Simulizi: Mimi na Mimi

Simulizi: Mimi na Mimi

MIMI NA MIMI 3

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SITA

★★★★★★★★★★★★★



Nikampiga Adelina busu ya kinywa kwa sekunde chache, huku yeye pia akinirudishia kwa kilichoonekana kuwa hamu kubwa, na akinivutia zaidi kwake kwa mikono miwili.

Nikajitoa kiufupi midomoni mwake na kumwangalia, nami nikasema, "Adelina..."

Akawa ananiangalia pia, huku akiendelea kunishikilia kiunoni.

"Si... sijui kama hii ni... sa... yaani, labda pombe inaniongoza vibaya, sijui ila... kama unataka niache, nambie niache, nitaacha, maana...."

Akanikaza zaidi na kusema, "Sitaki uache."

We!

Baada tu ya kuniambia hivyo, Adelina akaanza kunibusu yeye mwenyewe, asijali harufu ya pombe kinywani kwangu, na mwanamke huyu alikuwa na njia fulani nzito sana ya kuonyesha mahaba. Yaani alinibusu midomoni kwa nguvu, akining'ang'ania mwilini kwa nguvu, na alipenda kupiga denda huku amefumbua macho. Yaani kwa jicho lake la kungu kumbusu kiukaribu huku tunaangaliana sijui kwa nini ilinisisimua sana, na kwa jinsi miili yetu ilivyogandana nilipenda mno namna mashine yangu ilivyosumbuka kupumua kwa mkandamizo huo.

Hamu ikiwa imenizidia pia, nikaushika uso wa Adelina na kuendeleza busu kwa mahaba ya hali ya juu, halafu mwanamke huyu akaishika T-shirt niliyovaa na kuivuta kutokea chini. Nikamruhusu anivulishe upesi, nami nikamkamata tena kwa kuyashika makalio yake manene hatari. Alikuwa na shepu! Yakifichwa ndani ya jeans, Adelina akaona aifungue, kisha mimi nikawa naishusha kutokea kiunoni kwake huku tukiendelea kudendeshana. Yeye pia akafungua mkanda wa suruali yangu na kutoa kifungo, zipu, na kuishusha kiasi pia. Suruali yake ililibana kweli hips zake nono, nami baada ya kuyaweka makalio yake huru nikaanza kuyatomasa na kuyapiga-piga.

Mwanamke akaanza hadi kuninyonya shingo, akishika kifua changu na kufinya-finya, hapo mimi nikiwa nacheza na nguo yake laini ya ndani aliyovaa kwa kuiingiza katikati ya kalio lake, na kisha nikaanza kuivutia kwa chini. Siyo poa, nikawa ndani ya penzi jipya sasa kwa jinsi ilivyoelekea kuwa, lakini zaidi najua ni pombe na matatizo yangu ya moyo tu ndiyo yalikuwa yamefanya mambo yaende namna hii. Kwa hiyo hapo Miryam nikawa nimemweka kando, Adelina ikawa bata mpya. JC kama JC!

Nikaingiza vidole vyangu chini ya mapaja yake, nami nikakishika kitoweo chake kilicholowa ile mbaya. Nilihisi vinyweleo kwa juu kuelekea chini ya hiko kito, nami nikaanza kukikuna-kuna huku nikimshikilia mwili vizuri. Adelina alitoa miguno laini ya pumzi, naye akafanikiwa kuichomoa mashine yangu kutoka boksani na kuanza kuichezea taratibu. Alipatwa na hisia nzuri inaonekana maana akalaza kichwa chake begani kwangu huku akijikunja-kunja kutokana na jinsi nilivyoendelea kumkuna, nami nikaachana na hiyo huduma na kuvua viatu, kisha nikatoa suruali yote. Alisimama kwa kuningoja niongoze mchezo nadhani, na kweli nikamshikilia kwa nguvu na kuanza kumbusu tena, taratibu nikimrudisha nyuma kulielekea sofa.

Akakaa hapo baada ya kulifikia, na mimi nilikuwa na nia ya kuchuchumaa ili nimvue suruali yake, lakini yeye akaikamata mashine yangu na kuitumbukiza mdomoni mwake. Nilisisimka. Sana. Mwili wangu ulikuwa umepandisha joto kali shauri ya pombe, na yeye kuanza kunipa hiyo huduma kukalipandisha zaidi. Alinyonya na kunyonya huku akipitisha mikono yake mpaka makalioni kwangu na kuanza kuyapapasa, yaani dah! Nilihisi raha, lakini nilihitaji kuikoleza.

Nikamtoa hapo na kuishika miguu yake, nami nikainyanyua juu, kitu kilichofanya alalie sofa kwa kuliangukia. Alikuwa na kaumakini fulani hivi ka kimahaba, yaani utani pembeni, hapa alihitaji raha, kwa hiyo hata kutabasamiana ni kitu ambacho hakukielewa. Kuitanua miguu yake namna hiyo kukaniruhusu niivute suruali yake na kuitoa yote, na alikuwa na mguu mzito hatari. Nikayanyanyua mapaja yake na yeye kujishikilia kwa chini ili aitandaze miguu hewani, mashine yangu ikikaza hatari, nami nikaisogeza nguo yake ya ndani nyekundu pembeni kukifichua kitoweo chake. Yaani kilikuwa laini, kikivimba kwa juu lakini kufichwa zaidi kuelekea chini kutokana na unyama wa mapaja yake. Na ile mistari ya mikunjo sasa! Alionekana mtamu!

Basi, nikaona nionjepo hiyo kitu kwa ulimi kidogo maana mrembo alikuwa msafi sana, na kweli chumvi ilikuwa tamu. Nikainyonya taratibu huku nikimwangalia alivyokuwa ananitazama kwa macho legevu, nikikivuta kinyama hiko kwa ustadi wa pombe, kisha nikasimama ili tuongezane joto. Ilinibidi nijipinde kiasi na kuegamia sofa kwa mkono mmoja, kisha nikaanza kuisugua mashine yangu juu ya kito chake na kukikuna-kuna taratibu. Ni kama pombe iliendelea kufifia taratibu, na hapa akili ilifanya kazi vizuri. Nilikuwa najua nachokifanya, nisingekuja kusingizia ilikuwa pombe tu.

Kwa hiyo baada ya kushtua-shtua njiti kwenye ganda la kiberiti, nikaona niuwashe moto sasa. Mashine yangu ikaanza kumwingia mwanamke huyu, taratibu, na kitoweo chake kilikuwa na kiwango kizuri cha kubana. Aliniangalia kwa macho legevu sana, akikunja uso kama ana simanzi vile, na kina chake kikanipokea mpaka robo tatu ndiyo akaniwekea mkono tumboni kuashiria niishie hapo. Nikaanza kumpa tamu sasa, mwanzoni taratibu, na yeye akaanza kujikuna kisi-kwa-juu. Angevuta midomo yake na kuniangalia kwa mkazo wa kimahaba, na nilipoongeza mwendo ndiyo sauti yake ya kuguna ikawa inamtoka. Angehamisha kichwa huku na huku, taratibu yaani, na alipotaka niongeze kasi angenishika kiunoni na kunivutia kwake zaidi.

Alikuwa na joto tamu sana, na hapo sikujali kingine tena ila kuila raha hii mpaka mwisho. Nikamsugua na kumsugua kwa kama dakika tano hivi, nami nikahisi watoto wakija. Sikutaka kuacha, lakini walipolazimisha ikanibidi nichomoe na kuanza kuwamwaga juu ya kitovu chake. Akawa ananiangalia tu nilipoendelea kutoa haja yangu hapo, nikihisi vizuri sana mwilini, na alipoona nimemaliza huku bado mtambo uko mbele, akaushika na kujiingizia tena. Nisingemvunja moyo. Nikaendelea kumpa.. kumpa.. kumpampu, maana alionekana kutaka kufika mahali pazuri pia. Zamu hii nisingezinguliwa na wazungu wala wachina tena, yaani hapa ndiyo ningempiga mpaka angekoma.

Nikaanza kumshushia mapigo mazito zaidi, na sauti zake zikaongezeka kwa kuguna kwa nguvu. Akawa akipiga-piga sofa na kuchukua mto kuufunika uso wake kwa nguvu, kisha akanisukuma kidogo na kuanza kutetemeka miguu. Alikuwa ameuficha uso wake kwa mto bado, nami nikauondoa na kuona jinsi macho yake yalivyokuwa meupe alipoendelea kuusikilizia mshindo wake. Alipotulia kidogo nikaingia tena. Piga, piga, piga, akachoka na kuniondoa kabisa kutoka kwake. Nikasimama mbele yake huku jasho likinitoka, yeye akionekana kuwa mchovu kiasi asiweze kujinyanyua vizuri, hivyo nikamvuta na kumsimamisha. Nikambusu midomoni, na wakati huu akaanza kunikwepa eti. Ahaa?

Nikamgeuza anipe mgongo na kuikaba shingo yake, yeye akinyanyua viganja vyake hewani kwa njia legevu kuonyesha amelendemka kama mlenda, nami nikaiingiza mashine yangu kwa nyuma yake. Kalio lake likiwa kubwa haikuweza kuzama vizuri, hivyo nikamwinamisha na yeye kulishikilia sofa kwa mikono yake. Nikaanza kula tena, ah mwanamke alikuwa mtamu balaa! Nikamsugua na kumsugua huku nikipenda jinsi kalio lake lilivyotikisika, na fikira zangu zikawa zinarudi kwa Miryam zaidi. Nilikuwa nikifanya mapenzi na Adelina lakini picha zilizokuja akilini zikawa kwenye pindi ambazo nilishiriki mapenzi na Miryam. Kwa hali hiyo nikaanza kujihisi vibaya, lakini nikajitahidi kuacha kumuwaza na kuweka akili zaidi kwenye ishu ya sasa.

Adelina alikuwa akipokea mapigo yangu huku akishusha na kupandisha miguu yake kiasi kama kujikolezea utamu, yaani kama alikuwa anacheza simama-kaa ingawa juu juu. Alinigonokea vizuri sana, na baada ya dakika chache akaanza kutetemeka tena miguuni mpaka mwili mzima ukawa unashtua. Na hakutoa sauti, aliigugumia ndani kwa ndani. Nikaanza kukisugua kitoweo chake kwa vidole kutokea nyuma alipoendelea hivyo, naye akajitupia kwenye sofa tena kwa kulalia tumbo huku akipumua kwa uzito. Komesha haikuwa imeisha. Nikaushika mguu wake mmoja na kuutandaza kama mguu wa chura ili aniachie uwazi, nami nikamwingia tena.

Mpaka sasa hakuwa ameitoa blauzi yake, nami nikawa namkuna kwa pigo za nguvu huku nikilikandamiza kalio lake kwa mikono yangu yote. Alikuwa ananyanyua uso wake na kuurudisha sofani tena, utamu ukimkolea anaunyanyua tena na kujaribu kunitazama huku akinong'oneza neno 'baby' mara nyingi, nami nikamwacha kidogo ili kumpumzisha. Nilikuwa nimelowana, jasho! Nikachukua T-shirt langu na kuanza kujifuta, huku Adelina akianza kujinyanyua taratibu, naye akasimama kabisa na kugeukia upande wangu. Nikajaribu kumsogelea, lakini akanisukuma kidogo kama vile hataki, kisha kuifata feni pale pembeni.

Nikatabasamu kiasi kumwangalia jinsi alivyokuwa amekunja sura bado, naye akafanikiwa kuiwasha na kukaa kwenye mkono wa sofa ili impulize kwanza. Nikaiondoa boksa yangu na kubaki mtupu kabisa, mashine yangu ikianza kusinzia kidogo, nami nikamfata hapo alipo na kumshika usoni. Alikuwa kama anasinzia, sijui usingizi wa kulala au wa kimahaba, lakini nilihisi ni kama bado hajatosheka. Sikutaka kumwomba nipakue, nilitaka kujipakulia mwenyewe nile.

Nikaketi nyuma yake na kuanza kumpa massage ya mabega, naye akaipindisha shingo yake kidogo. Kisha nikaishika blauzi yake kutokea nyuma na kuipandisha juu, halafu nikaifungua mikanda ya sidiria yake nyeusi iliyoonekana hapo. Sikuwa nimeitoa kabisa nguo yake, na baada ya kitendo hicho akageuka kunitazama. Nikamwangalia kwa macho ya kimapenzi yaani, yeye akinishusha-kunipandisha kimahaba, nami nikamkamata shingo na kuanza kumpiga denda.

Hii ikafanya kalio lake liteleze kuniangukia maana nilikuwa kama namvuta, na nikiwa naendelea kumpiga denda nikapitisha mkono wangu mbele ya kifua chake na kuuingiza ndani ya blauzi. Bado sidiria ilikuwa imemshika, kwa hiyo nikaivuta na kisha kuitupa pembeni. Nikalikamata titi lake moja na kuanza kulivuta-vuta, huku nisiache kumdenda, na mashine yangu ikawamba zaidi. Hakuwa amenikalia katikati kabisa ila kwenye paja moja, kwa hiyo nikajinyanyua na kumwachia ili alale sofani tena.

Feni ikiwa inapuliza upande huu joto likaonekana kupungua, sasa ikawa muda wa kuliongeza tena. Nikamrekebisha vizuri hapo, mwanamke akiwa wa amani kweli yaani hata hakunipinga, nami nikaitanua miguu yake hewani na mimi kupiga goti moja sofani, mguu mmoja ukiwa chini. Nikamwondolea nguo yake ya ndani miguuni na kuiweka pembeni pia, nami nikamwingia tena. Nilipenda namna alivyorembua na kujivuta kila nilipomwingiza mtambo, na kazi ikaanza tena.

Wakati huu nilienda kwa mwendo mmoja bila kukoma, yaani zikapita dakika tano sijapumzisha kupanda na kushuka nakula tu, na Adelina alikuwa akilia kwa hisia sana na kulitaja jina langu kwa deko yake ya kiutu-uzima. Alipenda sana kunifinya kifuani na kujisugua kisi-kwa-juu yeye mwenyewe, nami nikaipandisha blauzi yake kifuani mpaka shingoni kuyafichua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu huku nikiendelea kula utamu. Na hii ni raha ambayo sikujua aliifurahia zaidi, kwa kuwa niliponyonya titi moja angelishika lingine kunisogezea ili nilinyonye pia. Nikawa nayabugia kwa zamu, chutchu zake zikiwa nene kiasi na zenye kuvutika mpaka raha, na sikupumzisha kumtandika penzi la maana pale utamuni.

Nilipohisi ameanza kutetemeka, nikachomoa mashine upesi, naye akarusha juisi zake za utamu. Akaweweseka, nikamtuliza, kisha nikamwingia tena. Piga, piga, piga, piga, nikachomoa, akarusha tena. Nilipomwingia tena akajishika vidole vya miguu kwa mikono yote na kuivuta miguu nyuma zaidi ya mwili wake mpaka kukipita kichwa, ili nile kwa kujinafasi. Yaani kalio lake lilikuwa tepe, akitoa ute mwingi kitoni mithili ya maziwa, na alipojimwagia juisi zake ilikuwa kama anauosha. Dah! Mwanaume nikakaza tu namna hiyo hiyo mpaka nikahisi mshindo wangu unakuja pia, na ile nimechomoa tu kumwaga kwa mara nyingine yeye pia akarusha juisi zake na kuanza kuweweseka mwili.

Alikazika shingoni, macho yakirembua mpaka kuwa meupe, naye akaanza kusema, "Inatosha... ehh... sss... basi JC... inatoshhh... hhh..."

Alikuwa ameridhika. Sidhani kama aliona mimi pia nikimwaga ndiyo maana alisema hivyo akidhani ningeendelea. Mimi pia nilikuwa nimechoka, na nikihisi maumivu kwenye mashine kwa mbali nikajitoa hapo juu na kukaa chini kabisa. Yaani nikakaa chini huku nikiegamia sofa alilolalia Adelina, na juu kwenye ukuta wa mlango ulioingia jikoni nikaweza kuona saa ya ukutani iliyoonyesha muda kuwa saa kumi usiku. Kumbe tulikata hadi masaa kama mawili! Nikalaza tu kichwa changu kwenye paja lake Adelina, nisijue ikiwa alikuwa macho ama alifia hapo. Nilikuwa nimeanza kuhisi na kiu kabisa, lakini uchovu ukafanya wazo la kuituliza lionekane kuwa la mbali sana. Kwa dakika chache nikatulia hapo kutuliza mwili, na baada ya hapo sikutambua tena kilichofuata. Usingizi ukanibeba.


★★★


Nadhani usingizi ulionibeba haukuwa na mpango wa kuniachia mpaka ukamilishe masaa nane kabisa, kwa sababu nililala kana kwamba sikutaka kuja kuamka tena. Lakini kilichoniamsha ilikuwa ni sauti nzuri ya mwanamke, ambayo kutokana na uzito wa usingizi wangu mwanzoni ilionekana kuwa ngeni kabisa. Ila kwa jitihada ya kistaarabu aliyoweka kuhakikisha naamka, nikafumbua macho hatimaye na kutambua ilikuwa Adelina; penzi langu jipya. Sijui kama kumwita hivyo ingekuwa sahihi kabisa kwa wakati huu, lakini kufumbua macho tu na uso wake kuwa kitu cha kwanza kuona kwa asubuhi hii kulinipatia hisia fulani ya mridhiko. Ni kutokana na kukumbukia, si mengi tu, ila yote yaliyotokea usiku baina yetu.

"JC amka... amka ule, muda umeenda..."

Alinisemesha kwa njia yenye upole sana, nami nikaachia tu tabasamu kivivu na kupiga mhayo kuondoa uchovu, na ndiyo nikatambua kwamba bado nilikuwa chini sebuleni kwake, nikijikaza kwa kuegamia mto. Nadhani mabadiliko niliyoamkia kuyakuta sasa yalifanywa na Adelina mwenyewe, kwa kuwa sikukumbuka mto huo kuwepo ile usiku, na wakati huu nilikuwa nimevaa boksa yangu mwilini. Alinivalisha. Nilipomwangalia vizuri ndiyo nikaona yeye akiwa ndani ya T-shirt langu jeupe, likionekana kumtoshea vyema sana, huku kwa chini asivae chochote zaidi ya tight ya kike nyeupe, iliyoonekana kwa mbali kuling'ata lishepu lake nono katikati ya mapaja yake.

Nikajinyanyua na kuegamia sofa hapo hapo chini, na yeye akasimama kabisa mbele yangu. Kuitazama saa ile ya ukutani nikagundua kweli hakutania aliposema muda umeenda, kwa sababu ilionyesha kuwa saa sita mchana iliyoelekea saa saba. Bado macho yangu yalikuwa na uzito, nikihisi njaa fulani yenye nguvu mwilini, nami nikamtazama usoni kwa njia ya kawaida alipoendelea kusimama hapo.

"Nimeagiza supu, imeshaletwa. Nakuwekea sasa. Unataka maji ya baridi?" akauliza hivyo.

Nikatikisa kichwa kuonyesha sihitaji, naye akaashiria kutaka kuelekea jikoni lakini nikaushika mkono wake kwanza. Akanigeukia. Nikauvuta kiasi, naye akajileta chini kwa kuchuchumaa na kunikaribia usoni huku akinitazama kwa subira.

"Uko poa?" nikamuuliza hivyo.

Akatikisa kichwa kukubali.

"Mbona hujaenda kazini?"

"Leo Jumapili," akajibu.

Nikafumba macho na kusema, "Oh, tsk... kweli. Jumapili."

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwangalia tu nikiwa nakumbukia usiku mtamu balaa alioufanya uwe hiyo jana, nami nikasema, "Nanuka pombe."

Akatikisa kichwa mara moja kukubali huku akikunja midomo eti kuonyesha kinyaa.

Nikatabasamu kiasi na kusema, "Basi weka supu tunywe, afu' nipige mswaki."

Akatabasamu kidogo na kusimama, kwa ukaribu kabisa na uso wangu mapaja yake yakinielekea kama kunifanyia makusudi, nami nikamwangalia mpaka usoni na kumpa tabasamu hafifu pia. Akageuka na kuelekea jikoni, ah hayo makalio! Kwa hapo sikuwa na budi kusahau kabisa yale mambo yenye kuvunja moyo yaliyotokea kwake Miryam hiyo jana, ingawa hayakunitoka akilini mazima.

Nikajinyanyua tu na kukaa sofani, lakini nikahisi mvuto fulani ambao ulinitaka nirudi tu chini, hivyo nikautii na kukaa chini tena. Kuangalia pembeni ndiyo nikaiona simu yangu, kwenye meza iliyobeba king'amuzi, nami nikajivuta na kuichukua ili kuona mapya ya humo kwanza. Kama kawaida, wapendwa wangu muhimu walinitafuta, na ni Bi Zawadi hasa ndiyo aliyepiga mara nyingi zaidi asubuhi hii na kunitumia ujumbe kuulizia hali yangu. Nikawa nawaza nifanye nini sasa, sijui nijibu au niache, na Adelina akarejea hapo huku akibeba hotpot mbili mikononi. Nikaamua kuweka tu simu pembeni na kumpa mwanamke huyu umakini wangu. Sikutaka kujitia misongo asubuhi kwa mambo mengine zaidi ya kitu hiki kizuri kilichokuwa kimeanza hapa.

