Simulizi: Jinsi matatizo yalivonipeleka kwenye kisiwa kilichosahaulika

Simulizi: Jinsi matatizo yalivonipeleka kwenye kisiwa kilichosahaulika

Ni kweli kwani wapi ulishawahi ona nimesema Mimi ni mtu wa maana hapa jf?
Uliandika mwenyewe kwa kiherehere chako iweje usiimalizie?,Huoni kama unawatesa walioanza kuisoma?.

Wewe na waandishi wenzio uchwara nitadili na nyie hadi mkimbie hili jukwaa
 
Sura ya tatu

ILIPOISHIA; “haaaa huyo alaphat ndiyo nani?” nilihoji nikiwa nishaanza kukingiwa na wasiwasi huku giza likiwa linaanza kuingia

“Ni mpuuzi Fulani hivi”.

Kabla nasrita hajaendela na mazungumzo alistushwa na swali lilitotoka upande wa nyuma

“nas huyo ni nani”.



SASA ENDELEA; nasrita alinipa ishara ya kunikonyeza aliponigeukia kabla ya kumjibu alaphat ambaye hakuona jambo ilo.

“ni mpiga picha nimemchukua aweze kunipiga katika kila tukio ninalolifanya”.

“ujue wewe unaelekea kuwa mke wa mtu sasa inabidi uwe makini na masuala ya kujichangaya, na watu. Na mbona simu ya baba yako ulikua hupokei”.

Hapo niliona nasrita akijisachi simu na hakuiona niliona sura yake ikabadilika alike ni kama mtu aliyechanganyikiwa kabisa.

“na ulipoona nakupigia ukaamua kuizima kabisa, haya panda gari twende nyumbani haraka”.

Aliongea alaphat kwa hasira na nilimuona nasrita akitii bila kusema neno lolote lile. Kwa kua nilishachukua mawasiliano na yake na yeye kubeba yangu hakukua na shida yoyote, walipondoka nami niliingia ndani nilichoshukuru alikua alishanipa kadi ya mwaliko ya vip hivyo ningeingia ndani bila shida yoyote.



Nilipiga hatua na kufika mapokezi ambapo niliwakuta walinzi wale wale na safari hii walikuepo walinzi wanne,niliowanesha kadi waliikagua walipojiridhisha nilielekezwa mahali ambako vip walitakiwa kukaa

Nilifika na kuweka kamera zangu sawa kwa ni lengo langu halikua kukaa bali kupiga picha za caty abdul ambazo zingeniingizia pesa nyingi sana endapo ningekamilisha kuzipiga na kumpelekea Cuthbert mpangala mhariri wa magazeti pia mtu wa madili ya hatari ambaye aiweza kuijua kompyuta na editing vilivyo.

Baada ya tuki kuanza nilihakikisha nakua makini sana na umpiga picha caty abdul hususan alikua amelewa hivyo niliona ni fursa kwangu kumpiga picha za matuki ya ajabu ajabu aliykua akifanya ikiwem kunesha maungio yake hadharani na kukatika viuno hovyo.



Niliona hilo halitoshi niliamua kuchukua na mkanda wa video baada ya kuona tukio linaelekea kumalizika sikutaka kusubiri hadi tukio limalizike nilitoa memori kadi iliyokua kwenye kamera na kuihamishia kwenye simu yangu na kisha kuingia whatsapp ambapo nilimkuta Cuthbert akiwa hewani aani online

“oya mambo vipi”. Nilituma ujumbe ambap haikupita muda nilina maneno typing…. Ambapo nilikaa kusubiri ni nini Cuthbert anaandika

“oya kaka kawa umefanikisha?”. Alihoji Cuthbert

“aaaaah si unajua mambo yangu, nishamaliza na hivi sasa ndo natka kwenye party”.

“ok tuma basi”. Aliongea Cuthbert ambapo niliingia gallery na kumtumia picha nyingi sana pamoja na videos zote za tukio”.

“sasa dogo hii ni pesa ningi sana ngoja nianze kazi mapema”.

Aliongea Cuthbert na kisha baada ya muda meseji iliingia kwenye simu yangu iliyo andikwa tigo pesa imethibitishwa umepokea kiasi cha shilingi laki mbili

Sikutaka kufuatilia kwani nilijua lazima atakua Cuthbert amenilipa kutokana na kazi niliyoifanya. Nikiwa natoka nje niliona boda boda na nilimwita dereva ambaye akuremba mwandiko alikuja nipeleke tazara ilikua ni safari iliyogharimu takribani dakika ishirini kwani hakukua na foleni yoyote tulifika na nilimlipa dereva na safari ya kwenda geto iliwadia

Niliwasili majira ya saa saba usiku nilifika na kuoga kissha kuichukua simu yangu ambapo nilikutana na jumbe kadhaa ikiwem ya tigo pesa kwa mara nyingine jina la Cuthbert lilikuja ikionesha amenitumia kiasi cha shilingi laki mbili na nusu.

Swali likaja je ni nani aliyenitumia laki mbili ya awali kwani akauti yangu ya tigo pesa ilinesha nina kiasi cha shilingi laki nne.



Nikiwa naendelea kupitia meseji niliona ujumbe uliotoka kwenye namba ngeni.

“kesho tukutane royal hotel saa saba mchana, ni mimi nasrita”.

Nilipousoma ujumbe hu nilishusha pumzi zangu kwa nguvu kisha nikaurudia na kuna hakuna kilichobadilika.

Je nini kilifuata.
 
Sura ya tatu

ILIPOISHIA; “haaaa huyo alaphat ndiyo nani?” nilihoji nikiwa nishaanza kukingiwa na wasiwasi huku giza likiwa linaanza kuingia

“Ni mpuuzi Fulani hivi”.

Kabla nasrita hajaendela na mazungumzo alistushwa na swali lilitotoka upande wa nyuma

“nas huyo ni nani”.



SASA ENDELEA; nasrita alinipa ishara ya kunikonyeza aliponigeukia kabla ya kumjibu alaphat ambaye hakuona jambo ilo.

“ni mpiga picha nimemchukua aweze kunipiga katika kila tukio ninalolifanya”.

“ujue wewe unaelekea kuwa mke wa mtu sasa inabidi uwe makini na masuala ya kujichangaya, na watu. Na mbona simu ya baba yako ulikua hupokei”.

Hapo niliona nasrita akijisachi simu na hakuiona niliona sura yake ikabadilika alike ni kama mtu aliyechanganyikiwa kabisa.

“na ulipoona nakupigia ukaamua kuizima kabisa, haya panda gari twende nyumbani haraka”.

Aliongea alaphat kwa hasira na nilimuona nasrita akitii bila kusema neno lolote lile. Kwa kua nilishachukua mawasiliano na yake na yeye kubeba yangu hakukua na shida yoyote, walipondoka nami niliingia ndani nilichoshukuru alikua alishanipa kadi ya mwaliko ya vip hivyo ningeingia ndani bila shida yoyote.



Nilipiga hatua na kufika mapokezi ambapo niliwakuta walinzi wale wale na safari hii walikuepo walinzi wanne,niliowanesha kadi waliikagua walipojiridhisha nilielekezwa mahali ambako vip walitakiwa kukaa

Nilifika na kuweka kamera zangu sawa kwa ni lengo langu halikua kukaa bali kupiga picha za caty abdul ambazo zingeniingizia pesa nyingi sana endapo ningekamilisha kuzipiga na kumpelekea Cuthbert mpangala mhariri wa magazeti pia mtu wa madili ya hatari ambaye aiweza kuijua kompyuta na editing vilivyo.

Baada ya tuki kuanza nilihakikisha nakua makini sana na umpiga picha caty abdul hususan alikua amelewa hivyo niliona ni fursa kwangu kumpiga picha za matuki ya ajabu ajabu aliykua akifanya ikiwem kunesha maungio yake hadharani na kukatika viuno hovyo.



Niliona hilo halitoshi niliamua kuchukua na mkanda wa video baada ya kuona tukio linaelekea kumalizika sikutaka kusubiri hadi tukio limalizike nilitoa memori kadi iliyokua kwenye kamera na kuihamishia kwenye simu yangu na kisha kuingia whatsapp ambapo nilimkuta Cuthbert akiwa hewani aani online

“oya mambo vipi”. Nilituma ujumbe ambap haikupita muda nilina maneno typing…. Ambapo nilikaa kusubiri ni nini Cuthbert anaandika

“oya kaka kawa umefanikisha?”. Alihoji Cuthbert

“aaaaah si unajua mambo yangu, nishamaliza na hivi sasa ndo natka kwenye party”.

