Simulizi: Harakati za Jason Sizya

Simulizi: Harakati za Jason Sizya

View attachment 2161360
5

“Jason mbona unanitazama sana?” zakia aliniuliza huku akiona aibu baada ya kuniona nikimtazama sana.

“Si siri Zakia, wewe ni mzuri sana, yaani mpaka unaufanya moyo wangu unauma!” nilimwambia Zakia huku nikikunja sura yangu kuonesha maumivu niliyokuwa nayo moyoni.

“Jason, wewe muongo,” Zakia alisema huku akiyatuliza macho yake kuniangalia machoni kama aliyekuwa anayasoma mawazo yangu.

“Kweli, yaani kila nikikuangalia mwili wangu unasisimka,” nilisema huku nikionesha kusisimkwa na kumfanya Zakia acheke.

“Ahsante ila ndiyo hivyo, tayari wajanja wameshaniwahi. Vumilia tu na wewe utampata wako maana hata wewe ni kijana mzuri sana,” zakia alisema huku akinitazama machoni kwa umakini.

“Mzuri wapi! Wewe sema umeamua kunizuga tu,” nilisema huku nikimtazama kwa umakini, muda huo mawazo yangu yalikuwa ni jinsi ya kulianzisha kwani sikutaka kulaza damu.

“Wewe hujioni ila sisi tunaokuona ndiyo tunajua wewe ni handsome wa nguvu!” Zakia alisema na kuachia kicheko.

Sikutaka maneno mengi, nikaanza kubembeleza, nililia sana hadi nikapiga magoti mbele yake nikimtaka anihurumie mwenzake na aniepushe na kilio. Pamoja na yote hayo bado Zakia alionesha msimamo usioyumba.

“Najua ni ngumu sana kunielewa lakini tambua kuwa kwako sina ila wala hila, nina haya na wala sina hidaya, na hili ni ombi linalohitaji huruma yako. Siwezi kukulazimisha lakini nitakuwa mwenye furaha kubwa kama utanikubalia japo kwa siku hii moja tu, na hii itabaki siri yetu maishani,” niliyaumba maneno yangu niliyoyasema huku nikiwa nimeishika miguu yake kama mtu aliyekosa na sasa alikuwa anaomba msamaha.

“Lakini Jason, unajua kabisa kuwa nina mchumba na jinsi gani Msabaha ananipenda na kuniamini, sasa iweje utake nifanye hivi! Vumilia tu ipo siku na wewe utampata mwanamke anayekupenda kwa dhati.”

“Unaweza kuzungumza mambo mengi sana lakini ukweli utabaki palepale kuwa nakupenda kuliko maelezo. Na leo ukiniacha hivi hivi inaweza kuniathiri sana kisaikolojia,” nilimwambia Zakia huku nikiangusha chozi la uongo na kweli.

“Kwa hiyo unahitaji nini hasa?” aliniuliza huku akinitazama kwa umakini.

“Nahitaji penzi lako… ukinipa leo litajenga kumbukumbu chanya maishani mwangu. Litanipa sababu za kutabasamu kila wakati… najua ni usaliti kwa mchumba wako lakini jaribu kunihurumia mwenzio japo kwa siku hii moja tu kisha uniambie koma…” nilimshawishi Zakia huku nikiendelea kudondosha machozi.

“Hapana, hilo halitawezekana kabisa,” Zakia alijibu ingawa niligundua kuwa maneno yake hayakuendana na sura yake kwani alizungumza kwa sauti ya kulegea huku akijitingisha tingisha kwa ishara ya kukataa mgodi wake usichimbwe madini. Kisha alionekana kuanza kuzama kwenye tafakuri iliyozaa ukimya. Ni hapo ndipo alipokuwa amefanya kosa kubwa.

Nilimwaga machozi kwenye miguu yake. Nikashuhudia huruma ikimjia na roho ya kutaka kufanya usaliti ikamtawala. Nilihisi yale maswali kama ‘kwani Msabaha atajua’ yalianza kumjia akilini na akayaruhusu yaendelee kushamiri kichwani kwake. Na hapo nilianza kutumia nafasi hiyo ya ukimya vizuri. Nilianza kumpapasa miguu yake na kumfanya binti wa watu asisimkwe kwa hisia za huba.

“Jason, nakuomba uitoe mikono yako kwani unanipandisha maruhani yangu na mtu wa kuyashusha hayupo hapa, usije ukanipa shida bure,” Zakia aliniambia kwa sauti ya chini iliyobeba mitetemo huku akihema kwa nguvu. Macho yake yalianza kulegea kwa ashki.

Sikuiondoa mikono yangu bali nilizidisha mpapaso miguuni kwake, nikamwona Zakia akiyafumba macho yake kuisikilizia mipapaso yangu na wala hakuendelea kupinga. Kisha nilimnyanyua taratibu na kumshika kiuno chake na kuanza kukiminya minya kiasi na hapo nikahisi hisia zake zikianza kupanda taratibu.

Nikamuegemeza ukutani na kumshika kichwa chake nikakivutia kwangu na kuanza kumnyonya denda la fujo huku nikijitahidi kubadilishana naye mate. Tukaanza kunyonyana denda huku kila mmoja akionekana kuwa na hamu na mwenzake japo Zakia alionekana si mtaalamu sana kwenye mambo hayo. Taratibu nikaanza kumvua nguo zake mpaka akabaki kama zlivyozaliwa kisha nikazivua nguo zangu kwa pupa na kuzirusha kando.

Zakia alipoiona koki yangu jinsi ilivyofura kama nyoka kifutu akatoa yowe dogo huku akifumba macho kwa woga, muda huo mwili wake ulikuwa unatetemeka kwa msisimko. Mkono wangu mmoja ukaanza kuminyaminya chuchu za Zakia na kumfanya aanze kutoa miguno ya raha huku naye akipeleka mkono wake laini kuanza kuichua koki yangu taratibu na kunifanya nihisi raha ikipenya hadi kwenye mifupa yangu. Kisha alichukua mkono wangu na kuanza kunyonya kidole kimoja baada ya kingine huku akitoa mihemo iliyozidi kunisisimua.

Muda mfupi baadaye nikambeba Zakia hadi chumbani kwangu na kumlaza taratibu juu ya kitanda kikubwa cha futi sita kwa sita, muda huo alikuwa anahema kwa pumzi za taratibu na kuyafumba macho yake, nikaupeleka mdomo wangu kwenye shingo yake na kuanza kuinyonya, sikuishia hapo nikautumbukiza ulimi wangu kwenye masikio yeka na kumzidisha ashki, akaanza kulalamika kuwa namtesa.

Sikujali, mdomo wangu ukahamia kwenye chuchu zake ngumu zilizosimama kama mkuki wa Kimasai, nikaanza kuzinyonya taratibu huku nikizungusha ulimi wangu kwenye zile chuchu, wakati huo mikono yangu ilizidi kutambaa sehemu mbalimbali za mwili wake kabla hazijaweka kituo kwenye mgodi wake wa dhahabu, na hapo kidole kimoja cha kati kikaanza kuvinjari kikipekecha taratibu kwenye kinembe chake pasipo kumtia maumivu.

Na hapo Zakia akaanza kulia huku akinikamata kwa nguvu na kunigandamiza kwenye mwili wake, kilio chake hakikuwa cha maumivu bali cha raha isiyo na kifani ambayo hakuwahi kuipata tangu azaliwe! Nikahamishia mdomo wangu kwenye ikulu yake na kuanza kupitisha ulimi wangu taratibu lakini kwa ufundi mkubwa. Zakia akashindwa kuvumilia na kunivutia kifuani kwake huku akiendelea kulia.

Sikutaka kuendelea kumtesa binti wa watu, nikaipaka koki yangu mate kidogo kisha taratibu nikaanza kuizamisha ndani ya mgodi wake wa dhahabu uliokuwa na njia ndogo iliyobana, Zakia aliuma meno yake huku akiyasikilizia maumivu makali yaliyochanganyika na utamu usio na kifani.

Nilipoona sifaidi nikaunyanyua mguu wake mmoja juu kama antena ya kisimbuzi cha StarTimes kisha nikaizamisha vizuri koki yangu ndani ya mgodi huku nikiipanua miguu yake na kufanya koki yangu izame taratibu kwenye mgodi wake wa dhahabu kisha nikaendelea na uchimbaji wangu wa madini, Zakia alionekana kupagawa mno kwa jinsi nilivyokuwa nachimba huku nikipekecha kuelekea pande zote kuu nne za dunia. Muda wote Zakia alikuwa anapiga kelele za kupagawa.

Sikuridhika, nilimsogeza hadi kwenye kona ya ukuta, nikamkunja na kuendelea kuchimba madini kwenye mgodi wake kwa kasi zaidi, Zakia aliizungusha miguu yake kiunoni kwangu na akaibana kwa nyuma huku akiwa amenikumbatia kwa nguvu akinihemea kwenye masikio yangu, kiuno changu chepesi katika uchimbaji wa madini kilifanya kazi kwa kasi ya ajabu na kumfanya Zakia kulalamika kwamba pumzi zilikuwa zinamuishia. Mtanange wa uchimbaji wa madini ulipozidi nilimwona Zakia akihema kwa pupa kama bata mzinga.

Nikamgeza kisha nikamwinamisha japo aliinama kiuvivuvivu huku akionekana kuchoka sana, nikamwekea mto mmoja katika kifua chake, akaulalia huku akiwa amebong’oa, nikazishika nywele zake ndefu na kuzivutia nyuma huku nikiendelea na uchimbaji wa madini na kumfanya Zakia kulia zaidi ya kile kilio cha mara ya kwanza.

Itaendelea...
Bikra isiyo na damu
 
safari buzwagi.JPG

16

Binti Mwarabu


Saa 1:31 asubuhi…

TARATIBU nilitia mkono wangu kwenye mfuko wa shati, nikatoa tiketi yangu na kuiangalia kwa makini ili kukumbuka namba ya kiti changu. Kiti changu kilikuwa ni nambari 29 ambacho kilikuwa kando ya siti iliyo dirishani kwani gari hilo aina ya Yutong lilikuwa aina ya viti viwili viwili kila upande. Nilianza kupiga hatua kukitafuta kiti chenye nambari 29 na haikuchukua muda nikawa nimekiona.

Muda huo basi la Mambosasa Trans lilikuwa linaanza kuongeza kasi yake katika barabara ya Market na kuingia barabara ya Lumumba.

Pembeni ya kiti changu, kwenye kiti cha dirishani chenye nambari 30, alikuwa ameketi msichana mmoja aliyekuwa ameinamisha uso wake na hiyo ilinipa nafasi nzuri ya kulisaili umbo lake kwa macho, nikagundua kuwa alikuwa amevaa gauni refu jepesi la rangi nyeusi la aina ya baibui na ndani alikuwa amevaa blauzi nyepesi nyeupe na suruali nyeusi ya dengrizi. Miguuni alikuwa amevaa sendozi nzuri za kike za ngozi halisi.

Yule msichana aliendelea kuinamisha kichwa chake huku akiwa amefinya macho yake kana kwamba alikuwa anahisi maumivu makali ya kichwa au alihisi kizunguzungu. Gari lilizidi kusonga kwa mwendo wa kasi na kuiacha barabara ya Lumbumba kisha tukaufikia mzunguko wa barabara za Lumumba, Boma na ile ya Kazima, basi likaiacha barabara ya Lumumba na kuifuata ya Kazima.

Ni wakati huo niliamua kugeuza shingo yangu nikayatembeza macho yangu taratibu kutazama nje kupitia ukuta msafi wa kioo cha dirisha kuyaangalia mandhari ya mitaa ya mji wa Tabora, nikaona nyumba na miti vikiwa vinarudi nyuma kwa kasi vikipita mbele ya macho yangu wakati lile basi tuliloliabiri likichanja mbuga. Muda huo tulikuwa tunaufikia mzunguko wa barabara za Kazima na Hill katika eneo la Ipuli.

Niliporidhika kuyatazama mandhari ya mji nilianza kuyatembeza macho yangu taratibu kuwaangalia abiria wenzangu kisha nikageuza tena shingo yangu kumwangalia yule msichana aliyekuwa ameketi pembeni yangu akiwa ameinamisha uso wake chini na kufumba macho yake.

Ni muda huohuo yule msichana aliinua uso wake na kugeuza shingo yake kunitazama, macho yetu yalipogongana tukajikuta wote wawili tukiachia tabasamu. Na hapo nikapata nafasi nzuri ya kumtathmini na kugundua kuwa alikuwa ana asili ya Kiarabu. Hata hivyo lilinifanya nimtilie maanani zaidi hasa baada ya kugundua kuwa yule msichana alishtuka kidogo baada ya kuniona japo alijaribu kuuficha mshtuko wake na kuendelea kutabasamu kiurafiki.

Niligundua kuwa sikuwa nimemchanganyia vizuri macho kabla ya hapo na hivyo baada ya kuiona sura yake nilijikuta navutia mno japo sikutaka kuonesha hisia zangu.

Alikuwa mrefu na macho yake yalikuwa mazuri yaliyojawa na haya na pua yake ilikuwa ndogo ya kihabeshi iliyopendezeshwa kwa kipini cha dhahabu. Kifua chake kilibeba matiti imara ya wastani na kiuno chake kilikuwa chembamba kikiwa kimebeba nyonga pana kiasi. Nywele zake zilikuwa ndefu nyeusi zilizolalia mgongoni. Umri wake ulikuwa kati ya miaka 28 na 32.

Na kana kwamba alikuwa akiisubiri nafasi hiyo, alinisalimia kwa bashasha zote huku akionekana kubabaika kidogo na utanashati wangu. Niliitikia salamu yake huku nikimwangalia kwa kificho na kwa udadisi zaidi, niliweza kuuona vizuri urembo wake wa asili ingawa alikuwa amejiongezea kwa mapambo mengine ya gharama.

Tabasamu na macho yake yaliyojawa na haya vilikuwa vimefanikiwa kuzigaragaza hisia zangu na hivyo nikaona kuwa ile ndiyo ilikuwa fursa adimu ya kufunguka na pengine ningeweza kuanzisha penzi jipya japo sikujua alikuwa anaelekea wapi.

“Samahani mrembo, ni vizuri tukafahamiana, kwa vile tunasafiri pamoja… Naitwa Jason Sizya. Sijui unaitwa nani mrembo wangu?” nilimuuliza yule msichana huku nikiendelea kutabasamu.

Yule msichana aliachia mguno huku akikunja sura yake kisha akainamisha uso wake chini na kufumba macho yake kwa kitambo fulani, alionekana akiwaza jambo kabla hajauinua tena uso wake na kunitazama kwa namna ambayo sikuweza kufahamu moja kwa moja maana yake, alikuwa ananitazama huku akitabasamu. Sikutaka kukata tamaa, nikamtupia tena swali.

“Unaitwa nani mrembo, au ni dhambi kufahamiana?” niliuliza tena huku nikimtazama usoni. Bado aliendelea kutabasamu huku akiwa kimya.

Sorry kama nimetaka kujua jambo ambalo pengine wewe hupendi, I am so sorry once again…” nilijikuta nikimwambia huku moyoni nikijilaumu kwa kuonekana najipendekeza kwake kwani alionekana kunitazama kama aliyekuwa akinidharau hivi.

Yule mrembo aliendelea kunitazama kwa kitambo fulani bila kusema lolote, kisha akaangua kicheko kikali kilichowafanya abiria wengine ndani ya basi wageuke na kutuangalia kwa mshangao. Akiwa bado anacheka aliniambia, “Nafurahi sana kukufahamu bwana Jason Sizya.”

