Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums

Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums

Kuna simulizi moja sikumbuki vizuri jina lake ila ilikua na character mmoja anaitwa Masimba, ilikua inahusu maswala ya upelelezi na mapenzi ni hatari.....
 
Real story Kali ni hizi hapa

1.Uhusiano wangu na hamida
2.How I'm met my wife
3.Maisha ya kitoabu hko msumbiji
4.Nilivonusulika kuawa na police saith Africa
5.safari ya kupanda mlima klmnjaro
6.nilikuwa moja ya chokaraa 2011 very sad one sijui yko wapi huyu jamaa(mtoto_mdogo sana)

7.khumbu was south Africa
8. Story ya kweli ya maisha ya holy homl
9.he uliwahi kwenda jera

Hizi zote ni firee
 

Hii nayo ilikuwa kali sana, muhusika na msimuliaji Mzee wetu JBourne59
 
Real story Kali ni hizi hapa

1.Uhusiano wangu na hamida
2.How I'm met my wife
3.Maisha ya kitoabu hko msumbiji
4.Nilivonusulika kuawa na police saith Africa
5.safari ya kupanda mlima klmnjaro
6.nilikuwa moja ya chokaraa 2011 very sad one sijui yko wapi huyu jamaa(mtoto_mdogo sana)

7.khumbu was south Africa
8. Story ya kweli ya maisha ya holy homl
9.he uliwahi kwenda jera

Hizi zote ni firee
Ukipata wasaa utufanyie maneuver ya link mkuu🙏
 
Mimi nishakuwa sn addicted na story mbali mbali humu..ila ktk zote hizo nimevutiwa sana na hizi:
01.Peniela(Patrick Ck)
02.Anga la washenzi(S.Mollel)
03.Vipepeo weusi(Habib Anga)
04.Siri (Patrick Ck)
05.Tai kwenye mzoga(kevin Mponda)
06.Ufukwe wa Madagascar (Kevin Mponda)
07.Nyuma yako (S.Mollel)
08.Mkufu wa malkia wa Goshen(S.Mollel)
09.Baradhuli mwenye mikono ya chuma(S.Mollel)
10.Mauaji ya kasisi ...
Ukizisoma hutojutia muda wako....
 
Mimi nishakuwa sn addicted na story mbali mbali humu..ila ktk zote hizo nimevutiwa sana na hizi:
01.Peniela(Patrick Ck)
02.Anga la washenzi(S.Mollel)
03.Vipepeo weusi(Habib Anga)
04.Siri (Patrick Ck)
05.Tai kwenye mzoga(kevin Mponda)
06.Ufukwe wa Madagascar (Kevin Mponda)
07.Nyuma yako (S.Mollel)
08.Mkufu wa malkia wa Goshen(S.Mollel)
09.Baradhuli mwenye mikono ya chuma(S.Mollel)
10.Mauaji ya kasisi ...
Ukizisoma hutojutia muda wako....
Mauaji ya kasisi ndo cjaisoma hapo
 


Kwangu Mimi hii ni the best kuliko zote,japo jamaa alizingua hakumaliza nadhani kutokana na ujuaji mwingi was watu.
Ni stori ya kweli.


Sijawahi vutiwa kusoma stori,
Hata hizo alizoweka jamaa pale juu nilijaribu kusoma nikashindwa .
Lakini hii ndiyo stori pekee niliyoshawishika kuisoma mstari kwa mstari.
Mkuu naomba link ya Telegram
 
Story za kweli ndiyo zenyewe, binafsi na story ya kweli kwenye life yangu ila sijui kuandika, kuandika ni upako aisee, na hivi watu wanajua kuzodoa nitishia episode 1 tu.
nitafute nikusaidie kuiandika ndugu
 
Back
Top Bottom