Simulizi: Kisa na Mkasa wa Mauaji ya Jenerali Imran Kombe (Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS)

Zamani tulikuwa fits sana kwenye ujasusi
 
Imran Kombe alikua mzee muungwana sana basi tu ndio vizuri havidumu.Nakumbuka nilikua na jamaa yangu alikua akifanya kazi kwa mzee Kombe,tulikua tunakunywa nae sana kinywaji basi siku moja Kombe akamwambia hizi pesa unazokunywa nakukatia kiwanja changu enzi hizo Mbezi beach porini. Mshahara wako takua naukata hadi umalize deni la kiwanja. Jamaa akajimilikia uwanja mkubwa Mbezi beach mpaka amefariki 2015 alikua ni mkazi wa hapo kwa hisani ya mzee Kombe. alijijengea mjengo wake na fremu za maduka akawa anakula kodi tu mpaka umauti.RIP legend wa PR Camp.
 
Je ilitaja aliyehusika?
 
Picha sio ya Imran Kombe, Umeniikumbusha pia kifo cha best yetu waziri Nicas Mahinda nae alipigwa risasi pia.. 1996 wengine tulikua tayari na mobile phone πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Kwa tanzania uchaguzi ukikaribia au ukitaka kufika lazima kutokee Kafara kubwa.
MV Bukoka, Treni ya Kati, Mv Ukara, MV Skygit na ....etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…