Kitendo cha kucheka kikanifanya nichukie sana. “Sasa mbona unanicheka?” nilimuuliza huku nikishindwa kuificha hasira yangu.

“Aa… nimefurahi tu kusikia eti unataka tufahamiane. Bila shaka utaniambia pia unataka tuwe wapenzi, au siyo Mr Handsome Boy?” yule msichana alinihoji. Sauti yake ilikuwa imebeba aina fulani ya kejeli.

Roho iliniuma kupita maelezo na ilibaki kidogo niachie msonyo mkali kwani suala la kuoneshwa dharau na msichana sikulipenda kabisa. Ili kuepusha shari nikaamua kubaki mtulivu kama niliyemwagiwa maji ya baridi.

Yule msichana aliendelea kunitazama kwa macho yake yaliyojawa na haya kama aliyekuwa akinisaili. “Am sorry too kama nimekuudhi, Mr Handsome Boy,” akasema kwa sauti tulivu ya chini huku akitabasamu kwa aibu.

Sikuweza kusema neno kwa sababu donge la hasira lilikuwa limenikaba kooni kwangu na hivyo nikaona kubaki kimya ndiyo lilikuwa jambo la busara. Yule msichana alinitupia jicho na kutingisha kichwa chake kwa huzuni huku akishusha pumzi za ndani kwa ndani.

“Aa, basi usinune mpenzi wangu, Mr Handsome Boy. Sijui kama unajua kuwa ukinuna unakuwa mbayaa!” yule msichana aliniambia kwa utani huku akishika kidevu changu chenye ndevu chache zilizoanza kujitokeza. Kisha akanisogezea mdomo wake na kuanza kuninong’oneza sikioni kwangu maneno yasiyoeleweka.

“Nini!” niliuliza kwa sauti ya mshangao huku nikimkodolea macho kana kwamba alichotamka yule msichana kilikuwa kitu cha kutisha mno.

Yule msichana akanisogezea tena mdomo wake, safari hii aliuingiza ulimi wake sikioni kwangu na kuufanya mwili wangu usisimke. Nilishtuka sana na kushindwa kulizuia tabasamu langu. Nilimtazama yule msichana kwa mshangao mkubwa nikamwona akiachia tabasamu lililojaa haya kabla hajaangua tena kicheko, lakini safari hii kilikuwa kicheko hafifu.

“Yaani wewe! Nilijua tu tangu jana kuwa wewe ni malaya sana!” yule msichana alisema na kunifanya nishtuke kidogo. “Hivi unawezaje kulala na mwanamke usiku halafu asubuhi ukamsahau na kuanza kumtongoza tena?”

Kauli yake ilinishtua sana, nilimtazama kwa umakini huku nikijaribu kuvuta kumbukumbu kama nilishawahi kukutana naye sehemu yoyote lakini sikukumbuka kabisa.

“Kwani mimi na wewe tunafahamiana?” nilimuuliza swali lililomfanya aangue tena kicheko na kuwafanya abiria wengine watuangalie kwa mshangao.

“Tangu nilipokuona jana nilijua tu kuwa hujatulia! Haiwezekani kwa mwanamume mtanashati kama wewe kutulia. Ndiyo maana sikukuamini hadi nikaamua kukupima kwanza HIV kabla hatujafanya chochote,” yule msichana alisema huku akiniangalia kwa macho ya kunisuta.

“Kha!” nilijikuta nikishangaa sana maana alichokuwa akikiongea kilikuwa kigeni kabisa kwangu.

“Unachoshangaa nini, kwani kuna kipi cha ajabu hapo?”

“Ah, mambo ya kupimana HIV tena!” nilisema na hapo yule msichana akadakia.

“Ili yasikutokee hayo inabidi ubaki njia kuu na uachane na michepuko!”

Sikutaka kujiuliza mara mbili kuhusu huyo msichana kwani sura ya Rahma, yule msichana mwenye asili ya Kiarabu ambaye rafiki yangu Majaliwa alinikutanishwa naye katika eneo la Chemchem ilinijia ghafla machoni kwangu.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

17

Nilipomtazama yule msichana kwa umakini huku nikijaribu kuyatuliza vizuri mawazo yangu, nikaiona ile sura ya Rahma wa usiku, na wala haikuwa akili ya pombe, alikuwa ni Rahma. Hali ile ikanifanya nitokwe na jasho jepesi mwilini huku mapigo ya moyo wangu yakianza kwenda mbio.

“Wewe ni Rahma wa Singida?” ghafla nilimuuliza swali kama mtu hamnazo.

“Hehee! Nilitaka nikuone tu, kumbe unanikumbuka eh?” yule msichana aliuliza kwa sauti ya mkwara huku akiachia tena kicheko.

Sasa abiria wengine hawakugeuka kutuangalia maana walishamzowea Rahma. Nilibaki nikimtumbulia macho huku nikiwa sijui niseme nini. Nikaanza kuvuta kumbukumbu kichwani kwangu, picha iliyonijia ni kwamba rafiki yangu Majaliwa alimtambulisha kwangu mwanamke wa Kiarabu aliyeitwa Rahma, kisha tulikula na kunywa, basi! Nilipojaribu kukumbuka mengine kichwa changu kiligoma kabisa kuyakumbuka!

“Mbona uko kimya, au unajaribu kulikumbuka sebene la usiku?” Rahma aliniuliza baada ya kuniona niko kimya nikimtumbulia macho, aliyasema hayo huku akiyakwepa macho yangu na kutazama chini kwa aibu.

“Sebene lipi, mbona silikumbuki!” nilimuuliza Rahma huku nikijaribu kuvuta kumbukumbu lakini sikuweza kupata picha.

“Unajifanya kuzuga! Kisa cha kunikatia shanga zangu utadhani ulikuwa na kisasi na mimi ni nini!” Rahma alisema kwa mshangao huku akiachia mguno.

“Halafu vile ulivyonibinua na kunivuta nywele zangu kama ulikuwa na hasira na mimi ndo nini? Yaani hapa kichwa chote kinaniuma utadhani mgonjwa wa malaria, kwa kweli ulivyonifanyia usiku sitakuja kukusahau? Mwanamume ulikuwa kama chatu mwenye hasira kali!”

“Acha fiksi zako wewe!” nilisema kwa mzaha huku nikicheka, japo moyoni nilikuwa nashangaa.

“Fiksi? Hak’ya mungu naapa sijawahi kukutana na mwanamume wa aina yako anayejua kumchezesha mtu kwata! Yaani ulinipelekea moto hadi nikawa nahisi unataka kukivunja kizazi changu, na huo mkao ulioniweka sikuweza hata kukurupuka!” Rahma alisema huku akikunja uso wake na kumeza mate mithili ya mtu aliyelambishwa ndimu kisha akatingisha kichwa chake taratibu.

“Ya kweli hayo?” nilimuuliza Rahma nikiwa siamini kile alichokuwa akikisema lakini nilipomtazama usoni nikaona kuwa hakuwa akiongopa bali alikuwa akimaanisha. Hata hivyo bado kichwa changu kiligoma kabisa kuyakumbuka hayo aliyokuwa akiyasema Rahma!

“Jason, mimi ni gwiji kwenye suala la mahaba, tena si gwiji tu bali kungwi la makungwi na sijawahi kumsifia mwanamume ila wewe acha nikupe heshima yako, yaani ulinimudu kila idara hata hujanipa nafasi ya kuucheza mchezo…”

“Nikupe nafasi ili unifunge magoli ya kizembe!” nilitania ili kujaribu kunogesha maongezi japo sikuwa nakumbuka lolote. Dah, sikuwahi kunywa pombe kiasi cha kupoteza kumbukumbu za mambo niliyofanya!

“Haha, nilijua tu unajifanya hukumbuki kumbe ulikuwa unazuga. Yaani hapa nilipo nimechoka balaa, mwili wote kama si wangu! Kiuno chote hoi!” Rahma alisema huku akikunja sura yake.

“Mmh, basi pole!” ndilo neno pekee nililomudu kulitamka kwa wakati ule.

“Wewe nibeze tu na pole yako ya uongo na kweli, yaani hadi sasa bado najihisi kizunguzungu. Ilibaki kidogo tu nishindwe kuamka alfajiri ili niwahi basi…” Rahma alisema huku akiyafinya macho yake. Nikakumbuka kuwa wakati naingia kwenye basi nilimkuta akiwa amejiinamia huku ameyafinya macho yake.

“Halafu mbona hukuniambia kuwa na wewe una safari leo ningekuamsha tuondoke pamoja! Kwa jinsi nilivyokuacha umelala chakari sikujua kama leo unasafiri!” Rahma aliniuliza huku akiniangalia machoni.

“Huenda nilisahau kukwambia. Samahani kama sijakwambia,” nilisema huku nikijilaumu kwa kutokumbuka mambo yaliyotokea usiku kati yangu na Rahma.

Hakika katika maisha yangu sikuwahi kunywa pombe nyingi kiasi cha kushindwa kukumbuka mambo niliyofanya! Kama Rahma angekuwa na tabia ya udokozi angeweza hata kuniibia na nisijue nani kaiba.

“Kwa zile pombe kali ulizokuwa ukigida jana, mwanamume nilikuvulia kofia, yaani unakunywa kiama!” Rahma alisema huku akinipigia saluti.

“Basi nikajua utaunguza hadi utumbo na shughuli usiiweze tena. Wakati tunaelekea kwako nilidhani nimeokota garasa na tukifika ndani basi mbuyu ungelala puh! Duh, kumbe nilijidanganya! Si nikakutana na gwaride ambalo sijawahi kupigishwa tangu nizaliwe!” Rahma aliongea huku akitoa macho na kuchezesha mikono kuyasindikiza maneno yake. Kope zimemsimama kama miba ya nungunungu!

Nilimtazama Rahma usoni nikaona kuwa hakusemea utani, alimaanisha kiasi cha kunifanya nijikute nikiachia kicheko kikubwa kilichowafanya abiria wengine ndani ya lile basi wageuke kuniangalia kwa mshangao.

“We nicheke tu,” Rahma alisema akiwa amenuna, kisha akaachia kicheko hafifu cha kishambenga, kama ilivyokuwa haiba yake, na kuniangalia kwa aibu.

“Pole mwaya,” nilisema huku nikitabasamu lakini Rahma alijifanya kununa, nilipeleka mkono wangu kwenye mbavu zake na kumtekenya, akaruka huku akiachia kicheko.

“Yaani wewe! Jinga kabisa!” Rahma alisema kwa utani huku akinitia singi usoni. Wote tukacheka.

Kisha kilitokea kitambo fulani cha ukimya, nilikuwa najaribu kuyatafakari maneno ya Rahma huku nikijaribu kuvuta kumbukumbu lakini bado picha ya kile kilichokuwa kimetokea usiku kati yangu na Rahma ilikataa kuja kichwani kwangu.

Nikiwa katika kutafakari, Rahma alinisemesha, “Jason naomba unisamehe tafadhali, kabla sijakuuliza swali ambalo ni la kibinafsi kabisa.”

Nilimtazama Rahma kwa wasiwasi kidogo kisha ilibidi nilikohoa kidogo kurejkebisha sauti yangu na kumuuliza, “Ni swali gani hilo, mbona unanitisha!”

“Hapana, wala usiogope. Swali lenyewe ni la kawaida sana lakini ni kwa watu wanaojuana na waliozoweana zaidi, kwa wasiozoweana kama hivi mimi na wewe ni lazima tuombane radhi kwanza,” Rahma alisema huku akinitazama kwa tabasamu.

“Hatujazoeana vipi wakati unayajua mauno yangu na unaujua hadi mkato wa chumba changu!” nilimtania Rahma huku nikiachia kicheko hafifu.

“Hebu acha masihara yako bwana, ujue mimi niko serious,” Rahma alilalamika huku akinitazama kwa macho malegevu yaliyojaa aibu.

“Sawa, Rahma, niko radhi wewe niulize tu hicho unachotaka kuniuliza,” nilimwambia Rahma huku nikishusha pumzi za ndani kwa ndani.

Kusikia hivyo, Rahma alitulia kidogo na kuinamisha uso wake chini kama vile alikuwa amelisahau swali alilotaka kuniuliza, kisha baada ya kitambo kifupi aliinua uso wake kunitazama usoni kwa macho yaliyojaa haya.

“Hivi Jason umeoa?” Rahma aliuliza huku akiyatuliza macho yake kwenye uso wangu. Nilihisi kuwa alikuwa anajitahidi kudhibiti donge la wivu kooni mwake na hivyo nikaachia tabasamu kubwa lililonifanya nionekane mtanashati zaidi.

“Ningekuwa na mke sidhani kama ningekupeleka nyumbani kwangu,” nilimjibu Rahma kwa sauti tulivu.

“Inategemea maana ninyi wanaume hamtabiriki. Okay… labda una mchumba? Au tusemee… girlfriend tu?” Rahma aliniuliza tena huku akiendelea kunitulizia macho yake usoni kwangu.

“Hapana, sijaoa. Sina mwanamke wala mchumba na… pia sina girlfriend,” nilimwambia Rahma pasipo mzaha wowote. Rahma akashangaa sana.

“Haiwezekani!” Rahma aliniuliza huku akinitumbulia macho yake malegevu.

“Kwan nini isiwezekane?” nilimuuliza Rahma huku nikimkazia macho.

“Kama huna mwanamke, mchumba au girlfriend basi una wanawake wengi, kwa jinsi ulivyo. Nina maana kuwa mwonekano wako, utanashati na umbo lako la kimazoezi, ni lazima utakuwa unawapanga foleni!” Rahma aliniambia kwa sauti dhaifu ya kinyonge huku akinikazia macho. Muda huo alionekana kuwa mbali na mzaha.

“Dah, kwani naonekana mkware sana, eh?” nilimuuliza Rahma huku nikijitazama kama niliyekuwa najikagua.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

18

“Sana. Tangu nilipokutia machoni mara ya kwanza nilijua tu wewe mhuni,” Rahma alisema huku akicheka cheka.

“Naamini hakuna mwanamke anayeweza kukukataa ukimtaka maana unavutia sana, na siamini kama huwataki hata kwa mapenzi ya mara moja au ya muda mrefu. Na kwa shughuli kama uliyonipa usiku nahisi hao wanawake wako wana kazi ya ziada,” Rahma alisema na kuangua tena kicheko, akacheka sana kiasi cha kunifanya nione haya.

“Labda niseme tu ukweli…” nilisema kwa sauti tulivu na kushusha pumzi. Nilimwona Rahma akiniangalia kwa shauku.

“Kwanza siamini kama duniani kuna mapenzi ya kweli na hivyo sijawahi kupenda na wala sina mpango wa kuoa…” nilimwambia Rahma maneno hayo kwa sauti kavu na tulivu.

“Kwangu mwanamke namchukulia kuwa kitu cha starehe kila nikishikwa na haja za kimapenzi namtafuta mwanamke nimtakaye na nimalizapo haja zangu huwa sina mpango naye kwa kuwa sipendi maisha ya kuoneana wivu, kubanana au kupangiana… sijui una swali jingine?” nilisema pasipo kujali angeyachukuliaje maneno yangu.

Rahma aliniangalia kwa kitambo fulani pasipo kusema neno, macho yake yalinitazama kwa tuo kama mtu ambaye hakuamini alichokisikia kama kweli kilitoka katika kinywa changu. Kwa dakika kadhaa hakuzungumza neno lolote na badala yake alikaa kimya akiupisha utulivu huku akitazama nje kupitia dirishani na nilipomtazama nikajua kuwa alikuwa amezama kwenye tafakuri.

