Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #61
SEHEMU YA 35
"huyu kweli mama mchungaji au mama mfundaji? Mh!" alijiuliza Deo wakati mama mchungaji anamuongoza kuelekea bafuni walipouendeleza mchezo huo,walipotoka bafuni ndipo walipohamia kitandani,Deo sasa naye aliamua kuonyesha ufundi wake katika mambo hayo ili watoe baraka njema katika kitanda kile. Mama mchungaji akiwa amepagawa kabisa na Deo akiwa anajiandaa kumrukia mara kitanda walichokuwa wamelalia kikapata anguko kubwa baada ya chaga za kitandaka kushindwa kubeba uzito ule,mlio mkubwa ulisikika na kumkurupua Timoth aliyekuwa pale mlangoni akitega kusikiliza kinachoendelea. Ilikuwa aibu kubwa kwa Deo lakini mlio aliousikia tena nje ndio ulimshangaza. Mama mchungaji yeye hakuwa na habari alikuwa ametulia tuli akiwa katika ulimwengu mwingine na hata Deo alipotoka nje hakuweza kusikia
Mama mchungaji hakutegemea shughuli ingekuwa pevu hadi kufikia kiasi cha yeye kupagawishwa kiasi hicho,ama kweli ule usemi kuwa jasiri aachi asili ni kweli tupu isiyokuwa na uongo,mama mchungaji alikuwa amekosa vitu vingi tangu aingie katika ndoa na mchungaji yule. Mapenzi aliyopewa na mchungaji yalikuwa ya heshima tele,hapakuwa na kukuru kakara za hapa na pale,kila walipohitaji kuwa faragha mama mchungaji alikuwa anatakiwa kujitanguliza chini halafu taratibu mchungaji anafuata kwa juu na stori inaishia hapo lakini usiku huu alikuwa ametenda bafuni,sakafuni na kitandani lakini sio kwa staili zile za mchungaji.
"mh! jamani mie nimeyamis mambo haya kwa nini mchungaji hanipi lakini mwanaume yule?" Mama mchungaji alikuwa anajiuliza wakati akiwa amejilaza palepale katika kitanda kibovu,hakuwa hata na kumbukumbu kuwa bikini yake ilikuwa imechanwa na tayari shanga mbili zilikuwa zimetawanyika kutokana na shughuli pevu. Akiwa bado hajiwezi pale kitandani alisikia mlango unafunguliwa na hatua zikasikika zikijongea pale kitandani. Mama mchungaji aliamini alikuwa ni Desmund (Deo). "please come darling!" alitamka kwa sauti ya kimahaba sana. Bila kupata jibu lolote alishtukia yanatokea mambo kama yanayowatokea wacheza mieleka.
Alikuwa ni Timoth amewasili ndani ya kile chumba alichoamini kimeandaliwa kwa ajili yake kulipiza kisasi,sauti ya mama mchungaji ilimsaidia kuelewa ni wapi anapatikana kwa kufuata sauti ile alivamia pale kitandani na kumnyanyua,giza lilimpa sapoti kubwa kwani bila hilo huenda angemwonea aibu mama mchungaji . Joto lilipenya katika mikono yake na kusambaa mwili wote. Ulaini wa ngozi ya mama mchungaji ulisababisha mchezo kuanza mapema sana,Timoth hakupoteza muda kuleta longolongo za hapa na pale kwani nia yake ilikuwa kulipa kisasi. "aaai jamani mchungaji!" sauti ya mkewe (Noela) usiku ule alipokuwa anaota ilimjia kichwani mwake na kuleta hasira kali sana iliyomchochea Timoth kumweka mama mchungaji chini kabisa tayari kwa shuguli,bila kusita wala kuleta heshima ya mama mchungaji Timoth alivamia milki ya mama mchungaji na kuanza kufanya mauaji tena ya kinyama sana yale ya kukomesha.
"umenipa mimba jamani umenipa mimba mie nipo kwenye siku mbaya unaniua jamani mchungaji wangu hana uwezo wa kuzaa jamani nitaumbuka mie aaah! Aaaash!" alipiga kelele mama mchungaji lakini Timoth hakujali kwani aliamini hizo zilikuwa kelele tu za furaha.
"ntalea mtoto" alijikuta Timoth akitamka bila hata kujua alisemalo,tofauti na mwanzo alivyotegemea kufanya kwa kukomoa ili kulipa kisasi sasa alikuwa akipima ujuzi wa mama mchungaji na mkewe (Noela) katika fani husika ya kitandani."mama mchungaji alikuwa kiboko" hilo ndio lilikuwa jibu.
