Simulizi: Mpenzi jini

Simulizi: Mpenzi jini

SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 28.
...Tulipoishia...Ketaro Aliendelea Kumfuata Maimuna Bila Yakujuwa Mwisho Wa Safari Yao.Walifika Hadi Ndani Ya Msitu Na Kuketi Mahali.
KETARO:Sasa Maimuna Mbona Umenileta Hadi Huku Kote Mbali?.
MAIMUNA:Mazingira Haya Ninayapenda Sana Na Ndio Mana Nikakuleta Mahali Hapa Mambo Ya Kukaa Kwenye Nyumba Zile Za Udongo Mwishowe Zitudondokee Mimi Hata Staki.
KETARO:Hizo Sasa Dharau Umeshaanza Kudharau Maisha Ya Nyumbani Kwetu Sio.Ketaro Alinyanyuka Kwa Hasira Nakuanza Kuondoka.
MAIMUNA:Sasa Unaenda Wapi Mume Wangu Jamani.
KETARO:Niache Niende Zangu Nyumbani.Ghafla Maimuna Alimvuta Ketaro Mkono Nakuanza Kumnyonya Mate Mdomoni .Ketaro Alishindwa Kujizuia Alijikuta Nayeye Akitoa Ushirikiano Vyema Katika Tendo Hilo.Wakiwa Wanaendelea Kunyonyana Midomo Yao Pamoja Na Ndimi Zao Maimuna Alianza Uchokozi Alianza Kumvua Nguo Ketaro Taratibu Huku Akijivua Nguo Na Yeye Taratibu.Walijikuta Wakishiriki Tendo La Ndoa Lakini Wakiwa Wanashiriki Tendo La Ndoa Ketaro Alipata Kuona Alama Ambayo Huwa Ipo Kwenye Mwili Wa Najma.Ketaro Aliogopa Sana Na Kushtuka Akahisi Anaweza Akawa Najma.
MAIMUNA:Vipi Mbona Unashtuka Ivyo Kulikoni.
KETARO:Nimeshangaa Kukuona Na Alama Ambayo Anakuwaga Nayo Najma Na Siku Zote Wewe Sikuonagi Nayo Hiyo Alama.
MAIMUNA:Hata Usijali Hizi Ni Alama Tunazowekewaga Katika Jamii Zetu Usijali.Maimuna Aliendelea Kumpapasa Ketaro Huku Ketaro Akiwa Hisia Zimekwisha Poa.Lakini Muda Mdogo Tu Ketaro Alipandwa Na Hisia Na Wakashiriki Tendo la Ndoa Ipasavyo Tofauti Kabisa Na Siku Zote.Baada Ya Kama Yapata Masaa Mawili(2) Wakawa Wamekwisha Maliza Na Wakaanza Safari Ya Kurejea Nyumbani.
KETARO:Mke Wangu Hamna Siku Uliyonifurahisha Kama Leo Yaani Penzi La Leo Ni Tamu Sana Kuliko Siku Zote Jamani.
MAIMUNA:Usijali.Walitembea Kurudi Nyumbani .Walipofika Karibia Na Nyumbani Maimuna Akamwambia Ketaro.
MAIMUNA:Mume Wangu Samahani Kidogo Kuna Majani Fulani Nimesahau Kuyachupa Hapo Tu Naomba Nikuache Mara Moja Narejea Sasa Hivi.Ketaro Hakuwa Na Budi Kumruhusu Lakini Yeye Aliingia Zake Nyumbani.Alipofika Alimkuta Mtoto Akiwa Ameketi Kwenye Mlango Alienda Nakumbeba Na Kumwingiza Ndani Nakumweka Kwenye Kitanda Ili Apate Kulala Na Kupumzika Baada Ya Hapo Alitoka Nje Alipotoka Nje Alishangaa Kumuona Maimuna Akiwa Anatokea Kwenye Chumba Chake Nakumsalimia.
MAIMUNA:Mume Wangu Vipi Umzima.Ketaro Alishindwa Kuelewa Aliwaza"Huyu Maimuna Sinimetoka Nae Huko Sio Muda Sasa Mbona Ananisalimia Tena "Lakini Aliwaza Yanaweza Yakawa Masihala Yake Kwani Maimuna Alikuwa Ni Mtu Wa Masihara.
KETARO:Salama Vipi Umekwisha Pata Dawa Yako.Ketaro Alipomuuliza Ivyo Maimuna.Maimuna Alijuwa Ketaro Anamtania Kwani Jana Usiku Alidanganya Kuwa Anaumwa Tumbo Ili Kuepuka Kunywa Dawa Sasa Akajuwa Yakwamba Ndio Anamtania Umekwisha Pata Dawa Yako.Maiumana Alicheka Kidogo.
MAIMUNA:Hahahahaha Ndio Nimepata Usijali.Basi Ketaro Hakuwa Nashaka Jibu Hilo Lilimfanya Kuamini Yakuwa Maimuna Ndiye Aliyekwenda Naye Msituni.Muda Ulienda Na Jioni Ikatimu Kabla Ya Luyange Kurudi Maimuna Akawa Amekwisha Kutupa Kile Chakula Alichopewa Jana Usiku Na Kuosha Vyombo.Luyange Aliporudi Alikuta Vyombo Vimekwisha Oshwa Hadi Alivyompatia Chakula Maimuna.Kuoshwa Kule Vyombo Kulifanya Luyange Aamini Yakuwa Maimuna Alikula Chakula Jana Usiku.Muda Ulienda Na Usiku Ulitimu Kama kawaida Chakula Kilipikwa Na Watu Wote Walikusanyika Ili Wapate Kula Lakini Kwa Mara Nyingine Tena Maimuna Aliomba Chakula Chake Akalie Ndani Kwake.Basi Luyange Hakuwa Na Kipingamizi Alimkatia Chakula Nakumpatia Huku Ketaro Akiwa Mwenye Kuzidisha Chumvi Na Maneno Ya Uongo Mara Maimuna Hajazoea Kula Kwenye Kundi La Watu Wengi Nakadhalika.Muda Ulienda Na Usiku Ulizidi Kuwa Mnene Ilipofika Mida Kama Ya Saa Nane(8) Usiku Ketaro Alisikia Akiitwa Na Maimuna.Ketaro Alivua Mwili Wake Nakuondoka Kama Roho Nakuacha Mwili Kama Gogo Ukiwa Umelala Kitandani.Ketaro Alinyanyuka Nakutoka Nje Alipotoka Nje Alimkuta Maimuna Akiwa Kaketi Nje.Alikwenda Na Kuketi Nae Wakiwa Wote Katika Ulimwengu Wa Kijini Au Kichawi Wakiwa Hawaonekani.Walipata Kuzungumza Mengi Haswa Juu Ya Maisha Yao Na Malengo Yao Ilipofika Saa Kumi 10 Usiku Kila Mmoja Alienda Chumbani Kwake.Ketaro Alipoingia Ndani Tu Ghafla Mtoto Aliamka Nakuanza Kulia Kitendo Kilichomuamsha Luyange.Mtoto Alianza Kulia Huku Luyange Akiwa Hajuwi Sababu Ya Mtoto Kulia Ni Nini.Luyange Alimwamsha Ketaro Kwa Kumwita Lakini Ketaro Hakuamka Muda Huo Ketaro Alikuwa Akimtazama Mke Wake Luyange Jinsi Alivyokuwa Akimwita.Luyange Alimwita Mume Wake Zaidi Ya Mara Kumi(10) Lakini Hakuamka.Luyange Alipata Mashaka Kidogo Yakwamba Au Mume Wake Anaweza Akawa Amepatwa Na Matatizo.Alianza Kumtikisa Sasa Huku Akiwita Ketaro Aliona Leo Nitabutukiwa Ketaro Alianza Kutembea Taratibu Huku Akiufuata Mwili Wake Iliapate Kuuvaa.Ketaro Alipita Mbele Hapo Hapo Alipo Mke Wake Alipokuwa Akipita Mtoto Alikuwa Akizidisha Kilio Kama Vile Ameona Moto Mbele Yake Au Kifo....
ITAENDELEA....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER

SEHEMU YA 29.
...Tulipoishia...Ketaro Aliogopa Sana Alipoona Mtoto Akizidisha Kilio Alihisi Mtoto Anaweza Akawa Anamuona.Ketaro Alisogelea Mwili Wake Nakuingia Katika Mwili Wake Nakujifanya Anakohoa Kama Vile Alikuwa Mbali Sana Katika Usingizi Wake.
LUYANGE:Mume Wangu Mbona Nimekuamsha Sana Hukuamka Kulikoni Kwanini.
KETARO:Mke Wangu Yaani Siku Hizi Ninakuwaga Nina Usingizi Mzito Sana Kupita Maelezo Yaani Wewe Acha Tu.Basi Luyange Hakuwa Na Lakusema.
LUYANGE:Alafu Mimi Ninashangaa Mbona Mtoto Analia Tu Ghafla Hata Sijuwi Kuna Nini Maana Kama Kuumwa Haumwi Sijuwi Hata Tatizo Ni Nini Jamani.Ketaro alijifanya Kuinua Mikono Yake Ili Kumbeba Mtoto Lakini Mtoto Alimkataa Nakuanza Kulia.Ketaro Alishangaa Sana Alijuwa Mtoto Atakuwa Nikama Malaika Amemwona Aliamuwa Kupotezea Kumbeba Kwani Alihisi Angeendelea Kumbeba Yamkini Angezungumza Kilichotokea Kama Mjuwavyo Watoto Basi Luyange Alibakia Akimbembeleza Mtoto Na Baada Ya Muda Alinyamaza .Muda Nao Ulikuwa Umeenda Sana Ulikuwa Umefika Muda Wakwenda Shamba.Luyange Alitaka Amwache Mtoto Lakini Mtoto Alikataa Kabisa Kubaki Na Baba Yake.Luyange Alishangaa Sana.
LUYANGE:Leo Mwanangu Umekataa Kabisa Kukaa Na Baba Yako Basi Twende.Luyange Alimbemba Mtoto Mgongoni Na Kuondoka Nae Shamba.Muda Ulisogea Na Paka Pamba Zuka.Ikiwa Ni Asubuhi Kabla Ketaro Hajaamka Ghafla Maimuna Alikuja Kumgongea.Ketaro Alitoka Nje Nakumkuta Maimuna Akiwa Amesimama.
MAIMUNA:Mume Wangu Nimekufuata Nilikuwa Nataka Tutoke Kidogo Pembeni Na Hapa Nyumbani Nilitaka Kuzungumza Na Wewe.Basi Ketaro Hakuwa Na Lakupinga Kwani Hata Mtoto Hakuwepo Alitoka Na Maimuna Kwenda Nae Pembeni Kidogo Na Nyumbani Hapo.Walipofika Sehemu Waliyotaka Ikiwa Ni Mbali Kidogo Na Nyumbani Hapo Maimuna Alisema.
MAIMUNA:Mme Wangu Haya Mazingira Ya Huku Mimi Huwaga Nayapenda Sana Tena Sana.
KETARO:Hata Mimi Pia Mke Wangu.
MAIMUNA:Sasa Mume Wangu Kuna Dawa Flani Nilikuwa Nimeitunza Mahali Hapa.Maimuna Aliitoa Dawa Ile Nakumwambia Ketaro.
MAIMUNA:Hii Dawa Ni Dawa Nzuri Sana Ambayo Itanisaidia Mimi Katika Matatizo Yangu Ya Mwilini Sasa Ninakuomba Itakapofika Leo Jioni Unichemshie Chai Nzuri Nakisha Unipatie Hata Kwa Kunilazimisha Ili Nipate Kupona Sawa Ketaro.Ketaro Hakuwa Mgumu Katika Hilo.
KETARO:Sawa .Basi Baada Ya Kuzungumza Hayo Maimuna Alimpatia Dawa Ile Nakumwambia.
MAIMUNA:Naomba Uzingatie Yale Niliyokwambia.Mimi Ninaenda Katika Jamii Yetu Mara Moja Kuna Tatizo Limetokea Lakini Usijali Utanikuta Nyumbani.Basi Ketaro Hakuwa Mgumu Alimruhusu Maimuna Na Kisha Akaanza Kurudi Nyumbani.Alirudi Na Kufika Nyumbani Nakuingia Ndani Kwake Na Kupumzika.Muda Ulisogea Na Jioni Ikatimu Luyange Akarejea Kutoka Shamba Akiwa Na Mtoto.Luyange Aliporudi Tu Mtoto Alipomwona Baba Alijificha Nyuma Ya Mama Yake Ambaye Ndiye Luyange Kwa Uwoga.
LUYANGE:Mume Wangu Au Nikikuachaga Nae Huwaga Unampiga Mbona Anakuogopa Ivyo Jamani.Ketaro Hakuwa Na Lakujibu Zaidi Ya Kusema.
KETARO:Amna Mke Wangu.Muda Ulisogea Na Luyange Akaingia Jikoni Kupika Chakula.Alipika Na Baada Ya Muda Alimaliza Baada Ya Kumaliza Mapishi Yake Ketaro Alibandika Chai Aliyochanganya Na Ile Dawa Kama Alivyoambiwa Na Maimuna.Mke Wake Luyange Aliona Ile Chai Iliyokuwa Imebandikwa Kama Vikombe Viwili Alipouliza Aliambiwa Yakuwa Ni Ya Mgeni Basi Hakuwa Na Budi Kuangalia Yanayofanyika.Baada Ya Kupakuwa Chakula Mgeni Alichukuwa Chakula Chake Kama Kawaida Yake.Alipochukuwa Chakula Tu Huku Akielekea Chumbani Kwake Ketaro Alimfuata Huku Akiwa Na Kikombe Cha Chai Iliyokuwemo Na Dawa Ile Aliyopewa Na Yeye Mwenyewe.Ketaro Alimsimamisha Kabla Ya Kumalizika Kuingia Ndani Muda Wote Huo Luyange Alikuwa Akiwatazama Nakuwasikiliza.
KETARO:Sasa Nimekuchemshia Hii Chai Kwa Ajili Yako Leo Unywe.Ketaro Aliposema Maneno Hayo Lengo Lake Ilikuwa Nikuficha Chai Ile Isijulikane Kuwa Ni Dawa.
MAIMUNA:Chai Ketaro?.Maimuna Aliuliza Kwani Alishangaa Sana Ketaro Kumletea Chai Ikiwa Yeye Mwenyewe Anajua Yakuwa Yeye Hanywi Chai.
KETARO:Ndio Kunywa Maimuna.Maimuna Aliona Aibu Kidogo Kwani Luyange Alikuwa Akiwaangalia Nakuwasikiliza Na Endapo Angekataa Luyange Angemshangaa.Luyange Alichukuwa Chai Ile Na Kuinywa Kama Maji Kisha Na Kumshukuru Ketaro.Basi Baada Ya Kunywa Ketaro Hakuwa Na Lakusema Kwani Kwake Aliona Amekamilisha Maagizo.Ketaro Alirejea Kula Na Baada Ya Hapo Walienda Kulala.Siku Hiyo Ketaro Hakuitwa Kabisa Na Maimuna Hata Yeye Alishangaa Sana Kwani Sio Kawaida Ya Maimuna.Alfajiri Ilipofika Luyange Aliondoka Na Mtoto Wake Kwenda Shamba.Asubuhi palipo Pambazuka Vyema Ketaro Alikwenda Kwenye Chumba Cha Maimuna Kuangalia Hali Yake.Alipokwenda Na Kuingia Alikuta Damu Zikiwa Zimetapakaa Kwenye Kitanda Huku Pakiwa Hakuna Mtu. Ketaro Alishtushwa Sana Na Kustajabu Sana Baada Ya Kuziona Damu Hizo.Aliangaza Huku Na Huku Lakini Hakumwona Mtu.Ketaro Alichoka Sana Alihisi Maimuna Yawezakuwa Kuna Jambo Limemkuta.Akiwa Ameketi Chini Anatafakari Hayo Alishtushwa Na Mguso Alioguswa Nyuma#
ITAENDELEA....
 