Kisha akashusha pumzi ndefu na kuniuliza, “Enhe, kwa hiyo sasa unaelekea wapi Mr Handsome Boy?”

“Naenda Kahama, hivyo nitashuka Nzega na kutafuta gari jingine la kuelekea Kahama,” nilimwambia Rahma.

“Utakaa kwa muda gani Kahama?” Rahma aliniuliza kwa utulivu huku akitazama mbele.

“Mara baada ya kumaliza shughuli inayonipeleka huko, natumaini kuwa sitakaa sana nitarudi Tabora,” nilisema huku nikijiweka vizuri pale kwenye kiti changu.

“Kwa hiyo ndiyo ukaamua kunivizia uone basi ninalopanda ili na wewe upande humu humu, tena ukaomba na namba ya kiti ya karibu na mimi!” Rahma alisema kwa sauti tulivu iliyobeba utani kisha aliachia kicheko hafifu.

“Wala sikujua kama na wewe umo humu, sema imetokea tu baada ya basi tulilopanga kuondoka nalo kutuacha. Kwani wewe unakwenda wapi?” Niliongea kwa utulivu huku usoni nikiumba tabasamu jepesi la kirafiki.

“Kwani umesahau kuwa nilikwambia leo narudi Singida! Kweli wewe msahaulifu au ndiyo mawazo yako yalikuwa kwenye kumaliza haja zako tu kisha uachane na mimi!” Rahma alisema kwa sauti iliyobeba hisia za hamaniko, alionekana kubadilika kidogo na kuwa na uso wenye hamaniko na macho yalikuwa yanafikisha ujumbe fulani kwangu.

Dah! Nilibaki kimya nikimtazama kwa umakini usoni katika namna ya kumsoma, nikahisi jambo. Udadisi ulinishika nikawaza kuwa huenda alitamani sana kuwa katika uhusiano wa kudumu wa kimapenzi na mimi, hivyo jibu langu lilikuwa limemkatisha tamaa. Nilitulia kwa muda na hapo kikapita kipindi cha ukimya mfupi huku tukitazamana.

Maswali ya Rahma kwa namna moja au nyingine yalikuwa yameamsha hisia zangu na kuyaruhusu mawazo mengi kuanza kupitia kichwani. Kwani kwa namna moja au nyingine nilianza kuhisi kuwa Rahma alikuwa na matarajio fulani toka kwangu. Hata hivyo, nilifahamu kuwa sikupaswa kumlaumu kwani hakuna mwanamke yeyote aliyewahi kuwa na uhusiano na mimi na asitake uhusiano wa kudumu.

Wakati huo nilianza kuyatembeza macho yangu kutazama huku na kule nikagundua kuwa tulikuwa tunayavuka makazi ya watu katika kijiji cha Magiri na basi letu lilikuwa katika mwendo wa kasi.

Okay, sasa ni zamu yangu kukuuliza kama utaniruhusu niulize,” nilimwambia Rahma kwa sauti ya utulivu baada ya kile kitambo kifupi cha ukimya.

“Niulize tu, nitajibu kila swali utakalouliza,” Rahma alisema na kushusha pumzi.

“Je, wewe umeolewa?” nilimuuliza huku nikiyatuliza macho yangu usoni kwake kuyasoma mawazo yake.

Rahma alinitazama kwa umakini kwa kitambo kirefu kisha akaachia tabasamu na kubetua kichwa chake kukubali. “Ndiyo nimeolewa!”

Jibu lake lilinifanya nishikwe na mduwao kisha nikaumba tabasamu hafifu la matumaini usoni mwangu kwani sikutarajia kuwa angekuwa ameolewa.

“Na una watoto wangapi?” nilimuuliza swali lililomfanya atabasamu kidogo huku akiviminyaminya vidole vya mikono yake kama mtoto anayedeka kisha alinitazama kwa namna ambayo sikuweza kupata tafsiri mara moja.

“Sijabahatika kupata mtoto, lakini ninayafurahia maisha yangu,” Rahma aliniambia kwa utulivu huku akijitahidi kuwa mtulivu. Hata hivyo nilipomchunguza kwa umakini niligundua kuwa bado alikuwa kwenye hamaniko la moyo ingawa hakutaka kuonesha usoni.

Kisha alifunguka kwa kunieleza kuwa alikuwa ameolewa na mwanamume chotara wa Kiarabu aliyekuwa na umri sawa na baba yake. Yeye alikuwa mke mdogo kati ya wake wanne wa mzee huyo na alikuwa anapendwa kuliko wake wote na mzee huyo, ndiyo maana aliweza kumshawishi amruhusu kufanye biashara zilizomfanya kusafiri huku na kule.

Aliniambia kuwa mwanamume aliyemuoa alikuwa mfanyabiashara aliyekuwa anamiliki mabasi kadhaa na duka kubwa la jumla pale Singida mjini.

Kisha yalifuata maongezi mengine ya kawaida ya kufahamiana zaidi na hapo Rahma alinieleza mambo mengi kuhusu maisha yake na ya familia yake. Kwa kweli ilikuwa safari ya aina yake na tuliongea na kufurahia safari yetu.

Nami sikuacha maongezi yale yaelemee upande mmoja, hivyo nilikuwa natia vionjo vya hapa na pale vilivyomfanya Rahma ajikute akiangua kicheko cha kishambenga mara kwa mara, ingawa hata yeye hakuwa nyuma katika kuyanogesha maongezi yetu kwa kuchombeza maneno haya na yale ya kishambenga yaliyofanya tucheke na kufurahi njia yote.

Tulicheka na kufurahi halafu tulitulia, na kisha tukayaanza maongezi mengine. Katika maongezi yetu kuna kitu kilikuwa kinanijia sana akilini mwangu na kunikumbusha jambo, mwanzoni sikuwa nimegundua lakini kadiri tulivyoendelea na mazungumzo yetu niligundua. Kila nilikuwa namtazama Rahma nilijikuta kama vile nilikuwa namwona Nesi Salma.

Salma alikuwa muuguzi katika zahanati ya Mzumbe wakati nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari ya Mzumbe na nilimfahamu kwa mara ya kwanza baada ya kwenda zahanati nilipopatwa na malaria.

Kwa mwonekano na hata kwa umbo Rahma alionekana kushabihiana sana na Salma, na wote wawili walikuwa na asili ya Kiarabu, na Salma alikuwa anatokea Singida.

Mimi na Salma tulifikia hatua ya kuwa marafiki wakubwa na hata kuanza kumtembelea nilipopata muda wa kufanya hivyo. Ni katika kipindi hicho Salma alionesha waziwazi kuwa alinipenda sana, hata mimi nilimpenda na kumheshimu ingawa nilijitahidi sana kujizuia nisioneshe hali hiyo kwake hasa kwa sababu nilikuwa nimesikia tetesi kuwa alikuwa mwathirika wa virusi vya ukimwi.

Siku moja Salma aliniambia kuwa niende nyumbani kwake jioni ili nikachukue mzigo fulani muhimu sana. Nilistaajabu sana, na kilichonishangaza ni kitendo chake cha kutokuuleta huo mzigo pale shuleni lakini Salma alinitoa wasiwasi akitaka niufuate mwenyewe kwa kuwa ilikuwa ni ‘surprise’ ya nguvu na hakuwa amenieleza ni wapi mzigo huo ulitoka.

Salma alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga eneo la Misufini akiwa amepanga vyumba viwili, kimoja alikitumia kama sebule na kingine alikifanya chumba cha kulala. Hakuwa na mume wala mtoto na aliishi peke yake.

Nilifika nyumbani kwa Salma majira ya saa 12:30 jioni na kuusogelea mlango wake huku nikiupima utulivu wa mle ndani kwa kutega sikio langu kwa karibu kisha nikaanza kugonga taratibu pale mlangoni taratibu. Kimya!

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

19

Niligonga tena mara kadhaa bila ule mlango kufunguliwa na hali ile ikanishangaza kidogo huku nikihisi labda nilikuwa nimekosea mlango. Hata hivyo, nilipoyazungusha macho yangu kuangalia eneo lile nilipata matumaini kuwa bado nilikuwa sehemu sahihi. Hivyo nikaendelea kugonga tena kwa kishindo zaidi. Hata hivyo ule mlango haukufunguliwa wala sikuona dalili zozote za uwepo wa mtu mle ndani.

Sasa nilikuwa njia panda katika kuamua iwapo niondoke kurudi shuleni au nisubiri, upande mmoja wa nafsi yangu ulinisukuma kuwa niondoke na kurudi shuleni huku upande mwingine wa nafsi yangu ukinisukuma kuwa nivute subira.

Hata hivyo wakati nikiwa katikati ya hali ile mara nikasikia sauti ya Salma ikitokea mle ndani. “Nani tena jamani?”

“Ni mimi Jason, nimefuata ule mzigo ulioniambia,” nilijibu huku nikionekana kukereka kidogo. Mara nikaona kitasa cha ule mlango kikinyongwa na kisha ule mlango kufunguliwa taratibu.

“Aah, karibu pita ndani,” Salma alisema kwa sauti laini ya uchokozi huku akiachia tabasamu pana.

Salma alisimamia pale mlangoni akiniangalia kwa uchu kisha alishusha pumzi ndefu za ndani kwa ndani. Kwa sekunde kadhaa nikasimama pale mlangoni nikimkodolea macho Salma huku macho yangu yakishindwa kuamini kama kweli mwanamke yule mzuri niliyekuwa namshuhudia mbele yangu alikuwa ni yeye.

Huyu hakuwa Salma yule niliyekuwa namfahamu na nikimwona kule zahanati ya Mzumbe akiwa katika sare zake za kazi kwani jioni hiyo uzuri wake ulikuwa umeongezeka maradufu na kuzichakaza zaidi hisia zangu.

Alikuwa amevaa nguo nyepesi sana nyeupe iliyolifichua umbo lake maridhawa na kuyaonesha maungo yake bila kificho chochote. Macho yake malegevu yalikuwa yananitazama kwa tuo kama mtu ambaye hakuamini alichokuwa anakiona mbele yake. Macho yangu yalifanya ziara ya kushtukiza kifuani pake na hapo kupitia kivazi chake chepesi nikaziona chuchu zake laini zilivyosimama kwa utulivu juu ya maziwa yake madogo.

Kisha macho yangu yakahama hadi tumboni kwake na hapo nikakiona kitovu chake laini chenye kishimo kidogo kikitengeneza ziada nyingine ya uzuri wake. Macho yangu yalipofika kiunoni pake nikaiona nyonga yake laini yenye mifupa miteke iliyopakana na mzigo imara wa makalio yake. Sasa nilianza kuhisi mwili wangu ukinisisimka kwa ngono, na muda huo Salma aliamua kuvunja ukimya baada ya kuitazama saa yake ya mkononi.

“Jason, umekuja…” Salma alisema kwa sauti ya kunong’ona.

“Ndiyo dada!” nilijibu huku nikishusha pumzi nyingi.

“Umefika muda mrefu?” Salma aliniuliza huku akiniangalia kwa umakini usoni kama aliyekuwa anajaribu kuyasoma mawazo yangu.

“Ndiyo, na nilikaribia kukata tamaa,” nilimwambia.

“Umefuata ule mzigo?” Salma aliuliza huku akiyarembua macho yake.

“Ndiyo, dada…” nilijibu huku nikiwa katika mduwao maana sikuelewa kwa nini muda wote huo alikuwa ananiuliza maswali wakati ni yeye aliyekuwa ameniita pale kunipa mzigo.

Nilishuhudia tabasamu jepesi likichomoza usoni mwake kisha alirudi ndani huku akinitaka niingie. Bila kusita, nilipiga miguu yangu kwenye zulia dogo lililokuwepo mlangoni ili kutoa mchanga kwenye viatu vyangu kisha nikaingia ndani.

Nilishangaa kujikuta nikitokea chumbani badala ya sebuleni na niliyoyaona mle chumbani yalinifanya niduwae zaidi. Macho yangu yalikimbilia kuangalia kitandani. Kumbe Salma aliporudi ndani alikwenda kujilaza pale kitandani chali, miguu yake akiitawanya huku na kule kiholela na kuifanya ile nguo yake nyepesi kufunuka na kuyaacha mapaja yake wazi.

“Hebu utizame mzigo wako hapo kwenye dressing table,” Salma aliniambia huku kidole chake cha shahada kikinionesha kwenye meza yake ya vipodozi.

Niliifuata ile meza yake ya vipodozi kama alivyoniambia lakini macho yangu yalilazimika kufanya kazi ya ziada kwa sababu miguu ya Salma ilielekea huko huko ilipokuwepo meza yake ya vipodozi. Pasipo kupenda macho yangu yalipenya katikati ya miguu yake na aliniona na kujifanya kuibana miguu yake kivivu kisha aliiachia tena.

Nilijikuta navutiwa sana na mwili wangu kusisimka, nikameza mate ya tamaa huku nikijikakamua kumuuliza, “Kwa nini hukuniletea huu mzigo shuleni?”

“Nikwambie mara ngapi kuwa hii ni surprise?” salma alisema na kuongeza, “Lakini…” kisha akasita.

“Lakini nini?” nilidadisi huku nikimkazia macho usoni kwani tayari nilikwisha hisi kuwepo dosari.

Salma aliachia kicheko cha mahaba kisha alijigeuza pale kitandani, na kwa kufanya vile ile nguo yake ilipanda juu na kuuonesha mwili wake mzuri wenye mapaja yaliyonona. Lile umbo lake zuri lilijidhihiri mbele yangu na wakati huo Salma alikuwa amekwishajaa upepo wa tamaa, alikuwa anatweta kwa uchu lakini sauti haikutoka.

Kisha alijiweka vizuri juu ya kitanda huku akiichanua miguu yake, mkao aliokaa ulikuwa mwito wa wazi kuniruhusu niyavinjari maungo yake.

“Hebu kaa hapo kwanza, kuna jambo nataka tuzungumze… nahitaji msaada wako,” Salma aliniambia kwa sauti yenye kitete huku akinionesha kiti kilichokuwepo mle chumbani mbele yake.

Cha ajabu wala sikupinga, nilikaa huku nikimwangalia kwa matamanio. Kwa nukta kadhaa tulibaki tumetazamana pasipo kusema chochote. Tendo lile lilikuwa la makusudi ili nione ule mfungamano wa nyama nene za mapaja yake, na ndivyo ilivyokuwa. Macho yangu yalipenya, Salma aliona akatabasamu na kuyaachia tena mapaja yake.

Hapo nikashindwa kabisa kuivumilia hali ile. Nilitamani kumvamia kisha nimsulubu hadi ashindwe kunitazama usoni lakini nikasita sana baada ya kukumbuka tetesi zilizosambaa kuwa alikuwa mwathirika aliyeishi na virusi vya ukimwi.

“Dada, nieleze basi niondoke, nina assignment ya kufanya shuleni,” nilimsihi Salma huku nikionekana kuanza kukereka.

“Haraka ya nini wakati hapa ni kama kwako?” Salma alijibu huku akiachia tabasamu kwa uchovu wa uchu wa penzi.

