Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InaitwajeYule dogo wa Lindi nae alitisha sana
Ukiachana na tabia ya kike za kususa iliyo mshusha vyeo
Ni vitabu mkuu ?
Mkuu naweza pata link ya "Vipepeo weusi"?Mimi nishakuwa sn addicted na story mbali mbali humu..ila ktk zote hizo nimevutiwa sana na hizi:
01.Peniela(Patrick Ck)
02.Anga la washenzi(S.Mollel)
03.Vipepeo weusi(Habib Anga)
04.Siri (Patrick Ck)
05.Tai kwenye mzoga(kevin Mponda)
06.Ufukwe wa Madagascar (Kevin Mponda)
07.Nyuma yako (S.Mollel)
08.Mkufu wa malkia wa Goshen(S.Mollel)
09.Baradhuli mwenye mikono ya chuma(S.Mollel)
10.Mauaji ya kasisi ...
Ukizisoma hutojutia muda wako....
Hatari sana.anza kusoma hyo paniela utojutia mda wakoo
Wakuu wekeni link za story ili tutelezeee tu
Link n hzoTHE MODERN WAR: Simulizi ya kijasusi mapenzi na upelelezi
THE MODERN WAR (Vita ya kisasa) Sehemu ya.........01 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 UTANGULIZI Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha ya utu. Sikujua kwa kufanya hivi ningeamsha vita nyingine kubwa ambayo ipo juu...www.jamiiforums.com
Ipi hyo turuke nayo?Ni story nzuri sana
Mkuu naweza pata link ya "Vipepeo weusi"?
Kijijini kwa bibiIpi hyo turuke nayo?