mireille
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 529
- 589
- Thread starter
- #41
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 39 .
BOOKING 0756748557.
Hans alifurahi kama kabeba yeye vile hiyo mimba. Daktari alibaki kutabasamu " mnaelekea mnapenda sana". Hans alimuangalia Jasmine ambaye amekaa pembeni yake alimkonyeza . Jasmine aliona aibu na kugeukia pembeni .
Daktari aliwambia " ok mkapime vipimo vyote kumjua mtakingaje mtoto wetu" . Hans na Jasmine walikubari vizuri sana na kumshika mkono kwenda kupima . Walipima vipimo vyote kama baba na mama kumlinda mtoto wao na kupeleka kwa daktari.
Daktari aliwambia majibu yenu yapo salama usalimini nakumwambia" mkeo anaitajika kiriniki.
Hans alikubari na kumshika mkono Jasmine na kuondoka zake . Walifika nje Hans alimpa Zuri" mfikishe mama kijacho wangu nyumbani "yeye alipanda gari lake na kuondoka.
Nyumbani kwakina Hans mama Hans alíkuwa anawasiwasi kweli maana watoto wameondoka asubuhi sana awajarudi nyumbani . Baba Hans " awa awajarudi nyumbani ? aliuliza. Mama Hans" ndio awajarudi " . Najma aliingia" mimi na wambia kabisa yule mdada ni malaya kapata mimba anaogopa kurudi nyumba na kumchelewesha Zuri bure ".
Watu wote walibakia kuangaliana tu kwa maneno ya Najma anavyoropoka mbele ya wakwe zake ajui wala nini. Ilipita mida kidogo kama dakika tano Zuri na Jasmine waliingia wakiwa wameshika mkono . Zuri alimfuta mama ake kumiss mkono ndo kumsalimia na baba ake pia kumkiss mkononi na kumchukua Jasmine kutaka kuingia ndani .
Kipindi yupo kwenye ngazi kama atua mbili hivi Zuri na Jasmine. Najma alianza" hey mbona amjatupa mlejesho kuwa huyo house girl mjamzito". Watu wote walibakia kumuangalia tu Najma usoni anavyoropoka kama ayupo ukweni vile .
Zuri alimshusha na kumpandisha Najma "ni kweli lakini aikusu sababu ujanituma wewe na wala kuniagiza wewe aliyeniagiza ndo mwenye mamraka ya kupata hizi tàarifa" na kumchukua Jasmine kuingia chumbani . Najma alibakia yamemshuka adi miguuni na kukimbia chumbani kwake .
" Hiví kunasiri gani humu ndani ambayo inaendea mimi sijui na mbona Hans ukimwambia amfukuze Jasmine anakuwa mgumu hivi ? alijiuliza Najma . Alisema" sitakubari Jasmine abakie hapa nitafanya kila njia aondoke zake na Hans anirudie mimi tu.
********************
Jasmine aliingia chumbani kwake masikini akiwa analia" sasa nitafanyaje mimi kuficha aibu hii aya yote kayataka Hans " . Zuri " wewe usimsingizie kaka angu akukushikia pastora kulala chari pale mliyataka wote wawili na mle wote wawili" .
Jasmine alitabasamu tu " adi Zuri unanigeukia mara hii , aise kweli wifi anaga ushoga". Zuri alicheka sana " ebu tuzalie dume au jike acha mbambamba hapa ". Aliendelea kusema" unaogopa bure wenye mimba tumekubari tutalea sisi wenyewe sasa wewe uoga vipi ".
" Zuri mimi naona aibu isitoshe Hans ni mchumba wa mtu na baba na mama watanifikiliaje" alisema Jasmine. Zuri alimkumbatia" baba na mama awawezi kukataa damu yao ata sikumoja na wanajua Hans kapitia mitihani mingine na Najma adi kuamua kuingi mahusiano na wewe "..
" Hans sio malaya kama wanaume wengi kama aliweza kumvumilia mtu na kumuekea hadi nitakuoa tangia form three adi kamuacha juzi kavumilia sana naomba utuelewe , Hans anania njema na wewe awezi kukuterekeza mjamzito Jasmine " aliongea Zuri . Jasmine alijikuta akilia tu akiangalia kweli Hans mvumilivu sana na kamsaidia mengi sana , alimkumbatia Zuri na kulala .