Kisha alijiinua taratibu akanisogelea na kupiga magoti mbele yangu. Alianza kuyapapasa mashavu yangu taratibu bila kujua kuwa jambo lile liliniudhi sana, kisha aliipitisha mikono yake nyuma ya shingo yangu na kufanya chuchu za matiti yake kukitekenya kifua changu na hivyo kusababisha joto kali la mwili wake linisisimue mno. Salma alionekana kuwa na kiu sana ya mapenzi na sikutaka kuamini kuwa hakuwa na mwanamume wa kumaliza haja zake.

“Jason…” Salma aliita kwa sauti iliyoonesha dhahiri kuwa tayari alikuwa amekwishawaka tamaa, maungo yake yalionesha kuchoka kwa ashiki hata nguo yake ilishindwa kayasitiri vyema.

“Naomba nipishe,” nilimaka kwa hasira huku nikimtazama Salma kwa mshangao.

“Sitaki!” Salma alikataa na kujilegeza zaidi kifuani kwangu kisha akanivuta karibu na kuniletea mdomo wake akitaka tubadilishane ndimi zetu huku akiongeza mipapaso.

“Niachie!” nilifoka huku nikijaribu kuleta pingamizi kwa vile sikuwa tayari kufanya mapenzi na Salma lakini sikufanikiwa.

Salma hakujali, aliachia tabasamu akanizungushia macho yake mapole yaliyoonekana kuchoka, alikuwa ameamua kujianika kwangu, alikuwa amejirahisi mno na muda huo alikuwa anasubiri tu ukware wangu kumchapa bakora ya kiutu uzima.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

20

“Nakuheshimu sana, Salma, na wala sikutegemea kama ungeweza kufanya mambo ya kipuuzi kiasi hiki. Kwa kweli sijafurahishwa na haya uyafanyayo,” nilisema huku nikimsukuma kando kwa nguvu na kisha nikainuka kwa hasira.

Baada ya kuinuka niliufuata haraka mlango ili nitoke mle chumbani kwake. Kitendo kile kilimuudhi sana Salma, alipitia khanga yake iliyokuwa juu ya kitanda na kujifunga upesi upesi kisha akanifuata pale mlangoni na kunikabili.

“Sasa ndiyo unaenda wapi?” Salma aliniuliza kwa hasira. Sikumjibu, nilifungua na kutoka.

“Mhu!” Salma alibetua midomo yake kwa ghadhabu na kuongeza, “Huna lolote usiyejua kupendwa!”

Sikumjali, nilianza kuondoka toka eneo lile huku nikifuatiwa na msonyo mrefu wa hasira.

_____

Nilikuja kuzinduka kutoka kwenye lindi la mawazo ya kumfikiria Salma na kushangaa sana kuona kuwa tayari tulikuwa tumeingia Tazengwa, nje kidogo ya mji wa Nzega. Nilipomtazama Salma nikagundua kuwa alikuwa amepitiwa na usingizi.

Hadi tunafika pale Tazengwa nilikuwa nimeshatambua kuwa Rahma na Salma walikuwa na mengi waliyoshabihiana kama mwonekano, maumbo, uchakaramu, asili ya Kiarabu, na pia wote walikuwa wanatokea Singida. Jambo ambalo sikujua ni kama walikuwa na uhusiano wa kindugu au la. Pia mbali na uzuri waliotunukiwa wote wawili Salma hakuwa ameolewa wakati Rahma alikuwa mke wa mtu lakini ingawa wote wawili walionekana ni makahaba wazoefu waliochina kwa ujuvi wasibakishe chochote hata kile kilichowapa urijali…

Nilishtushwa baada ya basi letu kupunguza mwendo wake ghafla. Nikainua kichwa na kutazama mbele na hapo nikawaona askari wa usalama barabarani waliokuwa umbali mfupi mbele yetu baada ya kuuvuka mzunguko wa barabara katika eneo lile la Tazengwa.

Wakati tukiwakaribia wale askari wa usalama barabarani haraka nikagundua kuwa walikuwa watatu, mwanamke mmoja na wanaume wawili na askari mmoja alikuwa amesimama katikati ya barabara akimwonesha dereva wetu ishara ya mkono kuwa apunguze mwendo na kusimama. Askari wawili waliosalia mmoja alikuwa amesimama upande wa kushoto na mwingine alikuwa amesimama upande wa kulia wa barabara ile.

Kitendo cha mwendo wa gari letu kupungua ghafla kilimfanya Rahma ashtuke kutoka kwenye usingizi na kuinua uso wake kunitazama kisha akayahamishia macho yake kutazama kule mbele na kuonesha mshangao. Japo sote tulikuwa na uchovu lakini huenda Rahma alikuwa na uchovu mwingi zaidi. Kwa kauli yake mwenyewe, shughuli pevu ya usiku wa siku iliyokuwa imetangulia kule chumbani kwangu ilikuwa imemwacha hoi ndembendembe.

“Kumbe tumeingia Nzega?” Rahma aliniuliza kichovuchovu huku akiitazama saa yake ya mkononi kisha alipiga miayo mfululizo na kuwatazama wale askari wa usalama barabarani.

“Pole sana mpenzi, naona umechoka sana hadi ukaamua kuuchapa usingizi,” nilimwambia Rahma kwa nmna ya kumchokoza.

“Yote hii ni kwa sababu yako, Jason. Jana ulinichosha sana kwa gwaride lako la kijeshijeshi,” Rahma alisema huku akiangua kicheko hafifu kilichonifanya nitabasamu.

“Naona muda mfupi ujao tutashuka, nipe basi namba yako ya simu ili tuwe tunawasiliana,” nilimwambia Rahma huku nikimpa simu yangu aandike namba yake.

“Namba ipi unayoitaka? Kwani ile niliyokupa usiku umeifuta? Hebu angalia kama hakuna jina la Rahma Mwarabu kwenye simu yako,” Rahma alisema huku akifungua sehemu yenye majina yaliyohifadhiwa kwenye simu yangu. Akanionesha jina lililoandikwa Rahma Mwarabu.

“Kwani baba yako anaitwa Mwarabu?” nilimuuliza Rahma kwa mshangao.

“Si wewe uling’ang’ania eti iandikwe Rahma Mwarabu ili ukumbuke vizuri, sijui una Rahma mwingine Mzungu au Mchina?” Rahma alisema na kunifanya nizidi kushangaa. Nilihisi kama kichwa changu kikinivangavanga.

* * *

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

21

Una Bahati Sana…


Saa 6:50 mchana.

BASI la abiria lililokuwa na maandishi ubavuni ya MAKENGA TRANS aina ya Ashok Leyland lililofanya safari zake kati ya miji ya Nzega na Kahama lilikuwa limeegeshwa katika stendi kuu ya mabasi ya Mji wa Nzega, stendi iliyopo katika eneo la Sagara, nje kidogo ya mji huo wa kibiashara.

Ndani ya basi la Makenga, tulikuwemo abiria wengi tuliokuwa tumeketi kwa utulivu mkubwa na kila mmoja alionekana kuwa na hamsini zake japo sauti za chini au minong’ono ilisikika kwa baadhi ya abiria. Hata hivyo, bado kulikuwa na nafasi kadhaa za viti ambazo zilikuwa tupu, hasusan katika sehemu ya nyuma ya basi hilo.

Wakati wote tukiwa ndani ya basi la Makenga, wapiga debe wa stendi kuu ya mabasi Sagara mjini Nzega waliendelea kuita abiria pasipo kuchoka, walizunguka huku na huko kutafuta abiria ili mradi tu waweze kutimiza takwa la wenye mabasi la kujaza abiria ili wapate chochote.

Mimi na Eddy baada ya kushuka toka katika basi la Mambosasa lililokuwa linatoka Tabora mjini kuelekea Singida, wapiga debe walituchangamkia mara baada ya kutuona tukishuka toka ndani ya basi hilo, tukapata nafasi ndani ya basi hilo la Makenga tulilolikuta hapo.

Wapiga debe hao vijana machachari walikuwa wanahanikiza kuwashawishi abiria kupanda mabasi yaliyokuwepo hapo. Kwa kweli tusingejua uwepo wa basi la Makenga kama isingekuwa wapiga debe hao kutushawishi wakituaminisha kuwa basi la Makenga lingeondoka kuelekea Kahama baada ya muda mfupi.

Mimi na Eddy tuliketi kwa utulivu kwenye viti vya katikati tukiwa sehemu ya abiria, wakati huo Eddy alikuwa ameinamia kwenye kiti cha mbele yake na kuegemeza kichwa chake juu ya mikono yake aliyoikunja na kuuchapa usingizi wa kichovu, bila shaka kwa kutopata usingizi mzuri usiku wa kuamkia siku hiyo ya safari.

Kama yalivyokuwa maeneo mengi ya stendi za mabasi nchini hata stendi ile ya mabasi ya Sagara mjini Nzega ilikuwa imetawaliwa na pilika pilika nyingi za kibinadamu. Kulikuwa na pilika za wachuuzi wa biashara ndogondogo, wauza CD za muziki na filamu za ndani na nje, wauza urembo, wauza matunda kwenye masinia, migahawa midogo kwa ajili ya kuuza vyakula kwa wasafiri, wauza magazeti japokuwa magazeti yenyewe yalikuwa ya siku mbili nyuma kwa sababu ya kuchelewa kufika katika mji huo, na maduka ya bidhaa mbalimbali kuzunguka eneo la stendi ile.

Kwa wakati wote tukiwa hapo Sagara mjini Nzega, niligundua kuwa stendi ile ya mabasi ya Sagara Nzega ilikuwa kiungo muhimu sana kati ya mji huo na maeneo mengine ya nchi, kwa kuwa ilipitiwa na barabara kuu za kuelekea Tabora, Singida hadi Dar es Salaam, Shinyanga hadi Mwanza, na Kahama hadi Kigoma na Bukoba. Lakini pia magari yaliyofanya safari zake kwenda nchi za jirani hususan Rwanda, Burundi na Uganda yalipitia katika mji huo wa Nzega.

Jambo lingine nililofahamu ni kuwa mji wa Nzega ulikuwa mmoja kati ya miji michache iliyozungukwa na migodi ya madini hususan dhahabu, na kuufanya kuwa mji uliochangamka zaidi kutokana na muingiliano wa watu kutoka sehemu mbalimbali. Kwa namna ambavyo mji wa Nzega ulikuwa umechangamka, vivyo hivyo stendi ile ya mabasi, japo ilikuwa bado mpya, ilikuwa imechangamka sana.

Kwa takriban dakika 40 tangu tupate viti ndani ya basi la Makenga tuliendelea kusubiria abiria wengine wachache wa kujazia nafasi chache zilizobaki hasa kwenye viti vilivyokuwa nyuma ndipo tuanze safari yetu ya kuelekea mji wa Kahama.

Kwa mujibu wa abiria wengine tuliowakuta ndani ya basi hilo la Makenga, niligundua kuwa safari yetu kuelekea katika mji wa Kahama ingepitia katika barabara iliyokuwa inapitia Itobo, na ingetuchukua saa mbili na ushee kupitia Itobo hadi kufika katika mji wa Kahama, mji ambao ulikuwa unakua kwa kasi kubwa na ulisifika kuwa kitovu cha biashara katika ukanda huo (business hub).

Abiria mmoja aliyeketi kiti cha mbele yetu aliniambia kuwa barabara ile ya kupitia Itobo haikuwa ikipitiwa na mabasi mengine ya abiria ya kuelekea Kahama, kwani mabasi mengi yaliyofanya safari zake kati ya miji ya Nzega na Kahama yalikuwa yanapita katika barabara kuu ya kuelekea Mwanza na yalipofika eneo la Tinde yaliiacha barabara hiyo na kukunja kushoto yakaifuata barabara ya kuelekea Kahama kupitia miji midogo ya Isaka na Kagongwa.

Kwa muda mrefu tuliendelea kukaa ndani ya lile basi na sikuona dalili za kuondoka kwa sababu dereva hakuwemo ndani ya basi na wala sikujua ni wapi alikokwenda, na hata nilipomtaka kondakta wa basi hilo amweleze dereva wake tuondoke nilitakiwa kuwa na subira kwa kuwa, kwa utaratibu wao wasingeweza kuondoa gari kama viti vilivyokuwa tupu havijaenea abiria.

Sikuwa na namna nyingine ya kufanya isipokuwa kuwa mpole na kusubiri kwa kuwa hakukuwa na abira yeyote aliyeonekana kuniunga mkono. Hii ilionesha kuwa abiria wengine walishaizowea hali ile au huenda hawakuwa na namna nyingine ya kufanya. Na hivyo ukimya uliendelea kutawala mle ndani ya basi.

Ukiacha lile basi la Makenga tuliloliabiri, pia kulikuwa na mabasi mengine machache yaliyokuwa yameegeshwa katika stendi ile ya Sagara mjini Nzega yakijaza abiria ili kuelekea maeneo mengine tofauti, huku abiria wengine wachache na mizigo yao wakionekana kusimama chini wakisubiria mabasi yaliyoelekea waendako.

Baadhi ya abiria hao walionekana kuchoka kusubiri, hata hivyo, wapiga debe wa eneo lile la stendi ya Sagara mjini Nzega waliendelea kuwatoa hofu abiria hao kuwa na subira kwa kuwa mabasi waliyoyasubiria yalikuwa njiani kuja na muda si mrefu wangepata usafiri.

Hali ya ukimya ilipoonekana kuzidi kutawala ndani ya basi letu niliamua kuanzisha mada za hapa na pale kwa abiria wenzangu katika namna ya kuchangamshana lakini mwitikio ulikuwa hafifu sana, kwani kila mmoja alionekana kuchoka au kuwaza juu ya safari na mambo yake. Kutokana na mwitikio hafifu kama ule uliojionesha kwa abiria wenzangu uliifanya hata ile hali iliyozoeleka kwa Watanzania ya kujali umoja, undugu na urafiki kutoweka kwa muda.

Hali ile ya ukimya ikanifanya kuanza kutafakari kuhusu safari ile ya kwenda Buzwagi Kahama, ambapo mimi na Eddy tulikuwa tumeitwa kwa ajili ya usaili wa kazi katika mgodi wa dhahabu wa Buzwagi.

Katika safari hiyo, mimi nilikuwa nakwenda kufanya usaili kwa nafasi ya Meneja wa Tehama, kazi ambayo kiukweli nilikuwa na imani kubwa kuwa ningeipata kwa kuwa nilijivunia sana utaalamu wangu adimu wa kukaa nyuma ya tarakilishi (computer) na kubofya kicharazio (keyboard) ili kuifanya dunia kuwa sawa na kijiji.

Ukweli nilikuwa mjuzi sana kwenye mambo ya teknolojia kiasi cha wengi kuniita computer wizard. Hizo zilikuwa baadhi tu ya sifa muhimu nilizokuwa najivunia za kunifanya nisiikose kazi hiyo ya meneja wa tehama katika mgodi wa Buzwagi. Lakini pia nilikuwa msomi niliyehitimu Shahada ya Computer System Analysis kutoka chuo cha Pretoria Technikon – Institute of Technology cha nchini Afrika Kusini.

Eddy kwa upande wake alikuwa anakwenda kufanya usaili kwa nafasi ya Ofisa wa Sheria kwa kuwa yeye alikuwa na Shahada mbili za sheria, Shahada ya Kwanza (LLB) alikuwa amehitimu toka St. Augustine University of Tanzania (SAUT) cha jijini Mwanza, na Shahada ya Umahili (LLM) kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge cha nchini Uingereza, kabla ya kufanya kazi kama mwanasheria na wakili wa Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, na kwa kushirikiana na rafiki zake wawili waliweza kuanzisha kampuni ya uwakili ya ‘Troika Advocates & Co’.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

22

Japokuwa hakuna kati yetu aliyekuwa amefika katika mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wala katika mji wa Kahama lakini niliufahamu vyema mgodi huo wa dhahabu kwa kusoma habari zake na niliyajua mengi yaliyouhusu mji wa Kahama kupitia kwa rafiki yangu Swedi Mabushi, ambaye alikuwa anaishi mjini Kahama na kufanya kazi katika mgodi huo wa dhahabu wa Buzwagi, akiwa na nafasi ya Meneja Utawala Msaidizi.

