri haikuwa na vinyweleo hata chembe, ikifanya kitoweo chake kionekane kwa juu kidogo katikati ya mapaja yake yasiyo manene sana. Draxton alikuwa akiwaza zaidi kuhusu hali ya kihisia ya mwanamke huyu, lakini alielewa kwamba unyama uliokuwa ndani yake ndiyo ulimtendesha kwa njia hiyo, na lengo lake hapo ilikuwa kuutuliza kwa kummiliki.

Draxton akaanza kupiga hatua chache mbele, naye akasema, "Hey Gia. You know am just tryna help... (Mambo Gia. Unajua nataka tu kusaidia...)"

"Stay back! I don't care what you are, get away from me! (Kaa huko huko! Sijali wewe ni nini, kaa mbali nami!)" Gianna akamkoromea.

“Look, I don’t want to do this either, but it's important. For you and Edmond. He wants it so he can have you. And you want him right? (Ona, hata mimi sitaki kufanya hivi, lakini ni muhimu. Kwa ajili yako na Edmond. Anataka nifanye hivi ili uwe wake kabisa. Na wewe si unamtaka?)" Draxton akamwambia huku akiendelea kumsogelea.

Gianna akamuungurumia kwa kukwaruza, na macho yake yakang'aa rangi ya njano kwenye lenzi na meno yake kurefuka. Draxton akaona makucha ya mwanamke huyo yakirefuka pia, na jinsi alivyojibana ukutani kama paka anayeogopa ikaanza kuwa kama paka anayeogopesha.

Hapo hapo Gianna akamrukia Draxton mpaka mikononi, naye akawa anajaribu kumrarua shingo kwa meno lakini mwanaume akaweza kumdhibiti. Makucha ya Gianna yalikuwa yanamkwangua vibaya mwanaume, naye akajitahidi kufuata ushauri wa Edmond. Akavuta nguvu zake za upande wa pili na kufanikiwa kuingia katikati ya badiliko lake. Gianna aliendeleza fujo lakini inaonekana alishtuka kiasi baada ya kuona ngozi na macho ya Draxton yamebadilika na nywele zake kurefuka, naye Draxton akafanikiwa kumsukuma kwa nguvu mpaka alipoanguka chini.

Gianna akajinyanyua upesi sana, lakini Draxton akawa amemwahi na kumsukuma mpaka ukutani, akimkandamiza hapo huku mwanamke huyo akiwa amempa mgongo. Kila mara ambayo Gianna alijitahidi kufurukuta, Draxton angeongeza nguvu ya kumkandamiza, na mwanamke huyo akawa anatoa sauti za miungurumo kama vilio.

Draxton alijua alichotakiwa kufanya, lakini mashine yake ikamgomea kusimama. Kumkandamiza Gianna namna hiyo kungeendelea tu kumpa maumivu mtoto wa watu endapo kama jamaa asingewahisha, naye akasema, "I'm really sorry (Nisamehe sana)."

“F(...) you!" Gianna alipiga kelele kwa tusi hilo ukutani, lakini Draxton alijua lilikuwa kwa ajili yake.

Mwanamke akaendelea kulalamika tu kwa matusi na miungurumo mikali bila kuwa na nguvu za kutosha kujinasua hapo, naye Draxton bado akawa hajaweza kusimama dede.

'You’re really bad at this Draxton (Yaani uko vibaya kweli kwenye hili suala Draxton).'

Ilikuwa ni maneno ya Darla yaliyosikika kichwani kwa mwanaume, naye Draxton akatambua kwamba kukurukakara za huku zilimfikia mwanamke huyo.

'I don't know what to do (Sijui nifanye nini),' Draxton akasema kwa akili pia.

'What's wrong? Can’t get it up?' (Nini shida? Umeshindwa kuiamsha?)

"Let me go! You can't even get your limp dick to stand! Let go of me you bastard! (Niachie! Yaani hauwezi hata kukasimamisha hako kambilikimo kako! Niachie mpumbavu wewe!)" Gianna naye akarusha maneno.

'I'm trying but its not working. Doing something like this is against my better nature (Ninajaribu ila inashindikana. Kufanya kwa njia hii iko tofauti kabisa na jinsi nilivyo kwa ubora),' Draxton akamsemesha Darla kupitia muungano wao wa kiakili.

'Doing this is your better nature. You’re saving her and Edmond too. Have you thought about what claiming me is going to be like? (Kufanya hivi ndiyo njia yenye ubora kwako. Unamwokoa yeye na Edmond pia. Umeshafikiria ni jinsi gani kunimiliki mimi itakuwa?)'

Maneno hayo ya Darla yakamfanya atafakari kwamba ni kweli hakuwa amefikiria kuhusu hilo. Angalau Gianna angeweza kumilikiwa akiwa bado nusu-mwanadamu nusu-mnyama, lakini kummiliki Darla akiwa mnyama kabisa ingekuwa na ugumu wake hata zaidi kama tu kwa mwanamke huyu alivyokuwa akionyesha sasa. Angetakiwa kufanya jambo hili kama mnyama hata kama akili yake pia ilihusika, yaani awe katika ubora wa mambo hayo mawili kwa wakati mmoja.

“I can understand you Draxton, but remember, we can actually have full sex now as wolves. No worries of me changing and ripping your human side apart or you losing control too much after changing. We can do it as long and as often as you like now. I’ve been thinking about it nonstop. If only you could be with me right now, you’d see and smell how wet I am for you (Nakuelewa Draxton, lakini kumbuka, sasa tunaweza fanya mapenzi kikamili kama mbwa-mwitu kabisa. Hakuna tena kuwaza kuhusu mimi kubadilika na kuurarua mwili wako wa kibinadamu au wewe kupoteza mwelekeo vibaya ukibadilika. Sasa tutaweza kufanya kwa muda mrefu na kwa wakati wowote tunaotaka. Nimekuwa nikiwaza jambo hilo bila kuacha. Ikiwa tu ungeweza kuwa nami hata sasa, ungeweza kuona na hata kunusa jinsi ninavyolowana kwa ajili yako)."

Akili ya Draxton ikaanza kutulia zaidi baada ya kusikiliza maneno hayo. Akauachia upande wake wa mnyama uyavutie hisia zaidi maneno hayo, na kwa kutumia akili akamwambia Darla, 'Go on,' yaani aendelee.

Darla akamwambia, 'Look at Gia and think about me... your mate. Picture me squatting but spreading my legs between your face. You know how I smell, but just think of me telling you to come closer and taste it. You can be as brutal as you want, but that's just what I'm going to love... (Mwangalie Gia halafu unitafakari mimi... mwenzi wako. Vuta taswira yangu nikiwa nimechuchumaa lakini miguu yangu ikiwa imesambaa katikati ya uso wako. Unafahamu namna navyonukia, lakini fikiria tu nikikwambia usogee karibu zaidi ili unionje. Unaweza kuwa mjeuri namna utakavyo, lakini hicho ndiyo kitu nitakachopenda).'

Haikuchukua muda mrefu na taswira ya maneno hayo ikamfanya Mnyama-Draxton apandishe mashine yake juu. Hamu ya kuwa na mwenzi wake akaielekeza kwa Gianna, lakini bado alitaka kufanya tu like alichopaswa kufanya ili asipitilize kuendelea kula penzi la jike huyu mwingine.

Jamaa akajiandaa vizuri kuimaliza kazi aliyokuwa nayo. Akatumia miguu yake kuiachanisha ya Gianna kutokea nyuma, na mwanamke huyo akapiga kelele na kufurukuta hata zaidi. Ilichukua ustadi wa hali ya juu kumweka Gianna katika nafasi nzuri akiwa amekandamizwa hivyo na yeye Draxton kujiweka katika nafasi nzuri.

“I’m going to kill you! (Nitakuua!)" mwanamke huyo akaongea kwa ukali.

Draxton akiwa katikati ya badiliko lake, akamwangalia kwa njia ya unyama zaidi, kisha akakigusisha kichwa cha mashine yake kilichonenepa haswa kwenye mashavu ya kitoweo cha Gianna, na mwanamke huyo akaanza kutulia. Pumzi zake zilianza kushuka taratibu, naye Draxton akakiingiza kichwa cha mashine yake ndani kiasi. Gianna akatoa mguno wa deko na kutetemeka kiunoni, kisha akalegeza zaidi kiuno chake na kuanza kujirudisha nyuma yeye mwenyewe hadi mtambo huo wa ukombozi ulipozama ndani zaidi.

Wote wakashusha pumzi kwa kujihisi vizuri sana.

“Are you okay? (Uko sawa?)” Draxton akauliza kwa sauti yake nzito lakini kwa kujali.

“Yes (Ndiyo),” Gianna akajibu hivyo kwa pumzi tetemeshi. "What... what's your name? (Unaitwa nani?)"

“Draxton.”

“Draxton... I’m sorry. It's been a long time since.... (Draxton.. samahani. Umepita muda mrefu tokea...)."

“Since what? (Tokea nini?)”

“Since I’ve been with an Alpha. I was getting close to being feral (Tokea mara ya mwisho mimi kuwa na Alpha. Nilikuwa nakaribia kuwa wa hali ya chini)."

“Its okay, I understand. Is this enough? Do you want to stop? (Usijali, naelewa. Hii inatosha? Unataka tuache?)”

“What? No. You have to finish and so do I for the ritual to complete (Nini? Hapana. Unatakiwa umalize na hata mimi pia ili hii mila ikamilike).”

“You will be okay with that? (Itakuwa sawa kwako?)”

“Yes. I need it. Please (Ndiyo. Naihitaji. Tafadhali).”

Draxton akawa ameyakumbuka maneno ya Edmond kwamba kweli mtoto angeililia, na hata kitoweo cha Gianna kikabana zaidi alipokuwa anaendelea kuizoea mashine ya mkubwa kwa kukatika taratibu.

'Everything okay?' (Kila kitu Kiko sawa?)' sauti ya Darla ikasikika kichwani kwake Draxton.

'Yes. Let me finish this (Ndiyo. Wacha nimalize hili),' Draxton akajibu kwa akili pia.

Kisha...

“Alright then. After we are done, you and Edmond can be together (Sawa basi. Tukishamaliza, wewe na Edmond mtaweza kuwa pamoja),” akamwambia mwanamke huyo.

“Really? (Kweli?)” Gianna akauliza kwa sauti iliyoonyesha furaha.

“Yeah. So let’s get this done (Ndiyo. Kwa hiyo wacha tumalize hili jambo),” Draxton akasema.

Bila kuchelewa, mwanaume akaanza kumsugua binti-mwitu huyo. Alianza taratibu mwanzoni, lakini akaendelea kuongeza mwendo wake muda ulivyopita. Alikuwa ameishikilia mikono ya Gianna iliyorudishwa nyuma kwa pamoja huku uso wake ukiwa bado umeulalia ukuta, na mwanamke huyo alikuwa anatoa miguno ya vilio vya mahaba kwa sauti yenye deko sana.

Draxton alikuwa anamkuna huku akitoa pumzi kwa miungurumo ya chini, na haikuchukua dakika nyingi Gianna akatoa mlio wa juu zaidi wa mahaba. Draxton akawa ametambua kuwa binti-mwitu huyu alikuwa anafika sehemu aliyotakiwa kufika, naye akafanya kama alivyoelekezwa kwa kuiacha mashine yake ndani wakati huu ili umiliki ufanye kazi.

Gianna akawa anadondosha juisi za utamu huku akitetemeka na kukazika miguu, na Draxton akaendelea kumshikilia namna hiyo hiyo hadi macho ya mwanamke huyo yalipong'aa na yeye kuunguruma kidogo. Kuna hali fulani ambayo Draxton aliihisi ingawa yeye hakuwa amemaliza mwendo wake. Ilikuwa kama shoti ndogo iliyoshtua ndani kwa ndani iliyosababisha aungurume pia, kisha wote wakatulia. Hapo dawa ikawa imemwingia mrembo.

Draxton akamwachia Gianna taratibu, kisha akarudi nyuma na kusimama huku mashine yake ikiwa bado imewamba. Gianna akageuka pia, akiwa ameuegamia ukuta, naye akawa anapumua kwa njia legevu huku akiiangalia.

“Jesus Draxton, that felt good. Can we go again? (Yesu Draxton, hiyo ilikuwa nzuri. Tufanye tena basi?)” Gianna akamwomba.

Draxton akashindwa kujizuia kutabasamu kiasi kwa kukumbukia kwamba muda mfupi nyuma mwanamke huyo alikuwa tayari kumuua kwa sababu hii lakini sasa alikuwa anaitaka mwenyewe. Alielewa kwamba hilo lilisababishwa na mwingiliano wa kiunyama baina yao na mambo yote yaliyohusika katika kummiliki jike kwa ajili ya kundi, kwa hiyo hayakuwa makosa ya mwanamke huyo kumtaka zaidi kwa wakati huu.

Lakini kwa kuwa sasa alifanikisha zoezi hilo, angetakiwa kumwamuru afanye kile alichotaka, na Gianna hangekuwa na jinsi ila kufata amri ya Alpha wake. Na Draxton alichokuwa akitaka ni kwa mwanamke huyo na wale wote ambao angewaleta upande wake kuongoza maisha yao kwa uhuru wa kufanya maamuzi.

“I meant what I said Gia. You belong with Edmond. You should clean up and go to him. I’m sure he is worried (Nilimaanisha yale niliyokwambia Gia. Wewe ni wa Edmond. Jisafishe kisha uende kwake. Bila shala anawaza juu yako)," Draxton akasema.

Gia akasimama vizuri, kisha akaweka mkono wake kifuani na kuinamisha kichwa kidogo kuonyesha heshima, halafu akamtazama Draxton na kumwambia, "Thank you (Asante)."

Angalau wakati huu alionekana kuwa mpole kweli, naye akampita Draxton na kutoka ndani hapo, bila shala kwenda kuoga kwanza. Kilikuwa kitendo cha kutia msongo akili ya mwanaume huyu kufanya alichofanya lakini hakuwa na namna. Mambo ambayo angetakiwa kufanya huku kwa kweli yalipingana na aina ya utu aliokuwa nao, lakini ndivyo alivyotakiwa kuwa kutokea zamani sana.

Akamwaza Namouih kwa mara nyingine tena wakati huu, akijua mambo haya yangeharibu kabisa historia waliyokuwa wameanza kutengeneza pamoja baada ya kupitia misukosuko kadhaa ya kihisia kule alikotoka, kwa hiyo angehitaji tu kufumba macho kuhusiana na hilo na kuendelea kuwa kile ambacho alitakiwa kuwa kwa wakati huu.

Sauti ya mtu akisafisha koo ikamtoa kwenye mawazo yake na kumfanya ageuke nyuma, kukuta ni Darla akiwa ameuegamia mlango wa kuingilia hapo. Draxton bado alikuwa na ngozi nyeupe wakati huu, macho yake yakiwa ya blue na nywele nyeupe kichwani, naye Darla akamtazama kwenye mashine yake iliyokuwa kwenye ubora bado.

"So now it doesn't wanna go down? (Kwa hiyo sasa hivi ndiyo haitaki kushuka?)" Darla akamuuliza.

Draxton akatabasamu kwa mbali, kisha akauliza, "Is it going to be that intense with you too? (Ndiyo itakuwa na ugumu namna hiyo kwako pia?)”

"You don't know intense yet. What Gia got was a tad bit of annoyance (Bado haujaujua ugumu. Ulichompa Gia ni jambo dogo sana lenye kukera)," Darla akamwambia.

"I did my part. Now she can do what makes her happy (Nimetimiza sehemu yangu. Sasa na yeye anaweza kufanya kitakachompa furaha)."

"And us... even better (Na sisi... vizuri hata zaidi)."

Darla akamwambia hivyo na kumrushia nguo zake jamaa ili avae.

Draxton akaanza kujirudisha katika hali ya kawaida, naye akawa anavaa nguo zake huku akisema, "So that's two problems solved for now. You and Aysel are next (Kwa hiyo hapo mawili yamesuluhishwa. Imebaki wewe na Aysel)."

“We should go somewhere to talk (Twende sehemu fulani tukaongee).”

"Just the two of us? (Mimi na wewe tu?)"

"Yeah. Ed and Gia are going somewhere to celebrate before you tell them not to (Ndiyo. Ed na Gia wanaenda sehemu fulani kusherehekea kabla hujawazuia kwenda)."

Draxton akacheka kidogo na kusema, "Please stop doing that. Why would I? They deserve it (Acha basi kufanya hivyo. Kwa nini niwazuie? Wanastanili kufurahia)."

Darla akatabasamu kidogo, kisha akasema, "Let's go. I know a place, and I'm starving (Twende. Kuna sehemu naifahamu, na nina njaa)."

Kulikuwa na aina fulani ya umakini ndani ya maneno ya mwanamke huyo, naye Draxton akaelewa kwamba sasa Darla alikuwa tayari kuzungumzia kiundani mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe. Akamalizia kuvaa nguo zake, naye akamfata mwanamke huyo mpaka nje ya nyumba ili waweze kuelekea huko mwenzi wake alikotaka waende.


★★★★★


TANZANIA


Kwa upande wake Namouih, siku hii kwake iligeuka ghafla baada ya kukutana na rafiki mmoja aliyekuwa na thamani ya kipekee zaidi kwake kuliko marafiki wote aliowahi kuwa nao, yaani Blandina. Lakini kwa sasa urafiki huo ulikuwa umeingiwa na dosari kubwa, iliyosababisha uvunjike kutokana na mambo mengi yaliyotokeza kutoelewana baina yao, na yalilenga zaidi kwenye suala la mapenzi; kama tu sikuzote inavyokuwa.

Kisa chake cha kumfanyia rafiki yake usaliti kwa kujiingiza ndani ya penzi la mwanaume aliyekuwa mpenzi wa rafiki yake ndicho kilichosababisha urafiki wao ukavunjika, na hiyo ilikuwa ni baada ya Blandina kushuhudia usaliti huo kwa macho yake mwenyewe.

Lakini kuna mambo mengi yaliyokuwa yanahusika. Draxton tayari alikuwa amemweleza Blandina sababu ya yeye kutoka na Namouih kimapenzi, lakini pamoja na yote hiyo haikuwa sababu kuu kwa upande wa Blandina kusamehe kosa la rafiki yake wa karibu zaidi la kumsaliti. Alimwona kama mnafiki.

Yote kwa yote, Blandina alikuwa ameamua kupuuzia jambo hilo na kumwomba Draxton awe wake peke yake, asije tena kumtanguliza Namouih badala yake, lakini mwanaume huyo akaonyesha anamjali zaidi Namouih kwa kujitoa kwenda kumsaidia badala ya kubaki naye. Ndiyo kitu ambacho mpaka sasa kiliendelea kumfanya Blandina awe na chuki moyoni, chuki kumwelekea Namouih.

Pamoja na yote, baada ya mwanamke huyo kuona namna ambavyo Namouih alionyesha kutaka sana kuzungumza naye leo, akampa nafasi ndogo tu ya kuonana naye tena kwa kesho, na Namouih angehitaji kuitumia nafasi hiyo vizuri ili aufikie moyo wa rafiki yake kumfanya aelewe kwa nini mambo mengi yalikuwa namna yalivyokuwa.

Muda ule baada ya Blandina kumwachia Namouih namba yake na kuondoka kutoka eneo la soko walipokuwa, Namouih akarejea kwenye gari lake huku akichechema bado, kwa sababu mguu wake ulikuwa umeumia sana kuliko namna alivyodhani. Lakini ikawa ni kama anayapuuzia maumivu yake gotini kutokana na kuumizwa zaidi moyoni kwa jinsi Blandina alivyomtendea kana kwamba hakumfahamu, na hakuwa na yeyote wa kulaumu kwa jambo hilo isipokuwa yeye mwenyewe. Akashukuru tu kuwa angalau rafiki yake alimwonyesha utayari wa kumsikiliza, na hivyo angetafuta wakati mzuri kuongea naye kwa simu ili wapange sehemu ya kukutana kesho.

Alipotoka eneo la soko, alikwenda moja kwa moja kule hotelini ambako Zakia mama yake na Halima mama ya Efraim Donald walikuwa. Baada ya wanamama hao kuona kwamba ameumia, wakamsaidia kupoza jeraha lake mguuni kwa kumpaka dawa ya kuchua na kumfunga kwa bendeji ndogo, nao wakamuuliza alikuwa amepatwa na nini.

Akawa amewaambia tu kwamba alianguka wakati anatoka kununua vitu vyao, na uzuri ni kwamba siyo vyote vilikuwa vimeharibika kwani aliweza kuwaletea vilivyookoka. Alikuwa amepanga kuwatoa Halima na Zakia kwa ajili ya matembezi lakini mguu wake sasa ukawa kikwazo, na mama zake wakamsihi apumzike tu.

Aliendelea kukaa hotelini hapo mpaka jioni ndiyo akarudi nyumbani kwake Salome. Alitumia muda mwingi kuzungumza na Halima, ambaye bado alihisi huzuni kutokana na kifo cha mwanaye. Hakujua hata ni jinsi gani angerudi nyumbani na kuendelea kuishi akiwa si mzazi wa mtoto yeyote aliye hai tena, kwa maana wanaye wote walikuwa marehemu sasa, na Namouih alikuwa akimtia moyo kwa kusema angeendelea kuwa naye bega kwa bega.

Baada ya saa mbili kuingia ndiyo akawa amefika kwa Salome, naye akawa amewaambia waliokuwepo kwamba alianguka na kuumia mguu baada ya wote kuona anachechema. Akaelekea chumbani na kuomba asisumbuliwe kwa sababu alihitaji kupumzika; hata kula asingekula, na hiyo ikawafanya Sasha na Esma watambue kwamba dada yao alikuwa na tatizo fulani kihisia. Wakatii tu agizo lake, na baada ya Salome kuwa amerejea kwenye mida ya saa tatu usiku, wakawa wamemwambia kuhusu hali ambayo Namouih alirudi nayo.

Hivyo, Salome akaenda kumwona baada ya kujimwagia. Aliingia chumbani na kukuta Namouih akiwa amejilaza kitandani tu, naye Salome akasogea hapo na kuketi karibu yake kitandani. Namouih alikuwa amejilaza kwa ubavu huku kichwa chake akikilaza kwenye mkono wake mmoja, naye alikuwa anamwangalia Salome kwa njia iliyoonyesha ana mawazo sana.

Salome akazishika nywele za rafiki yake na kuzilaza-laza kidogo, kisha akauliza, "Vipi? Unaumwa?"

Namouih akafumba macho na kutikisa kichwa kidogo kukanusha.

"Huo mguu umefanyaje?" Salome akauliza.

"Nilianguka," Namouih akasema.

"Wapi?"

"Pale Keko."

"Ulikuwa unafanya nini?"

"Nilikuwa nimetoka tu shopping ndo'... ikawa hivyo..."

"Kwa hiyo unauma sana?"

"Siyo sana. Nimepaka dawa... utakaa fresh kufikia kesho..."

"Sawa. Me ndiyo nimeingia, Esma ananiambia umefika hata hujala. Twende ukale na mimi," Salome akasema hivyo kwa kujali.

"Mimi sihisi njaa... wewe nenda tu," Namouih akamwambia.

"Ulikuwa umeshakula?"

"Ndiyo."

Salome akakishika kiganja cha kushoto cha Namouih na kugusa kwa vidole viwili sehemu ya kati chini ya kiganja hicho, akiwa kama anapima kitu fulani.

"Vipi? Unasikiliza mapigo ya moyo?" Namouih akamuuliza.

"Kwa nini unanidanganya?" Salome akauliza.

"Kuhusu nini?"

"Haujala. Tena kutokea mchana. Nini kinakusumbua?"

"Ah... sina njaa Salome, niache tu, me nataka kupumzika..."

"Usinijibu hivyo Namouih, hauko kwa hali inayokuruhusu utende kizembe namna hiyo. Umesahau kwamba una ujauzito?" Salome akaongea kwa uthabiti.

Namouih akajigeuza na kulala chali, huku akionekana kuwaza sana kwa kuweka kiganja chake usoni.

"Haya nieleze nini shida. Sitoki humu mpaka uniambie," Salome akasema.

Namouih akafumba macho na kutikisa kichwa kidogo, kisha akafumbua na kusema, "Nimekutana na Blandina."

Salome akatazama pembeni, akiwa anajaribu kukumbuka hilo jina linamhusu nani, na baada ya kukumbuka, akamwangalia Namouih kwa kujali. Tayari alikuwa ameshasimuliwa kisa chake Namouih na Blandina, kwa hiyo alielewa hapa kulikuwa na jambo zito.

"Nimemwona leo. Ahah... alikuwa amependeza yaani... ahahah..." Namouih akaongea kwa hisia za mfadhaiko huku akitikisa kichwa chake.

"Alikuona?" Salome akauliza.

Namouih akatikisa kichwa kukubali.

"Mmeongea?"

"Si sana."

"Unamaanisha nini? Au ni yeye ndiyo kakufanya hivi mguuni?"

Namouih akacheka kidogo huku akiwa amefumba mdomo, kisha akajinyanyua na kuketi, halafu akasema, "Hamna. Nilimwomba tuongee... amenipa namba nimtafute kesho ili tuonane sehemu."

Salome akakishika kiganja cha rafiki yake na kusema, "Unataka kuongea naye kuhusu nini? Una... unataka kumwomba msamaha au?"

"Chochote kile Salome. Nachotaka ni kuongea naye tu," Namouih akasema hivyo kwa hisia.

"Sawa, lakini... ulimwonaje yaani... alitendaje mlipoonana? Bado akaonyesha kama anakuchukia?"

Namouih akaangalia chini na kutikisa kichwa kukubali.

"Nini kimefanya akakubali mzungumze?"

"Roho yake. Blandina ana roho nzuri sana Salome. Anaweza kukasirika sana lakini utu wake huwa ni mzuri. Blandina... alinisaidia kwa mengi mno. Hakuna mtu mwingine aliyewahi kuwa karibu nami kama jinsi ambavyo yeye alikuwa, kwa hiyo naelewa vizuri ni kwa nini bado ananichukia. Ni kwa sababu alikuwa ananipenda sana... upendo huo ulikuwa na nguvu mno, ndiyo maana chuki aliyonayo kwangu sasa hivi ina nguvu hata zaidi..." Namouih akaongea kwa hisia.

Salome akawa anamfariji kwa kumsugua taratibu juu ya bega lake, akimwonea huruma kutokana na mambo mengi yaliyomshusha mwanamke huyo kihisia.

Namouih akashusha pumzi na kusema, "Lakini nafurahi kiasi tu amenionyesha haka kafadhili... itakavyokuwa kesho... namwachia Mungu."

"Usijali, kila kitu kitakwenda sawa. Atakusikiliza, na wewe mimina kila lililoko moyoni mwako. Mwambie namna unavyommiss. Mmepitia mengi pamoja. Gusa sehemu itakayomvuta zaidi kihisia ili a-connect nawe vizuri tena... najua utafanikiwa," Salome akamtia moyo.

Namouih akadondosha chozi na kulifuta haraka huku akitikisa kichwa kukubali.

"Na pia kama ni ushauri mwingine wa muhimu zaidi, usije kusahau kitu kimoja..." Salome akasema.

Namouih akaweka umakini wake kwa Salome vizuri zaidi.

"Ubebe na kisu ili akileta fujo tu...."

Namouih akacheka kidogo na kusema, "Ila wewe!"

Salome akacheka pia, naye akasema, "Ni vizuri kuona unatabasamu. Kila kitu kitaenda sawa, wala usijali."

"Asante Salome," Namouih akamwambia na kisha kumkumbatia.

Walipoachiana, Salome akamsihi Namouih aende kula pamoja naye kwa sababu mwili wake kwa sasa ulimhitaji sana ale, na kwa msisitizo huo wa mara nyingine tena kutoka kwa rafiki yake, Namouih akakubali.

Salome akatangulia kwenda huko sebuleni, akimwacha Namouih ameishika simu yake. Alikuwa ameiwasha na kuangalia namba mpya aliyopewa na Blandina siku hii, naye akaamua kuipigia muda huo huo ili aweze kuzungumza naye hatimaye. Lengo lake lilikuwa kurudisha uhusiano wake aliopoteza na mwanamke huyo, na angehakikisha anatumia njia yoyote ile ili Blandina amsamehe na warudi kuwa marafiki kama zamani. Ingewezekana?



★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA TATU

★★★★★★★★★★★★★★★★


MAREKANI


Draxton na Darla walichukua gari la pick-up nyekundu, Darla akiendesha, nao wakaingia barabarani kuelekea kule ambako mwanamke huyo alidhamiria kwenda baada ya jamaa kufanikisha zoezi la kummiliki Gianna kwa ajili ya kundi lake. Huku kwa wenzetu ndiyo kwanza mchana ulikuwa umeingia tofauti na huko Tanzania ambako tayari usiku ulikuwa umeshatawala.

Darla alikuwa amempatia Draxton kofia ya kuvaa kwa kuwa jamaa alitaka kuzisitiri nywele zake nyeupe kichwani, na mwanamke huyo alikuwa amesisitiza waondoke upesi ingawa Draxton alitaka kuoga kwanza. Ili kumridhisha mwenzi wake akawa ameamua tu kutii.

Gari hilo la Darla liliunguruma kwa nguvu sana. Yaani lilitoa sauti nzito mpaka njia nzima ingeonekana ni ya kwao tu. Draxton akajiuliza kwa nini mwanamke kama Darla angehitaji gari la namna hiyo. Lilitembea bararani kwa zaidi ya dakika 10 bila ya wawili hawa kusemeshana. Kulikuwa tu na ile hali fulani tete kutokana na mambo yalitokea na yale ambayo yangefuata. Draxton akawaza labda amsemeshe kidogo kupitia akili, na hata jambo hili kwake bado lilikuwa lenye uajabu kiasi.

"You think it's weird? (Unafikiri ni ajabu?)"

Darla akamuuliza hivyo, naye Draxton akamwangalia. Akawa ametambua kwamba mwanamke huyo alisikia wazo lake la mwisho la kuiona hali hiyo ya kusikia mawazo yake kuwa ajabu.

"The telepathic link? (Huu muungano wa kiakili?)" Draxton akamuuliza.

Darla akatoa mguno wa kukubali.

"Yes. A little (Ndiyo. Kidogo)," Draxton akasema.

"You shouldn't. It strengthens our bond as mates. Plus, it makes conversation easier even when we get far from each other (Usiione kuwa ajabu. Inaimarisha muungano wetu tukiwa wenzi. Pia, inafanya mazungumzo yawe rahisi hata tukija kuwa mbali mbali)," Darla akamwambia.

Draxton akaendelea kumwangalia kwa utulivu, kisha akauliza, “Where are we going? (Tunaenda wapi?)"

“We are going to a small diner with great food and away from prying ears (Tunaenda kwenye mgahawa mdogo wenye vyakula vizuri sana na ni mbali kutoka kwa masikio ya umbea)."

Draxton akatazama mbele na kuuliza, "Where do you think Aysel went? (Unadhani Aysel atakuwa ameenda wapi?)"

"I don't know. But she'll stay close. Roguewolf and all (Sijajua. Ila atakuwa karibu tu. Siunajua suala la Roguewolf)."

"Yes, and we are yet to find that wolf. It could be the reason why some people are getting hurt a lot lately. I'll need to speak with Mark and Edmond about it (Ndiyo, na tunahitaji kumpata huyo mbwa-mwitu. Anaweza kuwa ndiyo sababu inayofanya baadbi ya watu wanaumia hizi siku za karibuni. Nitahitaji kuzungumza na Mark pamoja na Edmond kuhusu hilo suala)."

"And what of us ladies? (Na sisi wanawake?)"

"I would very much like for you to just stay safe. Wouldn't want any of your fine piece of asses to get scratched (Ningependa zaidi ikiwa nyie mgebaki kuwa salama. Singetaka lolote kati ya makalio yenu mazuri yakwanguliwe)," Draxton akaongea kiutani.

Darla akacheka kidogo na kusema, "Such a gentleman (Mwanaume mstaarabu kweli)."

Wakafikia sehemu iliyokuwa na jengo lisilo kubwa sana pembezoni mwa barabara hiyo, naye Darla akaliegesha gari umbali mfupi kutokea hapo. Kweli Ilikuwa ni mgahawa, hata kutokea ndani ya gari Draxton angeweza kusoma maandishi juu ya mwingilio wa sehemu hiyo yaliyosomeka "MEGAN'S DINER," nao wakashuka kwa pamoja kutoka kwenye gari.

Eneo hilo halikuwa na jengo lingine tofauti na hilo pekee, ikionekana kama Darla alikuwa amewatoa nje ya mji wao kabisa, huku majani mengi yakionekana pande zote kuzungukia uwazi mkubwa wa eneo hilo kwa mpangilio kama vile mashamba. Ikiwa ni mida ya saa saba mchana sasa, jua lilikuwa nyuma ya mawingu mengi kiasi angani na upepo mwanana ulipuliza vyema miti na mimea mingine iliyoonekana. Darla akasogea upande wa Draxton na kusimama karibu naye.

“Nice place (Ni sehemu nzuri)," Draxton akasema.

“Yes. It is. My friend Megan is the owner here. Be nice and mind your manners. She is a nice lady, but she has little patience (Ndiyo. Ni pazuri. Rafiki yangu Megan ndiyo mmiliki hapa. Kuwa mstaarabu na uchunge adabu yako. Ni mwanamke mzuri, ila ni mkali kiasi)," Darla akamwambia.

“Mind my manners? You mean my rude Alpha nature huh? (Nichunge adabu yangu? Unamaanisha ujeuri wangu wa kiAlpha eti?)”

"You got it (Umeelewa)," Darla akasema hivyo na kuanza kuuelekea mgahawa huo.

Draxton akamfata nyuma pia, akitazama sehemu hiyo kwa umakini na kujaribu kuyazoea mazingira upesi mpaka walipoingia ndani. Hakukuwa na mtu mwingine sehemu hiyo. Mpangilio wa ndani hapo ulikuwa kwa njia ya makochi marefu kutoshea watu watatu kukaa kwa kila pande ya meza iliyokuwa katikati ya hayo makochi.

Yalikuwa magumu, yenye rangi nyekundu, na mbele zaidi Draxton aliweza kuona kona ambayo bila shala ilielekea kule ambamo vyakula vilitengenezwa na sehemu ya kutunzia vinywaji. Darla akamwongoza jamaa kukaa sehemu moja iliyokuwa mwanzoni upande wa ukuta, nao wakakaa kochi moja wakiwa wametazama upande ule wenye Ile kona.

"There is nobody here. Not even a waitress (Hakuna mtu yeyote hapa. Yaani hata mhudumu)," Draxton akasema.

“It isn't time for opening yet, but Megan comes in early. She’ll be along shortly once she catches our scent (Bado muda wa kufungua haujafika, ila Megan huwa anaingia hapa mapema. Atakuja tu akishavuta harufu zetu)," Darla akamwambia.

“Megan? She's...? (Megan? Yeye ni...?)”

“Yeah (Ndiyo),” Darla akasema hivyo kuthibitisha.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa.

Ukimya ukafuata baada ya hapo. Darla alielewa kwamba Draxton alitaka kujua vitu fulani kuhusu maisha yake na yeye Darla alikuwa anataka amwambie vitu muhimu sana, lakini akawa anashindwa aanzaje.

Draxton yeye hakuwa na haja ya kulazimisha jambo hilo ili Darla aamue mwenyewe wakati uliomfaa kumwambia kila kitu, na kwa kuwa sasa aliweza kubadilika kikamili, hakukuwa na haja kwa mwanamke huyo kumficha lolote, ingawa bado kuongea ingekuwa ni juu yake. Alipomtazama, akaona Darla akiwa anajishauri sana, hivyo mwanaume akaamua kuanzisha maongezi ambayo yangeelekea kule alikohitaji yafikie.

“How old are you? (Una miaka mingapi?)” Draxton akauliza.

Darla akamwangalia na kuuliza, "All things you could ask me, that’s what you want to know? (Kati ya mambo yote ambayo ungeweza kuniuliza, hicho ndiyo unachotaka kujua?)"

“I wanted to start with why you would choose a newbie guy next door as a savior, but I know why. What's mportant to me is knowing you (Mwanzoni nilitaka kujua kwa nini ukamchagua jirani mpya awe mwokoaji wako, lakini najua sababu sasa. La muhimu kwangu ni kukujua wewe)," Draxton akamwambia.

“I’m thirty-three (Nina miaka 33),” Darla akasema.

Draxton akabaki kumtazama machoni kwa umakini. Miaka ya Darla iliendana na miaka ya Namouih, naye akawa amemwaza mpenzi wake wa Tanzania.

Darla akamgeukia vizuri zaidi na kuuliza, "What? (Nini?)"

“Nothing, just not as old as I expected (Hamna kitu, kumbe wewe siyo mzee kama nilivyotarajia),” Draxton akatania.

“You ass (Kalio wewe)," Darla akasema hivyo, na wote wakacheka kidogo.

“I’m joking (Natania)."

“I know (Najua),” Darla akasema na kuweka kiganja chake kwenye paja la jamaa.

“Birthplace? (Mahali ulikozaliwa?)” Draxton akauliza.

“Do you want my whole story, Draxton? (Unaitaka hadithi yangu yote, Draxton?)”

“Yeah (Ndiyo).”

“Why? (Kwa nini?)”

“Aren’t we mates? I should know about you. I myself wasn’t born here in the suburbs of North Carolina. I was born up in Oklahoma, Tulsa (Sisi si ni wenzi? Napaswa kujua kukuhusu. Mimi binafsi sikuzaliwa huku kwenye vitongoji vya North Carolina. Nilizaliwa Oklahoma, Tulsa)," Draxton akasema.

“I was born in Colorado, in the woods (Nilizaliwa Colorado, misituni),” Darla akamwambia.

“That wasn’t so hard was it? (Hiyo haikuwa ngumu kuniambia, au siyo?)”

“I don’t know. Seems to be pretty hard. I want you to understand, it was never my intention to pick you for this. It was hard trying to find someone else, and once your thoughts hit me, it had to be you (Sijui. Ila inaonekana kuwa ngumu kweli. Naomba tu uelewe kwamba haikuwa nia yangu kukuchagua wewe uwe mwenzi wangu. Ilikuwa ngumu kupata mtu mwingine, na mara tu mawazo yako yaliposikika kwangu, ilipaswa kuwa wewe),” Darla akaanza kueleza.

"I understand (Ninaelewa)."

“Not many people know about our existence. You learned about some of the types of our kind. There were wolves that never revert back to human and there are others who can live without a pack. You were chosen because our kind cannot live without a pack (Sio watu wengi wanaojua kuhusu uwepo wetu. Umejifunza kuhusu baadhi ya aina zetu. Kulikuwa na mbwa-mwitu wasioweza kujigeuza kuwa wanadamu na wengine ambao hawawezi ishi bila kundi. Umechaguliwa kwa sababu aina yetu haiwezi kuishi bila kundi)," Darla akasema.

“I know that (Hilo najua),” Draxton akamwambia.

“Yes, well, I imagine you want to hear why (Ndiyo, ila nadhani unataka kujua ni kwa nini iko hivyo)," Darla akasema.