Adelina alipoweka vyombo vyenye chakula chini, akasema, "Nilikuwa nimefikiria kuagiza supu na chapati ila me mwenyewe nimechelewa kuamka, chapati nikaambiwa zimeisha. Ila nikapata mihogo ya kukaanga. Unakulaga?"

Nikamtazama usoni kwa sekunde chache na kuachia tabasamu hafifu.

Adelina naye akatabasamu kiasi na kusema, "Nitachukulia hiyo ni ndiyo."

Nikatabasamu zaidi na kutikisa kichwa kama kusikitikia utani wake.

Akaelekea tena jikoni na kurudi akibeba vyombo vya kulia na kupakulia, kisha akafata maji na bakuli la kunawia, halafu akakaa chini hapo na kuashiria kutaka kuninawisha. Nikatii hilo. Kwa sababu fulani nilipenda sana kumwangalia alipokuwa akininawisha, jinsi alivyojipinda kiasi na kuilaza shingo yake upande mmoja huku akinitazama kwa njia nzuri sana, nasi kwa pamoja tukacheka kidogo alipomaliza kuninawisha. Kisha ndiyo mapakuzi yakaanza. Nikaketi kwa mtindo wa kukunjia miguu katikati ili nikamue vizuri hiyo mihogo, supu, na kula kwa macho umbo zuri la mwanamke huyu.

Yaani Adelina alikuwa na mwili tunaita "sahihi," alikuwa mzuri sana kumtazama. Sikuweza kujizuia kumwangalia kwa matamanio zaidi mpaka kukumbukia ilivyokuwa kupeana naye penzi huo usiku, na mashine yangu ikavimbisha boksa bila kupenda wakati tukiendelea kula. Adelina na ustaarabu wake aliweza kuona nyendo za macho yangu kuyatazama mapaja yake manono, naye akaona jinsi nilivyosisimka na kuniangalia machoni kwa njia ya kuhukumu.

Nikacheka kidogo kwa kufumba mdomo na na kusema, "Siyo makosa yangu."

Akamalizia kumeza nyama sijui na kuniambia, "Kwani me nimeongea chochote?"

"Hamna, macho yako ndiyo yanajaji..."

"A-aah, umeona vibaya..."

"Eti eh?"

"Kabisa."

"Ni nani alikuletea hivi vyakula?" nikauliza.

"Bee? Hivi? Kuna... kijana mmoja anatumwa. Wanatengenezea huko hivi juu, ndiyo kama nikiwepo nawatumia tu ujumbe wananiletea," akasema.

"Okay."

"Kwa nini umeuliza?"

"Ni vitamu sana. Napendaga vyakula local kama hivi, afu' unakuta bei rahisi tu..." nikamwambia.

"Eeh umeona? Ona muhogo kama huu mia tu. Nikinunua ya mia tano nikala nashiba mpaka kesho," akasema hivyo.

Nikamwangalia kwa utathmini na kisha kucheka kidogo.

"Ahahah... mbona unacheka?" akauliza.

Nikamtazama kwa njia yenye haya kiasi na kusema, "Hamna kitu."

"Niambie," akasema hivyo na kuacha kula.

"Hamna, sidhani kama..."

"Niambie. Unawaza nini?" akasisitiza.

Nikiwa namtazama kwa umakini sasa, nikasema, "Nimefikiria tu... huyo kijana alivyokuletea hii supu akakukuta hivyo... hajazimia kweli?"

Adelina akacheka kwa furaha sana na kufunika mdomo kwa upande wa kiganja chake. Shau eti. Na alikuwa na kicheko kizuri!

Nikiwa natabasamu nikasema, "Maana me ningekufa kabisa."

"Ahahahah... tsk, ni kwenye dunia gani unafikiri naweza kumfungulia mtu mlango na kutoka nikiwa hivi?" Adelina akauliza.

"Ah, me si nimeamka na kukukuta hivyo, kwa hiyo nikafikiri..."

"Mm? Acha masihara yako wewe. Nilienda kumfungulia getini kule, siwezi kutoka hivi," akasema na kuendelea kula.

"Sawa."

"Ahahah... eti 'me ningekufa,'" akasema hivyo.

"Hahah... kweli," nikampampu.

"Mbona jana hujafa?" akauliza hivyo bila kunitazama.

Nikatulia kidogo nikiangalia upande wake, kwa sekunde chache yeye asitake kunitazama, halafu ndiyo akaniangalia usoni kwa macho yenye uzuri mwingi. Yaani hisia. Swali lake lilihitaji jibu zuri najua, na hapo nikaelewa kwamba alitaka kusikia kutoka kwangu nilihisi vipi kuhusu yaliyotokea jana usiku.

Nikamwambia, "Hujui tu... ila nilikuwa karibu kufa."

Akakunja midomo na kuzungusha macho kiasi huku akitabasamu.

"Ahahah... kweli, jana nilihisi... nilihisi raha sana Adelina. Yaani kwa jinsi mambo yalivyokuwa kabla... sikutegemea," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaweka kale kaumakini kake usoni, naye bila kunitazama akasema, "Hata mimi."

Nikiwa makini zaidi wakati huu pia, nikasema, "Ona... si... sitaki uhisi labda kilichotokea jana ni kwa sababu tu ya..."

"Usijali. Mimi siko hivyo, nakuelewa. Na kwa jana... nimefurahia sana," akaongea hivyo kwa uhakika na kuniangalia.

"Kweli?" nikauliza.

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwambia, "We' ni mwanamke mzuri sana Adelina. Sijui... ni kwa nini yaani, ni kama vile leo eti ndiyo nimetambua hilo," nikamwambia hivyo.

"Baada ya kufanya mapenzi na mimi labda ndiyo umetambua..."

"No, sijamaanisha hivyo. Yaani... wewe ni mzuri sana. Sikuwahi tu... kukufikiria namna hii. Ni... niseme ni ule uzuri ambao niliona unahitaji zaidi heshima kutoka kwangu ndiyo sababu nisingefikiria kitu kama hiki kingekuja kutokea baina yetu. Kabisa," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kusema, "Najua."

Alisema hivyo huku akiangalia chini kwa hisia fulani hivi ambayo sikuweza kuielewa, na kabla sijaendelea kuongea akaanza kunyanyuka na kubeba vyombo kwa sababu tayari ilikuwa wazi kwamba sote tumeshiba. Akanisogezea bakuli ili ninawe, nami nikafanya hivyo, kisha akavitoa vyombo na kupeleka jikoni. Nilianza kupatwa na hisia za kwamba kuna mengi ambayo mwanamke huyu alikuwa haniambii, na kwa sababu tulifikia hatua hii sasa ndiyo ningehitajika kumwelewa zaidi ya nilivyomwelewa mwanzo. Joto lilikuwa limeongezeka, jasho likinitoka hasa baada ya kula, naye Adelina akarejea na kuwasha kiyoyozi cha juu.

Akiwa amesimama hapo ukutani, akaniuliza, "Utaoga maji ya kawaida au nikupashie ya moto?"

Nikatulia kidogo nikimtazama usoni, halafu kwa ishara ya kiganja nikapiga hapo chini pembeni yangu kumwonyesha kwamba nilitaka aje akae karibu nami. Adelina hakuwa mwanamke wa maigizo wala kujivuta, yaani alipoelewa kutakiwa kufanya kitu, alitekeleza upesi. Akanifuata hapo chini bila ya swali lake kuwa limejibiwa, naye akaketi karibu yangu akiegamia sofa kama mimi. Nikapitisha mkono kuzungukia bega lake, naye akajibana zaidi kwangu na kunishika kiganjani. Hadi raha!

Nikiwa nimeweka hali ya hewa yenye umakini, nikamwambia, "Angalau supu imeikata harufu ya pombe kidogo sa'hivi..."

"Eeh, angalau," akasema hivyo na kutabasamu kiasi.

Nikamwambia, "Sawa. Unajua... ni mambo mengi sana yametokea tangu kifo cha Joy, hadi... nafikiri hasa ni kwa sababu ya kifo cha Joy ndiyo mimi na wewe tulikutana, eh?"

Akatikisa kichwa kukubali huku akiangalia kuelekea kifua changu.

"Kiukweli kabisa sijawahi kukaa na wewe kwa muda mrefu hata ku-share mambo mengi ingawa kwa kipindi fulani ulijaribu kunivuta karibu zaidi... nikujue... na kwa hilo naomba unisamehe..."

"Usijali, JC. Kama ulivyoniambia, mambo yalikuwa mengi, na ninaelewa. Usiwaze wala," akaniambia hivyo kwa upole.

Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikasema, "Nimefurahia sana kuwa nawe hapa. Kutoka ndani ya moyo wangu Adelina, siyo kwa sababu tu ya matatizo niliyonayo, nahitaji ujue hilo."

Akaniangalia usoni kwa ukaribu na kulaza kichwa chake kwenye changu, huku akianza kutembeza vidole vyake kifuani kwangu taratibu. Ilikuwa shukrani.

Nikamuuliza, "Unaishi mwenyewe hapa?"

Akasema, "Kwa sasa hivi niko mwenyewe. Naishi na mwanangu hapa, na msaidizi wa kazi."

"Kumbe? Una mtoto?"

"Ndiyo."

"Hongera. Ahah... umeona sasa? Yaani sikujua..."

"Usijali."

"Miaka yako mingapi, Adelina?" nikamuuliza.

"Thelathini na moja," akajibu.

"Okay. Kwa hiyo... anaitwa nani? Yaani mwanao?" nikamuuliza.

"Anaitwa Marcia."

"Kasichana? Safi sana. Najua kamefata urembo wa mama yake," nikamsifia.

Akatabasamu kiasi.

"Yuko wapi?"

"Ameenda kwa bibi yake majuzi, si unajua wamefunga shule sasa hivi?"

"Ahaa... ndiyo najua."

"Eeeh."

"Anasoma la ngapi?"

"Anaingia la sita mwakani."

"Safi sana. Na baba yake?" nikauliza.

"Baba yake yupo huko Congo. Tuliachana siku nyingi, niligundua ana mke mwingine na watoto kabisa," akaniambia.

"Kumbe?"

"Ndiyo."

"Kwa hiyo... hamkutani tena?"

"Hapana. Ila anawasiliana na anamhudumia mtoto wake, lakini mimi sitaki mazoea naye tena. Alikuwaga anataka tuendelee lakini, nikamkatalia," akaniambia.

"Na hicho kipindi chote umekuwa na nani sasa?" nikamuuliza.

"Sijawa na mtu," akajibu.

"Kweli?"

"Kabisa. Sidanganyi lakini, kuna... wakati nimekutana na mmoja, wawili hivi, lakini hayakuwa ya kudumu. Na umepita muda mrefu sijataka kuwa na mwanaume... lakini..." akaishia hapo.

Nikiwa nimeanza kuzichezea nywele zake za kusukwa taratibu, nikauliza, "Lakini?"

"Nilianza kutamani kuwa na mwanaume nilipokujua wewe," akaniambia hivyo.

"Kweli?"

Akatikisa kichwa kukubali.

"Tokea lini?"

"Tokea mara ya kwanza nimekuona," akaniambia hivyo.

"Hee! Wewe..." nikashangaa kidogo.

Akacheka kwa maringo na kunipiga kifuani kidogo.

"Yaani umeanza kuvutiwa na mimi kutokea kipindi kile unaambiwa Ankia ni mke wangu?"

Akatikisa nyusi kukubali.

"Mbona hukuniambia?"

"Mazingira tu hayakujipa. Na kuna wakati nilikuwa najaribu kukutafuta... nikwambie yaani, ila ndiyo kama unavyosema... mambo mengi... na tayari ukawa umeshampenda Miryam," akaniambia hivyo.

Nikaangalia pembeni na kushusha pumzi.

Akiwa ananifinya-finya kifuani, Adelina akasema, "Usijali JC. Ni Miryam ndiyo unampenda, hakuna wa kupinga. Sisi watu wazima, wala usikwazike sana. Nimeshakuelewa kuwa mwanaume mwenye kujali mno, kila mwanamke anatamani mwanaume kama wewe, lakini si kila mwanamke atakupata. Nilijifunza tu kukubaliana na hilo. Na sasa hivi wewe moyo wako upo kwa mwingine, najua haitawezekana kuugeuzia kwangu kabisa... ila ninafurahia hata kidogo nachopata kutoka kwako."

"Kidogo? Kumbe show yote ya jana ilikuwa ndogo? Niongeze juhudi?" nikatania.

Adelina akacheka kidogo na kusema, "Acha mambo yako, najua unaelewa."

"Ahah... uko sahihi, lakini si kwa yote. Inabidi sasa hivi ukimwongelea Miryam... kila neno utakalotumia liwe past tense."

Adelina akaniangalia usoni.

Nikiwa makini zaidi, nikasema, "Moyo wangu ulikuwa kwa mwingine, ila sasa hivi umeondoka huko. Sawa? Yale yote yaliyotokea jana kwenye ile nyumba yawe mwanga kwako. Kwa Miryam nimemaliza, Adelina."

Mwanamke huyu akanitazama machoni kwa hisia zaidi, nami pia nikamwangalia.

"Itachukua muda kuzoea, lakini nataka nijitoe huko, niwe sehemu mpya kuanzia sasa. Naomba unisaidie kwa hilo," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kunishika kidevuni, akiuliza, "Kweli JC?"

"Ndiyo. Sisemi kwamba nitakuwa... kwa asilimia zote... kile unachotaka niwe kwa haraka, lakini kujitahidi nita...."

Adelina akakatisha maneno yangu kwa kunivuta na kuanza kunipiga denda, iliyoonyesha furaha yake kuelekea kile nilichomwambia.

Aliponiachia, akasema, "Usijali. Nitakuwa hiyo sehemu mpya kwa ajili yako. Nitakusaidia uyasahau maumivu yote."

Aliongea kwa njia iliyojaa hisia za upendo wa wazi kunielekea, nami nikiwa nimejawa na hisia za shukrani nikamvutia kwangu na kumkumbatia.

Mambo yalikuwa yamebadilika kwa kasi sana, na kwa kadiri kubwa moyo wangu uliona kasi hiyo kuwa jambo lililofaa zaidi kutokea hapa na kusonga mbele. Sikuwa na nia ya kumfanya Adelina kama kifaa cha kunisaidia tu kumsahau Miryam na maumivu yoyote niliyohisi, lakini kwa kadiri ambayo mwanamke huyu angejitahidi kunisahaulisha, ningejifunza kumpenda pia yeye kama yeye. Nisingejali kingine tena kilichomhusu Miryam wa Festo kutokea hapa. Ningeianza safari mpya ya mapenzi na Adelina, ningepiga kazi kwa bidii kuelekea mafanikio zaidi, na ningejitahidi kuwa baba bora kwa mwanangu Evelyn. Hicho ndiyo kilichokuwa akilini mwangu zaidi kutokea hapa. Sijui ikiwa ingewezekana kabisa kusahau yote yaliyotokea baina yangu na Miryam, lakini ningefanya kila niwezalo kuyaondoa maishani mwangu. Na ningefanikiwa.






★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★


WhatsApp +255 678 017 280
 
MIMI NA MIMI 3

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SITA

★★★★★★★★★★★★★



Nikampiga Adelina busu ya kinywa kwa sekunde chache, huku yeye pia akinirudishia kwa kilichoonekana kuwa hamu kubwa, na akinivutia zaidi kwake kwa mikono miwili.

Nikajitoa kiufupi midomoni mwake na kumwangalia, nami nikasema, "Adelina..."

Akawa ananiangalia pia, huku akiendelea kunishikilia kiunoni.

"Si... sijui kama hii ni... sa... yaani, labda pombe inaniongoza vibaya, sijui ila... kama unataka niache, nambie niache, nitaacha, maana...."

Akanikaza zaidi na kusema, "Sitaki uache."

We!

Baada tu ya kuniambia hivyo, Adelina akaanza kunibusu yeye mwenyewe, asijali harufu ya pombe kinywani kwangu, na mwanamke huyu alikuwa na njia fulani nzito sana ya kuonyesha mahaba. Yaani alinibusu midomoni kwa nguvu, akining'ang'ania mwilini kwa nguvu, na alipenda kupiga denda huku amefumbua macho. Yaani kwa jicho lake la kungu kumbusu kiukaribu huku tunaangaliana sijui kwa nini ilinisisimua sana, na kwa jinsi miili yetu ilivyogandana nilipenda mno namna mashine yangu ilivyosumbuka kupumua kwa mkandamizo huo.

Hamu ikiwa imenizidia pia, nikaushika uso wa Adelina na kuendeleza busu kwa mahaba ya hali ya juu, halafu mwanamke huyu akaishika T-shirt niliyovaa na kuivuta kutokea chini. Nikamruhusu anivulishe upesi, nami nikamkamata tena kwa kuyashika makalio yake manene hatari. Alikuwa na shepu! Yakifichwa ndani ya jeans, Adelina akaona aifungue, kisha mimi nikawa naishusha kutokea kiunoni kwake huku tukiendelea kudendeshana. Yeye pia akafungua mkanda wa suruali yangu na kutoa kifungo, zipu, na kuishusha kiasi pia. Suruali yake ililibana kweli hips zake nono, nami baada ya kuyaweka makalio yake huru nikaanza kuyatomasa na kuyapiga-piga.

Mwanamke akaanza hadi kuninyonya shingo, akishika kifua changu na kufinya-finya, hapo mimi nikiwa nacheza na nguo yake laini ya ndani aliyovaa kwa kuiingiza katikati ya kalio lake, na kisha nikaanza kuivutia kwa chini. Siyo poa, nikawa ndani ya penzi jipya sasa kwa jinsi ilivyoelekea kuwa, lakini zaidi najua ni pombe na matatizo yangu ya moyo tu ndiyo yalikuwa yamefanya mambo yaende namna hii. Kwa hiyo hapo Miryam nikawa nimemweka kando, Adelina ikawa bata mpya. JC kama JC!

Nikaingiza vidole vyangu chini ya mapaja yake, nami nikakishika kitoweo chake kilicholowa ile mbaya. Nilihisi vinyweleo kwa juu kuelekea chini ya hiko kito, nami nikaanza kukikuna-kuna huku nikimshikilia mwili vizuri. Adelina alitoa miguno laini ya pumzi, naye akafanikiwa kuichomoa mashine yangu kutoka boksani na kuanza kuichezea taratibu. Alipatwa na hisia nzuri inaonekana maana akalaza kichwa chake begani kwangu huku akijikunja-kunja kutokana na jinsi nilivyoendelea kumkuna, nami nikaachana na hiyo huduma na kuvua viatu, kisha nikatoa suruali yote. Alisimama kwa kuningoja niongoze mchezo nadhani, na kweli nikamshikilia kwa nguvu na kuanza kumbusu tena, taratibu nikimrudisha nyuma kulielekea sofa.

Akakaa hapo baada ya kulifikia, na mimi nilikuwa na nia ya kuchuchumaa ili nimvue suruali yake, lakini yeye akaikamata mashine yangu na kuitumbukiza mdomoni mwake. Nilisisimka. Sana. Mwili wangu ulikuwa umepandisha joto kali shauri ya pombe, na yeye kuanza kunipa hiyo huduma kukalipandisha zaidi. Alinyonya na kunyonya huku akipitisha mikono yake mpaka makalioni kwangu na kuanza kuyapapasa, yaani dah! Nilihisi raha, lakini nilihitaji kuikoleza.

Nikamtoa hapo na kuishika miguu yake, nami nikainyanyua juu, kitu kilichofanya alalie sofa kwa kuliangukia. Alikuwa na kaumakini fulani hivi ka kimahaba, yaani utani pembeni, hapa alihitaji raha, kwa hiyo hata kutabasamiana ni kitu ambacho hakukielewa. Kuitanua miguu yake namna hiyo kukaniruhusu niivute suruali yake na kuitoa yote, na alikuwa na mguu mzito hatari. Nikayanyanyua mapaja yake na yeye kujishikilia kwa chini ili aitandaze miguu hewani, mashine yangu ikikaza hatari, nami nikaisogeza nguo yake ya ndani nyekundu pembeni kukifichua kitoweo chake. Yaani kilikuwa laini, kikivimba kwa juu lakini kufichwa zaidi kuelekea chini kutokana na unyama wa mapaja yake. Na ile mistari ya mikunjo sasa! Alionekana mtamu!

Basi, nikaona nionjepo hiyo kitu kwa ulimi kidogo maana mrembo alikuwa msafi sana, na kweli chumvi ilikuwa tamu. Nikainyonya taratibu huku nikimwangalia alivyokuwa ananitazama kwa macho legevu, nikikivuta kinyama hiko kwa ustadi wa pombe, kisha nikasimama ili tuongezane joto. Ilinibidi nijipinde kiasi na kuegamia sofa kwa mkono mmoja, kisha nikaanza kuisugua mashine yangu juu ya kito chake na kukikuna-kuna taratibu. Ni kama pombe iliendelea kufifia taratibu, na hapa akili ilifanya kazi vizuri. Nilikuwa najua nachokifanya, nisingekuja kusingizia ilikuwa pombe tu.

