Simulizi: Harakati za maisha

JD natumaini uko salama ndugu Mhandisi all is well .
 
Kbasi nikiandika "unazingua bob kama ulijua huna time ya kuendeleza ulianzisha yanini ni kama kumpandisha nye.. mtu af usid..." watu wataniona mkorofi nimeandika matusi sina heshma umoja na amani
 
Kbasi nikiandika "unazingua bob kama ulijua huna time ya kuendeleza ulianzisha yanini ni kama kumpandisha nye.. mtu af usid..." watu wataniona mkorofi nimeandika matusi sina heshma umoja na amani
1. Hakuna tusi uliloandika mkuu ni maneno ya kawaida.

2. Kwa yeyote aliyeielewa simulizi anakuwa na hamu ya kutaka kujua nini kilijiri.

3. Maneno yako yamewawakilisha wengi ambao hawana uwezo wa kutype kwa hasira kama wewe.

4. Japokuwa hakuna binadamu asiyekuwa na hasira,ila mimi si mwepesi wa hasira tangu zamani sana,nilichagua hivyo ili niweze kujifunza mengi zaidi.

5. Today is weekend,nitajitahidi kuhakikisha naweka angalau two episodes.

Karibu tuburudike na harakati za maisha Litro
 
2 episode hazitoshi fanya angalau 3 umetuweka sana
 
Samson unazingua πŸ˜‚Nimeona notification nikajua ume post new episode nikafurahia
 
Mbona kama umenishushua au..anyway asante kwa ukaribisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…