Draxton alipokuwa ameweka umakini zaidi ili aelezewe, sauti ya viatu vya kuchuchumaa ikipiga sakafu kuwaelekea ikasikika. Darla akatazama upande huo, naye Draxton akaangalia huko na kumwona mwanamke fulani akija upande wao.

Alikuwa mzungu pia, mwenye umbo nene kiasi lililojikata vyema kumfanya aonekane kuwa namba nane. Alikuwa mrefu hata kumkaribia Draxton, mwenye sura ya kiutu uzima kufikia miaka 40 na kuendelea, na alikuwa na nywele nyekundu kichwani. Alikuwa amevaa T-shirt nyeupe yenye kubana na ya mikono mifupi, sketi fupi sana uliyoishia mwanzo kabisa wa mapaja yake kuyaonyesha wazi, lakini kutokea usawa wa mapaja alivaa stockings za nyavu zenye kubana mpaka chini ya miguu yake iliyokuwa ndani ya viatu vyekundu vya kuchuchumia. Alikuwa amepaka lipstick nyekundu midomoni, huku nywele zake zikiishia usawa wa nyusi kwa mbele na kwa nyuma kuzibana. Alikuwa na harufu fulani ya mbwa-mwitu jike iliyofichwa sana, lakini kwa uwezo mkuu wa kuvuta harufu wa Draxton, mwanaume alitambua upesi pia kwamba kweli na mwanamke huyo alikuwa mmoja wao.

Akafika karibu yao zaidi na kusema, "Hey Darla, it's been so long. What brings you here? (Mambo Darla, ni kitambo kirefu kweli. Nini kimekuleta huku?)”

“Just passing through (Nilikuwa napita tu)," Darla akajibu.

“I bet, and who is this young man? (Naona, na huyu kijana mdogo ni nani?)” Megan akauliza hivyo na kumwangalia Draxton.

Draxton akayatazama macho yenye rangi fulani ya dhahabu ya mwanamke huyo, kisha akanyoosha mkono wake kisalamu kumwelekea huku akisema, "I'm Draxton."

Mwanamke huyo akauangalia tu mkono wa Draxton, na bila kuupokea akamtazama Darla.

Draxton akaushusha.

"He’s my mate Megan (Yeye ni mwenzi wangu Megan)," Darla akamwambia.

“Really? (Kweli?)” Megan akauliza hivyo kwa kutoamini.

Akamwangalia Draxton kwa njia fulani ya udadisi, akitoa zile jumbe fulani kama za kumhukumu vile, na hicho ni kitu ambacho hakikumpendeza mwanaume. Lakini akakaa tu kimya, akijitahidi kuzuia hoja zozote za kumkosoa mwanamke huyo ambazo upande wake wa pili ulikuwa unamsukuma azitoe.

“You seem fine hon, I’m Megan (Unaonekana kuwa poa kipenzi, mimi ni Megan),” akajitambulisha namna hiyo na kumpa mkono wake hatimaye.

Draxton akaupokea, na Megan akamkandamiza kwa njia yenye nguvu kiasi iliyotuma maana ya kwamba Megan hakutaka jamaa amchezee rafiki yake, la sivyo angemvunja.

Draxton akatulia tu na kusema, “Nice to meet you (Ni vizuri kukutana nawe)."

Megan akauachia mkono wa jamaa na kuuliza, “What can I get for you two? (Niwaletee nini nyie wawili?)"

“Burger, fries, well-done steak, and a milkshake (Baga, mikaango, nyama iliyotengenezwa vyema, na kinywaji baridi cha maziwa)," Darla akasema.

“I'll just have steak (Mimi nitakula nyama tu)," Draxton akasema.

"That's it? (Hivyo tu?)" Megan akauliza.

"Yeah just... lots of it (Ndiyo ila... nyingi sana)," Draxton akamwambia.

Megan akatabasamu kidogo, kisha akatikisa kichwa chake na kuondoka.

Draxton akawa anamwangalia tu jinsi alivyotetemesha kwa miondoko yake.

“Don’t stare too hard (Usimkazie sana macho)," Darla akasema hivyo kwa njia fulani kama kutoa onyo.

“Is Megan also like you guys? You know... not in any pack? (Megan na yeye yuko kama nyie? Yaani... hayuko kwenye kundi lolote?)" Draxton akamuuliza.

“She's... maybe I should explain everything for you to understand (Yeye ni... labda nikuelezee kila kitu ili uelewe mambo vizuri)," Darla akamwambia.

"Yes, please (Ndiyo, tafadhali)."

Darla akaanza kumsimulia. Alizaliwa miaka ya 90 ndani ya mji mdogo huko Colorado State, na familia yake iliishi kwa amani kwa kuendelea kujitunza kwa njia na utaratibu uliowekwa ili waweze kuwa salama na kutosababisha madhara kwao na kwa wengine. Akasimulia pia kuhusu wazazi wake kama tu Mark alivyosimulia. Maisha yao yalikuwa mazuri mpaka vijana fulani wawili waliposababisha kifo cha mtoto wa Alpha huyu mwingine na ndiyo akaunda mpango wa siri pamoja na kundi lake kuisambaratisha amani hiyo alipoamua kuwaua maAlpha wengine na mtiririko wao wa urithi.

Kwa muda fulani mpaka kufikia kipindi hiki, Alpha huyu alitaka kuwa pekee aliyebakia ili atawale watu-mwitu wachache waliobaki baada ya kuua wengi, lakini pia alikuwa na lengo lingine. Alitaka kuja kuzalisha mtoto mwingine ili mtiririko wa urithi wa ma-Alpha uwe wake pekee ambao ungetawala makundi mengine yote, na alitaka kupata mtoto huyo kutoka kwa mwanamke aliyemwona kuwa wa kipekee zaidi na si yeyote tu.

Ni kwamba kipindi ambacho Alpha huyu alitekeleza mpango wake wa kuwaua viongozi wengine, ndiyo kipindi ambacho Darla alikuwa ameshakua mkubwa, na Alpha huyo alimchukua kinguvu na kumbaka ili awe mwenzi wake kwa lazima baada ya kuona kwamba Darla ndiye aliyestahili zaidi kumzalia; akiwa amewaua wazazi wake na kaka yake mkubwa, na kumwacha Mark baada ya Darla kumsihi asimuue pia.

“His name is Robert, or Robby as he likes to be called. This Alpha is not a pleasant person. He's killed many of our kind who failed to abide by his cruel way of leading. I tried to escape once with the help of friends, but one of them betrayed us and Robby killed most of them as a warning for me to never run away from him (Anaitwa Robert, au Robby kama apendavyo kuitwa. Huyu Alpha siyo mtu mzuri. Ameua wengi wa watu wetu ambao walishindwa kujitiisha chini ya uongozi wake wa kikatili. Nilijaribu kumtoroka wakati fulani kwa msaada wa rafiki zangu, lakini mmoja wetu akatusaliti na Robby akawaua wengi wao kama onyo kwangu ili nisijaribu kumkimbia tena)."

"That was Aysel, wasn't it? (Aliyewasaliti alikuwa Aysel, sivyo?)" Draxton akauliza.

"Yeah (Ndiyo)," Darla akajibu na kuonekana kuwa na huzuni zaidi.

Draxton akakishika kiganja chake kwa huruma.

“Robby raped me... over and over again... to make sure I was part of his pack... and to stay in control, but what he really wanted was my love. I could not give that to him, not after he killed my parents. After ten years of solace... I escaped with the help of my brother, Edmond, Gia, and Megan. But it only had to look like I escaped by myself so the others wouldn't be in danger. My part of the deal was to find another Alpha (Robby alinibaka mara kwa mara kuhakikisha nakuwa sehemu ya kundi lake na kukaa chini ya mwongozo wake, lakini alichotaka kutoka kwangu ilikuwa upendo. Nisingeweza kumpenda, ukitegemea alikuwa amewaua wazazi wangu. Baada ya miaka 10 ya unyonge.. nikafanikiwa kumtoroka kwa msaada wa kaka yangu, Edmond, Gia, na Megan. Lakini ilitakiwa kuonekana kuwa nimetoroka mwenyewe ili wenzangu wasije kuingia hatarini. Nilichopaswa kufanya kama kurudisha malipo ya msaada wao ilikuwa ni kutafuta Alpha mwingine)."

“So that you guys could live free (Ili mweze kuishi kwa uhuru).”

“Yes (Ndiyo),” Darla akajibu huku chozi likimtoka.

Draxton akamfuta chozi taratibu.

"It was really hard to find an Alpha, I lost hope. But Mark never gave up helping me. So I had to stay in hiding for awhile, and it may seem like Robby just forgot about me but I know he's still searching (Ilikuwa ngumu sana kumpata Alpha mwingine, nilipoteza matumaini, lakini Mark hakukata tamaa kunisaidia. Kwa hiyo nilikaa kwa kujificha kwa muda fulani, na inaweza kuonekana kama Robby amenisahau lakini najua bado ananitafuta)."

"That's why you still don't trust Aysel. You think she might betray you again (Ndiyo maana haumwamini Aysel bado. Unafikiri atakusaliti tena)."

"You're right. But I don't worry about that anymore cause I already have you (Uko sahihi. Lakini siwazi tena kuhusu hilo kwa kuwa tayari niko nawe)," Darla akasema kwa hisia.

“How did you manage to stay healthy so long without the Alpha? (Uliweza vipi kukaa kipindi kirefu na afya nzuri bila huyo Alpha?)" Draxton akamuuliza.

“There are ways. It’s been a struggle. It would require me to feed on human meat... something I really hate because... it made me a murderer (Zipo njia. Lakini ni kwa kusota sana. Ingenipasa kula nyama za mwanadamu... kitu ambacho nachukia sana kwa kuwa... ilinifanya niwe muuaji),” Darla akamwambia na kuanza kulia kwa sauti ya chini.

Draxton akawa anamfuta machozi huku akitembeza kiganja chake kichwani kwa mwanamke huyo, na akimtazama kwa kujali.

“I had to put everyone else first. Not just because I owed them, but because they deserved it (Nilipaswa kuwatanguliza wenzangu kwanza. Si kwa kuwa tu nilihitaji kuwalipa, ila kwa sababu walistahili hilo),” Darla akasema kwa hisia.

Draxton akaushika uso wake kwenye shavu, nao wakawa wanatazamana machoni kwa hisia sana.

“What the hell did you do?! (Umefanya nini?)”

Wawili hawa wakashtuka kwa pamoja baada ya swali hilo kuulizwa kwa sauti ya juu sana, nao wakageuka na kumwona Megan akiwa amerejea hapo lakini bila chakula. Alikuwa amebeba sahani tupu tu, naye akazibamiza kwenye meza sehemu hiyo waliyokaa wageni wake na kumnyanyua Draxton kwa kuvuta kola ya T-shirt lake. Kisha akaikamata shingo ya mwanaume na kumkandamiza kwenye ukuta kwa nguvu, macho yake yaking'aa rangi ya dhahabu huku akimwangalia jamaa kwa hasira.

Darla akawa amesimama pia na kusema, “He didn’t do anything Megan, let him go (Hajafanya chochote Megan, mwachie).”

“Then why are you crying? (Basi kwa nini unalia?)” Megan akamuuliza.

"You really should let me go (Unapaswa uniachie kweli)," Draxton akasema hivyo baada ya hasira kuanza kumwingia.

"Or what, puppy? (Au utafanya nini, kitoto cha mbwa?)" Megan akamuuliza na kuunguruma kidogo.

Draxton akaunguruma pia na kumsukuma kwa nguvu, naye Megan akarudi nyuma na kuanguka kabisa, kisha alipojinyanyua akakuta Draxton akiwa amebadilika rangi na kuwa mweupe, huku macho yake yakiwa na lenzi za blue. Megan akasimama vizuri zaidi akiwa ameshangazwa kiasi na jambo hilo, naye Draxton akaunguruma tena na kujiandaa kumshambulia mwanamke huyo.

"No! Draxton, calm down... please. She's my friend (Hapana. Draxton tulia... tafadhali. Yeye ni rafiki yangu)," Darla akaongea kwa sauti ya tahadhari huku akiweka mikono yake kifuani kwa mwanaume kumzuia.

Draxton akawa anamwangalia Megan kiukali, na mwanamke huyo akatabasamu na kumfata hapo aliposimama, kisha akamkubatia kwa furaha.

“Sorry Draxton, I jumped to conclusions. I care a lot for Darla and hate to see her hurt that's why (Pole Draxton, nilifikia mkataa vibaya. Namjali sana Darla na sipendi kuona anaumia ndiyo maana)," mwanamke huyo akasema.

Draxton akatulia zaidi, na ile tu Megan alipomwachia akaanza kuona ngozi ya mwanaume huyu ikirudi kuwa na weusi na macho yake kuwa ya kawaida.

"That's amazing (Hiyo inapendeza)," Megan akasema hivyo kwa shauku.

Mwanamke huyo akatazamana na Darla machoni, utizami ulioonyesha furaha baina yao wote, naye Draxton akawa ameelewa kwamba Megan alitambua yeye ni nani.

"Please sit down, I'll bring your meal (Tafadhali ketini, nitawaletea mlo wenu)," Megan akaongea kistaarabu na kuanza kuondoka.

Draxton akamtazama Darla, na mwanamke huyo akatabasamu na kusema, "That was hot. I think she was impressed (Hiyo ilikuwa ya moto. Nafikiri amependezwa)."

“You think so? (Unafikiri hivyo?)”

“I know so (Najua hivyo).”

"So much for minding my manners (Huko ndiyo kuchunga adabu yangu eti)," Draxton akasema hivyo, nao wakakaa tena.

Hazikupita dakika nyingi naye Megan akawa amewaletea vyakula vyao. Wakati huu alionekana kuchangamka kiasi, naye akawaacha wawili hao wafurahie mlo wao mpaka mwisho. Draxton akauliza ikiwa sehemu hii ilishughulikiwa na Megan pekee, naye Darla akasema ndiyo; Megan alifanya kazi kwenye sehemu hii bila msaada wa mtu yeyote wa kawaida, kumaanisha kwamba kulikuwa na watu waliomsaidia hapo lakini nao walikuwa wa aina zao za mbwa-mwitu. Hawangekuwa na urafiki kwao endapo kama Darla angewakuta, ndiyo sababu alikuwa amekuja sehemu hii pamoja na Draxton mapema.

Megan alikuwa na chumba chake cha kuishi kwenye jengo hili hili la mgahawa kwa hiyo Darla kuja huku ilikuwa ni kwa kusudi la kumtambulisha rafiki yake kwa mwenzi wake. Hivyo hawangetakiwa kuchukua muda mrefu sana maana baadhi ya wafanyao kazi hapo wangeanza kuja, pamoja na wateja waliopenda kwenda kuanzia mida ya jioni.

Draxton alikuwa akiushangaa kiasi mpangilio wa wakati ambao watu wa huku walipendelea kupata vyakula, na ndiyo Darla akamwelewesha kuwa hiyo ilikuwa ni kwa siku ya leo tu; siku zingine Megan angefungua hata kuanzia asubuhi na wengi wa wateja waliokwenda hapo walikuwa wale waliopita kisafari pamoja na watu-mwitu wengine.

Wakawa wamemaliza milo yao, na angalau wakati huu Darla alikuwa vizuri zaidi kihisia kutokana na ukaribu aliozidi kujenga na Draxton, a.k.a mwenzi wake.

"I will admit, this place is good. It's quiet. At least at the moment. A great place for a date, don't you think? (Nitakiri, hii sehemu ni nzuri. Iko kimya. Angalau kwa sasa. Ni mahala pazuri kufanyia mtoko, unaonaje?)" Draxton akasema.

Darla akacheka kwa nguvu kiasi.

"Ahahah... what? (Nini?)" Draxton akauliza.

“Wolves don’t really date Draxton (Mbwa-mwitu huwa hawafanyi mitoko Draxton),” Darla akasema.

“Why not? I mean we're also part human, not entirely animals. If I’m the Alpha, wouldn’t I get the say so on taking my mate out on a date? (Kwa nini? Namaanisha sisi ni watu pia, siyo wanyama tu kwa asilimia zote. Na kama mimi ndiyo Alpha, si ninaweza kusema twende kwenye mtoko na mwenzi wangu nikiamua?)”

“I suppose you do (Nadhani unaweza bila shaka),” Darla akajibu huku akimtazama kwa hisia.

Draxton akamwambia, "I am so going to have to change a lot of things (Yaani nitatakiwa kubadilisha mambo mengi sana)."

"Yeah, you will. But I’m not your mate fully yet until you actually induct me into the pack (Ndiyo, utafanya hivyo. Lakini bado mimi siyo mwenzi wako kikamili mpaka uniingize ndani ya kundi).”

Draxton akamtazama Darla usoni baada ya mwanamke huyu kusema maneno hayo, akiwa ameelewa maana yake, na akiona namna ambavyo hamu yake kuelekea suala hilo ilikuwa kubwa. Darla alikuwa akimtazama kwa hisia sana, akiyapenda sana macho ya Draxton na kutamani waanze kufanya jambo fulani zuri sehemu hiyo hiyo.

Akashika paja la Draxton taratibu na kuliminya kwa vidole vyake, kisha akaanza kumwelekea midomoni taratibu. Draxton akawa anamwangalia tu, akionekana kuwa tayari kulipokea penzi la mdomo la Darla, na ndipo sauti za viatu vikigonga sakafu na kuja upande wao ikawafanya wakatishe suala hilo na kumwangalia aliyekuja, yaani Megan.

"You guys done, huh? (Mmemaliza eh?)" akauliza Megan na kuanza kukusanya sahani.

"All done (Tumemaliza kabisa)," Darla akajibu.

"Yes, thank you so much. And... I wanted to apologise for earlier (Ndiyo, shukrani sana. Na... ninataka kuomba samahani kwa kilichotokea muda ule)," Draxton akamwambia Megan.

Megan akatabasamu na kusema, “You know Darla, you have an interesting mate. He actually has manners. Where’d you find this one? (Unajua Darla, una mwenzi anayevutia sana. Ana adabu kabisa. Umempatia wapi?)”

“Long story. But to put it simply, next door (Hadithi ndefu. Ila kwa kurahisisha mambo, nimempatia kwenye mlango jirani)," Darla akamwambia.

“Well, I am glad for you two, and I'd really love to grab the catching up witcha. But I have workers and a bunch of customers on the way and from the looks, Darla you’re not gonna want to be here. With your passion and looks, he is gonna get over his head quick (Nimefurahi kwa ajili yenu, na ningependa kukaa pamoja nanyi ili kupatana kwa mengi. Lakini kuna wafanyakazi na wateja wengi wanaokuja muda siyo mrefu, na jinsi inavyoonekana, Darla haungependa kuwa hapa. Kwa huo uzuri wako na utamu, mwenzi wako huyu atapandisha mzuka kichwani)," Megan akasema.

“What does that mean? (Hiyo inamaanisha Nini?)” Draxton akamuuliza Darla.

“She means bestial hormones are gonna flow and you will cause a scene when the men start hitting on me (Anamaanisha homoni zako za kinyama zitapanda na utatokeza ugomvi wanaume wakianza kunishobokea),” Darla akamwambia.

“Okay, well, let’s go (Haya, basi twende)," Draxton akasema na kusimama.

Darla akamlipa Megan kwa ajili ya chakula na kumkumbatia ili kumuaga, na wanawake hao wakaahidiana kukutana tena.

Megan alikuwa anamtazama Draxton kwa umakini sana, akimwona kuwa kijana mdogo sana lakini bila shaka mwenye mambo mengi mazito ndani yake, na wenzi hao wa unyama wakatoka sehemu hiyo na kuelekea kwenye gari hatimaye. Draxton akafanya ustaarabu wa kumfungulia bibie mlango wa upande wa usukani ili aingie bila taabu, naye Darla akaingia huku akitabasamu. Mwanaume akaingia upande wake pia, na safari ya kurudi nyumbani ikaanza tena.

Njiani walipishana na magari kadhaa pamoja na pikipiki zilizoelekea upande walikotoka, na Darla alihakikisha amefunga vioo vyote ili ikitokea kwamba kuna mtu-mwitu mwenye uwezo wa hali ya juu wa kunusa harufu basi asiweze kuvuta za kwao.

"It would appear as if almost everyone around town is a human-wolf (Inaweza kuonekana kwamba karibia kila mtu kuzungukia huu mji ni mtu-mwitu)," Draxton akasema.

"Not really. They can be scattered but need to live in the order of closeness their Alpha wants (Haiko hivyo kabisa. Wanaweza kuwa sehemu mbalimbali ila wanahitaji kuishi kwa mpangilio wa ukaribu waliowekewa na Alpha wao)," Darla akamwambia.

"None of them has ever seen you down here? (Hakuna yeyote kati yao aliyewahi kukuona huku?)"

"No. I don't go out often, and I'm very good at covering my scent. But you know it never is enough. Once I become your Luna, I won't worry about that (Hapana. Sitoki mara kwa mara, na ninaficha harufu yangu kwa umakini mzuri. Ila unajua hiyo haitoshi sikuzote. Nikiwa tu Luna wako rasmi, sitawaza tena kuhusu hilo)," Darla akamwambia.

"So tell me more (Basi niambie mambo mengi zaidi),” Draxton akasema.

"About? (Kuhusu?)"

"About your life with that guy before escaping (Kuhusu maisha yako na huyo mwanaume kabla ya kumtoroka)."

“Well, it was terrible. I was locked up a lot in his mansion and never allowed to be alone. Everyone was so afraid of him... up until now (Yalikuwa mabaya. Niifungiwa sana ndani ya jumba lake kubwa na sikuruhusiwa kuwa peke yangu. Kila mtu alimwogopa... hadi kufikia sasa).”

“How did you manage then? (Ulifanikiwaje sasa?)”

“Gianna took pity on me. She was also working there. After talking to me, she asked if I wanted to escape again, and I said I would if I had a safe way. Little did I know that way was already planned by my brother, and she was part of it. She did it because she wanted to be free too, so she could be with the one she loves (Gianna alinionea huruma. Alifanya kazi hapo pia. Baada ya kuongea na mimi, akaniuliza ikiwa nilitaka kutoroka tena, nami nikamwambia ningefanya hivyo endapo kama kungekuwa na njia salama. Sikujua tu kwamba tayari kaka yangu alikuwa ameshaitengeneza hiyo njia, na yeye Gianna alikuwemo. Alitaka kuwa huru pia, ili awe pamoja na yule aliyempenda)."

"Edmond."

"Yes. She was sacrificing a lot, that's why she asked for a deal. I agreed and she unlocked me. At first I almost tore her apart in fear of a trick (Ndiyo. Alikuwa anajidhabibu kwa mengi, ndiyo maana akaomba tufanye dili. Nilikubali naye akaniachilia. Mwanzoni ilikuwa kidogo nimrarue kwa kuhofia kufanyiwa mchezo wa kudanganywa)."

“Why didn’t you? (Kwa nini haukufanya hivyo?)”

Darla akamwangalia kiufupi na kusema, “Hope (Matumaini).”

Wakaendelea na safari yao fupi bila kuongea lolote lile tena kwa zaidi ya dakika tano, nao wakawa wamefika kwenye nyumba zao. Ilikuwa imeshafika saa 9 alasiri sasa, na walikuwa wametumia dakika 20 kutokea kule kwa Megan mpaka hapo, nao wakatazamana machoni kwa pamoja.

Draxton akakishika kiganja cha Darla taratibu kama kumpa kitulizo kutokana na yote aliyotoka kujua kumhusu, lakini Darla hakutaka kitulizo hicho kiishie kwenye kushikwa tu. Akauachia usukani na kumfata Draxton moja kwa moja mdomoni, naye akaanza kuiogesha midomo ya mwanaume huyo kwa ulimi wake taratibu. Ilianza kama busu ya kuagana kwa kuachana kwa wakati huu tu, lakini ikageuka kuwa denda nzito sana iliyomfanya Draxton aushike uso wa Darla ili waendelee kunyonyana ndimi kwa hamu kubwa iliyowapanda.

Darla alikuwa anatoa miguno ndani ya mdomo wa Draxton, na kila mara alipojaribu kuikatisha ndiyo hamu yake ingeongezeka zaidi na kujikuta anaanza kumshika Draxton hapa na pale kwa njia yenye papara. Joto la wawili hawa likapanda zaidi, naye Draxton akawa wa kwanza kuikatisha busu hii na kumwangalia mrembo wake mpya usoni, aliyekuwa anamwangalia kwa hamu.

"Draxton... we’re teasing too much. I really wanna go for it (Draxton... tunachezeana mno. Mimi ninataka sana tufanye),” Darla akasema hivyo huku akipumua kwa nguvu.

Draxton akamtazama kwa ufupi, kisha akasema, "I know. I've been trying to restrain myself but I'll admit a huge part of me really wants this. You’re my mate, so the feeling is tense. When do you want us to do this? (Najua. Nimekuwa nikijaribu kujizuia lakini nitasema ukweli kwamba sehemu kubwa ndani yangu inataka jambo hili. Wewe ni mwenzi wangu, kwa hiyo hisia hii ni nzito. Unataka tufanye hili wakati gani?)"

Darla akasema, "Tonight. A few more hours and we can. I have to prepare a few things (Usiku wa leo. Ndani ya masaa machache tu tutafanya hivyo. Nahitaji kuandaa mambo machache kwanza)."

Mwanaume akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa, naye Darla akatabasamu kwa hisia na kumwacha mwanaume atoke ndani ya gari ili aende kwenye nyumba aliyokaa.

Draxton akawa anaenda huko huku akimtafakari Darla. Kitu kilichozunguka zaidi akilini mwake ilikuwa ni huu uvutio mpya aliohisi kumwelekea mwanamke huyo. Alikuwa mtu-mnyama aliyepitia mengi magumu zaidi yake hata yeye Draxton, lakini bado alikuwa mwenye uimara na aliyetaka sana kusonga mbele. Alikuwa aina ya mwanamke aliyejua jinsi dunia ilivyokuwa hata ingawa alifungiwa na kujificha kwa kipindi kirefu, na hivyo matarajio yake ya kuwa huru sasa yangetimia ili aweze kuishi kwa njia aliyoitamani kwa muda mrefu. Draxton hangeweza kujizuia kumwona Namouih ndani ya mwanamke huyo, na ile hisia ya kutofanya haki kwa mpenzi wake halali ilikuwepo ingawa hakuwa na jinsi ila kutimiza majukumu yake ya kuwasaidia waliokuwa kama yeye.

Akaufikia mlango na kumtazama Darla, ambaye naye alikuwa amesimama mlangoni huku akimwangalia, nao wakaambiana kwa heri ya wakati huo kwa mara nyingine tena kwa kutumia akili, kisha wakaingia ndani.

★★

Draxton aliamua kufanya usafi kidogo kwenye nyumba ya Mark. Akasafisha sebule, vyumba, vyoo, na kisha akatoa uchafu nje, ijapokuwa hakukuwa na uchafu mwingi. Akilini mwake alikuwa anawaza kuhusu jinsi mambo yangeenda usiku huo atakapommiliki rasmi Darla akiwa mnyama kamili, na bado alikuwa hana uhakika kama alikuwa tayari lakini muda haukuwa rafiki kwao, hivyo ilikuwa lazima atimize jambo hilo haraka na mengine ndiyo yafate; katika maana ya Aysel. Bila shaka kuwaweka baadhi ya watu-mwitu hawa ndani ya kundi lake ulikuwa mwanzo tu, alijua angepaswa kushughulika na huyo Robby baada ya haya yote, na hapo ndiyo angeweza kuwapa uhuru wa kweli watu hawa.

Akaingia ndani tena baada ya kumaliza usafi huo, naye akaenda kujimwagia maji. Mara kwa mara Darla angemwambia kupitia akili jinsi alivyokuwa na hamu ya usiku huo kiasi kwamba alikuwa ananisi asingeweza kuvumilia; yaani alitamani hata amfate Draxton muda huo huo, naye Draxton akamwambia asiwe na hofu kwa kuwa muda uliendelea kutembea, na ndani ya masaa machache wangekuwa pamoja.

Akiwa amemaliza kuvaa, Draxton akachukua laptop yake akiwa na lengo la kumtafuta Namouih, ila kila mara alipojaribu jambo hilo, Namouih hakupatikana. Akawaza huenda mwanamke wake alikuwa amepumzika na kuweka vifaa vyake vya mawasiliano pembeni, au labda kwa mida hiyo angekuwa amelala huko Tanzania, hivyo akasitisha zoezi la kumtafuta kwa wakati huu.

Kuendelea kujigawa namna hiyo kwa wanawake hawa kulimkumbusha tena namna mambo yalivyokuwa kwa Blandina, na ingawa alikuwa anajitahidi kuishi kwa njia aliyotakiwa kuwa ameishi kwa kitambo, bado roho ilikuwa inamuuma. Kuna sehemu ndani ya moyo wake iliyotamani sana kama njia ya kushughulika na haya mambo ingekuwa tofauti, hasa baada ya hisia zake kumwelekea Darla kuanza kuchukua sura mpya zaidi, lakini hakuwa na jinsi.

Akaamua kuachana na mawazo mengi na kwenda jikoni ili aweze kutengeneza chakula kidogo. Ikiwa imeingia mida ya saa kumi na moja sasa, akaelekea upande huo na kuanza kuangalia vilivyokuwepo ili ajiweke katika hali ya ubize kabla ya usiku wake mnene na bibie Darla, na ndipo mlango wa kuingilia ndani hapo ukagongwa.

Akaenda na kuufungua, kukuta ni Edmond ndiye aliyefika sehemu hiyo.

“Edmond. You're back (Edmond. Umerudi)," Draxton akasema.

Edmond akatikisa kichwa kukubali, naye Draxton akamkaribisha ndani.

"Everything okay? (Kila kitu kiko sawa?)" Draxton akamuuliza.

“Yeah. I just wanted thank you. I know a lot of this was out of your hands but thanks nonetheless (Ndiyo. Nilitaka tu kukusbukuru. Najua mengi ya haya mambo yalikuwa nje ya mikono yako lakini asante hata hivyo),” Edmond akasema.

“No problem. Is Gianna alright? (Hakuna tatizo. Gianna yuko sawa?)”

“Yes, she's good, wanted to get some sleep for a bit. I also wanted to talk about that Roguewolf. What do you wanna do about it? (Ndiyo, yuko vizuri, alitaka kulala kidogo. Nilitaka pia kuzungumzia kuhusu yule Roguewolf. Unataka kufanya nini kumhusu?)"

“Hunt it down, probably this weekend. I want us to do this with Mark (Tumwinde, ikiwezekana mwisho wa wiki hii. Nataka tufanye hili pamoja na Mark)," Draxton akasema.

Edmond akatikisa kichwa kukubali, naye akasema, "If you’re okay with it, I want to track it down, maybe give us a leg up on it (Kama itakuwa sawa kwako, naomba nifanye kumfatilia mapema, ili angalau tuweze kuwa naye kwa ukaribu)."

"Won't that be dangerous? (Hiyo haitakuwa hatari?)"

"Not really. I just need you to allow it (Siyo hivyo kabisa. Nahitaji tu uniruhusu)."

“Okay then. But if something goes wrong, won't that damper my leadership? (Basi sawa. Ila kama jambo fulani likienda vibaya, hiyo haitatia uongozi wangu dosari?)”

“Not at all man. I am here asking you because your wishes matter the most. Believe it or not, that dog is going to be a problem. If we ignore it, it will mean a lot of deaths (Haiko hivyo kabisa mwana. Niko hapa kukuomba ruhusa kwa kuwa maagizo yako ndiyo ya muhimu zaidi. Amini usiamini, huyo mbwa atakuwa tatizo kubwa sana. Tukimpuuzia tu, atasababisha vifo vingi huku)," Edmond akasema.

“Okay, well, be careful Edmond (Sawa, basi, kuwa mwangalifu Edmond)," Draxton akamwambia.

Edmond akatikisa kichwa tena, naye akaweka mkono wake kifuani kuonyesha heshima kisha akaondoka hapo.

Draxton akachukua simu yake na kumpigia Mark, lakini mara zote nne alizojaribu simu haikupokelewa. Akamwachia ujumbe akimwambia kwamba huenda kufikia mida ambayo angekuwa amerudi nyumbani yeye Draxton asingekuwepo kwa kuwa angekwenda nje usiku kutimiza majukumu yake, kisha mwanaume huyu akaelekea zake jikoni ili ayatumie masaa yaliyobaki kutengeneza chakula.

★★

Imefika mida ya saa tatu na nusu hivi usiku, mwanaume akawa amekaa tu kwa kupumzika baada ya kumaliza kazi zake. Alikuwa akitazama ripoti fulani za habari kwenye TV pale aliposikia dirisha la chumbani kwake likigongwa. Alijua huyo bila shaka angekuwa Darla, naye akazima TV na kwenda chumbani kumfungulia bibie.

Kweli ilikuwa ni Darla, naye Draxton akalifungua dirisha huku akisema, "You know there's a front door right? (Siunajua kwamba hapa kuna mlango wa mbele, au?)"

Ni pale ambapo Darla aliingia ndani humo akiwa uchi kama mnyama ndiyo Draxton akapata jibu la swali lake.

“Couldn’t come to you through the front door this way (Singeweza kuja kwako kupitia mlango wa mbele nikiwa namna hii)," Darla akasema.

Macho ya Draxton yalikuwa yanauangalia mwili wa mwanamke huyo kwa tamaa, hasa sehemu yake ya kito iliyotoa harufu nzuri sana kwake.

"You really know how to make an entrance (Unajua kweli jinsi ya kuingia sehemu)," Draxton akasema.

“Hush now (Kimya sasa),” Darla akasema hivyo kimchezo na kumsogelea karibu zaidi.

Wawili hawa wakaangaliana sana machoni kana kwamba walikuwa wanasomana. Draxton alijihisi kupotezwa kabisa na uzuri wa macho ya Darla, vile vile na mwanamke huyo pia.

“Take your clothes off. We have to get going (Vua nguo zako. Tunapaswa kuondoka)," Darla akamsemesha kwa kunong'oneza karibu na mdomo wa jamaa.

“Eager huh? (Una mchecheto, eh?)” Draxton akatania.

Darla akamuungurumia kama kumpa onyo la kuwahi kufanya alichotaka, naye Draxton akatabasamu kwa mbali na kuanza kuvua nguo zake zote. Darla akameza mate huku akipumua kwa hamu baada ya kuona mtambo wa Alpha wake ukiwa umeinuka tayari.

“Already up I see (Naona umeshaamka),” Darla akamwambia hivyo huku akimtazama kwa hisia.

"The effect you have on me (Ndiyo athari yako kwangu)," Draxton akasema.

Darla akatabasamu, kisha akaanza kuelekea dirishani tena na kumwambia, "Let's go (Twende)."

Draxton akamfata mwenzi wake nyuma, nao wakatoka maeneo hayo yenye nyumba na kuingia mitini zaidi, Darla akiwa anaongoza njia gizani huko kana kwamba alikuwa anataka waende sehemu fulani hususa.

“Where are we going? (Tunaenda wapi?)”

Draxton akawa amemuuliza hivyo baada ya kutembea kwa dakika chache, lakini hakupewa jibu, na mwanamke huyo akaendelea tu kumwongoza kwenye miti mingi zaidi. Draxton angewaza kuhusu yule mbwa-mwitu mweusi waliyepaswa kumkamata na kumuua lakini haikuonekana kama alikuwa karibu na hapo. Kuna kitu hakikuonekana kuwa sawa kwa hali hii. Darla alimzidi kasi ya kutembea, akiwa ametangulia mbele zaidi, na kila mara Draxton alipomsemesha hakujibiwa.

Draxton akashindwa kuelewa nini kilikuwa kinaendelea. Mwanamke huyo akaanza kukimbia kabisa, naye Draxton akamkimbiza huku akimwita. Darla akawa anacheka tu, akimpiga chenga mwanaume na kufanya iwe ngumu kwa Draxton kumwona ingawa hakumpoteza. Jamaa akajiuliza huu ulikuwa ni mchezo au tatizo?

Ikabidi aongeze nguvu za kumfukuzia, na kila mara alipomkaribia na kumshika kidogo tu, Darla angemkwepa na kumpiga chenga nyingine. Hii hali ikautia hasira fulani hivi upande wa Draxton wa unyama, hasira ya kutaka kuendelea kumkimbiza maana alikuwa anamwongezea hamu yake ya kuwa naye kwa njia hii.

Kumkamata kabisa mwanamke huyo ilikuwa na ugumu, kila mara akimkosa-kosa na yeye Darla kuendelea kucheka tu na kukimbia. Draxton akaelewa. Huu ulikuwa mchezo. Darla alikuwa anamlazimisha jamaa ammiliki kwa njia sahihi. Ili kufanya hivyo, Draxton alipaswa kumkamata.

Darla alikuwa na kasi siyo mchezo. Ilibidi Draxton atumie akili kama ya duma ya kumkimbiza mwanamke huyo kwa kufatisha namna ambavyo miguu yake ilikwenda kwa pande zote alizotumia kupita. Vicheko viliongezeka zaidi kwa wote wawili, kwa sababu sasa Draxton pia alikuwa anaburudika zaidi ingawa alikuwa amepigishwa zoezi kali.

Ndipo Darla akawa amezidisha kasi na kuanguka chini kwa nguvu. Ulikuwa ni wakati ambao Draxton hakutarajia kabisa, lakini ulijitengeneza kwa njia ile ya mwindaji kukamata windo lake hatimaye baada ya usumbufu mwingi. Akamrukia mwanamke huyo chini hapo na kumkandamiza, na ingawa Darla alijitahidi kufurukuta, Draxton akahakikisha hatoroki.

Darla alikuwa amelalia tumbo lake, mwanaume akiwa kwa juu yake, nao wakawa wanapumua kwa nguvu na kujituliza kiasi kutokana na mbio zao. Mashine yake Draxton ilikandamiza vyema mstari uliotenganisha kalio la bibie, naye akamsogezea mdomo wake sikioni na kuling'ata kidogo.

Darla akaachama huku akiwa amefumba macho, kisha akasema, "You got me. Now what are you gonna do? (Umenikamata. Sasa utafanya nini?)"

"I'm going to claim you (Nitakumiliki sasa)," Draxton akamnong'oneza.

“Hurry Draxton... I don’t know if I can stand the suspense any longer (Wahi Draxton... sidhani kama nitaweza kuendelea kusubiri zaidi)," Darla akaongea kwa kudeka huku analikandamizia kalio lake kwenye mtambo wa jamaa.

Joto la Darla lilikuwa juu sana, naye Draxton akajiweka katika hali nzuri ili aweze kufanya kile ambacho mwanamke huyo alitaka sana. (.......).

Darla alikuwa anatoa sauti fulani nyembamba ya kooni huku akipumua kilegevu, kisha akaung'ata mkono mmoja wa Draxton uliokuwa umeshika chini karibu na uso wake. Draxton alihisi raha ya hali ya juu kutokana na moto wa mwanamke huyo. Darla akawa anaguna huku akiongea maneno mengi kumhamasisha mwanaume wake akoleze utamu.

