Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
- Thread starter
- #261
Ndio wapo humu bhan na bibie sheba acha nishushe muendelezoBMW S7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wapo humu bhan na bibie sheba acha nishushe muendelezoBMW S7
Shukrani sana mtunzi ila kila inapoishia ndiyo hamu ya kutaka kujua kitachojiri inazidi hongera kwako kwa utunzi mzuri.NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA SITINI NA TATU
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
TULIPOISHIA SEHEMU YA SITINI MBILI: Huyu mschana mwenye mkadilio wa miaka kumi nane au kumi na tisa, ni Caroline, huyu ndie yule yule alie kutana na Deus miaka mitano iliyopita, kule mjini makambako, na kupanda Tren ya mizigo….…….endelea….
Ambayo baadae ilipata ajali maeneo ya Morogoro, na baada ya hapo hawakuweza kuonana tena wala kila mmoja kujuwa mwenzie yupo wapi, “kaa ni yeye hawakushatahili kumfukuza kazi na tukimpata tutampatia kazi kwenye moja ya viwanda vyetu, tena hata ikibidi kumpeleka shule, tutafanya hivyo ili apate nafasi nzuri” alisema mama Caroline kuiweka sawa furaha ya mwanae Caroline.******
Naam Sheba ambae mwanzo aliona kama uendeshaji wa Deus haukuwa mzuri alitulia kwa dakika kadhaa ndani ya gari lile, akishuhudia gari likienda kwa mwendo wa kasi sana, kasi ambayo hakutegemea kama angeweza kuendesha mwendo ule kwenye njia kama hii, “mh! Deus, ulijifunzia wapi kuendesha gari namna hii” aliuliza Sheba ambae wasi wasi na uoga wake vilionekana wazi kabisa kupitia sauti yake, nianze kukujibu swali gani? lile la nimejuaje kama tunafuatiliwa au hili la chuo cha udereva?” aliuliza Deus, ambae sasa alikuwa makini kutazama barabara na mguu wake ukiwa umeng’ang’ania kikanyagio cha mafuta, “ni vyema ukibijibu maswali yote” alisema Sheba na kumfanya Deus atabasamu kidogo, ikiwa ni mara ya kwanza toka ameingia kwenye gari, “chuo hakija nifundisha kuendesha gari namna hii, chuo nilienda kupata kibari cha kuendesha gari, gari amenifundisha baba yangu” alijibu Deus, ambae hakuacha kukimbiza gari, hiyo ilikuwa ni saa tisa na robo za Alaasiri.
Deus akamueleza Sheba kuwa, kuna jambo aliligundua, mara baada ya yeye Sheba, kumueleza kuwa walikuwa wanatafutwa na vyombo vya dola, ndipo alipodhania kuwa lazima wangesimamishwa na polisi pale mzani, maana polisi wangekuwa wamesha sambazambaza namba za gari hili na aina ya gari kwenye kila kituo cha askari wa usalama barabarani na wakaguzi kwaajili ya kulikamata, lakini walipovuka, bila kikwazo akajuwa lazima wangezuiliwa pale TAMCO, napo wakapita bila kikwazo, hapo Deus akagundua kuwa waliokuwa wanawafukuzia wapo nje ya sheria, hata kama wao ni watu wa serikali, kwahiyo wanawafatilia kimya kimya kwenye barabara ambayo wao wangeitumia, ndio maana akaamua kutegeneza mtego wa kumbaini anae wafuatilia na kumuona yule alie bebwa kwenye pikipiki, “na sasa tunabadili njia, tunapitia hii ya bagamoyo maana wao wote mawazo yao wameyaweka kwenye barabara ya morogoro” alisema Deus,l na kumfanya Sheba amtazame kwa mshangao, “mh! basi wewe ni mtu hatari sana” alisema Sheba, huku anatazama mbele, ambako sasa waliyaona maungio ya barabara ya bagamoyo, Deus akapunguza mwendo na kuingia barabarani akikata upande wa kushoto, kuelekea bagamoyo, “inaonyesha mpaka sasa na wewe humjui adui yako” alisema Deus kwa sauti yake tulivu, huku anakanyaga mafuta kwa nguvu na kutokomea kabisa upande huo wa mji mkongwe wa kihistoria.*******
Yap! tukirudi Kibaha sasa tunaenda mpaka kongowe, ambako tunakuta gari aina ya Land rover mia na kumi, mali ya jeshi la polisi likiwa lina ingia kwenye kituo cha dala dala, huku limebeba askari sita nyuma yake, huku SMG nane zikiwa zimelazwa kwenye skafu ya gari lile na seat ya abiria wa mbele akiwa amekaa koplo Cheleji, ni yule ambae muda mfupi uliopita alikuwepo pale Kiluvya Madukani.