Dah!! Hatari sana... Ngoja tuone...

Ketaro itakua kaua maimuna kwa msaada wa Najma...


Cc: mahondaw
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
SEHEMU YA 30.
...Tulipoishia...Ketaro Akiwa Na Mawazo Juu Ya Maimuna Alipoenda Alishtushwa Na Mguso Alioguswa Katika Bega Lake.Alipogeuka Nyuma Alishangaa Kumwona Maimuna Akiwa Nyuma Yake Akitabasamu.Ketaro Alishangaa Sana Kwani Maimuna Alipotea Ghafla Na Kwenye Kitanda Chake Kulikuwa Na Damu Kama Ya Binadamu.
KETARO:Maimuna Ulikuwa Wapi Wewe?.
MAIMUNA:Nilikuwa Nimetoka Kidogo Ketaro Mume Wangu Wala Usiwe Na Hofu.
KETARO:Mbona Chumbani Kwako Nimekuta Kuna Damu Zipo Tena Ni Kama Za Binadamu.
MAIMUNA:Ketaro Mume Wangu Nilipokunywa Ile Dawa Hali Yangu Ilikuwa Mbaya Ghafla Ndio Iliyopelekea Hata Kutapika Damu Kiasi Kile Lakini Usijali Nimepona Dawa Ile Imenisaidia.
KETARO:Me Niliogopa Ujuwe Yaani Daah Nikajuwa Kuna Jambo Limekupata.
MAIMUNA:Usijali Ngoja Basi Nikazisafishe Zile Damu.Basi Maimuna Aliondoka Kwenda Kwenye Chumba Anacholala Ilikuweza Kusafisha Damu Zile.Lakini Ketaro Alikuwa Bado Akimtafakari Maimuna Siku Hizi Mbili,Tatu Hakumwelewa Kabisa Maana Kuna Wakati Mwingine Kama Siyo Yeye Yaani Haeleweki Lakini Aliamuwa Kupotezea.Muda Ulienda Na Usiku Ukatimu Wakaandaa Chakula Kwa Ajili Ya Kula.Maimuna Alipoitwa Kuja Kuchukuwa Chakula Chake Kama Kawaida Yake Ili Aende Kulia Ndani Maimuna Alisema Yakwamba Ameshiba Wasijali.Ketaro Hakuelewa Kabisa Jibu Lile Na Wala Hakumwelewa Maimuna Kabisa.Muda Ulienda Na Wote Wakaenda Kulala Lakini Ketaro Hakuwa Na Amani Juu Maimuna Alihitaji Kwenda Kuzungumza Nae Ili Kumuweka Sawa Wasije Wakabutukiwa Na Mke Wake Luyange.Lakini Alipotoka Kuondoka Aligundua Ilikuwa Bado Ni Saa 6 Usiku Aliogopa Sana Kuamka Kwani Alihisi Kabla Mtoto Nae Anaweza Akaamka.Ketaro Alingojea Ilipofika Saa Nane Usiku Aliamka Ili Apate Kwenda Kwani Alihisi Kwa Muda Huo Iwe Isiwe Lazima Watalala Na Itakuwa Ni Vigumu Sana Kuamka Lakini Kabla Ya Kwenda Chumbani Kwake Aliamuwa Kuwasiliana Nae Katika Ulimwengo Wa Roho.Lakini Cha Kushangaza Alipowasiliana Nae Maimuna Hakumjibu Hata Kidogo Alikaa Kimya.Hilo Lilizidi Kumtia Ketaro Hofu.Alitoka Nje Na Kwenda Chumbani Kwake Maimuna Alipofika Alimkuta Maimuna Akiwa Macho Nakuanza Kumtazama.Ketaro Alishindwa Kuelewa Kabisa Kuna Nini Kilichompata Maimuna.
KETARO:Mke Wangu Maimuna Mbona Ninawasiliana Na Wewe Haunijibu Kwanini Na Mbona Umebadilika Sana.Maimuna Alikuwa Amebaki Amebung'aa Tu Akimtazama Ketaro.Alibaki Akimwomba Samahani Ketaro.
MAIMUNA:Samahani Mume Wangu Nimekosea.
KETARO:Umebadilika Maimuna Yaani Hata Jana Usiku Mke Wangu Luyange Anakupatia Chakula Hauku Chukuwa Na Wakati Unajuwa Anaweza Akabutukia Yakuwa Wewe Si Binadamu Si Bora Ungefanya Kama Unavyofanyaga Siku Zote.Maimuna Alibaki Kimya Tu Akimsikiliza Ketaro.
MAIMUNA:Nifanye Kama Zamani Kama Vipi?.
KETARO:Si Vile Ulivyokuwa Unachukuwa Chakula Alafu Unakihifadhi Hauli Unaenda Kukitupa Au Umesahau Jamani.
MAIMUNA:Aaaah Njia Hiyo Basi Usijali Leo Sikuwa Sawa Kidogo Kuna Mambo Yalikuwa Yamenivuruga Kidogo Huko Kwetu.Lakini Kumbe Wakati Wanazungumza Mtoto Kule Alikuwa Amekwisha Amka.
KETARO:Mtoto Amekwisha Amka Hebu Ngoja Nirudi Haraka Siunajuwa Tena Yasije Yakawa Mengine.
MAIMUNA:Sawa Mume Wangu Basi Wahi.Ketaro Alianza Safari Ya Kurudi Chumbani Kwake Alipoingia Ndani Alimkuta Tena Mtoto Akiwa Analia Na Mama Yake Akiwa Ana Mbembeleza.Ketaro Aliona Ni Bora Arudi Kwenye Mwili Wake Ili Yasije Yakawa Mengine.Alifanikiwa Kurudi Hadi Kwenye Mwili Wake.Aliporudi Tu Alijifanya Kama Kawaida Yake Alikuwa Kwenye Usingizi Mzito Sasa Ndio Anaamka.
LUYANGE:Mume Wangu Ketaro.
KETARO:Naam Mke Wangu Luyange.
LUYANGE:Mume Wangu Ila Mimi Hata Sikuelewi Yaani Ukilala Kama Vile Umechukuliwa Msukule.
KETARO:Kwanini Mke Wangu.
LUYANGE:Angalia Leo Nimekuamsha Nimekutikisa Weee Mbaka Nimeinua Mikono Juu Lakini Hukuamka Yaani Mimi Ninashindwa Hata Kukuelewa.
KETARO:Mke Wangu Nisamehe Bure Tu Mumeo.Ketaro Hakuwa Na Ubishi Kwani Alijuwa Anachokisema Mke Wake Ni Kweli Lakini Mke Wake Alianza Kujenga Hofu Juu Ya Mume Wake Alihisi Kutakuwa Na Kitu Kinatendeka Juu Yake Kwani Usingizi Anaokuwaga Nao Sio Wakawaida.Luyange Alimnyamazisha Mtoto Na Hatimaye Akanyamaza.Mtoto Alikataa Kabisa Kulala Na Kukaa Karibu Na Baba Yake.Muda Ulienda Ikatimu Saa Kumi Na Moja(11) Alfajiri .Luyange Alimuaga Mume Wake Na Kuondoka Na Mwanae Kwenda Shamba Kwani Mwanae Alikataa Kabisa Kukaa Na Baba Yake.Muda Ulisogea Na Asubuhi Paka Kucha Ketaro Aliamka Na Kwenda Kupiga Mswaki Na Kunawa Uso Alipotoka Tu Alikutana Na Maimuna Nae Akiwa Ametoka Kuamka.Walisalimiana Vyema Na Ketaro Akasogea Mbele Kidogo Ilikupiga Mswaki Muda Huo Maimuna Alikuwa Akiandaa Maji Aende Kuoga.Ketaro Alipomtazama Maimuna Mwendo Wake Wa Utembeaji Ulibadilika Ghafla Tofauti Na Zamani Na Ulikuwa Ni Mwendo Unaofanana Na Wa Najma.Ketaro Alipata Hofu Kidogo Wakati Huo Huo Kule Shamba Luyange Akiwa Amelima Kidogo Amepumzika Akimpatia Mtoto Chai.Mtoto Alikuwa Akimwambia Mama Kuwa Kuna Jambo Analotaka Kumwambia Kuhusiana Na Baba Yake Ketaro.Mama Ilikaa Vizuri #
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
..Tulipoishia...Mama Alikaa Vizuri Ilikuweza Kupewa Habari Na Mwanae Kuhusiana Na Baba Yake.Lakini Mama Hata Ivyo Alikuwa Anachukulia Katika Hali Ya Mzaha.
MTOTO:Mama Alafu Baba Tukilalaga Usiku Anatoka Nje Usiku Kabisa Hata Haogopi Alafu Anakujaga Anasimama Mbele Yetu Anatuangalia.Mama Alishtuka Na Kushangaa Kwani Maneno Yale Aliyokuwa Akiyatoa Mtoto Hakumwelewa Kwani Aliona Mtoto Atakuwa Anazungumza Kama Masihara.
MAMA:Baba Mwanangu?.
MTOTO:Ndio Baba.Mama Alibaki Na Maswali Kidogo Kwani Alijifikilia "Mume Wangu Anatokaga Usiku Kufuata Nini Sasa Jamani Na Mbona Anavyoamkaga Mimi Huwaga Si Hisi Chochote Mtu Akiamka"Mama Alibaki Na Maswali Mengi Akijiuliza.
MAMA:Sasa Mwanangu Atakapokuja Kuamka Tena Na Kwenda Nje Utaniamsha Mwanangu Eeenhh Ili Nimwone Baba Na Mimi Eeehh.
MTOTO:Sawa Mama.Basi Mama Hakuwa Na Budi Kuendelea Na Mambo Mengine.Kwa Upande Wa Ketaro,Maimuna Alimwahidi Kitu.
MAIMUNA:Mume Wangu Nakuomba Leo Uje Usiku Wa Mida Kama Ile Nahitaji Kukwambia .Maswali Yote Hayo Unayojiuliza Utapata Majibu Yake Wala Usitie Shaka Basi Ketaro Hakuwa Na Lakusema Zaidi Ya Kukubari Na Mwishoni Alimwambia.
KETARO:Ila Mimi Ninachokuomba Ikifika Mida Ya Kula Leo Usikatae Chakula Wala Usiseme Umeshiba.Mke Wangu Atahisi Vibaya Wewe Chukua Chakula Kakiweke Tu Hata Ndani Alafu Fanya Kama Kawaida.Basi Maimuna Aliitikia Kama Vile Mtu Asiyejua Kitu Chochote.Mida Ilienda Na Jioni Ikatimu Luyange Akarejea Nyumbani Na Kuingia Jikoni Ili Kupika Chakula Cha Usiku.Luyange Alipika Chakula Na Kumaliza Kisha Alikaribisha Wote Akiwemo Na Maimuna Ili Wapate Kula.Maimuna Alimwambia Wifi Yake Wa Maigizo Luyange.
MAIMUNA:Basi Wifi Wewe Nifanyie Kama Kawaida Yangu.Basi Luyange Alimkatia Chakula Ili Akalie Chumbani Kwake Kama Kawaida Yake.Maimuna Alichukuwa Chakula Na Kwenda Zake Chumbani.Basi Ketaro Na Mke Wake Walikula Na Baada Ya Kumaliza Wote Kula Walijianda Na Kwenda Kulala Ikiwa Ni Saa Tatu(3) Usiku.Siku Hiyo Luyange Hakutaka Kulala Fo fo fo Au Kupitiwa Na Usingizi Alitaka Awe Macho Ili Apate Kushuhudia Mtoto Anachokisema Ni Kweli Au Uongo.Basi Mida Ili Sogea Taratibu Ikafika Saa Tano(5) Usiku.Muda Ulizidikusogea Taratibu Hadi Saa Nane(8) Usiku Mama Aliona Kimya.Mama Alivumilia Lakini Usingizi Ulianza Kumpitia Taratibu Kutokana Na Kukaa Macho Muda Mrefu Bila Kulala.Akiwa Anaanza Kusinzia Akielekea Kwenye Usingizi Alisikia Mtoto Akiamka Mwenyewe Tu Ghafla Nakuanza Kulia.Kumbe Muda Huo Ketaro Alikuwa Amekwisha Uvua Mwili Wake Wa Kawaida Na Sasa Alikuwa Katika Ulimwengu Mwingine Sasa.Luyange Alisikia Kelele Kwa Mbali Mtoto Akilia.Aliamka Haraka Na Kuanza Kumtuliza.
LUYANGE:Nyamaza Mwanangu Vipi Baba Amekwisha Amka Mtoto Wangu Mzuri Au?.
MTOTO:Ndio Ameamka Sasahivi Ameenda Nje.Luyange Hakumwelewa Mwanae Kwani Alishangaa Sana Kwani Ketaro Kwa Muda Huo Alikuwa Amelala Kitandani Sasa Mwanae Anapomwambia Kuwa Ameenda Nje Ndio Anashindwa Kumwelewa Kabisa.
LUYANGE:Ameenda Nje?.
MTOTO:Ndio Mama.
LUYANGE:Mbona Baba Huyu Hapa Mwanangu Au Ulikuwa Unaota.
MTOTO:Sio Mama.Baba Mwingine Ameenda Nje Sasa Hivi Wewe Wahi Utamwona.Sasa Luyange Akawa Hamwelewi Mwanae Kabisa Na Alipomwambia Kuwa Baba Yuko Nje Na Wakati Yeye Anamwona Kalala Akahisi Mtoto Itakuwa Utoto Unamsumbua.Aliamuwa Kumbembeleza Ili Alale Nakumwambia Maneno Mazuri Ili Apate Kulala.Kweli Bwana Mwishowe Mtoto Akalala.Muda Wote Huo Ketaro Alikuwa Hajarudi. Ukweli Ni Kwamba Mtoto Alichokuwa Anakisema Au Anakizungumza Ni Sahihi Ketaro Alikuwa Ametoka Na Kuja Kwa Maimuna.
KETARO:Haya Sasa Nimekuja Maimuna Nataka Unipe Habari Nzima Uliyotaka Kunipa Mchana Tafadhali Usinifiche Jambo Hata Moja.Mimi Ni Mwelewa Nitakuelewa Mke Wangu Sawa.
MAIMUNA:Sawa.Maimuna Alivuta Pumzi Kidogo Nakuanza Kuzungumza Haya.
MAIMUNA:Labda Nianze Nyuma Kidogo Ili Tupate Kuelewana Vyema.Kuna Siku Moja Maimuna Alikutoa Hapa Nyumbani Na Kukupeleka Mbali Kidogo Tena Mara Mbili.Mara Ya Kwanza Mlikwenda Hadi Msituni Mkashiriki Tendo La Ndoa.Ghafla Ketaro Alimkatisha Maimuna Maneno Yake Nakusema Haya Kwa Jazba.
KETARO:Wewe Unasemaje Ivyo Wakati Wewe Ndiye Niliyeenda Na Wewe Inamana Wewe Sio Maimuna.
LUYANGE:Ketaro Mume Wangu Mbona Unakuwa Na Jazba Wewe Tulia Bado Sijamaliza.Sasa Mara Ya Pili Ulikuja Na Maimuna Hadi Msituni Akakupatia Dawa Kwa Ajili Ya Kumtengenezea Na Kumpatia Yeye Mwenyewe.Kwanza Kwa Ufupi Ni Kwamba Mimi Ni Najma Nasi Maimuna Na Mara Zote Hizo Mbili Ulipotoka Ulitoka Na Mimi Na Sio Maimuna.
KETARO:Mungu Wangu Sasa Kwanini Uliamuwa Kunificha Lakini Kama Wewe Ni Najma.Sasa Ndugu Wasomaji Kwa Kuwa Maimuna Wa Sasa Amekwisha Julikana Ni Najma Tunahama Kutoka Kumuita Maimuna Na Kumuita Najma.
NAJMA:Siku Taka Ulijuwe Hilo Mapema Ketaro.
KETARO:Sasa Na Je Maimuna Yuko Wapi Sasahivi?.
