Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Tafuta mwenyewe! Utainjoy na roho yakoWeka link
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mwenyewe! Utainjoy na roho yakoWeka link
Umeipata?Natafuta hiyo ya mwisho
Ukipata wasaa utufanyie maneuver ya link mkuu🙏Real story Kali ni hizi hapa
1.Uhusiano wangu na hamida
2.How I'm met my wife
3.Maisha ya kitoabu hko msumbiji
4.Nilivonusulika kuawa na police saith Africa
5.safari ya kupanda mlima klmnjaro
6.nilikuwa moja ya chokaraa 2011 very sad one sijui yko wapi huyu jamaa(mtoto_mdogo sana)
7.khumbu was south Africa
8. Story ya kweli ya maisha ya holy homl
9.he uliwahi kwenda jera
Hizi zote ni firee
Mauaji ya kasisi ndo cjaisoma hapoMimi nishakuwa sn addicted na story mbali mbali humu..ila ktk zote hizo nimevutiwa sana na hizi:
01.Peniela(Patrick Ck)
02.Anga la washenzi(S.Mollel)
03.Vipepeo weusi(Habib Anga)
04.Siri (Patrick Ck)
05.Tai kwenye mzoga(kevin Mponda)
06.Ufukwe wa Madagascar (Kevin Mponda)
07.Nyuma yako (S.Mollel)
08.Mkufu wa malkia wa Goshen(S.Mollel)
09.Baradhuli mwenye mikono ya chuma(S.Mollel)
10.Mauaji ya kasisi ...
Ukizisoma hutojutia muda wako....
Mkuu naomba link ya TelegramMikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu
Habarini za kutwa wanajamvi ,bila shaka wote mko bìèn!. Kwanza kabisa nianze kwa kusema ninayo mikasa miwili ambayo nimewahi kuishuhudia kwa macho yangu na kuifanya kwa mikono yangu mwenyewe,mkasa wa kwanza ulituhusu mimi na ndugu zangu ambapo wakati huo nikiwa nina miaka 14 - 15 mwaka 2000 -...www.jamiiforums.com
Kwangu Mimi hii ni the best kuliko zote,japo jamaa alizingua hakumaliza nadhani kutokana na ujuaji mwingi was watu.
Ni stori ya kweli.
Sijawahi vutiwa kusoma stori,
Hata hizo alizoweka jamaa pale juu nilijaribu kusoma nikashindwa .
Lakini hii ndiyo stori pekee niliyoshawishika kuisoma mstari kwa mstari.
nitafute nikusaidie kuiandika nduguStory za kweli ndiyo zenyewe, binafsi na story ya kweli kwenye life yangu ila sijui kuandika, kuandika ni upako aisee, na hivi watu wanajua kuzodoa nitishia episode 1 tu.
👏👏Hizi zina nafasi yake special