Ngozi ya Draxton ikaanza kubadilika mpaka macho yake yalipokuwa ya blue kumruhusu aingie kwenye badiliko la kati, naye akaanza kumsugua kwa nguvu na kasi zaidi. Darla aliacha kuzungumza na kuanza kuguna na kuunguruma kwa sauti ya juu, akihisi moto mkali ndani ya utamu aliopewa.

Sauti za mifupa ikianza kujikunja ndani ya mwili wa mwanamke huyo zikamtahadharisha Mnyama-Draxton kwamba mwenzi wake alikuwa anaanza kugeuka pia, ila yeye alikuwa anaingia unyamani zaidi. Ambacho Darla hakuwa amemwambia Draxton ni wakati ambao naye angepaswa kubadilika wakianza kufanya mapenzi, kwa sababu hakujua angetakiwa kuuendesha vipi mchezo akishageuka kabisa kuwa mnyama ilhali alielewa kuna mambo kiasili tu angeweza kufanya.

Akiwa anaendelea na usuguaji, akaanza kuona ngozi ya mgongo wa Darla ikikuza manyoya, na hata mkia ukaanza kukua sehemu ya chini mgongoni. Draxton hakuwa hata amebadilika kuwa mnyama kabisa na tayari umbo lote la mwanamke huyo likageuka na kuwa la mbwa-mwitu mkubwa aliyelala chini yake, naye hakuacha kumkuna hata kidogo.

'You have to change Draxton (Unapaswa ubadilike Draxton).'

Sauti ya Darla ikasikika ikisema hivyo kichwani kwake Draxton, naye akauliza kwa kutumia mdomo, "How? (Kivipi?)"

'Concentrate like how you did before... on the pleasure. Think about increasing it. For me, there is an itch that’s like a door. Once opened, it just happens (Kazia fikira raha unayopata kama ulivyofanya siku ile. Fikiria kuiongeza. Kwangu mimi kuna mwasho ulio kama mlango. Ukifunguka tu, inakuwa hivyo).'

Darla akasikika namna hiyo kichwani kwake Draxton, lakini sauti alizotoa zilikuwa za miguno ya kuunguruma kiunyama kabisa. Mnyama-Draxton akafuata ushauri aliopewa kwa kuongeza hamu yake ya kutaka raha zaidi. Alijitahidi kumpiga kwa njia ya haraka zaidi huku akitafuta hisia nzuri iliyotakkwa kuongezwa, naye akaipata. Aliona kwamba kumsugua mnyama huyo kwa upande bila kuacha kulimwongezea mzuka hata zaidi, naye akakomaa na upande huo huo.

Darla alikuwa sahihi, kwa sababu kadiri ambavyo hisia hiyo iliendelea kuongezeka kwa Draxton ilikuwa kama kufungua mlango fulani ili atoke vilivyo. Hisia zake zilizoongezeka zilifanya mwili wake wote uume kwa mshtuo kama shoti vile, naye akatoa kilio cha mbwa-mwitu ambacho Darla alikiiga pia, nao wakawa wanalia kwa pamoja. Sasa Draxton akafanikiwa kubadilika kabisa na kuwa mnyama. Akili yake ilikuwepo vizuri tu kuona mambo yaliyoendelea, lakini asilimia kubwa ya unyama wake ndiyo iliyoyaongoza.

Mapenzi kwa njia ya unyama namna hiyo yalikuwa tofauti. Wangeng'atana, wangelambana, na kutoa pumzi na sauti nzito za miguno kila mara walipoendelea kusuguana. Harufu ya damu kutokana na kukwanguana na kung'atana ilienea hewani, na Draxton hakujua ni kwa nini lakini kila mara ambayo mbwa-mwitu wa Darla alimng'ata ni kama ilifanya raha alizohisi zipande zaidi. Uasili wa jambo hilo kutokana na wao kulifanya wakiwa wanyama kwa asilimia zote ulikuwa mtamu kupita namna alivyowahi kufikiri.

Msitu huo waliokuwepo ndani yake ukaendelea kutoa sauti zao za unyama kwa raha walizopeana, naye Draxton akawa amefanikiwa kummiliki mwenzi wake na kumfanya awe malkia wa kundi aliloanza kutengeneza.



★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★

WhatsApp +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA NNE

★★★★★★★★★★★★★★★★


TANZANIA


Huku Bongo siku ikawa imekucha. Hii ni kutokea usiku ambao Namouih alitiwa moyo na Salome kuhusiana na ishu yake ya kukutana na Blandina, na mwanamke huyu alimpigia simu Blandina na kufanikiwa kuzungumza naye. Hawakuongea mengi, sanasana ni Namouih ndiye aliyezungumza na kuuliza Blandina angepata nafasi ya kukutana naye muda gani kwa siku hii. Blandina akamwambia kwa ufupi sana kwamba wakutane kwenye hoteli fulani mida ya saa tano, na hata kabla ya Namouih kusema lolote akakatiwa simu.

Namouih aliona chochote kile ambacho Blandina alifanya kilikuwa sawa tu, maadamu angekwenda kweli kuonana naye na kujaribu kurekebisha hali iliyokuwepo baina yao. Kwa hiyo siku hii aliamkia kujiandaa vyema, naye akamwomba Sasha ajiandae pia ili watoke wote. Hakumwambia mdogo wake kwamba wangekwenda kuonana na Blandina, naye Sasha akajiandaa vizuri na kufikia mida ya saa nne wakaondoka pamoja.

Namouih akawasiliana na Zakia na kumwambia kwamba alikuwa anampeleka Sasha sehemu fulani kwanza kisha ndiyo angeelekea huko hotelini walikokuwepo mama zake. Kufikia sasa mguu wake ulikuwa ukipoa japo alitembea kwa kuchechema bado, na hatimaye akawa amemfikisha Sasha hotelini pale alipokubaliana kukutana na Blandina.

Walikaa kwenye meza moja ya hapo na kuagiza vyakula vyepesi tu kwa ajili ya asubuhi, naye Namouih akamtumia Blandina ujumbe kumjulisha kuwa amefika tayari. Hakujibiwa. Akaamua tu kumwacha na kuendelea kusubiri, huku akipiga story za hapa na pale pamoja na mdogo wake. Ikaingia saa tano na muda kuendelea kusonga lakini Blandina hakuwa amefika wala kujibu ujumbe wa Namouih.

Dada hawa wawili walipokuwa wamemaliza kula, akafika mwanaume fulani hapo mwenye mwonekano wa kiarabu, mwili mzuri kimazoezi, naye akaanza kumsemesha Namouih na Sasha kirafiki. Walimpokea vizuri tu, naye akawa anawasifia kwa namna walivyokuwa warembo na kusema alishindwa kujizuia kuwafata na kuwaambia jambo hilo. Sasha alitambua upesi kwamba mwanaume huyo alivutiwa na dada yake, na kiutani akamwambia kwamba kama anataka basi ampe namba za Namouih.

Namouih akamwangalia Sasha kwa njia ya ukali, sio ule ukali mkali bali wa kumfanya tu Sasha aone kwamba hakutaka jambo hilo, na mdogo wake akacheka. Mwanaume huyo akatabasamu pia na kusema ni kweli angefurahi endapo kama angeipata namba ya Namouih, na ndipo hapo hapo Namouih akamwona Blandina anaingia sehemu hiyo ya hoteli.

Mwanamke huyo alikuwa amependeza sana. Alivalia gauni fupi lenye kubana na lililoacha mapaja yake wazi, viatu virefu, na nywele nyingi za mtindo wa mawimbi zilizosukiwa upande mmoja wa kichwa mpaka kufikia usoni, na mwingine ukiwa kama umenyolewa kwa kupunguzwa nywele kidogo. Usoni alivaa miwani pana nyeusi ya urembo. Umbo lake zuri mno lililotamanisha ndiyo lililofanya wengi wamtazame yeye zaidi alipoingia ndani hapo. Alitikisa maeneo!

Namouih akasimama na kuendelea kumtazama, naye Sasha pamoja na mwarabu yule wakaangalia kule alikokuwa anatazama. Blandina akamwona Namouih, naye akaanza kutembea taratibu kuelekea hapo alipokuwa. Sasha akasimama pia baada ya kumwona aliyekuwa rafiki ya dada yake akija, naye akamwangalia Namouih kwa kujali kutokana na kukumbuka kilichotokea baina yao mara ya mwisho Blandina ameenda nyumbani kwake Efraim Donald.

Blandina akawa amefika karibu zaidi na kusimama, naye akavua miwani na kumtazama Namouih kwa umakini.

"Aah... Hakim, samahani nakuomba utupe nafasi kidogo, nina... mazungumzo na dada yangu hapa..." Namouih akamwambia mwanaume yule mwarabu.

"Oooh... sawa. Habari dada? Naitwa Hakim..." Hakim akamwambia Blandina.

"Safi tu, naitwa Blandina. Na... mimi siyo dada yake, tuna maongezi tu lakini, usije kujihisi vibaya maana ameamua kukufukuza," Blandina akamwambia.

Namouih akaangalia chini kiasi akiwa anaona aibu.

"Ahahah... hapana shida. Mnaweza kuongea. But... Namouih, naweza ku..." Hakim akasema hivyo huku akimpa Namouih simu yake.

Namouih akaipokea simu ya jamaa na kuandika namba zake upesi ili amridhishe, kisha akamrudishia.

Hakim akasema, "Poa, basi badae nitakucheki."

Kisha akamvuka Blandina na kwenda upande mwingine wa hoteli hiyo.

Blandina akamwangalia Sasha, akimshusha na kumpandisha taratibu, na binti akasema, "Shikamoo?"

"Marahaba," Blandina akaitikia.

"Blandina... tafadhali kaa... unaweza kuagiza chochote..."

"Kwa nini mdogo wako yuko hapa?" Blandina akamkatisha Namouih.

Sasha akamtazama Namouih kwa wasiwasi.

Namouih akasema, "Anahusika pia katika yale nitakayokwambia... ndiyo maana nimekuja naye."

"Sawa. Nina kama dakika kumi tu za kuwa hapa, kwa hiyo zitumie vizuri," Blandina akamwambia, bila kuonyesha chembe yoyote ya urafiki.

Namouih akafumba macho na kushusha uso wake kidogo, naye akatikisa kichwa kukubali na kusema, "Sawa. Naomba ukae tafadhali."

Blandina akavuta kiti taratibu na kukaa. Sasha na Namouih wakakaa pia, na tayari mdogo mtu aliweza kukisia kwamba maongezi ya hapa yangekuwa mazito, kwa hiyo akajisawazisha vizuri kiakili ili ikifika zamu ya kuongea kile ambacho dada yake alitaka aseme, basi azungumze ukweli wote.

Namouih akawa anamwangalia Blandina usoni kwa hisia, akishindwa kujua aanzeje kuzungumza naye.

"Tik tok, Nam. Usiniambie umeniita hapa kufanya shindano la kukodoleana," Blandina akamwambia.

Namouih akatabasamu kiasi na kusema, "Nam. Ni muda mrefu umepita sijaitwa namna hiyo. Nimekumiss sana Blandina."

Blandina akawa anamwangalia tu kama vile hamwelewi kabisa.

"Ona, Blandina najua una hasira na mimi. Najua nilikuumiza lakini... kiukweli ukiangalia mambo vizuri utagundua kwamba hautendi haki kunichukia..." Namouih akamwambia.

"Unamaanisha nini?" Blandina akamuuliza.

"Blandina nilikuwa naelekea kufa. Mama yangu, mdogo wangu huyu hapa, wote tungekufa kama isingekuwa ya Max... namaanisha Draxton, kuja kutusaidia..." Namouih akamwambia kwa hisia.

"Kwa hiyo mama yako na mdogo wako walikuwa wanakaribia kufa pia kwa sababu ya ugomvi wetu? Kivipi yaani... sijakuelewa..." Blandina akauliza.

"Efraim alituteka, ili atuue..." Sasha akasema.

"Kwa nini?" Blandina akauliza.

"Alikuwa mshirikina. Alikuwa anapata utajiri kwa kutoa watu kafara... na mimi angenitoa kafara pia hiyo siku... Draxton ndiyo akaja kutuokoa..." Sasha akaeleza.

Blandina akakunja uso kimaswali kiasi akiwa amechanganywa na jambo hilo, naye akamwangalia Namouih na kuuliza, "Yeye Efraim yuko wapi?"

"Amekufa. Draxton ali... alimwondoa," Namouih akasema hivyo na kuangalia chini.

Blandina akapandisha nyusi juu, akionekana kushangaa kiasi.

"Unakumbuka zile ishu ambazo Felix alikuwa anafatilia za wasichana kufa... mpaka na yule Agnes tuliyemsimamia kwenye kesi alipouawa? Ni Efraim ndiyo alikuwa anafanya hayo. Ndiyo alimuua mpaka na Felix. Alikuwa anawakata matumbo wasichana na kutoa damu... Sasha mwonyeshe..." Namouih akaongea hayo.

Blandina akamwangalia Sasha, na binti akafunua kidogo T-shirt alilokuwa amevaa na kumwonyesha mshono mrefu chini ya tumbo lake aliofumwa kule hospitalini. Akamwangalia Namouih tena.

"Efraim alimkata hivyo... mbele yangu na mama. Kama Draxton asingefika... yaani Blandina yule mwanaume hakuwa mwanadamu bali Shetwani... alijifanya kumsaidia baba yangu ili tu anioe kimasharti, lakini hata na baba alimuua pia," Namouih akaongea kwa hisia.

Blandina akaendelea kumwangalia tu kwa utulivu.

"Isingekuwa ya hali tuliyokuwa nayo mpaka sasa Draxton angebaki nawe... hata hilo aliniambia... lakini ni kwamba tu ulikuwa umekasirika ndiyo sababu ukachukulia kwamba Draxton kukuacha kwa ajili yangu ilimaanisha hakupendi. Ila haikuwa hivyo. Naomba tu uelewe kwamba jinsi anavyonipenda mimi ni tofauti na anavyokupenda wewe, lakini kiwango cha upendo alionao kwako ni kikubwa kupita changu..." Namouih akamwambia.

Blandina akacheka kwa pumzi na kutikisa kichwa kidogo, naye akasema, "Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa Namouih?"

"Hapana Blandina, nakwambia ukweli kwa kuwa..."

"Ili iweje? Utanisaidia nini huo ukweli?" Blandina akamuuliza.

"Blandina..."

"Kwani wewe unachotaka ni nini Namouih? Umeshavuka hiko kipindi kibaya, si ndiyo? Mambo yako vizuri sasa kwako, si ndiyo? Draxton unaye sasa, au siyo? Unataka nini kutoka kwangu?" Blandina akamuuliza.

Namouih akadondosha chozi.

"Dada Blandina... naomba kwa niaba ya dada umsamehe tu kwa lolote lililotokea. Nyie ni marafiki wa muda mrefu, anakupenda sana, nakuomba umsamehe, mrudiane," Sasha akaongea kwa hisia.

"Ahahah... ndiyo ukamleta mdogo wako kama shuhuda na advocate, eti? We' kweli mwanasheria," Blandina akamwambia Namouih kikejeli.

"Hapana dada, siyo hivyo... dada Nam huwa..."

"Eh-eeh, binti... naomba ukae kimya. Acha mwenye dawa ndiyo apige mswaki, unadandia meno ya nini wakati dawa huna?" Blandina akamwambia Sasha kiukali.

Sasha akatulia.

Namouih akajifuta machozi, kisha akasema, "Nilitaka tu uelewe kwamba ninakupenda sana. Kama utataka nipitie adhabu fulani ili uweze kunisamehe Blandina... nitaichukua hiyo adhabu tena na tena mpaka unisamehe. Ninachotaka ni kuwa rafiki yako tena. Blandina tafadhali... nakumiss sana..."

"Mhm... haki ya Mungu..." Blandina akanena hivyo kwa njia ya kutojali.

"Blandina tafadhali... nakuomba..." Namouih akamsihi na kukushika kiganja chake kilichokuwa mezani.

Blandina akautoa mkono wake mezani upesi, akionyesha hataki kuguswa naye, halafu akasimama moja kwa moja na kusema, "Dakika kumi zimeisha."

Namouih akasimama pia huku akimwangalia kwa mfadhaiko, naye akasema, "Blandina jamani... yaani... kweli?"

"Nina haraka. Si uliomba tuongee? Tumeongea. Sijaona lolote la muhimu lililofanya ukaamua kunipotezea muda wangu so... kwa heri. Naomba Mungu tusikutane tena," Blandina akamwambia kwa uthabiti.

Kisha mwanamke huyu akaanza kuondoka hapo upesi.

"Blandina... Blandina... Sasha nisubiri... Blandina...."

Namouih akasema hivyo huku akiita na akianza kumfata Blandina pia, na Sasha akakaa hapo hapo huku akiendelea kuwatazama.

Namouih hakuweza kutembea haraka kutokana na mguu wake kuuma bado kwa hiyo Blandina alimwacha mbali sana. Mpaka anatoka nje kabisa ya jengo hilo, Namouih akamwona Blandina akiwa ndiyo anafunga mlango wa gari lake baada ya kuingia, naye akabaki kusimama hapo huku akiangalia upande wa gari hilo. Alihisi kuvunjika moyo. Jitihada yoyote aliyojitahidi kuweka leo ili amshawishi rafiki yake kipenzi kumsamehe haikuzaa matunda mazuri, na hakujua kama kutokea hapo angeweza tena kupata nafasi nyingine ya kuongea naye.

Akiwa amehisi kukata tamaa, akatazama chini kwa huzuni, na ndipo ghafla gari jeusi likafika mbele yake na kusimama kwa breki kali iliyofanya matairi yatoe kelele! Namouih alishtuka sana, na kwa kuiangalia upesi aliweza kutambua ilikuwa ni Noah new model, na papo hapo mlango wake wa pembeni ukafunguka na watu wawili kushuka haraka. Walionekana kuwa wanaume, lakini nyuso zao zilizibwa kwa vificha uso vyeusi vilivyoacha macho na mdomo pekee kuwa wazi.

Wakamfata Namouih na kumkamata mikono, naye akaanza kupiga kelele akiwaambia wamwachie. Kulikuwa na walinzi wa hoteli hiyo lakini hawakutenda kwa uharaka kwa sababu walishtushwa na jambo hilo na hata kuogopa, na wanaume wale wasiojulikana wakamvuta kwa nguvu Namouih mpaka kumwingiza ndani ya gari hilo, kisha likatoka eneo hilo kwa kasi. Sasha alikuwa ameona jambo hilo kutokea kule ndani, naye akaogopa sana na kuanza kuelekea nje, huku watu wengine wakianza kukusanyika sehemu ile.

Blandina alikuwa ndani ya gari lake, naye aliiona tukio hilo mwanzo mwisho, na hata gari hilo lililombeba Namouih likawa limepita mbele yake kabisa. Alishangaa pia. Akajiuliza ni nini kilikuwa kinaendelea bila kupata jibu sahihi, na ndipo akamwona binti Sasha akitoka ndani ya jengo lile la hoteli. Upesi akaendesha gari lake kuelekea hapo, naye akashusha kioo cha mlango wake. Sasha alikuwa anaogopa mno, naye alipomwona tu Blandina, mwanamke huyo akamwonyesha kwa ishara kuwa aingie ndani ya gari lake upesi, na binti akatii na kuingia.

"Wewe... hiyo ilikuwa ni nini? Hao ni akina nani?" Blandina akamuuliza Sasha.

"Me sijui dada... Mungu wangu... jamani wamemteka da Nam..." Sasha akawa anaongea kwa presha.

Blandina akageuza gari upesi na kuanza kuelekea kule ambako Noah ile ilipita, akiwa ameahirisha mipango yake mingine ili afatilie gari hilo na kujua ni mkasa upi uliokuwa umesababisha Namouih abebwe namna hiyo, na nani alikuwa nyuma ya pazia katika utekaji huo wa mwanamke yule uliofanywa mchana kweupe.


★★★★★


MAREKANI


Draxton alikuja kufumbua macho yake kukiwa na mwangaza uliofanya eneo hilo lenye miti mingi lionekane vyema. Kuna hisia ya ajabu kiasi iliyokuwa inajijenga ndani yake kutokana na mrudio wa kumbukumbu za mambo yaliyotokea usiku uliopita, naye akajiangalia mwilini na kukuta amelaliwa na mwili maridadi wa mwenzi wake. Mrembo aliyemsaidia kuweza kujiendesha vyema zaidi akiwa kama mnyama, Darla. Wote wakiwa bila nguo, mwanamke huyo alionekana kuwa na uchovu kutokana na mridhiko wa hali ya juu wa kile walichofanya masaa kadhaa ya usiku, naye bado alikuwa amesinzia huku pumzi zake za taratibu zikiipuliza shingo ya Draxton kwa ukaribu.

Draxton akatazama tena juu na kufikiria mambo yote yaliyotokea. Baada ya siku kadhaa za kusubiri, hatimaye yeye na mwanamke huyo walikuwa wameungana kwa njia ya unyama, na sasa Darla alikuwa amemilikiwa rasmi na Alpha wake kumfanya awe Luna. Kama Draxton ndiye aliyekuwa mfalme, Darla ndiyo angekuwa malkia wa kundi lao, na hivyo hadhi ya mwanamke huyu kwake ingezidi kuongezeka badala ya kumwona kama jukumu tu alilopaswa kutimiza.

Alikuwa akijiuliza ni namna gani mambo haya yote yangeathiri maisha aliyokuwa ameanza kutengeneza kule nchini Tanzania, kwa kuwa hofu ya kujikuta anazama zaidi kwenye maisha ya huku na kuyapuuzia aliyoyaacha kule ilikuwa inazidi kuongezeka; katika maana ya Namouih. Mwanamke wake alimruhusu kwa moyo wote aje huku kushughulika na visa hivi lakini hakujua kiundani ni mambo gani yaliyohusika, na Draxton hangetaka kumvunja moyo kwa kumwelezea hata kama yangepatanaje na akili. Alichokuwa anahofia zaidi ni kujikuta anatumbukia ndani ya penzi jipya na kushindwa kujitoa kikamili kwa mama wa mtoto wake aliyekuwa anakaribia kuingia duniani.

Kidogo tu Draxton akaanza kuhisi Darla anajigeuza kwa njia ya kujinyoosha, naye akamwangalia alipoendelea kufanya hivyo kisha akarudi tena kulaza kichwa chake kwenye kifua cha mwanaume.

"How long have you been up? (Umekuwa macho kwa muda gani?)" Darla akauliza hivyo kwa sauti ya kivivu.

"Nowhere near long enough (Si muda mrefu sana)," Draxton akajibu.

"Last night was violent. You are a beast Draxton (Usiku wa jana ulikuwa wa kijeuri. Wewe ni mnyama mkubwa Draxton)," Darla akasema.

“You enjoyed the violence the most? (Uliridhishwa zaidi na ujeuri wa jana?)”

"Yeah, I like it. What did you think about it? (Ndiyo, napenda. Wewe uliuonaje?)"

“I was just thinking about how animalistic it was (Nilikuwa nafikiria tu kuhusu jinsi ilivyokuwa na unyama wa hali ya juu)," Draxton akamwambia.

“So what now? (Kwa hiyo nini kinafanyika sasa hivi?)” Darla akauliza.

“Considering we can’t really stay here all day, we should head home (Kwa kuangalia tu ukweli wa kwamba hatuwezi kukaa hapa siku yote, tunapaswa kwenda nyumbani)," Draxton akamwambia.

Mwanaume akaashiria kutaka kunyanyuka, naye Darla akajinyanyua pia na wote kukaa. Miili yao ilikuwa kwa ukaribu sana, naye Darla akasugua pua yake kwenye pua ya Draxton taratibu huku akiwa amefumba macho.

“Aren't you worried about returning home naked in broad daylight? (Hauwazi kuhusu kurudi nyumbani tukiwa bila nguo na kumeshapambaza mwanga?)" Darla akauliza karibu kabisa na mdomo wa Draxton.

“There isn't much of a choice, we'll figure something out (Hakuna namna, tutajua tu la kufanya)," Draxton akasema.

"Why such hurry? (Mbona kuwahi hivyo?)"

"It seems to be late. I need to check up on Edmond. I wonder what happened with him last night. He went out on his own to look into the Roguewolf problem in the area (Inaonekana muda umeenda. Nahitaji kujua hali ya Edmond. Nawaza kuhusu ni nini kilitokea upande wake usiku wa jana. Alikwenda kufuatilia like tatizo la Roguewolf ndani ya yale maeneo)," Draxton akasema.

“You worry too much Draxton. I'm sure he's fine (Unahofia kupita kiasi Draxton. Sina shaka kwamba yuko sawa)," Darla akamwambia.

Mwanamke akaanza kumbusu jamaa shavuni mpaka kufikia shingoni, akiilamba pia, naye Draxton akasisimka na kusimamisha dude lake.

Darla kuona hivyo akauliza, "Do you want me to take care of it? (Unataka niijali kidogo?)"

"I would love that. But we have to get back (Ningependa jambo hilo. Ila tunapaswa kurudi huko)," Draxton akasema.

Akanyanyuka na kusimama kabisa, kisha akamsaidia Darla kusimama pia. Mwanamke huyo alikuwa amejihisi vibaya kiasi baada ya Draxton kumkatalia na jamaa alilielewa hilo wazi, hivyo akakibana kiuno chake kwa ukaribu na kumbusu midomoni mara tatu kama kumpa kitulizo, nao wakaanza kuondoka msituni hapo hatimaye.

Wakiwa wanaendelea kutembea Draxton akauliza walikuwa wamekwenda umbali kiasi gani kutoka nyumbani, naye Darla akasema hakuwa na uhakika kwa kuwa baada ya kubadilika kuwa wanyama kabisa inaonekana wakiendelea kukimbizana na kujali zaidi raha zao na si maeneo waliyokuwa. Darla angemfanyia Draxton michezo kwa kumsukuma kidogo, kumfinya, au kukata matawi ya miti na kumrushia, na Draxton aliona kweli mwanamke huyo alikuwa amefurahi sana, kwa hiyo naye akawa anacheza naye kadiri walivyoendelea na safari yao.

Walitumia kama masaa mawili wakitembea, na inaonekana walikuwa wameelekea upande ule ambao mgahawa wa Megan ulikuwa ingawa kwenye maeneo ya pembeni zaidi yenye miti, na sasa wakawa wamefikia nyumba zao kwa umbali mfupi kutokea mitini. Waliona baadhi ya watu wakipita huku na huko, naye Draxton akamwambia Darla wangepaswa kuachana kwa hapo; yeye aende kwenye nyumba yake kuangalia Kama Edmond, Gianna na Aysel walikuwepo halafu amjulishe kupitia akili ili aende kuonana nao.

Darla akakubali, na baada ya kubusu mwanaume wake, akaelekea kwenye nyumba yake kwa tahadhari na kuingia kupitia nyuma, naye Draxton akafata kuelekea kwenye nyumba ya Mark. Akatambua kwamba gari la Mark halikuwepo pia pale kwake. Akajiuliza ikiwa rafiki yake alirudi na kuondoka tena ama hakurudi kabisa, naye akaamua kuingia tu ndani kwanza ili ajimwagie, kisha ale na kuanza kushughulika na mengine.

Alipoingia ndani akaangalia saa kukuta ni saa saba mchana, naye akajisafisha na kuwasiliana na Darla kupitia akili. Mwenzi wake akamwambia kwamba pale kwake wengine wote hawakuwepo, na hata Draxton akasema baada ya kuwa ameangalia hali ya humo ndani toka alivyoiacha jana inaonekana Mark hakuwa amerudi kabisa. Hivyo wakaona wawatafute kwa simu zao, lakini hawakuweza kuwapata.

Darla akamwambia Draxton ale upesi kisha aende pale kwake kumpitia, waondoke kuelekea hospitali ambayo kaka yake alifanyia kazi ili akahakikishe kama yuko sawa. Draxton akauliza ikiwa kufanya hivyo ingekuwa sahihi kwake Darla kwa sababu alitakiwa kutulia ndani, lakini mwanamke akamkumbusha kwamba sasa hivi hakuhitaji tena kujificha baada ya kujimilikisha kwa Alpha mwingine jana, yaani Draxton.

Mwanaume akaelewa hayo vizuri, naye akala upesi na kumfata bibie. Alipofika tu mlangoni, ukafunguka, Darla akiwa hapo tayari na akionekana kuwa amemtarajia muda huo huo. Alikuwa amevalia nguo kama sweta jepesi lililoishia mapajani, akiwa amezibana nywele zake kwa nyuma zilizoonekana kuwa na ulowani wa maji bila shala baada ya yeye kuoga, naye akambusu Draxton mdomoni na kumuasa wawahi kuchukua gari lake ili waende kule kujua kama ndugu yake yuko sawa. Wakaingia kwenye pick-up ya Darla na safari ikaanza tena.

★★

Njiani, Darla alimuuliza Draxton ikiwa alikula vya kutosha, akikazia kwamba alihitaji kuwa na nguvu muda wote, naye Draxton akamwambia alikula kingi. Mwanaume alimwangalia Darla kwa utafakari kiasi baada ya kuona namna ambavyo alikuwa anawaza sana kuhusu hali ya wenzake, lakini pia ni kuhusu namna ambavyo mawasiliano yao ya kichwani yalifanya kazi. Alikuwa na uhakika uwezo huo ulifanya kazi wakati wote, lakini bado kuna kitu kilichokuwa kinazuia mawazo yao wote kuingiliana hadi wasemeshane moja kwa moja kwa akili.

Labda ndiyo ilitakiwa kuwa hivyo, ama kulikuwa na sababu nyingine, na ijapokuwa muungano wake na mwanamke huyu hasa kwa usiku wa jana ulikuwa mzuri lakini bado alihisi kuna vitu Darla alikuwa anamficha. Hadithi yake kuhusu namna alivyokua mpaka kuja kutekwa na mtu aliyewaua wazazi wake ilionekana kuwa ya kweli. Kilichoendelea kuisumbua akili ya Draxton ni suala la mwanamke huyo kutendewa vibaya kimwili na mwanaume yule aliyemtawala vibaya.

Draxton alikuwa ameanza kumjali sana Darla, na ni hisia iliyopaswa kumfanya ajihukumu vibaya lakini alitaka uhusiano wake na mwanamke huyu uwe zaidi tu ya jukumu lake kama mnyama maana na Darla pia alihitaji kupata kitulizo cha kihisia kutokana na mambo mengi aliyopitia. Akaendelea tu kukaa kimya huku gari likiendelea kuingia maeneo ya mjini zaidi penye majengo mengi na marefu, pamoja na shughuli mbalimbali.

Hii ndiyo iliyokuwa mara ya kwanza kwa Draxton kuingia mjini zaidi tokea alipofika, na hakujua kwa nini lakini wakati huu ilikuwa kama sehemu ya namna hiyo haimpendezi kabisa. Wakati huu alijihisi kutaka zaidi kukaa sehemu yenye mwitu zaidi, miti, wanyama, mazingira ambayo hayakuwa na purukushani za mjini yaani, naye akamwangalia Darla ambaye alikuwa makini kwenye uendeshaji.

“Do you like the city? (Unalipenda jiji?)” Draxton akamuuliza.

“It has its purposes (Pana madhumuni yake)," Darla akajibu.

“But do you like it? (Ila unapapenda?)”

Darla akamwangalia, macho yake yenye uzuri yakiwa makini kwake. “I grew up in the mountains with lots of forest Draxton. The city bothers me. It's too unnatural (Nimekua milimani kwenye misitu mingi Draxton. Jiji huwa linanikera. Halina uasili kabisa)," akamwambia.

“I feel the same now, but is it the wolf? (Hata mimi nahisi hivyo sasa, lakini inaweza ikawa hivyo kwa sababu ya mbwa-mwitu aliye ndani?)”

“Probably. I just like the woods anyways. Peaceful and free (Huenda. Ingawa hivyo mimi napenda miti zaidi. Pana amani na uhuru).”

“Unless you’re killing something (Isipokuwa uwe unaua kitu fulani).”

“Or fucking (Au kusuguana).”

Draxton akacheka kidogo na kusema, "It bothers a little that most of everything we do circulates back to the subject of sex (Inasumbua fikira kwa kadiri fulani kwamba karibia mambo yote tunayofanya huzungukia kwenye suala la kufanya mapenzi)."

“It’s the hormones, Draxton. It is always like that. Everything is multiplied (Ni homoni zetu, Draxton. Iko namna hiyo sikuzote. Kila kitu kimezidishwa),” Darla akamwambia.

“It doesn’t bother you? (Wewe haikusumbui?)”

“The constant sexual tension? No. What bothers me is your hesitation. Are you an Alpha? (Mkazo wa kimahaba uliopo? Hapana. Kinachonisumbua ni kusita kwako. Wewe ni Alpha kweli?)"

Draxton akamwangalia kwa umakini. "Am I an Alpha? Did you seriously just ask me that? (Mimi ni Alpha? Hivi kweli kabisa umeniuliza hivyo?)”

“Yeah, I did (Ndiyo, nimekuuliza).”

“Didn’t seem to be complaints about how Alpha I was last night (Sikuona malalamiko yoyote jana usiku kuhusu jinsi gani nilivyo Alpha).”

Darla akacheka na kusema, “Don’t you know Draxton, an Alpha is only as good as his mate says (Kwani hujui Draxton, kwamba Alpha anaonyeshwa uzuri wake kupitia like ambacho mwenzi wake atasema kumhusu)."

"Is that so? (Kumbe?)"

“Ahahah... I’ll give you a chance soon to prove again how Alpha you are. But first, let’s see my brother (Nitakupa nafasi nyingine tena kuthibitisha kwamba wewe kweli ni Alpha. Ila kwanza, tumwone kaka yangu),” Darla akamwambia.

Kauli za mwanamke huyu zilimshangaza Draxton kiasi, lakini akaona apotezee tu kwa kuwa sasa walikuwa wanaingia kwenye eneo la maegesho ya magari nje ya jengo kubwa la hospitali. Iliitwa Linkenshire Hospital, ikiwa ya kibinafsi, yenye maghorofa mengi na pana sana. Baada ya kuegesha gari, wakaangalia eneo hilo wakitafuta kuliona gari lake Mark, na ikaridhisha sana kuliona hapo kumaanisha alikuwepo, hivyo wawili hawa wakaelekea ndani ya jengo.

Wakafikia ghorofa ya saba baada ya kuchukua lifti na kuanza kwenda kwenye kitengo alichofanyia kazi Mark. Darla akamuulizia huko, lakini akaambiwa hakuwa hapo kwa sasa na labda alikuwa pamoja na wauguzi wengine waliogawanywa kwa ajili ya kazi za ziada kutokana na wagonjwa wa dharura kuongezeka kutokea jana. Kwa hiyo iliwezekana kwamba alikuwa ghorofa ya nne kule akishughulika na mambo hayo, na baada ya wawili hao kutaarifiwa hivyo wakaamua kurudi chini kumtafuta huko.

Ingawa ilikuwa hospitali yenye ukubwa wa aina yake mjini hapo, kiasi cha wafanyakazi kilikuwa chini kulinganisha na idadi ya watu waliokwenda kupatiwa huduma kwa hiyo ilieleweka kwamba Mark alikuwa anajitoa sana hapa na kule ili kusaidia watu. Lakini kwa wakati huu inaonekana kulikuwa na jambo zito zaidi, ndiyo sababu walitakiwa kumwona ili walizungumzie pamoja.

Wakawa wamefikia ghorofa ya nne na kuendelea kumtafuta, na haikumpendeza Draxton hata kidogo kuvuta harufu za damu nyingi kwa upande huo; kumaanisha kulikuwa na watu wengi waliojeruhiwa au kupatwa na mambo fulani mabaya yenye kuumiza. Wakamfikia muuguzi mmoja wa kike aliyekuwa amevaa barakoa puani, naye Darla akamuulizia Mark kwake.

Wakati mwanamke huyo alipokuwa anajibu, Draxton akavuta harufu fulani kutoka kwake iliyomwambia kwamba mwanamke huyo hakuwa wa kawaida. Haikuwa harufu ya mnyama, ila harufu tofauti kabisa, ikibeba amsha fulani ya kimahaba ndani yake kana kwamba mwanamke huyo alikuwa ametoka kufanya au ana hamu ya kufanya mapenzi. Kwa vyovyote vile Draxton alikuwa anatamani uwezo wake wa kuvuta harufu uwe na mipaka kwa sababu vitu kama hivyo vilimsumbua sana.

Aliitwa Hayley, mzungu mwenye nywele nyeusi na macho yenye lenzi za kijani, naye alikuwa mwembamba kiasi na mwenye urefu kama wa Darla. Akamwambia Darla kwamba Mark alikuwa sehemu fulani hapo hapo lakini kumpata ni mpaka atafutwe, na ndipo Draxton akavuta harufu ya Mark kutokea nyuma yake na kugeuka kumwona akija upande wao.

“Never mind, there he is (Haina shida tena, huyo hapo)," Darla akamwambia Hayley baada ya kumwona Mark pia.

Hayley akawaacha na kuelekea upande mwingine, naye Mark akawa amewafikia wenzake akiwa ndani ya nguo za kazi na kumkumbatia Darla.

"It's good to see you're fine (Ni vyema kuona uko salama)," Darla akamwambia.

“I am. Why are you here? (Niko sawa. Mbona mko hapa?)" Mark akauliza huku akimwachia dada yake.

“Hadn’t seen you. I got worried (Sikukuona. Niliwaza juu yako)," Darla akamwambia.

Mark akamwangalia Draxton na kutoa heshima kwa kuweka kiganja chake kilichokunjwa kifuani. "I got your message. Seeing you both here means everything went well last night (Nilipata ujumbe wako. Kuwaona hapa pamoja inamaanisha kila kitu kimekwenda vyema jana usiku)," akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa kukubali, naye Darla akatabasamu kiasi na kumwambia Mark, "I'm his Luna now (Mimi ni malkia wake sasa)."

Mark akatabasamu kwa furaha na kukishika kiganja cha dada yake.

"Have you heard from the others? (Umeshapata kusikia lolote kutoka kwa wengine?)" Draxton akamuuliza Mark.

"Who? (Nani?)" Mark akauliza.

"Ed, Gia... Aysel too. Can't reach 'em either (Ed, Gia... na Aysel pia. Hatuwapati kimawasiliano pia)," Darla akamwambia.

"Well I've been busy, haven't even checked my phone, so I don't know. They're probably just around. Or you think there's more to it? (Nimekuwa bize, sijaangalia hata simu yangu, kwa hiyo sijui. Labda wako mizunguko. Ama mnafikiri kuna jambo lingine zaidi?)" Mark akasema.

"I can't say for sure (Siwezi kusema kwa uhakika)," Draxton akamwambia.

"Maybe Aysel has done something again. Fool us fucking twice for trusting her (Labda Aysel amefanya jambo fulani tena. Ni kutufanya wajinga kwa mara nyingine kwa sababu tumemwamini)," Darla akaongea kwa hasira.

"Darla..." Draxton akaita kiupole kama kumzuia.

"Don't drop to conclusions like that. I could help search for them but I still got work (Usifikie mkataa namna hiyo. Ningesaidia kuwatafuta lakini bado kuna kazi)," Mark akasema.

