Siyo umeamua kunipotezea, hujui kitu na hautaki kukubali kuwa hujui.
Katika kiingereza in this case British English na hata American English, kuna topic kuhusu "Subjective and objective pronouns", nenda kasome kwa faida yako, usiwe na kiburi katika kujifunza na jifundishe kwa mtu yeyote.
Hahahaa, leo nlizishusha kama 3 hivi, ushazicheki zote?Ebu katuwekee story uko ya mkono wa chuma mnalipwa na haya mabishano
Huwa mnavuta bangi za mkoa gani? Sisi tunataka kusoma story tu sio kurekebishana lugha, mambo ya lugha yabaki darasani huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Dorcas pia jamani[emoji85]Ebu katuwekee story uko ya mkono wa chuma mnalipwa na haya mabishano
Hahahaa, leo nlizishusha kama 3 hivi, ushazicheki zote?
the Legend☆
Kwani ushamaliza we binti
Mkuu kama unayo yote fanya kama kudo tunalipa buku unatutumia kwenye WhatsAppHahahaa, leo nlizishusha kama 3 hivi, ushazicheki zote?
the Legend☆
Mkuu kama unayo yote fanya kama kudo tunalipa buku unatutumia kwenye WhatsAppHahahaa, leo nlizishusha kama 3 hivi, ushazicheki zote?
the Legend☆
Kwani ushamaliza we binti
Tuko wengi tusiopata notificationsNi kumuignore tu halaf hata quotes sipat mtu akinimention sioni notification natumia browser sjui n me peke yangu?
Tuko wengi tusiopata notifications
Hee we baba fungua english course hayo mabo ya subject na object waachie wenyeweSiyo umeamua kunipotezea, hujui kitu na hautaki kukubali kuwa hujui.
Katika kiingereza in this case British English na hata American English, kuna topic kuhusu "Subjective and objective pronouns", nenda kasome kwa faida yako, usiwe na kiburi katika kujifunza na jifundishe kwa mtu yeyote.
Hee we baba fungua english course hayo mabo ya subject na object waachie wenyewe
Tusubiri subiri sawa toto
Tusubiri subiri sawa toto
Mwenyewe simuoni jamani hata sijui mie[emoji4][emoji4]nasubiri shangazi..Alafu kwani mama kijacho tayari eti? Simuoni kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitufukuzie ndege wetu mkuu...Kichwa cha habari chenyewe hakiko vizuri; "The president and I" badala ya "I" ingekuwa "Me", na ingekuwa na maana ya "Rais na mimi".
Kwanza Kajifunze matumizi ya objective na subjective pronouns katika sentensi.