Hans alirudi zake majira ya usiku kukwepa shobo za Najma. Asubuhi na mapema waliamka vizurii wakiwa na furaha sana na kufanya usafi wa nyumba nzima . Jasmine alitoka chumbani akiwa amechelewa kuamka na kuwakuta wezake wanatenga chai .
Jasmine aliona aibu kidogo Zuri alirudi akiwa kabeba supu na chapati . " Jamani hii supu ni mimi na Jasmine tu " . Hans alibakia kimya tu akimuangalia Jasmine kiwiziwizi tu .
Mama Hans " aya bhana subiri tupambane na chai na mikate yetu". Najma" sijui anampendea nini huyo Jasmine akati kazalilisha hii familia". Hans aliamua asimame aondoke chumbani bira kusema chochote . Zuri " umezidi mdomo ndo maana bwana kaondoka kwa kelele".
Watu walicheka adi mama na baba Hans waliamua kuondoka zao chumbani . " aise yule mwanamke ingekuwa amri yangu nisingekubari kijana wangu aoe ata kidogo " aliongea baba Hans . Mama Hans" bora umeyaona mwenyewe ningeongea mimi ooh mama mkwe motoni leo kiko wapi ".
Baba Hans alicheka " basi sorry mke wangu lakini ndio tuvumilie tu" . Mama Hans" Sawa " waliendea na kazi zao nyingine .
Siku zilizidi kwenda na Jasmine mimba ilizikidi kukua , Hans alizidi kumpenda baby mama wake uku watu. wakiwa wapokimya tu . Najma alizidi kuumia kuona mwezake kabeba mimba bira atua yoyote kuchukuliwa .
Najma alibidi ampigie simu Hamza bwana ake ili afanye uchunguzi Jasmine ajue histori yake . Hamza alimfanya upelelezi na kujua kuwa Jasmine alikuwa akijiuza danguro la madam Frida . Hamza alimpigia simu Najma na kumpa namba za madam Frida ambaye alitoka polisi kwa zamana na kuwa na alingumu ya Maisha.
je nini kitatokea .
itaendelea
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 39 .
BOOKING 0756748557.
Hans alifurahi kama kabeba yeye vile hiyo mimba. Daktari alibaki kutabasamu " mnaelekea mnapenda sana". Hans alimuangalia Jasmine ambaye amekaa pembeni yake alimkonyeza . Jasmine aliona aibu na kugeukia pembeni .
Daktari aliwambia " ok mkapime vipimo vyote kumjua mtakingaje mtoto wetu" . Hans na Jasmine walikubari vizuri sana na kumshika mkono kwenda kupima . Walipima vipimo vyote kama baba na mama kumlinda mtoto wao na kupeleka kwa daktari.
Daktari aliwambia majibu yenu yapo salama usalimini nakumwambia" mkeo anaitajika kiriniki.
Hans alikubari na kumshika mkono Jasmine na kuondoka zake . Walifika nje Hans alimpa Zuri" mfikishe mama kijacho wangu nyumbani "yeye alipanda gari lake na kuondoka.
Nyumbani kwakina Hans mama Hans alíkuwa anawasiwasi kweli maana watoto wameondoka asubuhi sana awajarudi nyumbani . Baba Hans " awa awajarudi nyumbani ? aliuliza. Mama Hans" ndio awajarudi " . Najma aliingia" mimi na wambia kabisa yule mdada ni malaya kapata mimba anaogopa kurudi nyumba na kumchelewesha Zuri bure ".
Watu wote walibakia kuangaliana tu kwa maneno ya Najma anavyoropoka mbele ya wakwe zake ajui wala nini. Ilipita mida kidogo kama dakika tano Zuri na Jasmine waliingia wakiwa wameshika mkono . Zuri alimfuta mama ake kumiss mkono ndo kumsalimia na baba ake pia kumkiss mkononi na kumchukua Jasmine kutaka kuingia ndani .
Kipindi yupo kwenye ngazi kama atua mbili hivi Zuri na Jasmine. Najma alianza" hey mbona amjatupa mlejesho kuwa huyo house girl mjamzito". Watu wote walibakia kumuangalia tu Najma usoni anavyoropoka kama ayupo ukweni vile .
