Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums

Simulizi kumi kali nilizowahi kuzisoma hapa JamiiForums

Sawa
IMG_9645.jpg
 
Mimi nishakuwa sn addicted na story mbali mbali humu..ila ktk zote hizo nimevutiwa sana na hizi:
01.Peniela(Patrick Ck)
02.Anga la washenzi(S.Mollel)
03.Vipepeo weusi(Habib Anga)
04.Siri (Patrick Ck)
05.Tai kwenye mzoga(kevin Mponda)
06.Ufukwe wa Madagascar (Kevin Mponda)
07.Nyuma yako (S.Mollel)
08.Mkufu wa malkia wa Goshen(S.Mollel)
09.Baradhuli mwenye mikono ya chuma(S.Mollel)
10.Mauaji ya kasisi ...
Ukizisoma hutojutia muda wako....
Hizo zote nimezisoma na ninadiriki kusema ni nzuri kwa kweli
 
Nizisome chief..napendelea simulizi nzuri sana


Hizo hapo, soma
 
Hizo nimezimaliza tayari


Hizo hapo, soma
 
Kikosi cha siri, Secret Society, Mwamba, mwenye hii mwamba naomba anitag zote ni za Patrick CK.
 
Back
Top Bottom