Simulizi: JASMINE

Simulizi: JASMINE

JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 18.
BOOKING 0756748557. .

" Mimi najua yule dada ni mwanamke wako tu" aliongea Najma . Hans " ok fine fikilia vyote vile ufikiliavyo ni sawa" alitoka nje akiwa na hasira sana . Alitoka na kupamvamia mtu kumuangalia vizuri alikuwa Jasmine akiwa anafuta alishia kutabasamu na kuondoka zake akiwa akielekea chumbani kwake ..

Hans aliingia chumbani " huyu mwanamke ananiletea habari za ajabu ajabu kwanza kanicheat kipindi nipo chuo , sasa hivi ananiletea habari upumbavu wake kwenye familia " aliongea na kulala kwa asira . Jasmine alivyomaliza kazi zake aliingia chumbani kwa Zuri na kumkuta amekaa akisoma kitabu .

" Asantee Zuri kwa zawadi nzuri ulizoniletea "aliongea Jasmine . Zuri alitabasamu " kamwambie kaka Hans asantee mimi nikununulie kwa hela gani niliokuwa nayo ". Jasmin alicheka" nikajua wewe bhana , ila asantee wote ".

Zuri " sawa njoo unibane nywele kama jana " . Jasmine alienda kumbana nywele na kulala zake . Hans alikuwa akitafuta usingizi chumbani Najma kamzingua na akiwa akimuwaza Jasmine sana.

Alichukua simu yake nakutumia sms " good night ". Jasmine aliona " nakujibu nakwako pia asantee kwa zawadi". Hans alijibu'' asantee kwa chakula kitamu cha leo ". Jasmine alibidi azime data na kulala zake akiwa anafuraha katoka kwa madam Frida.

Najma chumbani kwake baada ya Hans kutoka chumbani kwake. Alitupa tupa vitu vyote chini " aaaah sikubari lazima uyu mtoto atoke hapa adi Hans ananijibisha mimi siwezi kukubari.

Hans aliamka asubuhi na mapema kama kawaida yake ilikuwa wiki end. Alienda mazoezi na kurudi kumkuta Jasmine akifua nguo zake mwenyewe uku akiimba imba .
Hans alikuwa akimuangalia tu Jasmine nakutabasamu mwenyewe.

*********************

Zuri alikuwa yupo kwa nyuma akimuangalia kaka ake nakutikisa kichwa na kwenda uku akiwa anapiga miruzi . " Leo utoki umekuwa kufuri au sio. Hans " dogo uache kunifatilia kwenye maisha yangu nitakupiga bure ".

Zuri " subutu ukinipíga na mwambia yule anayefua kuwa ulikuwa unapiga picha mdada wa watu ". Hans alicheka" punguza umbea sana dogo nakumfinywa sikio". Zuri " ebu nenda kwa mkeo ndani anakusubiria ".

Hans " punguza majungu basi na wewe tena ". Kidogo Najma alitoka akiwa kapendeza sana . " Hans, mama angu mdogo anaumwa nimepigiwa simu niende " aliongea Najma .

Hans alingia mfokoni nakutoa élfu 30 kumpa . Najma " nitarudi kesho au kesho kutwa ". Hans " sawa" . Zuri alikuwa akimuangalia kwa dharau Najma. Najma aliondoka zake akiwa na furaha sana .

Zuri " hivi brother unamuamini yule demu wako kuwa mama ake anaumwa kweli ". Hans " ata akinidanganya atajua mwenyewe na Mungu wake".

Zuriri" unalolote sema unapenda tu mwanamke na kuingia ndani". Hans '' nilikuwa nikipenda before sema sasa hivi naishi nae kwa mazoea, ayupo akilini mwangu"alijiongerea na kuingia ndani .

Najma alivyotaka pale alikuwa ana chamgonjwa wala nini alienda moja kwa mojaaa kwa Hamza. " Hamza mbona unanifanyia hivi jamani nilikwambia usinitafute adi mimi nikutafute wewe .

Hamza " unajua maumivu yakuniacha peke angu beby najua sina pesa ni mario lakini kuna muda na kumiss natamani kuwa na wewe tu "alisema. " Lakini tulikubariana mimi nitafute pesa ili tuje kujenga nyumba tuoane" . .

Itaendelea .
800 muendelezo 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 397908 jina badru badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 19 .
BOOKING 0756748557.

" Ndio tulikubariana lakini wewe unakawia sana " . Najma " basi baby wangu yaishe eeeh nipo kwa ajili yako ". Hamza " Sawa umemuagaje yule chizi pale nyumbani". Najma" yule chizi nimemueka kiganjani na mpindupindua ninavyotaka ". Hamza " kumbe yule mganga niliokupa kiboko eéh ". Najma" ndio yule babu noma sana Hans afurukuti Jamani ".

" Okay sawa" aliongea.
Najma alikuwa mpole sana ghafla. Hamza" mbona umepoa ghafla vipi kuna shida yoyote ile ? aliuliza. Najma alijibu'' ndio kuna mdada moja kaletwa nyumbani na Hans anatia wasiwasi .

" Wasiwasi upi baby ? aliuliza Hamza . Najma " anapendwa na kupewa kípao mbele sana na Hans na familia ". Hamza " niishu ndogo sana tutashurikia naye " alisema . Walikumbatiana na kulala zao Najma akimdanganya Hans kuwa kuwa yupo kwa mama ake mdogo anaumwa.

Hans alikuwa ajui chochote kuwa anasalitiwa na Najma zaidi ya yote alikuwa akichati na Zuri. " Dogo nikwambiie kitu ? aliuliza. Zuri " niambie kubwa " alijibu .

" Weekend hii tutoke naomba unitolee huyo mrembo ndani nitoke nae out " alisema Hans . Zuri " mmmh mrembo yupi brother jamani? aliuliza. " Jasmine jamani " alisema .

Zuri alicheka tu sababu alikuwa ampendi Najma kutoka na mashauzi alijibu'' poa ". Hans alilala zake akiwa anafuraha sana. Asubuhi na mapema Hans aliamka akiwa na furaha na kutoka zake nje kukaa .

Jasmine alikuwa akijinyoosha nyoosha uku akifagia uwanja mwenyewe. Aliiangalia juu anakutana na Hans akimuangalia tu uku amekaa mlangoni. Jasmine alimuangalia na kuendelea kufagia .

Kidogo wanasikia hodi ikigongwa kwa fujo mlinzi alibidi atoke aende kufungua geti na kumkuta Najma. " Hans yupo ? aliuliza. Mlinzi " yupo" alijibu . Najma aliingia ndani nakujidahi kujiongeresha " mamdogo ni muongo muongo kweli yani na juta kwenda".

Wadada wa kazi walicheka sana , Zuri alitoka akiwa anaenda chuo alimpita na kumshusha kumpandisha kuondoka zake . " Jasmine nikulete nini ? aliuliza.

Jasmine alijibu" chochote " na Zuri kuondoka zake chuo. Najma alibakia kumuangalia tu Zuri na Hans aliingia chumbani kwake . ” Nilikuwa sitaki kwenda kazini ngoja niende kazini huyu mwanamke ni mjinga sana" alioga na kuvàa kuondoka zake.

*******************

" Mbona unaondoka sasa ? aliuliza Najma. Hans " nimepigiwa simu na baba niende kuna kazi " kumbe kamkimbia. Najma " sawa sawa". Hans alichukua gari lake na kupanda kuondoka zake akimuwaza Najma .

" Najma kwanini muongo hivi au sababu nakupenda ndo unanidanganya mimi mama ako mdogo anaumwa kumbe umetoka kwa mwanaume" aliongea Hans. " Nikupe nini Najma wangu ilí utulie nyumbani kama kukusomesha nimekusomesha Najma lakini uliziki " aliongea uku akilia.

Alibidi atoke adi baharini kuangaliana maji na kutulia ilikuangalia solution ya mapenzi yake yeye na Najma . Najma kama kawaida yake alimkuta Jasmine akipika chakula.

" Hey leo toeni ngwala zenu jikoni nipike mimi " . Watu wote walibaki kumuangalia tu na kutoka zao nje walicheka kwa pamoja. " Leo dada mzuri anapika "aliongea Rahma .

Nasra " anazuga pale analolote kashatoka kumchiti bwana " aliongea. Rahma alisema" naisi brother kashashitukia mchezo ndo maana kaondoka". Jasmine " mmmh mimi mwenyewe nimeshangaa bro Hans kuaga anaenda kazini akati alituambia leo yupo.

" Ila Najma atakuja kujuta akimpoteza Hans kwanza mzuri mwenyewe , licha na uzuri anajua kuvaa , licha ya vyote pesa na akili zimelala " alisema Rahma. Nasra " shauri ake aje kuna wazuri kumzidi yeye kama Jasmine".

Jasmine " jamani mimi uzuri niutole wapi ? aliuliza. Nasra alijibu'' Jasmine wewe mzuri sana mashallah sura , jicho lakusinzia , tatu nyuma uko ndo maana brother lazima abaki nyuma nyuma" .

Rahma aliingia" alafu kweli Nasra unavyoongea Hans lazima angalie nyuma kichugu nimemfumania mara mbíli" . Jasmine " kwendeni zenu kama mmekosa maada za kuongea " aliongea. " Usikasirike bure tunakutania sisi ".

" Wala msijali marafiki zangu" aliongea. Najma alitoka jikoni na kuwakuta wamekaa .
"Nyie vijikazi mkaoshe vyombo uko ". Watu walibakia kumuangalia tu na kucheka kuingia jikoni .

itaendelea.
Muendelezo ni tsh 800 tu .
namba 0756748557 Mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina badru badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 20.
BOOKING 0756748557.

Waliingia Jikoni na kuosha vyombo kutoka zao wakiwa watatu . Magari yalianza kurudi nyumbani na gari lilingia la mama Hans , kidogo baba Hans alirudi la mwisho Hans mwenyewe. Hans alishuka kwenye gari na kuwakuta Jasmine na wezake wamekaa wakisukana..

Hans alimuita" Jasmine nipeleke chumbani begi langu" . Jasmine alisimama na kuchukua begi lake kumpeleka chumbani kwake. Kila mtu alicheka sana maana awajawahi kuingia chumbani kwa Hans.

Najma alitenga chakula leo kapika yeye na kuwaita watu wote mezani . Hans alikuwa kashaoga teali na kukaa mezani kuwasubiri waje kula .
Watu wote walitoka vyumbani kwao kasoro Zuri alikuwa yupo chuo anamitihani .
Walipakua chakula kila mtu na sahani yake kukaa kula .

Wakina Rahma walianza kuangalia maana chakula kina chumvi nyingi , mchunzi kachumbali nyanya zinaoneka , walimbichi vurugu mechi . Hans kala vijiko viwili tu " chakula kampika nani leo? aliuliza.

Wakina Rahma , Nasra na Jasmine walibariki kuangaliana tu machoni. Hans " jamani sinauliza nani kapika ? alíuliza. Najma alibidi ajitaje " nimimi hapa beby " . Hans alibakia kimya tu na kuchukua gasi ya maji kunywa kushushia .

Baba Hans aliona ya nini kupandisha presha alibidi asimamine " asantee kwa chakula" nakuondoka zake chumbani. Mama Hans nae alinawa " asantee sana kwa chakula ". Hans alibaki kujikaza sababu mchumba ake ndo mpishi kala vijiko vitano tu.

" Leo nimekula sana ofisini kwahiyo nimeshiba sana "Hans alisimama na kuondoka zake kwenda kulala . Najma aliona aibu kutoka chakula kila mtu kasusa alibidi asimamie aondoke zake. Watu wote walicheka sana " aya shoga etu kajitia kieleele chakupika leo " aliongea Nasra .

Rahma mwezangu" mbona aibu sana katufukuza jikoni bure". Jasmine alibakia kucheka tu maana sio muongeaji mpole mwenyewe . " Jasmine mfundishe shoga ako kupika" alisema Nasra. Jasmine alicheka tu nakukusanya viombo kwenda kuviweka .

" Angalia chuzi ilí ndo chuzi kabisa kapika mwanamke mwezetu " aliongea Nasra. Walicheka na kubeba vyombo kwenda kuosha kuoga kulala .

******************

Asubuhi waliamka ilikuwa jumamosi walifanya usafi vizuri sana kuoga kukaa kunywa chai. Zuri alitoka chumbani kwake alichelewa kurudi nyumbani kwao jana ndo maana kachelewa kuamka .

" Hello wakubwa shikamoo wadogo marahaba" . Watu wote walibaki kucheka tu . " Ebu kaa unywe chai nani mdogo umu ndani zaidi yako? aliuliza Hans. " Hii wewe vipi kwani naongea na wewe hapa au" alijibu Zuri.

Baba Hans" tosha amchelewi kupigana bure hapa". Hans alisimama na kuchukua ufunguo wa gari yake " jamani nilikuwepo natoka kidogo" .

Zuri " jamani leo naenda mlimani city na Jasmine" aliongea . Kila mtu alibaki kumuangalia tu Zuri maana akuwahi kutoka na mtu sehemu yoyote . Mama Hans " aya Jasmine kaoge maana unaupepo mzuri na Zuri".

Jasmine alisimama na kuondoka zake kwenda kuoga uku akiwa anamuangalia Najma tu. Najma alimkata jicho kari na kuingia chumbani kwake akiwa na wivu .

