NOTEBOOK: SEHEMU YA KWANZA
Mshale wa saa ulisimama kwenye 4 na dakika zake ,Carry alikuwa akijigeuza upande wa pil ili alale vizuri Ila mwanga wa jua ulionekana kumkera pindi ulipomchoma usoni, Carry alifumbua macho yake kwa tabu sana na kwa hasira juu ya mwanga ule alianza kujinyoosha taratibu kisha alijisogeza dirishan na kufungua vzr pazia alishtuka sana na kukurupuka kisha alianza kuvaa nguo zake haraka haraka ili atoke mahala pale ,kabla hajamaliza kuvaa alisikia mlango unagongwa. Alisita kufungua Ila alienda kufungua baada ya mgongaj kujitambulisha ni mhudumu.
"Dada samahani kuna business card hii apa nmepewa nkupatie na mwanaume ulyekuja nae usiku "yule muhudum alimwambia Carry huku akimpatia ile Card. Carry hakumjb chochote alichukua ile card kisha akafunga mlango.
"Mungu wang ni nini hichi nmekifanya simfaham ata huyo mwanaume nlyekuwa nae na nmelala nae ,masikn Carry mim ntamueleza nin mama angu ntamwambia nilikuwa wap ila yote haya sababu ya pombe "Carry alionekana ana mawazo ndipo akakumbka jana yake usiku alienda kweny sherehe ya kuzaliwa ya rafk ake Joan, alikunywa pombe sana bahat mbaya akachukuliwa na Edward walyekutana nae kwa mara ya kwanza kwenye hiyo sherehe. Carry aliachan na hayo mawazo aliona ni afadhal awah nyumbani kwanza maana alijiua jins mama yake alivyo mkal.
Carry alivyofika tu nyumbani alikutana na mama yake amekaa nje ya mlango akimsubiri
"Mama samahan jana sikuweza kurud sherehe ilichelewa kuisha"Carry alianza kujitetea kabla hajaulizwa chochote na mama yake
"Mwanangu dunia itakufundisha maana umeshindwa kunielewa mim mama yako"kisha mama ake Carry aliingia ndan ,Carry aliamua kuingia ndan huku akiwa na aibu kwa alichokifanya alikuwa na uchovu sana na kichwa kilmgonga kutokan na pombe alyokunywa usiku,alienda kuoga ili apunguze uchovu, alvyomaliza ndipo alikumbuka kuhus ile card ,aliichukua ili amtafte yule mwanaume ila aliona hakuna haja ya kumtafta maana hawakuwa wapenz isitoshe walilala wote bahati mbaya tu .. alienda kwnye maktaba ndogo iliyopo pale nyumban kwao kisha alichukua notebook ndogo na kuiweka ile business card ndan ya hiyo notebook .
Baada ya week mbil tangu lile tukio litokee Carry akiwa anafua gafla alihis kichef chef na kuanza kutapika sana mama yake alibak akimtazam tu bila kuzungumza chochote aliingia ndan na kushika tamaa alihis kabisa mwanae atakuwa ana mimba
"Leila Leila Leila !!!mama Carry aliita kwa jazba na kwa saut ya juu sana
"Abee mama "aliitika Leila mdogo wake Carry kisha akaenda kumsiklz mama yake
"Mwambie dada yako ajiandae tunaenda hospital sasahiv "
"Kwan mama dada anaumwa?"
"Mpuuzi wewe fanya nilichokwambia sitak maswali"..ilibid Leila afanye alchoambiwa bila kuuliza chochote tena maana mama yake alionekana kuwa mwenye hasira
Carry na mama yake walienda hospital na vipimo vilionesha ana mimba kwel ..mama yake alikasirika sana alimpiga Carry ili amtaje mwnye mimba ikiwezekana achukue jukumu la kulea mtoto pamoja na Carry mwenyewe,,Kiukwel Carry hakuwa na jibu juu ya swal la mama yake maana hakujua wap angempata Edward.
