Simulizi: Msegemnege

Simulizi: Msegemnege

Mkuu tupe the meaning of Msegemnege
Asili yake ni neno SEGEMNEGE

Segemnege ni KIELEZI

Kielezi huelezea kitendo (KITENZI) jinsi kilivyo fanyika.

Mf.

Nourhan anatembea "taratibu"

Neno ANATEMBEA ni 'kitenzi' (kitendo)

Neno TARATIBU ni 'kielezi', kwa kwa mukhtadha husika anaelezewa jinsi Nourhan anavyotembea.

Msegemnege ni vivyohivyo kielezi, na maana yake kwa maneno mengine ni 'Shaghalabaghala', 'a~bila mpangilio', 'hovyo hovyo', nk.

---

Tangia alivyomuacha mke wake wa kwanza, mambo yake yanaenda segemnege.

---

Simulizi hii ni msegemnege

(m) hapo nimeongezea kuvunisha tu!

Kama vile baadhi ya watu wa Tanga, Mombasa na Zanzibar wavumishavyo maneno...

mf.

Meli => Jimeli...
Honda => Jihonda...

kama vile baadhi ya watu wa kanda ya ziwa wavumishavyo maneno...

mf.

Baiskeli => Libaiskeli
Moyo wangu umekudondokea => Limoyo langu limekudondokea

Kama vile watu wa kanda ya magharibi wavumishavyo maneno kwa kudunisha...

Hela => Kahela

Simu yake nzuri => kasimu kake kazuri.

Bila kuwasahau baadhi ya watu wa nyanda za juu kusini...

Sanduku => Gusanduku

Nyumba kubwa => Gunyumba gukubwa

Nk

___
Bila shaka umepata mwanga.
 
Asili yake ni neno SEGEMNEGE

Segemnege ni KIELEZI

Kielezi huelezea kitendo (KITENZI) jinsi kilivyo fanyika.

Mf.

Nourhan anatembea "taratibu"

Neno ANATEMBEA ni 'kitenzi' (kitendo)

Neno TARATIBU ni 'kielezi', kwa kwa mukhtadha husika anaelezewa jinsi Nourhana anavyotembea.

Msegemnege ni vivyohivyo kielezi, na mana yake kwa maneno mengine ni 'Shaghalabaghala', 'a~bila mpangilio', 'hovyo hovyo', nk.

---

Tangia alivyomuacha mke wake wa kwanza, mambo yake yanaenda segemnege.

---

Simulizi hii ni msegemnege

(m) hapo nimeongezea kuvunisha tu!

Kama vile baadhi ya watu wa Tanga, Mombasa na Zanziba wavumishavyo maneno...

mf.

Meli => Jimeli...
Honda => Jihonda...

kama vile baadhi ya watu wa kanda ya ziwa wavumishavyo maneno...

mf.

Baiskeli => Libaiskeli
Moyo wangu umekudondokea => Limoyo langu limekudondokea

Kama vile watu wa kanda ya magharibi wavumishavyo maneno kwa kudunisha...

Hela => Kahela

Simu yake nzuri => kasimu kake kazuri.

___
Bila shaka umepata mwanga.
aisee we jamaa nimekuvulia kofia

pokea maua yako flowers 💐 🌹 🥀 🏵 💐

and five 🤜🤜🤛🤛
 
Happy Birthday.

Ukisoma unaona maisha ya watoto baada ya wazazi kufariki.

Hasa kifo kama hicho ambapo watoto wote walikuwa bado hawajaweza kusimamia kwa miguu yao.

Na usumbufu wa mahakama ni tatizo lingine

Nitarudi kuendelea kusoma.

Keki ni wapi huko?
 
Back
Top Bottom