Naam mara baada ya gari kusimama, anasogea yule askari ambae mwanzo tulimuona pale kibaha picha ya ndege, akisogea kwenye mlango wa abiria wa mbele, “sijaelewa jinsi alivyo nitoka toka, ila nina uhakika watakuwa wameenda uelekeo huu” alisema yule jamaa, ambae mwanzo alikodi pikipiki kwaajili ya kulifuatilia BMW jeusi, “una uhakika kwamba hawakuchepuka sehemu?” aliuliza Cheleji, akionekana kuwa na shaka juu ya taarifa ya yule mwenzie, “nilipofika kwa Matius na kuwakosa nikarudi tena na njia ile ile, lakini sikuwaona tena, ndio nikaingia barabara ya lami, na kuanza kuwa fukuzia” alisema yule jamaa, “ok! ingia ndani ya gari, tuelekee chalinze, kama wameenda huko, lazima watakutana na wale wa bagamoyo au wanaotoka Morogoro” alisema Cheleji, na yule mwingine akaingia kwenye gari akiungana na mwenzake walipanda nyuma ya gari, kisha gari likaondoka kwa speed kuelekea Chalinze.
Wakati safari ya Chalinze ikiwa inashika kasi ndipo Cheleji alipo piga simu, kwa CP Ulenje, simu ambayo haikuchukwa muda mrefu kupokelewa, “Niambie Cheleji, vipi mumesha wakamata?” aliuliza CP Ulenje mara baada ya kuipokea ile simu, “afande kuna shida kidogo, tumelipoteza gari, ila sasa tunaelekea Chalinze, maana tunahisi wameelekea huko” alijibu Ulenje na hapo ni kama alimshangaza Ulenje, “Ulenje mbona unafanya mambo ya ajabu, unawezaje kuelekea Chalinze, wakati hauna uhakika kama wametoka nje ya mji, hebu rudini pale Picha ya ndege mkachunguze walikoelekea, ikiwezekana ulizieni hata kwa traffic pale kwa Matius, wao lazima watakuwa wameliona hilo gari” alisema Ulenje.
Bila kuoji mara mbili, Cheleji akatoa ishara kwa dereva ageuze gari walikotoka, nae akafanya hivyo, huku simu ya Cheleji ikiwa bado sikioni, anaendelea kupokea ufafanuzi toka kwa CP Ulenje kwa Cheleji kuwa, kama waliweza kutoweka kwa haraka namna hiyo, basi lazima watakuwa katika speed kali, speed ambayo lazima askari wa usalama barabarani, wange wasimamisha, “kwa hiyo na uhakika hawajatoka nje ya mji, huko chalinze waachie hao wengine” alisisitiza Ulenje, kabla ya kukata simu, wakati huo tayari gari lilikuwa limeshika kasi kuelekea upande wa mjini.*******
Naaam wakati hayo yanaendelea huku Kibaha, Dakika thelathini baadae, maeneo ya Msata, mita mia mbili karibu na njia panda ya bagamoyo, ndani ya mkoa wa pwani, linaonekana BMW S 7, likitokea upande wa bagamoyo, kwaspeed kali ya kilomita mia moja themanini kwa saa, likisogelea njia panda ile ambayo inaunganisha barabara itokayo Chalinze kuelekea mikoa ya kaskazini, yani Tanga, Kilimanjaro na Arusha, na gari hilo lenye speed ya Puma, linapokaribia round about ile, linapnguza mwendo zaidi na kuingia mzungukoni, kisha kushika uelekeo wa kaskazini.
Gari linaonekana likwa mwendo wa speed ya kilomita arobaini kwa saa na kuongeza speed taratibu kila lilipozidi kusogea, hata lilipokuwa limemekaribia mzani lilikuwa katika speed ya kilomita hamsini kwa saa, hiyo ilisaidia hata askari wa usalama barabarani alitazame kwa macho pasipo kulisimamisha, maana halikuonejana kuwa na makosa yoyote na kwa bahati nzuri kwa wakati ule lilionekana kuwa namba za usajili wa muda, namba ambayo hupewa gari pale tu linaposhushwa bandarini, kabla ya kusajiliwa upya, namba ambayo hutumika ndani ya siku tisini tu, yani miezi mitatu.