“ok tuma basi”. Aliongea Cuthbert ambapo niliingia gallery na kumtumia picha nyingi sana pamoja na videos zote za tukio”.

“sasa dogo hii ni pesa ningi sana ngoja nianze kazi mapema”.

Aliongea Cuthbert na kisha baada ya muda meseji iliingia kwenye simu yangu iliyo andikwa tigo pesa imethibitishwa umepokea kiasi cha shilingi laki mbili

Sikutaka kufuatilia kwani nilijua lazima atakua Cuthbert amenilipa kutokana na kazi niliyoifanya. Nikiwa natoka nje niliona boda boda na nilimwita dereva ambaye akuremba mwandiko alikuja nipeleke tazara ilikua ni safari iliyogharimu takribani dakika ishirini kwani hakukua na foleni yoyote tulifika na nilimlipa dereva na safari ya kwenda geto iliwadia

Niliwasili majira ya saa saba usiku nilifika na kuoga kissha kuichukua simu yangu ambapo nilikutana na jumbe kadhaa ikiwem ya tigo pesa kwa mara nyingine jina la Cuthbert lilikuja ikionesha amenitumia kiasi cha shilingi laki mbili na nusu.

Swali likaja je ni nani aliyenitumia laki mbili ya awali kwani akauti yangu ya tigo pesa ilinesha nina kiasi cha shilingi laki nne.



Nikiwa naendelea kupitia meseji niliona ujumbe uliotoka kwenye namba ngeni.

“kesho tukutane royal hotel saa saba mchana, ni mimi nasrita”.

Nilipousoma ujumbe hu nilishusha pumzi zangu kwa nguvu kisha nikaurudia na kuna hakuna kilichobadilika.

Je nini kilifuata.
Hapa sasa tutaenda sawa.

Muwe mnaweka simulizi hadi ziishe kwasababu mnazianzisha wenyewe,siyo mpaka muombwe
 
Sura ya nne

ILIPOISHIA; Nikiwa naendelea kupitia meseji niliona ujumbe uliotoka kwenye namba ngeni.

“kesho tukutane royal hotel saa saba mchana, ni mimi nasrita”.

Nilipousoma ujumbe hu nilishusha pumzi zangu kwa nguvu kisha nikaurudia na kuna hakuna kilichobadilika.



SASA ENDELEA; niliweka simu chaji na kisha kuanza kufikiria nasirita ni mtu wa aiina gani hadi aweze kunitumia kiasi kikubwa cha pesa kwaajili ya miadi tu.

Tama ya pesa ilinijia na nilikua na shauku ya kuonana na nasrita siku ya kesho nanilipanga kuto hofia kitu chochote kile, niliendelea kuwaza hayo hadi usingizi uliponipitia.

Nilikuja kuamka majira ya saa tatu na nusu asubuhi, kwakua nilichelewa kulala hilo halikunipa shida sana, kichwa kiliniuma sana lakini nilijua ni kwa sababu ya njaa pia makelele ya jana usiku kwenye party, nilichukua maji na kwenda bafuni kuoga ili niweze kupunguza uchovu kisha nilipomalia nilitoka na kufunga mlango wa geto vizuri na kisha kutoka kwa nia ya kwenda kupata kifungua kinywa kwa mama ntilie.

Nilizipiga hatua zangu taratibu na kabla siafika mbali nilijikagua mfukoni na kugundua nilisahau simu yangu pia sikubeba hata mshilingi mia , kwani pesa zote nilizisahau kwenye suruali niliyoivaa jana usiku, niliamua kurudi geto na kubeba simu na pesa kisha kuanza safari ya kurudi

Nilipowasha simu nulikutana na jumbe kadhaa zikiwemo za mtandao ninaotumia, na zingine tka kwa Cuthbert , na mwingine ulitoka kwa namba ngeni nilianza kuufungua ujumbe wa Cuthbert ambapo ilionesha alinipigia akanikosa hewani hivyo sikua na budi kumpigia ambapo simu yake iliita kwa sekunde chache na kupokelewa.

“haloo”. Sauti ya Cuthbert ilisikika

“niambie kaka, niliona umenitafuta”. Niliongea

“ndio dogo, si nikamcheki Yule caty abdul na kumwambia alete milioni kumi kabla sijatuma picha kwenye gazeti la UDAKU TZ”. Aliongea Cuthbert na kunifanya nicheke

“ehee halafu ikaweje”. Nilihoji

“amesema tukutane pale royal hotel, majira ya saa saba anikabidhi mzigo na asije na mlinzi yoyote, la sivyo nazituma moja kwa moja kwenye gazeti na kwenye mitandao ya kijamii”.

Moyo wangu ulipasuka paa! Kwani nilikua na miadi na nasrita kwenye hoteli hio majira ya saa saba sasa inakuaje na caty aseme wakutane na Cuthbert majira ya saa saba kwenye hoteli hio sikupata jibu nanilijikuta napatwa na mawazo ghafla, hadi nilijikuta nimepitiliza mahali nilipotakiwa kwenda kula, hio haikua shida kwani migahawa ilikua mingi niliingia mgahawa uliokua jieani na eneo nililokuepo na kusha kuagiza supu na chapatti baada ya kuletewa nilikula na nkisha kuagiza maji makubwa ambayo niliondoka nayo baada ya kumlipa mama ntilie stahiki yake .

Nilirudi geto na kufua nguo zangu baadhi zilizokua chafu pamoja na kufanya usafi wa chumba change ambacho ukikiangalia unaweza sema ni mtu ninaefanyia kwenye kampuni Fulani ambayo inanilipa kkila mwisho wa mwezi na marupurupu kibao, licha ya kua kazi yangu ni kupiga picha tu, niliweza kua na mahitaji ya msingi inkiwemo tv laptop sofa pamoja na kitanda kikubwa kabisa chenye kutosha kwichi kwichi licha ya hivyo vyote friji na jiko la gesi vilikuepo lakini suala la kupika kwangu lilikua ni gumu sana naweza nikasema ni uvivu na muda mwingine kazi ndizo hunitinga hivyo naona bora nile mitaani na kupika ninapopata nafasi.



Saa zilizidi kusonga na hatimaye ilifika saa sita ambapo simu yangu ilianza kuita nilipoangalia namba ilikua ni Cuthbert sikusita niliipokea.

“dogo hebu njoo hapa royal hotel uko wapi kwani?” alihoji Cuthbert ambapo nilimjibu kuwa nipo tazara

“ok chukua boda boda nakuja kulipa huku, njooo unipe kampani tupige hii pesa chalii wangu”. Aliongea Cuthbert ambapo nilijiandaa na kumpungia mkono dereva bodaboda aliyekua akikatiza maeneo yale nae alikuja na nilimuelekeza mahali ninapoenda, baada ya makubaliano safari ilianza ambayo iligharimu takribani nusu saa nzima baada ya kufika jirani na maeneo ya royal hotel nilimuambia dereva anishushe na nikamlipa kisha akaenda zake.

Nilichukua simu yangu kwa lengo la kutafuta namba za Cuthbert ili nimpigie lakini kabla sijafanya hivyo simu yangu iliita ambapo niliipokea

“haloo nasrita naongea”.

“oooh niambie nasrita, nipo kwenye pikipiki ndio nakuja hapo royal wewe je uko wapi?” nilihoji

“ndo naingia hapa hotelini”. Alijibu nasrita na baada ya muda niliona gari ya kijivu aina ya Subaru imprenza ikipaki nyuma yangu



Je nini kilifuata?
 
Sura ya tano

ILIPOISHIA; “haloo nasrita naongea”.

“oooh niambie nasrita, nipo kwenye pikipiki ndio nakuja hapo royal wewe je uko wapi?” nilihoji

“ndo naingia hapa hotelini”. Alijibu nasrita na baada ya muda niliona gari ya kijivu aina ya Subaru imprenza ikipaki nyuma yangu



SASA ENDELEA;

Tayari nilihisi naenda kukamatwa kwa uongo kwani nilihisi kabisa ni nasrita ndiye alikua akipaki gari nyuma yangu nikiendelea kufikiria simu yangu iliweza kuita na nilipoangalia ilikua ni namba ya Cuthbert sikusita kuipokea.