Jasmine alioga vizuri alivaa nguo nzuri na kutoka kila mtu alimsifia umependeza sana . Zuri alimremba na mapambo yake kuakikisha ametoka chicha na kuingia kwenye gari lake kutoka moja kwa moja alitoka adi bichi nzuri na kukaa .

Jasmine alishangaa! na kubakia kimya tu maana kusema alikuwa ana zaidi yakuangalia mazingira tu . Kidogo alikuja mtu na kumziba macho Jasmine. " Zuri unamatatizo gani ? aliuliza kiupole.

Alisikia sauti ya kiume " mimi sio Zuri bhana " na kumuachia mikono . Jasmine alishangaa! kumkuta Hans mbele yake " niwewe brother" . Hans " yap mimi Jasmine ".

Zuri alikuja maana alikuwa ametoka kununua pockoni na kurudi . " Afadhari umekuja unipe changu niondoke" alisema. Hans alibaki kumuangalia mdogo wake nakucheka tu kisha alichomoa pochi na kumpa laki moja yake .

" Jasmine mtu wako huyu hapa nitakuja kukupitia nikírudi " alibeba kibegi chake na mdori wake huyu nakuondoka zake.

itaendelea.
muendelezo ni tsh 800 tu namba ni hii 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina badru badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 21
BOOKING 0756748557.

Hans alicheka kwa vituko na mdogo wake tu. " Huyu mtoto kanishinda tabia" . Jasmine alicheka tu nakujisema" wote ndo walewale ". Hans " karibu nimejisikia kukutoa out leo maana kila siku ndani tu ndani na wewe" . Jasmine" asantee brother Hans Mungu akubariki kwa kweli maana bira wewe dah sijui ningekuwa wapi ".

Hans " usijali sana tupo pamoja vipi nyumbani unaishi poa " . Jasmine" ndio brother nipo poa tu ". Hans alitabasamu " kwani unajina lingine zaidi ya kuniita kaka jamani"? aliuliza.

Jasmine alibaki kuguna tu nakuangalia chini tu uku akiona aibu. Hans alisimama na kumfata sikioni " ukinita Hans inatosha " nakumkiss kukimbia kwenda zake kumchukulia chakula. Wahudumu walireta chakula na kula kila mtu akimuangalia mwezake kiwizi wizi tu.

Hans " aise bonge la toto mashallah" alijisemea . Jasmine alimuangalia tu " Hans Hb". Wakajikuta wanaangaliana tu macho kwa macho . Jasmine aliona aibu nakuangalia chini tu muda wote.
" Mbona unanionea aibu kama baba mkwe? aliuliza Hans . Jasmine " amna tu na kubaki kuangalia chini.

Hans alibakia kutikisa kichwa na kucheka tu . Jasmine" ameenda wapi Zuri? aliuliza. Hans " ameenda kuchukua vitabu inaelekea mnapendae eeeh? aliuliza. Jasmine" ndio Zuri nimdada mzuri sana ukimuelewa usipomuelewa utamuona mcharuko "..

Hans " amna lolote unamtetea shoga ako " alisema . Jasmine alicheka tu nakidogo Hans alipigiwa simu na Zuri . " Aya tuondoke nikukabizi kwa Zuri miimi niondoke siunajua yule jini kislani pale nyumbani sio poa ".

Jasmine alibakia kucheka tu na Hans alimshika mkono Jasmine na kwenda nae packing ya gari kupanda kuondoka zao . Kufika mbele kidogo Hans alimshusha Jasmine na kumpandisha gari ya Zuri.

" Sasa je brother " ? aliuliza Zuri . Hans " sasa nini naomba umuaishe nyumbani huyo ". Zuri " ok " alimuangalia Jasmine na kutabasamu mwenyewe na kuondoka zake nyumbani.

*********************

Hans ndo mtu wa kwanza kufika akiwa na furaha na kumkuta Najma yupo nje amekaa. " Hello baby " alisalimia . Najma" hello honey ".
Mama Hans alitoka ndani " awa watu wa mlimani city adi sasa awajarudi ? aliuliza . Najma alijibu'' usikute yule mdada mgeni anamfundisha umalaya Zuri wetu ". Mama Hans na Hans walibaki kuangaliana usoni tu adi Hans aliamua kuingia ndani.

Zuri alirudi akiwa yupo yeye na Jasmine . Walikutana na Hans akiwa mlangoni na kumuangalia usoni Zuri na Jasmine kutabasamu kuelekea kwenye chakula cha jioni. Zuri na Jasmine walitoka wakiwa wameshaoga nakukaa kula , walimaliza kula kikao kilianza.

" Hans lini unaoa ? aliuliza Baba Hans . Hans alinyamaza kimya kidogo kufikiria , akiangalia Najma anamuangalia. " Baba nitaoa mwezi unaokuja " Hans alijibu kumlizisha baba ake.

Najma alitokea na Jasmine atafutiwe mchumba nae aolewe tuolewe siku moja " sindio Hans "? aliuliza kinafki . Hans alijibu'' kishingo upande ndio ".

Najma alifurahi nakuingia chumbani kwake akiwa anacheka sana " hahahaha Jasmine ufai kuishi umu ndani na mimi ". Hans aliingia chumbani kwake akiwa na hasira sana nakutupatupa vitu . " Mbona nakuwa na wivu na Jasmine sana tu ? alijiuliza .

Jasmine alikuwa akiwaza tena natafutiwa mchumba niolewe lakini alijisemea" bora niolewe kuliko nijiuze ". Zuri " kwahiyo unaolewa ? aliuliza akiwa ana hasira Najma kwani alitowa wazo Jasmine aolewe. Jasmine alijibu'' sijui vyovyote vile ni sawa kwangu.

Walilala wakiwa awanafuraha kabisa na asubuhi na mapema Hans aliamka na kukutana na baba ake akijitaarisha kusafiri.
" Vipi kijana wangu umefikia wapi kumtafutia huyu binti mume nae? aliuliza.

Hans alijibu'' Sawa baba nitafanya hivyo ". Baba Hans " msaidie bhana kama umeamua kumsaidia" .

itaendelea.
Tsh 800 tu namba 0756748557 mpesa, tigopesa 0659 387908 Jina Badrubadru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 22.
BOOKING 0756748557.

Hans alibidi atoke bira kujibu chochote kile na kukaa nje kufikilia maneno ya baba ake . " Aya yote kayatafuta Najma kualibu kila kitu ? aliuliza . Zuri alitoka nje akiwa nae anamawazo yake kuhusu Jasmine kuolewa na kumkuta Hans amejinamia masikini .

" Vipi brother mbona umekaa hivi ? aliuliza Zuri. Hans alibaki kumuangalia tu nakujibu " amna kitu dogo". Zuri " unampenda da Jasmine? aliuliza . Hans alibaki kumuangalia tu mdogo wake uku machozi yalimtilika kama maji na kumfata mdogo wake kumkumbatia.

Zuri alimkumbatia kaka ake nakumwambia " kwanini usimwambie ukweli kuwa unampenda ? aliúliza . Hans alifuta machozi na kutoka sababu wazazi wake walikuwa wanatoka. Waliingia kwenye gari " buy dady and Mamy " Zuri aliwaaga .

Hans alipanda kuingia kwenye gari na kuwapeleka aiport masikini . Baba Hans " kijana wangu nikírudi Tanzania ndo utaratibu wa ndoa yako Wewe na Najma ".

Hans alijibu''sawa baba nimekuelewa lakini kimoyomoyo anaumia sana moyo umependa Jasmine na yeye kamtambulisha Najma . Wazazi walibidi waondoke zake na Hans alibidi aende bahari kupunguza mawazo masikini .

Hans alibidi anywe atoke uko aingie bar agize pombe na kunywa pombe uku akiwa na mawazo. Alichukua gari yake mida ya usiku na kurudi nyumbani kulala. Kila mtu alibaki kumuangalia tu Hans kwa mara ya kwanza kalewa.

Zuri alikuwa ameshajua nini kina mtesa kaka ake alibidi atoke na kuingia chumbani. " Bro Hans kwanini alikubari kumuoa Najma kipindi anampenda Jasmine sasa itakuwaje hapa "? alijiuliza aya yote kasababisha Najma na kuuza kulia kumsaidia kaka ake.

*********************

Usiku majira ya saa 6 usiku watu wote walilala Najma alitoka chumbani kwake kumnyata na kutoka adi nje akiwa kaiba pesa za Hans milioni 20 nakutoka nje . Najma alimkuta bwana ake Hamza yupo kwenye pikipiki alimkumbatia na kutoa pesa kumpa Hamza.

" Kanunue matofauri na misumari na kokoto ukamishe ujenzi . Hamza " sawa beby" alikumbatia na Najma aliingia ndani.

Najma ile anaingia tu getini anamkuta Jasmine kasimama mlangoni akimuangalia tu. Najma aliona oooh nimebambwa leo alibidi amsukumize Jasmine na yeye kuondoka akiwa anafonya.

Jasmine alibaki muangalia tu uku na kútikisa kichwa kuingia chumbani kulala . Zuri "mbona umechelewa kutoka uwani vipi ? alíuliza. Jasmine alibidi azugue" tumbo lilikuwa linanisumbua sana ".

Zuri " pole dear kesho tutaenda hospitali . Jasmine alilala masikini akitafakari kwanini " Najma anafanya vile kwa mwanaume ambaye anayempenda sana ". Aliwaza na kukosa jibu kuamua kulala zake masikini .

Najma alichanganyikiwa kashaonekana na Jasmine kila kitu chake alijisemea" sitakubari Jasmine habakie hapa atanialibia bure diri zangu "nakulala . Asubuhi na mapema Jasmine aliamka alikuwa ana raha wala amani akiangalia Hans amemsaidia sana leo anaibiwa mbele ya macho yake .

Hans aliamka akiwa amepoa mwenyewe masikini kuambiwa mwanamke anayempenda atamfutie mchumba sio kazi rahisi. Alisimama na kumuangalia mwenyewe mlangoni.

Jasmine kipindi anadeki anangalia mlangoni anakutana na Hans amekaa. Jasmine alibidi aendelee kudeki zake . Hans alibidi ajikaze" badae na mazungumzo na wewe " nakutoka zake.

itàendelea .
800 tu namba 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina badru badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 23.
BOOKING 0756748557.

Najma alikuwa nyuma akimsikiliza Hans alivyondoka alimfata . Alimkaba shingo " wewe pumbavu unayekuja kufatiliia maisha ya watu olewako ukamwambie Hans kitu chochote kile unachojua kuusu mimi ".

Jasmine alibakia kulia tu nakumwambia" Najma unaniumiza jamani ". Najma " nitakuua kabisa sio kukumiza tu" na kumsumiza kudondoka chini . Najma alichukua mkono wa Jasmine namkanyagakanyaga uku Jasmine akiwa analia .

Najma aliondoka zake na kuingia chumbani kwake . Kipindi anamfanyia hivyo Jasmine Zuri alikuwa ameona mchezo wote. Zuri alitoka nakusema" kumbe Jasmine ataseka hivi sikubari".

Alichukua simu video call na kumtumia Hans , Hans aliona ile video kumbe Najma anamtesa sana Jasmine . Hans alikumbuka Najma alivyosema " kuwa nikiolewa mimi na Hans naomba na Jasmine atafutiwe mchumba".

Hans alijisemea" hapa kuna namna mbona Najma ataka kumtoa Jasmine na mbona vitisho vingi " . Jasmine alipita pale pale masikini akiwa kapoa katoka kumwaga uchafu.

" Hey njoo nina maongezi na wewe " .

Jasmine alijibu'' sahivi . Hans " yap njoo sahivi tu mimi na kazi " . Jasmine aliendelea adi pale na kukaa . Hans " unataka kuolewa? aliuliza kumtega . Jasmine alíjibu " ndio nataka niolewe tu".

Hans aliumia sana kusikia vile Sema basi" kweli unataka kuolewa ? aliuliza. Jasmine alijibu'' ndio " kumbe anafanya vile ilimradi atokane na kero za Najma . Hans alimuangalia" kunashida yoyote ile ?" alíuliza.

Jasmine alijibu'' hapana lakini alikuwa akiteseka Najma . Hans alijibu'' Sawa mficha malazi kifo umuumbua" . Jasmine alicheka na kusimama kuondoka zake .

Hans nae alibidi asimame zake na kuondoka zake akiwa na uzuni mwenyewe . Alitoka adi sehemu moja nzuri sana kukaa kuagiza kinywaji . Kidogo Zuri alifika sehemu ile sehemu na mkumkuta Hans amekaa.

" Vipi brother mbona umekaa kinyonge vipi ? aliuliza . Hans alijibu'' Jasmine anataka kuolewa tena ".


********************

" Mimi nilikwambia yule mwanamke wako ni nyoka usikute kunasiri inaendelea baina yake yeye na Jasmine ili kuficha ushaidi ndo anataka kumtoa Jasmine" aliongea. Hans " yap naisi lakini Kwanini Jasmine asiwe muwazi kusema ukweli ndo kinachoniuma ".

Zuri" sio muda wa kumlaumu sana Jasmine , Jasmine awezi kukuambiwa chochote sababu wewe na Najma niwapenzi ". Hans alijibu'' sawa nitafatilia kiume mwenyewe kujua ukweli". Zuri alitoka zake na kumuacha Hans na kuondoka zake.