Naam mara tu baada ya kuvuka pale mzani, gari likaongeza mwendo mara dufu, ndani ya sekunde kumi na tano, kama ungekuwa na king’amua mwendo kama ambavyo waswahili tunapenda kuita torch, basi ungewezakushika kichwa kwa speed ambayo ungeishuhudia, ilikuwa ni speed ya kilomita mia tisini kwa saa, na haikuishia hapo, speed iliendelea kuongezeka kila sekunde ilipo sogea, huku kioo kidogo cha video pale kwenye dash board ya gari ikionyesha picha ya ramani ya GPS, ya muundo wa satellite (setelaiti) ramani ambayo iliweza kuonekana vyema, mfano wapicha halisi ya umbo la dunia, kama linavyoweza kuonekana toka angani, lilionyesha jinsi wanavyo karibia mto wami.
“sina shaka na uendeshaji wako Deus” alisema Sheba na kwa mara ya kwanza akiachia tabasamu pana, huku anajilaza kwenye kiegemeo cha kiti aliyokalia, Deus akujibu kitu zaidi kukanyaga mafuta kulifuata daraja la mto wami, ambapo wanaelekea kuuacha mkoa wa pwani, wakati huo tayari zilisha pita dakika ishirini toka itimie saa kumi za jioni kwa saa za afrika ya mashariki.*******
Naam King Elvis na mke wake Vaselisa, wakiwa kwenye eneo la bustani nzuri yenye kupendeza, wamezungukwa na marembo wa maua pamoja na walinzi, wanapunga upepo hapa kwenye jumba la Dhahabu, yaani ikulu ya #mbogo_land, alionekana kuwa mwenye mawazo mengi, yaliyo mkosesha amani, kitu ambacho hata mke wake alikigundua, japo hakujuwa ni kitu gani kime mnyima amani mume wake, “mume wangu mpendwa ni muda mefu sana sijawahi kukuona ukiwa katika hali kama hii, vipi kuna jambo lina kutatiza?” aliuliza Malkia Vaselisa mwanamke mzuri alietajwa kuwa katika oroha ya wanawake wazuri kabisa duniani.
Swali la malkia ni kama lilimgutusha Elvis toka kwenye mawazo, “hooo! ni mambo ya utawala, ukweli yanaumiza kichwa” alisema Elvis, huku anajiweka sawa kwenye kiti chake, kilicho nakshiwa kwa dhahabu na madini mengine, yenye thamani, kiti ambacho angekiokota moneytalk au woodpecker24 wange nunua mtaa mzima na majumba na mali zote za mtaa na wakazi wa mtaa huo wangewaajili kulima mashamba, na kufanya kazi kwenye viwanda vyao, ambavyo wange vianzisha kwa fedha hiyo hiyo, pia fedha inayo bakia wangeinunua simba na ndio ingekuwa mwaka wao wa kwanza kuchukua club bingwa maana wangetumia fedha hiyo hiyo kuhonga marefa waibebe timu na Doctor G angeacha hiyo kazi akajenga hospital za kwake (hayo ni mawazo ya rafiki yangu Mduku aliyoyatoa siku alipokiona kile kiti cha King Elvis wa kwanza siku tulivyotembelea #mbogoland kwenye ndoa ya Radhia) .…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
190km/hr..,NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA SITINI NA TATU
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
TULIPOISHIA SEHEMU YA SITINI MBILI: Huyu mschana mwenye mkadilio wa miaka kumi nane au kumi na tisa, ni Caroline, huyu ndie yule yule alie kutana na Deus miaka mitano iliyopita, kule mjini makambako, na kupanda Tren ya mizigo….…….endelea….
Ambayo baadae ilipata ajali maeneo ya Morogoro, na baada ya hapo hawakuweza kuonana tena wala kila mmoja kujuwa mwenzie yupo wapi, “kaa ni yeye hawakushatahili kumfukuza kazi na tukimpata tutampatia kazi kwenye moja ya viwanda vyetu, tena hata ikibidi kumpeleka shule, tutafanya hivyo ili apate nafasi nzuri” alisema mama Caroline kuiweka sawa furaha ya mwanae Caroline.******
Naam Sheba ambae mwanzo aliona kama uendeshaji wa Deus haukuwa mzuri alitulia kwa dakika kadhaa ndani ya gari lile, akishuhudia gari likienda kwa mwendo wa kasi sana, kasi ambayo hakutegemea kama angeweza kuendesha mwendo ule kwenye njia kama hii, “mh! Deus, ulijifunzia wapi kuendesha gari namna hii” aliuliza Sheba ambae wasi wasi na uoga wake vilionekana wazi kabisa kupitia sauti yake, nianze kukujibu swali gani? lile la nimejuaje kama tunafuatiliwa au hili la chuo cha udereva?” aliuliza Deus, ambae sasa alikuwa makini kutazama barabara na mguu wake ukiwa umeng’ang’ania kikanyagio cha mafuta, “ni vyema ukibijibu maswali yote” alisema Sheba na kumfanya Deus atabasamu kidogo, ikiwa ni mara ya kwanza toka ameingia kwenye gari, “chuo hakija nifundisha kuendesha gari namna hii, chuo nilienda kupata kibari cha kuendesha gari, gari amenifundisha baba yangu” alijibu Deus, ambae hakuacha kukimbiza gari, hiyo ilikuwa ni saa tisa na robo za Alaasiri.