"huyu kweli mama mchungaji au mama mfundaji? Mh!" alijiuliza Deo wakati mama mchungaji anamuongoza kuelekea bafuni walipouendeleza mchezo huo,walipotoka bafuni ndipo walipohamia kitandani,Deo sasa naye aliamua kuonyesha ufundi wake katika mambo hayo ili watoe baraka njema katika kitanda kile. Mama mchungaji akiwa amepagawa kabisa na Deo akiwa anajiandaa kumrukia mara kitanda walichokuwa wamelalia kikapata anguko kubwa baada ya chaga za kitandaka kushindwa kubeba uzito ule,mlio mkubwa ulisikika na kumkurupua Timoth aliyekuwa pale mlangoni akitega kusikiliza kinachoendelea. Ilikuwa aibu kubwa kwa Deo lakini mlio aliousikia tena nje ndio ulimshangaza. Mama mchungaji yeye hakuwa na habari alikuwa ametulia tuli akiwa katika ulimwengu mwingine na hata Deo alipotoka nje hakuweza kusikia
Mama mchungaji hakutegemea shughuli ingekuwa pevu hadi kufikia kiasi cha yeye kupagawishwa kiasi hicho,ama kweli ule usemi kuwa jasiri aachi asili ni kweli tupu isiyokuwa na uongo,mama mchungaji alikuwa amekosa vitu vingi tangu aingie katika ndoa na mchungaji yule. Mapenzi aliyopewa na mchungaji yalikuwa ya heshima tele,hapakuwa na kukuru kakara za hapa na pale,kila walipohitaji kuwa faragha mama mchungaji alikuwa anatakiwa kujitanguliza chini halafu taratibu mchungaji anafuata kwa juu na stori inaishia hapo lakini usiku huu alikuwa ametenda bafuni,sakafuni na kitandani lakini sio kwa staili zile za mchungaji.
"mh! jamani mie nimeyamis mambo haya kwa nini mchungaji hanipi lakini mwanaume yule?" Mama mchungaji alikuwa anajiuliza wakati akiwa amejilaza palepale katika kitanda kibovu,hakuwa hata na kumbukumbu kuwa bikini yake ilikuwa imechanwa na tayari shanga mbili zilikuwa zimetawanyika kutokana na shughuli pevu. Akiwa bado hajiwezi pale kitandani alisikia mlango unafunguliwa na hatua zikasikika zikijongea pale kitandani. Mama mchungaji aliamini alikuwa ni Desmund (Deo). "please come darling!" alitamka kwa sauti ya kimahaba sana. Bila kupata jibu lolote alishtukia yanatokea mambo kama yanayowatokea wacheza mieleka.
Alikuwa ni Timoth amewasili ndani ya kile chumba alichoamini kimeandaliwa kwa ajili yake kulipiza kisasi,sauti ya mama mchungaji ilimsaidia kuelewa ni wapi anapatikana kwa kufuata sauti ile alivamia pale kitandani na kumnyanyua,giza lilimpa sapoti kubwa kwani bila hilo huenda angemwonea aibu mama mchungaji . Joto lilipenya katika mikono yake na kusambaa mwili wote. Ulaini wa ngozi ya mama mchungaji ulisababisha mchezo kuanza mapema sana,Timoth hakupoteza muda kuleta longolongo za hapa na pale kwani nia yake ilikuwa kulipa kisasi. "aaai jamani mchungaji!" sauti ya mkewe (Noela) usiku ule alipokuwa anaota ilimjia kichwani mwake na kuleta hasira kali sana iliyomchochea Timoth kumweka mama mchungaji chini kabisa tayari kwa shuguli,bila kusita wala kuleta heshima ya mama mchungaji Timoth alivamia milki ya mama mchungaji na kuanza kufanya mauaji tena ya kinyama sana yale ya kukomesha.
"umenipa mimba jamani umenipa mimba mie nipo kwenye siku mbaya unaniua jamani mchungaji wangu hana uwezo wa kuzaa jamani nitaumbuka mie aaah! Aaaash!" alipiga kelele mama mchungaji lakini Timoth hakujali kwani aliamini hizo zilikuwa kelele tu za furaha.
"ntalea mtoto" alijikuta Timoth akitamka bila hata kujua alisemalo,tofauti na mwanzo alivyotegemea kufanya kwa kukomoa ili kulipa kisasi sasa alikuwa akipima ujuzi wa mama mchungaji na mkewe (Noela) katika fani husika ya kitandani."mama mchungaji alikuwa kiboko" hilo ndio lilikuwa jibu.