Zuri alimshusha na kumpandisha Najma "ni kweli lakini aikusu sababu ujanituma wewe na wala kuniagiza wewe aliyeniagiza ndo mwenye mamraka ya kupata hizi tàarifa" na kumchukua Jasmine kuingia chumbani . Najma alibakia yamemshuka adi miguuni na kukimbia chumbani kwake .
" Hiví kunasiri gani humu ndani ambayo inaendea mimi sijui na mbona Hans ukimwambia amfukuze Jasmine anakuwa mgumu hivi ? alijiuliza Najma . Alisema" sitakubari Jasmine abakie hapa nitafanya kila njia aondoke zake na Hans anirudie mimi tu.
********************
Jasmine aliingia chumbani kwake masikini akiwa analia" sasa nitafanyaje mimi kuficha aibu hii aya yote kayataka Hans " . Zuri " wewe usimsingizie kaka angu akukushikia pastora kulala chari pale mliyataka wote wawili na mle wote wawili" .
Jasmine alitabasamu tu " adi Zuri unanigeukia mara hii , aise kweli wifi anaga ushoga". Zuri alicheka sana " ebu tuzalie dume au jike acha mbambamba hapa ". Aliendelea kusema" unaogopa bure wenye mimba tumekubari tutalea sisi wenyewe sasa wewe uoga vipi ".
" Zuri mimi naona aibu isitoshe Hans ni mchumba wa mtu na baba na mama watanifikiliaje" alisema Jasmine. Zuri alimkumbatia" baba na mama awawezi kukataa damu yao ata sikumoja na wanajua Hans kapitia mitihani mingine na Najma adi kuamua kuingi mahusiano na wewe "..
" Hans sio malaya kama wanaume wengi kama aliweza kumvumilia mtu na kumuekea hadi nitakuoa tangia form three adi kamuacha juzi kavumilia sana naomba utuelewe , Hans anania njema na wewe awezi kukuterekeza mjamzito Jasmine " aliongea Zuri . Jasmine alijikuta akilia tu akiangalia kweli Hans mvumilivu sana na kamsaidia mengi sana , alimkumbatia Zuri na kulala .
Hans alirudi zake majira ya usiku kukwepa shobo za Najma. Asubuhi na mapema waliamka vizurii wakiwa na furaha sana na kufanya usafi wa nyumba nzima . Jasmine alitoka chumbani akiwa amechelewa kuamka na kuwakuta wezake wanatenga chai .
Jasmine aliona aibu kidogo Zuri alirudi akiwa kabeba supu na chapati . " Jamani hii supu ni mimi na Jasmine tu " . Hans alibakia kimya tu akimuangalia Jasmine kiwiziwizi tu .
Mama Hans " aya bhana subiri tupambane na chai na mikate yetu". Najma" sijui anampendea nini huyo Jasmine akati kazalilisha hii familia". Hans aliamua asimame aondoke chumbani bira kusema chochote . Zuri " umezidi mdomo ndo maana bwana kaondoka kwa kelele".
Watu walicheka adi mama na baba Hans waliamua kuondoka zao chumbani . " aise yule mwanamke ingekuwa amri yangu nisingekubari kijana wangu aoe ata kidogo " aliongea baba Hans . Mama Hans" bora umeyaona mwenyewe ningeongea mimi ooh mama mkwe motoni leo kiko wapi ".
Baba Hans alicheka " basi sorry mke wangu lakini ndio tuvumilie tu" . Mama Hans" Sawa " waliendea na kazi zao nyingine .
Siku zilizidi kwenda na Jasmine mimba ilizikidi kukua , Hans alizidi kumpenda baby mama wake uku watu. wakiwa wapokimya tu . Najma alizidi kuumia kuona mwezake kabeba mimba bira atua yoyote kuchukuliwa .
Najma alibidi ampigie simu Hamza bwana ake ili afanye uchunguzi Jasmine ajue histori yake . Hamza alimfanya upelelezi na kujua kuwa Jasmine alikuwa akijiuza danguro la madam Frida . Hamza alimpigia simu Najma na kumpa namba za madam Frida ambaye alitoka polisi kwa zamana na kuwa na alingumu ya Maisha.
je nini kitatokea .
itaendelea