Kwa hiyo baada ya kushtua-shtua njiti kwenye ganda la kiberiti, nikaona niuwashe moto sasa. Mashine yangu ikaanza kumwingia mwanamke huyu, taratibu, na kitoweo chake kilikuwa na kiwango kizuri cha kubana. Aliniangalia kwa macho legevu sana, akikunja uso kama ana simanzi vile, na kina chake kikanipokea mpaka robo tatu ndiyo akaniwekea mkono tumboni kuashiria niishie hapo. Nikaanza kumpa tamu sasa, mwanzoni taratibu, na yeye akaanza kujikuna kisi-kwa-juu. Angevuta midomo yake na kuniangalia kwa mkazo wa kimahaba, na nilipoongeza mwendo ndiyo sauti yake ya kuguna ikawa inamtoka. Angehamisha kichwa huku na huku, taratibu yaani, na alipotaka niongeze kasi angenishika kiunoni na kunivutia kwake zaidi.

Alikuwa na joto tamu sana, na hapo sikujali kingine tena ila kuila raha hii mpaka mwisho. Nikamsugua na kumsugua kwa kama dakika tano hivi, nami nikahisi watoto wakija. Sikutaka kuacha, lakini walipolazimisha ikanibidi nichomoe na kuanza kuwamwaga juu ya kitovu chake. Akawa ananiangalia tu nilipoendelea kutoa haja yangu hapo, nikihisi vizuri sana mwilini, na alipoona nimemaliza huku bado mtambo uko mbele, akaushika na kujiingizia tena. Nisingemvunja moyo. Nikaendelea kumpa.. kumpa.. kumpampu, maana alionekana kutaka kufika mahali pazuri pia. Zamu hii nisingezinguliwa na wazungu wala wachina tena, yaani hapa ndiyo ningempiga mpaka angekoma.

Nikaanza kumshushia mapigo mazito zaidi, na sauti zake zikaongezeka kwa kuguna kwa nguvu. Akawa akipiga-piga sofa na kuchukua mto kuufunika uso wake kwa nguvu, kisha akanisukuma kidogo na kuanza kutetemeka miguu. Alikuwa ameuficha uso wake kwa mto bado, nami nikauondoa na kuona jinsi macho yake yalivyokuwa meupe alipoendelea kuusikilizia mshindo wake. Alipotulia kidogo nikaingia tena. Piga, piga, piga, akachoka na kuniondoa kabisa kutoka kwake. Nikasimama mbele yake huku jasho likinitoka, yeye akionekana kuwa mchovu kiasi asiweze kujinyanyua vizuri, hivyo nikamvuta na kumsimamisha. Nikambusu midomoni, na wakati huu akaanza kunikwepa eti. Ahaa?

Nikamgeuza anipe mgongo na kuikaba shingo yake, yeye akinyanyua viganja vyake hewani kwa njia legevu kuonyesha amelendemka kama mlenda, nami nikaiingiza mashine yangu kwa nyuma yake. Kalio lake likiwa kubwa haikuweza kuzama vizuri, hivyo nikamwinamisha na yeye kulishikilia sofa kwa mikono yake. Nikaanza kula tena, ah mwanamke alikuwa mtamu balaa! Nikamsugua na kumsugua huku nikipenda jinsi kalio lake lilivyotikisika, na fikira zangu zikawa zinarudi kwa Miryam zaidi. Nilikuwa nikifanya mapenzi na Adelina lakini picha zilizokuja akilini zikawa kwenye pindi ambazo nilishiriki mapenzi na Miryam. Kwa hali hiyo nikaanza kujihisi vibaya, lakini nikajitahidi kuacha kumuwaza na kuweka akili zaidi kwenye ishu ya sasa.

Adelina alikuwa akipokea mapigo yangu huku akishusha na kupandisha miguu yake kiasi kama kujikolezea utamu, yaani kama alikuwa anacheza simama-kaa ingawa juu juu. Alinigonokea vizuri sana, na baada ya dakika chache akaanza kutetemeka tena miguuni mpaka mwili mzima ukawa unashtua. Na hakutoa sauti, aliigugumia ndani kwa ndani. Nikaanza kukisugua kitoweo chake kwa vidole kutokea nyuma alipoendelea hivyo, naye akajitupia kwenye sofa tena kwa kulalia tumbo huku akipumua kwa uzito. Komesha haikuwa imeisha. Nikaushika mguu wake mmoja na kuutandaza kama mguu wa chura ili aniachie uwazi, nami nikamwingia tena.

Mpaka sasa hakuwa ameitoa blauzi yake, nami nikawa namkuna kwa pigo za nguvu huku nikilikandamiza kalio lake kwa mikono yangu yote. Alikuwa ananyanyua uso wake na kuurudisha sofani tena, utamu ukimkolea anaunyanyua tena na kujaribu kunitazama huku akinong'oneza neno 'baby' mara nyingi, nami nikamwacha kidogo ili kumpumzisha. Nilikuwa nimelowana, jasho! Nikachukua T-shirt langu na kuanza kujifuta, huku Adelina akianza kujinyanyua taratibu, naye akasimama kabisa na kugeukia upande wangu. Nikajaribu kumsogelea, lakini akanisukuma kidogo kama vile hataki, kisha kuifata feni pale pembeni.

Nikatabasamu kiasi kumwangalia jinsi alivyokuwa amekunja sura bado, naye akafanikiwa kuiwasha na kukaa kwenye mkono wa sofa ili impulize kwanza. Nikaiondoa boksa yangu na kubaki mtupu kabisa, mashine yangu ikianza kusinzia kidogo, nami nikamfata hapo alipo na kumshika usoni. Alikuwa kama anasinzia, sijui usingizi wa kulala au wa kimahaba, lakini nilihisi ni kama bado hajatosheka. Sikutaka kumwomba nipakue, nilitaka kujipakulia mwenyewe nile.

Nikaketi nyuma yake na kuanza kumpa massage ya mabega, naye akaipindisha shingo yake kidogo. Kisha nikaishika blauzi yake kutokea nyuma na kuipandisha juu, halafu nikaifungua mikanda ya sidiria yake nyeusi iliyoonekana hapo. Sikuwa nimeitoa kabisa nguo yake, na baada ya kitendo hicho akageuka kunitazama. Nikamwangalia kwa macho ya kimapenzi yaani, yeye akinishusha-kunipandisha kimahaba, nami nikamkamata shingo na kuanza kumpiga denda.

Hii ikafanya kalio lake liteleze kuniangukia maana nilikuwa kama namvuta, na nikiwa naendelea kumpiga denda nikapitisha mkono wangu mbele ya kifua chake na kuuingiza ndani ya blauzi. Bado sidiria ilikuwa imemshika, kwa hiyo nikaivuta na kisha kuitupa pembeni. Nikalikamata titi lake moja na kuanza kulivuta-vuta, huku nisiache kumdenda, na mashine yangu ikawamba zaidi. Hakuwa amenikalia katikati kabisa ila kwenye paja moja, kwa hiyo nikajinyanyua na kumwachia ili alale sofani tena.

Feni ikiwa inapuliza upande huu joto likaonekana kupungua, sasa ikawa muda wa kuliongeza tena. Nikamrekebisha vizuri hapo, mwanamke akiwa wa amani kweli yaani hata hakunipinga, nami nikaitanua miguu yake hewani na mimi kupiga goti moja sofani, mguu mmoja ukiwa chini. Nikamwondolea nguo yake ya ndani miguuni na kuiweka pembeni pia, nami nikamwingia tena. Nilipenda namna alivyorembua na kujivuta kila nilipomwingiza mtambo, na kazi ikaanza tena.

Wakati huu nilienda kwa mwendo mmoja bila kukoma, yaani zikapita dakika tano sijapumzisha kupanda na kushuka nakula tu, na Adelina alikuwa akilia kwa hisia sana na kulitaja jina langu kwa deko yake ya kiutu-uzima. Alipenda sana kunifinya kifuani na kujisugua kisi-kwa-juu yeye mwenyewe, nami nikaipandisha blauzi yake kifuani mpaka shingoni kuyafichua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu huku nikiendelea kula utamu. Na hii ni raha ambayo sikujua aliifurahia zaidi, kwa kuwa niliponyonya titi moja angelishika lingine kunisogezea ili nilinyonye pia. Nikawa nayabugia kwa zamu, chutchu zake zikiwa nene kiasi na zenye kuvutika mpaka raha, na sikupumzisha kumtandika penzi la maana pale utamuni.

Nilipohisi ameanza kutetemeka, nikachomoa mashine upesi, naye akarusha juisi zake za utamu. Akaweweseka, nikamtuliza, kisha nikamwingia tena. Piga, piga, piga, piga, nikachomoa, akarusha tena. Nilipomwingia tena akajishika vidole vya miguu kwa mikono yote na kuivuta miguu nyuma zaidi ya mwili wake mpaka kukipita kichwa, ili nile kwa kujinafasi. Yaani kalio lake lilikuwa tepe, akitoa ute mwingi kitoni mithili ya maziwa, na alipojimwagia juisi zake ilikuwa kama anauosha. Dah! Mwanaume nikakaza tu namna hiyo hiyo mpaka nikahisi mshindo wangu unakuja pia, na ile nimechomoa tu kumwaga kwa mara nyingine yeye pia akarusha juisi zake na kuanza kuweweseka mwili.

Alikazika shingoni, macho yakirembua mpaka kuwa meupe, naye akaanza kusema, "Inatosha... ehh... sss... basi JC... inatoshhh... hhh..."

Alikuwa ameridhika. Sidhani kama aliona mimi pia nikimwaga ndiyo maana alisema hivyo akidhani ningeendelea. Mimi pia nilikuwa nimechoka, na nikihisi maumivu kwenye mashine kwa mbali nikajitoa hapo juu na kukaa chini kabisa. Yaani nikakaa chini huku nikiegamia sofa alilolalia Adelina, na juu kwenye ukuta wa mlango ulioingia jikoni nikaweza kuona saa ya ukutani iliyoonyesha muda kuwa saa kumi usiku. Kumbe tulikata hadi masaa kama mawili! Nikalaza tu kichwa changu kwenye paja lake Adelina, nisijue ikiwa alikuwa macho ama alifia hapo. Nilikuwa nimeanza kuhisi na kiu kabisa, lakini uchovu ukafanya wazo la kuituliza lionekane kuwa la mbali sana. Kwa dakika chache nikatulia hapo kutuliza mwili, na baada ya hapo sikutambua tena kilichofuata. Usingizi ukanibeba.


★★★


Nadhani usingizi ulionibeba haukuwa na mpango wa kuniachia mpaka ukamilishe masaa nane kabisa, kwa sababu nililala kana kwamba sikutaka kuja kuamka tena. Lakini kilichoniamsha ilikuwa ni sauti nzuri ya mwanamke, ambayo kutokana na uzito wa usingizi wangu mwanzoni ilionekana kuwa ngeni kabisa. Ila kwa jitihada ya kistaarabu aliyoweka kuhakikisha naamka, nikafumbua macho hatimaye na kutambua ilikuwa Adelina; penzi langu jipya. Sijui kama kumwita hivyo ingekuwa sahihi kabisa kwa wakati huu, lakini kufumbua macho tu na uso wake kuwa kitu cha kwanza kuona kwa asubuhi hii kulinipatia hisia fulani ya mridhiko. Ni kutokana na kukumbukia, si mengi tu, ila yote yaliyotokea usiku baina yetu.

"JC amka... amka ule, muda umeenda..."

Alinisemesha kwa njia yenye upole sana, nami nikaachia tu tabasamu kivivu na kupiga mhayo kuondoa uchovu, na ndiyo nikatambua kwamba bado nilikuwa chini sebuleni kwake, nikijikaza kwa kuegamia mto. Nadhani mabadiliko niliyoamkia kuyakuta sasa yalifanywa na Adelina mwenyewe, kwa kuwa sikukumbuka mto huo kuwepo ile usiku, na wakati huu nilikuwa nimevaa boksa yangu mwilini. Alinivalisha. Nilipomwangalia vizuri ndiyo nikaona yeye akiwa ndani ya T-shirt langu jeupe, likionekana kumtoshea vyema sana, huku kwa chini asivae chochote zaidi ya tight ya kike nyeupe, iliyoonekana kwa mbali kuling'ata lishepu lake nono katikati ya mapaja yake.

Nikajinyanyua na kuegamia sofa hapo hapo chini, na yeye akasimama kabisa mbele yangu. Kuitazama saa ile ya ukutani nikagundua kweli hakutania aliposema muda umeenda, kwa sababu ilionyesha kuwa saa sita mchana iliyoelekea saa saba. Bado macho yangu yalikuwa na uzito, nikihisi njaa fulani yenye nguvu mwilini, nami nikamtazama usoni kwa njia ya kawaida alipoendelea kusimama hapo.

"Nimeagiza supu, imeshaletwa. Nakuwekea sasa. Unataka maji ya baridi?" akauliza hivyo.

Nikatikisa kichwa kuonyesha sihitaji, naye akaashiria kutaka kuelekea jikoni lakini nikaushika mkono wake kwanza. Akanigeukia. Nikauvuta kiasi, naye akajileta chini kwa kuchuchumaa na kunikaribia usoni huku akinitazama kwa subira.

"Uko poa?" nikamuuliza hivyo.

Akatikisa kichwa kukubali.

"Mbona hujaenda kazini?"

"Leo Jumapili," akajibu.

Nikafumba macho na kusema, "Oh, tsk... kweli. Jumapili."

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwangalia tu nikiwa nakumbukia usiku mtamu balaa alioufanya uwe hiyo jana, nami nikasema, "Nanuka pombe."

Akatikisa kichwa mara moja kukubali huku akikunja midomo eti kuonyesha kinyaa.

Nikatabasamu kiasi na kusema, "Basi weka supu tunywe, afu' nipige mswaki."

Akatabasamu kidogo na kusimama, kwa ukaribu kabisa na uso wangu mapaja yake yakinielekea kama kunifanyia makusudi, nami nikamwangalia mpaka usoni na kumpa tabasamu hafifu pia. Akageuka na kuelekea jikoni, ah hayo makalio! Kwa hapo sikuwa na budi kusahau kabisa yale mambo yenye kuvunja moyo yaliyotokea kwake Miryam hiyo jana, ingawa hayakunitoka akilini mazima.

Nikajinyanyua tu na kukaa sofani, lakini nikahisi mvuto fulani ambao ulinitaka nirudi tu chini, hivyo nikautii na kukaa chini tena. Kuangalia pembeni ndiyo nikaiona simu yangu, kwenye meza iliyobeba king'amuzi, nami nikajivuta na kuichukua ili kuona mapya ya humo kwanza. Kama kawaida, wapendwa wangu muhimu walinitafuta, na ni Bi Zawadi hasa ndiyo aliyepiga mara nyingi zaidi asubuhi hii na kunitumia ujumbe kuulizia hali yangu. Nikawa nawaza nifanye nini sasa, sijui nijibu au niache, na Adelina akarejea hapo huku akibeba hotpot mbili mikononi. Nikaamua kuweka tu simu pembeni na kumpa mwanamke huyu umakini wangu. Sikutaka kujitia misongo asubuhi kwa mambo mengine zaidi ya kitu hiki kizuri kilichokuwa kimeanza hapa.

Adelina alipoweka vyombo vyenye chakula chini, akasema, "Nilikuwa nimefikiria kuagiza supu na chapati ila me mwenyewe nimechelewa kuamka, chapati nikaambiwa zimeisha. Ila nikapata mihogo ya kukaanga. Unakulaga?"

Nikamtazama usoni kwa sekunde chache na kuachia tabasamu hafifu.

Adelina naye akatabasamu kiasi na kusema, "Nitachukulia hiyo ni ndiyo."

Nikatabasamu zaidi na kutikisa kichwa kama kusikitikia utani wake.

Akaelekea tena jikoni na kurudi akibeba vyombo vya kulia na kupakulia, kisha akafata maji na bakuli la kunawia, halafu akakaa chini hapo na kuashiria kutaka kuninawisha. Nikatii hilo. Kwa sababu fulani nilipenda sana kumwangalia alipokuwa akininawisha, jinsi alivyojipinda kiasi na kuilaza shingo yake upande mmoja huku akinitazama kwa njia nzuri sana, nasi kwa pamoja tukacheka kidogo alipomaliza kuninawisha. Kisha ndiyo mapakuzi yakaanza. Nikaketi kwa mtindo wa kukunjia miguu katikati ili nikamue vizuri hiyo mihogo, supu, na kula kwa macho umbo zuri la mwanamke huyu.

Yaani Adelina alikuwa na mwili tunaita "sahihi," alikuwa mzuri sana kumtazama. Sikuweza kujizuia kumwangalia kwa matamanio zaidi mpaka kukumbukia ilivyokuwa kupeana naye penzi huo usiku, na mashine yangu ikavimbisha boksa bila kupenda wakati tukiendelea kula. Adelina na ustaarabu wake aliweza kuona nyendo za macho yangu kuyatazama mapaja yake manono, naye akaona jinsi nilivyosisimka na kuniangalia machoni kwa njia ya kuhukumu.

Nikacheka kidogo kwa kufumba mdomo na na kusema, "Siyo makosa yangu."

Akamalizia kumeza nyama sijui na kuniambia, "Kwani me nimeongea chochote?"

"Hamna, macho yako ndiyo yanajaji..."

"A-aah, umeona vibaya..."

"Eti eh?"

"Kabisa."

"Ni nani alikuletea hivi vyakula?" nikauliza.

"Bee? Hivi? Kuna... kijana mmoja anatumwa. Wanatengenezea huko hivi juu, ndiyo kama nikiwepo nawatumia tu ujumbe wananiletea," akasema.

"Okay."

"Kwa nini umeuliza?"

"Ni vitamu sana. Napendaga vyakula local kama hivi, afu' unakuta bei rahisi tu..." nikamwambia.

"Eeh umeona? Ona muhogo kama huu mia tu. Nikinunua ya mia tano nikala nashiba mpaka kesho," akasema hivyo.

Nikamwangalia kwa utathmini na kisha kucheka kidogo.

"Ahahah... mbona unacheka?" akauliza.

Nikamtazama kwa njia yenye haya kiasi na kusema, "Hamna kitu."

"Niambie," akasema hivyo na kuacha kula.

"Hamna, sidhani kama..."

"Niambie. Unawaza nini?" akasisitiza.

Nikiwa namtazama kwa umakini sasa, nikasema, "Nimefikiria tu... huyo kijana alivyokuletea hii supu akakukuta hivyo... hajazimia kweli?"

Adelina akacheka kwa furaha sana na kufunika mdomo kwa upande wa kiganja chake. Shau eti. Na alikuwa na kicheko kizuri!

Nikiwa natabasamu nikasema, "Maana me ningekufa kabisa."

"Ahahahah... tsk, ni kwenye dunia gani unafikiri naweza kumfungulia mtu mlango na kutoka nikiwa hivi?" Adelina akauliza.

"Ah, me si nimeamka na kukukuta hivyo, kwa hiyo nikafikiri..."

"Mm? Acha masihara yako wewe. Nilienda kumfungulia getini kule, siwezi kutoka hivi," akasema na kuendelea kula.

"Sawa."

"Ahahah... eti 'me ningekufa,'" akasema hivyo.

"Hahah... kweli," nikampampu.

"Mbona jana hujafa?" akauliza hivyo bila kunitazama.

Nikatulia kidogo nikiangalia upande wake, kwa sekunde chache yeye asitake kunitazama, halafu ndiyo akaniangalia usoni kwa macho yenye uzuri mwingi. Yaani hisia. Swali lake lilihitaji jibu zuri najua, na hapo nikaelewa kwamba alitaka kusikia kutoka kwangu nilihisi vipi kuhusu yaliyotokea jana usiku.

Nikamwambia, "Hujui tu... ila nilikuwa karibu kufa."

Akakunja midomo na kuzungusha macho kiasi huku akitabasamu.

"Ahahah... kweli, jana nilihisi... nilihisi raha sana Adelina. Yaani kwa jinsi mambo yalivyokuwa kabla... sikutegemea," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaweka kale kaumakini kake usoni, naye bila kunitazama akasema, "Hata mimi."

Nikiwa makini zaidi wakati huu pia, nikasema, "Ona... si... sitaki uhisi labda kilichotokea jana ni kwa sababu tu ya..."

"Usijali. Mimi siko hivyo, nakuelewa. Na kwa jana... nimefurahia sana," akaongea hivyo kwa uhakika na kuniangalia.

"Kweli?" nikauliza.

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwambia, "We' ni mwanamke mzuri sana Adelina. Sijui... ni kwa nini yaani, ni kama vile leo eti ndiyo nimetambua hilo," nikamwambia hivyo.

"Baada ya kufanya mapenzi na mimi labda ndiyo umetambua..."

