zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Waache waige waoneee....mtu wa Iringa huyooo.....mmmhh.....za kuambiwa changanya na zakoo.....Story nyingi za waliofanikiwa huwa haziakisi ukweli wa mambo waliyopitia. Hawasemagi ukweli hawa watu, pambana kwa njia zako mema yao yachukue yasiyokufaa waachie ila usiwafate 100% utafeli.
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.porojo tu
huyu bwana kuna interview nimewahi msikia alikuwa serikalini na alisha fanya pia mashirika na taasisi binafsi huku akifanya biashara
alipoona amepata mtaji akaamua kuacha ajiajiri leo anasema alikuwa na mtaji mdg porojo tupu
achana na haya maandishi nenda kamsikilize kwenye interview ya krauzi huyu bwana ameshakuwa hadi nafasi za juu katika kazi yakeMiaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.
Wanawake wanawezeshana sana sikuhiziHii ipo kwa wanaume tu ...wanawake Sasa mhh!!..
Nimependa story yao.
Wewe unajikanganya kuna sehemu amesema hazikutosha china soma vizuri aim ya kuchanga na mwenzie.mkuu kabla ya kuanza tripu za china kwa maelezo yake alisema alikuwa kasha pata mtaji wa kutosha akaona ateme kazi leo anasema hazikutosha kule china
Vunja bei jina lake ni Fred Ngajilo, sasa sijui kama wanaunduguIvi fred vunja bei na fabian ngajilo Ni ndugu....
Kunasehem anaeleza kuwa Familia yake ipo Sauzporojo tupu , hakuna kitu hapo zaidi ya Sembe
Vunja bei jina lake ni Fred Ngajilo, sasa sijui kama wanaundugu
It seems money network sio shida kwao na Vunjabei.Dot connected....haahaa....Ni ndugu....concluded.
I know fabian ngajilo, alikuaga assistant lacture UDSM,
Fabian ngajilo yupo peace Sana na Ni CCM kindaki ndaki....
💯% fred ngajilo atakua Ni mdogo ake na Fabian ngajilo....
Fabian ngajilo ametufundisha mengi Sana kama wadogo zake chuo Kikuu.....
Jamaa anazidi kuchanja mbuga mikoani,mikoa kadhaa yupo...strategies yake kibiashara ndio imemkuza, low price higher demand...jeans Kali fixed price 19,000 tu ..mgejiuliza why anauza cheap? Sio kuanza kutuaminisha sababu zingine.. ...naona anakuja na projects zingine kwenye entertainment... Miaka michache ijayo atakuwa bigger next level...
Habari yeyote ya uongo haikosi editing...Porojo tu
Huyu bwana kuna interview nimewahi msikia alikuwa serikalini na alishafanya pia mashirika na taasisi binafsi huku akifanya biashara.
Alipoona amepata mtaji akaamua kuacha ajiajiri. Leo anasema alikuwa na mtaji mdg, porojo tupu.
Motivesheno spikaz,hakuna mmbongo atakwambia siri ya mafanikio yakeMfanyabiashara Fred Vunjabei ameandika hadithi fupi kuhusu maisha yake ya kibiashara na rafiki yake Frank Knows.
Ameandika hivi:-
[emoji117]Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.
Nilitafakari nifanye nini? hesabu zetu zilionesha kununua mzigo mdogo China ni kazi bure na hela itapotea, mwisho wa siku niliamka asubuhi nkamuita Frank nikamwambia “Nimeamua kukupa hela yangu yote ukifanikiwa utanishika mkono ukifeli tutakuwa tumejifunza kitu” alinishangaa sana, Alipojumlisha na yake jumla ikawa million kumi na mbili (12mil), Nlifanya hivyo kwa sababu zifuatazo;
Moja, Nilijua lazima mmoja wetu akubali kuwa na subira na mwingine atangulie (urafiki wetu hatukuwahi kuweka wivu na ubinafsi mbele)
Pili, Frank alikuwa na wateja wengi kuliko mm hivyo angezungusha hela haraka zaidi. (Ni vema kukubali ukweli)
Nilimuacha Frank akazungusha hela kwa muda kama wa miezi 6 na alikuwa akisafiri mara kwa mara, nlifurahi kumuona akifanikiwa na nilimsaidia sana kutafuta wateja na kumshauri, baada ya hapo alikuja akanipa 20,000,000/= (Cash) na tukaondoka wote tukaenda China kufunga mzigo. Nilifunga mzigo mzuri sana sababu Frank alipata experience kubwa na alikuwa ananionesha masoko mazuri bila kuona wivu.
Moral of the story: Urafiki wenye wivu na ubinafsi hauna tofauti na kufuga ng’ombe dume wawili then utegemee kupata maziwa.
Siyo krauzi ni EFM alikuwa Bdazeni mzeeachana na haya maandishi nenda kamsikilize kwenye interview ya krauzi huyu bwana ameshakuwa hadi nafasi za juu katika kazi yake
achana na porojo zake mkuu