Deus akamueleza Sheba kuwa, kuna jambo aliligundua, mara baada ya yeye Sheba, kumueleza kuwa walikuwa wanatafutwa na vyombo vya dola, ndipo alipodhania kuwa lazima wangesimamishwa na polisi pale mzani, maana polisi wangekuwa wamesha sambazambaza namba za gari hili na aina ya gari kwenye kila kituo cha askari wa usalama barabarani na wakaguzi kwaajili ya kulikamata, lakini walipovuka, bila kikwazo akajuwa lazima wangezuiliwa pale TAMCO, napo wakapita bila kikwazo, hapo Deus akagundua kuwa waliokuwa wanawafukuzia wapo nje ya sheria, hata kama wao ni watu wa serikali, kwahiyo wanawafatilia kimya kimya kwenye barabara ambayo wao wangeitumia, ndio maana akaamua kutegeneza mtego wa kumbaini anae wafuatilia na kumuona yule alie bebwa kwenye pikipiki, “na sasa tunabadili njia, tunapitia hii ya bagamoyo maana wao wote mawazo yao wameyaweka kwenye barabara ya morogoro” alisema Deus,l na kumfanya Sheba amtazame kwa mshangao, “mh! basi wewe ni mtu hatari sana” alisema Sheba, huku anatazama mbele, ambako sasa waliyaona maungio ya barabara ya bagamoyo, Deus akapunguza mwendo na kuingia barabarani akikata upande wa kushoto, kuelekea bagamoyo, “inaonyesha mpaka sasa na wewe humjui adui yako” alisema Deus kwa sauti yake tulivu, huku anakanyaga mafuta kwa nguvu na kutokomea kabisa upande huo wa mji mkongwe wa kihistoria.*******
Yap! tukirudi Kibaha sasa tunaenda mpaka kongowe, ambako tunakuta gari aina ya Land rover mia na kumi, mali ya jeshi la polisi likiwa lina ingia kwenye kituo cha dala dala, huku limebeba askari sita nyuma yake, huku SMG nane zikiwa zimelazwa kwenye skafu ya gari lile na seat ya abiria wa mbele akiwa amekaa koplo Cheleji, ni yule ambae muda mfupi uliopita alikuwepo pale Kiluvya Madukani.
Naam mara baada ya gari kusimama, anasogea yule askari ambae mwanzo tulimuona pale kibaha picha ya ndege, akisogea kwenye mlango wa abiria wa mbele, “sijaelewa jinsi alivyo nitoka toka, ila nina uhakika watakuwa wameenda uelekeo huu” alisema yule jamaa, ambae mwanzo alikodi pikipiki kwaajili ya kulifuatilia BMW jeusi, “una uhakika kwamba hawakuchepuka sehemu?” aliuliza Cheleji, akionekana kuwa na shaka juu ya taarifa ya yule mwenzie, “nilipofika kwa Matius na kuwakosa nikarudi tena na njia ile ile, lakini sikuwaona tena, ndio nikaingia barabara ya lami, na kuanza kuwa fukuzia” alisema yule jamaa, “ok! ingia ndani ya gari, tuelekee chalinze, kama wameenda huko, lazima watakutana na wale wa bagamoyo au wanaotoka Morogoro” alisema Cheleji, na yule mwingine akaingia kwenye gari akiungana na mwenzake walipanda nyuma ya gari, kisha gari likaondoka kwa speed kuelekea Chalinze.
Wakati safari ya Chalinze ikiwa inashika kasi ndipo Cheleji alipo piga simu, kwa CP Ulenje, simu ambayo haikuchukwa muda mrefu kupokelewa, “Niambie Cheleji, vipi mumesha wakamata?” aliuliza CP Ulenje mara baada ya kuipokea ile simu, “afande kuna shida kidogo, tumelipoteza gari, ila sasa tunaelekea Chalinze, maana tunahisi wameelekea huko” alijibu Ulenje na hapo ni kama alimshangaza Ulenje, “Ulenje mbona unafanya mambo ya ajabu, unawezaje kuelekea Chalinze, wakati hauna uhakika kama wametoka nje ya mji, hebu rudini pale Picha ya ndege mkachunguze walikoelekea, ikiwezekana ulizieni hata kwa traffic pale kwa Matius, wao lazima watakuwa wameliona hilo gari” alisema Ulenje.
