Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni modalWakati tunasubiri editing, watambueni characters na mionekano yao.
Kila mmoja akisie huyu nani:
View attachment 2895824
Akitambilulika huyo tutaendelea wengine.
Kuna Siri sana KATIKA inner circle families.. nyingi ni za kitawala. Hata huko Duniani, america na ulaya. Mtoto wa kapuku huwezi kuoa ushuani..mfano mzuri ni malkia Elizabeth II Kuolewa na mwana mfalme prince Philip's wa ugirikiHuyu ni modal
Aahahahah Nan Sasa huyu?Aah bana, hujasoma kisa vizuri. Modo ni mrefu na hana mwili mpana namna hiyo.
Jimama kama sio jimama basi katibu mkuu kama sio katibu mkuu basi msagaji.Wakati tunasubiri editing, watambueni characters na mionekano yao.
Kila mmoja akisie huyu nani:
View attachment 2895824
Akitambilulika huyo tutaendelea wengine.
Kuna kisa kimoja Cha kihistoria ni kama kinaelekea kuwa na ka ukweli hivi kwenye nchi yetu. Mzee wa awamu ya pili hapa tz. Asili ya mama yake inadaiwa ni Kati Kwa akina nyalandu. Na ni mtoto wa mtemi LITI, ambaye ameenziwa Kwa uwanja wa NAMFUA KUPEWA jina la CCM LITI. HUYO LITI Sasa ni bibi yake MZEE. HAYA WAKATI LITI anauawa na wajerumani watoto wake wawili wa kike walipelekwa pwani kwenye familia za kimwinyi..hatimaye mahaba yakakuwa ndo wakazaliwa akina mzee ..Sasa angalia trend yake..yanazuka maneno kuwa mama naye ni bint wa mzee... HUWA NACHOKAHiyo ninkweli, hata hapa Tanzania ni circle zile zile tu. Kama yule wasiri Mzanzibari mwanae kama binti wa Lukuvi.
Siri zao kubwa, wana mambo mengi ambayo kwa walalahoi tukiyajua tutaanza kuwakomalia kama vile ni maajabu, wakati kwa walalahoi yapo kivyaovyao.
Jimama kama sio jimama basi katibu mkuu kama sio katibu mkuu basi msagaji.
Duh naye kumbe yamo ...hahahahahhahaBinti shushushu.
Huyu hapa nahis kama yupo na marafiki zakeHuyo hayupo, rangi kama ya Samira, lakini huyu kazidi weupe. Samira kapigwa na jua.
Mzee Hussein mwinyi ni zao la kitemi kati ya mtu wa pwan na mtu wa singida .. wakt BINTI za LITI wanavunja ungo Tyr mwamwinyi waliokuwa maaakida waliowabeba watoto wa LITI kutoka SINGIDA enzi za ujerumani ... Mama yake mwinyi akawa nyumba ndogo ya mzee Hasan hapo mkuranga japo enzi hizo mzee Hasan alikuwa tayar anaishi dar, wakati waingereza wanaingia Tanganyika , mzee Hasan AKAPATA shavu akahamia ZANZIBAR NDO Mzee wa ruksa kuzaliwa huko hatimaye kuwa rais wa jmamhuri.. haya yote no mambo yanayotokana na inner circleHizo codes mimi zsizifahamu.
Samira aka mtoto wa gadafi anaendesha truck kulitestHuyu hapa nahis kama yupo na marafiki zake
Huyu ni Binti...Wakati tunasubiri editing, watambueni characters na mionekano yao.
Kila mmoja akisie huyu nani:
View attachment 2895824
Akitambilulika huyo tutaendelea wengine.
Kwa wasiomfaham Nisha ni huyu hapa ..hizi ni picha akiwa nyumbani alikolelewaHuyu ni Binti...
Picha zake akiwa na mume wake honeymoon bado nambembeleza bro anipeKwa wasiomfaham Nisha ni huyu hapa ..hizi ni picha akiwa nyumbani alikolelewa
Bro amenipa picha moja ya Nisha akiwa katoka kupambwa, akiwa naye siku za honey moon. Picha ya Samira na mashangingi MENGINE yaliyokuwepo harusiniPicha zake akiwa na mume wake honeymoon bado nambembeleza bro anipe