Darla na Draxton waliona namna ambavyo ingawa Mark alikuwa na nguvu lakini uchovu ulikuwepo usoni kwake kwa kiwango kikubwa. Ikawa wazi kwamba hakuwa amelala kabisa mpaka kufikia sasa.

"You haven't slept at all, have you? (Haujalala kabisa, sivyo?)" Darla akamuuliza kaka yake.

Mark akatikisa kichwa kukanusha.

“Do you know when you’ll be home? (Unajua ni wakati gani utarudi nyumbani?)" Draxton akamuuliza.

“No idea. I’ve four shifts from now, and there are just so many... sick people (Sijajua. Nina zamu nne mbeleni, na kuna wagonjwa wengi hapa)," Mark akajibu.

“In the ICU? (Ndani ya chumba cha uangalizi maalumu?)" Darla akauliza.

Mark akaangalia chini kwa njia ya huzuni.

"What does "sick people" mean Mark? (Hiyo "wagonjwa" inamaanisha nini Mark?)" Draxton akamuuliza.

“We’ve had twenty six people come in from what looks like animal attacks. Seven died (Tumeletewa watu 26 walioumizwa na vitu vinavyoonekana kuwa mashambulizi ya wanyama. Saba wamekufa)," Mark akawaambia.

Draxton na Darla wakatazamana kwa umakini.

"Draxton... we're gonna have to deal with this problem fast (Draxton.. tutapaswa kushughulika na hili jambo upesi sana)," Mark akamwambia.

"I know. I need all of you together so we know what we have and what we should do. I haven't even claimed Aysel yet. Now's not the time to be slow when many people are getting hurt and I can do something to stop that (Najua. Nawahitaji nyote pamoja ili tujue tulivyonavyo na tunafanya nini. Bado hata sijammiliki Aysel. Huu siyo muda wa kuwa polepole wakati watu wanaumia na mimi naweza kufanya kitu fulani kuzuia hilo)," Draxton akaongea kwa mkazo.

"Draxton is right. Let's stop wasting time (Draxton yuko sahihi. Tuache kupoteza muda)," Darla akasema.

"I’ve been stuck here with a few other nurses, but once I... (Nimekwama hapa na wauguzi wengine, ila tu niki...)"

Maneno hayo ya Mark yakakatishwa na kifaa chake kidogo cha dharura kilichoanza kutoa sauti ya kengele mfukoni mwake, kumaanisha alihitajika kwa wagonjwa. Bila hata kutulia akamkumbatia tu dada yake upesi na kuaga, kisha akawaacha wawili hao wakimtazama alipoishia vyumbani.

"We need to start looking for Edmond and Gia. If the Roguewolf is behind these attacks, or there are more, we'll make 'em suffer for this (Tunahitaji kuanza kuwatafuta Edmond na Gia. Ikiwa yule Roguewolf ndiyo chanzo cha haya mashambulizi, au kama wako wengi, tutawatia maumivu kwa sababu ya matendo haya)," Darla akasema.

Draxton akatikisa kichwa kukubali, nao wakaanza kuzielekea lifti ili washuke mpaka ghorofa ya chini na kuondoka.

Draxton ndiye aliyebonyeza kitufe cha kufungulia milango ya lifti, na wakiwa wanasubiria ifunguke akahisi kuna macho yalikuwa yanamtazama. Macho yenye hila. Akaangalia huku na huko taratibu akitafuta uthibitisho wa machale yake. Watu kadhaa walionekana kuendelea na mambo yao hapo, na ndipo hatimaye akamwona mtizami wake.

Mwanaume fulani mzungu aliyekuwa mrefu, mwembamba kiasi, akiwa ameegamia ukuta wa vioo upande mwingine wa sehemu hiyo, ndiye aliyekuwa anamwangalia kwa njia hiyo. Draxton alihisi kabisa kitu kibaya kutoka kwa mtu huyo, naye akawa anataka kumfata ili ajue shida yake nini. Milango ya lifti ikafunguka baada ya kengele ndogo kulia mara mbili, naye Darla akaingia ndani huku Draxton akibaki nje. Alipoona mwanaume wake haingii akamuuliza vipi, na kwa sababu Draxton alitaka kuhakikisha usalama wa Darla kwanza, akaingia tu kwenye lifti bila kumwambia lolote kuhusu jambo lile.

Lifti ikaanza kushuka, ndani hapo wakiwa wawili tu, na Ile imefika ghorofa ya pili ikasimama kwa nguvu iliyowafanya wawili hao watikiswe sana! Wote wakashangaa, naye Darla akaona kwamba lifti imeanza kujirudisha juu tena, namba ikiwa ni ghorofa ya sita. Akaanza kubonyeza kitufe cha kuisimamisha lakini ikawa inagoma na kuendelea kupanda tu juu, naye Draxton akawa ameshatambua huo ulikuwa mtego. Hakujua ni kwa ajili gani, lakini alichojua ni kwamba bila shala Darla ndiye aliyekuwa shabaha, naye akamshika mkono na kumwambia awe tayari kwa lolote lile milango hiyo itakapofunguka. Mwanamke na yeye akawa ameshatambua nuksi iliyokuwepo hapo, hivyo akavaa ujasiri wake ili akabiliane na hali ya mbeleni kiushupavu.

Ghorofa ya sita ikafika, na milango ya lifti ikafunguka. Hakukuonekana kuwa na watu sehemu hiyo ya mbele kutokea waliposimama wawili hawa, nao wakaangaliana machoni kwa umakini. Draxton akamsemesha Darla kupitia akili, akimwambia akae nyuma yake ili yeye atoke kwanza kuyasoma mazingira, naye Darla akatii.

Draxton akatoka ndani ya lifti, iliyokuwa imetulia hapo hapo kabisa, naye akashangazwa kiasi kuona kwamba taa za sehemu hiyo zilikuwa zimezimwa na kuipa hali fulani ya ugiza ingawa haikuwa usiku. Ilikuwa ni kawaida taa kuwaka karibia muda wote kutokana na wingi wa shugbuli za hapo, lakini wakati huu ugiza huo na kutokuwepo kwa mtu hata mmoja hapo kuliipa hali yote hiyo uhatari fulani uliotakiwa kuchukuliwa kwa tahadhari ya juu.

Mapigo ya moyo wake Darla yalikwenda mbio kutokana na wasiwasi ulioletwa na hali hiyo, ila alikuwa tayari kuucheza mchezo huu kwa namna ambayo ungekuja. Draxton hakuona wala kuvuta harufu ya kiumbe yeyote hapo, naye akageuka na kumwangalia Darla mule ndani ya lifti. Kumwangalia Darla ndani hapo kulipitisha jambo fulani akilini mwake kwa kasi sana, lakini ilikuwa kasi ambayo haikufikia matokeo ya wazo lenyewe. Ni kile kitu ambacho mara nyingi mtu huwa hakazii fikira haraka halafu inapotokea akakiwaza ghafla tu, anakuwa amechelewa.

Kumwacha Darla ndani ya lifti hiyo, ndiyo lililokuwa kosa lake Draxton. Ile ametaka tu kurudi huko, milango ya lifti hiyo ikajifunga haraka sana, naye akajikuta anajibamiza hapo kwa nguvu alipofika kwa kasi kumfata.

"Darla!"

Draxton akaita hivyo kwa sauti ya juu, akijua kosa lake dogo tu lingesababisha madhara makubwa sana!


★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA TANO

★★★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akamwita Darla tena kwa sauti ya juu, naye akaona kwamba lifti hiyo ilikuwa imeanza kushuka chini tena. Akajaribu kufungua lifti ya upande wa pili lakini akashindwa. Ni lazima aliyeongoza mifumo ya lifti hizo alikuwa anafanya kazi pamoja na watu waliokuwa wanawafanyia mchezo huu, au labda waliingilia mifumo hiyo kwa kutumia njia haramu. Lakini hapa alihitaji kuhakikisha usalama wa Darla kwanza, hivyo akatoka kwa kasi na kuzielekea ngazi, akishuka kwa spidi zote.

'Draxton!'

Sauti ya Darla ikasikika kichwani kwa jamaa. Akaitika kwa akili pia huku akiendelea kushuka ngazi kwa kasi, akianza kumuuliza kama yuko sawa na kumwambia anakuja chini huko kumsaidia, lakini Darla hakujibu tena. Draxton akaendelea kumwita kwa akili, na kadiri alivyoendelea kushuka alipishana na watu waliomshangaa sana lakini aliwapuuzia wote.

Akafika chini kabisa na kuelekea upande wa lifti ile, na ndiyo ilikuwa tu imeanza kufungua milango yake baada ya kufika chini, lakini alipofikia hapo, hakuweza kumwona Darla kwa ndani. Akaingia humo na kutazama juu kuona kwamba mlango mdogo wa juu ulikuwa wazi, naye akajikuta anaunguruma kwa hasira baada ya kuelewa kuwa Darla alitolewa kupitia njia hiyo wakati lifti bado ikiwa inashuka chini.

Baadhi ya watu waliokuwepo hapo walimshangaa sana, na maaskari wawili wa ulinzi wakamfikia na kumshika, wakimuuliza alikuwa na tatizo gani. Akajitahidi kutulia na kuwaeleza kwamba alikuwa amempoteza rafiki yake na ndiyo alikuwa anamtafuta, lakini wakamwomba atoke nje kwa kuwa alikuwa anasumbua utaratibu mzuri wa hapo.

Draxton akataka kupinga, lakini wakamlazimisha kuanza kuondoka na hata kumtishia kumwitia polisi, na ndipo Mark akawa amefika sehemu hiyo. Alifahamiana nao, naye akawaomba radhi kwa niaba ya Draxton akisema yeye ni rafiki yake na angeondoka pamoja naye. Walinzi hao walionekana kuwa na aina fulani ya ubaguzi wa rangi kumwelekea Draxton, lakini wakamwacha tu, naye Mark akaanza kuondoka na Draxton upesi kuelekea nje huku walinzi hao wakihakikisha wanawasindikiza kwa ukaribu. Draxton alikuwa amechanganyikiwa lakini alijitahidi sana kujituliza ili asipitilize kihisia.

Mark akamwongoza kulielekea gari lake, nao wakaingia ndani huku Draxton akimwambia hawakuwa na muda wa kukaa kwa sababu Darla alikuwa hatarini.

"What happened? (Nini kilitokea?)" Mark akamuuliza.

"They took her! We got in the elevator but someone started messing with it... it was a trap and I... I lost her. Mark, we have to go back in, she might be hurt and it's all my fault. Damn it! (Wamemchukua! Tuliingia kwenye lifti ila kuna mtu akaanza kuichezea... ulikuwa mtego na mimi... nikampoteza. Mark, tunahitaji kurudi huko ndani, anaweza kuumizwa na yote ni makosa yangu. Shenzi kabisa!)," Draxton akaongea kwa hasira.

Mark akaonekana kuingiwa na wasiwasi, naye akasema, "It's Robby. It has to be him. He must have spotted her here (Ni Robby. Ni lazima iwe yeye. Atakuwa amemwona hapa)."

"I saw a guy staring at me before it all happened. I need to get in there and... (Nilimwona mwanaume fulani aliyekuwa ananitazama sana kabla hayo hayajatokea. Ninahitaji kurudi ndani ili...)"

"Draxton you can't, they won't allow you in again. I'll... I'll go and check things out. If it's Robby, Draxton I don't think my sister is here anymore cause his people move pretty fast... just let me check but please go home and find out where the others are... I'll be there shortly (Draxton hauwezi, hawatakuruhusu uingie tena. Ikiwa ni Robby, Draxton sidhani kama dada yangu atakuwa hapa tena maana watu wake wanaofanya vitu kwa kasi sana. Acha tu mimi nikaangalie lakini tafadhali naomba uende nyumbani ukaangalie wengine wako wapi)," Mark akaongea kwa utulivu.

Draxton akamtazama kwa umakini, kisha akauliza, "What will he do to her? (Atamfanya Nini?)"

Mark akamwambia, "I don't know, she's been his obsession for long... but now with you here maybe that'll stop (Sijajua, yaani kwake yeye, Darla ndiyo kitu alichokitaka zaidi kwa muda mrefu... ila labda uwepo wako sasa hivi utazuia hilo)."

"There's no maybe, Mark. If he touches her I'm going to kill him! (Hakuna cha labda, Mark. Ikiwa atamgusa nitamuua!)," Draxton akaongea kwa hisia kali.

"Please take my car and go home. Be careful with what you do Draxton. He's dangerous, and if he knows about you then kidnapping Darla is a challenge set forth to provoke you (Tafadhali chukua gari langu uende nyumbani. Kuwa mwangalifu na utakachofanya Draxton. Yeye ni hatari, na kama ameshajua kukuhusu basi kumteka Darla ni njia ya kukujaribu ili akuzingue)," Mark akasema.

"I'm counting on it (Ninatarajia hilo)," Draxton akamwambia.

Mark akaangalia chini kidogo, kisha akasema, "I need a small favor (Naomba msaada wako kidogo)."

Draxton akamwangalia na kuuliza, "What is it? (Kuhusu nini?)"

"There is a boy... badly hurt... I'm afraid we'll lose him too. Please allow me to take some of your blood so... (Kuna mvulana... ameumia vibaya... nahofia tutampoteza na yeye pia. Tafadhali niruhusu nichukue damu yako kidogo ili...)"

"You can heal him (Uweze kumponya)," Draxton akamalizia maneno ya Mark.

Mark akatikisa kichwa kukubali.

"You got a syringe? (Una bomba la sindano?)" Draxton akamuuliza.

Mark akatoa sindano na bomba lake mfukoni, naye Draxton akamruhusu amchome mkononi na kuivuta damu yake kiasi. Akamuuliza ikiwa hiyo ingetosha, na Mark akakubali. Alikuwa anatetemeka kwenye viganja vyake, akionekana kuwa na wasiwasi sana, naye Draxton akamshika begani kama kumpa kitulizo kiasi. Mark akatoa heshima yake na kumpatia funguo za gari, kisha akatoka ndani hapo na kuanza kuelekea jengoni tena.

Draxton akabaki kujilaumu sana kwa kuzubaa kiasi kilichosababisha mpaka Darla akatekwa huku na yeye akiwa hapo hapo, lakini akajiweka sawa kiakili na kuamua kufuata ushauri wa Mark, hivyo akawasha gari na kuliondoa sehemu hiyo upesi.

★★

Aliendesha gari la Mark kwa uangalifu ingawa kwa kasi mpaka kufikia maeneo waliyoishi, na alikuwa amepitia kwenye njia nyingi kutokana na kuzunguka mno kwa sababu hakuwa ameikariri vizuri barabara waliyoitumia pamoja na Darla kufikia hospitalini.

Akafika pale nyumbani giza likiwa limeshaingia, na upesi akaenda kwenye nyumba ya Darla kuangalia kama Edmond na Gianna walikuwa wamesharudi ili awafahamishe kilichotokea nao wajiunge naye kumtafuta Darla. Lakini haikuwa hivyo. Hakuna yeyote kati ya hao wawili, na hata Aysel, aliyekuwepo hapo. Draxton akaenda kwenye nyumba ya Mark pia, napo hapakuwa na mwonekano wa mtu yeyote kuingia toka alipoondoka.

Akahisi kuchoka sana kiakili. Mambo yalikuwa yameanza kuvurugika kabla hata hajamaliza kujipanga vyema kuyarekebisha. Akakaa na kuwaza nini afanye, na kwa kukosa wazo zuri, akajikuta anaunguruma kwa hasira na kuipindua meza kwa nguvu. Akawa anapumua kwa uzito, na bila kufikiri sana, akazima taa na kutoka tu nje; akikimbia kuelekea mitini kama njia ya kuhakikisha hisia zake za unyama hazipitilizi mipaka. Alikimbia kwa dakika nyingi, akiingia mitini zaidi, kisha akafikia sehemu moja na kusimama. Alikuwa anapumua kwa nguvu sana, kitu fulani ndani yake kikiwa kinamsukuma atake kubadilika, lakini akawa anajizuia.

Kuna hisia mpya ndani yake, hisia ambayo ilikuwa inamfanya aumie sana kila mara alipomwaza Darla na hali ambayo mwanamke yule angekuwa anapitia kwa sasa. Alijilaumu sana kumpoteza namna ile na kuonekana kama hawezi kufanya lolote kumsaidia kwa kuwa hakujua mengi yaliyohusika mpaka kuweza kumfikia adui yake, lakini alijua kama angepata nafasi hata ndogo tu ya kumfikia, angeitumia kumkomesha bila kukonyeza.

Akiwa peke yake msituni hapo, kufikiri kwingi kukaanza kumlemea mno kiasi kwamba akaona ingekuwa bora kujiachia tu abadilike kuwa mnyama ili labda asifikiri sana. Akasimama tu na kujaribu kumwita Darla kwa kutumia akili, lakini hakujibiwa. Akahisi hasira sana na kuupiga mti mmoja kwa ngumi nzito, na mkono wake ukapatwa na maumivu mpaka kuvunjika kwa mifupa kadhaa ndani yake. Huzuni ikazidi kumtawala moyoni, na bila kufikiri akaanza tu kukimbia tena.

Kwa sababu nyingi sana ilikuwa kama vile haufurahii msitu kwa wakati huu, kwa sababu alikuwa ameshazoea kuwa pamoja na Darla ndani yake. Alitamani sana kuwa pamoja naye tena. Akaendelea tu kukimbia na kukimbia, asitake kujua wala kujali alikokuwa anaelekea. Alivuka miti na vichaka kwa kasi kubwa, baadhi ya vichaka vikimkwangua mwilini, lakini hakujali.

Akiwa anaendelea kukimbia namna hiyo, sauti ya mlio wa mbwa-mwitu ikamfanya asimame ghafla na kutulia. Mlio huo haukuwa wa kawaida. Ulisikika kutokea juu sana na ukafanya eneo lote la msitu litulie baada ya kumalizika. Sekunde chache za ukimya wa hali ya juu zikamfanya Draxton atulie zaidi kihisia na kuwaza kwamba haikuwa jambo la busara kwenda mbali na wenzake wakati huu wa majanga, hasa kama hakutaka mwingine kati yao atekwe au akute jambo lingine baya. Hivyo akageuka na kuanza kirudi kule alikotoka.

Ni sauti ya hatua zake pekee ndiyo iliyosikika kadiri alivyoendelea kutembea. Pamoja na kwamba alikuwa ameamua kutoifatilia sauti ile, hisi zake zilikuwa zinamtahadharisha kuwa kulikuwa na hatari iliyomfata ndani ya msitu huo. Lakini Draxton alitaka kufanya ionekane kwamba hakujua hilo, ili hatari hiyo ikimfikia aionyeshe kwamba yeye ndiye aliyekuwa hatari zaidi. Alikuwa anatembea huku amekunja ngumi kwa hasira, macho yake yakikazia mbele tu ya safari yake, na ndipo hisi zake zikafanya unywele wake wa shingoni usimame kwa kutambua hatari hiyo kuwa nyuma yake.

Akakwepesha shingo na mwili wake kwa kuinamia upande mmoja bila kugeuka nyuma, na upepo mkali ukampuliza kumpita na kumwonyesha mshambuliaji wake aliyepitiliza mbele yake baada ya kumkosa. Ilikuwa ni mbwa-mwitu mkubwa ndani ya miguu minne tayari, mwenye manyoya yaliyoonekana kuwa ya kijivu mchanganyiko na meusi. Harufu aliyotoa kwa Draxton ilikuwa ngeni, kwa hiyo bila shala huyu hakuwa rafiki kwake.

Akamgeukia Draxton kwa kasi huku akiunguruma, naye Draxton akaweka mkao wa mashambulizi na kubadilika kuwa nusu-mnyama. Mbwa-mwitu huyo akamfata kwa kasi na kujaribu kumrukia tena, lakini Mnyama-Draxton akamkwepa na kufanikiwa kumkwangua na makucha yake kidogo ingawa hakumwachia jeraha kubwa. Ilikuwa wazi kwamba nia ya kiumbe huyo ilikuwa kumuua tu, na kwa Draxton hilo ni jambo ambalo halikuwezekana, hivyo hapo angerudisha upendo aliokuwa ameletewa kwa njia hiyo hiyo ulioletwa.

Mbwa-mwitu huyo akamrukia Draxton na kumtandika kwa nguvu na makucha yake, na Draxton alipokuwa amepaishwa hewani kwa pigo hilo akageuka moja kwa moja na kuwa mnyama kamili, hivyo akatua chini kwa kishindo kikubwa. Mbwa-mwitu adui akamfata tena kwa kasi na kujaribu kumrarua kwa makucha, lakini mbwa-mwitu wa Draxton akageuka na papo hapo kuifata shingo ya adui yake moja kwa moja, kisha akaing'ata na kuinyofoa kwa nguvu. Labda kulikuwa na kelele ya maumivu kutoka kwa mnyama huyo lakini Draxton alichosikia ilikuwa ni sauti ya nyama za kiumbe huyo zilizonyofoka na kurusha damu nyingi hewani, naye akaanguka chini na kutulia baada ya kushtuka-shtuka kwa muda mfupi.

Kidogo tu Draxton akahisi maumivu kwenye bega la mguu wake wa kulia, naye akageuka kwa kasi na kumshambulia mshambuliaji wake wa pili aliyekuwa mbwa-mwitu wa aina ile ile kama aliyetoka kumuua. Alimbamiza mno na kumrarua vibaya sana mpaka alipohakikisha amekata pumzi zake za kinyama.

Akatulia kidogo na kuweka umakini wake vizuri zaidi. Angeweza kusikia miungurumo ya chini kumzunguka lakini hakuwaona maadui zake. Ikawa wazi kwamba miungurumo hiyo ilikuwa mitatu tofauti, kumaanisha mbwa-mwitu wengine watatu walikuwa hapo kumshambulia. Hakujua ikiwa kulikuwa na wengine ila tayari wawili alikuwa amewaua, na kwa sababu alihitaji muda mfupi ili mguu wake ulioumizwa urudishe hali nzuri kumruhusu apambane nao, akaamua kuanza kukimbia upande mwingine ili ajipe muda huo.

Akavuka miti kadhaa huku akisikia namna ambavyo alifuatwa na wanyama-watu hao waliotaka kumwangamiza eti, naye akafikia sehemu yenye uwazi kiasi na kusimama. Ilikuwa ndiyo sehemu sahihi aliyohitaji kuwepo kabisa ili maadui zake wakitokea aweze kuwaona vizuri tofauti na kule alikotoka. Bega la mguu wake lilikuwa linaponyeka taratibu, naye akaunguruma kwa chini kama kutuma ujumbe wa kuwaambia "njooni sasa."

Harufu za mbwa-mwitu watatu tofauti zikamwingia vyema, lakini mbele yake akatokea mmoja tu. Alikuwa anakuja kwa kasi sana, macho ya njano na manyoya meusi kwa meupe, naye akamrukia mbwa-mwitu wa Draxton na kumwagusha chini kwa kuseleleka. Lakini Draxton akaitumia nguvu ya adui yake ya juu na kuigeuzia kwa chini walipokuwa wakiseleleka na hivyo akamwangusha kwa upande, kisha akamkwangua jichoni na kumng'ata kwa nguvu sana sehemu ambayo kwa mtu wa kawaida ingekuwa ni kifua. Alitoa sauti ya kilio cha mbwa mwenye maumivu makali, naye Draxton akasimama na kuanza kumrarua-rarua kwa makucha na meno sehemu mbalimbali kikatili sana mpaka akabaki kuwa mwekundu tu sehemu zote zilizobaki za mwili wake.

Draxton akiwa ameuvaa unyama wake kamili hakuogopa lolote kabisa, na kwenye suala la kuua kwa wakati huu lilikuwa sahihi kwa asilimia zote kwake hasa kutokana na akili yake na hisia za kinyama kuwa na hasira kwa sababu ya kumpoteza Darla. Na kama ni mshenzi aliyemteka malkia wake ndiye aliyekuwa amewatuma na hawa wamzingue basi zawadi nzuri sana kwao ilikuwa ni kifo tu.

Akijua kwamba amebakiza maadui wawili, akageukia upande aliojua wangetokea, naye akawaona wakija kwa pamoja. Lakini hawa hawakuwa wakimfata kwa kasi, bali taratibu bila papara yoyote. Walikuwa wanamfata kwa njia ya kisomi kabisa, yaani mmoja akaenda huku na mwingine kule, bila shaka mmoja amzubaishe halafu mmoja amshambulie. Walipojaribu kumpatia pigo la pamoja wakapulizana tu kwa makucha na kuungurumiana, kisha wakaendelea kuzungukana. Ikabidi mbwa-mwitu wa Draxton atumie muda huu mfupi kuwasoma wawili hawa.

Mmoja alikuwa jike bila shaka kutokana na matiti sita kuonekana kwa chini. Alikuwa anamtazama Draxton kupitia macho ya njano, na alifunikwa kwa manyoya ya kijivu mchanganyiko na kahawia. Masikio yake yalikuwa marefu zaidi ya ukawaida wa mbwa-mwitu
yakikaribia kufika futi moja kabisa. Yule mwingine dume alikuwa na mwili mkubwa zaidi ya jike kama tu Draxton, akiwa na manyoya ya kahawia iliyokoza sana kukaribia weusi, na macho ya njano pia, akionekana kama wale Roguewolf ingawa macho yake kutokuwa mekundu kulipingana na hilo. Alikuwa na domo kubwa lililodondosha udende wa njano, akionekana kuwa mwindaji hatari.

Draxton hakujua ni kwa nini lakini hisia zake zilimwambia kwamba huyo jike ndiye aliyekuwa wa kuchunga zaidi. Hii ingemaanisha kwamba pindi ambapo shambulizi lingeanza ni huyo jike ndiye angetoa kiashirio, kwa hiyo umakini wa Draxton ukawa kwake lakini akataka amfanye afikiri kwamba hakujihadhari naye.

Akamrukia dume na kumfanya akwepe, na yule jike kwa kudhani mbwa-mwitu wa Draxton hamjali, akajipeleka kwake kwa kasi, naye Draxton akageuka upesi na pigo la chini lililofanya amkwarue tumboni na kuyanyofoa matiti yake matatu, kisha akamrusha pembeni. Jike huyo aligaagaa kwa maumivu chini hapo, na yule dume akamfata Draxton kwa nguvu na kuanza kupigana naye kwa fujo.

Walipigana bila mpangilio, damu zikiruka tu hewani na kuunguruma kwingi kukisikika, na mwishowe mbwa-mwitu wa Draxton akaibuka na ushindi baada ya kuinyofoa taya yote ya chini ya adui yake. Akaunguruma kwa nguvu na kumfata yule jike, ambaye bado alikuwa chini akiwa amejikunja na damu ikimtoka sehemu aliyoumizwa. Alikuwa anatoa sauti ya kulia kama mwanamke kabisa ingawa bado alikuwa ndani ya umbo la mnyama.

Badala ya kummalizia, akili ya Draxton ikamwambia mnyama wake aachane naye tu, kwa kuwa alihitaji kuwahi kurudi nyumbani baada ya haya yote. Alihisi hatari iliyokuwepo baada ya shambulizi hili, hatari ambayo labda ilikuwa imeshawafikia watu wake, lakini hakutaka iwe hivyo. Akachomoka upesi na kuanza kurudi alikotoka akiwa ndani ya umbo lake la mnyama kabisa.

Alikimbia na kukimbia huku akijitahidi kufuata harufu ambayo ingemrudisha maeneo waliyoishi, naye alipoyakaribia akasimama mitini kwanza na kutazama eneo la nyumba zao. Lilionekana kuwa na magari matatu kama siyo manne ya mapolisi, na baadhi ya watu walioishi maeneo hayo walikuwa nje wakionekana kushuhudia tukio fulani.

Draxton akajigeuzia upesi na kurudia hali yake ya ubinadamu, kisha akaelekea huko kwa tahadhari na kufanikiwa kuingia ndani ya nyumba ya Mark bila kuonwa; akipitia dirishani alikozoea kupitia Darla. Alikuwa amechafuka na bila nguo hata moja mwilini, hivyo akaingia bafuni haraka na kujisafisha bila kuwasha taa yoyote, kisha akatoka na kuvaa nguo upesi pamoja kofia ya kuficha nywele zake nyeupe. Alifanya mambo haraka sana, naye akatoka tena kupitia dirishani na kuzungukia upande mwingine ili aende pale kwenye nyumba ya Darla kujua ni nini kilikuwa kimetokea.

Hisia mbaya zilikuwa zimeshamjaa, naye alipofika usawa huo akasimama nyuma ya watu na kuitazama nyumba ile. Kwanza kabisa, gari la Darla lilikuwa nje hapo. Hii ilimshangaza kwa sababu alikumbuka kwamba liliachwa kule hospitali muda ule Darla kachukuliwa, na hata funguo za gari zilikuwa pamoja na mwanamke yule.

Mlango wa kuingilia nyumba ya Darla ulikuwa umebomoka, na hata aliweza kuona alama za makucha zilizokwangua gari la Darla na baadhi ya sehemu za vioo vyake kupasuka. Akawa anawasikia maaskari wakiongea kuhusu mambo ambayo mashuhuda wa tukio walikuwa wamesema, kwamba kuna vitu kama wanyama vilikuwa vimeingia sehemu hiyo na kusababisha uharibifu huo, na haikujulikana kama kulikuwa na watu ndani.

Maafisa walikuwa wanachukua rekodi za mambo yote ya hapo ili waanze kufuatilia undani wa kisa hicho na kuhakikisha usalama wa eneo hilo unadumishwa. Draxton akajitahidi kuvuta harufu yoyote kutokea mule ndani lakini hakupata yoyote kati ya zile alizofahamu za watu wake, na kiukweli alikuwa ameshindwa kujua afanye nini. Huenda angehitaji kwenda hospitalini kule kumtafuta Mark ikiwa kwa njia moja au nyingine alikuwa huko, na kufanya hivyo kungehitaji usafiri.

Gari lake Mark lilikuwepo pale nje ya nyumba alipoliacha Draxton. Ilionekana kama tukio lililoikumba sehemu hiyo halikucnukua muda mrefu sana, na maaskari walikuwa wanataka kufanyia uchunguzi nyumba ya Mark pia, hivyo Draxton akaona kwenda hapo kuchukua gari isingekuwa wazo zuri. Akafikiria labda arudi tu ndani mule tena ili aweze kuchukua simu kwa sababu alisahau kufanya hivyo, lakini ikawa kuchelewa baada ya magari mengine mawili ya polisi na matatu ya watu binafsi kufika hapo na kusimama usawa wa nyumba ile.

Walishuka wanaume kadhaa waliovalia kwa unadhifu wa suti, nao wakaanza kuzungumza na maaskari waliokuwepo huku wale wengine wakienda kuichunguza nyumba ya Mark. Kwa kuweka umakini mzuri, Draxton aliweza kutambua kwamba mmoja kati ya wale wanaume nadhifu waliofika alikuwa ndiyo diwani au meya wa mji huo (Mayor). Aliitwa Tyler Busch, na ndiyo akawa akiwaambia watu wake wasafishe haraka kila kitu hapo ili tukio hilo lisifike mbali sana.

Watu wa ujirani waliokuwepo hapo wakaombwa kurudi majumbani mwao na kuhakikishiwa kuwa kila jambo lingekuwa sawa, naye Draxton akaitumia nafasi hiyo kuanza kuondoka pamoja nao. Alihakikisha kofia inauficha vyema uso wake, naye akaelekea upande wenye miti na kutulia hapo kwanza.

Ilionekana kama hakukuwa na mtu mwingine aliyesalia wa kuweza kumsaidia achukue hatua yoyote kati ya zozote ambazo zingefaa ili kurekebisha hali hii. Bila shaka kama Darla alikuwa amekamatwa na yeye Draxton kushambuliwa muda mfupi nyuma, hiyo inamaanisha wengine pia walikuwa wamefikiwa. Hali aliyoikuta pale nyumbani ilithibitisha hilo. Mark, Edmond, Gianna, na labda hata Aysel walikuwa wamekumbwa na mambo hayo yaliyokuja ghafla sana.

Ila Draxton asingekaa kujinung'unikia tu kama mvulana mdogo. Akajiweka sawa kiakili, kisha akaanza kutembea. Alipita usawa wa barabara ya lami na kuelekea upande ule ambao rafiki yake Darla alifanyia biashara yake ya mgahawa, yule mwanamke mtu mzima aliyeitwa Megan. Hakujua kama na yeye alihusishwa na mashambulizi haya, lakini alijua anaweza kumwamini kumpatia msaada wa jambo alilofikiria kufanya, kwa kuwa Darla alimwamini mwanamke yule, kwa hiyo safari yake kuelekea huko ikaendelea.

★★

Mwendo wa dakika kama 40 ukamfikisha Draxton eneo lile la mgahawa, naye akaelekea ndani ya mgahawa ule moja kwa moja bila kuyajali magari aliyoyakuta nje hapo. Alipoingia tu ndani, akatulia kwanza na kuangalia sehemu hiyo.

Palikuwa pamejaa wateja, wengi, ambao walikuwa wanakula na kuzungumza kwa uchangamfu, lakini mara ghafla kote kukawa kimya nao wakamgeukia Draxton na kumwangalia. Draxton alivuta harufu nyingi za ajabu tu kutoka kwa watu hao, na ilionekana kama ujio wake hapo uliitia dosari sehemu hiyo; kama mgeni asiyekaribishwa. Kulionekana kuwa na wahudumu kadhaa wakati huu, nao wakawa wanamwangalia pia. Wengi wa wateja walikuwa wanaume wazungu wenye ndevu nyingi na wanawake wenye mvuto walioonekana makini kweli, na ndipo Megan akaonekana akija upande wa Draxton upesi.

"Follow me (Nifuate)."

Mwanamke huyo akamwambia hivyo na kuanza tu kuondoka tena, naye Draxton akaanza kumfuata huku macho mengi yakiendelea kutembea naye. Hakuwajali hata kidogo, kwa kuwa alimkazia fikira zaidi Megan. Mwanamke huyo alikuwa amevaa blauzi iliyoacha mgongo wake wazi, kikaptura cha jeans kifupi sana kuishia mapajani na mabuti marefu ya kike ya kuchuchumia yenye rangi nyekundu.

Akamwongoza mwanaume mpaka kufikia kwenye milango miwili myekundu na kuipita, kisha wakaingia ndani ya chumba binafsi kilichokuwa na mandhari ya kike zaidi. Draxton akasimama tu na kutulia, akisikia namna ambavyo Megan aliufunga mlango wa chumba hicho na kisha akamfata mpaka aliposimama.

"What happened? (Nini kimetokea?)" Megan akamuuliza kwa sauti ya chini.

"We were attacked. They took Darla... and the others probably (Tumeshambuliwa. Wamemchukua Darla.. na wengine nadhani)," Draxton akasema kwa huzuni.

“Oh no! This attacking is an issue (Oh hapana! Hili shambulizi ni ishu kubwa)" Megan akamwambia.

"I have to find them before anything happens. Help me get to them (Nahitaji kuwapata kabla lolote halijatokea. Nisaidie kuwafikia)."

"It's really hard now, and dangerous. The Alpha has been looking hard for Darla. They... they're everywhere. I can't move (Ni ngumu sana sasa, na hatari. Yule Alpha amekuwa akimtafuta Darla kwa nguvu. Wapo.. wapo kila sehemu. Siwezi kutoka)," Megan akasema.

“He’s here? (Yuko hapa?)” Draxton akauliza kwa umakini.

“Not him, but some of his pack members (Siyo yeye, ila baadhi ya walio kwenye kundi lake)."

"Very well. I'll need to have a good chat with one of 'em (Vizuri. Nitahitaji kufanya maongezi mazuri na mmoja wao)," Draxton akasema hivyo kwa hasira kiasi na kuonyesha anataka kugeuka.

Megan akaushika mkono wake na kusema, "Don't do that! (Usifanye hivyo!)."

Draxton akautoa mkono wake kwa mwanamke huyo na kusema, "There is a good chance for me to know where they are keeping my friends from these idiots. I'm not gonna ask for it, I'm going to squeeze the truth out of 'em (Uwezekano mzuri wa mimi kujua walipowaficha marafiki zangu upo ikiwa nitawauliza hawa wapuuzi. Na siendi kuwaomba waseme, naenda kuukamua ukweli kutoka kwao)."

"Robby doesn't know I helped Darla escape once. If he does... (Robby hajui nilimsaidia Darla amtoroke kipindi kile. Akijua..)"

"So what? I'm an Alpha too, why are you so afraid of him? (Kwani nini? Mimi pia ni Alpha, kwa nini unamwogopa sana?)"

"He's still my Alpha, not you. To help Darla escape was very risky at first and I was betraying my pledge to him. If he finds out he might kill my brother and sister too... they are working for him (Yeye bado ni Alpha wangu, siyo wewe. Kumsaidia Darla atoroke mwanzoni ilikuwa hatari na nilikuwa nasaliti kiapo changu kwake. Akijua anaweza pia kuwaua kaka na dada yangu... wanamfanyia kazi)," Megan akamwambia.

"You said you care a lot for Darla. Now you going to leave her suffer? (Ulisema unamjali sana Darla. Sasa hivi utamwacha tu ateseke?)"

"Of course not. But am not gonna do something that will endanger others. You are very rash and brave, but he's still stronger than you. He's provoking you (Bila shaka hapana. Ila sitafanya jambo ambalo linaweza kuwaweka wengine hatarini. Wewe uko makini na jasiri lakini bado yeye ana nguvu kukuzidi. Anakujaribu makusudi)," Megan akamwambia.

"Fine. I'm sorry for disturbing you. I'll find Darla on my own so you don't need to worry about a bug on your tail (Sawa. Samahani kwa kukusumbua. Nitamtafuta Darla peke yangu ili usiwaze kuhusu kufatiliwa na yeyote)," Draxton akasema.

"Actually about that... you can't leave yet. Not until all are gone because of the scent you have (Kuhusu hilo... hauwezi kuondoka kwa sasa. Ni mpaka hao wote waondoke shauri ya harufu uliyonayo)."

"I don't smell like a wolf (Huwa sitoi harufu kama mbwa-mwitu)."

"No, it's Darla's. It's all over you. If I’m picking it up, so is everyone here (Hapana, ni ya Darla. Iko tele mwilini mwako. Kama mimi nimeweza kuivuta, hata wao wanaweza)."

Draxton akamtafakari mwanamke huyu kwa ufupi, naye akatazama tu chini kuonyesha ameelewa.

"Just stay here and I'll see to nobody trying to bother me for a peep (Kaa tu humu nikahakikishe hakuna mtu anajaribu kunisumbua ili wachungulie huku)," Megan akamwambia.

Akatoka ndani hapo na kwenda huko kufanya jambo hilo, naye akarejea na kuutia mlango kifungo kwa funguo na kumkuta Draxton akiwa amesimama vile vile.

"Looks like you are in for a long night here Draxton. The place is packed, and it wouldn't be safe to just kick everyone out as much as you leaving now wouldn't (Inaonekana utakuwa hapa kwa muda mrefu Draxton. Yaani pamejaa, na haitakuwa salama kuwafukuza hawa watu kama tu wewe kuondoka sasa hivi haitakuwa salama)," Megan akamwambia.

"Safe for you? (Usalama kwako?)" Draxton akamuuliza.