Bila kuoji mara mbili, Cheleji akatoa ishara kwa dereva ageuze gari walikotoka, nae akafanya hivyo, huku simu ya Cheleji ikiwa bado sikioni, anaendelea kupokea ufafanuzi toka kwa CP Ulenje kwa Cheleji kuwa, kama waliweza kutoweka kwa haraka namna hiyo, basi lazima watakuwa katika speed kali, speed ambayo lazima askari wa usalama barabarani, wange wasimamisha, “kwa hiyo na uhakika hawajatoka nje ya mji, huko chalinze waachie hao wengine” alisisitiza Ulenje, kabla ya kukata simu, wakati huo tayari gari lilikuwa limeshika kasi kuelekea upande wa mjini.*******
Naaam wakati hayo yanaendelea huku Kibaha, Dakika thelathini baadae, maeneo ya Msata, mita mia mbili karibu na njia panda ya bagamoyo, ndani ya mkoa wa pwani, linaonekana BMW S 7, likitokea upande wa bagamoyo, kwaspeed kali ya kilomita mia moja themanini kwa saa, likisogelea njia panda ile ambayo inaunganisha barabara itokayo Chalinze kuelekea mikoa ya kaskazini, yani Tanga, Kilimanjaro na Arusha, na gari hilo lenye speed ya Puma, linapokaribia round about ile, linapnguza mwendo zaidi na kuingia mzungukoni, kisha kushika uelekeo wa kaskazini.
Gari linaonekana likwa mwendo wa speed ya kilomita arobaini kwa saa na kuongeza speed taratibu kila lilipozidi kusogea, hata lilipokuwa limemekaribia mzani lilikuwa katika speed ya kilomita hamsini kwa saa, hiyo ilisaidia hata askari wa usalama barabarani alitazame kwa macho pasipo kulisimamisha, maana halikuonejana kuwa na makosa yoyote na kwa bahati nzuri kwa wakati ule lilionekana kuwa namba za usajili wa muda, namba ambayo hupewa gari pale tu linaposhushwa bandarini, kabla ya kusajiliwa upya, namba ambayo hutumika ndani ya siku tisini tu, yani miezi mitatu.
Naam mara tu baada ya kuvuka pale mzani, gari likaongeza mwendo mara dufu, ndani ya sekunde kumi na tano, kama ungekuwa na king’amua mwendo kama ambavyo waswahili tunapenda kuita torch, basi ungewezakushika kichwa kwa speed ambayo ungeishuhudia, ilikuwa ni speed ya kilomita mia tisini kwa saa, na haikuishia hapo, speed iliendelea kuongezeka kila sekunde ilipo sogea, huku kioo kidogo cha video pale kwenye dash board ya gari ikionyesha picha ya ramani ya GPS, ya muundo wa satellite (setelaiti) ramani ambayo iliweza kuonekana vyema, mfano wapicha halisi ya umbo la dunia, kama linavyoweza kuonekana toka angani, lilionyesha jinsi wanavyo karibia mto wami.
“sina shaka na uendeshaji wako Deus” alisema Sheba na kwa mara ya kwanza akiachia tabasamu pana, huku anajilaza kwenye kiegemeo cha kiti aliyokalia, Deus akujibu kitu zaidi kukanyaga mafuta kulifuata daraja la mto wami, ambapo wanaelekea kuuacha mkoa wa pwani, wakati huo tayari zilisha pita dakika ishirini toka itimie saa kumi za jioni kwa saa za afrika ya mashariki.*******
Naam King Elvis na mke wake Vaselisa, wakiwa kwenye eneo la bustani nzuri yenye kupendeza, wamezungukwa na marembo wa maua pamoja na walinzi, wanapunga upepo hapa kwenye jumba la Dhahabu, yaani ikulu ya #mbogo_land, alionekana kuwa mwenye mawazo mengi, yaliyo mkosesha amani, kitu ambacho hata mke wake alikigundua, japo hakujuwa ni kitu gani kime mnyima amani mume wake, “mume wangu mpendwa ni muda mefu sana sijawahi kukuona ukiwa katika hali kama hii, vipi kuna jambo lina kutatiza?” aliuliza Malkia Vaselisa mwanamke mzuri alietajwa kuwa katika oroha ya wanawake wazuri kabisa duniani.
