Part 2
Gerbet Anapata fahamu, jioni sana siku hiyo
Mkuu wa kituo: Vipi Mwarabu
Gerbet: Dah nipo pouwa
Mkuu wa kituo: Sa sikia suruali lako choo nyumba si unaona safi mlipe mrembo hapo kajitoa kwa ajili yako
Gerbet: How much
Mkuu wa kituo: Mbona yule muuza mahindi huku muuliza kizungu?
Pembeni kulikuwa kuna jamaa anasubiri mpunga
Huyo jamaa: Oya nipee pesa nitembeeeee
Gerbet: Kula buku tano hii hapa
Huyo jamaa: Aseeee Mungu akubari wewe na uzao wako
Mkuu wa kituo: Kwaheri bana Ahsante kwa ushirikiano
Oya jamaaa sikia, Mkuu wa kituo alisikika twende home hapo Wifi yako kashakarangingiza
Gerbet: Mkuu niheshimu basi
Mkuu wa kituo: Poa twende mwarabu
Hao sakantupele tupele mpaka home kwa mkuu wa kazi,
Mke wa Mkuu wa kituo: Ooh karibu mme wangu, na huyu ndiye mgeni ambaye habari zake zimesambaaa
Mkuu wa kituo: Ndiye huyu bwana Mwarabu
Mke wa Mkuu wa kituo: Karibu Mwarabu na pole sana
Gerbet: Thanks (huku aibu ikimjaaa)
Leo Mwarabu huku kunanyama ya papa na lost la nazi, nimelitoa mbali si unajua huku ziwani hii kitu hamna,
Gerbet: Daah nimewasikia sana leo nawaonja
Msosi huo hapo, watu wanajiramba vyombo vinatolewa, sasa Mwarabu uwahi nyumbani huku usiku sio pazuri kunafisi sana
Gerbet: Nitoe basi
Mkuu wa kituo: Jikaze basi hebu tembea
Gerbet Anaianza safari toka kwa mkuu wake wa kituo kwelekea nyumbani, huku hakuna hata bia ( alijisemea polepole)
Zipo Mwarabu Nikupeleke (Sauti ya kike nyuma ilisikika)
Gerbet anageuka ili kuona maajabu ya Mungu katika kukatakata maumbo
Gerbet: Mambow wapi huko( huku akimpimia kama anafaa kwa chakula cha usiku)
Mdada: Huko nyumba ya 9 toka kwako
Gerbet: Umepajuajd kwangu na nani alikwambia mimi mwarabu?
Mdada: Yani unafikiri huku kunasiri habari imesambaaa hasa yule aliye kunawisha ni mtoto wa kiume mwenzio
Gerbet: Ohhhhshiiiit how about my marinda i need to check it
Mdada: Kila nini pale?
Gerbet: Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa( Mayowe ya nguvu yalisikika) Simbaaaaa nakufaaaaaa msaadaaaaa
Mdada: Ndo mpaka unajikojolea hahahaha yule ni fisi na kakimbia kwa makelele yako
Gerbet: 😂😂😂""""""""ohhh brother benard """"" kijiji kinanishinda hiki
Mdada: Kwaheri
Gerbet: Hapana nisindikize home twende kunywa bia
Mdada: Kweli utaninunulia
Gerbet: Ndio ila mpaka unifulie hii suruali
Gerbet anamwingiza demu ghetto, anafuliwa wanatoka kwenda mahali alipoamini ni kipub kupasha maini moto
Oya Mbona ni kilinge hiki
Mdada: Hapa kilabuni
Gerbet: Agiza bia
Mdada: Mhudumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu leta urojo tusukutueeeeeeeeeee
Gerbet: Bia kwenye beseni 😲😲😲
Mdada: We kunywa Gongo hiii ndio bia zetu
Gerbet anapewa kikombe achote
Fundo la kwanza, pili, tatu, nne, tano
KASIMAMA JUU YA MEZA
Ndugu wananchi wa kijiji hiki Ahsanteni kwa ushirikiano mlionionesha mchana dadeki zenu, mnajua baba yangu Donald trump's
Mlevi mmoja: deonditampu ni nani?
Huyo ni mweka hazina Mbinguni
Mlevi wa pili: Hiii kwaiyo baba yako kapewa tenda si nitajiri sana
Baba yangu ndie alienunua dunia hii na kuwafungia solar panel inayowaka mchana
Mlevi wa tatu: Unamaanisha Jua?
