Dampa
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 810
- 1,264
Mimi si mpenzi sana wa hadithi ila hii nimeipenda nimeamua kushare na nyie ndugu zangu wa JF hasa wapenda stori za machombezo drama n stuffs like that tuwemo.
=======
Simulizi ya kweli: SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU!!!
Msimuliaji: KIDAWA
Mwandishi: Jack Mambo
Umri: 18+
Sehemu ya 1
Kidawa Said Kidaluso,ndiyo majina yalioandikwa kwenye kitambulisho changu cha Taifa(NIDA).Nilitabasamu nikikumbuka vile nilivyokipata siku mbili nyuma!
Sikuhangaika sana kukipata kama wenzangu na mimi,sikupanga foleni nikachomwa na jua la utosi kama wenzangu.
Nilishasikia serikali ikitangaza sana kuhusu kusajili laini kwa alama za vidole, kama unavyojua watanzania hatuamini mpaka tuone, Ila nilipoona Mambo yamekuwa magumu kila kona naskia NIDA! NIDA! NIDA!
Nikiwasha redio NIDA,nikiwasha TV NIDA na popote ninapokwenda ni NIDA.
Maji yalipofika shingoni nikaona isiwe tabu nikachukua simu yangu,nikaitafuta namba ya buzi langu linalofanya kazi kwenye idara nyeti ya serikali nikimueleza dhamira yangu kuwa nilitaka kitambulisho cha taifa.
"Mbona hujanijuza mapema mpenzi?",aliniuliza yule mheshimiwa.
"Hapana baby sikujua kama inshu itatiliwa mkazo namna hii", nilimjibu nikimbembeleza kwa sauti tamu ya puani.
"Kidawa,kidawa ushaanza kunilegezea sauti niko ofisini mama oohooohh", alijihami mheshimiwa.
"Hapana mheshimiwa nisaidie kwa hili halafu nimekumiss, nmemiss bakora yako Mheshimiwa!"
"Mmm...mmhh uko wa...wapi Kidawa?"
Mheshimiwa alibabaika sio kidogo sauti yangu haikumwacha Salama tayari mheshimiwa alishaingia kwenye anga za Kidawa,Kidawa wa sasa sio yule ambaye ukimuonja hutamani tena Kidawa wa sasa ukigusa umenasa utamu wangu ni zaidi ya asali!!!
"Niko nyumbani baby aaasshhiii kiuno kinaumaaaa aaahh njoo uninyooshe baby aaaahh" Nilizidi kumpagawisha Mheshimiwa, kiukweli sikutaka laini zangu zifungwe maana laini zangu ndio zinajulikana kwa madanga yangu mengi hapa mjini, kuzikosa haiwezekani maana kuna namba ya kila aina ya bakora,nimesevu namba ya mwenye bakora ndefu nyembamba,mwenye bakora fupi Ila tamu, mwenye kombola la nyuklia mashine ya kwenda na pia wenye bakora za kupinda pinda!Kwa hiyo ni chaguo langu nikimiss iliyopinda kwenda juu nampigia simu,nikimiss mashine iliyoshiba nampigia simu, hayo ndiyo maisha yangu KIDAWA!
Asilimia tisini ya maisha yangu ni ngono,nilipenda ngono kuliko kula ngono kuliko kunywa, niliishi nikiiabudu bakora.
"Subiri nakupigia simu muda si mrefu KIDAWA!!
"Ok baby ndio maana nakupenda mwaaaaaaa!", mheshimiwa alikata simu nikamsindikiza na mabusu moto moto!
Baada ya muda Mheshimiwa akanipigia simu nikampokea
"Hallo kidawa"
"Abee mpenzi"
"Njoo ofisini!"
Alikuwa na ofisi yake posta,sikusita niliinuka nikaingia bafuni nikaoga vizuri nikimuosha vizuri na mwenzangu si unajua naenda kwa mwanaume lolote linaweza kutokea hawaeleweki hawa watu baba mmoja mama mmoja,kuna wengine wabishi kama nini hata uwaambie uko period watapitisha na kidole kuhakikisha 😆😆
Nilipohakikisha nimetakata nikatoka na taulo langu nikasogea kwenye dressing table yangu nikaanza kujifuta maji huku nikijitathimini uzuri wangu huku naimba ile nyimbo ya Diamond "kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka, mwendo na shepu vyote mwanana suruali yanidondoka!"