NAJMA:Siku Ile Nilipokupatia Ile Dawa Nakukwambia Kuwa Uje Unitengenezee Na Kisha Unipatie Na Nikikataa Ikiwezekana Unilazimishe Ilikuwa Ni Sumu Na Haukunipatia Mimi Bali Maimuna.
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU YA 32.
...Tulipoishia...Najma Alikuwa Akiyaeleza Yote Yaliyotokea Na Aliyo Yafanya.Kumbe Najma Yeye Ndiye Aliye Sababisha Kifo Cha Maimuna Kupitia Ketaro.Ketaro Alipogundua Yakuwa Maimuna Amekufa Alichoka Hoi.
KETARO:Masikini Maimuna Wa Watu Kumbe Amekwisha Kufa Jamani Kweli.Hata Siamini.
NAJMA:Kwahiyo Mimi Alivyonifanyaga Mbwa Na Vitimbwi Vyake Vingi Juu Yangu Ulijisikia Raha Sana Sio.
KETARO:Hapana Lakini Usinge Muuwa Kumbuka Yule Ni Mdogo Wako Pia Nyie Mmezaliwa Wa Wili Tu Hauoni Kama Utakuwa Umempa Pigo Kubwa Sana Baba Yako.
NAJMA:Hamna Cha Pigo Wala Cha Nini Hebu Achana Nae Mke Wako Halali Nimekwisha Rejea Sasa Tule Maisha.Najua Ketaro Mume Wangu Nimekushtuwa Sana Na Ujumbe Huo Nakuomba Basi Uende Ukapumzike Ili Akili Yako Iwe Sawa Lakini Itakapofika Usiku Wa Leo Saa Nane Usiku Uje Ninakuhitaji Mume Wangu.Basi Ketaro Hakuwa Na Lakusema Aliondoka Taratibu Kama Mtu Aliyemwagiwa Maji Ya Baridi.Alikwenda Nakuingia Kwenye Chumba Chao.Ile Kuingia Tu Ndani Mtoto Aliamka Ghafla Nakuanza Kulia.Ketaro Alishangaa Sana Akahisi Mtoto Atakuwa Amekwisha Mwona.Ketaro Akajisemea "Mmmhh Mtoto Amekwisha Jua Nimeingia Ngoja Nikauvae Mwili Wangu Haraka.Ketaro Alisogea Na Kuuvaa Mwili Wake Lakini Kwa Muda Huo Mama Alikuwa Amekwisha Amka Akimnyamazisha Mtoto.Ghafla Ketaro Alijifanya Ametoka Kwenye Usingizi Mzito Na Kumwambia Mke Wake.
KETARO:Mmmhh Pole Mke Wangu Mtoto Anasumbua Huyu.Mke Wake Luyange Hakuongea Kitu Alikuwa Akimtazama Tu Mume Wake Huku Akijiuliza Baazi Ya Maswali.
LUYANGE:"Hivi Mbona Mume Wangu Simuelewi Kabisa Yaan Mana Mtoto Anaweza Akalia Weee Baadae Kabisa Ndio Anakuja Kuamka Hivi Kwanini" Luyange Alijisemea Kimoyo Moyo.Luyange Alimbembeleza Mtoto Taratibu Na Mwisho Akatulia Na Kulala.Muda Ulisogea Na Ilipofika Saa 11 Alfajiri Luyange Aliamka Na Kujiandaa Na Kwenda Shamba Pamoja Na Mwanae.Basi Luyange Alienda Zake Shamba Lakini Alikuwa Na Maswali Mengi Akijiuliza Kuhusiana Na Mume Wake Hakumwelewa Mwelewa Kabisa.Masaa Yalisogea Na Jioni Akarejea Nyumbani.Alipofika Alipika Chakula Hicho Cha Usiku.Najma Ambaye Luyange Alijua Ni Maimuna Mwenyewe Mara Hii Alichukua Chakula Mwenyewe Na Kwenda Zake Chumbani.Lakini Luyange Aliendelea Kujiuliza Maswali.
LUYANGE:"Hivi Kwani Kila Siku Huyu Wifi Yangu Anaenda Kulia Chakula Ndani Inamana Muda Wote Huo Tulio Kaa Nae Hapa Haja Tuzoea Tu.Hapana Staki Kuamini"Hayo Nimawazo Aliyokuwa Akifikiria Luyange.Masaa Yalisogea Na Baadae Kila Mmoja Aliingia Kulala.Usiku Huu Wa Leo Kila Luyange Alitaka Kujuwa Ukweli Mzima Na Aliona Leo Asimpuuzie Mtoto Kwa Kile Alichokuwa Anakisema Kwani Itakuwa Ni Kweli Labda Kwani Hata Mapenzi Ya Ketaro Kwa Luyange Yalikuwa Yamepungua Kwa Asilimia Flani Tofauti Na Hapo Nyuma.Basi Masaa Yalizidi Kusogea Na Ilipofika Saa Nane(8) Usiku Luyange Alisikia Mtoto Akikohoa Na Kuanza Kulia Kwa Sauti Ya Uwoga Iliyoambatana Na Utetemeshaji Wa Meno Kama Vile Mtu Aliyepatwa Na Baridi Kali Sana.Basi Luyange Aliamka Haraka Haraka Bila Kupoteza Muda.Alipoamka Alimuuliza Mtoto Wake.
LUYANGE:Mwanangu Umemuona Baba Au.Mtoto Alijibu.
MTOTO:Ndio Mama Ametoka Nje Sasa Hivi.Mama Alihisi Anachosema Mtoto Kinaweza Kikawa Ni Chakweli.
LUYANGE:Basi Mwanangu Ngoja Nikamwangalie Baba Yako Anachokifanya Huko Nje.Mama Alimwacha Mtoto Ndani Nakutoka Nje Huku Akiwa Ananyata Taratibu.Mama Au Luyange Alipotoka Nje Alipoangaza Huku Na Huku Hakuona Kitu Zaidi Ya Kuambulia Kusikia Mlango Wa Chumba Cha Najma Aliyekuwa Yeye Anamjuwa Kama Maimuna Ukifungwa.Luyange Alipiga Moyo Konde Na Kuelekea Kule Taratibu Huku Akinyata Kama Vile Mwizi Anae Chora Dila Ya Kuiba Sehemu Flani.Alipofika Karibu Na Mlango Luyange Alisikia Sauti Ikisema "Karibu Mume Wangu" Alikuwa Ni Najma Akimkaribisha Ketaro.
NAJMA:Karibu Mume Wangu.
KETARO:Asante Mke Wangu.Luyange Alisikia Sauti Kama Ya Mume Wake Ketaro Ikisema Asante Mke Wangu.Luyange Alishangaa Sana Kwani Hakumuona Ketaro Akiingia Ndani Humo Lakini Kumbe Kwa Muda Huo Ketaro Alikuwa Kama Roho Alikuwa Haonekani.
NAJMA:Mume Wangu Yaani Nina Muda Sana Sijashiriki Na Wewe Tendo La Ndoa Toka Kipindi Kile Msituni.Luyange Alizidi Kushangaa Kwani Alibaki Akijiuliza Maswali "Kwani Maimuna Anazungumza Na Nani Huyo Anae Mwita Mume Wake Na Mbona Nasikia Sauti Kama Ya Mume Wangu"Luyange Aliendelea Kusikiliza Maongezi Hayo Ilikujua Hatma Ya Tukio Hilo.
KETARO:Hata Mimi Mke Wangu Najma Nimekumiss Sana..Lakini Ubaya Unakuja Kwa Mke Wangu.
NAJMA:Mke Wako.Najma Aliongea Katika Hali Ya Mashangao Sana.Luyange Alibaki Mdomo Wazi Akiwa Haelewi Elewi.Mara Ikasikika Sauti Ya Kitanda Kikilalamika Kuwa Watu Wamelala Juu Yake.Sauti Ya Najma Ikasikika Ikisema.
NAJMA:Nakupenda Sana Mume Wangu Ketaro.Luyange Aliposikia Vile Alichoka Alishindwa Kujizuia Kulia Alijikuta Akikohoa.Kikohozi Cha Mtu Anae Lia.Ghafla Alisikika Mtu Akinyanyuka Kutoka Kitandani Akiwa Kama Amehisi Kuna Jambo Nje Linatendeka kwa Muda Huo.
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU YA 33.
...Tulipoishia...Najma Alijiandaa Kutoka Nje Ili Kuweza Kujuwa Kinacho Endelea.Muda Huo Luyange Alihisi Kuna Mtu Anakuja .Luyange Alijifikiria Kutoka Pale Kwenye Kile Chumba Hadi Kufikia Anapolala Ni Lazima Akienda Ataonekana Kwani Kuna Umbali Kidogo.Ghafla Mlango Ulifunguliwa Alikuwa Ni Najma Ndiye Aliyefungua Mlango.Muda Huo Huo Luyange Alisogea Na Kurudi Nyuma Kidogo Kama Anaizunguka Nyumba Ile Iliyokuwa Imejengwa Kwa Muundo Wa Kama Duara.Najma Alipotoka Nje Hakuona Kitu Wala Hakuona Mtu.Najma Hakurizika Na Alichokiona Haswa Baada Ya Kukuta Hamna Mtu Na Wakati Yeye Alisikia Na Kuhisi Kuna Mtu.Najma Alisogea Mbele Kidogo Kutokea Kwenye Mlango Na Kuanza Kuangaza Huku Na Huku.Najma Alianza Kusogea Taratibu Sehemu Aliyokuwepo Luyange Huku Akiangaza Huku Na Huku.Luyange Alipomwona Najma Anakuja Alijaribu Kufanya Kama Anazunguka Chumba Kile.Najma Hakuona Kitu Chochote Alihisi Labda Yaweza Ikawa Kweli Hamna Mtu Ni Hisia Zake Tu Zitakuwa Zimemdanganya.Aliamuwa Kuondoka Taratibu Akielekea Mlangoni.Wakati Anaenda Zake Ndani Ghafla Alisikia Kwa Mbali Mtu Akikohoa.Alikuwa Ni Luyange Aliyekuwa Akikohoa Kuliko Ambatana Na Kikohozi Pamoja Na Kwikwi.Mara Luyange Alisikia Najma Akija Kwa Mara Nyingine Alipo Luyange Aliogopa Sana.Najma Alianza Kuzunguka Chumba Kile Anacholala Taratibu Huku Akiangaza Huku Na Huku .Luyange Nae Aliakuwa Akizunguka Chumba Kile Kadri Ya Najma Alivyokuwa Akisogea.Najma Alizunguka Chumba Kizima Na Kurejea Mlangoni Alipotoka Lakini Hakuona Kitu.Najma Alihisi Yaweza Ikawa Ni Mawenge Yake Tu.Najma Aliingia Ndani Nakumrukia Ketaro IliKuendelea Kula Raha.Luyange Alikuwa Akiambulia Sauti Na Maneno Matamu Waliyokuwa Wanapeana.
NAJMA:Nakupenda Sana Mume Wangu Ketaro.
KETARO:Nakupenda Pia Mke Wangu.
NAJMA:Ninapokuwa Na Wewe Huwa Najisikia Raha Sana Tena Sana.
KETARO:Hata Mimi.
NAJMA:Hivi Mume Wangu Ketaro Mimi Na Luyange Yupi Unampenda Sana.
KETARO:Aaaahh Jamani Hilo Nalo La Kuuliza Mimi Nakupenda Wewe Tu.Mimi Luyange Wa Nini Mtu Kasha Zeeka Yule.Muda Huo Wote Luyange Alikuwa Akisikiliza Maneno Yale Aliyokuwa Akiyatoa Mume Wake Ketaro Aliyetoka Nae Mbali Sana.Luyange Aliumia Sana Kwenye Moyo Wake Alihisi Kupasuka.Luyange Alishindwa Kuvumilia Aliamuwa Kuondoka Zake Pale Na Kurudi Chumba Kwake Huku Akiwa Na Maumivu Makali Sana Ya Mapenzi.Luyange Alikosa Kabisa Usingizi Alibaki Akihesabu Nyasi Zilizo Ezekwa ,Aliona Sasa Ndoa Chungu.Muda Mfupi Kama Lisaa Limoja(1) Mume Alirejea .Mume Alipokuja Katika Ulimwengu Ule Wa Kiroho Alishangaa Kumuona Mke Wake Akiwa Macho Tena Akitokwa Na Machozi.Ketaro Alishindwa Kumuelewa Alienda Na Kuingia Mwili Wake Na Kuamka.
KETARO:Vipi Mke Wangu Mbona Unalia Na Unaonekana Upo Katika Hali Ya Majonzi Sana.Luyange Alimwona Mume Wake Ketaro Ni Mnafki Sana Na Tena Ni Msaliti.
LUYANGE:Hapana Mimi Niko Sawa Ila Nilikuwa Najisikia Vibaya Kidogo.
KETARO:Jamani Pole Sana Mke Wangu Utapona.Luyange Hakutaka Hata Kuzungumza Na Ketaro Aliona Anaweza Akajawa Na Hasira Akamtukana.Alilala Zake Akisubilia Muda Usogee Kidogo Aende Shamba.Muda Ulisogea Na Luyange Aliamka Na Kumuamsha Mtoto Na Kuondoka Nae Kwenda Shamba.Najma Alipoamka Asubuhi Alitoka Nje Nakuanza Kuzunguka Kile Chumba.Alipozunguka Alikuta Alama Za Nyayo Za Mtu Zilizo Zunguka Chumba Kile.Najma Alijua Yakuwa Anaweza Ikawa Luyange Mke Wa Ketaro Alizunguka Chumba Icho.Muda Ulienda Ukasogea ,Ilipofika Jioni Luyange Alirudi Na Mwanae .Alipofika Aliwasalimia Wote Nakuingia Kwenye Majukumu Yake Yakuandaa Chakula Cha Usiku.Luyange Alipika Na Kuandaa Chakula,Alimwita Luyange Aje Kuchukuwa Chakula Japokuwa Alikuwa Amempania Kumfanya Kitu Ikiwezekana Hata Kumtoa Uhai Wake.Wote Walikula Na Baada Ya Muda Kidogo Wote Waliingia Kulala.Luyange Aliamuwa Siku Hiyo Kutolala Alitaka Kujuwa Hatma Yake Na Alipanga Yatakapotokea Mambo Kama Yale Ya Jana Ataingia Chumbani Kwa Najma Moja Kwa Moja Bila Hata Ya Hodi.Basi Masaa Yalisogea Na Yakasogea Na Ilipofika Mida Kama Ya Saa Nane(8) Usiku Kama Kawaida Ya Mume Wake Kutoka Kweli Ulipofika Muda Huo Tu Luyange Alishangaa Kuona Mtoto Akilia.Aligundua Yakuwa Bwana Mkubwa Amekwisha Amka Na Ameenda Kufanya Mambo Yake.Luyange Alimnyamazisha Mtoto Na Baada Ya Kunyamaza Tu Alitoka Moja Kwa Moja Na Kuelekea Chumbani Kwa Najma.Alikwenda Nakufika Hadi Mlangoni,Luyange Alijibanza Kwenye Chumba Kile Pembeni Akisubiria Itakavyokuwa Na Haswa Alipanga Kuingia Ndani Humo Ili Kuweza Kushuhudia.Kweli Bwana Muda Mchache Luyange Alisikia Sauti Ya Najma Na Ketaro Mume Wake Wakifanya Mapenzi Tena Wakitoa Sauti Hadi Mume Wake.Aliposikia Sauti Hizo Za Mahaba Ndiyo Zilimchanganya Kabisa Luyange Ukiambatanisha Na Wivu.Luyange Alishindwa Kuvumilia,Luyange Alitoka Haraka Na Kuusukuma Ule Mlango Hadi Ndani Lakini Cha Ajabu Alipoingia Alishangaa Kumkuta Najma Akiwa Peke Yake Ametanua Miguu Kama Mtu Anaefanya Mapenzi Na Wakati Alisikia Na Sauti Ya Mume Wake Ketaro....
