Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #241
Mkuu mkeo anakusubiri au mshamba_hachekwi kaovertake kwa kujifanya anaenda kulalahahaha 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mkeo anakusubiri au mshamba_hachekwi kaovertake kwa kujifanya anaenda kulalahahaha 😆
Huu mtandao nimepiga sana mishe hada jukwaa la TechHumu number zangu za simu ziko nyingi a watu wanamijua haina haja ya kuweka tiki
HahahaUzi unakimbia sana kumbe wajomba wapo site
haha kaogopa baada ya kuona nimeshika panga haha watoto wa miaka ya 2000 😆🤣Mkuu mkeo anakusubiri au mshamba_hachekwi kaovertake kwa kujifanya anaenda kulala
Mkuu alafu nilikuombaga video za guru ukapota kushotohaha kaogopa baada ya kuona nimeshika panga haha watoto wa miaka ya 2000 😆🤣
Guru yupi?Mkuu alafu nilikuombaga video za guru ukapota kushoto
Huyo picha ulioweka dp hapoGuru yupi?
video za aina gan?🤣Huyo picha ulioweka dp hapo
Kwani tiki unawekaje
Zilezilevideo za aina gan?🤣
Mimi niliipata zamani sana (nilikuwa na 16yrs) enzi unamfata Max inbox na kitiki kilikuwa cha green hiki hapa ✅Kwani tiki unawekaje
za design gani? si unataka za ex🤣Zilezile
kampikie wife achana na simu...Ms eyes huyu katoto kenzio😀
haha niko nafanya service pikipiki nikirudi nitampikia😀kampikie wife achana na simu...
mbaki nazo tu hizo tiki zenu,,, mambo ya kufatana adi inbox hayo hapana😊🙌Mimi niliipata zamani sana (nilikuwa na 16yrs) enzi unamfata Max inbox na kitiki kilikuwa cha green hiki hapa ✅
Hahah now utaratibu umeboreshwa kwenye setting kuna option ya kurequest chamuhimu utume ID tu