Huyo Swedi Mabushi tulisoma pamoja kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne katika Shule ya Sekondari ya Mirambo mjini Tabora na baadaye tukawa pamoja tena katika Shule ya Sekondari ya Mzumbe, Morogoro kwa masomo ya kidato cha tano na cha sita. Kisha tukaachana baada ya mimi kwenda nchini Afrika Kusini na yeye kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa masomo ya Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Jamii.

Swedi alikuwa na kaka aliyeitwa Suluhu Mabushi, ambaye wengi walidai kuwa ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kuvumbua uwepo wa madini ya dhahabu katika eneo lile la mgodi, wakati huo eneo hilo likiwa sehemu ya mashamba ambayo kwa sehemu kubwa yalikuwa yanamilikiwa na familia ya Mabushi, wakati huo mahali hapo pakijulikana kama Mwendakulima.

Ni baada ya wachimbaji wadogo kuvamia na kuanza kuchimba ndipo serikali kupitia Wizara ya Madini ilipoamua kulichukua eneo hilo na kuipatia kampuni ya uchimbaji wa madini kutoka nchini Canada.

Ni Swedi Mabushi ndiye aliyenipa ‘mchongo’ wa kuwepo kwa nafasi za kazi katika mgodi huo wa Buzwagi, nafasi ambazo zilikuwa na mshahara mnono sana takriban mara nne na zaidi ya mshahara niliokuwa naupata katika nafasi yangu ya Meneja wa Tehama kwenye ofisi za Manispaa ya Tabora.

Baada ya Swedi ‘kunitonya’ aliniunganisha na Meneja Rasilimali Watu wa mgodi huo wa dhahabu wa Buzwagi na kisha tukashauriwa tuandike barua za maombi haraka iwezekanavyo na kuambatanisha wasifu na nakala za vyeti vyetu vya shule na vya taaluma, kisha tutume kwa Mkurugenzi Mkazi wa mgodi, halafu yeye, kwa kuwa alikuwa anafahamiana na uongozi, angetusaidia kupata kazi.

Wiki moja na ushee baada ya kutuma barua hizo tulipokea barua pepe za kuitwa kwenye usaili katika ofisi za kampuni iliyomiliki mgodi huo wa dhahabu zilizopo Kahama, na haikuishia hapo tu, pia tulipigiwa simu kwa msisitizo. Ndiyo maana tulikuwa safarini kwenda Buzwagi kwa kuwa usaili ulitarajiwa kufanyika siku mbili baadaye, yaani Jumatatu saa 3:00 asubuhi, na siku hiyo ya safari ilikuwa Jumamosi.

Nikiwa katika kutafakari mara nikakumbuka kuwa nilikuwa nimeacha nyuma sakata la ujauzito wa Zakia na sikujua alitaka kuniambia nini wakati nilipokuwa naondoka alfajiri ya siku hiyo kuwahi stendi ya mabasi. Sasa nilitamani sana kujua kilichokuwa kinaendelea huko Tabora baada ya mimi kuondoka.

Sikujiuliza mara mbili, nilitoa simu yangu ya mkononi na kuanza kutafuta namba ya simu ya rafiki yangu Majaliwa Nzilwa ili nimjulishe kuhusu safari yangu na kumtaka akajaribu kupeleleza suala la Zakia na kisha anieleze kilichokuwa kinaendelea huko Tabora, hata hivyo nilijikuta nasita kufanya hivyo baada ya kumwona msichana mmoja mrembo akiingia ndani ya basi letu huku akiwa ameshika bidhaa akizinadi.

Alikuwa msichana mrefu na mweupe mwenye haiba ya kuvutia sana, alikuwa na mashavu mfano wa chungwa, macho yake yalikuwa makubwa kidogo na legevu yenye kung’ara kama nuru na nywele zake nyeusi za Kibantu alikuwa amezinyoa kwa mtindo wa lowcut.

Mchana huo alikuwa amevaa jaketi la ngozi la rangi ya hudhurungi na zipu ya jaketi hilo ikiwa imevutwa hadi shingoni. Chini alivaa suruali ya dengrizi ya rangi ya bluu aliyombana na kuushikana vyema mwili wake wenye mapaja yaliyonona na kiuno chembamba mfano wa dondola, na miguuni alikuwa amevaa sendozi ngumu za kike zilizotengenezwa kwa ngozi imara ya mamba.

Mikononi msichana huyo alikuwa ameshika bidhaa ndogondogo kama hereni, urembo wa wanawake, mafuta mazuri, losheni na manukato mbalimbali huku akinadi bidhaa zake. Na mgongoni alikuwa amebeba begi lililoonekana kujazwa bidhaa. Kwa kukisia tu, msichana huyo hakuwa na zaidi ya miaka ishirini na tatu.

Japokuwa suruali yake ya dengrizi iliuziba vema mwili wake lakini niliweza kuuhisi ulaini wa ngozi yake. Kwa kweli alikuwa na sifa zote zilizohitajika kwa msichana mzuri ili kuweza kumwendesha puta mwanamume yeyote rijali hata awe jeuri vipi!

Nilipomwona tu mapigo ya moyo wangu yalianza kunienda mbio isivyo kawaida na hisia zangu zilinitanabaishia uwepo wa jambo lisilo la kawaida. Hata kama ilikuwa ni tabia yangu nikishamwona msichana mzuri tu basi moyo wangu ungepiga pah na kisha ungeanza kunienda mbio, lakini kwa msichana huyo kulikuwa na cha ziada kilichonifanya niwe katika hali hiyo.

Nilimtazama kwa umakini usoni nikahisi kuwa sura yake haikuwa ngeni kabisa machoni kwangu. Nilijaribu kuvuta kumbukumbu zangu ili kubaini ni wapi nilipowahi kumwona msichana huyo.

Msichana huyo aliponiona tu alisimama ghafla huku akinitazama kwa uyakinifu zaidi na hapo hapo akaonekana kushtuka sana. Nilipomkazia macho nikagundua kuwa alikuwa anajaribu kuuficha mshtuko wake na kujifanya kutabasamu kiurafiki, lakini niliweza kuyasoma vizuri mawazo yake, kupitia macho yake makubwa kiasi, na kugundua kuwa hakuwa tu ameshtuka sana baada ya kuniona bali pia alionekana kuniogopa.

Nikiwa bado najiuliza kuhusu hali yake baada ya kuniona nikamwona akishuka haraka toka kwenye lile basi letu na kujichanganya na watu wengine kisha akapotelea kwenye mabanda ya wasafiri katika eneo lile la stendi ya Sagara mjini Nzega. Nikiwa bado nashangazwa na kitendo cha yule msichana kukimbia mara baada ya kuniona, sura yake ikajaa akilini kwangu na kunichukua mpaka kwenye bahari ya kumbukumbu, sasa niliweza kumkumbuka vyema, niliikumbuka hata siku ya kwanza nilipokutana naye.

Nilikuwa nimekutana naye katika siku ya mwisho wa wiki miezi miwili tu iliyokuwa imepita majira ya saa 5:00 za usiku nilipokuwa nakatiza katika mitaa ya Ng’ambo nikitoka kwenye mishemishe zangu. Wakati nikikatiza katika kichochoro fulani kurudi nyumbani mara nikasikia sauti ya msichana akipiga kelele za kuomba msaada.

Nilishtuka na kusikiliza kwa umakini huku nikiangalia kushoto na kulia kwangu lakini sikuweza kuona kitu! Eneo lile lilikuwa na giza kutokana na kuwepo kwa miti mingi mikubwa ya miembe na hakukuwa na mwanga wa taa. Sauti ya msichana ikaendelea kulia huku ikisogea kule nilikokuwa na kunifanya nizidi kuangaza huku na kule maana msichana huyo alikuwa anaomba msaada.

Niliposikiliza vizuri nikatambua kuwa sauti yake ilikuwa inatokea upande wangu wa kulia, upesi nikakimbilia upande huo na nilipotokea tu kwenye kichochoro kimoja nikawaona wanaume wawili wakiwa wanamkimbiza msichana mmoja mrefu aliyekuwa ameshika mkoba mzuri wa kike. Mmoja wa wale wanaume alikuwa mrefu na mwenye mwili ulioshiba akiwa na misuli imara ya mikononi iliyotuna kikamilifu na alikuwa ameshika kisu kikubwa mkononi.

Mwanamume yule alikuwa amevaa suruali nyeusi ya dengrizi ilioyokuwa imechanwachanwa sehemu za magoti na juu alivaa fulana mchinjo ya bluu iliyokibana vyema kifua chake kiasi kwamba ungeweza kudhani ile fulana ingetatuka muda wowote. Miguuni alivaa raba.

Mwenzake alikuwa na kimo cha wastani na alikuwa mweusi mwenye mwili ulioonesha kuwa alikuwa na kawaida ya kufanya mazoezi ya nguvu yasiyokuwa na kikomo. Alikuwa amevaa shati la rangi ya hudhurungi la mikono mifupi na suruali ya dengrizi ya rangi ya bluu na buti ngumu aina ya ‘safari boot’ za rangi ya hudhurungi.

Yule msichana aliyekuwa anakimbizwa alikuwa mweupe mwenye sura ya duara na macho makubwa malegevu ya kike. Pua yake ilikuwa ndefu na midomo yake laini yenye kingo pana kiasi zilizopakwa rangi nzuri ya chocolate. Nywele zake nyeusi za Kibantu alikuwa amezikata vizuri katika mtindo wa lowcut na hivyo kumfanya aonekane mzuri wa asili.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

23

Muda huo alikuwa amevaa blauzi nyepesi nyekundu iliyoyahifadhi vyema matiti yake imara madogo na juu yake alikuwa amevaa shati zito la kitambaa cha kadeti ambalo halikuwa limefungwa vifungo vyake. Kiuno chake kilikuwa chembamba kiasi lakini kilichofanikiwa kuizuia pensi yake fupi nyeusi ya kitambaa cha kadeti iliyokuwa na mifupo mikubwa pembeni, pensi hiyo fupi ilikuwa imeyaacha wazi mapaja yake meupe yaliyonona na kuifichua miguu yake mizuri iliyovaa raba ngumu za kike.

Wale wanaume walifanikiwa kumkamata yule msichana na kumtupia chini! Yule msichana akaanza kulia huku akirudi nyuma na wakati huyo yule mwanamume mwenye kisu kikubwa mkononi alianza kumsogelea kisha akamnyang’anya mkoba wake kwa nguvu huku akimuinamia, muda wote alikuwa amemshikia kisu chake kwa umadhubuti na alikuwa anatishia kumkata kata na kisu kama asingenyamaza.

Hapo ndipo nikaona kulikuwa na haja ya kwenda kumsaidia yule msichana kwa kuwa uwezo wa kupambana na wale vibaka wawili nilikuwa nao. Nikasonga pasipo kujiuliza mara mbili mpaka karibia na eneo ambalo walikuwepo.

“Hey! Mrudishie kila kitu mlichompora huyo msichana!” nilipaza sauti yangu kuwaamuru huku nikiwasogelea kwa tahadhari.

Basi wale wanaume wakanitazama kwa dharau na kushtuana kwa mmoja kumgusa mwingine bega kisha nikawaona wakijiandaa kunikabili.

“Achana na sisi we fala! Kwa hiyo unajifanya unamjua sana huyu malaya?” yule mwanamume aliyeshika kisu mkononi alisema huku akianza kunifuata kwa pupa.

Nikajiandaa kumkabili. Aliponisogelea tu akatupa mkono wake wenye kisu, nikaukwepa huku nikiukamata na kisha nikauzungusha huku nikiuvunja na papo hapo nikampiga teke kali la tumbo, akaangukia chini huku akiugulia maumivu!

Mweziwe kuona hivyo basi naye kurupu akanifuata huku akichomoa jambia na kulishika vyema mkononi, yeye nilimkabili kwa wepesi zaidi kwani niliruka juu na kuzunguka huku nikiupiga teke mkono wake ulioshika jambia, likamponyoka na kuanguka chini. Nilipotua chini nikamshindilia ngumi mbili kavu za tumbo, akaguna kwa maumivu lakini akaonekana mbishi.

Nikaruka tena kwa kutanguliza mguu wa kulia mbele huku nikilikunja goti langu na kumpiga kifuti kifuani na hivyo kumfanya aende chini pasipo kupenda, ndani ya sekunde chache akabaki hapo chini akilalama kwa maumivu.

Yule mwanamume wa kwanza niliyemvunja mkono alijaribu kuinuka nikamuwahi na kumpiga teke la kwenye mbavu lililomfanya atoe ukelele mkali sana, damu zilianza kumtoka mdomoni. Nikampokonya mkoba aliokuwa ameupora toka kwa yule msichana na kisha nikamfuata yule msichana na kumwinua haraka na kumpatia mkoba wake huku nikimwondoa toka eneo lile haraka. Tukakimbilia barabarani kwenye eneo lililokuwa na mwanga wa taa.

Muda ule wa kuelekea saa 5:30 usiku kulikuwa na watu wachache sana, wa kuhesabu, walioonekana barabarani kwani wengi walikuwa wameshajifungia majumbani mwao.

“Vipi hawajakuumiza?” nilimuuliza yule msichana huku nikimkagua kwa macho. Yule msichana alitingisha kichwa chake huku akinambia yupo sawa, ila maumivu kidogo ya mgongo, kutokana na kuanguka, ndiyo alikuwa nayo.

“Binti mdogo kama wewe wafanya nini usiku huu maeneo kama haya ya hatari?” nilimuuliza yule msichana huku nikizidi kumwangalia kwa umakini.

Aliniangalia kwa tabasamu laini lililojaa aibu kisha akaniambia kuwa alikuwa mgeni hapo mjini Tabora na alikuwa amefika usiku huohuo na muda huo alikuwa anatafuta nyumba ya wageni na kwamba hakujua kama wale wanaume walikuwa wanamfuatilia muda wote tangu aliposhuka kwenye gari.

“Kwani unatokea wapi mrembo?” nilimuuliza kwa sauti tulivu huku tukitembea kwa mwendo wa taratibu.

Msichana yule alinitazama kwa muda kidogo akionekana kusita kabla ya kulegeza uso wake na kutabasamu, “Natoka Mwanza.” Alinijibu huku akinitazama kwa utulivu, na ukaribu ule ukanifanya niutathmini vizuri uzuri wake.

“Lakini ni mara yangu ya kwanza kufika hapa Tabora,” alisema kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni kwa namna ya kuyasoma mawazo yangu. Nikamtazama kwa huruma huku nikimchunguza vizuri.

“Unaitwa nani mrembo?” nilimuuliza yule msichana huku nikiachia tabasamu la kumlainisha.

“Mimi?” yule msichana aliniuliza kwa kuzuga huku akifahamu fika kuwa tulikuwa wawili tu na swali langu lilimlenga yeye.

“Ndiyo, wewe!” nilimwambia kwa sauti tulivu huku nikiendelea kumtazama kwa umakini. Akaachia tabasamu la aibu, angalau nikaliona tabasamu pana la bashasha likichomoza usoni kwake na kuusuuza moyo wangu.