Hans alikuwa akiwaza sana juu ya kumtafutia mchumba mwanamke anayempenda inakuja akilini. Hans alitoka zake na kuondoka zake pale kurudi nyumbani. Alifika nyumbani na kuingia chumbani kwake kulala .

Alikumbuka maneno ya mdogo wake " mwambie ukweli kuwa unampenda Jasmine " . Hans alikumbuka " usinibake usinibake" aliamua kulala zake. .

Wiki moja ilipita naa .

Hans alikuwa yupo kazini ghafla wazazi wake walirudi na kumpigia simu Hans aende kuwapokea . Hans alibidi aende adi airport kuwapokea wazazi wake.

" Wawoow kijana wangu " walimkumbatia na kushikana mkono kuondoka zake kwenye gari lao. " Vipi mpango wakuoa umefikiliaje " alisemea baba Hans. Mama Hans alibidi kuingia" jamani tutaenda kuongerea nyumbani swala ili ".

Hans aliendesha gari adi nyumbani kwao na kuingiza ndani. " Najma yupo ? alimuliza. Mlinzi alijibu'' katoka yule ". Hans alibidi ashuke kwenye gari na wazazi wake walishuka .

" Maua yangu ayajafa ? aliuliza Mama Hans . Nasra " ndio safari hii umepata mtunzaji bora " . Mama Hans" wawooow yamekua nani kayatunza yamekua hizi . Rahma " Jasmine uyo ". Kidogo Jasmine anatoka ndani akiwa kapendeza mwenyewe .

" Wawoow umependeza mashallah" alisema Mama Hans. Hans alibaki kumuangalia Jasmine na kuingia chumbani bira kusema chochote kile. " Hívi huyu mjinga kaenda wapi huyu wezake wote wapo ndani.

Mama Hans " jamani Najma yupo wapi mkwe wangu? alíuliza . Kila mtu alibaki kuangaliana tu kwa aibu walitoka. " Jamani Najma anatuzalilisha kila akitoka mwanaume na yeye yupo nyuma kutoka kwenda kwa bwana ake " aliongea Nasra.

Kipindi wanaongea hivyo Hans na mama ake walisikia kila kitu kinacho ongerewa. Hans alibidi akimbie masikini kwa aibu uku akilia .

Itaendelea..
800 tsh namba 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659387908 jina Badru Badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 24.
BOOKING 0756748557.

Hans aliingia ndani" no no no aiwezekani , Najma kwanini unafanyia hivi au kwasababu na kupenda ? alijiuliza. Kidogo aliangalia chini maana chumba chake kipo juu ya gorofa anamuona Najma nje kasimama na mwanaume wakinyonyana denda . Mama Hans alichungulia dirishani maana ilikuwa jioni kigiza giza kinaingi aliona lile tukio.

"Jasmine nenda chumbani kwa Hans ukagonge mlango ukamuite aje kula " aliongea Mama Hans ilikumsaidia mwanae asione lile tukio ataumia sana . Jasmine alitoka mbio adi nyumbani bira kujua ni kinaendelea.
" Hans , Hans , Hans " aliita.

Hans alienda kufungua mlango uku akiwa anafuta machozi . Jasmine" unaitwa na mama ukale chakula teali "aliongea. Hans akusema chochote kile zaidi ya kulia tu masikini uku akiingia ndani .

Jasmine alibaki kumuangalia na kujua Hans ayúpo sawa . Alibidi angie chumbani kwa Hans " mbona unalia? aliuliza. Hans akusema chochote kile zaidi ya kuangalia chini tu ambaye alikuwa gorofani.

Jasmine alibidi aende kuangalia anaangalia nini juu ya gorofa. Alipopiga jicho chini alimuona Najma na bwana ake Hamza wakilishana mate.

Jasmine alibidi afunike dirisha nakujidahi kuzuga kumchangamsha . " Leo nimepika chakula kitamu sana utakipenda sana kula. Hans alibaki kulia tu masikini kwanini alimpenda sana Najma ".

" Acha kulia basi bro Hans au na mimi nikae nilie na mimi? aliuliza Jasmine nakujidahi analia . Hans alisimama " je upo teali kuolewa? aliuliza uku akimfuta . Jasmine alibidi asimame na kusogea nyuma nyuma adi kufika ukutani.

Hans alibananiza ukutani akimuangalia " sorry Jasmine kidogo tu ". Jasmine alibidi aitikie kwa kichwa tu . Hans alimsogeza karibu na kujikuta alimnyonya lips za mdomo za Jasmine . Jasmine kama binti wakiafrika alijikuta akiona aibu sana na kutaka kujitoa .

Hans alibana vizuri kabisa adi Jasmine alijikuta karegea tena . " Hans jamani , Hans jamani " sauti ndogo iliyotokea puani . Kidogo walisikia sauti ya baba Hans awa wako wapi chakula kínapoa .

*******************

Mama Hans " mume wangu jamani kama una njaa siule tu" alisema . Baba Hans alikaa " wewe na watoto zako lenu mnajuana .

Najma aliingia getini na kumuuliza mlinzi " Hans yupo karudi ? aliuliza . Mlinzi alijibu " boss wote wamerudi leo mapema ". Najma " mtume sijui nitaenda kudanganya nini " alijisemea..

Hans baada ya kumaliza kiuchake kwa Jasmine alijiweka vizuri na kutoka akiwa ameshika mkono Jasmine. Jasmine akiwa anaona aibu masikini na kuangalia chini tu . " Wawoow mmependeza sana baba mzuri , mama mzuri" alisema Zuri .

Watu wote walicheka kwa pamoja kasoro baba Hans ambaye alijionea mapicha picha tu . Najma aliingia ndani nakukuta lile tukio alishikwa na wivu na kuamua kuingia ndani .

Mama Hans " zaidi ya yote alimkaribisha Jasmine karibu kula " aliongea . Jasmine aliona aibu " nakutoa mkono Hans kukaa kula ". Hans alimuangalia kiwiziwizi Jasmine tu adi wazazi wake walibidi waondoke zake ndani.

" Mke wangu hichi nini unafanya ujue Hans ana mchumba ake pale" aliongea baba Hans kipindi wapo chumbani. " Nafanya yote ili kijana wangu awe na furaha mimi ni mama na nipo kwa ajiri ya kijana wangu tu awe na furaha " aliongea kwa uchungu mama Hans .

Baba Hans alibakia kushangaa tu !" lakini mke wangu vipi kuusu yule mwanamke mwingine ina kuwaje ? aliuliza. Mama Hans alikumbuka jinsi alivyochungulia nje na kumkuta Najma anakiss na mwanaume mwingine alibaki kutikisa kichwa.

" Tuachane na Hans njoo tulale sweet ".Baba Hans alikubari na kwenda kulala zake . Najma chumbani kwake baada ya kumkuta Hans ameshika mkono Jasmine alishikwa na hasira na kutupatupa vitu vyote.

itaendelea .
800tu namba 0756748557 mpesa, Tigopesa 0659387908 jina Badru Badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 25.
BOOKING 0756748557

" Hans sikutegemea kuwa utanifanyia hivi " Najma alimtumia sms Hans . Hans aliona ile sms nakutabasamu " imekuuma mke wa mtu unatoka sahivi wapi ? aliuliza. Najma alijibiwa hiyo sms " kwahiyo umeamua kunilipizia kisasi ? aliuliza.

Hans " bhana Usiku mwema ". Jasmine baada ya kupigwa kiss na Hans alijikuta akitabasamu mwenyewe uku akibana nywele Zuri .

Zuri alimuangalia tu nakutikisa kichwa kujua ndo basi tena brother kashampoteza mdada wa watu. " Umefanya nini Jasmine ? aliuliza kwenye sms. Hans aliona sms nakucheka " kwani nimfanya nini kakuambia? aliuliza .

Zuri " hapana na shangaa anacheka cheka tu " alisema. Hans " punguza umbea dogo utasutwa bure ". Zuri ” eeeh yamekuwa ayo " . Hans alicheka na kuamua kulala zake mwenyewe .

Asubuhi Hans aliamka na kukuta Jasmine akideki zake alikaa mlangoni na kumuangalia tu . Mlango wa Najma ulifunguliwa na Hans alifungua mlango araka araka na kuingia ndani kwake .
" Shikamoo dada" Jasmine alimsalimia .

Najma " shika adabu yako unadada kama mimi Pumbavu wewe" alimpiga teke . Jasmine alikuwa akilia masikini sana tu akiwa ameinama. Alitaka kumpiga tena ngumi Hans alitokea pale pale .

" Hey kuna nini tena ? aliuliza . Najma alibidi azugue " nilikuwa na mfunda sikaribia tunaolewa ". Hans alibidi amshike mkono Najma nakutoka zake kumtoa kijanja.
" Baby nisamehe jana niliondoka bira kuaga mama angu mdogo alikuwa anaumwa " alisema Najma .

Hans alibaki kumuangalia tu maana alijua muongo tu " usijari Najma mimi nakupenda sana " . Najma alijidahi kulia kwa aibu tu nakumwambia" I love to Hans ". Hans aliendelea "chochote kile utachoniambia nitakuamini sana sababu nakuamini utonisaliti tena Najma".

Najma alijikuta akilia sana kwani maneno ya Hans yalimuingia sana akiangalia jana katoka kumsaliti . Hans aliongea " mbona unalia mrembo wangu vipi ? aliuliza. Najma " hapana nalia furaha wangu" .

" Usijali kwangu utalia sana kwanza twende shopping tukafanye maandalizi ya uchumba wetu "alisema Hans . Najma alijibu'' sawa " alifurahi nakujua Hans ajui chochote kile. Walishikana mikono adi sebreni na kuwakuta watu wanakunywa chai .

*******************

" Shikamoo wazazi wangu " aliwàsalimia Hans. Mama na baba waliitikia " marhaba " . Najma aliwàsalimia nae , waliitikia vizuri sana . Hans " naenda kufanya maandalizi kwa ajiri ya ndoa yangu mimi na Najma".

Zuri alifonya kwanza nakuamua kuondoka zake akiwa na hasira " kaka nae kama kalogwa na yule mwanamke ". Aliamua atoke zake aende chuo tu. Mama Hans aliitikia kishingo upande sana kwasababu alijua kijana wake anaenda kupotea na Najma sio mwanamke .

Hans alishika mkono Najma kuondoka zake kwenda kununua nguo za harusi . Hans lakini alikuwa ana hasira na mwadada Najma jinsi anavyomsaliti na kuwa na mwanaume mwingine alijikuta nakutamani kumuua kwenye gari tu.

Alijiambia " Hans asira hasara simba mwenda pole ndio mla nyama ". Alifuta machozi na kuendelea kuendesha gari , alikumbuka jinsi alivyokutana nae Najma kwenye matatizo ya ugonjwa kipindi wapo shule wakishinda kimitihani ndo walipokutana .

Hans machozi yalimtilika kama maji adi Najma mwenyewe alibaki kushangaa.
" Vipi baby mbona unalia ? aliuliza Najma.

Hans " kichwa kinanisumbua Najma " alibidi adanganye. Najma" pole baby kwahiyo tuendele na safari au sio ? aliuliza. Hans alijibu'' tuendele tu" na kuendesha gari vizuri sana adi dukani walinunua nguo za harusi kila kitu pete n .k nakurudi zao nyumbani.

Hans alifika na kumkuta Jasmine amekaa nje na wezake wakipiga stori na kufurahi . Najma aliwangalia juu adi chini wezake akiwa anaimba " walisema siolewi mbona naolewa " uku akiwa amebeba nguo za harusi .

Wezake walikuwa wakimuangalia tu adi Hans mwenyewe alibaki kutikisa kichwa tu . Hans alibidi aingie ndani akiwa anafuraha ata kidogo na Najma.

Jioni walikaa kikaoo kujadiri mambo ya ndoa ya Hans na Najma. " Sasa mfanye maandalizi ya uchumba wenu kwanza kisha ndoa " alisema baba Hans. Hans " Sawa baba nimekulewa sana ".

Kipindi wapo kwenye kikao Jasmine alipita zake akiwa ajui chochote kile . Najma alimuona Jasmine akipita zake " hivi Hans mbona umtafutii mchumba Jasmine apate kuolewa nae ? aliuliza .

Hans alikasirika sana sema alijikaza kiume ili baba ake asiisi vibaya " namtafutia mume mwema ". Baba Hans" jitaidi bhana umsaidie huyu binti hapate maisha mazuri ". Hans " Sawa " alitoka na kuingia chumbani kwake kulala .

itàendelea.
Muendelezo ni tsh 800 tu lipia 0756748557 Mpesa , Tigopesa 0659387908 jina badru badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 27
BOOKING 0756748557

" Sorry baby " aliongea Jasmine alikuwa amekumbatia Hans. Hans " usijali mi amor asantee kwa kunielewa ". Jasmine alitabasamu tu " baby lakini please tufanye siri nakuomba ". Hans alimkiss kuwashiria amekubari wawe wapenzi wa siri. . Jasmine alitoka akiwa kabebwa adi jikoni.

" Ona umesababisha niunguze mboga " aliongea Jasmine . Hans " wataukula watajua wenyewe bhana" alisema uku kamkumbatia kwa nyuma . " Mmmmh baby kesho uchelewe kurudi unanitia uvivu " aliongea kwa madeko . Hans " ok subiri nitoke mimi ila jua nakupenda sana Jasmine" namkiss .