Swali la malkia ni kama lilimgutusha Elvis toka kwenye mawazo, “hooo! ni mambo ya utawala, ukweli yanaumiza kichwa” alisema Elvis, huku anajiweka sawa kwenye kiti chake, kilicho nakshiwa kwa dhahabu na madini mengine, yenye thamani, kiti ambacho angekiokota moneytalk au woodpecker24 wange nunua mtaa mzima na majumba na mali zote za mtaa na wakazi wa mtaa huo wangewaajili kulima mashamba, na kufanya kazi kwenye viwanda vyao, ambavyo wange vianzisha kwa fedha hiyo hiyo, pia fedha inayo bakia wangeinunua simba na ndio ingekuwa mwaka wao wa kwanza kuchukua club bingwa maana wangetumia fedha hiyo hiyo kuhonga marefa waibebe timu na Doctor G angeacha hiyo kazi akajenga hospital za kwake (hayo ni mawazo ya rafiki yangu Mduku aliyoyatoa siku alipokiona kile kiti cha King Elvis wa kwanza siku tulivyotembelea #mbogoland kwenye ndoa ya Radhia) .…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
hahahaa mimi siwezi kununua simba,yanga yangu nimuachie naniNYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA SITINI NA TATU
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
TULIPOISHIA SEHEMU YA SITINI MBILI: Huyu mschana mwenye mkadilio wa miaka kumi nane au kumi na tisa, ni Caroline, huyu ndie yule yule alie kutana na Deus miaka mitano iliyopita, kule mjini makambako, na kupanda Tren ya mizigo….…….endelea….
Ambayo baadae ilipata ajali maeneo ya Morogoro, na baada ya hapo hawakuweza kuonana tena wala kila mmoja kujuwa mwenzie yupo wapi, “kaa ni yeye hawakushatahili kumfukuza kazi na tukimpata tutampatia kazi kwenye moja ya viwanda vyetu, tena hata ikibidi kumpeleka shule, tutafanya hivyo ili apate nafasi nzuri” alisema mama Caroline kuiweka sawa furaha ya mwanae Caroline.******
Naam Sheba ambae mwanzo aliona kama uendeshaji wa Deus haukuwa mzuri alitulia kwa dakika kadhaa ndani ya gari lile, akishuhudia gari likienda kwa mwendo wa kasi sana, kasi ambayo hakutegemea kama angeweza kuendesha mwendo ule kwenye njia kama hii, “mh! Deus, ulijifunzia wapi kuendesha gari namna hii” aliuliza Sheba ambae wasi wasi na uoga wake vilionekana wazi kabisa kupitia sauti yake, nianze kukujibu swali gani? lile la nimejuaje kama tunafuatiliwa au hili la chuo cha udereva?” aliuliza Deus, ambae sasa alikuwa makini kutazama barabara na mguu wake ukiwa umeng’ang’ania kikanyagio cha mafuta, “ni vyema ukibijibu maswali yote” alisema Sheba na kumfanya Deus atabasamu kidogo, ikiwa ni mara ya kwanza toka ameingia kwenye gari, “chuo hakija nifundisha kuendesha gari namna hii, chuo nilienda kupata kibari cha kuendesha gari, gari amenifundisha baba yangu” alijibu Deus, ambae hakuacha kukimbiza gari, hiyo ilikuwa ni saa tisa na robo za Alaasiri.
Deus akamueleza Sheba kuwa, kuna jambo aliligundua, mara baada ya yeye Sheba, kumueleza kuwa walikuwa wanatafutwa na vyombo vya dola, ndipo alipodhania kuwa lazima wangesimamishwa na polisi pale mzani, maana polisi wangekuwa wamesha sambazambaza namba za gari hili na aina ya gari kwenye kila kituo cha askari wa usalama barabarani na wakaguzi kwaajili ya kulikamata, lakini walipovuka, bila kikwazo akajuwa lazima wangezuiliwa pale TAMCO, napo wakapita bila kikwazo, hapo Deus akagundua kuwa waliokuwa wanawafukuzia wapo nje ya sheria, hata kama wao ni watu wa serikali, kwahiyo wanawafatilia kimya kimya kwenye barabara ambayo wao wangeitumia, ndio maana akaamua kutegeneza mtego wa kumbaini anae wafuatilia na kumuona yule alie bebwa kwenye pikipiki, “na sasa tunabadili njia, tunapitia hii ya bagamoyo maana wao wote mawazo yao wameyaweka kwenye barabara ya morogoro” alisema Deus,l na kumfanya Sheba amtazame kwa mshangao, “mh! basi wewe ni mtu hatari sana” alisema Sheba, huku anatazama mbele, ambako sasa waliyaona maungio ya barabara ya bagamoyo, Deus akapunguza mwendo na kuingia barabarani akikata upande wa kushoto, kuelekea bagamoyo, “inaonyesha mpaka sasa na wewe humjui adui yako” alisema Deus kwa sauti yake tulivu, huku anakanyaga mafuta kwa nguvu na kutokomea kabisa upande huo wa mji mkongwe wa kihistoria.*******
Yap! tukirudi Kibaha sasa tunaenda mpaka kongowe, ambako tunakuta gari aina ya Land rover mia na kumi, mali ya jeshi la polisi likiwa lina ingia kwenye kituo cha dala dala, huku limebeba askari sita nyuma yake, huku SMG nane zikiwa zimelazwa kwenye skafu ya gari lile na seat ya abiria wa mbele akiwa amekaa koplo Cheleji, ni yule ambae muda mfupi uliopita alikuwepo pale Kiluvya Madukani.