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU YA 34.
......Tulipoishia...Najma Aliposukuma Mlango Nakuingia Hadi Ndani Alishangaa Kumkuta Najma Akiwa Ametanua Miguu Kama Anafanya Mapenzi Akiwa Peke Yake.Ghafla Najma Aliruka Toka Kitandani Nakujifunika Nguo.Luyange Alizidi Kujiuliza Imewezekanaje Mume Wangu Asiwepo Humu Ndani.Lakini Kumbe Ketaro Alikuwa Yupo Katika Ulimwengu Wa Roho Ilikuwa Ni Vigumu Kumuona Kwa Macho Haya Ya Damu Na Nyama.Najma Alibaki Ameduwaa Kwani Hata Yeye Alihisi Kuwa Luyange Anaweza Akawa Amewaona Kwahiyo Akawa Anangojea Hatma Ya Mwisho Atasemaje.Lakini Mwisho Wake Luyange Akasema.
LUYANGE:Samahani Sana Najma.Baada Ya Kusikia Ivyo Ketaro Yakuwa Luyange Anaomba Samahani Alitambuwa Yakuwa Luyange Hajamwona.Ketaro Alinyanyuka Nakupita Pembeni Ya Luyange Na Kutoka Nje Huku Luyange Akiwa Hajuwi Chochote Kinacho Endelea.Najma Alikuwa Bado Haamini Kama Luyange Hakumwona Ketaro Na Hata Alipogundua Yakuwa Luyange Hakuwafumania Hakuona Tatizo Kuchunguliwa Na Luyange Kwanh Aliona Amenusurika Kutoka Kwenye Tatizo.
NAJMA:Ulivyo Fanya Wifi Yangu Luyange Sijapenda Kwahiyo Unahisi Yakuwa Mimi Ninaweza Nikalala Na Dada Yangu.Mimi Nimekusamehe Ila Ulichokifanya Naomba Usirudie Sijakipenda.
LUYANGE:Sawa Samahani Sana Wifi Yangu Sitorudia Tena.Luyange Alitoka Nje Akiwa Na Machungu Sana Kwani Alijuwa Kuna Kitu Kimetendeka Kwani Aliweza Kusikia Vyema Sauti Ya Mume Wake Na Iweje Asimkute.Luyange Alikwenda Nakurudi Zake Alipofika Alimkuta Mume Wake Akijigeuza Geuza.Najma Alijiuliza Maswali "Inamana Huyu Mume Wangu Tangia Nilivyoondoka Toka Muda Ule Haja Hisi Tu Mimi Kama Sipo Na Kama Aliamka Akanikuta Mimi Sipo Mbona Hajapata Msukumo Wa Kunitafuta"Luyange Alizidi Kuumiza Kichwa Akiamini Yakuwa Kuna Mchezo Amechezewa.Luyange Aliamuwa Kupotezea Hilo Aliingia Zake Na Kulala.Muda Ulienda Na Asubuhi Palipokucha Alidamka Mapema Nakwenda Zake Shamba Pamoja Na Mwanae.Siku Hii Hakumwaga Hata Mume Wake Kwani Alimwona Kama Mwiba Kwake.Alipoondoka Asubuhi Na Mapema Ketaro Aliamka Na Kumfuata Najma.
KETARO:Najma Unataka Kunivunjia Ndoa Yangu.
NAJMA:Nikuvunjie Ndoa Yako Kwani Sisi Tuliyofunga Ni Hewa Au.
KETARO:Hapana Wewe Siunaona Yaliyotokea Jaman.
NAJMA:Nimeona Lakini Hamna Chochote Alichokibutukia Usijali.
KETARO:Kama Hamna Chochote Alichokibutukia Imekuwaje Aingie Hadi Ndani.
NAJMA:Tatizo Ni Wewe Ulikuwa Unazungumza Kwa Sauti Kubwa Sana Na Ndio Mana Akasikia.
KETARO:Mimi Naona Kama Vile Tutafumainiwa Jaman.
NAJMA:Hatuwezi Bwana Mume Wangu.Najma Alimsogelea Ketaro Taratibu Nakumvuta Hadi Kitandani.Ketaro Alishindwa Kujizuia Alijikuta Akitoa Ushirikiano Mkubwa Sana Katika Hilo.Luyange Akiwa Shambani Alishindwa Kulima Kabisa Alikuwa Akifikiria Juu Ya Lile Tukio Tu.Luyange Aliona Bora Aende Kwa Mganga Aliyekuwa Anasifika Kijijini Hapo Kama Mjuwavyo Wanadamu.Luyange Aliacha Kulima Alichukuwa Vitu Vyake Na Kuviifadhi Nakuondoka Zake Pamoja Na Mwanae Wakielekea Kwa Mganga.Walikwenda Nakufika Hadi Kwa Mganga Ilikuwa Yapata Saa Sita Mchana.Mganga Aliwakaribisha Na Baada Ya Hapo Waliketi.Baada Ya Kuketi Luyange Hakutaka Kupoteza Muda Alimweleza Vyema Matatizo Yake Yanayo Msibu.Mganga Alimwahidi Yakuwa Matatizo Yake Yatakwisha Hivi Punde Lakini Alianza Kuyawasilisha Maneno Haya.
MGANGA:Mama Matatizo Yako Yote Nimekwisha Yatambuwa Mamaa.
MSAIDIZI WA MGANGA:Sema Uryaga Mama.
LUYANGE:Uryaga.
MGANGA:Mamaa Unaishi Na Jini Mkali Sana Nyumbani Kwako.
LUYANGE:Jini.Luyange Alishangaa Sana Baada Yakuambiwa Yakuwa Anaishi Na Jini.
MGANGA:Ndio Mamaa Na Ndoa Yako Inateswa Na Jini Huyo.
LUYANGE:Lakini Mganga Mbona Mimi Nyumbani Kwangu Sijawahi Kumwona Au Kumkuta Jini.
MGANGA:Hahahaha Kuna Mwanamke Aliyeuvaa Mwili Anaitwa Najma Wewe Unamtambuwa Kwa Jina La Maimuna Huyo Ndiye Jini.
LUYANGE:Mungu Wangu,Kweli Mganga Sasa Nimeamini Jamani.Sasa Nifanyaje Ili Niweze Kuondokana Na Hayo Matatizo Mganga.
MGANGA:Una Paswa Kufuata Masharti Nitakayo Kwambia.
LUYANGE:Wewe Niambie Tu Mimi Nipo Tayari Kwa Lolote Ili Mradi Kuisalimisha Ndoa Yangu.
MGANGA:Kinachotakiwa Nikumfunga Huyo Jini Na Ili Kumfunga Inatakiwa Uilete Hapa Nguo Yake Yeyote.
LUYANGE:Mungu Wangu.Nguo Yake?
MGANGA:Ndio Nguo Yake Ndio Tutaweza Kumfunga Mana Kwasasahivi Ananguvu Sana Tofauti Na Alivyokuwa Kwa Kipindi Cha Nyuma.
LUYANGE: Daah Najuwa Hakunaga Masharti Miyepesi Ntajitahidi Nitimize Ulichoniagiza.Basi Mganga Na Luyange Walielewana Na Kuweza Kuagana.Luyange Alikwenda Zake Hadi Nyumbani Ilikuwa Ni Saa Kumi(10) Jioni.Alipofika Aliwasalimia Wote Nakuingia Katika Maandalizi Ya Upikaji Wa Chakula Cha Jioni.Luyange Aliwaza Mengi Juu Ya Uchukuaji Wa Nguo Ile Aliyo Agizwa Na Mganga.Luyange Aliona Njia Sahihi Yakufanya Ni Hii.Luyange Alimwita Najma.
LUYANGE:Wifi Wifi Wifi.
NAJMA:Bee.
LUYANGE:Wifi Yangu Nilikuwa Nakuomba Unisaidie Hapa Kupika Kidogo Kwani Ninajisikia Vibaya.Basi Najma Alishindwa Kukataa Kama Mtoto Wa Kike.Najma Aliingia Jikoni Kupika Alivyoingia Kupika Luyange Alikwenda Moja Kwa Moja Chumbani Kwake.....
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
...Tulipoishia...Luyange Alinyata Nakuingia Ndani Kwa Najma.Luyange Alipoingia Alikuta Magauni,Mitandio Na Baadhi Ya Nguo.Luyange Alijuwa Moja kwa Moja Akichukuwa Gauni Itakuwa Ni Rahisi Sana Kubutukiwa Tofauti Na Akichukuwa Mtandio.Basi Luyange Alichukuwa Mtandio Nakutoka Nao Nje Taratibu Huku Akiangaza Huku Na Huku Kama Vile Mwizi.Alipoangaza Aliona Hamna Mtu Aliyemwona Alikwenda Moja Kwa Moja Hadi Chumbani Kwake Nakuifadhi Nguo Ile Kwenye Mfuko Wake Wanguo.Luyange Alihakikisha Kabisa Hakuna Atakayeweza Kugundua Au Kuiona Na Kuichukuwa Nguo Hiyo.Muda Ulienda Walikula Na Kwenda Kulala.Usiku Huu Luyange Alitamani Muda Uende Haraka Ili Pakuche Apate Kwenda Kwa Mganga Kwani Alikuwa Amekwisha Ingia Na Hofu Sana Juu Ya Najma Baada Ya Kuambiwa Yakuwa Ni Jini.Siku Hiyo Luyange Hakutaka Hata Kuamka Usiku Na Kuanza kumchunguza Mume Wake Alikuwa Akisubiria Pakuche Tu.Mida Ili Sogea Na Ikiwa Ya Pata Kama Saa 7 Usiku Luyange Alishangaa Kuona Mtoto Akiamka Nakuanza Kupiga Kelele Kama Kawaida Yake.Luyange Aligundua Kuwa Mume Wake Amekwisha Amka Na Amekwenda Kufanya Mambo Yake Lakini Kumbe Siku Hiyo Hata Yeye Ketaro Mume Wa Luyange Alikuwa Anataka Kumpima Mke Wake Je Amekwisha Wa Butukia Mchezo Wao Au Ilikuwa Kama Bahati Mbaya Siku Ile.Basi Luyange Aliinuka Nakuanza Kumbembeleza Mtoto Ili Alale Na Baada Ya Muda Mfupi Mtoto Alilala Na Yeye Mwenyewe Luyange Baada Ya Mtoto Tu Kulala Na Yeye Alilala.Ketaro Baada Ya Kuona Ivyo Aligundua Yakuwa Mke Wake Luyange Alikuwa Bado Hajabutukia Mchezo Wao .Basi Ketaro Alitoka Na Kwenda Kwa Najma Chumbani Kwake.Mida Ilisogea Na Baada Ya Masaa Kadhaa Ketaro Alirejea.Ilipofika Asubuhi Luyange Aliamka Asubuhi Na Mapema Sana.Alipoamka Alikwenda Moja Kwa Moja Hadi Kwenye Mfuko Wake Wa Nguo Ilikuweza Kuangalia Nguo Ile.Kikubwa Cha Kushangaza Luyange Alipoangalia Hakukuta Kitu.Luyange Alibaki Akijiuliza Ni Nani Aliyechukuwa Nguo Hiyo Je Ni Mume Wake ketaro Au Najma Mwenyewe.Luyange Alishindwa Kutambuwa Katika Hilo Aliona Ni Bora Aende Kwa Mganga Akimpe Msaada.Luyange Alimchukuwa Mwanae Nakuondoka Moja Kwa Moja Hadi Kwa Mganga Ikiwa Ni Saa Kumi Na Moja(11)Alfajiri.Walikwenda Nakufika Kule Asubuhi Ya Saa 2 Kwa Mganga.Walifika Nakuzungumza Na Mganga,Mganga Alimwambia.
MGANGA:Hahahaha Usijali Nitakusaidia.Chukuwa Hii Dawa.Luyange Alipokea Dawa Ile Iliyokuwa Kama Ya Unga.
MGANGA:Sasa Kesho Utatakiwa Asubuhi Utakapoamka Ukachukuwe Nguo Na Inatakiwa Kabla Ya Kuchukuwa Nguo Hizo Ujipake Dawa Hii Kalibia Mwili Mzima Na Utakapochukuwa Nguo Hiyo Usigeuke Nyuma Japokuwa Utakutana Na Dhoruba Kubwa Sana Katika Hili ,Mizimu Yake Itakusumbuwa Kipindi Unakuja Huku Lakini Unatakiwa Ujikaze Na Uje.
LUYANGE:Mganga Mimi Nimekwisha Amuwa Kufa Au Kupona Mimi Hilo Jambo Nitalikamilisha.Basi Mganga Alimpatia Luyange Ile Dawa Ya Unga Nakumwachia Mizimu Yake Baadhi Ili Imlinde.Luyange Siku Hiyo Hakushiriki Majukumu Ya Shamba Kabisa.Aliamuwa Kurejea Nyumbani Ikiwa Yapata Kama Saa 8 Mchana.Alipofika Tu Alishangaa Kuona Najma Akimtolea Macho Isivyo Kawaida Kama Mtu Aliyekasirika.Luyange Alimsalimia Lakini Ujibuji Wake Ulikuwa Haulidhishi Kabisa Ulikuwa Wa Kama Mtu Aliyechukizwa Na Jambo.Basi Mida Ikasogea Luyange Aliingia Jikoni Kupika Na Watu Wakala Nakuingia Kulala Ikiwa Ni Saa Tatu(3)Usiku.Mida Ilienda Kesho Yake Ilitimu.Siku Hii Ilikuwa Ni Miujiza Kwani Luyange Hakwenda Shamba Jambo Ambalo Ilikuwa Sio Kawaida Yake.Asubuhi Palikucha Walisalimiana Vyema .Siku Hiyo Luyange Alikuwa Kishinda Tu Nje Akingojea Upenyo Utokee Hata Kidogo Ili Apate Kuingia Na Kuchukuwa Nguo Kwenye Chumba Cha Najma.Luyange Akiwa Ameketi Nje Ghafla Najma Alichukuwa Ndoo Ya Maji Ya Kuogea Ikiwa Ina Maji Na Kuingia Nayo Chooni Ili Kuoga.Baada Ya Kuingia Tu Luyange Hakutaka Kupoteza Muda Alichukuwa Ile Dawa Aliyopewa Na Mganga Na Kuipaka Kama Alivyoambiwa Na Baada Ya Hapo Aliingia Chumbani Mle Na Kuchukuwa Mtandio Mwingine Kwa Mara Nyingine Tena.Alipochukuwa Tu Hakutaka Kupoteza Muda Alimwacha Hadi Mtoto.Aliondoka Nyumbani Pale Ghafla Akiwa Amemwacha Mtoto Wake Ndani Pamoja Na Baba Yake Huku Najma Akiwa Bafuni.Lakini Cha Ajabu Pia Baada Ya Kuondoka Tu Luyange Nyumbani Pale Na Nguo Ya Najma.Najma Alitoka Chooni Ghafla Akiwa Hata Hajamaliza Kuoga Akiwa Kama Ameshtuliwa Na Jambo Aliloliona.Alitoka Bafuni Na Kukimbilia Chumbani Kwake.Luyange Alianza Kukimbia Akielekea Kwa Mganga.Kutoka Alipo Luyange Hadi Kufika Kwa Mganga Kuna Umbali Unaoweza Kuchukuwa Muda Kama Masaa Mawili(2) .Umbali Huo Ulimfanya Luyange Kuchanganyikiwa Kwani Alikuwa Akipita Na Porini Pia.Luyange Akiwa Kwenye Mwendo Wa Haraka Haraka Sana Ghafla Akiwa Njiani Porini Kiza Cha Ajabu Kilitanda Ghafla Maeneo Hayo Aliyokuwepo Na Mbele Yake Alishangaa Kumuona Bibi Kizee Aliyekuwa Amefanana Vyema Na Bibi Yake Akiwa Mbele Yake Na Shuka Amejifunika#
ITAENDELEA....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU YA 36.
