[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niltaka nishangae inakuwaje uone kithungu tu au kikorea unajua mwenzanguPius tutamnyamazisha faster[emoji28][emoji28][emoji28]
Hii story nimeipenda sana kwanza najifunza kingereza, najifunza kikorea.....nimeijua ikulu ya Korea japo kwa uchache [emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahPius tutamnyamazisha faster[emoji28][emoji28][emoji28]
Hii story nimeipenda sana kwanza najifunza kingereza, najifunza kikorea.....nimeijua ikulu ya Korea japo kwa uchache [emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Up comming story ...C.O.D.EXKwa watakao miss vitu vya costa usiende mbali like hapa then kulingana na kiwango cha like tutadondosha kitu mbadala kwa ajili ya kumsubiria costa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tunasubiri ila tu zisije zikaiva sana mpaka zikaoza ikawa mvumilivu anakula mbovuMvumilivu hula mbivu....
The story is good but very predictable & relatable
Msimu wa kwanza uliisha tukaambiwa tusubiri msimu wa pili ambao utaanza mwezi huu!Hivi hii ilikosa viewers? Au kuna sehemu imehamishiwa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Msimu wa kwanza uliisha tukaambiwa tusubiri msimu wa pili ambao utaanza mwezi huu!
Sent using Jamii Forums mobile app