“oya naona huyu caty ndo anafika uko wapi”. Alihoji Cuthbert ambapo nilimwambia mahali nilipo na moyo wangu ukiwa bado na kitete kwani sikujua aliyekua kwenye ile Toyota athlete ni nani?

“mwamba nakuja, uko maeneo gani”. Nilihoji huku nikiishusha kofia yangu hadi usoni ili nisiweze kutambulika

“njoo kwenye huu mwavuli wa cocacola jirani na swimming pool”. Alitoa maelekezo Cuthbert ambapo nilianza safari ya kuelekea mahali nilipoelekezwa.



Bado sikujua nimekuja kwaajili ya Cuthbert au nasrita, nikiwa naendelea kuwaza hayo niligeuka nyuma na kuona anaeshuka kwenye gari lile alikua ni caty abdul akiwa amependeza sana, acha nywele za brazillian alizokua amesuka, aliwaka balaa kutokana na mavazi aliyovaa ilukua ni suruali aina ya crazy jeans ambayo ilichanwa na kuyaacha wazi baadhi ya maeneo na mwili wa caty hakika alipendeza sana.

Nilijikuta nikizubaa mpaka Cuthbert alipoona nachelewa kufika maeneo alipo na aliamua kunipigia simu tena.

“dogo tutapishana na pesa uko wapi wewe, huyu demu ndo anaingia hapa”. Aliongea Cuthbert huku akionesha ameshaanza kukasirika na aliacha kuongea na kukata simu pindi aliponiona nikisogea mahali alipo.

“sasa sikia, sisi tunakaa mbali kidoogo na hapa na nitamwambia aweke pesa kwenye ile ndoo ya taka taka iliyoko jirani na ile meza na kisha, picha zake atazikuta juu ya meza, nami nitatoka haraka na kwenda kugeuza gari wakati wewe ukichukua pesa na utanikuta nje nakusubiri”.

Aliongea Cuthbert kisha alinyanyua simu na kumpigia caty ambaye tulimuona vilivyo ambaye baada ya kupewa maelekezo tulimuona akishangaa shangaa na kangaza macho huku na kule kama ni mtu anaejaribu kutafuta kitu Fulani, kisha tulimuona akisogea maeneo ilipokua ile meza tuliyokaa ambayo juu ilikua na bahasha yenye picha za utupu za caty.

aty alisogea taratibu na tulimuona akiweka bahasha ya khaki, kwenye ndoo ya takataka na kisha kubeba bahasha iliyokua juu ya ile meza wakati huo Cuthbert alikua ameshaenda kwenye maegesho ya magari na na kutoa gari lake aina ya Toyota starlet na kukaa nje kunisubiri.

Baada ya kuona caty ameondoka nilisogea ilipo ndoo ya taka taka (dust bin) na kufungua kisha kuibeba ile bahasha, iliyotuna vilivyo. Nilitaka kujihakikishia kama ni pesa au tumepigwa

Nilitoboa kidogo na kuchungulia ambapo niliona noti nyekundu za shilingi elf kumi na za shilingi elf tano, moyo wangu ulipasuka paa! Kwani sikuwahi kamata kiasi kikubwa cha pesa kama kile.

Nilianza kuzipiga hatua kuelekea nje ya geti ambapo kwa mbali nilimuona Cuthbert akinisubiri ndani ya gari.

Nikiwa natoka nje nilimuona dada mmoja ambaye alionekana kunitazama sana kana kwamba ananifananisha, alikua ni nasrita ambaye nilikua na miadi nae siku ile, sikutaka kulizingatia hususana nilimwambia ndiyo natoka tazara wakati huo.



Nilishusha kofia yangu vizuri na kumpita lakini bado aliendelea kunitazama kwa makini sana na uvumilivu ulimshinda hadi alipoamua kuniita.

“eti kaka samahani, wewe sio rahim?” alihoji swali ambalo hakua na uhakika na jibu lake

“hapana dada umenifananisha labda”. Niliongea huku nikikaza suso wangu na kuondoka mahali pale ambapo niliingia kwenye gari la Cuthbert na kupotelea



Cuthbet alinipongeza sana name sikusita kumpongeza pia hivyo tulipongezana kisha nilichana ile bahasha ambapo tulikutana na pesa nyingi zilizofungwa na rubber band maalum tulifurahi sana kisha simu yangu iliita na nilipoangalia alikua ni nasrita akipiga.



Nilimwambia Cuthbert kwamba nina miadi na demu Fulani pale pale royal hotel ambaye hakua na neno zaidi alicheka na kusogeza gari pembeni ya barabara kisha tulihesabu pesa kisha tukagawana shilingi milioni nne kila mmoja na milioni mbili tulipanga kuziweka akiba endappo itatkea changamoto.

Baada ya hapo nilishuka na kuchukua boda boda iliyonipeleka hadi royal hotel

Je nini kilifuata
 
Sura ya sita



ILIPOISHIA; tulihesabu pesa kisha tukagawana shilingi milioni nne kila mmoja na milioni mbili tulipanga kuziweka akiba endappo itatkea changamoto.

Baada ya hapo nilishuka na kuchukua boda boda iliyonipeleka hadi royal hotel



SASA ENDELEA Baada ya kumlipa dereva bodaboda stahiki yake, nilishuka na kuchukua simu yangu ambapo niliitafuta namba ya nasrita ambaye hakuchelewesha hata sekunde moja kupokea simu yangu, awali nilihisi ni mtandao wangu ukinitaarifu kwamba sikua na salio, lahasha! Haikua hivyo bali masikio yangu yalipokelewa na sauti nyororo ya nasrita ambaye alikua ameshapaniki kwani alituma meseji kadhaa sikumjibu na aliona amekaa muda mrefu sana bila ya mimi kutokea mahali tulipopanga miadi.

“uko wapi rahim jamani mbona hivyo?” aliongea nasrita huku akionesha dhahiri ni jinsi gani alivyochoka kusubiri

“nipo kwenye geti la kuingilia hapa” nilimjibu

“ok nyoosha moja kwa moja, au ngoja nije hapo hapo”. Aliongea nasrita ambaye hakutoa jibu sahihi hivyo nilikua kama mwanajeshi anaetakiwa kuskiza amri ya mwisho ya mkuu wake



Baada ya muda nilimuona nasrita akisogea upande nilipo, sikungoja mpaka anifikie niliamua kumsogelea ili kumrahisishia kazi.

“mambo rahim” alianza kunisabahi nasrita

“poa tu vipi nas,pole kwa kukuchelewesha”. Niliongea huku nikiangalia saa yangu ambayo ilionesha ilikua ni saa tisa kasoro kisha nasrita aliniongoza hadi kulipokua na meza iliyosheheni vinywaji na kisha tulikaa

“vipi umebeba camera?” alihoji swali nasrita ambapo name sikusita kujibu.

“aisee imekua kama bahati lilibaki kidogo niiache”. Niliongea huku akili yangu ikianza kuwaza pesa yu na si kitu kingine. Masaa yalizidi kwenda bila nasrita kuongea jambo lililofanya aombe miadi na mimi

Ilifika muda wa machweo ya jua ambapo nasrita alihitaji kupiga picha za location ndani ya nje na ndani ya hoteli ile.

“nimeshalipia chumba, tutapiga picha nje na kisha tutaenda ndani kupiga picha”. Aliongea nasrita ambapo nilifungua begi na kuanza kuweka sawa kamera.

Tulianza zoezi la kupiga picha kwenye maeneo ya nje ya hoteli hio na kisha kuingia ndani ambapo tulielekea moja kwa moja mapokezi na kisha nasrita alipewa funguo ya chumba na ilipofika wakati wa mimi kuandika jina langu kwenye kitabu cha mapokezi sikuandika, tulipitiliza hadi chumnani ambapo hali ya uzuri wa chumba kile ilitosha kutambua kwamba ilikua ni VIP.



Nasrita alianza kuchojoa nguo zake mbele yangu, hii ilinifanya nipoteze umakini kabisa kwani maungio maungio yake yalionekana dhahiri, weupe wake uliozidi kufanya umbile lake lizidi kuwa na mvuto zaidi nao ulizidi kunimaliza mpaka nilitamani niweke kamera pembeni ili tufanye kwichi kwichi lakini nilijipa moyo wa hela, moyo mgumu, moyo katili kuliko yote duniani lakini hio haikusaidia kitu

Sikujua lengo halisi la nasrita awali nilijua angevua nguo zake baadhi ili aweze kubadilisha zingine niweke kumpiga picha lakini laa! Haikua hivyo bali alichojoa zote na kubaki na bikini na sidiria tu, na kisha alinitazama kwa mahaba.