Jasmine alibakia akitabasamu tu kwani na yeye alishatokea kumpenda Hans kutoka na kumsaidia sana. Jasmine alipika haraka haraka na kutoka kwenda kukaa karibu na Hans . Hans " wawoow mrembo wangu kumbe unanipenda Kwanini usingeniambia ? aliuliza akiwa kampaka.

" Uliwahi wapi kuona mwanamke akimtongoza mwanaume " alijibu Jasmine. Hans alicheka tu nakumkumbatia wakiwa wapo kwenye mahaba niue tena . Kidogo walisikia odi getini Jasmine alitoka mbio akimuacha Hans amekaa .

" Jasmine umesimamisha vitu vilivyolala alafu unakimbia " alionge akiwa amesimama . Wasichana wezake walirudi na kumkuta Hans amekaa kawai kurudi . Walimsalimi na kuingia chumbani kumkuta Jasmine amekaa " wawoow " aliwakumbatia .

" Mbona brother amewahi kurudi leo na kamkuta Najma "? aliuliza Nasra . Rahma " Nasra acha umbea bhana brother karudi kucheki kishundu cha mrembo hapa ". Jasmine " ebu acheni majungu jamani yule karudi na kaamua mwenyewe kurudi" .
Nasra " aya sisi tumekuandalia zawadi bibiarusi mtarajiwa" . Jasmine alibaki kimya tu kuwaangalia wezake. Watu wote walirudi nyumbani wakiwa wanafuraha sana .

" Hans kesho kuna mchumba ambaye anakuja kumuona Jasmine" alisema Najma . Watu wote walibakia kumuangalia tu Najma alivyokuwa kieleele. Baba Hans " sawa mlete Hans amuangalie".

Hans alikuwa akiumia sana Najma alivyopania kumkomesha Jasmine" sawa mlete nimuakikishe kwanza ndo tujue ndoa" . Kikao kilisha Hans alitoka nje kukaa demu wake anayempenda sana aolewe tena alikaa na wazo .

Zuri alitoka nje na kumkuta kaka ake" vipi bro umemwambia ukweli kuwa unampenda? aliuliza . Hans alijibu'' Jasmine anajua kila kitu ila kwani Najma ataka mwezake aolewe ? aliuliza. Zuri " mmmh yule demu nilikwambia sio mtu mzuri " alisema.

Hans " ok ngoja nianze kumfatilia Kwanini anataka kumtoa Jasmine hapa ". Zuri " poa" nakuondoka zake kuingia ndani kumuacha brother wake amekaa. Zuri aliingilia chumbani kwake alikumkuta, Jasmine amekaa akiwaza ni mwanaume gani amemtafutia Najma.

*********************

" Mbona una raha leo ? aliuliza Zuri . Jasmine" amna baby ". Zuri " sawa njoo tulale "alisema . Jasmine alienda kulala na Zuri .

Kesho yake asubuhi waliamka vizuri ilikuwa weekend juma mosi . Wadada na Jasmine walifanya kazi vizuri na kupika chai kutenga mezani . Kidogo Hans na wazazi wake walitoka kwenda kunywa chai akiwemo Najma. Najma alipigiwa simu na kutoka pembeni kuongea na simu .

" Hello Abdul umefikia wapi? aliuliza. Abdul " nipo hapa sema mageti yananichanganya " alijibu. Najma " ilo geti jeusi nzuri zuri ndo la mh waziri ". Abdul" amna mguu wa kuku au ? aliuliza . Najma " amna chochote kile ni wachumba kama wachumba wengi" . Abdul alikata simu na Najma alikuwa akifurahi mwenyewe bora amuozeshee mbali Jasmine.

Alitoka akiwa na furaha mwenyewe bira kujua Zuri alikuwa akimrecord kwenye simu yake . " Samahani jamani mamdogo alikuwa akinipigia simu ananiulizia kuhusu sale za uchumba wetu mimi na Hans zimetoka au vipi " alizuga .

Watu wote walibaki kumuangalia na kwendelea kula chakula. Kidogo walisikia mlinzi kaja " samahani sana kunawatu wamekuja watatu wanataka kuwaona niwaruhusu" . Baba Hans alijibu'' waruhusu sio vizuri tu ".`

Mlinzi alitoka nje " karibuni ".
" Asante sana "waliingia adi ndani wakaka wawili na mbaba mtu mzima moja wakiwa wamevalia kanzu na kofia kama Muslim kweli vile.

" Asalam alyekrum " walimsalimia Hans nakumpa mkono na baba Hans . Mama Hans aliondoka zake yeye , mabinti zake akiwaacha wanaume . Hans na baba ake waliitikia vizuri Karibu sana.

" Asantee ostazi sisi tumekuja hapa tumeona ua limemea kwahiyo tumekuja kuomba hizini tulichume " aliongea Mshenga . Hans waliwaangalia juu adi chini na kukaa kimya na simu kuchezea . Baba Hans " ooh Karibu sana " aliitikia .

Mshenga alitoa barua ya uchumba na kumpa Hans mkononi . Hans alijibu akiwa yupo serious " bwana harusi nani hapa ? aliuliza. Abdul alibidi ajitaje" ni mimi hapa mh ". Hans " ok je unamjua uliyemchumbia au ? aliuliza.

Abdul alibaki kimya tu akiangalia chini . Hans " tuachane na hayo mtume mtu mje jumatano kuchukua majibu yenu " .

Je Hans atakubari kumuonzesha Jasmine akati wapo kwenye mahusiano .

itaendelea.
muendelezo ni tsh 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina Badru Badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 28.
BOOKING 0756748557.

Walijibu "sawa tutakuja jumatano" na kuaga kuondoka zao . Baba Hans alichukua barua na kumkabizi Hans yeye kesho anaenda bungeni. Hans " sawa baba nitarishulikia mimi " na kuendelea zao.

Hans aliingia chumbani akiwa anamawazo na Najma kwanini anataka kumtoa Jasmine pale nyumbani . Alichukua simu na kuwasha data kukuta voice call Zuri alimtumia voice ya Najma . Hans alicheka " Najma bhana anajipa heka heka subiri nimfatilie sasa mimi ".

Hans alimkuta Jasmine yupo online " hey unachat na nani ? aliuliza nakumtumia . Jasmine aliona sms nakujibu" nipo kusoma stori tu hapa". Hans alicheka sana " kumbe timu Bebas aya endelea ila kesho uwahi kuamka baba anasifiri ".

Jasmine " sawa ".
Hans " usiku mwema nakupenda sana Jasmine" . Jasmine alicheka "akati mmenitafutia mchumba " . Hans " koma wewe nani amtafutie mchumba mtoto mzuri kama wewe kwani sijui kusimamisha au ? aliuliza .

Jasmine " eeeeh makubwa Hans leo umekunywa pombe ". Hans alicheka" sijanywa pombe unielewesha Jasmine nakupenda sana" . Jasmine" usiku mwema".

Hans '' poa nakucheka mwenyewe Jasmine muoga sana sijui bado ni kibikra na kukumbuka usinibake usinibake " alitabasamu na kulala zake . Asubuhi na mapema waliamka nyumba nzima kuandaa breakfast sababu baba Hans alikuwa akienda bungeni.

Hans alitoka zake chumbani nakumkuta Jasmine akideki " hello mrembo wangu". Jasmine alibidi ache kudeki na kumsikiliza Hans . Hans alimsogerea kwa karibu na kutaka kumpiga kiss mlango ulifunguliwa.

Hans alijidahi kuzuga" Jasmine mahari yako shingapi vile " . Zuri alibaki kucheka" mahari ipi brother simfanye mlichokuwa mnataka kufanya". Hans " wewe mtoto punguza umbea wako" aliongea uku akicheka. Jasmine alikuwa akiona aibu tu nakuangalia chini bira kusema chochote .

Hans alimuangalia Zuri nakunong'oneza Jasmine usikioni " usiogope nakupenda sana na kumpiga kiss " na kumshika mkono mdogo wake nakuondoka zake . Zuri " umebahatisha pale mtoto mzuri vile '" alisema .

Hans alicheka sana " unalolote sema umpendi Najma ". Zuri " ulijuaje yule mdada dah kanitoka mwezenu anatabia chafu ". Hans " ok tuachane na ayo nataka nitamtifutie ushaidi baba ili nimuoe Jasmine" .

********************

Zuri " wawooow bora tena nitakusupport tu mimi mwenyewe ". Hans " sawa sawa " walishika mkono mtu na dada ake adi sebreni.

" Wawoow leo mapacha wamepatana leo "aliongea Mama Hans . Baba Hans " mngekuwa hivi kila siku ningewapenda sana " . Zuri " mbona majungu jamani vipi mimi bro Hans mshikaji wangu tu ". Baba Hans " makubwa mtu na Mdogo wake washikaji " .

Mama Hans " ukiona hivyo kashapinduliwa mtu na dada mtu kasupport ". Hans na Zuri walicheka sana kwa maneno ya mama yao. Zuri " mother punguza majungu basi" aliongea .

Mama Hans alicheka" mawifi mnazambi sana motoni wote " . Baba Hans aliingia " adi mama wakwe mtachomwa moto sana siku ya kiama ". Hans alicheka tu kwani alipata faraja wazazi wake wote wanasupport mapinduzi yanayoendelea .

Najma alitoka chumbani kwake akiwa kaoga kavaa suruali ya kubana mbele ya baba mkwe . " Shikamooni" alifika na kukaa kumimina chai . Baba Hans alibidi asimame nimeshiba na kusimama kuondoka zake bungeni maana alikuwa anaenda na gari la serikali .

Mama Hans pia alisimama na kuelekea zake hospital maana alikuwa Dr bingwa wa mambo ya wanawake . Zuri alisimama pacha wangu " sasa je nikulete nini ? aliuliza Jasmine ambaye alikuwa akifuta vumbi kwenye madirisha .

Jasmine alibaki kumuangalia tu nakuona aibu maana alishamfuna yupo na Hans . Mezani alibaki Hans na Najma , Hans akiwa yupo na simu yake na kusimama kujikagua vizuri.

Najma " nawewe unaondoka ,? aliuliza . Hans alimsogerea " Najma uoni ata aibu mbele ya baba angu mzazi unatoka umevaa nguo inaonesha chupi unategemea nini ? aliuliza. Najma" bhana eeeh chupi ipo ndani ya suari sasa mmeionaje kama mzee wako machepele atajua mwenyewe ".

Hans alibaki kusikitika tu " kwahiyo unafanya vitu makusudi kumpima mzee sindio eéh " . " okay kama ulikuja kumpima mzee hapa sawa " alibeba ufunguo wa gari yake kutoka nje ." Hans ninashida ya elfu 30 basi" aliongea Najma .

Hans akujibu chochote zaidi ya kuendelea na safarii yake tu na kuingia kwenye gari lake. " Wahenga walisema bora ukosehe vyote sio kuoa au kuolewa " .


itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 29 .
BOOKING 0756748557.

Hans alibidi aende kazini tu basi nakufanyakazi uku akichati na Jasmine. " Nani kabaki nyumbani " . Jasmine sababu na yeye kashazama kwenye mapenzi ya Hans alijibu'' nipo pekeangu tu baby ". Hans " nakuja sasa hívi sawa".

Jasmine " poa baby " . Hans alikata simu na kutoka zake kumuita mfanyakazi " endelea na híi kazi nimepata zarura . Alichukua ufunguo wa gari na kuondoka zake adi kwao .

" Wawoow malkia wangu " alisema Hans na kumkiss mdomoni Jasmine . Jasmine alibidi nae ajikaze kuondoa aibu kwa mwanaume anayempenda. Alimsogerea Hans na kumvua koti , kumvua viatu na sosi.

" Aise leo kama ulaya vile navuliwa adi nguo bado kuogeshwa " alisema Hans . Jasmine alibaki kimya tu akimuangalia na kupeleka chumbani kwa Hans. Hans alibidi amfate ukouko chumbani na kuanza mahaba kunyonya lips adi walijikuta wapo kitandani tena.

Kipindi wapo kwenye mahaba kila mtu kashazimika kwa mwezake wapo kitandani. Jasmine alianza kukumbuka maneno ya Najma na kujitoa kwenye kumbatio.

Hans " kuna tatizo lolote lile ? aliuliza. Jasmine " baby naomba tusifanye chochote kile adi unioe ". Hans " kwahiyo uniamini honey ? aliuliza. Jasmine alijíbu" nakuamini ila please naomba hiwe hivyo ".

Hans aliitikia japo kishingo upande sana na Jasmine kuchukua nguo yake kuvaa akiwa anaona aibu , Hans kanyonya maziwa yake. Hans alibakia kumuangalia tu nakutabasam " sasa utaangalia uko adi saa ngapi ? aliuliza .

Jasmine alikuwa kimya alivaa na mikono mojaa kuziba sura yake . Hans alicheka na kumtishia anaenda kumfata. Jasmine alitoka mkono na kuvaa brazi harakaharaka . Hans " sawa mama mjanja wewe " na kusimama kuchukua barua aya njoo tujibu barua ya watu .

Hans alimsogeza Jasmine adi kifuani na kuchukua barua kuchana kukuta elfu 10 ndani ya barua. " Chukua elfu kumi yako ya barua " aliongea uku akicheka na kumuangalia Jasmine ambaye katulia pale kifuani kwake. Walisoma vizuri barua na Hans alichukua peni na karatasi na kuanza kujibu barua.