"Yeah (Ndiyo)."

"I came in past all of them. You telling me they don't know who I am? (Nimeingia hapa kwa kuwapita. Unataka kusema hawanijui?)"

"They can be curious and maybe guess, but they are not sure (Wanaweza kuhisi na labda kukisia, lakini hawana uhakika)."

"How do you know? I was attacked by five of them in the woods and they seemed pretty sure. If they got Darla's scent when I came in that means they already know, and probably are gonna hurt you too if... (Unajuaje? Nimeshambuliwa na watano kule mitini na walikuwa na uhakika kabisa. Kama wameipata harufu ya Darla wakati naingia inamaanisha wanajua, na labda wanaweza hata kukuumiza ikiwa...)"

"Draxton listen to me. We can fix that. We can cover that scent (Draxton nisikilize. Tunaweza kurekebisha hilo. Tunaweza kuificha hiyo harufu)," Megan akamwambia.

"How? (Kivipi?)" Draxton akauliza.

"We... we should have sex (Tunapaswa kufanya mapenzi)," Megan akasema.

Draxton akamshangaa. "Is that the only way? Can't I just rub some soap and honey on my body? (Ndiyo njia pekee hiyo? Kwani siwezi tu kujipaka sabuni na asali mwilini?)"

"You know it won't work. Look, I can handle myself smelling like your human scent, but her scent mixed with mine on you would confuse them (Unajua haitafanya kazi. Ona, ninaweza kujiweka sawa hata nikinukia kama harufu yako ya kibinadamu, lakini harufu ya Darla mchanganyiko na yangu mwilini mwako itawachanganya)," Megan akamwambia.

"I can't believe you would suggest that. Darla is your friend, and she's my mate (Siamini kwamba unaweza kupendekeza jambo hilo. Darla ni rafiki yako, na yeye ndiyo mwenzi wangu)," Draxton akasema.

"It's not just about that. Draxton... I want to be a part of your pack. I need you to claim me too (Siyo kuhusu hilo tu. Draxton... nataka kuwa sehemu ya kundi lako. Nahitaji unimiliki)," Megan akamwambia.

"Why? (Kwa nini?)"

"For the same reason. I wanna be free. And I will be able to fully help you find Darla when I'm free from Robby's pack (Kwa sababu ile ile. Nataka kuwa huru. Na nitaweza kukusaidia kwa asilimia zote kumpata Darla nikiwa huru kutoka kwenye milki ya kundi la Robby)," Megan akamwambia.

"What about the people of your family? (Vipi kuhusu watu wa familia yako?)"

"I'll find a way to protect them after you claim me. Important for the save for now is Darla (Nitatafuta njia ya kuwalinda ukishanimiliki. Darla ndiyo wa muhimu kwa sasa kwa ajili ya kuokoa)," Megan akamwambia.

Draxton akatazama pembeni kwa mkazo.

"Where was she when they took her? (Alikuwa wapi walipomchukua?)" Megan akauliza.

"At the hospital. She told me that they won't bother her now as I had claimed her, so we went there together to check on Mark. They tricked me and grabbed her. It was all my fault and if she goes through the same hell she had before I'll never forgive myself. But I'm gonna kill that guy if he touches her, I don't care what he can do. He hasn't had the chance to meet me yet, and when he does, he's gonna regret it (Hospitalini. Aliniambia hawangemsumbua tena kwa kuwa sasa nilimmiliki, kwa hiyo tukaenda pamoja kumwangalia Mark. Wakanifanyia mchezo na kumkwapua. Yalikuwa makosa yangu na ikiwa atapitia magumu kama aliyopitia zamani sitaweza kujisamehe. Lakini nitamuua huyo mtu ikiwa atamgusa, sijali anaweza kufanya nini. Bado hajapata nafasi ya kukutana na mimi, na atakapokutana nami atajuta)," Draxton akasema kwa hisia kali.

"Robby doesn't care about the rules because he thinks he is the rules, so he'll do anything he wants. Listen Draxton. We're doing this for her, and you are going to save her. Okay? (Robby hajali kuhusu sheria zetu kwa sababu anajiona kuwa sheria zenyewe, kwa hiyo atafanya chochote anachotaka. Sikiliza Draxton. Tunafanya hivi kwa ajili yake Darla, na wewe utamwokoa tu. Sawa?)" Megan akamwambia kwa uhakikisho.

Draxton akamtazama tu usoni kwa hisia, siyo za kujali bali kuchoka kihisia, naye akasema, "I need a minute (Nahitaji dakika moja)."

Alimaanisha anahitaji utulivu wa akili kwa muda mfupi, naye akasogea pembeni na kukaa juu ya kabati ndogo ya droo baada ya kuvua kofia; akiweka kiganja chake usoni kuonyesha amechoka sana. Na ni kweli alikuwa amechoka. Alimwaza sana Darla, hasa kwa kuwa muungano wake na mwanamke yule kwa sasa ulikuwa wenye nguvu zaidi, naye akajaribu tu kumwita tena kwa kutumia akili.

Megan alikuwa amesogea mlangoni na kutazama kupitia tobo dogo la mlango, kisha akatoka hapo na kumwangalia Draxton.

"Darla please..."

Draxton aliita hivyo, wakati huu akiwa ameongea kwa sauti kabisa baada ya kujaribu mara nyingi sana kupitia akili na kukosa kujibiwa, na baada ya Megan kumsikia akaamua kumsogelea karibu na kumshika begani.

"Hey, what are you doing? (Vipi, unafanya nini?)" Megan akamuuliza.

"It's um... I can talk to Darla through my mind. It is a... (Ni... ninaweza kuzungumza na Darla kupitia akili. Ni...)"

"Telepathic link between true mates (Muungano wa kiakili baina ya wenzi wa kweli)," Megan akamkatisha.

Draxton akamtazama.

"You have that with Darla? (Una hiyo kitu na Darla?)" Megan akamuuliza.

"Yes. But now I'm not able to reach her mind... I don't know what that means or why it's happening, but it worries me (Ndiyo. Ila sasa nashindwa kuifikia akili yake.. sijui hiyo ina maana gani au kwa nini inatokea lakini inanipa wasiwasi)," Draxton akasema.

Megan akaonekana kutafakari suala hilo, kisha akavishika viganja vya Draxton na kumwambia, "Seems there's much Darla has neglected to teach you. You see there is a way to boost up your connection with your mate regardless of how far from one another you are (Inaonekana Darla hajakufundisha mengi. Unajua kuna njia ya kuongeza nguvu ya mawasiliano yenu haijalishi umbali mnaoweza kuwa)."

"You think the distance is the problem? (Unafikiri kwamba umbali ndiyo tatizo?)"

"It could be, cause in many cases it is (Inaweza ikawa, kwa sababu kwa visa vingi ndiyo huwa sababu)."

"What's the way? (Ni njia gani?)"

"There are ingredients to making a special potion that you have to drink, then I will use my power to channel the connection to Darla immediately (Kuna viungo fulani vya kutengenezwa dawa maalumu ambayo unatakiwa kunywa, kisha nitatumia nguvu yangu kukuunganisha na Darla upesi sana)."

"Your power? (Nguvu yako?)"

"Yeah. I have a special ability which allows me to siphon wolf energy around me, and that means I must be connected to you too to make this channeling work. You have to claim me first Draxton (Ndiyo. Nina uwezo wa pekee wa kujizungushia nishati za mbwa-mwitu kando yangu, na hii inamaanisha natakiwa kuwa na uvutano pamoja nawe pia ili kuwezesha muungano ule ufanye kazi. Unatakiwa unimiliki kwanza Draxton)."

"And then? (Baada ya hapo?)"

"I'll make the potion. There are four ingredients, but I only remember three and I got them here. You can help me find out about the remaining one from a book that was written on werewolf fantasy, I don't know it's name. But I'm sure it's gotta be in the town's library (Nitaitengeneza hiyo dawa. Kuna viungo vinne, ila ninakumbuka vitatu tu na ninavyo hapa. Unaweza tu kunisaidia kuijua iliyobakia kutoka kwenye kitabu kilichoandikwa masuala ya watu-mwitu ya kubuniwa, sijui jina lake. Ila najua kitakuwa kwenye maktaba ya mjini)."

"I'm confused Megan. You remember a book that has something you forgot written in it? (Nimechanganywa Megan. Unakumbuka kitabu kilichoandikiwa kitu ulichosahau?)"

"I read it long ago. Though it's fiction but most of the things written in there carry a certain amount of truth about our kind. It's as if the writer had lived with our kind once (Nilikisoma zamani. Ingawa imebuniwa tu lakini mengi ya mambo yaliyo mule yamebeba kiasi fulani cha ukweli kutuelekea. Ni kama huyo mwandishi aliishi na watu wa aina zetu kwa kipindi hicho)."

"Yeah, Mark said the same thing. Can't you Google it up? (Ndiyo, hata Mark alisema kitu kama hicho. Hauwezi kiitafuta Google?)"

"My laptop's dead, and even if it wasn't the reception here is pretty lazy. I don't got a phone either, do you? (Laptop yangu imekufa, na hata kama ingekuwa nzima huku mtandao ni wa kizembe. Sina simu pia, wewe unayo?)"

"I didn't pick it up before I left Mark's house (Sikuichukua nilipoondoka kutoka kwenye nyumba ya Mark)."

"It's a dead beat with that. You just have to go to the library tomorrow morning, it's probably closed by now (Hapo hakuna matokeo chanya. Unatakiwa tu uende kwenye maktaba kesho asubuhi, sasa hivi patakuwa pameshafungwa)."

"What if we fail to achieve anything with this? (Vipi tusipofanikiwa kupata matokeo yoyote kwa kufanya jambo hili?)"

"We don't got many options. It's why we have to try. If it works, maybe you can communicate with her and she might tell us where they are keeping her... (Hatuna njia nyingi. Ndiyo maana tunapaswa kujaribu. Ikiwa itafanikiwa, labda unaweza kuwasiliana naye na yeye akatuambia wapi wamemweka...)"

"You really have no idea where they could be keeping her? (Yaani hauna hata wazo moja la ni wapi watakuwa wamemweka?)" Draxton akamuuliza.

"Robby has many places, some of which I don't know of. I didn't even know they captured her. I just hope... (Robby ana sehemu nyingi, baadhi ya hizo ambazo hata sizifahamu. Hata sikujua kama wamemkamata Darla. Natumaini tu kwamba...)"

Megan akaishia tu hapo na kuanza kudondosha machozi. Draxton akahuzunika pia, naye akamkumbatia; akikilaza kichwa cha mwanamke huyo kwenye kifua chake.

Sasa mwanaume alikuwa na kazi nyingine ya kufanya ili apate kile alichokihitaji. Kumpata mwenzi wake kwa uharaka ingetakiwa ajiunganishe na mwanamke huyu mwingine, na kiukweli hilo lilizidi kumfanya ajione kuwa adui yake yeye mwenyewe kutokana na kupingana na aina ya mtu aliyekuwa kihalisi. Lakini angefanya nini? Kama ndiyo suluhisho la haraka ambalo lingemsaidia, basi angepaswa kuridhia tu kummiliki na Megan pia. Shughuli alikuwa nayo!



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA TANO

★★★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akamwita Darla tena kwa sauti ya juu, naye akaona kwamba lifti hiyo ilikuwa imeanza kushuka chini tena. Akajaribu kufungua lifti ya upande wa pili lakini akashindwa. Ni lazima aliyeongoza mifumo ya lifti hizo alikuwa anafanya kazi pamoja na watu waliokuwa wanawafanyia mchezo huu, au labda waliingilia mifumo hiyo kwa kutumia njia haramu. Lakini hapa alihitaji kuhakikisha usalama wa Darla kwanza, hivyo akatoka kwa kasi na kuzielekea ngazi, akishuka kwa spidi zote.

'Draxton!'

Sauti ya Darla ikasikika kichwani kwa jamaa. Akaitika kwa akili pia huku akiendelea kushuka ngazi kwa kasi, akianza kumuuliza kama yuko sawa na kumwambia anakuja chini huko kumsaidia, lakini Darla hakujibu tena. Draxton akaendelea kumwita kwa akili, na kadiri alivyoendelea kushuka alipishana na watu waliomshangaa sana lakini aliwapuuzia wote.

Akafika chini kabisa na kuelekea upande wa lifti ile, na ndiyo ilikuwa tu imeanza kufungua milango yake baada ya kufika chini, lakini alipofikia hapo, hakuweza kumwona Darla kwa ndani. Akaingia humo na kutazama juu kuona kwamba mlango mdogo wa juu ulikuwa wazi, naye akajikuta anaunguruma kwa hasira baada ya kuelewa kuwa Darla alitolewa kupitia njia hiyo wakati lifti bado ikiwa inashuka chini.

Baadhi ya watu waliokuwepo hapo walimshangaa sana, na maaskari wawili wa ulinzi wakamfikia na kumshika, wakimuuliza alikuwa na tatizo gani. Akajitahidi kutulia na kuwaeleza kwamba alikuwa amempoteza rafiki yake na ndiyo alikuwa anamtafuta, lakini wakamwomba atoke nje kwa kuwa alikuwa anasumbua utaratibu mzuri wa hapo.

Draxton akataka kupinga, lakini wakamlazimisha kuanza kuondoka na hata kumtishia kumwitia polisi, na ndipo Mark akawa amefika sehemu hiyo. Alifahamiana nao, naye akawaomba radhi kwa niaba ya Draxton akisema yeye ni rafiki yake na angeondoka pamoja naye. Walinzi hao walionekana kuwa na aina fulani ya ubaguzi wa rangi kumwelekea Draxton, lakini wakamwacha tu, naye Mark akaanza kuondoka na Draxton upesi kuelekea nje huku walinzi hao wakihakikisha wanawasindikiza kwa ukaribu. Draxton alikuwa amechanganyikiwa lakini alijitahidi sana kujituliza ili asipitilize kihisia.

Mark akamwongoza kulielekea gari lake, nao wakaingia ndani huku Draxton akimwambia hawakuwa na muda wa kukaa kwa sababu Darla alikuwa hatarini.

"What happened? (Nini kilitokea?)" Mark akamuuliza.

"They took her! We got in the elevator but someone started messing with it... it was a trap and I... I lost her. Mark, we have to go back in, she might be hurt and it's all my fault. Damn it! (Wamemchukua! Tuliingia kwenye lifti ila kuna mtu akaanza kuichezea... ulikuwa mtego na mimi... nikampoteza. Mark, tunahitaji kurudi huko ndani, anaweza kuumizwa na yote ni makosa yangu. Shenzi kabisa!)," Draxton akaongea kwa hasira.

Mark akaonekana kuingiwa na wasiwasi, naye akasema, "It's Robby. It has to be him. He must have spotted her here (Ni Robby. Ni lazima iwe yeye. Atakuwa amemwona hapa)."

"I saw a guy staring at me before it all happened. I need to get in there and... (Nilimwona mwanaume fulani aliyekuwa ananitazama sana kabla hayo hayajatokea. Ninahitaji kurudi ndani ili...)"

"Draxton you can't, they won't allow you in again. I'll... I'll go and check things out. If it's Robby, Draxton I don't think my sister is here anymore cause his people move pretty fast... just let me check but please go home and find out where the others are... I'll be there shortly (Draxton hauwezi, hawatakuruhusu uingie tena. Ikiwa ni Robby, Draxton sidhani kama dada yangu atakuwa hapa tena maana watu wake wanaofanya vitu kwa kasi sana. Acha tu mimi nikaangalie lakini tafadhali naomba uende nyumbani ukaangalie wengine wako wapi)," Mark akaongea kwa utulivu.

Draxton akamtazama kwa umakini, kisha akauliza, "What will he do to her? (Atamfanya Nini?)"

Mark akamwambia, "I don't know, she's been his obsession for long... but now with you here maybe that'll stop (Sijajua, yaani kwake yeye, Darla ndiyo kitu alichokitaka zaidi kwa muda mrefu... ila labda uwepo wako sasa hivi utazuia hilo)."

"There's no maybe, Mark. If he touches her I'm going to kill him! (Hakuna cha labda, Mark. Ikiwa atamgusa nitamuua!)," Draxton akaongea kwa hisia kali.

"Please take my car and go home. Be careful with what you do Draxton. He's dangerous, and if he knows about you then kidnapping Darla is a challenge set forth to provoke you (Tafadhali chukua gari langu uende nyumbani. Kuwa mwangalifu na utakachofanya Draxton. Yeye ni hatari, na kama ameshajua kukuhusu basi kumteka Darla ni njia ya kukujaribu ili akuzingue)," Mark akasema.

"I'm counting on it (Ninatarajia hilo)," Draxton akamwambia.

Mark akaangalia chini kidogo, kisha akasema, "I need a small favor (Naomba msaada wako kidogo)."

Draxton akamwangalia na kuuliza, "What is it? (Kuhusu nini?)"

"There is a boy... badly hurt... I'm afraid we'll lose him too. Please allow me to take some of your blood so... (Kuna mvulana... ameumia vibaya... nahofia tutampoteza na yeye pia. Tafadhali niruhusu nichukue damu yako kidogo ili...)"

"You can heal him (Uweze kumponya)," Draxton akamalizia maneno ya Mark.

Mark akatikisa kichwa kukubali.

"You got a syringe? (Una bomba la sindano?)" Draxton akamuuliza.

Mark akatoa sindano na bomba lake mfukoni, naye Draxton akamruhusu amchome mkononi na kuivuta damu yake kiasi. Akamuuliza ikiwa hiyo ingetosha, na Mark akakubali. Alikuwa anatetemeka kwenye viganja vyake, akionekana kuwa na wasiwasi sana, naye Draxton akamshika begani kama kumpa kitulizo kiasi. Mark akatoa heshima yake na kumpatia funguo za gari, kisha akatoka ndani hapo na kuanza kuelekea jengoni tena.

Draxton akabaki kujilaumu sana kwa kuzubaa kiasi kilichosababisha mpaka Darla akatekwa huku na yeye akiwa hapo hapo, lakini akajiweka sawa kiakili na kuamua kufuata ushauri wa Mark, hivyo akawasha gari na kuliondoa sehemu hiyo upesi.

★★

Aliendesha gari la Mark kwa uangalifu ingawa kwa kasi mpaka kufikia maeneo waliyoishi, na alikuwa amepitia kwenye njia nyingi kutokana na kuzunguka mno kwa sababu hakuwa ameikariri vizuri barabara waliyoitumia pamoja na Darla kufikia hospitalini.

Akafika pale nyumbani giza likiwa limeshaingia, na upesi akaenda kwenye nyumba ya Darla kuangalia kama Edmond na Gianna walikuwa wamesharudi ili awafahamishe kilichotokea nao wajiunge naye kumtafuta Darla. Lakini haikuwa hivyo. Hakuna yeyote kati ya hao wawili, na hata Aysel, aliyekuwepo hapo. Draxton akaenda kwenye nyumba ya Mark pia, napo hapakuwa na mwonekano wa mtu yeyote kuingia toka alipoondoka.

Akahisi kuchoka sana kiakili. Mambo yalikuwa yameanza kuvurugika kabla hata hajamaliza kujipanga vyema kuyarekebisha. Akakaa na kuwaza nini afanye, na kwa kukosa wazo zuri, akajikuta anaunguruma kwa hasira na kuipindua meza kwa nguvu. Akawa anapumua kwa uzito, na bila kufikiri sana, akazima taa na kutoka tu nje; akikimbia kuelekea mitini kama njia ya kuhakikisha hisia zake za unyama hazipitilizi mipaka. Alikimbia kwa dakika nyingi, akiingia mitini zaidi, kisha akafikia sehemu moja na kusimama. Alikuwa anapumua kwa nguvu sana, kitu fulani ndani yake kikiwa kinamsukuma atake kubadilika, lakini akawa anajizuia.

Kuna hisia mpya ndani yake, hisia ambayo ilikuwa inamfanya aumie sana kila mara alipomwaza Darla na hali ambayo mwanamke yule angekuwa anapitia kwa sasa. Alijilaumu sana kumpoteza namna ile na kuonekana kama hawezi kufanya lolote kumsaidia kwa kuwa hakujua mengi yaliyohusika mpaka kuweza kumfikia adui yake, lakini alijua kama angepata nafasi hata ndogo tu ya kumfikia, angeitumia kumkomesha bila kukonyeza.

Akiwa peke yake msituni hapo, kufikiri kwingi kukaanza kumlemea mno kiasi kwamba akaona ingekuwa bora kujiachia tu abadilike kuwa mnyama ili labda asifikiri sana. Akasimama tu na kujaribu kumwita Darla kwa kutumia akili, lakini hakujibiwa. Akahisi hasira sana na kuupiga mti mmoja kwa ngumi nzito, na mkono wake ukapatwa na maumivu mpaka kuvunjika kwa mifupa kadhaa ndani yake. Huzuni ikazidi kumtawala moyoni, na bila kufikiri akaanza tu kukimbia tena.

Kwa sababu nyingi sana ilikuwa kama vile haufurahii msitu kwa wakati huu, kwa sababu alikuwa ameshazoea kuwa pamoja na Darla ndani yake. Alitamani sana kuwa pamoja naye tena. Akaendelea tu kukimbia na kukimbia, asitake kujua wala kujali alikokuwa anaelekea. Alivuka miti na vichaka kwa kasi kubwa, baadhi ya vichaka vikimkwangua mwilini, lakini hakujali.

Akiwa anaendelea kukimbia namna hiyo, sauti ya mlio wa mbwa-mwitu ikamfanya asimame ghafla na kutulia. Mlio huo haukuwa wa kawaida. Ulisikika kutokea juu sana na ukafanya eneo lote la msitu litulie baada ya kumalizika. Sekunde chache za ukimya wa hali ya juu zikamfanya Draxton atulie zaidi kihisia na kuwaza kwamba haikuwa jambo la busara kwenda mbali na wenzake wakati huu wa majanga, hasa kama hakutaka mwingine kati yao atekwe au akute jambo lingine baya. Hivyo akageuka na kuanza kirudi kule alikotoka.

Ni sauti ya hatua zake pekee ndiyo iliyosikika kadiri alivyoendelea kutembea. Pamoja na kwamba alikuwa ameamua kutoifatilia sauti ile, hisi zake zilikuwa zinamtahadharisha kuwa kulikuwa na hatari iliyomfata ndani ya msitu huo. Lakini Draxton alitaka kufanya ionekane kwamba hakujua hilo, ili hatari hiyo ikimfikia aionyeshe kwamba yeye ndiye aliyekuwa hatari zaidi. Alikuwa anatembea huku amekunja ngumi kwa hasira, macho yake yakikazia mbele tu ya safari yake, na ndipo hisi zake zikafanya unywele wake wa shingoni usimame kwa kutambua hatari hiyo kuwa nyuma yake.

Akakwepesha shingo na mwili wake kwa kuinamia upande mmoja bila kugeuka nyuma, na upepo mkali ukampuliza kumpita na kumwonyesha mshambuliaji wake aliyepitiliza mbele yake baada ya kumkosa. Ilikuwa ni mbwa-mwitu mkubwa ndani ya miguu minne tayari, mwenye manyoya yaliyoonekana kuwa ya kijivu mchanganyiko na meusi. Harufu aliyotoa kwa Draxton ilikuwa ngeni, kwa hiyo bila shala huyu hakuwa rafiki kwake.

Akamgeukia Draxton kwa kasi huku akiunguruma, naye Draxton akaweka mkao wa mashambulizi na kubadilika kuwa nusu-mnyama. Mbwa-mwitu huyo akamfata kwa kasi na kujaribu kumrukia tena, lakini Mnyama-Draxton akamkwepa na kufanikiwa kumkwangua na makucha yake kidogo ingawa hakumwachia jeraha kubwa. Ilikuwa wazi kwamba nia ya kiumbe huyo ilikuwa kumuua tu, na kwa Draxton hilo ni jambo ambalo halikuwezekana, hivyo hapo angerudisha upendo aliokuwa ameletewa kwa njia hiyo hiyo ulioletwa.

Mbwa-mwitu huyo akamrukia Draxton na kumtandika kwa nguvu na makucha yake, na Draxton alipokuwa amepaishwa hewani kwa pigo hilo akageuka moja kwa moja na kuwa mnyama kamili, hivyo akatua chini kwa kishindo kikubwa. Mbwa-mwitu adui akamfata tena kwa kasi na kujaribu kumrarua kwa makucha, lakini mbwa-mwitu wa Draxton akageuka na papo hapo kuifata shingo ya adui yake moja kwa moja, kisha akaing'ata na kuinyofoa kwa nguvu. Labda kulikuwa na kelele ya maumivu kutoka kwa mnyama huyo lakini Draxton alichosikia ilikuwa ni sauti ya nyama za kiumbe huyo zilizonyofoka na kurusha damu nyingi hewani, naye akaanguka chini na kutulia baada ya kushtuka-shtuka kwa muda mfupi.

Kidogo tu Draxton akahisi maumivu kwenye bega la mguu wake wa kulia, naye akageuka kwa kasi na kumshambulia mshambuliaji wake wa pili aliyekuwa mbwa-mwitu wa aina ile ile kama aliyetoka kumuua. Alimbamiza mno na kumrarua vibaya sana mpaka alipohakikisha amekata pumzi zake za kinyama.

Akatulia kidogo na kuweka umakini wake vizuri zaidi. Angeweza kusikia miungurumo ya chini kumzunguka lakini hakuwaona maadui zake. Ikawa wazi kwamba miungurumo hiyo ilikuwa mitatu tofauti, kumaanisha mbwa-mwitu wengine watatu walikuwa hapo kumshambulia. Hakujua ikiwa kulikuwa na wengine ila tayari wawili alikuwa amewaua, na kwa sababu alihitaji muda mfupi ili mguu wake ulioumizwa urudishe hali nzuri kumruhusu apambane nao, akaamua kuanza kukimbia upande mwingine ili ajipe muda huo.

Akavuka miti kadhaa huku akisikia namna ambavyo alifuatwa na wanyama-watu hao waliotaka kumwangamiza eti, naye akafikia sehemu yenye uwazi kiasi na kusimama. Ilikuwa ndiyo sehemu sahihi aliyohitaji kuwepo kabisa ili maadui zake wakitokea aweze kuwaona vizuri tofauti na kule alikotoka. Bega la mguu wake lilikuwa linaponyeka taratibu, naye akaunguruma kwa chini kama kutuma ujumbe wa kuwaambia "njooni sasa."

Harufu za mbwa-mwitu watatu tofauti zikamwingia vyema, lakini mbele yake akatokea mmoja tu. Alikuwa anakuja kwa kasi sana, macho ya njano na manyoya meusi kwa meupe, naye akamrukia mbwa-mwitu wa Draxton na kumwagusha chini kwa kuseleleka. Lakini Draxton akaitumia nguvu ya adui yake ya juu na kuigeuzia kwa chini walipokuwa wakiseleleka na hivyo akamwangusha kwa upande, kisha akamkwangua jichoni na kumng'ata kwa nguvu sana sehemu ambayo kwa mtu wa kawaida ingekuwa ni kifua. Alitoa sauti ya kilio cha mbwa mwenye maumivu makali, naye Draxton akasimama na kuanza kumrarua-rarua kwa makucha na meno sehemu mbalimbali kikatili sana mpaka akabaki kuwa mwekundu tu sehemu zote zilizobaki za mwili wake.

Draxton akiwa ameuvaa unyama wake kamili hakuogopa lolote kabisa, na kwenye suala la kuua kwa wakati huu lilikuwa sahihi kwa asilimia zote kwake hasa kutokana na akili yake na hisia za kinyama kuwa na hasira kwa sababu ya kumpoteza Darla. Na kama ni mshenzi aliyemteka malkia wake ndiye aliyekuwa amewatuma na hawa wamzingue basi zawadi nzuri sana kwao ilikuwa ni kifo tu.

Akijua kwamba amebakiza maadui wawili, akageukia upande aliojua wangetokea, naye akawaona wakija kwa pamoja. Lakini hawa hawakuwa wakimfata kwa kasi, bali taratibu bila papara yoyote. Walikuwa wanamfata kwa njia ya kisomi kabisa, yaani mmoja akaenda huku na mwingine kule, bila shaka mmoja amzubaishe halafu mmoja amshambulie. Walipojaribu kumpatia pigo la pamoja wakapulizana tu kwa makucha na kuungurumiana, kisha wakaendelea kuzungukana. Ikabidi mbwa-mwitu wa Draxton atumie muda huu mfupi kuwasoma wawili hawa.

Mmoja alikuwa jike bila shaka kutokana na matiti sita kuonekana kwa chini. Alikuwa anamtazama Draxton kupitia macho ya njano, na alifunikwa kwa manyoya ya kijivu mchanganyiko na kahawia. Masikio yake yalikuwa marefu zaidi ya ukawaida wa mbwa-mwitu
yakikaribia kufika futi moja kabisa. Yule mwingine dume alikuwa na mwili mkubwa zaidi ya jike kama tu Draxton, akiwa na manyoya ya kahawia iliyokoza sana kukaribia weusi, na macho ya njano pia, akionekana kama wale Roguewolf ingawa macho yake kutokuwa mekundu kulipingana na hilo. Alikuwa na domo kubwa lililodondosha udende wa njano, akionekana kuwa mwindaji hatari.

Draxton hakujua ni kwa nini lakini hisia zake zilimwambia kwamba huyo jike ndiye aliyekuwa wa kuchunga zaidi. Hii ingemaanisha kwamba pindi ambapo shambulizi lingeanza ni huyo jike ndiye angetoa kiashirio, kwa hiyo umakini wa Draxton ukawa kwake lakini akataka amfanye afikiri kwamba hakujihadhari naye.

Akamrukia dume na kumfanya akwepe, na yule jike kwa kudhani mbwa-mwitu wa Draxton hamjali, akajipeleka kwake kwa kasi, naye Draxton akageuka upesi na pigo la chini lililofanya amkwarue tumboni na kuyanyofoa matiti yake matatu, kisha akamrusha pembeni. Jike huyo aligaagaa kwa maumivu chini hapo, na yule dume akamfata Draxton kwa nguvu na kuanza kupigana naye kwa fujo.

Walipigana bila mpangilio, damu zikiruka tu hewani na kuunguruma kwingi kukisikika, na mwishowe mbwa-mwitu wa Draxton akaibuka na ushindi baada ya kuinyofoa taya yote ya chini ya adui yake. Akaunguruma kwa nguvu na kumfata yule jike, ambaye bado alikuwa chini akiwa amejikunja na damu ikimtoka sehemu aliyoumizwa. Alikuwa anatoa sauti ya kulia kama mwanamke kabisa ingawa bado alikuwa ndani ya umbo la mnyama.

Badala ya kummalizia, akili ya Draxton ikamwambia mnyama wake aachane naye tu, kwa kuwa alihitaji kuwahi kurudi nyumbani baada ya haya yote. Alihisi hatari iliyokuwepo baada ya shambulizi hili, hatari ambayo labda ilikuwa imeshawafikia watu wake, lakini hakutaka iwe hivyo. Akachomoka upesi na kuanza kurudi alikotoka akiwa ndani ya umbo lake la mnyama kabisa.

Alikimbia na kukimbia huku akijitahidi kufuata harufu ambayo ingemrudisha maeneo waliyoishi, naye alipoyakaribia akasimama mitini kwanza na kutazama eneo la nyumba zao. Lilionekana kuwa na magari matatu kama siyo manne ya mapolisi, na baadhi ya watu walioishi maeneo hayo walikuwa nje wakionekana kushuhudia tukio fulani.

Draxton akajigeuzia upesi na kurudia hali yake ya ubinadamu, kisha akaelekea huko kwa tahadhari na kufanikiwa kuingia ndani ya nyumba ya Mark bila kuonwa; akipitia dirishani alikozoea kupitia Darla. Alikuwa amechafuka na bila nguo hata moja mwilini, hivyo akaingia bafuni haraka na kujisafisha bila kuwasha taa yoyote, kisha akatoka na kuvaa nguo upesi pamoja kofia ya kuficha nywele zake nyeupe. Alifanya mambo haraka sana, naye akatoka tena kupitia dirishani na kuzungukia upande mwingine ili aende pale kwenye nyumba ya Darla kujua ni nini kilikuwa kimetokea.

Hisia mbaya zilikuwa zimeshamjaa, naye alipofika usawa huo akasimama nyuma ya watu na kuitazama nyumba ile. Kwanza kabisa, gari la Darla lilikuwa nje hapo. Hii ilimshangaza kwa sababu alikumbuka kwamba liliachwa kule hospitali muda ule Darla kachukuliwa, na hata funguo za gari zilikuwa pamoja na mwanamke yule.

Mlango wa kuingilia nyumba ya Darla ulikuwa umebomoka, na hata aliweza kuona alama za makucha zilizokwangua gari la Darla na baadhi ya sehemu za vioo vyake kupasuka. Akawa anawasikia maaskari wakiongea kuhusu mambo ambayo mashuhuda wa tukio walikuwa wamesema, kwamba kuna vitu kama wanyama vilikuwa vimeingia sehemu hiyo na kusababisha uharibifu huo, na haikujulikana kama kulikuwa na watu ndani.

Maafisa walikuwa wanachukua rekodi za mambo yote ya hapo ili waanze kufuatilia undani wa kisa hicho na kuhakikisha usalama wa eneo hilo unadumishwa. Draxton akajitahidi kuvuta harufu yoyote kutokea mule ndani lakini hakupata yoyote kati ya zile alizofahamu za watu wake, na kiukweli alikuwa ameshindwa kujua afanye nini. Huenda angehitaji kwenda hospitalini kule kumtafuta Mark ikiwa kwa njia moja au nyingine alikuwa huko, na kufanya hivyo kungehitaji usafiri.

Gari lake Mark lilikuwepo pale nje ya nyumba alipoliacha Draxton. Ilionekana kama tukio lililoikumba sehemu hiyo halikucnukua muda mrefu sana, na maaskari walikuwa wanataka kufanyia uchunguzi nyumba ya Mark pia, hivyo Draxton akaona kwenda hapo kuchukua gari isingekuwa wazo zuri. Akafikiria labda arudi tu ndani mule tena ili aweze kuchukua simu kwa sababu alisahau kufanya hivyo, lakini ikawa kuchelewa baada ya magari mengine mawili ya polisi na matatu ya watu binafsi kufika hapo na kusimama usawa wa nyumba ile.

Walishuka wanaume kadhaa waliovalia kwa unadhifu wa suti, nao wakaanza kuzungumza na maaskari waliokuwepo huku wale wengine wakienda kuichunguza nyumba ya Mark. Kwa kuweka umakini mzuri, Draxton aliweza kutambua kwamba mmoja kati ya wale wanaume nadhifu waliofika alikuwa ndiyo diwani au meya wa mji huo (Mayor). Aliitwa Tyler Busch, na ndiyo akawa akiwaambia watu wake wasafishe haraka kila kitu hapo ili tukio hilo lisifike mbali sana.

Watu wa ujirani waliokuwepo hapo wakaombwa kurudi majumbani mwao na kuhakikishiwa kuwa kila jambo lingekuwa sawa, naye Draxton akaitumia nafasi hiyo kuanza kuondoka pamoja nao. Alihakikisha kofia inauficha vyema uso wake, naye akaelekea upande wenye miti na kutulia hapo kwanza.

Ilionekana kama hakukuwa na mtu mwingine aliyesalia wa kuweza kumsaidia achukue hatua yoyote kati ya zozote ambazo zingefaa ili kurekebisha hali hii. Bila shaka kama Darla alikuwa amekamatwa na yeye Draxton kushambuliwa muda mfupi nyuma, hiyo inamaanisha wengine pia walikuwa wamefikiwa. Hali aliyoikuta pale nyumbani ilithibitisha hilo. Mark, Edmond, Gianna, na labda hata Aysel walikuwa wamekumbwa na mambo hayo yaliyokuja ghafla sana.

Ila Draxton asingekaa kujinung'unikia tu kama mvulana mdogo. Akajiweka sawa kiakili, kisha akaanza kutembea. Alipita usawa wa barabara ya lami na kuelekea upande ule ambao rafiki yake Darla alifanyia biashara yake ya mgahawa, yule mwanamke mtu mzima aliyeitwa Megan. Hakujua kama na yeye alihusishwa na mashambulizi haya, lakini alijua anaweza kumwamini kumpatia msaada wa jambo alilofikiria kufanya, kwa kuwa Darla alimwamini mwanamke yule, kwa hiyo safari yake kuelekea huko ikaendelea.

★★

Mwendo wa dakika kama 40 ukamfikisha Draxton eneo lile la mgahawa, naye akaelekea ndani ya mgahawa ule moja kwa moja bila kuyajali magari aliyoyakuta nje hapo. Alipoingia tu ndani, akatulia kwanza na kuangalia sehemu hiyo.

Palikuwa pamejaa wateja, wengi, ambao walikuwa wanakula na kuzungumza kwa uchangamfu, lakini mara ghafla kote kukawa kimya nao wakamgeukia Draxton na kumwangalia. Draxton alivuta harufu nyingi za ajabu tu kutoka kwa watu hao, na ilionekana kama ujio wake hapo uliitia dosari sehemu hiyo; kama mgeni asiyekaribishwa. Kulionekana kuwa na wahudumu kadhaa wakati huu, nao wakawa wanamwangalia pia. Wengi wa wateja walikuwa wanaume wazungu wenye ndevu nyingi na wanawake wenye mvuto walioonekana makini kweli, na ndipo Megan akaonekana akija upande wa Draxton upesi.

"Follow me (Nifuate)."

Mwanamke huyo akamwambia hivyo na kuanza tu kuondoka tena, naye Draxton akaanza kumfuata huku macho mengi yakiendelea kutembea naye. Hakuwajali hata kidogo, kwa kuwa alimkazia fikira zaidi Megan. Mwanamke huyo alikuwa amevaa blauzi iliyoacha mgongo wake wazi, kikaptura cha jeans kifupi sana kuishia mapajani na mabuti marefu ya kike ya kuchuchumia yenye rangi nyekundu.

Akamwongoza mwanaume mpaka kufikia kwenye milango miwili myekundu na kuipita, kisha wakaingia ndani ya chumba binafsi kilichokuwa na mandhari ya kike zaidi. Draxton akasimama tu na kutulia, akisikia namna ambavyo Megan aliufunga mlango wa chumba hicho na kisha akamfata mpaka aliposimama.

"What happened? (Nini kimetokea?)" Megan akamuuliza kwa sauti ya chini.

"We were attacked. They took Darla... and the others probably (Tumeshambuliwa. Wamemchukua Darla.. na wengine nadhani)," Draxton akasema kwa huzuni.

“Oh no! This attacking is an issue (Oh hapana! Hili shambulizi ni ishu kubwa)" Megan akamwambia.

"I have to find them before anything happens. Help me get to them (Nahitaji kuwapata kabla lolote halijatokea. Nisaidie kuwafikia)."

"It's really hard now, and dangerous. The Alpha has been looking hard for Darla. They... they're everywhere. I can't move (Ni ngumu sana sasa, na hatari. Yule Alpha amekuwa akimtafuta Darla kwa nguvu. Wapo.. wapo kila sehemu. Siwezi kutoka)," Megan akasema.

“He’s here? (Yuko hapa?)” Draxton akauliza kwa umakini.