“huyu kashapigwa”. Niliongea huku nikimchukua picha kadhaa za wizi wizi ili kama akitaka kuniletea noma basi name nampiga pesa ya kutosha tu na atakua hana nguvu kabisa.

Baada ya kugundua nini natakiwa kufanya , niliweka kamera zangu vizuri kwenye begi langu lililokua na shilingi milioni nne za taslimu

“njoo ujilie vyako, nakupenda sana rahim”.

Moyo wangu ulipasuka paa! Kama risasi iliyolengwa kunipiga na ikanikosa, lakni pamoja na hayo nilitoa tabasamu lililomfanya nasrita atabasamu pia ambapo aliinuka na kunisogelea kisha kunikumbatia, na kunipa busu zito lililoamsha hisia zangu kisha mikono yangu ilianza kutembelea kila kona ya mwili wake hadi nilipofika wenye tompoo yake na kuingiza kidole change kisha kukisugua kidogo ambapo nasrita alitoa mguno

‘aaaaaah, issssssss, upppssssss’

Tukiwa tunaendelea na zoezi hilo simu ya nasrita iliita na nasrita hakuisikia kutokana na maraha tuliyokua tukipeana,

Nasrita alianza kunivua nguo moja moja akianza na t shirt yangu kisha suruali.



Je nini kilifuata
 
Sura ya saba

ILIPOISHIA: ‘aaaaaah, issssssss, upppssssss’

Tukiwa tunaendelea na zoezi hilo simu ya nasrita iliita na nasrita hakuisikia kutokana na maraha tuliyokua tukipeana,

Nasrita alianza kunivua nguo moja moja akianza na t shirt yangu kisha suruali.



SASA ENDELEA; Katika vitu sikua na uzoefu navyo ni amoja na suala la mapenzi, kwani hata nasrita alionekana kunishangaa sana baada ya kunivua nguo, nilibaki nikimtazama tu huku jogoo wangu akiwa amefura kwa hasira

Nasrita alinisogelea karibu kabisa ambapo pumzi zangu zilianza kwenda mbio sana moyo ulidunda kwa kasi, kisha alinishika kiuno changu na kunifanya niruke kwa nguvu kama mtu aliyeshituliwa au aliyenusurika kukanyaga nyoka. Si kwamba nilipenda bali ni hali iliyonikuta baada ya kushikwa na mikono laini ya nasrita, nilijihisi vitu vikinitembea mwilini mwangu na kunifaya nianze kucheka peke yangu hakika nilifurahi sana.

Bado nas alizidi kuzichezea sehemu mbali mbali za mwili wangu , mikono yake laini iiliweza kuuukamata mkuyati wangu kisha akainama, na kwa ustadi mkubwa alianza kunyonya mkuyati wangu uliosimama vilivyo name sikusita kutoa miguno ya kugugumia utamu ninaoupata.

Asssss taratibu….apo pao… aaaaah, kumbe tamu eeee, nas we mtamu balaa

Niliongea maneno ambayo sijui yalitokea wapi baada ya kuona imetosha, nas aliniachia na wazungu walishanitoka tayari na tayari mkuyati ulishasimama kwa raundi ya pili.



Nilimsogeza karibu nas, na kwakua sikua na ufundi wowote nilitumia uzoefu nilioupata toka kwenye mikanda ya ngono.

Nilianza kunyonya kifua chake taratibu na kwa ustadi mkubwa na kumfanya achanganyikiwe a kuweka mikono yake kichwani kuku akijinyonga nyonga na kurusha miguu huko na kule, nilifurahi sana na kuhamishia mashambulizi kwenye sehemu za chini ambapo niliupeleka ulimi wangu an kuanza kunyonya kitovu cha nasrita kwa ustadi wa hali ya juu huku mkono mwingine ukiendelea kutalii kwenye kitumbua cha nasrita.



Baada ya kuona nas amechanganyikiwa kwa kiasi kikubwa niliukamata ukuyati wangu na kuuchomeka huku ndimi zetu zikiwa zimeungana.

Nas hakutaka kuachia mdomo wangu, aliendelea kukazana kuafaidi mate yangu name niliyafaidi yake huku nikiendelea kuongeza kasi ya mashambulizi

“Bebiiii kumbe we mtamu hivyo?” aliongea nasrita hii ikiwa ni baada ya kumaliza kwichi kwichi ya kwanza tukiwa tumelala nae ameweka kichwa chake kwenye kifua changu.

Tukiwa katika pozi hilo nasrita alichukua simu yake na nilimshangaa kwani alitoa macho sana aliposoma moja ya ujumbe.

“rahim hebu soma anachokisema huyu mpuuzi”. Aliongea nasrita huku akinikabidhi simu ambapo niliipokea na kusoma ujumbe uliokua umetoka kwa alaphat.

“nasrita mbona hupokei simu yangu? Na hapo royal unafanya nini maana ni muda upo hapo nakuona , sasa nakuja hapo hapo”.



Moyo wangu ulipasuka paaa!! Hii ni mara baada ya kusoma ujumbe huo na kugundua nilifanya makosa sana kukubali kuingia chumbani tena kwenye hoteli ya kifahari kama ile ambayo hata mtu angetumia google map ilikua ikionekana pamoja na anwani yake.

Nikiwa katika tafrani hio, simu ya nasrita iliita ambapo nilimpa aipokee huku nikiinuka na kuvaa nguo zangu na kubeba begi langu lililokua na kamera na pesa, kwani kengele ya hatari ilishalia katika kichwa changu.

“pokea sasa”. Nilimwambia

“ah wapi, mimi sipokei”. Aliongea nasrita

Tukiendelea kubishana na nasrita tulisikia mlango wa chumba chetu ukigongwa, hakika kwa mara nyingine nilipata wasiwasi na kama ningekua na shinikizo la damu basi ningeweza hata kuanguka mle ndani.

Si mimi tu bali hata nasrita alikua ameanza kupata presha ya aina yake kwani nilimuona akitetemeka na sijui ujasiri kwa kujibu aliupata wapi

“nani”. Aliongea nasrita kwa umakini ambapo niliamua kuingia bafuni kujificha huku nikiendelea kusikiliza ni nini kinaendelea.

“ni mhudumu wa hoteli, kuna mgeni wako mapokezi je nimruhusu ?” alihoji mhudumu

“hapana, mwambie sina miadi na mtu yoyote hapa na kwanza simfahamu”. Alijibu nasrita na kufanya presha yangu ipungue lakini bado nilikua na wasiwasi je ni vipi kama alaphat angekuja kwa mabavu ingekuaje?



Baada ya alaphat kurudishiwa jibu na mhudumu wa hoteli aligadhibika sana na kuamua kwenda kwa meneja wa hoteli hio akiomba kibali cha kuingia kwenye chumba hicho kwa nguvu.

Baada ya kufika alikariishwa vizuri,na meneja na kisha kuanza mazungumzo.

“samahani , mke wangu yuko hapa muda mrefu nimeona kupitia gps na hataki kutoka”. Aliongea alaphat kwa ustaarabu

“kwahio nikusaidiaje?”. Alihoji meneja wa hoteli ya royal.

“naomba kibali cha kuvunja mlango gharama za matengenezo nitalipa”. Aliongea alaphat na meneja hakuweza kupinga.

Dakika chache mbele walikua mbele ya mlango wakijaribu kuita lakini hakukua na jibu lolote.



Je nini kilifuata.
 
Sura ya nane

ILIPOISHIA; “kwahio nikusaidiaje?”. Alihoji meneja wa hoteli ya royal.

“naomba kibali cha kuvunja mlango gharama za matengenezo nitalipa”. Aliongea alaphat na meneja hakuweza kupinga.

Dakika chache mbele walikua mbele ya mlango wakijaribu kuita lakini hakukua na jibu lolote.