" Mahari yako shingapi ? alimuliza Jasmine ambaye kalala kifuani kwa kwake. Jasmine " mimi sijui bhana wewe sindio baba wa bibi harusi jibu mwenyewe " aliongea kwa madeko . Hans alichukua peni na kutililika kama barua ya majibu mahari ni milióni 50 na vikorokoro kibao kama milioni mia .

Jasmine alicheka " hii baby wewe kiboko milioni 50 ". Hans alicheka sana " walitumwa waje kwenye miji ya watu mimi mwenyewe na kaziwa adi ndoa". Jasmine alicheka tu nakukaa wakiwa wamekumbatia adi mida ya mchana.

Jasmine " ngoja nikapike basi beby ". Hans alikubari " sawa ila asantee kwa kunibania leo ". Jasmine alitabasamu na kusimama kujifunga kanga vizuri kutoka adi chumbani kwao. " Aise Hans ananipenda sana masikini sasa Najma itakuwaje ? alijiuliza .

Alijijbu mwenyewe" atajua mwenyewe mimi nimetongozwa kama yeye, alitumwa awe msaliti " aliingia bafuni kuoga kutoka alikuwa Hans ameshamchafua . Alikumbuka kitu walichonya leo alishia kucheka" ila Hans mvumilivu masikini".

Jasmine alitoka nje na kuwakuta wezake wamerudi shopping . " Tumeona gari la brother karudi ? aliuliza Nasra . Jasmine" ndio lakini tokea alivyorudi yupo busy chumbani kwake ". Rahma " ila brother anateseka masikini na mapenzi kama karudi Najma ayupo fujo tu ".

Jasmine alikuwa akijisemea" mmengejua Hans kilichomrudisha nini wala msingesema " . Waliingia jikoni kupika vizuri kutenga kula . Hans alitoka chumbani kwake kula vizuri na kurudi chumbani kwake kulala.


********************

SIKU YA JUMATANO.

Waliamka vizuri ilikuwa ni siku ya sikuku Karume day wafanyakazi wengi awaendi kazini. Hans alienda kwenye mazoezi sababu sio siku ya kazi. Najma alimpigia simu Hans arudi mshenga kaja kuchukua majibu.

Hans alikubari " sawa nakuja sasa hívi " . Alibidi atoke kwenye mazoezi adi kwenye gari lake kupanda kuondoka nyumbani kwao . " Asalam alyekrum " Hans alimsalimia mshenga ambaye alikuwa akipiga stori na Najma.

Mshenga aliitikia na kumpa mkono Hans . Hans " samahani kwa kukuchelewesha " alijibu . Mshenga alijibu" usijali sana". Hans aliingia chumbani bira wasiwasi na kuchukua barua kutoka nayo.

" Nilikuwa teali nimeshaijaza barua bwana harusi akiwa yupo teali mtatupigia simu " aliongea Hans akiwa yupo serious kama mtu kweli vile . Mshenga " sawa asantee sana " . Hans " welcome " alimsindikiza mshenga na kupishana na Jasmine anatoka chumbani kwake .

Hans alimkonyeza Jasmine na kuendelea na safari . Jasmine uvumilivu ulimshinda alibidi aingie chooni acheke kwa vituko vya Hans na kurudi kuendelea na kazi . Walipika chakula cha jioni kama kawaida yao na kutenga kusubiri wale .

Mama Hans alikuwa ametoka kidogo ameenda kwa rafiki ake . Hans yupo chumbani kwake busy ataki mazoea na Najma. Watu wote walirudi kupata chakula cha usiku kifamilia .

Baada ya kula Mama Hans alianza " Hans, baba ako amenipigia simu wiki ijayo kataarisha sherehe ya uchumba wenu wewe na Najma". Hans alíbakia kimya tu ndo kwanza akichezea simu. Najma alikuwa akifurahi sana maana mpango wake unaenda kutimia .

Zuri alichukia sana kusikia vile" lakini mama mbona baba ajampanga brother mwenyewe " ? aliuliza. Mama Hans " mmh sijui mimi na kashawalika wabunge wenziwe watakuja wote".

Hans alimuangalia tu Jasmine nakusimama bira kusema chochote kile na kuingia chumbani kwake. Watu wote walibaki kushangaa ! bwana harusi kawaje mbona ghafla . Zuri alimshika mkono Jasmine na kuingia chumbani kwao.


itàendelea
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 30
BOOKING 0756748557.

Hans kufika chumbani kwake alimwaga mwaga vitu " kwanini imenikuta hichi kitu ? alíjiuliza na kukaa kitandani kumfikilkia Jasmine kajisikie kusika zile taarifa. Alichukua simu na kumpigia Zuri mdogo ambaye alikuwa yupo na Jasmine .

" Hello Zuri " aliongea Hans. Zuri " hello brother mbona usiku " . Hans " naomba niongee na Jasmine". Zuri alichukua simu nakupa simu Jasmine ongea na brother .

Jasmine alipokea nakuongea "hello " . Hans " mbona umezima simu baby ? aliuliza. Jasmine " amna simu imezima chaji " kumbe alikuwa amezima makusudi ili kumuacha Hans awe huru kuoa mwanamke ambaye kashamtambulisha . Hans " aah nikajua umezima simu kutokana na hizi tàarifa".

Jasmine" hapana Hans mimi siwezi kuumia sababu niliingilia kwenye mapenzi yenu , ilikukufanya uwe na furaha lakini nirusa kuoa mwanamke uliyemtambulisha " . Hans alijikuta akilia sana kwa maneno ya Jasmine akiangalia anampenda sana Jasmine kamtambulisha Najma ambaye ni malaya na anatabia chafu . " Mbona unalia Hans ? aliuliza Jasmine .

Hans alikosa jibu nakukata simu nakuanza kulia masikini why inakuwa hivi. Jasmine alimpa simu Zuri na kukaa zake. Zuri alimuangalia Jasmine" unampenda kaka Hans" ? aliuliza.

Jasmine alimkumbatia Zuri nakulia tu masikini . Zuri " usijali na jua mnapenda sana nyie watu sasa imekuwaje hivi ? aliuliza . Jasmine alifuta machozi kila sababu ni mipango ya Mungu " sometimes mimi najiraumu kuingia kwenye mapenzi ya mtu labla bira mimi kuja Hans asingenipenda " .

Zuri alimkatisha kwa kidore " pia bira wewe kuja Hans angekuwa kafa kwa mawazo " . "Baba kwanini anafanya vitu kwa kushtukiza sasa ? aliuliza Zuri . Jasmine " aina haja ya kumlaumu mtu tumuombe Múngu Hans tu ashinde aya majaribu".

" Wawooow kweli mke mwema utoka kwa Múngu na Jasmine nimke mwema kwa Hans " alisema Zuri. Jasmine alicheka na kukumbatia sana na kulala .

Hans upande wake alikuwa anamawazo sana " nifanyeje sasa hapa kampenda Jasmine ndo mwanamke mwenyesifa zote kuwa mke na kamtambulisha Najma kwa wazazi wake " . Hans aliwaza masikini nakukumbuka Najma anavyokuja na wanaume aliamua alale akiwa na mawazo sana .

Asubuhi waliamka mapema Mama Hans kuandaa maandalizi ya uchumba wa Najma na Hans . Alikumbuka tukio la Najma aliofanya kukiss na mwanaume mwingine . Alibidi afonye kwanza " huu upumbavu sana na angaika kumuandalia mpumbavu sherehe ".

Mama Hans alikumbuka mumewe ni mh waziri na kashawalika watu teali alibidi aendelee kufanya maandalizi kwa niaba ya mumewe. Jasmine alipita na mama Hans alimwambia " akamuite Hans chumbani kwake". Jasmine alikubari na kutoka zake adi chumbani kwa Hans .

" Hans , Hans , Hans " aliita bira mafanikio yoyote yale . Jasmine" Hans anaweza kujiua huyu au kujizuru " alibidi afungue mlango alaka alaka . Jasmine aliingia chumbani kwa Hans na kumtafuta kotekote akimuita " Hans, Hans , Hans adi bafuni akumuona kokote" .


*********************

Jasmine alianza kuhaha mwenyewe na kukaa kitandani kwa Hans akiwa analia . Hans alikuwa ametoka asubuhi sana kwenda baharini kununua samaki na kupunguza mawazo. Alikuwa ndo anarudi nyumbani kwao na kuingia chumbani kwake anashangaa! kumkuta Jasmine akilia.

" Hey mbona umekaa hapo unalia kunashida yoyote ile ? aliuliza Hans . Jasmine alibaki kumuangalia Hans ambaye alikuwa yupo busy akivua shati . Jasmine alisimama na kumkumbatia Hans " nakupenda sana Hans ".

Hans nae alimkumbatia Jasmine " nakupenda pia Jasmine sitooa mwanamke yoyote zaidi yako hii ndio hadi yangu kwako " na kumfuta machozi . Jasmine aliitikia tu kwa kichwa na Hans alibidi amuangalie na kujikuta wazungu tena kunyonyana midomo .

Mama Hans aliona Jasmine anamchelewa na kumfata Hans uko uko chumbani kwake. Alifungua mlango ambao ulikuwa umeegeshwa na kuingia ndani . Mama Hans ile anaingia tu chumbani tu anakuta Hans akimnyonya lips Jasmine.

Mama Hans alibidi awaangalie na kutoka kuwaacha na mahaba yao akiwa anatabasamu tu mwenyewe. Kufika mbele kidogo alikutana na Najma akienda chumbani kwa Hans .
" Mkwe wangu sale zimetoka tena " aliongea uku akimshika mkono Najma nakumpeleka chumbani ambapo wapo wakina dada wa sale .

" Hans inatosha beby " aliongea Jasmine sauti ya mahaba . Hans alibidi amuachie Jasmine akiwa amelewa tena . Jasmine alibidi atoke chumbani kwa Hans na kumuacha Hans akiwa na furaha . Hans aliingia bafuni na kuoga kubarisha nguo kutoka kama sio yeye.

" Mmefikaje kamati ya mapambo " aliongea uku akiwa anamtazama Zuri . Mama Hans alibaki kumuangalia kijana wake na kutabasamu tu .

" Tulikuwa tunakusuburi wewe uonge na mtu wako " aliongea Mama Hans . Hans" nilitoka kidogo asubuhi kwenda baharini kuwanunulia samaki " aliongea akiwa na furaha mwenyewe anaata wasiwasi .

Jasmine alipita pale pale , mama Hans alimuita "Jasmine njoo upate picha ya ukumbusho ". Jasmine alienda adi pale akiwa mpole mwenyewe . Zuri ndo kamera man wao wakupiga picha . Walipiga picha vizuri sana za ukumbusho.

Zuri alianza "bado marafiki tu ndo wapige picha za ukumbusho Hans na Jasmine". Jasmine alibidi amuangalie Najma ambaye alíkuwa amekaa kavimba ile mbaya . Hans alibidi ampe mkono Jasmine kuwashiria wakapige picha.


itàendelea .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 31
BOOKING 0756748557.

Jasmine alianza kuogopa kuona aibu . Watu wote" Jasmine kubari ,kubari ,kubari "wasichana wezake . Jasmine alibidi akúbari na kumpa mkono Hans kwenda kwenda adi kwenye red kapeti na kuanza kupiga picha .

Walipiga picha kibao kumshinda bibiarusi mwenyewe . Zuri mpana huyo alianza kuwatafutia wezake mapozi ya wanamitindo . " Jasmine mkumbatie Hans kwa nyuma lile ponzi la Rihanna na mchumba ake ". Jasmine alikuwa akiona aibu sasa . Watu wote Jasmine " unatualibia furaha yetu Jamani ".

Jasmine alibidi aende kumkumbatia Hans iliasijulikane vibaya , Zuri alipiga picha . Walipiga picha mapozi mengi Hans kambeba Jasmine , nyingine wanahangalia , nyingine Hans kamkumbatia Jasmine , nyingine Hans kamkiss Jasmine kwenye shavu.

Najma aliona donge na kuamua kuondoka zake chumbani akiwa analia . Watu wote walibakia kumuangali Najma na Hans alibidi afate Najma chumbani kwake..

"Wewe vipi unaniletea habari za kishamba kishamba hivi " Hans alionge akiwa yupo serious . " Hans ni mwanamke gani anaweza kukubari kupiga na mwanamke mwingine ingawa yeye yupo ".

Hans alicheka sana " imekuuma eeeh " aliongea . " Wewe umeshaambiwa picha za best friend unataka tukae maponzi ya baba mkwe , yale ndo maponzi ya rafiki " aliongea akiwa yupo serious. " Kama imekuuma endelea kumia vizuri ” alifungua mlango na kutoka zake akiwa anafonya .

" Huyu mwanamke mpumbavu kunicheat kaanza mwenyewe wivu anaona mwenyewe akwende zake" aliongea na kuingia chumbani akiwa anaimba.

" Aise Jasmine mzuri sana na wamemechi na Hans kwenye picha" aliongea Nasra . Rahma" eeeh mashallah ndo maana brother saa 6 karudi nyumbani sasa hivi sio mzigo uo nyuma ". Jasmine " ebu mnipishe mimi huko punguzeni majungu yenu " aliongea akiwa yupo busy anamenya ndizi .

Walipika vizuri na kula na kila mtu akienda na kazi nyingine. Najma alikaa akiwa na mawazo sana " siwezi kukubari Jasmine habakie hapa kama leo kapiga picha na Hans kunizidi mimi kesho anaweza kupendwa na Hans pia ".