"No, sijamaanisha hivyo. Yaani... wewe ni mzuri sana. Sikuwahi tu... kukufikiria namna hii. Ni... niseme ni ule uzuri ambao niliona unahitaji zaidi heshima kutoka kwangu ndiyo sababu nisingefikiria kitu kama hiki kingekuja kutokea baina yetu. Kabisa," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kusema, "Najua."

Alisema hivyo huku akiangalia chini kwa hisia fulani hivi ambayo sikuweza kuielewa, na kabla sijaendelea kuongea akaanza kunyanyuka na kubeba vyombo kwa sababu tayari ilikuwa wazi kwamba sote tumeshiba. Akanisogezea bakuli ili ninawe, nami nikafanya hivyo, kisha akavitoa vyombo na kupeleka jikoni. Nilianza kupatwa na hisia za kwamba kuna mengi ambayo mwanamke huyu alikuwa haniambii, na kwa sababu tulifikia hatua hii sasa ndiyo ningehitajika kumwelewa zaidi ya nilivyomwelewa mwanzo. Joto lilikuwa limeongezeka, jasho likinitoka hasa baada ya kula, naye Adelina akarejea na kuwasha kiyoyozi cha juu.

Akiwa amesimama hapo ukutani, akaniuliza, "Utaoga maji ya kawaida au nikupashie ya moto?"

Nikatulia kidogo nikimtazama usoni, halafu kwa ishara ya kiganja nikapiga hapo chini pembeni yangu kumwonyesha kwamba nilitaka aje akae karibu nami. Adelina hakuwa mwanamke wa maigizo wala kujivuta, yaani alipoelewa kutakiwa kufanya kitu, alitekeleza upesi. Akanifuata hapo chini bila ya swali lake kuwa limejibiwa, naye akaketi karibu yangu akiegamia sofa kama mimi. Nikapitisha mkono kuzungukia bega lake, naye akajibana zaidi kwangu na kunishika kiganjani. Hadi raha!

Nikiwa nimeweka hali ya hewa yenye umakini, nikamwambia, "Angalau supu imeikata harufu ya pombe kidogo sa'hivi..."

"Eeh, angalau," akasema hivyo na kutabasamu kiasi.

Nikamwambia, "Sawa. Unajua... ni mambo mengi sana yametokea tangu kifo cha Joy, hadi... nafikiri hasa ni kwa sababu ya kifo cha Joy ndiyo mimi na wewe tulikutana, eh?"

Akatikisa kichwa kukubali huku akiangalia kuelekea kifua changu.

"Kiukweli kabisa sijawahi kukaa na wewe kwa muda mrefu hata ku-share mambo mengi ingawa kwa kipindi fulani ulijaribu kunivuta karibu zaidi... nikujue... na kwa hilo naomba unisamehe..."

"Usijali, JC. Kama ulivyoniambia, mambo yalikuwa mengi, na ninaelewa. Usiwaze wala," akaniambia hivyo kwa upole.

Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikasema, "Nimefurahia sana kuwa nawe hapa. Kutoka ndani ya moyo wangu Adelina, siyo kwa sababu tu ya matatizo niliyonayo, nahitaji ujue hilo."

Akaniangalia usoni kwa ukaribu na kulaza kichwa chake kwenye changu, huku akianza kutembeza vidole vyake kifuani kwangu taratibu. Ilikuwa shukrani.

Nikamuuliza, "Unaishi mwenyewe hapa?"

Akasema, "Kwa sasa hivi niko mwenyewe. Naishi na mwanangu hapa, na msaidizi wa kazi."

"Kumbe? Una mtoto?"

"Ndiyo."

"Hongera. Ahah... umeona sasa? Yaani sikujua..."

"Usijali."

"Miaka yako mingapi, Adelina?" nikamuuliza.

"Thelathini na moja," akajibu.

"Okay. Kwa hiyo... anaitwa nani? Yaani mwanao?" nikamuuliza.

"Anaitwa Marcia."

"Kasichana? Safi sana. Najua kamefata urembo wa mama yake," nikamsifia.

Akatabasamu kiasi.

"Yuko wapi?"

"Ameenda kwa bibi yake majuzi, si unajua wamefunga shule sasa hivi?"

"Ahaa... ndiyo najua."

"Eeeh."

"Anasoma la ngapi?"

"Anaingia la sita mwakani."

"Safi sana. Na baba yake?" nikauliza.

"Baba yake yupo huko Congo. Tuliachana siku nyingi, niligundua ana mke mwingine na watoto kabisa," akaniambia.

"Kumbe?"

"Ndiyo."

"Kwa hiyo... hamkutani tena?"

"Hapana. Ila anawasiliana na anamhudumia mtoto wake, lakini mimi sitaki mazoea naye tena. Alikuwaga anataka tuendelee lakini, nikamkatalia," akaniambia.

"Na hicho kipindi chote umekuwa na nani sasa?" nikamuuliza.

"Sijawa na mtu," akajibu.

"Kweli?"

"Kabisa. Sidanganyi lakini, kuna... wakati nimekutana na mmoja, wawili hivi, lakini hayakuwa ya kudumu. Na umepita muda mrefu sijataka kuwa na mwanaume... lakini..." akaishia hapo.

Nikiwa nimeanza kuzichezea nywele zake za kusukwa taratibu, nikauliza, "Lakini?"

"Nilianza kutamani kuwa na mwanaume nilipokujua wewe," akaniambia hivyo.

"Kweli?"

Akatikisa kichwa kukubali.

"Tokea lini?"

"Tokea mara ya kwanza nimekuona," akaniambia hivyo.

"Hee! Wewe..." nikashangaa kidogo.

Akacheka kwa maringo na kunipiga kifuani kidogo.

"Yaani umeanza kuvutiwa na mimi kutokea kipindi kile unaambiwa Ankia ni mke wangu?"

Akatikisa nyusi kukubali.

"Mbona hukuniambia?"

"Mazingira tu hayakujipa. Na kuna wakati nilikuwa najaribu kukutafuta... nikwambie yaani, ila ndiyo kama unavyosema... mambo mengi... na tayari ukawa umeshampenda Miryam," akaniambia hivyo.

Nikaangalia pembeni na kushusha pumzi.

Akiwa ananifinya-finya kifuani, Adelina akasema, "Usijali JC. Ni Miryam ndiyo unampenda, hakuna wa kupinga. Sisi watu wazima, wala usikwazike sana. Nimeshakuelewa kuwa mwanaume mwenye kujali mno, kila mwanamke anatamani mwanaume kama wewe, lakini si kila mwanamke atakupata. Nilijifunza tu kukubaliana na hilo. Na sasa hivi wewe moyo wako upo kwa mwingine, najua haitawezekana kuugeuzia kwangu kabisa... ila ninafurahia hata kidogo nachopata kutoka kwako."

"Kidogo? Kumbe show yote ya jana ilikuwa ndogo? Niongeze juhudi?" nikatania.

Adelina akacheka kidogo na kusema, "Acha mambo yako, najua unaelewa."

"Ahah... uko sahihi, lakini si kwa yote. Inabidi sasa hivi ukimwongelea Miryam... kila neno utakalotumia liwe past tense."

Adelina akaniangalia usoni.

Nikiwa makini zaidi, nikasema, "Moyo wangu ulikuwa kwa mwingine, ila sasa hivi umeondoka huko. Sawa? Yale yote yaliyotokea jana kwenye ile nyumba yawe mwanga kwako. Kwa Miryam nimemaliza, Adelina."

Mwanamke huyu akanitazama machoni kwa hisia zaidi, nami pia nikamwangalia.

"Itachukua muda kuzoea, lakini nataka nijitoe huko, niwe sehemu mpya kuanzia sasa. Naomba unisaidie kwa hilo," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kunishika kidevuni, akiuliza, "Kweli JC?"

"Ndiyo. Sisemi kwamba nitakuwa... kwa asilimia zote... kile unachotaka niwe kwa haraka, lakini kujitahidi nita...."

Adelina akakatisha maneno yangu kwa kunivuta na kuanza kunipiga denda, iliyoonyesha furaha yake kuelekea kile nilichomwambia.

Aliponiachia, akasema, "Usijali. Nitakuwa hiyo sehemu mpya kwa ajili yako. Nitakusaidia uyasahau maumivu yote."

Aliongea kwa njia iliyojaa hisia za upendo wa wazi kunielekea, nami nikiwa nimejawa na hisia za shukrani nikamvutia kwangu na kumkumbatia.

Mambo yalikuwa yamebadilika kwa kasi sana, na kwa kadiri kubwa moyo wangu uliona kasi hiyo kuwa jambo lililofaa zaidi kutokea hapa na kusonga mbele. Sikuwa na nia ya kumfanya Adelina kama kifaa cha kunisaidia tu kumsahau Miryam na maumivu yoyote niliyohisi, lakini kwa kadiri ambayo mwanamke huyu angejitahidi kunisahaulisha, ningejifunza kumpenda pia yeye kama yeye. Nisingejali kingine tena kilichomhusu Miryam wa Festo kutokea hapa. Ningeianza safari mpya ya mapenzi na Adelina, ningepiga kazi kwa bidii kuelekea mafanikio zaidi, na ningejitahidi kuwa baba bora kwa mwanangu Evelyn. Hicho ndiyo kilichokuwa akilini mwangu zaidi kutokea hapa. Sijui ikiwa ingewezekana kabisa kusahau yote yaliyotokea baina yangu na Miryam, lakini ningefanya kila niwezalo kuyaondoa maishani mwangu. Na ningefanikiwa.






★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★


WhatsApp +255 678 017 280
Shukran
 
MIMI NA MIMI 3

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SITA

★★★★★★★★★★★★★



Nikampiga Adelina busu ya kinywa kwa sekunde chache, huku yeye pia akinirudishia kwa kilichoonekana kuwa hamu kubwa, na akinivutia zaidi kwake kwa mikono miwili.

Nikajitoa kiufupi midomoni mwake na kumwangalia, nami nikasema, "Adelina..."

Akawa ananiangalia pia, huku akiendelea kunishikilia kiunoni.

"Si... sijui kama hii ni... sa... yaani, labda pombe inaniongoza vibaya, sijui ila... kama unataka niache, nambie niache, nitaacha, maana...."

Akanikaza zaidi na kusema, "Sitaki uache."

We!

Baada tu ya kuniambia hivyo, Adelina akaanza kunibusu yeye mwenyewe, asijali harufu ya pombe kinywani kwangu, na mwanamke huyu alikuwa na njia fulani nzito sana ya kuonyesha mahaba. Yaani alinibusu midomoni kwa nguvu, akining'ang'ania mwilini kwa nguvu, na alipenda kupiga denda huku amefumbua macho. Yaani kwa jicho lake la kungu kumbusu kiukaribu huku tunaangaliana sijui kwa nini ilinisisimua sana, na kwa jinsi miili yetu ilivyogandana nilipenda mno namna mashine yangu ilivyosumbuka kupumua kwa mkandamizo huo.

Hamu ikiwa imenizidia pia, nikaushika uso wa Adelina na kuendeleza busu kwa mahaba ya hali ya juu, halafu mwanamke huyu akaishika T-shirt niliyovaa na kuivuta kutokea chini. Nikamruhusu anivulishe upesi, nami nikamkamata tena kwa kuyashika makalio yake manene hatari. Alikuwa na shepu! Yakifichwa ndani ya jeans, Adelina akaona aifungue, kisha mimi nikawa naishusha kutokea kiunoni kwake huku tukiendelea kudendeshana. Yeye pia akafungua mkanda wa suruali yangu na kutoa kifungo, zipu, na kuishusha kiasi pia. Suruali yake ililibana kweli hips zake nono, nami baada ya kuyaweka makalio yake huru nikaanza kuyatomasa na kuyapiga-piga.

Mwanamke akaanza hadi kuninyonya shingo, akishika kifua changu na kufinya-finya, hapo mimi nikiwa nacheza na nguo yake laini ya ndani aliyovaa kwa kuiingiza katikati ya kalio lake, na kisha nikaanza kuivutia kwa chini. Siyo poa, nikawa ndani ya penzi jipya sasa kwa jinsi ilivyoelekea kuwa, lakini zaidi najua ni pombe na matatizo yangu ya moyo tu ndiyo yalikuwa yamefanya mambo yaende namna hii. Kwa hiyo hapo Miryam nikawa nimemweka kando, Adelina ikawa bata mpya. JC kama JC!

Nikaingiza vidole vyangu chini ya mapaja yake, nami nikakishika kitoweo chake kilicholowa ile mbaya. Nilihisi vinyweleo kwa juu kuelekea chini ya hiko kito, nami nikaanza kukikuna-kuna huku nikimshikilia mwili vizuri. Adelina alitoa miguno laini ya pumzi, naye akafanikiwa kuichomoa mashine yangu kutoka boksani na kuanza kuichezea taratibu. Alipatwa na hisia nzuri inaonekana maana akalaza kichwa chake begani kwangu huku akijikunja-kunja kutokana na jinsi nilivyoendelea kumkuna, nami nikaachana na hiyo huduma na kuvua viatu, kisha nikatoa suruali yote. Alisimama kwa kuningoja niongoze mchezo nadhani, na kweli nikamshikilia kwa nguvu na kuanza kumbusu tena, taratibu nikimrudisha nyuma kulielekea sofa.

Akakaa hapo baada ya kulifikia, na mimi nilikuwa na nia ya kuchuchumaa ili nimvue suruali yake, lakini yeye akaikamata mashine yangu na kuitumbukiza mdomoni mwake. Nilisisimka. Sana. Mwili wangu ulikuwa umepandisha joto kali shauri ya pombe, na yeye kuanza kunipa hiyo huduma kukalipandisha zaidi. Alinyonya na kunyonya huku akipitisha mikono yake mpaka makalioni kwangu na kuanza kuyapapasa, yaani dah! Nilihisi raha, lakini nilihitaji kuikoleza.

Nikamtoa hapo na kuishika miguu yake, nami nikainyanyua juu, kitu kilichofanya alalie sofa kwa kuliangukia. Alikuwa na kaumakini fulani hivi ka kimahaba, yaani utani pembeni, hapa alihitaji raha, kwa hiyo hata kutabasamiana ni kitu ambacho hakukielewa. Kuitanua miguu yake namna hiyo kukaniruhusu niivute suruali yake na kuitoa yote, na alikuwa na mguu mzito hatari. Nikayanyanyua mapaja yake na yeye kujishikilia kwa chini ili aitandaze miguu hewani, mashine yangu ikikaza hatari, nami nikaisogeza nguo yake ya ndani nyekundu pembeni kukifichua kitoweo chake. Yaani kilikuwa laini, kikivimba kwa juu lakini kufichwa zaidi kuelekea chini kutokana na unyama wa mapaja yake. Na ile mistari ya mikunjo sasa! Alionekana mtamu!

Basi, nikaona nionjepo hiyo kitu kwa ulimi kidogo maana mrembo alikuwa msafi sana, na kweli chumvi ilikuwa tamu. Nikainyonya taratibu huku nikimwangalia alivyokuwa ananitazama kwa macho legevu, nikikivuta kinyama hiko kwa ustadi wa pombe, kisha nikasimama ili tuongezane joto. Ilinibidi nijipinde kiasi na kuegamia sofa kwa mkono mmoja, kisha nikaanza kuisugua mashine yangu juu ya kito chake na kukikuna-kuna taratibu. Ni kama pombe iliendelea kufifia taratibu, na hapa akili ilifanya kazi vizuri. Nilikuwa najua nachokifanya, nisingekuja kusingizia ilikuwa pombe tu.

Kwa hiyo baada ya kushtua-shtua njiti kwenye ganda la kiberiti, nikaona niuwashe moto sasa. Mashine yangu ikaanza kumwingia mwanamke huyu, taratibu, na kitoweo chake kilikuwa na kiwango kizuri cha kubana. Aliniangalia kwa macho legevu sana, akikunja uso kama ana simanzi vile, na kina chake kikanipokea mpaka robo tatu ndiyo akaniwekea mkono tumboni kuashiria niishie hapo. Nikaanza kumpa tamu sasa, mwanzoni taratibu, na yeye akaanza kujikuna kisi-kwa-juu. Angevuta midomo yake na kuniangalia kwa mkazo wa kimahaba, na nilipoongeza mwendo ndiyo sauti yake ya kuguna ikawa inamtoka. Angehamisha kichwa huku na huku, taratibu yaani, na alipotaka niongeze kasi angenishika kiunoni na kunivutia kwake zaidi.

Alikuwa na joto tamu sana, na hapo sikujali kingine tena ila kuila raha hii mpaka mwisho. Nikamsugua na kumsugua kwa kama dakika tano hivi, nami nikahisi watoto wakija. Sikutaka kuacha, lakini walipolazimisha ikanibidi nichomoe na kuanza kuwamwaga juu ya kitovu chake. Akawa ananiangalia tu nilipoendelea kutoa haja yangu hapo, nikihisi vizuri sana mwilini, na alipoona nimemaliza huku bado mtambo uko mbele, akaushika na kujiingizia tena. Nisingemvunja moyo. Nikaendelea kumpa.. kumpa.. kumpampu, maana alionekana kutaka kufika mahali pazuri pia. Zamu hii nisingezinguliwa na wazungu wala wachina tena, yaani hapa ndiyo ningempiga mpaka angekoma.

Nikaanza kumshushia mapigo mazito zaidi, na sauti zake zikaongezeka kwa kuguna kwa nguvu. Akawa akipiga-piga sofa na kuchukua mto kuufunika uso wake kwa nguvu, kisha akanisukuma kidogo na kuanza kutetemeka miguu. Alikuwa ameuficha uso wake kwa mto bado, nami nikauondoa na kuona jinsi macho yake yalivyokuwa meupe alipoendelea kuusikilizia mshindo wake. Alipotulia kidogo nikaingia tena. Piga, piga, piga, akachoka na kuniondoa kabisa kutoka kwake. Nikasimama mbele yake huku jasho likinitoka, yeye akionekana kuwa mchovu kiasi asiweze kujinyanyua vizuri, hivyo nikamvuta na kumsimamisha. Nikambusu midomoni, na wakati huu akaanza kunikwepa eti. Ahaa?

Nikamgeuza anipe mgongo na kuikaba shingo yake, yeye akinyanyua viganja vyake hewani kwa njia legevu kuonyesha amelendemka kama mlenda, nami nikaiingiza mashine yangu kwa nyuma yake. Kalio lake likiwa kubwa haikuweza kuzama vizuri, hivyo nikamwinamisha na yeye kulishikilia sofa kwa mikono yake. Nikaanza kula tena, ah mwanamke alikuwa mtamu balaa! Nikamsugua na kumsugua huku nikipenda jinsi kalio lake lilivyotikisika, na fikira zangu zikawa zinarudi kwa Miryam zaidi. Nilikuwa nikifanya mapenzi na Adelina lakini picha zilizokuja akilini zikawa kwenye pindi ambazo nilishiriki mapenzi na Miryam. Kwa hali hiyo nikaanza kujihisi vibaya, lakini nikajitahidi kuacha kumuwaza na kuweka akili zaidi kwenye ishu ya sasa.

Adelina alikuwa akipokea mapigo yangu huku akishusha na kupandisha miguu yake kiasi kama kujikolezea utamu, yaani kama alikuwa anacheza simama-kaa ingawa juu juu. Alinigonokea vizuri sana, na baada ya dakika chache akaanza kutetemeka tena miguuni mpaka mwili mzima ukawa unashtua. Na hakutoa sauti, aliigugumia ndani kwa ndani. Nikaanza kukisugua kitoweo chake kwa vidole kutokea nyuma alipoendelea hivyo, naye akajitupia kwenye sofa tena kwa kulalia tumbo huku akipumua kwa uzito. Komesha haikuwa imeisha. Nikaushika mguu wake mmoja na kuutandaza kama mguu wa chura ili aniachie uwazi, nami nikamwingia tena.

Mpaka sasa hakuwa ameitoa blauzi yake, nami nikawa namkuna kwa pigo za nguvu huku nikilikandamiza kalio lake kwa mikono yangu yote. Alikuwa ananyanyua uso wake na kuurudisha sofani tena, utamu ukimkolea anaunyanyua tena na kujaribu kunitazama huku akinong'oneza neno 'baby' mara nyingi, nami nikamwacha kidogo ili kumpumzisha. Nilikuwa nimelowana, jasho! Nikachukua T-shirt langu na kuanza kujifuta, huku Adelina akianza kujinyanyua taratibu, naye akasimama kabisa na kugeukia upande wangu. Nikajaribu kumsogelea, lakini akanisukuma kidogo kama vile hataki, kisha kuifata feni pale pembeni.

Nikatabasamu kiasi kumwangalia jinsi alivyokuwa amekunja sura bado, naye akafanikiwa kuiwasha na kukaa kwenye mkono wa sofa ili impulize kwanza. Nikaiondoa boksa yangu na kubaki mtupu kabisa, mashine yangu ikianza kusinzia kidogo, nami nikamfata hapo alipo na kumshika usoni. Alikuwa kama anasinzia, sijui usingizi wa kulala au wa kimahaba, lakini nilihisi ni kama bado hajatosheka. Sikutaka kumwomba nipakue, nilitaka kujipakulia mwenyewe nile.

