Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
-
- #221
Kwaleo hapana mkuu nataka nijimalize hapa maana sina muda tena na wenye mitandao yaobasi ndo uweke sasa,
😂😂😂😂😂 ulitaka nikusifie kuwa malkia 😂😂 wa jfJana limenipigia simu hili Mwachiluwi nikampa simu akaongea na wife likaanza kuniponda kwa wife kuwa huku nina mademu wengi.
we mjinga jana umeniachia kesi kwanza number yangu ufute😡😡😡
kwahiyo tulale😌Kwaleo hapana mkuu nataka nijimalize hapa maana sina muda tena na wenye mitandao yao
Notedhaha ngoja akuweke kwenye story tu akili zake unazijua🤣
na kwako pia ulale unonousiku mwemeni....
Dogo unaenda kulala au unaenda kupambana na sabuni chooniusiku mwemeni....
Mke wangu sio mtu w mitandao kabisa. Jana umezingua sana mwanangu. Unajua aliniuliz kumbe huko mtandaoni unahanfaika na mademu😡😂😂😂😂😂 ulitaka nikusifie kuwa malkia 😂😂 wa jf
Niliwahi piga mpaka nikigusa mashine maumivi nilikaa wiki nzima
Aseebwewe utakufa na ugumu
Mambo madogo hayo bhna usilie jikaze af sikia shem muelewaMke wangu sio mtu w mitandao kabisa. Jana umezingua sana mwanangu. Unajua aliniuliz kumbe huko mtandaoni unahanfaika na mademu😡
unajua mtu juzi tu katoka kwenye operation unmpa mawazo unazingua sana John. Unataka niwe single kama wewe au sio😔
Mamameeè nishawah pigia sabuni ya unga iliniunguza nikababuka😃Niliwahi piga mpaka nikigusa mashine maumivi nilikaa wiki nzima
Haya najua unatoka humu unaamia xxx.com kila la kheriusiku mwemeni....
Unazingua sana John😡Mambo madogo hayo bhna usilie jikaze af sikia shem muelewa
Ulale sasaAsante kwa upendo rafiki yangu , nimekuelewa 🤩
Humu number zangu za simu ziko nyingi a watu wanamijua haina haja ya kuweka tiki