*****************

Najma alichukua simu nakupiga kwa yule mwanaume aliyomtafutia Jasmine . " Hello Abdull" .

Abdull alipokea " hello Najma" . Najma" vipi lile zoezi limeishia wapi ? aliuliza. Abdul "mimi nimeshindwa kumuoa huyo binti maana sina uwezo wa milióni mia mimi Najma". Najma " jamani naomba please unisaidie mimi "..

" Najma sina uwezo wa kutoa milióni 50 mimi jamani " aliongea Abdul . Najma alishangaa! " milióni 50 ? aliuliza. Abduli " ndio Najma ndo mahari nilioandikiwa ". Najma" ok poa " alikataa simu na kukaa kitandani .

" Kwanini Hans anakataza Jasmine asiolewe kuna siri gani ? alíjiuliza na kuamua kulala akiwa ana ata amani. Asubuhi ndo waliamka ndo maandalizi ya uchumba wa Najma na Hans yamepanda moto.

Hans akiwa ampendi kabisa Najma kazama kwa Jasmine tena . Kamati ya uchumba wake ilikaa jumapili ndo sherehe lasmi za uchumba . Wageni kutoka sehemu mbalimbali walianza kufika na kupokelewa.

Najma alivyokuwa na roho mbaya kwa Jasmine shida ake atoke pale nyumbani alimpigia simu bwana ake Hamza. Hamza alijibu'' njoo nyumbani tupange sawa" . Najma alikubari " juma pili ataenda kwasababu anaenda saloni ndio sherehe .

Kesho yake ijumaa baba Hans alirudi kwake kutoka bungeni akiwa na furaha sana . " Maandalizi teali maana bunge zima wanakuja kusherehe ya kijana wangu ". Hans alikuwa ayupo katoka sehemu moja kukaa .

Zuri alienda nakumkuta brother wake amevimba sura. " Vipi brother mbona hivi ? aliuliza . Hans alijibu'' mimi siwezi kumuoa Najma tena kwa vitu alivyonifanyia mimi ".
Alichuku simu na kumuonyesha mdogo wake sms za Najma mbaya zaidi adi ananiibia mimi kweli.

Zuri " mmmmh pole sana brother sasa itakuwaje na baba kashandaa uchumba na kawalika Watu kibao" . Hans alíjikuta akimuangalia mdogo wake nakumwambia" kumchumbia sio tatizo lakini asahau kuja kumuoa" .

Hans alipanda kwenye gari lake adi nyumbani kwao alifika nakulala. Jumamosi asubuhi shamla shamla zilipanda moto huku Hans akiwa ana muwaza Jasmine wake jinsi alivyokutana nae adi kupendana nae.

Hans alitoka na kuingia ndani mlango alimuona Jasmine akifuta futa vumbi mwenyewe . Hans alibaki kumuangali tu , Najma alitoka palepale na kumkumbatia Hans. " Kesho nitakufanyia surprise " alisema Najma .

Hans alikuwa na mawazo na kuingia chumbani kwake kulala akuwa na furaha na uchumba wenyewe.


Itaendelea
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 32.
BOOKING 0756748557.

Jumapili asubuhi watu wote waliamka nakufanya usafi vizuri teali . Hans alichukua gari yake na kwenda saloon vizuri . Baba Hans pia alienda saloon vizuri kujiweka sawa . Najma alitoka chumbani kwake akiwa kabeba nguo na mapambo mengine akiwa anaenda saloni .

Mama Hans alimuita Najma kuwa asiende saloni watu wamekaup Zuri kawagiza wanakuja. " Haaah mama, mimi namtu wangu wakunipamba mimi tu" alisema Najma . Mama Hans ili asionekane mnoko alibidi amruhusu " sawa mama nenda salama" .


Najma alibeba kibegi chake na kuondoka akiwaacha wezake wanapika pika . Najma alivyotoka kwa kina Hans moja kwa moja kwa bwana ake Hamza na kufanya mapenzi . Najma kila akitaka kujitoa Hamza bado na kuendelea kulala .

Saa kumi jioni wageni mbalimbali walianza kuingia wale wa mbalimbali . Hans saa kumi na mbili kasoro, Hans alirudi na gari akiwemo yupo yeye na baba ake. Mama Hans alimfata kijana wake " vipi umepata taarifa yoyote ya Najma .

" Najma kwanini kafanyaje ? aliuliza Hans . Mama Hans alisema" Najma kaaga anaenda saloni adi sasa hivi atujui " . Hans alibaki kimya tu na kuingia chumbani kwake kulala akiwa anamawazo . Wageni mbalimbali waliingia mida saa kumi na mbili na dakika zake bibiarusi ayupo .

Mama Hans alianza kuchanganyikiwa akiwaza mumewe anapresha. Zuri alimfata mama ake " mkweo yupo wapi mh raisi anaingia sasa hivi ". Mama Hans " nashindwa kuelewa kwanini Najma anazalilisha hii familia ". Hans alikuwa chumbani kwake akiwaza tu masikini" mwanamke aliyempenda anamzalilisha "

Jasmine alikuwa yupo kumliwaza Hans " basi baby sometimes Mungu anasababu zake " . Kidogo Zuri aliingia chumbani" umepata huyu mjinga " alisema . Hans alibaki kimya tu akimuangalia Zuri . Zuri alitoka yeye na Jasmine na kuingia chumbani kwake kuvaa vizuri wamejiremba.

Jasmine alirembwa na kupendeza na nguo za Najma, Hans alinunua kutoka china na kumpa Zuri azipeleke . Zuri sababu alikuwa ampendi Najma alimpa Jasmine . Jasmine alipendeza sana masikini.

Mc .Garab alianza kutangaza viongozi wote waanze kuingia ukumbini . Viongozi mbalimbali waliingia ukumbini wakiwa na furaha wenyewe . Mama Hans " pressure imepanda sana masikini akiangalia mume ndo mtu wa heshima waandishi wa habari kibao bira kusahau watunzi mbalimbali .


*******************

Hans alikuwa kachanganyiwa ajui afanye nini . Zuri alitoka alimkuta kaka ake amekaa na mama na dada wakazi wakijadiriana inakuwaje kuficha aibu . Zuri " sasa bwana harusi umekaa hapa bora ukavae , bibi harusi kashavaa ".

" Najma karudi ? aliuliza Hans kwa shauku . Zuri " kaoge bhana mnawachelewesha wageni tu " aliongea . Hans alikuwa ameshaoga teali alienda kubarisha nguo kuvaa suti nzuri . Zuri alimfata Jasmine " naomba ukakae mbadara wa Najma pale mbele ustili aibu ya hii familia " .

Jasmine alikubari kwa vile anampenda Hans aliona sio mbaya . Hans akiwa kageuka nyuma akifikilia Jasmine ajamuona saa nyingi sijui anajisikiaje. Alisikia kashikwa bega alipoangalia vizurii anamuona Jasmine kapendeza .

Hans alibaki kumuangalia Zuri , Zuri alimkonyeza kaka na kucheka . Hans alitabasamu tu na kumshika mkono Jasmine na kuingia nae kwenye ukumbi . Mama Hans alimfuta Zuri " hongera binti angu wewe nikichwa sana " .

Zuri " asante sana nimefanya yote brother afurahi najua yule ndio furaha yake " . Waliingia ukumbini Hans akuamini nakumsogerea kwa karibu " baby umependa sana " . Jasmine alitabasamu tu nakuona aibu.

Pete ya uchumba ilikuja na Hans alipiga goti kumvalisha pete Jasmine mbadala wa Najma . Jasmine akuamini alikuwa akilia tu , Hans mwenyewe akuamini alikuwa akilia tu masikini .
Watu wote walifurahi sana kwa lile tukio kidogo Mlinzi alikuja kunong ' oneza mama Hans sikioni Najma kaja kazuiwa kuingia ndani.

Mama Hans alibidi aende nje namkumkuta Najma analia. " Nisameeh mama nilipata ajari ya bodaboda". Mama Hans alimuangalia juu adi chini na kufonya kuingia ndani.

Zuri alikuwa nyuma" nani huyo Mamy? aliuliza . Mama Hans alisema " achana nae " nakumshika binti ake mkono kwenda kwenye sherehe.

itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 33 .
BOOKING 0756748557.

Muda wa Kurishana keki ulifika , Hans alichukua keki kwenye stiki na kutaka kumlisha Jasmine. Mc Garab " aaah Hans taratibu utamlishaje mtoto mzuri keki kama mama mkwe unatuaibisha wanaume wezako " . Watu wote walicheka sana adi Hans mwenyewe alibidi acheke tu .

" Chukua keki weka mdomoni tunazima taa watoto wasione " alisema MC Garab. Hans alibidi acheke tu akimuangalia Jasmine ndo kabisa. " Dj Suzie lete mziki wataratibu na mahaba" MC Garab alisema . Suzie aliweka mziki wataratibu tu sana na kuvuta hisia zao .

Hans alichukua keki na kuweka mdomoni kama alivyoambiwa akiangalia ni mwanamke anayempenda kweli . Jasmine alibidi akubari kuchukua keki mdomoni kwa Hans na kujikuta mdomo kwa mdomo tena . Najma alichungulia na kuliona lile tukio alilia sana mapolisi wamemshikilia.

Zuri alikuwa akifurahi mpango wake unatimia. Walitunzwa sana vitu vya thamani na wageni waliondoka bira kujua chochote kile kuwa Jasmine sio mlengwa, mlengwa Najma. Watu waliingia chumbani na kuanza kufurahi .

" Jasmine kakava ile sehemu kuliko mwenyewe angekuwepo" alisema Nasra. Rahma " sijui bi mzuri alikuwa wapi mwezetu ". Kidogo Jasmine anaingia mwenyewe .

Watu wote" bibi harusi, bibi harusi " walikuwa wakiimba. Jasmine " ebu tokeni zenu uko " aliongea . Nasra " totoke wapi akati mke wa kaka na pete unayo hapo kidoreni ". Rahma aliingia " umemuona brother akibambia kishundu cha bimdada hapo nyuma ". Walijikuta wote walicheka sana " ila Hans ana confidence na Jasmine kuliko na Najma" alisema Nasra . Jasmine " jamani mnaitwa uko" .

"Tunakuja mke wa kaka " walitoka nje na kumkuta Najma amekaa kapoa. Zuri alimshika mkono Jasmine na kuingia chumbani kwao kulala . Mama Hans aliwambia wakina Nasra wachukue wageni wawapeleke chumbani kwa kulala na yeye aliondoka zake .

Hans alimuangalia jicho kari la hasira na kuamua kuingia chumbani kwake kulala bira kusema chochote kile. Alibakia Najma peke ake akiwa amekaa aliamua kuingia chumbani kulala zake akiwa kapoa .

******************

" Umependeza sana leo my wife " Hans alimtumia sms Jasmine . Jasmine aliona ile sms" Hans leo umeniuzi sana" . Hans " why baby ? aliuliza. Jasmine " unanikiss mbele za watu tu " .

Hans alicheka sana" lakini si tupokwenye mapenzi baby au una mwanaume mwingine nini ? aliuliza . Jasmine " hapana baby sina mwanaume yoyóte zaidi ako ". Hans " ok bàsi usiogope uoni Mungu kakuweka wewe nimekuvalisha pete wewe" .

Jasmine" kwahiyo naivua au vipi ? aliuliza kimatani . Hans " akuna kuivua ukivua umenivua mimi " . Jasmine alimtania" lakini hii pete ni ya Najma " . Hans " hiyo pete nilimnunulia mwanamke ninayempenda sana inathamani ya milioni 6 umepata wewe mwenyewe".

Jasmine " usiku mwema baby " . Hans " nawewe pia nakupenda sana mi Amor". Jasmine alizima data na kulala akiwa na furaha mwenyewe . Hans pia alilala akiwa ana amani kumchumbia mwanamke anayempenda sana .

Asubuhi na mapema waliamka watu wote kuendelea majukumu mengine . Najma alitoka akiwa kapoa sana na kuelekea sebreni aliwakuta wote wamekaa wakinywa chai na kujiandaa kwenda kazini.

Najma alipiga magoti na kumshika Hans miguu" naomba mnisamehe jana nilipata ajari ya pikipiki. Zuri alimuangalia juu adi chini " ebu acha uongo wako ajari ya piki piki bira kuumia kokote kweli sema ulitoka kwa bwana ako"..

" Zuri mwanangu ebu fanya uondoke " alisema Mama Hans . " Mama nyie mnamchekea chekea huyu akati jana katuaibisha sana mnalembalemba pumbavu zake " alichukua funguo ya gari na kuondoka zake akiwa acha na mkwe wao .

Mama Hans na baba Hans waliondoka zao na kumuacha Hans na mwanamke wake. Hans alíjikuta akilia tu" Najma na kufananisha na simba ambaye kila mnyama unakula" . " Najma umenikosea mara kibao nilikusamehe na tukarudiana" .

" Najma ulinicheat mara kibao tu nikasamee , ukaona aitoshi siku ya uchumba wetu ukaona unizalilishe mbele ya familia hapana Najma nimevumilia sana nimechoka niache nifikirie hukumu yako " alisimama na kuondoka akiwa analia masikini na kwenda baharini kupunguza mawazo .

Najma alijikuta akilia" aya yote kasababisha Jasmine sitokubari Jasmine habakie hapa " .

itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 34.
BOOKING 0756748557.

