Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #121
Amen mkuuShukrani sana poti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen mkuuShukrani sana poti
Amen mkuu 🙏Shukrani mkuu ubarikiwe
Mkonon kwa nundaKURA*KURA KURA** [emoji91] [emoji91] [emoji91]
SIMULIZI TATU ZA MWISHO, MSIMU HUU WA PILI, BAADA YA KUTUMA SIMULIZI SABA JAMII FORUM NA PSEUDEPIGRAPHAS.
CHAGUA SIMULIZI IPI TUANZE NAYO.
1. SAFARI NDEFU KUELEKEA KABURINI - NYEMO CHILONGANI ~ Simulizi ya Kusisimua
2. DEAD LOVE ( PENZI LILILOKUFA ) - AZIZ HASHIM ~ Simulizi ya Maisha
3. MIKONONI MWA NUNDA - BEN R. MTOBWA ~ Simulizi ya Kijasusi
4. OOH!! KUMBE TAMU - YONA FUNDI ~ Simulizi ya Mapenzi
Simulizi yenye kura 10. itatumwa, kura hazijafika 10 msimu wa pili utaishia hapa
Ya Ben MtobwaBado tunaendelea na Uchaguzi, Simulizi yenye kura 10 itarusha, tupia kura yako.
SAFARI NDEFU KUELEKEA KABURINI - NYEMO CHILONGANI ~ Simulizi ya Kusisimua ......(Kura 2/10)
DEAD LOVE ( PENZI LILILOKUFA ) - AZIZ HASHIM ~ Simulizi ya Maisha......(Kura 0/10)
MIKONONI MWA NUNDA - BEN R. MTOBWA ~ Simulizi ya Kijasusi......(Kura 4/10)
OOH!! KUMBE TAMU - YONA FUNDI ~ Simulizi ya Mapenzi......(Kura 0/10)
SawaEndelea kufuatilia Simulizi zinazorushwa na PSEUDEPIGRAPHAS.
Simulizi: Kurudi Kwa Moza
Riwaya: Kasri ya Mwinyi Fuad
Simulizi: Nini maana ya mapenzi
Simulizi : Nguvu Ya Mapenzi
Mkuki Kwa Nguruwe (Kisa Cha Kweli)
RIWAYA: Sauti Yake Masikioni Mwangu
NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU (Kisa Cha Kweli)
RIWAYA: Mume Gaidi
STORY: Sitaki Tena
Nilivunja Ndoa Zangu 3 Kulipiza Kisasi (Kisa Cha Kweli)
***
Simulizi: Asante kwa Kunifuta Machozi (Hisia Zangu)
Simulizi : Beyond Love (Zaidi Ya Mapenzi)
Simulizi: Akwelina
Simulizi : Ukweli Wenye Kuuma ( Painful Truth )
Simulizi : Jamani Mchungaji !!
Simulizi: Ajira Toka Kuzimu
N.k
[emoji26][emoji26][emoji26]napata wasiwasi Sana nikimkumbuka mpenz wangu nilie mbali nae kwasas. Kwa story hi nadhn wananipigia Kaz yangu daah[emoji25][emoji25]Daaah wanawake bhana sijui huwa wanatafuta nini?
AsanteSEHEMU YA 60
****
Kadri alivyokuwa anasikia maneno yale makali kutoka kwa Timoth,mchungaji Marko alikuwa anapatwa mshtuko uliokuwa unaathiri ubongo wake kwa kasi ya ajabu,na hasa hasa aliposikia habari kuhusu mkewe na tabia mbovu za usaliti alizofanya tena hadi kufikia hatua ya kupata mimba ni palepale neno hilo lilipelekea kupoteza fahamu zake akiwa ametulia tuli macho yake yakiwa wazi kama vile anaona kinachoendelea,hata mtumishi alipokuwa anampa kipaza sauti ili aweze kutuliza ghasia iliyotaka kuzuka pale yeye (mchungaji) alikuwa katika ulimwengu mwingine kabisa. Ilimchukua mtumishi dakika tano kuweza kugundua kuwa pale ulikuwepo mwili wa mchungaji na sio mchungaji mwenyewe. Haraka haraka alitoa taarifa hiyo kwa wenzake na kumkimbiza katika gari la wagonjwa lililokuwa jirani. Timoth kwa kuhofia usalama wake alitimua mbio kuelekea katika kituo cha polisi kilichokuwa jirani huku mam mchungaji akiungana na Noela pamoja Oscar katika kuibeba aibu iliyowakumba watu waliwazomea sana na hawakuwa na la kujibu kwa umati ule.
Mchungaji alikuwa ameathirika sana katika ubongo wake uliosababisha kupararaizi upande wa pili uliokuwa umebaki hivyo kusababisha mwili wote kupoteza hisia zake na haikuwepo njia yoyote ya kumsaidia kitaalam zaidi ya daktari Mpejiwa kutoa ushauri wa kurejeshwa nyumbani ambapo angemaliza maisha yake yaliyobaki kitandani au kusubiri muujiza kutoka kwa Mungu.
Kwa upande wa Timoth alihukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kufanya jaribio la kutaka kuua,na hakusikitishwa na adhabu hii kwani ilikuwa haki yake kabisa. Noela na mama mchungaji hawakusubiri talaka zao walijiongeza wenyewe kutoweka katika jiji hilo la Dar kwa aibu kubwa huku Oscar akirejea kijijinini kwao kujipanga upya kwa maisha mengine na kusahau kabisa kuhusu yaliyotokea kwa Noela.
Mchungaji alibakia katika hali ile ngumu ya maisha huku akiendelea kumtukuza Mungu kwa kuendelea kumpa uhai hasahasa uweza wa kuendelea kuzungumza vyema kwa mdomo wake ili aendelee kuihubiri injili yake. Waumini waliendele kuwa karibu yake huku imani yao ikiwa bado thabiti kwa mtumishi huyo wa Mungu lakini kila walipokumbuka enzi za uzima wa mchungaji huyu na sasa walipoangalia mateso anayoyapata mchungaji Marko walibaki na neno moja tu “AH! JAMANI MCHUNGAJI!!!!”
***MWISHO