Jua ni kitoweo kitamu sana, ukipata na kachumbari ya maganda ya nazi lazima ujing'ate
Sikueni Nyie Mbwa naomba kura zenu Nataka niwajengee mnara wa babeli hapa
Mlevi wa nne: Unakazi gani ?
Huo mnara utakuwa unashusha maziwa na asali
pia nitaboresha mazingira ya kulewea nitawafungieni mirija na mabomba ya pombe mpaka kwenuuuu
Muuza pombee: Oya mwarabu rudi homeeeee
Gerbet: Aisee serikali ikupe ajira wewe ndio wakwanza kukusikia unaongea kiingereza kijijini
Muuza pombe: Yeh wana u me figh me
Bwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
(Gerbet anajitapikia baada ya kuongeza fundo la sita)
Muuuza Pombe: Mkosi gani huuu security arudi kwao huyu
Gerbet Anasombwa msobe msobe mpaka kwake na kutupiwa chooni ajielewi
Kokorikoooooooooo
Thank you God
Gerbet ananyanyua mkono na kushangaaa yupo ziwani, Nimefikaje?
Mvuvi: Wewe mtu umelala ziwani?
Gerbet: Selewi mkuu nimefikaje
Mvuvi: Sikia tafuta kinga kijana
Gerbet Anarudi nyumbani na kujiandaa kisha anakwenda kazini
Mkuu wa kituo: Mwarabu vipi? nasikia jana umejitapikia kilabuni
Gerbet: Kitulize boss
Mkuu wa kituo: Anyway huyu ni kijana kwa jina anaitwa Mtakatifu utaishi nae pale
Mtakatifu: Hello maniga Mwarabu
Gerbet: stupid kabisa
Mkuu wa kituo: hayo mtajua kwenu haya rudini nyumbani kazi rasmi kesho
Doge twende, Nakuja bro nisaidie begi hili
Gerbet: Hili begi zito na ndo kubwa utakuwa umeweka jinzi nini?
Mtakatifu: Nooo ni signal booster na vilainishi na self protection
Gerbet: Ngoja nione usije kuwa jambazi
Begi linafunguliwa pwaaaaaaaa mazaga yote chini
Mtakatifu: U see bro
Gerbet: iiii dogo jau begi zima umejaza condom kweli, nguo zipo wapi?
Mtakatifu: Mama aliniasa nijilinde kwanza so najinzi mbili na tshrt 5 humo
Gerbet: Na hilo begi jingine
Mtakatifu: Nimkongo man for stamina
Gerbet: What's the hell, dogo siwezi kupeleka kwangu we sio mtu mzuriii
Mtakatifu: Whyyy bro
Gerbet: Yani tupo wawili tunaenda kulala wewe upo na mazaga haya
Mtakatifu: Oya cheki lile toto kule
Gerbet: Binti wa sule yule 30 itakuusu
Mtakatifu: Hata nikifia hukohuko baridi, tena pale nauza mechi ili nifie jela
Mtakatifu: Mambow bibiye
Mrembo: Saf
Mtakatifu: Unaitwa nani?
Mrembo: Lee
Mtakatifu: oh unaumri gani , na upo kidato cha ngapi?
Lee: Nipo form 3 , nina miaka 19
Mtakatifu: Ushawahi ona nyoka anavichwa viwili chini mkiani?
lee: Hapana yuko wapi?
Mtakatifu: Tena ukimwona atakupa maziwa full cream, twende home nimeweka kwenye begi la yule jamaa
Lee: Hatuta chelewa
Mtakatifu: Twende
Mtakatifu: Mwarabu Nipeee funguo we nenda ukatazame mashamba vile begi mpee rafiki yangu hapa anisaidie
Lee: Hii kwani hizi ni nini?
Mtakatifu: Hayo ni maputo ambayo huyo nyoka hula
Lee: twende haraka nikamwone
ITAENDELEA LEO SIPO KATIKA MOOD KIUNO VIUNGO VIUNGO VINANIUMA NIMECHOKA SANA PLUS MOD KUNIKERA HII NIMEWEKA TU SIDHANI KAMA ITAKUWA NZURIII NIMESHINDA NIMELALA KWELI USINGO KAZI MWEZI TUU KAMA KARNE TUOMBEANE KIPINDI NASAKA CHETI CHA UPADRI ILI NISIOE WALA KULA MATUNDA YA MTI WA KATI