...Tulipoishia...Luyange Akiwa Kwenye Harakati Ya Kupeleka Vazi Lile La Najma Kwa Mganga Akiwa Porini Alitokewa Na Bibi Kizii Aliyejifunika Shuka Jeupe Mbele Yake.Luyange Aliona Leo Atakufa Sasa Kwani Mganga Alimwambia Chechote Kitakachomtokea Baada Ya Kuchukuwa Hiyo Nguo Asitizame Nyuma Wala Kurudi Nyuma Bali Asonge Mbele Tu.Baada Ya Luyange Kumuona Bibi Huyo Aliyefanana Vyema Na Bibi Yake Aliyekuwa Akijulikana Ni Marehemu.Luyange Alihaha Sana,Luyange Alijikuta Akiishiwa Nguvu Na Kupiga Magoti Chini Huku Haja Ndogo(Mkojo) Ukimtiririka.Luyange Akiwa Amepiga Magoti Chini Huku Akitiririkwa Na Mkojo Ghafla Alishangaa Kuona Yule Bibi Akiwa Hayupo Tena Mbele Yake Akawa Amepotea Kimiujiza.Luyange Alipoona Bibi Huyo Ameyayuka Alipata Nguvu Ya Kunyanyuka Na Kuanza Kukimbia Kwa Mwendo Wa Kasi Sana.Lakini Kikubwa Kingine Cha Kushangaza Kadri Luyange Alivyozidi Kusonga Mbele Ndipo Na Kiza Nacho Kilizidi Kutanda Kwa Wingi.Ilifikia Hatua Kiza Kilitanda Kabisa Kama Vile Ni Usiku Wa Manane Na Wakati Ilikuwa Ni Saa 3 Ikielekea Saa 4 Asubuhi.Luyange Alishindwa Kuelewa Kabisa Hali Hiyo Alitamani Kurudi Nyuma Lakini Alikumbuka Maneno Ya Mganga Aliyokazaniwa Juu Ya Kutokuangalia Nyuma.Luyange Alijipa Moyo Nakuanza Kusonga Mbele Huku Kiza Kikiwa Kimetanda.Luyange Aliendelea Kwenda Lakini Kingine Kikubwa Zaidi Na Cha Ajabu Luyange Kila Alipojaribu Kuangalia Njia Hakuziona Badala Yake Alipita Njia Ilimradi Atokee Mbele Kwani Njia Aliyopaswa Kupita Haikuonekana Kabisa.Luyange Hakujali Ilo Alizidi Kusonga Mbele Ndani Ya Kiza Hicho.Masaa Yalizidi Kusogea Ilifikia Hatua Luyange Akawa Anahisi Njaa Sana Na Kutokana Na Kiza Kilichotanda Na Kukosa Saa Kulifanya Luyange Kutokujuwa Majira.Luyange Alikuwa Hajabeba Chakula Chechote Kile Ilimbidi Ajikaze Aendembele Huku Akiwa Na Tumaini Moyoni La Kuiona Njia Mbele.Alifika Mahali Luyange Alikuta Kuna Kama Kidimbwi Kilichokuwa Na Maji Na Kwakuwa Luyange Alikuwa Na Kiu Sana Hakujali Usalama Wa Maji Yale Badala Yake Aliinama Ili Apate Kunywa Wakati Anakunywa Alishangaa Na Kujikuta Akinywa Damu Badala Ya Maji.Luyange Alishtuka Sana Na Kuyatupa Maji Yaliyokuwa Viganjani Pake.Luyange Alitembea Mbaka Ikafikia Hatua Akawa Anahisi Maumivu Ya Kwenye Miguu.Luyange Aliona Bora Apumzike Kidogo Kwenye Mtu Ili Avute Pumzi Kidogo Waswahili Wanasemaga Ili Apate Kuendelea Na Safari Yake.Akiwa Amepumzika Chini Ya Mti Ghafla Alipitiwa Na Usingizi Na Kujikuta Anaingia Kwenye Njozi Nzito Sana.Luyange Akiwa Amelala Kwenye Mti Huo.Aliona Mazingira Ya Nyumbani Kwake Najma Akiwa Anafanya Maandalizi Ya Kupika Na Baada Ya Hapo Watu Wote Walikula Isipokuwa Yeye Alikuwa Hayupo.Aliyekuwepo Ni Mtoto Wake Na Luyange,Ketaro Pamoja Na Najma.Baada Ya Kula Waliweza Kutawanyika Na Kwenda Kulala Kila Mmoja Chumbani Kwake.Baada Ya Kuingia Kila Moja Chumbani Kwake Ilipofika Usiku Wa Manane Ketaro Aliondoka Katika Ulimwengu Wa Roho Na Kwenda Chumbani Kwa Najma .Alikwenda Na Wote Baada Ya Kukutana Walijikuta Wakifanya Tendo La Ndoa(Mapenzi) Huku Mtoto Akiwa Peke Yake Chumbani.Lakini Cha Ajabu Na Kikubwa Zaidi Wakiwa Wanafanya Tendo Hilo.Ghafla Walisikia Sauti Ya Mtoto Akilia Kama Vile Anapigwa Wote Walipuuzia Na Kuhisi Yakuwa Itakuwa Kama Kawaida Yake.Lakini Wakiwa Wanaendelea Kufanya Tendo Hilo Ghafla Walishangaa Kuona Mlango Ukivunjwa Na Mtu Mmoja Aliyefunika Uso Wake Aliingia Akiwa Amekakamata Kale Katoto Akikanyonya Damu.Ketaro Aliumia Sana Aliruka Na Kumrukia Mtu Yule Ili Kuweza Kumuokoa Mwanae Ambaye Kwa Wakati Huo Alikuwa Teyari Amekwisha Kufa.Katika Purukshani Za Kumchukuwa Mtoto Wake Kutoka Kwa Mtu Huyo Nae Aliyekuwa Katika Aina Mbili Roho Na Mwili Alijikuta Kitambaa Kikimdondoka Na Sura Yake Ilipata Kuonekana Alikuwa Ni Maimuna Na Wala Sio Mwingine.Ketaro Alijikuta Akishtuka Na Kudondoka Chini.Najma,Ketaro Pamoja Na Maimuna Walijikuta Wakipigana Haswa Maimuna Na Najma Kwa Kutumia Nguvu Za Kijini.Walipambana Na Mwisho Wake Wote Watatu Najma,Ketaro Pamoja Na Maimuna Walipotea Sehemu Isiyojulikana Na Kumwacha Mtoto Yule Pale Chumbani.Ilipofika Asubuhi Luyange Alirejea Nyumbani Kwake Na Kukuta Majanga Hayo Mwanae Akiwa Amekufa Na Mume Wake Aliyekuwa Amekufa.Kumbuka Kuwa Ketaro Hakufa Ila Aliondoka Kama Roho Na Mwili Aliuacha Kwahiyo Mtu Atakapokuja Na Kuona Ule Mwili Moja Kwa Moja Atajuwa Mtu Huyu Amekwisha Kufa Kwani Hauna Uzima Na Ndio Lililotokea Kwa Luyange .Luyange Alihuzunika Sana Taratibu Za Mazishi Zilifanyika Na Mtoto Wake Na Luyange Pamoja Na Mwili Wa Ketaro Vyote Vilizikwa Tena Siku Moja.Mwisho Wa Siku Roho Ya Ketaro Au Ketaro Anarudi Anakuta Mwili Wake Umekwisha Zikwa Na Yupo Katika Ulimwengu Wa Roho Ambao Mke Wake Luyange Hawezi Kumuona Wala Hawawezi Kugusana Lakini Ketaro Alikuwa Anauwezo Wa Kumuona Luyange Lakini Alikuwa Hawezi Kumgusa .Ghafla Luyange Alishtushwa Na Mguso Na Kujikuta AKitoka Kwenye Ndoto...
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAPP:0652547570.
SEHEMU YA 37
...Tulipoishia...Luyange Aliposhtuka Alishangaa Kuona Pame Pambazuka Na Kuwa Mchana.Alipoinua Macho Yake Juu Kidogo Alishangaa Kuona Kwato Za Ng'ombe Zikiwa Zimesimama Mbele Yake.Luyange Alipoinua Macho Yake Juu Ili Apate Kukiangalia Kiumbe Hicho.Alishangaa Kuona Juu Alikuwa Ni Binadamu Tena Alikuwa Ni Bibi Yule Yule Aliyekutana Nae Njiani,Luyange Alinyanyuka Nakuanza Kukimbia Huku Akihema Isivyo Kawaida.Alikimbia Sana Kama Nusu Saa.Alishangaa Akitoka Nje Ya Msitu Huo Ulioambatana Na Pori Nakutokea Kwenye Njia Anayoifahamu.Alipoingalia Vizuri Njia Hiyo Ilikuwa Ni Njia Iliyokuwa Ikielekea Kwenye Nyumba Ya Mganga Au Kwenye Imaya Yake.Luyange Alishangaa Na Kuogopeshwa Na Jambo Hilo la Kutokea Kwa Mganga Tu Ghafla Na Sio Mahali Pengine.Luyange Akaamuwa Kupotezea Na Kuchukulia Jambo La Kawaida.Alianza Kusonga Taratibu Akielekea Kwa Mganga.Alipofika Alikaribishwa Vizuri Na Msaidizi Wa Mganga Yule Na Kuingia Moja Kwa Moja Hadi Kwa Mganga .Luyange Aliingia Moja Kwa Moja Hadi Kwa Mganga Na Kumkuta Akiwa Ameketi Amefumba Macho Yake Akiunguruma.Muda Mchache Tu Na Msaidizi Nae Akaingia.Muda Huo Luyange Alikuwa Anayo Nguo Ile Ya Najma Mkononi.Mganga Akasema..
MGANGA:Hahahaha Bila Yangu Mimi Leo Ungekufa Mamaa.
LUYANGE:Kwanini Mganga.
MGANGA:Mizimu Yake Yule Ulipochukuwa Nguo Yake Yule Ilikuwa Imekwisha Kujuwa Unaenda Kuifanyia Nini Na Ndio Mana Ikawa Inataka Kukuua Kwa Uwezo Wangu Nimejaribu Kukusaidia Mpaka Nimekuokoa Huko.
LUYANGE:Asante Mganga Mimi Chochote Ambacho Utataka Nitakupatia Jaman Ila Tu Unisaidie Katika Hili Mana Mwenzio Sina Amani Na Ndoa Yangu.
MGANGA:Usijali.
LUYANGE:Mganga Toka Nilipoondoka Nyumbani Sijajuwa Nimekaa Msituni Muda Gani Mganga Na Pia Mganga Nimeota Ndoto Mbaya Ya Kutisha Kuhusiana Na Familia Yangu.
MGANGA:Hahaha Hicho Ulichokiona Kinaweza Kikaja Kutokea Ukifanya Uzembe Lakini Kwa Sababu Nipo Mimi Mwenyewe Mganga Mkuu Usijali Pia Ulikaa Siku Moja Msituni Na Leo Ni Ya Pili Lakini Usijali.
MGANGA:Nipatie Hiyo Nguo.Luyange Alimpatia Mtandio Ule Mganga.Mganga Alipochukuwa Mtandio Ule Ghafla Ulibadilika Rangi Nakuwa Nyekundu.Mganga Alicheka Kwa Kejeri Na Kutabasamu.Mganga Alichukuwa Nguo Ile Nakuiweka Kwenye Chungu Na Kuweka Dawa Kisha Alianza Kuimba Na Kuzungumza Maneno Yasiyo Eleweka.Mganga Aliendelea Kuzungumza Huku Akiimba Akiambatanisha Na Kumwaga Dawa Zake Za Kiganga.Mganga Aliendelea Kufanya Ivyo Kama Nusu Saa Na Baada Ya Hapo Alimwambia Luyange Anuizie Maneno Yake kwenye Ile Nguo.Luyange Alinuiza Maneno Yake Kwa Wingi Maneno Yaliyojaa Jazba Na Hasira.Baada Ya Hapo Mganga Alipandisha Mizimu Yake Na Kuanza Kuzungumza Maneno Yasiyo Julikana.Baada Ya Muda Mchache Mganga Alianza Kuzungumza Na Msaidizi Wake Katika Lugha Ile Isiyojulikana.Msaidizi Alianza Kuchukuwa Baadhi Ya Madawa Nakuanza Kuyachanganya Na Baada Ya Kuyachanganya Mzimu Ule Ulimtoka Mganga Na Mganga Akarejea Katika Hali Yake Ya Awali.
MGANGA:Luyange Najuwa Ukirudi Hivi Hivi Nyumbani Unaweza Usifiki Sasa Chukuwa Hii Dawa Ya Unga Ukishatoka Tu Hapa Ujipake Na Ukishafika Tu Nyumbani Kwako Ujipake Dawa Hii Nyeusi Kwani Hiyo Dawa Nyeupe Inakufanya Usionekane Na Mizimu Pia Jini Huyo Baada Ya Masaa 24 Atarudi Alipotoka.Pia Hii Dawa Ya Maji Utakunywa Ili Uweze Kumuona Mume Wako Kwa Kipindi Kile Anapokuachaga Chumbani Na Kwenda Kwa Najma Kwani Mume Wako Anakuwaga Katika Ulimwengu Wa Roho.
LUYANGE:Mganga Nitashukuru Sana Sana Na Je Vipi Kuhusiana Na Malipo.
MGANGA:Usijali Wewe Mambo Yako Yatakapokunyookea Utaleta Chochote Utakachopata.Basi Luyange Alinyanyuka Na Kutoka Nje Ili Apate Kurudi Nyumbani.Ili Kuwa Yapata Saa 4 Asubuhi,Luyange Kabla Ya Kuondoka Alijipaka Dawa Ile Na Kuondoka.Chakushangaza Baada Ya Kupaka Dawa Ile Luyange Hakupotea Njia Kabisa Tofauti Na Mara Ya Kwanza.Basi Alikwenda Hadi Nyumbani Kabla Ya Kuingia Nyumbani Kwake Alifanya Kama Alivyoambiwa Na Mganga Alijipaka Ile Dawa Na Kwenda Nyumbani Kwake Akiwa Huru.Alipofika Alimsalimia Najma Lakini Hakuitikia Salamu Yake.Luyange Alishangaa Sana Alihisi Au Najma Atakuwa Amekwisha Jua Kila Kitu Lakini Aliamuwa Kupotezea kwanza.Alipoingia Ndani Alimkuta Mtoto Wake Akiwa Amelala.Alifika Nakumuamsha Mtoto,Mtoto Alipomwona Mama Yake Alifurahi Sana Alimkumbatia Na Kuanza Kutoa Tabasamu La Ajabu.
MTOTO:Mamaa.
LUYANGE:Niambie Mwanangu.
MTOTO:Alafu Baba Jana Hakulala Ndani.
LUYANGE:Hakulala Ndani?.
MTOTO:Ndio.Mama Alijiongeza Nakujuwa Mume Wake Alipolala.Muda Huo Huo Akiwa Anazungumza Na Mwanae Ghafla ketaro Aliingia Ndani Nakuanza Kumpiga Makofi Mke Wake Luyange Bila Sababu.
LUYANGE:Mume Wangu Kwanini Unanipiga Bila Sababu?.
KETARO:Yaani Wewe Ulikuwa Kwa Wanaume Alafu Unasema Nini Pumbavu.Ketaro Aliendelea Kumpiga Mke Wake Luyange.Luyange Aligundua Mume Wake Tayari Amekwisha Fungwa Akili.Kitu Cha Maana Alichokiona Luyange Aliamuwa Kutoka Zake Nje Ilikuepusha Ugomvi Huo.Mida Ilisogea Na Usiku Ukatimu Huku Luyange Akingojea Timbwili Timbwili.
ITAENDELEA .
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