Nikaketi nyuma yake na kuanza kumpa massage ya mabega, naye akaipindisha shingo yake kidogo. Kisha nikaishika blauzi yake kutokea nyuma na kuipandisha juu, halafu nikaifungua mikanda ya sidiria yake nyeusi iliyoonekana hapo. Sikuwa nimeitoa kabisa nguo yake, na baada ya kitendo hicho akageuka kunitazama. Nikamwangalia kwa macho ya kimapenzi yaani, yeye akinishusha-kunipandisha kimahaba, nami nikamkamata shingo na kuanza kumpiga denda.

Hii ikafanya kalio lake liteleze kuniangukia maana nilikuwa kama namvuta, na nikiwa naendelea kumpiga denda nikapitisha mkono wangu mbele ya kifua chake na kuuingiza ndani ya blauzi. Bado sidiria ilikuwa imemshika, kwa hiyo nikaivuta na kisha kuitupa pembeni. Nikalikamata titi lake moja na kuanza kulivuta-vuta, huku nisiache kumdenda, na mashine yangu ikawamba zaidi. Hakuwa amenikalia katikati kabisa ila kwenye paja moja, kwa hiyo nikajinyanyua na kumwachia ili alale sofani tena.

Feni ikiwa inapuliza upande huu joto likaonekana kupungua, sasa ikawa muda wa kuliongeza tena. Nikamrekebisha vizuri hapo, mwanamke akiwa wa amani kweli yaani hata hakunipinga, nami nikaitanua miguu yake hewani na mimi kupiga goti moja sofani, mguu mmoja ukiwa chini. Nikamwondolea nguo yake ya ndani miguuni na kuiweka pembeni pia, nami nikamwingia tena. Nilipenda namna alivyorembua na kujivuta kila nilipomwingiza mtambo, na kazi ikaanza tena.

Wakati huu nilienda kwa mwendo mmoja bila kukoma, yaani zikapita dakika tano sijapumzisha kupanda na kushuka nakula tu, na Adelina alikuwa akilia kwa hisia sana na kulitaja jina langu kwa deko yake ya kiutu-uzima. Alipenda sana kunifinya kifuani na kujisugua kisi-kwa-juu yeye mwenyewe, nami nikaipandisha blauzi yake kifuani mpaka shingoni kuyafichua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu huku nikiendelea kula utamu. Na hii ni raha ambayo sikujua aliifurahia zaidi, kwa kuwa niliponyonya titi moja angelishika lingine kunisogezea ili nilinyonye pia. Nikawa nayabugia kwa zamu, chutchu zake zikiwa nene kiasi na zenye kuvutika mpaka raha, na sikupumzisha kumtandika penzi la maana pale utamuni.

Nilipohisi ameanza kutetemeka, nikachomoa mashine upesi, naye akarusha juisi zake za utamu. Akaweweseka, nikamtuliza, kisha nikamwingia tena. Piga, piga, piga, piga, nikachomoa, akarusha tena. Nilipomwingia tena akajishika vidole vya miguu kwa mikono yote na kuivuta miguu nyuma zaidi ya mwili wake mpaka kukipita kichwa, ili nile kwa kujinafasi. Yaani kalio lake lilikuwa tepe, akitoa ute mwingi kitoni mithili ya maziwa, na alipojimwagia juisi zake ilikuwa kama anauosha. Dah! Mwanaume nikakaza tu namna hiyo hiyo mpaka nikahisi mshindo wangu unakuja pia, na ile nimechomoa tu kumwaga kwa mara nyingine yeye pia akarusha juisi zake na kuanza kuweweseka mwili.

Alikazika shingoni, macho yakirembua mpaka kuwa meupe, naye akaanza kusema, "Inatosha... ehh... sss... basi JC... inatoshhh... hhh..."

Alikuwa ameridhika. Sidhani kama aliona mimi pia nikimwaga ndiyo maana alisema hivyo akidhani ningeendelea. Mimi pia nilikuwa nimechoka, na nikihisi maumivu kwenye mashine kwa mbali nikajitoa hapo juu na kukaa chini kabisa. Yaani nikakaa chini huku nikiegamia sofa alilolalia Adelina, na juu kwenye ukuta wa mlango ulioingia jikoni nikaweza kuona saa ya ukutani iliyoonyesha muda kuwa saa kumi usiku. Kumbe tulikata hadi masaa kama mawili! Nikalaza tu kichwa changu kwenye paja lake Adelina, nisijue ikiwa alikuwa macho ama alifia hapo. Nilikuwa nimeanza kuhisi na kiu kabisa, lakini uchovu ukafanya wazo la kuituliza lionekane kuwa la mbali sana. Kwa dakika chache nikatulia hapo kutuliza mwili, na baada ya hapo sikutambua tena kilichofuata. Usingizi ukanibeba.


★★★


Nadhani usingizi ulionibeba haukuwa na mpango wa kuniachia mpaka ukamilishe masaa nane kabisa, kwa sababu nililala kana kwamba sikutaka kuja kuamka tena. Lakini kilichoniamsha ilikuwa ni sauti nzuri ya mwanamke, ambayo kutokana na uzito wa usingizi wangu mwanzoni ilionekana kuwa ngeni kabisa. Ila kwa jitihada ya kistaarabu aliyoweka kuhakikisha naamka, nikafumbua macho hatimaye na kutambua ilikuwa Adelina; penzi langu jipya. Sijui kama kumwita hivyo ingekuwa sahihi kabisa kwa wakati huu, lakini kufumbua macho tu na uso wake kuwa kitu cha kwanza kuona kwa asubuhi hii kulinipatia hisia fulani ya mridhiko. Ni kutokana na kukumbukia, si mengi tu, ila yote yaliyotokea usiku baina yetu.

"JC amka... amka ule, muda umeenda..."

Alinisemesha kwa njia yenye upole sana, nami nikaachia tu tabasamu kivivu na kupiga mhayo kuondoa uchovu, na ndiyo nikatambua kwamba bado nilikuwa chini sebuleni kwake, nikijikaza kwa kuegamia mto. Nadhani mabadiliko niliyoamkia kuyakuta sasa yalifanywa na Adelina mwenyewe, kwa kuwa sikukumbuka mto huo kuwepo ile usiku, na wakati huu nilikuwa nimevaa boksa yangu mwilini. Alinivalisha. Nilipomwangalia vizuri ndiyo nikaona yeye akiwa ndani ya T-shirt langu jeupe, likionekana kumtoshea vyema sana, huku kwa chini asivae chochote zaidi ya tight ya kike nyeupe, iliyoonekana kwa mbali kuling'ata lishepu lake nono katikati ya mapaja yake.

Nikajinyanyua na kuegamia sofa hapo hapo chini, na yeye akasimama kabisa mbele yangu. Kuitazama saa ile ya ukutani nikagundua kweli hakutania aliposema muda umeenda, kwa sababu ilionyesha kuwa saa sita mchana iliyoelekea saa saba. Bado macho yangu yalikuwa na uzito, nikihisi njaa fulani yenye nguvu mwilini, nami nikamtazama usoni kwa njia ya kawaida alipoendelea kusimama hapo.

"Nimeagiza supu, imeshaletwa. Nakuwekea sasa. Unataka maji ya baridi?" akauliza hivyo.

Nikatikisa kichwa kuonyesha sihitaji, naye akaashiria kutaka kuelekea jikoni lakini nikaushika mkono wake kwanza. Akanigeukia. Nikauvuta kiasi, naye akajileta chini kwa kuchuchumaa na kunikaribia usoni huku akinitazama kwa subira.

"Uko poa?" nikamuuliza hivyo.

Akatikisa kichwa kukubali.

"Mbona hujaenda kazini?"

"Leo Jumapili," akajibu.

Nikafumba macho na kusema, "Oh, tsk... kweli. Jumapili."

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwangalia tu nikiwa nakumbukia usiku mtamu balaa alioufanya uwe hiyo jana, nami nikasema, "Nanuka pombe."

Akatikisa kichwa mara moja kukubali huku akikunja midomo eti kuonyesha kinyaa.

Nikatabasamu kiasi na kusema, "Basi weka supu tunywe, afu' nipige mswaki."

Akatabasamu kidogo na kusimama, kwa ukaribu kabisa na uso wangu mapaja yake yakinielekea kama kunifanyia makusudi, nami nikamwangalia mpaka usoni na kumpa tabasamu hafifu pia. Akageuka na kuelekea jikoni, ah hayo makalio! Kwa hapo sikuwa na budi kusahau kabisa yale mambo yenye kuvunja moyo yaliyotokea kwake Miryam hiyo jana, ingawa hayakunitoka akilini mazima.

Nikajinyanyua tu na kukaa sofani, lakini nikahisi mvuto fulani ambao ulinitaka nirudi tu chini, hivyo nikautii na kukaa chini tena. Kuangalia pembeni ndiyo nikaiona simu yangu, kwenye meza iliyobeba king'amuzi, nami nikajivuta na kuichukua ili kuona mapya ya humo kwanza. Kama kawaida, wapendwa wangu muhimu walinitafuta, na ni Bi Zawadi hasa ndiyo aliyepiga mara nyingi zaidi asubuhi hii na kunitumia ujumbe kuulizia hali yangu. Nikawa nawaza nifanye nini sasa, sijui nijibu au niache, na Adelina akarejea hapo huku akibeba hotpot mbili mikononi. Nikaamua kuweka tu simu pembeni na kumpa mwanamke huyu umakini wangu. Sikutaka kujitia misongo asubuhi kwa mambo mengine zaidi ya kitu hiki kizuri kilichokuwa kimeanza hapa.

Adelina alipoweka vyombo vyenye chakula chini, akasema, "Nilikuwa nimefikiria kuagiza supu na chapati ila me mwenyewe nimechelewa kuamka, chapati nikaambiwa zimeisha. Ila nikapata mihogo ya kukaanga. Unakulaga?"

Nikamtazama usoni kwa sekunde chache na kuachia tabasamu hafifu.

Adelina naye akatabasamu kiasi na kusema, "Nitachukulia hiyo ni ndiyo."

Nikatabasamu zaidi na kutikisa kichwa kama kusikitikia utani wake.

Akaelekea tena jikoni na kurudi akibeba vyombo vya kulia na kupakulia, kisha akafata maji na bakuli la kunawia, halafu akakaa chini hapo na kuashiria kutaka kuninawisha. Nikatii hilo. Kwa sababu fulani nilipenda sana kumwangalia alipokuwa akininawisha, jinsi alivyojipinda kiasi na kuilaza shingo yake upande mmoja huku akinitazama kwa njia nzuri sana, nasi kwa pamoja tukacheka kidogo alipomaliza kuninawisha. Kisha ndiyo mapakuzi yakaanza. Nikaketi kwa mtindo wa kukunjia miguu katikati ili nikamue vizuri hiyo mihogo, supu, na kula kwa macho umbo zuri la mwanamke huyu.

Yaani Adelina alikuwa na mwili tunaita "sahihi," alikuwa mzuri sana kumtazama. Sikuweza kujizuia kumwangalia kwa matamanio zaidi mpaka kukumbukia ilivyokuwa kupeana naye penzi huo usiku, na mashine yangu ikavimbisha boksa bila kupenda wakati tukiendelea kula. Adelina na ustaarabu wake aliweza kuona nyendo za macho yangu kuyatazama mapaja yake manono, naye akaona jinsi nilivyosisimka na kuniangalia machoni kwa njia ya kuhukumu.

Nikacheka kidogo kwa kufumba mdomo na na kusema, "Siyo makosa yangu."

Akamalizia kumeza nyama sijui na kuniambia, "Kwani me nimeongea chochote?"

"Hamna, macho yako ndiyo yanajaji..."

"A-aah, umeona vibaya..."

"Eti eh?"

"Kabisa."

"Ni nani alikuletea hivi vyakula?" nikauliza.

"Bee? Hivi? Kuna... kijana mmoja anatumwa. Wanatengenezea huko hivi juu, ndiyo kama nikiwepo nawatumia tu ujumbe wananiletea," akasema.

"Okay."

"Kwa nini umeuliza?"

"Ni vitamu sana. Napendaga vyakula local kama hivi, afu' unakuta bei rahisi tu..." nikamwambia.

"Eeh umeona? Ona muhogo kama huu mia tu. Nikinunua ya mia tano nikala nashiba mpaka kesho," akasema hivyo.

Nikamwangalia kwa utathmini na kisha kucheka kidogo.

"Ahahah... mbona unacheka?" akauliza.

Nikamtazama kwa njia yenye haya kiasi na kusema, "Hamna kitu."

"Niambie," akasema hivyo na kuacha kula.

"Hamna, sidhani kama..."

"Niambie. Unawaza nini?" akasisitiza.

Nikiwa namtazama kwa umakini sasa, nikasema, "Nimefikiria tu... huyo kijana alivyokuletea hii supu akakukuta hivyo... hajazimia kweli?"

Adelina akacheka kwa furaha sana na kufunika mdomo kwa upande wa kiganja chake. Shau eti. Na alikuwa na kicheko kizuri!

Nikiwa natabasamu nikasema, "Maana me ningekufa kabisa."

"Ahahahah... tsk, ni kwenye dunia gani unafikiri naweza kumfungulia mtu mlango na kutoka nikiwa hivi?" Adelina akauliza.

"Ah, me si nimeamka na kukukuta hivyo, kwa hiyo nikafikiri..."

"Mm? Acha masihara yako wewe. Nilienda kumfungulia getini kule, siwezi kutoka hivi," akasema na kuendelea kula.

"Sawa."

"Ahahah... eti 'me ningekufa,'" akasema hivyo.

"Hahah... kweli," nikampampu.

"Mbona jana hujafa?" akauliza hivyo bila kunitazama.

Nikatulia kidogo nikiangalia upande wake, kwa sekunde chache yeye asitake kunitazama, halafu ndiyo akaniangalia usoni kwa macho yenye uzuri mwingi. Yaani hisia. Swali lake lilihitaji jibu zuri najua, na hapo nikaelewa kwamba alitaka kusikia kutoka kwangu nilihisi vipi kuhusu yaliyotokea jana usiku.

Nikamwambia, "Hujui tu... ila nilikuwa karibu kufa."

Akakunja midomo na kuzungusha macho kiasi huku akitabasamu.

"Ahahah... kweli, jana nilihisi... nilihisi raha sana Adelina. Yaani kwa jinsi mambo yalivyokuwa kabla... sikutegemea," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaweka kale kaumakini kake usoni, naye bila kunitazama akasema, "Hata mimi."

Nikiwa makini zaidi wakati huu pia, nikasema, "Ona... si... sitaki uhisi labda kilichotokea jana ni kwa sababu tu ya..."

"Usijali. Mimi siko hivyo, nakuelewa. Na kwa jana... nimefurahia sana," akaongea hivyo kwa uhakika na kuniangalia.

"Kweli?" nikauliza.

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwambia, "We' ni mwanamke mzuri sana Adelina. Sijui... ni kwa nini yaani, ni kama vile leo eti ndiyo nimetambua hilo," nikamwambia hivyo.

"Baada ya kufanya mapenzi na mimi labda ndiyo umetambua..."

"No, sijamaanisha hivyo. Yaani... wewe ni mzuri sana. Sikuwahi tu... kukufikiria namna hii. Ni... niseme ni ule uzuri ambao niliona unahitaji zaidi heshima kutoka kwangu ndiyo sababu nisingefikiria kitu kama hiki kingekuja kutokea baina yetu. Kabisa," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kusema, "Najua."

Alisema hivyo huku akiangalia chini kwa hisia fulani hivi ambayo sikuweza kuielewa, na kabla sijaendelea kuongea akaanza kunyanyuka na kubeba vyombo kwa sababu tayari ilikuwa wazi kwamba sote tumeshiba. Akanisogezea bakuli ili ninawe, nami nikafanya hivyo, kisha akavitoa vyombo na kupeleka jikoni. Nilianza kupatwa na hisia za kwamba kuna mengi ambayo mwanamke huyu alikuwa haniambii, na kwa sababu tulifikia hatua hii sasa ndiyo ningehitajika kumwelewa zaidi ya nilivyomwelewa mwanzo. Joto lilikuwa limeongezeka, jasho likinitoka hasa baada ya kula, naye Adelina akarejea na kuwasha kiyoyozi cha juu.

Akiwa amesimama hapo ukutani, akaniuliza, "Utaoga maji ya kawaida au nikupashie ya moto?"

Nikatulia kidogo nikimtazama usoni, halafu kwa ishara ya kiganja nikapiga hapo chini pembeni yangu kumwonyesha kwamba nilitaka aje akae karibu nami. Adelina hakuwa mwanamke wa maigizo wala kujivuta, yaani alipoelewa kutakiwa kufanya kitu, alitekeleza upesi. Akanifuata hapo chini bila ya swali lake kuwa limejibiwa, naye akaketi karibu yangu akiegamia sofa kama mimi. Nikapitisha mkono kuzungukia bega lake, naye akajibana zaidi kwangu na kunishika kiganjani. Hadi raha!

Nikiwa nimeweka hali ya hewa yenye umakini, nikamwambia, "Angalau supu imeikata harufu ya pombe kidogo sa'hivi..."

"Eeh, angalau," akasema hivyo na kutabasamu kiasi.

Nikamwambia, "Sawa. Unajua... ni mambo mengi sana yametokea tangu kifo cha Joy, hadi... nafikiri hasa ni kwa sababu ya kifo cha Joy ndiyo mimi na wewe tulikutana, eh?"

Akatikisa kichwa kukubali huku akiangalia kuelekea kifua changu.

"Kiukweli kabisa sijawahi kukaa na wewe kwa muda mrefu hata ku-share mambo mengi ingawa kwa kipindi fulani ulijaribu kunivuta karibu zaidi... nikujue... na kwa hilo naomba unisamehe..."

"Usijali, JC. Kama ulivyoniambia, mambo yalikuwa mengi, na ninaelewa. Usiwaze wala," akaniambia hivyo kwa upole.

Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikasema, "Nimefurahia sana kuwa nawe hapa. Kutoka ndani ya moyo wangu Adelina, siyo kwa sababu tu ya matatizo niliyonayo, nahitaji ujue hilo."

Akaniangalia usoni kwa ukaribu na kulaza kichwa chake kwenye changu, huku akianza kutembeza vidole vyake kifuani kwangu taratibu. Ilikuwa shukrani.

Nikamuuliza, "Unaishi mwenyewe hapa?"

Akasema, "Kwa sasa hivi niko mwenyewe. Naishi na mwanangu hapa, na msaidizi wa kazi."

"Kumbe? Una mtoto?"

"Ndiyo."

"Hongera. Ahah... umeona sasa? Yaani sikujua..."

"Usijali."

"Miaka yako mingapi, Adelina?" nikamuuliza.

"Thelathini na moja," akajibu.

"Okay. Kwa hiyo... anaitwa nani? Yaani mwanao?" nikamuuliza.

"Anaitwa Marcia."

"Kasichana? Safi sana. Najua kamefata urembo wa mama yake," nikamsifia.

Akatabasamu kiasi.

"Yuko wapi?"

"Ameenda kwa bibi yake majuzi, si unajua wamefunga shule sasa hivi?"

"Ahaa... ndiyo najua."

"Eeeh."

"Anasoma la ngapi?"

"Anaingia la sita mwakani."

"Safi sana. Na baba yake?" nikauliza.

"Baba yake yupo huko Congo. Tuliachana siku nyingi, niligundua ana mke mwingine na watoto kabisa," akaniambia.

"Kumbe?"

"Ndiyo."

"Kwa hiyo... hamkutani tena?"

"Hapana. Ila anawasiliana na anamhudumia mtoto wake, lakini mimi sitaki mazoea naye tena. Alikuwaga anataka tuendelee lakini, nikamkatalia," akaniambia.

"Na hicho kipindi chote umekuwa na nani sasa?" nikamuuliza.

"Sijawa na mtu," akajibu.

"Kweli?"

"Kabisa. Sidanganyi lakini, kuna... wakati nimekutana na mmoja, wawili hivi, lakini hayakuwa ya kudumu. Na umepita muda mrefu sijataka kuwa na mwanaume... lakini..." akaishia hapo.

Nikiwa nimeanza kuzichezea nywele zake za kusukwa taratibu, nikauliza, "Lakini?"

"Nilianza kutamani kuwa na mwanaume nilipokujua wewe," akaniambia hivyo.

"Kweli?"

Akatikisa kichwa kukubali.

"Tokea lini?"

"Tokea mara ya kwanza nimekuona," akaniambia hivyo.

"Hee! Wewe..." nikashangaa kidogo.

Akacheka kwa maringo na kunipiga kifuani kidogo.

"Yaani umeanza kuvutiwa na mimi kutokea kipindi kile unaambiwa Ankia ni mke wangu?"

Akatikisa nyusi kukubali.

"Mbona hukuniambia?"

"Mazingira tu hayakujipa. Na kuna wakati nilikuwa najaribu kukutafuta... nikwambie yaani, ila ndiyo kama unavyosema... mambo mengi... na tayari ukawa umeshampenda Miryam," akaniambia hivyo.

Nikaangalia pembeni na kushusha pumzi.