SASA ENDELEA; walijaribu kuita mara nyingi wawezavyo, ikiwemo kugonga kwa nguvu lakii kulikua kimya kabisa. Alaphat aliwasha simu yake na kumpigia nasrita lakini simu ilionekana ikiita ndani ya chumba kile walichokua wakigonga, ndipo meneja wa hoteli ile alipotoa ruhusa (warranty) ya kuweza kuvunja mlango ambapo alaphat akisaidiana na vijana wachache aliokuja nao walifanikiwa kuvunja mlango ule ambapo walikutana na chumba kitupu, hata walipojaribu kukagua kila maeneo ya chumba kile hakukua na dalili yoyote ya kuwepo mtu yeyote zaidi walikuta simu ya nasrita iliyokua kitandani ambayo iliambatanishwa na ujumbe mzito ulioandikwa kwenye karatashi ambayo iliambatanishwa na simu.

“alaphat acha kunifuatilia nishakuambia sikutaki, kwanini nakua hivyo”. Yalikua ni maneno yaliyoandikwa na nasrita kabla ya kutoka ndani ya hoteli hio wakitumia milango ya nyuma.

“damn! This bitch will kill me indeed”. (kudadadeki, huyu mwanamke ataniua kwakweli)

Aliongea alaphat kisha alinyanyua simu na kumpigia baba yake nasrita, mr Mohamed bakantan, ambapo simu iliita na hatimaye kupokelewa.

“naam kijana wangu”. Aliongea mzee bakantan

“ndio baba, habari ya hapo nyumbani”. Aliongea alaphat huu akiguna kama ishara ya kuweka koo sawa tayari kwa kusema jambo lakini alishangaa kuona mzee bakantan ana furaha ya aina yake, na ilionesha wazi alikua haelewi jambo linaloendelea.

Baada ya kukata simu alaphat alilipa kiasi ka pesa kwaajili ya matengenezo ya mlango walioharibu na kuondoka, akiwa na mawazo tele muda wote, aliinamisha kichwa chini wakiwa ndani ya gari ambalo liliendeshwa na moja ya vijana wa baba yake mzee chande shawali, ambaye alikua akimiliki pesa nyingi sana kutokana na biashara za mafuta alizokua akiendesha.

Aliweza kumiliki sheli nyingi ambazo baadi alizita chande oil investments, na nyingine shawali holding limited.

Alaphat alitokea kumpenda nasrita binti wa Mohamed bakantan ambaye anamiliki pesa nyingi na makampuni ya usafirishaji wa mizigo aliyoyaita Mohamed cargo export limited.

Lakini licha ya kuanzisha kampuni hizo, ambazo alizitumia kama mwavuli wa kuficha biashara yake kuu ya kuuza mabinti nje ya nchi kama watumwa wa ngono, hakika aliweza kupata pesa nyingi sana kwa biashara hio na hata serikali haikujaribu kumgusa kabisa kwani hakua na shida yoyote alilipa kodi ipasavyo.



Matumaini ya alaphat yalianza kurejea baada ya kuona gari lililokua mbele yao aina ya Toyota vanguard ambalo aligundua kabisa ni la Mohamed bakantan

“ hebu lifuatilie gari lile popote linakoenda, hakikisha halituachi”. Aliongea alaphat hukua akimuachia dereva kazi hio ambaye alikua makini sana.



Nasrita alinipongeza sana ka kazi niliyoifanya kuhakikisha tunampoteza maboya alaphat, na safari yetu iliishia kwa wakala wa fahari huduma ambapo niliweka pesa nilizokua nazo katika begi kisha kurudi kwenye gari na kisha nasrita aliondoa gari kwa nguvu

Alishtuka sana baada ya kuona gari la alaphat likiwa nyuma yao bada ya kuangalia kupitia vioo vya pembeni.

“mungu wangu! Huyu mbwa ametufuata mapaka huku”. Aliongea nasrita kwa mstuko wakati huo tulikua tukikaribia kwenye mataa ya tazara ambayo yalionesha taa ya kijani kuruhusu magari ya njia yetu kupita

Baada ya kufanikiva kupita kwenye mataa taa nyekundu iliwaka kuashiria magari yasimame na gari la alaphat lilikua miongoni mwa magari yaliotakiwa kusimama.

“yeeees”. Aliongea nasrita kwa furaha

nililazimika kufika hadi buguruni ambako ndiyo nyumbani kwa kina nasrita kisha nilishuka ambapo nasrita alinipa kiasi cha shilingi elf sabini, kama nauli baada ya kupokea nae aliwasha gari na kupotelea.

Nilichukua pikipiki na kumuamuru dereva aendeshe kama tunapaa kwani nilikua ninahofia usalama wangu, na kwa nyuma tuliona gari jeusi ikija upande wetu kwa kasi kana kwamba linahitaji kutugonga.



Je nini kilifuata.
 
Sura ya tisa

ILIPOISHIA; Nilichukua pikipiki na kumuamuru dereva aendeshe kama tunapaa kwani nilikua ninahofia usalama wangu, na kwa nyuma tuliona gari jeusi ikija upande wetu kwa kasi kana kwamba linahitaji kutugonga.



SASA ENDELEA; “ kata kushoto haraka”. Nilimuamuru dereva Yule ambaye tayari alishaanza kuchanganyikiwa ambapo baada ya kufuata maagizo yangu tulifanikiwa kumkimbia alaphat, na hatimaye dereva alifanikiwa kunifikisha hadi maeneo jirani na nyumbani

Kama kawaida sikutaka anifikishe hadi geto kutokana na maisha yangu kuingia dosari na kunifanya niwe na wasiwasi muda wote, nikiwa naendelea kutembea nilianza kukumbuka mambo yote tuliyoyafanya hotelini na nasrita na kujikuta nikicheka mwenyewe.

“dah ila mtoto ni mtamu huyu! Simuachi hata iweje”. Nilijikuta nikiongea mwenyewe hadi nilipostuka kuwa nimekaribia maeneo ya nyumbani na kuona gari jeusi limepaki nje ya yumba niliyopanga.

Sikuweza kutambua ni nani lakini tayari kengele ya hatari ilishaanza kulia kwenye kichwa change kuwa huenda ni alaphat amefanikiwa kupajua nyumbani ninapoishi, na sikuweza kutambua amepajuaje na suala hilo halikua la muhimu kwa wakati huo.

Nilichotakiwa kuhofia ni usalama wangu na mali zangu, potelea mbali mali ambazo ningeweza kuzinunua je vipi endapo wakikatisha uhai wangu, maana kwa jinsi nilivyomsoma alaphat nii mtu mwenye wivu mkali sana japo nasrita alifanya hivyo kumkomoa tu ili apate tabu na ajute kulazimisha penzi kwani hakua akihitaji kuwa na mahusiano na alaphat.



Niliamua kumpigia simu Cuthbert, ambapo simu yake iliita na kupokelewa,

“haloo”. Ilisikika sauti ya upande wa pili ambayo ni ya mke wa Cuthbert

“mambo vipi shemela braza cuth yupo hapo”. Niliongea kwa uchangamfu kwani nilijua lazima atakua ni mke wa Cuthbert ambaye alinijibu bila kujigelesha

“ndio ila yupo bafuni kaenda kupata maji mara moja”. Alijibu shemeji ambapo sikuendelea kuongea zaidi ya kumuachia maagizo ya kwamba akitoka bafuni anipigie na kisha nikakata simu mara moja.

Nilivuta pumzi ndefu na kushusha kisha maramoja niligeuza njia na kwends kutafuta gesti za uswahilini jambo ambalo nililiona ni la muhimu kuliko kitu kingine kwa wakati huo nilianza kutembea hadi nilipoona bango lililoanzikwa mtaa kwa mtaa lodge na nilizipiga hatua kwingia ndani wakati huo saa yangu ya mkononi ilionesha ilishatimia saa tatu za usiku.

“woow nasrita kumbe ulikuepo ndani! Alaphat alipiga simu na anakusalimia sana”. Aliongea mohamad bakantan mzee mwenye asili ya Indonesia akimwambia binti yake nasrita.

“ndio baba nilikuepo ndani nilikua najisikia uchovu sana ndiomaana nikalala mpaka muda huu”. Alijibu nasrita huku akijinyoosha viungo vyake kuonesha dhahiri ametoka usingizini na alikua na uchovu sana.

“ujue binti yangu alapphat anakupenda sana, naommba ukubali akuoe”. Akiongea mzee bakantan huku akimpigia debe alaphat, jamboo ambalo halikumfurahisha kabisa nasrita ambaye aliondoka kwa gadhabu na kwenda chumbani.



Majira ya saa nne usiku alikuja alaphat nyumbani kwa bakantan an kuomba kuzungumza na nasrita ambaye alijua kila kitu kilichokua kikiendelea, na alitambua kwamba alaphat alikuja kumletea simu yake.