Kusema kweli aliyeniumba alinipendelea sana jaman,alinipa shepu la maana kiuno kidogo cha dondora chini akanipa zigo la kwenda,mtako kama wote hata yule mnamuita Sanchi sijui sanchoka anasubiri hapa sio kwangu kidawa. Nimeumbika mpaka kuna muda najitamani, basi tuachane na hayo nilijipamba nikapambika nikachukua na shanga zangu ambazo ndiyo zimenifanya nimtafute mwandishi ili nimpe stori yangu Kidawa na maajabu ya shanga zangu,utajua tu namaanisha nini.
Nikavalia suruali nyepesi ya kitambaa na mkoti wake, si unajua naenda ofisini kwa mheshimiwa haitakiwi nivae nguo za ajabu,japo hapo nimevaa Ila bado umbo langu linalotamanisha lilionekana vyema!Sikusahau mtandio wangu si unajua umaarufu ni shida! Najua unatamani kujua mi ni staa wa nini usiwe na haraka usichoke tu kusoma maandishi haya yaliyoandikwa kuhusu maisha yangu!
Nilipohakikisha nimependeza sikusahau marashi yangu nayoyapenda,niliyonunua Dubai nilipokuwa nimeenda kununua mizigo ya biashara zangu! Nikavaa na miwani ya kichokozi iliyonifanya nionekane mrembo zaidi! Nilitoka nje nikachagua gari moja ya kutoka nayo kati ya mawili ninayomiliki, gari nilizonunua kwa pesa zangu kabisa siyo kuhongwa na madanga moja niliyopewa na Waziri kwenye mkataba wangu wa kuutangaza utalii wa ndani nilishaiuza kitambo nikanunua gari Kali zaidi.Najua unatamani kumjua kidawa ni nani?subiri acha haraka ntakupa tu story yangu nilipotoka hadi nilipofika na mitihani niliyokutana nayo kwenye maisha yangu ya kimapenzi!
Mlinzi alinifungulia geti nikaitoa gari yangu taratibu nikashika barabara Sasa kuelekea posta kwa mheshimiwa! Hakukuwa na jam sana njiani ,si muda nilifika nikapaki gari langu mbele ya ghorofa kubwa sana posta!nikatelemka kisha kwa mwendo wa mikogo nikaanza kupiga hatua zangu kuingia mle ndani, mwanamke mwendo bhana siyo unatembea unabuluza miguu kama bata inahusu!
Niliwaona wanaume walivyogeuza shingo zao kuniangalia sehemu za nyuma zinavyotingishika,sikuwajali nilizidi kusonga mbele nishazoea ile hali. Niliingia kwenye lift nikapanda mpaka ghorofa ya tano kisha nikaingia kwenye ofisi ya Mheshimiwa nikakutana na sekretali ambaye alikuwa na taarifa zangu tayari aliniruhusu nikaingia ofisini mheshimiwa alivyoniona aliinuka akanifuata akanikumbatia.
Nikampokea mikononi mwangu japo sikumfaidi sana kumbatio lake sababu ya kitambi chake! Akanipa ulimi nikaupokea nikampa mate yake nikamuona vile alivyoanza kukolea huku chini nikaisikia bakora yake ikinigusa gusa, ndicho nilichompendea huyu mheshimiwa ana bakora kama kaunganisha za watu watatu, mashine ikiingia unakiri kweli kitumbua changu kimepata mkunaji.
Mheshimiwa alienda mbali akaanza kunifungua suruali yangu nikaona utakuwa uzembe kuliwa kabla sijapata nilichofuata hapana! "No!no! Eliasi sio sasa nimefuata kitambulisho jamani!!", nilimuona jinsi alivyokuwa na hamu akaniachia huku anameza mate ya hamu,akaketi kwenye kiti chake nami nikaketi kwenye kiti cha wageni.
Eliasi akashika simu akapiga sikujua alikuwa anaongea na nani Ila ni kama alikuwa akimtaarifu nishafika,punde akaingia kijana mmoja ambaye baada ya muda nilimjua kuwa ni mfanyakazi wa NIDA. Huwezi amini kumbe lilikuwa tayari na mashine ya NIDA mle ofisini, napenda wanaume kama Eliasi kwa kweli hawana mambo mengi hana longo longo!!