“Naitwa Tabia Kamugisha, na wewe je?” yule msichana alinijibu huku akiniangalia usoni.

“Naitwa Jason Sizya,” nilimwambia kwa sauti tulivu.

“Wewe ni mwenyeji hapa Tabora?” Tabia aliniuliza huku akiniangalia kwa umakini zaidi, na swali lake likaibua hisia mpya kichwani mwangu.

“Ndiyo, hapa Tabora mjini ndipo nilipozaliwa na kukulia,” nilimjibu katika namna ya kumtoa shaka.

“Sawa, sasa huku unanipeleka wapi?” Tabia alisema huku akiniangalia kwa wasiwasi kidogo.

“Kwani shida yako si kutafuta sehemu ya kulala, au?” nilimuuliza huku nikiendelea kutabasamu.

“Ndiyo!” alinijibu huku akishusha pumzi za ndani kwa ndani. Hata hivyo alionesha wasiwasi kidogo.

Muda huo hisia za upweke zilikuwa zimeanza kuniingia na kunifanya nianze kuvuta picha juu ya namna gani ningemshawishi na kumuweka katika himaya yangu na kisha nibanjuke naye. Nilikuwa nahisi kusisimkwa mwili wangu kwa tamaa ya ngono na hivyo nilipanga kumshawishi niende naye nyumbani kwangu kwani pale tulipokuwa hatukuwa mbali na eneo nilipokuwa naishi.

“Nataka nikufanyie mpango wa kutafuta mahala pazuri zaidi pa kulala penye usalama wa uhakika,” nilimwambia Tabia huku nikiilamba midomo yangu kwa matamanio.

“Unanipeleka wapi?” Tabia aliniuliza huku akiniangalia kwa udadisi zaidi, alionekana kutokuwa na imani na mimi, nikaamua kumtoa wasiwasi.

“Usihofu, nataka nikupeleke nyumbani kwangu,” nilimwambia kwa sauti tulivu huku nikiangalia mbele.

“Kwako?” Tabia aliniuliza huku akionesha wasiwasi.

“Ndiyo, kwani unaogopa nini?” nilimuuliza huku nikigeuza shingo yangu kumtazama.

“Wala siogopi ila wasiwasi wangu ni kwamba nisije nikang’olewa meno tu,” tabia alisema huku akiachia tabasamu la aibu.

“Ung’olewe meno na nani?” nilimuuliza huku nikimkazia macho.

“Na wanaomiliki mali yao,” Tabia alisema na kuachia kicheko hafifu.

“Nakuhakikishia kuwa hakuna kitu kama hicho,” nilisema huku nikianza kumwongoza kuelekea nyumbani kwangu.

“Mh, haya!” Tabia alisema huku akinifuata taratibu. Dakika chache baadaye tulikuwa tumefika nyumbani kwangu, muda huo nyumba ilikuwa imetawaliwa na ukimya mkubwa.

“Mbona kupo kimya sana?” Tabia aliniuliza huku akiyazungusha macho yake kutazama huku na huko.

“Si nimekwambia naishi peke yangu,” nilisema huku naufungua mlango wa kuingilia sebuleni kwangu.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

24

Kisha niliwasha taa na kumkaribisha Tabia, akaingia na kusimama pale sebuleni kwangu huku akiyazungusha macho yake kuyaangalia mandhari ya kupendeza ya ile sebule kubwa, kisha nikamwona akishusha pumzi za ndani kwa ndani na kuniangalia usoni kwa tabasamu.

“Kumbe nyumbani kwako pazuri na una maisha mazuri hivi!” Tabia aliniambia huku akiendelea kutabasamu.

“Aa wapi mbona pa kawaida tu,” nilisema na kushusha pumzi, kisha nikaongeza. “Karibu uketi.”

“Inamaana kweli unaishi peke yako?” Tabia aliniuliza tena huku akilifuata sofa kubwa, akaketi.

“Ndiyo, inaonekana kama huniamini hivi?” nilimuuliza Tabia huku nikitabasamu.

“Lakini si peke yangu ndani ya jumba lote kwani huo upande mwingine kuna wapangaji wengine wawili,” niliongeza huku nikimwonesha kwa kidole upande ambao kulikuwa na vyumba vingine.

“Na ni kweli huna mke, mchumba au tuseme girlfriend ambaye anaishi hapa au huja kulala hapa kwako?” Tabia alizidi kunisaili huku akinitazama usoni kwa umakini. Nami nilimtazama kwa umakini na kubetua kichwa changu.

“Nipo peke yangu kama unavyoniona,” nilijibu kwa sauti tulivu.

“Mmh… ya kweli hayo?” Tabia alisema huku akibetua midomo yake.

“Ndiyo, kama kungekuwa na mtu kama huyo ungeona dalili ya vitu vya kike humu ndani!” niliongea kwa msisitizo kumtoa shaka.

“Pengine yupo ila kasafiri, labda kaenda kwao kusalimia!” Tabia alisema kwa wasiwasi huku akiyazungusha tena macho yake kuyaangalia mandhari ya sebule yangu.

“Nisingeweza kukuingiza humu ndani kama ningekuwa na mke au mchumba,” nilisema huku nikianza kuhemkwa kwa ashki. Nilimfuata pale kwenye kochi nikakaa karibu yake huku nikiyasikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yalivyokuwa yanaenda kwa kasi, japo yalikuwa majira ya baridi kali lakini jasho usoni lilikuwa linanitiririka.

“Hii ni nyumba yako, au tuseme ni yenu?” Tabia alionekana kuwa na maswali mengi.

“Si yangu na wala si yetu, nimepanga. Kwani vipi?” niliongea huku nikimwangalia usoni kwa udadadisi.

“Nilitaka kujua tu,” Tabia alijibu huku akibetua mabega yake juu.

“Basi ndiyo kama hivyo! Jisikie huru kabisa!” nilimwambia huku nikijiweka vizuri pale kwenye sofa. Kisha nikamtupia swali huku nikiuweka mkono wangu wa kushoto juu ya paja lake jeupe lililonona, “Hivi una umri gani?”

“Miaka 21 ila mwezi ujao natimiza miaka 22,” Tabia aliniambia huku akiniangalia kwa macho yaliyoanza kulegea. Hata hivyo, alibaki kimya akinitazama kuona ningefanya kitu gani kingine.

“Ooh, kumbe bado mchanga kabisa! Mtu akikuona ulivyo na hilo umbo lako anaweza kusema una miaka 25 na kuendelea,” nilimwambia huku nikiyakodolea mapaja yake yaliyonona yaliyokuwa wazi kutokana na aina ya kivazi alichovaa.

“Halafu hujaniambia kama umeolewa au una mchumba,” nilisema kwa sauti ya chini.

“Waowaji wenyewe wako wapi siku hizi? Bado sijaolewa na wala sina mchumba, ndiyo maana natanga na njia,” Tabia alisema huku akiachia kicheko hafifu, kisha aliyahamishia macho yake kutazama pembeni.

Muda huo uvumilivu ulishaanza kunishinda, nikaanza kuupitisha mkono wangu kuyapapasa majapa yake na kuanza kupanda juu kidogo hadi kwenye ikulu yake.

“Kaka!” Tabia aliniita kwa sauti yenye kitetemeshi kidogo.

“Unasemaje, mrembo!” nilimuuliza huku mkono wangu nikiupitisha kwa nyuma kwenye kiuno chake.

“Naomba uache kwa sababu majini yangu yakipanda hutaweza kuyashusha kwa urahisi na utanipa shida usiku wote,” Tabia alisema huku akianza kuhema kwa nguvu kutokana na ashki zilizoanza kumpanda.

“Majini gani hayo mrembo?” nilimuuliza huku nikimtazama kwa umakini.

“Unataka uyaone jinsi yalivyo?” Tabia aliniulia huku akiniangalia kwa macho malegevu.

“Ndio! Nataka unioneshe,” nilisema kwa sauti ya chini ya kunong’ona.

Tabia alicheka kisha akasimama wima na kunitazama kwa tabasamu, alininyooshea mkono kwa ishara ya kutaka kuninyanyua, niliushika mkono wake kisha akaninyanyua. Tukakumbatiana na hapo Tabia aliipitisha mikono yake nyuma ya shingo yangu na kufanya chuchu za matiti yake kukitekenya kifua changu, nilijikuta napata faraja ya aina yake.

Kisha alinishika kichwa changu na kukivuta karibu yake na hapo ndimi zetu zikakutana. Nilianza kumnyonya denda la fujo huku nikijitahidi kubadilishana naye mate, nilichoweza kusikia baada ya pale ilikuwa ni sauti nyepesi ya pumzi yake ikipenya kwa fujo kwenye matundu ya pua yake sambamba na miguno isiyoeleweka ya mahaba.

Taratibu mikono yangu ikaanza kutambaa mwilini kwake, niliupeleka mkono wangu ndani ya nguo ya pensi yake na kuanza kuyatomasa makalio yake laini yaliyoshiba minofu. Tabia akashtuka kidogo na kuachia mguno hafifu wakati mkono wangu mwingine ulipoanza kuyatomasa matiti yake taratibu.

Kisha kama mtu aliyekumbuka jambo alijitoa mikononi kwangu huku akinisukuma.

“Vipi!” nilimuuliza kwa mshangao huku nikiwa katika kiwango cha juu cha ashki, koki yangu ilikuwa imesimama hadi nilianza kuhisi misuli yake ingeweza kukatika kwa maumivu makali niliyoyahisi.

“Ngoja kwanza,” Tabia aliniambia huku akijitenga nami.

“Kuna nini tena?” nilimuuliza huku nikianza kuhisi kero baada ya kukatishwa uroda.

“Subiri kwanza,” Tabia alisema kwa msisitizo huku akiufuata mkoba wake, akaufungua na kuanza kupekua pekua ndani ya mkoba.

“Kuna shida yoyote?” nilimuuliza kwa udadisi huku nikimkazia macho. Akashusha pumzi na kutingisha kichwa chake taratibu.

“Bila kinga haitawezekana maana hatuwezi kuaminiana kirahisi namna hii, tafadhali nenda katafute kwanza condom,” Tabia aliniambia huku akiketi kwenye sofa.

“Dah!” nilikosa la kusema kwani Tabia alionekana kumaanisha kile alichokisema, nikaitupia jicho saa yangu ya mkononi na kugundua kuwa ilikuwa imetimia saa 5:45 usiku.

“Halafu nahisi njaa, sijui kama unaweza kupata chakula saa hizi?” Tabia alisema huku akijiweka sawa kwenye sofa.

“Usijali, ngoja nitanunua hapo Zimbabwe Lodge, ng’ambo tu ya barabara,” nilisema huku nikiichukua simu yangu ya mkononi aina ya Samsung Galaxy S8 nikataka kuondoka nayo lakini nikasita baada ya kugundua kuwa haikuwa na chaji, nikaichomeka kwenye umeme.

“Sijui nikuletee na kinywaji gani?” nilimuuliza Tabia huku nikianza kupiga hatu kutoka.

“Kwanza unakwenda kununua nini?” Tabia aliniuliza huku akinitazama usoni kwa namna ambayo sikuijua sawasawa.

Nilipomwangalia kwa umakini zaidi nikahisi kuona kitu kisicho cha kawaida kwenye macho yake, nilipojaribu kutafakari haraka haraka sikuweza kujua ni kitu gani. Hata hivyo hisia zangu ziliniambia kuwa mambo hayakuwa sawa.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

25

“Saa hizi kuna chakula gani zaidi ya chipsi, labda uniambie nikuchukulie chipsi na nini?” nilimjibu Tabia huku nikijaribu kuyatazama vizuri macho yake, bado sikuweza kugundua jambo lolote la kunitia shaka.

“Niletee chipsi na kuku, nikipata na Castel Lite mbili za baridi utakuwa umeufanya usiku wangu kuwa powa sana,” Tabia alisema na kuachia kicheko hafifu.

Niliwasha runinga na kuweka chaneli iliyokuwa inaonesha tamthilia moja ya Kituruki maana niliamini, Tabia kama msichana wa kileo, angekuwa shabiki wa michezo ya kuigiza ya nje iliyotafsiriwa kwa Kiswahili. Kisha nilimkabidhi rimoti halafu nikatoka haraka nikimwacha anaufuatilia ule mchezo wa kuigiza kwa umakini.

Kwa bahati mbaya sana binadamu tumenyimwa uwezo wa kuyatambua matukio ya mbele. Laiti ningejua nisingemwacha peke yake ndani!

Nilifika Zimbabwe Lodge na kwenda moja kwa moja upande wa baa ambako walikuwa wanauza chakula. Nikatoa oda ya kufungiwa sahani moja ya chipsi na kuku mzima. Kwa kuwa nilikuwa nafahamika sana eneo lile haikuchukua muda mrefu nikawa nimekamilishiwa na kufungiwa kwenye mfuko mmoja mkubwa, nikamlipa muuzaji fedha yake na kununua bia nne za kopo na mbili za chupa.

Kabla sijaondoka nikakumbuka kuwa nilitakiwa kutafuta condom, hivyo nikamfuata mfanyakazi wa mapokezi pale Zimbabwe Lodge na kumwomba paketi ya condom, kwa kuwa alikuwa ananifahamu alinipa paketi mbili, nikaanza safari ya kurudi nyumbani kwangu.

Nilipoingia ndani nilishtushwa sana na hali niliyoikuta, runinga ilikuwa inaendelea kurusha matangazo lakini Tabia hakuwemo ndani na hata mkoba wake haukuwemo! Niliingia chumbani kwangu lakini pia hakuwemo, na nilipoangalia vizuri sikuiona simu yangu ya mkononi niliyokuwa nimeichomeka kwenye umeme. Na hapo hisia za haraka haraka zikaniambia kuwa nilikuwa nimeibiwa.

Kijasho jepesi kikaanza kunitoka na mapigo ya moyo kwenda mbio. Nilitoka haraka nje nikazunguka huku na huko lakini sikumwona Tabia…

_____

Kumbukumbu hizo chungu zilipita haraka kichwani kwangu na kuyeyuka kama zilivyokuja, zilichukua takriban dakika moja na nusu, na hatimaye akili yangu ikairejea taswira ya Tabia aliyeondoka haraka toka eneo lile la stendi ya mabasi ya Sagara mjini Nzega baada ya kuniona.

Sikukubali, niliinuka haraka toka kwenye kiti changu na kushuka chini nikiwa na nia ya kumtafuta Tabia mahali popote alipo ili nimfundishe kuwa wizi si mzuri. Nilisimama na kuanza kuyatembeza macho yangu eneo lile katika namna ya kuzichunguza sura za watu waliokuwa eneo lile lakini sikuweza kumwona Tabia. Nilichoambulia kuona ni pilika pilika za kibinadamu za wachuuzi wa biashara ndogondogo, wauza magazeti, wauza CD na wauza matunda kwenye masinia.

Nikiwa bado naendelea na uchunguzi wangu dhidi ya watu waliokuwa eneo lile mara nikajikuta navutiwa na msichana mmoja mrefu aliyekuwa kasimama kwenye kibanda kimoja huku akiangaza macho yake huku na huko. Niliweza kumtambua mara moja kuwa alikuwa Tabia japo alikuwa amevua jaketi na kubakiwa na blauzi nyeusi ya miraba myeupe.