Najma aliingia chumbani kwake na kumpigia simu Hamza. Hamza alipokea vizuri " hello mrembo wangu vipi ? aliuliza . Najma alikuwa akilia " mambo yamealibika Hamza" . Hamza " kwahiyo tufanyaje ? aliuliza .

Najma " naombeni mumteke Jasmine ili ajulikane msaliti kwa Hans na Hans alinirudie mimi maana aniamini tena " . Hamza alijibu'' Sawa ni issue ndogo sana tu sana hiyo. Najma alikata simu akiwa na furaha mwenyewe .

Hans alikuwa ajui chochote kile kinachoendelea kwa Najma alipunguza mazoea kabisa . Alikuwa akirudi usiku na kúondoka zake asubuhi ataki shobo . Siku hiyo Hans alitoka zake na kumkuta Najma mlangoni kwake .

Hans alijidahi kuingia ndani kwake lakini Najma aliwahi kumshika mkono . " Hans nikosa gani ambalo alisameheki ? aliuliza akiwa anatia huruma . Hans alijibu'' Najma kwahiyo unafanya makusudi kwasababu nikusameeh. " Najma kifupi nilikupenda sana lakini sasa hivi sitamani atakukuona na kutapika kabisa ".

Najma'' mimi najua sababu unatoka na Jasmine ndio maana unipendi mimi na ipo siku utaamini kuwa Jasmine sio mke sahii " alisema. Hans alicheka sana " ila wewe ndo mke sahii unayenicheat siku ya uchumba" ? aliuliza . Hans aliendelea" kifupi pole sana mimi sitoki na Jasmine wala nini " alimsukumiza uko na kuondoka zake.

Hans alifika mbele alikutana na Jasmine akiamuangalia Hans alimkonyeza nakuondoka zake. Jasmine alitabasamu tu nakuendelea na kazi zake .

" Hans anaweza kunisukimiza mimi kweli Hans huyu huyu kweli " alijisemea Najma. Aliendelea kusema" niombee nini kwake aninyime lakini leo ananisumiza kweli " .

Najma" aaah sikubari " aliingia chumbani na kumchukua simu kumpigia bwana ake. " Vipi Hamza ile ishu ? aliuliza. Hamza alijibu'' subiri mamy tujipange wewe shida yako yote atekwe ". Najma " ndio ikiwezekana habakwe ili ajulikane kamcheat Hans".

Hamza alijibu''sawa sawa . Walikubariana vizuri na kulala Najma akiwa na furaha sana kumkomesha Jasmine . Watu wote walilala wakiwa wajui chochote kile.

BAADA YA WIKI MOJA.
Waliamka watu wote na kuendelea na majukumu yao . Hans alienda kazini kama kawaida yake , Zuri chuo , mama Hans kazini na baba Hans bungeni nyumbani kulikuwa na wadada wa kazi , Jasmine na Najma . Najma alipigiwa simu na Hamza kutoka kwenda kuongea .

" Najma kunaissue nimepewa tenda na boss moja hivi nimtafutie mrembo wakulala nae naomba huyo binti mtume nimteke ni mpeleke" aliongea Hamza . Najma " wawooow wazo zuri sana bora tupige pesa beby " alisema.


******************

Hamza" sawa fanya hivyo basi"alisema. Najma alikata simu na kútoka zake moja kwa moja adi jikoni kuwa kuta wezake wanapika . Alianza kuimba " wacha nijishebedu mke mwezangu anijue " na kuanza kucheka. Watu wote walibaki kumuangalia Najma anayecheza na kutingisha tako ambalo alitingishiki.

" Wewe unaojita mke wa Hans wewe Mumeo kanipigia simu anataka ndizi nyama leo" aliongea Najma akiwa yupo serious. Aliendelea kusema " ukiona hivyo upendwi ndo maana na pewa taarifa mimi wewe ni house girl tu" alitoka zake nje .

Jasmine na wezake walibaki kuangaliana tu na kuendelea na kazi zao . Jasmine sababu alikuwa akimpenda na kumjari Hans sana aliwaambia wezake " ngoja nitoke nikanunue hizo ndizi nimpike ". Nasra " hivi unamuamini Najma kabisa kapigiwa simu na Hans? aliuliza.

Jasmine alijibu" atakama ajapigiwa simu na yeye ni madam mke wa Hans mtarajiwa". Rahma " mke wa Hans mtarajiwa ninayemjua mimi ni yule aliyevalishwa pete ya uchumba". Nasra " ewa awawengine wote panya buku ".

Jasmine alicheka " ebu achane hizo subiri mimi niende tu " aliingia chumbani kwao na kubadirisha nguo kuvaa nguo za heshima na mtandio kuchua pesa kutoka . Jasmine alienda adi sokoni alinunua ndizi kumpikia Hans na kurudi nyumbani .

Kabla ajafika kwao kuna uchochoro na mbele kuna njia nne . Jasmine alipita zake akiwa ana ata wasiwasi alisikia sauti" mambo dada ". Jasmine kipindi anaangalia nani aliyemsalimia anageuka nyuma tu anakutana na wakaka wa wili wamevaa ninja.

Jasmine alitaka kupiga kelele mkaka moja alimziba sura na mdomo kuchoma sindano ya usingizi . Jasmine alilala masikini bira kujua chochote kile na wale wakaka walimkokota adi Kwenye gari.

itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 35.
BOOKING 0756748557.

Najma alipigiwa simu na Hamza teali . Najma alifurahi sana kusikia vile . Jasmine alichukuliwa adi hotelini moja nzuri sana na kuingizwa akiwa ajitambui . Nyumbani walikaa kumsubiri Jasmine atarudi hapa atarudi hapa lakiní ilikuwa kazi bure tu .

" Nasra mbona Jasmine anachelewa kurudi ? aliuliza Rahma . Nasra " mmmh sijui mimi "alisema . Mida ya saa kumi jioni watu wote wanahaa nyumbani kumtafuta . Zuri alirudi kwao akiwa na furaha mwenyewe kufika kwao anaambiwa Jasmine ayupo .

" Ayupo ameenda wapi ? aliuliza kwa mshangao . Kila mtu alijibu" sijui mimi kaenda wapi ". Zuri alichukua simu na kumpigia simu Hans kuwa Jasmine ayupo. Hans alisema " ninazo hizo tàarifa nimeshapewa teali ".

" Sasa je inakuwaje sasa hapa ? aliuliza Zuri. Hans " usijari Jasmine ataonekana tu " alikata simu . Zuri alitupa simu kitandani na kuwaza shoga ake kipenzi atakuwa wapi , aliwaza adi akilia masikini .

Hans alikaa kwenye kiti chake akiwa anazunguka zunguka anaata mawazo . Alipigiwa simu na mtu alikuwa Musa . " Hello boss Hans " . Hans " hello vipi Musa? aliuliza. Musa alijibu'' nimefanikiwa kumtoa hotel ile tumepeleka hotel uliotuambiwa wewe".

Hans " wawooow hongereni sana " alisema . Musa " asantee sana ila alipigwa sindano ya usingizi tu " . Hans " aina shida na kuja sasa hivi " aliongea na kukataa simu akiwa anawaza sana.

" Najma kwanini unataka kumuuza binti wa watu nikosa lipi alilokutendea kama kunicheat umeanza mwenyewe wivu unaona mwenyewe " aliongea Hans. Alianza kukumbuka jinsi alivyotekea adi kumpata Jasmine.

Hans alikuwa akimfatilia sana Najma kwenye simu na kufatilia maongezi na sms pasipokujua . " Najma alivyopigiwa simu na Hamza kuambiwa issue ya Jasmine , Hans alisikia kila kitu chao chote .

Hans alibidi awatume vijana wake watoke haraka sababu walikuwa wakiishi mtaa moja na wengíne wanasomea jeshi . Wakina Musa walitoka watatu na kwenda nyumbani kwa kina Jasmine na kama Mungu Jasmine alikuwa akitoka chumbani kwake na kuelekea sokoni kununua ndizi .

Musa na wezake walikuwa wanamfatilia bira Jasmine mwenyewe kujua chochote kile. Jasmine alienda adi sokoni vizuri na kurudi uku wakina Mussa walikuwa wakimfatilia tu adi alipokuta na wakaka wa wili wamevaa ninja .

****************

Hamza na mwezake walimteka Jasmine bira kujua watu wa Hans wanamfatilia adi kumuingiza kwenye gari. Musa alipiga picha Tz number na kumtumia Hans . Hans aliwaambia wachukue boda boda araka walifukuzie lile gari . Musa na mwezake walifanya hivyo harakaharaka adi mwisho wa gari ilo limeingia hotelini.

Hamza alishuka yeye na vijana wake wawili adi na kumtoa Jasmine akiwa ajielewi na kuongea na mhudumú kuwa wametumwa na boss ambaye yupo gorofa la mbíli . Mhudumu alikubari sababu shida ake hela tu na Hamza na wezake walimuingiza chumbani Jasmine akiwa ajielewi.

" Sasa mkuu je ? aliuliza Hamza kumuliza boss ambaye kamtuma binti . Boss wao alikuwa amelala lakini yupo macho " wawooo leo umeniletea pisi kari kweli kweli " aliongea uku akimpapasa Jasmine kwenye maziwa ambaye amelala chari.

Boss alivuta droo ya kabati na kuchomoa milioni moja yao kumpa Hamza na Hamza alíondoka zake bira wasiwasi . Boss alibaki kumuangalia Jasmine kwa matamanio maana alikuwa kifaa kwelikweli na kujifikilia anze wapi maana kote panzuri .

Mapolisi walikuwa wameshafika hotelini kupewa oda na Hans . Walienda adi mapokezi na kutoa vitambulisho vyao na mdada wa mapokezi sababu ni polisi alibidi ajisalimishe kuwapa ushirikano.

Aliwapeleka adi chumbani ambapo Jasmine amelazwa masikini na boss akijifikilia anze wapi. Boss alisikia hodi chumbani kwake " nani ? aliuliza. Mhudumu "ni mimi hapa mhudumu ".

Boss wa watu alibidi aende kufungua mlango kumsikiliza mhudumu akija aendelee na kazi . Alitoka nje fungua mlango na kukuta na polisi upo chini ya ulizi . Boss machozi yalimtilika kama maji " jamani nimeletewa huyu binti" .

" Utaenda kuieleza mahakama kuwa uliletewa " walimfunga pingu na kutoka nae baba wa watu akiwa kitumbo wazi . Musa na wezake walibeba Jasmine bira kujitambua na kuondoka nae kwa malezo ya Hans .

Itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 36 .
BOOKING 0756748557.

Hans alicheka sana mwisho wa kukumbuka " Najma mjinga kweli ". Hans alibidi aelende na kazi yake adi saa kumi na moja jioni alitoka adi hotelini na kuwakuta wakina Mussa . " Thanks you so much Wadogo zangu".

Mussa " usijali brother kuwa na amani " . Hans alichoma waleti na kutoa check ya milioni 6 kuwapa na kuwaidi zawadi nyingine zinakuja . Wakina Mussa walifurahi sana na kuondoka zao wakimuacha Hans na Jasmine wake . Hans aliingia chumbani na kumkuta Jasmine amelala tu masikini na kumuangalia tu kuingia bafuni kuoga.

Hans kipindi anaoga Jasmine aliamka hapo hapo na kuanza kuangalia yupo wapi . Jasmine alianza kuangalia Mazingira na kukuta ya tofauti na nyumbani kwao . Alibidi asimame masikini kuangalia vizuri . Mlango wa bafuni ulifunguliwa Jasmine alianza kupiga kelele sasa usinibake usinibake uku akiangaika kufungua mlango ambao Hans alifunga mlango na ufunguo..

Hans alibaki kumuangalia na kucheka sana kukumbuka siku ya kwanza kumuona . " Jasmine alimuita " akiwa kavaa taulo . Jasmine " baada ya kusikia sauti ya Hans kidogo presha ilishuka nakugeuka kumuangalia je Hans kweli .

Aligeuka na kumkuta Hans kweli akimimina kinywaji cha kilevi ilikutoa huruma na aibu . Jasmine alibidi amkumbatie baby wake masikini akiwa analia . Hans alichukua kunywa kama maji na kutoa mshipa wa aibu.
" Alianza kumtomasa tomasa Jasmine na Jasmine sababu ni Hans alibidi amuachie tu .

Hans aliongea sauti ya mahaba " naomba nikubake mwenyewe tu ". Jasmine aliitikia na kuvua nguo mwenyewe kulala kitandani . Hans alienda nae kulala kichoendelea na umia na umia Jasmine alikuwa akili. Hans akujari wala nini alifanya vyake adi amu ilipoisha alilala maana usiku uliingia .


******************

Nyumbani kwa kina mama Hans walianza kumtafuta Jasmine bira mafanikio yoyote . Hans nae hapatikani kwenye simu cha kushangaza ! walikuwa wakiuliza Jasmine kaenda wapi sasa . Najma alikaa kimya tu nakujidahi kama aelewi vile.

Zuri machale yalimcheza nakuanza kukumbuka alivyopigia simu kaka kumwambia " Jasmine kapotea brother wake atamshipa wakushtukiza ana " . " Hiví nyie mnaacha kulala mnamtafuta Jasmine hivi kuna mtu mwenye uchungu na Jasmine kama Hans mwenye rafiki ake ".