Basi nilipigwa picha nikasajiliwa peke yangu ofisini, ndiyo vizuri kuwa na madanga yenye wadhifa serikalini.
Ilichukua masaa matatu hadi kukamilisha na kupata kitambulisho changu,Kisha yule kijana akaondoka zake!
"Ahsante Eliasi sikujua ingekuwa rahisi namna hii!", nilimwambia Eliasi ambaye nilimuona kila alipokuwa ananiangalia alimeza mate!
"Kwanini unateseka Eliasi,unashindaje njaa na chakula unacho baba nikule basi" Niliongea muda huo nishainuka namsogelea Eliasi kwa staili ya nipe kidogo nichangamshe damu! Nilifika nikamkalia Eliasi ambaye bado alikuwa ameshangaa tu kashikwa na kigugumizi kikali, nikaishika tai yake nikailegeza nikamvua mkoti wake naye akaanza kunivua mkoti wangu Kisha akaanza kuchezea kiuno changu nikahisi kizunguzungu cha mahaba! Kidawa nikaanza kumnyonya Eliasi shingoni, kama hujui tu nikiwaga kwenye hizi harakati huwa akili zinaruka nakuwa kama nimepandisha mashetani ya mahaba na hii ni tangu nivae hizi shanga, shanga za Bibi yangu ambaye ndiye kungwi wangu kabisa Bi Mwana kutoka Tanga!
Nilijua kumuandaa mwanaume haswa,nilijua kumnyegesha mwanaume mpaka bakora yake ikamwaga ute,ndio bakora ukiiandaa vizuri inatowaga viute fulani ivi vya nyege nyege!Kama hujawahi kuviona fanya uchunguzi utaviona! Nilimvua suruali yake nikalishika rungu lake kubwa lililovimba kwa hasira.Eliasi alionekana kuwa na hamu sana na kitumbua changu.
Hakukuwa na ufundi mwingi kama ujuavyo hapo ni ofisini hivyo nilipoona tu kitumbua changu kimelowa tayari kuipokea bakora nilivua nguo zangu nikaisogeza pembeni chupi yangu nikamkalia Eliasi!nikaishika bakora yake nikaisugua juu ya kitumbua changu nikahisi ubaridi na joto kwa mbaaaalii
Nikaizamisha ikaingia taratibu,sikuweza kuizamisha yote jamani ni dude kubwa Ilibidi niikatikie kwa balansi!!!
"Ooooshhhhhaaaassiiiiiiihhh!!aaaaaahhggghhhuuuuuuu mamaaaaaa aaahh ahhh" Eliasi hakuwa akijiweza sana alibarikiwa tu bakora kubwa, nadhani kitambi chake kilificha makali yake, Ila sikupata taabu niliumbuka ule usemi wa wahenga! Raha jipe mwenyewe'
Kiuno changu kilikuwa ni zaidi ya feni, nilijua kucheza na bakora nilimkatikia Eliasi ambaye siyo muda alianza kuweweseka nikajua anataka kumaliza, sikutaka aniache nyuma wanaume wa siku hizi hawaeleweki anaweza akapiga kimoja icho ndiyo ikawa bye bye!
Nilichofanya niliongeza kasi ya kiuno changu. "Nishike shangaaaaa chezea shanga zangu aaaaahhhhhhh" Kama nilivyohisi Eliasi alivunja dafu lake nami nikapiga bao langu safi nikatulia!!
"Asante baby huwa naenjoy sana nikifanya mapenzi na wewe"
"Hata wewe baba sio kwa bakora hiyo eti"
"Basi naomba nikupeleke nyumbani mpenzi!"
"Eliasi nimekuja na gari langu eti unakuwa kama hunijui nishakukataza kunilinganisha na videmu vyako vya uswahilini huko!"
"Basi chukua hii laki moja ukajaze hata mafuta!"
"Sijakuomba Eliasi wape viswaswadu vyako wanunue hata chupi za mitumba!"
Hayo ndiyo maisha yangi,pesa ninazo nilichofuata ni bakora tu na kitambulisho changu basi!!