Akiwa ananifinya-finya kifuani, Adelina akasema, "Usijali JC. Ni Miryam ndiyo unampenda, hakuna wa kupinga. Sisi watu wazima, wala usikwazike sana. Nimeshakuelewa kuwa mwanaume mwenye kujali mno, kila mwanamke anatamani mwanaume kama wewe, lakini si kila mwanamke atakupata. Nilijifunza tu kukubaliana na hilo. Na sasa hivi wewe moyo wako upo kwa mwingine, najua haitawezekana kuugeuzia kwangu kabisa... ila ninafurahia hata kidogo nachopata kutoka kwako."

"Kidogo? Kumbe show yote ya jana ilikuwa ndogo? Niongeze juhudi?" nikatania.

Adelina akacheka kidogo na kusema, "Acha mambo yako, najua unaelewa."

"Ahah... uko sahihi, lakini si kwa yote. Inabidi sasa hivi ukimwongelea Miryam... kila neno utakalotumia liwe past tense."

Adelina akaniangalia usoni.

Nikiwa makini zaidi, nikasema, "Moyo wangu ulikuwa kwa mwingine, ila sasa hivi umeondoka huko. Sawa? Yale yote yaliyotokea jana kwenye ile nyumba yawe mwanga kwako. Kwa Miryam nimemaliza, Adelina."

Mwanamke huyu akanitazama machoni kwa hisia zaidi, nami pia nikamwangalia.

"Itachukua muda kuzoea, lakini nataka nijitoe huko, niwe sehemu mpya kuanzia sasa. Naomba unisaidie kwa hilo," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kunishika kidevuni, akiuliza, "Kweli JC?"

"Ndiyo. Sisemi kwamba nitakuwa... kwa asilimia zote... kile unachotaka niwe kwa haraka, lakini kujitahidi nita...."

Adelina akakatisha maneno yangu kwa kunivuta na kuanza kunipiga denda, iliyoonyesha furaha yake kuelekea kile nilichomwambia.

Aliponiachia, akasema, "Usijali. Nitakuwa hiyo sehemu mpya kwa ajili yako. Nitakusaidia uyasahau maumivu yote."

Aliongea kwa njia iliyojaa hisia za upendo wa wazi kunielekea, nami nikiwa nimejawa na hisia za shukrani nikamvutia kwangu na kumkumbatia.

Mambo yalikuwa yamebadilika kwa kasi sana, na kwa kadiri kubwa moyo wangu uliona kasi hiyo kuwa jambo lililofaa zaidi kutokea hapa na kusonga mbele. Sikuwa na nia ya kumfanya Adelina kama kifaa cha kunisaidia tu kumsahau Miryam na maumivu yoyote niliyohisi, lakini kwa kadiri ambayo mwanamke huyu angejitahidi kunisahaulisha, ningejifunza kumpenda pia yeye kama yeye. Nisingejali kingine tena kilichomhusu Miryam wa Festo kutokea hapa. Ningeianza safari mpya ya mapenzi na Adelina, ningepiga kazi kwa bidii kuelekea mafanikio zaidi, na ningejitahidi kuwa baba bora kwa mwanangu Evelyn. Hicho ndiyo kilichokuwa akilini mwangu zaidi kutokea hapa. Sijui ikiwa ingewezekana kabisa kusahau yote yaliyotokea baina yangu na Miryam, lakini ningefanya kila niwezalo kuyaondoa maishani mwangu. Na ningefanikiwa.






★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★


WhatsApp +255 678 017 280
We Adelina ww 😂🔥
 
MIMI NA MIMI 3

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SITA

★★★★★★★★★★★★★



Nikampiga Adelina busu ya kinywa kwa sekunde chache, huku yeye pia akinirudishia kwa kilichoonekana kuwa hamu kubwa, na akinivutia zaidi kwake kwa mikono miwili.

Nikajitoa kiufupi midomoni mwake na kumwangalia, nami nikasema, "Adelina..."

Akawa ananiangalia pia, huku akiendelea kunishikilia kiunoni.

"Si... sijui kama hii ni... sa... yaani, labda pombe inaniongoza vibaya, sijui ila... kama unataka niache, nambie niache, nitaacha, maana...."

Akanikaza zaidi na kusema, "Sitaki uache."

We!

Baada tu ya kuniambia hivyo, Adelina akaanza kunibusu yeye mwenyewe, asijali harufu ya pombe kinywani kwangu, na mwanamke huyu alikuwa na njia fulani nzito sana ya kuonyesha mahaba. Yaani alinibusu midomoni kwa nguvu, akining'ang'ania mwilini kwa nguvu, na alipenda kupiga denda huku amefumbua macho. Yaani kwa jicho lake la kungu kumbusu kiukaribu huku tunaangaliana sijui kwa nini ilinisisimua sana, na kwa jinsi miili yetu ilivyogandana nilipenda mno namna mashine yangu ilivyosumbuka kupumua kwa mkandamizo huo.

Hamu ikiwa imenizidia pia, nikaushika uso wa Adelina na kuendeleza busu kwa mahaba ya hali ya juu, halafu mwanamke huyu akaishika T-shirt niliyovaa na kuivuta kutokea chini. Nikamruhusu anivulishe upesi, nami nikamkamata tena kwa kuyashika makalio yake manene hatari. Alikuwa na shepu! Yakifichwa ndani ya jeans, Adelina akaona aifungue, kisha mimi nikawa naishusha kutokea kiunoni kwake huku tukiendelea kudendeshana. Yeye pia akafungua mkanda wa suruali yangu na kutoa kifungo, zipu, na kuishusha kiasi pia. Suruali yake ililibana kweli hips zake nono, nami baada ya kuyaweka makalio yake huru nikaanza kuyatomasa na kuyapiga-piga.

Mwanamke akaanza hadi kuninyonya shingo, akishika kifua changu na kufinya-finya, hapo mimi nikiwa nacheza na nguo yake laini ya ndani aliyovaa kwa kuiingiza katikati ya kalio lake, na kisha nikaanza kuivutia kwa chini. Siyo poa, nikawa ndani ya penzi jipya sasa kwa jinsi ilivyoelekea kuwa, lakini zaidi najua ni pombe na matatizo yangu ya moyo tu ndiyo yalikuwa yamefanya mambo yaende namna hii. Kwa hiyo hapo Miryam nikawa nimemweka kando, Adelina ikawa bata mpya. JC kama JC!

Nikaingiza vidole vyangu chini ya mapaja yake, nami nikakishika kitoweo chake kilicholowa ile mbaya. Nilihisi vinyweleo kwa juu kuelekea chini ya hiko kito, nami nikaanza kukikuna-kuna huku nikimshikilia mwili vizuri. Adelina alitoa miguno laini ya pumzi, naye akafanikiwa kuichomoa mashine yangu kutoka boksani na kuanza kuichezea taratibu. Alipatwa na hisia nzuri inaonekana maana akalaza kichwa chake begani kwangu huku akijikunja-kunja kutokana na jinsi nilivyoendelea kumkuna, nami nikaachana na hiyo huduma na kuvua viatu, kisha nikatoa suruali yote. Alisimama kwa kuningoja niongoze mchezo nadhani, na kweli nikamshikilia kwa nguvu na kuanza kumbusu tena, taratibu nikimrudisha nyuma kulielekea sofa.

Akakaa hapo baada ya kulifikia, na mimi nilikuwa na nia ya kuchuchumaa ili nimvue suruali yake, lakini yeye akaikamata mashine yangu na kuitumbukiza mdomoni mwake. Nilisisimka. Sana. Mwili wangu ulikuwa umepandisha joto kali shauri ya pombe, na yeye kuanza kunipa hiyo huduma kukalipandisha zaidi. Alinyonya na kunyonya huku akipitisha mikono yake mpaka makalioni kwangu na kuanza kuyapapasa, yaani dah! Nilihisi raha, lakini nilihitaji kuikoleza.

Nikamtoa hapo na kuishika miguu yake, nami nikainyanyua juu, kitu kilichofanya alalie sofa kwa kuliangukia. Alikuwa na kaumakini fulani hivi ka kimahaba, yaani utani pembeni, hapa alihitaji raha, kwa hiyo hata kutabasamiana ni kitu ambacho hakukielewa. Kuitanua miguu yake namna hiyo kukaniruhusu niivute suruali yake na kuitoa yote, na alikuwa na mguu mzito hatari. Nikayanyanyua mapaja yake na yeye kujishikilia kwa chini ili aitandaze miguu hewani, mashine yangu ikikaza hatari, nami nikaisogeza nguo yake ya ndani nyekundu pembeni kukifichua kitoweo chake. Yaani kilikuwa laini, kikivimba kwa juu lakini kufichwa zaidi kuelekea chini kutokana na unyama wa mapaja yake. Na ile mistari ya mikunjo sasa! Alionekana mtamu!

Basi, nikaona nionjepo hiyo kitu kwa ulimi kidogo maana mrembo alikuwa msafi sana, na kweli chumvi ilikuwa tamu. Nikainyonya taratibu huku nikimwangalia alivyokuwa ananitazama kwa macho legevu, nikikivuta kinyama hiko kwa ustadi wa pombe, kisha nikasimama ili tuongezane joto. Ilinibidi nijipinde kiasi na kuegamia sofa kwa mkono mmoja, kisha nikaanza kuisugua mashine yangu juu ya kito chake na kukikuna-kuna taratibu. Ni kama pombe iliendelea kufifia taratibu, na hapa akili ilifanya kazi vizuri. Nilikuwa najua nachokifanya, nisingekuja kusingizia ilikuwa pombe tu.

Kwa hiyo baada ya kushtua-shtua njiti kwenye ganda la kiberiti, nikaona niuwashe moto sasa. Mashine yangu ikaanza kumwingia mwanamke huyu, taratibu, na kitoweo chake kilikuwa na kiwango kizuri cha kubana. Aliniangalia kwa macho legevu sana, akikunja uso kama ana simanzi vile, na kina chake kikanipokea mpaka robo tatu ndiyo akaniwekea mkono tumboni kuashiria niishie hapo. Nikaanza kumpa tamu sasa, mwanzoni taratibu, na yeye akaanza kujikuna kisi-kwa-juu. Angevuta midomo yake na kuniangalia kwa mkazo wa kimahaba, na nilipoongeza mwendo ndiyo sauti yake ya kuguna ikawa inamtoka. Angehamisha kichwa huku na huku, taratibu yaani, na alipotaka niongeze kasi angenishika kiunoni na kunivutia kwake zaidi.

Alikuwa na joto tamu sana, na hapo sikujali kingine tena ila kuila raha hii mpaka mwisho. Nikamsugua na kumsugua kwa kama dakika tano hivi, nami nikahisi watoto wakija. Sikutaka kuacha, lakini walipolazimisha ikanibidi nichomoe na kuanza kuwamwaga juu ya kitovu chake. Akawa ananiangalia tu nilipoendelea kutoa haja yangu hapo, nikihisi vizuri sana mwilini, na alipoona nimemaliza huku bado mtambo uko mbele, akaushika na kujiingizia tena. Nisingemvunja moyo. Nikaendelea kumpa.. kumpa.. kumpampu, maana alionekana kutaka kufika mahali pazuri pia. Zamu hii nisingezinguliwa na wazungu wala wachina tena, yaani hapa ndiyo ningempiga mpaka angekoma.

Nikaanza kumshushia mapigo mazito zaidi, na sauti zake zikaongezeka kwa kuguna kwa nguvu. Akawa akipiga-piga sofa na kuchukua mto kuufunika uso wake kwa nguvu, kisha akanisukuma kidogo na kuanza kutetemeka miguu. Alikuwa ameuficha uso wake kwa mto bado, nami nikauondoa na kuona jinsi macho yake yalivyokuwa meupe alipoendelea kuusikilizia mshindo wake. Alipotulia kidogo nikaingia tena. Piga, piga, piga, akachoka na kuniondoa kabisa kutoka kwake. Nikasimama mbele yake huku jasho likinitoka, yeye akionekana kuwa mchovu kiasi asiweze kujinyanyua vizuri, hivyo nikamvuta na kumsimamisha. Nikambusu midomoni, na wakati huu akaanza kunikwepa eti. Ahaa?

Nikamgeuza anipe mgongo na kuikaba shingo yake, yeye akinyanyua viganja vyake hewani kwa njia legevu kuonyesha amelendemka kama mlenda, nami nikaiingiza mashine yangu kwa nyuma yake. Kalio lake likiwa kubwa haikuweza kuzama vizuri, hivyo nikamwinamisha na yeye kulishikilia sofa kwa mikono yake. Nikaanza kula tena, ah mwanamke alikuwa mtamu balaa! Nikamsugua na kumsugua huku nikipenda jinsi kalio lake lilivyotikisika, na fikira zangu zikawa zinarudi kwa Miryam zaidi. Nilikuwa nikifanya mapenzi na Adelina lakini picha zilizokuja akilini zikawa kwenye pindi ambazo nilishiriki mapenzi na Miryam. Kwa hali hiyo nikaanza kujihisi vibaya, lakini nikajitahidi kuacha kumuwaza na kuweka akili zaidi kwenye ishu ya sasa.

Adelina alikuwa akipokea mapigo yangu huku akishusha na kupandisha miguu yake kiasi kama kujikolezea utamu, yaani kama alikuwa anacheza simama-kaa ingawa juu juu. Alinigonokea vizuri sana, na baada ya dakika chache akaanza kutetemeka tena miguuni mpaka mwili mzima ukawa unashtua. Na hakutoa sauti, aliigugumia ndani kwa ndani. Nikaanza kukisugua kitoweo chake kwa vidole kutokea nyuma alipoendelea hivyo, naye akajitupia kwenye sofa tena kwa kulalia tumbo huku akipumua kwa uzito. Komesha haikuwa imeisha. Nikaushika mguu wake mmoja na kuutandaza kama mguu wa chura ili aniachie uwazi, nami nikamwingia tena.

Mpaka sasa hakuwa ameitoa blauzi yake, nami nikawa namkuna kwa pigo za nguvu huku nikilikandamiza kalio lake kwa mikono yangu yote. Alikuwa ananyanyua uso wake na kuurudisha sofani tena, utamu ukimkolea anaunyanyua tena na kujaribu kunitazama huku akinong'oneza neno 'baby' mara nyingi, nami nikamwacha kidogo ili kumpumzisha. Nilikuwa nimelowana, jasho! Nikachukua T-shirt langu na kuanza kujifuta, huku Adelina akianza kujinyanyua taratibu, naye akasimama kabisa na kugeukia upande wangu. Nikajaribu kumsogelea, lakini akanisukuma kidogo kama vile hataki, kisha kuifata feni pale pembeni.

Nikatabasamu kiasi kumwangalia jinsi alivyokuwa amekunja sura bado, naye akafanikiwa kuiwasha na kukaa kwenye mkono wa sofa ili impulize kwanza. Nikaiondoa boksa yangu na kubaki mtupu kabisa, mashine yangu ikianza kusinzia kidogo, nami nikamfata hapo alipo na kumshika usoni. Alikuwa kama anasinzia, sijui usingizi wa kulala au wa kimahaba, lakini nilihisi ni kama bado hajatosheka. Sikutaka kumwomba nipakue, nilitaka kujipakulia mwenyewe nile.

Nikaketi nyuma yake na kuanza kumpa massage ya mabega, naye akaipindisha shingo yake kidogo. Kisha nikaishika blauzi yake kutokea nyuma na kuipandisha juu, halafu nikaifungua mikanda ya sidiria yake nyeusi iliyoonekana hapo. Sikuwa nimeitoa kabisa nguo yake, na baada ya kitendo hicho akageuka kunitazama. Nikamwangalia kwa macho ya kimapenzi yaani, yeye akinishusha-kunipandisha kimahaba, nami nikamkamata shingo na kuanza kumpiga denda.

Hii ikafanya kalio lake liteleze kuniangukia maana nilikuwa kama namvuta, na nikiwa naendelea kumpiga denda nikapitisha mkono wangu mbele ya kifua chake na kuuingiza ndani ya blauzi. Bado sidiria ilikuwa imemshika, kwa hiyo nikaivuta na kisha kuitupa pembeni. Nikalikamata titi lake moja na kuanza kulivuta-vuta, huku nisiache kumdenda, na mashine yangu ikawamba zaidi. Hakuwa amenikalia katikati kabisa ila kwenye paja moja, kwa hiyo nikajinyanyua na kumwachia ili alale sofani tena.

Feni ikiwa inapuliza upande huu joto likaonekana kupungua, sasa ikawa muda wa kuliongeza tena. Nikamrekebisha vizuri hapo, mwanamke akiwa wa amani kweli yaani hata hakunipinga, nami nikaitanua miguu yake hewani na mimi kupiga goti moja sofani, mguu mmoja ukiwa chini. Nikamwondolea nguo yake ya ndani miguuni na kuiweka pembeni pia, nami nikamwingia tena. Nilipenda namna alivyorembua na kujivuta kila nilipomwingiza mtambo, na kazi ikaanza tena.

Wakati huu nilienda kwa mwendo mmoja bila kukoma, yaani zikapita dakika tano sijapumzisha kupanda na kushuka nakula tu, na Adelina alikuwa akilia kwa hisia sana na kulitaja jina langu kwa deko yake ya kiutu-uzima. Alipenda sana kunifinya kifuani na kujisugua kisi-kwa-juu yeye mwenyewe, nami nikaipandisha blauzi yake kifuani mpaka shingoni kuyafichua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu huku nikiendelea kula utamu. Na hii ni raha ambayo sikujua aliifurahia zaidi, kwa kuwa niliponyonya titi moja angelishika lingine kunisogezea ili nilinyonye pia. Nikawa nayabugia kwa zamu, chutchu zake zikiwa nene kiasi na zenye kuvutika mpaka raha, na sikupumzisha kumtandika penzi la maana pale utamuni.

Nilipohisi ameanza kutetemeka, nikachomoa mashine upesi, naye akarusha juisi zake za utamu. Akaweweseka, nikamtuliza, kisha nikamwingia tena. Piga, piga, piga, piga, nikachomoa, akarusha tena. Nilipomwingia tena akajishika vidole vya miguu kwa mikono yote na kuivuta miguu nyuma zaidi ya mwili wake mpaka kukipita kichwa, ili nile kwa kujinafasi. Yaani kalio lake lilikuwa tepe, akitoa ute mwingi kitoni mithili ya maziwa, na alipojimwagia juisi zake ilikuwa kama anauosha. Dah! Mwanaume nikakaza tu namna hiyo hiyo mpaka nikahisi mshindo wangu unakuja pia, na ile nimechomoa tu kumwaga kwa mara nyingine yeye pia akarusha juisi zake na kuanza kuweweseka mwili.

Alikazika shingoni, macho yakirembua mpaka kuwa meupe, naye akaanza kusema, "Inatosha... ehh... sss... basi JC... inatoshhh... hhh..."

Alikuwa ameridhika. Sidhani kama aliona mimi pia nikimwaga ndiyo maana alisema hivyo akidhani ningeendelea. Mimi pia nilikuwa nimechoka, na nikihisi maumivu kwenye mashine kwa mbali nikajitoa hapo juu na kukaa chini kabisa. Yaani nikakaa chini huku nikiegamia sofa alilolalia Adelina, na juu kwenye ukuta wa mlango ulioingia jikoni nikaweza kuona saa ya ukutani iliyoonyesha muda kuwa saa kumi usiku. Kumbe tulikata hadi masaa kama mawili! Nikalaza tu kichwa changu kwenye paja lake Adelina, nisijue ikiwa alikuwa macho ama alifia hapo. Nilikuwa nimeanza kuhisi na kiu kabisa, lakini uchovu ukafanya wazo la kuituliza lionekane kuwa la mbali sana. Kwa dakika chache nikatulia hapo kutuliza mwili, na baada ya hapo sikutambua tena kilichofuata. Usingizi ukanibeba.


★★★


Nadhani usingizi ulionibeba haukuwa na mpango wa kuniachia mpaka ukamilishe masaa nane kabisa, kwa sababu nililala kana kwamba sikutaka kuja kuamka tena. Lakini kilichoniamsha ilikuwa ni sauti nzuri ya mwanamke, ambayo kutokana na uzito wa usingizi wangu mwanzoni ilionekana kuwa ngeni kabisa. Ila kwa jitihada ya kistaarabu aliyoweka kuhakikisha naamka, nikafumbua macho hatimaye na kutambua ilikuwa Adelina; penzi langu jipya. Sijui kama kumwita hivyo ingekuwa sahihi kabisa kwa wakati huu, lakini kufumbua macho tu na uso wake kuwa kitu cha kwanza kuona kwa asubuhi hii kulinipatia hisia fulani ya mridhiko. Ni kutokana na kukumbukia, si mengi tu, ila yote yaliyotokea usiku baina yetu.

"JC amka... amka ule, muda umeenda..."