Mama yake aliamua kumuacha, Carry alibak analia tu huku akijilaumu kwann alienda kwenye ile sherehe. Huku akiugulia maumivu alienda kutafuta ile notebook ili achukue ile business card amtafute muhusika wa mimba ampe taarifa ..alitafuta sana notebook bila mafanikio aliamuua kuumuliza mdogo wake kama ameichukua
"Leila kuna notebook ilikuwa kule library umeichukua?
"Aah ndiyo dada niliichukua lakin anayo rafik angu"
"Uwiih rafiki yako yupo WAP???kwann ulichukua bila kunambia Leila jamani "Carry alionesha kuchanganyikiwa kabisa
"Lakin dada tangu umalize chuo ulinambia kila kit u kilichopo library naruhusiwa kutumia na kuchukua muda wowote nikitaka "
"Kuna kitu chochote ulikikuta kwenye ile notebook?"
"Mmh kiukwel sikuikagua na nlimuachia rafik yang siku ya graduation yetu aniandikie no yake bahat mbaya nkaisahau kwake"Leila alitoa maelezo yale kwan ni week 3 sasa zmepita tangu amalize kidato cha sita
Carry aliingia ndan huku amechanganyikiwa hakujua afanye nin ila baada ya muda akapata wazo amtafute rafik ake Joan amuulize kuhus yule mtu ....alichukua simu yake ya mkonon na kumpigia Joan
"Joan samahan unamkumbuka yule kaka niliyecheza nae siku ya sherehe yako"Carry alimuulza Joan baada ya salam
"Ndiyo namkumbka ndo shemej nin"Joan aliweka utan huku akicheka
"Stop joking Joan nipo serious naomba no zake kama unazo au naweza kumpata WAP"
"Kiukwel sifaham chochote maan me mwnyew nlimuona Mara ya kwanza siku ile so sijui nkusaidiaje "...Carry alikata simu hakusubir maelezo mengine zaid ,alimfata Leila ili ampeleke kwa huyo rafik ake(Jescar) mwenye ile notebook ..waliongozana had kwa kina Jescar bahat mbaya waliambiwa walishahama tangu siku 3 zilizopita .
.
..........ITAENDELEA .........
Mshale wa saa ulisimama kwenye 4 na dakika zake ,Carry alikuwa akijigeuza upande wa pil ili alale vizuri Ila mwanga wa jua ulionekana kumkera pindi ulipomchoma usoni, Carry alifumbua macho yake kwa tabu sana na kwa hasira juu ya mwanga ule alianza kujinyoosha taratibu kisha alijisogeza dirishan na kufungua vzr pazia alishtuka sana na kukurupuka kisha alianza kuvaa nguo zake haraka haraka ili atoke mahala pale ,kabla hajamaliza kuvaa alisikia mlango unagongwa. Alisita kufungua Ila alienda kufungua baada ya mgongaj kujitambulisha ni mhudumu.
"Dada samahani kuna business card hii apa nmepewa nkupatie na mwanaume ulyekuja nae usiku "yule muhudum alimwambia Carry huku akimpatia ile Card. Carry hakumjb chochote alichukua ile card kisha akafunga mlango.
"Mungu wang ni nini hichi nmekifanya simfaham ata huyo mwanaume nlyekuwa nae na nmelala nae ,masikn Carry mim ntamueleza nin mama angu ntamwambia nilikuwa wap ila yote haya sababu ya pombe "Carry alionekana ana mawazo ndipo akakumbka jana yake usiku alienda kweny sherehe ya kuzaliwa ya rafk ake Joan, alikunywa pombe sana bahat mbaya akachukuliwa na Edward walyekutana nae kwa mara ya kwanza kwenye hiyo sherehe. Carry aliachan na hayo mawazo aliona ni afadhal awah nyumbani kwanza maana alijiua jins mama yake alivyo mkal.