JE, NINI KINAFUATA? KIDAWA NI NANI NA HIZO SHANGA ZAKE ZINA NINI? USKOSEEEE MOTO MWINGINE HUU!
=======
Simulizi ya kweli: SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU!!!
Msimuliaji: KIDAWA
Mwandishi: Jack Mambo
Umri: 18+
Sehemu ya 1
Kidawa Said Kidaluso,ndiyo majina yalioandikwa kwenye kitambulisho changu cha Taifa(NIDA).Nilitabasamu nikikumbuka vile nilivyokipata siku mbili nyuma!
Sikuhangaika sana kukipata kama wenzangu na mimi,sikupanga foleni nikachomwa na jua la utosi kama wenzangu.
Nilishasikia serikali ikitangaza sana kuhusu kusajili laini kwa alama za vidole, kama unavyojua watanzania hatuamini mpaka tuone, Ila nilipoona Mambo yamekuwa magumu kila kona naskia NIDA! NIDA! NIDA!
Nikiwasha redio NIDA,nikiwasha TV NIDA na popote ninapokwenda ni NIDA.
Maji yalipofika shingoni nikaona isiwe tabu nikachukua simu yangu,nikaitafuta namba ya buzi langu linalofanya kazi kwenye idara nyeti ya serikali nikimueleza dhamira yangu kuwa nilitaka kitambulisho cha taifa.
"Mbona hujanijuza mapema mpenzi?",aliniuliza yule mheshimiwa.
"Hapana baby sikujua kama inshu itatiliwa mkazo namna hii", nilimjibu nikimbembeleza kwa sauti tamu ya puani.
"Kidawa,kidawa ushaanza kunilegezea sauti niko ofisini mama oohooohh", alijihami mheshimiwa.
"Hapana mheshimiwa nisaidie kwa hili halafu nimekumiss, nmemiss bakora yako Mheshimiwa!"
"Mmm...mmhh uko wa...wapi Kidawa?"
Mheshimiwa alibabaika sio kidogo sauti yangu haikumwacha Salama tayari mheshimiwa alishaingia kwenye anga za Kidawa,Kidawa wa sasa sio yule ambaye ukimuonja hutamani tena Kidawa wa sasa ukigusa umenasa utamu wangu ni zaidi ya asali!!!
"Niko nyumbani baby aaasshhiii kiuno kinaumaaaa aaahh njoo uninyooshe baby aaaahh" Nilizidi kumpagawisha Mheshimiwa, kiukweli sikutaka laini zangu zifungwe maana laini zangu ndio zinajulikana kwa madanga yangu mengi hapa mjini, kuzikosa haiwezekani maana kuna namba ya kila aina ya bakora,nimesevu namba ya mwenye bakora ndefu nyembamba,mwenye bakora fupi Ila tamu, mwenye kombola la nyuklia mashine ya kwenda na pia wenye bakora za kupinda pinda!Kwa hiyo ni chaguo langu nikimiss iliyopinda kwenda juu nampigia simu,nikimiss mashine iliyoshiba nampigia simu, hayo ndiyo maisha yangu KIDAWA!
Asilimia tisini ya maisha yangu ni ngono,nilipenda ngono kuliko kula ngono kuliko kunywa, niliishi nikiiabudu bakora.
"Subiri nakupigia simu muda si mrefu KIDAWA!!
"Ok baby ndio maana nakupenda mwaaaaaaa!", mheshimiwa alikata simu nikamsindikiza na mabusu moto moto!
Baada ya muda Mheshimiwa akanipigia simu nikampokea
"Hallo kidawa"
"Abee mpenzi"
"Njoo ofisini!"
Alikuwa na ofisi yake posta,sikusita niliinuka nikaingia bafuni nikaoga vizuri nikimuosha vizuri na mwenzangu si unajua naenda kwa mwanaume lolote linaweza kutokea hawaeleweki hawa watu baba mmoja mama mmoja,kuna wengine wabishi kama nini hata uwaambie uko period watapitisha na kidole kuhakikisha 😆😆
Nilipohakikisha nimetakata nikatoka na taulo langu nikasogea kwenye dressing table yangu nikaanza kujifuta maji huku nikijitathimini uzuri wangu huku naimba ile nyimbo ya Diamond "kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka, mwendo na shepu vyote mwanana suruali yanidondoka!"