WHATSAP:0652547570.

SEHEMU YA 38.

...Tulipoishia...Mida Ilisogea Na Kiza Kikatanda.Usiku Ulipotimu Kila Mmoja Alienda Kupumzika Kwenye Chumba Chake.Luyange Alikwenda Zake Kupumzika Pamoja Na Mume Wake Ketaro.Siku Hiyo Luyange Alikuwa Na Shauku Ya Kujuwa Mwisho Wake Wa Mambo Yale Na Alijiamini Sana Kwa Kuwa Alipewa Dawa Na Mganga Itakayoweza Kumsaidia Kuona Vitu Ivyo.Mida Ilizidi Kusogea Kama Kawaida Yake Bwana Mkubwa ketaro Ilipofika Saba 7 Ya Usiku Wa Manane Ghafla Luyange Alisikia Mtoto Akilia.Luyange Aligundua Moja Kwa Moja Ketaro Amekwisha Kwenda Kwenye Mambo Yake.Luyange Alinyanyuka Na Kumnyamazisha Mtoto Na Baada Ya Hapo Alichukuwa Dawa Ile Nakufanya Kama Alivyoambiwa Na Mganga.Luyange Alitoka Nje Taratibu Akinyata.Alipofika Nje Alimwona Ketaro Akiishia Kwa Mbali Akiingia Kwenye Chumba Cha Najma.Luyange Alinyata Taratibu Akielekea Kwenye Chumba Cha Najma.Alipofika Alisikia Najma Akizungumza Na Ketaro Kwani Luyange Alisikia Sauti Ya Mume Wake Ketaro Ikizungumza.

