kuna story yake nyingine aliishia njiani....... so far tujiandae kwa lolotekazi nzuri...ila kama unataka kutupa mkono majemedari wako wa toka mwanzo.Yaani kutoka j4, alhamis na jmosi sasa imekiwa siku yoyote mkuu?
Mkuu Hades Singanojr...aka Roma Romani.
Sasa nafanyaje maana sina tofauti na Hades linapokuja suala la matumizi ya simu! Namiliki mpunga wa kuntosha mim na mambo yangu nnayopenda ila kwa simu naiamini itel ya batani! Hamna mtu mwenye uwezo wa kudukuapm ni ngumu sijawahi tuma.huko
Ni rahisi mno! kama unatuma meseji fb tu! Ntumie kaka sitaileta huku hadharan!pm ni ngumu sijawahi tuma.huko
tuendelee na ratiba yetu mkuu j4, alhamis na jmos au sio Singanojr. aka hades jembe la Edina.inaisha hii
J-mosi tayarisawa kesho tutaanza
Vp 2 hours of memoriessawa kesho tutaanza
Mwanzani tukicoment na ku like mzigo hua hapa...anyway weekend hii na masikukuu kibao mambo mengi....ataleta tu mwana. Alafu sie tuko nyuma kuliko wa kule group so just unacopy unatupia tu hapa. Singanojr aka Hades aka Roma Roman unakwama wapi mkuu.??Angeacha kabisa kupost kwan shida nin.
Haya mambo ya mtu anaanzisha story afu watu wakianza kunogewa anaacha ni mambo ya kukatishana tamaa sana bora usipost tu uku..
A. K. A Persephone π π πMwanzani tukicoment na ku like mzigo hua hapa...anyway weekend hii na masikukuu kibao mambo mengi....ataleta tu mwana. Alafu sie tuko nyuma kuliko wa kule group so just unacopy unatupia tu hapa. Singanojr aka Hades aka Roma Roman unakwama wapi mkuu.??
Angeacha kabisa kupost kwan shida nin.
Haya mambo ya mtu anaanzisha story afu watu wakianza kunogewa anaacha ni mambo ya kukatishana tamaa sana bora usipost tu uku..
Mkuu singanojr uko pow ndugu! Sisi tupo tunajifia tu na kiu zetu za story yako. Kaka kweli we ndo wa kutuacha wiki nzima? Daah its not fair dingii! Be positive mnene