Naam mara baada ya gari kusimama, anasogea yule askari ambae mwanzo tulimuona pale kibaha picha ya ndege, akisogea kwenye mlango wa abiria wa mbele, “sijaelewa jinsi alivyo nitoka toka, ila nina uhakika watakuwa wameenda uelekeo huu” alisema yule jamaa, ambae mwanzo alikodi pikipiki kwaajili ya kulifuatilia BMW jeusi, “una uhakika kwamba hawakuchepuka sehemu?” aliuliza Cheleji, akionekana kuwa na shaka juu ya taarifa ya yule mwenzie, “nilipofika kwa Matius na kuwakosa nikarudi tena na njia ile ile, lakini sikuwaona tena, ndio nikaingia barabara ya lami, na kuanza kuwa fukuzia” alisema yule jamaa, “ok! ingia ndani ya gari, tuelekee chalinze, kama wameenda huko, lazima watakutana na wale wa bagamoyo au wanaotoka Morogoro” alisema Cheleji, na yule mwingine akaingia kwenye gari akiungana na mwenzake walipanda nyuma ya gari, kisha gari likaondoka kwa speed kuelekea Chalinze.
Wakati safari ya Chalinze ikiwa inashika kasi ndipo Cheleji alipo piga simu, kwa CP Ulenje, simu ambayo haikuchukwa muda mrefu kupokelewa, “Niambie Cheleji, vipi mumesha wakamata?” aliuliza CP Ulenje mara baada ya kuipokea ile simu, “afande kuna shida kidogo, tumelipoteza gari, ila sasa tunaelekea Chalinze, maana tunahisi wameelekea huko” alijibu Ulenje na hapo ni kama alimshangaza Ulenje, “Ulenje mbona unafanya mambo ya ajabu, unawezaje kuelekea Chalinze, wakati hauna uhakika kama wametoka nje ya mji, hebu rudini pale Picha ya ndege mkachunguze walikoelekea, ikiwezekana ulizieni hata kwa traffic pale kwa Matius, wao lazima watakuwa wameliona hilo gari” alisema Ulenje.
Bila kuoji mara mbili, Cheleji akatoa ishara kwa dereva ageuze gari walikotoka, nae akafanya hivyo, huku simu ya Cheleji ikiwa bado sikioni, anaendelea kupokea ufafanuzi toka kwa CP Ulenje kwa Cheleji kuwa, kama waliweza kutoweka kwa haraka namna hiyo, basi lazima watakuwa katika speed kali, speed ambayo lazima askari wa usalama barabarani, wange wasimamisha, “kwa hiyo na uhakika hawajatoka nje ya mji, huko chalinze waachie hao wengine” alisisitiza Ulenje, kabla ya kukata simu, wakati huo tayari gari lilikuwa limeshika kasi kuelekea upande wa mjini.*******
Naaam wakati hayo yanaendelea huku Kibaha, Dakika thelathini baadae, maeneo ya Msata, mita mia mbili karibu na njia panda ya bagamoyo, ndani ya mkoa wa pwani, linaonekana BMW S 7, likitokea upande wa bagamoyo, kwaspeed kali ya kilomita mia moja themanini kwa saa, likisogelea njia panda ile ambayo inaunganisha barabara itokayo Chalinze kuelekea mikoa ya kaskazini, yani Tanga, Kilimanjaro na Arusha, na gari hilo lenye speed ya Puma, linapokaribia round about ile, linapnguza mwendo zaidi na kuingia mzungukoni, kisha kushika uelekeo wa kaskazini.