NAJMA:Mume Wangu Ketaro Mimi Nimechoshwa Sasa Na Huyu Mbuzi Wako.

KETARO:Aah Mke Wangu Najma Usimwite Ivyo Bwana Sio Vizuri Kwani Wewe Ulikuwa Unatakaje.

NAJMA:Mimi Nilikuwa Nataka Kama Inawezekana Tumuangamize Tu Ili Tuondokane Na Matatizo Nae Mana Anaonekana Anaroho Mbaya.

KETARO:Kumuangamiza Tunaweza Tukamuangamiza Lakini Sio Kwa Sasahivi Muda Bado Kwani Siunajuwa Huyu Mwanamke Nimetoka Nae Mbali.

NAJMA:Hahahaha "Eti Nimetoka Nae Mbali".Najma Alizungumza Maneno Hayo kwa kejeri Huku Akiwa Amebana Pua.

NAJMA:Bila Mimi Kukusaidiaga Unadhani Ungekuwa Naye Huyu.

KETARO:Naje Bila Mimi Kukuokoa Pale Ulipofungwa Unadhani Ungekuwa Na Mimi.

NAJMA:Hahaha Hebu Usinichekeshe.Najma Alimvuta Ketaro Kwake Nakuanza Kupapasana Nae.Muda Wote Huo Luyange Alikuwa Amekaa Kwenye Sehemu Nzuri Akishuhudia Yote Hayo.Luyange Alizidi Kuumia Roho Alipozidi Kuona Mambo Kama Hayo Yakitendeka Na Alizidi Kujawa Na Hasira Juu Ya Najma Kwani Yeye Ndiye Chanzo Cha Yote.Najma Na Ketaro Waliendelea Kupapasana Huku Wakivuana Nguo Hadi Wakabaki Watupu.Walivyobaki Watupu Walianza Kufanya Mapenzi .Luyange Aliendelea Kuwatizama Huku Machozi Yakimtiririka.Luyange Alipozidi Kuangalia Mume Wake Ketaro Na Wifi Yake Kama Alivyotambulishwa Wakigeuzana Alijawa Na Uchungu Nakujikuta Akienda Ndani Humo Kwa Jazba.Alipofika Hakutaka Kugonga Mlango Alisukuma Nakuingia Ndani Kwani Hata Mlango Wenyewe Ulikuwa Ni Sawa Sawa Na Amna Kitu.Luyange Alipoingia Alimkuta Mume Wake Akiwa Uchi Wa Mnyama Akiwa Chini Na Najma Juu.Kwa Akili Za kibinadamu Najma Alijuwa Kuwa Luyange Na Leo Kawahisi Tu Kwa Muda Ule Alikuwa Akimwona Yeye Tu Lakini Kumbe Luyange Kwa Muda Huo Alikuwa Na Uwezo Wa Kuwaona Wote.Luyange Ndipo Alipoamini Kuwa Mume Wake Kweli Ni Msaliti.

NAJMA:Lakini Wifi Kwanini Tunafanyiana Hivi Jamani Kwanini Tunadhalilishana Sasa Nini Unafanya Umefurahi Sasa Kunichungulia.Muda Wote Huo Najma Alipokuwa Akionge Luyange Alikuwa Amekaa Kimya Akiwatazama Huku Akitiririkwa Na Machozi.Najma Alianza Kuingiwa Na Mashaka Na Hofu Baada Ya Kumuona Luyange Akiwa Bize Nakuwaangalia Tu Haswa Chini Alipokuwepo Ketaro.Najma Na Ketaro Walibaki Kama Walivyozaliwa Wakiwa Wameganda Kama Walivyokutwa Kwani Waliishiwa Hata Nguvu Na Wao Baada Ya Kuhisi kama Wanaonekana.Ketaro Alimwomba Najma Anyanyuke Iliapate Kusimama Na Pia Apate Uhakika Kama Luyange Anamwona.Luyange Akiwa Anawaangalia Najma Alinyanyuka Nakumpisha Ketaro Anyanyuke Na Yeye Kwani Najma Alikuwa Yupo Juu Ya Ketaro.

LUYANGE:Hata Usipate Shida Endelea Na Ulichokuwa Unakifanya.Ketaro Alipata Mshtuko Kidogo Na Kujikuta Akiganda Kwanza Mana Alianza Kuamini Kwa Asilimia100% Kuwa Luyange Anamwona Kwani Angekuwa Hamwoni Asingemwambia Kauli Kama Hiyo.Ketaro Pia Alishindwa Na Aliogopa Pia Kuzungumza Kwani Akizungumza Alikuwa Anauwezo Wa Kusikika Kwa Mtu Wa Kawaida.Basi Ketaro Alimpa Ishara Najma Yakuwa Amuulize Ameona Nini.

NAJMA:Umeona Nini Kwani Wifi Yangu.

LUYANGE:Wewe Usinifanye Mimi Mtoto Mdogo Na Iwe Mwanzo Na Mwisho Wa Kuniita Mimi Wifi Unanisikia Na Wewe Ketaro Uliye Jikunyata Ukidhani Mimi Sijakuona Nimekuona Vizuri Sikuzani Kama Itakuja Kutokea Siku Unisaliti Kama Hivi Kwa Jinsi Nilivyokupenda Na Ninavyokupenda Na Tulipotoka Leo Unakuja Kunilipa Haya Kweli Mimi Ninashukuru.Ketaro Alipigwa Na Hofu Kubwa Sana Baada Ya Kutambuwa Kuwa Anaonekana .Moyo Ulianza Kumsuta Na Kumnung'unikia Ketaro Kwa Yale Aliyoyatenda Ketaro Alijilaumu Sana.Luyange Alizidi Kuzungumza Haya.

LUYANGE:Kama Ningekuwa Na Uwezo Wa Kuyaona Haya Ya Mbeleni Ni Bora Nisingekupatiaga Moyo Wangu Toka Kipindi Kile Mimi Naitwa Mjukuu Wa Bibi Mchawi Na Wewe Mjukuu Wa Bibi Likande .Moyo Unaniuma Sana Tena Sana.Luyange Akiwa Anazungumza Hayo Ghafla Ketaro Alidondoka Mzima Mzima Kutoka Kwenye Kitanda Hadi Chini Na Kuwa Kama Mtu Aliyekufa Au Kupoteza Fahamu.Luyange Alimsogelea Pale Chini Nakuanza Kumtikisa Akili Zikiwa Zimemruka Huku Akilia.