“Not him, but some of his pack members (Siyo yeye, ila baadhi ya walio kwenye kundi lake)."

"Very well. I'll need to have a good chat with one of 'em (Vizuri. Nitahitaji kufanya maongezi mazuri na mmoja wao)," Draxton akasema hivyo kwa hasira kiasi na kuonyesha anataka kugeuka.

Megan akaushika mkono wake na kusema, "Don't do that! (Usifanye hivyo!)."

Draxton akautoa mkono wake kwa mwanamke huyo na kusema, "There is a good chance for me to know where they are keeping my friends from these idiots. I'm not gonna ask for it, I'm going to squeeze the truth out of 'em (Uwezekano mzuri wa mimi kujua walipowaficha marafiki zangu upo ikiwa nitawauliza hawa wapuuzi. Na siendi kuwaomba waseme, naenda kuukamua ukweli kutoka kwao)."

"Robby doesn't know I helped Darla escape once. If he does... (Robby hajui nilimsaidia Darla amtoroke kipindi kile. Akijua..)"

"So what? I'm an Alpha too, why are you so afraid of him? (Kwani nini? Mimi pia ni Alpha, kwa nini unamwogopa sana?)"

"He's still my Alpha, not you. To help Darla escape was very risky at first and I was betraying my pledge to him. If he finds out he might kill my brother and sister too... they are working for him (Yeye bado ni Alpha wangu, siyo wewe. Kumsaidia Darla atoroke mwanzoni ilikuwa hatari na nilikuwa nasaliti kiapo changu kwake. Akijua anaweza pia kuwaua kaka na dada yangu... wanamfanyia kazi)," Megan akamwambia.

"You said you care a lot for Darla. Now you going to leave her suffer? (Ulisema unamjali sana Darla. Sasa hivi utamwacha tu ateseke?)"

"Of course not. But am not gonna do something that will endanger others. You are very rash and brave, but he's still stronger than you. He's provoking you (Bila shaka hapana. Ila sitafanya jambo ambalo linaweza kuwaweka wengine hatarini. Wewe uko makini na jasiri lakini bado yeye ana nguvu kukuzidi. Anakujaribu makusudi)," Megan akamwambia.

"Fine. I'm sorry for disturbing you. I'll find Darla on my own so you don't need to worry about a bug on your tail (Sawa. Samahani kwa kukusumbua. Nitamtafuta Darla peke yangu ili usiwaze kuhusu kufatiliwa na yeyote)," Draxton akasema.

"Actually about that... you can't leave yet. Not until all are gone because of the scent you have (Kuhusu hilo... hauwezi kuondoka kwa sasa. Ni mpaka hao wote waondoke shauri ya harufu uliyonayo)."

"I don't smell like a wolf (Huwa sitoi harufu kama mbwa-mwitu)."

"No, it's Darla's. It's all over you. If I’m picking it up, so is everyone here (Hapana, ni ya Darla. Iko tele mwilini mwako. Kama mimi nimeweza kuivuta, hata wao wanaweza)."

Draxton akamtafakari mwanamke huyu kwa ufupi, naye akatazama tu chini kuonyesha ameelewa.

"Just stay here and I'll see to nobody trying to bother me for a peep (Kaa tu humu nikahakikishe hakuna mtu anajaribu kunisumbua ili wachungulie huku)," Megan akamwambia.

Akatoka ndani hapo na kwenda huko kufanya jambo hilo, naye akarejea na kuutia mlango kifungo kwa funguo na kumkuta Draxton akiwa amesimama vile vile.

"Looks like you are in for a long night here Draxton. The place is packed, and it wouldn't be safe to just kick everyone out as much as you leaving now wouldn't (Inaonekana utakuwa hapa kwa muda mrefu Draxton. Yaani pamejaa, na haitakuwa salama kuwafukuza hawa watu kama tu wewe kuondoka sasa hivi haitakuwa salama)," Megan akamwambia.

"Safe for you? (Usalama kwako?)" Draxton akamuuliza.

"Yeah (Ndiyo)."

"I came in past all of them. You telling me they don't know who I am? (Nimeingia hapa kwa kuwapita. Unataka kusema hawanijui?)"

"They can be curious and maybe guess, but they are not sure (Wanaweza kuhisi na labda kukisia, lakini hawana uhakika)."

"How do you know? I was attacked by five of them in the woods and they seemed pretty sure. If they got Darla's scent when I came in that means they already know, and probably are gonna hurt you too if... (Unajuaje? Nimeshambuliwa na watano kule mitini na walikuwa na uhakika kabisa. Kama wameipata harufu ya Darla wakati naingia inamaanisha wanajua, na labda wanaweza hata kukuumiza ikiwa...)"

"Draxton listen to me. We can fix that. We can cover that scent (Draxton nisikilize. Tunaweza kurekebisha hilo. Tunaweza kuificha hiyo harufu)," Megan akamwambia.

"How? (Kivipi?)" Draxton akauliza.

"We... we should have sex (Tunapaswa kufanya mapenzi)," Megan akasema.

Draxton akamshangaa. "Is that the only way? Can't I just rub some soap and honey on my body? (Ndiyo njia pekee hiyo? Kwani siwezi tu kujipaka sabuni na asali mwilini?)"

"You know it won't work. Look, I can handle myself smelling like your human scent, but her scent mixed with mine on you would confuse them (Unajua haitafanya kazi. Ona, ninaweza kujiweka sawa hata nikinukia kama harufu yako ya kibinadamu, lakini harufu ya Darla mchanganyiko na yangu mwilini mwako itawachanganya)," Megan akamwambia.

"I can't believe you would suggest that. Darla is your friend, and she's my mate (Siamini kwamba unaweza kupendekeza jambo hilo. Darla ni rafiki yako, na yeye ndiyo mwenzi wangu)," Draxton akasema.

"It's not just about that. Draxton... I want to be a part of your pack. I need you to claim me too (Siyo kuhusu hilo tu. Draxton... nataka kuwa sehemu ya kundi lako. Nahitaji unimiliki)," Megan akamwambia.

"Why? (Kwa nini?)"

"For the same reason. I wanna be free. And I will be able to fully help you find Darla when I'm free from Robby's pack (Kwa sababu ile ile. Nataka kuwa huru. Na nitaweza kukusaidia kwa asilimia zote kumpata Darla nikiwa huru kutoka kwenye milki ya kundi la Robby)," Megan akamwambia.

"What about the people of your family? (Vipi kuhusu watu wa familia yako?)"

"I'll find a way to protect them after you claim me. Important for the save for now is Darla (Nitatafuta njia ya kuwalinda ukishanimiliki. Darla ndiyo wa muhimu kwa sasa kwa ajili ya kuokoa)," Megan akamwambia.

Draxton akatazama pembeni kwa mkazo.

"Where was she when they took her? (Alikuwa wapi walipomchukua?)" Megan akauliza.

"At the hospital. She told me that they won't bother her now as I had claimed her, so we went there together to check on Mark. They tricked me and grabbed her. It was all my fault and if she goes through the same hell she had before I'll never forgive myself. But I'm gonna kill that guy if he touches her, I don't care what he can do. He hasn't had the chance to meet me yet, and when he does, he's gonna regret it (Hospitalini. Aliniambia hawangemsumbua tena kwa kuwa sasa nilimmiliki, kwa hiyo tukaenda pamoja kumwangalia Mark. Wakanifanyia mchezo na kumkwapua. Yalikuwa makosa yangu na ikiwa atapitia magumu kama aliyopitia zamani sitaweza kujisamehe. Lakini nitamuua huyo mtu ikiwa atamgusa, sijali anaweza kufanya nini. Bado hajapata nafasi ya kukutana na mimi, na atakapokutana nami atajuta)," Draxton akasema kwa hisia kali.

"Robby doesn't care about the rules because he thinks he is the rules, so he'll do anything he wants. Listen Draxton. We're doing this for her, and you are going to save her. Okay? (Robby hajali kuhusu sheria zetu kwa sababu anajiona kuwa sheria zenyewe, kwa hiyo atafanya chochote anachotaka. Sikiliza Draxton. Tunafanya hivi kwa ajili yake Darla, na wewe utamwokoa tu. Sawa?)" Megan akamwambia kwa uhakikisho.

Draxton akamtazama tu usoni kwa hisia, siyo za kujali bali kuchoka kihisia, naye akasema, "I need a minute (Nahitaji dakika moja)."

Alimaanisha anahitaji utulivu wa akili kwa muda mfupi, naye akasogea pembeni na kukaa juu ya kabati ndogo ya droo baada ya kuvua kofia; akiweka kiganja chake usoni kuonyesha amechoka sana. Na ni kweli alikuwa amechoka. Alimwaza sana Darla, hasa kwa kuwa muungano wake na mwanamke yule kwa sasa ulikuwa wenye nguvu zaidi, naye akajaribu tu kumwita tena kwa kutumia akili.

Megan alikuwa amesogea mlangoni na kutazama kupitia tobo dogo la mlango, kisha akatoka hapo na kumwangalia Draxton.

"Darla please..."

Draxton aliita hivyo, wakati huu akiwa ameongea kwa sauti kabisa baada ya kujaribu mara nyingi sana kupitia akili na kukosa kujibiwa, na baada ya Megan kumsikia akaamua kumsogelea karibu na kumshika begani.

"Hey, what are you doing? (Vipi, unafanya nini?)" Megan akamuuliza.

"It's um... I can talk to Darla through my mind. It is a... (Ni... ninaweza kuzungumza na Darla kupitia akili. Ni...)"

"Telepathic link between true mates (Muungano wa kiakili baina ya wenzi wa kweli)," Megan akamkatisha.

Draxton akamtazama.

"You have that with Darla? (Una hiyo kitu na Darla?)" Megan akamuuliza.

"Yes. But now I'm not able to reach her mind... I don't know what that means or why it's happening, but it worries me (Ndiyo. Ila sasa nashindwa kuifikia akili yake.. sijui hiyo ina maana gani au kwa nini inatokea lakini inanipa wasiwasi)," Draxton akasema.

Megan akaonekana kutafakari suala hilo, kisha akavishika viganja vya Draxton na kumwambia, "Seems there's much Darla has neglected to teach you. You see there is a way to boost up your connection with your mate regardless of how far from one another you are (Inaonekana Darla hajakufundisha mengi. Unajua kuna njia ya kuongeza nguvu ya mawasiliano yenu haijalishi umbali mnaoweza kuwa)."

"You think the distance is the problem? (Unafikiri kwamba umbali ndiyo tatizo?)"

"It could be, cause in many cases it is (Inaweza ikawa, kwa sababu kwa visa vingi ndiyo huwa sababu)."

"What's the way? (Ni njia gani?)"

"There are ingredients to making a special potion that you have to drink, then I will use my power to channel the connection to Darla immediately (Kuna viungo fulani vya kutengenezwa dawa maalumu ambayo unatakiwa kunywa, kisha nitatumia nguvu yangu kukuunganisha na Darla upesi sana)."

"Your power? (Nguvu yako?)"

"Yeah. I have a special ability which allows me to siphon wolf energy around me, and that means I must be connected to you too to make this channeling work. You have to claim me first Draxton (Ndiyo. Nina uwezo wa pekee wa kujizungushia nishati za mbwa-mwitu kando yangu, na hii inamaanisha natakiwa kuwa na uvutano pamoja nawe pia ili kuwezesha muungano ule ufanye kazi. Unatakiwa unimiliki kwanza Draxton)."

"And then? (Baada ya hapo?)"

"I'll make the potion. There are four ingredients, but I only remember three and I got them here. You can help me find out about the remaining one from a book that was written on werewolf fantasy, I don't know it's name. But I'm sure it's gotta be in the town's library (Nitaitengeneza hiyo dawa. Kuna viungo vinne, ila ninakumbuka vitatu tu na ninavyo hapa. Unaweza tu kunisaidia kuijua iliyobakia kutoka kwenye kitabu kilichoandikwa masuala ya watu-mwitu ya kubuniwa, sijui jina lake. Ila najua kitakuwa kwenye maktaba ya mjini)."

"I'm confused Megan. You remember a book that has something you forgot written in it? (Nimechanganywa Megan. Unakumbuka kitabu kilichoandikiwa kitu ulichosahau?)"

"I read it long ago. Though it's fiction but most of the things written in there carry a certain amount of truth about our kind. It's as if the writer had lived with our kind once (Nilikisoma zamani. Ingawa imebuniwa tu lakini mengi ya mambo yaliyo mule yamebeba kiasi fulani cha ukweli kutuelekea. Ni kama huyo mwandishi aliishi na watu wa aina zetu kwa kipindi hicho)."

"Yeah, Mark said the same thing. Can't you Google it up? (Ndiyo, hata Mark alisema kitu kama hicho. Hauwezi kiitafuta Google?)"

"My laptop's dead, and even if it wasn't the reception here is pretty lazy. I don't got a phone either, do you? (Laptop yangu imekufa, na hata kama ingekuwa nzima huku mtandao ni wa kizembe. Sina simu pia, wewe unayo?)"

"I didn't pick it up before I left Mark's house (Sikuichukua nilipoondoka kutoka kwenye nyumba ya Mark)."

"It's a dead beat with that. You just have to go to the library tomorrow morning, it's probably closed by now (Hapo hakuna matokeo chanya. Unatakiwa tu uende kwenye maktaba kesho asubuhi, sasa hivi patakuwa pameshafungwa)."

"What if we fail to achieve anything with this? (Vipi tusipofanikiwa kupata matokeo yoyote kwa kufanya jambo hili?)"

"We don't got many options. It's why we have to try. If it works, maybe you can communicate with her and she might tell us where they are keeping her... (Hatuna njia nyingi. Ndiyo maana tunapaswa kujaribu. Ikiwa itafanikiwa, labda unaweza kuwasiliana naye na yeye akatuambia wapi wamemweka...)"

"You really have no idea where they could be keeping her? (Yaani hauna hata wazo moja la ni wapi watakuwa wamemweka?)" Draxton akamuuliza.

"Robby has many places, some of which I don't know of. I didn't even know they captured her. I just hope... (Robby ana sehemu nyingi, baadhi ya hizo ambazo hata sizifahamu. Hata sikujua kama wamemkamata Darla. Natumaini tu kwamba...)"

Megan akaishia tu hapo na kuanza kudondosha machozi. Draxton akahuzunika pia, naye akamkumbatia; akikilaza kichwa cha mwanamke huyo kwenye kifua chake.

Sasa mwanaume alikuwa na kazi nyingine ya kufanya ili apate kile alichokihitaji. Kumpata mwenzi wake kwa uharaka ingetakiwa ajiunganishe na mwanamke huyu mwingine, na kiukweli hilo lilizidi kumfanya ajione kuwa adui yake yeye mwenyewe kutokana na kupingana na aina ya mtu aliyekuwa kihalisi. Lakini angefanya nini? Kama ndiyo suluhisho la haraka ambalo lingemsaidia, basi angepaswa kuridhia tu kummiliki na Megan pia. Shughuli alikuwa nayo!



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
Thanks tony! Ungetuekea hata 3 kufidia ulivyopotea lolz[emoji16]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA SITA

★★★★★★★★★★★★★★★★


Akiwa ameendelea kumshikilia Megan kwa kumbatio kifuani kwake, Draxton akaanza kuhisi kwamba Megan alikuwa anaivuta harufu ya Darla mwilini mwake kwa njia fulani kama inamkera, kama tu kuonyesha kwamba jike hapendezwi kuvuta harufu ya jike mwingine kwenye mwili wa dume, naye Draxton akamwachia na kurudi nyuma. Megan akajifuta machozi na kushusha pumzi ndefu, huku akimtazama jamaa kwa umakini.

Draxton akafumba macho kwa ufupi, halafu akaishika T-shirt aliyovaa kwa chini na kuivuta juu kwa nguvu mpaka yote kuitoa, naye akairusha pembeni na kumwangalia Megan. Bila shaka mwanamke huyo alikuwa na hamu ya kile ambacho kingefuata kutokana tu na namna alivyokitazama kifua cha mwanaume, naye Draxton akamfata na kumshika kiunoni kwa mkono mmoja, kisha akamvutia kwake baada ya kuupitilizisha mgongoni na kuanza kumbusu mdomoni taratibu.

Mwili wa Megan ulitoa joto la kadiri lakini Draxton alipoendelea kuinyonya midomo yake ndiyo likaanza kuongezeka, na mwanaume akaanza kuhisi pumzi za Megan zinatetema kwa kufululiza utadhani upepo wa jenereta. Akaacha kumbusu na kumtazama kwanza, na mwanamke huyo alionekana kuwa na ulegevu uliopitiliza machoni mwake ingawa hakulegea kimwili.

"You okay? (Uko sawa?)" Draxton akamuuliza.

Megan akatoa pumzi mbili tatu, kisha akasema, "There is something you should know before we continue (Kuna kitu unatakiwa ujue kabla hatujaendelea)."

"Go on (Niambie)," Draxton akasema.

“I am a very different type of wolf... close to being a human-fox (Mimi ni mbwa-mwitu tofauti sana... ninakaribiana na mtu-mbweha)," Megan akamwambia.

"You're half-wolf, and half-fox? (Wewe ni nusu mbwa-mwitu, na nusu mbweha?)" Draxton akauliza.

"You can put it that way. It is why I have that power (Unaweza kuiweka kwa njia hiyo. Ndiyo sababu nina ile nguvu)," Megan akamwambia.

"Okay. So what is it? (Sawa. Kwa hiyo vipi?)"

"My body is different. Whatever energy force hits me, I need to have it all. For you that means the sexual energy. For me it's like opening a gate for more power. Every nerve of arousal in me should be laced with power, so you will have to make sure I'm fulfilled in order to claim me (Mwili wangu uko tofauti. Nahitaji kuipata kikamili kani yoyote ya nishati inayoniingia. Kwako wewe ni nishati ya kimahaba. Kwangu mimi ni kama kufungua geti kwa ajili ya nguvu zaidi. Kila mshipa wa mhemko ndani yangu unahitaji kujazwa nguvu, kwa hiyo utatakiwa kuhakikisha ninajazwa ili uweze kunimiliki)."

Megan aliongea maneno hayo kwa utulivu sana, naye Draxton akawa anayatafakari kwa kina. Kummiliki mwanamke huyu kusingekuwa kama ilivyokuwa kwa Gianna ambaye alihitaji kuguswa kidogo tu; huyu alihitajika kufikishwa sehemu ambayo yeye mwenyewe alitakiwa kuomba po kabisa.

"Do you understand? (Unaelewa?)" Megan akamuuliza kwa sauti ya chini.

Draxton akatikisa kichwa kuonyesha uelewa, naye Megan akapitisha kiganja chake kichwani kwa mwanaume na kuanza kuzichezea nywele zake taratibu. Kisha akairudisha mikono yake nyuma kwa pamoja usawa wa shingo yake, naye Draxton akakiachia kiuno cha mwanamke huyo na kuendelea kumtazama kwa ukaribu.

Megan alikuwa anafungua nguo yake ya juu, na baada ya kuifungua mikanda akaiachia na kufanya idondoke chini huku akijilamba midomo. Ngozi yake ilikuwa na ule weupe uliopitiliza, yaani hata akifinywa kwa wepesi tu ingebadilika kuwa nyekundu. Alikuwa na mwili wenye mikunjo mingi lakini uliotunzwa vyema, akibeba matiti makubwa yenye chuchu nyekundu zilizokuwa nene haswa.

Hamu ya kinyama ya Draxton ikaanza kupanda zaidi, naye akamwangalia mwanamke huyo alipokuwa ameanza kuivua kaptura yake kwa kuishusha chini. Akaitoa yote na kubaki na yale mabuti marefu pekee, jambo lililoonyesha kwamba hakuwa amevaa chupi wala sidiria mwilini; labda shauri ya joto au ilikuwa kawaida yake. Kitoweo chake kilipambwa kwa vinyweleo vilivyopunguzwa kiasi kwa juu kama kukipa kivuli, na harufu yake ikamfanya Draxton afumbe macho na kukaza meno kwa kupandwa na hamu.

“Pretty hot, huh? (Wa moto sana eh?)”

Megan akamsemesha maneno hayo huku akitabasamu kwa mbali, naye Draxton akamwangalia. Mwanamke huyu akaishika sehemu ya kati kwenye kaptura ya Draxton na kuhisi namna ambavyo palikuwa pametuna, naye akajilamba midomo tena. Inaonekana ilikuwa ndiyo njia yake ya kuonyesha kwamba amependezwa na jambo fulani.

"Are you ready? (Uko tayari?)" Draxton akamuuliza.

Macho yenye udhahabu ya Megan yakang'aa rangi ya kijani kwenye lenzi zake, naye akasema, "Now that we are here, I want this more than anything in the world. Give it to me (Kwa kuwa sasa tumefikia hapa, nalitaka hili jambo zaidi ya kitu kingine hapa duniani. Nipatie).”

Maneno yake yalikuwa yamemfungulia mlango Draxton wa kufanya kilichotakiwa kufanywa hapo, akihisi kupata ruksa ya kufungua koki ya bomba lake ili aanze kummwagia maji mwanamke huyu, naye akajiachia na kuingia katikati ya badiliko lake. Nywele zikarefuka zaidi, ngozi ikabadilika, makucha yakatoka, naye akamkazia mwanamke huyo macho yake ya blue huku akiunguruma kwa sauti ya chini.

Megan akaunguruma pia kimchezo, naye akaishusha bukta ya Mnyama-Draxton huku akichuchumaa taratibu. Mashine ya mwanaume iliyovimba kwa nguvu nyingi ikawa wazi mbele yake, naye Megan akatoa mguno fulani kwa sauti ya mbweha na kumwangalia jamaa. Kisha akasimama na kumfata Draxton mdomoni, akianza kumbusu kwa njia yenye papara sana mpaka Draxton akawa anashindwa kumrudishia denda vizuri.

Mwishowe akatumia nguvu na kumshika mikono ili kumtuliza, na ndipo amemwangalia vizuri akamshangaa kiasi. Ngozi yake Megan ilikuwa imebadilika rangi pia, lakini yake ilikuwa ya blue-bahari iliyofifia fulani hivi. Masikio yake yalikuwa yamerefuka zaidi na nywele zake nyekundu zilikuwa zimerefuka pia kufikia kwenye miguu, na Draxton akatambua pia kwamba mkia ulikuwa umemtoka mwanamke huyu. Akayaangalia macho yake, yaliyokuwa ya kijani katikati ya uso wake wa blue-bahari, na Megan alikuwa anapumua kwa njia yenye hamu sana huku meno yake makali yakionekana kwa mbali.

"I told you I was different (Nilikwambia niko tofauti)."

Megan akazungumza maneno hayo kwa njia fulani ya kutoa pumzi kali (hissing), naye Draxton akaacha kumkaza sana na kumshika usoni kwa kujali.

"It's okay. You're okay. Just relax. And I'll give it to you (Ni sawa. Hauna baya. Wewe tulia tu. Na mimi nitakupatia)," Draxton akamwambia.

Megan akaonekana kuyatilia maanani maneno ya Draxton, na mwanaume akashusha mikono yake mpaka mapajani kwa bibie na kumnyanyua kwa nguvu; akimpakata kwa kuyashikilia makalio yake manene kiasi. Megan akawa ameishika shingo ya Draxton huku akimwangalia kwa umakini, na jamaa akaanza kutembea naye mpaka alipoufikia ukuta na kumbamiza hapo, jambo lililotoa mguno kutoka kwa mwanamke huyo.

Kisha Draxton akapiga goti moja chini na kuuachia mguu mmoja, mwingine akiushikilia kwa kuunyanyua juu kama kuutandaza ukutani, halafu akaingiza kichwa chake katikati ya mapaja ya Megan na kuanza kukinyonya kitoweo cha mwanamke huyo. Megan akaanza kutetemeka na kuzivuta-vuta nywele nyeupe kichwani kwa Draxton, huku mkia wake ukipiga-piga ukuta kwa kushtua mara kwa mara.

“Oouh... what a long tongue you have (Oouh.. una ulimi mrefu kweli)."

Megan akatoa kilio hicho kwa sauti yake iliyokuwa imebadilika kuwa nyembamba zaidi, na alikuwa akitetemeka bila mpangilio kadiri sauti zake za miguno ya mahaba zilivyoendelea kuongezeka. Megan alirefusha makucha yake pia, naye akawa amefikia hatua ya raha iliyomfanya aanze kumkwangua Draxton mabegani, mkononi na mgongoni, naye Draxton akaunguruma na kusimama kwa kasi.

Megan akamtishia kumng'ata usoni lakini Draxton akamkandamiza zaidi ukutani, akielewa kwamba mwanamke alikerwa na kitendo cha yeye kusitisha kumwingizia nishati ile ya ulimi, lakini Mnyama-Draxton alikuwa na nia ya kumwingizia nishati kali zaidi ya hiyo wakati huu.

Akawa anamwangalia jinsi alivyocharuka kutaka apewe penzi, naye akauliza, "Would it kill you to relax? (Itakuua ukitulia?)"

“I haven’t had sex in so long Draxton. Robby was never satisfying either. The moment I saw you though, I knew there was something about you that just needed to be in me (Sijafanya mapenzi kwa kitambo kirefu Draxton. Robby hakuwahi kuwa mwenye kuridhisha pia. Ila mara ya kwanza nimekuona tu, nilijua lazima uwe na kitu ambacho kilitakiwa kuingia ndani yangu)," Megan akaongea kwa hamu kubwa.

Mnyama-Draxton akatabasamu kwa kiburi, kisha akasema, "Well score one for me (Basi hiyo ni kama goli moja kwangu)."

"Please Draxton... I need you inside of me... please (Tafadhali Draxton... nakuhitaji ndani yangu.. tafadhali)."

Draxton akaona aache kumtesa dada wa watu, naye akauachia mkono wake mmoja. Papo hapo Megan akaushusha mpaka kwenye mashine ngumu ya jamaa na kuielekeza ndani ya pango lake takatifu, kisha akaanza kuiingiza bila hata kuilainisha. Akanyanyua na mguu mmoja kabisa, naye Draxton akaushikilia pajani huku akiling'ata sikio la mwanamke huyo, naye Megan akaizamisha mashine ndani yake huku akiguna kwa kutetemeka. Alitulia kwanza namna hiyo akiwa ameuelekeza uso wake juu, akiwa kama amepigwa na kitu kizito mno, naye Draxton akaanza kuchezea matiti ya Megan kwa kuyavuta na kuyakwaruza kwa makucha yake.

Megan akawa anajipa muda mfupi kuizoea mashine ya mwanaume kwa kujipandisha na kujishusha taratibu, na Mnyama-Draxton akapitisha mkono wake mwingine kwenye mguu uliosimama wa Megan na kumbeba kabisa huku akiwa ndani yake bado. Akaanza kumshusha na kumpandisha, taratibu mwanzoni, kisha akaanza kuongeza mwendo wa kumsugua namna hiyo huku akiinyonya shingo ya mwanamke huyo. Megan alipagawa haswa. Alitoa miguno na maneno mengi kuonyesha raha aliyopata, naye aliomba iongezwe zaidi na zaidi.

Baada ya daikika kama kumi za kumsugua namna hiyo, Draxton akampeleka upande wenye kitanda na kumtupia hapo kwa nguvu, nao wakaanza kupigana kwa njia ya unyama. Wangeng'atana, wangelambana, wangekwanguana, kisha Draxton akamgeuza mwanamke na kumwingia kutokea nyuma, yaani Megan akipiga magoti huku ameinama na Draxton akianza kumsugua huku amepiga magoti nyuma yake.

Alimbamiza haswa huku amezivuta nywele ndefu za mwanamke huyo, na kalio la Megan likawa linanesa tu na kutoa sauti za juu kama linapigwa makofi mazito. Aliunguruma kwa mikwaruzo mingi mwanamke huyo, na inaonekana alijiendesha vyema sana kutopitiliza kuwa mnyama kabisa kama tu Draxton. Joto liliongezeka sana lakini Megan alitaka liongezeke zaidi. Mkia wake ukawa unampiga Draxton hapa na pale, naye hakusitisha kumsugua mbweha-mwitu huyo mwenye rangi ya blue-bahari.

Maneno na malalamiko hayakumwisha mwanamke huyo, naye Draxton akaanza kuhisi kwamba sehemu ambayo Megan alihitaji kufikishwa ilikuwa karibu kwa kuwa nguvu ya mwanamke huyo ilikuwa inaivuta nguvu ya Draxton kwa kasi sana. Lakini Draxton hakupumzika. Ndiyo akaunyanyua kabisa mguu mmoja wa Megan na kumpamia vizuri zaidi ili mashine yake imbamize vyema kabisa ndani kwa ndani, naye Megan akazidiwa kupita maelezo.

Ndipo Draxton akaanza kuhisi jinsi kitoweo cha Megan kilivyoibana zaidi mashine yake na mwanamke huyo kuanza kuongeza fujo zake. Akielewa hilo linamaanisha nini, Draxton akaibana mikono ya Megan mgongoni kwa mwanamke huyo na kuendelea kumkaza huku akimsugua, na mkia wa Megan ukaufunga mwili wa Draxton usawa wa tumbo lake kwa nguvu sana huku akitoa kelele nyingi, naye Draxton akamziba mdomo kwa kiganja kimoja.

Megan alikuwa anamwaga raha zake zilizomuunguza sana Draxton mpaka akawa anashangaa, lakini hakuitoa mashine yake ndani ya mwanamke huyo. Alikuwa karibu kabisa kumwagia kwa ndani lakini akajizuia tu, na Megan akaanza kupunguza makeke huku akipumua kitetemeshi. Draxton alikuwa anahisi kuchoka kwa kiwango kisicho cha kawaida, lakini kwa mnyama wa aina yake Megan, mwanaume alielewa kwamba nguvu iliyotumika hapo ilikuwa nyingi, naye akaridhika tu moyoni kwamba umiliki ulikuwa umekamilika.

Akauachia mdomo wa Megan na mikono yake, na mwanamke huyo akalegea na kujilaza kitandani kana kwamba hana nguvu tena mwilini, huku mkia wake mrefu ukitembea taratibu mwilini mwa Draxton mithili ya nyoka na kumpa mwanaume hisi za mtekenyo. Godoro lilikuwa limelowa haswa, naye Draxton akakaa tu kivivu huku akirejea hali ya kawaida kimwili.

"You're claimed now. You're mine (Umemilikiwa sasa. Wewe ni wangu)," Draxton akasema.

"Mmm... yes I am (Ndiyo mimi ni wako)," Megan akajibu kivivu sana.

Draxton akamwangalia. Alikuwa nyang'anyang'a kabisa, asiweze hata kuinua uso. "Why are you like that? Shouldn't the energy make you stronger? (Mbona uko hivyo? Hiyo nishati si inatakiwa ikuongezee nguvu?)" akamuuliza.

"It has. This is the pleasure. You are so... delicious (Imeniongezea nguvu. Ila hii ni raha nayohisi. Wewe ni... mtamu sana)," Megan akamwambia.

Draxton akabaki kimya tu.

"I wish you had filled me with your seed so that I could give birth a child that would herald a glorious return of my kind (Natamani kama ungenijaza mbegu zako ili niweze kuzaa mtoto ambaye angerejesha wanyama-watu wa aina yangu kwa ushindi)," Megan akasema.

“I don’t think you’ve thought that through. That's just the pleasure talking (Sidhani ikiwa umefikiria hilo kwa kina. Ni raha tu unayohisi ndiyo inaongea hayo).”

"No. It's what I feel (Hapana. Ndiyo ninavyohisi)."

"Well I did this in order to free you... and to save Darla (Unajua mimi nimefanya hivi kukuweka huru tu... na kumwokoa Darla)."

"She will be saved. Thank you Draxton. You are my Alpha now, and am going to give you anything you want (Ataokolewa tu. Asante Draxton. Wewe ni Alpha wangu sasa, na mimi nitakupa chochote kile unachokitaka)," Megan akasema.

Draxton akamtazama tu, na mkia wa mwanamke huyo ukaendelea kumtekenya taratibu kifuani mpaka shingoni kwa dakika chache, kisha ukatulia baada ya Megan kupitiwa na usingizi.

Mwanaume akainamisha uso wake kivivu sana na kufumba macho, akiwaza kuhusu mitihani na majibu ambayo angetakiwa kukutana nayo kwenye safari yake mbele ya kisa hiki chenye utata mwingi, na bila kutafuta kitu chochote cha kujifunika, yeye pia akajilaza kitandani hapo na kuchukuliwa na usingizi mzito.


★★★★★


TANZANIA


Namouih anaanza kufumbua macho yake taratibu, lakini anachokiona mbele yake si kitu chochote kile, bali giza tupu. Mwanzoni anahisi kizunguzungu kinachofanya adhani labda amelewa, lakini pole kwa pole anaanza kurejesha kumbukumbu ya mwisho ya jambo lililompata.

Anakumbuka kwamba kitu cha mwisho alichokuwa akifanya kabla ya kujikuta ndani ya hali hii isiyoeleweka ilikuwa ni mkutano wake mfupi pamoja na rafiki yake kipenzi, ama kwa wakati huu adui yake kipenzi, yaani Blandina. Baada ya kujaribu kumshawishi wasuluhishe ugomvi wao na kumwomba msamaha, Blandina aligoma kukubali, na ndiyo wakati alipokuwa akijaribu kumfata ili asisitize toba yake, wanafika watu wasiojulikana na kumbeba ndani ya gari kisha kuondoka naye.

Akajitahidi kukaza kichwa chake ili aweze kuielewa vyema zaidi hali yake kwa sasa. Ikaonekana kwamba mikono na miguu yake ilikuwa imefungwa, na alikuwa amelazwa kwenye sakafu ya vigae. Ndani hapo kulikuwa na hali ya ubaridi, na kuna harufu za uvundo fulani hivi alizovuta zilizofanya ajihisi vibaya sana na kupatwa na kichefuchefu.

Akajiuliza ni nini kilikuwa kinaendelea. Nani angekuwa amemfanyia hivi, na kwa nini. Kama ni adui mkuu wa maisha yake, Efraim Donald, tayari alikuwa amekufa, kwa hiyo hakuweza kufikiria upesi mtu mwingine wa kumfanyia jambo hili. Kwa vyovyote vile, asingeendelea kusubiri mbaya wake huyu aje kumfanyia ubaya aliotaka, kwa maana kuamka na kujikuta bado yuko hai ilimaanisha alikuwa ametunzwa kwa ajili ya jambo fulani, naye asingengoja kuona ni jambo lipi hilo.

Akaanza kujitahidi kujinyanyua, naye akafanikiwa kukaa. Alikuwa amefungwa kamba nyembamba lakini ngumu sana, naye akatumia maarifa yote aliyokuwa nayo kujitahidi kuzifungua. Zilimuumiza sana na kumchubua mikononi, lakini hatimaye akaweza kuziondoa. Alikuwa akitetemeka sana viganjani kutokana na kuogopa, naye akafungua zile za mguuni na kusimama taratibu. Alihisi kama vile hana nguvu sana mwilini, lakini akajitahidi kusimama kwa usawa.

Hangeweza kuona mambo mengi ya ndani humo vizuri, lakini kwa kulizoea kiasi giza, akawa anaona vitu kama ngazi, au kabati, ama majeneza, yaani hakuwa na uhakika. Ukimya wa chumba hicho ulifanya alipopiga hatua moja tu, sauti ya kiatu alichokuwa amevaa ikatokeza mwangwi uliojirudia mara kadhaa, naye akatulia. Hakuwa hata anakumbuka ikiwa alisimama akiwa amevaa viatu, ilikuwa ni kama vimetokezea tu miguuni, na ndipo taa ndogo yenye kutoa mwanga wa blue ikawaka ghafla.

Namouih akashtuka na kurudi nyuma kidogo, na alipojiangalia miguuni, hakuwa amevaa viatu. Alipotazama sehemu aliyokuwepo, akazidi kuogopa. Vitu alivyokuwa akikisia kuona ndani hapo, ilikuwa ni vitanda vya magurudumu vyenye kubeba maiti ambazo zilikuwa zimefunuliwa. Nyingi kati ya hizo zilikuwa zimeharibika vibaya, na ndiyo zilitoa harufu ile iliyomtia kichefuchefu kikali. Akaziba mdomo na kurudi nyuma zaidi mpaka alipojigonga kwenye jokofu la kutunzia miili, naye akatulia hapo huku akipumua kwa kutetemeka.

Chumba hicho kilifanana kabisa na kile ambacho aliwahi kukiota wakati bado yuko kwenye ndoa na Efraim Donald. Mpangilio ulikuwa vilevile, naye akaanza kuhisi kwamba haya maruerue yaliyokuwa yameanza kumtokea tena yalihusiana na mwanaume huyo. Lakini kivipi? Efraim si alikuwa amekufa? Kwa nini angejikuta ndani ya hali iliyoashiria kwamba mwanaume yule bado alikuwa anamchezea? Akahisi kuchanganyikiwa sana.

Lakini, hofu yake ikaanza kuzizima baada ya kujipa utulivu wa kiakili, naye akaweka uso tulivu zaidi na kuanza kupumua kwa utaratibu. Alikuwa ameshajiingizia kitu fulani ndani ya akili yake kuwa endapo kama angewahi kukutana na hali za namna hii tena, basi angepambana nazo kwa njia ya uimara na si kuogopa kupitiliza. Ikiwa Efraim alikuwa ametuma mizimu yake ianze kumsumbua, basi angeipa za uso pia.

Akajikaza zaidi, na kwa kuwa aliuona mlango ambao bila shaka ndiyo ulikuwa wa kutokea na kuingilia, akaanza kutembea taratibu kuuelekea. Hakukuwa tena na sauti ya kiatu kirefu mguuni kwake, alijua kabisa kwamba yuko peku, naye akajitahidi kuvipita vitanda vile vyenye maiti bila kuziangalia na kuukaribia mlango. Alipokuwa tu amebakiza hatua chache kuufikia...

"Naona umeamka..."

Sauti iliyosema maneno hayo ikafanya asitishe kupiga hatua zaidi. Ilikuwa sauti ya mwanaume, na haikuwa ngeni kwake. Lakini bado alipata shida kiasi kutambua ilikuwa ya nani moja kwa moja. Akaanza kuona kitasa cha mlango kikicheza-cheza, kisha mlango huo ukaanza kufunguka. Mapigo yake ya moyo yalidunda kwa nguvu sana, lakini hakujua alipata wapi ujasiri wa kuendelea kusimama hapo hapo ingawa hali yote ilitisha.

Baada ya mlango kufunguliwa, wakaingia wanaume wawili wenye nguvu, nao wakasimama mbele yake kama kumzibia njia. Hakuwafahamu kabisa, nao walikuwa wamesimama kwa utulivu tu kama milingoti, na ndipo ile sauti ikasikika tena kutokea nje ya mlango.

"Ni muda umepita. Nafurahi kukupata tena shemeji yangu..."

Namouih akakunja uso kimaswali kiasi, akiwa anajaribu zaidi kutambua mmiliki wa sauti hiyo. Ndipo akaingia mwanaume aliyevalia suti nadhifu na kusimama katikati ya wale mabaunsa. Uso wa Namouih wenye maswali ukageuka kuwa wa utambuzi baada ya kuwa amemfahamu mtu huyo, na kiukweli hakuwa ametegemea kabisa kumwona yeye.

