Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

Mnaua biashara nyie.. kama umependa kitabu na stori kwanini usinunue?
Mkuu umewahi kusoma kitu inaitwa free economic market? Au ulikuta syllabus imefutwa? Kama bado google, ila kama tayar utajua kwa nn hyo kitu iliwekwa...

Umetazama upande mmoja tu wa biashara kwa mhusika ila hujatazama upande wa pili wa usambazaji wa kazi na utandawaza...
 

Ahsante kwa taarifa...


Cc: mahondaw
 
The Book sisi tulioko nje ya Tz haukututendea haki kabisa. Jitahidi utuuzie soft copy ili nasi tuburudike, make hapa ulitubagua kabisa.
 
Namjua mtunzi Ni senior wangu kikazi, kwa wanaohitaji vitabu wanicheck kwa namba +255746 785704 whatsup...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…