ITAENDELEA....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU 39.
...Tulipoishia...Luyange Aliendelea Kumtikisa Ketaro Mume Wake Kwani Hata Yeye Alipigwa Na Tafurani Baada Ya Mume Wake Kudondoka.Luyange Alizidi Kumtikisa Ketaro Huku Akitiririkwa Na Machozi.Muda Wote Huo Najma Alikuwa Amesimama Akiwatazama.Luyange Alijikuta Akikosa Fahamu Na Kudondoka Chini.Alipodondoka Chini Najma Alishtuka Na Kuogopa Sana Baada Ya Kumuona Luyange Amedondoka Kwani Hakuweza Kupata Uhakika Yakuwa Amekufa Au Amezirai.Kwa Kweli Najma Hakutaka Kumfanya Akose Furaha Na Amani Lakini Na Yeye Alijikuta Akimpenda Ketaro Na Haswa Kwa Alivyo Msaidia Hakutaka Kuachana Nae Hata Kidogo Aliona Ni Bora Wa Kose Wote Tu.Mida Ili Sogea Na Asubuhi Palikucha Ndipo Luyange Akazinduka Na Kurejea Katika Hali Yake Ya Awali Lakini Alipoamka Alipigwa Na Butwaa Na Mshangao Pia Baada Ya Kukuta Mume Wake Kipenzi Akiwa Amekatwa Kichwa Akiwa Anavuja Damu.Luyange Alishindwa Kuelewa Kabisa Alijikuta Akidondoka Na Kuzirai Kwa Mara Nyingine Tena.Mida Ili Sogea Na Ilipofika Jioni Luyange Aliweza Kuzinduka Kwa Mara Nyingine.Luyange Hakuamini Macho Yake Aliona Kama Vile Anaota.Luyange Alilia Kama Vile Mtoto Aliona Dunia Ni Chungu Alianza Kumtikisa Mume Wake Akiwa Amekatwa Kichwa.Luyange Alijawa Na Jazba Isiyokuwa Na Mfano Lakini Alikumbuka kabla Ya Kuzirai Aliweza kumuacha Najma Akiwa Macho Na Najma Hayupo Yupo Wapi Alijiuliza.Luyange Aliona Ngoja Atoke Nje Kidogo Apate Kumuangalia.Luyange Alichukuwa Kisu Kilichokuwa Ndani Mle Na Kutoka Nacho Nje Akiwa Amekificha Nyuma Ili Apate Kumdhuru.Luyange Ile Anatoka Nje Tu Alimkuta Najma Akiwa Amelala Nje Ya Mlango Huku Akimiminikwa Na Mapovu Yaliyo Ashiria Yakuwa Najma Amekunywa Sumu Lakini Luyange Alikumbuka Kuwa Kuna Mtoto Wake Alimwacha Ndani.Luyange Alitoka Mbio Akienda Kumuangalia Mtoto Wake Kwenye Chumba Chake.Alipofika Aliweza Kumkuta Mtoto Akiwa Amekaa Kwenye Kitanda Akicheza.Luyange Alimshukuru Sana Mungu Na kuweza Kumwambia Mwanae Akae Chumbani Mle Atulie Na Asitoke Nje.Luyange Alirejea Kwenye Mwili Wa Mume Wake Kumtazama Kwani Alikuwa Akipatwa Na Uchungu Kila Alipokuwa Akiutazama Mwili Wa Mume Wake.Luyange Alikumbuka Walipotoka Toka Enzi Zile Wakiwa Bado Vijana Wadogo Wakiwa Wanalelewa Na Bibi Yao Bibi Likande,Alikumbuka Mapenzi Ya Mume Wake Ketaro Aliyokuwa Akimpatia,Luyange Alikumbuka Siku Ile Ketaro Alipomkubalia Na Alipofanya Nae Tendo La Ndoa,Luyange Alikumbuka Mume Wake Alivyoanza Kubadilika Mwenendo.Luyange Hakuamini Kama Sasa Hivi Mume Wake Amekufa Na Hapumui Wala Hatamuona Tena,Wala Hatocheka Nae Tena,Wala Hatolea Nae Mtoto Wao Tena.Luyange Aliumia Na Aliona Dunia Ni Chungu Aliona Kama Vile Ameachwa Duniani Peke Yake.Luyange Akiwa Analia Huku Akigalagala Aliweza Kuiona Barua Ikiwa Kwenye Meza.Luyange Aliweza Kuchukuwa Barua Ile Nakuanza Kuisoma.Barua Ile Ilikuwa Imeandikwa Na Najma Mwenyewe.Barua Ilikuwa Ikisema Hivi "Luyange Najua Utaisoma Barua Hii.Samahani Sana Luyange Kwa Maamuzi Niliyoyafanya Na Jua Ni Maamuzi Magumu Sana.Luyange Kwa Kweli Najua Wewe Ni Mwanamke Mwenzangu Na Unampenda Sana Mume Wako Ketaro Lakini Hata Mimi Nampenda Zaidi Yako Ingekuwa Ngumu Sana Kuishi Bila Yeye.Moyo Wangu Unampenda Sana Ketaro Yeye Ni Roho Yangu Nimeona Bora Nimtoe Roho Na Mimi Nijitoe Roho Ilituweze Kukutana Pamoja Katika Ulimwengu Mwingine.Mungu Akipenda Tutaonana Luyange Maisha Mema."Luyange Alipoisoma Barua Ile Ilimzidishia Uchungu Maradufu Aliona Bora Tu Afe.Luyange Aliaanza Kujawa Na Jazba Na Huzuni Kubwa Kwani Aliona Maisha Ya Kuishi Peke Yake Huku Akimkumbuka Mume Wake Aliyefanana Vyema Na Mwanae .Nahuku Yeye Na Mwanae Kuwa Kama Vile Wajane.Luyange Aliumia Sana Isivyo Kawaida.Luyange Aliona Bora Amfuate Mume Wake Alipo.Luyange Alikwenda Hadi Chumbani Kwake Huku Akilia Na Kutokwa Na Machozi.Alikwenda Na Kuchukuwa Sumu Kisha Alichanganya Kwenye Maji Ya Kunywa Na Baada Ya Hapo Alichukuwa Maji Hayo Nakunywa.Alikunywa Na Kubakisha Kidogo Na Kisha Alimuita Mtoto Na Kumpakata.
LUYANGE:Mwanangu Mzuri Kunywa Hii Dawa Ya Tumbo Nimekutengenezea.Luyange Alikuwa Akizungumza Maneno Hayo Huku Akitiririkwa Na Machozi Hakuna Mfano Kwani Moyo Pia Ulikuwa Ukimsuta Juu Ya Utoaji Wa Roho Ya Mtoto Mdogo Asiyejua Hata Dhambi.Mtoto Hakuwa Na Budi Alichukuwa Maji Yake Yaliyochanganywa Na Sumu Yaliyobakia Na Kunywa.
MTOTO:Mabaya Mama.
LUYANGE:Jitahidi Mwanangu Kunywa Sawa.
MTOTO:Sawa Mama.Basi Mtoto Alijitahidi Na Akanywa Yote.Muda Mfupi Tu Kama Baada Ya Dakika Nne(4) Mtoto Alianza Kulalamika Kwa Mama Kuwa Tumbo Linamuuma.
LUYANGE:Mwanangu Hapo Dawa Ndio Inafanya Kazi Usijali Utapona.Daah Mtoto Taratibu Alianza Kuishiwa Nguvu Na Kudondoka Chini Na Kuanza Kutokwa Na Mapovu Akiwa Anakata roho.Mamaa Ambaye Ni Luyange Aliumia Sana.Muda Mfupi Mama Nae Alianza Kuhisi Mabadiliko Kwenywe Mwili Na Kujikuta Akidondoka Chini Kama Mwanae Na Taratibu Alianza Kurusha Miguu Na Kufariki Dunia.Familia Nzima Ilitekete Kwa Njia Hiyo.
MWISHO
01.Hasira Hasara.
02.Fikiri Kabla Ya Kutenda.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU 39.
...Tulipoishia...Luyange Aliendelea Kumtikisa Ketaro Mume Wake Kwani Hata Yeye Alipigwa Na Tafurani Baada Ya Mume Wake Kudondoka.Luyange Alizidi Kumtikisa Ketaro Huku Akitiririkwa Na Machozi.Muda Wote Huo Najma Alikuwa Amesimama Akiwatazama.Luyange Alijikuta Akikosa Fahamu Na Kudondoka Chini.Alipodondoka Chini Najma Alishtuka Na Kuogopa Sana Baada Ya Kumuona Luyange Amedondoka Kwani Hakuweza Kupata Uhakika Yakuwa Amekufa Au Amezirai.Kwa Kweli Najma Hakutaka Kumfanya Akose Furaha Na Amani Lakini Na Yeye Alijikuta Akimpenda Ketaro Na Haswa Kwa Alivyo Msaidia Hakutaka Kuachana Nae Hata Kidogo Aliona Ni Bora Wa Kose Wote Tu.Mida Ili Sogea Na Asubuhi Palikucha Ndipo Luyange Akazinduka Na Kurejea Katika Hali Yake Ya Awali Lakini Alipoamka Alipigwa Na Butwaa Na Mshangao Pia Baada Ya Kukuta Mume Wake Kipenzi Akiwa Amekatwa Kichwa Akiwa Anavuja Damu.Luyange Alishindwa Kuelewa Kabisa Alijikuta Akidondoka Na Kuzirai Kwa Mara Nyingine Tena.Mida Ili Sogea Na Ilipofika Jioni Luyange Aliweza Kuzinduka Kwa Mara Nyingine.Luyange Hakuamini Macho Yake Aliona Kama Vile Anaota.Luyange Alilia Kama Vile Mtoto Aliona Dunia Ni Chungu Alianza Kumtikisa Mume Wake Akiwa Amekatwa Kichwa.Luyange Alijawa Na Jazba Isiyokuwa Na Mfano Lakini Alikumbuka kabla Ya Kuzirai Aliweza kumuacha Najma Akiwa Macho Na Najma Hayupo Yupo Wapi Alijiuliza.Luyange Aliona Ngoja Atoke Nje Kidogo Apate Kumuangalia.Luyange Alichukuwa Kisu Kilichokuwa Ndani Mle Na Kutoka Nacho Nje Akiwa Amekificha Nyuma Ili Apate Kumdhuru.Luyange Ile Anatoka Nje Tu Alimkuta Najma Akiwa Amelala Nje Ya Mlango Huku Akimiminikwa Na Mapovu Yaliyo Ashiria Yakuwa Najma Amekunywa Sumu Lakini Luyange Alikumbuka Kuwa Kuna Mtoto Wake Alimwacha Ndani.Luyange Alitoka Mbio Akienda Kumuangalia Mtoto Wake Kwenye Chumba Chake.Alipofika Aliweza Kumkuta Mtoto Akiwa Amekaa Kwenye Kitanda Akicheza.Luyange Alimshukuru Sana Mungu Na kuweza Kumwambia Mwanae Akae Chumbani Mle Atulie Na Asitoke Nje.Luyange Alirejea Kwenye Mwili Wa Mume Wake Kumtazama Kwani Alikuwa Akipatwa Na Uchungu Kila Alipokuwa Akiutazama Mwili Wa Mume Wake.Luyange Alikumbuka Walipotoka Toka Enzi Zile Wakiwa Bado Vijana Wadogo Wakiwa Wanalelewa Na Bibi Yao Bibi Likande,Alikumbuka Mapenzi Ya Mume Wake Ketaro Aliyokuwa Akimpatia,Luyange Alikumbuka Siku Ile Ketaro Alipomkubalia Na Alipofanya Nae Tendo La Ndoa,Luyange Alikumbuka Mume Wake Alivyoanza Kubadilika Mwenendo.Luyange Hakuamini Kama Sasa Hivi Mume Wake Amekufa Na Hapumui Wala Hatamuona Tena,Wala Hatocheka Nae Tena,Wala Hatolea Nae Mtoto Wao Tena.Luyange Aliumia Na Aliona Dunia Ni Chungu Aliona Kama Vile Ameachwa Duniani Peke Yake.Luyange Akiwa Analia Huku Akigalagala Aliweza Kuiona Barua Ikiwa Kwenye Meza.Luyange Aliweza Kuchukuwa Barua Ile Nakuanza Kuisoma.Barua Ile Ilikuwa Imeandikwa Na Najma Mwenyewe.Barua Ilikuwa Ikisema Hivi "Luyange Najua Utaisoma Barua Hii.Samahani Sana Luyange Kwa Maamuzi Niliyoyafanya Na Jua Ni Maamuzi Magumu Sana.Luyange Kwa Kweli Najua Wewe Ni Mwanamke Mwenzangu Na Unampenda Sana Mume Wako Ketaro Lakini Hata Mimi Nampenda Zaidi Yako Ingekuwa Ngumu Sana Kuishi Bila Yeye.Moyo Wangu Unampenda Sana Ketaro Yeye Ni Roho Yangu Nimeona Bora Nimtoe Roho Na Mimi Nijitoe Roho Ilituweze Kukutana Pamoja Katika Ulimwengu Mwingine.Mungu Akipenda Tutaonana Luyange Maisha Mema."Luyange Alipoisoma Barua Ile Ilimzidishia Uchungu Maradufu Aliona Bora Tu Afe.Luyange Aliaanza Kujawa Na Jazba Na Huzuni Kubwa Kwani Aliona Maisha Ya Kuishi Peke Yake Huku Akimkumbuka Mume Wake Aliyefanana Vyema Na Mwanae .Nahuku Yeye Na Mwanae Kuwa Kama Vile Wajane.Luyange Aliumia Sana Isivyo Kawaida.Luyange Aliona Bora Amfuate Mume Wake Alipo.Luyange Alikwenda Hadi Chumbani Kwake Huku Akilia Na Kutokwa Na Machozi.Alikwenda Na Kuchukuwa Sumu Kisha Alichanganya Kwenye Maji Ya Kunywa Na Baada Ya Hapo Alichukuwa Maji Hayo Nakunywa.Alikunywa Na Kubakisha Kidogo Na Kisha Alimuita Mtoto Na Kumpakata.
LUYANGE:Mwanangu Mzuri Kunywa Hii Dawa Ya Tumbo Nimekutengenezea.Luyange Alikuwa Akizungumza Maneno Hayo Huku Akitiririkwa Na Machozi Hakuna Mfano Kwani Moyo Pia Ulikuwa Ukimsuta Juu Ya Utoaji Wa Roho Ya Mtoto Mdogo Asiyejua Hata Dhambi.Mtoto Hakuwa Na Budi Alichukuwa Maji Yake Yaliyochanganywa Na Sumu Yaliyobakia Na Kunywa.
MTOTO:Mabaya Mama.
LUYANGE:Jitahidi Mwanangu Kunywa Sawa.
MTOTO:Sawa Mama.Basi Mtoto Alijitahidi Na Akanywa Yote.Muda Mfupi Tu Kama Baada Ya Dakika Nne(4) Mtoto Alianza Kulalamika Kwa Mama Kuwa Tumbo Linamuuma.
LUYANGE:Mwanangu Hapo Dawa Ndio Inafanya Kazi Usijali Utapona.Daah Mtoto Taratibu Alianza Kuishiwa Nguvu Na Kudondoka Chini Na Kuanza Kutokwa Na Mapovu Akiwa Anakata roho.Mamaa Ambaye Ni Luyange Aliumia Sana.Muda Mfupi Mama Nae Alianza Kuhisi Mabadiliko Kwenywe Mwili Na Kujikuta Akidondoka Chini Kama Mwanae Na Taratibu Alianza Kurusha Miguu Na Kufariki Dunia.Familia Nzima Ilitekete Kwa Njia Hiyo.
MWISHO
01.Hasira Hasara.
02.Fikiri Kabla Ya Kutenda.

Inasikitisha sana... Story nzuri sana...

Chapter Closed...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom