Simulizi: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu

Simulizi: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu

Mmm jamani dunia hii dunia Ina mambo mengi ya ajabu. Askari polisi walio wengi wanatumia mavazi yao kunyanyasa wananchi. Visa Ni vingi mno, sema vingine vinaisha kimyakimya.
Hawa watu walitupora madini ya milioni 40 Itigi december 2020 tukawapa laki 4 watuachie madini wakachukua vyote pesa na madini baada ya kutushusha kwenye gari bila hata nauli. Kama upo Itigi ulishiriki kutudhulumu hizo mali mlizopata kwa jasho letu zitaputika zote kwa jina la Yesu, toshekeni na vipato vyenu na sio dhuluma.
 
Yaani hili tukio linaumiza Sana jamani huyo kijana alikua mdogo kahangaika mwenyewe imagine kaacha shule akiwa form 2 kahangaika miaka yote hiyo halafu anadhulumiwa Mali na uhai pia, hapo namuwazia mama yake maskini maumivu yake hayaelezeki💔.
Moja ya tukio baya kuwahi kunitoa machozi inauma mno mno ☹️
 
RPC Mtwara majibu na maelezo yake yanahitaji uchunguzi mno. Hizo pesa inaonekana zilitembezwa Sana mikono mikubwa. Angekuwepo Marehemu Magufuli ungekuta kuna mtu amashawajibishwa na Mtwara kuwajibishwa. Mh. Rais Samia hongera kwa Birthday Ila Wananchi wako wanayuawa. Hebu Fanya neno kuwatia watanzania moyo na matumaini tena
 
Pamoja na matuo ya askari kuua raia kutokea mara kadhaa hapo nyuma, lakini bado hakujapatikana ufumbuzi wa hili..
 
83.2% ya polishi ni wavuta bange.......tena wamejifunza ukubwani.........haya ndio madhara yake....bado namkumbuka SHUJAA HAMZA.....
 
Ifike wakati wananchi tuchukue maamuzi wenyewe kwenye baadhi ya mambo.

Hii serikali tunayoiamini kila linapotokea tatizo imeshindwa kusaidia wananchi wake.
 
Hii nchi hata sijui imekuaje, mbona tunataka kuwa kama Somalia jamani? Whats happening?!
 
Nahisi katika vitu kama nchi inabidi izingatie inapoajiri ni creativity na intelligence kwa polis na waaalimu ,kupeleka failures kwenye hizi post ndo mambo kama haya tunayaona

Polisi wangesesema jamaa kafaa kwa mstuko ,tusingehoji sanaa ,sasa kusema kajinyonga kwenye mahabusu unajinyongaje? Kuna sehemu hata ya kufunga kamba, na kama IPO basi architecture aliyechora mchoro wa mahabusu apokonywe vyeti .

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
1643436890032.jpg
Tatizo la kitaifa😎
 
PHD ALIYOPEWA MSUKUMA APOKONYWE APEWE HUYU MGANGA WA KIENYEJI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ametisha sana
Ndio utajua kwanini mganga haagizi dagaa !!
 
Sirro must go. Na hapo amri ni moja hizo fedha zirudishiwe familia ya Mussa.
Jambo ni lilojifunza ni kukaa kimya unapopata mafanikio usiwaambie hata ndugu
 
Back
Top Bottom