Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

Huwa mnavuta bangi za mkoa gani? Sisi tunataka kusoma story tu sio kurekebishana lugha, mambo ya lugha yabaki darasani huko
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hee we baba fungua english course hayo mabo ya subject na object waachie wenyewe
 
Hee we baba fungua english course hayo mabo ya subject na object waachie wenyewe


Hii mada imeshafungwa, inakuaje wewe unaifungua tena??.

Ni hivi, unapoleta uzi ndani ya jf hakikisha unaupitia ili kuondoa makosa yasiyo ya lazima mbaya zaidi si lazima utumie lugha isiyoeleweka na wengi wakati lugha inayoeleweka na wengi unaijua, sasa utamlaumu nani ikiwa umetumia vibaya lugha isiyoeleweka na wengi na ukakosolewa??!!, mbaya zaidi makosa yapo kwenye kichwa cha habari cha mada yenyewe!!, kama kichwa cha habari kina makosa huoni kwamba hata msomaji anaweza kuvunjika moyo na maudhui ya habari yenyewe na asiisome kabisa.

Kuelimishana pindi mtu anapokosea ni sehemu ya maisha wala hapa si nia ili mtu aonekane anajua na yule aliyekosea ni busara kukiri kukosea kwani hayupo ajuae kila kitu bali tunazidiana kulingana na mazingira nk.

Sasa nifungue english course nikufundishe wewe??!!, انت ماجنون
 
Hii simulizi ni noma sana.nimependa hiyo happy birthday kwa kutwangana makonde.

Mkuu akadhani vijana wake wamemuwashia kweli kweli.

Wajeda bwana, akiri zao wanazijua wenyewe.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…