" Ebu nitoke mie nikalale " Zuri aliondoka akiwa nawazo Jasmine yupo wapi na Hans labla kapata presha je . Alijikuta akilia masikini na kulala zake. Mama Hans alíkuwa kwenye mawazo sana kijana wake yupo masikini ,alilia na kujua Hans amepata pressure .

Nasra " huyu Najma kasababisha mdada wa watu katekwa sijui ". Rahma " lakini kwanini kamfanyia hivi mwezake ? aliuliza. Nasra " mmmh sijui Mamy njo tulale " walilala wakiwa na huzuni kweli.

Najma chumbani kwake alifurahi sana diri lake limetimia lakini " Hans yupo wapi ? alijiuliza . Alichukua simu kumpigia Hamza kumuliza kamteka kweli Jasmine ? aliuliza . Hamza alijibu'' ndio nimemteka kweli na kumpeleka kwa yule baba ".

Najma" oooh hapo sawa nilikuwa nataka uhakika tu kuwa kweli ulimteka " . Hamza alijibu'' ndio nimemteka " . Najma alilala akiwa na furaha na kujua ndo kashampata Hans wake .

Asubuhi na mapema Hans aliamka na kuangalia shuka limelowa damu . Alibaki kutabasamu na kumuangalia Jasmine ambaye kalala pale , kidogo Jasmine aliamka na yeye na kumuangalia usoni akiwa anaona aibu.

" Hello unaendeleaje ? Hans alimuuliza Jasmine ambaye kalala kifuani kwake . Jasmine" nipo poa tu". Hans alitabasamu " hongera kwa ukubwa na asante kwa kujitunza". Jasmine aliona aibu na kuva taulo adi bafuni Hans alimfuta nae na kuoga wote .

Hans alibeba adi ndani na kukaa kuvaa nguo " uwe makini siku nyingine usitoke ndani peke ako sawa" . " Najma alituma ndizi za kukupikia wewe ndo nikatekwa " alionge uku akiwa amekaa kitandani .

itaendelea .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 37 .
BOOKING 0756748557.

" Najma chizi kweli kasababisha nimekupa ndizi ya kikubwa sasa " alisema Hans akiwa anacheka . Jasmine aliona aibu na kumfuta Hans kumtishia kumpiga " alafu wewe na mwanamke wako yule mmeniteka wote watekaji " . Hans " akuu mimi sijakuteka kabisa ila mimi nimekusaidia sasa " alianza kumuhadithi kila kitu. Jasmine alilia sana " asantee baby " .

Hans" usijali mke wangu asante kwa kunitunzia " . Jasmine alimdandia Hans mgongoni " unaonaje tukabakia na leo ? aliuliza. " Ndizi tamu eeeh? aliuliza Hans . Jasmine alicheka sana " inauma japo tamu ". Hans " pole utazoea tu " .

" Ok vaa nguo nianze kurudi mimi nyumbani kisha wewe uingie badae usiseme chochote kile sawa " . Jasmine " Sawa " walikubariana na Hans alitoka nje kuwakuta wakina Mussa wamefika. " Ona mtamleta huyu mlembo adi getini sawa ". Mussa alijibu''sawa".

Hans aliondoka zake akiwa kama sio yeye vile nakupanda gari adi nyumbani kwao. Nyumbani kwa kina Hans watu wote walikuwa wakiwa wanamawazo Hans apatikani, wala Jasmine .

Zuri alikuwa akiwaza sana kuhusu brother wake . Aliingilia Hans pale pale akiwa anaata wasiwasi . Zuri alikumbatia brother wake na kuanza kulia " Jasmine ayupo kaka angu" . Mama Hans alitoka chumbani na kumkuta Hans karudi pekee ake .

" Wewe ulikuwa wapi jana Jasmine atumuoni sasa na wewe upatikani " alionge mama Hans . Hans alidanganya " jana nilikuwa nikimtafuta Jasmine baada ya kupigwa simu na Zuri na simu iliingia kwenye maji " aliongea uku akimuangalia Najma .

" Vipi Jasmine amepatikana ? aliuliza Hans . Zuri " ajapatikana brother sijui kaenda wapi ? alijiuliza. Najma alitokea" tatizo leo mtafuta mkubwa mzima usikute yupo kwa bwana ake uko . Zuri " kaa kimya hapa Jasmine sio malaya kama wewe ulivyokuwa malaya ".

" Zuri kwahiyo umenituka eeeh sindio eeeh " aliongea Najma akiwa kapanic . Zuri " ndio hivyo sasa amua cha kufanya". Hans aliongea kiukari " tosha Najma ingia ndani na Zuri ingia chumbani kuusu Jasmine polisi wapo ".

Zuri alibidi aingie ndani kwao akiwa na mawazo yake juu ya Jasmine wake . Hans aliingia chumbani kwake akiwa na furaha kulala mwanamke anayempenda sana.

Hans kipindi yupo chumbani kwake amekaa akimuwaza Najma alivyokuwa shetani . Alisikia sauti dada wakazi wakifurahi " Jasmine , Jasmine , Jasmine ". Watu wote walitoka nje kumuangali je Jasmine kweli , walikumta ni Jasmine kweli .


************************

" Ulikuwa wapi jana ? walimuuliza watu wote . Jasmine alibaki kimya tu akiwa anawa angalia . Najma" siunaulizwa malaya wewe ulikuwa wapi? aliuliza kinafki. Jasmine alimkata jicho la hasira Najma yeye ndio sababu.

Najma " hii mimi niliwambia huyu binti ni malaya tu kikowapi " aliongea . Hans alisema" Najma tosha ingia ndani kwako " . Najma" mimi najua mnapendelea mimi nilivyopata ajari Hans ulinunia lakini Jasmine kalala nje unamuachia asiulizwe kitu" alikimbia chumbani kwake akiwa analia.

Hans alifonya tu nakumwambia" Jasmine ingia chumbani kwako " . Jasmine na Zuri walishikana mikono na kuondoka zao chumbani. Hans aliingia chumbani kwake bira kuuliza chochote kile .

" Pole Jasmine sana sijui walikupiga sana " alisema Zuri . Jasmine " asantee baby " . Jasmine aliingia bafuni kuoga akikumbuka tukio la jana ambalo Najma alimfanyia nakujisemea" Najma umenifanyia hivi ingawa sina kosa lolote na usahau kumpata Hans ninaanza kumpenda lasmi Hans "..

Najma nae aliingia chumbani na kutupa tupa vitu vya chumbani kwake " no no no siwezi kukubari kuzidiwa na Jasmine lazima nimfatilie kujua ukweli na kusema mbele ya azara.

Hans alikuwa mtu wa kutabasamu tu muda wote tu kwani kumpata mwanamke anayempenda. Zuri alitoa chumbani kwake na kumuangali kaka ake anavyocheka . " Bro mbona unacheka peke ako vipi ? aliuliza Zuri.

Hans alitabasamu " aaaah maisha tu nimefurahi tu ". Zuri" au jana ulikuwa na Jasmine nini ? aliuliza kiutani . Hans alicheka" ebu nenda ndani uko punguza umbea dogo" . Zuri alicheka " ndo maana jana mimi sijajisumbua kumtafuta wala nini nilijua upo nae wewe" .

" Zuri nenda ndani "aliongea uku akicheka tu. Zuri " ila brother mjitaidi na mimi nitwe anti " alisema . Hans alicheka kwa vitu vya mdogo wake.

Zuri alisimama " sawa mjanja wewe bhana kutufanya watoto ote " nakuingia ndani . Hans " aise huyu dogo mpekepeke unaweza ukapiga ukaua bure ".


itaendelea .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 38 .
BOOKING 0756748557.

BAADA YA MWEZI MOJA .

Najma kama kawaida yake aliondoka zake na watu wote waliondoka zao . Hans aliwahi kurudi nyumbani kama kawaida yake mapema alimuita Jasmine chumbani kwake na kufanya mamboo ya kikubwa , Jasmine alikuwa ameshazoea tena .

" Hans kila siku tunafanya hivi bira kinga uoni kuna mazara "aliongea Jasmine akiwa yupo kifuani . Hans " kwani wewe mtoto mdogo kuogopa Mimba " . Jasmine " hapana lakini Hans wewe ni mume wa mtu mtarajiwa baby " .

Hans " ebu tuachane na hizo habari za mume wa mtu " . Jasmine alikaa kidogo na kuingia chooni kwa Hans ambacho kipo chumbani kwake umo umo na kutapika . Hans alibaki kukaa kimya akitikisa kichwa tu .

Jasmine alitoka akiwa anaona aibu " baby natapika mwezio ndo maana nashauri tuvae kinga wewe utaki " . Hans " kama imeingia imeingia tu kwanza afadhari umenibebea mimba nipundue mchezo wa kuoa ". Jasmine alicheka sana " sawa bhana mjanja wewe " .

Walikumbatia na Jasmine alitoka nje mwenye akiwa anajiangilia ajielewi elewi. " Hans kiboko miezi miwili tu natapika "alijisemea . Siku zilizidi kwenda Jasmine alikuwa ajielewi kabisa adi wezake wakawa wana shangaa .

Siku moja Najma aliwahi kuamka na kumkuta Jasmine amekaa chini akijiangalia alivyobadirika ghafla . Alitoka adi chumbaní kwa Hans na kumkuta Hans anatoka nje nakumwambia " kuna kikao ".
Hans alikubari na Najma aliwaita nyumbani nzima .

Watu wote walitoka nje na kumsikiliza Najma. " Hello nime waita hapa kuwambia kuwa Jasmine ni mjamzito" . Kila mtu alibaki kumuangalia mwezake usoni . Jasmine mwenyewe alijisikia vibaya na kukimbia akiwa analia kwa aibu.

Nasra na Rahma walimkimbilia kumfuta ndani rafiki yao. Hans " kwahiyo kama anamimba je ? aliuliza. Najma aliona aibu umbea wote ulimuisha nakujidahi kuzuga " najua utaki kuamini kuwa Jasmine ni malaya na mjamzito ipo siku utaamini ".

Hans alifonya kwanza sababu kulikuwa kuna wazazi wake na kuzuga kusema" Jasmine kesho ataenda hospital kupima ujauzito na Zuri " aya mkaendelea na kazi. Jasmine chumbani alikuwa akilia tu masikini atafanyaje .

Hans alimpigia simu na Jasmine alipokea akiwa analia . " Unalia nini ? aliuliza Hans. Jasmine alíjibu akilia " baby nitaficha wapi aibu mimi kama kweli mjamzito ". Hans " usijali mumewe anakupenda sana utofanywa chochote kile .

Jasmine " sawa baby nakukata simu " akiwa na furaha kidogo. Najma alikasirika sana " nifanye nini ili Jasmine aondoke hapa nyumbani na mbona Hans amekuwa mgumu kumfukuza Jasmine" .

Najma alijisemea " siwezi kukubari huyu binti habaki hapa ataondoka tu . Zuri alitoka chumbani kwake na kumkuta Najma amekaa alimpita. Najma alijidahi kujiongeresha " jamani Zuri siumeambiwa ukampime mimba shoga ako au mnajua mtafichulika " aliongea kinafiki mwenyewe akiwa na furaha sana.

*********************

" Jasmine sio malaya kama ulivyokuwa wewe kahaba " aliongea Zuri na kwenda kumuangalia Jasmine. Najma alicheka mwenyewe nakujisemea" Jasmine sasa unaondoka humu ndani na kuniacha huru na Hans .

Zuri alitoka chumbani akiwa kamshika mkono Jasmine . Najma alimuangalia juu adi chini na kucheka kwendelea na simu yake kuchezea . Zuri alichukua gari adi hospital Agacani hospital . Zuri alimchukua adi kwa daktari na kumpima vizuri vipimo vyote .

Daktari aliwambia " mkakae nje msubiri majibu yenu " . Zuri na Jasmine walitoka nje kukaa uku Jasmine akiwa anawaza je akikutwa mjamzito itakuwaje.

Kipindi wamekaa nje wakiwa wameinama Zuri na Jasmine wakiwaza . Jasmine alizibwa macho na mtu nyuma " jamani Zuri ebu niache mimi na mawazo yangu. Zuri alikuwa anacheka tu na kumuangalia usoni aliyemziba macho .

Alikuwa Hans alibidi amkonyeze Zuri . Jasmine aliongea" Zuri jamani lini utakuwa my dear ". Hans alimuachia akiwa anacheka sana '" wewe ukikaa Zuri , Zuri mumeo ujawahi kumtaja" .

Jasmine alikaa kimya akimuangalia kwa huruma Hans . Hans alimkiss mdomoni " usiogope mke wangu achana na yule chizi . " Kweli Hans sitofukuzwa ? aliuliza .

Zuri aliongea " wewe ufukuzwe na nani umependwa na mlisi wa baba wewe tuzalie tu tukachangamshe nyumbani sio yule mwezako manyai kalia chips ". Hans alicheka sana kwa maneno ya mdogo wake " Zuri kweli wewe kiboko umpendi yule dada".

" Mimi simpendi mtu malaya sana yule adi kumtambulisha aiba " aliongea Zuri . Hans alicheka tu na kukaa kumuangalia mdogo wake .

Daktari alimuita Jasmine , Jasmine alienda akiwa na Hans wameshikana mkono. Daktari alitabasamu "naona umekuja na Mr hapo " . Hans " yap ".

Daktari " hongera sana mkeo mjamzito".

itaendelea
 
Back
Top Bottom