Alinisemesha kwa njia yenye upole sana, nami nikaachia tu tabasamu kivivu na kupiga mhayo kuondoa uchovu, na ndiyo nikatambua kwamba bado nilikuwa chini sebuleni kwake, nikijikaza kwa kuegamia mto. Nadhani mabadiliko niliyoamkia kuyakuta sasa yalifanywa na Adelina mwenyewe, kwa kuwa sikukumbuka mto huo kuwepo ile usiku, na wakati huu nilikuwa nimevaa boksa yangu mwilini. Alinivalisha. Nilipomwangalia vizuri ndiyo nikaona yeye akiwa ndani ya T-shirt langu jeupe, likionekana kumtoshea vyema sana, huku kwa chini asivae chochote zaidi ya tight ya kike nyeupe, iliyoonekana kwa mbali kuling'ata lishepu lake nono katikati ya mapaja yake.

Nikajinyanyua na kuegamia sofa hapo hapo chini, na yeye akasimama kabisa mbele yangu. Kuitazama saa ile ya ukutani nikagundua kweli hakutania aliposema muda umeenda, kwa sababu ilionyesha kuwa saa sita mchana iliyoelekea saa saba. Bado macho yangu yalikuwa na uzito, nikihisi njaa fulani yenye nguvu mwilini, nami nikamtazama usoni kwa njia ya kawaida alipoendelea kusimama hapo.

"Nimeagiza supu, imeshaletwa. Nakuwekea sasa. Unataka maji ya baridi?" akauliza hivyo.

Nikatikisa kichwa kuonyesha sihitaji, naye akaashiria kutaka kuelekea jikoni lakini nikaushika mkono wake kwanza. Akanigeukia. Nikauvuta kiasi, naye akajileta chini kwa kuchuchumaa na kunikaribia usoni huku akinitazama kwa subira.

"Uko poa?" nikamuuliza hivyo.

Akatikisa kichwa kukubali.

"Mbona hujaenda kazini?"

"Leo Jumapili," akajibu.

Nikafumba macho na kusema, "Oh, tsk... kweli. Jumapili."

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwangalia tu nikiwa nakumbukia usiku mtamu balaa alioufanya uwe hiyo jana, nami nikasema, "Nanuka pombe."

Akatikisa kichwa mara moja kukubali huku akikunja midomo eti kuonyesha kinyaa.

Nikatabasamu kiasi na kusema, "Basi weka supu tunywe, afu' nipige mswaki."

Akatabasamu kidogo na kusimama, kwa ukaribu kabisa na uso wangu mapaja yake yakinielekea kama kunifanyia makusudi, nami nikamwangalia mpaka usoni na kumpa tabasamu hafifu pia. Akageuka na kuelekea jikoni, ah hayo makalio! Kwa hapo sikuwa na budi kusahau kabisa yale mambo yenye kuvunja moyo yaliyotokea kwake Miryam hiyo jana, ingawa hayakunitoka akilini mazima.

Nikajinyanyua tu na kukaa sofani, lakini nikahisi mvuto fulani ambao ulinitaka nirudi tu chini, hivyo nikautii na kukaa chini tena. Kuangalia pembeni ndiyo nikaiona simu yangu, kwenye meza iliyobeba king'amuzi, nami nikajivuta na kuichukua ili kuona mapya ya humo kwanza. Kama kawaida, wapendwa wangu muhimu walinitafuta, na ni Bi Zawadi hasa ndiyo aliyepiga mara nyingi zaidi asubuhi hii na kunitumia ujumbe kuulizia hali yangu. Nikawa nawaza nifanye nini sasa, sijui nijibu au niache, na Adelina akarejea hapo huku akibeba hotpot mbili mikononi. Nikaamua kuweka tu simu pembeni na kumpa mwanamke huyu umakini wangu. Sikutaka kujitia misongo asubuhi kwa mambo mengine zaidi ya kitu hiki kizuri kilichokuwa kimeanza hapa.

Adelina alipoweka vyombo vyenye chakula chini, akasema, "Nilikuwa nimefikiria kuagiza supu na chapati ila me mwenyewe nimechelewa kuamka, chapati nikaambiwa zimeisha. Ila nikapata mihogo ya kukaanga. Unakulaga?"

Nikamtazama usoni kwa sekunde chache na kuachia tabasamu hafifu.

Adelina naye akatabasamu kiasi na kusema, "Nitachukulia hiyo ni ndiyo."

Nikatabasamu zaidi na kutikisa kichwa kama kusikitikia utani wake.

Akaelekea tena jikoni na kurudi akibeba vyombo vya kulia na kupakulia, kisha akafata maji na bakuli la kunawia, halafu akakaa chini hapo na kuashiria kutaka kuninawisha. Nikatii hilo. Kwa sababu fulani nilipenda sana kumwangalia alipokuwa akininawisha, jinsi alivyojipinda kiasi na kuilaza shingo yake upande mmoja huku akinitazama kwa njia nzuri sana, nasi kwa pamoja tukacheka kidogo alipomaliza kuninawisha. Kisha ndiyo mapakuzi yakaanza. Nikaketi kwa mtindo wa kukunjia miguu katikati ili nikamue vizuri hiyo mihogo, supu, na kula kwa macho umbo zuri la mwanamke huyu.

Yaani Adelina alikuwa na mwili tunaita "sahihi," alikuwa mzuri sana kumtazama. Sikuweza kujizuia kumwangalia kwa matamanio zaidi mpaka kukumbukia ilivyokuwa kupeana naye penzi huo usiku, na mashine yangu ikavimbisha boksa bila kupenda wakati tukiendelea kula. Adelina na ustaarabu wake aliweza kuona nyendo za macho yangu kuyatazama mapaja yake manono, naye akaona jinsi nilivyosisimka na kuniangalia machoni kwa njia ya kuhukumu.

Nikacheka kidogo kwa kufumba mdomo na na kusema, "Siyo makosa yangu."

Akamalizia kumeza nyama sijui na kuniambia, "Kwani me nimeongea chochote?"

"Hamna, macho yako ndiyo yanajaji..."

"A-aah, umeona vibaya..."

"Eti eh?"

"Kabisa."

"Ni nani alikuletea hivi vyakula?" nikauliza.

"Bee? Hivi? Kuna... kijana mmoja anatumwa. Wanatengenezea huko hivi juu, ndiyo kama nikiwepo nawatumia tu ujumbe wananiletea," akasema.

"Okay."

"Kwa nini umeuliza?"

"Ni vitamu sana. Napendaga vyakula local kama hivi, afu' unakuta bei rahisi tu..." nikamwambia.

"Eeh umeona? Ona muhogo kama huu mia tu. Nikinunua ya mia tano nikala nashiba mpaka kesho," akasema hivyo.

Nikamwangalia kwa utathmini na kisha kucheka kidogo.

"Ahahah... mbona unacheka?" akauliza.

Nikamtazama kwa njia yenye haya kiasi na kusema, "Hamna kitu."

"Niambie," akasema hivyo na kuacha kula.

"Hamna, sidhani kama..."

"Niambie. Unawaza nini?" akasisitiza.

Nikiwa namtazama kwa umakini sasa, nikasema, "Nimefikiria tu... huyo kijana alivyokuletea hii supu akakukuta hivyo... hajazimia kweli?"

Adelina akacheka kwa furaha sana na kufunika mdomo kwa upande wa kiganja chake. Shau eti. Na alikuwa na kicheko kizuri!

Nikiwa natabasamu nikasema, "Maana me ningekufa kabisa."

"Ahahahah... tsk, ni kwenye dunia gani unafikiri naweza kumfungulia mtu mlango na kutoka nikiwa hivi?" Adelina akauliza.

"Ah, me si nimeamka na kukukuta hivyo, kwa hiyo nikafikiri..."

"Mm? Acha masihara yako wewe. Nilienda kumfungulia getini kule, siwezi kutoka hivi," akasema na kuendelea kula.

"Sawa."

"Ahahah... eti 'me ningekufa,'" akasema hivyo.

"Hahah... kweli," nikampampu.

"Mbona jana hujafa?" akauliza hivyo bila kunitazama.

Nikatulia kidogo nikiangalia upande wake, kwa sekunde chache yeye asitake kunitazama, halafu ndiyo akaniangalia usoni kwa macho yenye uzuri mwingi. Yaani hisia. Swali lake lilihitaji jibu zuri najua, na hapo nikaelewa kwamba alitaka kusikia kutoka kwangu nilihisi vipi kuhusu yaliyotokea jana usiku.

Nikamwambia, "Hujui tu... ila nilikuwa karibu kufa."

Akakunja midomo na kuzungusha macho kiasi huku akitabasamu.

"Ahahah... kweli, jana nilihisi... nilihisi raha sana Adelina. Yaani kwa jinsi mambo yalivyokuwa kabla... sikutegemea," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaweka kale kaumakini kake usoni, naye bila kunitazama akasema, "Hata mimi."

Nikiwa makini zaidi wakati huu pia, nikasema, "Ona... si... sitaki uhisi labda kilichotokea jana ni kwa sababu tu ya..."

"Usijali. Mimi siko hivyo, nakuelewa. Na kwa jana... nimefurahia sana," akaongea hivyo kwa uhakika na kuniangalia.

"Kweli?" nikauliza.

Akatikisa nyusi kukubali.

Nikamwambia, "We' ni mwanamke mzuri sana Adelina. Sijui... ni kwa nini yaani, ni kama vile leo eti ndiyo nimetambua hilo," nikamwambia hivyo.

"Baada ya kufanya mapenzi na mimi labda ndiyo umetambua..."

"No, sijamaanisha hivyo. Yaani... wewe ni mzuri sana. Sikuwahi tu... kukufikiria namna hii. Ni... niseme ni ule uzuri ambao niliona unahitaji zaidi heshima kutoka kwangu ndiyo sababu nisingefikiria kitu kama hiki kingekuja kutokea baina yetu. Kabisa," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kusema, "Najua."

Alisema hivyo huku akiangalia chini kwa hisia fulani hivi ambayo sikuweza kuielewa, na kabla sijaendelea kuongea akaanza kunyanyuka na kubeba vyombo kwa sababu tayari ilikuwa wazi kwamba sote tumeshiba. Akanisogezea bakuli ili ninawe, nami nikafanya hivyo, kisha akavitoa vyombo na kupeleka jikoni. Nilianza kupatwa na hisia za kwamba kuna mengi ambayo mwanamke huyu alikuwa haniambii, na kwa sababu tulifikia hatua hii sasa ndiyo ningehitajika kumwelewa zaidi ya nilivyomwelewa mwanzo. Joto lilikuwa limeongezeka, jasho likinitoka hasa baada ya kula, naye Adelina akarejea na kuwasha kiyoyozi cha juu.

Akiwa amesimama hapo ukutani, akaniuliza, "Utaoga maji ya kawaida au nikupashie ya moto?"

Nikatulia kidogo nikimtazama usoni, halafu kwa ishara ya kiganja nikapiga hapo chini pembeni yangu kumwonyesha kwamba nilitaka aje akae karibu nami. Adelina hakuwa mwanamke wa maigizo wala kujivuta, yaani alipoelewa kutakiwa kufanya kitu, alitekeleza upesi. Akanifuata hapo chini bila ya swali lake kuwa limejibiwa, naye akaketi karibu yangu akiegamia sofa kama mimi. Nikapitisha mkono kuzungukia bega lake, naye akajibana zaidi kwangu na kunishika kiganjani. Hadi raha!

Nikiwa nimeweka hali ya hewa yenye umakini, nikamwambia, "Angalau supu imeikata harufu ya pombe kidogo sa'hivi..."

"Eeh, angalau," akasema hivyo na kutabasamu kiasi.

Nikamwambia, "Sawa. Unajua... ni mambo mengi sana yametokea tangu kifo cha Joy, hadi... nafikiri hasa ni kwa sababu ya kifo cha Joy ndiyo mimi na wewe tulikutana, eh?"

Akatikisa kichwa kukubali huku akiangalia kuelekea kifua changu.

"Kiukweli kabisa sijawahi kukaa na wewe kwa muda mrefu hata ku-share mambo mengi ingawa kwa kipindi fulani ulijaribu kunivuta karibu zaidi... nikujue... na kwa hilo naomba unisamehe..."

"Usijali, JC. Kama ulivyoniambia, mambo yalikuwa mengi, na ninaelewa. Usiwaze wala," akaniambia hivyo kwa upole.

Nikatikisa kichwa kuonyesha uelewa, nami nikasema, "Nimefurahia sana kuwa nawe hapa. Kutoka ndani ya moyo wangu Adelina, siyo kwa sababu tu ya matatizo niliyonayo, nahitaji ujue hilo."

Akaniangalia usoni kwa ukaribu na kulaza kichwa chake kwenye changu, huku akianza kutembeza vidole vyake kifuani kwangu taratibu. Ilikuwa shukrani.

Nikamuuliza, "Unaishi mwenyewe hapa?"

Akasema, "Kwa sasa hivi niko mwenyewe. Naishi na mwanangu hapa, na msaidizi wa kazi."

"Kumbe? Una mtoto?"

"Ndiyo."

"Hongera. Ahah... umeona sasa? Yaani sikujua..."

"Usijali."

"Miaka yako mingapi, Adelina?" nikamuuliza.

"Thelathini na moja," akajibu.

"Okay. Kwa hiyo... anaitwa nani? Yaani mwanao?" nikamuuliza.

"Anaitwa Marcia."

"Kasichana? Safi sana. Najua kamefata urembo wa mama yake," nikamsifia.

Akatabasamu kiasi.

"Yuko wapi?"

"Ameenda kwa bibi yake majuzi, si unajua wamefunga shule sasa hivi?"

"Ahaa... ndiyo najua."

"Eeeh."

"Anasoma la ngapi?"

"Anaingia la sita mwakani."

"Safi sana. Na baba yake?" nikauliza.

"Baba yake yupo huko Congo. Tuliachana siku nyingi, niligundua ana mke mwingine na watoto kabisa," akaniambia.

"Kumbe?"

"Ndiyo."

"Kwa hiyo... hamkutani tena?"

"Hapana. Ila anawasiliana na anamhudumia mtoto wake, lakini mimi sitaki mazoea naye tena. Alikuwaga anataka tuendelee lakini, nikamkatalia," akaniambia.

"Na hicho kipindi chote umekuwa na nani sasa?" nikamuuliza.

"Sijawa na mtu," akajibu.

"Kweli?"

"Kabisa. Sidanganyi lakini, kuna... wakati nimekutana na mmoja, wawili hivi, lakini hayakuwa ya kudumu. Na umepita muda mrefu sijataka kuwa na mwanaume... lakini..." akaishia hapo.

Nikiwa nimeanza kuzichezea nywele zake za kusukwa taratibu, nikauliza, "Lakini?"

"Nilianza kutamani kuwa na mwanaume nilipokujua wewe," akaniambia hivyo.

"Kweli?"

Akatikisa kichwa kukubali.

"Tokea lini?"

"Tokea mara ya kwanza nimekuona," akaniambia hivyo.

"Hee! Wewe..." nikashangaa kidogo.

Akacheka kwa maringo na kunipiga kifuani kidogo.

"Yaani umeanza kuvutiwa na mimi kutokea kipindi kile unaambiwa Ankia ni mke wangu?"

Akatikisa nyusi kukubali.

"Mbona hukuniambia?"

"Mazingira tu hayakujipa. Na kuna wakati nilikuwa najaribu kukutafuta... nikwambie yaani, ila ndiyo kama unavyosema... mambo mengi... na tayari ukawa umeshampenda Miryam," akaniambia hivyo.

Nikaangalia pembeni na kushusha pumzi.

Akiwa ananifinya-finya kifuani, Adelina akasema, "Usijali JC. Ni Miryam ndiyo unampenda, hakuna wa kupinga. Sisi watu wazima, wala usikwazike sana. Nimeshakuelewa kuwa mwanaume mwenye kujali mno, kila mwanamke anatamani mwanaume kama wewe, lakini si kila mwanamke atakupata. Nilijifunza tu kukubaliana na hilo. Na sasa hivi wewe moyo wako upo kwa mwingine, najua haitawezekana kuugeuzia kwangu kabisa... ila ninafurahia hata kidogo nachopata kutoka kwako."

"Kidogo? Kumbe show yote ya jana ilikuwa ndogo? Niongeze juhudi?" nikatania.

Adelina akacheka kidogo na kusema, "Acha mambo yako, najua unaelewa."

"Ahah... uko sahihi, lakini si kwa yote. Inabidi sasa hivi ukimwongelea Miryam... kila neno utakalotumia liwe past tense."

Adelina akaniangalia usoni.

Nikiwa makini zaidi, nikasema, "Moyo wangu ulikuwa kwa mwingine, ila sasa hivi umeondoka huko. Sawa? Yale yote yaliyotokea jana kwenye ile nyumba yawe mwanga kwako. Kwa Miryam nimemaliza, Adelina."

Mwanamke huyu akanitazama machoni kwa hisia zaidi, nami pia nikamwangalia.

"Itachukua muda kuzoea, lakini nataka nijitoe huko, niwe sehemu mpya kuanzia sasa. Naomba unisaidie kwa hilo," nikamwambia.

Akatabasamu kiasi na kunishika kidevuni, akiuliza, "Kweli JC?"

"Ndiyo. Sisemi kwamba nitakuwa... kwa asilimia zote... kile unachotaka niwe kwa haraka, lakini kujitahidi nita...."

Adelina akakatisha maneno yangu kwa kunivuta na kuanza kunipiga denda, iliyoonyesha furaha yake kuelekea kile nilichomwambia.

Aliponiachia, akasema, "Usijali. Nitakuwa hiyo sehemu mpya kwa ajili yako. Nitakusaidia uyasahau maumivu yote."

Aliongea kwa njia iliyojaa hisia za upendo wa wazi kunielekea, nami nikiwa nimejawa na hisia za shukrani nikamvutia kwangu na kumkumbatia.

Mambo yalikuwa yamebadilika kwa kasi sana, na kwa kadiri kubwa moyo wangu uliona kasi hiyo kuwa jambo lililofaa zaidi kutokea hapa na kusonga mbele. Sikuwa na nia ya kumfanya Adelina kama kifaa cha kunisaidia tu kumsahau Miryam na maumivu yoyote niliyohisi, lakini kwa kadiri ambayo mwanamke huyu angejitahidi kunisahaulisha, ningejifunza kumpenda pia yeye kama yeye. Nisingejali kingine tena kilichomhusu Miryam wa Festo kutokea hapa. Ningeianza safari mpya ya mapenzi na Adelina, ningepiga kazi kwa bidii kuelekea mafanikio zaidi, na ningejitahidi kuwa baba bora kwa mwanangu Evelyn. Hicho ndiyo kilichokuwa akilini mwangu zaidi kutokea hapa. Sijui ikiwa ingewezekana kabisa kusahau yote yaliyotokea baina yangu na Miryam, lakini ningefanya kila niwezalo kuyaondoa maishani mwangu. Na ningefanikiwa.






★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★


WhatsApp +255 678 017 280
JC ni kusema nayo tuu mishangaz dadeq
 
Sikuzote mwanaume hajawahi kuchelewesha maamuzi japo hutuumiza ila tunatoa maamuzi ya busara na ya haraka na hii ndo inatufanya tuendelee kuwa wanaume wakushika madaraka. binafsi hivyo ndivyo nilivyo mimi.
 
Good, na hakikisha huyo MIMI anajua ili aelewe kwamba ilikuwa muhimu kukupa muda muongee na kuliweka Sawa lililotokea kuliko ubinafsi anaoufanya.
Sipendi mwanamke anaeringa Mimi jamani lol!
 
MIMI NA MIMI 3

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA SABA

★★★★★★★★★★★★★



Maisha yakaendelea. Bwana, kutokea siku ambayo Miryam alipasua dafu la penzi letu na kuamua kuyamwaga maji yake chini badala ya kuyanywa mpaka mimi kujikuta nakosa budi kupanda mnazi mwingine kujichumia dafu jipya, zikawa zimepita wiki mbili. Nadhani inaeleweka, kwamba kwa sasa sikuwa tena nikimfatilia mwanamke yule niliyejenga upendo wenye nguvu sana kumwelekea, nami nikahamishia hisia hizo kwake Adelina; mwanamke mstaarabu aliyekuwa amenipenda kwa kitambo kirefu. Ilikuja kama jambo ambalo niliwahisha mno, lakini kwa manufaa yangu ya kihisia lilianza kuwa bora sana.

Siku baada ya siku, Adelina aliendelea kuwa mzuri sana kwangu, njia yake ya kupokea na kuonyesha hisia ikinivuta kwake zaidi. Wingi wa kazi haukutuzuia kutengeneza nafasi za mawasiliano na kukutana, kwa sababu hata yeye alikuwa huru zaidi kwa Jumapili kama ilivyokuwa kwangu, lakini nilijitahidi kutumia muda wowote uliopatikana kumwonyesha kwamba kwenye ratiba zangu alikuwa na kipaumbele pia. Mara kadhaa ningemfata huko Airport kumwona, kumtoa na kumrudisha nyumbani, na kupanga milo ya pamoja naye ambayo kwa mara mbili zaidi ilipelekea tushiriki mapenzi matamu.