“naomba simu yangu”. Aliongea nasrita baada ya kuona anapewa simu nyingine tofauti na simu aliyokua akitumia awali

“tumia hii kwa muda, nataka nimkamate huyu boya anayekutia kiburi”. Aliongea alaphat kwa hasira sana na alionesha wazi ni insi gani anampenda nasrita na hataki kuona akiibiwa.

“wewe ndiye boya, utamlazimishaje mwanamke umuoe wakati hakutaki”. Aliongea nasrita kwa hasira sana

“nasrita, najua hunipendi hata kidogo basi jaribu hata kuniheshimu maana mimi ndiye mumeo mtarajiwa na wazazi wanalitambua hilo hata wewe unajua tukio linalofuata ni kukuvisha pete ya uchumba mwezi ujao”.

Aliongea alaphat kwa umakini wa hali ya juu na kumfanya nasrita atulize ghadhabu na awe mpole kabisa.

“Sawa nimekuelewa, Ila naomba simu yangu”.

Baada ya kukabidhiwa simu yake nasrita aliagana na alaphat, na kisha kurudi ndani, ambao aliwasha simu yake na ninipigia simu ambapo niliipokea na kisha kuanza kuongea

“naomba usiitumie hii namba tena, nitakupa namba nyingine siku ya kesho na wewe ikiwezekana badilisha namba naona alaphat ameshapajua kwangu, nahisi amesha dukua namba yangu”.

Niliongea maneno hayo na kisha kumwambia nasrita akate simu na alipokata niliingia kwenye uwanja wa meseji na kukutana na ujumbe ambao ulinistua sana

“NAJUA ULIPO NA NINAWEZA KUKUKAMATA MUDA WOWOTE NA KUKUPELEKA AHERA MBWA WEWE, ACHANA NA WAKE ZA WATU”.

Nilijua bila shaka ni vitisho toka kwa alaphat japo yalikua ni maneno ya kutisha lakini niliyapuuzia na nilipanga kesho niende kwa wataalamu wa kompyuta na masuala ya mitandao waweze kukata mawasiliano na wadukuaji waliodukua namba yangu

Nilivuta shuka na kujifunika gubigubi hadi kulipokucha na hatimaye nilikabidi chumba na kurudi nyumbani ambako nilishukuru kukuta geto likiwa salama kabisa, kama nilivoliacha.



Je nini kilifuata.
 
Sura ya kumi

ILIPOISHIA; nilipanga kesho niende kwa wataalamu wa kompyuta na masuala ya mitandao waweze kukata mawasiliano na wadukuaji waliodukua namba yangu

Nilivuta shuka na kujifunika gubigubi hadi kulipokucha na hatimaye nilikabidi chumba na kurudi nyumbani ambako nilishukuru kukuta geto likiwa salama kabisa, kama nilivoliacha.



SASA ENDELEA; nilimpigia simu Cuthbert na kumueleza juu ya yote yaliyonikuta siku ya jana ambaye alinisihi niwe makini sana.

“sitaki kukupoteza mdogo angu nitashindwa kupiga pesa bila wewe”. Ilikua ni kauli ya mwisho ya Cuthbert kabla ya kukata simu, ambapo nilikaa chini na kuyatafakari maneno ya Cuthbert na kuyaona ni ya muhimu sana katika mstakabadhi mzima wa maisha yangu. Kwakua nilikua na muda mwingi siku hio nilifanya usafi nyumbani na kisha kuwasha playstation (gemu) na kuanza kucheza yote hayo ni kwaajili ya kupunguza mawazo tu.



MWEZI MMOJA MBELE.

Baada ya kufaikiwa kupunguza mawasiliano kwa kiasi kikubwa na nasrita, niliendelea kuishi kwa amani bila kufuatiliwa na alaphat wala mtu yeyote huku nikiendelea na kazi zangu za kupiga picha na kuzidi kutengeneza pesa ambazo ziliniwezesha kuishi mjini, pia kufanya malenngo yangu mengine.

“sina nafasi sana siku hizi kwasababu ninabanwa sana, alaphat atanivika pete ya uchumba muda si mrefu,lakini nilishaanza kuhisi dalili huenda nikawa na ujauzito wako. Nakupenda sana”.

Nilishusha pumzi ndefu baada ya kuusoma ujumbe toka kwa nasrita, kwani uliingia muda mfupi baada ya mimi kutoka kuoga na niliamua kumjibu

“sasa tuio la kuvishwa pete litafanyika lini”. Nilihoji ambapo nasrita alinijibu.

“siku tatu zijazo ambayo itakua ni jumamosi”. Alijibu nasrita kwa ufupi ambapo katukuendelea kuchati tena zaidi alinisihi niwe makini, kwani endapo alaphat angetambua basi angeweza kunitoa uhai.

Baada ya kuzungumza na nasrita nilimpigia Cuthbert, na kumuomba nikahifadhi vitu vyangu nyumbani kwake kana kwamba nilikua nataraji kusafiri siku si nyingi na kurudi nyumbani kwetu mbeya kwa lengo la kuwasabahi ndugu zangu, Cuthbert hakupinga hilo kwakua alikua na nyumba kubwa tu aliniambia nipeleke ambapo nilifanya hivyo na kupeleka vitu vyangu ikiwemo tv deki sabufa, kitanda vikorokoro vingine ambapo ndani ya chumba mlbaki na godoro na nguo tu baada ya hapo nilimuaga Cuthbert na kisha kurudi zangu geto ambapo nililikuta kama nilivoliacha.

Moyo wangu ulianza kuniuma siku ya ijumaa ikiwa imebaki siku moja tu nisafiri kwenda mbeya, sikujua tatizo ni nini lakini nilijua huenda kuna jambo baya lipo mbele yangu au limetokea kunihusu, nilimua kuwapigia simu nyumbani kwamba ningekueenda siku ya kesho ambapo walifurahi sana kwani I muda mrefu sana tangu niondoke nyumbani.

Majira ya saa nane usiku nilisikia ngurumo ya gari ambayo iliishia mbele ya geto langu. Moyo ulidunda kwa kasi sana niliamka na kuvaa nguo zangu kisha kukaa kwa dahadhari kubwa mkononi nikiwa nimeshika rungu la kuchezea cricet ambalo nililiiba kwenye viwanja vya gymkanas.

Nilistukia mlango ukivunjwa na aliingia pande la mtu akiwa amevaa buti kubwa jeusi na koti refu lililofika miguuni. Alianza kuangaza huku na kule, kwani hakujua mahali nimejificha.

Sikutaka kuremba, nilimpiga na rungu gotini ambapo alipiga ukunga

“yalaaaah”.

Sikutaka kumuonea huruma nilimpiga teke la uso ambalo lilimfanya azibe uso wake kwa mikono akiugulia maumivu sikutaka kumpa nafasi, nilihakukisha anajuta kuja kunivamia nilimuongeza buti lingine na safari hiii nilipanga kukimbia baada ya kumtandika marugu kadhaa magotini na kwenye viungo nilihakikisha amelegea kabisa nilianza kuzipiga hatua kuelekea nje



“mamaaa”. Ni makelele niliyopiga baada ya kitu kizito kutua kwenye kichwa change upande wa kisogo na kufanya giza lianze kutanda machoni mwangu, na hatimaye nilipoteza fahamu.



Nilikuja kuzinduka majira ya asubuhi nikiwa peke yangu kwenye chumba kimoja chenye giza na dirisha dogo lililokua juu kabisa ya chumba hicho kilichokaa kama jela.

Baada ya muda mlango wa chumba kile ulifunguliwa, na aliingia alaphat akiwa na vijana wengine watatu

“hahahah, unajifanya kidume kuwapa mimba wake za watu eeeh”. Aliongea alaphat kwa kejeli lakini niliishia kumuangalia tu kwani njaa na maumivu viliniandama sana hata sikua na jeuri hata ya kujibu chochote, lakini majibu niliyomjibu kimoyomoyo lait kama angeyasikia basi angenimaliza mara moja.

“Mimi sitaki kukuua, zaidi nitaenda kukutupa baharini samaki ndio wakuue”. Aliongea alaphat kwa dharau ambapo nilimtemea mate usoni baada ya kumaliza maneno hayo.

Hapo nilishuhudia alaphat akikunja ndita.



