Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hauna akili.Hao jamaa dawa yao ni kufungiwa tu, hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna akili.Hao jamaa dawa yao ni kufungiwa tu, hakuna namna
Kwani siku hizi si nhi imefunguka tupo pamoja na mabeberuUtasikia katumwa na mabeberu
Jeshi la Polisi pamoja na Tiss wanapaswa kujisafisha kutokana na tuhuma hizi mbaya kabisa za kuteka Watu.Nimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa
USSR
Dah nimetoka kuisoma hii taarifa inatishaNimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa
USSR
huyo kibaraka soon tunamhonga cheo na atanyamaza kimyaaa kama da Zuchu. Kikeke tulimpanga aache kazi tukambwga juu kwa juu. Yaani tunafukuza mwizi kimya kimyaNimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa
USSR
Asije akatekwaNimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa
USSR
Mkuu! wewe ni bot au mtu?Hao jamaa dawa yao ni kufungiwa tu, hakuna namna
Sativa ashukuru Mungu aliikimbia mauti otherwise angeungana na hao
imetokwa na machozi Leo baada kuisikiliza asubuhi BBC via radio free. Hali ni mbaya! Omba yasikukute.Nimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili.
Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa
USSR
Hivi Unafikiri kwamba kila mtu unaweza ukamnyamazisha kwa kumhonga Cheo??? Nani kakudanganya???huyo kibaraka soon tunamhonga cheo na atanyamaza kimyaaa kama da Zuchu. Kikeke tulimpanga aache kazi tukambwga juu kwa juu. Yaani tunafukuza mwizi kimya kimya
..MUNGU amemponya Sativa ili ithibitike kuwa watekaji ni Polisi / Serikali.
..Sativa alishikiliwa ktk vituo viwili vya Polisi. Kituo cha Oysterbay, na kituo kingine mkoani Arusha.
..Wachunguzi wakifuatilia maeneo aliyoyataja Sativa haitachukua masaa 24 kuwatambua waliojaribu kumuua.
Hali mbaya Kama hii ya watu kutekwa, kuteswa na kuuawa ilikuwepo pia nchini Zaire (Congo DRC) enzi za Utawala wa dikteta muuaji Mobutu Seseseko. Watu wengi sana walitekwa na kuuawa kikatili, hali iliyosababisha Wananchi wengi sana kuikimbia nchi hiyo ya Zaire. Naona hali hii kwa sasa hivi ipo hapa Tanzania.imetokwa na machozi Leo baada kuisikiliza asubuhi BBC via radio free. Hali ni mbaya! Omba yasikukute.
..MUNGU amemponya Sativa ili ithibitike kuwa watekaji ni Polisi / Serikali.
..Sativa alishikiliwa ktk vituo viwili vya Polisi. Kituo cha Oysterbay, na kituo kingine mkoani Arusha.
..Wachunguzi wakifuatilia maeneo aliyoyataja Sativa haitachukua masaa 24 kuwatambua waliojaribu kumuua.