Gari linaonekana likwa mwendo wa speed ya kilomita arobaini kwa saa na kuongeza speed taratibu kila lilipozidi kusogea, hata lilipokuwa limemekaribia mzani lilikuwa katika speed ya kilomita hamsini kwa saa, hiyo ilisaidia hata askari wa usalama barabarani alitazame kwa macho pasipo kulisimamisha, maana halikuonejana kuwa na makosa yoyote na kwa bahati nzuri kwa wakati ule lilionekana kuwa namba za usajili wa muda, namba ambayo hupewa gari pale tu linaposhushwa bandarini, kabla ya kusajiliwa upya, namba ambayo hutumika ndani ya siku tisini tu, yani miezi mitatu.
Naam mara tu baada ya kuvuka pale mzani, gari likaongeza mwendo mara dufu, ndani ya sekunde kumi na tano, kama ungekuwa na king’amua mwendo kama ambavyo waswahili tunapenda kuita torch, basi ungewezakushika kichwa kwa speed ambayo ungeishuhudia, ilikuwa ni speed ya kilomita mia tisini kwa saa, na haikuishia hapo, speed iliendelea kuongezeka kila sekunde ilipo sogea, huku kioo kidogo cha video pale kwenye dash board ya gari ikionyesha picha ya ramani ya GPS, ya muundo wa satellite (setelaiti) ramani ambayo iliweza kuonekana vyema, mfano wapicha halisi ya umbo la dunia, kama linavyoweza kuonekana toka angani, lilionyesha jinsi wanavyo karibia mto wami.
“sina shaka na uendeshaji wako Deus” alisema Sheba na kwa mara ya kwanza akiachia tabasamu pana, huku anajilaza kwenye kiegemeo cha kiti aliyokalia, Deus akujibu kitu zaidi kukanyaga mafuta kulifuata daraja la mto wami, ambapo wanaelekea kuuacha mkoa wa pwani, wakati huo tayari zilisha pita dakika ishirini toka itimie saa kumi za jioni kwa saa za afrika ya mashariki.*******
Naam King Elvis na mke wake Vaselisa, wakiwa kwenye eneo la bustani nzuri yenye kupendeza, wamezungukwa na marembo wa maua pamoja na walinzi, wanapunga upepo hapa kwenye jumba la Dhahabu, yaani ikulu ya #mbogo_land, alionekana kuwa mwenye mawazo mengi, yaliyo mkosesha amani, kitu ambacho hata mke wake alikigundua, japo hakujuwa ni kitu gani kime mnyima amani mume wake, “mume wangu mpendwa ni muda mefu sana sijawahi kukuona ukiwa katika hali kama hii, vipi kuna jambo lina kutatiza?” aliuliza Malkia Vaselisa mwanamke mzuri alietajwa kuwa katika oroha ya wanawake wazuri kabisa duniani.
Swali la malkia ni kama lilimgutusha Elvis toka kwenye mawazo, “hooo! ni mambo ya utawala, ukweli yanaumiza kichwa” alisema Elvis, huku anajiweka sawa kwenye kiti chake, kilicho nakshiwa kwa dhahabu na madini mengine, yenye thamani, kiti ambacho angekiokota moneytalk au woodpecker24 wange nunua mtaa mzima na majumba na mali zote za mtaa na wakazi wa mtaa huo wangewaajili kulima mashamba, na kufanya kazi kwenye viwanda vyao, ambavyo wange vianzisha kwa fedha hiyo hiyo, pia fedha inayo bakia wangeinunua simba na ndio ingekuwa mwaka wao wa kwanza kuchukua club bingwa maana wangetumia fedha hiyo hiyo kuhonga marefa waibebe timu na Doctor G angeacha hiyo kazi akajenga hospital za kwake (hayo ni mawazo ya rafiki yangu Mduku aliyoyatoa siku alipokiona kile kiti cha King Elvis wa kwanza siku tulivyotembelea #mbogoland kwenye ndoa ya Radhia) .…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
190km/hr..,
Unamuachia Jiesiemu 😅hahahaa mimi siwezi kununua simba,yanga yangu nimuachie nani
Nipo mkuu
🤣 ila KIAPO CHA FUKARA NA IYO NYUNGINE NAZIPATA WAPI Abou ShaymaaUnamuachia Jiesiemu 😅
Nitazileta hapa pia baada ya TEMBELE LA UANI🤣 ila KIAPO CHA FUKARA NA IYO NYUNGINE NAZIPATA WAPI Abou Shaymaa
Mkuu hiyo tembele la uani naisubiri sanaaa.Nitazileta hapa pia baada ya TEMBELE LA UANI
Hili jina tu najua kitu kitakuwa ni fireeeNitazileta hapa pia baada ya TEMBELE LA UANI
Tupo machoYa kulalia naipika hapa