Je nini kilifuata
 
Sura ya kumi na moja

ILIPOISHIA; “Mimi sitaki kukuua, zaidi nitaenda kukutupa baharini samaki ndio wakuue”. Aliongea alaphat kwa dharau ambapo nilimtemea mate usoni baada ya kumaliza maneno hayo.

Hapo nilishuhudia alaphat akikunja ndita.



SASA ENDELEA; “Sasa utakula jeuri yako”. Aliongea alaphat kwa ghadhabu huku akiyafuta mate niliyomtemea baada ya hapo ngumi nzito ilitua kwenye paji la uso wangu ikifuatiwa na kofi lililotua barabara kwenye shavu langu la kushoto na hakusita kuniongeza lingine kwenye shavu la kulia.

Nilikua nacheka tu muda wote niliokua nikipigwa kwani mwili ulishakufa gansi kwa kichapo nilichopewa kabla hivyo haikua rahisi mimi kusikia maumivu. Kitendo cha mimi kucheka wakati napigwa kilimpa hasira sana alaphat

“huyu kamtupeni kwene bahari ya hindi mtatumia boti ile ndogo”. Aliongea alaphat maneno ambayo niliyasikia kwa mbali kwani niliona macho yangu yakipoteza nuru.



Nilipomaliza kuyakumbuka hayo mwili wangu ulichoka kabisa sikua hata na nguvu ya kuchezesha mikono yangu na kuweza kupiga makasia, niliona dhahiri kifo alikua ni rafiki yangu wa karibu, sikujua nini hatma yangu na kiza kilikua kimetanda na kufunika jua lililokua likituangazia mchana kutwa, namaanisha ilikua ni usiku mbaya kwangu ambao nilikua sijui kama ningeweza kuiona kesho.

Ukungu ulianza kutanda machoni mwangu na tayari nilikua nimeshakunywa vikombe kadhaa vya maji ya chumvi na kufanya hali izidi kuwa mbaya sana kwa upande wangu, hatimaye niliweza kupoteza fahamu kabisa nisijue nini kinachoendelea.



Nilikuja kuzinduka nikiwa kwenye chumba chenye mwanga hafifu kilichoezekwa kwa nyasi, na kufanya kua na matundu machache yanayopitisha mwanga wa jua.

Nilipiga chafya tatu kabla ya kuanza kukohoa mfululizo, machozi yalinitoka na yaliambatana na maumivu ya macho na majeraha niliyokua nayo.

“ameamka jamani, ooh asante mungu”. Ilisikika sauti ya kike nje ya kichumba kile cha nyasi ambapo haukupita muda mlango ulifunguliwa na aliingia binti akiwa amevaa kinguo kilichoficha sehemu za tompoo yake tu.

Macho yangu yalitua kwenye embe bolibo zake zilizosimama na kuchongoka vema, hakika nilisisimka sana pamoja na hali yangu ya ugonjwa mkuyati wangu ulishaanza kusimama, na kwakua nilivuliwa nguo zangu zote hali hio ilimfanya dada Yule astuke sana na kukimbia kutoka nje huku akiwa ameziba mdomo

Ambapo haukupita muda alikuja na wenzie wawili na kufanya idadi ya watu wanne ikamilike ndani ya kijumba kile.

“uwiiii nyoka mkubwa huyo”.aliongea binti mmoja aliyekua miongoni mwa mabinti walioitwa na yule binti wa kwanza aliyejitambulisha kwa jina la roda.

Hawakujua kwamba tama ya kufanya mapenzi ilishawaka mwilini mwangu,na kadiri nilivoendelea kuwatazama ndivyo mkuyati wangu ulizidi kusimama barabara.



“ane na siza mkampe taarifa malkia kwamba kijana aliyeokotwa ameshazinduka”. Aliongea roda ambapo wa liondoka bila kusita wakituacha na roda mle ndani. Nilishusha pumzi ndefu na kisha kumtazama roda aliyekua bize akiuangalia mkuyati wangu, sikutaka kuona aibu kwani ingenifanya nionekane mtu wa tofauti, niliushika mkuyati na kuanza kuuchezea huku nikiurusharusha huku na kule



Hapo nilianza kumuona roda akinisogelea taratibu nahisi alitaka kujua ni nini nilikua nachezea, nilimshika kiuno chake, na kumtekenya ambapo aliruka mithili ya mtu aliyekanyaga kaa la moto, jambo hilo lilinipa hamasa ya kuendelea na kamchezo kale ambako kalimfanya roda acheke na kufurahia saba.

Nilirudia kumtekenya kwa mara nyingine ambapo aliruka na kuangukia kifuani kwangu na tasyari alishaanza kulegea mwili hata macho yake yalitazama kama mtu aliyetoka usingizini.

“kaka, acha bwana!” aliongea roda kwa sauti ya kudeka na maringo haswaaa

“usiniite kaka niite rahim”. Niliongea kwa sauti yenye kukwaruza kutokana na maji niliyokunywa baharini kabla ya kuokolewa.

Niliusogeza ulimi kwenye masikio yake, na kuanza kuyanyonya ambapo aliaza kujinyonga nyonga na hakujizuia kutoa migunyo iliyosikika vema kabisa kwenye masikio yangu na kuzidi kunipa hamasa ya kuendelea na mchezo ule, mikono yangu ilishaanza kutalii sehemu mbalimbali za mwili wa roda hadi nilipoifikia tompoo yake iliyolainika na kuloa chapa chapa.

Niliingiza vidole ambavyo biliingia kwa kugoma goma, na kwaakili ya haraka haraka nilijua lazima roda alikua mbichi kabisa, na hakuwahi kumjua mwanaume yoyote kimwlili.

Nilikaa juu yake tayari kwa kumkabili roda kabla siza na anne hawajarudi, na hilo lilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwani baada ya kufanya yetu ya kikubwa na roda ambaye niliula uroda wake, mlango wa chumba kile ulifunguliwa na aliingia mwanamke mrembo aliyevaa kidani cha malkia kichwani.



Je nini kilifuata?
 
Sura ya kumi na mbili

ILIPOISHIA; Nilikaa juu yake tayari kwa kumkabili roda kabla siza na anne hawajarudi, na hilo lilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwani baada ya kufanya yetu ya kikubwa na roda ambaye niliula uroda wake, mlango wa chumba kile ulifunguliwa na aliingia mwanamke mrembo aliyevaa kidani cha malkia kichwani.



SASA ENDELEA; roda aliinama huku ameshika kifua chake kama ishara ya salamu kwa malkia huku akiongea maneno ya kikabila ambayo ndiyo ilikua lugha ya eneo lile.

“habari yako kijana”. Alinisalimu malkia ambapo nilimjibu huku nikiona aibu na kuficha mkuyati wangu uliokua ukibembea kwani sikua na nguo yoyote malkia aliliona hilo na aliagiza nitengenezewe nguo mara moja.

“salama tu, nashukuru sana kwa msaada wenu wa kusaidia maisha yangu”. Niliongea kwa umakini sana na kumfanya malkia Yule anitazame kwa umakini pia.

“usijali, lakini mshukuru mungu wetu aliyekuokoa maana sisi hatuwezi chochote”. Aliongea malkia hukua akiinama nilipo na kunishika mkono kisha kuniinua, wakati huo nguo zilishaletwa ambazo ziliziba sehemuz angu za siri pekee.

“twende nifuate”. Aliongea malkia ambapo tulianza kuongozana nikiwa pembeni ya malkia na nyuma walikuwepo wanawake wanne ambao walikua na jukumu la kumlinda malkia.

Njiani tukiwa tunaelekea hekaluni, nilishangaa kupewa heshima ya hali ya juu lakini nilijua huenda ni kwasababu ya malkia, niliyekua nimeongozana nae.

Tulifika nje ya mlango wa hekalu lililonakshiwa kwa michoro na uremboo mbalimbali, lakini ajabu sikupata kumuona mwanaume hata mmoja, zaidi ya kukutana na mabinti warembo kila kona tuliyokua tukikatiza, hali hio ilinifanya nijawe na maswali mengi kichwani kuhusu eneo lile abao sikutambua ilikua ni nchi gani au bara gani. Tayari nilishaanza kuingiwa na wasi wasi endapo wanawake wote watanitaka itakuaje, wangeweza hata kuniua.