Carry alivyofika tu nyumbani alikutana na mama yake amekaa nje ya mlango akimsubiri
"Mama samahan jana sikuweza kurud sherehe ilichelewa kuisha"Carry alianza kujitetea kabla hajaulizwa chochote na mama yake
"Mwanangu dunia itakufundisha maana umeshindwa kunielewa mim mama yako"kisha mama ake Carry aliingia ndan ,Carry aliamua kuingia ndan huku akiwa na aibu kwa alichokifanya alikuwa na uchovu sana na kichwa kilmgonga kutokan na pombe alyokunywa usiku,alienda kuoga ili apunguze uchovu, alvyomaliza ndipo alikumbuka kuhus ile card ,aliichukua ili amtafte yule mwanaume ila aliona hakuna haja ya kumtafta maana hawakuwa wapenz isitoshe walilala wote bahati mbaya tu .. alienda kwnye maktaba ndogo iliyopo pale nyumban kwao kisha alichukua notebook ndogo na kuiweka ile business card ndan ya hiyo notebook .
Baada ya week mbil tangu lile tukio litokee Carry akiwa anafua gafla alihis kichef chef na kuanza kutapika sana mama yake alibak akimtazam tu bila kuzungumza chochote aliingia ndan na kushika tamaa alihis kabisa mwanae atakuwa ana mimba
"Leila Leila Leila !!!mama Carry aliita kwa jazba na kwa saut ya juu sana
"Abee mama "aliitika Leila mdogo wake Carry kisha akaenda kumsiklz mama yake
"Mwambie dada yako ajiandae tunaenda hospital sasahiv "
"Kwan mama dada anaumwa?"
"Mpuuzi wewe fanya nilichokwambia sitak maswali"..ilibid Leila afanye alchoambiwa bila kuuliza chochote tena maana mama yake alionekana kuwa mwenye hasira
Carry na mama yake walienda hospital na vipimo vilionesha ana mimba kwel ..mama yake alikasirika sana alimpiga Carry ili amtaje mwnye mimba ikiwezekana achukue jukumu la kulea mtoto pamoja na Carry mwenyewe,,Kiukwel Carry hakuwa na jibu juu ya swal la mama yake maana hakujua wap angempata Edward.
Mama yake aliamua kumuacha, Carry alibak analia tu huku akijilaumu kwann alienda kwenye ile sherehe. Huku akiugulia maumivu alienda kutafuta ile notebook ili achukue ile business card amtafute muhusika wa mimba ampe taarifa ..alitafuta sana notebook bila mafanikio aliamuua kuumuliza mdogo wake kama ameichukua
"Leila kuna notebook ilikuwa kule library umeichukua?
"Aah ndiyo dada niliichukua lakin anayo rafik angu"
"Uwiih rafiki yako yupo WAP???kwann ulichukua bila kunambia Leila jamani "Carry alionesha kuchanganyikiwa kabisa
"Lakin dada tangu umalize chuo ulinambia kila kit u kilichopo library naruhusiwa kutumia na kuchukua muda wowote nikitaka "
"Kuna kitu chochote ulikikuta kwenye ile notebook?"
"Mmh kiukwel sikuikagua na nlimuachia rafik yang siku ya graduation yetu aniandikie no yake bahat mbaya nkaisahau kwake"Leila alitoa maelezo yale kwan ni week 3 sasa zmepita tangu amalize kidato cha sita
Carry aliingia ndan huku amechanganyikiwa hakujua afanye nin ila baada ya muda akapata wazo amtafute rafik ake Joan amuulize kuhus yule mtu ....alichukua simu yake ya mkonon na kumpigia Joan
"Joan samahan unamkumbuka yule kaka niliyecheza nae siku ya sherehe yako"Carry alimuulza Joan baada ya salam
"Ndiyo namkumbka ndo shemej nin"Joan aliweka utan huku akicheka
"Stop joking Joan nipo serious naomba no zake kama unazo au naweza kumpata WAP"
"Kiukwel sifaham chochote maan me mwnyew nlimuona Mara ya kwanza siku ile so sijui nkusaidiaje "...Carry alikata simu hakusubir maelezo mengine zaid ,alimfata Leila ili ampeleke kwa huyo rafik ake(Jescar) mwenye ile notebook ..waliongozana had kwa kina Jescar bahat mbaya waliambiwa walishahama tangu siku 3 zilizopita .
.
..........ITAENDELEA .........