Simulizi ya kichawi: Makaburi ya wasio na hatia (The Graves of The Innocents)

Leta nondoooo mkuu
 
Lengo lako usifike sehemu ya 67 haraka ndio maana unakopi single episode, ninakusubiri.
 
Kata mzizi wa fitina, copy kutoka kwenye uzi wa Kanungila Karim utume kuanzia Sehemu Ya 63 mpaka Sehemu ya 66 kwa mkupuo mmoja. Utakua umemsaidia [emoji23][emoji1787]
Mwenye hadithi alinipa tenda ya kumpostia humu ili apate wateja wa kununua kitabu chake. Kitabu kina kurasa sio chini ya 400+ mzee, unasoma huchoki.
 
Hivi hii story ni kweli au ya kutunga??
Itakuwa ya kutunga tu. Hivi kuna mtoto mjinga kama huyu duniani kweli? Anashuhudia kwa macho yake jambo la ajabu, anaonywa baada ya dakika chache anarudia tena huku akijiambia kama lolote na litokee tu😆. Akili haicharge kabisa, kila jambo likitokea linajiuliza hivi si inatakiwa iwe hivi sasa mbona inakuwa hivi?🤣
Almanusra amuue Rahma dawa ikapatikana kupitia yeye mwenyewe akashuhudia mauza uza yote. Limegeuzwambwa likajitambua, limetoka damu nyeusi likaona. Baba yake kila mara anamuonya lakini waapi!😫
Utasema kuna toto kama hili duniani kweli?🤔
 
Wazee, ndo nataka kuanza safari. Simulizi imefika mwisho au ndo yaleyale ya telegram?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…