Lakini niliamua kupiga moyo konde na kuendelea na safari hadi nilipoambiwa na malkia niketi, na baada ya kuketi malkia alitoa agizo kwa vijana wake

“atakua ana njaa sana, leteni chakula cha kutosha”. Baada ya kusema hivyo mabinti hawakuchukua muda mrefu walilleta chakula pamoja na matunda ya kutosha. Nilifakamia chakula kile hususani nilikua na njaa ya shilingi elf kumi, kama sio bilioni moja kabisa. Baada ya kutosheka na chakula nilikaa hadi niliposikia sauti ya malkia ikinisemesha

“natumai tunaweza kuongea sana”. Alianza mazungumzo malkia.

“ndio malkia wangu”. Niliongea kwa upole

“hiki ni kisiwa kilichosahaulika, kwani hakijawahi tembelewa na mtu yeyote Yule na hata tumeshangaa kukukuta hisiwani ukiwa huna fahamu”. Aliongea malkia na hapo ndipo nilianza kupata picha na lait kama kissiwa hicho kingelikua kwenye ramani ya dunia basi vijana wote wangekwenda kule kwa lengo la kubeba wanawake wazuri wa kuwaoa.

“mbona sijapata kumuona mwanaume hata mmoja maeneo haya”. Nilihoji

“kijana wangu, ni hadithi ndefu sana lakini nitakusimulia kwa sababu umetaka”. Aliongea malkia na kisha kuanza kusimulia.

Miaka mingi iliyopita, kisiwa hiki kilikua chini ya utawala wa familia Fulani ya kifalme ambayo iliendesha utawala wake kwa mabavu huku ikiwapa kipaombele wanaume zaidi. Wanaume walionekana ni muhimu kuliko wanawake na kupelekea kutokua na usawa katika kisiwa hiki

Wanawake walifanyiwa vitu vibaya ambavyo wanaume walijisikia ikiwemo kubakwa, na kulazimishwa kuolewa, kupigwa pamoja na kufanyiwa udhalilishaji wa kila aina.

Alitokea binti mmoja, shujaa nasema shujaa kwa sababu ndiye aliyeweza kufanya mapinduzi ya kuwatoa wanaume wote kisiwani hapa, alikua ni shupavu, na hodari katika vita.

Hakika tunaishi tukimuenzi sana katika kisiwa hiki.

Baada ya malkia kumaliza kutoa historia hio fupii tuliendelea na mazungumzo na malkia

“na mnawezaje kuishi bila ya wanaume, pia vipi kuhusu usalama wendu hapa endapo akitokea mvamizi”. Nilihoji

“tunalo jeshi na maadui wetu wakubwa ni wanaume tuliowatimua katika kisiwa hiki, mara nyingi huja na kufanya uharibifu pia kuchukua wanawake kinguvu”. Aliongea malkia

Ambapo baada ya muda kelele zilianza kusikika nje ya hekalu lile ambapo malkia alichungulia kupitia dirishani na kisha akasema

“tayari kumekucha”. Nikiwa naendelea kuzubaa nilikoswa na mshale uliopita pembeni yangu



Je nini kilifuata,
 
SEHEMU YA KUMI NA TATU (13)



ILIPOISHIA; Ambapo baada ya muda kelele zilianza kusikika nje ya hekalu lile ambapo malkia alichungulia kupitia dirishani na kisha akasema

“tayari kumekucha”. Nikiwa naendelea kuzubaa nilikoswa na mshale uliopita pembeni yangu



SASA ENDELEA; Haraka nilifuata panga lililokua jirani na kiti cha malkia huku yeye akibeba upinde na upinde mkubwa na mshale, na kuanza kutembea kuelekea nje huku nikimuacha malkia ndani aliyekua kama sniper (mdunguaji) akinilinda na mshale.

Roho mbaya iliwaka juu yangu ambapo nilifyeka sura yoyote ya kiume niliyoiona mbele yangu, pia malkia alikua akinisaidia kwa mishale yange pale nilipoonekana kuzidiwa, baada ya wanaume wavamiaji kuona maji yamezidi unga waliamua kukimbia lakini walifanikiwa kuondoka na wanawake kadhaa kutoka kwenye kijiji kisiwa kile.



Baada ya vita ile baridi nilirudi hekaluni na kumkuta malkia akiwa na mawazo mengi, na aliponiona alinipongeza sana.

“nakushukuru sana, hakika wewe ni shujaa”. Aliongea malikia maneno yaliyofanya nifarijike sana na hata sikujua ujasiri wa kukata shingo za watu niliutoa wapi.

“asante sana lakini ni kawaida hata wavamizi wenyewe ni wazembe tu”. Niliongea kwa kujiamini na kumfanya malkia atabasamu

Baada ya kuhakikisha hali imekua shwari kisiwani pale, kazi iliyokuwepo ni kuwapa tiba wanawake waliojeruhiwa, pia wale waliokufa tuliwazika kwa heshima sana na kwa siku chache nikawa ni moja kati ya watu muhimu katika kisiwa kile.

Hakika wanaume wavamizi walikaushwa na masanamu yao kutumika kama sehemu ya mapambo katika hekalu la malkia wa kisiwa kile.

Niliendelea kukaa ndani ya hekalu lile na kila mtu aliweza kunifahamu kutokana na ushupavu wangu na uhodari katika vita, baada ya kuzoea mazingira, muda mwingi niliutumia kufanya mazoezi pembeni kidogo ya kisiwa jirani na bahari kabisa,nilifanya mazoezi kwa lengo moja tu kujiweka imara na shupavu tayari kabisa kurudi kumsambaratisha Mohamed bakantani na biashara zake haramu za utumwa pia sikumsahau alaphat na baba yake chande ambao ndio walinifanya niwe katika kisiwa kile



Changamoto ya chakula ilitukumba ghafla kisiwani pale, hakika malkia alichanganyikiwa sanaa kuona watu wake wanadhoofu na wengine kufa kutokana na njaa, malkia aliumia sana kwani hekaluni vyakula vilikuwepo lakini havikutosha kulisha umati wa watu wote kisiwani pale.

“tunafanyaje rahim”. Aliongea malkia akiniuliza jambo ja kufanya

“kwani hakuna ufalme jirani tuweze kuomba msaada”. Nilihoji

“kiukweli hatutoweza kupata msaada labda tuvamie maana ufalme jirani ni wa wanaume ambao wanantuchukia ile mbaya”. Aliongea malkia na hapo wazo la kuanza kuandaa kikosi cha uvamizi lilinijia

Nilikusanya wanawake shupavu na kuwafundisha mapambano pia kutumia silaha na masuala ya ulengeji shabaha na takribani wiki moja tayari walishaiva.

Wakati wote huo sikuweza kuwaweka wazi kwamba ninawafundisha kwa sababu ya nini, siku hio tukiwa hekaluni kwa malkia na vijana niliowanoa ndipo niliweza kuwaambia.

“mnajua jinsi suala la chakula lilivyokua changamoto kwa sasa”. Niliondea ambapo walijibu kwa pamoja

“ndio tunatambua hilo”. Walijibu kisha nikaendelea kuongea

“sasa lengo la kuwafundisha mapambano, ni kwenda kuvamia kisiwa jirani tunaibe vyakula ili tuweze kujaza ghala zetu”. Niliongea kwa umakini mkubwa na kufanya eneo lile litawaliwe na ukimya na umakini wa hali ya juu

“hivyo kutokana na bahari yetu inabidi tukavamie haraka iwezekanavyo kabla majira ya upepo na tufani hayajawadia”. Niliongea jambo ambalo kila mmoja aliunga mkono na kisha baada ya kumaliza mazungumzo hayo mabini hao waliondoka na kutuacha mimi na malkia pamoja na watumwa kadhaa



“baada ya kumaliza hili jambo naomba nawe unisaidie”. Nilimbambia malkia ambaye alinigeukia na kuendelea kunisikiliza

“naomba unisaidie nirudi naomba nisaidie nirudi nchini kwetu Tanzania nikamilishe kisasi changu”. Nilimuambia ombi langu malkia Yule

“HMMMM, hivi unajua uko wapi hapa”. Alihoji malkia

“hapana”.

“hapa uko brazil, kwenye kisiwa kilichosahaulika”. Aliongea malkia kauli iliyonifanya nistuke sana kwani sikutarajia kama ningekua brazili”.

“hmmm”. Niliishia kuguna tu kwani niliona maisha yangu yanakwenda kuishia kwenye kisiwa kilichosahaulika.



Je nini kilifuata?
 
Back
Top Bottom