Simulizi ya Fred Vunjabei na Frank Knows

Simulizi ya Fred Vunjabei na Frank Knows

Amechagua kusema vile tungependa kuvisikia na sio kuvisikiliza.

Haya mambo ya kutafuta mali yana mengi sana....
Sio kila jambo ataliongea
 
Jamaa anazidi kuchanja mbuga mikoani,mikoa kadhaa yupo...strategies yake kibiashara ndio imemkuza, low price higher demand...jeans Kali fixed price 19,000 tu ..mgejiuliza why anauza cheap? Sio kuanza kutuaminisha sababu zingine.. ...naona anakuja na projects zingine kwenye entertainment... Miaka michache ijayo atakuwa bigger next level...
 
Story nyingi za waliofanikiwa huwa haziakisi ukweli wa mambo waliyopitia. Hawasemagi ukweli hawa watu, pambana kwa njia zako mema yao yachukue yasiyokufaa waachie ila usiwafate 100% utafeli.
Waache waige waoneee....mtu wa Iringa huyooo.....mmmhh.....za kuambiwa changanya na zakoo.....
 
porojo tu

huyu bwana kuna interview nimewahi msikia alikuwa serikalini na alisha fanya pia mashirika na taasisi binafsi huku akifanya biashara

alipoona amepata mtaji akaamua kuacha ajiajiri leo anasema alikuwa na mtaji mdg porojo tupu
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.
 
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.
achana na haya maandishi nenda kamsikilize kwenye interview ya krauzi huyu bwana ameshakuwa hadi nafasi za juu katika kazi yake

achana na porojo zake mkuu
 
mkuu kabla ya kuanza tripu za china kwa maelezo yake alisema alikuwa kasha pata mtaji wa kutosha akaona ateme kazi leo anasema hazikutosha kule china
Wewe unajikanganya kuna sehemu amesema hazikutosha china soma vizuri aim ya kuchanga na mwenzie.
 
Vunja bei jina lake ni Fred Ngajilo, sasa sijui kama wanaundugu

Dot connected....haahaa....Ni ndugu....concluded.

I know fabian ngajilo, alikuaga assistant lacture UDSM,

Fabian ngajilo yupo peace Sana na Ni CCM kindaki ndaki....

💯% fred ngajilo atakua Ni mdogo ake na Fabian ngajilo....

Fabian ngajilo ametufundisha mengi Sana kama wadogo zake chuo Kikuu.....
 
Dot connected....haahaa....Ni ndugu....concluded.

I know fabian ngajilo, alikuaga assistant lacture UDSM,

Fabian ngajilo yupo peace Sana na Ni CCM kindaki ndaki....

💯% fred ngajilo atakua Ni mdogo ake na Fabian ngajilo....

Fabian ngajilo ametufundisha mengi Sana kama wadogo zake chuo Kikuu.....
It seems money network sio shida kwao na Vunjabei.
 
Jamaa anazidi kuchanja mbuga mikoani,mikoa kadhaa yupo...strategies yake kibiashara ndio imemkuza, low price higher demand...jeans Kali fixed price 19,000 tu ..mgejiuliza why anauza cheap? Sio kuanza kutuaminisha sababu zingine.. ...naona anakuja na projects zingine kwenye entertainment... Miaka michache ijayo atakuwa bigger next level...

Alafu pia fredy ana akili ya ziada haswa kwenye maswala ya pesa na utafutaji na hapo ndo alipo tuzidia wengi ni sawa na diamond na bongo flava yake nisawa na cr7 na mpira wake
 
Porojo tu

Huyu bwana kuna interview nimewahi msikia alikuwa serikalini na alishafanya pia mashirika na taasisi binafsi huku akifanya biashara.

Alipoona amepata mtaji akaamua kuacha ajiajiri. Leo anasema alikuwa na mtaji mdg, porojo tupu.
Habari yeyote ya uongo haikosi editing...

Huyo anahusishwa na madawa.

Kuna siku kitalipuka ,,ngoja arobaini ifike.
 
Mi siwez hata kama ni mama angu
Mi siwez hata kama ni mama angu
 
Mfanyabiashara Fred Vunjabei ameandika hadithi fupi kuhusu maisha yake ya kibiashara na rafiki yake Frank Knows.

Ameandika hivi:-

[emoji117]Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na duka moja dogo sana Kariakoo (Goli), baada ya kujikusanya tulikubaliana na rafiki yangu Frank Knows twende kujaribu kununua mzigo China, tulisubiri kipindi cha tiketi za offer na tukapata Ethiopian Airways, tulifanikiwa kufanya utafiti wa maana sana China na tukajilaumu tulikuwa wapi siku zote, Ndoto zangu nlianza kuziona zikikamilika licha ya kuwa China ilitakiwa uwe na hela nyingi na wote tulisafiri na pesa kidogo sana hazikutosha kununua mzigo.

Nilitafakari nifanye nini? hesabu zetu zilionesha kununua mzigo mdogo China ni kazi bure na hela itapotea, mwisho wa siku niliamka asubuhi nkamuita Frank nikamwambia “Nimeamua kukupa hela yangu yote ukifanikiwa utanishika mkono ukifeli tutakuwa tumejifunza kitu” alinishangaa sana, Alipojumlisha na yake jumla ikawa million kumi na mbili (12mil), Nlifanya hivyo kwa sababu zifuatazo;

Moja, Nilijua lazima mmoja wetu akubali kuwa na subira na mwingine atangulie (urafiki wetu hatukuwahi kuweka wivu na ubinafsi mbele)

Pili, Frank alikuwa na wateja wengi kuliko mm hivyo angezungusha hela haraka zaidi. (Ni vema kukubali ukweli)

Nilimuacha Frank akazungusha hela kwa muda kama wa miezi 6 na alikuwa akisafiri mara kwa mara, nlifurahi kumuona akifanikiwa na nilimsaidia sana kutafuta wateja na kumshauri, baada ya hapo alikuja akanipa 20,000,000/= (Cash) na tukaondoka wote tukaenda China kufunga mzigo. Nilifunga mzigo mzuri sana sababu Frank alipata experience kubwa na alikuwa ananionesha masoko mazuri bila kuona wivu.

Moral of the story: Urafiki wenye wivu na ubinafsi hauna tofauti na kufuga ng’ombe dume wawili then utegemee kupata maziwa.

Motivesheno spikaz,hakuna mmbongo atakwambia siri ya mafanikio yake
 
achana na haya maandishi nenda kamsikilize kwenye interview ya krauzi huyu bwana ameshakuwa hadi nafasi za juu katika kazi yake

achana na porojo zake mkuu
Siyo krauzi ni EFM alikuwa Bdazeni mzee
 
Back
Top Bottom