Kusema kweli aliyeniumba alinipendelea sana jaman,alinipa shepu la maana kiuno kidogo cha dondora chini akanipa zigo la kwenda,mtako kama wote hata yule mnamuita Sanchi sijui sanchoka anasubiri hapa sio kwangu kidawa. Nimeumbika mpaka kuna muda najitamani, basi tuachane na hayo nilijipamba nikapambika nikachukua na shanga zangu ambazo ndiyo zimenifanya nimtafute mwandishi ili nimpe stori yangu Kidawa na maajabu ya shanga zangu,utajua tu namaanisha nini.
Nikavalia suruali nyepesi ya kitambaa na mkoti wake, si unajua naenda ofisini kwa mheshimiwa haitakiwi nivae nguo za ajabu,japo hapo nimevaa Ila bado umbo langu linalotamanisha lilionekana vyema!Sikusahau mtandio wangu si unajua umaarufu ni shida! Najua unatamani kujua mi ni staa wa nini usiwe na haraka usichoke tu kusoma maandishi haya yaliyoandikwa kuhusu maisha yangu!
Nilipohakikisha nimependeza sikusahau marashi yangu nayoyapenda,niliyonunua Dubai nilipokuwa nimeenda kununua mizigo ya biashara zangu! Nikavaa na miwani ya kichokozi iliyonifanya nionekane mrembo zaidi! Nilitoka nje nikachagua gari moja ya kutoka nayo kati ya mawili ninayomiliki, gari nilizonunua kwa pesa zangu kabisa siyo kuhongwa na madanga moja niliyopewa na Waziri kwenye mkataba wangu wa kuutangaza utalii wa ndani nilishaiuza kitambo nikanunua gari Kali zaidi.Najua unatamani kumjua kidawa ni nani?subiri acha haraka ntakupa tu story yangu nilipotoka hadi nilipofika na mitihani niliyokutana nayo kwenye maisha yangu ya kimapenzi!
Mlinzi alinifungulia geti nikaitoa gari yangu taratibu nikashika barabara Sasa kuelekea posta kwa mheshimiwa! Hakukuwa na jam sana njiani ,si muda nilifika nikapaki gari langu mbele ya ghorofa kubwa sana posta!nikatelemka kisha kwa mwendo wa mikogo nikaanza kupiga hatua zangu kuingia mle ndani, mwanamke mwendo bhana siyo unatembea unabuluza miguu kama bata inahusu!
Niliwaona wanaume walivyogeuza shingo zao kuniangalia sehemu za nyuma zinavyotingishika,sikuwajali nilizidi kusonga mbele nishazoea ile hali. Niliingia kwenye lift nikapanda mpaka ghorofa ya tano kisha nikaingia kwenye ofisi ya Mheshimiwa nikakutana na sekretali ambaye alikuwa na taarifa zangu tayari aliniruhusu nikaingia ofisini mheshimiwa alivyoniona aliinuka akanifuata akanikumbatia.
Nikampokea mikononi mwangu japo sikumfaidi sana kumbatio lake sababu ya kitambi chake! Akanipa ulimi nikaupokea nikampa mate yake nikamuona vile alivyoanza kukolea huku chini nikaisikia bakora yake ikinigusa gusa, ndicho nilichompendea huyu mheshimiwa ana bakora kama kaunganisha za watu watatu, mashine ikiingia unakiri kweli kitumbua changu kimepata mkunaji.
Mheshimiwa alienda mbali akaanza kunifungua suruali yangu nikaona utakuwa uzembe kuliwa kabla sijapata nilichofuata hapana! "No!no! Eliasi sio sasa nimefuata kitambulisho jamani!!", nilimuona jinsi alivyokuwa na hamu akaniachia huku anameza mate ya hamu,akaketi kwenye kiti chake nami nikaketi kwenye kiti cha wageni.
Eliasi akashika simu akapiga sikujua alikuwa anaongea na nani Ila ni kama alikuwa akimtaarifu nishafika,punde akaingia kijana mmoja ambaye baada ya muda nilimjua kuwa ni mfanyakazi wa NIDA. Huwezi amini kumbe lilikuwa tayari na mashine ya NIDA mle ofisini, napenda wanaume kama Eliasi kwa kweli hawana mambo mengi hana longo longo!!