"Godwin?"

Ndiyo. Ilikuwa ni Godwin Shigela. Yule rafiki yake Efraim Donald ambaye ndiye aliyemshawishi mwanaume huyo mpaka akajiingiza kwenye masuala ya kishetani ili tu apate utajiri. Na ufupi wake, alionekana kuwa makini kweli muda huu, asitake mchezo kabisa.

"Godwin? A... una... nini maana ya hiki unachofanya?" Namouih akamuuliza hivyo akiwa ameshangazwa.

"Unauliza swali ambalo jibu unalo tayari," Godwin akamwambia hivyo kwa umakini.

"Nini?" Namouih akauliza.

"Usijifanye huelewi somo Namouih. Unajua ni kwa nini uko hapa," Godwin akasema.

"Nikisema sijui sababu ya mimi kuwa hapa, utanielezea?" Namouih akauliza tena.

Godwin Shigela akacheka kidogo na kuangalia pembeni.

"Kweli Godwin mtu mzima umekosa kazi...."

"Funga bakuli lako, nitakuchafua! Unanisikia?!" Godwin akamwambia hivyo kwa ukali.

Namouih akarudi nyuma kidogo.

Godwin akapiga hatua tatu mbele na kusema, "Hukuwahi kuuona upande wangu mbaya Namouih. Leo ndiyo utauona. Umejificha kwa muda mfupi tu baada ya ushenzi ulioufanya, ila sasa hivi nitahakikisha unafichika milele."

"Wewe ndiyo mshenzi Godwin! Umekaa na rafiki yako mkawa mnapanga tu kuwafanyia wanadamu wenzenu unyama na ukatili halafu unaniletea bangi sasa hivi kisa mjinga mwenzio alikamatwa? Unafikiri nakuogopa? Efraim kanionyesha hofu ni nini mbona? Yuko wapi sa'hivi? Unafikiri wewe ndiyo unajua zaidi?" Namouih akaongea kwa ujasiri.

"Aaaa... unajifanya una mdomo eeh?"

"Ahah... na hautanyamaza! Haya maupumbavu yote... eti, unanileta wodi ya mochwari, kunionyesha maiti, ili niogoope... malaya wa Efraim tu wewe, huna lolote! Mwenzako kashaenda kwa sababu ya miendekezo ya kipuuzi mliyokuwa mnafanya na wewe sasa hivi unataka kuzileta hizo drama? Aheh... umegusa pabaya!" Namouih akamwambia kwa ujasiri zaidi.

Godwin Shigela akatoa ishara kwa wanaume wake kuwa wamfate Namouih, nao wakatii na kuanza kumfuata. Namouih akaanza kuwakwepa na kujitahidi kuwakimbia lakini mwishowe wakawa wamemkamata kwa nguvu.

"Niachieni... niachiee!" Namouih akafoka.

"Wanaume hatuongeagi sana. Ni vitendo tu," Godwin akamwambia.

Wanaume wake wakamshikilia Namouih kwa nguvu na kumpigisha magoti mbele yake Godwin, naye Namouih akawa anapumua kwa nguvu na kwa hasira.

Godwin akachuchumaa na kusema, "Nataka uniambie. Mpuuzi aliyemuua Efraim. Yuko wapi?"

Namouih hakutoa jibu, bali akawa anamwangalia tu usoni kwa macho makali.

"Nakupa sekunde kumi tu unipe jibu," Godwin akamwambia.

"Anza kuhesabu," Namouih akasema hivyo.

Godwin akacheka kwa kuguna na kisha kusimama.

Akatoa ishara kwa mwanaume mmoja, na mwanaume huyo akamwachia Namouih na kusimama pia, huku yule mwingine akiendelea kumshikilia kwa nguvu. Aliyesimama akatoa mkanda wake wa suruali na kisha kuivuta miguu ya Namouih, naye akaiunganisha kwa pamoja na kuikaza kwa mkanda wake, kisha akaufunga kwa nguvu.

Namouih akawa anajaribu kufurukuta huku akipiga kelele na akimtukana Godwin Shigela, na mwanaume huyu akawa anavua koti la suti, tai, mkanda wa suruali yake, na kuanza kupandisha mikono ya shati lake juu. Ikawa wazi kwa Namouih ni kitu gani ambacho mwanaume huyo alikuwa anataka kufanya, na kiukweli hapo hakuwa na njia ya kuepuka masaibu ambayo yangempata.

"Nikwambie kitu Namouih... mimi napenda sana wanawake. Sana..."

"Mshenzi wewe!" Namouih akamtukana.

"Na... nina mke ambaye yuko kama wewe... impulsive sana... anaongozwa zaidi na hisia kuliko akili. Wakati mwingine unatakiwa kufikiria faida utakazopata kwa kuchukua maamuzi sahihi badala ya kutanguliza kiburi. Ungejibu tu swali langu, labda tusingefika huku," Godwin akamwambia.

"Hata kama nikikwambia alipo, humuwezi! Atakuua vibaya mno!" Namouih akaongea kwa hasira.

"Unanijaji kwa sura, au ufupi?" Godwin akaongea kwa kejeli.

"Hhh... inakupa faida gani kufanya haya? Efraim ameshakufa. Unataka nini?"

"Nakutaka wewe."

Namouih akabaki kumtazama kwa hisia kali.

"Nilikuwa na mdogo wangu zamani... wa kiume... yeye... yaani kila kitu nilichotaka au kupata, alikitamani. Hadi mke wangu. Na akaja kufanikiwa kumla pia. Nilimuua kwa kumwingiza ndani ya mashine ya kusagia zege. Siyo kwamba nampeeenda sana mke wangu, ila... sipendi kusalitiwa na mtu wa karibu. Hata awe nani, nitamuua. Unajua kwa nini nakwambia haya?" Godwin akaongea kwa mkazo.

Namouih akawa anaendelea kufurukuta bila kupata mafanikio yoyote.

"Efraim alipokuoa... nilimwonea wivu sana. Yaani wewe ulikuwa special mno mpaka nikawa natamani ningekuwahi kabla yake. Mara nyingi nilimtania kuhusu hilo lakini haikuwa mere utani. Ilitoka moyoni. Lakini never, ever, sikuwahi kufikiria kumfanyia usaliti kwa kukuchukua kisiri hata kama njia milioni za kufanya hivyo zilikuwepo. Mimi singekuwa kama mdogo wangu, kwa sababu Efraim alikuwa zaidi ya mdogo wangu. Alikuwa ndugu, rafiki, swahiba, mtu pekee aliyenifanya nihisi kuwa sahihi zaidi kwa chochote nilichofanya hata kama kilipingana na njia za asili za huu ulimwengu... na wewe ukafanya nini? Ukamuua. Ukamuua!" Godwin akaongea kwa mkazo zaidi.

"Kwa hiyo, ndiyo umekuja kumlipizia kisasi namna hii? Basi na mimi niue. Unataka kufanya haya mengine ili iweje?"

"Ohoo, umemiss point yangu. Kukuua nitakuua tu. Nachosema ni kwamba nimekutamani toka dogo langu alipokuoa lakini sikuweza kukugusa kwa sababu nilimheshimu mno. Sasa wewe na kinyambe aliyemuua mkamwondoa duniani kabla hata ya yeye kupata nafasi ya kula mnyanduo wako... na mimi... mimi sasa hivi ndiyo nitasimama kwa niaba yake. Nataka leo niku(.....) mpaka ufe!" Godwin akaongea kwa mkazo.

Wanaume wake wakacheka kidogo, naye Godwin akatabasamu pia.

"Nyie ni... nyie wote ni vichaa. Mmeua watu wengi kweli... hivi hauna hata dhamiri inayokusuta? Unaua mtoto wa mtu ili upate mali, wakati wewe mwenyewe umezaliwa kama huyo mtu?" Namouih akaongea kwa hisia.

"Dhamiri haijawahi kunisumbua mpenzi. Me mwenyewe nilimuua mama yangu, nitashindwa nini kuua mtoto wa mtu?" Godwin akamwambia hivyo kizembe.

Namouih akawa anatikisa kichwa kwa kutoamini.

"Hata usiponiambia wapi umemficha bwege aliyemuua rafiki yangu, nitampata tu. Ngoja nianze na wewe kwanza..." Godwin akaongea hayo.

Namouih akaanza kulia kwa sauti ya juu akiomba aachiwe lakini akakazwa mikono na miguu yake na wanaume wale kwa pamoja.

Godwin Shigela akamsogelea karibu zaidi na kupiga magoti usawa wa ubavu wake, naye akaushika uso wa Namouih na kutaka kuugeuzia kwake. Namouih akawa anagoma kuupeleka uso wake upande wa Godwin, na mwanaume huyo akaulazimisha umtazame ili ampige busu ya lazima.

Namouih alipokuwa amekaribia kupigwa busu hiyo, akaing'ata pua Godwin kwa nguvu sana mpaka mwanaume huyo akatoa kelele ya maumivu. Wanaume wake wakamvuta Namouih kwa nguvu, naye Godwin akiwa ameingiwa na hasira akamtandika mwanamke kofi zito na kusababisha aangukie pembeni!

"Pumbavu! Unajifanya unajua kuweka mgomo eh?"

Godwin akamwambia hivyo na kuwaamuru wanaume wake wamshike vizuri zaidi, nao wakatumia nguvu kali zaidi kumbana Namouih.

Mwanamke huyu alikuwa amehisi kuchoka zaidi sasa, naye akawa akilia na kujitahidi kujinasua bila mafanikio. Godwin Shigela akaanza kufanya kama anamnusa taratibu shingoni kwake, kisha akaibusu na kuilamba kimahaba. Namouih akaanza kulia kwa kudondosha machozi kabisa, naye Godwin akaishika blauzi aliyovaa mwanamke huyo na kuirarua kutokea kifuani, ikimwacha Namouih kifua wazi kilichositiriwa na sidiria nyeupe.

Mwanaume huyo na wenzake wakawa wanaangaliana na kucheka kwa pamoja, wakifurahia unyama waliotaka kumfanyia, na Godwin akawaambia akitoka kumla Namouih amechoka basi angewaachia wamalize kazi wenyewe, maana aliona na wao wanamtamani. Godwin akaanza kuyashika matiti yaliyofichwa ya mwanamke huyo, huku Namouih akilia kwa sauti ya juu sana, naye Godwin akatabasamu na kumwambia apige tu kelele kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kumsikia na wala kuja kumsaidia.

Akaishusha sidiria ya Namouih na kuyafichua matiti yake, naye akalishika moja na kuwaonyeshea wenzake kwa kiburi. Wakacheka kidogo, naye Godwin akaanza kuyanyonya kwa pamoja na kumfanya Namouih afumbe macho kwa nguvu huku akilia sana. Alilia mno. Godwin alipomaliza haja yake, akawaambia na hao wanaume wakijisikia wayale matunda utamu ya Namouih, na mmoja wao akafanya hivyo.

Namouih alisumbuka sana lakini hakufanikiwa kujitoa ndani ya hali hiyo. Akawa analia huku akiita jina la mpenzi wake, aliyekuwa mbali, mbali sana. Godwin akaja usawa wa miguu ya Namouih na kuinyanyua juu kwa pamoja, kisha akaanza kumvulisha sketi aliyokuwa ameivaa kutokea kiunoni. Namouih akazidisha kupiga kelele na kuipigisha miguu yake hewani lakini mwanaume mmoja akamsaidia Godwin kuishika kwa nguvu, huku yule mwingine akimlaza kwa ngongo chini kabisa na kumkandamiza mikono kwa nguvu pia.

Godwin akafanikiwa kuitoa sketi yote, halafu akatulia kwanza akiwa amepiga magoti. Alikuwa akiyaangalia mapaja mazuri na ngozi laini ya mwanamke huyo, naye akajishika sehemu yake ya siri na kutikisa kichwa kidogo kuonyesha mzuka uliokuwa umempanda.

Namouih akiwa analia sana, akasema, "Godwin... please... usifanye hivi... nina ujauzito... hii haifai... please, nionee huruma..."

"Mamaaa! Una ujauzito! Ai.. yaani ndiyo umenimaliza! Au hujui kwamba wanawake wajawazito ndiyo watamu zaidi? Joto mara mia, au siyo? Hahahaha..." Godwin akaongea kwa dharau.

Wanaume wake wakacheka kwa sifa.

"Walahi... naapa... siku ya kiama haitafika ukiwa hai, lakini... lakini Godwin... utaionja..." Namouih akaongea hivyo huku akilia.

Godwin akacheka kidogo na kusema, "Ngoja niionje na yakwako sasa."

Wakati huu, bado mwanaume mmoja alikuwa ameishikilia miguu ya Namouih kwa kuisimamisha juu, naye Godwin akamwambia aipandishe juu zaidi ili kalio la mwanamke linyanyuke. Alipofanya hivyo, Godwin akaivuta chupi ya Namouih na kuichana kutokea mapajani kwake, kisha akaanza kuinusa.

Namouih alizidi kulia. Alilia, alilia, alilia. Kile kilio cha kupoteza matumaini, halafu kisichokata sasa. Godwin akalalia tumbo kabisa na kuelekeza uso wake kwenye kalio la Namouih chini, akiangalia namna kitoweo chake kilivyopendeza, naye akafungua zipu ya suruali yake na kuitoa mashine nje. Akawa amenyanyua tumbo lake kidogo ili mkono mmoja autumie kujichua taratibu, kisha akapeleka mdomo wake pale katikati na kuanza kumlamba Namouih.

Namouih akawa anajaribu kujipeleka huku au kule bila mafanikio, naye Godwin akakomaa tu kufanya hivyo. Akawa anashuka mpaka chini na kuingiza ulimi wake ndani makusudi kabisa, na sauti ya Namouih ikawa kali zaidi. Godwin akamwingizia na vidole viwili kwa nguvu sana, akimfanya Namouih apige kelele za maumivu.

Akavitoa, vikiwa vyekundu kutokana damu kuvilowanisha, naye akajipigisha magoti na kuielekeza mashine yake ndani ya kitoweo chake Namouih, kisha akaiingiza bila kutumia nguvu sana. Mwanaume huyu mpumbavu akatoa mguno wa maigizo kuonyesha anafurahia sana uovu wake, na ndipo hapo hapo mlango wa kuingia ndani humo ukabamizwa na kufunguka kwa kishindo!

Godwin na wenzake walishtuka sana, naye akajitoa ndani yake Namouih upesi na wote kumwachia kisha kutazama mlangoni. Walikuwa wameingia maaskari sita, wawili wakiwa wameshikilia bunduki, na wengine bila bunduki. Wakawapa wanaume wote humo tahadhari ya kutofanya upuuzi wowote na kujisalimisha chini ya ulinzi wao, nao wakanyoosha mikono juu. Maaskari wanne wakawafata wale wanaume na kuwapigisha magoti, huku Godwin akichezea kichapo cha mwingine mmoja kutokana na aliyokuwa anafanya kwa mwanamke.

Namouih alikuwa anajivuta taratibu kurudi nyuma, akiwa ameokota nguo zake na kujitahidi kuuziba mwili wake, na askari mmoja akawa anamfata. Lakini alionekana kuogopa mno, hata askari huyo alipojaribu kumtuliza kwa kumwambia wamekuja kumsaidia, Namouih akawa haamini hilo; asitake kabisa kuguswa. Alikuwa analia bado, hivyo askari huyo akarudi pale mlangoni na kusimama kwa kuchungulia nje.

"Njooni."

Akasema maneno hayo na kubaki amesimama hapo hapo, kama vile anasubiri mtu. Namouih alikuwa anatetemeka, akimwangalia Godwin, ambaye alilazwa kifudifudi na mikono yake kurudishwa nyuma ili afungwe pingu. Mwanaume huyu alikuwa anamwangalia Namouih kwa macho makali, pua yake ikitokwa na damu, na tabasamu hafifu likionekana usoni mwake kama kumwonyesha dharau Namouih. Pale mlangoni aliposimama yule askari, wakatokea wanawake wawili, naye Namouih akapaangalia na kuwatambua. Ilikuwa ni Sasha pamoja na Blandina.

Sasha alipoona hali ya dada yake, akaziba mdomo kwa viganja vyake na kuanza kudondosha machozi, naye Blandina akaonekana kushangaa sana. Askari akawaambia wanadada wamsaidie mwanamke mwenzao kwa sababu aliogopa, naye Sasha akawa wa kwanza kumkimbilia dada yake. Akawa anamwangalia hapa na pale, akimuuliza kama walikuwa wamemuumiza vibaya, lakini Namouih akawa anatetemeka tu huku kichwa chake kikitangatanga kama mtu aliyerukwa na akili.

Blandina alimwangalia kwa huruma sana. Pamoja na yote mabaya yaliyokuwa yametokea baina yao, hivi siyo ambavyo angefikiria kuja kuona mwenzake akitendewa. Kumwangalia Namouih akiwa namna hiyo kulimuumiza sana, naye akasogea hapo alipokuwa ili asaidiane na Sasha kumwondoa sehemu hiyo. Wale wanaume wawili pamoja na Godwin wakawa wamesimamishwa na maaskari, na ambacho kingefuata ilikuwa kwenda kifungoni.

"Wapumbavu kabisa nyie! Wapeleke huko!" askari mmoja akaamuru.

Godwin akatema damu pembeni na kusema, "Usijali Namouih. Nitarudi. Unajua hawa ni wa kununua tu. Bado sijatosheka maana hata sikuwa nimeanza kula uta..."

Akatandikwa kofi zito lililofanya maneno hayo yakatizwe, naye akacheka kidogo kwa dharau.

"Umnunue nani, pumbavu wewe? Peleka huko!" askari mkuu akaongea kwa ukali na kuwaambia wenzake wawaondoe wanaharamu hao.

Godwin Shigela na wenzake wakatolewa ndani ya chumba hicho, na askari mmoja akamwambia Blandina amtoe Namouih sehemu hiyo na kumpeleka hospitali kwanza kabla ya mengine kufata. Blandina akatikisa kichwa kukubali, na askari huyo akaelekea nje.

Sasha alikuwa amemkumbatia Namouih huku akilia, na mwanamke huyu akidondosha machozi tu sasa huku pumzi zake zikishtuka-shtuka. Blandina alimwangalia kwa huruma sana, machozi yakajaa machoni mwake pia, naye akaangalia pembeni na kuyafuta upesi kisha kushusha pumzi ndefu. Akawageukia dada hao na kumwambia Sasha amsaidie kumvalisha Namouih sketi haraka ili wampeleke hospitalini upesi. Sasha alipotaka kuivuta sketi kutoka mikononi mwa dada yake, Namouih akaing'ang'ania kwa nguvu, akionekana kuwa ndani ya taharuki nzito.

Sasha akazidi kutokwa na machozi, naye Blandina akavishika viganja vya Namouih na kusema, "Nam..."

Namouih akamwangalia machoni.

"Usiogope. Ni mimi. Twende hospitali. Twende. Hauwezi kukaa hapa... sawa? Come on..." Blandina akamwambia hivyo kwa upole.

Namouih akaanza kulia kwa kwikwi huku bado akimtazama.

Blandina akajikaza kutolia na kuitoa sketi mikononi kwa Namouih, naye akafanikiwa.

Wakamvalisha na kusitiri kifua chake kwa sidiria na blauzi ile japo ilichanika, kisha wakamsaidia kusimama. Alionekana kuwa katikati ya maumivu sana, na hata damu ilionekana kumtoka kwa kuchirizika mpaka chini ya miguu yake, hivyo wakamsaidia kutembea taratibu sana kuelekea nje. Walivuka vyumba kadhaa ndani ya jengo hilo ambalo lilikuwa ni maalumu kwa ajili ya kutunzia maiti, na hii ndiyo ilikuwa hospitali ile ndogo ambayo Godwin Shigela pamoja na Efraim Donald walikuwa na zoea la kufika hapo ili kukutana na mawakala wa Shetani.

Wakatoka mpaka nje, ikiwa ni usiku sasa, na magari mawili ya maaskari aina ya Defender yalikuwa yameegeshwa hapo. Godwin na wenzake waliwekwa kwa kukalishwa kwenye Defender moja na kulindwa na maaskari watatu kutia ndani wale wenye bunduki, na wote kiujumla walikuwa wakisubiri Namouih apelekwe kwenye gari la Blandina lililokuwa hapo pia kisha ndiyo waondoke.

Baada ya dakika chache za mwendo wa taratibu, Namouih akawa ameingizwa siti za nyuma kwenye gari hilo, naye Blandina akaingia kwenye usukani na kuliwasha ili watoke huko haraka. Magari ya maaskari yakaliweka gari la Blandina katikati na kuingia barabarani kuelekea jijini zaidi huku yakipiga ving'ora kuweza kupishwa na mengine njiani, na Blandina akaendelea kukanyaga mafuta tu, huku Sasha akiwa nyuma na dada yake aliyejilaza na kuweka kichwa kwenye mapaja yake.

★★

Namouih alifikishwa hospitalini hatimaye, naye akapelekwa kwenye chumba maalumu ili apatiwe tiba na kufanyiwa uchunguzi wa kina kwenye mwili wake. Maaskari wenyewe waliondoka tu baada ya kuhakikisha mwanamke huyo amefikishwa hospitali na kumwacha chini ya uangalizi huo maalumu, wakiwa wamemwambia Blandina na Sasha kwamba waendelee kuwasiliana nao kukitokea dharura nyingine.

Kwa hiyo Blandina na binti Sasha wakaendelea kusubiri. Kulikuwa na ukimya tu baina yao, wote wakiwa wanawaza kuhusu hali ya Namouih, na hazikupita dakika nyingi sana Salome, Zakia, Halima, Esma, pamoja na Marietta wakawa wamefika hapo. Zakia alikuwa anawaza mno juu ya hali ya bintiye, naye akawa anauliza yaliyotokea mpaka siku hii ikawafanya wajikute wamefika hospitali tena. Ikabidi Sasha awaelezee namna mambo yalivyokuwa, na alikuwa anaongea huku akilia.

Akasema walitoka asubuhi na dada yake kwenda kwenye hoteli fulani ili kukutana na Blandina, na baada ya kuzungumza, Namouih akamfata Blandina nje ili waongee zaidi. Ndiyo ghafla likaja gari la Noah na wanaume wawili wakamwingiza Namouih humo kwa lazima na kuondoka naye. Blandina akamchukua Sasha na kuwahisha kufuatilia gari hilo, japo mwanzoni haikuwa rahisi kuliona tena lakini mwishowe wakawa wameliona kwa mbali, shukrani kwa taa za barabarani kuyasimamisha magari hapa na pale.

Wakiwa mwendoni ndiyo Blandina akawatafuta maaskari na kuwapa taarifa juu ya utekaji wa mwanamke mjamzito, na walipoomba uelekeo wao Blandina akawaambia maeneo waliyokuwa wakielekea kwa sababu aliwafatilia. Kufikia wakati ambao gari lile la Noah lilifika kwenye hospitali ile na kutulia pale, maaskari walikuwa mwendoni kufika huko kwa kuendelea kuwasiliana na Blandina, ambaye naye alifanikiwa kufika eneo la hospitali hiyo ndogo na kuegesha gari lake umbali fulani kutoka hapo. Blandina alikuwa anataka kwenda huko ndani kujaribu kumsaidia Namouih kwa sababu maaskari walikuwa wakichelewa, lakini wakampiga marufuku na kusema asubiri, la sivyo angeweza kujiweka hatarini.

Sasha na Blandina walihofia hali ya Namouih kwa kuwa masaa kadhaa yalipita bila ya maaskari hao kufika, na hata walipofika jioni ilikuwa imeshaingia. Ilimbidi hadi Blandina awe mkali kabisa kwao akiwaambia ukweli kuwa huo muda wote uliopotea ungeweza kusababisha mwanamke yule awe ameshaumizwa, na ndiyo wote wakaanza kusikia sauti za juu za Namouih akiwa anapiga kelele. Maaskari wakaanza kwenda, lakini kwa tahadhari, na Blandina pamoja na Sasha wakawafuata nyuma mpaka walipoingia upande wa mochwari na kukuta yaliyomkuta Namouih.

Sasha alielezea hayo kwa uchungu sana, naye Zakia akamkumbatia huku akilia kwa hisia. Kihalisi, wote walifikiri kwamba wanaume watatu walikuwa wamemwingia Namouih kimwili kwa kumbaka, kwa hiyo lilikuwa ni jambo zito. Japo kihalisi haikuwa hivyo, bado hali nzima ya tukio hilo ilikuwa ni mbaya, na wote walielewa kuwa ingemtikisa Namouih kwa muda mrefu sana ukitegemea Draxton hakuwepo. Salome akamfata Blandina na kumshukuru kwa msaada wake siku hii, vilevile na Zakia, naye Blandina akazipokea shukrani hizo vizuri.

Sasa wanawake hawa wangetakiwa kusubiri majibu kuhusu hali ya Namouih kutoka kwa daktari, hivyo wote kwa pamoja wakaendelea kusubiri nje ya chumba cha matibabu ya mwanamke huyo.

★★

Baada ya saa moja hivi kupita, daktari akawa ametoka pamoja na wauguzi kadhaa na kukutana na wanawake hao wakiwa nje ya chumba, na wote wakasimama na kumsogelea ili wasikie kutoka kwake, isipokuwa Blandina, ambaye aliendelea kusimama nyuma kidogo.

Zakia akiwa mbele zaidi, akamuuliza daktari, "Doctor... mwanangu anaendelea... anaendeleaje?"

"Ni mtoto wako?" daktari akamuuliza.

"Ndiyo," Zakia akajibu.

"Naweza kusema anaendelea vizuri, katika maana ya kwamba ataendelea vizuri, taratibu. Kuna mishipa ndani ya rectum iliyopasuka na kusababisha atokwe na damu nyingi, ila tumeweza kupa-stich kiasi, na taratibu patapona," daktari akaeleza.

"Kupa-stich ndo' nini?" Zakia akauliza kwa mkazo.

"Kumshona," Salome akamwambia.

"Ndiyo," daktari akakubali.

"Kwa hiyo... damu zimeacha kutoka... eh Mungu wangu... atakuwa sawa kabisa lini?" Zakia akauliza kwa hisia.

"Kama nilivyosema, taratibu. Mshono ni laini na wa kawaida kama mishono mingine, ila utaishikisha ngozi ya ndani vizuri na kuunganika nayo vyema. Angalau hakuchanika sehemu kubwa sana kwa hiyo kuna dawa za kutumia atatakiwa achukue, pamoja na chakula chepesi sana kwa ajili ya mlo atakachotakiwa kutumia kuanzia sasa mpaka kufikia mwezi mmoja," daktari akasema.

"Vipi kuhusu ujauzito wake, doctor?" Zakia akauliza.

"Oh, hali ya mtoto iko vizuri. Hajaumizwa kwa upande huo, ni haya mengine tu ndiyo yanahitaji kuangaliwa zaidi," daktari akajibu.

"Sawa doctor. Nahitaji prescription yote kwa ajili yake. Nitaangalia apate kila kitu anachohitaji," Salome akasema.

"Sawa basi, atakupatia nurse," daktari akasema.

"Tunaweza kumwona?" Marietta akaongea.

"Kwa sasa hivi amelala ila... ndiyo, mnaweza kumwona. Lakini msije kusogea au kukaa kitandani wala..."

"Usijali doctor... tutakuwa makini," akasema Salome.

"Okay. Poleni," daktari akawaambia hivyo.

Wakamshukuru kwa msaada wake, naye akawapita na kuondoka. Zakia, akiwa ameambatana na Halima, wakawa wa kwanza kuingia ndani mule, naye Sasha pamoja na Esma wakafuata. Marietta akamwambia Blandina waingie pamoja, lakini Blandina akamwambia atangulie tu naye angefata. Baada ya Marietta kwenda, Blandina akabaki hapo hapo pamoja na Salome, aliyekuwa akimwangalia kwa kujali. Blandina akaangalia chini tu, akionekana kukosa amani kiasi, naye Salome akamsogelea karibu na kumshika begani.

"Naelewa unavyohisi Blandina. Lakini usijilaumu kwa kilichotokea. Haikuwa makosa yako," Salome akamwambia kwa upole.

Blandina akamwangalia na kujawa na machozi, naye akasema, "Kama tu ningeenda... kama tu ningewahi... labda asinge...."

"Umefanya kila ulichoweza kumsaidia, na inafariji sana kuona kwamba bado unamjali licha ya matatizo yaliyosababisha mkasambaratika. Isingekuwa ya wewe labda tungempoteza huyu dada... kwa hiyo acha kujilaumu, eti? Atakuwa sawa. Na anahitaji sisi wote tuwe pamoja naye kwa wakati huu... hasa wewe Blandina," Salome akasema hivyo kwa hisia.

Blandina akasafisha pua na kujifuta machozi upesi.

Salome akamwacha tu sehemu hiyo na kuuelekea mlango, na alipoufikia akageuka na kumtazama tena Blandina, aliyekuwa ameangalia chini kwa huzuni sana, naye Salome akaingia ndani na kumwacha Blandina hapo akiwa katikati ya wimbi kubwa la mawazo. Baada ya mambo haya yote kutokea, angeendelea kuwa na kinyongo dhidi ya mwanamke huyo aliyekuwa rafiki yake kipenzi?



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA SABA

★★★★★★★★★★★★★★★★


MAREKANI


Usingizi wake Draxton ulichukua masaa machache ya kurejesha nguvu mwilini, na hakuota lolote lile mpaka masikio yake yalipoanza kupigwa na mawimbi ya mbali ya sauti za jogoo waliowika. Ngozi yake ya usoni ikaanza kuhisi kitu fulani kikipita taratibu, na kwa hisi ya uharaka akafumbua macho na kupeleka mkono wake kwa kasi upande ambao machale yake ya kinyama yalijua chanzo cha kitu hicho kilikuwa. Alikikamata kwa nguvu sana na kukiangalia kwa ukali na tahadhari, lakini akabaki kuzubaa baada ya kuona kwamba ilikuwa ni Megan.

Mwanamke huyo alikuwa ameachama huku akipumua kwa shida kwa sababu mkono wa Draxton ulikuwa umeikamata shingo yake kwa nguvu sana. Draxton akashusha pumzi kwa nguvu na kumwachia, naye Megan akaanza kukohoa. Mwanaume akajiangalia vizuri na kuona kuwa bado hakuwa na nguo hata moja mwilini, na aliketi kwenye kitanda kile kile ambacho walitumia pamoja na mwanamke huyo kummiliki usiku uliotangulia. Bila shaka ilikuwa alfajiri wakati huu, lakini chumba hicho kilikuwa na giza kiasi kuonyesha kwamba hapakuwa pamekucha vilivyo.

Megan akawa anaendelea kukohoa, naye Draxton akamsogelea na kumshika huku akisema, "I'm sorry Megan... I'm really sorry."

Alikuwa anamwomba samahani, naye Megan akamtazama machoni. Walikuwa wanaangaliana kwa ukaribu sana, naye Draxton akakishika kichwa cha mwanamke huyo kwa kujali.

"Are you okay? (Uko sawa?)" Draxton akamuuliza.

Megan akatikisa kichwa kukubali.

"I'm sorry I... I felt something on my face and... was that you? (Samahani nime.. nimehisi kitu fulani usoni mwangu na... ilikuwa ni wewe?)" Draxton akauliza.

Megan akamwangalia kwa njia fulani yenye hisia na kusema, "Yeah. I'm okay, I was just admiring your handsome face and woke you up. I should be the one to apologise (Ndiyo. Niko sawa, nilikuwa tu nautathmini uso wako mzuri nikasababisha uamke. Ni mimi ndiyo natakiwa kuomba samahani)."

Draxton akawa ameelewa kwamba mwanamke huyo ndiye aliyekuwa akapitisha vidole vyake kwenye uso wake mpaka kumshtua namna ile, naye akamwachia na kukaa vizuri zaidi. Megan hakuwa amevaa chochote mwilini pia, na wakati huu mwili wake ulikuwa umerejesha hali ya kawaida kabisa, naye akawa amekaa kwa kupiga magoti kitandani hapo huku anamwangalia Draxton kwa hisia.

"What time is it? (Ni saa ngapi sasa?)" Draxton akamuuliza.

"Six a.m in the morning (Saa kumi na mbili alfajiri)," Megan akajibu.

"I should go (Napaswa kwenda)," Draxton akasema hivyo na kuanza kujivuta.

Megan akamzuia na kusema, "No, you can't (Hapana, hauwezi)."

Draxton akamtazama na kuuliza, "Why not? Are those guys still here? (Kwa nini nisiweze? Hao jamaa bado wako hapa?)"

"No, I mean, it's still dawn. The library isn't open yet, you still got a few hours. And also, you gotta eat a ton. You fed me a lot of your energy last night (Hapana, namaanisha, bado ni mapambazuko. Maktaba haijafunguliwa, bado una masaa machache ya kutulia. Na pia, unatakiwa ule sana. Ulinilisha nishati yako nyingi jana usiku)," Megan akasema.

"Well, I do feel the hunger. Eating a ton is a good idea (Kweli, njaa ninaihisi vyema. Kula sana ni wazo zuri)," Draxton akasema.

Megan akatabasamu na kumsogelea karibu zaidi. "I'll make sure you eat all of the things I can make (Nitahakikisha unakula kila kitu nachoweza kutengeneza)."

Draxton akabaki tu kumtazama usoni.

"You know, I meant what I said last night. I wanna have a child with you (Unajua, nilimaanisha kile nilichokwambia usiku wa jana. Nataka kuzaa na wewe)," Megan akaongea kwa hisia.

"I can't do that (Siwezi kufanya hivyo)."

"Why not? (Kwa nini?)"

"You know the reason (Unajua sababu)."

"You are an Alpha, Draxton. It doesn't matter if you have a mate cause every female in your pack is yours (Wewe ni Alpha, Draxton. Haijalishi kwamba una mwenzi kwa kuwa kila jike kwenye kundi lako ni wakwako)."

"Yes I know, but that doesn't mean I should just use them like sexual objects (Ndiyo najua, lakini hiyo haimaanishi niwatumie kama vifaa vya kujipatia raha ya kimahaba tu)."

"I'm not saying you should, I'm just asking you to give me something for myself (Sisemi unapaswa kufanya hivyo, ninakuomba tu unipatie kitu fulani kwa ajili yangu mwenyewe)."

"Well that's not something to just give a handout. A child comes with a lot of responsibility (Basi hicho unachoomba siyo kitu cha kugawa ovyo tu. Mtoto ni jukumu zito sana)."

"I'll carry it (Nitalibeba)," Megan akaongea kwa uhakika.

"Why don't you just wait for your mate to give it to you? After I successfully build a pack, I'll find you one, or you'll find him on your own (Kwa nini tu usisubirie mwenzi wako aje akupatie? Nikifanikiwa kujenga kundi, nitakutafutia mwenzi, au utampata wewe mwenyewe)," Draxton akasema.

Megan akaunguruma kwa chini, akionekana kukasirika.

"What's your deal? (Una shida gani?)" Draxton akamuuliza, si kwa ukali bali kwa kujali.

Megan akatulia.

"You are already free to do whatever you want. I don't want to take anything from you, so you should just build your own dreams. I may be a part of your life but I am not gonna be your future. You don't owe me anything, okay? (Una uhuru wa kufanya lolote unalotaka tayari. Sitaki kuchukua chochote kutoka kwako, kwa hiyo wewe zijenge tu ndoto zako mwenyewe. Ninaweza kuwa sehemu ya maisha yako lakini sitakuwa sehemu ya wakati wako ujao. Hauna deni lolote la kunilipa mimi, sawa?)" Draxton akamwambia kwa upole.

Megan akawa anajipa muda kutafakari mambo aliyoambiwa, kisha akasema, "Fine. But I'm still yours. I want access to you anytime I want (Sawa. Ila mimi bado ni wako. Nataka niwe nawe muda wowote ule naotaka)."

"You know I can order you to stay away from me, or even kick you out of my pack, don't you? (Unafahamu kwamba ninaweza kukuamuru ukae mbali na mimi, au kukufukuza kutoka kwenye kundi langu, siyo?)" Draxton akamuuliza.

Megan akamwangalia kwa hofu kiasi.

Draxton akatabasamu kidogo na kusema, "I'm kidding. Just... please be patient. Some things may come later in life but that just may be the right moment for them to. And for you, I'm not that moment. But trust that you will have yours, okay Megan? (Natania. Ila... vuta tu subira. Kuna vitu maishani vinaweza kukawia kufika lakini kwa huo wakati ambao vitafika ndiyo ukawa mwafaka. Na kwako wewe, mimi siyo huo wakati. Ila amini tu kwamba na kwako utafika, sawa Megan?)"

Megan akaguswa sana na maneno hayo, naye akasema, "You really are different from Robby. Why wasn't it you from the beginning? (Uko tofauti sana na Robby. Kwa nini haikuwa wewe tokea mwanzoni?)"

"Circumstances. And maybe now just might be the right moment for me to be here (Ni hali mbalimbali. Na huenda wakati huu ndiyo ukawa mwafaka mimi kuwa hapa)," Draxton akasema.

Megan akatabasamu, akielewa kwamba jamaa alikuwa amerejelea kile alichomshauri mwanzoni, naye akaifata midomo yake na kumpa denda ya asubuhi. Ilikuwa wazi kwamba Megan alitaka waendelee tu kudendeshana kwa kuwa hakukoma kuinyonya midomo ya mwanaume, hivyo Draxton akaikatisha busu hii ili mizuka isiwapande zaidi.

"Get dressed. Food'll be hot in ten minutes (Vaa. Chakula kitakuwa kimepashika ndani ya dakika kumi)," Megan akasema hivyo na kujiondoa kitandani.

"Leftovers? (Viporo?)" Draxton akamuuliza.

Kicheko cha chini kikasikika kutoka kwa Megan, ambaye alikuwa anavaa nguo ya kike ya kulalia, naye akaondoka tu chumbani hapo na kumwacha jamaa kitandani. Kwa mara nyingine tena Draxton akajaribu kumwita mwenzi wake kwa kutumia akili, lakini hakujibiwa. Akaamua tu kuingia kwenye nguo zake ili aende kupiga msosi kwanza, kisha ndiyo aingie mwendoni kwenda maktaba ili kutekeleza mpango wake na Megan wa kutengeneza dawa akishajua kiungo cha nne kilichohitajika kuitengeneza.

★★

Dakika si nyingi Draxton akawa ametoka kwenye chumba hicho na kuelekea upande ule wa mgahawa wa wateja. Palikuwa tupu kabisa, hakuna nafsi hata moja iliyoonekana hapo isipokuwa makochi na meza kwa ajili ya wateja. Draxton akavuta harufu nyingi nzuri sana za vyakula, naye akatazama upande ambao ulikuwa na sehemu kama kaunta kuona sinia refu likiwa limewekewa vyakula vingi, na Megan akiwa amesimama kwa upande wa pili huku anamimina kitu kilichoonekana kama chai kwenye kikombe cha udongo.