Sikujiuliza mara mbili nikaanza kupiga hatua zangu haraka kumfuata kule alikokuwa amesimama. Lakini kabla sijamfikia niligundua kuwa alikwisha niona na kushtuka sana kisha alianza kurudi nyuma huku akiangaza huku na huko akionekana kutafuta upenyo wa kukimbilia. Kisha aligeuka kunitazama tena na kukimbilia kwenye uchochoro mmoja uliopo mbele yake. Alitimua mbio zisizo za kawaida.

Nilianza kumkimbiza nikikifuata kile kichochoro na kwenda kutokea kwenye barabara moja ya vumbi nyuma ya jengo la abiria wa stendi ya Sagara, sikumwona Tabia. Niliangaza macho yangu kutazama huku na huko lakini sikumwona, nikatimua mbio nikikatiza barabara ile kwa haraka na kuingia kwenye kichochoro kimoja jirani na jengo la mgahawa mmoja na kupotelea kwenye kichochoro hicho lakini macho yangu yakiwa makini zaidi na kila mtu niliyemwona.

Watu walikuwa wananiangalia kwa mshangao mkubwa lakini sikuwajali, nilizidi kutimua mbio nikikifuata kile kichochoro na hatimaye nikafika mwisho na hapo nikagundua kuwa kichochoro kile kilikuwa kinaishia kwenye uwa wa mgahwa ule, wakati nikianza kujiuliza nifanye nini nikamwona Tabia akiwa amejibanza kwenye kona ya ukuta wa uwa wa ule mgahawa na alikuwa anachungulia kule nilikokuwa natokea akiwa na hofu.

Macho yetu yalipokutana nikamwona akikurupuka kutaka kurudi alikotoka lakini nikamwona akisita kufanya hivyo na badala yake akaamua kuukwea ule ukuta haraka hadi juu na kuangukia upande wa pili wa ukuta.

Sikutaka kumwacha, niliuparamia ule ukuta kwa wepesi zaidi na kujirusha huku nikiangukia upande wa pili, nikamkuta Tabia akibabaika asijue aelekee upande gani maana hakukuwa na nyumba zozote, alipogeuza shingo yake nyuma akaniona na kutaka kutimua mbio kuelekea kwenye barabara ya lami ambako kulikuwa na nyumba nyingi lakini alikuwa amechelewa kwani nilimfikia na kusimama mbele yake huku nikimkazia macho.

“Tabia, huwezi kunikimbia,” nilisema huku nikiachia tabasamu la dharau.

“Nani Tabia? We umechanganyikiwa nini?” Tabia aliniuliza huku akinitazama kwa hasira na kushusha pumzi. Woga ulijidhihirisha kwenye uso wake na alikuwa anahema kwa nguvu huku ikionekana mapigo ya moyo wake yalikuwa yanamwenda mbio isivyo kawaida.

“Usijifanye kuzuga, au ulidhani sitakukumbuka?” nilimwambia huku nikimsogelea zaidi nikiwa nimemkazia macho, tabasamu la dharau likiwa bado usoni kwangu.

“Ulidhani tusingeweza kukutana tena? Umenikimbia lakini leo nimekupata!” nilimwambia huku nikiukamata mkono wake wa kulia.

“Umenipata kwani unanidai? Hunidai wala sikudai. Tafadhali sihitaji matatizo na wewe,” Tabia alisema huku akijitoa kwenye mkono wangu.

“Kama sikudai kwa nini sasa ulikimbia baada ya kuniona?” nilimuuliza huku nikiukamata tena mkono wake, safari hii niliukamata kwa nguvu huku nikizungumza kwa sauti tulivu nikijaribu kuidhibiti ghadhabu yangu.

Tabia alijaribu kujinasua kwenye mkono wangu wenye nguvu bila mafanikio. Nilianza kumkokota kwa nguvu nikimuongoza kurudi kule stendi bila ridhaa yake.

“Niachie, unanikokota utadhani mwizi! Mimi sina mkataba wowote na wewe, kwa nini unanifanyia hivi?” Tabia alilalamika baada ya kuwaona wanaume wawili wakija eneo lile.

Sikujali, nilizidi kumkokota huku tukiwapita wale wanaume, macho yangu yalidhihirisha hasira niliyokuwa nayo. Tulipokaribia kufika kwenye jengo la abiria la stendi ya Sagara nikajiuliza, kwani nilitaka kwenda naye wapi? Ili kufanya nini? Na hapo nikalitazama begi lake la mgongoni na kupata wazo.

“Hebu leta hilo begi,” nilimwambia huku nikipeleka mkono wangu kutaka kulichukua lile begi kwa nguvu lakini Tabia alijitahidi kulikwepesha ili nisilifikie.

“Siwezi kukupa begi langu, wewe kama nani?” Tabia alisema kwa hasira huku akinisukuma.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

26

“Nadhani hunijui vizuri wewe malaya. Sina uvumilivu wala ujinga kama hao wanaume wako. Usinijaribu, sawa?” nilimwambia huku nikilinyakua lile begi kwa nguvu.

Tabia aliniangalia kwa jicho kali sana la hasira huku akisonya. Sikumjali, nilianza kufungua zipu na kupekua ndani ya begi, nikaona vipodozi vya aina tofauti, lotion na manukato. Nikaachana navyo na kuhamia kwenye mifuko ya pembeni, humo nikaona kitambaa laini cha kujifutia jasho, funguo za nyumbani na noti kadhaa za elfu kumi kumi na chenji ndogo ndogo.

Nilizichukua zile fedha na kuzisunda kwenye mfuko wangu wa suruali, kisha nikamrudishia begi lake na wakati huohuo nikaiona simu kubwa ya kisasa ikiwa imetuna katika mfuko wa suruali yake ya dengrizi iliyobana na kuushika vyema mwili wake. Nikambana na kuichukua ile simu kwa nguvu huku nikiitazama. Ilikuwa simu mpya ya kisasa aina ya Tecno Camon 16 Pro. Tabia alinitazama kwa hasira huku akiachia msonyo.

“Haki ya Mungu kwa hiki unachonifanyia utajuta kwa nini ulinifahamu,” Tabia alisema kwa hasira huku akichomoa kisu kutoka ndani ya blauzi yake ili kupambana na mimi.

I don’t give a shit!” (Sifagilii ujinga!) Nilimjibu huku nikiudaka mkono wake, nikamminya kwa nguvu na kumnyang’anya kile kisu na kisha nikakitupa mbali.

“Nadhani sasa tumemalizana, sikudai wala hunidai,” nilimwambia huku nikifungua mfuniko wa ile simu, nikatoa ‘line’ ya simu na kadi ya kuhifadhi picha (memory card) na kumpa lakini akakataa, sikuwa na namna nyingine ya kufanya nikamlazimisha kuvichukua nikitishia kuvirushia endapo angekataa, akavichukua kwa shingo upande.

Niliisunda ile simu kwenye mfuko wangu wa suruali na nilipotaka kuondoka toka eneo lile nikahisi nikiguswa na mkono kwenye bega langu la kushoto. Taratibu niligeuka bila papara yoyote kuangalia kule nilikodhani kulikuwa na mtu aliyenigusa bega langu.

Macho yangu yalikutana na sura ya iliyobeba shari ya mwanamume mmoja ambaye kwa mtazamo tu alionesha kubobea kwa uhalifu. Yule mwanamume alikuwa na mwili imara uliojengeka na alikuwa ananitazama kwa tabasamu la kifedhuli.

Alikuwa mrefu na mwenye mwili mpana, mweusi utadhani raia wa Sudani Kusini, macho yake yalikuwa makubwa na mekundu yenye uchovu lakini yaliyokuwa makini sana kama simba anayewinda. Sikio lake la kulia alikuwa amelitoboa toboa na limevishwa hereni kadhaa. Mdomo wake ulikuwa mdogo na ulifichwa na ndevu nyingi zilizouzunguka na alikuwa na kovu kubwa kwenye shavu lake la upande wa kushoto.

Alikuwa amevaa suruali ya dengrizi iliyochanwa chanwa sehemu ya magoti na alivaa jaketi jekundu ambalo lilikuwa limefunguliwa zipu na kuionesha fulana nyeupe yenye picha ya mche wa bangi kifuani.

Nilimtazama yule mwanamume kwa umakini usoni pasi na kupepesa macho huku nikijaribu kumpima haraka haraka. Hata hivyo mapigo ya moyo wangu yalianza kunienda mbio huku baridi nyepesi ikisafiri katika maungo yangu. Hali ile ilinifanya nihisi kuwa mahala pale hapakuwa salama tena, hivyo nilitakiwa kuondoka haraka iwezekanavyo.

“Nilikwambia hiki unachonifanyia utajuta kwa nini ulinifahamu,” Tabia alisema huku akinitazama kwa tabasamu la dharau. Sikumjali bali nilimkabili yule mwanamume.

“Nikusaidie nini?” nilimuuliza yule mwanamume huku nikimtazama kwa umakini, nilijaribu kuonesha kuwa sikuwa na wasiwasi wowote juu yake.

“Kwanza nataka urudishe kila ulichochukua toka kwa huyu demu kabla sijakufinyanga kama karatasi,” yule mwanamume alisema kwa sauti nzito iliyojaa kila aina ya vitisho. Kisha alimgeukia Tabia. “Chausiku, kwani huyu fala kakuchukulia nini na nini?”

“Kachukua simu na fedha zangu…” Tabia alisema huku akiniangalia kwa ghadhabu.

“Mambo yangu na huyu mwanamke hayakuhusu,” nilimjibu yule mwanamume huku nikiwa nimeweka mikono mfukoni kwa dharau.

“Kwa hiyo unaniwekea kibesi siyo? Hivi nikikuchukulia kila kitu chako utafanya nini?” yule mwanamume alihoji huku akinitazama kuanzia juu hadi chini kwa dharau.

“We fala kweli, unichukulie vitu vyangu kisa nini? Jaribu uone moto wake au unanichukuliaje!” nilimjibu yule mwanamume huku nikiwa tayari kwa lolote.

Muda huo niliona watu wakianza kusogea eneo lile huku wakitushangaa, nikashangaa sana kwa tabia hii ya Watanzania kupenda kushangaa, huwa hawana dogo.

Ebo! Yule mwanamume alionekana kushangaa kidogo, huenda alijiuliza inakuwaje kijana mtanashati kama mimi ambaye nilionekana nimekaa kisharobaro kumuwekea mikwara! Nikamwona akicheka kwa dharau.

“Yaani wewe wa kunikatia mkwara mimi! Au unadhani nawaogopa hawa watu?” yule mwanamume aliniuliza huku akionesha kidole chake kwa watu waliokuwa wanaendelea kusogea eneo lile.

Sikumjibu na wala sikuonekana kushtuka, nilibakia kimya huku nikimtazama kwa makini ingawa nilikuwa kwenye kiwango cha juu cha hasira. Muda huo nilikuwa nimeweka gadi nikiwa makini kuliko simba jike mwenye watoto.

Yule mwanamume hakutaka kuweka maelezo zaidi. Alinisogelea haraka kabla sijajiandaa, akanikamata na kuninyanyua juu kisha akanipiga kichwa cha kifuani na kunibwaga chini kama peto la pamba. Nilijikuta nabanwa sana na kifua na kuanza kutafuta hewa kwa taabu. Nilikohoa huku nikijaribu kuvuta hewa kwa pupa. Na kabla sijakaa sawa, yule mwanamume, kama mtu ambaye hakuridhika, alinifuata kwa haraka akitaka kunishika.

Kitendo bila kuchelewa nikajifyatua huku nikimpiga mtama kwa miguu yangu lakini sikufanikiwa, jamaa aliyumba kidogo na kutafuta balansi. Sikutaka kumruhusu anikamate, nikajiinua haraka pale chini na kuruka juu huku nikimpiga teke. Bado hakudondoka! Aliyumba yumba kidogo na alipokaa sawa akanguruma kama simba huku akinitazama kwa macho makali sana yaliyowaka kwa ghadhabu.

Kisha alikunja ngumi zake na kunifuata huku akipiga hatua kubwa. Aliponikaribia akatupa ngumi tatu mfululizo lakini zote niliziona na kuzikwepa kwa ufundi mkubwa nikiziacha zikikata upepo na kisha kwa wepesi wa ajabu nilimsukumia ngumi nzito kwenye kidevu chake, akayumba na kabla hajaanguka nikampiga kichwa maridadi kwenye paji la uso wake.

Nilimwona akiyafinya macho yake, nikajua kuwa alikuwa anahisi dunia ikizunguka maana nilimwona akiyumba huku na huko kama mlevi huku akili yake ikionekana kukataa kukubali kwamba yule kijana aliyemdhani ni sharobaro ndiye aliyemuadabisha kwa mapigo ya maana na kumweka hoi namna ile.

Akatikisa kichwa chake kuiweka sawa akili yake ili asisumbuliwe na mawenge. Kisha akajipanga ili anikabili. Kwa pupa akanijia huku akinguruma kama simba jike aliyekosa dume la kumpanda. Nikahepa kidogo na kufanya ngumi yake ipite na kukata upepo na hapo nikamshindilia teke farasi mgongoni. Nilimwona akienda kuanguka kifudifudi chini na kuulamba udongo huku akiunguruma kwa maumivu.

Nilibaki nikiwa nimesimama bila papara yoyote huku nikimtazama kwa dharau. Tabia alishangaa sana, mdomo wake ulikuwa wazi kwa mshangao akiwa haamini nilichomfanya yule mwanamume. Alibaki kunitazama kwa hofu.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

28

Mrembo wa Shani


Saa 7:20 mchana…

NILILIKUTA basi la Makenga likiwa bado pale pale stendi na hakukuwa na abiria yeyote aliyeongezeka, nikaingia ndani ya basi na kumkuta Eddy akiwa bado ameuchapa usingizi. Niliketi taratibu kwenye kiti changu huku nikiitoa mfukoni ile simu aina ya Tecno Camon 16 Pro niliyoichukua toka kwa yule msichana ambaye sikujua nimwite Tabia au Chausiku. Kisha nilianza kuichunguza kwa umakini.

Na wakati nikiendelea na uchunguzi wangu nilishtushwa na sauti kali ya honi ya gari, nilipoangalia upande ambao sauti hiyo ilitokea nikaliona basi lililokuwa na maandishi ubavuni, STAREHE TRANS, likiingia kwa mbwembwe pale stendi ya mabasi ya sagara mjini Nzega.

Sikujua lile basi lilikuwa linatoka wapi na kuelekea wapi ila nilichoshuhudia ni kundi kubwa la wachuuzi wa biashara ndogondogo wakigombea kuuza bidhaa zao kwa abiria waliokuwemo ndani ya basi hilo, huku wapiga debe na madereva wa teksi na bodaboda wakizongazonga mlangoni kujaribu kupata abiria.

Niliinua mkono wangu wa kushoto wenye saa nikaitazama saa yangu na kushusha pumzi ndefu za ndani kwa ndani. takriban saa nzima ilikuwa imekatika tangu tuwepo pale stendi ya Nzega tukiwa ndani ya basi la Makenga na bado sikuona dalili yoyote ya kuondoka kuelekea Kahama.

Nikiwa nimeanza kukata tamaa nikamwona mpiga debe aliyetushawishi kukata tiketi katika basi la Makenga akija huku ameongozana na abiria watatu walioshuka toka ndani ya basi la Starehe lililofika pale Nzega muda mfupi.