Basi nilipigwa picha nikasajiliwa peke yangu ofisini, ndiyo vizuri kuwa na madanga yenye wadhifa serikalini.
Ilichukua masaa matatu hadi kukamilisha na kupata kitambulisho changu,Kisha yule kijana akaondoka zake!
"Ahsante Eliasi sikujua ingekuwa rahisi namna hii!", nilimwambia Eliasi ambaye nilimuona kila alipokuwa ananiangalia alimeza mate!
"Kwanini unateseka Eliasi,unashindaje njaa na chakula unacho baba nikule basi" Niliongea muda huo nishainuka namsogelea Eliasi kwa staili ya nipe kidogo nichangamshe damu! Nilifika nikamkalia Eliasi ambaye bado alikuwa ameshangaa tu kashikwa na kigugumizi kikali, nikaishika tai yake nikailegeza nikamvua mkoti wake naye akaanza kunivua mkoti wangu Kisha akaanza kuchezea kiuno changu nikahisi kizunguzungu cha mahaba! Kidawa nikaanza kumnyonya Eliasi shingoni, kama hujui tu nikiwaga kwenye hizi harakati huwa akili zinaruka nakuwa kama nimepandisha mashetani ya mahaba na hii ni tangu nivae hizi shanga, shanga za Bibi yangu ambaye ndiye kungwi wangu kabisa Bi Mwana kutoka Tanga!
Nilijua kumuandaa mwanaume haswa,nilijua kumnyegesha mwanaume mpaka bakora yake ikamwaga ute,ndio bakora ukiiandaa vizuri inatowaga viute fulani ivi vya nyege nyege!Kama hujawahi kuviona fanya uchunguzi utaviona! Nilimvua suruali yake nikalishika rungu lake kubwa lililovimba kwa hasira.Eliasi alionekana kuwa na hamu sana na kitumbua changu.
Hakukuwa na ufundi mwingi kama ujuavyo hapo ni ofisini hivyo nilipoona tu kitumbua changu kimelowa tayari kuipokea bakora nilivua nguo zangu nikaisogeza pembeni chupi yangu nikamkalia Eliasi!nikaishika bakora yake nikaisugua juu ya kitumbua changu nikahisi ubaridi na joto kwa mbaaaalii
Nikaizamisha ikaingia taratibu,sikuweza kuizamisha yote jamani ni dude kubwa Ilibidi niikatikie kwa balansi!!!
"Ooooshhhhhaaaassiiiiiiihhh!!aaaaaahhggghhhuuuuuuu mamaaaaaa aaahh ahhh" Eliasi hakuwa akijiweza sana alibarikiwa tu bakora kubwa, nadhani kitambi chake kilificha makali yake, Ila sikupata taabu niliumbuka ule usemi wa wahenga! Raha jipe mwenyewe'
Kiuno changu kilikuwa ni zaidi ya feni, nilijua kucheza na bakora nilimkatikia Eliasi ambaye siyo muda alianza kuweweseka nikajua anataka kumaliza, sikutaka aniache nyuma wanaume wa siku hizi hawaeleweki anaweza akapiga kimoja icho ndiyo ikawa bye bye!
Nilichofanya niliongeza kasi ya kiuno changu. "Nishike shangaaaaa chezea shanga zangu aaaaahhhhhhh" Kama nilivyohisi Eliasi alivunja dafu lake nami nikapiga bao langu safi nikatulia!!
"Asante baby huwa naenjoy sana nikifanya mapenzi na wewe"
"Hata wewe baba sio kwa bakora hiyo eti"
"Basi naomba nikupeleke nyumbani mpenzi!"
"Eliasi nimekuja na gari langu eti unakuwa kama hunijui nishakukataza kunilinganisha na videmu vyako vya uswahilini huko!"
"Basi chukua hii laki moja ukajaze hata mafuta!"
"Sijakuomba Eliasi wape viswaswadu vyako wanunue hata chupi za mitumba!"
Hayo ndiyo maisha yangi,pesa ninazo nilichofuata ni bakora tu na kitambulisho changu basi!!
JE, NINI KINAFUATA? KIDAWA NI NANI NA HIZO SHANGA ZAKE ZINA NINI? USKOSEEEE MOTO MWINGINE HUU!