Bado ilikuwa mapema sana kupata kiamsha kinywa lakini hali ya Draxton ilimtaka sana ale, na hamu kubwa ikamsukuma aelekee hapo na kukaa kwenye kiti kirefu usawa wa vyakula hivyo. Megan akamsogezea chai na kumwambia aanze kula, lakini Draxton akaomba anawe kwanza mikono. Mwanamke huyo akacheka na kusema wanyama hawanawi, ni kula tu, iwe ni kwa vyakula vya kawaida ama kuwala wanyama wenzao kimapenzi.

Draxton akaamua kufuata utaratibu huo mpya na kuanza makamuzi. Kulikuwa na nyama zilizopikwa na kubanikwa za swala, mikate yenye asali, tambi nene za moto sana, mikate-soseji (hotdog) minene, na chai ile nzito yenye maziwa na vanilla. Draxton alishambulia zaidi nyama, huku Megan yeye akimwangalia tu mpaka mwanaume huyo alipoanza kuikata polepole njaa aliyohisi na kuanza kula kistaarabu zaidi.

Ilikuwa kama alianza kwanza kuulisha upande wake wa pili na sasa akawa anakula kama Draxton. Akamuuliza Megan ni wakati gani aliandaa vyakula hivyo na huwa anavitoa wapi, naye Megan akasema huwa vinaletwa kutokea mjini zaidi isipokuwa nyama za swala, ambazo huwindwa na baadhi ya wahudumu wake waliokuwa watu-mwitu pia, na kwamba vilikuwepo kutokea jana hivyo hapo aliamka tu na kuvipasha.

Draxton hangejizuia kuuangalia mwili wa mwanamke huyo kwa kuvutwa sana. Megan alikuwa amevaa nguo ya kulalia bila kuifungia mkanda wake katikati, kwa hiyo matiti yake na hata kitoweo chake kilionekana kwa mbali. Ilikuwa kama mwanamke huyo alitambua kuwa Draxton alichanganywa kidogo na jambo hilo, kwa hiyo akaamua kuzungukia upande wake na kukaa kwenye kiti cha pembeni yake. Alikaa kwa kuegamia meza ya kaunta, kwa hiyo mwili wake ulifichuka vizuri zaidi, naye akaongeza makusudi kwa kuiachanisha miguu yake ili mlango wa hekalu lake uwe wazi.

Draxton akamkata jicho kama kumwambia "umeanza," naye Megan akatabasamu na kuushika mkono mmoja wa Draxton. Akaupeleka kwenye mdomo wake na kuanza kuvilamba vidole vya mwanaume vilivyobakiza utamu wa nyama aliyokuwa akila, halafu akaushusha taratibu mpaka kifuani kwake na kuushikisha kwenye titi lake moja. Draxton alikuwa ameweka kipingamizi kiasi lakini Megan akamwomba kwa kutumia lugha ya macho tu asimkatalie, naye akaushusha zaidi mpaka katikati ya mapaja yake na kumshikisha kitoweo chake.

Draxton alikuwa ameshiba, lakini baada ya Megan kuanzisha mchezo huo njaa nyingine ikaamka. Kweli kuwa Alpha ilikuwa na mitihani yake. Ingawa ilikuwa kwa njia ya unyama lakini ilimfanya ajihisi kama mwanaume malaya kabisa, na hakuwa na jinsi ila kutimiza majukumu yake ya kujali mahitaji ya watu wa kundi lake. Hivyo akaanza kukichezea kitoweo cha bibie kwa vidole, naye Megan akaanza kupumua kimahaba.

Mwanamke alikuwa ameshalowana haswa, kwa hiyo Draxton akaamua kushuka kwenye kiti chake ili ampe mrembo matunzo kiasi. Akakishika kiti alichokalia Megan na kukigeuza kwa njia ambayo ilifanya mgongo wa mwanamke huyo uegamie kaunta vizuri, naye Megan akaiachanisha miguu yake vizuri zaidi kama kumwambia "ingia."

Draxton hakujali tena masuala ya kunawa. Akaishusha bukta yake na kuiachia mashine yake iwe wazi, kisha akaanza kuisugusha juu ya mashavu ya kitoweo cha Megan. Alikuwa anataka awahishe kumpa penzi ambalo lisingemfanya mwanamke huyo ageuke kama usiku wa jana, a.k.a quickie. Megan akakishika kiuno cha Draxton na kuwa kama anamvutia kwake ili aingie, na mwanaume akatii.

Akaingia taratibu mpaka alipozama ndani kabisa, naye Megan akampa ishara kwa kichwa kuwa aendelee baada ya Draxton kumtazama usoni. Akaanza taratibu ili kumzoesha dude lake, kisha akaanza kuongeza kasi. Megan alishikilia meza ya kaunta huku miguu yake ikitanuka tu hewani, naye akawa analia kwa sauti nyembamba ya kimahaba mithili ya paka.

Joto likampanda Draxton, naye akaanza kuingia badiliko la kati. Alikumbuka kile ambacho Megan alimwambia jana, kwamba anapopigwa na nishati ya namna hii basi anatakiwa kuipata yote ili amilikiwe, lakini hapa hakuwa anammiliki. Hapa alikuwa anamwonjesha tu utamu wake kwa sababu hilo la kumiliki lilikuwa limefanyiwa kazi usiku wa jana.

Mwanaume alipiga kwa nguvu kitoweo hicho, naye Megan akawa anatetemeka mapajani huku anarusha juisi zake zilizomlowanisha jamaa tumboni mpaka miguuni. Draxton alipoona ngozi ya Megan inaanza kubadilika, akajitoa kwake na kumshikilia tu ili asianguke, naye Megan akawa anapumua kwa nguvu huku akimwangalia kimaswali, kwamba kwa nini amekatishiwa raha zake.

Draxton akamwambia wangepaswa kuishia hapo kwa sababu kuna mambo mengi muhimu aliyohitaji kufanya kwa hiyo kuimaliza nguvu yake na asubuhi hii lisingekuwa wazo zuri. Megan akaonekana kuelewa hilo, naye akamwambia ni jinsi gani ambavyo bado alitamani sana waendelee. Draxton akasogea nyuma na kumshukuru kwa chakula, naye akaulizia sehemu yenye bafu ili kama vipi ajisafishe kabla ya kuondoka baadaye, na Megan akashuka kutoka kwenye kiti na kumshika mkono; akimwongoza kuelekea bafuni.

Inaonekana mwanamke huyo alikuwa amelewa sana penzi la Draxton kwa sababu alimwomba waoge pamoja, na mwanaume akakubali. Huko bafuni angemsifia namna alivyompagawisha mpaka alikuwa anatamani yeye ndiyo angekuwa mwenzi wake, lakini hatma zao hazikuwa kwa njia hiyo.

Baada ya kumaliza kuoga, Draxton akavaa nguo zake, naye Megan akampatia funguo ya gari lake lililokuwa nje na kusema kwamba sasa hivi hata kama Draxton angekutana na mbwa-mwitu huko nje bila kujua, wasingemzingua kwa kuwa harufu ya mwanamke wa mwisho aliyekuwa naye ilikuwa yakwake Megan, lakini Draxton bado hakuwa na uhakika sana kwamba hiyo ingefanya mwanamke huyo awe salama, ingawa hakupingana naye moja kwa moja.

Alijua mitego ni mingi sana na angepaswa kuwa macho, kwa hiyo kwa sasa angeenda tu maktaba kufanya utafiti wake kisha angerejea ili angalau awe na ukaribu pamoja na Megan kuhakikisha mwanamke huyu haumizwi. Megan akampa maelekezo ya namna kufika kule maktaba, naye akambusu Draxton na kumpa heri nzuri ya safari yake fupi.

★★

Ndani ya dakika chache, Draxton akawa mwendoni kuelekea upande wa kati wa mji ili afike maktaba. Gari la Megan lilikuwa la aina ya Sedan nyeupe, iliyoonekana kuwa ya muda mrefu lakini ilitunzwa vyema. Njia nzima alikuwa anawaza tu kuhusu mambo yaliyotokea siku iliyotangulia mpaka sasa. Yalikuwa mengi na yenye kuchanganya mno, yakitokea kwa muda ulioonekana kuwa mfupi sana kwake.

Alimwaza mno Darla. Alitamani kama angekuwa amemfunza mengi zaidi ya yale aliyojua ili awe mwenzi bora zaidi, lakini hayakuwa makosa ya mwanamke yule kwamba alitekwa ghafla tu. Kilichokuwepo hapa kuanzia wakati huu ilikuwa kufanya mambo kwa tahadhari sana, maana suala hili lilikuwa limeshaanza kuvuta uangalifu wa maaskari, na yeye hakutaka vita yoyote baina ya watu wake na watu wa kawaida itokee.

Kwa kufuata ramani aliyopewa kwa usahihi, mwanaume akawa amefika eneo lenye jengo la maktaba, naye akapeleka gari sehemu ya maegesho. Ikiwa ni saa mbili na dakika kadhaa sasa, Draxton akatoka ndani ya gari na kulitathmini jengo hilo kwa ufupi. Sehemu ya ardhi ilikuwa na miinuko mifupi kutokea eneo la kuegeshea lililofunikwa kwa majani mafupi yaliyokatwa vyema. Ili kulifikia jengo hilo angetakiwa apite kwenye upande uliojengewa ngazi za mawe mchanganyiko wa mchanga, naye akafanya hivyo.

Dakika kama mbili akawa amefika mlangoni, ikiwa ni juu kutoshea kuwa ghorofa ya pili lakini kwa jengo hilo ndiyo ilikuwa ghorofa ya kwanza, nalo lilikuwa na ghorofa nne zaidi kwenda juu. Draxton hakuwa mgeni sana na sehemu za namna hii kwa sababu hata wakati ambao mama yake alikuwa hai, kuna pindi ambazo angempeleka maktaba ili amzoeze kupenda kusoma na kuandika, kwa hiyo hata kwa wakati huu aliingia sehemu hii utadhani si mara yake ya kwanza.

Kuupita tu mlango angeweza kuona mlolongo mrefu wa kabati kubwa za vitabu, vyumba vyenye seti kadhaa za kompyuta, pamoja na mabenchi kwa ajili ya wasomaji, lakini hakukuwa na mtu kwa wakati huu isipokuwa sehemu ya mbele zaidi ya mhudumu wa mapokezi. Akaenda hapo na kumsalimu mtoa taarifa wa maktaba, kisha akaulizia ni sehemu ipi iliyokuwa na vitabu vya masuala ya kufikiriwa/kubuniwa, yaani "mythology." Akaelekezwa kwamba hiyo ipo ghorofa la mwisho ambako pamejitenga sana, naye akashukuru na kwenda kuingia kwenye lifti.

Ilikuwa kama ni yeye pekee ndiye wa kwanza kufika hapo asubuhi hiyo kwa ajili ya usomaji, na baada ya kufika ghorofa ya tano akaingia ndani ya chumba alichoelekezwa. Palikuwa kimya, na penye hali fulani ya ugiza sana. Kabati nene zilizojaa vitabu zilipangana kwa ukaribu, na ilionekana kwamba haikuwa kawaida ya watu kufika huko. Draxton akafanikiwa kuiona meza ya mtoa taarifa za maktaba kwa upande huu, naye akaenda sehemu hiyo na kusimama.

Kwenye kiti nyuma ya meza hiyo aliketi mwanamke mzungu mwenye umri usiozidi miaka 22, akionekana kuwa mwanachuo hivi. Nywele zake zilikuwa nyeusi mchanganyiko na rangi ya maziwa, na alizibana kwa nyuma. Alivalia shati jeupe lenye mikono mirefu, lililoubana mwili wake mwembamba na kuachia vifungo vitatu sehemu ya kifua kufanya matiti yake meupe yaonekane kidogo kwa juu. Alivalia miwani iliyoonekana kuwa ya macho, na midomo yake ilikuwa minene kama ya mwanasoshialisti Kylie Jenner.

Alitoa harufu ya manukato mazuri sana iliyomvutia Draxton, na kwenye shati lake kulikuwa na pini usawa wa mfuko upande wa kusboto wa kifua chake yenye kadi ndogo iliyoandikwa Julia; bila shaka ikiwa ndiyo jina lake. Akamtazama Draxton usoni kwa umakini.

“Can I help you? (Naweza kukusaidia?)" Julia akamuuliza Draxton.

“Yes. I'm looking for a section on mythology (Ndiyo. Ninatafuta kipengele fulani cha mambo ya kufikiriwa)," Draxton akamjibu.

"Regarding what? (Kuhusiana na nini?)"

"Werewolves (Watu-mwitu),” Draxton akamjibu.

Julia akaanza kubofya kiingizi cha taarifa cha kompyuta, iliyokuwa kwenye meza yake hapo.

“Anything specific you are looking for? (Kuna jambo lolote hususa unalotafuta?)" Julia akauliza.

“How about an instruction manual on abilities? (Vipi kuhusu maelekezo ya moja kwa moja juu ya uwezo wao?)" Draxton akamwambia.

Mwanamke huyo akamtazama kimshangao kiasi. “You really need a book on that? (Yaani kweli unahitaji kitabu kinachohusiana na hilo?)” akamuuliza.

“Yeah. Looking into telepathy to be exact. It's for a movie project (Ndiyo. Natafuta suala la nguvu za kiakili kihususa. Ni kwa ajili ya kazi ya filamu)," Draxton akasema.

Julia akatikisa kichwa kukubali na kuendelea kubofya.

Draxton akawa anaivuta harufu nzuri ya mwanamke huyo, naye akasema, “Smells nice up here (Pananukia vizuri huku)."

Julia akamwangalia na kusema, “Oh, yeah, that’s me. It’s pretty quiet up here, but I look to be professional (Oh, ndiyo, hiyo ni mimi. Pametulia sana huku, ila mimi napenda kuonekana kitaalamu zaidi kwenye kazi).”

“Yeah, you do look professional (Ndiyo, unaonekana mtaalamu kikazi).”

Julia akatabasamu na kusema, "Thank you," kisha akachukua kalamu na kuanza kuandika mambo fulani kwenye karatasi ndogo akiiga kutoka kwenye kompyuta.

“You mind the quiet? (Haupendi sehemu iliyotulia?)" Draxton akamuuliza.

“No. Only thing that makes the job good is the interesting people who rarely make it up here (Hapana. Kitu kinachofanya kazi hii kuwa nzuri ni watu wenye kuvutia kifikira ambao ni nadra sana kufika huku)," Julia akasema na kumwangalia.

“You think I’m interesting? (Unafikiri mimi navutia kifikira?)”

“Up to the point, you asked about what you have. Why do you want this for a movie? (Ni mpaka kufikia pointi hiyo, umeulizia kile ulichoulizia tu. Kwa nini unahitaji mambo haya kwa ajili ya filamu?)”

“I have a werewolf in my basement, trying to communicate that we want to make it a star (Nina mtu-mwitu ndani ya chumba cha chini kwenye nyumba, najaribu kutafuta njia ya kumfikishia taarifa kwamba tunataka kumfanya awe nyota wa filamu)," Draxton akasema kiutani tu.

Julia akacheka. Sana. Ilionekana alishindwa kujizuia ingawa Draxton hakuwa na nia ya kumchekesha namna hiyo, na mwanaume akatabasamu kwa mbali na kuangalia chini.

Julia akasimama huku akitabasamu, kisha akampatia Draxton kikaratasi kile na kusema, "Here is a list of books that may help you with your problem (Hii hapa orodha ya vitabu vinavyoweza kukusaidia na shida yako).”

"Thanks (Asante)," Draxton akamwambia hivyo na kuipokea.

Kiganja chake kikagusana na kiganja cha Julia, naye akamwangalia mwanadada huyo na kuona anaachia tabasamu lenye haya kiasi. Akageuka tu nyuma na kuanza kuelekea upande wenye kabati zenye vitabu vilivyoandikwa kwenye kikaratasi hicho.

Kulikuwa na vitabu nane vyenye taarifa mbalimbali kuhusiana na mambo aliyotaka kujua, naye akafanikiwa kuvipata na kuketi, akianza kupekua kimoja baada ya kingine ili aweze kupata chenye taarifa alizoelekezwa na Megan. Vitabu vinne bya kwanza havikuwa na jambo lolote alilotaka kujua isipokuwa mambo mengi ya kudhaniwa kulingana na maisha ya watu-mwitu, na kitabu cha tano ndiyo kikawa kimebeba taarifa alizohitaji.

Kilielezea suala la mawasiliano ya kiakili baina ya wenzi, kikionyesha kwamba uwezo huo hutokea kwa wenzi wa kweli kabisa. Yaani kumpata mwenzi haikumaanisha kila mtu-mwitu angeweza kupata nguvu hiyo, bali ni kwa wale wenzi wa kipekee kabisa ambao ni wa kufa na kuzikana. Draxton angemfikiria Namouih ilipokuja kwenye suala la namna hiyo, lakini kwa muktadha wa hapo alielewa kwake yeye ni Darla ndiye aliyejaza hiyo nafasi. Kitabu kikaonyesha kwamba kuna pindi ambazo mwenzi mmoja anaweza kuutumia uwezo huo vizuri zaidi ya mwenzake.

Akaendelea kusoma kurasa hadi kurasa, akijifunza mengi kuhusu njia mbalimbali za kuutumia uwezo huo, umbali uliohusika, na hatimaye, jinsi ya kuukuza zaidi bila kujali umbali. Njia za kufanya hivyo zilikuwa mbili; moja ikijitaji mwenzi wake awe karibu na nyingine ya kutengeneza dawa ambayo ingetumiwa kuunda mvutano wa kiakili baina yao. Darla kutokuwepo kulifanya njia ya pili iwe lazima kutumia, naye akaanza kusoma yaliyohusika.

Viungo vitatu vilivyotajwa mwanzoni ndiyo ambavyo Megan alivikumbuka, na kiungo cha nne kilikuwa ua fulani jeupe lililopewa jina "moon's bloom." Viungo hivi vingeunganishwa kwa pamoja, kisha mwenzi mmoja angekunywa na kuiacha dawa hiyo ifanye kazi ndani ya masaa 24 ili aweze kupata matokeo ya kuwasiliana na mwenzi wake haijalishi alikuwa mbali kiasi gani. Lakini Draxton hakuhitaji kusubiri mpaka masaa 24 yaishe, kwa kuwa Megan alimhakikishia kwamba kwa kutumia nguvu alizokuwa nazo angewahisha uvutano kwenye uwezo wa Draxton wa kuwasiliana na mwenzi wake, kwa hiyo hapo la muhimu lilikuwa kujua wapi anaipata hiyo "moon's bloom."

Wazo la kuulizia mahala pa kuyapata maua hayo kwenye mji huo likamfanya afunge vitabu ili aende kumuuliza mwanadada Julia, lakini ndiyo hapo hapo harufu ya binti ikamwingia puani kumwambia jamaa kwamba julia alikuwa amefika karibu yake.

“Can I help you with anything? (Naweza kukusaidia na lolote?)”

Mwanamke huyo akauliza hivyo huku akiketi kwenye meza ya benchi alilokalia Draxton, na mwanaume akamwangalia kwa umakini. Umakini wake ulikuwa kwenye hali ambayo Julia alifika nayo hapo. Alikuwa ameukanyagisha mguu wake mmoja kwenye sehemu ya kukalia benchini, na hiyo ikaacha uwazi mkubwa katikati ya miguu yake iliyovalishwa sketi fupi nyeusi. Draxton hakuwa ametambua mwanzoni kwamba julia alivalia sketi, lakini sasa akawa anatazama kitoweo cha mwanamke huyo moja kwa moja.

Ilikuwa wazi kwamba Julia alifanya hivyo kwa makusudi kabisa, naye Draxton akamtazama machoni huku sasa akivuta harufu ya umahaba wa kito cha mwanamke huyu kilichoonekana kuhitaji huduma yake. Harufu hiyo ilimpa tabu Draxton. Si kwamba hakuzoea mambo haya, ila hii ndiyo ilikuwa mara ya kwanza toka amefika huku kuvutishwa kimahaba na mwanamke aliyekuwa wa kawaida. Yaani siyo mnyama-mtu.

Wa mwisho alikuwa Namouih, na kwa kuwa siku nyingi zilipita na yeye kujiingiza zaidi kwa watu wa aina yake ni kama ladha ya wanadamu wa kawaida ilikuwa mpya kwake kwa kuvuta harufu kama hii akiwa tayari na uwezo wa kujiendesha vyema kama mnyama. Yaani, yeye akiivuta, upande wake wa pili unaivuta, na kama ni hamu ya upande wa pili iliyokuwa inataka kumshughulikia mwanadada huyo basi hata yeye kama Draxton ilimvuta pia.

Akaegamia sehemu ya juu ya benchi na kumwangalia vizuri zaidi machoni, kisha akamjibu, "Yes I do (Ndiyo nahitaji msaada)."

“What do you need help with? (Unahitaji msaada na nini?)" Julia akauliza.

Alikuwa anatumia sauti ya kitongozi kabisa, naye Draxton akatambua kwamba kweli kuwa peke yake huko juu kwa masaa mengi kulimboa sana mwanamke huyo kiasi cha kutaka atandikwe kiasi, lakini hicho hakikuwa kilichompeleka mwanaume huyo hapo.

"Are you familiar with the flower "moon's bloom?" (Unalifahamu ua liitwalo "moon's bloom?")"

"Yes. I got it right here (Ndiyo. Ninalo hapa)," Julia akamwambia hivyo na kuitanua miguu yake zaidi.

Draxton akakiangalia tena kitoweo hiko, kisha akasimama na kumsogelea karibu zaidi na uso wake. "I can smell how delicious your flower is, and it's really intriguing. But right now, I need the real flower, and I really need your help (Ninaweza kuvuta harufu tamu sana ya ua lako, na linavutia sana. Lakini kwa sasa, ninahitaji ua halisi, na ninahitaji sana msaada wako)."

Julia akacheka kwa kuguna na kuuliza, "What for? (Kwa ajili gani?)"

"To save someone's life (Ili kuokoa maisha ya mtu)."

"In the movie? (Kwenye filamu?)" Julia akauliza kwa kuchanganywa.

"No, for real. If you have any idea where to find it please tell me, and if you don't then search for a location nearby where they got 'em (Hapana, kiukweli. Ikiwa una wazo la ni wapi pa kulipatia tafadhali niambie, na kama haujui basi tafiti mahala pa karibu penye hayo maua)," Draxton akamwomba.

Julia alionekana kuchukulia jambo hilo kimasihara, kwa kuwa akamvuta Draxton shingoni na kusema kiutongozi, "Why don't you save me first? (Kwa nini usiniokoe mimi kwanza?)"

Akaanza kuishika sehemu ya kati kwenye kaptura ya Draxton, lakini jamaa akaushika mkono huo na kumwambia, "Listen Julia. I know this may sound strange, but what I'm asking of you is really important. Your help can save my friends, and I don't have much time. I'll leave you with my number if you want but please help me with this now. Please (Nisikilize Julia. Najua nachokwambia kinaonekana kuwa ajabu, lakini nachokuomba ni cha muhimu Sana. Msaada wako unaweza kuokoa rafiki zangu, na sina muda mwingi. Nitakuachia namba yangu ukitaka lakini tafadhali nisaidie kwa jambo hili sasa hivi. Tafadhali)."

Maneno ya Draxton yalimpelekea Julia ujumbe fulani uliomwambia mwanamke huyo kwamba jamaa alikuwa ndani ya shida fulani. Ingawa hakuelewa mengi, akashuka kutoka kwenye meza ya benchi na kuirudia meza yake ya kazi, naye akaanza kutafuta mambo fulani kwenye kompyuta yake. Draxton alikuwa ameshamsogelea hapo, akiwa amekibeba kitabu kile kilichompa taarifa kuhusiana na jambo alilokuwa akitafuta.

Julia, baada ya kuwa ametafiti kwenye kompyuta, akamwambia kwamba maua ya aina hiyo kwa upande huo wa jiji yalifahamika kama "White Dahlia," na yalikuwa adimu, lakini kama angeelekea maeneo yenye bustani za kutunzwa kuelekea nje ya mji basi angeweza kuyapata. Hiyo ilikuwa ni upande mwingine kutokea eneo lenye miti mingi ambako Mark na Darla walikuwa na makazi, hivyo Draxton akashukuru kwa jitihada za Julia na kumwahidi kama angefanikiwa basi angemlipa.

Mwanadada huyo alionekana kuvutiwa sana na Draxton, si kwa sababu tu alimwomba mahaba muda mfupi nyuma, naye akamwambia jamaa amwachie namba yake. Ingawa Draxton alijua kufanya hivyo ilikuwa na uhatari, hasa ikiwezekana kwamba simu yake ilikuwa mikononi mwa maaskari walioichunguza nyumba ya Mark baada ya matukio ya jana, akampatia tu mwanamke huyo namba yake kwa unyoofu, kisha akakiacha kitabu kile mezani hapo na kuondoka.

★★

Mwendoni tena. Draxton alitaka kuhakikisha hapotezi muda kwa kukanyaga mafuta ili afike bustanini upesi kukamilisha uchukuzi wa ua. Mambo yote haya yalikuwa na uajabu mwingi kwa kadiri kubwa lakini alikuwa tayari kufanya yote awezayo kuwasaidia wenzake. Alikuwa amepatwa na hisia fulani ya upweke, na wakati huu ndiyo akapata nafasi ya kutafakari mambo fulani.

Megan alikuwa jumuisho jipya kwenye kundi lake. Ingawa alisema ni ili kuwa huru, Draxton alihisi ni kama kuna sababu nyingine iliyomsukuma mwanamke yule atake kujiunga nao. Suala la kummiliki rafiki wa karibu wa mwenzi wake lilionekana kuwa jambo zito, na hakujua Darla angechukuliaje jambo hilo kama angekuwepo lakini lilikuwa limeshatokea. Megan alikuwa ametumia ushawishi mzuri kumfanya Draxton akubali, lakini kila mara ambayo jamaa angekumbukia waliyoyafanya alijihisi kuwa na hatia mbele ya Darla, kama tu kwa Darla mbele ya Namouih. Mambo ya wanyama hayo yalizidi kuikorofisha nafsi na utu wake lakini kuyazoea ilikuwa lazima.

Mwanaume akafanikiwa kufika kwenye bustani za kutunzwa, naye akashuka na kuelekea huko. Eneo lote lilinukia maua tu, naye akaenda kuulizia sehemu ambayo ilikuwa na maua meupe ya moon's bloom. Hakuyaita "moon's bloom" kabisa alipoyaulizia, bali kama "White Dahlia" kwa jinsi yalivyofahamika kwa huku. Akaelekezwa, kisha akaenda huko na kujichumia manne ya uhakika.

Mambo kwa wenzetu hayakuhitaji ugomvi, yaani ilikuwa kujichukulia tu na kuondoka, lakini Draxton akamfata mtunzaji na kumlipa kwa ajili ya kazi yake nzuri ya matunzo ya bustani, ndiyo jamaa akaingia ndani ya gari na kuanzisha mwendo tena kurudi kwa Megan. Alihisi kazi hiyo imekwenda kwa wepesi, naye akaombea ya mbeleni yawe na uwepesi pia ili haja zake zitimie.

Ilikuwa inaingia mida ya saa sita mchana, wingu angani likiwa limetanda kuikaribisha mvua ambayo ilionyesha ulazima wa kushuka, na akiwa mwendoni bado sehemu iliyojaa miti mingi pembezoni mwa barabara, kutokea mitini akapita mtu akiwa anakimbia haraka, akivuka barabara, naye Draxton akashtuka kiasi na kukanyaga breki upesi zilizofanya matairi yatoe kelele za juu sana. Gari lilikuwa limemfikia mtu huyo kwa ukaribu na kukaribia kumgonga, naye akasimama huku akijificha uso kwa kuhofia kugongwa.

Draxton alipomtazama vizuri, akatambua ilikuwa ni mwanamke, kwa sababu alikuwa hana nguo mwili mzima! Mwanamke huyo mzungu alipoishusha mikono yake na kutazama kioo cha mbele cha gari lililokaribia kumgonga, akaonekana kushtuka, naye Draxton akashangaa pia.

"Aysel?"

Draxton akanena hivyo kwa sauti ya chini, akiwa amepigwa na butwaa kuona hali ya mwanamke huyo, na upesi mwanamke huyo akaangalia upande wenye miti kisha akaanza kukimbilia mlango wa upande wa pili wa gari na kuufungua, halafu akaingia ndani na kuubamiza kwa nguvu.

“Drive! (Endesha!)"

Aysel akapiga kelele namna hiyo, naye Draxton akaingiza gia na kuliondoa gari sehemu hiyo upesi sana. Alikuwa akisikia namna Aysel alivyopumua kwa kasi sana, naye akawa anatazama vioo vyote kuona ikiwa walifatiliwa. Hakukuwa na wafatiliaji, naye akaendelea kukanyaga mafuta mpaka alipofika eneo lisilokuwa na miti mingi na magari kadhaa kujiunga na lake barabarani. Akaanza kuendesha kistaarabu zaidi, na kwa dakika chache akawa anamtazama mwanamke aliyekaa pembeni yake.

Aysel alikuwa amechafuka mwilini, nywele zikiwa timtim na mikwaruzo kadhaa ikionekana mikononi na mapajani, naye akawa amekaa kwa njia ya kichovu huku akitazama mbele.

“What happened? (Nini kilitokea?)”

Hatimaye Draxton akavunja ukimya kwa kumuuliza swali hilo.

“The attack came swift and fast. They took Edmond and Gia (Shambulizi lilikuja ghafla na upesi mno. Wamewachukua Edmond na Gia)," Aysel akajibu kivivu.

"Where were you all this time? (Ulikuwa wapi muda huu wote?)" Draxton akamuuliza.

"I was out... like just chillin' low wherever I could till you delt with Gia. But they attacked me when I was out in the woods (Nilikuwa nje... yaani nilikuwa natulia popote pale nilipoweza ili kukupa muda wa kushughulika na Gia. Ila walinishambulia nilipokuwa mitini)."

"How do you know they got the others? (Unajuaje waliwakamata wengine?)"

"They actually got me, condemned me for betraying Robby and told me Ed and Gia were taken to him. But I managed to escape... and have been running ever since (Walinikamata kabisa, wakanihukumu kwa sababu ya mimi kumsaliti Robby na ndiyo wakaniambia wamewapeleka Ed na Gia kwake. Nilifanikiwa kuwatoroka.. na nimekuwa nakimbia kutokea wakati huo)."

“Dumb luck to run into me, huh? (Bahati ya ovyo tu kukutana na mimi, eh?)" Draxton akamuuliza.

Aysel akamwangalia kiuchovu, kisha akauliza, "Are you implying that I'm making all of this up? (Unasema kwamba kila ninachokwambia nimekitunga tu?)"

"Yes I am! It's like every problem that has happened begun right after you came to us. What can you say to make me believe that you aren't setting us up like how you betrayed Darla once? (Ndiyo namaanisha hivyo! Ni kama matatizo yote ambayo yametokea yalikuja mara tu ulipotufikia sisi. Utasema nini cha kunifanya niamini kwamba hautuuzi kwa maadui kama tu ulivyomsaliti Darla kipindi kile?)"

"He killed my son! (Alimuua mwanangu!)" Aysel akasema kwa hisia.

Draxton akamtazama kwa umakini.

"Robby killed my son, who pledged loyalty to him and was always loyal! (Robby alimuua mwana wangu, ambaye aliapa kuwa mshikamanifu kwake na sikuzote alikuwa mwaminifu kwake!)" Aysel akaongea kwa uchungu.

"Why? (Kwa nini?)"

"Because of me. I was in love with another male, whom Robby killed too. He just didn't want me to be with another man because I sired a child with him, and he... killed my son... to torture me... (Kwa sababu yangu. Nilikuwa nampenda dume mwingine, ambaye naye Robby akamuua. Hakutaka tu eti niwe na mwanaume mwingine kwa sababu nilikuwa nimezaa pamoja naye, na yeye.. akamuua mwanangu.. ili kunitesa)" Aysel akaongea kwa kwikwi.

"What? Are you saying that your son... was Robby's child too? (Nini? Unamaanisha kwamba mwanao.. alikuwa mtoto wa Robby pia?)" Draxton akamuuliza.

Aysel akatikisa kichwa kukubali huku machozi yakimtoka.

"What kind of stupid life do you guys have here? Why do you live like slaves? Does this idiot control your free will? How can he do all this and you just sit and do nothing I mean... what the hell? (Ni maisha gani ya kipuuzi mnayoishi huku nyie? Kwa nini mnaishi kama watumwa? Kwani huyu mjinga anaendesha uhuru wenu wa kuchagua? Anawezaje kufanya hayo yote na nyie mkae tu bila kutenda lolote, yaani... ni wendawazimu gani huu?)" Draxton akaongea kwa hasira.

"It's why I wanted to break free from his pack. He's a cruel psychopath. But there weren't many options and he is too powerful. Now... even with you as another Alpha it still feels completely unsafe because he does whatever the f(...) he wants (Ndiyo sababu nilitaka kujitoa kwenye kundi lake. Ni mwendawazimu mkatili. Lakini hakukuwa na njia nyingine na yeye ana nguvu nyingi mno. Hata sasa.. wewe kuwa Alpha mwingine bado hakuondoi hali ya kutokuwa salama kwa sababu huwa anafanya chochote anachotaka)," Aysel akasema.

"Well that's gonna change (Hilo litabadilika tu)," Draxton akasema kwa uhakika.

"Maybe I deserved to be punished for thinking loyalty to that asshole would award us. My son was going to be the next Alpha after him and I know, I know he got killed for that reason too. Robby is a selfish murderer... and there is ever one thing he truly cares for. His stupid glory... plus his endless obsession towards Darla (Labda nilistahili kuadhibiwa kwa kudhani uaminifu kwa huyo mshenzi ungenipa mimi na mwanangu tuzo. Mwana wangu angekuwa Alpha baada yake na ninajua, ninajua hiyo ni moja ya sababu iliyofanya auliwe. Robby ni muuaji mbinafsi... na ni kitu kimoja tu anachojali kikweli. Ufanisi wake wa kijinga.. jumuisha na tamaa yake iliyopitiliza kumwelekea Darla)."

"He's got her too (Amemkamata pia)," Draxton akasema.

Aysel akamwangalia na kuuliza, "Darla?"

"Yeah. Where do you think they are going to keep them? (Ndiyo. Unafikiria watawapeleka wapi?)"

"I don't know. He would have them tortured for so long but... if he's got Darla, Draxton he might just kill the others as they will have no use to him (Sijui. Angetumia muda mrefu kuwatesa wengine lakini.. kama amemkamata Darla, Draxton huyo mwanaume anaweza tu kuwaua wengine kwa sababu hawatakuwa na faida kwake tena)."

"That's not gonna happen (Hiyo haitatokea)," Draxton akasema kwa mkazo.

Aysel akamwangalia kwa umakini, kisha akauliza, "What do you plan on doing? (Unapanga kufanya nini?)"

"Find Darla. Megan is gonna help (Kumpata Darla. Megan atanisaidia)."

"Megan? The fox-wolf lady? (Megan? Yule mwanamke mbweha-mwitu?)"

“Yeah (Ndiyo).”

"But she is... (Ila yeye ni..)"

"She's part of my pack now. I got her in (Ameshakuwa sehemu ya kundi langu. Nilimwingiza)," Draxton akasema.

Aysel akatikisa kichwa kuonyesha uelewa, naye akasema, "That's cool. Lady is a good asset to the pack, and powerful too (Hiyo iko poa. Yule mwanamke ni faida nzuri kwenye kundi, na ana nguvu pia)."

Draxton alikuwa makini kwenye uendeshaji, akiwaza kwamba ikiwa mwanamke huyu alikuwa anacheza na akili yake basi asingesita kummaliza, lakini kwa kuwa alijileta kwa njia ya wema basi angempatia wema. Ila kama angemgeuka, Draxton angembadilikia vibaya mno.

“So are you okay? (Kwa hiyo uko sawa?)” Draxton akamuuliza

“Yeah, just exhausted. Been running for a while. Bastards were determined to get me (Ndiyo, nimechoka tu. Nilikimbia kwa muda mrefu. Hao wapuuzi walitia bidii kweli kunikamata).”

“I imagine running naked through the woods was hard (Naweza kuvuta taswira kwamba kukimbia mitini ukiwa uchi ilikuwa ngumu)."

“Yeah. I'm really thirsty. They never gave me a chance to change. If they had, I would have torn them to shreds (Ndiyo. Nahisi kiu sana. Hawakunipa hata nafasi ya kubadilika. Kama ningeipata, ningewararua vipande-vipande)," Aysel akasema kibabe.

"I bet you would have (Nabashiri ungeweza kufanya hivyo)," Draxton akasema kwa utulivu.

Hali ya ukimya ikarejea tena ndani ya gari kwa dakika chache, ndiyo Draxton akamwambia kwamba walikuwa wameukaribia mgahawa wa Megan kwa hiyo tatizo lake la kiu lingesuluhishwa ndani ya muda mfupi.

Wakawa wameufikia mgahawa wa Megan na kuegesha gari karibu zaidi na sehemu ya kuingilia hapo. Wakashuka kwa pamoja, naye Aysel akaanza kuelekea mlangoni upesi. Lakini machale ya Draxton yakampa tahadhari kwamba kuna jambo halikuwa sawa, naye akawahi kukishika kiwiko cha mwanamke huyo kumzuia asiende haraka. Aysel akamwangalia kimaswali, naye Draxton akakazia fikira mlango huo.

Palikuwa kimya. Sana. Kwa muda huo labda hata wateja ama wahudumu wangesikika kutokea mule ndani lakini hakukuwa na sauti yoyote kutokea huko kabisa. Akatangulia taratibu na kuufungua mlango, na hapo ndiyo akavuta harufu nyingi zenye kukera; nyama mbichi na damu. Ndiyo. Hapa kulikuwa na matatizo makubwa. Hisi ya tahadhari ikamwingia upesi, naye akageuka haraka kuingia katikati ya badiliko lake, kisha akaingia ndani hapo kwa utayari wa lolote. Alichokikuta kilimhuzunisha sana.

Kulikuwa na miili isiyotambulika tena ni ya nani, kwa sababu ilikuwa imeraruliwa vipande-vipande na kuzagaa huku na kule. Damu nyingi zilitapakaa siyo chini siyo juu, na kwa sehemu nyingi za viungo vilivyokatwa-katwa kulikuwa na manyoya. Harufu iliyomwingia Draxton zaidi kwa wakati huu ilikuwa kama ya mbwa aliyelowana kwa mvua, ikizidi kuikereketa tu pua yake.

"They were here (Walikuwa hapa)."

Maneno hayo yakasemwa na Aysel, ambaye alikuwa nyuma ya mwanaume pia. Draxton akaelekea ndani zaidi kupita sehemu hiyo, naye akakifikia chumba cha Megan na kuingia upesi. Alishtuka kiasi baada ya kukuta mwili wa Megan ukiwa umelala chini, na ulikuwa umechanwa vibaya sana asipendeze hata kidogo. Yaani ilikuwa kama vile amepasuliwa kwa shoka kuanzia usoni mpaka miguuni, na mbaya zaidi, Mnyama-Draxton aliweza kuhisi kwamba mwanamke huyo alikuwa hai bado! Alihisi kuchoka.



★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
Back
Top Bottom