Mmoja kati ya wale abiria walioongozana na mpiga debe alikuwa mwanamume na abiria wawili walikuwa wanawake. Walipofika pale kwenye gari letu walimkuta kondakta wa basi akiwa amesimama karibu na mlango akiwa tayari kupokea nauli. Macho ya kondakta yalikuwa makali na yaliwatazama abiria wake kwa utulivu huku akitengeneza tabasamu jepesi usoni kwake lililoyafanya meno yake makubwa yaliyopoteza mng’ao wake kutokana na ukungu wa moshi wa sigara kuonekana.

Baada ya kuwafikisha wale abiria yule mpiga debe aliondoka haraka kwenda kuita abiria wengine wa kuja kujaza viti vilivyosalia, na wakati huohuo mabasi mengine yalianza kuondoka taratibu baada ya kujaza abiria.

Bila kupoteza muda yule abiria mwanamume alitoa pochi yake kutoka kwenye mfuko wa nyuma wa suruali na kuifungua kisha akatoa noti mbili ambazo sikujua zilikuwa za thamani gani na kumpatia yule kondakta wa basi kama malipo ya nauli ya watu wawili.

Kondakta alizipokea zile noti kisha alifanya kuzinyanyua juu akizielekeza kwenye mwanga wa jua katika namna ya kuangalia uhalali wake kabla ya kuzihifadhi vyema na kisha aliandika tiketi mbili na kumkabidhi yule abiria mwanamume.

Yule mwanamume alizipokea kisha yeye na mwanamke mmoja, ambaye kwa mwonekano tu alionekana kuwa ni mkewe, walishika vyema mabegi yao madogo ya safari na kuingia ndani ya basi kisha waliongoza moja kwa moja wakanipita na kwenda kuketi kwenye viti vilivyokuwa kule nyuma.

Abiria mmoja, msichana, alibaki palepale chini Jirani na mlango wa kuingilia ndani ya basi akiwa ameegemea gari, alionekana kusita sana na kuna wakati alinyanyua shingo yake kuchungulia mle ndani ya basi huku akiyazungusha macho yake kama aliyekuwa anatafuta kitu kisha alishusha pumzi ndefu akionekana kukata tamaa.

Kondakta wa basi alimkodolea macho yule msichana, macho yake yalijaa matamanio na alionekana kuduwaa kwa muda huku macho yake yakiganda kwenye uso ya yule msichana kisha yalianza kutambaa taratibu kwenye umbo la yule msichana kiasi cha kunifanya nianze kupatwa na mshwawasha na kuvutwa kumtazama vizuri yule msichana ili nione kilichomfanya yule kondakta kuduwaa kiasi kile.

Nilinyanyua kidogo shingo yangu na kumtazama vizuri yule msichana na hapo macho yangu yakaangukia kwenye umbo zuri la yule msichana. Kwa mwonekano wa haraka tu sikushindwa kutambua kuwa alikuwa msichana mrembo wa shani, mwenye macho mazuri na malegevu lakini yaliyokuwa makini sana kuliko hata simba jike anayewinda.

Kwa mlingano wa macho tu, yule msichana alitoa tafsiri ya kuwa na ule uzuri usiomithilika na uwezao kumliwaza, kumpumbaza na hata kumlaza kitandani mwanamume yeyote aliye buheri wa afya.

Moyo wangu ulipiga kite kwa nguvu na hamu ya kutaka kumfahamu zaidi yule msichana iliibuka ndani yangu, nilianza kubabaika kutokana na uzuri wake kwani alikuwa mrembo haswa wa haja kiasi kwamba moyo wangu uliraruka kwa shauku ya kutaka kuwa karibu naye. Nilishindwa kumlaumu yule kondakta kwani nilielewa kwa nini aliduwaa na kusahau majukumu yake kwa muda, ni kwa sababu alikuwa amebabaishwa na uzuri wa yule msichana.

Nilimkodolea macho yule mrembo wa shani huku nikijaribu kuyasanifu mazuri mengi ya yule mrembo aliyejitanashati kikweli kweli mbele ya macho yangu!

Alikuwa ni msichana mrefu ambaye kwa mwonekano tu hakupungua futi 5 na inchi 10, hakuwa mweupe wala mweusi na alikuwa na haiba nzuri ya kuvutia. Alikuwa amevaa suruali ya jump suit ya rangi ya maruni iliyolichora vema umbile lake refu lenye tumbo dogo, nyonga (hips) pana na kiuno chembamba kilichoshikilia mzigo mkubwa wa makalio na minofu ya mapaja yake yaliyonona vyema, na shingoni alivaa kidani cha dhahabu ambacho sikuweza kukitazama kwa makini kwa vile taswira ya matiti yake madogo yaliyotishia kuitoboa ile blauzi ilizivuruga hisia zangu.

Nywele zake nyeusi ndefu na laini alikuwa amezifunika kwa kofia nyekundu ya kapelo. Nyusi zake alikuwa amezitinda vizuri na kuzipaka wanja mwembamba ulioonekana mfano wa mwezi mwandamo, kope zilikuwa zimerembwa vyema na kuyafanya macho yake malegevu yaonekane vizuri na kupendeza.

Alikuwa na midomo yenye maki na kingo pana zilikolezwa kwa rangi nyekundu na vishimo vidogo mashavuni kwake vilionekana na kuongeza ziada nyingine katika utamu wake. Miguuni alivaa raba ngumu za rangi nyekundu na begani alining’iniza mkoba mzuri wa rangi ya nyekundu, ambao kwa mtazamo tu ulionekana kuwa wa thamani kubwa. Mkono wake wa kulia ulikuwa umeshika begi dogo jeusi la safari lililokuwa na magurudumu madogo.

Nikiwa na uhakika kuwa yule msichana alikuwa hafahamu chochote kuwa nilikuwa namtazama hasa kwa kuwa nilikuwa nimevaa miwani myeusi ya jua iliyoyaficha macho yangu, niliendelea na udadisi wangu nikiuajabia uzuri wake usiomithilika huku hisia za upweke zikianza kunitawala.

Nilianza kuomba kimya kimya moyoni ili asighairi safari na aridhie kupanda basi la Makenga kwa sababu alionekana kutopenda kukaa kule kwenye viti vya nyuma, ambavyo hadi wakati huo nafasi ilikuwa imebaki ya abiria wanne tu. Nilisubiri kuona angechukua uamuzi gani kwani nilishavutiwa naye na nilichokisubiri ni namna ya kutengeneza urafiki naye, japokuwa sikujua alikuwa anaelekea wapi.

Nilimtazama kwa namna ya kumchunguza kuanzia unyayoni hadi utosini. Mara nikamwona akinyanyua uso wake kuniangalia na macho yake yalitua na kuweka kituo kwenye uso wangu, na hapo nikamwona akishtuka kidogo. Alinitazama kwa umakini kwa muda akionekana kama aliyekuwa ananifananisha kisha aliachia tabasamu laini la aibu huku akiyakwepesha macho yake na kuangalia kando.

Alipotabasamu ndipo mashavu yake yalipoonesha wazi vishimo vidogo, pembe za midomo yake zikafinya na macho yake yalifanya kuelea uteni. Hali ile ilizidisha hamu yangu ya kutaka kumfahamu zaidi mrembo yule wa shani.

Itaendelea...
 
safari buzwagi.JPG

29

Bila kujua nilijikuta napiga mluzi mdogo wa mshangao uliowafanya abiria walioketi kwa utulivu karibu yangu wageuke na kunitazama kwa mshangao, huku wengine wakiachia tabasamu baada ya kugundua kile kilichonifanya kupiga mluzi. Wapo walioonekana kuvutwa zaidi kumtazama yule msichana na kisha waligeuza shingo zao kunitazama halafu wakaendelea na hamsini zao.

Japokuwa nilikuwa nimevaa miwani myeusi mikubwa ya jua iliyowafanya watu wasiweze kuyaona macho yangu lakini sikupenda kutazamwa na kugeuka kivutio, hivyo hali ile ya abiria wenzangu kugeuka kunitazama ilinifanya niinamishe uso wangu nikijifanya kutazama simu yangu, lakini sekunde chache baadaye niliyarudisha tena macho yangu kumtazama yule mrembo wa shani.

Muda huohuo nikamsikia yule kondakta wa basi akimshawishi yule mrembo wa shani kulipa nauli na kisha aingie ndani kabla abiria wengine hawajafika na kuwahi nafasi chache zilizobaki kwa kuwa lile basi lilitarajiwa kuondoka dakika chache zilizokuwa zikifuata.

Yule mrembo wa shani aliminya tena midomo yake yenye maki na kufanya vishimo vidogo mashavuni kujitokeza kwa mara nyingine na hivyo kuzidi kuziadhibu hisia zangu zilizoanza kutekwa na uzuri wake, akamtazama kwa umakini yule kondakta wa basi kana kwamba alikuwa anbatafuta kuonewa huruma, kisha alishusha pumzi za ndani kwa ndani na kupandisha juu mabega yake.

Kisha nilimshuhudia akifungua mkoba wake mwekundu na kutoa noti moja ya shilingi 10,000 na kumpa yule kondakta wa basi, kondakta aliipokea ile noti kisha akainyanyua juu akiielekeza kwenye mwanga wa jua katika namna ya kuangalia uhalali wake, kisha aliandika tiketi moja na kumkabidhi yule mrembo wa shani pamoja na chenji yake.

Yule mrembo wa shani aliipokea ile tiketi na chenji yake kisha akaingia ndani ya basi na kuanza kutembea taratibu kwa madaha, kwa kujivutavuta, huku akiliburuta taratibu begi lake dogo lenye magurudumu. Alipofika usawa wangu nikamwona akinitupia jicho la wizi.

“Habari yako, kaka?” yule mrembo wa shani alinisabahi kwa sauti tamu na ya chini, sauti iliyopenya vyema kwenye ngoma za masikio yangu na kuzidi kunivuruga.

“Yangu nzuri, sijui ya kwako!” nilimjibu yule mrembo wa shani kwa sauti tulivu ya chini, sauti iliyosikika kwa uzito baada ya kuyatamka maneno yangu kwa mbwembwe na wakati huo nikigeuza shingo yangu kumtazama kwa umakini kuanzia juu hadi chini wakati akinipita taratibu kwenda kuketi kwenye kiti kule nyuma.

“Salama!” yule mrembo wa shani alinijibu pasipo kusimama.

Niligeuza shingo yangu taratibu kumsindikiza kwa macho wakati akizidi kupiga hatua zake kwa madaha. Kisha nilimshuhudia alivyokuwa akikukuruka kuweka vizuri begi lake kwenye sehemu maalumu ya kuwekea mizigo midogo kwenye sehemu ya juu ndani ya lile basi.

Alipomaliza kuweka begi lake aliketi kwenye kiti kitupu huku akinitupia jicho la wizi. Alionekana kama aliyekuwa anajaribu kukumbuka jambo, nilihisi kuwa alikuwa ananifananisha au pengine aliwahi kuniona sehemu fulani ila sikujua, hali hiyo ilizidisha joto langu la mahaba juu yake.

Kwa kuwa nilikuwa nimevaa miwani mikubwa ya jua, hivyo nilijiamini zaidi, nikaendelea kumchunguza huku hisia za upweke zikianza kunitawala, na mara nikamwona yule mpiga debe wa basi letu akifika tena huku akiwa ameongozana na abiria wengine watatu, wawili kati yao wakiwa vijana wa umri wangu na mmoja alikuwa mama mtu mzima.

Walipofika kwenye basi letu, kondakta wa basi aliwadaka haraka haraka na kupokea fedha zao kisha aliwakatia tiketi, wakaingia ndani ya basi na kwenda moja kwa moja kuketi kule kwenye viti vitatu vitupu vilivyobaki kule nyuma.

Mara nikamwona dereva wa basi la Makenga akiingia na kuketi nyuma ya usukani huku akiuegesha tu mkanda wa kiti chake badala ya kuufunga. Alikuwa mwanamume mwenye mwili mkubwa na kitambi ambacho kwa kukiangalia tu sikushindwa kubaini kuwa kilitokana na kangara, pombe ya kienyeji iliyotengenezwa kwa nafaka. Kwa kumkadiria tu nilibaini kuwa alikuwa na umri wa kati ya miaka 35 na 40.

Alikuwa mfupi na mweusi mwenye macho makali yaliyokuwa makini sana kama kachero wa polisi, na alikuwa amevaa shati la rangi ya samawati, suruali nyeusi na kofia nyeusi ya kapelo aliyoivaa kwa kuigeuza, ilielekea nyuma. Alitia ufunguo na kuwasha injini kisha alianza kuliondoa lile basi huku akipiga honi kali zilizowafanya wapiga debe wa stendi ya mabasi ya Sagara mjini Nzega kushangilia na wengine kupiga mbinja kwa fujo.

Kelele zile zilimshtua Eddy kutoka usingizini, aliinua kichwa chake akanitazama kabla ya kuyahamisha macho yake kuwatazama abiria wengine kwa muda, abiria wote walikuwa wameketi kwa utulivu mle ndani ya basi.

Basi lilipotoka stendi liliingia katika barabara kuu ya kutoka Singida kwenda Mwanza, likakunja kuingia kulia kama linaelekea Singida likiifuata ile barabara hadi kwenye mzunguko wa barabara (round about) karibu na kituo cha mafuta cha Gudal, kisha likakunja tena kuingia upande wa kulia na kuifuata barabara inayoelekea katikati ya mji wa Nzega.

Wakati likianza kushika kasi katika barabara hiyo niligeuka kumtazama yule mrembo wa shani kwa wizi, hadi muda huo sikuwa najua alikuwa anaitwa nani. Alikuwa ameketi kwa utulivu mno, na hapo nikagundua kuwa hata yeye alikuwa bado ananitazama kwa jicho la wizi na kuna wakati aliachia tabasamu pasipo kuongea neno lolote, ingawa nilipomchunguza vizuri niligundua kuwa macho yake yalikuwa na uchovu mwingi.

Yeyote ambaye angetutazama kwa jinsi tulivyokuwa tukitazamana na wakati mwingine kutabasamu angedhani kuwa mimi na yule mrembo wa shani tulikuwa watu tuliofahamiana sana na pengine tulikuwa wapenzi wa siri, ingawa ukweli ni kwamba sikuwa namfahamu kabisa. Nilijikuta nimetokea kumpenda ghafla na kutamani nipate wasaa wa kuwa naye faragha. Kwa mtazamo wake nilidhani kuwa hata yeye pia alikuwa amenipenda kiaina.

Nilimminya kidogo Eddy kwenye paja lake huku nikimuashiria kwa macho kumtaka atupe macho yake kule kwenye viti vya nyuma alikokuwa ameketi yule mrembo wa shani. Eddy, ambaye alikuwa anapiga miayo kwa uchovu alinitazama kwa mshangao.

“Kuna nini?” Eddy aliniuliza kwa mshangao kwa sauti ya chini akionekana kutoelewa kilichokuwa kinaendelea.

“Angalia kule nyuma! Dah, kuna wadada wamejaaliwa kwa kweli… utadhani malaika aliyeshushwa duniani kimakosa! Yaani anaonekana ni mtamu haswa!” nilimwambia Eddy huku nikigeuza shingo yangu kiaina kumtazama yule mrembo wa shani ambaye muda huo alikuwa anahangaika na simu yake ya mkononi, pengine alikuwa anawasiliana na mtu mwingine kwa ujumbe mfupi wa maandishi.

Eddy alimtupia jicho yule mrembo wa shani mara moja tu na hakuonesha tashwishwi yoyote usoni kwake, kisha aliyarudisha tena macho yake kwangu, akatabasamu kidogo huku akitingisha kichwa chake taratibu kwa huzuni.

Itaendelea...
 
Back
Top Bottom