Kale kautulivu alikokuwa nako Adelina ni sehemu ya juu kwenye upendezi niliokuwa nao kumwelekea, na katika vita yangu ya kujitahidi kumweka Miryam kushoto kabisa, Adelina akawa ameanza kunisaidia kweli kusonga mbele. Sifichi, kuna nyakati ambazo akili yangu ingenirudisha nyuma, kumwaza Miryam, na kiukweli hisia za kusononeka zililemea kwa pindi hizi. Lakini nilielewa bado ilikuwa mapema sana kuondolea kila kitu kutoka fikirani na hata moyoni, hivyo langu na Adelina lilihitaji muda mrefu zaidi wa kukua na kuona tungeishia wapi.

Ndani ya hizo siku, ratiba ikiwa na mambo mengi kama kwenda kazini, kutafuta muda wa kuonana na mwanangu, kuwatembelea Jasmine na watoto wake, uhusiano wangu mpya huo, ni kama nilijitahidi kuwa kila mahali ili ubize usiachane na mimi, na mambo niliyojaribu kuepuka ndiyo yaniage. Lakini haikuwa rahisi kwa asilimia zote. Kuwasiliana na watu waliohusiana naye Miryam, kama Tesha, Ankia, Soraya, Bi Zawadi, na hata binti Mariam, kulifanya nipate taarifa za mwanamke huyo ilhali sikuziulizia.

Inaonekana Miryam pia alikuwa akijitahidi kusonga mbele, labda na mpenzi wake mpya, na Soraya alikuwa amenifahamisha kwamba kipindi hiki bosi wake alitoka kule Kijichi dukani na kuanza kufanya kazi kwenye moja ya matawi makubwa ya SACCOS jijini, akiwa kwenye ofisi ya mhasibu kama Mhasibu mkuu. Shughuli za kule dukani aliziacha mikononi mwa Soraya na kuajiri mtu mwingine zaidi kama msaidizi, kwa hiyo kweli Miryam alikuwa akipiga hatua mpya kwenye maisha yake ili bila shaka aiongezee hali njema ya kiuchumi familia yake na yeye binafsi. Ila sikujua mengi, na kusema kweli sikutaka kujua. Ni basi tu, haya mambo yangekuja mbele yangu nitake nisitake, kwa sababu bado watu waliomzunguka Miryam walikuwa muhimu kwangu.

Mariam pia aliendelea vizuri, kwa afya ya akili. Tulipowasiliana alinifahamisha kuwa ameshaanza mazoezi ya twisheni yatakayomruhusu aelekee chuo, na dada yake alikuwa akifikiria kumpeleka Morogoro akasome kwenye chuo fulani huko maeneo ambayo yangekuwa karibu na shamba aliloachiwa binti na marehemu wazazi wake. Bi Zawadi na Bi Jamila waliendelea kuwa wazima wa afya, na sikuwa nimepata nafasi ya kuongea na Bi Jamila moja kwa moja lakini kila mara Bi Zawadi aliponisalimu nilituma salamu zangu kwa mwenziye pia.

Bado damu hazikuwa zimepoa kuhusiana na ile ishu ya undugu kwa sababu mama yangu, kama mimi, alitaka muda upite kwanza kabla ya ile sote kutakiwa kuja kuyaongelea mambo hayo. Hakuficha hisia nzito alizokuwa nazo kumwelekea Bi Jamila kutokana na namna ambavyo alitendewa kipindi cha nyuma, kujileta chini na kusamehe yote kweli ingemhitaji awe sawa zaidi kihisia. Kwa hiyo mpango wa kuzikutanisha familia zetu bado ulikuwa pale pale, sema ulitiwa ugumu zaidi hasa baada ya suala langu na Miryam kugeukia upande mbaya kutokea ule usiku. Isingekuwa rahisi. Kama yeye alivyokuwa akiniepuka, me mwenyewe nikawa kama nayaepuka haya yote wakati huu.

Simba, rafiki yangu mwanajeshi alikuwa na misele mingi pia tangu aje jijini, akienda huku ama kule ambako aliendeleza matembezi yake kwa watu wengine ambao tulifahamiana nao. Kwa sasa alikuwa pande za Segerea ambako rafiki yetu mwingine daktari, aliyefanya kazi hospitali ya Agha Khan aliishi. Zikiwa zimebaki siku chache tu ifike tarehe ya sikukuu ya Krismasi, Simba alikuwa ameahidi kurejea kwangu ili tujiunge pamoja kusherehekea. Sikuwa nimemjulisha yeyote yule, hata Ankia, kuhusu uhusiano wangu mpya na Adelina. Nikawa na mpango wa kumtambulisha Adelina kwa marafiki zangu na hata familia siku hiyo ikifika, kwa sababu kusherehekea sikukuu hiyo lilikuwa jambo ambalo tungefanya pamoja. Nisingeficha tena, kama ambavyo Adelina alitaka tuendelee kuwa wakimya kwanza, bali kuanzia hapo ningeumwaga mtama wa penzi letu jipya.


★★★


Hii ikiwa ni siku ya Jumatatu sasa, kazi hospitali kama kawaida zilifanywa hadi kufikia usiku, na mida ya saa mbili nikawasiliana na Stella. Mama wa mwanangu huyo, akiwa mpole kweli siku hizi kwa namna alivyojionyesha, alikuwa zake nyumbani tayari kwa wakati huu pamoja na binti yetu. Evelyn hakuwa mbali sana kimiezi kuifikia siku ambayo angefikisha miaka mitatu, kwa hiyo kwa kadiri fulani aliweza kuzungumza vizuri. Tukiwa tunatumia video call hapo kuwasiliana, nikaongea na mtoto pia, naye akaanza kusisitiza kwamba niende nyumbani hapo kumpelekea zawadi ya "bathdei" yake. Nikamwambia lakini si bado siku hiyo haikufika, zawadi ya nini sasa hivi? Kikaanza kulia!

Heee, Stella akaanza kunifokea, kimasihara, akiniambia mimi mbaya kwa kukataa kumletea mtoto zawadi, nami nikamtuliza kimwana kwa kusema ningepita hapo nyumbani upesi sana kumletea alichotaka, hivyo aache kulia na aniambie angependa nini. Evelyn alikuwa na ucheshi wa aina yake kwa sababu baada tu ya mimi kusema hivyo, kile kilichokuwa kilio kikageuka furaha, yaani kumbe alikuwa akiigiza kujiliza ili nimkubalie. Akasema anataka chocolate. Nikamtania kwa kumwambia ningekuja na zawadi na kumshushia kipigo kwa kunifanyia mchezo wa kujiliza, na ndiyo tukaachana nikimwambia Stella muda si mrefu ningetoka kazini na kupita hapo kwake kuwasalimu kidogo. Ikawa imeenda.

Muda wa kama saa moja tu hivi baada ya kuhakikisha kila jambo kwa upande wangu hapo hospitali limekaa vyema, nikaondoka kuelekea nyumbani kwa Stella kutimiza ahadi yangu. Ningehitajika kurudi tena maana kikawaida nililala hospitalini siku za kazi endapo kama sikupanga kulala nje, hasa siku ambazo Adelina angenihitaji. Si unajua tena! Kwa hiyo nikapitia midoli miwili mikubwa ya watoto, kigauni kizuri cha njano, tuviatu tuzuri, pamoja na maboksi ya chocolate alizopenda Evelyn, kisha safari ya kuelekea kwake Stella ikachukua dakika chache tu kunifikisha bila presha.

Nyumba yake Stella ilikuwa kwenye maeneo ya Tegeta Complex, ikiwa ni ya kulipia kwa mwaka. Ilikuwa kubwa, nzuri, yenye uzio uliozungushiwa nyaya za ulinzi kwa juu na eneo pana kiasi kuizunguka ambalo halikuwa na nyumba kwa ukaribu sana. Mara ya mwisho kwenda hapo ni siku kadhaa zilizopita ambapo nilikuja kwa dhumuni la kumwona mtoto pia. Sikuwa nimepasahau kwa sababu nakumbuka kipindi nilichojaribu kuja kuongea na Stella kuhusiana na Evelyn kuwa mwanangu na yeye kunikatalia tayari alikuwa ameshaanza kuishi hapo, akiungwa mkono na bwana wake mhindi wa kipindi hicho.

Kwa hiyo baada ya kufika, nikaingiza gari na kuegesha karibu na la kwake Stella, na kutokea mlangoni kule kwenye nyumba niliweza kumwona Stella mwenyewe akija pamoja na Evelyn. Kitoto kilikuwa kinatembea kwa kuwahi kama kinakimbia baada ya mama yake kumsaidia kushuka ngazi, nami nikatoka ndani ya gari na kukutana na mwanangu huyo. Alikuja kwa utayari wa kubebwa na baba yake hapa, nami nikampokea kwa kumnyanyua na kuanza kumpa mabusu kama yote. Stella alikuja akiwa amevaa nguo pana nyeupe ya kupumzikia, na kimwonekano alipendeza sana usoni na kichwani. Akatufikia hapo, nikiwa nimeanza kumsemesha mtoto kwa kudekeza, na ndiyo nikamwona mwanamke mwingine akitokea kule ndani na kusimama usawa wa mlango kututazama. Sikumfahamu, na yeye alikuwa mweupe pia kama Stella.

Stella akiwa karibu nasi zaidi, akasema, "Karibu. Ila umechelewa mbona?"

"Nilipita dukani kwanza," nikamwambia.

"Baba..." Evelyn akaniita.

"Nambie sugar..." nikaitika.

"Nipe zawadi," akasema hivyo.

"Eh! Jamani..." Stella akasema hivyo na kutabasamu.

"Hahah... straight to business," nikasema.

"Yaani! Hata umemwamkia daddy, Eve?" Stella akaongea hivyo.

Evelyn akawa amevimbisha shavu tu kitoto.

Nikamwambia, "Zawadi zipo baby, ila niamkie kwanza nikupe."

Mtoto akasema, "Shamoo..."

"Ahahahah... marahaba mwanangu. Kumbe anajua?" nikauliza.

"Eeeh, kashajifunza," Stella akasema.

"Safi sana. Nimekuletea zawadi nyingi mpaka mama ataona wivu leo," nikamwambia hivyo Evelyn.

Stella akacheka kidogo na kusema, "Twende ndani mwaya, utakuwa umechoka."

"Sawa. Huyo nani?" nikamuuliza hivyo.

"Huyo dada. Amekuja juzi. Sikukuu, si unajua?" akajibu.

"Ahaa..."

"Eeeh, wengine pia watakuja tule bata. Na wewe umo kwenye list," akaniambia.

Nikatikisa kichwa tu kana kwamba nimekubaliana naye na kuelekea garini tena pamoja na mtoto, nami nikatoa baadhi ya vitu nilivyomnunulia na kumwomba Stella anisaidie kutoa vingine. Evelyn tayari alikuwa ameshaanza kung'ang'ania chocolate zake kabla hata hatujaelekea ndani, asijali zawadi zingine yaani, nasi watatu tukatoka hapo mpaka kwenye mwingilio nilipokutana na huyo mwanamke aliyekuwa dada yake Stella. Alikuwa na umbo zuri, lenye kunawiri lisilo nene sana. Kwa makadirio alikuwa wa miaka 30 kushuka chini, kwa sababu kiumri mimi na Stella tulilingana kwa hiyo alionekana kutomwacha mbali sana. Na alikuwa dada yake wa damu, kwa baba tofauti.

Sikuwahi kuwajua wengi wa ndugu zake Stella, kwa hiyo kwenye orodha ya wachache huyu akawa ameongezeka. Tukaingia ndani baada ya kusalimiana vizuri, mazingira na vitu vilivyomo pakiwa safi sana, na msaidizi wa kazi wa hapo akaja kusalimia na kutaka kusaidia kubeba vitu vyake Evelyn nilivyoleta, lakini Stella akamwambia haikuwa na shida na akaendelee na kazi. Tukaketi kwenye masofa, mwanangu nikimpakata huku akiwa ameanza kuzilamba chocolate; alizipenda sana. Stella akakaa na dada yake sofa la pembeni wakiziangalia nguo na midoli ya mtoto niliyoleta.

"Eve... ona! Njoo ujaribie..." Stella akamsemesha mtoto hivyo, akimwonyesha gauni lake jipya.

Lakini Evelyn akaendelea kula tu hamsini zake za chocolate.

"Evelyn unapenda chocolate wewe," shangazi yake akamwambia.

"Yaani, haambiliki! Kwenye chai anataka ichanganyiwe chocolate flavour, ice cream zenye chocolate, kidogo tu 'mama nataka chocolate,' jamani..." Stella akasema.

"Haonyeshagi kwamba zinamkifu?" nikamuuliza.

"Hamna! Haipiti siku nakwambia hajagusa hivyo vitu," akasema Stella.

"Na anavyokula kwa maringo..." shangazi yake Evelyn akasema.

"Hivyo zilivyo nyeusi, anataka kubadilisha ulimi rangi uwe mwarabu koko," nikatania.

Stella na dada yake wakacheka kidogo, naye Evelyn akawa amemaliza kula kiboksi kimoja cha chocolate na kunionyesha anataka kingine. Alikuwa amemaliza viwili.

"Unataka nyingine? Tumbo litapasuka sasa..." nikamwambia.

"Eti! Hata dinner hajala bado," Stella akasema.

"Kumbe bado?" nikauliza.

"Aligoma, akakusubiri tu wewe umletee zawadi halafu ndiyo ale. Sasa sa'hivi umezileta, hataki tena kula," akasema hivyo Stella.

"Evelyn... ule kwanza msosi mamaa, halafu tuje kula chocolate eh?" shangazi akamsemesha mtoto.

Evelyn akapandisha bega kukataa na kunilalia kwa njia ya deko.

"Haya sasa..." Stella akasema.

"Hmm. Yamekuwa hayo?" shangazi yake akaongea pia.

"Eve... baby, nasikia njaa kweli. Tule kidogo na mimi, eti? Halafu tuzimalizie chocolate, sawa?" nikamsemesha Evelyn namna hiyo.

Mwanangu akatikisa kichwa kukubali, na wanawake wakatabasamu huku wakimpa mtoto miguno ya kusuta eti. Sote tukacheka kidogo kwa furaha. Stella akanyanyuka na kuanza kuelekea upande wa jikoni nadhani ili kuangalia mapishi, akitembea kwa doido mpaka raha.

Dada yake Stella, akiwa ananiangalia, akaniambia, "Baba Evelyn, unafanana sana na mwanao."

"Ahahah... eti eh?" nikamsemesha pia.

"Sana. Nilikuwaga nakuona unavyofanana naye kwenye picha, ila live ndiyo copy ile ile kabisa," akaniambia.

"Asante sana. Kumbe umenijua kutokea muda?"

"Ndiyo, wengi tunakujua," akasema.

"Oh... basi itakuwa kwa umaarufu mbaya..."

"Aa, wala! Stella waga anakusifia sana, alipotuambia umerudi kumwona mtoto sasa hivi na me nikasema ngoja nije nichunguliepo..."

"Ili unione live?" nikamtega.

Akatikisa kichwa kukubali, nasi tukacheka kidogo kwa pamoja.

"Unaitwa nani?" nikamuuliza.

"Deborah. Eh, halafu mpaka sasa hivi sikuwa nimejitambulisha!" akasema hivyo.

"Ndiyo hahah... nimefurahi kukufahamu leo Deborah. Me pia nijitambulishe kama Jayden, au JC. Baba Evelyn inafaa pia," nikamwambia.

"Hahah... kweli, inakupendezea," akaniambia.

"Asante. Siwajui wengi wa kwenu ila, yaani sanasana Stella, Arnold na... namkumbuka yule Deo macho..."

"Deo macho msodoki eeh..."

"Eeh, hahahah... yupo wapi siku hizi?"

"Yupo Tabora, alioa kule..."

"Kumbe?"

"Ndiyo."

"Ah, basi kumbe kitambo sana, nimemjulia Mwanza na binamu yake huyu. Hiyo inamaanisha binamu yenu..."

"Ndiyo, ni mtoto wa shangazi," akasema.

"Miaka mitatu tu, lakini mambo mengi yanabadilika..."

"Kwa kweli."

"Sikuwahi kukusikia. Kipindi hicho we' ulikuwaga wapi?" nikamuuliza.

Ni wakati huu ndiyo Stella akarejea tena.

"Nilikuwa Dodoma, nilikuwa nasoma kule," Deborah akajibu.

"Ahaa..." nikasema.

Stella akaketi sofani na kusema, "Alikuwa ndiyo anamalizia mwaka wa mwisho UDom."

"Ooh, kumbe?" nikauliza.

"Mwaka juzi, si ndiyo?" Stella akamuuliza mwenzake.

"Ndiyo. Nimemaliza tu ndiyo nasikia na wewe kitumbo mbele, he!" Deborah akasema hivyo.

Stella akacheka kidogo na kumpiga gotini, naye akasema, "Niliwahi kabla yako. Raha za dunia kama ujuavyo."

Kauli yake ikafanya Deborah acheke huku akiniangalia kwa haya kiasi, nami nikatabasamu tu na kuendelea kumpeti mtoto. Sikuwa nimetambua kwamba msaidizi wa kazi tayari alianza kuandaa meza kwa ajili ya chakula, kwa hiyo akafika tu hapo na kutukaribisha tukale, ndiyo nikageuka kuona kwamba meza ya msosi ilikuwa tayari. Nikamgeukia Stella na kumwangalia kwa njia ambayo ilimwelewesha kwamba sikuwa na mpango wa kukaa kula kabisa, naye akanikata jicho kali.

"Vipi tena?" Deborah akauliza.

"Nahisi natakiwa niwakimbie, maana kuna..."

"Jayden..." Stella akanikatisha huku akiniangalia kimkazo.

"Kuna ishu ya C-section Stella natakiwa nifanye maandalizi, maana kesho..."

"Lakini we' Jayden mwongo wewe! Sema tu unaenda kwenye mambo yako huko mengine, hakuna cha C-section wala nini..." Stella akalalamika.

"Si ungekula tu kwanza, hata kidogo. Au?" Deborah akaniambia.

"Yaani dada, nilikuwa tu napita. Stella, usijali. Nikiwa free kabisa hapa sikosi msosi na mwanangu. Serious," nikamwambia.

"Yaani kweli Jayden unataka kuondoka kumwacha mtoto kisa maandalizi ya C-section? Muhimbili uko peke yako? Siyo vizuri," Stella akasema hivyo huku akiangalia pembeni eti kimanung'uniko.

"Na Evelyn atakubali umkimbie?" Deborah akauliza huku akitabasamu.

"Eve... mng'ang'anie baba asiondoke. Lia mpaka mbinguni wazibe masikio," Stella akasema hivyo.

Deborah na msaidizi wa Stella wakacheka kidogo, nami nikatabasamu na kumwangalia mwanangu. Nilichomwambia Stella kilikuwa na ukweli, kwa kuwa nilitaka kuandaa mambo fulani ya kesho kwa ajili ya mjamzito VIP aliyekuwa na ugonjwa wa kisukari, akiwa karibu kujifungua, kisha nipumzike mapema kupata nguvu. Sasa nikawa najifikiria kubadili ratiba kidogo ili nimridhishe Stella, maana na chakula kilikuwa mezani tayari. Kabla sijatoa jibu, simu yangu ikaita, na mpigaji alikuwa ni binti Mariam. Kwa wakati huu haikuwa kawaida kwake kunipigia, kwa hiyo nisingeweza kukisia ikiwa alitaka tu kunisalimu ama kulikuwa na jambo lingine.

Deborah akasema, "Usijishauri sana ba' Evelyn. Tule tu, afu' uende. Huyo mwenyewe umemshawishi ukimwambia utakula naye afu' uondoke tena?"

"Eti jamani!" Stella akasema.

Nikatabasamu na kusema, "Sawa. Haina shida. Ngoja nipokee simu kwanza."

"Haya," Deborah akasema hivyo na kutabasamu.

"Kashaanza kuitwa hivyo..."

Nilimsikia Stella aliposema hivyo kikejeli, na Deborah akacheka kidogo huku mimi nikiwa nimepokea simu tayari na kuweka sikioni.

"Hallo..."

Nikatoa salamu hiyo nikitarajia Mariam ajibu kwa maneno, lakini jibu lililokuja likawa ni sauti ya kilio. Umakini ukaniingia.

"Mamu?" nikaita hivyo.

"JC..." sauti ya Mariam ikasikika, na bado alikuwa akilia kwa njia iliyoonyesha presha.

Bila shaka uso wangu ulioonyesha hali ya umakini uliwafanya Stella na Deborah waniangalie kwa udadisi makini pia, nami nikamuuliza Mariam, "Nini... Mamu, kuna tatizo?"

"JC... hhh.. mama... mama ameanguka!" Mariam akasema hivyo.

Nilikunja uso kimaswali nikiwa nimeshangazwa na kauli hiyo, na nisielewe alimaanisha nini kwa kusema hivyo.

"Ma' mkubwa ameanguka JC! Ameacha... hapumui... hapumui kabisaa..." Mariam akaniambia hivyo.

Nilishtushwa sana na maneno hayo na kujikuta nasimama ghafla kutoka sofani, nikiingiwa na hofu nzito kwa kutoelewa nini kilikuwa kimetokea.







★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★


Whatsapp +255 678 017 280
 
Back
Top Bottom